Home β Love sms
β LIMBWATA RAHISI LA KUMVUTA MWANAUME UNAYEMPENDA AWE KARIBU NAWEWE/AKUPENDE ZAIDI KULIKO CHOCHOTE
πππππππππππππππππππππππππππππππππ
Angalizo:Usifanye kwa mume wa mtu hili limbwata akatelekeza familia yake tafadhali:
Limbwata hili ni kwaajili ya kumvuta mwanaume unayehitaji awe na mahusiano na wewe yaani akupende na akuhitaji kama hajakutongoza basi baada ya kufanya hili limbwata atakutongoza na kama tayar mna mahusiano ila hayaeleweki au hayana nguvu basi baada ya limbwata hili mtakuwa karibu mno na atakuwa karibu na wewe mpaka utamuonea kero!..hivyo kama unataka mwanaume awe karibu na wewe zaidi kimapenzi mfanyie hili limbwata! na limbwata hili unaweza kulifanya zaidi ya mara moja.pia unaweza fanyia mwanaume zaid ya mmoja ila kila mtu awe na vifaa vyake na siku tofauti ila atlist kila mmoja mpe wiki yake yaani unaweza mfanyia mmoja jumatano hii mwingine jumatano ile ila wakikuganda mie simo,na sharti kubwa la limbwata hili usiwe kwenye hedhi
πππππππππππππππππππππππππππ
MAHITAJI
Chumvi vidonge saba
karatas nyeupe
mafuta ya nazi
mlipu(hii dawa utapata wanapouza dawa asili)
mkaa
ππππππππππππππππ
JINSI YA KUFANYA:
ANDIKAjina la huyo ulomkusudia mara saba kwenye karatasi
geuza karatasi andika manuizo yako yote kuhusu huyo mtu kwa herufi kubwa mfano.ISA ATHUMAN ,NIPENDE MIMI PEKE YANGU,NIJALI,NIHITAJI KILA SEKUNDE,VUTIWA NA MIMI NIONE MIMI PEKE YANGU MZURI KULIKO WANAWAKE WOTE KILA NINACHOHITAJI KWAKO NIPE,PESA,MALI,NDOA N.Kandika yotee
WASHA JIKO LA MKAA,AU KAMA WATUMIA KITEZO HAKIKISHA JIKO LIMEWAKA HASWA
.CHUKUA MLIPU KIDOGO NA VIDONGE VYA CHUMVI TIA KATIKA ILE KARATASI KISHA FUNGA (VIRINGISHA)ILE KARATASI ALAFU ICHOVYE KWENYE MAFUTA YA NAZI VIZURI KISHA TUPIA KARATASI YAKO KWENYE MOTO
ALAFU NUIA TENA SEMA KAMA ILIVYOLOWA KARATASI HII BASI NATAKA ISA ATHUMAN MOYO WAKO ULOWE KWANGU NA KAMA CHUMVI HII INAVYOTATASIKA BASI NA WEWE FULAN BIN FULAN MOYO WAKO NA AKILI YAKO VITATASIKE JUU YANGU,KAMA MLIPU UNAVYOLIPUKA BASI NA WEWE POPOTE ULIPO UKULIPUKE NA KUNIWAZA MIMI FULAN BIN FULAN KILA UNAPONIONA UPAPARIKE USHINDWE KUJIZUIA,POPOTE ULIPO FULAN BIN FULAN NINAKUITA POPOTE ULIPO UJE KWANGU MIMI KWA KUNYENYEKEA ....ONGEZEA NA YAKO
UKIMALIZA ACHA JIKO LIWAKE HAD MOTO UISHE
KAZI YAKO UTAKUWA USHAMALIZA
MATOKEO UTAANZA KUYAONA KUANZIA SIKU YA NNE TANGU UFANYE DAWA HII
πππππBY KUNGWIIIπππππππππππππππππππππππππππππππππππ
LIMBWATA RAHISI LA KUMVUTA MWANAUME UNAYEMPENDA AWE KARIBU NAWEWE/AKUPENDE ZAIDI KULIKO CHOCHOTE πππππππππππππππππππππππππππππππππ Angalizo:Usifanye kwa mume wa mtu hili limbwata akatelekeza familia yake tafadhali: Limbwata hili ni kwaajili ya kumvuta mwanaume unayehitaji awe na mahusiano na wewe yaani akupende na akuhitaji kama hajakutongoza basi baada ya kufanya hili limbwata atakutongoza na kama tayar mna mahusiano ila hayaeleweki au hayana nguvu basi baada ya limbwata hili mtakuwa karibu mno na atakuwa karibu na wewe mpaka utamuonea kero!..hivyo kama unataka mwanaume awe karibu na wewe zaidi kimapenzi mfanyie hili limbwata! na limbwata hili unaweza kulifanya zaidi ya mara moja.pia unaweza fanyia mwanaume zaid ya mmoja ila kila mtu awe na vifaa vyake na siku tofauti ila atlist kila mmoja mpe wiki yake yaani unaweza mfanyia mmoja jumatano hii mwingine jumatano ile ila wakikuganda mie simo,na sharti kubwa la limbwata hili usiwe kwenye hedhi πππππππππππππππππππππππππππ MAHITAJI Chumvi vidonge saba karatas nyeupe mafuta ya nazi mlipu(hii dawa utapata wanapouza dawa asili) mkaa ππππππππππππππππ JINSI YA KUFANYA: ANDIKAjina la huyo ulomkusudia mara saba kwenye karatasi geuza karatasi andika manuizo yako yote kuhusu huyo mtu kwa herufi kubwa mfano.ISA ATHUMAN ,NIPENDE MIMI PEKE YANGU,NIJALI,NIHITAJI KILA SEKUNDE,VUTIWA NA MIMI NIONE MIMI PEKE YANGU MZURI KULIKO WANAWAKE WOTE KILA NINACHOHITAJI KWAKO NIPE,PESA,MALI,NDOA N.Kandika yotee WASHA JIKO LA MKAA,AU KAMA WATUMIA KITEZO HAKIKISHA JIKO LIMEWAKA HASWA .CHUKUA MLIPU KIDOGO NA VIDONGE VYA CHUMVI TIA KATIKA ILE KARATASI KISHA FUNGA (VIRINGISHA)ILE KARATASI ALAFU ICHOVYE KWENYE MAFUTA YA NAZI VIZURI KISHA TUPIA KARATASI YAKO KWENYE MOTO ALAFU NUIA TENA SEMA KAMA ILIVYOLOWA KARATASI HII BASI NATAKA ISA ATHUMAN MOYO WAKO ULOWE KWANGU NA KAMA CHUMVI HII INAVYOTATASIKA BASI NA WEWE FULAN BIN FULAN MOYO WAKO NA AKILI YAKO VITATASIKE JUU YANGU,KAMA MLIPU UNAVYOLIPUKA BASI NA WEWE POPOTE ULIPO UKULIPUKE NA KUNIWAZA MIMI FULAN BIN FULAN KILA UNAPONIONA UPAPARIKE USHINDWE KUJIZUIA,POPOTE ULIPO FULAN BIN FULAN NINAKUITA POPOTE ULIPO UJE KWANGU MIMI KWA KUNYENYEKEA ....ONGEZEA NA YAKO UKIMALIZA ACHA JIKO LIWAKE HAD MOTO UISHE KAZI YAKO UTAKUWA USHAMALIZA MATOKEO UTAANZA KUYAONA KUANZIA SIKU YA NNE TANGU UFANYE DAWA HII πππππBY KUNGWIIIπππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Artikel Terkait
πMKE JIANDAE KWA TENDO LA KUPANDA KITANDANI ππ β€β€β€β€β€β€ Kwanza kikubwa kwako Usafi...yaani hakikisha Muda wa mumeo kukaribia tu kurudi nenda bafuni unaogaa vizuriii haswaa jisafishe... ππππππ Mke mpenda kuoga maji baridi...unajua mwili hasa na huko kukipigwa na maji baridi kunavyokuwa na msisimko mbona na mmeo mtafurahi eehhh>ππππππ >Mke hakikisha tunda safii na limelimwa majani sio msitu huo ni uchafu pia najisi>>> πΌRudi piga mswaki mdomo utakuwa freshhhh>> πΌRudi jivalishe nguo yako kwa mitego mitego au vaa bikini>>> πΌRudi chukua udi mke najifukize Vizuri hadi kwenye uke... πΌUdi kuwa nazo aina nyingi sio mmeo azoee aina moja au akuzoee na harufu moja na kama hiyo siku utokuwa na udi basi tumia manukato.... πΌNajua kuna wale watauliza unavaa hivyo na watoto au familia...jamani vaa hivyo jifunike hata kitenge ukifika kitandani kitoe... πΌMmeo akirudi sasa apokewe kwa busu kisha..mpelekee maji bafuni andaa chakula..akirudi mkaushe maji nae umpake manukato kisha avae msuli ili ufunue tu wakati wa raha baada ya kula mwombe apige mswaki ili ulimi upate raha πΌJamani kama kuna watoto peleka hata chakula chumbani mkalishane hukooo...yani mtegee tu wazi hatomaliza chakula πΌKingine panda kitandani uwe hata na pipi vile mdomoni raha mdomo unukiee vizuriii Jamani hakuna kitu kinaudhi kama uko na mmeo kitandani ananuka mdomoo au unanuka πΌTia mapambo ya kumvutia mmeo kama shanga, hereni, mkufu, wanja na kipini cha pua basi msubiri umchokoze na penzi murua πΌHapo sasa kuandaana kwa kuamsha hisia mkiwa tayari mnapeana haki kwa mikao tofauti kama KIBAO CHA MBUZI, MENDE, MIBINUKO, NNE, MBUZI KAGOMA, huku vitaulo na maji ya uvuguvugu ili kujifuta na rahaa sana endapo mtashirikiana hadi mtosheke yaani na usingizi mkitoka apo kuoga pamoja mkasuguane hata mkimalizia bafuni rahaa tu πPOLE UNAE CHUKIA NDOA β πPOLE MLIOPANGA NYUMBA leteni na vingine tupeane mbinu ndoa zidumu ... Read More
ππππππππππ *Mapenzi Sio Kujifungia Chumbani tu na Kufanya Tendo* Mapenzi ni ubunifu, unaweza ukaona kitu kidogo lakini kitu hiko ukikifanya kwa mlango wa mapenzi kinakuwa kikubwa na hakiwezi kusahaulika kirahisi kwa mwenza wako. ukizungumzia mapenzi watu weusi wengi tunajua mapenzi ni kujifungia chumbani na kutiana tu, hapa ndo wazungu wanapotupiga bonge la gepu pale wakiwakamata dada zetu. Basi ili kufanya mapenzi yako yaonekane mapya kila siku si lazima kila siku mjifungie chumbani kufanya staili mpya au sio lazima kila siku mtoke kwenda kula dina sehemu nzuri. Unaweza ukamchukua mpenzi wako ukaenda nae sehemu ilio tulivu kisha mkaanza kusoma vitabu(hii inategemea na nyie wawili mnapendelea vitabu vya aina gani ila sio vya kemia au physics Inapendeza sana mkiwa mmekaa pamoja mkisoma vitabu, mkabadilishana mawazo kwa kile kilichoandikwa kwenye kitabu. inaweza mkaenda beach(tulivu) au sehem ambayo unahisi mtakaa mtatulia bila usumbufu, mkasoma vitabu vyenu taratiiibu. ππππππππππ Dr Luvπ€π€π€ ... Read More
ππππ *π ± professional love*πππππππππππππππHATUA ZA KUZUNGUMZA NA MPENZI WAKO ALIEKASIRIKAππππππππππππππππ π©π§Kwenye mapenzi kuna nyakati za kutofautiana, kukasirishana. Katika hali ya kawada kipindi hiki huwa ni za hatari kwa sababu husababisha nyufa kubwa za uhusiano na kulifanya penzi kukosa ladha. π©π§Sote tunajua, watu hupigana, huachana, hujeruhiana, hutukanana, hudhalilishana wakiwa na hasira. Hata hivyo si wote wanaojua wafanye nini wanapojikuta wameingia kwenye hatua hiyo mbaya. π©π§ hebu jaribu kukumbuka ugomvi mmoja uliotokea kati yako na mpenzi wako na ikiwezekana jikumbushe mlivyoanza! Utabaini kuwa mlianza kama utani na mkajikuta mmefura kwa hasira, mkatwangana makonde, mkatamkiana maneno makali ya kuudhi na pengine mkaamua kuachana. Yote hii ni kwa sababu mlikosa elimu ya mazungumzo. Ingekuwa mmoja wenu hasa yule aliyekuwa wa pili kukasirika anafahamu hatua za kuzungumza na mtu aliyekasirika angechukua jukumu la kutuliza machafuko na kuleta amani kwenye mapenzi. πππππππππππ Tazama hatua tano za kuzungumza na mpenzi aliyekasirika. π π MPUNGUZE MHEMKO Hasira hujaza kifua, huathiri mzunguko wa damu na ufahamu. Mtu aliyekasirika huwa vigumu kwake kusikiliza au kutazama mambo kwa jicho la tatu. Mwenye hasira huwa hafikirii matokea yajayo badala yake hutazama zaidi tukio na jinsi ya kupata ushindi iwe kwa maneno au kwa mapambano. Katika hali ya namna hiyo, mtu mwingine akija na busara za kutaka kumgeuza haraka haraka hawezi kumuelewa. Muhimu hapo ni kuacha kumwadama, kujibizana naye, kumshawishi asikilize badala yake mpe nafasi ya kusema atakavyo, abwate ajuavyo huku wewe ukimuitikia na kumkubalia lawama zake. βBasi mpenzi mwenye makosa ni mimi.β Kauli za aina hii zitampunguza hasira kwani atajiona msindi. π π MSOME SAIKOLOJIA YAKE Kwa kuwa unamfahamu mpenzi wako kwa kina itakuwa rahisi kwako kumtambua kuwa amepunguza hasira na kurudi katika hali yake ya kawaida. Ukisha fahamu hilo chukua jukumu la kumsoma kisaikojia ili kujua kama yuko kwenye hali nzuri ya kusikiliza yale uliyotaka kumwambia wakati alipokuwa na hasira. Zoezi hili linaweza kuchukua saa kadhaa na wakati mwingine hata siku mbili. Lengo ni nini? Ni kupata matokeo sahihi ya kuondoa chuki za mwenza wako na kumfundisha madhara ya kukasirika kwenye uhusiano wenu wa kimapenzi. βJ, nakupenda sana, lakini juzi uliniumiza, uliniambia mimi malaya kwa kosa ambalo sikufanya?β Bila shaka muda huo atakusikiliza zaidi kuliko ungebishana naye alipokuwa na hasira. π π MRUHUSU AKUJIBU Pamoja na kumsoma kisaikojia na kumwambia kinagaubaga makosa yake, usimzuie kujitetea, mpe nafasi ya kuzungumzia kilichomkasirisha. βUnaona bado unanitukana, sasa naamini siku ile ulikuwa umedhamilia.β Usisiseme hivyo, mwache ajibu hoja hata kama atakuwa anakukandamiza na kuzidi kujijengea ushindi. Mvumilie aoshe ubongo wake π π. EPUKA MARUMBANO Kama nilivyosema kwenye hapo juu, wapenzi wengine huwa wagumu kuelewa, ni watu wa kuficha udhaifu wao na kutopenda kuonekana wamekosea. Watu wa namna hii unapowarejeshea mazungumzo wanaweza kujikuta wanahamaki tena. βKwa hiyo ulikuwa unasemajeβ¦nilifanya ndiyo,β¦ wewe unaamuaje?β Mkifika kwenye alama hiyo usikubali kurumabana naye mwache aseme halafu wewe ingia kwenye hatua ya tano. π π MUOMBE MSAMAHA Hata kama atakuwa yeye ndiye mwenye makosa na amekataa kukiri, usijali, chukua jukumu la kumuomba msamaha na kueleza tena nia yako ya mazungumzo ilikuwa ni kuelewana si kugombana. Kumbuka hata kama amekiri kosa, bado unatakiwa kumuomba radhi kwa kurejea yaliyopita. βMpenzi inawezekana nikawa nimekuudhi kwa niliyosema, nakuomba sana tusameheane.β πππππππππ Bila shaka kwa haya machache utakuwa umejifunza na kuchukua hatua za kuzuia migogoro mikubwa inayotokana na hasira za mpenzi wako. ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππchuo cha mahaba ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ ... Read More
ππΌππΌππΌUMUHIMU WA ππΌKITAULO, MAFUTA YA NAZ NA CHUPA YA CHAI NA MISK UWAPO CHUMBANI πππΌππΌ πkatika chumba chako mwali ππΌunacholalia wewe na laaziz wako hakikisha vitu hv havikosekani kitambaa,misk,mafuta ya nazi,chupa ya chai n.k πMisk nyeupe hii utapakaa ukeni itasaidia uke uwe na joto na kukuondolea harufu na shombo la kuma pia itafanya kuma iwe mnato hata mmeo akiingiza abajisikilizia utamu na haina madhara yeyote,pakaa masaa mawili kabla ya kufanya mapenz πKitamba/Kitaulo Nadhan wote mnavijua sasa mwali Kitambaa hchi kazi yake ni kujifuta wewe na bebi dady wako mkimaliza kupeana ule utamu πChupa ya chai Hii utatunzia maji ya vuguvugu .Maji ya uvuguvugu kazi yake mkishamaliza kufanya mapenzi unachukua maji ya vuguvugu nakitaulo chako unakichovya maji yale kisha unaanza kuikanda kanda mboo Taratibu ikande kande kama unapandisha nakushusha yale maji yanasaidia kuifanya mboo irelax pamoja na misuri ,sio mmeo unamfute na maji ya barid utamtia ngiri upo nyonyoππ Kuna wengne humu hawana hv vitambaa special kwa ajili ya mumeπ Na badala yake wanatumia kitenge kujifutaπ€mwali huo ni uchafu π€na ukisha maliza asubuh watupia kwenye tenga la nguo chafu wampa dada akafue uchafu wako na mumeo,wapendwa hiyo c haki hata kidogo ππΌ Ila ukiwa na kitaulo cha kumfutia laaziz wako utakuwa makini kukifua mwenyewe π mafuta ya naziπ πmafuta haya husaidia wale wanaokaukiwa na ute wakati wa kufanya mapenzi hasa goli la pili sasa mwali ukiona hali hiyo chukua mafuta jipakae ukeniπ πpia ukipenda jipakae,kwenye mapaja kuzunguka kuma na pindo za mapaja matakoni Kwenye tumbo na kuzunguka kiuno had kwenye matako ili uwe unavutia sio mmeo akikugusa ngozi ya mwili imekakamaa kama siment inahusuπππ pia hukufanya mwili kuwa laini na joto πππππππππππππππππππππππππππ ... Read More
πππππππππππππππ π°πMBINU ZA KUFANYA ILI MPENZI WAKO AKUOEπ°πππ πMwali kuolewa katika maisha ni jambo muhimu sana,ndio maana inaelezwa matukio muhimu katika maisha ni kuzaliwa,ndoa na kifo πNdoa ni heshima mwali na ni fahari ya mwanamke hata kama usome hadi mwisho lkn swala la ndoa ni muhim sana hata kama umezeekaππhakuna asiotamani kuolewa mwali wangu upooπjapo siku hiz watu wanajifariji kwa kauli zao eti waowaji hawapoπ€nyoo kakudanganya nani??waoaji wapo sana na hakijabadilika kituπ ππLeo ntashare tips kadhaa zitakazokusaidia kumuweka boy wako sawa hatimae aone wewe ni wife material,unafaa kuwa mama watoto wake ndani ya nyumba yake upo mwaliπππ πππUnapokutana na mwanaume akakutongoza/mwanamke akakukubalia kuna uwezekano mkubwa kuwa amevutiwa na wewe kweli au kakutamani tu. Kitu ambacho watu hua wanasahau ni kwamba hata mtu aliyekutamani tu unaweza ukampa mwongozo/sababu mpaka mwenyewe akajikuta anakupenda kuliko ambavyo angeweza kutarajia kwamba angewahi kupenda. ππ ππππ§MAMBO UNAYOTAKIWA KUFANYAπππππ°π° 1. Usiigize. Maigizo waachie wasanii wetu, kuwa vile ulivyo kweli kimaisha/kitabia,mwache akupende hivyohivyo ulivyo sio unaweka maigizo alafu mwisho wa siku unajisahau unaweka tabia zako halisi hii inaweza fanya kidume afikilie upya uamuz wa kukuoa au la. πππ 2. Don't move too fast/act desperate. Usitumie ule muda wa mwanzo kabisa wa mahusiano yenu kutaka kujua "una malengo gani na mie?" "utanioa?" "Kanitambulishe/nataka nikakutambulishe." n.k Mpe nafasi ya kukusoma na kupata kujua wewe ni mtu wa aina gani, je unafanania na mwanamke ambae angependa kuwa nae kwa muda mrefu, possibly hata ndoani? Na wewe nawe tumia muda huo kufanya kitu hicho hicho. πππ 3.Don't be too demanding. Huyo sio baba yako wala sio mume just yet, hivyo chochote atakachokufanyia kinatokana na yeye kutaka/kupenda kufanya hivyo na sio kwakulazimishwa na wewe,mwache aamue mwenyewe japo kumweleza shida zako au mambo unayotaka ni Haki yako lkn angalia vilivyo ndani ya uwezo wake,ila usiwe omba omba sana ndio maana siku hiz wanaume wanaoa wanawake wenye shughuli zao kuepuka hili,sasa ili kuondoa hilo jishughulishe usimtegemee sana yeye kwa kila kitu πππ 4. Kuwa na shukurani. Learn to appreciate all that he does for you, that way ataona umuhimu wa hayo anayokufanyia, yawe makubwa au madogo hii ni kitu muhimu sana πππ 5. Be real. Badala ya kufika kwake na kuanza kushangaa anaishije bila ya mfanyakazi wa ndani huku ukitamba kuwa wewe huwezi, shangaa anawezaje weka nyumba yake katika hali nzuri mwenyewe bila ya msaada. Hii itaonyesha fika wewe utakua mke wa aina gani hapo baadae, kama ni wale wakukaa miguu juu huku wakiagiza hata maji waliyoombwa na mume au la. πππ 6. Learn to cook if you don't know how to. Waliosema "the way to a man's heart is through his stomach" hawakukosea. Ukiachilia mbali wale watu wachache wanaokula ili kushiba wengi hua wanajali ladha. Hiyo ndio hua inawaongezea hamu ya kula na kuwarudisha nyumbani mapema pia kuwafanya wakumiss pale inaposhindikana kula chakula chako . Kwakumwonyesha mwanaume kwamba hata tumbo lake unaweza kuliridhisha unamwongezea sababu za kukuweka kwenye maisha yake. πππππ 7. Mheshimu. Mpe heshima yake kama mwanaume wako ila usimwogope. Wengine wote usiwape nafasi kumfanya ajisikie kwamba haheshimiki. ππππ 8. Kuwa ngao yake. Inapotokea anakumbwa na matatizo yoyote yale onyesha utayari wa wewe kuwa pamoja naye kwa hali na mali mpaka yatakapoisha. Pia usikose kumjali kumpa moyo pale unapoona inahitajika.hili litamfanya akuone wife material πππ 9. Kuwa muwazi. Kama kuna mambo ambayo unajua moja kwa moja yatakuwa sehemu ya mahusiano yenu (watoto) mweleze mapema ili aamue kama yuko tayari kudeal nayo au la.sio kujibebesha mimba bila kuamua na mchumba wako,ndomaana wazee wa zamani ndoa zilidumu kwasababu wengi wao walisubir ndoa ndio wakazaa watoto πππ 10. Usiwe na chuki. Kikifika kipindi cha yeye kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake onyesha ushirikiano. Usionyeshe chuki wala kujiona kana kwamba wewe ndio wewe. ππππ 11. Give your all. Kama na nyie mtaamua kuonjeshana tunda kabla (kama ambavyo wengi wanafanya karne hii) basi kuwa mbunifu hasa mkiwa chumbani,mpe vitu adimu hadi akumis sehemu yeyote anapokua kwa ujuzi wako chumbani mpe yote bila kumbania wala aibu, kuwa mtundu na usiwe mvivu usiokua na faida πππππ 12.Pendeza. Vaa/onekana vizuri unapokuwa nae nje hata ndani pia. Usisahau kuzingatia/jali hisia zake kuhusu mavazi yako kiasi kwamba hatoona tabu kukutambulisha kwa rafiki zake,vaa mavaz kuendana na wakati mkiwa nje ila yasiwe ya nusu uchi,mwanamke staraππhakuna mwanaume anaependa mwanamke asiejiheshim, wakati mwinginemavaz hutambulisha tabia zako 13. Onyesha interest kwa yale ayapendayo yeye. Usiwe mbinafsi kila siku unataka kusikilizwa wewe tu na story/mambo utakayo wewe. Uliza/jua kuhusu yale anayopenda yeye mf. mpira/siasa. ππππ 14.Kuwa mtulivu. Usiwe mtu ambae kila saa simu yako inapigwa pigwa na wanaume wasio ndugu wala marafiki wakaribu na wanaoeleweka. Discpline ni muhimu sana. ππππ 15.Usimzonge. Usiwe mmoja wa wale watu wanaofuatilia wenzi wao masaa yote wanapokuwa hawapo pamoja. Mpe nafasi ya kuwa na marafiki zake bila kuhitaji kuzima simu ama ku-ignore simu/text zako. ππππ 16. Mfurahishe/chekeshe. Joke around sio muda wote yeye ndio awe wakukufurahisha wewe. ππππ 17. Jifunze kusamehe. Mambo madogo madogo yanapoombewa msamaha samehe na uache yapite. ππππ 18.penda sana ndugu zake Mwali unatakiwa uwapende ndugu wa huyo boy wako na wazazi wake wape heshima zote,jipendekeze kwao hao ndo watakaokusaidia pale mpenz wako atakapowashirikisha maamuz yake ya kukuoa ππππ 19.kuwa mshauri wake Mwali watakiwa uwe mshauri wake ,tena tumia busara na hekima ktk kumshaur jambo lolote lile linalomuhusu na linalohusu mahusiano yenu bila kupayuka payuka πππ 20Kuwa msiri wake Unatakiwa utunze siri za mpenz wako sio kitu kidogo tu ushaenda kusimulia watu,atakuona wewe hufai pindi atakapoyasikia huko nje,mwanamke shurti uwe na kifua cha kumvumilia mpenz wako kwa shida na raha πππ Mwisho kabisa Mshirikishe Mungu wako. Ukishaona kwamba huyo ndie basi mshirikishe yule unayemwamini ili upate mwongozo wa kiroho.ππΎhili ni jambo kubwa sana sanaaa. Timiza yote hayoππ½na wallah ndoa itakua halali yakoππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌ πππππchuo cha mahaba πππππππππππππππππππππππππ ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: