Home → simulizi
→ KURUDI KWA MOZA: 30
Mishi akainuka pale ila cha kushangaza alitokea kwenye sebule ya kina Doto, na pale sebleni alikuwepo Kulwa, Sara na Ana wakinywa chai kwahiyo nao wakapatwa na mshtuko kumuona ndani kwao.
Wakainuka wote kwa mshangao na kutaka kumfata ila Mishi akaanza kutafuta sehemu ya kutokea na bahati akauona mlango wa kutoka nje na kufungua akakimbia, wakataka wamfate maana hakuna aliyekuwa anaelewa kuwa imekuwaje vile yani kila mmoja alishikwa na uoga wa hali ya juu huku akishangaa mara gafla kabla hawajatoka nje akatokea Salome huku akicheka sana, wakajikuta wakisema kwa pamoja tena kwa mshangao,
“Salome!!”
“Ndio ni mimi, mnadhani mnaota?”
“Umekujaje kimiujiza?”
“Mbona huyo aliyeondoka hamkumuuliza kuwa amekujaje?”
Wakamuangalia Salome, kisha wakamuacha na kwenda getini ambako walimkuta Mishi ndio akiishia getini kutoka, Ana alimfata mlinzi na kumuuliza,
“Mbona umemuachia atoke?”
“Sikumuelewa na yeye pia anaonyesha hajielewi, sijamuona kuingia ila nimemuona kutoka kwakweli sikumuelewa”
“Na Salome yupo ndani”
Mlinzi alishtuka sana kusikia kuwa na Salome yupo ndani wakati hakumuona akiingia,
“Mbona sijamuona akiingia?”
“Ndio ushangao hapo, Yule msichana ni mchawi hata naogopa kulala ndani ya nyumba”
Muda kidogo Kulwa na Sara nao walitoka wakidai kuwa hawawezi kulala ndani ya nyumba yao maana Salome hakuwa mtu wa kawaida, basi wakakubaliana kuwa watoke nje hata waende wakakodi hoteli ya karibu na kulala huko, mlinzi alitamani pia kuondoka ila alihofia kazi yake huku akiwa na mashaka sana, aliwashuhudia tu wakipanda kwenye gari na kutoa gari nje kisha kuondoka zao.
Mlinzi alikuwa na mashaka sana ila Salome alimfata Yule mlinzi pale getini na kumwambia,
“Umefanya jambo jema sana kutokufatana nao”
“Ila naogopa pia, hivi wewe Salome ni mtu wa kawaida kweli?”
“Kwanini mimi nisiwe mtu wa kawaida?”
“Sijakuona ukiingia ila gafla nakuona ukitokea ndani”
“Yani hiyo tu ndio inafanya mimi nisionekane mtu wa kawaida? Mbona Yule msichana pia hukumuona akiingia na umemuona akitoka, je nae ni mchawi? Ila usiogope sana, hata mimi natoka siwezi kuendelea kulala humu ndani peke yangu”
“Unaogopa?”
“Ndio naogopa pia, mimi ni mtu wa kawaida kwahiyo kitu cha ajabu kama hivi kikitokea lazima niogope”
Salome alitoka na kumuacha Yule mlinzi pale getini, kwakweli aliogopa sana huku akiangalia ile nyumba kwa uoga ila alijipa moyo sababu yuko nje kwahiyo alihisi lolote baya likitokea basi atakimbia.
Mishi alikuwa na uoga wa hali ya juu maana hakudhania kama ingetokea muda angerudishwa kimaajabu kwakina Doto, kwakweli alichanganyikiwa sana. Njiani aliona vijana watatu alianza kukimbia huku akipiga kelele kwani alijua ni lazima angebakwa tu, ila wakati anakaribia nyumbani kwao walitokea vijana wengine na kumpiga teke kisha kuanza kumbaka, Mishi alipiga kelele sana na watu walijitokeza kumsaidia kisha wale vijana wakakimbia, wale waliomsaidia Mishi walikuwa ni ndugu zake, na walimrudisha nyumbani huku wakimpa pole na kumuonea huruma sana, mama yake alikaa karibu na binti yake chumbani kumpa moyo,
“Yani mwanangu tulikumbwa na uoga wa hali ya juu ndiomana wote tulikuwa macho tukikutafuta, maana mwenzio alivyosema umetoweka kila mmoja alishikwa na mashaka hapa. Ilikuwaje mwanangu?”
“Hata sielewi mama”
“Ulitowekaje?”
“Hata sielewi mama”
“Haya ni maajabu sana mwanangu, sijui hata tufanye nini yani hadi naogopa. Hapa naogopa hata kulala”
“Sio wewe tu mama, hata mimi mwenyewe naogopa hata kulala”
“Ndugu zako wote hapo nje wapo kwaajili wamepata habari ya kutoweka kwako, wale mafirauni waliokuwa wanakufanyia kitendo cha kikatili hatujawapata mwanangu, yani tutawatafuta popote pale”
“Mnadhani mtawapata mama? Hata msijisumbnue, kesho nitakupeleka mahali nilipopewa hii laana”
“Laana! Umepewa laana kivipio mwanangu?”
“Mama, ni aibu hata kusema ila nimepewa laana na binti mdogo kabisa yani nadhani yote haya yanatokea kwa laana yake. Mama nipo tayari kuolewa na mzee Juma”
“Kheeee upo tayari kuolewa tena?”
“Ndio, bora niwe mke wa mtu labda itapotea hii laana. Naomba niolewe mama”
“Sasa mwanangu mbona gafla sana, na kwa huyo mtu tutaenda saa ngapi?”
“Tutaenda kesho, lakini baada ya mimi kuolewa. Naomba ukaongee na mzee Juma kesho asubuhi mwambie nipo tayari kuolewa nae, iwe kesho, tufunge ndoa hata ya fasta ila niolewe tu mama”
Mamake Mishi alimshangaa sana binti yake kwa maamuzi hayo ila kwavile hakujua ni kitu gani kilimsumbua binti yake huyo, ikabidi tu akubaliane nae kwani hata yeye tukio la binti yake kutoweka lilimshtua sana.
Sara, Kulwa na Ana walifika kwenye hoteli moja ndogo kisha kulipia vyumba vitatu vya kulala kwani Ana na Sara bado ilikuwa haiivi kulala kwenye chumba kimoja, kwahiyo kila mmoja aliingia kwenye chumba chake kisha wakakubaliana kuwa asubuhi waamshane mapema ili wawahi kurudi nyumbani na waandae chakula cha kumpelekea mgonjwa.
Cha kushangaza walipoamka kila mmoja alijikuta kwenye chumba chake nyumbani kwao, kwahiyo kila mmoja alikuwa na mshangao peke yake kuwa imekuwaje tena. Sara aliinuka na kuangalia vizuri, alikumbuka fika kuwa mara ya mwisho alilala kwenye chumba cah hoteli sasa imekuwaje kujikuta wamelala ndani kwao? Alikuwa na mashaka sana, akaamua kutoka nje na kwenda sebleni, ni kweli ilikuwa ni ndani kwao, muda kidogo alimuona Kulwa akitoka na Ana akitoka na wote wakiwa na mshangao huku wakiulizana,
“Jamani imekuwaje?”
“Labda tukuulize Ana imekuwaje!”
Sara alisema hivyo ila hiyo kauli ilimkera Ana kwani ilionyesha wazi kuwa yeye ana nguvu za ajabu na ndio amefanya hivyo kwao, ila Ana aliwajibu kawaida tu
“Jamani, mimi na nyie tulikuwa eneo moja kwahiyo swala la kuniuliza kuwa imekuwaje hata mimi sijui. Cha muhimu tumesharudi nyumbani basi tukamuandalie chakula kaka na tumpelekee hospitali”
Ikabidi wakubaliane kufanya hivyo ingawa hawakujua kuwa ni chakula gani wataenda kumpelekea hospitali kwa wakati huo, na wakaona kuandaa itawachukua muda mrefu kwahiyo wakajadiliana kuwa waende tu hospiatali kisha wataenda kumnunulia chakula huko huko. Ikabidi waende kujiandaa tu muda huo, kila mtu alijiandaa upesi upesi kwani kila mtu alikuwa na mashaka kupita maelezo ya kawaida, na walipomaliza walitoka nje, walipofika getini mlinzi alishtuka sana na kuwauliza
“Mmeingiaje humu ndani?”
Hawakumjibu kitu kwani hata cha kumjibu kingekuwa ni kitu gani, ila mlinzi aliendelea kusema
“Kwa stahili hii sidhani kama kuna umuhimu wa mimi kuendelea kulinda hapa, ikiwa watu wanavyoingia ndani siwaoni ila nawaona wakati wa kutoka tu”
Wakina Sara hawakumjibu zaidi ya kumsalimia tu, kisha wakatoa gari na kuondoka zao.
Walivyofika hospitali walimkuta ndugu yao akiwa anaendelea afadhali kidogo kisha wakamuuliza chakula cha kumletea,
“Hapana msihangaike, Salome alikuja hapa saa kumi na mbili na kaniletea mtori. Kaninywesha hadi nimeshiba kabisa, Yule binti ana moyo wa huruma sana”
Ana akadakia,
“Ana moyo wa huruma wakati ndio chanzo cha kuungua kwako”
“Ana nyamaza usitake niongee sana, yeye ni chanzo wakati chanzo ni wewe na mama, si wewe na mama ndio mmenimwagia maji ya moto! Unafikiri sikumbuki eeh! Nakumbuka vizuri, ni nyie ndio mmefanya niteseke hivi”
“Mmmh basi yaishe, cha muhimu upone tu na uendelee salama”
Wakaongea ongea nae pale na kumuaga kuwa wataenda tena mchana kumuona, naye aliwaitikia kisha wakaondoka na kuanza safari ya kumfata mama yao ambaye walimuacha kule kwa mganga.
Nyumbani kwa Neema, siku hiyo alishangaa asubuhi asubuhi binti yake amepika na kuondoka halafu muda kidogo akarudi,
“Kheee ulienda wapi Salome?”
“Kaka yangu amelazwa”
“Kaka yako!”
“Ndio, mtoto wa Yule mama wa kule mke wa baba”
“Kheee anaumwa nini tena”
“Eti aliungua na maji ya moto”
“Basin a mimi tutaenda wote kumuona mchana”
Salome alimkubalia mama yake kuwa mchana wa siku hiyo ataenda nae kumuona hospitali, huku akionekana kushughulikia chakula cha mgonjwa. Yani Salome alikuwa akifanya vitu ambavyo alijua badae vitaleta majibu gani.
Wakina Sara walienda hadi kwa Yule mganga ambaye walimuacha mama yao na walikuta bado mama yao akiwa ndani ya kile kibanda cha mganga kumbe kulipokucha bado mganga aligoma kumuhudumia kwahiyo alikuwa akimbembeleza, ilibidi watoto wake wamsubiri tu.
Rose aliendelea kumuomba Yule mganga amsaidie,
“Sasa wewe mganga unavyokataa hivyo, mimi atanisaidia nani? Maji yamenifika shingoni sasa”
“Sijui nani atakusaidia kwakweli ila mimi siwezi, maisha yangu nayapenda sana. Watoto wangu bado wadogo, wengine wananitegemea kwakila kitu, sipo tayari kuwaacha. Nilikuwa nakupa moyo tu jana ila kukusaidia siwezi”
“Inamaana na wewe unamuogopa huyo anayetutisha kwenye nyumba yetu!”
“Wewe Rose una dawa nyingi sana, fanya dawa zako na wewe kuweza kutokomeza hali hiyo”
“Ni kweli nina dawa nyingi lakini sijui jinsi ya kuzitumia”
“Na mimi siwezi kukwambia namna ya kufanya na siwezi kukusaidia kwakweli, labda uende kwa waganga wengine”
Rose alitumia muda mrefu sana kumshawishi huyu mganga ila jitihada zake ziligonga mwamba, ikabidi aanze kumfikiria mganga mwingine wakati akili yake imepata jibu juu ya mganga mwingine wa kwenda akaamua kufanya hivyo, ndipo alipotaka kutoka kwa mganga Yule ila alishangaa Yule mganga akimzuia na kumwambia kuwa atamsaidia, Rose alifurahi na kukaa chini ili kusikiliza Yule mganga atamsaidiaje, kisha Yule mganga akaanza kupiga tunguli zake, na alipomaliza akaanza kuongea nae,
“Kwanza kabisa, Yule mtoto wako ambaye kaungua na maji ya moto hamtakiwi kumpeleka hospitali”
“Mmmh mganga sijui kama watoto wangu watarudi tena hapa, kumbuka usiku sikuwaona au bado wapo nje?”
“Sijui ila hutakiwi kumpeleka hospitali”
“Basi ngoja nijaribu tena kuwatafuta”
Rose alitoka mule kwa mganga huku akiwa na mawazo sana kuwa watoto wake walielekea wapi ila alishangaa kufika nje, kuona gari yake na watoto wake ndani ya gari na ilionyesha wazi walikuja kumfata mama yao. Alijiuliza kuwa mbona usiku wa jana hakuwaona, kwamaana hiyo waliondoka au imekuwaje hapo, hakupata jibu kabisa. Aliwafata na kuwauliza kulikoni mbona usiku wa jana hakuwaona alipotoka kwa mganga, Sara alikuwa wa kwanza kumjibu mama yao,
“Mama tumekuja kukufata wewe, Doto kalazwa hospitali twende ukamuone”
“Kwahiyo Doto mmempeleka hospiatali?”
“Ndio mama”
“Nyie watoto jamani mbona mnanitafutia ubaya!”
“Ubaya upi mama? Doto yupo hospitali na tungemchelewesha tu tungemkosa, naomba twende mama”
Rose alikuwa ameduwaa tu nje huku akiwa hajielewi kuwa afanye kitu gani, Kulwa alishuka kwenye gari na kumpakia mama yao kinguvu kisha akapanda kwenye gari na kuondoa gari hiyo. Rose alikuwa kimya tu kwani bado alikuwa akitafakari bila ya jibu, mganga kamwambia kuwa mtoto wake asipelekwe hospitali na huku washampeleka hospitali kwahiyo hata akienda kumbembeleza tena mganga ni kazi bure kwa wakati huo. Ikabidi atulie tu kwenye lile gari, na alijiuliza tena kuwa mganga alikuwa na maana gani kuwa mtoto wake asipelekwe hospitali! Bado hakuwa na jibu, hadi wanafika hospitali ilikuwa ni mchana tayari, ila walipofika walizuiliwa na kuambiwa kuwa muda wa kuona wagonjwa umeisha, ikabidi Sara aulize
“Jamani mbona asubuhi mlituruhusu wakati muda ulikuwa umeisha?”
“Asubuhi aliyewaruhusu aliwaruhusu kimakosa, njooni jioni ndio muda uko wazi”
“Sasa mgonjwa wetu hajala”
“Ameshakula, kuna ndugu yenu kashampa chakula. Atatoka muda sio mrefu”
Yule nesi alisogea kidogo, na muda sio mrefu wakamuona Salome akiwa ameongozana na mwanamke mmoja, Rose alipomuangalia vizuri Yule mwanamke aligundua ni Neema ambaye ni mama yake na Salome.
Salome na mama yake hata hawakuangalia upande, walikuwa wanaondoka tu ila Rose alimuita Neema,
“Neema”
Neema akageuka na kumuona kuwa ni Rose, uoga ukamshika kwani bado alikuwa anamuogopa Rose vilivyo, ila Rose alimsogelea Neema na leo kwa mara ya kwanza alimsalimia vizuri kabisa,
“Hujambo Neema”
“Sijambo shikamoo”
“Mbona unaniogopa hivyo!”
Salome akadakia,
“Anakuogopa sababu umezoea kumtishia”
Neema alimkatisha mwanae kuwa asiendelee kuongea maneno hayo, Rose alimwambia Neema
“Sina ugomvi na wewe na nimefurahi kukuona. Natumai umetoka kumuona mwanangu, mwanao pia nimempokea vizuri kwenye nyumba yangu ila mwanao ni mshirikina”
Neema akashtuka
“Mshirikina!”
Salome akacheka sana, kisha akamshika mama yake mkono na kumlazimisha kuwa waondoke eneo hilo, ila Neema alikuwa mbishi kufanya hivyo. Salome alimwambia mama yake,
“Mama, sijakuleta hapa kuja kubishana na huyu mtu. Halafu nina mambo mengi ya kufanya siku ya leo, tafadhali tuondoke nyumbani”
Neema alikuwa mbishi mbishi kwani bado alitaka kusikia kuwa kwanini mwanae kaitwa mshirikina ila ikabidi akubaliane tu na mwanae kuwa waondoke, ambapo salome alikodi bajaji iwapeleke nyumbani kwao ila kitendo cha Salome na mama yake kuondoka na ile bajaji, Rose alienda kuwaomba watoto zake kuwa waifate hiyo bajaji hadi wajue wanapoishi Salome na mama yake, kwahiyo walifanya hivyo na kuanza kuifatilia ile bajaji.
Nyumbani kwakina Mishi mamake alipoenda tu kumwambia mzee Juma kuhusu maamuzi ya Mishi wala hakubisha Yule mzee kwani siku zote alitamani Mishi akubali amuoe ukizingatia kashakula hela zake nyingi sana, kwahiyo hakutaka hata kupoteza muda ni siku hiyo hiyo akaita watu na kumuoa msichana huyo, ilifungwa tu ndoa ya kawaida yani haikuwa na shamra shamra zozote kwani ni ndoa ya haraka halafu haikupangwa ila Mishi alifurahi kuolewa na mzee huyu na hakumwambia kama alibakwa au alikutwa na matukio yaliyomfanya akubali kuolewa nae, ingawa alikuwa akijiuliza sana kuwa inakuwaje kuwaje mambo hayaeleweki kabisa.
Alipomaliza kufunga ndoa, akatembelewa na mgeni na kuambiwa kuwa kuna mgeni wake, alitoka kwa mashaka sana kwani bado hakuwa na imani na jambo lolote na uoga ulikuwa umemtawala. Alipoenda kuzungumza nae alishangaa kuwa ni Salome, akataka hata kurudi kwa ndugu zake ila alishangaa miguu yake ikigoma kufanya hivyo, kisha Salome akaanza kuongea nae,
“Usiniogope mimi sio mla watu, wala sio mchanganya wanaume kama wewe”
Mishi alikuwa kimya tu akimsikiliza,
“Umefanya uamuzi wa haraka sana kuolewa, hivi unajijua kama hapo ulipo una mimba? Au unataka hiyo mimba umsingizia Yule mzee wa watu?”
“Nina mimba ya nani?”
“Mi nitajuaje na umebakwa na watu wengi. Unajua wakati wa kubakwa ni vigumu kujizuia tofauti na ukitaka mwenyewe, sasa vipi unataka kumsingizia mzee wa watu!”
“Hapana sikuwa na nia hiyo ila nimeamua tu kutoka moyoni kuolewa”
“Kama umeamua kutoka moyoni mwambie ukweli, Yule mzee anakupenda na atakuelewa tu. Halafu kama umeamua kweli kwa moyo wako, tulia na mumeo. Ni mwanaume gani anaweza kukubali kufunga ndoa ya haraka haraka kiasi hiko? Anakupenda mwenzio, ni wa kawaida tu Yule hata sio mtu mzima kihivyo, mpende sababu umeamua mwenyewe uache tabia ya kuumiza moyo wake”
“Nimekuelewa na ninakuahidi nitampenda sana na nitamwambia ukweli wa kila kitu”
“Usiniogope, mimi ni binadamu wa kawaida tu kama wewe. Kwavile umesema utatulia kwa mumeo, naifuta laana yangu kwako”
Salome aliondoka, na Mishi alikuwa anamuangalia hadi alipoishia, hata alipoulizwa na mama yake kuwa mtu huyo alikuwa anaongea nae nini bado hakuweza kumjibu kwani kwake bado lilikuwa ni swala la aibu.
Wakiwa ndani ya bajaji, Neema alimshangaa mwanae amelala mpaka wanafika nyumbani ndio anamshtua kuwa washuke na waingie ndani, walipoingia ndani mara na wao wakina Rose walikuwa wamefika ila Salome alifanya jambo na kumfanya mama yake kuingia chumbani ili wakigonga mlango wa sebleni wasimkute mama yake na wamkute yeye. Basi kweli wakagonga mlango wa sebleni na kusikia sauti ya Salome ikiwakaribisha,
“Fungua mlango ingia”
Basi wakafungua na kuingia, Rose alikuwa wa kwanza kuingia mule ndani ila alishtuka sana kwani alijiona yupo nyumbani kwake na aliyewakaribisha alikuwa ni Patrick na sio Salome.
Itaenmdelea kesho usiku……!!!!!
By, Atuganile Mwakalile.
KURUDI KWA MOZA: 30 Mishi akainuka pale ila cha kushangaza alitokea kwenye sebule ya kina Doto, na pale sebleni alikuwepo Kulwa, Sara na Ana wakinywa chai kwahiyo nao wakapatwa na mshtuko kumuona ndani kwao. Wakainuka wote kwa mshangao na kutaka kumfata ila Mishi akaanza kutafuta sehemu ya kutokea na bahati akauona mlango wa kutoka nje na kufungua akakimbia, wakataka wamfate maana hakuna aliyekuwa anaelewa kuwa imekuwaje vile yani kila mmoja alishikwa na uoga wa hali ya juu huku akishangaa mara gafla kabla hawajatoka nje akatokea Salome huku akicheka sana, wakajikuta wakisema kwa pamoja tena kwa mshangao, “Salome!!” “Ndio ni mimi, mnadhani mnaota?” “Umekujaje kimiujiza?” “Mbona huyo aliyeondoka hamkumuuliza kuwa amekujaje?” Wakamuangalia Salome, kisha wakamuacha na kwenda getini ambako walimkuta Mishi ndio akiishia getini kutoka, Ana alimfata mlinzi na kumuuliza, “Mbona umemuachia atoke?” “Sikumuelewa na yeye pia anaonyesha hajielewi, sijamuona kuingia ila nimemuona kutoka kwakweli sikumuelewa” “Na Salome yupo ndani” Mlinzi alishtuka sana kusikia kuwa na Salome yupo ndani wakati hakumuona akiingia, “Mbona sijamuona akiingia?” “Ndio ushangao hapo, Yule msichana ni mchawi hata naogopa kulala ndani ya nyumba” Muda kidogo Kulwa na Sara nao walitoka wakidai kuwa hawawezi kulala ndani ya nyumba yao maana Salome hakuwa mtu wa kawaida, basi wakakubaliana kuwa watoke nje hata waende wakakodi hoteli ya karibu na kulala huko, mlinzi alitamani pia kuondoka ila alihofia kazi yake huku akiwa na mashaka sana, aliwashuhudia tu wakipanda kwenye gari na kutoa gari nje kisha kuondoka zao. Mlinzi alikuwa na mashaka sana ila Salome alimfata Yule mlinzi pale getini na kumwambia, “Umefanya jambo jema sana kutokufatana nao” “Ila naogopa pia, hivi wewe Salome ni mtu wa kawaida kweli?” “Kwanini mimi nisiwe mtu wa kawaida?” “Sijakuona ukiingia ila gafla nakuona ukitokea ndani” “Yani hiyo tu ndio inafanya mimi nisionekane mtu wa kawaida? Mbona Yule msichana pia hukumuona akiingia na umemuona akitoka, je nae ni mchawi? Ila usiogope sana, hata mimi natoka siwezi kuendelea kulala humu ndani peke yangu” “Unaogopa?” “Ndio naogopa pia, mimi ni mtu wa kawaida kwahiyo kitu cha ajabu kama hivi kikitokea lazima niogope” Salome alitoka na kumuacha Yule mlinzi pale getini, kwakweli aliogopa sana huku akiangalia ile nyumba kwa uoga ila alijipa moyo sababu yuko nje kwahiyo alihisi lolote baya likitokea basi atakimbia. Mishi alikuwa na uoga wa hali ya juu maana hakudhania kama ingetokea muda angerudishwa kimaajabu kwakina Doto, kwakweli alichanganyikiwa sana. Njiani aliona vijana watatu alianza kukimbia huku akipiga kelele kwani alijua ni lazima angebakwa tu, ila wakati anakaribia nyumbani kwao walitokea vijana wengine na kumpiga teke kisha kuanza kumbaka, Mishi alipiga kelele sana na watu walijitokeza kumsaidia kisha wale vijana wakakimbia, wale waliomsaidia Mishi walikuwa ni ndugu zake, na walimrudisha nyumbani huku wakimpa pole na kumuonea huruma sana, mama yake alikaa karibu na binti yake chumbani kumpa moyo, “Yani mwanangu tulikumbwa na uoga wa hali ya juu ndiomana wote tulikuwa macho tukikutafuta, maana mwenzio alivyosema umetoweka kila mmoja alishikwa na mashaka hapa. Ilikuwaje mwanangu?” “Hata sielewi mama” “Ulitowekaje?” “Hata sielewi mama” “Haya ni maajabu sana mwanangu, sijui hata tufanye nini yani hadi naogopa. Hapa naogopa hata kulala” “Sio wewe tu mama, hata mimi mwenyewe naogopa hata kulala” “Ndugu zako wote hapo nje wapo kwaajili wamepata habari ya kutoweka kwako, wale mafirauni waliokuwa wanakufanyia kitendo cha kikatili hatujawapata mwanangu, yani tutawatafuta popote pale” “Mnadhani mtawapata mama? Hata msijisumbnue, kesho nitakupeleka mahali nilipopewa hii laana” “Laana! Umepewa laana kivipio mwanangu?” “Mama, ni aibu hata kusema ila nimepewa laana na binti mdogo kabisa yani nadhani yote haya yanatokea kwa laana yake. Mama nipo tayari kuolewa na mzee Juma” “Kheeee upo tayari kuolewa tena?” “Ndio, bora niwe mke wa mtu labda itapotea hii laana. Naomba niolewe mama” “Sasa mwanangu mbona gafla sana, na kwa huyo mtu tutaenda saa ngapi?” “Tutaenda kesho, lakini baada ya mimi kuolewa. Naomba ukaongee na mzee Juma kesho asubuhi mwambie nipo tayari kuolewa nae, iwe kesho, tufunge ndoa hata ya fasta ila niolewe tu mama” Mamake Mishi alimshangaa sana binti yake kwa maamuzi hayo ila kwavile hakujua ni kitu gani kilimsumbua binti yake huyo, ikabidi tu akubaliane nae kwani hata yeye tukio la binti yake kutoweka lilimshtua sana. Sara, Kulwa na Ana walifika kwenye hoteli moja ndogo kisha kulipia vyumba vitatu vya kulala kwani Ana na Sara bado ilikuwa haiivi kulala kwenye chumba kimoja, kwahiyo kila mmoja aliingia kwenye chumba chake kisha wakakubaliana kuwa asubuhi waamshane mapema ili wawahi kurudi nyumbani na waandae chakula cha kumpelekea mgonjwa. Cha kushangaza walipoamka kila mmoja alijikuta kwenye chumba chake nyumbani kwao, kwahiyo kila mmoja alikuwa na mshangao peke yake kuwa imekuwaje tena. Sara aliinuka na kuangalia vizuri, alikumbuka fika kuwa mara ya mwisho alilala kwenye chumba cah hoteli sasa imekuwaje kujikuta wamelala ndani kwao? Alikuwa na mashaka sana, akaamua kutoka nje na kwenda sebleni, ni kweli ilikuwa ni ndani kwao, muda kidogo alimuona Kulwa akitoka na Ana akitoka na wote wakiwa na mshangao huku wakiulizana, “Jamani imekuwaje?” “Labda tukuulize Ana imekuwaje!” Sara alisema hivyo ila hiyo kauli ilimkera Ana kwani ilionyesha wazi kuwa yeye ana nguvu za ajabu na ndio amefanya hivyo kwao, ila Ana aliwajibu kawaida tu “Jamani, mimi na nyie tulikuwa eneo moja kwahiyo swala la kuniuliza kuwa imekuwaje hata mimi sijui. Cha muhimu tumesharudi nyumbani basi tukamuandalie chakula kaka na tumpelekee hospitali” Ikabidi wakubaliane kufanya hivyo ingawa hawakujua kuwa ni chakula gani wataenda kumpelekea hospitali kwa wakati huo, na wakaona kuandaa itawachukua muda mrefu kwahiyo wakajadiliana kuwa waende tu hospiatali kisha wataenda kumnunulia chakula huko huko. Ikabidi waende kujiandaa tu muda huo, kila mtu alijiandaa upesi upesi kwani kila mtu alikuwa na mashaka kupita maelezo ya kawaida, na walipomaliza walitoka nje, walipofika getini mlinzi alishtuka sana na kuwauliza “Mmeingiaje humu ndani?” Hawakumjibu kitu kwani hata cha kumjibu kingekuwa ni kitu gani, ila mlinzi aliendelea kusema “Kwa stahili hii sidhani kama kuna umuhimu wa mimi kuendelea kulinda hapa, ikiwa watu wanavyoingia ndani siwaoni ila nawaona wakati wa kutoka tu” Wakina Sara hawakumjibu zaidi ya kumsalimia tu, kisha wakatoa gari na kuondoka zao. Walivyofika hospitali walimkuta ndugu yao akiwa anaendelea afadhali kidogo kisha wakamuuliza chakula cha kumletea, “Hapana msihangaike, Salome alikuja hapa saa kumi na mbili na kaniletea mtori. Kaninywesha hadi nimeshiba kabisa, Yule binti ana moyo wa huruma sana” Ana akadakia, “Ana moyo wa huruma wakati ndio chanzo cha kuungua kwako” “Ana nyamaza usitake niongee sana, yeye ni chanzo wakati chanzo ni wewe na mama, si wewe na mama ndio mmenimwagia maji ya moto! Unafikiri sikumbuki eeh! Nakumbuka vizuri, ni nyie ndio mmefanya niteseke hivi” “Mmmh basi yaishe, cha muhimu upone tu na uendelee salama” Wakaongea ongea nae pale na kumuaga kuwa wataenda tena mchana kumuona, naye aliwaitikia kisha wakaondoka na kuanza safari ya kumfata mama yao ambaye walimuacha kule kwa mganga. Nyumbani kwa Neema, siku hiyo alishangaa asubuhi asubuhi binti yake amepika na kuondoka halafu muda kidogo akarudi, “Kheee ulienda wapi Salome?” “Kaka yangu amelazwa” “Kaka yako!” “Ndio, mtoto wa Yule mama wa kule mke wa baba” “Kheee anaumwa nini tena” “Eti aliungua na maji ya moto” “Basin a mimi tutaenda wote kumuona mchana” Salome alimkubalia mama yake kuwa mchana wa siku hiyo ataenda nae kumuona hospitali, huku akionekana kushughulikia chakula cha mgonjwa. Yani Salome alikuwa akifanya vitu ambavyo alijua badae vitaleta majibu gani. Wakina Sara walienda hadi kwa Yule mganga ambaye walimuacha mama yao na walikuta bado mama yao akiwa ndani ya kile kibanda cha mganga kumbe kulipokucha bado mganga aligoma kumuhudumia kwahiyo alikuwa akimbembeleza, ilibidi watoto wake wamsubiri tu. Rose aliendelea kumuomba Yule mganga amsaidie, “Sasa wewe mganga unavyokataa hivyo, mimi atanisaidia nani? Maji yamenifika shingoni sasa” “Sijui nani atakusaidia kwakweli ila mimi siwezi, maisha yangu nayapenda sana. Watoto wangu bado wadogo, wengine wananitegemea kwakila kitu, sipo tayari kuwaacha. Nilikuwa nakupa moyo tu jana ila kukusaidia siwezi” “Inamaana na wewe unamuogopa huyo anayetutisha kwenye nyumba yetu!” “Wewe Rose una dawa nyingi sana, fanya dawa zako na wewe kuweza kutokomeza hali hiyo” “Ni kweli nina dawa nyingi lakini sijui jinsi ya kuzitumia” “Na mimi siwezi kukwambia namna ya kufanya na siwezi kukusaidia kwakweli, labda uende kwa waganga wengine” Rose alitumia muda mrefu sana kumshawishi huyu mganga ila jitihada zake ziligonga mwamba, ikabidi aanze kumfikiria mganga mwingine wakati akili yake imepata jibu juu ya mganga mwingine wa kwenda akaamua kufanya hivyo, ndipo alipotaka kutoka kwa mganga Yule ila alishangaa Yule mganga akimzuia na kumwambia kuwa atamsaidia, Rose alifurahi na kukaa chini ili kusikiliza Yule mganga atamsaidiaje, kisha Yule mganga akaanza kupiga tunguli zake, na alipomaliza akaanza kuongea nae, “Kwanza kabisa, Yule mtoto wako ambaye kaungua na maji ya moto hamtakiwi kumpeleka hospitali” “Mmmh mganga sijui kama watoto wangu watarudi tena hapa, kumbuka usiku sikuwaona au bado wapo nje?” “Sijui ila hutakiwi kumpeleka hospitali” “Basi ngoja nijaribu tena kuwatafuta” Rose alitoka mule kwa mganga huku akiwa na mawazo sana kuwa watoto wake walielekea wapi ila alishangaa kufika nje, kuona gari yake na watoto wake ndani ya gari na ilionyesha wazi walikuja kumfata mama yao. Alijiuliza kuwa mbona usiku wa jana hakuwaona, kwamaana hiyo waliondoka au imekuwaje hapo, hakupata jibu kabisa. Aliwafata na kuwauliza kulikoni mbona usiku wa jana hakuwaona alipotoka kwa mganga, Sara alikuwa wa kwanza kumjibu mama yao, “Mama tumekuja kukufata wewe, Doto kalazwa hospitali twende ukamuone” “Kwahiyo Doto mmempeleka hospiatali?” “Ndio mama” “Nyie watoto jamani mbona mnanitafutia ubaya!” “Ubaya upi mama? Doto yupo hospitali na tungemchelewesha tu tungemkosa, naomba twende mama” Rose alikuwa ameduwaa tu nje huku akiwa hajielewi kuwa afanye kitu gani, Kulwa alishuka kwenye gari na kumpakia mama yao kinguvu kisha akapanda kwenye gari na kuondoa gari hiyo. Rose alikuwa kimya tu kwani bado alikuwa akitafakari bila ya jibu, mganga kamwambia kuwa mtoto wake asipelekwe hospitali na huku washampeleka hospitali kwahiyo hata akienda kumbembeleza tena mganga ni kazi bure kwa wakati huo. Ikabidi atulie tu kwenye lile gari, na alijiuliza tena kuwa mganga alikuwa na maana gani kuwa mtoto wake asipelekwe hospitali! Bado hakuwa na jibu, hadi wanafika hospitali ilikuwa ni mchana tayari, ila walipofika walizuiliwa na kuambiwa kuwa muda wa kuona wagonjwa umeisha, ikabidi Sara aulize “Jamani mbona asubuhi mlituruhusu wakati muda ulikuwa umeisha?” “Asubuhi aliyewaruhusu aliwaruhusu kimakosa, njooni jioni ndio muda uko wazi” “Sasa mgonjwa wetu hajala” “Ameshakula, kuna ndugu yenu kashampa chakula. Atatoka muda sio mrefu” Yule nesi alisogea kidogo, na muda sio mrefu wakamuona Salome akiwa ameongozana na mwanamke mmoja, Rose alipomuangalia vizuri Yule mwanamke aligundua ni Neema ambaye ni mama yake na Salome. Salome na mama yake hata hawakuangalia upande, walikuwa wanaondoka tu ila Rose alimuita Neema, “Neema” Neema akageuka na kumuona kuwa ni Rose, uoga ukamshika kwani bado alikuwa anamuogopa Rose vilivyo, ila Rose alimsogelea Neema na leo kwa mara ya kwanza alimsalimia vizuri kabisa, “Hujambo Neema” “Sijambo shikamoo” “Mbona unaniogopa hivyo!” Salome akadakia, “Anakuogopa sababu umezoea kumtishia” Neema alimkatisha mwanae kuwa asiendelee kuongea maneno hayo, Rose alimwambia Neema “Sina ugomvi na wewe na nimefurahi kukuona. Natumai umetoka kumuona mwanangu, mwanao pia nimempokea vizuri kwenye nyumba yangu ila mwanao ni mshirikina” Neema akashtuka “Mshirikina!” Salome akacheka sana, kisha akamshika mama yake mkono na kumlazimisha kuwa waondoke eneo hilo, ila Neema alikuwa mbishi kufanya hivyo. Salome alimwambia mama yake, “Mama, sijakuleta hapa kuja kubishana na huyu mtu. Halafu nina mambo mengi ya kufanya siku ya leo, tafadhali tuondoke nyumbani” Neema alikuwa mbishi mbishi kwani bado alitaka kusikia kuwa kwanini mwanae kaitwa mshirikina ila ikabidi akubaliane tu na mwanae kuwa waondoke, ambapo salome alikodi bajaji iwapeleke nyumbani kwao ila kitendo cha Salome na mama yake kuondoka na ile bajaji, Rose alienda kuwaomba watoto zake kuwa waifate hiyo bajaji hadi wajue wanapoishi Salome na mama yake, kwahiyo walifanya hivyo na kuanza kuifatilia ile bajaji. Nyumbani kwakina Mishi mamake alipoenda tu kumwambia mzee Juma kuhusu maamuzi ya Mishi wala hakubisha Yule mzee kwani siku zote alitamani Mishi akubali amuoe ukizingatia kashakula hela zake nyingi sana, kwahiyo hakutaka hata kupoteza muda ni siku hiyo hiyo akaita watu na kumuoa msichana huyo, ilifungwa tu ndoa ya kawaida yani haikuwa na shamra shamra zozote kwani ni ndoa ya haraka halafu haikupangwa ila Mishi alifurahi kuolewa na mzee huyu na hakumwambia kama alibakwa au alikutwa na matukio yaliyomfanya akubali kuolewa nae, ingawa alikuwa akijiuliza sana kuwa inakuwaje kuwaje mambo hayaeleweki kabisa. Alipomaliza kufunga ndoa, akatembelewa na mgeni na kuambiwa kuwa kuna mgeni wake, alitoka kwa mashaka sana kwani bado hakuwa na imani na jambo lolote na uoga ulikuwa umemtawala. Alipoenda kuzungumza nae alishangaa kuwa ni Salome, akataka hata kurudi kwa ndugu zake ila alishangaa miguu yake ikigoma kufanya hivyo, kisha Salome akaanza kuongea nae, “Usiniogope mimi sio mla watu, wala sio mchanganya wanaume kama wewe” Mishi alikuwa kimya tu akimsikiliza, “Umefanya uamuzi wa haraka sana kuolewa, hivi unajijua kama hapo ulipo una mimba? Au unataka hiyo mimba umsingizia Yule mzee wa watu?” “Nina mimba ya nani?” “Mi nitajuaje na umebakwa na watu wengi. Unajua wakati wa kubakwa ni vigumu kujizuia tofauti na ukitaka mwenyewe, sasa vipi unataka kumsingizia mzee wa watu!” “Hapana sikuwa na nia hiyo ila nimeamua tu kutoka moyoni kuolewa” “Kama umeamua kutoka moyoni mwambie ukweli, Yule mzee anakupenda na atakuelewa tu. Halafu kama umeamua kweli kwa moyo wako, tulia na mumeo. Ni mwanaume gani anaweza kukubali kufunga ndoa ya haraka haraka kiasi hiko? Anakupenda mwenzio, ni wa kawaida tu Yule hata sio mtu mzima kihivyo, mpende sababu umeamua mwenyewe uache tabia ya kuumiza moyo wake” “Nimekuelewa na ninakuahidi nitampenda sana na nitamwambia ukweli wa kila kitu” “Usiniogope, mimi ni binadamu wa kawaida tu kama wewe. Kwavile umesema utatulia kwa mumeo, naifuta laana yangu kwako” Salome aliondoka, na Mishi alikuwa anamuangalia hadi alipoishia, hata alipoulizwa na mama yake kuwa mtu huyo alikuwa anaongea nae nini bado hakuweza kumjibu kwani kwake bado lilikuwa ni swala la aibu. Wakiwa ndani ya bajaji, Neema alimshangaa mwanae amelala mpaka wanafika nyumbani ndio anamshtua kuwa washuke na waingie ndani, walipoingia ndani mara na wao wakina Rose walikuwa wamefika ila Salome alifanya jambo na kumfanya mama yake kuingia chumbani ili wakigonga mlango wa sebleni wasimkute mama yake na wamkute yeye. Basi kweli wakagonga mlango wa sebleni na kusikia sauti ya Salome ikiwakaribisha, “Fungua mlango ingia” Basi wakafungua na kuingia, Rose alikuwa wa kwanza kuingia mule ndani ila alishtuka sana kwani alijiona yupo nyumbani kwake na aliyewakaribisha alikuwa ni Patrick na sio Salome. Itaenmdelea kesho usiku……!!!!! By, Atuganile Mwakalile.
Artikel Terkait
*MWAGIA HUMO HUM EP 04* Sehemu Ya Nne (4) Nilimsogelea na kuusugua mwili wangu kwake, joto langu lilimsisimua. Mmh, kuangalia kwenye kikosi wa miziga,mtutu wa mziga ulikuwa juu. Manshala mtoto wa kike niliupandia mtutu na kuufanyia ukaguzi kabla ya kuingia vitani. Mmh, weee acha tu hukuwepo bali shetani wako alikuwepo. Mateja alikuwa kama mtu aliyekula mishikaki yenye chachandu ya Kihindi jinsi alivyotoa miguno. Taratibu nilishughulika na mtutu wa mzinga ambao ulionekana ulikuwa tayari kutupa makombora mazito kwa adui. Kutokana na utaalamu niliopewa na Bi Shuu na kujua kuufanyia usafi mtutu wa mziga, mara nilimuona Mateja akitetemeka na kutoa machozi laini. “Vipi?” “Aa..aah.” “Pole.” “Asante.” Niliendelea kumpa mshike mshike kwa kugusa hapa na pale, najua unataka kujua niligusa wapi. Vuta subra tukikutana nitakueleza mwanaume anatakiwa aguswe wapi ili kumuongezea mahanjamu. Ila lazima mikono yako iwe laini sio migumu kama mpasua kokoto utamchubua mwenzio. Nilisahau kama tupo bafuni kwa kuendeleza mateso bila chuki. Nilimsikia Mateja akisema. “Manka si tunarudi ndani tumalize kwanza kuoga.” “Waaawooo,” nilifurahia kimoyo moyo kwa kuamini mbwa mwenyewe kakimbilia kichaka cha nyani asubiri vibao vya mashavu. Tulimalizia kuoga huku nikimsugua kila kona ya mwili kisha nilimfuta maji na kumfunga taulo nami nilipitia upande wa kanga na kutoka naye kurudi chumbani. Wakati nakaribia chumbani kwangu Bi Shuu alitokea nyuma ya bafu na kunifanyia ishara ya mdomo. Niligeuka na kusimama ili nimsikilize alikuwa na jambo gani. “Manka,” alisema huku akiachia tabadamu. “Abee.” “Hongera.” “Ya nini?” “Unajua kuifanya kazi umeiva kwelikweli mambo uliyofanya mimi mwenyewe hoi.” “Asante Bi Shuu.” “Basi usiniangushe yote tisa kumi huko mnakokwenda ukifanya makosa umetia nazi kwenye supu.” “Bi Shuu wee acha nina usongo naye ile mbaya” “Usikamie sana ukashindwa kuyanywa.” “Nimekuelewa.” Niliagana na Bi Shuu na kuelekea chumbani kwangu na maswali mengi juu ya tabia ya Bi Shuu kunipiga chapo kila nililokuwa nafanya. Mmh, niligeuka nielekee chumbani Bi Shuu tena aliniita. “Manka usizime taa pia dirisha lako la nyuma liache wazi” Niliingia ndani nikijiuliza mengi juu ya tabia za Bi Shuu Kunipiga chabo, nilijua mwanzo alitaka kujua uwezo wangu lakini baada ya kuona nimeweza hakukuwa na haja ya kunipiga tena chabo zaidi ya kusubiri matokeo. Lakini kwa upande mwingine niliamini ile ndiyo ilikuwa fainali yangu ya kujua nimefundika au nilibahatisha kwa wachovu. Pamoja na kutaka kujua nipo katika kiwango gani, wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa kutojiamini kwa asilimia zote kutokana na kujua kuna mtu ananiangalia. Bora angenivizia nisingejua kinachoendelea na mimi kufanya makamuzi ya nguvu. Ndani nilimkuta Mateja amekaa kitandani, mtoto wa kike kwa usongo niliokuwa nao niliivuta kanga aliyokuwa amejifunga na kubakia kama kuku anayesubiri kuingizwa kwenye mafuta. Nami yangu nikaitupa pembeni na kubakia sale sale maua si unajua asiyejua kuchagua kabila lake Mzigua. Jamani maneno mengine sijui ni kweli au wimbo ina maana Wazigua ndiyo wasiojua kuchagua? Tuachane na hayo wanajua waliosema si mimi, baada ya kuwa sale sale kama kuku wanaosubiri kuingizwa kwenye kalai la mafuta ya moto. Kupitia mafunzo ya Bi Shuu mwanamke kabla ya kusafiri katika bahari ya huba unatakiwa kukiandaa chombo. Sehemu hii naomba twende pamoja huonekana wanawake wengi tunakosea. Kosa kubwa kwa wanawake wengi wakiishafika kitandani husubiri kuandaliwa wao kisha wapande kwenye chombo kuanza safari ya huba wakati mwenzake naye alihitaji kusisimliwa kama yeye. Au wengine ambao huwa kama mimi Manka kabla ya kuingia unyagoni kwa Bi Shuu kujua kabla ya safari vitu gani vinatakiwa kufanywa. Wengi wetu hutangulia kitandani na kutega kama kicheche anavyotega kuku, akiingiza kichwa tu anatimua naye mbio kichakani. Lazima sehemu hii uitumie kuandaana kila mmoja tui likikolea nazi ruksa kutia mchele, tuko pamoja nataka nilichokipata kwa Bi Shuu nawe upande japo kiduchu. Basi mtoto wa kike nilikiwa nimepandwa na maruhani ya mapenzi nilikuwa kama chatu aliyeshiba na kujivuta kushida huku pumzi zikinitoka kwa shida. Nilitambaza mikono yangu laini toka kona moja kwenda nyingine hasa sehemu muhimu zenye kupandisha mahanjamu. Nilianza kumsikia Mateja akisisimka na kuninyonga taratibu kama nyoka anavyopata shida ya kutambaa kwenye sakafu. Nilizipapasa sehemu ambazo humfanya mwanaume asisimke na kumpandisha mzuka wa mapenzi. Kila nilipogusa sehemu nilimuona akitaka kunyanyuka kama samaki pomboo anavyojitupa kwenye maji kwa madoido. Baada ya safari ndefu nilifika mji mkuu na kufanya kituo cha muda mrefu kwa kutumia mikono mdomo na ulimi ambao ulimfanya Mateja agugumie kama dume la njiwa lenye wivu. Niliendelea kuwajibika mpaka alipolia bila msiba huku akiomba tuingie chomboni kuianza safari ya huba yenye utamu usiisha hamu hasa kwa wanaoufahamu shati uwe mtaalamu wa kuitumia yako kalamu ndipo utaipata tamu na kukufanya mahamumu kila uikumbukapo tamu lazima upitate hamu ya kuutafuta utamu. Sijui tupo pamoja au nimekuchanganya, mwa kwetu siku zote chakula maandalizi, na chakula kitamu kinahitaji maandalizi ya kina na katika mwili vile vile. Huwezi kudandiwa kama baskeri na kupigwa pedeli, wakati unachemka mwenzio kesha fika zamani kalala pembeni hoi kuendelea na safari hawezi wakati mwenzake waduduuu wadogowadoooo ndo wamecharuka Wananyemvuanyemvua. Hapa pia kuna somo nililopata kwa Bi Shuu usikubali kuianza safari hakikisha mwakwetu kwako nawe kumetiwa mchuzi wa kutosha sio kula mkavu utakukwama kooni. Nina imani tupo pamoja au nimekuacha njia panda, mwakwetu hakikisha mpenzi wako amekuandaa mpaka hatua ya mchuzi kukolea kwenye ubwabwa hapo ruksa chakula kiliwe. Lazima wote mtakifurahia sio kuwahi kitandani kusubiri hukumu bila kujitetea. Baada ya Mateja mchicha kukolea nazi shetani wa ngono kumpanda alitaka kuchupa mchupo wa mkizi, lakini mtoto wa kike nilimshika kifuani na kumueleza. “Mpenzi pangu pakavu tia mchuzi,” nilikuwa na maana bado hajaniandaa ili tufurahia safari kwa pamoja. Mateja alinielewa ndipo alipoanda kuniandaa kwa kufanya ziara ya mkono na ulimi mwilini kwangu, jamani chakula kitamu kikipata muandalizi asiye na papara. Nakiri sikuwahi kukutana na raha za mwili siku zote niliamini raha zipo chini tu kumbe mwenyezi Mungu aliumba kila kiungo mwilini na makusudio yake. Kila nilipoguswa nilihisi raha tofauti na aliponigusa kwanza, mtoto wa kike nilimaliza maneno yote mdomoni kuomba hukumu baada ya kulia zaidi ya mara mbili bila huruma ya Mateja kuendelea kunipa mateso bila chuki. Baada ya tui kukolea nazi, kile nilichotaka kukionesha kwa Mateja kilitimia. Mtoto wa kike tuliingia kilingeni kujua mbivu na mbichi, najua unahamu kujua kilichoendelea, samahani tukutane wiki ijayo. Mtoto wa kike nilipoguswa tu nililegea mwili ulikuwa kama umepigwa shoti ya umeme, mchezo upoanza tu nilijiachia huku nikizitoa pumzi kwa kufuata mdundo, japo nyonga haikuwa laini sana kama wamakonde nami taratibu nilinyambulika kuhakikisha sitoki nje ya biti. Hakukuwa na ushindani kila mtu alitaka kuonesha uwezo wake kwenye medani ya mapenzi. Kila dakika ilivyokwenda ndivyo kila mtu alipoteza ustaarabu na kutaka kuonekana anaweza kuliko mwenzake. Kila dakika iliyokwenda ilikuwa ni maajabu saba ya dunia kwa Mateja. Nina imani kabisa mwanzo aliona kama nabahatisha kutokana na kunizoe Manka wa kulala kama gogo Manka mbishi nisiyekubali usumbufu wa kugeuzwa kama chapati. Manka nilimpania Mateja bila kujua wito ule ulikuwa na sababu, kila alivyotaka nilifanya bila hiyana kila aliponituma nilikwenda bila kubisha kila alivyoniweka nilikaa bila tatizo. Muda wote niliwajibika bila kuchoka huku nikimmwagia sifa ambazo nina imani hakuwa kupewa toka azaliwe. Kuna kipindi mtoto wa kike nilalamika kama mtoto aliyeny’ang’anywa ziwa na mama yake, kutokana na kuufurahia mchezo nilijikuta nikilia kama naonewa kumbe raha zilikuwa zimekonga kila kona ya mwili. “Mateja kwa nini unanitesa…kosa langu nini?” Nililalama huku nikiwajibika. Siku zote raha ya kurap uendane na mdindo, nilibadilika mtoto wa kike na kuongeza nijuavyo nisivyofunzwa na Bi Shuu. Jamani makubwa ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni. Ghafla Mateja machozi yakaanza kumtoka baada ya kuvamia shamba la mihogo kwa mikono na mdomo jembe nililitoa kwenye mpini na kuchimba muhogo kwa mkono. Kila nilivyoutafuta muhongo nilimuona mtoto wa kiume akihama upande mmoja kwenda mwingine. Mmh, sikuamini nilimuonea huruma lakini siku zote ukitaka kumtiba mgonjwa wa jipu usimuonee huruma. Mateja uzalendo uliomshinda aliamua kusema. “Manka kwa nini ulinitenda?” “Kivipi mpenzi?” “Vitu hivi mbona hukunipa mwanzo?” “Mpenzi vilikuwa havijaungwa, hata vya chukuchuku havikuiva.” “Hapana…hapana…sikubali.” “Hukubali nini tena mpenzi?” “Siwezi kula nisishibe heri nisipewe.” “Mateja leo utakula mpaka utasaza nipo kwa ajili yako.” “Na baada ya leo?” “Mi nipo tu.” “Hapana..hapana …lazima nikuoe.” “Na mchumba wako?” “Wewe ndiye uliyekuwa mchumba wangu.” “Kama nilikuwa mchumba wako kwa nini uliniacha?” Huwezi kuamini wakati tukizungumza hivyo kilimo kiliendelea huku Mateja akishinda kukaa chini kama kakalia moto. “Vipi?” Nilimuuliza huku nikimtazama usoni kwa jicho lilililegea kama mtu mwenye usingizi mzito. “Mm..mm..mmh,” Mateja aligugumia kama dume la panya kwenye ghala la mahindi. Baada ya muda maskini mateja machozi yasiyo na kilio yalimtoka, niliyahifadhi hakugusa chini. “Asante Manka…asante mpenzi.” Mtoto wa kike sifa hazikunivimbisha kichwa niliuchukua mpini na kuurudisha kwenye jembe kilimo kiliendelea. Mmh, kweli kila kiumbe na sehemu zake, kurudisha mpini kwenye jembe kulikuwa kama kumtupia samaki majini. Mateja alikuja juu kama moto wa kifuu kila nilipotaka kumtuliza ndivyo raha zilivyogonga kila kona ya mwili na kujikuta nikiwacha autawale mchezo. Nilifika kipindi duniani nikawa sipo mbinguni sipo nikawa naelea kati, nakiri sikujua kilichokuwa kikiendelea zaidi ya kuhisi kama mtu kanivua nguvu zote mwilini kilichoendelea sikujua. Niliposhtuka nilijikuta nimelala pembeni ya Mateja ambaye alikuwa hajitambua kwa usingizi mzito. Kilinichonishangaza kujikuta sote tumo ndani ya shuka moja, nilijiuliza inawezekana Mateja ndiye aliyenifunika. Nilipotaka kunyanyuka nilihisi kama kizungungu nilijirudisha kulala. Wakati nataka kufumba macho nilisikia naitwa. “Manka…Manka,” niliposikiliza vizuri niligundua ni Bi Shuu. “Abee.” “Amka ujimwagie maji.” “Sina nguvu.” “Jitahidi hivyo hivyo.” Nilijinyanyua kwa kuzilazimisha miguu ikiwa haina nguvu, nilijizoazoa na kwenda kujimwagia maji, Bi Shuu maji alikwisha yapeleka bafuni. Nilioga maji yaliyokuwa ya baridi sijui aliyatoa kwenye friji. Baada ya kujimwagia maji mwili ulichangamka kidogo, hapo ndipo nilipoanza kuisikia njaa. “Manka kamuamshe na mwenzako naye akajimwagie maji ili mle pamoja” “Kwa saa ngapi sasa” “Saa sita kasoro.” “Mtume!” Nilikwenda kumuamsha Mateja aliyekuwa akikoroma ilionekana kalinyekarinde lilimpeleka puta na kujikuta akipoteza nguvu nyingi. Inawezekana kabisa alijua ni yule Manka wa mwaka 47 na kuingia kichwa kichwa matokeo kanyolewa bila maji. Kila nilipomtikisa alionekana yupo hoi kwa kugeuka kama umekufa, niliendelea kumtikisa. “Mateja..Mateja.” “Mmh.” “Amka.” “Niache nilale kidogo.” “Najua umechoka, amka ujimwagie maji upate nguvu.” “Manka naomba nipumzike nimechoka sana.” “Matejaaaa, hebu amka.” Nilimwambia huku nikimshika mkono na kunyanyua, alinyanyuka na kukaa kitako kitandani. Akiwa kama mtu aliyekunywa pombe ambayo ilikuwa bado kichwani, aliinama mkono mmoja alishika kitandani na mwingine kichwani. Sikutaka kumpa nafasi nilimsimamisha na kumfunga upande wa kanga. Huwezi kuamini nilivyokuwa nimechoka bila kuelekezwa na Bi Shuu nisingeweza kuyafanya yale. Maji ya baridi niliyojimwagia ndiyo yaliyonipa nguvu, nilimshika mkono mpaka bafuni ambako nilikuta tayari Bi Shuu ameisha tayarisha maji ya baridi. Kwa kuwa nilijua ubaridi wa maji Mateja atauogopa nilipomtoa kanga nimwagia kwa kumshtukiza kama makopo mawili. Japo alilalamika lakini alinieleza kweli maji yale yameupa tena nguvu mwili wake. Alimuongeza maji mengine na kuufanya mwilini wake uchangamke zaidi. Alipomaliza kujimwagia maji ya baridi tulirudi ndani, sikuamini macho yangu kukuta Bi Shuu amekwisha andaa chakula mezani kukiwa na kila kitu. Muda wa Mateja kujimwagia maji, yeye aliutumia kuandaa chakula. Yaani sijui niseme nini, nimekutana na watu wengi lakini Bi Shuu kiboko. Japo usiku ulikuwa mkubwa lakini mama wa watu hakulala alikwenda sambamba na mimi. Kilichonishangaza baada ya mtinange na kupitiwa usingizi nilijiuliza yeye alikuwa wapi? Kama sisi tulilala kwa zaidi ya masaa matatu yeye muda huo alikuwa anafanya nini? Mateja baada ya kuona nilimsikia akisema. “Manka umejuaje kama nina njaa, maana hapa nahisi tumbo jeupe.” Kwa vile na mimi nilikuwa na njaa tulivamia wote mezani kukishambulia chakula kilichokuwa kimepikwa kwa ustadi wa hali ya juu na Bi Shuu. Tukiwa mezani baada ya kufunua kawa lililikuwa na maneno RAHA YA MUWASHO UKUNWE . Ajabu ya Mungu kawa lile lilionekana jipya halijawahi kutumika, baada ya kulifunua harufu nzuri ya chakula ilijaa puani mwetu. Nilimnawisha mikono kisha nilimkaribisha kama nimepika mie. “Karibu mpenzi.” “Asante,’” Mateja alijibu huku akijipakulia kwenye sahani yake, wakati anaweka kijiko cha kwanza nilisikia kitu kikigongwa dirishani. Ilionesha kuna kosa nimefanya. Nilinyanyuka haraka huku nikisema. “Samahani dear nakuja,” nilitoka nje na kukutana na Bi Shuu. “Vipi Bi Shuu?” “Manka nilikueleza nini?” “Kuhusu nini?” “Mwanaume kama mtoto asiguse kitu kazi yote ifanye wewe.” “Ulikuwa una maana gani?” “Asijipakulie, mpakulie ikiwezekana hata vijiko vya awali mlishe kisha mwache ale mwenyewe.” “Nimekulewa,” nilimjibu bila kusubiri maelezo mengine kumuwahi Mateja asijipakulie zaidi. Nilipofika nilikuta ndio anataka kuongeza kijiko cha tatu. Nilikidaka kijiko na kusema. “Mpenzi kwa nini usumbuke wakati nipo.” “Aah, si kila kitu ukifanye.” “Hapana wewe ni mgeni wangu, kila kitu mimi ndiye dereva.” “Haya mama.” Nilimpakulia chakula cha kiasi kisha nilimuwekea mchuzi na kipande cha ndizi, tonge la kwanza nililikusanya kisha nilimlisha huku nikiweka mkono chini ya kidevu kuzuia punje ya wali isianguke. Baada ya kulisha nilimsubiri atafune ili nimuongeze tonge lingine nami nianze kula. Baada ya kutafuna kwa muda nilimsikia aliguna kitu kilichonitisha na kuwa na wasi wasi huenda chakula si kizuri. “Vipi mpenzi?” “Mmh, chakula kitamu kweli kweli, sijawahi kula chakula kitamu kama hiki, kama nikikuoa na kula hivi kila siku nitenenepa mlangoni nitakuwa sipiti.” “Asante mume wangu,” nilijibu makusudi, moyoni niliisifia kazi nzuri ya Bi Shuu. “Manka,” Mateja aliniita huku akivuta glasi ya maji iliyokuwa pembeni. “Abee.” “Manka mbona leo naona kama nipo ndotoni?” “Kivipi?” “Mbona siku za nyuma hukunifanyia mambo kama haya, mapenzi ya ukweli na chakula kitamu kweli kweli.” “Vimeungwa.” “Una maana gani?” “Mateja mimi ni Manka mpya.” “Una maana gani?” “Ulichokiona kazi kubwa ya Bi Shuu.” “Bado umeniacha njia panda Bi Shuu amefanya nini?” Nilimuelezea bila kumficha kazi kubwa ya Bi Shuu kuniunga na leo kuvionjwa akaviona vitamu. “Upo hapo baba?” “Mmh, nimekubali kweli aliomba likizo yenye mafanikio.” “Basi habari ndio hiyo.” Baada ya chakula tulirudi kuoga tena kisha tulipanda kitandani kulala hakuna aliyekuwa na hamu na mwenzake tulipeana migongo mpaka asubuhi. Mlio wa dirisha uliniamsha toka kwenye usingizi mzito, jicho langu lilitua kwenye saa ya ukutani kunionesha ni saa kumi na moja alfajiri. Nilijinyanyua kivivu na kwenda hadi mlangoni kumsikiliza Bi Shuu alitaka kunielaza nini, nilifungua mlango huku nikifikicha macho kutokana na kuzingirwa na usingizi ulioambatana na uchovu wa mwili. Nilikumbuka usiku wa jana nilitumia nguvu nyingi ili kumuonesha Mateja mimi ni nani. Nakumbuka kuna kipindi niliona kama chini nachochewa kuni jinsi moto ulivyokuwa ukiwaka. Lakini nilikumbuka maneno ya Bi Shuu sifa kubwa ya mwanamke kwa mwanaume ni uvumilivu na kutokukubali kushindwa mapema hata siku ya kwanza unapotaka kuandika CV. Baada ya kufungua mlango nilikutana na Bi Shuu akiwa na upande wa shuka. “Shikamoo Bi Shuu.” “Marahaba mama Shughuli.” “Mmh! Bi Shuu jina gani tena hilo.” “Kwani uongo shughuli unaiweza, mwana wewe temea chini.” “Aii jamani,” nilijikuta nikiona aibu kwa kujua kila nilichokifanya Bi Shuu alikiona ‘live’ bila chenga. “Sasa Manka sicho nilichokuamshia, vipi ushampa cha alfajiri?” “Kipi hicho?” “Ooh, kweli hili sikukuelekeza, raha ya mapenzi ukilala na mwanaume mpe cha asubuhi ili kiwachangamshe, kijasho kikiwatoka mkaoge mjiandae kwenda kazini.” “Si tutachoka sana.” “Uchoke nini, hiyo sawa na kuzimua baada ya kulala na hang over asubuhi ukizimua unajiona sawa hata uzito wa kichwa unapotea sawa na kupata cha asubuhi.” “Mmh! Sawa wacha basi nifanye hivyo.” Niliagana na Bi Shuu na kurudi ndani, Mateja alikuwa bado amelala nilimshtua kwa kumpa mshikemshike wa kuvamia shamba lake kwa kuufukua muhogo taratibu kitu kilichomshtua kunikuta nipo shambani na tayari muhogo nilikuwa nimeisha ufukua upo mkononi. “Vipi mpenzi?” aliniuliza kwa sauti ya usingizi. “Kawaida tu.” “Niache nilale nimechoka.” “Kumekucha mpenzi tunazimua kisha tunakwenda kuoga.” ITAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TANO (15) & (16) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ endelea sasa aligeuka na kuniludia kwa kasi ya ajabu. Nilimdaka na kumweka stairi ya mbuzi kagoma kwenda nilibinya binya mpododo wake taratibu Sophi alianza kutoa sauti fulani yaani zilizidi kuniongeza mzuka. Nikazidisha kumpampu mtoto nasma kwa udambwi dambwi wa hali ya juu. nasma aliaanza kutoa maneno ambayo hata mingine sikuyaelewa. Nilizidi kumpeleka moto moto, niliona ndio dawa ya wanawake wa aina hii wanao taka kunikomoa tena kibaya zaidi alinipa kidonge yeye mwenyewe. Niliendelea kujisemea kimoyo moyo wakati naendelea na zoezi langu nasna alizidi kulalamika. Ooh.. uhiiiiii… ahaaa! utamu utamu unakuja uwi… uwi.. ahaa! baby nasma aliita baby..baby! hata zisiokuwa na idadi nilimpelekea moto tu yaani bandika bandua Mtoto mwenyewe akaomba poo! Ooh… baby inatosha nilimsikia nasma akisema nikaona mmh! itakuwa imekolea hata rudi tena kunisumbua. “nasma nasma vipi mbona kimya? niliamua kumuuliza maana niliona yupo kimya kwa muda kidogo tangia twende mapumziko. “Hapana kenny yaani” “Yaani nini? nasma. “Raha zako tu zinanipagawisha” “Zinakupagawisha? “Ndio baby yaani umemzidi hata mjomba wako” “We.. Sophi acha zako” “kwa iyo umesha wai kulala ma mjomba ""kumbe hujui mjomba wako kalala na watu wote humu ndani"" unamaanisha kalala hadi na errycah......? "ndio tena ndo aliyetoa bikra lakini errycah hajui aliye mtoa bikra ni baba yake mzazi" mungu wangu ni laana ya aina gani mtu kulala na mtoto wake nilimuuliza nasna.kwaiyo na nyie amewalala niliiuliza jibu ambalo teali nilisha pewa. tuachane na hayo mambo yote yapo kwenye kile chumba cha siri ambacho funguo take hiii apa. alinikabidhi lakini hapo hapo nika muuliza. "umeipata vipi" akaniambia "mjomba wako wakati anaingia amesha zoea kunikumbatia. nikatumia mda huo huo kumchomolea ufunguo hakika sikuachi na kesho nakuja tena” “nasma usifanye hivyo mimi sihitaji kesi” “Kesi gani? tena” “Mimi nataka raha zako usinizingue” Alinitisha kidogo Nasma ila mtoto wa kiume kwa vile nishakutana na mabalaha yeye anaiga, nilichomjibu usijali nilimwambia tu awe makini asinifanye nikimbie mji.mana mjomba katika watu anao wakubali nasma namba moja Niliongea nae mengi nasma huku akiwa. kifuani anachezea chezea chezea garden love. Yaani sikuwa nyuma kwa namna vile alivyokuwa ananichezea. aliniamsha mpini wangu na ulishaanza kunyanyuka kutafuta shamba lililipo. Mmh… ahaaa! Nasma wewe ahaa.. niligumia kwa utamu nilio usikia kumwongeza nae hamu iliturudi tena uwanjani maana wangu mpini ulikuwa unatafuta pakulima tena. Mtoto alizidi kunichezea we nami sikubaki nyuma hata kidogo. nika chomeka dude langu kwenye kitumbua chake. "oooooh aaaah oooh tia yoteeee aaah shhhhhh oooh oopps."alizidi kutoa miguno ya raha. Nikaanza ingiza toa ingiza toa mchezo ulininoga hadi nasma akaanza kuropoka maneno ya ajabu kiswahili si kiswahili kingereza sio sijui lugha gani tu yote utamu wa dude, nilipenda uwajibikaji wa nasma alikiwa anakiuno kama cha verasidika anakizungusha kwa kunatana hali iliyo nipelekea kutoa wazungu wangu ooooooooooohh,,,,,,!!! mmmmmhhh oooooooosssshhhh ""****** niligugumia kwa utamu nilio upata. lakini nilishangaa kuona mjomba bado amesimama vile vile kumaanisha bado anahitaji mchezo...... isome simulizii hii mpaka mwisho kwa sh 2000 tu 0744204283 ni follow instagram @chas360tz tembelea mtandao wetu www.chas360tz.com SEHEMU YA 16 endelea sasa " kenny mi naenda kulala naona leo mjomba wako lazima aje chumbani kwetu.acha niwai mana hua ana tulala wote wawili" kitendo kile kiliniuma sana nika muuliza kwani kitu gani kinawafanya mpaka mdhalilike ivyo alinijibu mshahala wetu ni milioni 1 na laki tatu kwa mwezi sasa tutaachaje ukiangalia nyumbani kwetu hali ngumu tunasomesha wadogo zetu" nika mtwanga swali kwani wewe na husna ni ndugu "akasema ndio kwani hutuoni tulivyo fanana Mimi na yeye ni mapacha nadhani ndio sababu inayo tufanya mjomba wako atu ng'ang'anie hapa mana alianza kulala na sisi kipindi tuna miaka 13 alitutoa bikra zetu kwa siku moja hadi leo tuna miaka 18 na hulala na sisi kila ifikapo tarehe 6 mwezi wa 12 kila mwaka hata mkewake anatambua hilo" na kila tukilala nae tunapewa shi milioni 2 kila mtu tushazoea na saizi tunaona kawaida mana atafanya lakini haondoki nacho na hajawai kumwagia ndani na toka tulipo kuona tulivutika sana na wewe ndio mana tumekubali mimi na husna tu share penzi ila tunaomba usituache " alimaliza kutoa hayo maelezo huku machozi yakimlenga lenga naomba usije ukamwambia mtu juu ya hiki tulichokifanya nafikili umenielewa" " ndiyo nasma " nilimjibu huku nikiwa najifunika shuka vizuri " kuanzia leo sitaki uniite nasma tukiwa wa wili tu sawa" "Sawa nimekuelewa" tulipomaliza kuongea nasma alitokazake na kuondoka akiniacha Mimi kitandani na kwakuwa nilikuwa nimechoka sana sikuchukua muda mrefu nikapiwa na usingizi mpaka asubuhi nilipostuka baada ya kuamshwa na errycah " we we hamka mbona umelala sana " " daaaah mmmmh naaamka " nilijibu huku nikijifikicha macho" " unajua umelala sana Leo ila pole Jana ulifanya kazi kubwa sana!!! kuzunguka nusu nyumba mpaka mama " " aaaah!!! samahani sana nimeshindwa kutunzia penzi lako " kasema umechoka sana nyumba nzima wameondoka tumebaki sisi tu" " mmmh poa kwaiyo tumebaki wawili tu??" " ndiyo mana baba akisha maliza kulala na husna na nasma lazima watoke waende bank akawape hela zao na wanaenda kuwaona wazazi wao tanga" errycah alinijibu huku akitoka chumbani kwangu " poa nakuja tuongee vizuri ngoja nikaoge" niliaamka nikaelekea bafuni kuoga nilipomaliza nilivaa singlendi na kipensi cha jinzi nikatoka nikaelekea sebreni nilipomkuta errycah akiniandalia kifungua kinywa kilikuwa ni chapati na rosti ya maini bila kusahau na chai ya maziwa nikanywa chai pale mpaka nikashiba kabisa nikasema leo ndio leo lazima nijue siri ya kile chumba. lakini errycah alikuja na kunivamia pale pale kwenye sofa Alianza kunila denda na Mimi nikampa ushilikiano na kwajinsi alivyokuwa na mapaja mazuri na ngozi laini alizidi kunipa msisimko.nikawa namuangalia nione kama kaongeza ujuzi kama wengine akavua kitop chake akabaki na sidilia huku viziwa vyake vikiwa vimechongoka kama mshale nikaanza kuvinyonya hapohapo kwenye sofa " mmmmh aaashhiiiii oooooh taaamu" alikuwa akitoa kilio cha hisia.huku na Mimi nikiendelea kunyonya maziwa yake huku mkono wangu wa kulia ukiwa kwenye kitumbua chake ukisugua kiharage mpaka nikahisi majimaji yamoto yakitoka " iiiiiiiiiiishhhhh baby mmmmh kweeeeliii" " tulia baby " nimwambia huku nikiendelea kunyonya viziwa vyake nikienda mpaka shingoni nikamlaza kwenye sofa vizuri nilipomlaza akalishika dudu langu akaliingiza kwenye kitumbua chake huku akilikatikia miuno nikaanza kupampu mdogo mdogo sikutaka kuwa na papara nikiwa napampu kama sitaki. " baby ngoja nikae hivi"aliniambia huku akikaa mkao unaoitwa mbuzi kagoma kwenda na kiuo chake kakibinua kama nyigu nikashika dudu laku nikaliingiza kwenye kitumbia chake japo lilikuwa likiingia kwa ugumu kutokana lilikuwa kubwa lakini liliingia loooote. " mmmmh aaaaaah oooooshoiii" kilikuwa ni kilio cha mtoto wakike huku akikatika viuno vilivyokuwa vikinipa msisimko wa kuendelea kupampu huku wowowo lake likijipiga kwenye mapaja yangu nilimplekesha mpaka nikaona anatoa machozi " mmmmh baby ingiza yote kumbe tamuuuuuui oooooshhhhiiioo" " mmmh baby kumbe mtamu hivi" nilimwambia mtoto huyu huku nikichomoa na kuchomeka mtoto alikuwa mtamu kiasi kwamba sikuchukua hata muda nikapiga goli langu moja huku nayeye akitangaza ushindi tulimaliza wote kwa furaha. " asante baby kwa penzi lako" " asante pia " nilimwambia binamu huku nikimalizia kufunga zipu ya kipensi changu. " asante mana sasa nimekujua vizuri ulivyo" " kivipi "nilimuuliza " unajua Jana wakati mna sex na husna niliwasikia kila kitu na lijua vingi sana kumbe baba yangu ndie aliye nifanyia unyama wa kunitoa bikra yangu" " inamana jana ulisikia kila kitu" " ndiyo tena naomba kama ikiwezekana utuoe wote wa NNE mana sote tunakupenda." " mmmh jamani nitawezaje kuwaoa wote wanne?" " ndiyo hivyo mana leo asubuhi tume kutana wote tume kubaliana tupo teali tuolewe na wewe" "nilibaki kimya kwa mda nikamwambia twende basi kwenye chumba cha sili tujue mbivu na mbichi"............. je walifanikiwa kuingia chumba cha siri Mimi na wewe hatujui tukutane sehemu ya 17 like page yetu sasa share kama tupo pamoja....... ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA NANE (08) ILIPOISHIA SEHEMU YA SABA: Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. endelea........ Niram alishindwa kuamini alichokionaa, kwa muda ule kiukweli alitoa macho kama ndubwi, spidi ya moyo kwenda mbio vilizidi kuongezea. Hakuamini kuona mtu aliyekuwa anamuhitaji kwa muda huo ndo alikuwa anampigia.basi alichukua simu yake na kuipokea. "hellow vicent".ilikuwa ni sauti tamu yenye kusisimua mwili.hakika hata vicent alipata kigugumizi cha gafla na wakati yeye ndie aliepiga. "aaaghahg!! Niambie niram umeshindaje kipenzi? ".aliongea vicent kwa sauti ya upole na ya kiume,kiasi niram alijisikia raha sana kuisikiliza. "nipo poa kulikuwa na wageni leo basi kulikuwa na kazi kweli".aliongea niram kwa sauti yake ile nzuri na ya upole, kama ya Madeko hivi. "oooh pole mamy si ungeniita nije nikusaidie".aliongea vicent, kwa utani huku akisubiri jibu. "ahhhhah! Uongo tu ungekuwa kweli wewe".alijichekesha ki kikekike niram huku anabadili mikao ya kukaa pale alipokuwa. "yaap ningekuja kwanini nisije kwa rafiki yangu kumsaidia jamani?".alijiongelesha kama anauliza hivi huku ikiwa sauti fulani inayoonyesha hali ya kujali. Niram alifurahi sanaa kusikia vile. "mmh! Basi nashukuru kwakunijali kipenzi".aliongea niram kwa madeko. "usiliongelee hilo ni wajibu wangu kama rafiki".aliongea vicent. "basi wifi anapata raha sana".aliongea niram huku akitia kijineno cha mtego. "sina mama yangu, bado sijabahatika".aliongea vicent kwa utulivu wa hali ya juu, kwa hakika ungesema kweli mwanaume ndiyo huyu. Alijua sana kuongea na mwanamke na akaelewa. "ooh usijali Mungu atakupa my"aliongea niram. "sawa nashukuru sana na mimi ntajiona ni mwenye bahati".alijibu vicent,basi waliongea mengi sana mpaka walipoagana, kwa maana kesho ilikuwa ni siku ya shule. **** Ilikuwa ni siku ya pili, watu walikuwa na pilikapilika zao kama kawaida. Huku kila mmoja akiwa katika harakati za utafutaji. Magari yakikuwa yanapishana kila wakati. Basi muda huo shuleni niram, alikuwa ni mtu wa tabasamu muda wote,alikuwa kachangamka sana hata marafiki zake wakimshangaa, ila aliyejua tofauti ya niram ni hajra peke yake. Alimtazama kwa muda kisha akamuuliza "vipi dada mbona huko happy hivyo?".aliuliza kwa sauti ya chini hajra, huku wengine wakiwa bize kufanya yao. "mmh kwani nikoje jamani!?".akiuliza niram,huku akiachia tabasamu pana sana usoni mwake. "we mwenyewe ujioni kama upo tofauti leo?".aliongea hajra huku akapachika na swali. "hamna bwana mama jana alinifurahisha sana ".aliongea niram, huku akionyesha kuwa hakuwa akiongopa. "oooh!! Sawa".alijibu hajra, huku anageuka kujumuika na wengine. Niram yeye muda wote alikuwa ni kutabasamu alijishangaa hata kwanini, anajiona ni mwenye amani sana. Basi akachukua kitabu na kuanza kujisomea kwa umakini wa hali ya juu. **** Na huku shuleni kwa akina vicent mambo yalikuwa hatari. Maana suma alikuwa ana mchecheto wa hali ya juu halikuwa kwenye stori za kufa mtu. "basi jana niwaambie si somoe akanipigia bwana unajua nilichokifanya nikamchunia mi nilikuwa na miadi na hadija ye ananiletea kiwingu".akanyamaza kidogo kisha akaendelea. "basi jana nikakutana na hadija weeeeeh!!mtoto fundi mtoto anakata uno kama feniii we acha, yule mtoto balaaa".aliongea suma huku richard na vicent wakiwa wanamuangalia.ila rachard mbavu alikuwa hana kwa kicheko, huku vicent akiwa kutabasamu tu. "umemaliza? ".aliuliza vicent. "daah!huyu kashaanza ulokole wake".aliongea suma. "siyo ulokole uwo ni ushamba, we mwenyewe unaona sifa alafu ukigongewa dada yako unawaka kama pilipili ".aliongea vicent akionyeshwa kuchukizwa na rafiki yake huyo. "yani kwakuwa wewe upendo kwahiyo sisi tusiongee? "alihoji suma, huku kama alishaanza kupaniki hivi maana sura ilichenji. "yani hakuna kusema chochote hapo tabia zako azituvutiii unawazalilisha dada zetu tusikuambie".aliongeara Richard huku amemkazia macho bila chembe ya uoga. "mwambie huyoo huo ni ujinga broo".aliongea tena vicent huku anamtazama. "eeh basi yaishe ,tuongee mengine vipi yule mtoto wa Kihindi nipe stori basi".aliongea tena suma. "aisee suma ukoje mbona hupendeza kuwa mmbea".aliongea richard. "aaah! Kausha mi si nishabadili mada, nauliza mambo mengine".alijitetea suma huku akikaa vizuri kuambiwa yaliyojiri. "hivi unajua kwanini jana nilikukatia simu? Coz lisilokuhusu usilikingie kifua, kila mtu apambane na hali yake mambo ya mahusiano yangu hayakusu"aliongea vicent huku akinyanyuka,na kuanza kutoka nje, richard akamfuata, maana vicent alionyesha kuchukia. Suma akabaki katulia kanywea vibayaaaa, kama kamwagiwa maji.*** Mama vicent alikuwa sebuleni, alikuwa amekaa na mama wa makamo kama yeye kwakweli walionekana ,kama wapo kwenye maongezi mazito, maana vilisikika vicheko vya hali ya juu. Ila gafla wakaacha kucheka macho yote yakageuka kutazama........ Itaendelea. ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Tatu (3) BY GIVAN IVAN Ilipoishia........ Baada ya Penina kuondoka tu, Frank kabla hajapiga hata hatua moja kuondoka pale, ghafla alishtukia amezungukwa na vijana watatu wa kiume waliokuwa wamevalia miwani nyeusi kila mmoja. Na hata Frank alipowaangalia hakuweza kuwafahamu. .......... .. Endelea............ "tulia hivyo hivyo na sikiliza tunachokuambia." akaongea kijana mmoja huku akiwa ametoa kisu na kumuwekea Frank shingoni. Frank naye alikuwa kimya na kuwasikiliza walichokuwa wanataka kumuambia. "sikiliza wewe kijana wewe bado mdogo Sana, hivyo bas tunakusihi uachane na Penina haraka iwezekanvyo, hili ni onyo tu tunakupa na ukikaidi bas shingo yako tutaikata kama ya kuku." akaongea kijana ambaye alikuwa kiongozi wa wenzake, kijana huyo aliitwa Zaza. Baada ya Zaza kumwambia Frank maneno yale ya kumtisha aliondoka na wenzake na kuingia kwenye gari moja nyeusi iliyokuwa imepaki pembeni Yao, Kisha gari likaondolewa kwa kasi ya ajabu huku dereva wao akiwa ni mwanamke anayejulikana kwa Jina la Melissa, moja Kati ya vijana waliopewa kazi nzito ya kuliharibu penzi la Frank na Penina. Frank alianza kuingiwa na hofu na kujiuliza "ni nini tena kinaendelea juu yake? " Frank alijivuta na kuondoka sehemu Ile na kuingia nyumbani kwao akiwa mnyonge kuliko kawaida yake. " eeh kaka vip mbona mnyonge hivyo kulikoni tena? " akauliza Angel mdogo wake Frank. " aah kuna vijitu vinataka kuniharibia siku hapo nje." akajibu Frank na kuketi kwenye kigoda. "watu gani tena hao mwanangu?" akauliza pia mama yake Frank. "mama kuna watu hapo nje wamenisimamisha na kunitishia niachane na Penina la sivyo wataniua." akaongea Frank kuwaambia wazazi wake wakiwa wamepigwa na butwaa. "haa mwanangu katoe taarifa haraka polisi kwa usalama wa maisha yako." akaongea baba yake Frank kumpa ushauri mtoto wake. "Polisi siendi baba nachojua mimi Penina ni mpenzi wangu nampenda na yeye ananipenda, yoyote atakayeingilia penzi langu na Penina ama zake ama zangu na kukuonesha mfano naanza na hawa walionitisha leo." akaongea Frank kwa jazba Kisha akanyanyuka na kuondoka kuelekea chumbani kwake. "kuwa makini mwanangu tusije tukakupoteza mapema." akaongea baba yake Frank, lakini Muda huo Frank alikuwa ameshatoweka mbele ya macho yao. "Mimi ni mwanaume rijali nitakubalije kutenganishwa na Penina kirahisi hivi?" alikuwa Frank akijiuliza swali hilo huku akizunguka zunguka chumbani kwake. "naamini hakuna mwenye uwezo wa kunitenganisha mimi na Penina isipokuwa Mungu tu." akaongea Frank huku sasa akiwa amejilaza chali kitandani kwake.* Hatimaye Penina naye aliwasili nyumbani na Muda huo ikiwa ni majira ya saa tatu usiku. Geti lilifunguliwa na taratibu Penina akaingiza gari ndani na kulipaki sehemu yake, Kisha yeye akashuka na kuanza kuelekea ndani Katika jumba la kifahari kwa mwendo madaha kama kinyonga. Lakini kabla hajaingia ndani alikutana na baba yake mlangoni ambaye alionesha wazi kuwa alikuwa anamsubiri Penina. "shikamoo baba!" akasalimia Penina, lakini baba yake badalaa aitikie salamu ile akamuuliza Penina, "umetoka wapi usiku huu?" "nilikuwa na mpenzi wangu Frank kuna sehemu tulienda ndio narudi Sasa hivi." Penina akamjibu baba yake bila uoga. "wewe ni Mara ngapi nimekukataza kurudi nyumbani kwangu usiku? Na si nimeshakuambia uachane na huyo chokora wako?" akauliza baba yake Penina huku akiwa amezira. "Kwa kosa la kurudi nyumbani usiku naomba unisamehe baba yangu, Lakini muda si mrefu nitakuondolea hii kero ya kurudi nyumbani usiku kwasababu mimi na huyo mpenzi wangu unayemuita chokora tumeshaanza harakati za kufunga ndoa na tutahamia kwetu muda si mrefu." akaongea Penina kumuambia baba yake bila uoga wowote. "hivi wewe mpumbavu unajua unaongea na nani? Maana naona unaropoka ropoka tu kama umekunywa maji machafu." akaongea baba yake Penina. "ndio najua naongea na nani, najua naongea na wewe hapo baba yangu kipenzi tena nakupenda Sana lakini najua wewe hunipendi." akaongea Penina maneno hayo ambayo yalimfanya baba yake apoe kidogo. "hapana mwanangu sio kwamba sikupendi, nakupenda sana tena Sana Ila huyo unayemuita Frank mi ndio ananikera kupita maelezo yaani nikimuona nahisi hata kutapika." akaongea baba yake Penina kwa upole kidogo. "Baba unataka niachane na Frank?" akauliza Penina. "ndio mwanangu tena nitafurahi Sana na nitakupa zawadi kubwa Sana." akaongea baba yake Penina. "ok bas subiri kidogo." akasema Penina Kisha akaondoka kwa Kas mpaka jikon ambapo alichukua kisu na kurudi nacho mpaka kwa baba yake. Wakati hayo yote yanatendeka Noel ambaye ni kaka yake Penina alikuwa akiyashuhudia yote hayo. "kama unataka niachane na Frank niue kwasababu hiyo ndio njia pekee." akaongea Penina huku akimkabidhi baba yake kisu kile. "haa mwanangu Sasa huu utoto gani unaleta mbele yangu?" akauliza baba yake huku akikitupa kisu kile pembeni. "sio utoto baba bali namaanisha ninachokiongea, na kama umeshindwa kutekeleza nilichokuamuru bas tambua hakuna wa kunitenganisha na Frank na siku si nyingi tutafunga pingu za maisha, na sitojali kama wewe utaudhuria ama hutoudhuria." akaongea Penina kumuambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. Nolan naye alitoka sehemu aliyokuwepo akisikiliza malumbano ya Penina na baba yake na kumfuata Penina chumbani kwake. Huku nyuma baada ya Penina kuondoka, baba yake alitoa simu yake na Mara moja akampigia Zaza. "hallow mzee Joel.!" akaongea Zaza baada ya kupokea simu. "Zaza nisikilize kwa makini, Penina na yule chokora wapo Katika mipango ya kufunga ndoa, Sasa nachotaka mfanye ni kuwatenganisha kwa namna yoyote ile, mnachotakiwa kufanya ni kumteka nyara huyo chokora alafu mkamtupe mbali kabisa sehemu ambayo mnajua anaweza chukua hata mwaka mmoja Kuja kuonana na Penina tena. " akaongea mzee Joel kwa kusisitiza (mzee Joel ni baba yake Penina) " Sawa hamna shida mzee wetu tutafanya hivyo." akajibu Zaza. "ok bas fanyeni haraka iwezekanavyo kama mtahitaji pesa zaidi mtanijulisha." mzee Joel akamwambia Zaza na kukataa simu. * Penina baada ya kuingia chumbani kwake ghafla kaka yake naye akaingia pamoja naye. "hee kaka kumbe ulikuwa nyuma yangu?" akahoji Penina kwa mshangao. "ndio na pia nilikuwa nasikiliza malumbano yenu mzee." akaongea Nolan ambaye ni kaka yake Penina. "yaani kaka wewe acha tu, baba angejua navyompenda asingenifanyia hivi anavyonifanyia." akaongea Penina kwa huzuni kumuambia Nolan. "Ila mdogo wangu usijali wewe simamia kile unachokiamini na mimi nitakuwa nyuma yako kukusaidia." akaongea Nolan kumtia moyo Penina. "nashukuru kaka kusikia hivyo angalau wewe ndio uko upande wangu." akaongea Penina kumshukuru kaka yake. "usijali mdogo wangu wewe lala kwa amani tutaonana kesho." akaongea Nolan na kuondoka chumbani kwa Penina.* Kwa upande wa kina zaza usiku ule ule walianza kupanga mikakati ya kumteka Frank na kwenda kumtupa mbali kabisa na jiji la dar es salam. Lakini hii ilikuwa kazi ngumu Sana ambayo walihitaji pesa za kutosha na pia wachore ramani ya sehemu watakayoenda kumtupa Frank. ....... Itaendelea ... Read More
*LOVE BITE EP 04* ILIPOISHIA…… Aliongea Jothan huku machozi yakimlenga lenga. Hakika ni uamuzi mgumu aliouchukua kwakua aliamini ilikuwa ni mtihani mkubwa katika mapokezi ya mlengwa. Alipoinua macho yake kumtazama Prisca, tayari mashavu ya prisca yalishalowana kwa machozi huku macho yakiwa mekundu. Kilio cha kwiki kilianza kusikika na kumfanya Jothan kuingiwa na imani baada ya kumtaza mpenzi wake huyo anaye amua kumuacha bila kosa lolote. SONGA NAYO…………….. Machozi na kilio cha kwikwi kiliendelea kwa dakika kadhaa, Prisca alimuangalia Jothan ambaye alikua ana muonea aibu wakati huo. Hakuamini kuwa ndiye yeye aliyetamka maneno yale,. “kwanini mimi?…. kwanini Jothan umeamua kuzichezea hisia zangu kwa miaka yote hiyo niliyokuwa na wewe kumbe ulikuwa huna malengo ya kuwa na mimi. Kwanini Jothan umeamua kunifanyia hivyo?” aliongea Prisca huku analia. “sorry Prisca. Unafikiri ningefanyaje kwa hali niliyokuwa nayo hivi sasa. Sina jinsi japokuwa bado nakupenda sana. Ningekuwa mtu mwengine hivi sasa ningeendelea kuwachanganya wote wawili. Ila roho huwa inanisuta kufanya hivyo kwakua hata mimi sihitaji kuchezewa hisia zangu. Naomba kubaliana tu na maamuzi yangu japokuwa unaumia.” Aliongea Jothan huku na yeye akijifuta machozi yaliyomdondoka kutokana na hali aliyokuwa nayo Prisca inavyosikitisha. “thank you for everything.” Aliongea Prisca na kunyanyuka na kuondoka. Alimuacha Jothan ambaye alijiinamia na kujilaumu kwa alichokifanya. Akili nyingine ilimwambia kama mwanaume wa ukweli na mwenye msimamo basi alifanya maamuzi sahihi na ya busara. Alirudi nyumbani na kumkuta Shani amejaa tele nyumbani kwake. Alipofika tu, Shani alimfuata na kumkumbatia. Ingawaje Jothan alijichekesha, lakini Shani aligundua kuwa hakuwa sawa. “una nini mume wangu?. Aliuliza Shani baada ya kumuangalia usoni Jothan. “kawaida tu mke wangu.. kwani naonyesha nina tatizo?” aliuliza Jothan kuhakikisha alichokisikia kutoka kwa Shani. “sura yako inaonyesha kama ullikuwa unalia au ulikuwa unahuzunika muda si mrefu.” Aliongea Shani na kumfanya Jothan kumuangalia usoni Shani. “kichwa kilikua kinanigonga sana, hata hivyo sasa hivi niko sawa.” Aliongopa Jothan “pole mume wangu, kama bado kinaendelea we niambie nikununulie panadol au nikusindikize hospital… usidharau mume wangu.” Aliongea Shani huku akionyesha kwa alikua anajali sana afya ya mwenzi wake. “usijali, niko sawa tu.” Aliongea Jothan na kuingia chumbani kwake. Alijilaza na kuwaza yaliyotokea muda mfupi uliopita. Aliamua kupiga moyo konde na kuona yote yalikuwa ni majaribu tu. Maisha yalikuwa mazuri huku kila mmoja akifurahia uwepo wa mwenzake. Hata Jothan mwenyewe alikiri kuwa uamuzi wake ulikuwa sahihi sana kumchagua Shani katika maisha yake badala ya Prisca ambaye mpaka kipindi hicho alikuwa ameshakatisha mawasiliano naye. Shani naye alijitahidi kuhakikisha anafanya yale yote apendayo Jothan na kumteka Jothan kisawa sawa. Ilkuwa akiongelewa mwanamke bora basi Jothan alilipitisha jina la Shani bila kuangalia kuwa alikuwa na nani au alizungukwa na wasichana wazuri. Alitumia muda mwingi kuwa karibu na Shani. Hata kama alikua anataka kwenda kutanua, basi Shani alikuwa ubavuni kila walipoenda. Siku moja ambayo ilikua ni mwisho wa wiki, Jothan aliamua kulala tu Jumaapili hiyo kutokana na uchovu aliokuwa nao wa jana yake kwakua walienda club yeye na Shani na kurudi asubuhi kabisa. Nyumbani kwake aligonga hodi mgeni mmoja wa kike na kufunguliwa mlango na Shani ambaye alishaamka na alikuwa anfanya usafi nyumbani kwake. “za saa hizi dada.” Alisalimia yule mgeni ambaye alionyesha wazi kuwa alikua amechoka kutokana na mimba kubwa aliyokuwa nayo. “salama tu.” Alijibu Shani na kumsikiliza huyo msichana shida yake. “sijui nimemkuta mwenye nyumba hii?” aliuliza yule dada na kumuangalia Shani aliyekuwa makini akimsikiliza. “mwenyewe kalala, ila naweza kukusaidia kama hutajali kunieleza shida yako.” Aliongea Shani na kumuangalia yule dada. “ni vyema kama nita onana nae mwenyewe.” Aliongea yule dada na kumfanya Shani amkaribishe ndani. Kwakua Shani alikua anaandaa chai, hakuona ubaya kuandaa ya kutosha na kumkaribisha yule mgeni aliyekunywa chai kama anafukuzwa kutokana na njaa aliyokuwa nayo. Shani aligundua njaa aliyokuwa nayo mgeni huyo na kumuongezea vyakula mpaka alipohakikisha ameshiba ndio akaamua kumfuata na kumuuliza maswali machache wakati wanamsubiri bwana mkuwa aamke. “tunsubiri aamke, si unajua alikesha jana kwa hiyo sio vizuri kumuamsha mtu akiwa katika uchovu kama huo.” Aliongea Shani na wazo hilo likapitishwa na yule mgeni. Jothan aliamka na kwenda kuoga. Alivaa nguo zake nyepesi na kwenda sebuleni na kumkuta mgeni aliyekuwa anamsubiri. Yule dada alipogeuza shingo kumuangalia Jothan, macho yalimtoka na kujikuta mshangao mkuu umempata. “wewe, umefuata nini nyumbani kwangu?” aliuliza Jothan kwa hasira. Yule mgeni hakua na la kujibu zaidi ya kujiinamia. “na wewe unawakaribishwa watu humu ndani wengine ni nyoka kama huyu mwanamke.” Aliongea Jothan na kumuweka Shani kwenye bumbuwazi. “mbona sielewi, maana mimi aliniambia ni mgeni wako ndio maana nikaona si vibaya kumkaribisha ndani.” Alijitetea Shani. “mimi simjui huyu, .. kwani wewe msichana unaitwa nani?” aliuliza Jothan na kwenda kukaa kwenye moja ya sofa za pale sebuleni. “BAHATI.” Alijibu yule mgeni kwa aibu na kuangalia chini. “WHO A BAHATI BAY THE WAY??” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati kupiga magoti mbele yake na kuanza kulia kwa uchungu. “sihitaji kupigiwa magoti mama, mpigie magoti mungu wako na umuombe msamaha kwa ulichokitenda kwangu mimi.” Aliongea Jothan na kumuinua Shani pale chini. “naomba unisamehe, nimehadaika tu na jiji na hivi sasa limeshanifunza Jothan.” Aliongea Bahati huku analia. “leo hii unamjua Jothan wewe?.. si ulikua hunijui wewe?.. nani kakutajia jina langu?” aliuliza Jothan maswali mfulumizo yaliyomshinda Bahati kujibu na kubaki analia tu. “nyamaza kulia dada, kwani tatizo ni nini?.. niewekeni wazi jamani.” Aliongea Shani baada ya kukaa kimya muda mrefu. “sikiliza mke wangu, huyu dada ni mpumbavu na hana akili hata kidogo. Alikuwa na matatizo ya macho yaliyomsababishia upofu na hakuwa anaona hapo mwanzo. Mimi kwa imani yangu nikamchukua kutoka kwa mama yake Arusha na kuja naye hapa Dar kwa nia njema ya kumtibu. Sikuhitaji chochote kutoka kwake. Ila malipo aliyokuja kunilipa haki ya mungu kanifanya moyo wangu uwe na sugu na kuwa mgumu kuwasaidia wengine. Yaani alipopata macho ndio akaniona mimi takataka baada ya bosi wangu kumtaka. Siku niliyokutana naye akajifanya sauti yangu kaisahau. Yaani hata nilipojitambulisha bado akijifanya hanijui. Nikasamehe na kuachana naye, bado akaona haitoshi akaamua kunifanyia fitina mpaka nikafukuzwa kazi bila kosa. Sasa huyu utamuita mtu au kiatu tena kisichokuwa na kamba?” Aliongeea Jothan maneno yaliyomchoma Bahati na kumfanya aanze kulia kwa sauti kubwa zaidi ya aliyokuwa analia. “msamehe mume wangu, mungu kakujaalia umepata kazi nyingine. Na hujui kakuepusha na nini kukutoa kule. Na huyu adhabu yake ndio hii. Maana amepewa mimba na ametimuliwa. Hana msaada mwingine zaidi yako wewe. Msamehe tu mume wangu.” Aliongea Shani na kumsogelea Jothan aliyekuwa kafura kwa hasira na kuanza kumshika shika. Jothan alivuta pumzi ndefu kisha akamuangalia Bahati. “ni msaada gani unaotaka kutoka kwangu?” aliuliza Jothan na kumfanya Bahati kufuta machozi. “naomba unisaidie kunipeleka tu Arusha kwa mama yangu.” Aliongea Bahati huku analia. Kauli hiyo iliwaigia wote wawili. Ghafla walishangaa kumuona Jothan machozi yanamtoka kwa jinsi alivyokuwa anamuonea imani msichana mzuri walivyomtumia vibaya na kuwa kama kituko. Hakua Bahati yule kipofu mwenye bashasha usoni kila wakati. Sasa hivi mashavu yalimuingia ndani, nywele zake hazitazamiki mara mbili. Ngozi yake ilijaa makovu ya kupigwa kila sehemu. Jothan alijikuta ameguswa na kuanza kulia kwa sauti. Alinyanyuka huku analia na kumfuata Bahati na kumuinua kichwa chake na kuitazama sura yake iliyokuwa imelowa machozi na kuvimba kutokana na kulia kwa muda mrefu. “utakaa hapa mpaka utakapojifungua na kurudisha afya yako… pole sana kwa yaliyo kukuta.” Hatimaye aliongea maneno hayo yaliyomfanya Bahati kumkumbatia Jothan bila kujali uwepo wa mke wake pale. Wali muhurumia Bahati na kumpa chumba mule ndani. Siku tatu baadae, Bahati alipatwa na uchungu na kumuwahisha hospitali ya kulipia iliyopo kinondoni. Uchungu ulidumu kwa siku mbili mfululizo na kwa bahati nzuri Bahati alifanikiwa kujifungua salama mtoto wa kike. Aliwashukuru sana Shani na Jothan kwa utu wao waliouonyesha juu yake, maana walikuwa nae bega kwa bega na kuhakikisha kuwa anajifungua salama. Baada ya miezi mitatu kupita, Jothan aliamua kumsafirisha Bahati na kumrudisha kwao Arusha. Alilazimika kwenda naye kwakua Bahati hakua anapajua kutokana na hali yake ya upofu aliyokuwa nayo mwanzo. Walipofika Arusha mjini, Jothan alikodi taksi iliyowafikisha mpaka nyumbani kwa kina Bahati. Ilikuwa zaidi ya furaha kwa mama yake Bahati baada ya kumuona mwanaye akiwa anaona . alimfuata na kumkumbatia. “karibuni…. Karibuni nyumbani.” Alikaribisha mama huyo kwa Furaha. “ahsante, tumeshakaribia.”aliongea Jothan na kuingia ndani. Kwa furaha ya ajabu, mama huyo alikuwa anatabasamu kila muda kutokana na kumkumbuka mwanaye. Wakati wanaendelea na stori za kawaida. Ghafla mlango ulianza kugongwa kwa nguvu. Mama yake Bahati alitoka na kwenda kumsikiliza mtu anayegonga mlango. Alikaa huko kwa dakika kadhaa. Na baadae alirudi huku akiwa hana furaha kama aliyokuwa nayo mwanzo. “samahani baba, namchukua huyu tukatete kidogo.” Aliongea mama yake Bahati. “hamna shida mama.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati anyanyuke na kumfuata mama yake.. “mwanangu, aliyekuja kugonga ni mwenye nyumba. Amesema kuwa ametuchoka kutokana na kutomlipa kodi yake kwa muda mrefu. Yaani nimechanganyikiwa hata sijui tutafanyaje.” Aliongea mama yake Bahati baada ya kumuita mwanaye chemba. “usijali mama, nililijua hili ndio maana nikamuelezea Jothan mapema. Ametuahidi kutusaidia.” Aliongea Bahati na kumfanya mama yake amuangalie. “kwani, wewe na huyo Jothan mkoje?” Alijikuta mama yake Bahati anauliza swali lile kutokana na kutoelewa mazingira na makubaliano ya kumponyesha mtoto wake macho na kumrudisha akiwa na mtoto. “ni story ndefu mama, ila kifupi ni mkombozi wangu na wewe pia. Naweza sema hivyo.” Aliongea Bahati. “kwa hiyo unataka kusema kuwa hata huyu mtoto si wa kwake.” Aliuliza mama yake Bahati. “ndio mama.” Aliongea Bahati kimkato huku akitaka kumuonyesha mama yake ni jinsi gani asivyotaka kuaonngelea ile mada kwa muda ule. Baada ya muda Bahati alirudi sebuleni alipomuacha Jothan na mama yake akaenda kuandaa chakula cha jioni. “mbona hivyo, kwema?” aliuliza Jothan baada ya Bahati kurejea pale. “sio kwema, kama nillivyokuambia siku ile. Mama kashindwa kulipa kodi hivyo mwenye nyuumba anataka hela yake au tuhame.” Aliongea Bahati na kumuangalia Jothan. Baada ya chakula cha usiku, Jothan alimkabidhi mama yake Bahati fedha tasilimu shilingi laki saba kwa ajili ya kulipa deni la laki nne analodaiwa na hiyo nyengine kwa ajili ya mkataba mpya. Mama yake Bahati alifurahi kidogo machozi yamtoke na kumuombea sana dua za mafanikio Jothan. “naomba niwaache, naenda kulala Hotel na mungu akipenda kesho ndio safari yangu ya kurudi Dar-es-salaam” aliongea Jothan baada ya kuangalia saa yake ya mkononi na kumuonyesha kuwa ilishatimu saa tatu kamili. “sawa mwanangu. Mungu akutangulie katika kila jambo lako.” Aliongea mama yake Bahati na jothan akatoka huku Bahati akimsindikiza. “nakushukuru kwa yote ulioamua kuyafanya katika maisha yangu. Nakuomba usichoke kuwasaidia wasiojiweza kama nilivyokuwa mimi japokuwa nilikuumiza… kwa mungu kuna fungu lako Jothan.” Aliongea Bahati walipokuwa njiani wakisindikizana. “usijali, hata mimi naamini mambo yangu yananinyookea kwakua nakigawa kidogo kwa wenzangu wenye shida. Yale yalikuwa maneno tu tena kwa sababu nilikuwa na hasira. Mimi sina kinyongo na wewe. Moyo wangu mweupe na nakuombea pia maisha mazuri na ya furaha na mtoto wako. Naamini hutofanya makosa tena kwakua umeshajifunza.” Aliongea Jothan huku wakiikaribia bara bara. Baada ya kufika kituoni, waliagana huku Bahati machozi yanamtoka kwakujua kuwa ule ulikuwa mwisho wa kuonana na mwanaume huyo wa ajabu maishani mwake. Aliondoka huku kila baada ya hatua moja akigeuka nyuma kumtazama Jothan. Kwa mbali kulikuwa na gari linakuja spidi upande aliokuwa Bahati. Jothan alipotupa macho yake kuitazama ile gari ilikaribia kabisa kumgonga Bahati ambaye wakati huo Bahati hakuiona ile gari kwakua likua bize kumuangalia Jothan. Aliamua kutupa begi lake na kumkimbilia Bahati, alipofika tu alimsukuma na kwa bahati mbaya ile gari ilikuwa inajaribu kumkwepa Bahati na kumgonga Jothan. “MAAAMAAAAAA!” Alipiga kelele Bahati baada ya kumshuhudia Jothan akianguka chini baada ya kugongwa. Damu nyingi zilikuwa zinamtoka puani na mdomoni. Yule dereva aliyemgonga Jothan, alisimamisha gari na kumuingiza Jothan pamoja na Bahati na safari ya kuelekea hospitali kwa ajili ya kujaribu kuokoa maisha ya Jothan ilianza mara moja.. Walipofika hospitali, walipokelewa haraka na Jothan akakimbizwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “jamani kwa hali ya mgonjwa wenu, anatakiwa kufanyiwa operation haraka iwezekanavyo ili kuokoa maisha yake.” Aliongea daktari na wote wakakubaliana kuwa tendo lile lifanyike. Bahati alikuwa mtu wa kulia tu usiku nzima. Alijua yeye ndio sababu iliyomsababishia Jothan kugongwa na lile gari.. Alilia na kumuomba mungu asimchukue Jothan. Alirudi nyumbani asubuhi na kumtaarifu mama yake juu ya kilichotokea. Mama yake alisikitika sana na kwenda hospitali ambapo walikaa kwa masaa manne bila kuruhusiwa kumuona mgonjwa. Walirudi nyumbani na kurudi tena hospitalini jioni ambapo waliruhusiwa kuingia ndani na kumkuta yule mtu aliyemgonga Jothan akwa pale hospitalini. Bahati alimuelekeza mama yake kwa yule mtu aliyeonekana na moyo wa pekee kwa kukubali kuisimamia afya ya Jothan kwa kipindi chote atakacholazwa pale hospitalini. “kwa maelezo ya dokta, amesema kuwa atarejewa na fahamu kiasi katikati ya wiki hii,.. ila itachukua muda mrefu kurudiwa na kumbukumbu.” Aliongea yule jamaa alyemgonga baada ya kujitambulisha kwa jina la Saimon. Baada ya taarifa zile, walikubaliana na kuondoka huku zoezi la kumuangalia Jothan likiwa linaendelea kila siku. Baada ya wiki mbili jothan alifumbua macho. Lakini hakuweza kuongea na hakuwa na kumbukumbu yoyote. “kwa hiyo dokta tunaruhusiwa kuondoka naye” aliuliza Saimon baada ya daktari kuridhika na maendeleo ya Jothan. “mnaruhusiwa, ila kwa masharti. Msimsumbue kwa kumlazimisha akumbuke kitu chochote. Maana kumbukumbu zake zitakuja taratibu kutokana na mazingira katika ubongo wake.” Aliongea dakrari katika moja ya kuwapa maangalizo juu ya mgonjwa wao. “sawa, sasa inaweza kuchukua muda gani hadi kurudiwa na fahamu zake sawa sawa?” aliuliza Bahati. “inaweza kuchukua miezi sita, nane au mwaka mzima kutokana na ukubwa wa tatizo lenyewe.” Aliongea daktari na kuwafanya wote waliokuwa pale waishiwe nguvu. Walikubaliana waondoke naye na kwenda kukaa kwa kina Bahati huku Simon akiwaambia kuwa atakuwa pamoja nao katika kila hali. Kutokana na kuchanganyikiwa siku aliyopata ajali Jothan, Bahati hakuokota kitu chochote alichokuwa amebeba Jothan siku ile. Hivyo hakuwa na mawasiliano angalau amjulishe Shani juu ya ajali iliyompata mpenzi wake. Siku zilikatika kwa kasi bila Jothan kuonyesha dalili zozote za kukumba yaliyokuwa nyuma. Hata jina lake tu alianza kulizoea baada ya Shani na mama yake kulitamka kila mara. Kwa upande wa Bahati alijisikia raha kumuuguza Jothan kwakua alikua analipa fadhila kwa yale aliyomtendea. Alihakikisha kuwa kila alichokihitaji mgonjwa wake basi alikua anakipata kwa wakati. Aliamua kurudia kazi yake ya kuuza maua ili alishe familia inayomkabili. Baada ya miezi sita kupita, Jothan alianza kuonekana kukumbuka kidogo kidogo. Aliweza hata kuuliza kuwa yupo wapi na ni nini kilichomleta pale. Alitamani kwenda kazini tena kama zamani. “PRISCA…… PRISCA” Alisikika Jothan usiku akilitaja jina la mwanamke huyo mara kadhaa. Bahati ambaye alikua amekaa kimya wakati wote, aliamka kutoka kwenye godoro la chini alipolala na mtoto wake na kumsogelea Jothan. Alishangaa kumuona Jothan akitokwa machozi. “mimi ni Bahati “ alijitambulisha Bahati mbele ya Jothan ambaye alikua macho usiku huo huku akitokwa na machozi. “yupo wapi Prisca.” Aliuliza Jothan na kumfanya Bahati ashtuke kidogo kwakua hakulifahamu jina hilo.. “Prisca mimi simjui… au ndio Shani ana majina mawili?” aliuliza Bahati na kumfanya Jothan afikirie kwa muda mrefu. “Shani.. Shani… ndio nani huyo?” aliuliza Jothan huku akionyesha kutokuwa na kumbukumbu nae. “si yule aliyekuwa unaishi nae kabla ya kuja huku ?” aliongea Bahati na kumfanya Jothan avute taswira juu ya mtu huyo aliyekuwa anamzungumzia Bahati. “huyo simkumbuki, yupoje kwani?” aliuliza Jothan na kumuangalia Bahati ambaye wakati huo alikuwa mbele yake akiongea kwa sauti ya taratibu kwa kuwa usiku ulikuwa tayari ni mkubwa. Hivyo sauti zao zilipea na kusikika kila mahali mule ndani. “ni mnene kiasi, mweupe na ana shepu Fulani hivi .. anapenda kuvaa ma wigi ya rihanna.” Alijaribu kumkumbusha Jothan kwa kumtajia muonekana halisi wa mtu huyo. “huyo simukumbuki,….. ninaye mkumbuka mimi ni msichana mzuri niliyeanza naye mapenzi toka tukiwa shuleni. Ni msichana mzuri sana. Na kila siku zilivyozidi kujongea, basi uzuri wake ulikua unaongezeka kila siku iendayo kwa Mungu. Nalikumbuka jina lake huyo dada. Anaitwa Prisca. Ila sijui muonekano wake kwa sasa. Labda ikitokea kuonana nae.” Aliongea Jothan huku akijaribu kuvuta hisia zake juu ya msichana huyo anaye mkumbuka kwa machache tu. “daktari alituambia kuwa tusikusumbue kwa kukumbusha ya nyuma. Ila utakumbuka taratibu. Ni vyema ulale Jothan ili uipumzishe akili yako.” Aliongea Bahati na Jothan akakubaliana nae. Kila siku ambayo Bahati alikua anarudi kutoka katika mihangaiko yake, aliutumia muda huo kupiga stori mbali mbali na Jothan. Wakati mwengine alimtembeza sehemu kadhaa maarufu. Kila akipata fedha nyingi, basi humchukua Jothan na kumpeleka shooping kwa ajili ya kumnunulia nguo. Baada ya miezi miwili kupita, Jothan alirejewa na fahamu zake kamili. Alikumbuka kila kitu. Hata siku aliyokuwa anataka kurudi Dar na kupata ajali ya gari pia aliikumbuka. Alimkumbuka pia Bahati ambaye wakati huo alikuwa naye bega kwa bega wakishirikiana na Simon ambaye alikua anakuja kumtembela mara kwa mara na kumuachia chochote kitu. Siku moja Jothan akiwa barazani anapunga upepo, alifuatwa na Bahati aliyekuwa amebeba Juice glasi mbili na kumkabidhi moja. Aliipokea na Bahati akakaa karibu yake. “lete story” aliongea Jothan baada ya kumuona Bahati kama alikua ana kitu Fulani alichokuwa anataka kumwambia. “nina mpya basi, zaidi kama hutojali. Nilikuwa nahitaji ushauri kutoka kwako.” Aliongea Bahati na kumtazama Jothan. “ulikuwa au unahitaji ushauri kutoka kwangu.” Aliongea Jothan kimzaha. “naomba unishauri,.. Simon ameniambia kuwa ananipenda na yupo tayari kufunga ndoa na mimi. Wewe kama wewe unamuonaje Simon. Anafaa kuwa mume wangu?” alifunguka Bahati na kumuangalia Jothan aliyekuwa anamuangalia pia. “kwa muda mfupi toka nimfahamu huyo mtu, sina shaka naye hata kidogo. Maana alikuwa na uwezo wa kukimbia siku ile aliyonisababishia ajali au hata kunikimbia hospitali. Lakini mpaka sasa ametupa hela nyingi kwa ajili yangu. Huwezi jua Bahati, si ajabu Mungu kamkutanisha na wewe kupitia mgongo wangu. Cha msingi zisikilize hisia zako maana wewe ndio utakuwa naye kipindi hicho mimi nitakapokuwa mbali na wewe. Kama na wewe unampenda na yeye yupo tayari kumlea mtoto wako ni dhahiri shahiri kuwa na yeye anakupenda pia.” Jothan aliongea maneno yaliyomkuna sawasawa Bahati. Alibaki anatabasamu na kumuangalia Jothan ambaye naye alikua anatabasamu pia. “nilikuwa nampenda muda mrefu sana, sema nashukuru sana kuwa hata yeye kumbe alikua ananifikiria.” Alingea Bahati. “hongera. Nilitaka kurudi Dar wiki hii, ila kama ndoa iatapangwa mapema basi nitasubiria mpaka muoane.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati afurahi kupita kiasi. Siku ya harusi kati ya Bahati na Simon iliwadia na maharusi walionekana kupendeza kupita kiasi. Jothan alilifurahia tukio lile baada ya Bahati kuonekana kubadilika na kuwa mwema na mtu mwenye jitihada kama alivyokuwa zamani. Baada ya siku mbili, Jothan aliaga na kurudi Dar. Kwakua hakuwa mgeni wa jiji, alitambua magari ya kinondoni na kuelekea kwake. Alifika nyumbani kwake na kukuta kufuli nje ya geti lake. Hakuwa na jinsi zaidi ya kukaa pembeni kwenye Café iliyokuwa inatazamana na geti lake ili Shani atakaporudi aweze kukutana naye. Alikaa mpaka saa mbili usiku, lakini hakukuwa na dalili za mtu yeyote kufika pale. Aliamua kwenda kulala Gesti kutokana na uchovu wa safari aliokuwa nao. Aliamka asubuhi na kupata chai, baada ya hapo akaelekea nyumbani kwake. Pia alikuta geti likiwa limepigwa kufuli kama ilivyokuwa jana yake. Aliamua kumfuata dalali mmoja aliyekuwa ameweka benchi lake pembeni ya nyumba yake na kumuuliza. “samahani mzee Sadi, hivi huyu mke wangu ana muda gani toka afunge hili geti?” aliuliza Jothan baada ya kusalimiana na mzee huyo aliyemzoe kwa muda mrefu akiwa pale nje na kufanya shughuli zake za udalali wa nyumba,viwanja na vyumba vya kupangisha. “hivi hauna habari?” aliongea mzee Sadi na kumshangaa sana Jothan kwakua alikua anajua kila kitu. “sina habari yoyote mzee wangu. Nimeingia jana tu kutoka Arusha, hivyo sina habari yoyote mie!!.” Aliongea Jothan kwa mshangao mkuu. Alianza kuhisi jambo baya linaweza kuwa lilimkumba Shani kipindi ambacho alikuwa hayupo. “mbona hii nyumba imeshauzwa miezi miwili iliyopita?… tena matangazo yalibandikwa muda mrefu. Sema wenye nyumba bado hawajahamia. Si unajua watu wenye fedha zao bwana?.” Aliongea yule dalali na kumfanya Jothan apigwe na bumbu wazi. “OOOOH MY GOD……..WHY ME?????” Alijikuta nguvu zinamuishia Jothan na kukaa chini. Aliiangalia nyumba yake aliyoijenga kwa gharama kubwa na machozi yalianza kummiminika kama maji. ITAENDELEA ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: