Home → simulizi
→ KURUDI KWA MOZA: 32
Mlinzi alibeba kila kilicho chake kwani lengo lake lilikuwa ni kuondoka na kutokurudi tena kwenye nyumba hiyo, na kweli aliondoka eneo hilo na kwenda kupanda basi la kwenda kwao, ila alipofika tu stendi ya kwao na kushuka kwenye lile basi alijikuta yupo ndani kwenye nyumba ya Rose huku mizigo yake ikiwa pembeni.
Alishangaa sana na kupatwa kama na sintofahamu maana ilikuwa ni kitu cha ajabu kwake ukizingatia alipanda gari la kwenda kwao na gafla anajikuta tena nyumbani kwa Rose, kwahiyo alikuwa akishangaa shangaa tu pale huku mizigo yake ikiwa pembeni. Salome alienda pale getini na kumshangaa pia halafu akamuuliza,
“Vipi na mizigo?”
“Yani sielewi, sielewi kabisa. Nilikuwa nishaondoka kwenye nyumba hii, nilishafika hadi stendi kwetu cha ajabu nimerudishwa tena hapa”
“Nani kakurudisha sasa?”
“Sijui ni nani, ila mimi mwenyewe nakumbuka kuwa mara ya mwisho nilikuwa stendi ya kwetu nashangaa nimerudi tena hapa. Kwanza saa hizi saa ngapi?”
“Saa tisa, kwani vipi?”
“Haya ni mambo ya ajabu sana, kutoka hapa hadi kufika kwetu ni masaa saba, ni kweli hapa nimetoka saa mbili asubuhi ila nimerudishwa kwa sekunde jamani, hii si haki yani hata kijijini kwetu sikufika, nilifika tu mkoani. Hili swala sio haki kabisa”
“Sasa nani kakufanyia hivyo?”
“Sijui ila natamani nifike kwetu jamani, nimechoka mimi na maajabu ya nyumba hii”
“Unatakiwa tu uwe mvumilivu, utapoteza nauli bure tu. Wewe tulia na usifikirie kila anayerudishwa hapa ni mchawi, je wewe ni mchawi?”
Akakumbuka jana yake aliwaambia watu wa humo ndani wote wachawi kwasababu alikuwa anawaona kutoka halafu hawaoni kuingia ila leo jambo hilo lilikuwa limempata yeye, akaona kwa staili ile ni ngumu kwake kuondoka ila hapo hapo alipata wazo la kuwasiliana na kwao ili awaeleze kuhusu tatizo hilo maana limekuwa kubwa sana kwa upande wake.
Rose baada ya mlinzi wake kuondoka asubuhi ya siku hiyo, na yeye alifanya safari ya kumtafuta mganga wake aliyemfikiria kichwani, alimtafuta sana bila ya mafanikio ila njiani akakutana na rafiki yake wa muda mrefu sana ambaye aliwahi kumshauri kuhusu swala la waganga kwahiyo alivyokutana nae alifurahia sana, na kuanza kumshirikisha kuhusu swala lake linalomsumbua kichwa.
“Basi mwezi uliopita mwenzio nilipatwa majanga hayo balaa, yani kuna mavitu yalichanganya kichwa change kama nini ila kuna kijana huyo ni matata, kwanza kijana haogopi kitu yani hakuna takataka yoyote inayomshinda. Huyo kijana ni kimbilio la watu wengi sana, wanaotafuta watoto, wanaotafuta mali yani kila kitu. Nina uhakika huyo kijana hawezi kushindwa, hao waganga wako wamechoka halafu waoga”
“Huyo atakuwa mzuri kweli, nilijaribu kumtafuta hata Yule wa mwanzo aliyewahi kunipa dawa ya kufukia ndani kwangu ila sijampata”
“Unadhani Yule unampata kirahisi hivyo? Yule hakuwa mganga ni jinni lile, na anapatikana kwa waganga wanaojiweza tu, Yule mganga tuliyeenda kipindi kile alikuwa anajiweza ndiomana ikawa rahisi kukutana na Yule wa dawa. Ingawa masharti mengi umeyavuruga ila kwa Yule ndio kiboko”
“Naomba nipeleke ndugu yangu, nipo tayari kutoa kitu chochote kile ila niepukane na aibu hii maana kwangu ni aibu na fedheha”
Basi huyu rafiki wa Rose akajitolea kumpeleka Rose, na kwavile alimuomba ampeleke siku hiyo hiyo akajitolea kufanya hivyo ingawa ni mbali sana hiyo sehemu.
Patrick hakujisikia kuondoka kabisa nyumbani kwa Neema, na alichofanya Salome ni kwenda kumchukulia Patrick nguo zake zote na kumfanya afurahi zaidi kurudi kwa Neema, alimuomba Neema asimfukuze eneo hilo kwani alizidi kufunguka mawazo ya kuhusu mali zake na nyumba zake ambazo zingine alikuwa hata haendi kuzitembelea kwavile alishazisahau ila Neema akawa kama amemkumbusha kwahiyo alifurahi sana kumalizia muda wake kwa Neema, na pia watoto wale mapacha wa Neema aliwaona ila aliogopa kuuliza kuwa wale watoto ni wa nani, ila alijikaza na kuuliza,
“Samahani Neema, na hawa watoto wako wengine baba yao yuko wapi?”
Neema akacheka kisha akamwambia,
“Baba yao ni wewe”
“Ni mimi? Kivipi?”
“Najua huwezi kukumbuka au kujua, hii kitu niliiweka siri siku zote za maisha yangu”
“Niambie kivipi?”
Basi Neema ilibidi amueleze Patrick ilivyokuwa,
“Kuna kipindi nilikuwa nauza baa, na ulikuja kunywa sijui ulikuwa na mawazo gani ila ulikunywa sana hadi ulilewa. Ikawa kila mwanamke anayepita mbele yako unamshika, ilibidi nidanganye kuwa umenihitaji mimi na kwenda na wewe chumbani, ila kwa nguvu ya pombe uling’ang’aniza kulala na mimi, kwavile nilikuwa bado nakupenda sikuweza kukataa, nililala na wewe ila usiku wake niliondoka na kukuacha umelala fofofo. Kulipokucha uliondoka halafu na mimi niliacha kazi pale kwenye ile baa, sikuwahi kumwambia mtu yeyote kilichotokea baina yangu na yako, na baada ya mwezi nilijigundua kuwa nina ujauzito hapo ndipo nilipoamua kufanya siri hadi nimejifungua. Ilikuwa ni siri yangu hata ndugu yangu Yule Ashura sikuwahi kumwambia chochote, ingawa sasa nimegundua hakuwa ndugu yangu, yani kama hakuwa ndugu yangu alikuwa na mipango gani kwangu? Ni siri yake kwakweli, ila hakuwahi kujua kuwa watoto wangu ni wa nani sababu mar azote alizoniuliza nilimwambia kuwa nilibakwa”
Patrick alishangaa sana hii habari, na kujaribu kuvuta kumbukumbu ya siku aliyolewa sana, alikumbuka tu kuna siku alilewa sana ila hakukumbuka ni kitu gani alikifanya,
“Na hiyo siku niliyolewa sana ndio siku iliyobadilisha maisha yangu kabisa, maana tangu siku hiyo niliporudi nyumbani ndio nikafanywa kama ndondocha yani sikuwa na uwezo wa kwenda sehemu yoyote ile bila ruhusa ya Rose, yani kipindi hiko ndio mateso yalizidi kwangu maradufu”
“Pole sana, basi hivyo ndivyo ilivyokuwa kuhusu hawa watoto. Yani ni wanao kabisa”
“Kwakweli nimeteseka sana mimi, siku ile ilipelekea kunywa sana pombe baada ya kumuona mke wangu akiniwekea dawa kwa macho yangu, mimi sio mlevi kiasi kile ila siku ile nililewa sababu ya mawazo. Ila kitendo cha kurudi nyumbani ndio nikawa ndondocha kabisa, yani hakuna kitu nilichokuwa nafanya kwa akili yangu.”
Patrick aliomba aitiwe watoto wale ili awaangalie kwa karibu maana hakuamini amini kuwa alikuwa na watoto, maana alijua kuhusu Salome ila hakujua kama ana watoto wengine.
Neema aliwaita watoto wake, nae Patrick aliwakumbatia kwa furaha hata wale watoto walibaki kushangaa tu kwani hawakutegemea huyo mtu kuwafurahia kiasi kile tena huku akiwaita wanangu, walikuwa wakishangaa shangaa tu ikabidi Neema awaambie,
“Baba yenu huyo”
Na wao wakashangaa na kufurahi maana hawakufikiria kutambulishwa baba, kwani siku zote walipokuwa wakiulizia kuhusu baba yao Neema alikuwa akiwafokea sana.
Patrick akazidi kupata uchungu dhidi ya Rose na mali zake, ilimuuma sana na kumfanya sasa awaze namna ya kurudisha mali zake kwenye mikono yake ili watoto wake wafaidi.
Ana alishaamua kujitoa kabisa kwenye maswala ya waganga na kumkataza mama yake kwa kadri awezavyo lakini mama yake alikuwa mbishi sana, yeye Ana alikuwa na uwezo wa kupata hisia za mama yake alipoenda kwahiyo siku hiyo akapata hisia kuwa mama yake kaenda tena kwa mganga ila inaonyesha wazi alishindwa kumuaga sababu alijua angemzuia.
Ana alikuwa chumbani kwake, alifunua godoro lake na kutoa dawa yake, kwa mara ya kwanza aliamua kutumia dawa yake ili avuruge akili ya mama yake na kumfanya arudi nyumbani na ili aweze kubaini ni nani anaewaumiza kwenye nyumba yao. Aliamua kwanza abaini ane waumiza katika nyumba yao,
“Jitokeze nikuone wewe unayetusumbua humu ndani”
Alisema maneno hayo kama mara tatu na gafla alihisi kuna mtu kasimama mbele yake, aliinua kichwa chake huku amejawa hofu ila alijitia ujasiri na kumtazama mtu huyo, alikuwa ni Moza kwakweli Ana alishtuka sana na kumfanya ashindwe hata kumuuliza chochote zaidi ya kutetemeka tu. Moza alimuangalia Ana na kucheka ila Ana hakuweza kumtazama zaidi Moza, na badala yake alijikuta akizimia tu pale ndani kwake.
Muda huu Sara alikuwa nje ya chumba cha Ana akigonga na aligonga kwa muda mrefu sana bila ya kufunguliwa hadi ikabidi afungue mwenyewe, alishtuka sana alipoingia ndani kwani alimuona Ana akiwa kajifunika makhanga halafu kuna kitu pembeni yake ambacho alikishangaa sana Sara kwani hajawahi kuona kitu cha namna ile tangia azaliwe, alipiga kelele na kumfanya kaka yao Kulwa aje ndani pia ila alishangaa alichokiona pembezoni mwa Ana muda huo Ana akiwa kazimia, alimshika mkono Sara na kumtoa nje haraka haraka kisha kumwambia,
“Yule mdogo wetu ni mchawi, yani bila ubishi Yule ni mchawi, sasa ndugu yangu maswala ya kumfatilia mchawi ni maswala mazito sana. Pale tunamuona kama kaanguka ila huwezi jua labda ameenda kwenye uchawi wake utashtukia anashtuka na kuanza na wewe, tukae mbali dada yangu tunaishi na nyoka humu ndani”
Sara hakuweza hata kuchangia hoja kwani kiukweli mambo ya nyumbani kwao yalimchosha tena sana tu ila hakuwa na jinsi na hakuwa na pakukimbilia, muda kidogo Salome nae alitokea nje na kuwafata sebleni Sara na kaka yake kisha kuwauliza kuwa kuna nini, ila Sara nae alimuuliza,
“Hili hujalijua au?”
“Ningelijua ningeuliza?”
“Na sisi hatujui kuna nini”
Salome alicheka kisha akaelekea njia ya vyumbani, ila Sara alimuangalia sana Salome kwani siku hizi alianza kuwa na mashaka nae pia.
Rose kule alipopelekwa kwa mganga walifika jioni kabisa karibia na usiku hata hivyo mganga mwenyewe hawakumkuta, ni baadae ambapo giza lilikuwa limeingia kabisa ndio alirudi na kukuta kuwa anangojwa kwa hamu zote. Rose alitaka kuhudumiwa usiku huo huo ingawa Yule mganga pia alikataa kumuhudumia kwa usiku huo kutokana na mlolongo wa matatizo yake.
“Labda tuanze tiba saa nane usiku”
“Nipo tayari hata saa ngapi ila hili jambo liishe, nateseka sana”
“Litaisha tu, hapa ndio mwisho wa matatizo yote”
Rose alisubiri kwa hamu zote hata kulala kidogo hakutaka, rafiki yake aliyempeleka aliamua kuondoka na kumuacha Rose muda uleule, kwahiyo Rose alibaki peke yake kwa Yule mganga huku akisubiri tiba, hakujali kukoje kukoje kule ila alichojali yeye ni kupata tiba tu.
Rafiki wa Rose alijulikana kwa jina la mama Jack, muda aliokuwa anarudi kwake ni usiku tayari ulishaingia kutokana na kwake kuwa mbali kidogo na kwa mganga huyo, ingawa alitumia usafiri wa kukodi ila alichelewa sana kufika nyumbani kwake.
Alipofika tu alimuona mtu yupo pembezoni mwa nyumba yake akilia kanakwamba ni mtu aliyekuwa na shida, alipomuangalia alimuona ni binti mdogo tu, alimfata na kumuuliza tatizo,
“Vipi binti?”
“Nimefukuzwa na mama wa kambo”
Huku Yule binti akiendelea kulia, mpaka mama Jack alimuonea huruma kwani alijua wazi kuwa ikiwa atamuacha hapo nje binti huyo anaweza kubakwa na vijana wasio na huruma kwahiyo alimwambia aingie nae ndani kisha kuzungumza nae na kumuahidi kuwa kesho atamsaidia afike kwa mama yake. Yule binti alikubali na kumshukuru sana huyu mama, kisha Yule mama akamuandalia sehemu ya kulala binti Yule. Hakuwahi kumuona, hakuwahi kumfahamu ila ni huruma tu ndio iliyomfanya amsaidie. Yule binti alionyesha kumshukuru sana Yule mama kiasi cha kumfanya Yule mama ajisikie vizuri na ajione kuwa katenda jambo jema sana kumsaidia Yule binti.
Ilipofika saa nane usiku Yule mganga alianza kufanya dawa zake, Rose alikuwa macho kabisa kwani alitaka kwanza kushuhudia anavyofanyiwa dawa. Yule mganga alijifungia kwa mud, kisha akatoka na kumwambia Rose,
“Unahisi ni nani anayekufanyia mambo ya ajabu?”
“Ni Yule binti Salome, sijui kapata wapi uchawi”
“Hapana, anayekuchezea wewe ni Moza”
Rose alishtuka na kumuuliza mganga kwa mshangao,
“Moza”
“Ndio Moza, amerudi kwa lengo moja tu la kukutesa wewe”
“Kwahiyo Moza alikufa na kurudi?”
“Hapana, Moza hakufa kama unavyofikiria ila Yule unayemsema Salome si Salome ni Moza Yule. Nimekwambia amerudi kwa kasi ya ajabu”
“Kheee, kwahiyo Salome yuko wapi?”
“Salome yupo mahali na amelala usingizi mzito sana, si mimi wala si wewe tunaoweza kumuamsha labda Moza mwenyewe apende kumuamsha na atamuamsha endapo azma yake ikikamilika”
“Mmmh ana azma gani kwangu?”
“Anataka uwaachie wale watu uliowafungia kwenye kichumba”
“Mmmh siwezi mganga, itanigharimu maisha yangu yote, siwezi”
“Anatambua hilo kuwa itakugharimu maisha yako yote ndiomana anataka wewe mwenyewe uwatoe, huyu Moza ni amejipanga yani amejipanga haswaaaa”
“Sasa nitafanyaje?”
“Inahitajika kafara”
“Nipo tayari kuwatoa kafara wale niliowafuga”
“Hapana hawatakiwi hao, kafara inayohitajika ni kafara ya mtoto wako”
Rose alipata hofu kusikia habari ya kutoa mtoto wake kafara tena, uoga ulimshika kwani hakutaka kuona mtoto wake yeyote anakufa kwaajili yake.
“Hakuna njia nyingine?”
“Hakuna, zaidi ya kutoa kafara. Ikiwa unahitaji kuendelea kubaki kwenye nafasi yako, toa mtoto wako kafara”
“Mmmh sasa nitamtoa mtoto wangu gani?”
“Mtoe mwanao wa hospitali, kwani itakuwa rahisi sana kusema kuwa kafia hospitali sababu ya kuungua maji moto”
Kidogo maneno ya huyu mganga yalikuwa yakimuingia vilivyo Rose na kuanza kuhisi kuwa huyu mganga ni mkweli, akafikiria kuhusu mwanae Doto ila badae akaona ni vyema kumtoa kafara mwanae Yule mmoja na kuokoa maisha yake na maisha ya watoto wake wengine, akamkubalia mganga na kusubiria maelekezo atakayompa. Ila mganga alikubaliana nae kumpa masharti asubuhi ya siku inayofuata.
Asubuhi yake, mganga alimtaka Rose kwenda mtoni na kumwambia kuwa huko ndiko ambako ataenda kutoa kafara, kuna dawa alimpa na kumwambia kuwa ataenda kuinyunyiza mtoni halafu kingetokea kitanda cha hospitali ambacho kalazwa Doto kisha kitanda hicho akisukumie mtoni hapo atakuwa amefanikiwa na kumtoa kafara mtoto wake, Rose aliona hilo swala ni jepesi kwake kwani halikuwa sharti gumu kumfanya shindwe kulitekeleza, kwahiyo alichukua hiyo dawa na kuanza safari ya kwenda mtoni.
Alivyofika mtoni alimwaga dawa ile kwenye mto, ni kweli kikatokea kitanda pembeni na alipoangalia aliyelala kwenye kitanda hicho hakuwa Doto bali alikuwa ni Moza.
Itaendelea Jumatatu usiku…..!!!
By, Atuganile Mwakalile.
KURUDI KWA MOZA: 32 Mlinzi alibeba kila kilicho chake kwani lengo lake lilikuwa ni kuondoka na kutokurudi tena kwenye nyumba hiyo, na kweli aliondoka eneo hilo na kwenda kupanda basi la kwenda kwao, ila alipofika tu stendi ya kwao na kushuka kwenye lile basi alijikuta yupo ndani kwenye nyumba ya Rose huku mizigo yake ikiwa pembeni. Alishangaa sana na kupatwa kama na sintofahamu maana ilikuwa ni kitu cha ajabu kwake ukizingatia alipanda gari la kwenda kwao na gafla anajikuta tena nyumbani kwa Rose, kwahiyo alikuwa akishangaa shangaa tu pale huku mizigo yake ikiwa pembeni. Salome alienda pale getini na kumshangaa pia halafu akamuuliza, “Vipi na mizigo?” “Yani sielewi, sielewi kabisa. Nilikuwa nishaondoka kwenye nyumba hii, nilishafika hadi stendi kwetu cha ajabu nimerudishwa tena hapa” “Nani kakurudisha sasa?” “Sijui ni nani, ila mimi mwenyewe nakumbuka kuwa mara ya mwisho nilikuwa stendi ya kwetu nashangaa nimerudi tena hapa. Kwanza saa hizi saa ngapi?” “Saa tisa, kwani vipi?” “Haya ni mambo ya ajabu sana, kutoka hapa hadi kufika kwetu ni masaa saba, ni kweli hapa nimetoka saa mbili asubuhi ila nimerudishwa kwa sekunde jamani, hii si haki yani hata kijijini kwetu sikufika, nilifika tu mkoani. Hili swala sio haki kabisa” “Sasa nani kakufanyia hivyo?” “Sijui ila natamani nifike kwetu jamani, nimechoka mimi na maajabu ya nyumba hii” “Unatakiwa tu uwe mvumilivu, utapoteza nauli bure tu. Wewe tulia na usifikirie kila anayerudishwa hapa ni mchawi, je wewe ni mchawi?” Akakumbuka jana yake aliwaambia watu wa humo ndani wote wachawi kwasababu alikuwa anawaona kutoka halafu hawaoni kuingia ila leo jambo hilo lilikuwa limempata yeye, akaona kwa staili ile ni ngumu kwake kuondoka ila hapo hapo alipata wazo la kuwasiliana na kwao ili awaeleze kuhusu tatizo hilo maana limekuwa kubwa sana kwa upande wake. Rose baada ya mlinzi wake kuondoka asubuhi ya siku hiyo, na yeye alifanya safari ya kumtafuta mganga wake aliyemfikiria kichwani, alimtafuta sana bila ya mafanikio ila njiani akakutana na rafiki yake wa muda mrefu sana ambaye aliwahi kumshauri kuhusu swala la waganga kwahiyo alivyokutana nae alifurahia sana, na kuanza kumshirikisha kuhusu swala lake linalomsumbua kichwa. “Basi mwezi uliopita mwenzio nilipatwa majanga hayo balaa, yani kuna mavitu yalichanganya kichwa change kama nini ila kuna kijana huyo ni matata, kwanza kijana haogopi kitu yani hakuna takataka yoyote inayomshinda. Huyo kijana ni kimbilio la watu wengi sana, wanaotafuta watoto, wanaotafuta mali yani kila kitu. Nina uhakika huyo kijana hawezi kushindwa, hao waganga wako wamechoka halafu waoga” “Huyo atakuwa mzuri kweli, nilijaribu kumtafuta hata Yule wa mwanzo aliyewahi kunipa dawa ya kufukia ndani kwangu ila sijampata” “Unadhani Yule unampata kirahisi hivyo? Yule hakuwa mganga ni jinni lile, na anapatikana kwa waganga wanaojiweza tu, Yule mganga tuliyeenda kipindi kile alikuwa anajiweza ndiomana ikawa rahisi kukutana na Yule wa dawa. Ingawa masharti mengi umeyavuruga ila kwa Yule ndio kiboko” “Naomba nipeleke ndugu yangu, nipo tayari kutoa kitu chochote kile ila niepukane na aibu hii maana kwangu ni aibu na fedheha” Basi huyu rafiki wa Rose akajitolea kumpeleka Rose, na kwavile alimuomba ampeleke siku hiyo hiyo akajitolea kufanya hivyo ingawa ni mbali sana hiyo sehemu. Patrick hakujisikia kuondoka kabisa nyumbani kwa Neema, na alichofanya Salome ni kwenda kumchukulia Patrick nguo zake zote na kumfanya afurahi zaidi kurudi kwa Neema, alimuomba Neema asimfukuze eneo hilo kwani alizidi kufunguka mawazo ya kuhusu mali zake na nyumba zake ambazo zingine alikuwa hata haendi kuzitembelea kwavile alishazisahau ila Neema akawa kama amemkumbusha kwahiyo alifurahi sana kumalizia muda wake kwa Neema, na pia watoto wale mapacha wa Neema aliwaona ila aliogopa kuuliza kuwa wale watoto ni wa nani, ila alijikaza na kuuliza, “Samahani Neema, na hawa watoto wako wengine baba yao yuko wapi?” Neema akacheka kisha akamwambia, “Baba yao ni wewe” “Ni mimi? Kivipi?” “Najua huwezi kukumbuka au kujua, hii kitu niliiweka siri siku zote za maisha yangu” “Niambie kivipi?” Basi Neema ilibidi amueleze Patrick ilivyokuwa, “Kuna kipindi nilikuwa nauza baa, na ulikuja kunywa sijui ulikuwa na mawazo gani ila ulikunywa sana hadi ulilewa. Ikawa kila mwanamke anayepita mbele yako unamshika, ilibidi nidanganye kuwa umenihitaji mimi na kwenda na wewe chumbani, ila kwa nguvu ya pombe uling’ang’aniza kulala na mimi, kwavile nilikuwa bado nakupenda sikuweza kukataa, nililala na wewe ila usiku wake niliondoka na kukuacha umelala fofofo. Kulipokucha uliondoka halafu na mimi niliacha kazi pale kwenye ile baa, sikuwahi kumwambia mtu yeyote kilichotokea baina yangu na yako, na baada ya mwezi nilijigundua kuwa nina ujauzito hapo ndipo nilipoamua kufanya siri hadi nimejifungua. Ilikuwa ni siri yangu hata ndugu yangu Yule Ashura sikuwahi kumwambia chochote, ingawa sasa nimegundua hakuwa ndugu yangu, yani kama hakuwa ndugu yangu alikuwa na mipango gani kwangu? Ni siri yake kwakweli, ila hakuwahi kujua kuwa watoto wangu ni wa nani sababu mar azote alizoniuliza nilimwambia kuwa nilibakwa” Patrick alishangaa sana hii habari, na kujaribu kuvuta kumbukumbu ya siku aliyolewa sana, alikumbuka tu kuna siku alilewa sana ila hakukumbuka ni kitu gani alikifanya, “Na hiyo siku niliyolewa sana ndio siku iliyobadilisha maisha yangu kabisa, maana tangu siku hiyo niliporudi nyumbani ndio nikafanywa kama ndondocha yani sikuwa na uwezo wa kwenda sehemu yoyote ile bila ruhusa ya Rose, yani kipindi hiko ndio mateso yalizidi kwangu maradufu” “Pole sana, basi hivyo ndivyo ilivyokuwa kuhusu hawa watoto. Yani ni wanao kabisa” “Kwakweli nimeteseka sana mimi, siku ile ilipelekea kunywa sana pombe baada ya kumuona mke wangu akiniwekea dawa kwa macho yangu, mimi sio mlevi kiasi kile ila siku ile nililewa sababu ya mawazo. Ila kitendo cha kurudi nyumbani ndio nikawa ndondocha kabisa, yani hakuna kitu nilichokuwa nafanya kwa akili yangu.” Patrick aliomba aitiwe watoto wale ili awaangalie kwa karibu maana hakuamini amini kuwa alikuwa na watoto, maana alijua kuhusu Salome ila hakujua kama ana watoto wengine. Neema aliwaita watoto wake, nae Patrick aliwakumbatia kwa furaha hata wale watoto walibaki kushangaa tu kwani hawakutegemea huyo mtu kuwafurahia kiasi kile tena huku akiwaita wanangu, walikuwa wakishangaa shangaa tu ikabidi Neema awaambie, “Baba yenu huyo” Na wao wakashangaa na kufurahi maana hawakufikiria kutambulishwa baba, kwani siku zote walipokuwa wakiulizia kuhusu baba yao Neema alikuwa akiwafokea sana. Patrick akazidi kupata uchungu dhidi ya Rose na mali zake, ilimuuma sana na kumfanya sasa awaze namna ya kurudisha mali zake kwenye mikono yake ili watoto wake wafaidi. Ana alishaamua kujitoa kabisa kwenye maswala ya waganga na kumkataza mama yake kwa kadri awezavyo lakini mama yake alikuwa mbishi sana, yeye Ana alikuwa na uwezo wa kupata hisia za mama yake alipoenda kwahiyo siku hiyo akapata hisia kuwa mama yake kaenda tena kwa mganga ila inaonyesha wazi alishindwa kumuaga sababu alijua angemzuia. Ana alikuwa chumbani kwake, alifunua godoro lake na kutoa dawa yake, kwa mara ya kwanza aliamua kutumia dawa yake ili avuruge akili ya mama yake na kumfanya arudi nyumbani na ili aweze kubaini ni nani anaewaumiza kwenye nyumba yao. Aliamua kwanza abaini ane waumiza katika nyumba yao, “Jitokeze nikuone wewe unayetusumbua humu ndani” Alisema maneno hayo kama mara tatu na gafla alihisi kuna mtu kasimama mbele yake, aliinua kichwa chake huku amejawa hofu ila alijitia ujasiri na kumtazama mtu huyo, alikuwa ni Moza kwakweli Ana alishtuka sana na kumfanya ashindwe hata kumuuliza chochote zaidi ya kutetemeka tu. Moza alimuangalia Ana na kucheka ila Ana hakuweza kumtazama zaidi Moza, na badala yake alijikuta akizimia tu pale ndani kwake. Muda huu Sara alikuwa nje ya chumba cha Ana akigonga na aligonga kwa muda mrefu sana bila ya kufunguliwa hadi ikabidi afungue mwenyewe, alishtuka sana alipoingia ndani kwani alimuona Ana akiwa kajifunika makhanga halafu kuna kitu pembeni yake ambacho alikishangaa sana Sara kwani hajawahi kuona kitu cha namna ile tangia azaliwe, alipiga kelele na kumfanya kaka yao Kulwa aje ndani pia ila alishangaa alichokiona pembezoni mwa Ana muda huo Ana akiwa kazimia, alimshika mkono Sara na kumtoa nje haraka haraka kisha kumwambia, “Yule mdogo wetu ni mchawi, yani bila ubishi Yule ni mchawi, sasa ndugu yangu maswala ya kumfatilia mchawi ni maswala mazito sana. Pale tunamuona kama kaanguka ila huwezi jua labda ameenda kwenye uchawi wake utashtukia anashtuka na kuanza na wewe, tukae mbali dada yangu tunaishi na nyoka humu ndani” Sara hakuweza hata kuchangia hoja kwani kiukweli mambo ya nyumbani kwao yalimchosha tena sana tu ila hakuwa na jinsi na hakuwa na pakukimbilia, muda kidogo Salome nae alitokea nje na kuwafata sebleni Sara na kaka yake kisha kuwauliza kuwa kuna nini, ila Sara nae alimuuliza, “Hili hujalijua au?” “Ningelijua ningeuliza?” “Na sisi hatujui kuna nini” Salome alicheka kisha akaelekea njia ya vyumbani, ila Sara alimuangalia sana Salome kwani siku hizi alianza kuwa na mashaka nae pia. Rose kule alipopelekwa kwa mganga walifika jioni kabisa karibia na usiku hata hivyo mganga mwenyewe hawakumkuta, ni baadae ambapo giza lilikuwa limeingia kabisa ndio alirudi na kukuta kuwa anangojwa kwa hamu zote. Rose alitaka kuhudumiwa usiku huo huo ingawa Yule mganga pia alikataa kumuhudumia kwa usiku huo kutokana na mlolongo wa matatizo yake. “Labda tuanze tiba saa nane usiku” “Nipo tayari hata saa ngapi ila hili jambo liishe, nateseka sana” “Litaisha tu, hapa ndio mwisho wa matatizo yote” Rose alisubiri kwa hamu zote hata kulala kidogo hakutaka, rafiki yake aliyempeleka aliamua kuondoka na kumuacha Rose muda uleule, kwahiyo Rose alibaki peke yake kwa Yule mganga huku akisubiri tiba, hakujali kukoje kukoje kule ila alichojali yeye ni kupata tiba tu. Rafiki wa Rose alijulikana kwa jina la mama Jack, muda aliokuwa anarudi kwake ni usiku tayari ulishaingia kutokana na kwake kuwa mbali kidogo na kwa mganga huyo, ingawa alitumia usafiri wa kukodi ila alichelewa sana kufika nyumbani kwake. Alipofika tu alimuona mtu yupo pembezoni mwa nyumba yake akilia kanakwamba ni mtu aliyekuwa na shida, alipomuangalia alimuona ni binti mdogo tu, alimfata na kumuuliza tatizo, “Vipi binti?” “Nimefukuzwa na mama wa kambo” Huku Yule binti akiendelea kulia, mpaka mama Jack alimuonea huruma kwani alijua wazi kuwa ikiwa atamuacha hapo nje binti huyo anaweza kubakwa na vijana wasio na huruma kwahiyo alimwambia aingie nae ndani kisha kuzungumza nae na kumuahidi kuwa kesho atamsaidia afike kwa mama yake. Yule binti alikubali na kumshukuru sana huyu mama, kisha Yule mama akamuandalia sehemu ya kulala binti Yule. Hakuwahi kumuona, hakuwahi kumfahamu ila ni huruma tu ndio iliyomfanya amsaidie. Yule binti alionyesha kumshukuru sana Yule mama kiasi cha kumfanya Yule mama ajisikie vizuri na ajione kuwa katenda jambo jema sana kumsaidia Yule binti. Ilipofika saa nane usiku Yule mganga alianza kufanya dawa zake, Rose alikuwa macho kabisa kwani alitaka kwanza kushuhudia anavyofanyiwa dawa. Yule mganga alijifungia kwa mud, kisha akatoka na kumwambia Rose, “Unahisi ni nani anayekufanyia mambo ya ajabu?” “Ni Yule binti Salome, sijui kapata wapi uchawi” “Hapana, anayekuchezea wewe ni Moza” Rose alishtuka na kumuuliza mganga kwa mshangao, “Moza” “Ndio Moza, amerudi kwa lengo moja tu la kukutesa wewe” “Kwahiyo Moza alikufa na kurudi?” “Hapana, Moza hakufa kama unavyofikiria ila Yule unayemsema Salome si Salome ni Moza Yule. Nimekwambia amerudi kwa kasi ya ajabu” “Kheee, kwahiyo Salome yuko wapi?” “Salome yupo mahali na amelala usingizi mzito sana, si mimi wala si wewe tunaoweza kumuamsha labda Moza mwenyewe apende kumuamsha na atamuamsha endapo azma yake ikikamilika” “Mmmh ana azma gani kwangu?” “Anataka uwaachie wale watu uliowafungia kwenye kichumba” “Mmmh siwezi mganga, itanigharimu maisha yangu yote, siwezi” “Anatambua hilo kuwa itakugharimu maisha yako yote ndiomana anataka wewe mwenyewe uwatoe, huyu Moza ni amejipanga yani amejipanga haswaaaa” “Sasa nitafanyaje?” “Inahitajika kafara” “Nipo tayari kuwatoa kafara wale niliowafuga” “Hapana hawatakiwi hao, kafara inayohitajika ni kafara ya mtoto wako” Rose alipata hofu kusikia habari ya kutoa mtoto wake kafara tena, uoga ulimshika kwani hakutaka kuona mtoto wake yeyote anakufa kwaajili yake. “Hakuna njia nyingine?” “Hakuna, zaidi ya kutoa kafara. Ikiwa unahitaji kuendelea kubaki kwenye nafasi yako, toa mtoto wako kafara” “Mmmh sasa nitamtoa mtoto wangu gani?” “Mtoe mwanao wa hospitali, kwani itakuwa rahisi sana kusema kuwa kafia hospitali sababu ya kuungua maji moto” Kidogo maneno ya huyu mganga yalikuwa yakimuingia vilivyo Rose na kuanza kuhisi kuwa huyu mganga ni mkweli, akafikiria kuhusu mwanae Doto ila badae akaona ni vyema kumtoa kafara mwanae Yule mmoja na kuokoa maisha yake na maisha ya watoto wake wengine, akamkubalia mganga na kusubiria maelekezo atakayompa. Ila mganga alikubaliana nae kumpa masharti asubuhi ya siku inayofuata. Asubuhi yake, mganga alimtaka Rose kwenda mtoni na kumwambia kuwa huko ndiko ambako ataenda kutoa kafara, kuna dawa alimpa na kumwambia kuwa ataenda kuinyunyiza mtoni halafu kingetokea kitanda cha hospitali ambacho kalazwa Doto kisha kitanda hicho akisukumie mtoni hapo atakuwa amefanikiwa na kumtoa kafara mtoto wake, Rose aliona hilo swala ni jepesi kwake kwani halikuwa sharti gumu kumfanya shindwe kulitekeleza, kwahiyo alichukua hiyo dawa na kuanza safari ya kwenda mtoni. Alivyofika mtoni alimwaga dawa ile kwenye mto, ni kweli kikatokea kitanda pembeni na alipoangalia aliyelala kwenye kitanda hicho hakuwa Doto bali alikuwa ni Moza. Itaendelea Jumatatu usiku…..!!! By, Atuganile Mwakalile.
Artikel Terkait
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na moja (11) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp....... 0769673145 Ilipoishia......... Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. *********Endelea ******** Nolan alivunja kibubu chake cha kuhifadhia pesa na kugundua pesa iliyopo huko ni ndogo Sana na haitatosha kutimiza mipango aliyoipanga. Nolan aliamua kuwa mwizi wa ghafla kwa ajili tu ya kutimiza anachokitaka. Lakini hata hivyo hakuenda kuiba sehemu nyingine yoyote, aliamua kumuibia baba yake ikiwa ni njia moja wapo ya kumkomesha baba yake. Nolan alikuwa anajua baba yake ana tabia ya kuhifadhi pesa chumbani kwake. Na baada ya Nolan kugundua kuwa baba yake hayupo haraka akaamua kwenda chumbani kwake na kumuibia pesa kiasi cha shilingi million hamsini. Baada ya zoezi hilo, Nolan alichukua kiasi cha fedha kati ya zile alizomuibia baba yake na Kisha zingine akazificha sehemu ambayo mtu mwingine hawezi kuziona. Kisha Nolan akatoka nje na kuchukua gari Lake na kuondoka nyumbani Muda ule ule. * Mzee Joel alitia nanga Katika kikosi kimoja kilichojulikana kwa Jina la the killer (wauaji) Baada ya kufika mzee Joel alielezea shida Zake zilizompwleka pale na Sasa akitaka Frank pamoja na Nolan wauwawe Mara moja. Mzee Joel alitoa picha ya Nolan pamoja na ya Frank na kumkambidhi mkuu wa kikosi kile cha the killer. "mzee tunahitaji pesa kiasi cha shilingi million thelathini ili kuitimiza kazi yako." akaongea mkuu wa kikosi kile kumwambia mzee Joel. "hakuna tatizo kuhusu pesa nyie fanyeni kazi niliyowapa." akaongea mzee Joel. "Sawa kuanzia Sasa kazi imeanza na tutakuletea majibu Muda si mrefu." mkuu yule wa kikosi cha the killer akamwambia mzee Joel. Mzee Joel aliweza kuondoka huku akiwa na uhakika wa Kaz yake kufanyika kwa ufasaha Sasa. Mkuu wa kikosi kile cha the killer aliwateua vijana wanne kwenda kuanza kazi ya kummaliza Nolan na Kisha wengine wanne akawatuma kwa Frank. * Katika hoteli ile ya kifahari Penina na Frank wakiwa wameketi kitandani wakitizama tv, ghafla bila kutarajia walishtukia kumuona Nolan akigonga mlango. "Eeh kaka mbona umekuja bila taarifa?" akauliza Penina kwa mshangao baada ya kufungua mlango. "lazima nije ghafla na taarifa zangu ziwe za ghafla kwasababu nataka nifanye kitu cha kuwafurahisha, na hivi nimekuja kuwaambia mjiandae tuondoke tayari nimeshawakatia tiketi za kwenda South Africa (Afrika kusini)" akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Zilikuwa taarifa za ghafla kwa kina Penina na Frank, lakini hata hivyo hawakuwa na namna ilibidi waanze kujiandaa kwa ajili ya safari yao waliyoandaliwa na Nolan. * Vijana wanne waliopewa kazi ya kumuangamiza Frank walichunguza wakachunguza na hatimaye wakafinikiwa kupajua nyumbani kwa kina Frank. Na bila kupoteza muda wakavamia nyumbani kwa kina Frank na kuwaweka chini ya ulinzi Wazazi wake Frank pamoja na mdogo wake Frank. Vijana wale wakawaamuru Wazazi wake Frank waseme sehemu alipo Frank la sivyo watawaangamiza. Wazazi wake Frank kwa kuogopa kuuwawa wakajikuta wakitaja sehemu aliyopo Frank. Vijana wale bila kuchelewa waliachana na Wazazi wake Frank wakaingia kwenye gari na kuanza safari ya kuelekea sehemu aliyopo Frank ambapo ni Katika hoteli moja ya kifahari. * Frank pamoja na Penina walimaliza kujiandaa na moja kwa moja wakatoka ndani ya chumba kile na kuelekea mpaka nje ya hoteli ile na kuingia kwenye gari la Nolan. Lakini wakati huo huo vijana wale wanne wa the killer walikuwa tayari wameshawasili kwenye gari lile na waliweza kumuona Frank pamoja na Nolan ambao ndio walikuwa wakiwatafuta wawamalize. Mmoja kati ya vijana wale wanne wa the killer alitoa simu yake na kuwapigia wale vijana wengine wanne waliokuwa wakimtafuta Nolan, na kuwaeleza sehemu aliyoonekana Nolan pamoja na Frank. Vijana wale waliokuwa wakimtafuta Nolan nao walianza safari ya kutoka sehemu nyingine waliyokuwa wakimtafuta Nolan na kushika njia ya kuelekea Katika hotel waliyoelekezwa na wenzao. Wakati huo huo Nolan aliliondoa gari pale hotelini na kuanza safari ya kuelekea Katika uwanja wa ndege. Vijana wale wanne wa the killer nao wakawasha gari Lao na kuanza kuwafuatilia ili waweze kujua wanaelekea wapi na kama ikiwezekana wakaulie huko huko. Safari ikiwa inaendelea, ghafla Nolan aliona gari moja nyekundu ikiwa nyuma na kuitilia mashaka kuwa inawafuatilia. Nolan aliamua kufanya kitu ili apate uhakika kama gari lile linawafuatilia au haliwafuatilii. Nolan alipunguza mwendo wa gari Lao ili lile gari jekundu lililokuwa nyuma yao liwapite. Lakini cha kushangaza gari lile halikuwapita nalo pia lilipunguza mwendo na kwenda taratibu pia. Nolan akaamua kuongeza mwendo wa gari Lao ili kuliacha gari lile, lakini pia gari lile liliongeza mwendo na kuwa Sawa Sawa kabisa na gari la kina Nolan. Nolan hapo Sasa ndio akapata jibu kuwa asilimia Mia moja hilo gari jekundu linawafuatilia vibaya mno. "hawa hawanijui ngoja niwaoneshe mimi ni nani." akajisemea Nolan kimoyo moyo na hapo hapo akaongeza mwendo wa gari Lao ili kuliacha gari lile lililokuwa likiwafuatilia. Wakati huo huo kile kikosi cha pili cha the killer kiliwasili pale hotelini na kuwapigia wenzao simu ambao ni wale wanaowafuatilia wakina Nolan, na kuwatarifu kuwa tayari wameshafika. Kikosi kile cha kwanza kikawapa maelekezo ya sehemu walipo wakiwa bado wanawafuatilia wakina Nolan. Kikosi kile cha pili bila kupoteza Muda nacho kikatoka pale hotelini na kuanza kuwafuatilia wakina Nolan pia. Wakati hayo yote yanaendelea Frank na Penina walikuwa wakicheka na kufurahi kwenye gari bila kufahamu chochote kinachoendelea, na hata Nolan hakutaka kuwaambia chochote kwa kutokutaka kuwavuruga Katika safari yao. Nolan bado alizidi kujaribu kulipoteza gari lile lakini bado hakufanikiwa. Nolan alifika kwenye mataa ya kuongozea magari na baada ya Nolan kuvuka tu kwenye mataa yale, zikawaka taa nyekundu kuashiria magari yaliyokuwa yakitoka upande ule wa kina Nolan yasimame kwa dakika kadhaa. Lakini Nolan wao walikuwa tayari wameshavuka lakini vijana wale wa the killer walikuwa bado hawajavuka hivyo ikawabidi wasimame. Nolan aliweza kugundua kuwa gari lililokuwa likiwafuatilia limesimamishwa kwenye mataa. Lakini Nolan akataka kuwafahamu ni wakina walikuwa wanawafuatilia. Nolan alipaki gari pembeni Kisha akawashusha Frank na Penina na kuwapakiza kwenye tax iliyokuwa pembeni yao, na kuwakabidhi kila kitu kilichostahili kwenye safari yao na kuwataka watangulie na kuanza safari yao. Penina na Frank walishangazwa Sana na maamuzi ya Nolan lakini hata hivyo Nolan hakutaka wamuulize swali lolote, alimwamuru dereva wa tax ile awashe gari na kuondoka. Kisha Nolan naye akaingia kwenye gari yake na kugeuza kuwafuata vijana wale wa the killer na wakati huo walikuwa tayari wameshaungana wote kwa maana ya kikosi kile cha kwanza kilichokuwa kikimtafuta Nolan na kile cha pili kilichokuwa kikimtafuta Frank. ............ Itaendelea ... Read More
SHINDU LA KIHAYA-11 ,,,ngo ngo ngo,,,mlango ulibishwa hodi ambapo Hassan haraka alitoka chumbani huku dudu lake likiwa limesimama ndani ya pensi nyepesi aliyoivaa,aliapa kwamba mama huyo akiingia tu ndani amekwisha,ndani ya penzi hiyo nyepesi hakuvaa kitu chochote,basi alichukua kopo la vibanio na kuliweka mezani,kisha yeye akajilaza kwenye kochi akiwa kifua wazi,hakwenda kufungua mlango kwavile ulikuwa haujafungwa na alijilaza makusudi kwani kuna wanawake wakiona muundo mkubwa wa dudu huchanganyikiwa zaidi kama mabwana zao wanadudu ndogo ,,,karibu,,,aliitikia Hassan kwa sauti ya kuigiza ili aonekane alikuwa amelala. Kitasa cha mlango kilizungushwa ambapo mama wa watu kwa kuhakikisha alipiga tena ile hodi ya kizushi ,,,hodi mpaka ndani jirani,,,alisema hivyo ambapo Hassan hakuitikia alijifanya yuko katika usingizi mzito sana,wala hata macho hakufungua,la alimsoma mama huyo kila atakachokifanya,kwanza mama huyo alisita kuchukua kopo la vibanio,kilichomfanya asite ni mlalo aliolala Hassan. Yalikuwa ni makusudi kabisa,tumezoea kuona wanawake wanaowatega wanaume,lakini hiyo ilikuwa kinyume chake,mwanaume anayemtega mwanamke.Hassan alijilaza kihasara ambapo dudu lake lilichungulia kwenye paja,hata muundo wa urefu wake ulionekana dhahri,nywele za kifuani ambazo wengi huziita bustani ya mapenzi zilionekana vyema kabisa,basi mama wa watu alipoteza kama dakika kuangalia dudu la Hassan kisha akachukua vibanio na kuondoka taratibu. Hassan alihesabu kama ni hatua ya mafanikio,alichokifanya alielekea kwenye dirisha lake na kuendelea kumchungulia shughuli zake,alionekana ni mtu mwenye mawazo tofauti na mwanzoni,kwani kuna muda aliinamia kamba ya nguo huku akitabasamu mwenyewe,Hassan alijipa maksi pengine anawazwa yeye.Ila mahali alipokuja kuonyesha waziwazi kuwa ana uhitaji wa dudu,alijiingiza mkono na kujiweka vizuri kitumbua chake ambapo mdomo wake wa chini aliuuma kidogo na meno,hapo Hassan akawa anajua tu mama huyo atarudi Alchotegemea Hassan mama huyo atarudi hata baada ya nguo kukauka kwasababu alitumia vibanio vyote.Ila mambo hayakuwa hivyo,akiwa ametulia sebuleni analiangalia dudu lake lilivyosimama na kuliambia litulie kwanza.Sauti ya yule mama tena ilibisha hodi,ila hodi ya safari hii haikuwa kubwa sana,ilibishwa kwa sauti ndogo ambayo aliisikia Hassan mwenyewe Hassan alikwenda mlangoni na kufungua mlango,kisha uso kwa uso alikutana na huyo mama, ,,,nimerudisha kopo la vibanio jirani,,,alisema hivyo mama huyo ambaye jina lake halisi aliitwa Agnesi ,,,sasa baadaye utawekea kwenye nini lakini jirani,,,alongea kwa sauti ya kichokozi Hassan ambapo ilikuwa ni sababu tosha kumwaminisha Hassan kuwa mama huyo hakufuata kurudisha kweli kopo ,,,ooh nishasahau,ona sasa uzee huu,,,alipojibu hivyo akataka kuondoka kurudi Hassan alimshika mkono na kumvuta kidogo,mama watu alilegea ile yenyewe kabisa mpaka jicho,ila hapo hakuvutwa ndani ,,,tufahamiane jirani yangu,,,aliposema hivyo Hassan,mama huyo jiran akawa anataka kujitambulishia hapo hapo nje,ila Hassan alimkata kauli ,,,jamani jirani tunaongelea nje kama hatuna sebule?,,, ,,,aah si unajua bado nafua jirani,,,alijitetea mama huyo Hassan hakuelewa kauli hiyo akawa anamvuta kwa ndani huku mama huyo akigoma ile uwongo na kweli ,,,baadaye bwana jirani ntakuja tutapiga stori,,,ikawa vuta nikuvute hapo mlangoni ambapo ambapo dudu la Hassan lilizidi kunyanyua pensi na kutuna hasa,mpaka ikawa sio kificho tena. Mchezo wa vuta nikuvute Hassan alishinda,mama huyo jirani aliingia ndani ila alikataa kukaa alisimama kwnye ukuta akimwomba Hassan kuwa aje baadaye ila sio muda huo ,,,mume wangu hachelewi kurudi Hassan,nitakuja baadaye,,,aliongea hivyo mama huyo huku akiwa ameshaelewa somo Dudu la Hassan lilisimama vibaya mno,yaani ikawa hata ile pensi haizuii kitu,mama huyo alivalia khanga mbili,moja aliipitisha juu ya matiti,ya pili aliifungia kiunoni,basi Hassan alivua Pensi na kubakiza zinga la dudu likinesanesa,eti huyo mama aliziba macho huku akijifanya analia kama mtoto ,,,Hassan bwana mambo gani hayo,,,alisema hivyo kwa sauti ya chini ambapo Hassan alimsogelea mpaka kwa karibu dudu ndilo lilianza kumgusa kitovuni,alimkazia macho hasa ,,,niangalie,,,alisema Hassan,kwa uwoga jirani alimwangalia ,,,unataka kuondoka?,,, ,,,ndio,,,haraka mama huyo jiran aliitikia ,,,piga magoti halafu utaenda,,,mama huyo alishangaashangaa huku akipiga magoti taratibu,hakuziba tena uso,sasa kwa jinsi alivyopiga magoti,akawa usawa wa lile dudu kabisa,yaani mdomo wake ulielekea kabisa kwenye dudu ,,,nadhani unajua cha kufanya,,,aliongea Hassan ,,,mi nifanyaje sasa,,,alijbu kwa kudeka mama huyo ,,,panua mdomo,,,yaani mama huyo alipopanua tu mdomo,Hassan alikingiza kichwa cha dudu lake mdomoni mwa jirani huyo,cha kushangaza hakukutana na meno,akajua tu mama huyo alijiandaa kulinyonya.Kuanzia hapo ni kama uwanja ulifunguliwa ,,,nyonya basi jamani,,,aliongea kwa mapozi Hassan ambapo mama huyo alilifumba tu bila kufanya chochote,ni yeye tu Hassan alikuwa akifanya kama analipeleka mbele na kurudisha nyuma. Alipoona mama huyo hatoi ushirikiano na anataka kusuguliwa alimwinua kisha akaelekea mlangoni kwa hatua za taratibu na kufunga mlango,ile kugeuka kurudi,alishangaa mwenyewe,mama huyo alikuwa amejibakiza na chupi tu,khanga zote alizitoa,Hassan alimfuata na kumvutia karibu,kile kitendo cha kuvutwa mtoto alitoa kicheko fulani cha kutia nyege,basi taratibu mdomo ikaanza kugombaniana ndimi zao,mkono wa huyo mama ulishuka mpaka kwenye kitobo cha dudu,palikuwa na ute fulani ambao ulishaanza kutoka,basia liutumia ule kusugua kile kitobo pamoja na ile sehemu ya chini ya kitobo,e bwana Hassan hakutegemea huo utamu aliouhisi,,,, SHINDI LA KIHAYA-12 Uimara wa dudu kusimama uliongezeka ambapo Hassan alijisikia raha hasa,raha ya dudu ipo kichwani bwana,basi naye kwa uchokozi wa kimahaba Hassan alishusha mkono wake mpaka chini kabisa kisha akawa anapapasa kitumbua kwenye mashavu yake mpaka pale kati kwenye utamu japo hakupakazania,yaani mkono tu kwa nje mama wa watu alishalowa,alikuwa na hamu alipoliona tu dudu la Hassan maana akiangalia mumewe hana mzigo mzito kama huo. Huku nje sasa,wamama wenzake walvyo wambea walianza kujiuliza huku wakihisi kinachoendelea kwa Hassan,walisemezana ,,,angekuwa amesharudi,,, ,,,Hassan atakuwa anamsugua bila shaka,,, ,,,mmh sio rahisi,yule mama mpole vile,,! ,,,upole mdomoni kwani kitumbua kina upole?,,,walicheka wote kwa pamoja na kugonganisha viganja vya mikono yao ,,,ila jamaa naelekea yuko vizuri,,, ,,,ndio kwasababu yule hakuwahi kuongea na Hassan hata siku moja ila leo anasuguliwa,,, ,,,mapenzi bwana,sa yule mama anakosa nini kwa jamaa yake?,,, ,,,ndio hivyo,tuyaache kama yalivyo,,,waliishia hapo na kuendelea na shughuli zao maana waliona hata wakifuatilia sana hayo ni maisha ya mtu anayoamua kuishi Hassan alishamtoa mama huyo chupi na kumbakiza kama alivyozaliwa,yaani kitumbua chake kilituna hasa kwa nyege,matako yake yaliyolaini ndiyo yaliyomvutia zaidi Hassan,hapo walikuwa wameshapelekana kitandani,wote wawili walikuwa uchi kabisa,walianza na mtindo wa kiubavu. Mama huyo alionekana kulitolea macho dudu la Hassan kama mtu anayelitamani na kulihofia kwa wakati mmoja.Kweli mtoto alifundwa mapenzi,unajua kumjua mwanamke anayejua kufanya mapenzi ni rahisi sana,ukimweka mtindo wowote,we angalia ni jitihada gani amezifanya kuhakikisha utapata utamu,ila kama ukimweka ndio hivyo hivyo hata aichangamkii staili huyo namfananisha na mtoto wa miaka sita. Mama Jirani alivyolala kiubavu,yaani kile kiuno na mgongo sijui alijipindaje mpakayale matobo yake mawili yakawa yanaonekana wala sio ya kuyatafuta,na alivyo na matako makubwa huo mtindo ulimpendeza sana,miguu yake aliibana vyema kabisa,raha nyingine ya mtindo huu,hata kama mwanamke atakuwa na kitumbua kikubwa,kwa jinsi mama huyo alivyokaa sio rahisi mwanaume kujua kwani kitakuwa kimebana,vilevile ni njia nzuri ya mwanamke kuwahi kukojoa kwani mwanamke akiwa anaguswa na mboo kwenye kila kona ya kitumbua ndivyo anavyowahi kukojoa. Hassan hakupata kazi yeyote,alimsogelea mama huyo akitokea kwa nyuma yake,tayari kitumbua kilikuwa kimelowa hasa,alilipenyeza dudu lake taratibu ambapo kilizama kichwa chote,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssssssssss aaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaah,,,,miguno ya kimahaba aliitoa Mama huyo kwani mzigo wa Hassan haukuwa wa kitoto,,,taratibu alilisukuma mpaka likazama lote,kweli kitumbua kilikuwa kimebana Hassan aliona hatafaidi kama akilala kiubavu kama mama huyo,kabla hajaanza kupampu dudu likiwa ndani,aliinua na kupiga magoti ambapo aliishika miguu ya Mama huyo ile sehemu ya nyuma ya magoti kisha akaifanya kama anaikutanisha na uso wake,hapo mama jirani alihisi maumivu kidogo,Hassan ndio akaanza kupampu huku akiwa amembana hasa mama wa watu,alianza kwa kasi ndogo sana kama anasindikiza harusi,mama wa watu alichemka hasa kwa utamu ,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooosssssssssssssss,,,,mmmmh,,,alilalamika kimahaba mama huyo akishindwa hata kuchezesha kiungo kimoja zaidi ya kichwa tu,mwanaume akaanza kuchanganya kidogo mwendo,hapo alimlalia na kumnyonya masikio,yaani kutekenywa masikioni na ncha ya ulimi,huku kitumbuani kusuguliwa vyema,mama wa watu alihisi utamu wa ajabu,,,aliguna kwa sauti mpaka Hassan aliogopa,ila wale wamama majirani walisikia kwa mbali ,,,mwanamke anapewa haki yake,,, ,,,mmh sio kwa kilio hicho,,, ,,,usikate jamaa ana mzigo wa hatari,,, ,,,hata kama,atakuwa alikuwa na nyege sana,,, ,,,mmh mambo ya kitanda hayo,,,walisemezana hivyo majirani hao kisha kila mmoja aliendelea na shughuli yake Huku kwa mama jirani anayesuguliwa,aisee alishakojoa bao mbili kwa msuguo wa maana aliopewa,yaani alikuwa akilia kabisa machozi,utadhani alichapwa bakora za nguvu kumbe utamu tu,Hassan alipomwaga aliunganisha na mzunguko wa pili,kibaya zaidi mtindo hakubadilisha,kwahiyo mama wa watu alichoka halafu Hassan ndio alikuwa anatafuta bao la pili. ,,,aaaaaaaaaashiiiiiiiii,,,tubadili bwanaaaaa,,,,aaaaaaaaaaah,,,tubadili stailiiiiiiii,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,unaiumiza jamaniiiiiiiiiiiiii mamaa yanguuuuuuuuuuuu kitumbua changuuuuuuuuu eeeuwiiiiiiiiiiiiiii uuushuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,,,,alilalamika kimahaba ambapo Hassan kama aliweka pamba masikioni hakusikia lolote kumbe ndio alikuwa anakaribia kumwaga,ujue mwanaume akiwa anakaribia kumwaga hata umfanye nini hawezi kubanduka kwenye kitumbua,Hassan alimwaga bao lake na kuganda hapo juu ya mama huyo aliyechoka hasa ,,,we kweli kidume,sijawahi kusikia raha hivi jamani,,,alisifia mama huyo ,,,mi pia sijawahi kupata mwanamke mtamu kama wewe,mtamu sana,,,Hassan alidanganya ,,,mi ntampigia simu mume wangu nimwambie nimepata dharula ya ghafla halafu tubaki wote bwana,,,tayari mama wa watu alishapagawa na mautamu ya Hassan,,,,INAENDELEA SEHEMU YA 13 SHINDU LA KIHAYA-13 ,,,mmmh hawezi kujua jamani,,?,Hassan alihoji kizushi ,,,hawezi,ananiamini sana,,, ,,,kweli eeh?,basi fanya hivyo,nipe dakika kadhaa,,,basi mama huyo alipoongea hivyo alivaa nguo zake kisha akarudi chumbani kwake kwa kujiiba,alioga vyema na kuyatengeneza mazingira aliyoyaahidi,mumewe alipokubaliana na hiyo safari itakayomfanya asiwepo usiku huo,mwanamke alifurahi sana na kutoa maneno matamu kwa mume wake. Sasa hapo ndio uone utofauti,niamini kitu kimoja,sio kwamba Hassan alimpagawisha Mama Jirani kutokana na ukubwa wa dudu lake la hasha!,ila ni kwa utundu wa kucheza na kitumbua,mumewe alikuwa na dudu la wastani ambalo laiti kama angelitumia vyema asingemjengea mkewe udhaifu wa kutamani madudu mengine.Pia mwanamke hutakiwi kutumia vibaya kiasi unachaminiwa na mpenzi wako. Tukirudi upande wa Lisa,siku hiyo akiwa ametoka na mama yake kwenda kupata chakula cha usiku.E bwana kwenye hiyo hotel waliyokwenda waafrika unawahesabu,wazungu walikuwa wengi zaidi,palipikwa vyakula vya kila aina kutokana na nchi.Vingine ni oda maalumu vingine vya kuuza. Waliagiza chakula na kuanza kula,vinywaji vilifuata ambapo walifurahi sana,mwanga haukuwa mkali sana,ulikuwa wa wastani uliowawezesha kuhisi kama wako sehemu ya tofauti sana.Akiwa katika meza hiyo na mama yake,alimwona mzee fulani ambaye alinukia pesa ya maana,alikuwa na uwalaza mkubwa kama mkapa. Sasa ndani ya hotel hiyo kuna wanamuziki rasmi huwa wanatumbuiza,wanaimba nyimbo kuwaburudisha wateja,na kuna muda hupigwa nyimbo za watu wengine kisha wateja hujumuika pamoja na kucheza kwenye sehemu ya wazi kwenye hoteli hiyo.Muziki ulianza muda tu ila watu walipoanza kunyanyuka kuelekea kati,Skola naye alinyanyuka,kwa bahati mbaya au nzuri akapata mzungu wa kucheza naye,wakagandana hasa,mzungu alichanganyikiwa na umbo la Skola,alimwona mpya kweli. Huku Lisa aliletewa ujumbe na mhudumu kuwa kuna mzee anamhitaji,alipoonyeshwa kwa kidole,mzee alinyoosha mkono kumpungia ili aonekane.Mhudumu alipoondoka,naye huyo mzee kwenye kiti chake alinyanyuka na kupanda ghorofa ya juu,alimpa ishara ya mkono Lisa kuwa waonane huko juu. Taratibu mzee alipanda ngazi kuelekea juu huku Lisa akimwangalia anavyopanda ngazi hizo,kwa macho ya wizi,Lisa alimwangalia mama yake na kumwona akiwa ameshikiliwa vibaya na mzungu,tena anabambiwa hasa,alitabasamu kwa hali hiyo kisha akajiweka sawa na kuanza kumfuata yule mzee. Alipanda ngazi taratibu kuelekea huko juu ambapo siku hiyo alivalia gauni fulani sare na mama yake lililokuwa na mpasuo mkubwa sana mbele,pia wepesi wake ulifanya Chuchu zake kuchoreka vyema.Alivyotembea tu Lisa ilikuwa n tabu na yale matako mazuri aliyobarikiwa mtoto wa kike,kweli uzuri unaweza kuwa kipaji na wenywe maana Lisa hata akikutukana vigumu kumrudishia aisee maana hiyo sura na umbo vilivutia sana.Ndo wasichana kama hawa wakiwa wapelelezi kazi yao inakuwaga rahisi sana maana hawatumii nguvu kukukamatisha kwa mapolisi. Huko juu ya ghorofa alipotokeza tu Lisa,mandhari ya huko alipenda,mwanga hafifu ila tofauti na chini,huku juu hakukuzibwa kwahiyo mtu uliweza kuona juu angani.Mzee yule alikuwa amebadili mpaka mavazi,kutoka kuvaa suti mpaka bukta na vesti,mkononi mwake alishika glasi mbili za vinywaji,Lisa bila ya uwoga alimsogelea mpaka karibu,hakukuwa na mtu hata mmoja,bado Lisa hakujua hata uko juu hutumika kufanyaje. ,,,karibu sana mtoto mzuri,,,aliongea mzee na kumpa glasi ya kinywaji ,,,ahsante,nimefuata nini huku,,?,alipokea glasi na kuhoji Kuhusu kinywaji hakikumpa shaka kwani kilifanana na kile alichokuwa akinywa kule chini ,,,aah nahitaji kuwa nawe kwa muda mfupi sana mtoto mzuri Unasemaje,,? ,,,jibu langu linategemea na mfuko wako,,, ,,,basi usijali,,,mzee aliandaa laki mbili,alizito ana kumkabidhi,Lisa aliziangalia kwa dharau kisha hakuongea naye,aligeuka na kuanza kurudi.Mzee kwa kupagawa alimfuata na kumshika mkono akimrudisha tena ,,,yaani umenidharau hivyo? Mi ni wa laki mbili? Kumbe hata hujui vitu vizuri,,,aliongea kwa kujifanya amekasirika Lisa ,,,sawa,hakuna shaka ni kuelewana tu,njoo mama eeh,,,alibembeleza mzee wa watu kisha Lisa alimsogelea mpaka kwa karibu,alibana midomo yake hukumtazama kwa jicho la huba lililommaliza mzee huyo ,,,sikiliza,nitakufanyia milioni moja,ni kawasababu nimekupenda na nahisi una aaaaaah nzuriiii,,,hakutaja hicho kizuri bali alionyesha kwa kushika na mkono kabisa,mzee aliposhtuliwa dudu lake alikubali fasta,kumbe pesa alkuwa nazo,aliingia kwenye chumba fulani kilichokuwa kizuri hasa,kisha akatoka na pesa nyingi akimkabidhi Lisa,Lisa alipopokea tu alianza kumpa utamu mzee Alilivua lile gauni lake na kubakiwa na chupi tu,daaah mtoto aliumbwa jamani,huku juu kifuani hakuvaa chochote kwani Chuchu zake zilijiweza.Alimsogelea mzee huyo aliyekaa kwenye kiti cha kulala,alianza kumnyonya denda,alimvua ile vesti kisha akaanza kumnyonya Chuchu,mzee dudu lilisimama,mtoto taratibu aliivua bukta hivyo na kukutana na dudu la maana,halkuwa limesimama vyema hivyo akaanza kazi,alishusha mdomo wake chini kabisa kwenye kende na kuzinyonya,,,,,aaaaaaaaaaah,,,shiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika mzee ambapo ulimi wa Lisa ulihamia kwenye dudu,ulifyonza kile kichwa cha dudu hasa kile kitobo cha mkojo,,,mzee alitamani kupaa,.,,nyege zilipomkolea mzee huyo,Lisa alimjita kwa juu ili ampe mambo ya nayoendana na pesa yake,alimgeuzia mgongo kisha akaivua chupi huku akiinama kumringishia tamu,vilevile alijirudisha nyuma ili alikalia dudu la mzee huyo,,,ITAENDELEA KESHO ... Read More
MUUZA MAZIW EP 07 “aaaaahh!! Jamani wifi wao!!” Aliongea kwa furaha baada ya kumuona mgeni aliyekuwa akigonga ni penina. “asante wifi , shikamoo!” Penina aliongea na kisha kumkumbatia wifi yake kwa furaha. “ marhaba wifi ,vipi masomo?” Aliongea huku akiipokea mizigo aliyo ibeba “naendelea vizuri tu wifi” “haya mungu akusaidie” Aliongea lisa na kuelakea sebuleni , aliiiweka mizigo pembeni ya kochi na kasha kuelekea sehemuk ilipo friji. Penina, penina akaamua kuichukua mizigo ili aipeleke chumbani. “hapana wifi, hapana , hiyo iache hapo hapo nitaiingiza mwenyewe,, wewe kwanza kunywa juisi upumzike.“ Aliongea lisa huku akiwa ameshikilia jagi lenye juisi pamoja na glasi, alifanya hivyo kwa sababu chumba anachotakiwa kulala penina ndicho chumba ambacho amemficha muuza maziwa. “usipate tabu wifi wangu kunywa juisi upumzike, nipo kwa ajili yako “ Aliongea lisa huku akiibeba mizigo na kuelekea chumbani na kumuacha penina akinywa juisi taratibu. Alipoingia chumbani alimshutua muuza maziwa na kumweleza hali halisi. “kwahiyo nitatoka saa ngapi humu?” “ itabidi uvumilie mpaka usiku wifi akilala , mlango wa nje nitauacha wazi leo” Aliongea lisa “Sawa lakini vipi kuhusu chakula manaake niana njaa” “ usijali nitakuletea utakula humu humu , jitahidi usitoke nitajaribu kufanya mpango hata kamakabla ya usiku ikiwezekana” “poa” Muuza maziwa aliitikia “alafu nitaa……” Lisa alikatiza kauli yakebaada ya kusikia mlio wa kitasa kikifunguliwa. Haraka haraka muuuza maziwa aliingia kabatini na kisha lisa aliufunga mlango wa kabati hiyo kabla hata hajauachia mlango huo alisikia sauti nyuma yake. “wifi mbona unagombana na hilo kabati!?” Swali hilotoka kwa penina lilimfanya lisa ashikwe na kigugumizi cha ghafla huku akitoa maelezo ya kujikanyagakanyaga. “ah, mh, a-, u-n-a-j-u-a hi-li ka-ba-ti ni bo-vu” “limeharibika , ooh, mungu wangu!” Penina aliongea huku akilisogelea kabati hiloili kuiangalia sehemu ilipoaribika. “ah, hapana wifi usiiguse hapa nimeitegesha , iache hivyo hivyo mpaka atakapokuja fundi kulirekebisha” Aliongea Lisa haraka haraka. “okey”[sawa] Aliongea Penina huku akitikisa kichwa kuonyesha kwamba ameelewa. “nataka kuoga wifi” “na kweli manaake umechoka kweli kweli wifi yangu” Aliitikia Lisa haraka haraka kwani alijua huo ndio upenyo wa kumtoa muuza maziwa. Na kweli penina alipoingia bafuni lisa aliufungua mlango wa kabati haraka na kumtoa muuza maziwa , akala chakula haraka na kuanza safari ya kutoka nje ya nyumba hiyo , walipofika kwenye mlango wa kutokea muuza maziwa alimbusu lisa kwa mara ya mwisho , alipomaliza kufanya hivyo alitoka ndani ya chumba hicho na kutokeza koridoni ili atoke nje kabisa ya nyumba hiyo lakini kabla ya kufanya hivyo alisikia muungurumo wa gari, halikuwa gari lingine bali gari la Jerry mume wa Lisa. Hofu iliwaingia kwa ghafla na haraka haraaka walirudi tena chumbani kwa penina , ambapo kama kawaida alimfungia muuza maziwa kabatini, hawakuwa na njia nyingine tena bali hile waliyoipanga awali, muuza maziwa asubiri mpaka usiku wa manane Penina atakapo lala ndipo atoke kwani Lisa atauacha mlango wa kutokea wazi. Lisa alipomaliza kumfungia muuza maziwa katika kabati alitoka nje ya chumba hicho,akiwa koridoni aligongana ana kwa ana macho na mumewe. Wote wawili waliinamisha vichwa vyao chini. Kwani kila mmoja aliona aibu kwa kumsaliti mwenzake. Lisa kwa muuza maziwa na Jerry kwa sekritari wake. “Ah, mmh, wifi amekuja , kakaribu!” Aliongea Lisa kwa kujiumauma huku akiwa na wasi wasi. “ asante amekuja saa ngapi?” “sio muda mrefu” “aah yuko wapi sasa nimsalimie?” “yuko bafuni anaoga” “Okey” [sawa] Aliitikia na kisha kuelekea chumbani kwake. Lisa nae alimfuata mumewe nyuma hukubado akiwa na hofu juu ya kugundulika kwa uwepo wa muuza maziwa ndani ya nyumba hiyo. “Pole na kazi dear” Aliongea Lisa huku akijibaraguza kwa kumvua tai mume wake, macho yake bado yalikuwa na aibu sababu bado alikuwa na wasi wasi kwamba labda mumewe amegundua chochote. “ah, asante mpenzi” Aliitikia Jerry huku akitabasamu, lakina nae pia tabasamu lake liliishia mdomoni tu moyoni nafsi ilimsuta . Maovu aliyoyafanya na sikritari wake ofisini kwake yalikuwa bado yakionekana katika kichwa chake. Akavua nguo na kuingia bafuni kuoga lisa nae alimfuata na kujumuika nae kuoga . Alifanya hivyo ili Jerry hasihisi chochote. Walioga huku kila mmoja akiwa hana habari na mwenzake. Kwani wote wawili walikuwa wamechoka, walipomaliza kuoga wakavaa na kasha kwenda sebuleni. Huko wakamkuta Penina akianga lia tv. “mdogo wangu huyo!” Jerry aliongea kwa furaha huku wakicheka. “kaka!” Penina aliitikia na kisha kumkimbilia kaka yake. “waoo!!!” Waliongea kwa pamoja na kisha kukumbatiana kwa furaha. “habari za masomo!?” ITAENDELEA.. ... Read More
*LOVE BITE EP 04* ILIPOISHIA…… Aliongea Jothan huku machozi yakimlenga lenga. Hakika ni uamuzi mgumu aliouchukua kwakua aliamini ilikuwa ni mtihani mkubwa katika mapokezi ya mlengwa. Alipoinua macho yake kumtazama Prisca, tayari mashavu ya prisca yalishalowana kwa machozi huku macho yakiwa mekundu. Kilio cha kwiki kilianza kusikika na kumfanya Jothan kuingiwa na imani baada ya kumtaza mpenzi wake huyo anaye amua kumuacha bila kosa lolote. SONGA NAYO…………….. Machozi na kilio cha kwikwi kiliendelea kwa dakika kadhaa, Prisca alimuangalia Jothan ambaye alikua ana muonea aibu wakati huo. Hakuamini kuwa ndiye yeye aliyetamka maneno yale,. “kwanini mimi?…. kwanini Jothan umeamua kuzichezea hisia zangu kwa miaka yote hiyo niliyokuwa na wewe kumbe ulikuwa huna malengo ya kuwa na mimi. Kwanini Jothan umeamua kunifanyia hivyo?” aliongea Prisca huku analia. “sorry Prisca. Unafikiri ningefanyaje kwa hali niliyokuwa nayo hivi sasa. Sina jinsi japokuwa bado nakupenda sana. Ningekuwa mtu mwengine hivi sasa ningeendelea kuwachanganya wote wawili. Ila roho huwa inanisuta kufanya hivyo kwakua hata mimi sihitaji kuchezewa hisia zangu. Naomba kubaliana tu na maamuzi yangu japokuwa unaumia.” Aliongea Jothan huku na yeye akijifuta machozi yaliyomdondoka kutokana na hali aliyokuwa nayo Prisca inavyosikitisha. “thank you for everything.” Aliongea Prisca na kunyanyuka na kuondoka. Alimuacha Jothan ambaye alijiinamia na kujilaumu kwa alichokifanya. Akili nyingine ilimwambia kama mwanaume wa ukweli na mwenye msimamo basi alifanya maamuzi sahihi na ya busara. Alirudi nyumbani na kumkuta Shani amejaa tele nyumbani kwake. Alipofika tu, Shani alimfuata na kumkumbatia. Ingawaje Jothan alijichekesha, lakini Shani aligundua kuwa hakuwa sawa. “una nini mume wangu?. Aliuliza Shani baada ya kumuangalia usoni Jothan. “kawaida tu mke wangu.. kwani naonyesha nina tatizo?” aliuliza Jothan kuhakikisha alichokisikia kutoka kwa Shani. “sura yako inaonyesha kama ullikuwa unalia au ulikuwa unahuzunika muda si mrefu.” Aliongea Shani na kumfanya Jothan kumuangalia usoni Shani. “kichwa kilikua kinanigonga sana, hata hivyo sasa hivi niko sawa.” Aliongopa Jothan “pole mume wangu, kama bado kinaendelea we niambie nikununulie panadol au nikusindikize hospital… usidharau mume wangu.” Aliongea Shani huku akionyesha kwa alikua anajali sana afya ya mwenzi wake. “usijali, niko sawa tu.” Aliongea Jothan na kuingia chumbani kwake. Alijilaza na kuwaza yaliyotokea muda mfupi uliopita. Aliamua kupiga moyo konde na kuona yote yalikuwa ni majaribu tu. Maisha yalikuwa mazuri huku kila mmoja akifurahia uwepo wa mwenzake. Hata Jothan mwenyewe alikiri kuwa uamuzi wake ulikuwa sahihi sana kumchagua Shani katika maisha yake badala ya Prisca ambaye mpaka kipindi hicho alikuwa ameshakatisha mawasiliano naye. Shani naye alijitahidi kuhakikisha anafanya yale yote apendayo Jothan na kumteka Jothan kisawa sawa. Ilkuwa akiongelewa mwanamke bora basi Jothan alilipitisha jina la Shani bila kuangalia kuwa alikuwa na nani au alizungukwa na wasichana wazuri. Alitumia muda mwingi kuwa karibu na Shani. Hata kama alikua anataka kwenda kutanua, basi Shani alikuwa ubavuni kila walipoenda. Siku moja ambayo ilikua ni mwisho wa wiki, Jothan aliamua kulala tu Jumaapili hiyo kutokana na uchovu aliokuwa nao wa jana yake kwakua walienda club yeye na Shani na kurudi asubuhi kabisa. Nyumbani kwake aligonga hodi mgeni mmoja wa kike na kufunguliwa mlango na Shani ambaye alishaamka na alikuwa anfanya usafi nyumbani kwake. “za saa hizi dada.” Alisalimia yule mgeni ambaye alionyesha wazi kuwa alikua amechoka kutokana na mimba kubwa aliyokuwa nayo. “salama tu.” Alijibu Shani na kumsikiliza huyo msichana shida yake. “sijui nimemkuta mwenye nyumba hii?” aliuliza yule dada na kumuangalia Shani aliyekuwa makini akimsikiliza. “mwenyewe kalala, ila naweza kukusaidia kama hutajali kunieleza shida yako.” Aliongea Shani na kumuangalia yule dada. “ni vyema kama nita onana nae mwenyewe.” Aliongea yule dada na kumfanya Shani amkaribishe ndani. Kwakua Shani alikua anaandaa chai, hakuona ubaya kuandaa ya kutosha na kumkaribisha yule mgeni aliyekunywa chai kama anafukuzwa kutokana na njaa aliyokuwa nayo. Shani aligundua njaa aliyokuwa nayo mgeni huyo na kumuongezea vyakula mpaka alipohakikisha ameshiba ndio akaamua kumfuata na kumuuliza maswali machache wakati wanamsubiri bwana mkuwa aamke. “tunsubiri aamke, si unajua alikesha jana kwa hiyo sio vizuri kumuamsha mtu akiwa katika uchovu kama huo.” Aliongea Shani na wazo hilo likapitishwa na yule mgeni. Jothan aliamka na kwenda kuoga. Alivaa nguo zake nyepesi na kwenda sebuleni na kumkuta mgeni aliyekuwa anamsubiri. Yule dada alipogeuza shingo kumuangalia Jothan, macho yalimtoka na kujikuta mshangao mkuu umempata. “wewe, umefuata nini nyumbani kwangu?” aliuliza Jothan kwa hasira. Yule mgeni hakua na la kujibu zaidi ya kujiinamia. “na wewe unawakaribishwa watu humu ndani wengine ni nyoka kama huyu mwanamke.” Aliongea Jothan na kumuweka Shani kwenye bumbuwazi. “mbona sielewi, maana mimi aliniambia ni mgeni wako ndio maana nikaona si vibaya kumkaribisha ndani.” Alijitetea Shani. “mimi simjui huyu, .. kwani wewe msichana unaitwa nani?” aliuliza Jothan na kwenda kukaa kwenye moja ya sofa za pale sebuleni. “BAHATI.” Alijibu yule mgeni kwa aibu na kuangalia chini. “WHO A BAHATI BAY THE WAY??” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati kupiga magoti mbele yake na kuanza kulia kwa uchungu. “sihitaji kupigiwa magoti mama, mpigie magoti mungu wako na umuombe msamaha kwa ulichokitenda kwangu mimi.” Aliongea Jothan na kumuinua Shani pale chini. “naomba unisamehe, nimehadaika tu na jiji na hivi sasa limeshanifunza Jothan.” Aliongea Bahati huku analia. “leo hii unamjua Jothan wewe?.. si ulikua hunijui wewe?.. nani kakutajia jina langu?” aliuliza Jothan maswali mfulumizo yaliyomshinda Bahati kujibu na kubaki analia tu. “nyamaza kulia dada, kwani tatizo ni nini?.. niewekeni wazi jamani.” Aliongea Shani baada ya kukaa kimya muda mrefu. “sikiliza mke wangu, huyu dada ni mpumbavu na hana akili hata kidogo. Alikuwa na matatizo ya macho yaliyomsababishia upofu na hakuwa anaona hapo mwanzo. Mimi kwa imani yangu nikamchukua kutoka kwa mama yake Arusha na kuja naye hapa Dar kwa nia njema ya kumtibu. Sikuhitaji chochote kutoka kwake. Ila malipo aliyokuja kunilipa haki ya mungu kanifanya moyo wangu uwe na sugu na kuwa mgumu kuwasaidia wengine. Yaani alipopata macho ndio akaniona mimi takataka baada ya bosi wangu kumtaka. Siku niliyokutana naye akajifanya sauti yangu kaisahau. Yaani hata nilipojitambulisha bado akijifanya hanijui. Nikasamehe na kuachana naye, bado akaona haitoshi akaamua kunifanyia fitina mpaka nikafukuzwa kazi bila kosa. Sasa huyu utamuita mtu au kiatu tena kisichokuwa na kamba?” Aliongeea Jothan maneno yaliyomchoma Bahati na kumfanya aanze kulia kwa sauti kubwa zaidi ya aliyokuwa analia. “msamehe mume wangu, mungu kakujaalia umepata kazi nyingine. Na hujui kakuepusha na nini kukutoa kule. Na huyu adhabu yake ndio hii. Maana amepewa mimba na ametimuliwa. Hana msaada mwingine zaidi yako wewe. Msamehe tu mume wangu.” Aliongea Shani na kumsogelea Jothan aliyekuwa kafura kwa hasira na kuanza kumshika shika. Jothan alivuta pumzi ndefu kisha akamuangalia Bahati. “ni msaada gani unaotaka kutoka kwangu?” aliuliza Jothan na kumfanya Bahati kufuta machozi. “naomba unisaidie kunipeleka tu Arusha kwa mama yangu.” Aliongea Bahati huku analia. Kauli hiyo iliwaigia wote wawili. Ghafla walishangaa kumuona Jothan machozi yanamtoka kwa jinsi alivyokuwa anamuonea imani msichana mzuri walivyomtumia vibaya na kuwa kama kituko. Hakua Bahati yule kipofu mwenye bashasha usoni kila wakati. Sasa hivi mashavu yalimuingia ndani, nywele zake hazitazamiki mara mbili. Ngozi yake ilijaa makovu ya kupigwa kila sehemu. Jothan alijikuta ameguswa na kuanza kulia kwa sauti. Alinyanyuka huku analia na kumfuata Bahati na kumuinua kichwa chake na kuitazama sura yake iliyokuwa imelowa machozi na kuvimba kutokana na kulia kwa muda mrefu. “utakaa hapa mpaka utakapojifungua na kurudisha afya yako… pole sana kwa yaliyo kukuta.” Hatimaye aliongea maneno hayo yaliyomfanya Bahati kumkumbatia Jothan bila kujali uwepo wa mke wake pale. Wali muhurumia Bahati na kumpa chumba mule ndani. Siku tatu baadae, Bahati alipatwa na uchungu na kumuwahisha hospitali ya kulipia iliyopo kinondoni. Uchungu ulidumu kwa siku mbili mfululizo na kwa bahati nzuri Bahati alifanikiwa kujifungua salama mtoto wa kike. Aliwashukuru sana Shani na Jothan kwa utu wao waliouonyesha juu yake, maana walikuwa nae bega kwa bega na kuhakikisha kuwa anajifungua salama. Baada ya miezi mitatu kupita, Jothan aliamua kumsafirisha Bahati na kumrudisha kwao Arusha. Alilazimika kwenda naye kwakua Bahati hakua anapajua kutokana na hali yake ya upofu aliyokuwa nayo mwanzo. Walipofika Arusha mjini, Jothan alikodi taksi iliyowafikisha mpaka nyumbani kwa kina Bahati. Ilikuwa zaidi ya furaha kwa mama yake Bahati baada ya kumuona mwanaye akiwa anaona . alimfuata na kumkumbatia. “karibuni…. Karibuni nyumbani.” Alikaribisha mama huyo kwa Furaha. “ahsante, tumeshakaribia.”aliongea Jothan na kuingia ndani. Kwa furaha ya ajabu, mama huyo alikuwa anatabasamu kila muda kutokana na kumkumbuka mwanaye. Wakati wanaendelea na stori za kawaida. Ghafla mlango ulianza kugongwa kwa nguvu. Mama yake Bahati alitoka na kwenda kumsikiliza mtu anayegonga mlango. Alikaa huko kwa dakika kadhaa. Na baadae alirudi huku akiwa hana furaha kama aliyokuwa nayo mwanzo. “samahani baba, namchukua huyu tukatete kidogo.” Aliongea mama yake Bahati. “hamna shida mama.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati anyanyuke na kumfuata mama yake.. “mwanangu, aliyekuja kugonga ni mwenye nyumba. Amesema kuwa ametuchoka kutokana na kutomlipa kodi yake kwa muda mrefu. Yaani nimechanganyikiwa hata sijui tutafanyaje.” Aliongea mama yake Bahati baada ya kumuita mwanaye chemba. “usijali mama, nililijua hili ndio maana nikamuelezea Jothan mapema. Ametuahidi kutusaidia.” Aliongea Bahati na kumfanya mama yake amuangalie. “kwani, wewe na huyo Jothan mkoje?” Alijikuta mama yake Bahati anauliza swali lile kutokana na kutoelewa mazingira na makubaliano ya kumponyesha mtoto wake macho na kumrudisha akiwa na mtoto. “ni story ndefu mama, ila kifupi ni mkombozi wangu na wewe pia. Naweza sema hivyo.” Aliongea Bahati. “kwa hiyo unataka kusema kuwa hata huyu mtoto si wa kwake.” Aliuliza mama yake Bahati. “ndio mama.” Aliongea Bahati kimkato huku akitaka kumuonyesha mama yake ni jinsi gani asivyotaka kuaonngelea ile mada kwa muda ule. Baada ya muda Bahati alirudi sebuleni alipomuacha Jothan na mama yake akaenda kuandaa chakula cha jioni. “mbona hivyo, kwema?” aliuliza Jothan baada ya Bahati kurejea pale. “sio kwema, kama nillivyokuambia siku ile. Mama kashindwa kulipa kodi hivyo mwenye nyuumba anataka hela yake au tuhame.” Aliongea Bahati na kumuangalia Jothan. Baada ya chakula cha usiku, Jothan alimkabidhi mama yake Bahati fedha tasilimu shilingi laki saba kwa ajili ya kulipa deni la laki nne analodaiwa na hiyo nyengine kwa ajili ya mkataba mpya. Mama yake Bahati alifurahi kidogo machozi yamtoke na kumuombea sana dua za mafanikio Jothan. “naomba niwaache, naenda kulala Hotel na mungu akipenda kesho ndio safari yangu ya kurudi Dar-es-salaam” aliongea Jothan baada ya kuangalia saa yake ya mkononi na kumuonyesha kuwa ilishatimu saa tatu kamili. “sawa mwanangu. Mungu akutangulie katika kila jambo lako.” Aliongea mama yake Bahati na jothan akatoka huku Bahati akimsindikiza. “nakushukuru kwa yote ulioamua kuyafanya katika maisha yangu. Nakuomba usichoke kuwasaidia wasiojiweza kama nilivyokuwa mimi japokuwa nilikuumiza… kwa mungu kuna fungu lako Jothan.” Aliongea Bahati walipokuwa njiani wakisindikizana. “usijali, hata mimi naamini mambo yangu yananinyookea kwakua nakigawa kidogo kwa wenzangu wenye shida. Yale yalikuwa maneno tu tena kwa sababu nilikuwa na hasira. Mimi sina kinyongo na wewe. Moyo wangu mweupe na nakuombea pia maisha mazuri na ya furaha na mtoto wako. Naamini hutofanya makosa tena kwakua umeshajifunza.” Aliongea Jothan huku wakiikaribia bara bara. Baada ya kufika kituoni, waliagana huku Bahati machozi yanamtoka kwakujua kuwa ule ulikuwa mwisho wa kuonana na mwanaume huyo wa ajabu maishani mwake. Aliondoka huku kila baada ya hatua moja akigeuka nyuma kumtazama Jothan. Kwa mbali kulikuwa na gari linakuja spidi upande aliokuwa Bahati. Jothan alipotupa macho yake kuitazama ile gari ilikaribia kabisa kumgonga Bahati ambaye wakati huo Bahati hakuiona ile gari kwakua likua bize kumuangalia Jothan. Aliamua kutupa begi lake na kumkimbilia Bahati, alipofika tu alimsukuma na kwa bahati mbaya ile gari ilikuwa inajaribu kumkwepa Bahati na kumgonga Jothan. “MAAAMAAAAAA!” Alipiga kelele Bahati baada ya kumshuhudia Jothan akianguka chini baada ya kugongwa. Damu nyingi zilikuwa zinamtoka puani na mdomoni. Yule dereva aliyemgonga Jothan, alisimamisha gari na kumuingiza Jothan pamoja na Bahati na safari ya kuelekea hospitali kwa ajili ya kujaribu kuokoa maisha ya Jothan ilianza mara moja.. Walipofika hospitali, walipokelewa haraka na Jothan akakimbizwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “jamani kwa hali ya mgonjwa wenu, anatakiwa kufanyiwa operation haraka iwezekanavyo ili kuokoa maisha yake.” Aliongea daktari na wote wakakubaliana kuwa tendo lile lifanyike. Bahati alikuwa mtu wa kulia tu usiku nzima. Alijua yeye ndio sababu iliyomsababishia Jothan kugongwa na lile gari.. Alilia na kumuomba mungu asimchukue Jothan. Alirudi nyumbani asubuhi na kumtaarifu mama yake juu ya kilichotokea. Mama yake alisikitika sana na kwenda hospitali ambapo walikaa kwa masaa manne bila kuruhusiwa kumuona mgonjwa. Walirudi nyumbani na kurudi tena hospitalini jioni ambapo waliruhusiwa kuingia ndani na kumkuta yule mtu aliyemgonga Jothan akwa pale hospitalini. Bahati alimuelekeza mama yake kwa yule mtu aliyeonekana na moyo wa pekee kwa kukubali kuisimamia afya ya Jothan kwa kipindi chote atakacholazwa pale hospitalini. “kwa maelezo ya dokta, amesema kuwa atarejewa na fahamu kiasi katikati ya wiki hii,.. ila itachukua muda mrefu kurudiwa na kumbukumbu.” Aliongea yule jamaa alyemgonga baada ya kujitambulisha kwa jina la Saimon. Baada ya taarifa zile, walikubaliana na kuondoka huku zoezi la kumuangalia Jothan likiwa linaendelea kila siku. Baada ya wiki mbili jothan alifumbua macho. Lakini hakuweza kuongea na hakuwa na kumbukumbu yoyote. “kwa hiyo dokta tunaruhusiwa kuondoka naye” aliuliza Saimon baada ya daktari kuridhika na maendeleo ya Jothan. “mnaruhusiwa, ila kwa masharti. Msimsumbue kwa kumlazimisha akumbuke kitu chochote. Maana kumbukumbu zake zitakuja taratibu kutokana na mazingira katika ubongo wake.” Aliongea dakrari katika moja ya kuwapa maangalizo juu ya mgonjwa wao. “sawa, sasa inaweza kuchukua muda gani hadi kurudiwa na fahamu zake sawa sawa?” aliuliza Bahati. “inaweza kuchukua miezi sita, nane au mwaka mzima kutokana na ukubwa wa tatizo lenyewe.” Aliongea daktari na kuwafanya wote waliokuwa pale waishiwe nguvu. Walikubaliana waondoke naye na kwenda kukaa kwa kina Bahati huku Simon akiwaambia kuwa atakuwa pamoja nao katika kila hali. Kutokana na kuchanganyikiwa siku aliyopata ajali Jothan, Bahati hakuokota kitu chochote alichokuwa amebeba Jothan siku ile. Hivyo hakuwa na mawasiliano angalau amjulishe Shani juu ya ajali iliyompata mpenzi wake. Siku zilikatika kwa kasi bila Jothan kuonyesha dalili zozote za kukumba yaliyokuwa nyuma. Hata jina lake tu alianza kulizoea baada ya Shani na mama yake kulitamka kila mara. Kwa upande wa Bahati alijisikia raha kumuuguza Jothan kwakua alikua analipa fadhila kwa yale aliyomtendea. Alihakikisha kuwa kila alichokihitaji mgonjwa wake basi alikua anakipata kwa wakati. Aliamua kurudia kazi yake ya kuuza maua ili alishe familia inayomkabili. Baada ya miezi sita kupita, Jothan alianza kuonekana kukumbuka kidogo kidogo. Aliweza hata kuuliza kuwa yupo wapi na ni nini kilichomleta pale. Alitamani kwenda kazini tena kama zamani. “PRISCA…… PRISCA” Alisikika Jothan usiku akilitaja jina la mwanamke huyo mara kadhaa. Bahati ambaye alikua amekaa kimya wakati wote, aliamka kutoka kwenye godoro la chini alipolala na mtoto wake na kumsogelea Jothan. Alishangaa kumuona Jothan akitokwa machozi. “mimi ni Bahati “ alijitambulisha Bahati mbele ya Jothan ambaye alikua macho usiku huo huku akitokwa na machozi. “yupo wapi Prisca.” Aliuliza Jothan na kumfanya Bahati ashtuke kidogo kwakua hakulifahamu jina hilo.. “Prisca mimi simjui… au ndio Shani ana majina mawili?” aliuliza Bahati na kumfanya Jothan afikirie kwa muda mrefu. “Shani.. Shani… ndio nani huyo?” aliuliza Jothan huku akionyesha kutokuwa na kumbukumbu nae. “si yule aliyekuwa unaishi nae kabla ya kuja huku ?” aliongea Bahati na kumfanya Jothan avute taswira juu ya mtu huyo aliyekuwa anamzungumzia Bahati. “huyo simkumbuki, yupoje kwani?” aliuliza Jothan na kumuangalia Bahati ambaye wakati huo alikuwa mbele yake akiongea kwa sauti ya taratibu kwa kuwa usiku ulikuwa tayari ni mkubwa. Hivyo sauti zao zilipea na kusikika kila mahali mule ndani. “ni mnene kiasi, mweupe na ana shepu Fulani hivi .. anapenda kuvaa ma wigi ya rihanna.” Alijaribu kumkumbusha Jothan kwa kumtajia muonekana halisi wa mtu huyo. “huyo simukumbuki,….. ninaye mkumbuka mimi ni msichana mzuri niliyeanza naye mapenzi toka tukiwa shuleni. Ni msichana mzuri sana. Na kila siku zilivyozidi kujongea, basi uzuri wake ulikua unaongezeka kila siku iendayo kwa Mungu. Nalikumbuka jina lake huyo dada. Anaitwa Prisca. Ila sijui muonekano wake kwa sasa. Labda ikitokea kuonana nae.” Aliongea Jothan huku akijaribu kuvuta hisia zake juu ya msichana huyo anaye mkumbuka kwa machache tu. “daktari alituambia kuwa tusikusumbue kwa kukumbusha ya nyuma. Ila utakumbuka taratibu. Ni vyema ulale Jothan ili uipumzishe akili yako.” Aliongea Bahati na Jothan akakubaliana nae. Kila siku ambayo Bahati alikua anarudi kutoka katika mihangaiko yake, aliutumia muda huo kupiga stori mbali mbali na Jothan. Wakati mwengine alimtembeza sehemu kadhaa maarufu. Kila akipata fedha nyingi, basi humchukua Jothan na kumpeleka shooping kwa ajili ya kumnunulia nguo. Baada ya miezi miwili kupita, Jothan alirejewa na fahamu zake kamili. Alikumbuka kila kitu. Hata siku aliyokuwa anataka kurudi Dar na kupata ajali ya gari pia aliikumbuka. Alimkumbuka pia Bahati ambaye wakati huo alikuwa naye bega kwa bega wakishirikiana na Simon ambaye alikua anakuja kumtembela mara kwa mara na kumuachia chochote kitu. Siku moja Jothan akiwa barazani anapunga upepo, alifuatwa na Bahati aliyekuwa amebeba Juice glasi mbili na kumkabidhi moja. Aliipokea na Bahati akakaa karibu yake. “lete story” aliongea Jothan baada ya kumuona Bahati kama alikua ana kitu Fulani alichokuwa anataka kumwambia. “nina mpya basi, zaidi kama hutojali. Nilikuwa nahitaji ushauri kutoka kwako.” Aliongea Bahati na kumtazama Jothan. “ulikuwa au unahitaji ushauri kutoka kwangu.” Aliongea Jothan kimzaha. “naomba unishauri,.. Simon ameniambia kuwa ananipenda na yupo tayari kufunga ndoa na mimi. Wewe kama wewe unamuonaje Simon. Anafaa kuwa mume wangu?” alifunguka Bahati na kumuangalia Jothan aliyekuwa anamuangalia pia. “kwa muda mfupi toka nimfahamu huyo mtu, sina shaka naye hata kidogo. Maana alikuwa na uwezo wa kukimbia siku ile aliyonisababishia ajali au hata kunikimbia hospitali. Lakini mpaka sasa ametupa hela nyingi kwa ajili yangu. Huwezi jua Bahati, si ajabu Mungu kamkutanisha na wewe kupitia mgongo wangu. Cha msingi zisikilize hisia zako maana wewe ndio utakuwa naye kipindi hicho mimi nitakapokuwa mbali na wewe. Kama na wewe unampenda na yeye yupo tayari kumlea mtoto wako ni dhahiri shahiri kuwa na yeye anakupenda pia.” Jothan aliongea maneno yaliyomkuna sawasawa Bahati. Alibaki anatabasamu na kumuangalia Jothan ambaye naye alikua anatabasamu pia. “nilikuwa nampenda muda mrefu sana, sema nashukuru sana kuwa hata yeye kumbe alikua ananifikiria.” Alingea Bahati. “hongera. Nilitaka kurudi Dar wiki hii, ila kama ndoa iatapangwa mapema basi nitasubiria mpaka muoane.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati afurahi kupita kiasi. Siku ya harusi kati ya Bahati na Simon iliwadia na maharusi walionekana kupendeza kupita kiasi. Jothan alilifurahia tukio lile baada ya Bahati kuonekana kubadilika na kuwa mwema na mtu mwenye jitihada kama alivyokuwa zamani. Baada ya siku mbili, Jothan aliaga na kurudi Dar. Kwakua hakuwa mgeni wa jiji, alitambua magari ya kinondoni na kuelekea kwake. Alifika nyumbani kwake na kukuta kufuli nje ya geti lake. Hakuwa na jinsi zaidi ya kukaa pembeni kwenye Café iliyokuwa inatazamana na geti lake ili Shani atakaporudi aweze kukutana naye. Alikaa mpaka saa mbili usiku, lakini hakukuwa na dalili za mtu yeyote kufika pale. Aliamua kwenda kulala Gesti kutokana na uchovu wa safari aliokuwa nao. Aliamka asubuhi na kupata chai, baada ya hapo akaelekea nyumbani kwake. Pia alikuta geti likiwa limepigwa kufuli kama ilivyokuwa jana yake. Aliamua kumfuata dalali mmoja aliyekuwa ameweka benchi lake pembeni ya nyumba yake na kumuuliza. “samahani mzee Sadi, hivi huyu mke wangu ana muda gani toka afunge hili geti?” aliuliza Jothan baada ya kusalimiana na mzee huyo aliyemzoe kwa muda mrefu akiwa pale nje na kufanya shughuli zake za udalali wa nyumba,viwanja na vyumba vya kupangisha. “hivi hauna habari?” aliongea mzee Sadi na kumshangaa sana Jothan kwakua alikua anajua kila kitu. “sina habari yoyote mzee wangu. Nimeingia jana tu kutoka Arusha, hivyo sina habari yoyote mie!!.” Aliongea Jothan kwa mshangao mkuu. Alianza kuhisi jambo baya linaweza kuwa lilimkumba Shani kipindi ambacho alikuwa hayupo. “mbona hii nyumba imeshauzwa miezi miwili iliyopita?… tena matangazo yalibandikwa muda mrefu. Sema wenye nyumba bado hawajahamia. Si unajua watu wenye fedha zao bwana?.” Aliongea yule dalali na kumfanya Jothan apigwe na bumbu wazi. “OOOOH MY GOD……..WHY ME?????” Alijikuta nguvu zinamuishia Jothan na kukaa chini. Aliiangalia nyumba yake aliyoijenga kwa gharama kubwa na machozi yalianza kummiminika kama maji. ITAENDELEA ... Read More
Story - - - - - NI WEWE TU PENINA Sehemu ya pili (2) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp___0769673145 Ilipoishia........ Katika bar moja iliyopo maeneo ya sinza kikao kimoja kilikuwa kikiendelea, na huku kilichokuwa kikipangwa Katika kikao kile ni namna ya kulivunja na kuliharibu penzi la Penina na Frank. Mzee Joel ambaye ni baba yake Penina, pamoja na Angel ambaye ni mdogo wake Penina pamoja na vijana wengine watatu wa kiume na mmoja wa kike, ndio waliokuwa wahusika wakuu wa kikao kile. *********ENDELEA ******** "sitaki mwanangu aolewe na yule mlala hoi kwa namna yoyote Ile naomba muyakatishe mpenzi yao, nitawapa pesa yoyote mnayotaka." alisikika mzee Joel akiwaambia vijana wake. "hamna shinda mzee wetu kuanzia Sasa tupo Katika mipango ya kuliharibu penzi hilo usijali mzee wetu." kijana mmoja aliyeitwa zaza ndio alisikika akiwaambia mzee Joel maneno hayo. "nitafurahi Sana kama hili likifanikiwa siwezi kukubali mwanangu aolewe na yule mnuka jasho." mzee Joel bado alizidi kuongea kwa jazba. "baba hata mimi nakuunga mkono Dada hawezi kuolewa na yule mnuka shombo." aliongea Angel naye kumuunga mkono baba yake. "hamna shida mzee Joel tutafanya mnayotaka." akaongea Zaza. "bas Sawa ngoja niwape pesa ya maji ili muweze kuianza kazi Mara moja." akaongea mzee Joel na kutoa pesa kias cha shilingi laki mbili na kumkabidhi Zaza agawane na wenzake. "Asante Sana mzee wetu na kuanzia Sasa sisi tunaianza Kaz." akaongea Zaza huku akipokea pesa zile, na Kisha wakaagana na mzee Joel na kuondoka.* Katika ukumbi mmoja wa starehe mziki wa taratibu ulikuwa ukipigwa kwa utaratibu wa hali juu kabisa, huku watu wawili wanaopendana kupita maelezo wakiwa ndani ya ukumbi huo huku wakiburudika na mziki mwororo uliokuwa ukipigwa Katika ukumbi ule, watu hao ni Penina pamoja na Frank. "Frank nakupenda Sana mpenzi wangu sijui nifanye nini ili ujue ni kwa kiasi gani, nafahamu jinsi baba yangu anavyokuchukia Ila yeye hawezi kuwa chanzo cha mimi kutokukupenda wewe, hakika nakupenda Sana." aliongea Penina maneno hayo akimuambia Frank na kujilaza kifuani mwake. "nafahamu Penina ni kwa kiasi gani unanipenda na pia unatambua ni kwa kias gani mimi nakupenda, napenda nikuahidi tu kuwa NI WEWE TU PENINA hakuna mwingine zaidi yako." Frank naye alimwambia Penina maneno hayo ambayo yalimfanya Penina azidi kutoa tabasamu tamu usoni mwake na kuzidi kumvuruga Frank, ambaye alijiona ni mwanaume mwenye bahati Sana kuwa na msichana mrembo kama Penina. Kama Kuna zile sifa wanaume huzitafuta kwa wanawake bas Penina alikuwa nazo na zingine za ziada. "yaani mpenzi wangu kila nikikuangalia nakuwa na maswali mengi ya kijinga ya kukuuliza kwa jinsi tu ulivyo mzuri." aliongea Frank akimwambia Penina. "hahahaaaa maswali gani hayo mpenzi wangu hebu niulize moja." akaongea Penina na kumtaka Frank amuulize moja. "swali moja ambalo huwa najiuliza kila ninapokuona huwa najiuliza hivi wewe ulizaliwa na mwanadamu au Mungu ndio alikutengeneza mwenyewe alafu akakuleta duniani?" akauliza Frank huku akiwa anamtazama Penina. "hahahaaaa Frank mpenzi wangu mi nimezaliwa na mwanadamu kama wewe." akajibu Penina huku akicheka kwa maneno ya Frank. "najua wewe umezaliwa na mwanadamu kama mimi Ila wewe ni mrembo Sana Sana sanaaa." akaongea Frank huku akizidi kumsifia Penina. Penina naye alifurahi Sana na kuzidi kuwa na furaha zaidi kwa sifa alizokuwa akipewa na Frank. "Asante Sana mpenzi wangu kwa sifa zote ulizonipa ila Kuna kitu nataka nikuambie." akaongea Penina na kumtizama Frank. "kitu gani tena mpenzi wangu?" akahoji Frank huku akiwa ametumbua macho. "mbona umeshtuka hivyo Sasa?" Penina akamuuliza Frank baada ya kumuona ametumbua macho. "lazima nishtuke si unajua tena namna navyokupenda isije ikawa ni kitu kibaya." Frank akamjibu Penina. "usijali mpenzi sio kitu kibaya na nina Imani utafurahia." Penina akamwambia Frank kumtoa hofu. "ok niambie bas ni kitu gani?" akahoji Frank huku akionekana kuwa na haraka ya kutaka kujua. "nataka siku chache zijazo tufunge ndoa alafu tufanye harusi kubwa ili tuwakomeshe maadui zetu ambao hawataki kutuona tukiwa pamoja.." Penina ndio alimwambia Frank ambaye alikuwa kimya kumsikiliza. "kweli mpenzi wangu hata mimi nimeshaliwaza hilo tatizo lipo kwangu, bila Shaka unatambua hali iliyopo Katika familia yetu, hatuna uwezo kipesa hivyo nahitaji muda zaidi kulitimiza hilo Penina." Frank akamwambia Penina huku akiwa amepoteza tabasamu usoni mwake. "Frank mpenzi wangu ondoa Shaka kuhusu hilo mimi nina uwezo wa kulisimamia hilo mwanzo mpaka mwisho, na kuthibitisha hilo hapa nimekuja na funguo nne, moja ni ya duka kubwa la kuuza bidhaa za jumla na moja, mwingine ni wa gari kubwa la kubebea mizigo, mwingine ni wa nyumba mpya niliyowanunulia wazazi wako kama zawadi ya kunizalia mwanaume anayenipenda kwa dhati na mwingine ni wa gari ndogo nililokununulia wewe mpenzi wangu. " alimaliza Penina kumwambia Frank maneno hayo na kumuacha akiwa mdomo wazi. " waooow ni ngumu Sana kuamini ila acha niamini tu, Asante Sana mpenzi wangu." alisema Frank huku akimkumbatia Penina na kumshushia mabusu mfululizo. "usijali mpenzi wangu ila nataka utambue nayafanya yote haya kwasababu nakupenda Sana, lakini pia ni moja wapo ya maandalizi ya harusi yetu." Penina akamwambia Frank huku akiwa amejilaza kifuani mwake. "nashukuru Sana Penina mpenzi wangu kusikia hivyo na mimi nikuahidi kuwa na wewe mpaka mwisho wa uhai wangu hakika ni wewe tu Penina." Frank akamwambia Penina huku akiwa amemkumbatia kwa nguvu. Wakati huo tayari Muda ulikuwa umeenda Sana na tayari ilikuwa ni saa moja usiku, hivyo Frank na Penina waliondoka kurudi nyumbani huku Penina akimuahidi Frank kumkambidhi vitu vyote alivyomwambia siku inayofuata. Penina alimfikisha Frank nyumbani kwake, Frank akashuka kwenye gari na kumuuga mpenzi wake Penina. Kisha Penina akageuza gari na kuondoka. Baada ya Penina kuondoka tu, Frank kabla hajapiga hata hatua moja kuondoka pale, ghafla alishtukia amezungukwa na vijana watatu wa kiume waliokuwa wamevalia miwani nyeusi kila mmoja. Na hata Frank alipowaangalia hakuweza kuwafahamu. ....... Itaendelea. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: