Home → simulizi
→ KURUDI KWA MOZA: 27
Wakawa wanacheka pale, mama yao nae alitoka sebleni wakamsalimia akaitikia na kutaka kwenda nje. Ila Salome alimuuliza,
“Mama, unataka kwenda wapi?”
“Safari zangu hazikuhusu”
Rose akataka kufungua mlango, ila kabla hajafungua Salome alimwambia,
“Usihangaike, mgeni wako nimekuletea”
Kisha Salome ndio akaenda kufungua mlango na mara akaingia Yule mganga. Kwakweli Rose alishangaa sana alijikuta akikaa chini kabisa kwani hakuelewa kabisa kinachoendelea na aliona kiini macho kikifanya kazi vilivyo, ila Salome akamwambia Rose,
“Sasa umeshtuka nini? Unakosa raha kwanini? Si nio ulikuwa ukimuhitaji huyu! Ulitaka hadi kwenda kutuma dereva wa kumfata, mimi nimekuletea eti unaishiwa nguvu kabisa”
Rose hakujibu chochote ila Yule mganga aliingia na kukaa pia, halafu akamuangalia Rose na kumsalimia,
“Habari za tangu jana”
Rose akajibu,
“Mbaya”
Salome aliwaambia watoto wengine wa Rose wamuache mama yao aongee na mgeni,
“Kwetu nilifundishwa kuwa mama anapopata mgeni natakiwa kuondoka na kumuacha mama anazungumza na mgeni, kwahiyo kitendo cha kukaa hapa wakati mama kapata mgeni sio picha nzuri”
Basi nao wakasikiliza ushauri wa Salome kisha kila mmoja kuinuka na kwenda zake chumbani ila Salome alienda kwenye sebule ambayo wale mapacha walipenda kuitumia kwa sana.
Rose alibaki sebleni na Yule mganga, kisha akamuangalia kwa makini kwani alihisi kama ni kiini macho, akamuuliza
“Hivi ni wewe au ni nini?”
“Ni mimi ndio”
“Umefikaje hapa?”
“Niliona yaliyokutokea usiku wa jana, kwahiyo leo mapema nikaanza safari ya kuja huku. Ni sababu tulishakuja mwanzo kwahiyo nilishika njia”
“Ulishika njia vile tumekuja na kurudishwa kimaajabu?”
“Ndio nilishika njia, kwahiyo huniamini kuwa ni mimi!”
“Nakuamini ila mambo yamenichanganya sana, unajua umekuja kiajabu ajabu mpaka nimeshangaa. Kwahiyo tutafanya dawa siku ya leo?”
“Ndio tutafanya dawa, ila kwanza ukanionyeshe kila kitu ambacho huwa unatumia kwenye mambo yako”
Rose akafikilia kidogo kisha akakubali kwenda kumuonyesha kwahiyo yeye na Yule mganga wakahamia ndani na baada ya muda walitoka na kuondoka kabisa pale nyumbani, na Rose alimuaga mwanae Ana tu kuhusu anapoenda na Yule mganga.
Baada ya muda watoto wa Rose walirudi sebleni na siku hii Salome aliwaandalia chakula cha kuwafurahisha sana, hadi wakawa wanamsifia haswa wale mapacha,
“Yani wewe Salome ni binti mdogo ila unajua kupika kila chakula jamani halafu unapika vizuri balaa”
Kisha Doto akamuangalia dada yake Sara na kumwambia,
“Dada na wewe ujifunze kupika jamani, kwa staili yako utaolewa kweli wewe!”
“Aliyekwambia anataka kuolewa nani, hebu nitoleeni balaa”
“Basi dada usichukie kiasi hiko jamani, leo wifi yako anakuja. Nishampigia simu kumuelekeza kwahiyo akafika tu nitaenda kumchukua nje na utamuona na hakika utamfurahia”
“Bora uongelee mada za hivyo sio kuniletea mada za upishi upishi kama sijui kupika ni mimi msinilazimishe”
Sara alionekana kuchukizwa kabisa na swala la kuambiwa kuwa atakosa mume sababu hajui kupika, na kujikuta akimkumbuka Ommy ambaye alijua wazi kuwa Sara hajui kupika ila alionyesha kumpenda hivyo hivyo, ila akakumbuka kuwa Ommy kafichwa na uchawi wa mama yake na kujikuta akikumbuka kuwa Ommy alimsaliti na mtu mwingine, kila alipokumbuka Ommy ni msaliti basi huruma yake kwa Ommy ilipotea muda huo huo.
Alikuwa kimya kwa muda hadi Salome akamshtua,
“Unawaza nini dada Sara?”
“Niache tu”
“Pole sana, mapenzi yanaumiza eeh! Ila bado, utaona yanavyoumiza zaidi”
“Kivipi Salome mbona sikuelewi”
“Utanielewa tu, mapenzi yanaumiza sana ila kuna jambo linaweza kutokea ukajihisi labda utapata unafuu wa moyo ila ukashangaa unafuu hupati zaiddi ya maumivu”
Wale mapacha nao wakaingilia hizo stori,
“Jamani achene hizo habari za kuumizwa na mapenzi, wengine hatutaki kusikia kabisa. Ziacheni bhana, kila mtu ashughulike na penzi lake”
Salome alitabasamu tu kisha akaenda tena kwenye ile sebule ambayo mapacha wa Rose huwa wanapenda kukaa.
Kwa upande wa Ana alikuwa chumbani kwake tu toka mama yake katoka na Yule mganga kwani yeye alijikuta akiwaza kuwa ni mtego tu mama yake kawekewa maana hakuwa na wazo kuwa Yule ni mganga waliyoendaga kabisa,
“Na kama ni yeye amewezaje kuja mapema hivi ukizingatia kule anakotoka ni ndani ndani sana? Nina mashaka”
Akajaribu nae kukaa akifanya fanya dawa zake huku akiwa amejifungia kabisa kwenye chumba chake, hakutaka kabisa kuongea na mtu yeyote kwa muda huo.
Wakiwa pale sebleni Sara na kaka zake, basi kaka yake akasema kuwa mchumba wake amefika kwahiyo akaenda kumpokea kwahiyo Sara na kaka yake mwingine wakabaki wenyewe wanamsubiri huyo wifi kwa Sara na shemeji kwa Kulwa. Ila Sara alimuuliza kaka yake,
“Vipi unamjua huyo mchumba wa Doto?”
“Hata simjui kabisa, Doto msiri sana hajawahi kunionyesha hata mara moja huyo msichana wake”
“Wewe je umeshawahi kumuonyesha wa kwako?”
“Hapana, mimi mwenyewe sijawahi kumuonyesha hata mara moja ila nimepanga siku nimtambulishe hapa nyumbani. Hata leo nilitamani aje pia ila kaniambia amepata udhuru”
“Sawa”
“Na wewe wako? Najua ni Ommy ila sijamuona siku zote hizi”
“Achana na huyo mtu, kwanza ananiumiza kichwa tu. Yani mapenzi yameniumiza kweli mimi, kumbe Ommy alikuwa ananisaliti, kunionyesha kote upendo kule kumbe amepata kasichana kengine ananisaliti nako. Siku niliyogundua niliumia sana”
“Kwahiyo Ommy yuko wapi?”
“Achana nae bhana, atajijua mwenyewe alipo”
“Mmh dada jamani, unajua mtu akikusaliti unatakiwa kuwa mpole kwanza, ujue ni kwanini amekusaliti sio kuweka hasira mbele”
Sara alianza kukohoa na kumuomba kaka yake huyu akamchukulie maji ya kunywa,
“Mmmh maneno yangu yamekufanya upaliwe, basi pole. Ngoja nikakuchukulie hayo maji”
Basi Kulwa akainuka na kwenda kumchukulia maji ya kunywa Sara, ila muda huu huu Doto nae alikuja na kuingia ndani kisha akamwambia dadake asimame kumkaribisha mgeni maana ameshafika,
“Mmmh kama tunamkaribisha raisi jamani! Kumbe utamu wa mtu”
“Acha maneno yako Sara bhana”
Basi akamkaribisha Yule msichana ndani, ila Sara alipoangusha macho yake kwa Yule msichana alishtuka sana kwani alikuwa ni Mishi, alijikuta akimuuliza kaka yake kwa umakini huku akifikicha fikicha macho,
“Kaka, mwanamke mwenyewe ndio huyo?”
“Ndio, kwani vipi mzuri eeh!”
Sara alifikicha tena macho yake, ila kabla hajasema chochote Kulwa nae alikuwa ametoka jikoni akiwa na glasi ya maji ila alipomuona shemeji yake huyo, alihamaki na kumuita kwa mshangao,
“Mishi!!!”
Mishi aliangalia kwa aibu sana, na hakuongea lolote zaidi ya kufungua mlango wan je na kuondoka kuelekea getini, alifika getini na kutoka ila alivyotoka tu alijishangaa akijikuta tena yupo pale pale sebleni halafu mara Salome nae alitoka kwenye ile sebule nyingine akicheka, na kuwakuta pale sebleni huku Mishi akiwa anashangaa shangaa, kisha Salome akasema,
“Sasa Mishi unashangaa shangaa nini? Unaona kama maajabu eeh! Wakati unatenda vitu vya namna hii hukujua kama ni maajabu ya namna hii yangetokea mbele yako? Unataka kukimbia uende wapi na ukimbie kwasababu ya nini? Kaa hapo ujieleze, ni kwanini umechanganya ndugu hawa”
Doto alikuwa na hamaki tu na kujikuta akimuuliza Kulwa,
“Kwani huyu msichana unamfahamu?”
“Nio huyu nilisemaga mchumba wangu mwenyewe, leo nilitaka anitembelee pia akasema ana kazi kumbe ananichanganya na pacha mwenzangu!”
Sara nae akadakia na kutoa dukuduku lake la moyoni,
“Yote tisa, kumi ni kuwa huyu dada ndio kidudu mtu aliyekuwa anatembea na Ommy hadi moyo umeniuma sababu yake”
Wote wakashangaa kuwa Mishi amewachanganya kiasi kile, Doto akajikuta akimwambia,
“Yani kukuhudumia kote kule Mishi bado ulikuwa unanichanganya na ndugu yangu!”
Mishi alikuwa kimya kabisa kwani aibu aliyoipata leo hakuitegemea kabisa, Salome nae akaongea,
“Yani sio kwamba wewe Doto ulikuwa ukimuhudumia peke yako, ni hivi huyu binti wote mmeshiriki kumuhudumia. Kulwa pia umemuhudumia sana huyu binti, halafu hata Sara umemuhudia sana maana hela zote ulizokuwa unampa Ommy alikuwa anapeleka kwa huyu binti. Haya sasa nirudi kwako wewe fundi wa kuumiza mioyo ya watu, hivi hukuwahi kuwaza kuwa mambo unayoyafanya ipo siku utaumbuka? Hivi ni bahati za watu wangapi umezifunika wewe mmoja? Yani wewe utembee na Kulwa, wewe utembee na Doto na wewe utembee na mwanaume wa dada yao, kwahiyo umechanganya familia vilivyo”
“Nisameheni sikujua kama ni ndugu”
MIshi alipiga magoti, na kumfanya Salome acheke sana na kusema,
“Kwahiyo kama si ndugu ni sawa kuwafanyia hivyo? Mwanzoni nilijua ni Ommy anakudanganya kumbe ni wewe unaewadanganya wenzio, hivi ungefanyiwa wewe hivi ungejisikiaje?”
“Nisamehe jamani, nisameheni”
Sara alikuwa na hasira sana na huyu Mishi, hata wale mapacha nao walikuwa na hasira nao vilivyo wakatamani wote wamvamie na wampige ila Salome aliwakataza na kwenda kumkinga Mishi ili wasimpige.
“Tafadhalini jamani msimpige wala msimuumize, mwacheni jamani nataka huyu atembee na laana yangu”
Doto alikuwa na hasira sana, ila Salome alimzuia kabisa kumpiga mishi yani alijikuta akiganda tu bila kumpiga. Salome alifungua mlango na kumruhusu Mishi aondoke ila akamwambia,
“Kumbuka utatembea na laana yangu siku zote, leo utafurahi sana kuwa umewachanganya ndugu lakini hujafanywa lolote ila utatembea na laana yangu siku zote. Laiti kama ningekuwa wewe nisingeondoka leo ila ningekesha nikiomba msamaha”
Mishi hakutaka kusikiliza sana kwani alitoka muda huo huo na hakutaka tena kubakia kwenye nyumba hiyo kwani alijiona kama anamkosi kwa siku hiyo.
Kwakweli si Sara wala wale mapacha waliofurahishwa na kitendo kile kwani kila mmoja alienda njia yake mule ndani akiwa na mawazo yake, haswa Doto alihisi kudhalilishwa sana na Yule mwanamke, kwahiyo sebleni alibaki Salome peke yake.
Mishi alitumia muda mrefu sana kufika kwao, hata akashangaa kuwa imekuwaje tena wakati ametoka kule muda mrefu. Wakati akitembea aliona usiku umeingia, mara alikatisha kwenye njia hiyo na kujiona yupo mwenyewe hadi akaogopa na kujiuliza,
“Hii njia leo vipi jamani? Imekuwaje yani sioni watu!”
Mara akashikwa bega, kugeuka ni chizi alikuwa amemshika bega, alishtuka sana na kuanza kukimbia ila Yule chizi alimzidi nguvu na kuanguka chini halafu akapiga kelele lakini hakuna mtu yeyote aliyeonekana kumsaidia hadi Yule chizi akambaka halafu akamwambia,
“Asante sana kwa penzi lako”
Yule chizi akaondoka zake na kumuacha Mishi akilia sana, muda kidogo walitokea vijana wawili ambapo Mishi alipowaona aliwaita na kuwaomba msaada kwahiyo wakamuinua Mishi pale chini huku wakimpa pole
“Pole sana dada, ila saizi saa saba usiku mtoto wa kike unatafuta nini njiani?”
Mishi alishangaa sana kuwa ni usiku wa saa saba wakati aliondoka mapema sana kwakina Doto,
“Jamani nisaidieni jamani, sikujua kama ni usiku sana saa hizi”
Wale vijana waliondoka na Mishi ila njiani nao wakamgeuka na kumbaka, kwakweli siku ya leo ilimfanya Mishi achanganyikiwe kabisa kwani walimbaka kwa nguvu hadi akazimia pale pale.
Rose alirudi nyumbani kwake usiku, na kwenda chumbani kwa Ana moja kwa moja ili ampe habari ya kitu alichofanya na Yule mganga. Ila cha kushangaza kabla hajamueleza chochote, Ana alianza kusema,
“Mama ila sina imani na Yule mganga uliyeondoka nae. Naogopa hata usiniambie ambacho umefanya na Yule mganga maana sina imani nae kabisa. Simuamini Yule mganga mama”
“Usiseme hivyo mwanangu, nimefanya nae vitu vingi sana”
“Ndio mama ila sina imani nae, kwanza ujio wake wa kiajabu ajabu sina imani nae kabisa”
“Mwanangu lakini kanirekebishia vitu vingi sana, utaona mabadiliko kuanzia kesho”
“Kabla ya hayo mabadiliko, naomba kesho asubuhi twende kwa huyo mganga tujue mbivu na mbichi mama manake sina imani kabisa hapa”
“Kwahiyo hutaki nikueleze chochote ambacho kimetendeka leo”
“Hata usinieleze na wala usiniambie ulipokuwa siku ya leo, sina furaha kabisa na sidhani kama ulipokuwa palikuwa ni pema”
Ikabidi Rose akubaliane na mwanae kuwa ataenda nae kesho yake kwa Yule mganga, ingawa yeye binafsi alikuwa ameridhika kwa huduma ambazo alifanyiwa siku hiyo na Yule mganga, kwahiyo akaenda chumbani kwake baada ya kumaliza maongezi na Ana.
Ila siku hiyo Ana hakuweza kulala kabisa kwani alikuwa na mauzauza yaliyopitiliza, hakuweza kufanya chochote na wala hakuweza kulala alitamani tu pakuche ili aende na mama yake kwa huyo mganga, alihisi kwa siku hiyo mamake badala ya kuyajenga yani ndio kayabomoa kabisa. Basi kulivyokucha tu ni yeye ndiye alienda kumuamsha mama yake ambaye alimkuta amelala hoi kabisa, yani siku hiyo Rose alilala hadi alijisahau basi mwanae alivyomkurupua ndio akaenda kujiandaa kisha wakatoka na mwanae na kuanza safari ya kwenda nyumbani kwa mganga.
Walivyofika walishangaa kuona watu wengi sana wamejaa kwa mganga Yule na walipoulizia kwa umakini zaidi, walipewa taarafa ya kuwashangaza sana,
“Eti kuna nini?”
“Kwani huna taarifa?”
“Taarifa gani?”
“Mganga amekufa”
“Kheee amekufa? Lini tena jamani wakati jana nilikuwa nae”
“Ulikuwa nae wapi na muda gani wakati kafa usiku wa kuamkia jana!”
Rose alimuangalia mwanae Ana akiwa anashangaa sana.
Itaendelea kesho usiku…….!!!!!!
By, Atuganile Mwakalile.
KURUDI KWA MOZA: 27 Wakawa wanacheka pale, mama yao nae alitoka sebleni wakamsalimia akaitikia na kutaka kwenda nje. Ila Salome alimuuliza, “Mama, unataka kwenda wapi?” “Safari zangu hazikuhusu” Rose akataka kufungua mlango, ila kabla hajafungua Salome alimwambia, “Usihangaike, mgeni wako nimekuletea” Kisha Salome ndio akaenda kufungua mlango na mara akaingia Yule mganga. Kwakweli Rose alishangaa sana alijikuta akikaa chini kabisa kwani hakuelewa kabisa kinachoendelea na aliona kiini macho kikifanya kazi vilivyo, ila Salome akamwambia Rose, “Sasa umeshtuka nini? Unakosa raha kwanini? Si nio ulikuwa ukimuhitaji huyu! Ulitaka hadi kwenda kutuma dereva wa kumfata, mimi nimekuletea eti unaishiwa nguvu kabisa” Rose hakujibu chochote ila Yule mganga aliingia na kukaa pia, halafu akamuangalia Rose na kumsalimia, “Habari za tangu jana” Rose akajibu, “Mbaya” Salome aliwaambia watoto wengine wa Rose wamuache mama yao aongee na mgeni, “Kwetu nilifundishwa kuwa mama anapopata mgeni natakiwa kuondoka na kumuacha mama anazungumza na mgeni, kwahiyo kitendo cha kukaa hapa wakati mama kapata mgeni sio picha nzuri” Basi nao wakasikiliza ushauri wa Salome kisha kila mmoja kuinuka na kwenda zake chumbani ila Salome alienda kwenye sebule ambayo wale mapacha walipenda kuitumia kwa sana. Rose alibaki sebleni na Yule mganga, kisha akamuangalia kwa makini kwani alihisi kama ni kiini macho, akamuuliza “Hivi ni wewe au ni nini?” “Ni mimi ndio” “Umefikaje hapa?” “Niliona yaliyokutokea usiku wa jana, kwahiyo leo mapema nikaanza safari ya kuja huku. Ni sababu tulishakuja mwanzo kwahiyo nilishika njia” “Ulishika njia vile tumekuja na kurudishwa kimaajabu?” “Ndio nilishika njia, kwahiyo huniamini kuwa ni mimi!” “Nakuamini ila mambo yamenichanganya sana, unajua umekuja kiajabu ajabu mpaka nimeshangaa. Kwahiyo tutafanya dawa siku ya leo?” “Ndio tutafanya dawa, ila kwanza ukanionyeshe kila kitu ambacho huwa unatumia kwenye mambo yako” Rose akafikilia kidogo kisha akakubali kwenda kumuonyesha kwahiyo yeye na Yule mganga wakahamia ndani na baada ya muda walitoka na kuondoka kabisa pale nyumbani, na Rose alimuaga mwanae Ana tu kuhusu anapoenda na Yule mganga. Baada ya muda watoto wa Rose walirudi sebleni na siku hii Salome aliwaandalia chakula cha kuwafurahisha sana, hadi wakawa wanamsifia haswa wale mapacha, “Yani wewe Salome ni binti mdogo ila unajua kupika kila chakula jamani halafu unapika vizuri balaa” Kisha Doto akamuangalia dada yake Sara na kumwambia, “Dada na wewe ujifunze kupika jamani, kwa staili yako utaolewa kweli wewe!” “Aliyekwambia anataka kuolewa nani, hebu nitoleeni balaa” “Basi dada usichukie kiasi hiko jamani, leo wifi yako anakuja. Nishampigia simu kumuelekeza kwahiyo akafika tu nitaenda kumchukua nje na utamuona na hakika utamfurahia” “Bora uongelee mada za hivyo sio kuniletea mada za upishi upishi kama sijui kupika ni mimi msinilazimishe” Sara alionekana kuchukizwa kabisa na swala la kuambiwa kuwa atakosa mume sababu hajui kupika, na kujikuta akimkumbuka Ommy ambaye alijua wazi kuwa Sara hajui kupika ila alionyesha kumpenda hivyo hivyo, ila akakumbuka kuwa Ommy kafichwa na uchawi wa mama yake na kujikuta akikumbuka kuwa Ommy alimsaliti na mtu mwingine, kila alipokumbuka Ommy ni msaliti basi huruma yake kwa Ommy ilipotea muda huo huo. Alikuwa kimya kwa muda hadi Salome akamshtua, “Unawaza nini dada Sara?” “Niache tu” “Pole sana, mapenzi yanaumiza eeh! Ila bado, utaona yanavyoumiza zaidi” “Kivipi Salome mbona sikuelewi” “Utanielewa tu, mapenzi yanaumiza sana ila kuna jambo linaweza kutokea ukajihisi labda utapata unafuu wa moyo ila ukashangaa unafuu hupati zaiddi ya maumivu” Wale mapacha nao wakaingilia hizo stori, “Jamani achene hizo habari za kuumizwa na mapenzi, wengine hatutaki kusikia kabisa. Ziacheni bhana, kila mtu ashughulike na penzi lake” Salome alitabasamu tu kisha akaenda tena kwenye ile sebule ambayo mapacha wa Rose huwa wanapenda kukaa. Kwa upande wa Ana alikuwa chumbani kwake tu toka mama yake katoka na Yule mganga kwani yeye alijikuta akiwaza kuwa ni mtego tu mama yake kawekewa maana hakuwa na wazo kuwa Yule ni mganga waliyoendaga kabisa, “Na kama ni yeye amewezaje kuja mapema hivi ukizingatia kule anakotoka ni ndani ndani sana? Nina mashaka” Akajaribu nae kukaa akifanya fanya dawa zake huku akiwa amejifungia kabisa kwenye chumba chake, hakutaka kabisa kuongea na mtu yeyote kwa muda huo. Wakiwa pale sebleni Sara na kaka zake, basi kaka yake akasema kuwa mchumba wake amefika kwahiyo akaenda kumpokea kwahiyo Sara na kaka yake mwingine wakabaki wenyewe wanamsubiri huyo wifi kwa Sara na shemeji kwa Kulwa. Ila Sara alimuuliza kaka yake, “Vipi unamjua huyo mchumba wa Doto?” “Hata simjui kabisa, Doto msiri sana hajawahi kunionyesha hata mara moja huyo msichana wake” “Wewe je umeshawahi kumuonyesha wa kwako?” “Hapana, mimi mwenyewe sijawahi kumuonyesha hata mara moja ila nimepanga siku nimtambulishe hapa nyumbani. Hata leo nilitamani aje pia ila kaniambia amepata udhuru” “Sawa” “Na wewe wako? Najua ni Ommy ila sijamuona siku zote hizi” “Achana na huyo mtu, kwanza ananiumiza kichwa tu. Yani mapenzi yameniumiza kweli mimi, kumbe Ommy alikuwa ananisaliti, kunionyesha kote upendo kule kumbe amepata kasichana kengine ananisaliti nako. Siku niliyogundua niliumia sana” “Kwahiyo Ommy yuko wapi?” “Achana nae bhana, atajijua mwenyewe alipo” “Mmh dada jamani, unajua mtu akikusaliti unatakiwa kuwa mpole kwanza, ujue ni kwanini amekusaliti sio kuweka hasira mbele” Sara alianza kukohoa na kumuomba kaka yake huyu akamchukulie maji ya kunywa, “Mmmh maneno yangu yamekufanya upaliwe, basi pole. Ngoja nikakuchukulie hayo maji” Basi Kulwa akainuka na kwenda kumchukulia maji ya kunywa Sara, ila muda huu huu Doto nae alikuja na kuingia ndani kisha akamwambia dadake asimame kumkaribisha mgeni maana ameshafika, “Mmmh kama tunamkaribisha raisi jamani! Kumbe utamu wa mtu” “Acha maneno yako Sara bhana” Basi akamkaribisha Yule msichana ndani, ila Sara alipoangusha macho yake kwa Yule msichana alishtuka sana kwani alikuwa ni Mishi, alijikuta akimuuliza kaka yake kwa umakini huku akifikicha fikicha macho, “Kaka, mwanamke mwenyewe ndio huyo?” “Ndio, kwani vipi mzuri eeh!” Sara alifikicha tena macho yake, ila kabla hajasema chochote Kulwa nae alikuwa ametoka jikoni akiwa na glasi ya maji ila alipomuona shemeji yake huyo, alihamaki na kumuita kwa mshangao, “Mishi!!!” Mishi aliangalia kwa aibu sana, na hakuongea lolote zaidi ya kufungua mlango wan je na kuondoka kuelekea getini, alifika getini na kutoka ila alivyotoka tu alijishangaa akijikuta tena yupo pale pale sebleni halafu mara Salome nae alitoka kwenye ile sebule nyingine akicheka, na kuwakuta pale sebleni huku Mishi akiwa anashangaa shangaa, kisha Salome akasema, “Sasa Mishi unashangaa shangaa nini? Unaona kama maajabu eeh! Wakati unatenda vitu vya namna hii hukujua kama ni maajabu ya namna hii yangetokea mbele yako? Unataka kukimbia uende wapi na ukimbie kwasababu ya nini? Kaa hapo ujieleze, ni kwanini umechanganya ndugu hawa” Doto alikuwa na hamaki tu na kujikuta akimuuliza Kulwa, “Kwani huyu msichana unamfahamu?” “Nio huyu nilisemaga mchumba wangu mwenyewe, leo nilitaka anitembelee pia akasema ana kazi kumbe ananichanganya na pacha mwenzangu!” Sara nae akadakia na kutoa dukuduku lake la moyoni, “Yote tisa, kumi ni kuwa huyu dada ndio kidudu mtu aliyekuwa anatembea na Ommy hadi moyo umeniuma sababu yake” Wote wakashangaa kuwa Mishi amewachanganya kiasi kile, Doto akajikuta akimwambia, “Yani kukuhudumia kote kule Mishi bado ulikuwa unanichanganya na ndugu yangu!” Mishi alikuwa kimya kabisa kwani aibu aliyoipata leo hakuitegemea kabisa, Salome nae akaongea, “Yani sio kwamba wewe Doto ulikuwa ukimuhudumia peke yako, ni hivi huyu binti wote mmeshiriki kumuhudumia. Kulwa pia umemuhudumia sana huyu binti, halafu hata Sara umemuhudia sana maana hela zote ulizokuwa unampa Ommy alikuwa anapeleka kwa huyu binti. Haya sasa nirudi kwako wewe fundi wa kuumiza mioyo ya watu, hivi hukuwahi kuwaza kuwa mambo unayoyafanya ipo siku utaumbuka? Hivi ni bahati za watu wangapi umezifunika wewe mmoja? Yani wewe utembee na Kulwa, wewe utembee na Doto na wewe utembee na mwanaume wa dada yao, kwahiyo umechanganya familia vilivyo” “Nisameheni sikujua kama ni ndugu” MIshi alipiga magoti, na kumfanya Salome acheke sana na kusema, “Kwahiyo kama si ndugu ni sawa kuwafanyia hivyo? Mwanzoni nilijua ni Ommy anakudanganya kumbe ni wewe unaewadanganya wenzio, hivi ungefanyiwa wewe hivi ungejisikiaje?” “Nisamehe jamani, nisameheni” Sara alikuwa na hasira sana na huyu Mishi, hata wale mapacha nao walikuwa na hasira nao vilivyo wakatamani wote wamvamie na wampige ila Salome aliwakataza na kwenda kumkinga Mishi ili wasimpige. “Tafadhalini jamani msimpige wala msimuumize, mwacheni jamani nataka huyu atembee na laana yangu” Doto alikuwa na hasira sana, ila Salome alimzuia kabisa kumpiga mishi yani alijikuta akiganda tu bila kumpiga. Salome alifungua mlango na kumruhusu Mishi aondoke ila akamwambia, “Kumbuka utatembea na laana yangu siku zote, leo utafurahi sana kuwa umewachanganya ndugu lakini hujafanywa lolote ila utatembea na laana yangu siku zote. Laiti kama ningekuwa wewe nisingeondoka leo ila ningekesha nikiomba msamaha” Mishi hakutaka kusikiliza sana kwani alitoka muda huo huo na hakutaka tena kubakia kwenye nyumba hiyo kwani alijiona kama anamkosi kwa siku hiyo. Kwakweli si Sara wala wale mapacha waliofurahishwa na kitendo kile kwani kila mmoja alienda njia yake mule ndani akiwa na mawazo yake, haswa Doto alihisi kudhalilishwa sana na Yule mwanamke, kwahiyo sebleni alibaki Salome peke yake. Mishi alitumia muda mrefu sana kufika kwao, hata akashangaa kuwa imekuwaje tena wakati ametoka kule muda mrefu. Wakati akitembea aliona usiku umeingia, mara alikatisha kwenye njia hiyo na kujiona yupo mwenyewe hadi akaogopa na kujiuliza, “Hii njia leo vipi jamani? Imekuwaje yani sioni watu!” Mara akashikwa bega, kugeuka ni chizi alikuwa amemshika bega, alishtuka sana na kuanza kukimbia ila Yule chizi alimzidi nguvu na kuanguka chini halafu akapiga kelele lakini hakuna mtu yeyote aliyeonekana kumsaidia hadi Yule chizi akambaka halafu akamwambia, “Asante sana kwa penzi lako” Yule chizi akaondoka zake na kumuacha Mishi akilia sana, muda kidogo walitokea vijana wawili ambapo Mishi alipowaona aliwaita na kuwaomba msaada kwahiyo wakamuinua Mishi pale chini huku wakimpa pole “Pole sana dada, ila saizi saa saba usiku mtoto wa kike unatafuta nini njiani?” Mishi alishangaa sana kuwa ni usiku wa saa saba wakati aliondoka mapema sana kwakina Doto, “Jamani nisaidieni jamani, sikujua kama ni usiku sana saa hizi” Wale vijana waliondoka na Mishi ila njiani nao wakamgeuka na kumbaka, kwakweli siku ya leo ilimfanya Mishi achanganyikiwe kabisa kwani walimbaka kwa nguvu hadi akazimia pale pale. Rose alirudi nyumbani kwake usiku, na kwenda chumbani kwa Ana moja kwa moja ili ampe habari ya kitu alichofanya na Yule mganga. Ila cha kushangaza kabla hajamueleza chochote, Ana alianza kusema, “Mama ila sina imani na Yule mganga uliyeondoka nae. Naogopa hata usiniambie ambacho umefanya na Yule mganga maana sina imani nae kabisa. Simuamini Yule mganga mama” “Usiseme hivyo mwanangu, nimefanya nae vitu vingi sana” “Ndio mama ila sina imani nae, kwanza ujio wake wa kiajabu ajabu sina imani nae kabisa” “Mwanangu lakini kanirekebishia vitu vingi sana, utaona mabadiliko kuanzia kesho” “Kabla ya hayo mabadiliko, naomba kesho asubuhi twende kwa huyo mganga tujue mbivu na mbichi mama manake sina imani kabisa hapa” “Kwahiyo hutaki nikueleze chochote ambacho kimetendeka leo” “Hata usinieleze na wala usiniambie ulipokuwa siku ya leo, sina furaha kabisa na sidhani kama ulipokuwa palikuwa ni pema” Ikabidi Rose akubaliane na mwanae kuwa ataenda nae kesho yake kwa Yule mganga, ingawa yeye binafsi alikuwa ameridhika kwa huduma ambazo alifanyiwa siku hiyo na Yule mganga, kwahiyo akaenda chumbani kwake baada ya kumaliza maongezi na Ana. Ila siku hiyo Ana hakuweza kulala kabisa kwani alikuwa na mauzauza yaliyopitiliza, hakuweza kufanya chochote na wala hakuweza kulala alitamani tu pakuche ili aende na mama yake kwa huyo mganga, alihisi kwa siku hiyo mamake badala ya kuyajenga yani ndio kayabomoa kabisa. Basi kulivyokucha tu ni yeye ndiye alienda kumuamsha mama yake ambaye alimkuta amelala hoi kabisa, yani siku hiyo Rose alilala hadi alijisahau basi mwanae alivyomkurupua ndio akaenda kujiandaa kisha wakatoka na mwanae na kuanza safari ya kwenda nyumbani kwa mganga. Walivyofika walishangaa kuona watu wengi sana wamejaa kwa mganga Yule na walipoulizia kwa umakini zaidi, walipewa taarafa ya kuwashangaza sana, “Eti kuna nini?” “Kwani huna taarifa?” “Taarifa gani?” “Mganga amekufa” “Kheee amekufa? Lini tena jamani wakati jana nilikuwa nae” “Ulikuwa nae wapi na muda gani wakati kafa usiku wa kuamkia jana!” Rose alimuangalia mwanae Ana akiwa anashangaa sana. Itaendelea kesho usiku…….!!!!!! By, Atuganile Mwakalile.
Artikel Terkait
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU! Nilikua mgeni katika ile nyumba, ingwa haikua mara yangu ya kwanza kufanya kazi za ndani lakini bado nilikua ninaogopa ogopa Dada (Mama mwenye nyumba) alionyesha mkali sana kwani ile kuingia tu alishanipa mashariti elfu kidogo. Nilishaambiwa sehemu ambazo siruhusiwi kukanyaga, vitu ambavyo siruhusiwi kugusa na majina ya kuwaita wote mule ndani. “Sitaki unite Mama unanizeesha unafikiri mimi naweza kuzaa kinyago kama wewe!” Hiyo ndiyo ilikua kauli yangu ya kwanza kukaribishwa nayo mara tu baada ya kumsalimia na kumuita Mama. Kweli hakua mtu mzima, lakini kwakua katika nyumba niliyoondoka nilikua nimezoea kumuita bosi wangu Mama nilijua ni heshima nayeye atapenda kuitwa hivyo. “Huko ulikotoka kwanini ulifukuzwa?” Aliniuliza kwa hasira, sijui hata nilimfanya nini lakini alionekana na kisirani chake tu. “Sikufukuzwa dada niliamua tu kuondoka, walikua …” “Eeeeh! Mimi si shoga yako kuanza kuniambia matatizo yako, nyamaza nishakuambia sitaki kukusikia, nenda jikoni huko! Unajua kupiga au niwakufundishwa kila kitu!” Alinikatisha kabla ya kujielezea kisha kuendelea kufoka. Nilimuambia najua akaniambia niingie jikoni kuanza kazi. Ulikua mchana kwani niliondokea kwa Shangazi yangu (si Shangazi kweli ni mtu ambaye alinilete tu mjini). Niliingia jikoni na kukuta lundo la vyombo, sikua na haja ya kuelekezwa, nilishakua House Girl mzoefu hivyo nilijua nini cha kufanya. Nilianza kuosha na ulipofika wakati wa kupika nilimuuliza tunapika nini. Nashukuru safari hii alinijibu vizuri hivyo nilichukua kile nilichelelekezwa na kumpikia. Kutokana na kelele za nyumba niliyotoka na uzungu wa Bosi wangu wa zamani nilikua najua kupiga si kitoto, ile milenda milenda yangu ya kijijini niliiacha huko huko hivyo nilipompikia tu na kuweka chakula mezani, alikifurahia ingawa hakusema chochote lakini hakulalamika, hiyo ilikua dalili njema kwangu. Katika nyumba niliyotoka baada ya kuwatengea chakula nilikua nasubiri mpaka wamalize kula, hii ni kwasababu kama kikitokea kitu cha kutumwa basi niwepo kuwasikiliza. Huwa nasimama pembeni kama wale madhouse girl wa kwenye TV kusubiria mpaka mabosi wangu wamalize kula ndiyo huingia jikoni na kujitengea chakula changu. Nilishazoea hivyo na kwakua ilikua ndiyo nyumba yangu ya kwanza nilijua labda mjini kote ndiyo hali ilivyo. “Unasubiri nini hapo si uende jikoni huko ukajipikie au wewe huli?” Aliniuliza kwa hasira, nilitaka kumjibu kumuelezea nilivyozoea lakini hakutaka kusikiliza, jicho alilonikata niliondoka kama chizi nikikimbia. Nilifika jikoni na kupakua chakula, nilikaa chini ili kula. Lakini kabla hata sijafikisha tonge mdomoni alikuja, alikua kasimama pembeni yangu. “Ndiyo unafanya nini?” Aliniuliza, macho yake yalikua katika chakula. “Nakula ma…dada…” Kidogo nisahau na kumuita Mama. “Pumbavu unakula nini? Yaani unakula chakula ambacho ninakula mimi! Hivi una akili kweli unataka kuwa sawa na mimi, nikulipe elfu thelathini na chakula ule kama mimi!” Aliongea kwa hasira, alikipiga teke chakula kisha kutoka, alirudi na ndoo ya dagaa na kunirushia. “Kuna ndoo ya dona iko hapo, pika ugali wako ule. “Aliongea kwa hasira huku anaondoka, alienda kwa sekunde kadhaa na kurejea. “Upike mwingi kuna mwenzako anatoka shule atakuja kula na wewe!” aliondoka na kuniacha pale. Nilianza kuchambua Dagaa ambao wengi walikua wameoza, unakutana na wadudu kabisa. “Haya mapya! Nimeruka mkojo nimekanyaga mavi!” Niliendelea kujiongelesha huku nikichambua dagaa ambao walishaanza kunitia kichefuchefu. Huko nilikotoka nilikua nanyanyaswa lakini angalau nilikua nakula chakula cha mabosi wangu hata kama nilikua nalia jikoni! *** Jioni jioni hivi kama saa kumi na nusu watoto wake walikuja, walikua watatu. Mmoja mkubwa kuliko wenzake Jackline na wengine wadogo Joan na John, hawa walilingana kwani walikua mapacha. Baada ya kubadilisha nguo niliambiwa niwatengee chakula, nilifanya hivyo kwa kuweka sahani tatu mezani. Lakini Jackline ambaye alikua na miaka kumi hakukaa mezani, alikuja jikoni ambapo nilikua naandaa chakula cha usiku. “Wewe ndiyo Dada mpya, shikamoo…” Alinisalimia tena kwani alishanisalimia wakati nawafungulia geti ili waingie. Niliitikia kwa wasiwasi kwani nilishaambiwa nisiongee na wanae hivyo niliogopa hata kumjibu salamu. “Chakula changu kiko wapi?” Aliuliza, huku akikaguakagua vyombo. “Chakula si nimeshawatengea sebuleni?” Niliuliza kwa mshangao, hasira zilinipanda kidogo kwani nilishajua kuwa kumbe mbali na kudili na Bosi kichomi basi ningedili na mtoto mdogo kama yule ambaye ana kisirani. “Baba amesafiri mimi siruhusiwi kula sebuleni nnatakiwa kula na wewe!” Sikumuelewa niliuliza mata mbilimbili ndipo kwa utulivu kabisa alinieleza kuwa yule hakuwa Mama yake mzazi bali ni Mama wa kambo hivyo kila Baba yake anaposafiri yeye haruhusiwi kula chakula sebuleni na wengine mpaka anaporejea. Chakula anachokula ni cha Dada wa kazi. Kusema kweli hilo lilikua jingine jipya, labda kwakua nilikua sijafanya kazi katika nyumba ambayo Bosi ana mtoto wa kambo. Niliwaza kile chakula ambacho nilipika kwaajili yangu, nikawaza wale dagaa kisha nikamuangalia yule mtoto na kumuambia. “Jack, si unaitwa Jack… “Nilimuuliza. “Ndiyo Dada!” Alijibu kwa upole. “Huwezi kula kile chakula, hata mimi kimenishinda, hembu ngoja nikutengee kingine, mbona kiko kingi tu watamwaga hawa!” Niliongea huku nikimtafutia sahani ili kumpakulia chakula lakini alikataa katakata, aliniambia nitapigwa sana kama nikila chakula kingine. Alinionea huruma mimi pia nakuniambia hata Dada mwingine alifukuzwa kazi kwakua alikua ananipakulia chakula cha wengine. Alionyesha kuogopa mpaka na mimi nikaogopa kwa namna alivyokua anaogopa. “Huyu ni mwanamke wa namna gani mbona yuko hivi!” Niliwaza nikimuangalia Jackline, alikua kachoka lakini alijitahidi kuonyesha yuko sawa, mara kwa mara alikua akitabasamu huku akijilazimisha kucheka. Aliniongelesha ongelesha kutaka urafiki, kweli nilimuonea huruma machozi yalinilengalenga. Kwangu ule ulikua ni mtihani mpya ambao sikujua nitaumalizaje. *** Siku mbili baadaye Baba mwenye nyumba alikuja, huyu yeye niliambiwa nimuite Baba na nilifanya hivyo bila kuuliza maswali. Alikua ni kijana tu wa makamo au sijui niseme mtu mzima mwenye muonekano wa kijana. Alikua mchangamfu na alipokuja kila mtu alikua na furaha, si Jackline au watoto wake wengine nyumba ilikua kama imemwagiwa gunia la furaha. Hakukua na kupika mara mbilimbili, hata mimi niliambiwa nikae kwenye meza kubwa, hakukua na kutumwa tumwa kwani Baba akiwepo wakati wa kula ni kula na wote alituchukulia kama wanae. Ilikua ni kama unaishi katika nyumba nyingine tofauti kabisa, Dada alikua mchangamfu akiongea kwa kucheka mara kadhaa akimkumbatia Jackline. Hata mimi alinitambulisha kwa bashasha akinisifia kwa ufanyaji kazi wangu. Kweli nilishangaa “Mbona sielewe, huyu Mama yako wa kambo mbona kama anabadilika sana kama si yeye?” Nilimuuliza Jackline, alijiibaiba kukaa jikoni wakati wenzake wakiangalia TV, Baba yake akiwepo alikua haruhusiwi kufanya kazi yoyote. “Nimeshamzoea, anaigiza tu Baba akiwepo?” “Kwahiyo Baba yako hajui chochote?” “Hapana, nilishamuambiaga zamani lakini hakuniamini, niliishia kupigwa tu. Nilimuambia Mama kwanza aliposema kwa Baba akaambiwa nina wivu hivyo kukatazwa hata kuja kuniona, ilileta ugomvi mkubwa siku hizi kila nikilalamika naambiwa nimetumwa na Mama kuja kumfitinisha Mama Mdogo…” “Mama yako wewe yuko wapi? Kwanini huendi kuishi na Mama yako?” Yuko kijijini, waligombanaga na Baba zamani, hawakuoana, Baba alinichukua nikiwa mdogo na kunileta hapa, mimi sijui mambo hayo ila Mama yangu naongea naye tu kwenye simu mara moja moja lakini simkumbuki hata sura, hata sijui mimi mambo yao.” Aliongea kana kwamba ni mtu mzima, alionyesha kupitia mambo mengi na hakukua na mtu wa kumsikiliza. Nilipokuja kufuatilia nilikuja kugundua kuwa Mama yake na Baba yake hawakua wapenzi, ni watu tu walikutana na mimba ilipotokea basi Mama yake alivyokua akidai matumizi kipindi hicho ashaoa aliamua kumnyang’anya mtoto kwa nguvu. Kwao ni Iringa hivyo alimnyang’anya na kumchukua kipindi akiwa na miaka minne na tangu wakati huo alikua akiwasiliana naye kwa simu tu. Ana Mama yeka mkubwa, Dada wa Mama yake ambaye yuko Dar lakini naye haruhusiwi kumuona kwani ndiyo alimuambia kuhusu manyanyaso na kumuambia Mama yake ambaye alipoongea na Baba yake ukawa ugomvi mkubwa. Sikua na la kuongea zaidi ya kunyamaza tu kwa namna alivyokua akiongea ni kama alishakata tamaa ya maisha muda mrefu, sikujua ni kwa namna gani naweza kumsaidia kwani hata mimi nilikua na matatizo yangu. Usiku wakati wa kulala sikuolazwa stoo kama kawaida, hapana, niliambiwa natakiwa kulala katika chumba kimoja na Jack. Ulikua ni utaratibu wao, Baba akiwapo na mimi nakua mtoto na lala chumba kimoja na Jack. Usiku baada tu ya kuingia Jack alizima taa, nilishangaa kwani hata kitandani nilikua sijafika, nilimuuliza kwanini anazima, nikihisi labda ni Mama yake hapendi. Nilisogea na kuwasha, alishtuka, ni kitu amcho hakukitegemea. Alikua anavua nguo ili kuvaa nguo za kulalia, nilipowasha taa tu alianza kujificha kama vile anaona aibu. Nilishangaa kwani mimi ni mwanamke mwenzake, “Dada zima taa, zima taaaa!” Alipiga kelele, alionyesha kushtuka akijificha, lakini badala ya kuficha hata sehemu za siri alikua anaficha mgongo wake. Nilitaka kuzima lakini kabla ya kufanya hivyo macho yangu yalitua katika mgongo wake, ulikua kama ramani ya Tanzania, ulijaa makovu mengi ya fimbo, mengine mabichi kabisa kama vidonda. Sikuzima, sasa nilijua sababu ya yeye kuzima taa hakutaka nione makovu. Nilisogeza macho mpaka kwenye mapaja na sehemu za siri huko ndipo kuliharibika zaidi. Hapo ndiyo nilijua ni kwanini mara kwa mara huwa anakunja uso hata akiegemea sehemu au kugusa mapaja yake. Nilimsogelea na kumkalisha chini, alianza kulia kabla ya kusema chochote. “Kwanini humuambii Baba yako, kwanini humuonyeshi haya makovu? Akiona atakuamini!” Niliongea kwa hasira, sikua na muda pale lakini kwa upendo aliokua nao yule Baba sidhani kama angeweza kumuona mwanae katika hali ile na kunyamaza kimya. “Namuambia Baba yako, hii kazi ishanishinda, ngoje nifukuzwe lakini niondoke na huyu Sherani!” Niliongea huku nikinyuka kwenda kumgongea Baba yake, tayari walishaingia chumbani kulala. Jack alinifuata akilia kunibemebeleza ili nisiende akiogopa kuwa atamuua lakini sikujali, nilijua ni uoga ambao mimi kama mtu mzima nisingeweza kuuruhusu. Ushahidi alikua nao na hakukua na haja ya kuendelea kuteseka hata siku moja katika nyumba ya Baba yake. Alinisihi sana lakini sikumsikiliza, nilitoka mpaka sebuleni, alinifuata akiwa vilevile uchi kasahau kuvaa nguo, analia, nilielekea mpaka mlangoni kwa wazazi wake. Bado alikua analia, huku akiongea kwa kunong’ona. “Dada Raya, Dada Raya usimuambie, usiongee chochote, mimi niko sawa niliumia Shuleni, sio Mama aliyenipiga, ni ukorofi wangu tu!” Alipiga kelele kuniomba nisiseme. ITAENDELEA… (Hiki ni kisa cha kweli ingawa majina yaliyotumika hapa hayahusiani na wahusika. Hii ni sehemu tu ya simulizi kutoka kwa wadada wakazi “House girls” ambazo nitakua nikiwaletea. Je unadhani kama Raya atagonga mlango na kumshitaki Mama wa kambo, je Baba Jack akiambiwa atachukua hatua gani, kesho si mbali sana tukutane kwa sehemu ya pili hapahapa kwenye ukurasa huu…” ... Read More
SHINDU LA KIHAYA-11 ,,,ngo ngo ngo,,,mlango ulibishwa hodi ambapo Hassan haraka alitoka chumbani huku dudu lake likiwa limesimama ndani ya pensi nyepesi aliyoivaa,aliapa kwamba mama huyo akiingia tu ndani amekwisha,ndani ya penzi hiyo nyepesi hakuvaa kitu chochote,basi alichukua kopo la vibanio na kuliweka mezani,kisha yeye akajilaza kwenye kochi akiwa kifua wazi,hakwenda kufungua mlango kwavile ulikuwa haujafungwa na alijilaza makusudi kwani kuna wanawake wakiona muundo mkubwa wa dudu huchanganyikiwa zaidi kama mabwana zao wanadudu ndogo ,,,karibu,,,aliitikia Hassan kwa sauti ya kuigiza ili aonekane alikuwa amelala. Kitasa cha mlango kilizungushwa ambapo mama wa watu kwa kuhakikisha alipiga tena ile hodi ya kizushi ,,,hodi mpaka ndani jirani,,,alisema hivyo ambapo Hassan hakuitikia alijifanya yuko katika usingizi mzito sana,wala hata macho hakufungua,la alimsoma mama huyo kila atakachokifanya,kwanza mama huyo alisita kuchukua kopo la vibanio,kilichomfanya asite ni mlalo aliolala Hassan. Yalikuwa ni makusudi kabisa,tumezoea kuona wanawake wanaowatega wanaume,lakini hiyo ilikuwa kinyume chake,mwanaume anayemtega mwanamke.Hassan alijilaza kihasara ambapo dudu lake lilichungulia kwenye paja,hata muundo wa urefu wake ulionekana dhahri,nywele za kifuani ambazo wengi huziita bustani ya mapenzi zilionekana vyema kabisa,basi mama wa watu alipoteza kama dakika kuangalia dudu la Hassan kisha akachukua vibanio na kuondoka taratibu. Hassan alihesabu kama ni hatua ya mafanikio,alichokifanya alielekea kwenye dirisha lake na kuendelea kumchungulia shughuli zake,alionekana ni mtu mwenye mawazo tofauti na mwanzoni,kwani kuna muda aliinamia kamba ya nguo huku akitabasamu mwenyewe,Hassan alijipa maksi pengine anawazwa yeye.Ila mahali alipokuja kuonyesha waziwazi kuwa ana uhitaji wa dudu,alijiingiza mkono na kujiweka vizuri kitumbua chake ambapo mdomo wake wa chini aliuuma kidogo na meno,hapo Hassan akawa anajua tu mama huyo atarudi Alchotegemea Hassan mama huyo atarudi hata baada ya nguo kukauka kwasababu alitumia vibanio vyote.Ila mambo hayakuwa hivyo,akiwa ametulia sebuleni analiangalia dudu lake lilivyosimama na kuliambia litulie kwanza.Sauti ya yule mama tena ilibisha hodi,ila hodi ya safari hii haikuwa kubwa sana,ilibishwa kwa sauti ndogo ambayo aliisikia Hassan mwenyewe Hassan alikwenda mlangoni na kufungua mlango,kisha uso kwa uso alikutana na huyo mama, ,,,nimerudisha kopo la vibanio jirani,,,alisema hivyo mama huyo ambaye jina lake halisi aliitwa Agnesi ,,,sasa baadaye utawekea kwenye nini lakini jirani,,,alongea kwa sauti ya kichokozi Hassan ambapo ilikuwa ni sababu tosha kumwaminisha Hassan kuwa mama huyo hakufuata kurudisha kweli kopo ,,,ooh nishasahau,ona sasa uzee huu,,,alipojibu hivyo akataka kuondoka kurudi Hassan alimshika mkono na kumvuta kidogo,mama watu alilegea ile yenyewe kabisa mpaka jicho,ila hapo hakuvutwa ndani ,,,tufahamiane jirani yangu,,,aliposema hivyo Hassan,mama huyo jiran akawa anataka kujitambulishia hapo hapo nje,ila Hassan alimkata kauli ,,,jamani jirani tunaongelea nje kama hatuna sebule?,,, ,,,aah si unajua bado nafua jirani,,,alijitetea mama huyo Hassan hakuelewa kauli hiyo akawa anamvuta kwa ndani huku mama huyo akigoma ile uwongo na kweli ,,,baadaye bwana jirani ntakuja tutapiga stori,,,ikawa vuta nikuvute hapo mlangoni ambapo ambapo dudu la Hassan lilizidi kunyanyua pensi na kutuna hasa,mpaka ikawa sio kificho tena. Mchezo wa vuta nikuvute Hassan alishinda,mama huyo jirani aliingia ndani ila alikataa kukaa alisimama kwnye ukuta akimwomba Hassan kuwa aje baadaye ila sio muda huo ,,,mume wangu hachelewi kurudi Hassan,nitakuja baadaye,,,aliongea hivyo mama huyo huku akiwa ameshaelewa somo Dudu la Hassan lilisimama vibaya mno,yaani ikawa hata ile pensi haizuii kitu,mama huyo alivalia khanga mbili,moja aliipitisha juu ya matiti,ya pili aliifungia kiunoni,basi Hassan alivua Pensi na kubakiza zinga la dudu likinesanesa,eti huyo mama aliziba macho huku akijifanya analia kama mtoto ,,,Hassan bwana mambo gani hayo,,,alisema hivyo kwa sauti ya chini ambapo Hassan alimsogelea mpaka kwa karibu dudu ndilo lilianza kumgusa kitovuni,alimkazia macho hasa ,,,niangalie,,,alisema Hassan,kwa uwoga jirani alimwangalia ,,,unataka kuondoka?,,, ,,,ndio,,,haraka mama huyo jiran aliitikia ,,,piga magoti halafu utaenda,,,mama huyo alishangaashangaa huku akipiga magoti taratibu,hakuziba tena uso,sasa kwa jinsi alivyopiga magoti,akawa usawa wa lile dudu kabisa,yaani mdomo wake ulielekea kabisa kwenye dudu ,,,nadhani unajua cha kufanya,,,aliongea Hassan ,,,mi nifanyaje sasa,,,alijbu kwa kudeka mama huyo ,,,panua mdomo,,,yaani mama huyo alipopanua tu mdomo,Hassan alikingiza kichwa cha dudu lake mdomoni mwa jirani huyo,cha kushangaza hakukutana na meno,akajua tu mama huyo alijiandaa kulinyonya.Kuanzia hapo ni kama uwanja ulifunguliwa ,,,nyonya basi jamani,,,aliongea kwa mapozi Hassan ambapo mama huyo alilifumba tu bila kufanya chochote,ni yeye tu Hassan alikuwa akifanya kama analipeleka mbele na kurudisha nyuma. Alipoona mama huyo hatoi ushirikiano na anataka kusuguliwa alimwinua kisha akaelekea mlangoni kwa hatua za taratibu na kufunga mlango,ile kugeuka kurudi,alishangaa mwenyewe,mama huyo alikuwa amejibakiza na chupi tu,khanga zote alizitoa,Hassan alimfuata na kumvutia karibu,kile kitendo cha kuvutwa mtoto alitoa kicheko fulani cha kutia nyege,basi taratibu mdomo ikaanza kugombaniana ndimi zao,mkono wa huyo mama ulishuka mpaka kwenye kitobo cha dudu,palikuwa na ute fulani ambao ulishaanza kutoka,basia liutumia ule kusugua kile kitobo pamoja na ile sehemu ya chini ya kitobo,e bwana Hassan hakutegemea huo utamu aliouhisi,,,, SHINDI LA KIHAYA-12 Uimara wa dudu kusimama uliongezeka ambapo Hassan alijisikia raha hasa,raha ya dudu ipo kichwani bwana,basi naye kwa uchokozi wa kimahaba Hassan alishusha mkono wake mpaka chini kabisa kisha akawa anapapasa kitumbua kwenye mashavu yake mpaka pale kati kwenye utamu japo hakupakazania,yaani mkono tu kwa nje mama wa watu alishalowa,alikuwa na hamu alipoliona tu dudu la Hassan maana akiangalia mumewe hana mzigo mzito kama huo. Huku nje sasa,wamama wenzake walvyo wambea walianza kujiuliza huku wakihisi kinachoendelea kwa Hassan,walisemezana ,,,angekuwa amesharudi,,, ,,,Hassan atakuwa anamsugua bila shaka,,, ,,,mmh sio rahisi,yule mama mpole vile,,! ,,,upole mdomoni kwani kitumbua kina upole?,,,walicheka wote kwa pamoja na kugonganisha viganja vya mikono yao ,,,ila jamaa naelekea yuko vizuri,,, ,,,ndio kwasababu yule hakuwahi kuongea na Hassan hata siku moja ila leo anasuguliwa,,, ,,,mapenzi bwana,sa yule mama anakosa nini kwa jamaa yake?,,, ,,,ndio hivyo,tuyaache kama yalivyo,,,waliishia hapo na kuendelea na shughuli zao maana waliona hata wakifuatilia sana hayo ni maisha ya mtu anayoamua kuishi Hassan alishamtoa mama huyo chupi na kumbakiza kama alivyozaliwa,yaani kitumbua chake kilituna hasa kwa nyege,matako yake yaliyolaini ndiyo yaliyomvutia zaidi Hassan,hapo walikuwa wameshapelekana kitandani,wote wawili walikuwa uchi kabisa,walianza na mtindo wa kiubavu. Mama huyo alionekana kulitolea macho dudu la Hassan kama mtu anayelitamani na kulihofia kwa wakati mmoja.Kweli mtoto alifundwa mapenzi,unajua kumjua mwanamke anayejua kufanya mapenzi ni rahisi sana,ukimweka mtindo wowote,we angalia ni jitihada gani amezifanya kuhakikisha utapata utamu,ila kama ukimweka ndio hivyo hivyo hata aichangamkii staili huyo namfananisha na mtoto wa miaka sita. Mama Jirani alivyolala kiubavu,yaani kile kiuno na mgongo sijui alijipindaje mpakayale matobo yake mawili yakawa yanaonekana wala sio ya kuyatafuta,na alivyo na matako makubwa huo mtindo ulimpendeza sana,miguu yake aliibana vyema kabisa,raha nyingine ya mtindo huu,hata kama mwanamke atakuwa na kitumbua kikubwa,kwa jinsi mama huyo alivyokaa sio rahisi mwanaume kujua kwani kitakuwa kimebana,vilevile ni njia nzuri ya mwanamke kuwahi kukojoa kwani mwanamke akiwa anaguswa na mboo kwenye kila kona ya kitumbua ndivyo anavyowahi kukojoa. Hassan hakupata kazi yeyote,alimsogelea mama huyo akitokea kwa nyuma yake,tayari kitumbua kilikuwa kimelowa hasa,alilipenyeza dudu lake taratibu ambapo kilizama kichwa chote,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssssssssss aaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaah,,,,miguno ya kimahaba aliitoa Mama huyo kwani mzigo wa Hassan haukuwa wa kitoto,,,taratibu alilisukuma mpaka likazama lote,kweli kitumbua kilikuwa kimebana Hassan aliona hatafaidi kama akilala kiubavu kama mama huyo,kabla hajaanza kupampu dudu likiwa ndani,aliinua na kupiga magoti ambapo aliishika miguu ya Mama huyo ile sehemu ya nyuma ya magoti kisha akaifanya kama anaikutanisha na uso wake,hapo mama jirani alihisi maumivu kidogo,Hassan ndio akaanza kupampu huku akiwa amembana hasa mama wa watu,alianza kwa kasi ndogo sana kama anasindikiza harusi,mama wa watu alichemka hasa kwa utamu ,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooosssssssssssssss,,,,mmmmh,,,alilalamika kimahaba mama huyo akishindwa hata kuchezesha kiungo kimoja zaidi ya kichwa tu,mwanaume akaanza kuchanganya kidogo mwendo,hapo alimlalia na kumnyonya masikio,yaani kutekenywa masikioni na ncha ya ulimi,huku kitumbuani kusuguliwa vyema,mama wa watu alihisi utamu wa ajabu,,,aliguna kwa sauti mpaka Hassan aliogopa,ila wale wamama majirani walisikia kwa mbali ,,,mwanamke anapewa haki yake,,, ,,,mmh sio kwa kilio hicho,,, ,,,usikate jamaa ana mzigo wa hatari,,, ,,,hata kama,atakuwa alikuwa na nyege sana,,, ,,,mmh mambo ya kitanda hayo,,,walisemezana hivyo majirani hao kisha kila mmoja aliendelea na shughuli yake Huku kwa mama jirani anayesuguliwa,aisee alishakojoa bao mbili kwa msuguo wa maana aliopewa,yaani alikuwa akilia kabisa machozi,utadhani alichapwa bakora za nguvu kumbe utamu tu,Hassan alipomwaga aliunganisha na mzunguko wa pili,kibaya zaidi mtindo hakubadilisha,kwahiyo mama wa watu alichoka halafu Hassan ndio alikuwa anatafuta bao la pili. ,,,aaaaaaaaaashiiiiiiiii,,,tubadili bwanaaaaa,,,,aaaaaaaaaaah,,,tubadili stailiiiiiiii,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,unaiumiza jamaniiiiiiiiiiiiii mamaa yanguuuuuuuuuuuu kitumbua changuuuuuuuuu eeeuwiiiiiiiiiiiiiii uuushuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,,,,alilalamika kimahaba ambapo Hassan kama aliweka pamba masikioni hakusikia lolote kumbe ndio alikuwa anakaribia kumwaga,ujue mwanaume akiwa anakaribia kumwaga hata umfanye nini hawezi kubanduka kwenye kitumbua,Hassan alimwaga bao lake na kuganda hapo juu ya mama huyo aliyechoka hasa ,,,we kweli kidume,sijawahi kusikia raha hivi jamani,,,alisifia mama huyo ,,,mi pia sijawahi kupata mwanamke mtamu kama wewe,mtamu sana,,,Hassan alidanganya ,,,mi ntampigia simu mume wangu nimwambie nimepata dharula ya ghafla halafu tubaki wote bwana,,,tayari mama wa watu alishapagawa na mautamu ya Hassan,,,,INAENDELEA SEHEMU YA 13 SHINDU LA KIHAYA-13 ,,,mmmh hawezi kujua jamani,,?,Hassan alihoji kizushi ,,,hawezi,ananiamini sana,,, ,,,kweli eeh?,basi fanya hivyo,nipe dakika kadhaa,,,basi mama huyo alipoongea hivyo alivaa nguo zake kisha akarudi chumbani kwake kwa kujiiba,alioga vyema na kuyatengeneza mazingira aliyoyaahidi,mumewe alipokubaliana na hiyo safari itakayomfanya asiwepo usiku huo,mwanamke alifurahi sana na kutoa maneno matamu kwa mume wake. Sasa hapo ndio uone utofauti,niamini kitu kimoja,sio kwamba Hassan alimpagawisha Mama Jirani kutokana na ukubwa wa dudu lake la hasha!,ila ni kwa utundu wa kucheza na kitumbua,mumewe alikuwa na dudu la wastani ambalo laiti kama angelitumia vyema asingemjengea mkewe udhaifu wa kutamani madudu mengine.Pia mwanamke hutakiwi kutumia vibaya kiasi unachaminiwa na mpenzi wako. Tukirudi upande wa Lisa,siku hiyo akiwa ametoka na mama yake kwenda kupata chakula cha usiku.E bwana kwenye hiyo hotel waliyokwenda waafrika unawahesabu,wazungu walikuwa wengi zaidi,palipikwa vyakula vya kila aina kutokana na nchi.Vingine ni oda maalumu vingine vya kuuza. Waliagiza chakula na kuanza kula,vinywaji vilifuata ambapo walifurahi sana,mwanga haukuwa mkali sana,ulikuwa wa wastani uliowawezesha kuhisi kama wako sehemu ya tofauti sana.Akiwa katika meza hiyo na mama yake,alimwona mzee fulani ambaye alinukia pesa ya maana,alikuwa na uwalaza mkubwa kama mkapa. Sasa ndani ya hotel hiyo kuna wanamuziki rasmi huwa wanatumbuiza,wanaimba nyimbo kuwaburudisha wateja,na kuna muda hupigwa nyimbo za watu wengine kisha wateja hujumuika pamoja na kucheza kwenye sehemu ya wazi kwenye hoteli hiyo.Muziki ulianza muda tu ila watu walipoanza kunyanyuka kuelekea kati,Skola naye alinyanyuka,kwa bahati mbaya au nzuri akapata mzungu wa kucheza naye,wakagandana hasa,mzungu alichanganyikiwa na umbo la Skola,alimwona mpya kweli. Huku Lisa aliletewa ujumbe na mhudumu kuwa kuna mzee anamhitaji,alipoonyeshwa kwa kidole,mzee alinyoosha mkono kumpungia ili aonekane.Mhudumu alipoondoka,naye huyo mzee kwenye kiti chake alinyanyuka na kupanda ghorofa ya juu,alimpa ishara ya mkono Lisa kuwa waonane huko juu. Taratibu mzee alipanda ngazi kuelekea juu huku Lisa akimwangalia anavyopanda ngazi hizo,kwa macho ya wizi,Lisa alimwangalia mama yake na kumwona akiwa ameshikiliwa vibaya na mzungu,tena anabambiwa hasa,alitabasamu kwa hali hiyo kisha akajiweka sawa na kuanza kumfuata yule mzee. Alipanda ngazi taratibu kuelekea huko juu ambapo siku hiyo alivalia gauni fulani sare na mama yake lililokuwa na mpasuo mkubwa sana mbele,pia wepesi wake ulifanya Chuchu zake kuchoreka vyema.Alivyotembea tu Lisa ilikuwa n tabu na yale matako mazuri aliyobarikiwa mtoto wa kike,kweli uzuri unaweza kuwa kipaji na wenywe maana Lisa hata akikutukana vigumu kumrudishia aisee maana hiyo sura na umbo vilivutia sana.Ndo wasichana kama hawa wakiwa wapelelezi kazi yao inakuwaga rahisi sana maana hawatumii nguvu kukukamatisha kwa mapolisi. Huko juu ya ghorofa alipotokeza tu Lisa,mandhari ya huko alipenda,mwanga hafifu ila tofauti na chini,huku juu hakukuzibwa kwahiyo mtu uliweza kuona juu angani.Mzee yule alikuwa amebadili mpaka mavazi,kutoka kuvaa suti mpaka bukta na vesti,mkononi mwake alishika glasi mbili za vinywaji,Lisa bila ya uwoga alimsogelea mpaka karibu,hakukuwa na mtu hata mmoja,bado Lisa hakujua hata uko juu hutumika kufanyaje. ,,,karibu sana mtoto mzuri,,,aliongea mzee na kumpa glasi ya kinywaji ,,,ahsante,nimefuata nini huku,,?,alipokea glasi na kuhoji Kuhusu kinywaji hakikumpa shaka kwani kilifanana na kile alichokuwa akinywa kule chini ,,,aah nahitaji kuwa nawe kwa muda mfupi sana mtoto mzuri Unasemaje,,? ,,,jibu langu linategemea na mfuko wako,,, ,,,basi usijali,,,mzee aliandaa laki mbili,alizito ana kumkabidhi,Lisa aliziangalia kwa dharau kisha hakuongea naye,aligeuka na kuanza kurudi.Mzee kwa kupagawa alimfuata na kumshika mkono akimrudisha tena ,,,yaani umenidharau hivyo? Mi ni wa laki mbili? Kumbe hata hujui vitu vizuri,,,aliongea kwa kujifanya amekasirika Lisa ,,,sawa,hakuna shaka ni kuelewana tu,njoo mama eeh,,,alibembeleza mzee wa watu kisha Lisa alimsogelea mpaka kwa karibu,alibana midomo yake hukumtazama kwa jicho la huba lililommaliza mzee huyo ,,,sikiliza,nitakufanyia milioni moja,ni kawasababu nimekupenda na nahisi una aaaaaah nzuriiii,,,hakutaja hicho kizuri bali alionyesha kwa kushika na mkono kabisa,mzee aliposhtuliwa dudu lake alikubali fasta,kumbe pesa alkuwa nazo,aliingia kwenye chumba fulani kilichokuwa kizuri hasa,kisha akatoka na pesa nyingi akimkabidhi Lisa,Lisa alipopokea tu alianza kumpa utamu mzee Alilivua lile gauni lake na kubakiwa na chupi tu,daaah mtoto aliumbwa jamani,huku juu kifuani hakuvaa chochote kwani Chuchu zake zilijiweza.Alimsogelea mzee huyo aliyekaa kwenye kiti cha kulala,alianza kumnyonya denda,alimvua ile vesti kisha akaanza kumnyonya Chuchu,mzee dudu lilisimama,mtoto taratibu aliivua bukta hivyo na kukutana na dudu la maana,halkuwa limesimama vyema hivyo akaanza kazi,alishusha mdomo wake chini kabisa kwenye kende na kuzinyonya,,,,,aaaaaaaaaaah,,,shiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika mzee ambapo ulimi wa Lisa ulihamia kwenye dudu,ulifyonza kile kichwa cha dudu hasa kile kitobo cha mkojo,,,mzee alitamani kupaa,.,,nyege zilipomkolea mzee huyo,Lisa alimjita kwa juu ili ampe mambo ya nayoendana na pesa yake,alimgeuzia mgongo kisha akaivua chupi huku akiinama kumringishia tamu,vilevile alijirudisha nyuma ili alikalia dudu la mzee huyo,,,ITAENDELEA KESHO ... Read More
Story - - - - - NI WEWE TU PENINA. BY GIVAN IVAN PHONE & WHATSAPP____0769673145 Karibuni tuianze story yetu hii mpya yenye kusisimua iliyojaa visa mbali mbali kuhusu mapenzi. Sehemu ya kwanza (1) Mapenzi ya vijana wawili walionza kupendana toka wakiwa wadogo mpaka Sasa wakiwa na umri wa miaka 25 kila mmoja, yalikuwa yakizidi kukolea kila siku na kuwa matamu zaidi na zaidi. Vijana Hawa ni Frank pamoja na Penina. "nahisi kuvurugwa nahisi kufa kufa yaani najiona kama napepea juu juu kwa jinsi navyompenda mpenzi wangu Penina." alikuwa frank akiongea maneno hayo mbele ya wazazi wake pamoja na mdogo wake Wa kike aitwaye Angel. "na siku si nyingi utakuwa chizi wewe sio kwa kupenda huko kaka yangu." akaongea Angel kumuambia Frank. "acha niwe chizi tu mdogo wangu, lakini sio chizi wa kutembea uchi barabarani bali chizi wa kupenda." akaongea Frank maneno hayo na kuwafanya wazazi wake wacheke sana. "lakini mwanangu Sasa inabidi mfanye taratibu mfunge ndoa Sasa." aliongea baba yake Frank. "Hamna shida baba usijali yote hayo yatafanyika muda mfupi ujao. " Akaongea Frank ambaye muda wote furaha ilijaa usoni mwake. *wakati huo huo Penina mpenzi wake Frank naye alikuwa katika moja saloon akitengeneza nywele zake ikiwa ni maandalizi ya kwenda kukutana na mpenzi wake Frank. " Dada nitengeneze vizuri tafadhali maana napenda muda wote niwe navutia mbele ya mpenzi wangu." aliongea Penina kumwambia mwanadada aliyekuwa akimtengeneza nywele. "usijali dada nitakutengeneza vizuri mpaka mwenyewe ufurahi." Dada yule akamjibu Penina na kumfanya atabasamu. Baada ya dakika kadhaa Penina alimaliza kutengenezwa nywele zake na moja kwa moja akazama kwenye pochi yake na kutoa simu yake, kisha akatafuta Jina lililoandikwa my love Frank na moja kwa moja akazipiga namba hizo. * Frank akiwa bado anaongea na wazazi wake ghafla simu yake ilianza kuita, akatoa na kuangalia mpigaji ni Nani. Frank alianza kutabasamu baada ya kukuta mpigaji ni Penina kipenzi cha moyo wake. "haloo mke wangu mtarajiwa mambo vip?" akaongea Frank baada ya kupokea simu. "poa tu mpenzi wangu nimekumiss hadi nahisi kizunguzungu." akajibu Penina. "Asante mpenzi wangu yaani kuachana Jana tu ndio kunimiss hivyo?" " yeah nimekumis sana hebu jiandae nakupitia Sasa hivi tukale bata kidogo. " akaongea Penina kumwambia Frank. " waoow ok najiandaa Sasa hivi utanikuta tayari my love." akajibu Frank na simu ikakatwa. Frank aliwaacha wazazi wake pale sebuleni kisha yeye akaenda kujiandaa kwa ajili ya kutoka na mpenzi wake. Penina naye baada ya kukataa simu aliingia kwenye gari yake nyeupe aina ya rava4 na kuanza kuelekea nyumbani kwa Frank. Tumfahamu Penina vizuri. Penina ni mwanamke mrembo sana aliyebarikiwa na Mungu kuwa na kila kitu kizuri katika mwili wake. Popote pale Penina alipopita aliacha gumzo kwa wanaume ambao walikuwa wakimmezea mate. Penina ametoka katika familia ya kitajiri yenye watoto watatu, wawili wa kike na mmoja wa kiume ambao ni Nolan, Penina na Irene. Penina amefanikiwa kusoma mpaka elimu ya juu kabisa na kufanikiwa kuwa mfanyabiashara mdogo anayechipukia kwa kasi sana. Penina alianza uhusiano wa kimapenzi akiwa kidato cha tatu, na alianza uhusiano na kijana aliyeitwa Frank ambao mpaka Sasa wapo pamoja. Lakini kitu kimoja ambacho kanalitia dosari penzi tamu kabisa la Penina na Frank, ni baba yake Penina kutopenda mwanawe aolewe na Frank. Baba yake Penina hakutaka kabisa mtoto wake aolewe na Frank, yeye alitaka mtoto wake aolewe na mzungu kutokana na uwezo wao wa kipesa. Mama yake Penina pamoja na Nolan kaka yake Penina ndio Watu pekee waliokuwa wanayaunga mkono mapenzi ya Penina na Frank katika familia yao. Lakini Irene mdogo wake Penina pamoja na baba yake Penina ndio watu pekee ambao walikuwa hawataki kabisa kuyaona mapenzi ya Penina na Frank yakiendelea. * Frank yeye anatoka katika familia yeye hali ngumu kimaisha, hawakuwa na uwezo hata wa kuwa na nyumba nzuri kama wenzao. Frank aliishia kidato cha pili kutokana na wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumuendeleza zaidi. Kadhalika pia Angel mdogo wake Frank naye aliishia darasa La saba kutokana na Wazazi wao kutokuwa na uwezo wa kuwaendeleza zaidi. * Baada ya dakika kadhaa Penina aliwasili nyumbani kwa kina Frank, akapaki gari yake pembeni na kushuka Kisha akaingia katika nyumba ya kina Frank ambayo ilikuwa imechoka Sana. "waoow mkwe wetu karibu Sana." mama yake Frank ndio alimpokea Penina kwa furaha Sana. "Asante Sana mama yangu nimekaribia." akajibu Penina huku akiketi pembeni ya mama yake Frank. "eeh mwanetu lete habari." akaongea mama yake Frank. "Sina hata mpya nimekuja kumchukua mtoto wenu." akajibu Penina. Na Muda huo huo Frank akajitokeza akiwa tayari ameshajiandaa. Licha ya umaskini uliopo katika familia Yao, bado Frank alijitahidi Sana katika kuupendezesha mwili wake ili aweze kuendana na mpenzi wake Penina ambae Muda wote alikuwa mtu wa kupendeza tu. "waoow my love mwaaa." Penina ndio alinyanyuka na kumkumbatia Frank na kumuachia busu Zito la shavu. Frank naye hakuwa nyuma alimpokea mpenzi wake kwa furaha pia. Penina pamoja Na Frank waliaga na kutoka nje, wakaingia kwenye gari na kuondoka. "tunaelekea wapi Sasa mpenzi wangu?" akahoji Frank. "surprise my love sikuambii tunaelekea wapi." Penina akamjibu Frank huku akitabasamu. "haya bhana bas nafunga macho mpaka tufike." akaongea Frank na kumfanya Penina azidi kutabasamu.* Katika bar moja iliyopo maeneo ya sinza kikao kimoja kilikuwa kikiendelea, na huku kilichokuwa kikipangwa Katika kikao kile ni namna ya kulivunja na kuliharibu penzi la Penina na Frank. Mzee Joel ambaye ni baba yake Penina, pamoja na Angel ambaye ni mdogo wake Penina pamoja na vijana wengine watatu wa kiume na mmoja wa kike, ndio waliokuwa wahusika wakuu wa kikao kile. .... Itaendelea ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 08* “nzuri tu kaka, shikamoo!” Aliitikia Penina na kasha kumwamkia kaka yake “marhaba mdogo wangu>“ Aliitikia salamu. “Penine kanenepa kweli safari hii, shule imempenda kweli.” Aliongea Lisa. “hapana wifi!?” Penina aliongea na kasha kucheka, ukweli ni kwamba kweli alikuwa amenenepa na kujengeka shepu kwa mahipsi na makalio yaliyo fungashika kiinye plus gwedegwede. Waliongea mengi wakiwa na furaha ya kuwa pamoja tena. Upande wa Lisa moyoni hakuwa na furaha hata kidogo, muda wote alifikiria jinsi ya kumtoa muuza maziwa ndani ya nyumba hiyo. Alifahamu fika jinsi swala hilo lilivyokuwa gumu kwani chumba alichomficha ndicho chumba atakacholala penina , hakuelewa angeweza vipi kumtoa muuza maziwa katika chumba hicho bila ya Penina kugundua. “sijui nitafanya nini mungu wangu?” Aliwaza bila kupata jawabu, hakuona aibu kumshikilikisha Mungu katika uovu wake. “atalala tu lakini , na hivi alivyochoka, na huo ndio utakuwa muda muafaka” Alizidi kuwaza, Hiyo ndio ilikuwa njia pekee aliyoitegemea alitumaini Penina atakapolala ndio uwe muda muafaka. “wifi vipi mbona utafikiri uko mbali sana!?” Penina aliuliza baada ya kugundua kwamba Lisa hayupo pamoja nao katika maongezi. “hapana nipo , mbona tupo pamoja!.“ Aliitikia Lisa haraka haraka baada ya kuzinduka toka kwenye mawazo mazito aliyokuwa nayo. “kweli Lisa upo tofauti sana leo” Jerry nae alikazi “hapana jamani mbona nipo sawa!” Lisa alizidi kujitetea kwa nguvu zake zote kwani hakutaka mtu yoyote ahisi chochote kuhusiana na swala hilo la muuza maziwa, alichokifanya baada ya hapo ni kujaribu kujichekesha na kuonyesha kuwa ana furaha ili kupoteza kabisa hisia za mumewe pamoja na wifi yake. Waliongea kutwa nzima mpaka usiku ukaingia , baada ya chakula cha usiku kila mmoja alielekea chumbani kulala Jerry na mkewe chumbani kwao na Penina pia alielekea chumbani kwake. Wakiwa kitandani kwao si Jerry wala mkewe aliyeonekana kumjali mwenzake, kila mmoja aligeukia upande wake , kila mmoja alirizika na usaliti alioufanya mchana wa siku hiyo. Jerry alipotembea na Sekritari wake wakati Lisa alipotembea na muuza maziwa. Hakuna aliyejua maovu ya mwenzie kila mmoja alimuona mwenzake karanga bao na kumlalia mzungu wa nne. xxxxx- – – – xxxxxx—- – — xxxxxxxx Saa sita na nusu usiku Penina alishtuka toka usingizini , hii ni baada ya kusikia mlio wa kabati likifunguliwa , haraka alisogeza mkono wake kwenye swich ya taa na kuiwasha. Mwanga ulitanda chumba kizima . Penina hakuamini alipomuona mtu akiwa amesimama karibu kabisa na kabati huku kabati likiwa wazi. “kaka! , kaka!, mwizi! Mwizi!1” Penina alipiga yowe kwa hofu huku akimwangalia muuza maziwa vizuri. Muuza maziwa alikuwa akitetemeka mwili mzima, sauti ilikwisha fika chumbani mwa akina Jerry, Jerry alikurupuka na kumwamsha mkewe . Lisa alichanganyikiwa kusikia taarifa hizo alijua kwa vyovyote vile huyo atakuwa ni muuza maziwa. “mungu wangu, sijui nifanyeje mie!!” Aliongea Lisa kwa mshituko CHANZO: /“utafanyeje nini?, twende au umesahau kwamba tuna Bastora!?” Jerry aliongea akiwa ameishikilia bastora yake kwa kujiamini. Hakujua kwamba mkewe hakuwa anaogopa mwizi bali alimhurumia muuza maziwa. Muuza maziwa alizidi kutetemeka hakujua afanye nini miguu yote iliishiwa nguvu alishindwa kusimama wima akaegamia kabati. “da– da—mi-mi si-o mwi-zi!-zi-zi” Aliongea muuza maziwa huku akitetemeka kupita kiasi. ITAENDELEAMUUZA MAZIW EP 09 ILIPOISHIA….. “kaka! , kaka!, mwizi! Mwizi!1” Penina alipiga yowe kwa hofu huku akimwangalia muuza maziwa vizuri. Muuza maziwa alikuwa akitetemeka mwili mzima, sauti ilikwisha fika chumbani mwa akina Jerry, Jerry alikurupuka na kumwamsha mkewe . Lisa alichanganyikiwa kusikia taarifa hizo alijua kwa vyovyote vile huyo atakuwa ni muuza maziwa. “mungu wangu, sijui nifanyeje mie!!” Aliongea Lisa kwa mshituko “utafanyeje nini?, twende au umesahau kwamba tuna Bastora!?” Jerry aliongea akiwa ameishikilia bastora yake kwa kujiamini. Hakujua kwamba mkewe hakuwa anaogopa mwizi bali alimhurumia muuza maziwa. Muuza maziwa alizidi kutetemeka hakujua afanye nini miguu yote iliishiwa nguvu alishindwa kusimama wima akaegamia kabati. “da– da—mi-mi si-o mwi-zi!-zi-zi” Aliongea muuza maziwa huku akitetemeka kupita kiasi. MUENDELEZO WAKE : “kumbe wewe nan……….?” Penina alijikuta anakatisha kauli yake baada ya kumuangalia vizuri muuza maziwa, hakuamini alichokiona alihisi kama vile yuko ndotoni. “Karani!!!!” Aliita Penina kwa mshangao huku akiwa ameduwaaa. “Penina!!!” Muuza maziwa nae aliita mara baada ya kumuangalia vizuri penina. Wote walibaki wakishangaa huku wakiangaliana usoni, kumbukumbu zao zilirudi nyuma miaka miwili iliyopita. Suji sekondari katika bweni la wasichana chumba namba ishirini na moja. Penina akiwa amelala kwenye kitanda cha dabodeka, ikiwa ni mara yake ya kwanza kulala ndani ya chumba hicho. Sababu hiyo ilikuwa ni siku yake ya kwanza toka ahamie bwenini , mwanzo alikuwa akikaa kwenye nyumba ya mkuu wa shule. Akiwa kitandani hapo alisikia mlio wa mluzi ukisikika kwa mbali karibu kabisa na dirishani sehemu ambapo alikuwa amelala. “it ndizi time!” [ni muda wa ndizi] Mwanafunzi mmoja aliongea kwa sauti ya kunon’gona kasha wenzake walicheka kwa sauti za chinichini. Penina hakuelewa chochote kilichoendelea. Mwanafunzi mmoja aliamka na kwenda kufungua mlango. Watu wane wakiwa wamejitanda khanga waliingia ndani, Penina alizani watu hao ni wasichana. Aliduwaa pale walipotoa Khanga zao. Wote walikuwa ni wanaume. Kila mmoja alienda kwenye kitanda chake waliongea lakini sauti zao zilikuwa za kunon’gona. Penina alibaki ameduwaa tu asijue nini cha kufanya , katika chumba hicho ni yeye peke yake ndio alikuwa amelala peke yake. Alijaribu kuutafuta usingizi lakini alishindwa , vilio vya mahaba alivyokuwa akivisikia usiku huo vilimtesa kupita kiasi, alitamani na yeye lakini hakukuwa na mwanaume kwa ajili yake. Alibaki akijigaragazagaragaza tu kitandani kwake. Mpaka kufikia saa kumi na nusu alfajiri wanaume walipoondoka bado yeye alikuwa hoi. Mchna alimfuata maria na kumweleza shida yake. “na wewe unataka ndizi?” “mmh, mwenzangu manaake hali mbaya!” “usihofu , nitamwelza Bakari akufanyie mpango”. “nitafurahi kweli maanake we acha tu!” Ahadi ya maria ilikuwa kweli , Penina aliteseka kwa siku moja tu , siku iliyofuata nae aliletewa ndizi yake. Ni hapo ndipo alipokutana naKarani mchunga n’gombe wa akina Bakari, ambae sas ndio muuza maziwa. Karani alikuwa akimfikisha Penina mpaka basi jambo lililomfanya Penina ampende kupita kiasi, alimuahidi kwamba atakuwa nae milele lakini ajabu ghafla alitoweka. Alipomuuliza Bakari kuhusu swala hilo alimwambia hajui alikoelekea. “nyumbani katoroka alafu ameiba baadhi ya nguo zangu , hafai kabisa yule jamaa.” BakaRi aliongea kauli hiyo iliyomaliza kabisa nguvu za Penina. Alimpenda sana Karani na alitaka kuwa nae siku zote za maisha yake. Hakuelewa ataishi vipi bila kuwa nae. “lakini usihofu Penina nimekuletea mwingine” Bakari aliongea akiwa ametabasamu huku akishika bega la kijana mpya aliyekuja nae siku hiyo. Penina alimwangalia kijana huyo kuanzia chini mpaka juu lakini hakuona hakuona cha kumlinganisha na Karani. “Siitaji tena kama Karani hayupo basi “ Penina alijibu kwa dharau. “Penina hata huyu yuko bomba tena mkali kuliko hata Kara….” “Nimesema sitaki husikii” Penina alifoka tena kwa sauti kubwa jambo ambalo liliwaogopesha wote, sababu lilikuwa ni jambo la hatari, hawakutaka kuendelea kumsemesha waliogopa angewasababishia msala kwa mlinzi endapo ataisikia sauti yake. Siku iliyofuata Penina aliamua kuhama chumba hicho kwani hakuona raha tena ya kuwa ndani ya chumba hicho wakati Karani hayupo. Rafiki zake walimbembeleza asahau habari ya Karani na akubali kuwa na yule kijana mpya ili arudi kwenye kile chumba lakini yeye aliwakatalia katakata , hakuona mwanaume wa kumfananisha na Karani wake. Wiki moja baada ya Penina kuhama ndani ya chumba hicho mlinzi alishtukia mlinzi alishtukia kila kitu . Aliwakamata wanaume wote wakiwa ndani ya kile chumba cha kina Maria na kasha wanafunzi wote waliokutwa ndani ya chumba hicho walifukuzwa shule. Penina alikuwa ameponea chupuchupu, kama isingekuwa Karani kutoroka nyumbani kwa kina Bakari basi leo hata yeye angelikuwa miongoni mwao na Karani wake. Wiki moja baada ya Penina kuhama ndani ya chumba hicho mlinzi alishtukia mlinzi alishtukia kila kitu . Aliwakamata wanaume wote wakiwa ndani ya kile chumba cha kina Maria na kasha wanafunzi wote waliokutwa ndani ya chumba hicho walifukuzwa shule. Penina alikuwa ameponea chupuchupu, kama isingekuwa Karani kutoroka nyumbani kwa kina Bakari basi leo hata yeye angelikuw miongoni mwao na Karani wake. Jambo hilo lilimfanya azidi kumpenda Karani na kujipa ahadi kwamba lazima siku moja atamtafute mahali popote duniani.. Ajabu leo anamkuta ndani ya chumba chake cha kulala. Hakutaka kumuuliza amefikaje , iwe kweli amekuja kuiba au vyovyote alichofikiria sasa ni kumuokoa ili kaka yake asijue kwamba yumo humo. “Ngo, ngo ngo” Mlango uligongwa , Penina pamoja na Muuza maziwa walichanganyikiwa. “Penina!, Penina! Fungua mlango usihofu nina Bastora!” Kauli hiyo toka kwa Jerry ndio ilizidi kuwachanganya akili. “Tafadhari niokoe Penina sitaki kufa leo!” “Usihofu Karani nitafanya kila njia!” Penina aliongea. ITAENDELEA..*MUUZ MAZIW EP 10* MWISHOOOOOOOOO Wazo la kuingia kabatini lilikuja tena kichwani kwa muuza maziwa, na Penina bila kuchelewa akaufunga mlango wakabati hilo. “Penina fungua mlango” alijua labda mwizi huyo amemteka mdogo wake. Upande wa lisa alizidi kuchanganyikiwa. Sauti ya Jerry ilisikika tena huku akizidi kuugonga gonga mlango kwa nguvu, akilini mwake “Fungua Penin…..” Jerry alikatiza kauli hiyo baada ya Penina kufungua mlango. “yuko wapi, yuko wapi huyo mwizi?’” Jerry aliuliza huku akiwa ameishika Bastora yake sawia , tayari kwa kufyatua risasi. “hapana kaka!” “hapana nini kakimbia eeh au kaificha?” “sio mwizi kaka!’ “sio mwizi!? ,nani? Na yuko wapi?” Aliuliza kwa mshangao. “Ni ndoto nilikuwa naota “ “Ndoto!!?” “ndio kaka!” “ooh! Jamani penina umetushtua wenzako , uuh!” Aliongea Lisa na kuvuta pumzi , kwani wasi wasi ulimtoka baada ya kusikia kama ni ndoto. “Penina unauhakika kama ni ndoto!” Jerry aliuliza huku akiliangalia kabati, kasha akaanza kulisogelea taratibu. “ndio ! Ndio! Kaka” Penina aliitikia kwa hofu , alihisi kwamba pengine Jerry amegundua kitu, hali ilikuwa mbaya zaidi kwa Lisa ambae alichanganyikiwa kabisa. “hapana siwezi kurihusu jambo hili hata kidogo” Aliwaza Lisa pale Jerry aliponyoosha mkono ili kushika kitasa cha kabati hilo., alimkimbilia haraka. “Honey umekwisha elezwa kwamba ni ndoto kwanini unapoteza muda , twende tukalale mpenzi mwenzako nimechoka>“ Lisa aliongea kwa sauti laini. “Hapana nataka kufunga vizuri hili kabati”. Aliongea Jerry huku akilisukumiza kabati, hakujua kwamba halijajifunga vizuri kwa sababu kuna mtu ndani. Alilisukumiza huku muuza maziwa akisikilizia maumivu ya kuminywa na kabati hilo, alijuzuia kupiga kelele huku mwili mzima akitetemeka kwa woga. “Achana nalo hilo Dear kwanza kabati lenyewe hilo bovu.” “bovu!!!” “eeh bovu hata mimi wifi alinieleza’ Penina alidakia “sasa kwanini hamjamuita Fundi?” “usijali mpenzi nitamuita kesho, twende basi tukalale.” Lisa aliongea kwa sauti nyororor ambayo ilimshawishi Jerry moja kwa moja. “Lala salama Penina “ Aliaga “sawa kaka “ Walitoka na kwenda chumbani kwao wakiwa wamekumbatiana.. Penina aliufunga mlango kwa furaha na kisha kwenda kulifungua kabati. Alikuwa na hamu kweli ya kuwa na Karani wake. Karani ambae hadi wakati huo alikuwa akitetemeka kwa hofu, hakuamini kabisa kwamba ndani ya chumba hicho yumo yeye na Penina pekeyeo. “kabla ya yote nikumbatie mpenzi!.“ Penina aliongea akiwa na tabasamu zito usoni kwake . Muuza maziwa hakusita kumkumbatia. “siamini kabisa mpenzi!” “hata mimi penina!” “hivi umejuaje kwamba ninaishi hapa?” Aliuliza penina akiamini kwamba kilichomleta muuza maziwa humo ni yeye. “Nilikuona ulipokuwa unaingia” Muuza maziwa alijibu, hakutaka kumweleza kwamba aliyemleta humo ni wifi yake. “ndio maana nakupenda Karani!” “hata mimi nakupenda!” Karani nae akaitikia Alimsogelea zaidi na kumbusu ‘mwaaaa!!!’ ‘Mwaaa!!!’ Penina nae aliitikia busu hilo. Muuza maziwa kama kawaida yake akaanza manjonjo yake, Penina alikwisha jua nini kinachofuata akaanza kujichekesha kwa kicheko cha kugunaguna. “unajua nafanya kazi gani sasa?” Muuza maziwa aliuliza “sijui!” Penina aliitikia “Nauza maziwa!” “aah kwa hiyo nikuite Muuza maziwa sio.” “sawa sawa watu wote wananiita hivyohivyo.” “haya basi muuza maziwa nataka unipe mambo” “hapa ndio mahala pake, utapata ondoa hofu!” Muuza maziwa aliitikia na kuanza kumtekenya Penina kwa ulimi wake. Penina alicheka kwa kicheko cha chinichini, mambo ya muuza maziwa yalimfanya akumbuke kipindi walipokuwa wote kule shule kipindi Karani ni mchunga ng’ombe lakini sasa yuko mjini na ni MUUZA MAZIWA. END OF SEASON ONE. ... Read More
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU! Nilikua mgeni katika ile nyumba, ingwa haikua mara yangu ya kwanza kufanya kazi za ndani lakini bado nilikua ninaogopa ogopa Dada (Mama mwenye nyumba) alionyesha mkali sana kwani ile kuingia tu alishanipa mashariti elfu kidogo. Nilishaambiwa sehemu ambazo siruhusiwi kukanyaga, vitu ambavyo siruhusiwi kugusa na majina ya kuwaita wote mule ndani. “Sitaki unite Mama unanizeesha unafikiri mimi naweza kuzaa kinyago kama wewe!” Hiyo ndiyo ilikua kauli yangu ya kwanza kukaribishwa nayo mara tu baada ya kumsalimia na kumuita Mama. Kweli hakua mtu mzima, lakini kwakua katika nyumba niliyoondoka nilikua nimezoea kumuita bosi wangu Mama nilijua ni heshima nayeye atapenda kuitwa hivyo. “Huko ulikotoka kwanini ulifukuzwa?” Aliniuliza kwa hasira, sijui hata nilimfanya nini lakini alionekana na kisirani chake tu. “Sikufukuzwa dada niliamua tu kuondoka, walikua …” “Eeeeh! Mimi si shoga yako kuanza kuniambia matatizo yako, nyamaza nishakuambia sitaki kukusikia, nenda jikoni huko! Unajua kupiga au niwakufundishwa kila kitu!” Alinikatisha kabla ya kujielezea kisha kuendelea kufoka. Nilimuambia najua akaniambia niingie jikoni kuanza kazi. Ulikua mchana kwani niliondokea kwa Shangazi yangu (si Shangazi kweli ni mtu ambaye alinilete tu mjini). Niliingia jikoni na kukuta lundo la vyombo, sikua na haja ya kuelekezwa, nilishakua House Girl mzoefu hivyo nilijua nini cha kufanya. Nilianza kuosha na ulipofika wakati wa kupika nilimuuliza tunapika nini. Nashukuru safari hii alinijibu vizuri hivyo nilichukua kile nilichelelekezwa na kumpikia. Kutokana na kelele za nyumba niliyotoka na uzungu wa Bosi wangu wa zamani nilikua najua kupiga si kitoto, ile milenda milenda yangu ya kijijini niliiacha huko huko hivyo nilipompikia tu na kuweka chakula mezani, alikifurahia ingawa hakusema chochote lakini hakulalamika, hiyo ilikua dalili njema kwangu. Katika nyumba niliyotoka baada ya kuwatengea chakula nilikua nasubiri mpaka wamalize kula, hii ni kwasababu kama kikitokea kitu cha kutumwa basi niwepo kuwasikiliza. Huwa nasimama pembeni kama wale madhouse girl wa kwenye TV kusubiria mpaka mabosi wangu wamalize kula ndiyo huingia jikoni na kujitengea chakula changu. Nilishazoea hivyo na kwakua ilikua ndiyo nyumba yangu ya kwanza nilijua labda mjini kote ndiyo hali ilivyo. “Unasubiri nini hapo si uende jikoni huko ukajipikie au wewe huli?” Aliniuliza kwa hasira, nilitaka kumjibu kumuelezea nilivyozoea lakini hakutaka kusikiliza, jicho alilonikata niliondoka kama chizi nikikimbia. Nilifika jikoni na kupakua chakula, nilikaa chini ili kula. Lakini kabla hata sijafikisha tonge mdomoni alikuja, alikua kasimama pembeni yangu. “Ndiyo unafanya nini?” Aliniuliza, macho yake yalikua katika chakula. “Nakula ma…dada…” Kidogo nisahau na kumuita Mama. “Pumbavu unakula nini? Yaani unakula chakula ambacho ninakula mimi! Hivi una akili kweli unataka kuwa sawa na mimi, nikulipe elfu thelathini na chakula ule kama mimi!” Aliongea kwa hasira, alikipiga teke chakula kisha kutoka, alirudi na ndoo ya dagaa na kunirushia. “Kuna ndoo ya dona iko hapo, pika ugali wako ule. “Aliongea kwa hasira huku anaondoka, alienda kwa sekunde kadhaa na kurejea. “Upike mwingi kuna mwenzako anatoka shule atakuja kula na wewe!” aliondoka na kuniacha pale. Nilianza kuchambua Dagaa ambao wengi walikua wameoza, unakutana na wadudu kabisa. “Haya mapya! Nimeruka mkojo nimekanyaga mavi!” Niliendelea kujiongelesha huku nikichambua dagaa ambao walishaanza kunitia kichefuchefu. Huko nilikotoka nilikua nanyanyaswa lakini angalau nilikua nakula chakula cha mabosi wangu hata kama nilikua nalia jikoni! *** Jioni jioni hivi kama saa kumi na nusu watoto wake walikuja, walikua watatu. Mmoja mkubwa kuliko wenzake Jackline na wengine wadogo Joan na John, hawa walilingana kwani walikua mapacha. Baada ya kubadilisha nguo niliambiwa niwatengee chakula, nilifanya hivyo kwa kuweka sahani tatu mezani. Lakini Jackline ambaye alikua na miaka kumi hakukaa mezani, alikuja jikoni ambapo nilikua naandaa chakula cha usiku. “Wewe ndiyo Dada mpya, shikamoo…” Alinisalimia tena kwani alishanisalimia wakati nawafungulia geti ili waingie. Niliitikia kwa wasiwasi kwani nilishaambiwa nisiongee na wanae hivyo niliogopa hata kumjibu salamu. “Chakula changu kiko wapi?” Aliuliza, huku akikaguakagua vyombo. “Chakula si nimeshawatengea sebuleni?” Niliuliza kwa mshangao, hasira zilinipanda kidogo kwani nilishajua kuwa kumbe mbali na kudili na Bosi kichomi basi ningedili na mtoto mdogo kama yule ambaye ana kisirani. “Baba amesafiri mimi siruhusiwi kula sebuleni nnatakiwa kula na wewe!” Sikumuelewa niliuliza mata mbilimbili ndipo kwa utulivu kabisa alinieleza kuwa yule hakuwa Mama yake mzazi bali ni Mama wa kambo hivyo kila Baba yake anaposafiri yeye haruhusiwi kula chakula sebuleni na wengine mpaka anaporejea. Chakula anachokula ni cha Dada wa kazi. Kusema kweli hilo lilikua jingine jipya, labda kwakua nilikua sijafanya kazi katika nyumba ambayo Bosi ana mtoto wa kambo. Niliwaza kile chakula ambacho nilipika kwaajili yangu, nikawaza wale dagaa kisha nikamuangalia yule mtoto na kumuambia. “Jack, si unaitwa Jack… “Nilimuuliza. “Ndiyo Dada!” Alijibu kwa upole. “Huwezi kula kile chakula, hata mimi kimenishinda, hembu ngoja nikutengee kingine, mbona kiko kingi tu watamwaga hawa!” Niliongea huku nikimtafutia sahani ili kumpakulia chakula lakini alikataa katakata, aliniambia nitapigwa sana kama nikila chakula kingine. Alinionea huruma mimi pia nakuniambia hata Dada mwingine alifukuzwa kazi kwakua alikua ananipakulia chakula cha wengine. Alionyesha kuogopa mpaka na mimi nikaogopa kwa namna alivyokua anaogopa. “Huyu ni mwanamke wa namna gani mbona yuko hivi!” Niliwaza nikimuangalia Jackline, alikua kachoka lakini alijitahidi kuonyesha yuko sawa, mara kwa mara alikua akitabasamu huku akijilazimisha kucheka. Aliniongelesha ongelesha kutaka urafiki, kweli nilimuonea huruma machozi yalinilengalenga. Kwangu ule ulikua ni mtihani mpya ambao sikujua nitaumalizaje. *** Siku mbili baadaye Baba mwenye nyumba alikuja, huyu yeye niliambiwa nimuite Baba na nilifanya hivyo bila kuuliza maswali. Alikua ni kijana tu wa makamo au sijui niseme mtu mzima mwenye muonekano wa kijana. Alikua mchangamfu na alipokuja kila mtu alikua na furaha, si Jackline au watoto wake wengine nyumba ilikua kama imemwagiwa gunia la furaha. Hakukua na kupika mara mbilimbili, hata mimi niliambiwa nikae kwenye meza kubwa, hakukua na kutumwa tumwa kwani Baba akiwepo wakati wa kula ni kula na wote alituchukulia kama wanae. Ilikua ni kama unaishi katika nyumba nyingine tofauti kabisa, Dada alikua mchangamfu akiongea kwa kucheka mara kadhaa akimkumbatia Jackline. Hata mimi alinitambulisha kwa bashasha akinisifia kwa ufanyaji kazi wangu. Kweli nilishangaa “Mbona sielewe, huyu Mama yako wa kambo mbona kama anabadilika sana kama si yeye?” Nilimuuliza Jackline, alijiibaiba kukaa jikoni wakati wenzake wakiangalia TV, Baba yake akiwepo alikua haruhusiwi kufanya kazi yoyote. “Nimeshamzoea, anaigiza tu Baba akiwepo?” “Kwahiyo Baba yako hajui chochote?” “Hapana, nilishamuambiaga zamani lakini hakuniamini, niliishia kupigwa tu. Nilimuambia Mama kwanza aliposema kwa Baba akaambiwa nina wivu hivyo kukatazwa hata kuja kuniona, ilileta ugomvi mkubwa siku hizi kila nikilalamika naambiwa nimetumwa na Mama kuja kumfitinisha Mama Mdogo…” “Mama yako wewe yuko wapi? Kwanini huendi kuishi na Mama yako?” Yuko kijijini, waligombanaga na Baba zamani, hawakuoana, Baba alinichukua nikiwa mdogo na kunileta hapa, mimi sijui mambo hayo ila Mama yangu naongea naye tu kwenye simu mara moja moja lakini simkumbuki hata sura, hata sijui mimi mambo yao.” Aliongea kana kwamba ni mtu mzima, alionyesha kupitia mambo mengi na hakukua na mtu wa kumsikiliza. Nilipokuja kufuatilia nilikuja kugundua kuwa Mama yake na Baba yake hawakua wapenzi, ni watu tu walikutana na mimba ilipotokea basi Mama yake alivyokua akidai matumizi kipindi hicho ashaoa aliamua kumnyang’anya mtoto kwa nguvu. Kwao ni Iringa hivyo alimnyang’anya na kumchukua kipindi akiwa na miaka minne na tangu wakati huo alikua akiwasiliana naye kwa simu tu. Ana Mama yeka mkubwa, Dada wa Mama yake ambaye yuko Dar lakini naye haruhusiwi kumuona kwani ndiyo alimuambia kuhusu manyanyaso na kumuambia Mama yake ambaye alipoongea na Baba yake ukawa ugomvi mkubwa. Sikua na la kuongea zaidi ya kunyamaza tu kwa namna alivyokua akiongea ni kama alishakata tamaa ya maisha muda mrefu, sikujua ni kwa namna gani naweza kumsaidia kwani hata mimi nilikua na matatizo yangu. Usiku wakati wa kulala sikuolazwa stoo kama kawaida, hapana, niliambiwa natakiwa kulala katika chumba kimoja na Jack. Ulikua ni utaratibu wao, Baba akiwapo na mimi nakua mtoto na lala chumba kimoja na Jack. Usiku baada tu ya kuingia Jack alizima taa, nilishangaa kwani hata kitandani nilikua sijafika, nilimuuliza kwanini anazima, nikihisi labda ni Mama yake hapendi. Nilisogea na kuwasha, alishtuka, ni kitu amcho hakukitegemea. Alikua anavua nguo ili kuvaa nguo za kulalia, nilipowasha taa tu alianza kujificha kama vile anaona aibu. Nilishangaa kwani mimi ni mwanamke mwenzake, “Dada zima taa, zima taaaa!” Alipiga kelele, alionyesha kushtuka akijificha, lakini badala ya kuficha hata sehemu za siri alikua anaficha mgongo wake. Nilitaka kuzima lakini kabla ya kufanya hivyo macho yangu yalitua katika mgongo wake, ulikua kama ramani ya Tanzania, ulijaa makovu mengi ya fimbo, mengine mabichi kabisa kama vidonda. Sikuzima, sasa nilijua sababu ya yeye kuzima taa hakutaka nione makovu. Nilisogeza macho mpaka kwenye mapaja na sehemu za siri huko ndipo kuliharibika zaidi. Hapo ndiyo nilijua ni kwanini mara kwa mara huwa anakunja uso hata akiegemea sehemu au kugusa mapaja yake. Nilimsogelea na kumkalisha chini, alianza kulia kabla ya kusema chochote. “Kwanini humuambii Baba yako, kwanini humuonyeshi haya makovu? Akiona atakuamini!” Niliongea kwa hasira, sikua na muda pale lakini kwa upendo aliokua nao yule Baba sidhani kama angeweza kumuona mwanae katika hali ile na kunyamaza kimya. “Namuambia Baba yako, hii kazi ishanishinda, ngoje nifukuzwe lakini niondoke na huyu Sherani!” Niliongea huku nikinyuka kwenda kumgongea Baba yake, tayari walishaingia chumbani kulala. Jack alinifuata akilia kunibemebeleza ili nisiende akiogopa kuwa atamuua lakini sikujali, nilijua ni uoga ambao mimi kama mtu mzima nisingeweza kuuruhusu. Ushahidi alikua nao na hakukua na haja ya kuendelea kuteseka hata siku moja katika nyumba ya Baba yake. Alinisihi sana lakini sikumsikiliza, nilitoka mpaka sebuleni, alinifuata akiwa vilevile uchi kasahau kuvaa nguo, analia, nilielekea mpaka mlangoni kwa wazazi wake. Bado alikua analia, huku akiongea kwa kunong’ona. “Dada Raya, Dada Raya usimuambie, usiongee chochote, mimi niko sawa niliumia Shuleni, sio Mama aliyenipiga, ni ukorofi wangu tu!” Alipiga kelele kuniomba nisiseme. ITAENDELEA… (Hiki ni kisa cha kweli ingawa majina yaliyotumika hapa hayahusiani na wahusika. Hii ni sehemu tu ya simulizi kutoka kwa wadada wakazi “House girls” ambazo nitakua nikiwaletea. Je unadhani kama Raya atagonga mlango na kumshitaki Mama wa kambo, je Baba Jack akiambiwa atachukua hatua gani, kesho si mbali sana tukutane kwa sehemu ya pili hapahapa kwenye ukurasa huu…” ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: