Home → Love sms
→ 🎀🎀UKIWA NA MAMBO HAYA MUMEO ATAKUPENDA SANAA🎀🎀
Ni sifa 7 ambazo mwanamke
anatakiwa kujipamba nazo ili azidi
kumteka mwanaume, hasa mume
anayejitambua... Ni muhimu kutambua
kuwa suala la uchaguzi wa mwenza ni
jambo la kwanza kabisa kwa sababu ndio
dira ya maisha yako ya ndoa...
Je, unapaswa kuwa vipi ili mumeo
akupende?
🌺🌺🌺🌺
1. MWENYE HISIA ZA UCHESHI:
Ikiwa
unafurahishwa na utani wake, ni jambo
litakalomvutia sana. Lakini ukiwa mwepesi
wa kuchukia na kukasirika, yumkini
mumeo asivutike nawe. Jitahidi kuwa na
hisia za utani na ucheshi...
🌺🌺🌺
2. MWENYE KUSAMEHE:
Unapoelewa kuwa
mumeo sio mtu mkamilifu na unapokuwa
na uwezo wa kumsamehe kwa dosari
zake, hii itamaanisha kuwa unamiliki
mojawapo ya sifa muhimu sana ambazo
wanaume wanazitaka kwa udi na uvumba.
Ukiwa na mchezo wa kumrukia kwa kila
kosa dogo analolifanya au ukawa na
ukosoaji uliopitiliza, tambua kuwa mumeo
hatakuwa mwenye kukufurahia, hata kama
ni miongoni mwa wale wasiosema.
Niliwahi kumnasihi memba wangu mmoja
wa Ndoa Maridhawa kuwa: “Kama
wamtafuta mume asiyekosea, hutampata
na utaishi bila mume”.
🌺🌺🌺
3. MWENYE SUBIRA:
Sifa hii inakaribiana na
sifa ya kusamehe niliyoielezea hapo juu.
Ninapozungumzia subira hapa
ninamaanisha uwezo wa mwanamke wa
kuwa na uhusiano na mumewe bila
kumshinikiza kuchukua maamuzi ambayo
hajajiandaa kuyachukua. Mwanamke
anaye anamuonesha mwanaume kuwa
yuko tayari kusubiri humvutia zaidi
mwanaume kuliko yule anayetoa picha
inayoonesha kuwa si mwenye subira.
🌺🌺🌺
4. MWENYE ASHIKI:
Mwanamke ambaye sio
romantic huwa hamvutii mwanaume. Ili
mwanaume avutike unatakiwa kumfanya
ahisi raha na uwe mwepesi wa
kumchokoza. Ikiwa unadhani kuwa
mwanaume ndiye tu anayepeswa
kukuchokoza, basi hapo unajitesa na
haitakuwa na faida kwako. Boresha uwezo
wako wa uchokozi na kuwa romantic
utaona namna mumeo atakavyokuwa
akikutamani.
🌺🌺🌺
5. MKWELI:
Wanaume wanavutiwa sana na
mwanamke mkweli, mwaminifu. Ikiwa
wewe ni mwanamke unayosema ukweli,
usiyeficha ukweli, basi sifa hii itamfanya
mwanaume avutike nawe. Ifanye kauli
mbiu ya maisha yako iwe ni: “Sema
unachofanya, na ufanye unachosema”.
Kama ambavyo mwanamke anampenda
sana mwanaume mkweli, vivyo hivyo
mwanaume anavutiwa na mwanamke
mkweli na mnyenyekevu ambayo hapendi
makuu.
🌺🌺🌺🌺
6. ALIYEFUNGUKA KIAKILI:
Raghba ya
ugunduzi wa fikra na mawazo mapya ni
sifa nyingine ambayo mwanaume
anapenda kuiona kwa mwanamke
anayetaka kuangukia katika penzi lake.
Ninachokusudia hapa ni ule uwezo wa
kuona mbali, kutambua na kuheshimu
mtazamo mwingine, hata kama utakuwa
kinyume na mtazamo wake. Aidha,
miongoni mwa mambo ambayo wanandoa
wengi wanakosa ni dira (vision). Hakika
iwapo mwanamke ana sifa ya kuwa na
dira atamvutia sana mwanaume.
🌺🌺🌺
7. UELEWA WA KIAFYA:
Mwanamke ambaye
anajitunza humvutia sana mwanaume
kuliko mwanamke asiyejitunza.
Muonekano wa kimwili humvutia
mwanaume. Mume huvutiwa na
mwanamke anayefanya mazoezi,
anayekula chakula chenye afya,
anayezitunza nywele zake na mwili wake
kwa ujumla, na anayevaa mavazi
maridhawa. Jitahidi sana kumvutia
mumeo kwa kuonekana mpya kila siku. mtoto wa kishirazi mwenye kujiamini na kujitambua
🎀🎀UKIWA NA MAMBO HAYA MUMEO ATAKUPENDA SANAA🎀🎀 Ni sifa 7 ambazo mwanamke anatakiwa kujipamba nazo ili azidi kumteka mwanaume, hasa mume anayejitambua... Ni muhimu kutambua kuwa suala la uchaguzi wa mwenza ni jambo la kwanza kabisa kwa sababu ndio dira ya maisha yako ya ndoa... Je, unapaswa kuwa vipi ili mumeo akupende? 🌺🌺🌺🌺 1. MWENYE HISIA ZA UCHESHI: Ikiwa unafurahishwa na utani wake, ni jambo litakalomvutia sana. Lakini ukiwa mwepesi wa kuchukia na kukasirika, yumkini mumeo asivutike nawe. Jitahidi kuwa na hisia za utani na ucheshi... 🌺🌺🌺 2. MWENYE KUSAMEHE: Unapoelewa kuwa mumeo sio mtu mkamilifu na unapokuwa na uwezo wa kumsamehe kwa dosari zake, hii itamaanisha kuwa unamiliki mojawapo ya sifa muhimu sana ambazo wanaume wanazitaka kwa udi na uvumba. Ukiwa na mchezo wa kumrukia kwa kila kosa dogo analolifanya au ukawa na ukosoaji uliopitiliza, tambua kuwa mumeo hatakuwa mwenye kukufurahia, hata kama ni miongoni mwa wale wasiosema. Niliwahi kumnasihi memba wangu mmoja wa Ndoa Maridhawa kuwa: “Kama wamtafuta mume asiyekosea, hutampata na utaishi bila mume”. 🌺🌺🌺 3. MWENYE SUBIRA: Sifa hii inakaribiana na sifa ya kusamehe niliyoielezea hapo juu. Ninapozungumzia subira hapa ninamaanisha uwezo wa mwanamke wa kuwa na uhusiano na mumewe bila kumshinikiza kuchukua maamuzi ambayo hajajiandaa kuyachukua. Mwanamke anaye anamuonesha mwanaume kuwa yuko tayari kusubiri humvutia zaidi mwanaume kuliko yule anayetoa picha inayoonesha kuwa si mwenye subira. 🌺🌺🌺 4. MWENYE ASHIKI: Mwanamke ambaye sio romantic huwa hamvutii mwanaume. Ili mwanaume avutike unatakiwa kumfanya ahisi raha na uwe mwepesi wa kumchokoza. Ikiwa unadhani kuwa mwanaume ndiye tu anayepeswa kukuchokoza, basi hapo unajitesa na haitakuwa na faida kwako. Boresha uwezo wako wa uchokozi na kuwa romantic utaona namna mumeo atakavyokuwa akikutamani. 🌺🌺🌺 5. MKWELI: Wanaume wanavutiwa sana na mwanamke mkweli, mwaminifu. Ikiwa wewe ni mwanamke unayosema ukweli, usiyeficha ukweli, basi sifa hii itamfanya mwanaume avutike nawe. Ifanye kauli mbiu ya maisha yako iwe ni: “Sema unachofanya, na ufanye unachosema”. Kama ambavyo mwanamke anampenda sana mwanaume mkweli, vivyo hivyo mwanaume anavutiwa na mwanamke mkweli na mnyenyekevu ambayo hapendi makuu. 🌺🌺🌺🌺 6. ALIYEFUNGUKA KIAKILI: Raghba ya ugunduzi wa fikra na mawazo mapya ni sifa nyingine ambayo mwanaume anapenda kuiona kwa mwanamke anayetaka kuangukia katika penzi lake. Ninachokusudia hapa ni ule uwezo wa kuona mbali, kutambua na kuheshimu mtazamo mwingine, hata kama utakuwa kinyume na mtazamo wake. Aidha, miongoni mwa mambo ambayo wanandoa wengi wanakosa ni dira (vision). Hakika iwapo mwanamke ana sifa ya kuwa na dira atamvutia sana mwanaume. 🌺🌺🌺 7. UELEWA WA KIAFYA: Mwanamke ambaye anajitunza humvutia sana mwanaume kuliko mwanamke asiyejitunza. Muonekano wa kimwili humvutia mwanaume. Mume huvutiwa na mwanamke anayefanya mazoezi, anayekula chakula chenye afya, anayezitunza nywele zake na mwili wake kwa ujumla, na anayevaa mavazi maridhawa. Jitahidi sana kumvutia mumeo kwa kuonekana mpya kila siku. mtoto wa kishirazi mwenye kujiamini na kujitambua
Artikel Terkait
💘💘💘💘 *🅱 professional love*💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘HATUA ZA KUZUNGUMZA NA MPENZI WAKO ALIEKASIRIKA💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 👩👧Kwenye mapenzi kuna nyakati za kutofautiana, kukasirishana. Katika hali ya kawada kipindi hiki huwa ni za hatari kwa sababu husababisha nyufa kubwa za uhusiano na kulifanya penzi kukosa ladha. 👩👧Sote tunajua, watu hupigana, huachana, hujeruhiana, hutukanana, hudhalilishana wakiwa na hasira. Hata hivyo si wote wanaojua wafanye nini wanapojikuta wameingia kwenye hatua hiyo mbaya. 👩👧 hebu jaribu kukumbuka ugomvi mmoja uliotokea kati yako na mpenzi wako na ikiwezekana jikumbushe mlivyoanza! Utabaini kuwa mlianza kama utani na mkajikuta mmefura kwa hasira, mkatwangana makonde, mkatamkiana maneno makali ya kuudhi na pengine mkaamua kuachana. Yote hii ni kwa sababu mlikosa elimu ya mazungumzo. Ingekuwa mmoja wenu hasa yule aliyekuwa wa pili kukasirika anafahamu hatua za kuzungumza na mtu aliyekasirika angechukua jukumu la kutuliza machafuko na kuleta amani kwenye mapenzi. 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 Tazama hatua tano za kuzungumza na mpenzi aliyekasirika. 💘 💘 MPUNGUZE MHEMKO Hasira hujaza kifua, huathiri mzunguko wa damu na ufahamu. Mtu aliyekasirika huwa vigumu kwake kusikiliza au kutazama mambo kwa jicho la tatu. Mwenye hasira huwa hafikirii matokea yajayo badala yake hutazama zaidi tukio na jinsi ya kupata ushindi iwe kwa maneno au kwa mapambano. Katika hali ya namna hiyo, mtu mwingine akija na busara za kutaka kumgeuza haraka haraka hawezi kumuelewa. Muhimu hapo ni kuacha kumwadama, kujibizana naye, kumshawishi asikilize badala yake mpe nafasi ya kusema atakavyo, abwate ajuavyo huku wewe ukimuitikia na kumkubalia lawama zake. “Basi mpenzi mwenye makosa ni mimi.” Kauli za aina hii zitampunguza hasira kwani atajiona msindi. 💘 💘 MSOME SAIKOLOJIA YAKE Kwa kuwa unamfahamu mpenzi wako kwa kina itakuwa rahisi kwako kumtambua kuwa amepunguza hasira na kurudi katika hali yake ya kawaida. Ukisha fahamu hilo chukua jukumu la kumsoma kisaikojia ili kujua kama yuko kwenye hali nzuri ya kusikiliza yale uliyotaka kumwambia wakati alipokuwa na hasira. Zoezi hili linaweza kuchukua saa kadhaa na wakati mwingine hata siku mbili. Lengo ni nini? Ni kupata matokeo sahihi ya kuondoa chuki za mwenza wako na kumfundisha madhara ya kukasirika kwenye uhusiano wenu wa kimapenzi. “J, nakupenda sana, lakini juzi uliniumiza, uliniambia mimi malaya kwa kosa ambalo sikufanya?” Bila shaka muda huo atakusikiliza zaidi kuliko ungebishana naye alipokuwa na hasira. 💘 💘 MRUHUSU AKUJIBU Pamoja na kumsoma kisaikojia na kumwambia kinagaubaga makosa yake, usimzuie kujitetea, mpe nafasi ya kuzungumzia kilichomkasirisha. “Unaona bado unanitukana, sasa naamini siku ile ulikuwa umedhamilia.” Usisiseme hivyo, mwache ajibu hoja hata kama atakuwa anakukandamiza na kuzidi kujijengea ushindi. Mvumilie aoshe ubongo wake 💘 💘. EPUKA MARUMBANO Kama nilivyosema kwenye hapo juu, wapenzi wengine huwa wagumu kuelewa, ni watu wa kuficha udhaifu wao na kutopenda kuonekana wamekosea. Watu wa namna hii unapowarejeshea mazungumzo wanaweza kujikuta wanahamaki tena. “Kwa hiyo ulikuwa unasemaje…nilifanya ndiyo,… wewe unaamuaje?” Mkifika kwenye alama hiyo usikubali kurumabana naye mwache aseme halafu wewe ingia kwenye hatua ya tano. 💘 💘 MUOMBE MSAMAHA Hata kama atakuwa yeye ndiye mwenye makosa na amekataa kukiri, usijali, chukua jukumu la kumuomba msamaha na kueleza tena nia yako ya mazungumzo ilikuwa ni kuelewana si kugombana. Kumbuka hata kama amekiri kosa, bado unatakiwa kumuomba radhi kwa kurejea yaliyopita. “Mpenzi inawezekana nikawa nimekuudhi kwa niliyosema, nakuomba sana tusameheane.” 💘💘💘💘💘💘💘💘💘 Bila shaka kwa haya machache utakuwa umejifunza na kuchukua hatua za kuzuia migogoro mikubwa inayotokana na hasira za mpenzi wako. 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘chuo cha mahaba 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 ... Read More
*🌹🌹🌹YAI🌹🌹🌹* 🌹mwali wangu kwa vile ushavunja ungo nimekuletea yai lichukue harooooo👌🏿 🌹zoezi la kwanza embu lipasulie yai mdomoni na umeze haroo👌🏿 🌹Ariiiiriiiiiiriiiiiii mwali wangu umeweza kula yai bichiii ariiiiriiiiiiiii mwali basi vigeregereeeee aruuuuuuuuuuuuariiiiiiiariiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🌹hapo mwali sasa utaweza kunyonya kula na kufyonza shahawa za mume kwa ustadiiii harooooooo🔥🔥🔥👌🏿(km unashindwa kula shahawa za mumeo Anza kujifunzia katika yai bichi mwali wangu) 🌹shahawa za mume hupokelewa mdomoni upoooooo👌🏿. 🌹acha mumeo akukojolee mdomoni mwali wangu. Umenielewa kungwi wako???? Jibu ndio nione 🔥🔥🔥 🌹🌹🌹 ... Read More
💘💘💘💘 *🅱 professional love*💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘HATUA ZA KUZUNGUMZA NA MPENZI WAKO ALIEKASIRIKA💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 👩👧Kwenye mapenzi kuna nyakati za kutofautiana, kukasirishana. Katika hali ya kawada kipindi hiki huwa ni za hatari kwa sababu husababisha nyufa kubwa za uhusiano na kulifanya penzi kukosa ladha. 👩👧Sote tunajua, watu hupigana, huachana, hujeruhiana, hutukanana, hudhalilishana wakiwa na hasira. Hata hivyo si wote wanaojua wafanye nini wanapojikuta wameingia kwenye hatua hiyo mbaya. 👩👧 hebu jaribu kukumbuka ugomvi mmoja uliotokea kati yako na mpenzi wako na ikiwezekana jikumbushe mlivyoanza! Utabaini kuwa mlianza kama utani na mkajikuta mmefura kwa hasira, mkatwangana makonde, mkatamkiana maneno makali ya kuudhi na pengine mkaamua kuachana. Yote hii ni kwa sababu mlikosa elimu ya mazungumzo. Ingekuwa mmoja wenu hasa yule aliyekuwa wa pili kukasirika anafahamu hatua za kuzungumza na mtu aliyekasirika angechukua jukumu la kutuliza machafuko na kuleta amani kwenye mapenzi. 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 Tazama hatua tano za kuzungumza na mpenzi aliyekasirika. 💘 💘 MPUNGUZE MHEMKO Hasira hujaza kifua, huathiri mzunguko wa damu na ufahamu. Mtu aliyekasirika huwa vigumu kwake kusikiliza au kutazama mambo kwa jicho la tatu. Mwenye hasira huwa hafikirii matokea yajayo badala yake hutazama zaidi tukio na jinsi ya kupata ushindi iwe kwa maneno au kwa mapambano. Katika hali ya namna hiyo, mtu mwingine akija na busara za kutaka kumgeuza haraka haraka hawezi kumuelewa. Muhimu hapo ni kuacha kumwadama, kujibizana naye, kumshawishi asikilize badala yake mpe nafasi ya kusema atakavyo, abwate ajuavyo huku wewe ukimuitikia na kumkubalia lawama zake. “Basi mpenzi mwenye makosa ni mimi.” Kauli za aina hii zitampunguza hasira kwani atajiona msindi. 💘 💘 MSOME SAIKOLOJIA YAKE Kwa kuwa unamfahamu mpenzi wako kwa kina itakuwa rahisi kwako kumtambua kuwa amepunguza hasira na kurudi katika hali yake ya kawaida. Ukisha fahamu hilo chukua jukumu la kumsoma kisaikojia ili kujua kama yuko kwenye hali nzuri ya kusikiliza yale uliyotaka kumwambia wakati alipokuwa na hasira. Zoezi hili linaweza kuchukua saa kadhaa na wakati mwingine hata siku mbili. Lengo ni nini? Ni kupata matokeo sahihi ya kuondoa chuki za mwenza wako na kumfundisha madhara ya kukasirika kwenye uhusiano wenu wa kimapenzi. “J, nakupenda sana, lakini juzi uliniumiza, uliniambia mimi malaya kwa kosa ambalo sikufanya?” Bila shaka muda huo atakusikiliza zaidi kuliko ungebishana naye alipokuwa na hasira. 💘 💘 MRUHUSU AKUJIBU Pamoja na kumsoma kisaikojia na kumwambia kinagaubaga makosa yake, usimzuie kujitetea, mpe nafasi ya kuzungumzia kilichomkasirisha. “Unaona bado unanitukana, sasa naamini siku ile ulikuwa umedhamilia.” Usisiseme hivyo, mwache ajibu hoja hata kama atakuwa anakukandamiza na kuzidi kujijengea ushindi. Mvumilie aoshe ubongo wake 💘 💘. EPUKA MARUMBANO Kama nilivyosema kwenye hapo juu, wapenzi wengine huwa wagumu kuelewa, ni watu wa kuficha udhaifu wao na kutopenda kuonekana wamekosea. Watu wa namna hii unapowarejeshea mazungumzo wanaweza kujikuta wanahamaki tena. “Kwa hiyo ulikuwa unasemaje…nilifanya ndiyo,… wewe unaamuaje?” Mkifika kwenye alama hiyo usikubali kurumabana naye mwache aseme halafu wewe ingia kwenye hatua ya tano. 💘 💘 MUOMBE MSAMAHA Hata kama atakuwa yeye ndiye mwenye makosa na amekataa kukiri, usijali, chukua jukumu la kumuomba msamaha na kueleza tena nia yako ya mazungumzo ilikuwa ni kuelewana si kugombana. Kumbuka hata kama amekiri kosa, bado unatakiwa kumuomba radhi kwa kurejea yaliyopita. “Mpenzi inawezekana nikawa nimekuudhi kwa niliyosema, nakuomba sana tusameheane.” 💘💘💘💘💘💘💘💘💘 Bila shaka kwa haya machache utakuwa umejifunza na kuchukua hatua za kuzuia migogoro mikubwa inayotokana na hasira za mpenzi wako. 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘chuo cha mahaba 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘 ... Read More
👌🏼👌🏼👌🏼UMUHIMU WA 👌🏼KITAULO, MAFUTA YA NAZ NA CHUPA YA CHAI NA MISK UWAPO CHUMBANI 👌👌🏼👌🏼 🍎katika chumba chako mwali 👌🏼unacholalia wewe na laaziz wako hakikisha vitu hv havikosekani kitambaa,misk,mafuta ya nazi,chupa ya chai n.k 🍎Misk nyeupe hii utapakaa ukeni itasaidia uke uwe na joto na kukuondolea harufu na shombo la kuma pia itafanya kuma iwe mnato hata mmeo akiingiza abajisikilizia utamu na haina madhara yeyote,pakaa masaa mawili kabla ya kufanya mapenz 🍎Kitamba/Kitaulo Nadhan wote mnavijua sasa mwali Kitambaa hchi kazi yake ni kujifuta wewe na bebi dady wako mkimaliza kupeana ule utamu 🍎Chupa ya chai Hii utatunzia maji ya vuguvugu .Maji ya uvuguvugu kazi yake mkishamaliza kufanya mapenzi unachukua maji ya vuguvugu nakitaulo chako unakichovya maji yale kisha unaanza kuikanda kanda mboo Taratibu ikande kande kama unapandisha nakushusha yale maji yanasaidia kuifanya mboo irelax pamoja na misuri ,sio mmeo unamfute na maji ya barid utamtia ngiri upo nyonyo👌👌 Kuna wengne humu hawana hv vitambaa special kwa ajili ya mume😁 Na badala yake wanatumia kitenge kujifuta😤mwali huo ni uchafu 😤na ukisha maliza asubuh watupia kwenye tenga la nguo chafu wampa dada akafue uchafu wako na mumeo,wapendwa hiyo c haki hata kidogo 👌🏼 Ila ukiwa na kitaulo cha kumfutia laaziz wako utakuwa makini kukifua mwenyewe 🍎 mafuta ya nazi🍎 🍎mafuta haya husaidia wale wanaokaukiwa na ute wakati wa kufanya mapenzi hasa goli la pili sasa mwali ukiona hali hiyo chukua mafuta jipakae ukeni🍎 🍎pia ukipenda jipakae,kwenye mapaja kuzunguka kuma na pindo za mapaja matakoni Kwenye tumbo na kuzunguka kiuno had kwenye matako ili uwe unavutia sio mmeo akikugusa ngozi ya mwili imekakamaa kama siment inahusu👌👌🍎 pia hukufanya mwili kuwa laini na joto 🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎 ... Read More
*🎲🎲 STAILI YA MENDE KAONA TUNDU LA CHOO NA KUNGWI GIDA🎲🎲* #follow us faster🔥 #hatunaga kazi mbovu # mapenzi kiganjani mwako🔥 # 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Heeeeeeeeeeeeheeee haroooooooooooo ukiachika utajiju na uzito wako wakuelewa masomo👌🏾👌🏾 Mambooo yashakua mamboooo mkoleni wote mtege sikio vigori wangu😋 🎲🎲🎲🎲🎲🎲🎲🎲🎲 Mwali wangu kitandani ubunifu harooooooo. Hadi wanyama wanakushinda heeeheeeeeiyaaaaa mziiiitooooo km gunia la mahindi👌🏾 🎲 🎲 Stairi ya mende kaona tundu la choo ni stairi the best ever in this world 🎲 🎲 Ni staili ya millenium harooooooooo👌🏾😋 🎲 🎲 Stairi hii uwa inawatoa machozi vidume. Hii ni kiboko ya mwaka haroooooo usiku huu kaijaribu mwali 🎲 🎲 Stairi hii ipo hivi........ukiwa shughurini na baba yoyo ... Sogea pembeni ya kitanda mwali 🎲 🎲 Ukishasogea pembeni ya kitanda piga magoti kisha mikono iweke chini 🎲 🎲 Mikono ikiwa chini sasa sogeza viwiko sakafuni ndio uegemee viwiko. Yaani viwiko ndio viwe egemeo lako 🎲 🎲 Huko nyuma uwe umebinuka baba yoyo anaona kila kitu 😋yaani hapo umemuachia runinga atazame mautamu😋 🎲 🎲 Mwali ww endelea kuchungulia uvunguni huku ukisubiri baba yoyo akutumbukize mpini kisawasawa maana hapo mpunyenye wako umeutega vizurii 🎲 🎲 Uzuri wa stairi hii huruhusu kiuno kuzunguka vizuri pia matako kutingishika😋 🎲 🎲 Baba yoyo ataliaaaa huyoooo kwa utamu we ijaribu tu mwali wangu 🎲 🎲 🎲🎲🎲🎲🎲🎲🎲🎲🎲 ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: