Home → simulizi
→ KURUDI KWA MOZA: 31
Basi wakafungua na kuingia, Rose alikuwa wa kwanza kuingia mule ndani ila alishtuka sana kwani alijiona yupo nyumbani kwake na aliyewakaribisha alikuwa ni Patrick na sio Salome.
Kila mmoja alipoingia alishtuka, kisha Patrick akawauliza kwa kejeli,
“Mnashtuka nini sasa? Mnashtuka kuniona kwenye nyumba yangu mwenyewe? Hapa si nyumbani kwangu, kwahiyo siruhusiwi kuja?”
Wote walikaa kimya kwani kila mmoja alikuwa akijiuliza kuwa imekuwaje tena wamerudi nyumbani kwao wakati walikuwa wakiingia kwakina Salome na aliwakaribisha, Patrick aliwashangaa kuwa hawasemi chochote akajua wanamfanyia kiburi bila ya kujua kilichowasibu.
“Nyie jifanyeji kiburi tu, mmenikuta kwenye nyumba yangu, hata salamu kutoa hamjatoa eti mnashangaa shangaa. Haya endeleeni kushangaa tu mkimalia mtaniambia”
Patrick akakaa chini akiwaacha wao wamesimama huku bado wakishangaa tu, Rose nae alikaa chini huku akitikisa kichwa chake na kusema,
“Hivi ni kweli au naota?”
Alidakia Ana na kumjibu mama yake,
“Ni kweli mama, tumerudishwa nyumbani tena bila ridhaa yetu. Anayetufatilia kwa hakika ana nguvu zaidi yetu”
Wote walikuwa kimya tu, Rose alipumua kwa nguvu maana mambo yalikuwa yakimchanganya zaidi na kuanza kuhisi huenda swala la kumpeleka Doto hospitali ndio limeendelea kuzua hayo wanayoyaona. Alipojitafakari vilivyo akamuangalia Patrick sasa na kuanza kumuomba msamaha maana kwa hakika Patrick alihisi wamemdharau,
“Tafadhali tusamehe bure ila yaliyotupata kwa siku ya leo hapana kwakweli”
“Yaliyowapata yapi hayo?”
“Mume wangu unanichukia bure tu ila familia yetu inafatiliwa na wachawi”
“Wachawi kushinda wewe uliyemuua mama yangu!! Yani mimi naongea na wewe bure tu ila wewe Rose ni mwanamke mbaya sana, umeniulia mama yangu, umefanya niiache familia yangu iteseke, nimeacha ndugu zangu wakiteseka huku mimi nikila raha ya maisha. Nimeacha mwanangu akiteseka huku wanao nikiwalea maisha ya kifahari, wewe ni mwanamke mbaya sana Rose”
“Naomba unisamehe kwanza, halafu hayo si maneno ya kuongelea mbele ya watoto”
“Unataka nikaongelee wapi? Umenitesa sana wewe mwanamke, na kwa taarifa yako ndugu zangu wanakuja hapa sio siku nyingi”
“Patrick! Ndugu zako wanakuja!”
“Ndio ndugu zangu wanakuja hapa na watakuwa wanakaa hapa”
“Haiwezekani Patrick, huwezi kufanya jambo bila kunishirikisha mimi. Humu ndani mimi ndio mama mwenye nyumba”
“Mke wangu ni Neema na ndio mama mwenye nyumba”
“Neema kivipi? Kumbuka Patrick, ulimuacha Neema na kunioa mimi, iweje leo useme mke wako ni Neema! Umechanganyikiwa wewe sio bure”
Kisha Rose akawaangalia watoto wake na kuwaambia,
“Hivi na nyie hamuwezi kwenda kufanya mambo mengine hadi make msikilize mazungumzo ya mimi na baba yenu!”
Patrick akadakia,
“Waonyeshe baba zao watoto wako, mimi sio baba yao. Na kibaya zaidi hata huyo mtoto wako wa mwisho nae sio wangu, nilijivunia nimepata mwanamke kumbe ananiacha ndani anaenda kuzaa na mwanaume mwingine nje”
Wakina Sara baada ya kuona jicho kali la mama yao ikabidi watoke nje na kuwaacha sebleni kwani Patrick aligoma kwenda kuongelea popote pale zaidi zaidi ya hapo sebleni.
“Jamani Patrick twende tukaongelee chumbani mambo hayo”
“Twende chumbani ili ukaniroge? Rose umeniroga kwa miaka mingi sana, akili yangu imefunguka sasa na huwezi kunishawishi juu ya kuniroga tena, mwanamke mbaya wewe”
Rose alijaribu kila njia ya kumtuliza Patrick ila leo alikuwa hatuliziki kabisa, inaonyesha wazi aliamua na alidhamilia.
Kule nje walienda moja kwa moja kwa mlinzi wao na kumuhoji kuwa Yule baba yao alienda saa ngapi pale nyumbani, ila mlinzi alivyowaona alishtuka sana badala ya kumuuliza yeye aliwauliza wao,
“Mmeingia muda gani humu ndani?”
“Tunataka kukuuliza baba amekuja muda gani?”
“Humu ndani mbona mmekuwa na mambo ya ajabu sana sijapata kuona, yani siwaoni kuingia ila gafla nawaona ndani”
Basi akafikicha fikicha macho yake na kuiona gari ambayo walitoka nayo ikiwa imepaki uwani, yani hapo ndio akashangaa kabisa kuwa hata gari ilivyoingia hakuiona yani aliona mambo ya ajabu na kuhisi nyumba yote hiyo ni wachawi.
“Mama akirudi namuomba mshahara wangu naacha kazi”
“Usiache kazi bhana, uache kwasababu gani? Hata hivyo mama yuko ndani”
Mlinzi akashtuka tena,
“Yuko ndani? Ameingiaje?”
“Tulikuja nae”
“Hii nyumba hapana, imenishinda kwakweli yani imenishinda kabisa siwezi kuendelea kuishi humu”
“Usiondoke, haya mambo yatarekebishwa tu hata usiende popote”
“Hapana siwezi, yani watu unawaona wakati wa kutoka tu ila wakati wa kuingia huwaoni!”
“Inamaana nae baba hujamuona wakati wa kuingia?”
Ana aliuliza kwa makini swali hilo kwani alitaka kujua kama ni kiini macho wamefanyiwa au ni kitu gani,
“Mzee yeye kafika vizuri, tumesalimiana nae hapa na kuuliza mko wapi na akaingia ndani kuwangoja. Yani nyie ndio mmenifanyia maajabu, na toka mzee aje sijatoka kabisa hapa getini leo, haya niambieni mmeingiaje”
“Yani hata sisi wenyewe hatujui kwahiyo utakuwa unatushutumu bure tu”
Ila huyu mlinzi alishikilia wazo lake tu kuwa yeye ataomba mshahara wake aondoke kwenye nyumba hiyo, wakati wanaongea na Yule mlinzi alifika mtu na kugonga geti alipomfungulia alikuwa ni Salome, walibaki wanamtazama kama dakika kadhaa ndio kumkaribisha ila Salome alitabasamu tu na kuingia ambapo moja kwa moja alienda ndani na kuwakuta Rose na Patrick wakiwa kwenye majibizano makubwa sana. Alipoingia tu kama kawaida yake aliingilia yale mazungumzo,
“Wewe mama ushaambiwa usamehewi, sasa ya nini kulazimisha msamaha!”
“Hata maandiko yanasema samehe saba mara sabini”
Salome alicheka sana ten asana kisha akamwambia,
“Hivi leo ndio unatambua maandiko yamesema hivyo, je ulipokuwa unamuua bibi wa watu asiyekuwa na hatia ulikumbuka maandiko? Ulipomtumia Ashura ajifanye anaundugu na Neema ili tu azidi kumkandamiza ulitumia maandiko? Wakati Salome anateseka na maisha wakati baba yake anakula raha ulitumia maandiko? Na zaidi ya yote, uliowafuga ndani kwenye chumba chako cha siri unatumia maandiko?”
Patrick akashtuka sana kusikia kuwa mkewe kuna watu anawafuga pia kwenye chumba cha siri,
“Kheee wewe mwanamke kweli ni shetani yani wewe una matendo hata shetani anayaogopa. Kwahiyo kuna watu umewafuga ndani kwako?”
“Salome jamani usizidi kunikandamiza jamani, nisameheni”
“Nani akusamehe mwanamke shetani kama wewe? Yani umefanya maovu mengi napo umeona hayatoshi ila ukaongezea na kuwafungia watu kwenye chumba cha siri!”
“Anafuga watu ndio huyu, hujui tu baba ila ndio hivyo anafuga watu huyu. Siku ukinijua vizuri utaelewa nimejuaje siri zako na njia zako, sipendi unavyowatesa wale watu, waachie waendelee na maisha yao mengine”
Kisha Salome akamgeukia Patrick na kumwambia,
“Wasichana wa kazi wote wanaopotea kwenye nyumba yako halafu anasema kawafukuza ni muongo, anawafungia kwenye chumba cha siri, ikitokea mtu kaumia kwenye nyumba hii damu ikamtoka basi asitoke mlangoni maana akitoka tu anajikuta kwenye chumba cha siri, huyu mama ni mpumbavu sana, anafanya mambo ya kijinga. Watu wa watu wamekonda sababu ya kufungiwa, ni bora ujue ndugu yako amekufa kuliko kujua ni msukule, huyu mama ni mbaya sana”
Sara na Kulwa walikuwepo mlangoni na walisikia yote ambayo mama yao alikuwa akishutumiwa, muda huu Ana alikuwa getini na mlinzi ila wao wakati Salome ameenda ndani walienda kukaa mlangoni, kwahiyo kila kitu kilikuwa wazi kwenye masikio yao na kuelewa kirahisi kuwa wote wanaohisi wamepotea kumbe mama yao amewafungia kwenye chumba cha siri, ndipo Sara nae alipojiwa na swala la Ommy, akaweza kufikiria ni jinsi gani Ommy alikuwa akiteseka kwenye hiko chumba cha siri, alijikuta akiingia ndani na kumwambia mama yake,
“Mama tafadhali mfungulie Ommy wangu”
Sara machozi yalimlengalenga kwani leo alielewa mchezo vizuri kabisa kuwa mama yao ni mchawi tena mchawi haswaa wala sio wa kusingiziwa kama wengine. Rose hakuweza kuvumilia hizi shutuma akaamua kukimbilia chumbani, kwahiyo sebleni alibaki Salome, Patrick na Sara.
Hizi habari za mkewe kuwa na chumba cha siri zilimshtua sana Patrick kwani aliweza kupata kumbukumbu kuwa kuna rafiki yake aliwahi kupotea kwenye nyumba yake hiyo na hakujulikana alipoenda hadi leo hajui ila hapo kapata jibu kuwa huenda nay eye amefungiwa kwenye chumba cha siri, akamuangalia mwanae Salome na kumuuliza,
“Wewe umejuaje hizi habari za huyu mwanamke kufungia watu kwenye chumba cha siri”
“Nilijua toka siku ya kwanza nilipokuja kufanya kazi humu”
Sara na Patrick walishangaa na kujikuta wakimuuliza kwa pamoja,
“Ulipokuja kufanya kazi humu!!”
“Ndio, ila msinihoji zaidi yani nyie mjue tu kwamba nilijua.”
“Sasa tutafanyaje ili awatoe”
“Najua cha kufanya ila njia yangu ni hatari sana, hatari kwake na kwa familia yake ndiomana nataka awatoe mwenyewe kwa hiyari yake”
Wakajikuta wakimuangalia Salome na ilionyesha wazi hawamuelewi elewi maana vitu vingine aliongea kamavile ni mtu wa aina nyingine na sio wa kawaida, Kulwa nae aliingia ndani na kuwaambia kuwa kasikia kila kitu na anashangazwa na habari hizo za mama yake kuwa kuna watu amewaeka msukule, basi akawa anajadiliana pale na dada yeka kisha Salome aliomba kutoka na baba yake ambapo alikubali na kuondoka na Salome halafu wakawaaga pale.
Neema alikuwa bado yupo chumbani kwake tangu muda ule walipotoka hospitali hadi anaiona jioni ikikaribia, akapigiwa simu na rafiki yake mama Pendo na kuanza kuzungumza nae ambapo mama Pendo alimkumbusha Neema swala la kumpeleka mwanae salome kwenye maombi,
“Usipuuzie Neema, mwanao anatakiwa aombewe”
“Sijapuuzia, nilisafiri ndiomana uliona kimya”
“Sasa lini utakuwa tayari ili nimwambie mchungaji wetu”
“Nitakwambia tu, siwezi kusema siku wakati Salome mwenyewe sijaongea nae chochote. Nikiongea nae nitakwambia ni lini”
Basi akakubaliana nae hivyo na kukata simu, kisha akatoka na kuanza kumuita Salome ila akaona kimya na kugundua kuwa Salome ameondoka, aliwakuta tu wanae wale mapacha wakiandika andika,
“Nyie dada yenu kaenda wapi?”
“Sijui ila ametoka”
“Yani huyu mtoto ameanza tabia ya kutoka bila kuniaga! Kweli wa kufanyiwa maombi huyu”
Ikabidi Neema aanze kufanya kazi zake za hapa na pale, ila hadi anamaliza kupika kisha watoto wake wale mapacha kwenda kulala ila Salome alikuwa hajarudi na kushangaa kuwa Salome kama alikuwa anaenda kulala huko huko si angalau angemuga basi, wakati analalamika hivyo akasikia hodi, alipoenda kufungua alikuwa ni Salome na Patrick ambapo aliwakaribisha vizuri tu kisha Salome akawaambia,
“Mi naenda chumbani kwangu, kwahiyo nyie endeleeni na mazungumzo tu”
Salome aliondoka, ila Patrick na Neema waliganda tu wakiangaliana na hakuna aliyemsemesha mwenzie kwani kwa muda huo kila mmoja alijiuliza kuwa nani anastahili kuanza kuongea kati yao. Muda nao ulizidi kwenda ikabidi Neema ajitoe muhanga,
“Nakusikiliza Patrick”
Wazo la haraka haraka la Neema alihisi kuwa Patrick ameenda kudai zile pesa zake alizomleteaga ndiomana alishindwa kuanza kuongea nae, ila Patrick leo alikuwa kama mtu aliyeshikwa na ganzi,
“Sijui hata nisemaje, ila nisamehe Neema”
“Mi nishakusamehe siku nyingi mbona”
“Nifanye nini unisamehe?”
“Wewe mbona mimi nishakusamehe jamani!”
Patrick alikuwa kimya tena kwani kadri alivyomuangalia Neema aliona anazidi kuwa mzuri, alimuona Neema akiwa mrembo zaidi kupita Yule Neema aliyemuoa akiwa na miaka kumi na sita, alijikuta akitamani kumuuliza kuwa mbona urembo ulizidi ila mdomo ulikuwa mzito, Neema nae alimuona Patrick akiwa zaidi ya vile alivyomuoa kipindi cha nyuma, alimuona Patrick amekuwa na sura ya kuvutia hatari, akajikuta anamwambia,
“Naenda kulala bhana”
Neema hakutaka tena kumuangalia Patrick kwani alihisi kumtamani ila ile alivyoinuka baada ya kumwambia naenda kulala, Patrick nae aliinuka na kufatana na Neema hadi chumbani, kwahakika Neema hakuweza kumfukuza Patrick ukizingatia alishakuwaga mume wake.
Kulipokucha, Patrick alikuwa amelala pembezoni mwa Neema na alijisikia vizuri sana, walijiona kamavile mapenzi yao ndio wametoka kutongozana. Waliamka wakitabasamu, na walipotoka chumbani walikuta Salome ameshawaandalia kifungua kinywa, kisha akawakaribisha mezani na kusema,
“Baba, kuanzia leo naomba uhamie hapa”
Patrick alicheka tu ila kicheko cha furaha kwani alijihisi kama amekuwa mtu mpya kabisa kwa siku hii na alikubaliana na kila jambo aliloambiwa na Salome.
Rose aliamshwa na sauti ya mlinzi wake aliyemuomba kwaajili ya maongezi, alipotoka alimsalimia kisha Yule mlinzi akamwambia hoja yay eye kutaka kuondoka kwenye nyumba hiyo.
“Jamani kwanini unataka kufanya hivyo?”
“Mama siwezi, sijawahi kukukosea heshima hata mara moja mama yangu ila kwa hili naomba tu nirudi nyumbani, siwezi kuendelea kuishi humu ndani”
“Jamani nimekuzoea ujue Lazaro, sipendi unavyosema unaondoka. Nitakuongezea mshahara ila usiondoke hapa nyumbani kwangu”
“Mama, hapana acha tu nirudi kwetu”
“Tumetoka mbali Lazaro, kumbuka wewe ni mtu pekee unayefahamu vitu vingi kuhusu mimi, nakuomba Lazaro usiondoke. Kumbuka umeanza kukaa kwangu ukiwa kijana mdogo sana, tafadhali Lazaro usiondoke jamani”
“Basi, naomba niruhusu niende nikasalimie tu halafu baada ya wiki nitarudi”
Kuhusu hilo ikabidi Rose akubali ila wazo la Yule mlinzi ilikuwa akiondoka tu basi harudi tena, basi Rose akampa mlinzi wake hela baadhi na kuagana nae.
Mlinzi alibeba kila kilicho chake kwani lengo lake lilikuwa ni kuondoka na kutokurudi tena kwenye nyumba hiyo, na kweli aliondoka eneo hilo na kwenda kupanda basi la kwenda kwao, ila alipofika tu stendi ya kwao na kushuka kwenye lile basi alijikuta yupo ndani kwenye nyumba ya Rose huku mizigo yake ikiwa pembeni.
Itaendelea kesho usiku…..!!!!!
By, Atuganile Mwakalile.
KURUDI KWA MOZA: 31 Basi wakafungua na kuingia, Rose alikuwa wa kwanza kuingia mule ndani ila alishtuka sana kwani alijiona yupo nyumbani kwake na aliyewakaribisha alikuwa ni Patrick na sio Salome. Kila mmoja alipoingia alishtuka, kisha Patrick akawauliza kwa kejeli, “Mnashtuka nini sasa? Mnashtuka kuniona kwenye nyumba yangu mwenyewe? Hapa si nyumbani kwangu, kwahiyo siruhusiwi kuja?” Wote walikaa kimya kwani kila mmoja alikuwa akijiuliza kuwa imekuwaje tena wamerudi nyumbani kwao wakati walikuwa wakiingia kwakina Salome na aliwakaribisha, Patrick aliwashangaa kuwa hawasemi chochote akajua wanamfanyia kiburi bila ya kujua kilichowasibu. “Nyie jifanyeji kiburi tu, mmenikuta kwenye nyumba yangu, hata salamu kutoa hamjatoa eti mnashangaa shangaa. Haya endeleeni kushangaa tu mkimalia mtaniambia” Patrick akakaa chini akiwaacha wao wamesimama huku bado wakishangaa tu, Rose nae alikaa chini huku akitikisa kichwa chake na kusema, “Hivi ni kweli au naota?” Alidakia Ana na kumjibu mama yake, “Ni kweli mama, tumerudishwa nyumbani tena bila ridhaa yetu. Anayetufatilia kwa hakika ana nguvu zaidi yetu” Wote walikuwa kimya tu, Rose alipumua kwa nguvu maana mambo yalikuwa yakimchanganya zaidi na kuanza kuhisi huenda swala la kumpeleka Doto hospitali ndio limeendelea kuzua hayo wanayoyaona. Alipojitafakari vilivyo akamuangalia Patrick sasa na kuanza kumuomba msamaha maana kwa hakika Patrick alihisi wamemdharau, “Tafadhali tusamehe bure ila yaliyotupata kwa siku ya leo hapana kwakweli” “Yaliyowapata yapi hayo?” “Mume wangu unanichukia bure tu ila familia yetu inafatiliwa na wachawi” “Wachawi kushinda wewe uliyemuua mama yangu!! Yani mimi naongea na wewe bure tu ila wewe Rose ni mwanamke mbaya sana, umeniulia mama yangu, umefanya niiache familia yangu iteseke, nimeacha ndugu zangu wakiteseka huku mimi nikila raha ya maisha. Nimeacha mwanangu akiteseka huku wanao nikiwalea maisha ya kifahari, wewe ni mwanamke mbaya sana Rose” “Naomba unisamehe kwanza, halafu hayo si maneno ya kuongelea mbele ya watoto” “Unataka nikaongelee wapi? Umenitesa sana wewe mwanamke, na kwa taarifa yako ndugu zangu wanakuja hapa sio siku nyingi” “Patrick! Ndugu zako wanakuja!” “Ndio ndugu zangu wanakuja hapa na watakuwa wanakaa hapa” “Haiwezekani Patrick, huwezi kufanya jambo bila kunishirikisha mimi. Humu ndani mimi ndio mama mwenye nyumba” “Mke wangu ni Neema na ndio mama mwenye nyumba” “Neema kivipi? Kumbuka Patrick, ulimuacha Neema na kunioa mimi, iweje leo useme mke wako ni Neema! Umechanganyikiwa wewe sio bure” Kisha Rose akawaangalia watoto wake na kuwaambia, “Hivi na nyie hamuwezi kwenda kufanya mambo mengine hadi make msikilize mazungumzo ya mimi na baba yenu!” Patrick akadakia, “Waonyeshe baba zao watoto wako, mimi sio baba yao. Na kibaya zaidi hata huyo mtoto wako wa mwisho nae sio wangu, nilijivunia nimepata mwanamke kumbe ananiacha ndani anaenda kuzaa na mwanaume mwingine nje” Wakina Sara baada ya kuona jicho kali la mama yao ikabidi watoke nje na kuwaacha sebleni kwani Patrick aligoma kwenda kuongelea popote pale zaidi zaidi ya hapo sebleni. “Jamani Patrick twende tukaongelee chumbani mambo hayo” “Twende chumbani ili ukaniroge? Rose umeniroga kwa miaka mingi sana, akili yangu imefunguka sasa na huwezi kunishawishi juu ya kuniroga tena, mwanamke mbaya wewe” Rose alijaribu kila njia ya kumtuliza Patrick ila leo alikuwa hatuliziki kabisa, inaonyesha wazi aliamua na alidhamilia. Kule nje walienda moja kwa moja kwa mlinzi wao na kumuhoji kuwa Yule baba yao alienda saa ngapi pale nyumbani, ila mlinzi alivyowaona alishtuka sana badala ya kumuuliza yeye aliwauliza wao, “Mmeingia muda gani humu ndani?” “Tunataka kukuuliza baba amekuja muda gani?” “Humu ndani mbona mmekuwa na mambo ya ajabu sana sijapata kuona, yani siwaoni kuingia ila gafla nawaona ndani” Basi akafikicha fikicha macho yake na kuiona gari ambayo walitoka nayo ikiwa imepaki uwani, yani hapo ndio akashangaa kabisa kuwa hata gari ilivyoingia hakuiona yani aliona mambo ya ajabu na kuhisi nyumba yote hiyo ni wachawi. “Mama akirudi namuomba mshahara wangu naacha kazi” “Usiache kazi bhana, uache kwasababu gani? Hata hivyo mama yuko ndani” Mlinzi akashtuka tena, “Yuko ndani? Ameingiaje?” “Tulikuja nae” “Hii nyumba hapana, imenishinda kwakweli yani imenishinda kabisa siwezi kuendelea kuishi humu” “Usiondoke, haya mambo yatarekebishwa tu hata usiende popote” “Hapana siwezi, yani watu unawaona wakati wa kutoka tu ila wakati wa kuingia huwaoni!” “Inamaana nae baba hujamuona wakati wa kuingia?” Ana aliuliza kwa makini swali hilo kwani alitaka kujua kama ni kiini macho wamefanyiwa au ni kitu gani, “Mzee yeye kafika vizuri, tumesalimiana nae hapa na kuuliza mko wapi na akaingia ndani kuwangoja. Yani nyie ndio mmenifanyia maajabu, na toka mzee aje sijatoka kabisa hapa getini leo, haya niambieni mmeingiaje” “Yani hata sisi wenyewe hatujui kwahiyo utakuwa unatushutumu bure tu” Ila huyu mlinzi alishikilia wazo lake tu kuwa yeye ataomba mshahara wake aondoke kwenye nyumba hiyo, wakati wanaongea na Yule mlinzi alifika mtu na kugonga geti alipomfungulia alikuwa ni Salome, walibaki wanamtazama kama dakika kadhaa ndio kumkaribisha ila Salome alitabasamu tu na kuingia ambapo moja kwa moja alienda ndani na kuwakuta Rose na Patrick wakiwa kwenye majibizano makubwa sana. Alipoingia tu kama kawaida yake aliingilia yale mazungumzo, “Wewe mama ushaambiwa usamehewi, sasa ya nini kulazimisha msamaha!” “Hata maandiko yanasema samehe saba mara sabini” Salome alicheka sana ten asana kisha akamwambia, “Hivi leo ndio unatambua maandiko yamesema hivyo, je ulipokuwa unamuua bibi wa watu asiyekuwa na hatia ulikumbuka maandiko? Ulipomtumia Ashura ajifanye anaundugu na Neema ili tu azidi kumkandamiza ulitumia maandiko? Wakati Salome anateseka na maisha wakati baba yake anakula raha ulitumia maandiko? Na zaidi ya yote, uliowafuga ndani kwenye chumba chako cha siri unatumia maandiko?” Patrick akashtuka sana kusikia kuwa mkewe kuna watu anawafuga pia kwenye chumba cha siri, “Kheee wewe mwanamke kweli ni shetani yani wewe una matendo hata shetani anayaogopa. Kwahiyo kuna watu umewafuga ndani kwako?” “Salome jamani usizidi kunikandamiza jamani, nisameheni” “Nani akusamehe mwanamke shetani kama wewe? Yani umefanya maovu mengi napo umeona hayatoshi ila ukaongezea na kuwafungia watu kwenye chumba cha siri!” “Anafuga watu ndio huyu, hujui tu baba ila ndio hivyo anafuga watu huyu. Siku ukinijua vizuri utaelewa nimejuaje siri zako na njia zako, sipendi unavyowatesa wale watu, waachie waendelee na maisha yao mengine” Kisha Salome akamgeukia Patrick na kumwambia, “Wasichana wa kazi wote wanaopotea kwenye nyumba yako halafu anasema kawafukuza ni muongo, anawafungia kwenye chumba cha siri, ikitokea mtu kaumia kwenye nyumba hii damu ikamtoka basi asitoke mlangoni maana akitoka tu anajikuta kwenye chumba cha siri, huyu mama ni mpumbavu sana, anafanya mambo ya kijinga. Watu wa watu wamekonda sababu ya kufungiwa, ni bora ujue ndugu yako amekufa kuliko kujua ni msukule, huyu mama ni mbaya sana” Sara na Kulwa walikuwepo mlangoni na walisikia yote ambayo mama yao alikuwa akishutumiwa, muda huu Ana alikuwa getini na mlinzi ila wao wakati Salome ameenda ndani walienda kukaa mlangoni, kwahiyo kila kitu kilikuwa wazi kwenye masikio yao na kuelewa kirahisi kuwa wote wanaohisi wamepotea kumbe mama yao amewafungia kwenye chumba cha siri, ndipo Sara nae alipojiwa na swala la Ommy, akaweza kufikiria ni jinsi gani Ommy alikuwa akiteseka kwenye hiko chumba cha siri, alijikuta akiingia ndani na kumwambia mama yake, “Mama tafadhali mfungulie Ommy wangu” Sara machozi yalimlengalenga kwani leo alielewa mchezo vizuri kabisa kuwa mama yao ni mchawi tena mchawi haswaa wala sio wa kusingiziwa kama wengine. Rose hakuweza kuvumilia hizi shutuma akaamua kukimbilia chumbani, kwahiyo sebleni alibaki Salome, Patrick na Sara. Hizi habari za mkewe kuwa na chumba cha siri zilimshtua sana Patrick kwani aliweza kupata kumbukumbu kuwa kuna rafiki yake aliwahi kupotea kwenye nyumba yake hiyo na hakujulikana alipoenda hadi leo hajui ila hapo kapata jibu kuwa huenda nay eye amefungiwa kwenye chumba cha siri, akamuangalia mwanae Salome na kumuuliza, “Wewe umejuaje hizi habari za huyu mwanamke kufungia watu kwenye chumba cha siri” “Nilijua toka siku ya kwanza nilipokuja kufanya kazi humu” Sara na Patrick walishangaa na kujikuta wakimuuliza kwa pamoja, “Ulipokuja kufanya kazi humu!!” “Ndio, ila msinihoji zaidi yani nyie mjue tu kwamba nilijua.” “Sasa tutafanyaje ili awatoe” “Najua cha kufanya ila njia yangu ni hatari sana, hatari kwake na kwa familia yake ndiomana nataka awatoe mwenyewe kwa hiyari yake” Wakajikuta wakimuangalia Salome na ilionyesha wazi hawamuelewi elewi maana vitu vingine aliongea kamavile ni mtu wa aina nyingine na sio wa kawaida, Kulwa nae aliingia ndani na kuwaambia kuwa kasikia kila kitu na anashangazwa na habari hizo za mama yake kuwa kuna watu amewaeka msukule, basi akawa anajadiliana pale na dada yeka kisha Salome aliomba kutoka na baba yake ambapo alikubali na kuondoka na Salome halafu wakawaaga pale. Neema alikuwa bado yupo chumbani kwake tangu muda ule walipotoka hospitali hadi anaiona jioni ikikaribia, akapigiwa simu na rafiki yake mama Pendo na kuanza kuzungumza nae ambapo mama Pendo alimkumbusha Neema swala la kumpeleka mwanae salome kwenye maombi, “Usipuuzie Neema, mwanao anatakiwa aombewe” “Sijapuuzia, nilisafiri ndiomana uliona kimya” “Sasa lini utakuwa tayari ili nimwambie mchungaji wetu” “Nitakwambia tu, siwezi kusema siku wakati Salome mwenyewe sijaongea nae chochote. Nikiongea nae nitakwambia ni lini” Basi akakubaliana nae hivyo na kukata simu, kisha akatoka na kuanza kumuita Salome ila akaona kimya na kugundua kuwa Salome ameondoka, aliwakuta tu wanae wale mapacha wakiandika andika, “Nyie dada yenu kaenda wapi?” “Sijui ila ametoka” “Yani huyu mtoto ameanza tabia ya kutoka bila kuniaga! Kweli wa kufanyiwa maombi huyu” Ikabidi Neema aanze kufanya kazi zake za hapa na pale, ila hadi anamaliza kupika kisha watoto wake wale mapacha kwenda kulala ila Salome alikuwa hajarudi na kushangaa kuwa Salome kama alikuwa anaenda kulala huko huko si angalau angemuga basi, wakati analalamika hivyo akasikia hodi, alipoenda kufungua alikuwa ni Salome na Patrick ambapo aliwakaribisha vizuri tu kisha Salome akawaambia, “Mi naenda chumbani kwangu, kwahiyo nyie endeleeni na mazungumzo tu” Salome aliondoka, ila Patrick na Neema waliganda tu wakiangaliana na hakuna aliyemsemesha mwenzie kwani kwa muda huo kila mmoja alijiuliza kuwa nani anastahili kuanza kuongea kati yao. Muda nao ulizidi kwenda ikabidi Neema ajitoe muhanga, “Nakusikiliza Patrick” Wazo la haraka haraka la Neema alihisi kuwa Patrick ameenda kudai zile pesa zake alizomleteaga ndiomana alishindwa kuanza kuongea nae, ila Patrick leo alikuwa kama mtu aliyeshikwa na ganzi, “Sijui hata nisemaje, ila nisamehe Neema” “Mi nishakusamehe siku nyingi mbona” “Nifanye nini unisamehe?” “Wewe mbona mimi nishakusamehe jamani!” Patrick alikuwa kimya tena kwani kadri alivyomuangalia Neema aliona anazidi kuwa mzuri, alimuona Neema akiwa mrembo zaidi kupita Yule Neema aliyemuoa akiwa na miaka kumi na sita, alijikuta akitamani kumuuliza kuwa mbona urembo ulizidi ila mdomo ulikuwa mzito, Neema nae alimuona Patrick akiwa zaidi ya vile alivyomuoa kipindi cha nyuma, alimuona Patrick amekuwa na sura ya kuvutia hatari, akajikuta anamwambia, “Naenda kulala bhana” Neema hakutaka tena kumuangalia Patrick kwani alihisi kumtamani ila ile alivyoinuka baada ya kumwambia naenda kulala, Patrick nae aliinuka na kufatana na Neema hadi chumbani, kwahakika Neema hakuweza kumfukuza Patrick ukizingatia alishakuwaga mume wake. Kulipokucha, Patrick alikuwa amelala pembezoni mwa Neema na alijisikia vizuri sana, walijiona kamavile mapenzi yao ndio wametoka kutongozana. Waliamka wakitabasamu, na walipotoka chumbani walikuta Salome ameshawaandalia kifungua kinywa, kisha akawakaribisha mezani na kusema, “Baba, kuanzia leo naomba uhamie hapa” Patrick alicheka tu ila kicheko cha furaha kwani alijihisi kama amekuwa mtu mpya kabisa kwa siku hii na alikubaliana na kila jambo aliloambiwa na Salome. Rose aliamshwa na sauti ya mlinzi wake aliyemuomba kwaajili ya maongezi, alipotoka alimsalimia kisha Yule mlinzi akamwambia hoja yay eye kutaka kuondoka kwenye nyumba hiyo. “Jamani kwanini unataka kufanya hivyo?” “Mama siwezi, sijawahi kukukosea heshima hata mara moja mama yangu ila kwa hili naomba tu nirudi nyumbani, siwezi kuendelea kuishi humu ndani” “Jamani nimekuzoea ujue Lazaro, sipendi unavyosema unaondoka. Nitakuongezea mshahara ila usiondoke hapa nyumbani kwangu” “Mama, hapana acha tu nirudi kwetu” “Tumetoka mbali Lazaro, kumbuka wewe ni mtu pekee unayefahamu vitu vingi kuhusu mimi, nakuomba Lazaro usiondoke. Kumbuka umeanza kukaa kwangu ukiwa kijana mdogo sana, tafadhali Lazaro usiondoke jamani” “Basi, naomba niruhusu niende nikasalimie tu halafu baada ya wiki nitarudi” Kuhusu hilo ikabidi Rose akubali ila wazo la Yule mlinzi ilikuwa akiondoka tu basi harudi tena, basi Rose akampa mlinzi wake hela baadhi na kuagana nae. Mlinzi alibeba kila kilicho chake kwani lengo lake lilikuwa ni kuondoka na kutokurudi tena kwenye nyumba hiyo, na kweli aliondoka eneo hilo na kwenda kupanda basi la kwenda kwao, ila alipofika tu stendi ya kwao na kushuka kwenye lile basi alijikuta yupo ndani kwenye nyumba ya Rose huku mizigo yake ikiwa pembeni. Itaendelea kesho usiku…..!!!!! By, Atuganile Mwakalile.
Artikel Terkait
*MWAGIA HUMO HUM EP 04* Sehemu Ya Nne (4) Nilimsogelea na kuusugua mwili wangu kwake, joto langu lilimsisimua. Mmh, kuangalia kwenye kikosi wa miziga,mtutu wa mziga ulikuwa juu. Manshala mtoto wa kike niliupandia mtutu na kuufanyia ukaguzi kabla ya kuingia vitani. Mmh, weee acha tu hukuwepo bali shetani wako alikuwepo. Mateja alikuwa kama mtu aliyekula mishikaki yenye chachandu ya Kihindi jinsi alivyotoa miguno. Taratibu nilishughulika na mtutu wa mzinga ambao ulionekana ulikuwa tayari kutupa makombora mazito kwa adui. Kutokana na utaalamu niliopewa na Bi Shuu na kujua kuufanyia usafi mtutu wa mziga, mara nilimuona Mateja akitetemeka na kutoa machozi laini. “Vipi?” “Aa..aah.” “Pole.” “Asante.” Niliendelea kumpa mshike mshike kwa kugusa hapa na pale, najua unataka kujua niligusa wapi. Vuta subra tukikutana nitakueleza mwanaume anatakiwa aguswe wapi ili kumuongezea mahanjamu. Ila lazima mikono yako iwe laini sio migumu kama mpasua kokoto utamchubua mwenzio. Nilisahau kama tupo bafuni kwa kuendeleza mateso bila chuki. Nilimsikia Mateja akisema. “Manka si tunarudi ndani tumalize kwanza kuoga.” “Waaawooo,” nilifurahia kimoyo moyo kwa kuamini mbwa mwenyewe kakimbilia kichaka cha nyani asubiri vibao vya mashavu. Tulimalizia kuoga huku nikimsugua kila kona ya mwili kisha nilimfuta maji na kumfunga taulo nami nilipitia upande wa kanga na kutoka naye kurudi chumbani. Wakati nakaribia chumbani kwangu Bi Shuu alitokea nyuma ya bafu na kunifanyia ishara ya mdomo. Niligeuka na kusimama ili nimsikilize alikuwa na jambo gani. “Manka,” alisema huku akiachia tabadamu. “Abee.” “Hongera.” “Ya nini?” “Unajua kuifanya kazi umeiva kwelikweli mambo uliyofanya mimi mwenyewe hoi.” “Asante Bi Shuu.” “Basi usiniangushe yote tisa kumi huko mnakokwenda ukifanya makosa umetia nazi kwenye supu.” “Bi Shuu wee acha nina usongo naye ile mbaya” “Usikamie sana ukashindwa kuyanywa.” “Nimekuelewa.” Niliagana na Bi Shuu na kuelekea chumbani kwangu na maswali mengi juu ya tabia ya Bi Shuu kunipiga chapo kila nililokuwa nafanya. Mmh, niligeuka nielekee chumbani Bi Shuu tena aliniita. “Manka usizime taa pia dirisha lako la nyuma liache wazi” Niliingia ndani nikijiuliza mengi juu ya tabia za Bi Shuu Kunipiga chabo, nilijua mwanzo alitaka kujua uwezo wangu lakini baada ya kuona nimeweza hakukuwa na haja ya kunipiga tena chabo zaidi ya kusubiri matokeo. Lakini kwa upande mwingine niliamini ile ndiyo ilikuwa fainali yangu ya kujua nimefundika au nilibahatisha kwa wachovu. Pamoja na kutaka kujua nipo katika kiwango gani, wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa kutojiamini kwa asilimia zote kutokana na kujua kuna mtu ananiangalia. Bora angenivizia nisingejua kinachoendelea na mimi kufanya makamuzi ya nguvu. Ndani nilimkuta Mateja amekaa kitandani, mtoto wa kike kwa usongo niliokuwa nao niliivuta kanga aliyokuwa amejifunga na kubakia kama kuku anayesubiri kuingizwa kwenye mafuta. Nami yangu nikaitupa pembeni na kubakia sale sale maua si unajua asiyejua kuchagua kabila lake Mzigua. Jamani maneno mengine sijui ni kweli au wimbo ina maana Wazigua ndiyo wasiojua kuchagua? Tuachane na hayo wanajua waliosema si mimi, baada ya kuwa sale sale kama kuku wanaosubiri kuingizwa kwenye kalai la mafuta ya moto. Kupitia mafunzo ya Bi Shuu mwanamke kabla ya kusafiri katika bahari ya huba unatakiwa kukiandaa chombo. Sehemu hii naomba twende pamoja huonekana wanawake wengi tunakosea. Kosa kubwa kwa wanawake wengi wakiishafika kitandani husubiri kuandaliwa wao kisha wapande kwenye chombo kuanza safari ya huba wakati mwenzake naye alihitaji kusisimliwa kama yeye. Au wengine ambao huwa kama mimi Manka kabla ya kuingia unyagoni kwa Bi Shuu kujua kabla ya safari vitu gani vinatakiwa kufanywa. Wengi wetu hutangulia kitandani na kutega kama kicheche anavyotega kuku, akiingiza kichwa tu anatimua naye mbio kichakani. Lazima sehemu hii uitumie kuandaana kila mmoja tui likikolea nazi ruksa kutia mchele, tuko pamoja nataka nilichokipata kwa Bi Shuu nawe upande japo kiduchu. Basi mtoto wa kike nilikiwa nimepandwa na maruhani ya mapenzi nilikuwa kama chatu aliyeshiba na kujivuta kushida huku pumzi zikinitoka kwa shida. Nilitambaza mikono yangu laini toka kona moja kwenda nyingine hasa sehemu muhimu zenye kupandisha mahanjamu. Nilianza kumsikia Mateja akisisimka na kuninyonga taratibu kama nyoka anavyopata shida ya kutambaa kwenye sakafu. Nilizipapasa sehemu ambazo humfanya mwanaume asisimke na kumpandisha mzuka wa mapenzi. Kila nilipogusa sehemu nilimuona akitaka kunyanyuka kama samaki pomboo anavyojitupa kwenye maji kwa madoido. Baada ya safari ndefu nilifika mji mkuu na kufanya kituo cha muda mrefu kwa kutumia mikono mdomo na ulimi ambao ulimfanya Mateja agugumie kama dume la njiwa lenye wivu. Niliendelea kuwajibika mpaka alipolia bila msiba huku akiomba tuingie chomboni kuianza safari ya huba yenye utamu usiisha hamu hasa kwa wanaoufahamu shati uwe mtaalamu wa kuitumia yako kalamu ndipo utaipata tamu na kukufanya mahamumu kila uikumbukapo tamu lazima upitate hamu ya kuutafuta utamu. Sijui tupo pamoja au nimekuchanganya, mwa kwetu siku zote chakula maandalizi, na chakula kitamu kinahitaji maandalizi ya kina na katika mwili vile vile. Huwezi kudandiwa kama baskeri na kupigwa pedeli, wakati unachemka mwenzio kesha fika zamani kalala pembeni hoi kuendelea na safari hawezi wakati mwenzake waduduuu wadogowadoooo ndo wamecharuka Wananyemvuanyemvua. Hapa pia kuna somo nililopata kwa Bi Shuu usikubali kuianza safari hakikisha mwakwetu kwako nawe kumetiwa mchuzi wa kutosha sio kula mkavu utakukwama kooni. Nina imani tupo pamoja au nimekuacha njia panda, mwakwetu hakikisha mpenzi wako amekuandaa mpaka hatua ya mchuzi kukolea kwenye ubwabwa hapo ruksa chakula kiliwe. Lazima wote mtakifurahia sio kuwahi kitandani kusubiri hukumu bila kujitetea. Baada ya Mateja mchicha kukolea nazi shetani wa ngono kumpanda alitaka kuchupa mchupo wa mkizi, lakini mtoto wa kike nilimshika kifuani na kumueleza. “Mpenzi pangu pakavu tia mchuzi,” nilikuwa na maana bado hajaniandaa ili tufurahia safari kwa pamoja. Mateja alinielewa ndipo alipoanda kuniandaa kwa kufanya ziara ya mkono na ulimi mwilini kwangu, jamani chakula kitamu kikipata muandalizi asiye na papara. Nakiri sikuwahi kukutana na raha za mwili siku zote niliamini raha zipo chini tu kumbe mwenyezi Mungu aliumba kila kiungo mwilini na makusudio yake. Kila nilipoguswa nilihisi raha tofauti na aliponigusa kwanza, mtoto wa kike nilimaliza maneno yote mdomoni kuomba hukumu baada ya kulia zaidi ya mara mbili bila huruma ya Mateja kuendelea kunipa mateso bila chuki. Baada ya tui kukolea nazi, kile nilichotaka kukionesha kwa Mateja kilitimia. Mtoto wa kike tuliingia kilingeni kujua mbivu na mbichi, najua unahamu kujua kilichoendelea, samahani tukutane wiki ijayo. Mtoto wa kike nilipoguswa tu nililegea mwili ulikuwa kama umepigwa shoti ya umeme, mchezo upoanza tu nilijiachia huku nikizitoa pumzi kwa kufuata mdundo, japo nyonga haikuwa laini sana kama wamakonde nami taratibu nilinyambulika kuhakikisha sitoki nje ya biti. Hakukuwa na ushindani kila mtu alitaka kuonesha uwezo wake kwenye medani ya mapenzi. Kila dakika ilivyokwenda ndivyo kila mtu alipoteza ustaarabu na kutaka kuonekana anaweza kuliko mwenzake. Kila dakika iliyokwenda ilikuwa ni maajabu saba ya dunia kwa Mateja. Nina imani kabisa mwanzo aliona kama nabahatisha kutokana na kunizoe Manka wa kulala kama gogo Manka mbishi nisiyekubali usumbufu wa kugeuzwa kama chapati. Manka nilimpania Mateja bila kujua wito ule ulikuwa na sababu, kila alivyotaka nilifanya bila hiyana kila aliponituma nilikwenda bila kubisha kila alivyoniweka nilikaa bila tatizo. Muda wote niliwajibika bila kuchoka huku nikimmwagia sifa ambazo nina imani hakuwa kupewa toka azaliwe. Kuna kipindi mtoto wa kike nilalamika kama mtoto aliyeny’ang’anywa ziwa na mama yake, kutokana na kuufurahia mchezo nilijikuta nikilia kama naonewa kumbe raha zilikuwa zimekonga kila kona ya mwili. “Mateja kwa nini unanitesa…kosa langu nini?” Nililalama huku nikiwajibika. Siku zote raha ya kurap uendane na mdindo, nilibadilika mtoto wa kike na kuongeza nijuavyo nisivyofunzwa na Bi Shuu. Jamani makubwa ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni. Ghafla Mateja machozi yakaanza kumtoka baada ya kuvamia shamba la mihogo kwa mikono na mdomo jembe nililitoa kwenye mpini na kuchimba muhogo kwa mkono. Kila nilivyoutafuta muhongo nilimuona mtoto wa kiume akihama upande mmoja kwenda mwingine. Mmh, sikuamini nilimuonea huruma lakini siku zote ukitaka kumtiba mgonjwa wa jipu usimuonee huruma. Mateja uzalendo uliomshinda aliamua kusema. “Manka kwa nini ulinitenda?” “Kivipi mpenzi?” “Vitu hivi mbona hukunipa mwanzo?” “Mpenzi vilikuwa havijaungwa, hata vya chukuchuku havikuiva.” “Hapana…hapana…sikubali.” “Hukubali nini tena mpenzi?” “Siwezi kula nisishibe heri nisipewe.” “Mateja leo utakula mpaka utasaza nipo kwa ajili yako.” “Na baada ya leo?” “Mi nipo tu.” “Hapana..hapana …lazima nikuoe.” “Na mchumba wako?” “Wewe ndiye uliyekuwa mchumba wangu.” “Kama nilikuwa mchumba wako kwa nini uliniacha?” Huwezi kuamini wakati tukizungumza hivyo kilimo kiliendelea huku Mateja akishinda kukaa chini kama kakalia moto. “Vipi?” Nilimuuliza huku nikimtazama usoni kwa jicho lilililegea kama mtu mwenye usingizi mzito. “Mm..mm..mmh,” Mateja aligugumia kama dume la panya kwenye ghala la mahindi. Baada ya muda maskini mateja machozi yasiyo na kilio yalimtoka, niliyahifadhi hakugusa chini. “Asante Manka…asante mpenzi.” Mtoto wa kike sifa hazikunivimbisha kichwa niliuchukua mpini na kuurudisha kwenye jembe kilimo kiliendelea. Mmh, kweli kila kiumbe na sehemu zake, kurudisha mpini kwenye jembe kulikuwa kama kumtupia samaki majini. Mateja alikuja juu kama moto wa kifuu kila nilipotaka kumtuliza ndivyo raha zilivyogonga kila kona ya mwili na kujikuta nikiwacha autawale mchezo. Nilifika kipindi duniani nikawa sipo mbinguni sipo nikawa naelea kati, nakiri sikujua kilichokuwa kikiendelea zaidi ya kuhisi kama mtu kanivua nguvu zote mwilini kilichoendelea sikujua. Niliposhtuka nilijikuta nimelala pembeni ya Mateja ambaye alikuwa hajitambua kwa usingizi mzito. Kilinichonishangaza kujikuta sote tumo ndani ya shuka moja, nilijiuliza inawezekana Mateja ndiye aliyenifunika. Nilipotaka kunyanyuka nilihisi kama kizungungu nilijirudisha kulala. Wakati nataka kufumba macho nilisikia naitwa. “Manka…Manka,” niliposikiliza vizuri niligundua ni Bi Shuu. “Abee.” “Amka ujimwagie maji.” “Sina nguvu.” “Jitahidi hivyo hivyo.” Nilijinyanyua kwa kuzilazimisha miguu ikiwa haina nguvu, nilijizoazoa na kwenda kujimwagia maji, Bi Shuu maji alikwisha yapeleka bafuni. Nilioga maji yaliyokuwa ya baridi sijui aliyatoa kwenye friji. Baada ya kujimwagia maji mwili ulichangamka kidogo, hapo ndipo nilipoanza kuisikia njaa. “Manka kamuamshe na mwenzako naye akajimwagie maji ili mle pamoja” “Kwa saa ngapi sasa” “Saa sita kasoro.” “Mtume!” Nilikwenda kumuamsha Mateja aliyekuwa akikoroma ilionekana kalinyekarinde lilimpeleka puta na kujikuta akipoteza nguvu nyingi. Inawezekana kabisa alijua ni yule Manka wa mwaka 47 na kuingia kichwa kichwa matokeo kanyolewa bila maji. Kila nilipomtikisa alionekana yupo hoi kwa kugeuka kama umekufa, niliendelea kumtikisa. “Mateja..Mateja.” “Mmh.” “Amka.” “Niache nilale kidogo.” “Najua umechoka, amka ujimwagie maji upate nguvu.” “Manka naomba nipumzike nimechoka sana.” “Matejaaaa, hebu amka.” Nilimwambia huku nikimshika mkono na kunyanyua, alinyanyuka na kukaa kitako kitandani. Akiwa kama mtu aliyekunywa pombe ambayo ilikuwa bado kichwani, aliinama mkono mmoja alishika kitandani na mwingine kichwani. Sikutaka kumpa nafasi nilimsimamisha na kumfunga upande wa kanga. Huwezi kuamini nilivyokuwa nimechoka bila kuelekezwa na Bi Shuu nisingeweza kuyafanya yale. Maji ya baridi niliyojimwagia ndiyo yaliyonipa nguvu, nilimshika mkono mpaka bafuni ambako nilikuta tayari Bi Shuu ameisha tayarisha maji ya baridi. Kwa kuwa nilijua ubaridi wa maji Mateja atauogopa nilipomtoa kanga nimwagia kwa kumshtukiza kama makopo mawili. Japo alilalamika lakini alinieleza kweli maji yale yameupa tena nguvu mwili wake. Alimuongeza maji mengine na kuufanya mwilini wake uchangamke zaidi. Alipomaliza kujimwagia maji ya baridi tulirudi ndani, sikuamini macho yangu kukuta Bi Shuu amekwisha andaa chakula mezani kukiwa na kila kitu. Muda wa Mateja kujimwagia maji, yeye aliutumia kuandaa chakula. Yaani sijui niseme nini, nimekutana na watu wengi lakini Bi Shuu kiboko. Japo usiku ulikuwa mkubwa lakini mama wa watu hakulala alikwenda sambamba na mimi. Kilichonishangaza baada ya mtinange na kupitiwa usingizi nilijiuliza yeye alikuwa wapi? Kama sisi tulilala kwa zaidi ya masaa matatu yeye muda huo alikuwa anafanya nini? Mateja baada ya kuona nilimsikia akisema. “Manka umejuaje kama nina njaa, maana hapa nahisi tumbo jeupe.” Kwa vile na mimi nilikuwa na njaa tulivamia wote mezani kukishambulia chakula kilichokuwa kimepikwa kwa ustadi wa hali ya juu na Bi Shuu. Tukiwa mezani baada ya kufunua kawa lililikuwa na maneno RAHA YA MUWASHO UKUNWE . Ajabu ya Mungu kawa lile lilionekana jipya halijawahi kutumika, baada ya kulifunua harufu nzuri ya chakula ilijaa puani mwetu. Nilimnawisha mikono kisha nilimkaribisha kama nimepika mie. “Karibu mpenzi.” “Asante,’” Mateja alijibu huku akijipakulia kwenye sahani yake, wakati anaweka kijiko cha kwanza nilisikia kitu kikigongwa dirishani. Ilionesha kuna kosa nimefanya. Nilinyanyuka haraka huku nikisema. “Samahani dear nakuja,” nilitoka nje na kukutana na Bi Shuu. “Vipi Bi Shuu?” “Manka nilikueleza nini?” “Kuhusu nini?” “Mwanaume kama mtoto asiguse kitu kazi yote ifanye wewe.” “Ulikuwa una maana gani?” “Asijipakulie, mpakulie ikiwezekana hata vijiko vya awali mlishe kisha mwache ale mwenyewe.” “Nimekulewa,” nilimjibu bila kusubiri maelezo mengine kumuwahi Mateja asijipakulie zaidi. Nilipofika nilikuta ndio anataka kuongeza kijiko cha tatu. Nilikidaka kijiko na kusema. “Mpenzi kwa nini usumbuke wakati nipo.” “Aah, si kila kitu ukifanye.” “Hapana wewe ni mgeni wangu, kila kitu mimi ndiye dereva.” “Haya mama.” Nilimpakulia chakula cha kiasi kisha nilimuwekea mchuzi na kipande cha ndizi, tonge la kwanza nililikusanya kisha nilimlisha huku nikiweka mkono chini ya kidevu kuzuia punje ya wali isianguke. Baada ya kulisha nilimsubiri atafune ili nimuongeze tonge lingine nami nianze kula. Baada ya kutafuna kwa muda nilimsikia aliguna kitu kilichonitisha na kuwa na wasi wasi huenda chakula si kizuri. “Vipi mpenzi?” “Mmh, chakula kitamu kweli kweli, sijawahi kula chakula kitamu kama hiki, kama nikikuoa na kula hivi kila siku nitenenepa mlangoni nitakuwa sipiti.” “Asante mume wangu,” nilijibu makusudi, moyoni niliisifia kazi nzuri ya Bi Shuu. “Manka,” Mateja aliniita huku akivuta glasi ya maji iliyokuwa pembeni. “Abee.” “Manka mbona leo naona kama nipo ndotoni?” “Kivipi?” “Mbona siku za nyuma hukunifanyia mambo kama haya, mapenzi ya ukweli na chakula kitamu kweli kweli.” “Vimeungwa.” “Una maana gani?” “Mateja mimi ni Manka mpya.” “Una maana gani?” “Ulichokiona kazi kubwa ya Bi Shuu.” “Bado umeniacha njia panda Bi Shuu amefanya nini?” Nilimuelezea bila kumficha kazi kubwa ya Bi Shuu kuniunga na leo kuvionjwa akaviona vitamu. “Upo hapo baba?” “Mmh, nimekubali kweli aliomba likizo yenye mafanikio.” “Basi habari ndio hiyo.” Baada ya chakula tulirudi kuoga tena kisha tulipanda kitandani kulala hakuna aliyekuwa na hamu na mwenzake tulipeana migongo mpaka asubuhi. Mlio wa dirisha uliniamsha toka kwenye usingizi mzito, jicho langu lilitua kwenye saa ya ukutani kunionesha ni saa kumi na moja alfajiri. Nilijinyanyua kivivu na kwenda hadi mlangoni kumsikiliza Bi Shuu alitaka kunielaza nini, nilifungua mlango huku nikifikicha macho kutokana na kuzingirwa na usingizi ulioambatana na uchovu wa mwili. Nilikumbuka usiku wa jana nilitumia nguvu nyingi ili kumuonesha Mateja mimi ni nani. Nakumbuka kuna kipindi niliona kama chini nachochewa kuni jinsi moto ulivyokuwa ukiwaka. Lakini nilikumbuka maneno ya Bi Shuu sifa kubwa ya mwanamke kwa mwanaume ni uvumilivu na kutokukubali kushindwa mapema hata siku ya kwanza unapotaka kuandika CV. Baada ya kufungua mlango nilikutana na Bi Shuu akiwa na upande wa shuka. “Shikamoo Bi Shuu.” “Marahaba mama Shughuli.” “Mmh! Bi Shuu jina gani tena hilo.” “Kwani uongo shughuli unaiweza, mwana wewe temea chini.” “Aii jamani,” nilijikuta nikiona aibu kwa kujua kila nilichokifanya Bi Shuu alikiona ‘live’ bila chenga. “Sasa Manka sicho nilichokuamshia, vipi ushampa cha alfajiri?” “Kipi hicho?” “Ooh, kweli hili sikukuelekeza, raha ya mapenzi ukilala na mwanaume mpe cha asubuhi ili kiwachangamshe, kijasho kikiwatoka mkaoge mjiandae kwenda kazini.” “Si tutachoka sana.” “Uchoke nini, hiyo sawa na kuzimua baada ya kulala na hang over asubuhi ukizimua unajiona sawa hata uzito wa kichwa unapotea sawa na kupata cha asubuhi.” “Mmh! Sawa wacha basi nifanye hivyo.” Niliagana na Bi Shuu na kurudi ndani, Mateja alikuwa bado amelala nilimshtua kwa kumpa mshikemshike wa kuvamia shamba lake kwa kuufukua muhogo taratibu kitu kilichomshtua kunikuta nipo shambani na tayari muhogo nilikuwa nimeisha ufukua upo mkononi. “Vipi mpenzi?” aliniuliza kwa sauti ya usingizi. “Kawaida tu.” “Niache nilale nimechoka.” “Kumekucha mpenzi tunazimua kisha tunakwenda kuoga.” ITAENDELEA ... Read More
*MWAGIA HUM HUMO EP 01* ```NEW NEW NEW NEW NEW``` V. _BY ADMIN MODDY_ Sehemu Ya Kwanza (1) Toka nimezaliwa nimekuwa mwanamke mwenye mkosi kila mpenzi wangu mwanzo wa mapenzi yalikuwa motomoto. Lakini baada ya muda fulani mwanaume alinimwaga bila sababu za msingi. Kila siku ya Mungu nilishindwa kuelewa nina matizo gani mtoto wa kike miye. Kibaya zaidi ndoa niliyofunga miezi minne iliyopita ilivunjika huku mpenzi wangu akipagawa na penzi la nje. Jamani mbona makubwa, huyo mwanamke aliyenivunjia ndoa yangu hata mkonioni hajai, hanizidi kwa lolote si kwa sura wala umbile. Niliamini maneno ya watu huenda yule mwanamke ni mchawi. Kitendo cha ndoa yangu kuvunjika na historia yangu ya nyuma ya kuachwa kwenye mataa na wanaume kiasi cha kugeuzwa jina ubao wa shabaha kila mwanaume kujifunza kulenga kwangu na akichoka hiondoka bila kwaheri. Bahati niliyokuwa nayo mwanaume yeyote aliyenitaka, yupo radhi kunihonga hata milioni ili mradi anipate, Mungu alijilalia umbile na sura lakini niliamini kuna kitu kikubwa kimepungua kwangu kinachofanya wanaume wanikimbie. Kwani moto anaoanza nao mwanaume kama maji ya moto lakini baada ya muda hupoa. Lakini hachelewi kupoa, wapo niliokaa nao mwezi mwili, mitatu , wiki na wengine wakionja hawarudi tena. Kuna watu walionifuata na kunieleza labda niende kwa waganga wa kienyeji ili nisafishwe nyota yangu. Ushauri ule niliufuata baada ya kutumia dawa zile sikuchelewa kupata bwana aliyetangaza ndoa kabisa. Lakini baada ya miezi minne ndoa yangu ilivunjika, kitendo kile kilinitia aibu, yote ya kuchezewa na wanaume na kuachwa ilikuwa tisa, kumi ilikuwa kuachwa bila sababu huku mume wangu akizama kwenye penzi ya kinyago msela mwanamke asiye na mbele wala nyuma. Kitendo kile kilinidhalilisha sana, sikuweza kuvumilia bila kujieleza siku ya pili nilipanda gari mpaka Dar na kufikia kwa rafiki yangu niliyekuwa nasomanaye shule moja ambaye baada ya kumaliza shule alikwenda Dar kutafuta maisha na baadaye alinieleza amepata chumba tena anafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi. Kwa vile nilikuwa na siku yake nilipomjulisha nakwenda Dar hakunikatalia Nilipanda basi hadi Dar. Baada ya kufika nilikaa mwa muda wa mwezi mmoja na kunitafutia kibarua katika kiwanda kimoja, ajabu msimamizi alinizimikia na kuanzisha mahusiano na mimi. Kwa vile kila mmoja alikuwa na ujiko kuwa na uhusiano na bosi basin a mimi nilimkubalia. Kama kawaida haikuchukua hata mwezi akanimwaga na kashfa nyingi kwamba heri atembee na mwanaume mwenzake kuliko kulala na mimi. Kwa kweli kitendo kile kilizidi kunidhalilisha na kuniweka kwenye wakati mgumu, kibaya kila mwanaume niliyekuwa nakutana naye na kuniacha hakunieleza tatizo langu. Kwa kweli niliumia sana na kuamua kuacha kazi, niliapa sitakuwa tayari kufanya kazi wala kuanzisha uhusiano na mwanaume yeyote. Baada ya shoga yangu kupata bwana ilinibidi nihame kwa kutafutiwa chumba sehemu za uswahili kwa bibi mmoja maarufu pale mtaani Bi Shuu, ni bibi wa miaka 55 lakini mambo yake temea chini. Bibi yule alinilea kama mwanaye wa kuzaa hata kodi yangu hakuitaka. Kuhamia kwa Bi Shuu nilijikuta nikiingia dunia nyingine kabisa, kweli nimekubali tembea uone mambo, ningekaa Arusha ningeyajua haya. Nazidi kukubali kweli vikiungwa vitamu, tena mtu ataomba aongezwe na akimaliza kula lazima ajilambe vidole. Najua una hamu kuvijua hivyo vitamu vilivyo ungwa mpaka watu wakajilamba, Naomba twende pamoja tuipate wote faida ya kuwa karibu na makungwi kama Bi Shuu. ******** Katika mambo niliyokuwa siyapendi katika maisha yangu ni pamoja na kusumbuliwa na mwanaume wakati wa kilimo cha mhogo. Ooh! Inama, mara jipinde hivi, mara geuka hivi. Siku zote nilijiuliza kwani bila kukusumbua hivyo mwanaume hawezi kufikisha mzigo wake. Kitendo cha kijana huyu ambaye alinipata kupitia kwa Bi Shuu kutaka kunisumbua kilinikera sana. “Manka mbona hivyo sasa raha ya mapenzi ipo wapi?” “Nimesema sifanyi unavyotaka, sipo kwenye mazoezi ya yoga hapa kama huwezi hivi, vaa nguo zako ondoka, ” nilisema kwa ukali bila kumuangalia nyuma yangu alipokuwa amekaa. “Lakini Man…,” “Ee..ee..eeh, nasema hivi kwani tatizo nini bila hivyo unavyotaka hufiki safari yako?” Nilimkata kauli Edward. “Manka raha ya chakula ubadili mapishi mchele mmoja lakini una mapishi zaidi ya kumi.” “Kwani huo mchele ukipika bila kubadili mapishi hauivi?” “Lakini Manka kuna tatizo gani kufanya ninavyotaka, sema niongeze kiasi gani ukubaliane na mimi ili nami nifaidi raha ya mapenzi?” “Kaka eeh! Mimi sio chombo cha mazoezi, mlango huoo, unaweza kuondoka hukuitwa na mtu chumba changu mwili wangu eeh.” Yule kijana alipandwa na hasira, alinyanyuka na kupitia suruali yake na kutoka bila kuaga, nilifyonza na kujilaza huku nikinyanyuka na kupitia upande wa kanga na kujifunga kisha nilirudi kujilaza kitandani. Nilijikuta nikipandwa na ghadhabu kitendo cha Bi Shuu kunitafutia wanaume na kugawana kitakacho patikana. Nilijikuta nikijiona nimekataa nini na ninafanya nini. Sikuwa na tofauti na wale wanawake wanaojiuza kwenye vyumba vyao kwa wanaume kupanga foleni. Japo kwangu haikuwa hivyo, mimi ilikuwa naitwa na Bi Shuu na kuelezwa juu ya kijana kunipenda na kuwa mtu wangu wa karibu wakati mambo yangu hayajawa mazuri. Lakini kila mvulana aliyekuja baada ya kunionja hakurudi tena, lakini wa leo yeye alikuwa tofauti na waliotangulia, alikuwa mwanaume msumbufu ambaye sikukubaliana naye. Baada ya kuondoka nikiwa bado nimejilaza katika vazi la kanga moja Bi Shuu aliingia chumbani kwangu kama askari aliyevamia chumba cha jambazi. Sikushtuka niligeuza shingo na kumtizama, mama mtu mzima asiye na haya wala kujua vibaya kunigeuza kitega uchumi chake. Japo alinisaidia vitu vingi kama chakula na matumizi madogo madogo ninapokwama kipindi kila nilipoacha kazi bila kujua hatima ya maisha yangu. Akiwa amenisimamia pembeni ya kitanda changu kama jini la kutumwa huku akinikata jicho kali ambalo hakuwahi kulionesha kwangu. Nilijikuta nikishtuka na kujiuliza kulikoni kuniijia kama shetani wa kutumwa. “Manka,” aliniita jina langu. “Abee.” “Unataka msaada gani kwangu?” “Upi huo?” nilimuuliza huku nikaa kitako. “Kila kijana ninayemleta kwako anaondoka bila kuaga tatizo nini?” “Kwani wao wamekueleza nini?” “Hakuna hata mtu wa kuelezea kitu zaidi ya kuondoka bila kuaga, kwani kuna tatizo gani?” “Kwangu sina, labda wao.” “Kwa mtindo huu, hali itakuwa ngumu si muda utageuka mzigo wa moto usioshikika wala kubebeka.” Mmh! Nilijua nimenyea kambi, nilijiuliza kama Bi Shuu kama ataniona mzigo sikujua nitakwenda wapi. Kurudi Arusha sikuwa tayari, kuendelea kulipiwa chumba na shoga yangu niliona aibu baada ya kujitoa kwake, lakini ningefanya nini katika mji wa watu. “Kwa mtindo huo kuanzia mwezi ujao utalipa kodi,” Bi Shuu aliniambia kwa sauti kavu. “Bi Shuu, nitatoa wapi pesa za kodi nami kazi sina.” “Kazi huna au hutaki kazi.” “Kazi za kudhalilishana hata siwezi.” “Kipi cha ajabu dunia ya leo, Mungu amekupa vitumie.” “Navitumia lakini sina bahati.” “Basi habari ndiyo hiyo, mwezi ujao utalipa kodi, la huna rudisha chumba changu.” “Bi Shuu, lakini si wewe ndiye uliyemkataza shoga yangu kuwa aache kulipia kodi nitaishi nawe kama mwanao?” “Mwanangu gani asiye na msaada, mimi na mzee wangu ninatulia na mwanaume akionja lazima arudie na akimaliza sharti ajilambe.” “Sasa mimi nimekataa mwanaume gani, wenyewe ndiyo wananikataa.” “Basi utakuwa na kasoro ambayo unaificha, lakini nitaijua muda si mrefu.” Bi Shuu alisema huku akitoka nje, nilibakia nimejilaza kitandani nikiwa na mawazo mengi juu ya mapungufu yangu kwa wanaume, kufikia hatua kila mwanaume akionja harudii tena. Kingine kilichonichanganya ni kulipa kodi na kazi sina, nilishangaa Bi Shuu kunigeuka kama kinyonga. Nikiwa katikati ya mawazo nilisikia hodi ikigongwa chumbani kwangu. “Pita mlango u wazi,” nilipaza sauti kumruhusu anayegonga aingie. Mlango ulifunguliwa na mtu aliingia, ha! Kumbe alikuwa shoga yangu Mage. “Aah, Mage umenikumbuka leo.” “Ni kweli Manka, vipi mbona ka.a.maaa?” Nilijua kuna hali ilimfanya aingie wasiwasi, nilishukuru Mage hakumkuta yule mwanaume alikwisha nionya nisikubali kuugeuza mwili wangu kitega uchumi na kunieleza ninapozidiwa kimaisha nikimbilie kwake. Lakini niliona aibu motto wa kime niliye kamilika kuomba kwa mtu kila siku. “Hamna kitu, nilikuwa nataka kwenda kuoga,” nilidanganya. “Ni hivi shoga yangu, shemeji yako amekupatia kazi kwenye kampuni moja kama secretary, si bado unakumbuka kutaipu kwa computer?” “Mmh muda, lakini sijasahau, labda wepesi.” “La muhimu uipate hiyo kazi, mengine yatajulikana humo humo.” “Nitashukuru shoga yangu.” “Na kazi yenyewe ni kesho asubuhi jiandae shemeji yako atakupitia, kesho asubuhi na kukupeleka kwenye hiyo kazi kisha atakwenda kazini kwake.” “Nashukuru shoga yangu kweli wewe ni ndugu wa damu” Nilimkumbatia Mage huku nikimuomba Mungu asitokee mwanaume atakaye nitaka kimapenzi. Niliamini hata kama nitamkataa huo utakuwa mwanzo wa kuchukiwa na mwisho wa siku kufukuzwa kazi. Lakini nilimuomba Mungu kabla ya kuianza hiyo kazi, aniepushe ni matamanio ya wanaume japo kila vazi nililovaa liliwaweka katika wakatii mgumu wanaume. Lakini nilimuomba Mungu usiku na mchana ili aniepushe na mataanio ya wanaume. &&&& Japo nilikuwa na furaha ya kupata kazi kwenye ofisi, lakini bado moyo wangu ulikosa raha kutokana na kuwa na bahati ya kupendwa lakini mkosi wa kuachwa. Lakini nilijipiza moyoni kuwa na msimamo wa kutojirahisi kwa wanaume yoyote. Baada ya taarifa zile shoga yangu aliondoka na kuniacha nikijipanga kwa ajili ya siku ya pili. Niliapa tena kutomkubalia mwanaume yoyote kimapenzi kutokana na kujijua nina kasoro ambayo sikuifahamu. Mwanzo nilikuwa nikisimama mbele ya kioo na kujiangalia niliona mwanamke mzuri kuliko wote. Hata nilipotipa mbele za watu, watu waliumia shingo kunitazama, wenye pesa waligongana. Nilimchagua niliyempenda lakini mwisho wa siku walinitema kama ganda la mua. Lakini sasa hivi hata kusimama mbele ya kioo naona udhia sikuwa na kipya, sikujua sababu ya mimi kugeuzwa mpira wa kona kila mmoja anataka kufunga na akifunga hana hamu tena na mimi. Nikiwa katika lindi la mawazo mara aliingia Bi Shuu bila hodi kama kawaida yake. Alipofika alisimama mbele yangu kama jini wa kutumwa, kwa sauti ya nyodo alisema. “Hivi Manka utaendelea kuwa tegemezi mpaka lini?” “Mbona sikuelewi Bi Shuu, mbona leo umenishupalia hivyo mtoto wa mwenzio?” Nilijikuta namtolea uvivu maana toka asubuhi amekuwa na mimi huku akizidi kunikosesha raha bila kosa. “Hujui?” Aliniuliza kwa jicho la kukata. ”Kujua nini Bi Shuu?” “Baada ya kukueleza ujitume katika maisha yako unaona nakuonea, badala yake unampigia simu shoga yake. Hujisikii aibu mwenzio ana maisha yake utaendelea kuomba mpaka lini?” Mmh, makubwa nilijikuta nikimshangaa Bi Shuu kwa kunishupalia kwa maneno bila sababu, hata bila kujua Mage alikuja kufanya nini yeye ananibwatukia. Au sababu nipo kwake kanigeuza mtoto wake. “Bi Shuu leo naona umeniamkia.” “Sijakuamkia bali nakupa makavu, chungu lakini dawa.” “Unajua shoga yangu kaniletea nini?” Nilimuuliza huku nikumtazama jicho kali. “Kuna kingine zaidi ya kukuletea ya pesa za kodi, hivi hujiulizi mwenzako anaishi vipi na mumewe muda wote na wewe kwa nini umekuwa kama ubao wa shabaha kila mwanaume akionja arudi una tatizo gani mtoto wewe wa kike?” “Lakini Bi Shuu, shoga yangu hakuleta pesa alikuja na mengine kabisa.” “Mankaaaa weweee, unataka kunidanganya mtu mzima mimi niliyeona jua kabla yako.” “Bi Shuu unanionea, shoga yangu hakuniletea hela.” “Haya nieleze amekuletea nini?” “Taarifa ya kazi.” “Kazi! Wapi?” “Kwenye kampuni ya rafiki ya mumewe.” “Mmh, kazi gani?” “Ya secretary wa bosi.” “Mmh, kama nakuona vile, kama kweli chumba utaendelea kukaa bure sitaki hata senti tano yako. Shida yangu kubwa ujishughulishe si kingine ndiyo maana hata hao wanaume niliwatafuta ili upate chochote na ikiwezekana upate mume miongoni mwao.” “Nashukuru Bi Shuuu, niombee niipate hiyo kazi.” “Si umesema kila kitu tayari?” “Eeh, pamoja na dua zako ni muhimu wewe ni mama yangu.” “Dua zangu zote kwako wala usiihofu utaipata.” Tulijikuta nimekuwa kitu kimoja tena kwa kuondoa tofauti za mwanzo, Bi Shuu alikenua mpaka gego la mwisho lilionekana baada ya taarifa zangu za kupata kazi. “Manka kaoge basi tuje tupate kifungua kinywa.” Nilikwenda kuoga na kuungana na Bi Shuu kupata kifungua kinywa, moyoni nilijiuliza bila kupata taarifa za kazi Bi Shuu angenifanya nini. Lakini nilimshukuru Mungu kwa muujiza alionifanyia wakati nilikuwa nimeisha kata tamaa. ******* Usiku kabla ya kulala nilitafuta nguo nzuri yenye heshima itakayofaa mbele ya macho ya watu. Kuhusu umbile na sura Mungu alinipendelea lakini sijui alininyima nini mwilini kiasi cha kuonekana Big G za Kichina ukitafuna kidogo utamu umekwisha. Baada ya kuchagua suti rangi ya bluu, niliinyoosha vizuri na viatu vyangu ambavyo nilivipiga kiwi tangu mchana niliviweka vizuri na kupanda kitandani. Saa kumi na mbili nilikuwa tayari nipo bafuni naoga, baada ya kuoga wakati najipamba mlango uligongwa. Nilijua shemeji amefika, kumbe alikuwa Bi Shuu nilipomuona nilitabasamu na kumkaribisha. “Bi Shuu karibu, mbona asubuhi?” “Hakuna cha ajabu, umeamkaje?” “Mmh, salama shikamoo.” “Marahaba, umeisha jipamba?” “Ndiyo Bi Shuu.” “Njoo mara moja.” Nilitoka hadi chumbani kwake, nilipofika nilikutana na kitezo kilichokuwa kikifuka moshi uliokuwa na harufu nzuri. Nilijiuliza vitu vile alivifanya wakati gani na alimfanyia nani au mimi. Nikiwa nimesimama nisijue alichoniitia aliniambia. “Manka chutama kwenye kitezo hicho,” mmh, makubwa madogo yana nafuu, nilifanya kama alivyoniagiza. Baada ya kuchutaka alitoa udi kwenye karatasi na kuuongeza kwenye makaa ya moto, baada ya kuuweka ulianza kutoa moshi wenye manukato mazuri. Alinipa shuka nijifushe, niliuinamia ule moshi ulionifanya ninukie kila kona ya mwili. Baada ya kujifusha alinieleza niufunike ule moshi na sketi kwa kuchutama moshi wote uliingia chini. Mtoto wa kike nilinukia kama malkia wa Kihindi, baada ya kuhakikisha nanukia kila kona alinipa pafyumu ambayo sikuwahi kuiona na kunipulizuia kidogo na mwisho alinipa wanjaa mwembamba kwa kunisaidia kunipaka. Kwa kweli nilipendeza mtoto wa kike. “Manka leo mwanangu umependeza,” Bi Shuu alinisifia. “Asante.” Wakati huo shemeji alikuwa amefika kwa kupiga hoi, kabla ya kuondoka Bi Shuu alinipa usia. “Manka Mungu kakujalia kila kitu alichotakiwa kuwa nacho mtoto wa kike, kama ningekuwa mtoto wa kiume ningekupata kwa gharama yoyote. Sasa usiwe macho juu. Hii inaweza kuwa nafasi ya pekee kupata bwana aliye bora ambaye atakuwa mumeo. Itumie nafasi yako vizuri, kazi njema.” “Asante, pia nimekusikia Bi Shuu yote nitayafanyia kazi.” “Basi kazi njema mmmwa.” Kwa mara ya kwanza Bi shuu alinibusu kuonesha furaha ya ajabu moyoni mwake. Baada ya kuachana na Bi Shuu alikwenda chumbani kwangu kupitia mkoba wangu kisha niliifuata gari aliyokuja nayo shemeji. Shemeji aliponiona tu alitanguliza sifa. “Hakika mke wangu umependeza.” “Asante mume wangu.” “Kwa mtindo huu nisije ibiwa tu.” “Ni wewe tu mume wangu, haya ni mapambo lakini upendo wangu kwako upo moyoni.” Nilijibu shemeji huku nikiingia ndani ya gari. Gari liliondoka huku utuli niliojinyunyizia ukitalawa ndani ya gari, baada ya kujuliana hali na shemeji aliniuliza maswali mawili matatu. “Mmh, shemu ulikuwa unaishije bila kazi maana mwenzio aliniambia siku hizi huchukui huduma?” “Bi Shuu kwa kweli alinilea kama mtoto wake.” “Sasa ungekaa kumtegemea mpaka lini?” “Ndiyo hivyo kazi zenyewe kila mtu anakutaka kimapenzi ukiwanyima inakuwa kero, nitawakubali wangapi?” “Ooh, pole.” “Sasa ni hivi kampuni ni ya rafiki yangu kipenzi hivyo nakuomba ujiheshimu ili kunilindia heshima yangu.” “Nakuahidi shemeji kujiheshimu.” “Itakuwa vizuri.” Tulipofika kwenye kampuni ya rafiki ya shemu tulitelemka na kuingia ndani, tulipofika tulipokelewa. Muda ule Mkurugenzi alikuwa hajafika tulikaribishwa kwenye makochi. Baada ya dakika kumi aliingia alipomuona shemeji walisalimiana kwa kukumbatiana. “Ooh, Aloys karibu sana.” “Asante Mr Shaka .” “Samahanini kwa kuchelewa.” “Bila samahani hatujafika muda mrefu.” “Basi karibuni ofisini.” Tuliongozana naye hadi ofisini kwake, mmh lilikuwa bonge la ofisi ambalo sikuwahi kuwaza kuingia katika ofisi kama ile. Nilibakia nang’aa macho mtoto wa kike kwa ushamba. Lakini niliuficha ushamba wangu, baada ya kutulia tuli kitini mwenyeji wetu ambaye nilimfahamu jina kwa kumsikia akiitwa na shemu Mr Shaka alikuwa akipitia vitu muhimu mezani kabla ya kutugeukia. “Mhu, Mista lete habari?” “Habari nzuri, huyu ndiye shemeji yangu,” alisema huku akinigeukia. “Ooh, mrembo kwanza nilisahau kukusalinia, za asubuhi?” “Nzuri tu.” “Pia hongera umependeza” ‘Asante.” “Basi kama ulivyoelezwa kazi ipo na unatakiwa kuianza mara moja, wala usihofu ugeni ila nitakuwa nawe pamoja muda wote.” “Nitashukuru kwa hilo.” Baada ya kupokelewa kazini shemeji aliaga na kuniacha kwenye kazi yangu mpya, baada ya kuondoka nilibaki nimeinama chini kama mwanamwali. Pamoja na ukali wa Bi Shuu bado alinipa mafunzo kwa mtoto wa kike kuinamisha macho mbele ya mwanaume. “samahani mrembo unaitwa nani” “Manka” “Manka nani Kileo” “Jina zuri” “Asante.” Mr Mateja alinyanyuka na kunishika mkono huku akisema. “Hebu njoo uanze kazi mama.” Alinipeleka katika computer iliyokuwa nje ya ofisi yake ilikuwa imekaa vizuri sana. “Basi hapa kuanzia leo ndio ofisi kwako.” “Nashukuru sana” Alinionesha kazi za kufanya siku ile, kabla ya kuanza nilijitetea. “Lakini bosi ni muda mrefu sijafanya kazi hivyo lazima nitakuwa mzito.” “Usihofu kwa hilo fanya kwa uwezo wako,” pia alinielekeza kutumia simu nikiwa nana shida ame nimelaliza kazi bila kumfuata ofisini kwake. “Asante bosi,” nilishukuru kwa upole na ukarimu wa bosi “Niite Mr Mateja” “Sawa Mr Mateja” “Nakutakia kazi njema.” “Nawewe pia” Baada ya kuondoka niiliingia kwenye kazi ya kuchapa kazi zilizokuwa wenye meza yangu. Hazikuwa kazi ngumu sana nilizifanya kwa muda mfupi sikuwa nimepoteza kasi ya mikono kihivyoo. Baada ya kuchapa kazi niliyopewa, niliziprinti kwenye karatasi na kuzipiga pini kisha nilimpelekea ofini. Nilimkuta bosi macho yapo kwenye monitor ya computer, nilimuona alinyanyua macho kunitazama. Aliponiona aliachia tabasamu pana, nakiri kuwa bosi wangu Mr Shaka alikuwa mwanaume mtanashati tena mwenye umbile la mvuto kwa mwanamke yoyote. Kule kutabasamu kwake kuliniweka katika wakati mgumu sana kwa kumuomba Mungu aniepushe na shetani wa upendo. Niliamini kama akinitaka kimapenzi jibu la sitaki litakosekana mdomoni mwangu, lakini nilipiga moyo konde kufuata kilichonipeleka ofisini kwa bosi. “Manka karibu.” “Asante bosi, kazi iliyokuwa na haraka nayo tayari.” “Ooh, vizuri sana sikutegemea ungeifanya kwa muda mfupi hivi.” “Najitahidi japo nilikuwa na muda mrefu sijagusa computer,” nilimjibu huku nikimkabidhi kalatasi, nami nikiachia tabasamu pana ambayo huogopa kuitoa kwa wanaume ili kuepusha ungongano wa mawazo. Ilikuwa ugonjwa wa wanaume kila ninapotabasamu mashavu huweka visima ‘dimples’ wanaume wengi ulikuwa uchawi mkubwa kwao. Kila mwanaume niliyekutana naye alipenda kunifurahisha ili aone madhari mantashau ya mashavu yangu. ITAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TANO (15) & (16) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ endelea sasa aligeuka na kuniludia kwa kasi ya ajabu. Nilimdaka na kumweka stairi ya mbuzi kagoma kwenda nilibinya binya mpododo wake taratibu Sophi alianza kutoa sauti fulani yaani zilizidi kuniongeza mzuka. Nikazidisha kumpampu mtoto nasma kwa udambwi dambwi wa hali ya juu. nasma aliaanza kutoa maneno ambayo hata mingine sikuyaelewa. Nilizidi kumpeleka moto moto, niliona ndio dawa ya wanawake wa aina hii wanao taka kunikomoa tena kibaya zaidi alinipa kidonge yeye mwenyewe. Niliendelea kujisemea kimoyo moyo wakati naendelea na zoezi langu nasna alizidi kulalamika. Ooh.. uhiiiiii… ahaaa! utamu utamu unakuja uwi… uwi.. ahaa! baby nasma aliita baby..baby! hata zisiokuwa na idadi nilimpelekea moto tu yaani bandika bandua Mtoto mwenyewe akaomba poo! Ooh… baby inatosha nilimsikia nasma akisema nikaona mmh! itakuwa imekolea hata rudi tena kunisumbua. “nasma nasma vipi mbona kimya? niliamua kumuuliza maana niliona yupo kimya kwa muda kidogo tangia twende mapumziko. “Hapana kenny yaani” “Yaani nini? nasma. “Raha zako tu zinanipagawisha” “Zinakupagawisha? “Ndio baby yaani umemzidi hata mjomba wako” “We.. Sophi acha zako” “kwa iyo umesha wai kulala ma mjomba ""kumbe hujui mjomba wako kalala na watu wote humu ndani"" unamaanisha kalala hadi na errycah......? "ndio tena ndo aliyetoa bikra lakini errycah hajui aliye mtoa bikra ni baba yake mzazi" mungu wangu ni laana ya aina gani mtu kulala na mtoto wake nilimuuliza nasna.kwaiyo na nyie amewalala niliiuliza jibu ambalo teali nilisha pewa. tuachane na hayo mambo yote yapo kwenye kile chumba cha siri ambacho funguo take hiii apa. alinikabidhi lakini hapo hapo nika muuliza. "umeipata vipi" akaniambia "mjomba wako wakati anaingia amesha zoea kunikumbatia. nikatumia mda huo huo kumchomolea ufunguo hakika sikuachi na kesho nakuja tena” “nasma usifanye hivyo mimi sihitaji kesi” “Kesi gani? tena” “Mimi nataka raha zako usinizingue” Alinitisha kidogo Nasma ila mtoto wa kiume kwa vile nishakutana na mabalaha yeye anaiga, nilichomjibu usijali nilimwambia tu awe makini asinifanye nikimbie mji.mana mjomba katika watu anao wakubali nasma namba moja Niliongea nae mengi nasma huku akiwa. kifuani anachezea chezea chezea garden love. Yaani sikuwa nyuma kwa namna vile alivyokuwa ananichezea. aliniamsha mpini wangu na ulishaanza kunyanyuka kutafuta shamba lililipo. Mmh… ahaaa! Nasma wewe ahaa.. niligumia kwa utamu nilio usikia kumwongeza nae hamu iliturudi tena uwanjani maana wangu mpini ulikuwa unatafuta pakulima tena. Mtoto alizidi kunichezea we nami sikubaki nyuma hata kidogo. nika chomeka dude langu kwenye kitumbua chake. "oooooh aaaah oooh tia yoteeee aaah shhhhhh oooh oopps."alizidi kutoa miguno ya raha. Nikaanza ingiza toa ingiza toa mchezo ulininoga hadi nasma akaanza kuropoka maneno ya ajabu kiswahili si kiswahili kingereza sio sijui lugha gani tu yote utamu wa dude, nilipenda uwajibikaji wa nasma alikiwa anakiuno kama cha verasidika anakizungusha kwa kunatana hali iliyo nipelekea kutoa wazungu wangu ooooooooooohh,,,,,,!!! mmmmmhhh oooooooosssshhhh ""****** niligugumia kwa utamu nilio upata. lakini nilishangaa kuona mjomba bado amesimama vile vile kumaanisha bado anahitaji mchezo...... isome simulizii hii mpaka mwisho kwa sh 2000 tu 0744204283 ni follow instagram @chas360tz tembelea mtandao wetu www.chas360tz.com SEHEMU YA 16 endelea sasa " kenny mi naenda kulala naona leo mjomba wako lazima aje chumbani kwetu.acha niwai mana hua ana tulala wote wawili" kitendo kile kiliniuma sana nika muuliza kwani kitu gani kinawafanya mpaka mdhalilike ivyo alinijibu mshahala wetu ni milioni 1 na laki tatu kwa mwezi sasa tutaachaje ukiangalia nyumbani kwetu hali ngumu tunasomesha wadogo zetu" nika mtwanga swali kwani wewe na husna ni ndugu "akasema ndio kwani hutuoni tulivyo fanana Mimi na yeye ni mapacha nadhani ndio sababu inayo tufanya mjomba wako atu ng'ang'anie hapa mana alianza kulala na sisi kipindi tuna miaka 13 alitutoa bikra zetu kwa siku moja hadi leo tuna miaka 18 na hulala na sisi kila ifikapo tarehe 6 mwezi wa 12 kila mwaka hata mkewake anatambua hilo" na kila tukilala nae tunapewa shi milioni 2 kila mtu tushazoea na saizi tunaona kawaida mana atafanya lakini haondoki nacho na hajawai kumwagia ndani na toka tulipo kuona tulivutika sana na wewe ndio mana tumekubali mimi na husna tu share penzi ila tunaomba usituache " alimaliza kutoa hayo maelezo huku machozi yakimlenga lenga naomba usije ukamwambia mtu juu ya hiki tulichokifanya nafikili umenielewa" " ndiyo nasma " nilimjibu huku nikiwa najifunika shuka vizuri " kuanzia leo sitaki uniite nasma tukiwa wa wili tu sawa" "Sawa nimekuelewa" tulipomaliza kuongea nasma alitokazake na kuondoka akiniacha Mimi kitandani na kwakuwa nilikuwa nimechoka sana sikuchukua muda mrefu nikapiwa na usingizi mpaka asubuhi nilipostuka baada ya kuamshwa na errycah " we we hamka mbona umelala sana " " daaaah mmmmh naaamka " nilijibu huku nikijifikicha macho" " unajua umelala sana Leo ila pole Jana ulifanya kazi kubwa sana!!! kuzunguka nusu nyumba mpaka mama " " aaaah!!! samahani sana nimeshindwa kutunzia penzi lako " kasema umechoka sana nyumba nzima wameondoka tumebaki sisi tu" " mmmh poa kwaiyo tumebaki wawili tu??" " ndiyo mana baba akisha maliza kulala na husna na nasma lazima watoke waende bank akawape hela zao na wanaenda kuwaona wazazi wao tanga" errycah alinijibu huku akitoka chumbani kwangu " poa nakuja tuongee vizuri ngoja nikaoge" niliaamka nikaelekea bafuni kuoga nilipomaliza nilivaa singlendi na kipensi cha jinzi nikatoka nikaelekea sebreni nilipomkuta errycah akiniandalia kifungua kinywa kilikuwa ni chapati na rosti ya maini bila kusahau na chai ya maziwa nikanywa chai pale mpaka nikashiba kabisa nikasema leo ndio leo lazima nijue siri ya kile chumba. lakini errycah alikuja na kunivamia pale pale kwenye sofa Alianza kunila denda na Mimi nikampa ushilikiano na kwajinsi alivyokuwa na mapaja mazuri na ngozi laini alizidi kunipa msisimko.nikawa namuangalia nione kama kaongeza ujuzi kama wengine akavua kitop chake akabaki na sidilia huku viziwa vyake vikiwa vimechongoka kama mshale nikaanza kuvinyonya hapohapo kwenye sofa " mmmmh aaashhiiiii oooooh taaamu" alikuwa akitoa kilio cha hisia.huku na Mimi nikiendelea kunyonya maziwa yake huku mkono wangu wa kulia ukiwa kwenye kitumbua chake ukisugua kiharage mpaka nikahisi majimaji yamoto yakitoka " iiiiiiiiiiishhhhh baby mmmmh kweeeeliii" " tulia baby " nimwambia huku nikiendelea kunyonya viziwa vyake nikienda mpaka shingoni nikamlaza kwenye sofa vizuri nilipomlaza akalishika dudu langu akaliingiza kwenye kitumbua chake huku akilikatikia miuno nikaanza kupampu mdogo mdogo sikutaka kuwa na papara nikiwa napampu kama sitaki. " baby ngoja nikae hivi"aliniambia huku akikaa mkao unaoitwa mbuzi kagoma kwenda na kiuo chake kakibinua kama nyigu nikashika dudu laku nikaliingiza kwenye kitumbia chake japo lilikuwa likiingia kwa ugumu kutokana lilikuwa kubwa lakini liliingia loooote. " mmmmh aaaaaah oooooshoiii" kilikuwa ni kilio cha mtoto wakike huku akikatika viuno vilivyokuwa vikinipa msisimko wa kuendelea kupampu huku wowowo lake likijipiga kwenye mapaja yangu nilimplekesha mpaka nikaona anatoa machozi " mmmmh baby ingiza yote kumbe tamuuuuuui oooooshhhhiiioo" " mmmh baby kumbe mtamu hivi" nilimwambia mtoto huyu huku nikichomoa na kuchomeka mtoto alikuwa mtamu kiasi kwamba sikuchukua hata muda nikapiga goli langu moja huku nayeye akitangaza ushindi tulimaliza wote kwa furaha. " asante baby kwa penzi lako" " asante pia " nilimwambia binamu huku nikimalizia kufunga zipu ya kipensi changu. " asante mana sasa nimekujua vizuri ulivyo" " kivipi "nilimuuliza " unajua Jana wakati mna sex na husna niliwasikia kila kitu na lijua vingi sana kumbe baba yangu ndie aliye nifanyia unyama wa kunitoa bikra yangu" " inamana jana ulisikia kila kitu" " ndiyo tena naomba kama ikiwezekana utuoe wote wa NNE mana sote tunakupenda." " mmmh jamani nitawezaje kuwaoa wote wanne?" " ndiyo hivyo mana leo asubuhi tume kutana wote tume kubaliana tupo teali tuolewe na wewe" "nilibaki kimya kwa mda nikamwambia twende basi kwenye chumba cha sili tujue mbivu na mbichi"............. je walifanikiwa kuingia chumba cha siri Mimi na wewe hatujui tukutane sehemu ya 17 like page yetu sasa share kama tupo pamoja....... ... Read More
Story......... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Nne (4) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp... 0769673145 ilipoishia....... Kwa upande wa kina zaza usiku ule ule walianza kupanga mikakati ya kumteka Frank na kwenda kumtupa mbali kabisa na jiji la dar es salam. Lakini hii ilikuwa kazi ngumu Sana ambayo walihitaji pesa za kutosha na pia wachore ramani ya sehemu watakayoenda kumtupa Frank. .......... Endelea........... Zaza pamoja na wenzake waliumiza kichwa, na hatimaye mmoja wao akapata wazo ambalo moja kwa moja aliliweka hadharani kwa wenzake ili waweze kulifikiria kama ni wazo zuri. " mimi nina watu wangu nawafahamu, ni watu wazuri sana Katika kazi hizi hata kuua kwao ni kitu kidogo tu, hivyo naona tuwape hili dili warusaidie. " aliongea kijana huyo akiwasilisha Wazo Lake. " Wazo zuri Sana mi naungana na wewe moja kwa moja Sasa inabidi utueleze tunawapataje hao watu. " akaongea zaza kumuuga mkono kijana yule. " ninafahamu makao yao kama vip tuongozane mpaka kwao." akaongea kijana yule, na moja kwa moja zaza pamoja na wenzake wakanyanyuka na kuingia kwenye gari Lao na kuanza safari ya kuelekea kwa watu hao. Hapakuwa mbali Sana na sehemu waliyokuwepo, hivyo baada ya dakika chache waliwasili sehemu hiyo. Wakashuka kwenye gari na kubisha hodi kwenye nyumba kubwa iliyokuwa mbele yao. Hakuna mtu aliyewaitikia ndani ya dakika tano wakiwa bado wapo pale mlangoni, lakini ghafla walishtukia wamezungukwa kila sehemu na watu wasiopungua kumi huku wakiwa na bunduki kila mmoja. "mko chini ya ulinzi mikono juu na mjitambulishe nyie ni nani." ikasikika sauti ikiwaamuru wakina zaza. "zaza pamoja na wenzake walitiii na kuweka mikono juu, Kisha zaza akajitambulisha kwa niaba ya wenzake. Zaza pamoja na wenzake walieleweka vizuri Kisha wale watu wakashusha silaha zao chini na kuwakaribisha wakina zaza Katika jumba Lao. " Elezeni shida yenu hatuna muda wa kuangaliana hapa." ikasikika sauti ikiwaambia wakina zaza. Zaza bila kusita alianza kuelezea mipango ya kumteka Frank na kuwataka wao wakawasaidie tu kumtupa mbali na jiji la dar es salam. "hiyo ni kazi ndogo Sana lakini inahitaji pesa kiasi cha shilingi million kumi." ikasikika tena Ile sauti ikiwaambia wakina zaza. "pesa si tatizo pesa Zipo za kutosha." akajibu zaza. "bas vizuri Sana tutawaelekeza namna ya kutupatia hizo pesa alafu mtatuletea huyo kijana mtuachie tumfanyie kazi." ikasema sauti ile. "hamna shida." akajibu zaza. Na muda huo wakapewa maelekezo namna ya kuwaingizia pesa zao, na bila kupoteza muda. Zaza pamoja na wenzake waliondoka usiku ule ule na kuwasiliana mzee Joel na kuwajulisha kias cha pesa wanachohitaji kulitimiza zoezi la kumteka Frank. Mzee Joel wala hakujali kama pesa ile ni nyingi kias gani, yeye alichotaka ni kuwatenganisha Frank na mtoto wake Penina . Usiku ule ule mzee Joel aliweza kuwakabidhi wakina zaza pesa zile na kuwataka wakina zaza wampoteze kabisa Frank lakini wasijaribu kumuua. Zaza pamoja na wenzake nao walizifikisha pesa zile kwa kikosi kile ambacho waliwapa kazi ile ya kumpoteza Frank. Baada ya kuwakabidhi pesa zile, walikubaliana kuwa siku inayofuata wataifanya kazi hiyo kama ipasavyo.* Asubuhi na mapema siku iliyofuata Frank akiwa bado yupo kitandani alishtushwa na mlio wa simu yake ikiita. Frank aliichukua simu yake na alipoangalia mpigaji akakuta ni kipenzi chake Penina. Bila kusita Frank akaipokea simu ile. "my love umeamkaje?" ilisikika sauti nyororo ya Penina ikimuuliza Frank. "nimeamka salama mpenzi wangu sijui wewe?" akajibu Frank na kumuuliza Penina pia. "mimi pia nimeamka salama kabisa mpenzi, na nimekupigia simu asubuhi na mapema kwasababu nataka leo tukanywe Chai wawili." akajibu Penina na kumuambia Frank. "ooh usijali my dear nipo kwa ajili yako kwa lolote lile." akajibu Frank. "ok nakupitia sasa hivi." Penina akamwambia Frank na kukataa simu. Frank muda huo huo alitoka kitandani na kuanza kujiandaa haraka haraka. * Lakini wakati huo huo zaza akiwa na kikos chake walikuwa tayari wameshawasili nyumbani kwa kina Frank kwa ajili ya kutekeleza kazi waliyoagizwa. Frank akiwa tayari ameshajiandaa aliwaaga wazazi wake na kutoka nje ya kwa ajili ya kumsubiri mpenzi wake Penina. Baada ya Frank kutoka nje Bila kutarajia alijikuta anapigwa chuma ya kichwa na kudondoka chini na kuzimia. Na waliofanya kitendo kile hawakuwa wengine bali ni zaza pamoja na wenzake. Haraka haraka Frank alibebwa na kuwekwa kwenye gari yao Kisha gari likaondolewa sehemu ile kwa kasi ya ajabu. Na wakati huo huo Penina ndio alikuwa anawasili na akapishana na gari la kina zaza likiwa Katika mwendo mkali, lakini yeye Penina hakufahamu chochote kinachoendelea. Penina alipaki gari mbele ya nyumba ya kina Frank Kisha akashuka kwa mwendo wa madaha huku tabasumu tamu likiupamba uso wake na kuanza kuelekea ndani kwa kina Frank. "hodi hodi jamani mpaka ndani." ilisikika sauti ya Penina ikibisha hodi lakini muda huo akiwa tayari ameshaingia ndani. "baba na mama shikamooni." akasalimia Penina. "marahaba karibu uketi ." wakaitikia kwa pamoja wazazi wake Frank. "hata sikai jamani nimekuja kumchukua mtoto wenu." akajibu Penina. "yupo nje mbona anakusubiri hujamuona?" akauliza mama yake Frank kwa mshangao huku akitoka nje. "yupo nje mbona sijamuona?" Penina naye akauliza huku akiongozana na mama yake Frank mpaka nje. "mhhh yuko wapi Sasa hebu ngoja nimpigie simu." akasema Penina huku akitoa simu yake na kumpigia Frank. Simu ya Frank iliita bila kupokelewa na alipopiga Mara ya pili akakutana na sauti hii, "simu unayopiga haipatikana kwa sasa tafadhali jaribu tena baadae." Taratibu Penina alianza kunyongonyea na kupoteza tabasumu Lake zuri usoni mwake. "simu haipatikani mama hebu sikiliza." Penina akamwambia mama yake Frank huku akimuwekea simu sikion. "hee mbona makubwa jamani kaenda wapi Sasa huyu Mara hii tu katoka ndani? ." akauliza mama yake Frank huku akiwa ameshika kiuno. Penina naye alizidi kupiga simu bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Ilibidi mama yake Frank amwite baba yake Frank pamoja na Angel mdogo wake Frank ili wamtafute Frank kwa pamoja. * Gari ya kina zaza ikiwaa Katika mwendo mkali, zaza pamoja na wenzake walimfunga Frank miguu pamoja na mikono Kisha wakachukua kitambaa cheusi na kumfunga Frank usoni ili hata atakapozinduka asiweze kufanya chochote na pia asiweze kugundua sehemu anayopelekwa. Na Kisha simu yake ilipasuliwa kule ndani ya gari pale tu waliposikia ikipigwa na Penina. Moja kwa moja gari ile iliyombeba Frank iliwasili Katika jumba la kikosi kile ambacho wakina zaza walikubaliana nao kwenda kumtupa Frank mbali kabisa na jiji la dar es salam na kamwe asiweze kurudi tena. Baada ya kufikishwa hapo Frank alitolewa kwenye gari la kina zaza na kuwekwa kwenye gari lingine la kikosi kile kingine huku ndani ya gari lile kukiwa na vijana wengine wanne. Na wakati huo huo taratibu Frank alianza kurudiwa na fahamu Zake. Milango ya gari Ile aliyowekwa Frank ilifungwa, na Kisha gari likaanza kuondoka kwenda kumtupa Frank sehemu ambayo kamwe hatoweza kuonana tena na Penina. ........ Itaendelea ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya nane (8) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp....... 0769673145 Ilipoishia........ Lakini Sasa watu wale ambao walikuwa ni wakina Zaza hawakujua wanamfuata nani. Wazimu wa wazimu Nolan naye alifungua mlango na kutoka kwenye gari Lake na kuanza kuwafuata wakina Zaza bila kuwa na uoga wowote.* *************Endelea ********* Zaza pamoja na wenzake walishtuka kuona Nolan anashuka kwenye gari na kuona anawafuata bila wasi wasi wowote. Na baada ya sekunde chache Nolan alikuwa mbele yao. "mnataka nini mbona tunapotezeana Muda?" Nolan akawauliza wakina Zaza huku akiwa amesimama mbele yao. "hahahaaaa Nolan kwa siku ya leo huna bahati leo umeingia pabaya." akaongea zaza huku akimsogelea Nolan. "leo hakika tutakufunza adhabu." akaongea zaza na kumshushia Nolan fimbo ya mgongo, lakini kabla fimbo Ile haijamfikia Nolan aliidaka na kuivunja. Kitendo kile kilimshtua Zaza na kumfanya akasirike kwa fimbo yake kuvunjwa. Zaza alimrushia Nolan ngumi ya uso lakini nayo pia ilikingwa vizuri na Nolan. "acha kupoteza Muda wako kupigana na mimi hata mkiwa ishirini bado hamtaniweza." akaongea Nolan kumwambia Zaza. Lakini zaza hakusikia, akachomoa kisu na kutaka kumchoma Nolan cha tumbo, lakini Nolan alimkamata mkono ule wenye kisu Kisha akamtandika ngumi tatu tumboni za haraka haraka na Kisha akauosokota ule mkono wenye kisu na kuuvunja. Zaza alijikuta akipiga kelele kwa maumivu aliyoyapata. Wale vijana wengine kuona mkubwa amevunjwa mkono nao wakachomoa visu vyao na kuanza kumfuata Nolan kwa kasi. Nolan akawaangalia na kuwapigia hesabu za haraka haraka. "wewe nitakupiga teke la tumbo, wewe wa pili nitakupiga ngumi mbili za kichwa alafu wewe wa tatu na wa mwisho nitatukutoboa kwenye paja la mguu na kisu chako mwenyewe." hizo ni hesabu za haraka haraka ambazo Nolan aliwapigia vijana wale. Na wakati huo huo vijana wale walimkaribia Nolan, na kama Nolan alivyowapigia hesabu aliwafanya vile vile na kila mmoja akadondokea upande wake. "nyie ni kina nani na mnataka nini?" Nolan akamuuliza kijana mmoja kati ya wale wanne aliowapiga. "sijui hata sisi ni wakina nani" akajibu kijana yule. "nitakuvunja shingo jibu swali nililokuuliza." Nolan akamuamrisha kijana yule. "si nimesema sijui sisi ni wakina nani." akajibu kijana yule jibu hilo ambalo lilimpelekea apokee ngumi nzito ya uso kutoka kwa Nolan. Lakini kumbe wakati Nolan anamuhoji kijana yule, kulikuwa na mwanamke mmoja ambaye ni dereva wa kina Zaza yeye alibaki kwenye gari na Nolan hakumuona. Mwanamke yule alishuka kwenye gari taratibu akachomoa kisu chake na kuanza kumsogelea Nolan taratibu bila yeye kujua. Mwanamke yule alipofika sehemu ile aliyokuwa Nolan akimuhoji kijana yule alikinyanyua kisu chake juu kwa mikono miwili na kukusanya nguvu Zake zote na kuanza kuhesabu moja mpaka tatu kwa ajili ya kumshushia Nolan kisu kile cha kichwa. Nolan akiwa bado pale chini akimhoji kijana yule ghafla alishangaa kumuona kijana yule akianza kucheka, kumbe kijana yule alimuona yule Mwanamke ambaye ni mwenzao akijiandaa kummaliza Nolan. Lakini kucheka kwa yule kijana kulimfanya Nolan ahisi kitu. Lakini kidogo hivi Nolan aliona kivuli cha mtu pembeni yake, akageuka haraka kuangalia ni nini kipo nyuma, lakini Ile kugeuka Nolan alikutana na kisu kikija kwa kasi kichwani kwake. Nolan alipojaribu kukikwepa kisu alikuwa tayari ameshachelewa, lakini kwa bahati nzuri kisu kile hakikumpata Nolan kichwani, kwani Ile kugeuka nyuma kulimfanya alindishe kichwa kidogo hivyo kisu kile kikampata Nolan bega karibu na shingo. Nolan alisikia uchungu ambao hajawahi kusikia Katika maisha yake. Lakini mwanamke yule alidhamiria kummaliza Nolan, kwani alikichomoa kisu kile kwenye bega la Nolan na kukirudishia tena pale pale na kumfanya Nolan azidi kupiga kelele kwa maumivu aliyoyapata. Mwanamke yule alikichomoa tena kisu kile na kutaka kummaliza Sasa Nolan kwa kumkata shingo. Mwanamke yule alipotaka kumkata Nolan shingo, Nolan alijijaza licha maumivu aliyokuwa nayo alikikamata kisu. Lakini kwa kukimata kisu kile alijikuta akipokea teke Zito kutoka kwa yule yule Mwanamke na kutupwa mbali. Lakini kwa kupigwa teke lile ilikuwa kama vile Nolan ameamshwa kutoka usingizini. Nolan alinyanyuka na kusimama na kumtizama mwanamke yule huku akiapa lazima amuue. "umenipiga Sana hata wewe Sasa umeisha." akaongea Nolan na kuanza kutoka mbio kumfuata yule Mwanamke. Yule Mwanamke naye akatoka mbio na kuanza kumfuata Nolan huku akiwa na kisu chake mkononi. Walipokaribiana yule Mwanamke akaruka juu huku akiwa amekielekeza kisu kichwani kwa Nolan, Nolan kuona vile naye akaruka juu zaidi ya yule Mwanamke na kupita juu kidogo ya kichwa cha Mwanamke yule na kutua nyuma ya Mwanamke yule. Bila kupoteza hata sekunde moja Nolan aligeuka na kuruka juu na kurusha teke Zito ambalo lilimpata sawia kabisa Mwanamke yule la kichwa na kumuweka chini. Nolan hakusubiri yule Mwanamke anyanyuke, akaruka tena juu na kukunja miguu na kutua kwa magoti mgongoni mwa yule Mwanamke yule na kumvunja mgongoni huku wenzake wakishuhudia lakini wasiweze kufanya lolote kwa kuwa nao walikuwa hoi kwa kichapo walichokipata kutoka kwa Nolan. "wewe lazima nikuue umenijeruhi Sana ngombe wewe." Nolan ndio alimwambia Mwanamke yule Kisha akammaliza kwa kumtandika ngumi nzito ya shingo ambayo ilimpandisha ndege ya kuzimu. Baada ya Nolan kummaliza Mwanamke yule naye alijikuta akidondoka chini na kuzimia kutokana damu nyingi iliyomwangika kutoka kwenye mwili wake. Taarifa zilienea kila mahali kwa mauaji yale yaliyotokea sehemu ile huku wengine wakiwa hoi bin taabani. Polisi pamoja na kikosi cha kutoa huduma ya kwanza kilifika pale na bila kupoteza muda, Nolan pamoja na wakina Zaza wakabebwa na kupelekwa hospital.* Mzee Joel akiwa ametulia nyumbani kwake akipata moja baridi moja ya moto, aliweza kupata taarifa Ile ambayo ilimshangaza Sana. "inakuaje wakina Zaza wako hoi na pia Nolan yupo hoi, kuna nini kilitokea?" akajiuliza mzee Joel bila kupata jibu. Huzuni ilianza upya tena kwa Penina baada ya kupata taarifa ya Nolan mtu pekee ambaye alikuwa akimtegemea kwa chochote, kuwa na yeye yuko hoi bin taabani hospitalini. Bila kupoteza Muda Penina aliingia kwenye gari Lake na kuanza safari ya kuelekea Katika hospital aliyolazwa Nolan, Penina alihisi kuchanganyikiwa hasa akifikiria mambo anayotendewa na baba yake, na pia kupotea kwa mpenzi wake Frank. Hali hiyo ilimfanya Penina akose umakini barabarani na akiwa amebakiza mita chache kufika Katika hospital aliyopo Nolan, Penina alijikuta akikosa balance na kupoteza mwelekeo na kutoka nje ya barabara na kwenda kugonga mti uliokuwa pembeni ya barabara Ile. Pale pale Penina alipoteza fahamu baada ya kugonga mti ule, na alipokuja kushtuka alijikuta yupo hospitalini. Taarifa ilimfikia mzee Joel kwamba Penina amepata ajali Muda mchache uliopita. "shit ni bora afe mtu yoyote lakini sio Penina, utajiri wangu upo kwa Penina." akaongea mzee Joel huku akitoka ndani haraka haraka na kuingia kwenye gari na kuanza kuwahi hospitalini kwenda kumuangalia binti yake Penina.* Baada ya kubangaiza huku na kule kwa siku kadhaa hatimaye Frank alifanikiwa kupata pesa ambayo aliihitaji, na bila kupoteza sekunde, dakika wala masaa, moja kwa moja Frank aliianza safari ya kurudi dar es salam huku mawazo yake yote yakiwa kwa Penina tu Mwanamke aliyempenda kwa moyo wake wote. .......... Itaendelea ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: