Home → simulizi
→ Sitaki tena – 08
Ilipoishia..
....uku mwili wangu ukiwa
hautamaniki..
Endelea..
"...Ingia kwenye gari mpumbavu
wee..!"
Aliendelea kunikaripia yule polisi
ambaye sikumfahamu kwa jina
lakini lafudhi aliyokuwa akiongea
ilinifanya niamini kabisa atakuwa
ni muhaya tena yule wa kule
Bukoba ndani ndani
(Vijijini),Tukiwa ndani ya ile gari
aina ya 'One Ten' huku nikiwa
nyuma na askari mmoja na yule
mwingine akiwa anaendesha gari,
Ujasiri wangu feki niliuweka
pembeni hivyo nikawa ni mtu wa
kutoa machozi na kujiuguza
sehemu zilizoonesha kuumizwa
katika mwili wangu,njia nzima
mpaka tunaingia Kibaha nilikuwa
mtulivu bila kusemeshwa kitu
chochote na yule polisi,Tulipofika
maeneo 'Mbezi' yule polisi
akafungua kinywa chake na
kuniuliza,
"Unasikia njaa..?"
"Kimya..!"
"Dereva embu pitia pale 'Mnama
Restaurant' tupate chochote..."
Maswali aliyoniuliza na maongezi
aliyokuwa akiongea na dereva
ndo kati ya vitu vilivyoanza
kuuchanganya ubongo wangu..
"Mbona kabadilika tena huyu
polisi..? Asije kuwa wananifanyia
njama kama Baba Ali..?
Kwanini wameniagizia chakula
kama kweli nina hatia?..sijui
nimuulize kosa langu ni lipi hapa
hapa..?"
Nikiwa bado nimekaa katika kiti
cha mgawaha mmoja pale mbezi
nikiwa mimi na polisi wawili
mmojawapo ndo yule aliyekuwa
akinishikia bunduki na ndo
aliyenifunga pingu,
"Wewe muuaji unakula nini?
"Hapana..., Sili chochot..." kabla
sijamalizia kusema nilishtukia
napigwa na kitako cha bunduki
na yule yule polisi..
"Usitufanye siye wapumbavu,
kuua uue..! Tunakuonea huruma
japo na wewe upate chochote
unatuletea 'usenge' au
umeshazoea maharage ya
Gerezani nini...?"
Nilijikuta nanywea na kuwa
mdogo na kukubali kula chakula
kama walichoagizia wao ambapo
walikuwa wakila wali nyama..
Ndani ya nusu saa nikarudishwa
tena kwenye lile gari lakini safari
hii nilishangaa hawakunifunga
tena pingu mikononi hivyo
nikabaki na maswali mengi sana
kichwani..
* * * *
Mawasiliano ya mimi na wale
askari bado hayakuwa mazuri
kwani hadi tunapita kimara
hakuna hata mmoja
aliyenisemesha zaidi ya yule
mmoja kukaa karibu na mini
nisiweze kutoroka huku mwingne
akiwa dereva ndani ya ile gari...
Mawazo yalitawala sana kichwa
changu huku nikijiona si mtu tena
wa kuonana na mama yangu
wala Gervas..,nikiwa bado niko
kwenye dimbwi la mawazo huku
tukiingia kwenye foleni ya mataa
pale ubungo ghafla macho yangu
yakaamia kwenye gari la pembeni
yetu aina ya 'suzuki' hasira
nilizoshikwa nazo ghafla
ziliwafanya hata abiria waliokuwa
ndani ya daladala ambayo ilikuwa
nyuma ya ile gari niliokuwa
nimeikodolea macho waweze
kunishangaa,hilo sikulijari kabisa
maishani mwangu kwani Levina mi
aibu ilishanitokaga siku nyingi
ukianzia pale shuleni kwa kina
Gervas waliponigalagaza wale
wanafunzi,pia katika basi
nililokuwa nimeshushwa hvyo
ukinishangaa mi ntakuona mtu
wa ajabu sana.,
Akili na mawazo yakiwa bado
ndani ya kale ka suzuki ambapo
macho yangu yalikutana uso kwa
uso na mama ambaye sitakuja
nimsahau hata nife, hakuwa
mwingine bali ni yule mama
aliyenipeleka polisi kwa mara ya
kwanza na ndiyo aliyefanya
maisha yangu yapo hivi mpaka
sasa..,
"lazima nife mimi au wewe"
Nilijisemea kimoyomoyo huku
nikimtolea macho yalioambatana
na mchozi ulioanza kuniteremka
kwa ghadhabu niliyokuwanayo,
kilichofuata ni kuhema haraka
haraka huku pua zangu zikianza
kujaa makamasi kama mtu
aliyepatwa na mafua ya
ghafla..kama kawaida yangu
sikutaka kuchelewesha mda..
"Bunduki kitu gani wacha
anifyatue tu lakini kwa huyu adui
yangu siwezi kamwe kumuacha.."
Nikatoka spidi katika lile gari
nililokuwa huku nikimwacha yule
askari akinilenga huku
akinikimbilia lakini hilo sikulijari
ndani ya sekunde chache nikawa
nshafungua na kuingia kwenye ile
suzuki na ku loki milango yote
tayari kwa kumvagaa yule mama
aliyekuwa akiendesha peke yake
ndani ya kale kagari..,
Nilitumia kucha zangu na meno
kama filamu zile za kutisha
'VAMPIRE' kuisambaratisha
kwanza sura ya yule mama kisha
nikachukuwa mtandio wake
aliokuwa nao amejifunga
mabegani na kuuvingirisha
shingoni mwake tayari kwa
kumnyonga,akiwa bado
anakurupuka na kutapatapa pale
gari zilikuwa tayari zimeruhusiwa
na trafiki na wale polisi niliokuwa
nao tayari niliweza kuwaona
wakiwa nje wanataka kuingia
ndani nilipokuamo,sikujua hata
siku moja kuendesha gari lakini
nilisikia kwa wenzangu tu kuwa
kunakitu kinaitwa gia kipo kama
rungu pia kingine kinaitwa krachi
kipo miguuni, sikulielewa hilo
lakini nilijikuta nimekanyaga chini
bila kujua kama ndo breki au ndo
hiyo krachi kisha nikalishikilia
rungu na kulisogeza kisha
nikashangaa kuona gari ikitoka
tena kwa mwendo wa kasi
pale,nikiwa huku nimekaza ule
mtandio shingoni mwa yule mama
huku upande mmoja nikishikilia
msteringi nilijikuta nimevamia gari
za watu wengine waliokuwa
mbele yangu na kusababisha ajali
mbaya pale huku umati wa watu
ukifurika katika lile eneo
kushuhudia ile ajari.,
Watu walikuwa ni wengi sana
mpaka nikachanganyikiwa
japokuwa nilijihisi mwili wote
haufai kwa maumivu, ile gari
niliokuwa nayo ilikuwa
imeharibika vibaya baada ya mda
mchache nilihisi kuna watu nje
wanavunja vioo vya gari wanataka
kuingia ndani katika kuangalia
vizuri macho yakamwona yule
polisi alionifikisha hapa nilipo..,
"Levina...! Levina...!Jisalimishe
mwenyewe unajitafutia matatizo"
Yale maneno ya yule polisi
aliyokuwa akiniambia,
hayakuniingia akilini mwangu
kabisa niliona kama anampigia
mbuzi gitaa ili acheze.,yule mama
sikujua kama alikuwa amekufa ila
nilimwacha pale akiwa anahema
kwa kasi ya juu huku akiwa
hajitambui wala hajiwezi hata
kunyanyuka,haraka haraka
nikafungua mlango upande wa
nyuma kisha nikatoka spidi huku
nikiuacha umati wa watu ukiwa
haujui nini kinaendelea kutokana
na lile tukio..
Spidi niliyotoka nayo pale huku
watu wachache wakinishangaa si
kwasababu nimeponea
chupuchupu kwenye ile ajali bali
pia waliniona kama mtu
aliyechanganyikiwa kwa jinsi nguo
zangu zilivyokuwa hazitamaniki
kwa uchafu tena ule uliokolea
damu katika ile suruali aina ya
trakisuti ilivyobadilika rangi
nyekundu iliyokuwa imetapakaa
damu na kuwa kama nyeusi
nyeusi,
Sikumuogopa hata mtu nilizidisha
mbio huku nikielekea barabara ya
kwenda mwenge, kelele za
wapiga debe pale ubungo
ziliongeza hisia zaidi ndani ya
kichwa changu kwani kitendo cha
kugeuka nyuma ilikuwa kosa
kubwa sana kwangu kwani
niliamini na kujua tu lazima umati
mkubwa wa watu uwe
unanikimbiza nyuma yangu huku,
nikiwa nasonga mbele haijapita
hata hatua ishirini mara kundi la
watu wengine wakawa tayari
wametanda mbele ya macho
yangu...
* * * *
Baada ya yule polisi kunishika
ndani ya basi akanifunga pingu
baada ya pale akatikisa kichwa
chake kuashiria kuwa
ananifahamu akaniita na jina
"Levina...!"
"kwanini umeua tena?"
"Au unapenda kwenda gerezani
tena"
Hayo ni kati ya maneno
ninayoweza kuyakumbuka kwani
yalinifanya niishiwe nguvu na
kudondoka mpaka nikapoteza
fahamu,ninachokumbuka
nilishtuka na kushuhudia
nikipepelewa na yule polisi huku
nikiwa kwenye gari ambayo
sikuitambua vizuri kwa nje kwani
alikuwa amenilaza ndani ya lile
gari na mikononi mwangu bado
nilikuwa na pingu hivyo nilipopata
usingizi akaendesha gari mpaka
nakuja kushtuka tumeshafika Dar
na nilikuwa nikiota ndoto tena
matukio ya ajabu ajabu kama lile
la kumuua yule Mama na
kuharibu vibaya lile gari lake pia
kufukuzwa na umati mkubwa wa
watu pale ubungo..
"Mungu wangu kumbe yote yale
ilikuwa ni kama ndoto..!"
Nilijikuta nausemea moyo huku
nikishusha pumzi kubwa..
"Uuhh...! uuhh...!"
Taaratibu nikiendelea kuhema
kwa nguvu na hasira kali.,
"Hapa ni wapi?"
Nilijikuta nikimuuliza swali yule
polisi aliyenitoa kule Chalinze na
ndiye alikuwa amenipakia baada
ya kuzimia pale Chalinze..
"Hupaswi kujua..unapaona pale?"
"Nikakaa kimya.."
Huku nikiona kibao kimeandikwa
mbele yangu.., 'CENTRAL POLICE'
Nilitamani kutoroka pale lakini
nisingeweza kwani mda wote
nilikuwa na pingu mikononi.
"Levina...! Embu niambie ukweli
hizo damu katika hyo suruali
ilikuwaje?"
Nikawa najiuma uma nashindwa
nimpe jibu gani kwani ni kweli
nimeua lakini nikisema ajue
itanigharimu sana maishani
mwangu..
"Afande hizi ni damu za kawaida
tu ambazo nilipitia buchani
kuchukuwa nyama na kupeleka
nyumbani nilipokuwa kule
Morogoro..!"
Nilijikuta namdanganya lakini
kiukweli alionesha kuchekeshwa
na mimi sana mpaka
nikamshangaa..
"Levina acha kunichekesha we
mtoto...,
Mbona kule nilipokushusha
kwenye basi nilikuuliza swali kama
hili na ukaniambia kweli umeua
ila kwa bahati mbaya..?"
"Mi mi...?
Labda utakuwa ulisikia vibaya
afande...."
Nilijitahidi sana kujikaza na
kubadilika lakini yule askari
hakuridhika na majibu yangu,na
kwa safari hii hakuwa mkali wa
kunipiga bali nilimshangaa pia
kwa kuongea na mimi ndipo
akataka kuniambia ukweli sababu
kubwa ya kunichukuwa na
kunileta mpaka maeneo haya
kituo cha polisi endapo tu
nitamjibu maswali yake kikamilifu,
huku tukiwa tumeliangalia lango
la kuingia polisi...
"Sitapenda nikuingize tena pale
polisi najua utateseka sana mpaka
uje kutoka tena mdogo
wangu..,Ila kitu kimoja
ninachotaka kuongea na wewe ni
unipe jibu moja tu ili niweze
kukusaidia..
"Huko ulipotoka umeua?"
"Sijaua na naogopa sana kuua
maishani mwangu..!"
Nilimjibu mara ya pili lakini kwa
sasa nilianza kuonesha
kauoga,kwani nilianza kuingiwa
na hofu huku nikitoka jasho
jembamba mwilini mwangu na
niliamini kabisa ntakuwa
nategwa..
"Mimi nataka kukusaidia Levina
lakini unakuwa mbishi si ndio..?"
Alianza kubadilika yule afande
huku akinikodolea mijicho na
kunionesha ufunguo wa zile
pingu kuwa kama nitakuwa
mkweli atanifungua pingu kisha
nitakuwa huru na salama,kitendo
kile kikanifanya uzalendo uanze
kunishinda na kujikuta namjibu
anavyotaka..
"Ni kweli nimeua lakini si kwa
kukusudia.."
"Umeua..? ..Nani uliyemuua
Levina?"
"B...aa..a..a..b..a.. A...l..i.."
Nilitaja jina kwa kujiuma uma pale
pale yule afande akabadilika
ghafla na kugeuza ile gari kisha
safari ikaanza lakini sikuweza
kujua ni wapi nilipokuwa
napelekwa zaidi ya kushuhudia
akitoka kwa mwendo wa kasi
huku nikiwemo ndani ya lile gari
lake...
***************
* * * Levina anapelekwa wapi?
* * * Je., ukweli gani aliokuwa nao
yule afande...?
Sitaki tena – 08 Ilipoishia.. ....uku mwili wangu ukiwa hautamaniki.. Endelea.. "...Ingia kwenye gari mpumbavu wee..!" Aliendelea kunikaripia yule polisi ambaye sikumfahamu kwa jina lakini lafudhi aliyokuwa akiongea ilinifanya niamini kabisa atakuwa ni muhaya tena yule wa kule Bukoba ndani ndani (Vijijini),Tukiwa ndani ya ile gari aina ya 'One Ten' huku nikiwa nyuma na askari mmoja na yule mwingine akiwa anaendesha gari, Ujasiri wangu feki niliuweka pembeni hivyo nikawa ni mtu wa kutoa machozi na kujiuguza sehemu zilizoonesha kuumizwa katika mwili wangu,njia nzima mpaka tunaingia Kibaha nilikuwa mtulivu bila kusemeshwa kitu chochote na yule polisi,Tulipofika maeneo 'Mbezi' yule polisi akafungua kinywa chake na kuniuliza, "Unasikia njaa..?" "Kimya..!" "Dereva embu pitia pale 'Mnama Restaurant' tupate chochote..." Maswali aliyoniuliza na maongezi aliyokuwa akiongea na dereva ndo kati ya vitu vilivyoanza kuuchanganya ubongo wangu.. "Mbona kabadilika tena huyu polisi..? Asije kuwa wananifanyia njama kama Baba Ali..? Kwanini wameniagizia chakula kama kweli nina hatia?..sijui nimuulize kosa langu ni lipi hapa hapa..?" Nikiwa bado nimekaa katika kiti cha mgawaha mmoja pale mbezi nikiwa mimi na polisi wawili mmojawapo ndo yule aliyekuwa akinishikia bunduki na ndo aliyenifunga pingu, "Wewe muuaji unakula nini? "Hapana..., Sili chochot..." kabla sijamalizia kusema nilishtukia napigwa na kitako cha bunduki na yule yule polisi.. "Usitufanye siye wapumbavu, kuua uue..! Tunakuonea huruma japo na wewe upate chochote unatuletea 'usenge' au umeshazoea maharage ya Gerezani nini...?" Nilijikuta nanywea na kuwa mdogo na kukubali kula chakula kama walichoagizia wao ambapo walikuwa wakila wali nyama.. Ndani ya nusu saa nikarudishwa tena kwenye lile gari lakini safari hii nilishangaa hawakunifunga tena pingu mikononi hivyo nikabaki na maswali mengi sana kichwani.. * * * * Mawasiliano ya mimi na wale askari bado hayakuwa mazuri kwani hadi tunapita kimara hakuna hata mmoja aliyenisemesha zaidi ya yule mmoja kukaa karibu na mini nisiweze kutoroka huku mwingne akiwa dereva ndani ya ile gari... Mawazo yalitawala sana kichwa changu huku nikijiona si mtu tena wa kuonana na mama yangu wala Gervas..,nikiwa bado niko kwenye dimbwi la mawazo huku tukiingia kwenye foleni ya mataa pale ubungo ghafla macho yangu yakaamia kwenye gari la pembeni yetu aina ya 'suzuki' hasira nilizoshikwa nazo ghafla ziliwafanya hata abiria waliokuwa ndani ya daladala ambayo ilikuwa nyuma ya ile gari niliokuwa nimeikodolea macho waweze kunishangaa,hilo sikulijari kabisa maishani mwangu kwani Levina mi aibu ilishanitokaga siku nyingi ukianzia pale shuleni kwa kina Gervas waliponigalagaza wale wanafunzi,pia katika basi nililokuwa nimeshushwa hvyo ukinishangaa mi ntakuona mtu wa ajabu sana., Akili na mawazo yakiwa bado ndani ya kale ka suzuki ambapo macho yangu yalikutana uso kwa uso na mama ambaye sitakuja nimsahau hata nife, hakuwa mwingine bali ni yule mama aliyenipeleka polisi kwa mara ya kwanza na ndiyo aliyefanya maisha yangu yapo hivi mpaka sasa.., "lazima nife mimi au wewe" Nilijisemea kimoyomoyo huku nikimtolea macho yalioambatana na mchozi ulioanza kuniteremka kwa ghadhabu niliyokuwanayo, kilichofuata ni kuhema haraka haraka huku pua zangu zikianza kujaa makamasi kama mtu aliyepatwa na mafua ya ghafla..kama kawaida yangu sikutaka kuchelewesha mda.. "Bunduki kitu gani wacha anifyatue tu lakini kwa huyu adui yangu siwezi kamwe kumuacha.." Nikatoka spidi katika lile gari nililokuwa huku nikimwacha yule askari akinilenga huku akinikimbilia lakini hilo sikulijari ndani ya sekunde chache nikawa nshafungua na kuingia kwenye ile suzuki na ku loki milango yote tayari kwa kumvagaa yule mama aliyekuwa akiendesha peke yake ndani ya kale kagari.., Nilitumia kucha zangu na meno kama filamu zile za kutisha 'VAMPIRE' kuisambaratisha kwanza sura ya yule mama kisha nikachukuwa mtandio wake aliokuwa nao amejifunga mabegani na kuuvingirisha shingoni mwake tayari kwa kumnyonga,akiwa bado anakurupuka na kutapatapa pale gari zilikuwa tayari zimeruhusiwa na trafiki na wale polisi niliokuwa nao tayari niliweza kuwaona wakiwa nje wanataka kuingia ndani nilipokuamo,sikujua hata siku moja kuendesha gari lakini nilisikia kwa wenzangu tu kuwa kunakitu kinaitwa gia kipo kama rungu pia kingine kinaitwa krachi kipo miguuni, sikulielewa hilo lakini nilijikuta nimekanyaga chini bila kujua kama ndo breki au ndo hiyo krachi kisha nikalishikilia rungu na kulisogeza kisha nikashangaa kuona gari ikitoka tena kwa mwendo wa kasi pale,nikiwa huku nimekaza ule mtandio shingoni mwa yule mama huku upande mmoja nikishikilia msteringi nilijikuta nimevamia gari za watu wengine waliokuwa mbele yangu na kusababisha ajali mbaya pale huku umati wa watu ukifurika katika lile eneo kushuhudia ile ajari., Watu walikuwa ni wengi sana mpaka nikachanganyikiwa japokuwa nilijihisi mwili wote haufai kwa maumivu, ile gari niliokuwa nayo ilikuwa imeharibika vibaya baada ya mda mchache nilihisi kuna watu nje wanavunja vioo vya gari wanataka kuingia ndani katika kuangalia vizuri macho yakamwona yule polisi alionifikisha hapa nilipo.., "Levina...! Levina...!Jisalimishe mwenyewe unajitafutia matatizo" Yale maneno ya yule polisi aliyokuwa akiniambia, hayakuniingia akilini mwangu kabisa niliona kama anampigia mbuzi gitaa ili acheze.,yule mama sikujua kama alikuwa amekufa ila nilimwacha pale akiwa anahema kwa kasi ya juu huku akiwa hajitambui wala hajiwezi hata kunyanyuka,haraka haraka nikafungua mlango upande wa nyuma kisha nikatoka spidi huku nikiuacha umati wa watu ukiwa haujui nini kinaendelea kutokana na lile tukio.. Spidi niliyotoka nayo pale huku watu wachache wakinishangaa si kwasababu nimeponea chupuchupu kwenye ile ajali bali pia waliniona kama mtu aliyechanganyikiwa kwa jinsi nguo zangu zilivyokuwa hazitamaniki kwa uchafu tena ule uliokolea damu katika ile suruali aina ya trakisuti ilivyobadilika rangi nyekundu iliyokuwa imetapakaa damu na kuwa kama nyeusi nyeusi, Sikumuogopa hata mtu nilizidisha mbio huku nikielekea barabara ya kwenda mwenge, kelele za wapiga debe pale ubungo ziliongeza hisia zaidi ndani ya kichwa changu kwani kitendo cha kugeuka nyuma ilikuwa kosa kubwa sana kwangu kwani niliamini na kujua tu lazima umati mkubwa wa watu uwe unanikimbiza nyuma yangu huku, nikiwa nasonga mbele haijapita hata hatua ishirini mara kundi la watu wengine wakawa tayari wametanda mbele ya macho yangu... * * * * Baada ya yule polisi kunishika ndani ya basi akanifunga pingu baada ya pale akatikisa kichwa chake kuashiria kuwa ananifahamu akaniita na jina "Levina...!" "kwanini umeua tena?" "Au unapenda kwenda gerezani tena" Hayo ni kati ya maneno ninayoweza kuyakumbuka kwani yalinifanya niishiwe nguvu na kudondoka mpaka nikapoteza fahamu,ninachokumbuka nilishtuka na kushuhudia nikipepelewa na yule polisi huku nikiwa kwenye gari ambayo sikuitambua vizuri kwa nje kwani alikuwa amenilaza ndani ya lile gari na mikononi mwangu bado nilikuwa na pingu hivyo nilipopata usingizi akaendesha gari mpaka nakuja kushtuka tumeshafika Dar na nilikuwa nikiota ndoto tena matukio ya ajabu ajabu kama lile la kumuua yule Mama na kuharibu vibaya lile gari lake pia kufukuzwa na umati mkubwa wa watu pale ubungo.. "Mungu wangu kumbe yote yale ilikuwa ni kama ndoto..!" Nilijikuta nausemea moyo huku nikishusha pumzi kubwa.. "Uuhh...! uuhh...!" Taaratibu nikiendelea kuhema kwa nguvu na hasira kali., "Hapa ni wapi?" Nilijikuta nikimuuliza swali yule polisi aliyenitoa kule Chalinze na ndiye alikuwa amenipakia baada ya kuzimia pale Chalinze.. "Hupaswi kujua..unapaona pale?" "Nikakaa kimya.." Huku nikiona kibao kimeandikwa mbele yangu.., 'CENTRAL POLICE' Nilitamani kutoroka pale lakini nisingeweza kwani mda wote nilikuwa na pingu mikononi. "Levina...! Embu niambie ukweli hizo damu katika hyo suruali ilikuwaje?" Nikawa najiuma uma nashindwa nimpe jibu gani kwani ni kweli nimeua lakini nikisema ajue itanigharimu sana maishani mwangu.. "Afande hizi ni damu za kawaida tu ambazo nilipitia buchani kuchukuwa nyama na kupeleka nyumbani nilipokuwa kule Morogoro..!" Nilijikuta namdanganya lakini kiukweli alionesha kuchekeshwa na mimi sana mpaka nikamshangaa.. "Levina acha kunichekesha we mtoto..., Mbona kule nilipokushusha kwenye basi nilikuuliza swali kama hili na ukaniambia kweli umeua ila kwa bahati mbaya..?" "Mi mi...? Labda utakuwa ulisikia vibaya afande...." Nilijitahidi sana kujikaza na kubadilika lakini yule askari hakuridhika na majibu yangu,na kwa safari hii hakuwa mkali wa kunipiga bali nilimshangaa pia kwa kuongea na mimi ndipo akataka kuniambia ukweli sababu kubwa ya kunichukuwa na kunileta mpaka maeneo haya kituo cha polisi endapo tu nitamjibu maswali yake kikamilifu, huku tukiwa tumeliangalia lango la kuingia polisi... "Sitapenda nikuingize tena pale polisi najua utateseka sana mpaka uje kutoka tena mdogo wangu..,Ila kitu kimoja ninachotaka kuongea na wewe ni unipe jibu moja tu ili niweze kukusaidia.. "Huko ulipotoka umeua?" "Sijaua na naogopa sana kuua maishani mwangu..!" Nilimjibu mara ya pili lakini kwa sasa nilianza kuonesha kauoga,kwani nilianza kuingiwa na hofu huku nikitoka jasho jembamba mwilini mwangu na niliamini kabisa ntakuwa nategwa.. "Mimi nataka kukusaidia Levina lakini unakuwa mbishi si ndio..?" Alianza kubadilika yule afande huku akinikodolea mijicho na kunionesha ufunguo wa zile pingu kuwa kama nitakuwa mkweli atanifungua pingu kisha nitakuwa huru na salama,kitendo kile kikanifanya uzalendo uanze kunishinda na kujikuta namjibu anavyotaka.. "Ni kweli nimeua lakini si kwa kukusudia.." "Umeua..? ..Nani uliyemuua Levina?" "B...aa..a..a..b..a.. A...l..i.." Nilitaja jina kwa kujiuma uma pale pale yule afande akabadilika ghafla na kugeuza ile gari kisha safari ikaanza lakini sikuweza kujua ni wapi nilipokuwa napelekwa zaidi ya kushuhudia akitoka kwa mwendo wa kasi huku nikiwemo ndani ya lile gari lake... *************** * * * Levina anapelekwa wapi? * * * Je., ukweli gani aliokuwa nao yule afande...?
Artikel Terkait
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA MBILI (12,13$14) UMRI ±18 ILIPOISHIA alikuwa analalamika nikaingiza mashine yangu na kuanza kupampup nikiwa naendelea kusex gafla mlango ukafunguliwa............ ENDELEA SASA Mlango ulipofunguliwa hatukuamini macho yetu mtu aliyeingia chumbani yani nilitamani ardhi ipasuke nitumbukie ndani mana nilipatwa na uwoga huku mapigo ya moyo yakiwa yanadunda kupita kiasi Ku kuona aibu.... alikuwa shangazi mke wa mjomba kasimama mbele yetu tena akiwa amekasilika kama simba aliyejeruhiwa. "Hivi nyie mmbwa hamjaona magesti mpaka mfanye uchafu wenu hapa??" Aliongea shangazi kwa hasira. "Tusamehe shangazi "nilimuomba msamaha huku macho yangu yakionesha dalili ya kutaka kulia. "Yani kweli vanessa unafanya mapenzi na kenny tena umejiachia kabisa"shangazi aliongea huku akionesha kweli amekasilika "Naomba nisamehe shangazi sito rudia tena"aliongea vanessa huku akiwa amepiga magoti,lakini alishanga akipigwa kibao kizito kilichompeleka chini "Malaya mkubwa wewe yani umekuja leo leo unaanza umalaya wako" aliongea shangazi "Kwanin unanipiga jamani kosa ni langu na wala sio lake niliamua kumtetea" huku nikiwa nalia.nilimuangalia vanessa kwa huruma pale chini huku machozi yakimtoka ."sasa mkitaka niwasamehe na nisiende kuwasemea kwa mjomba wenu nitawapa sharti moja mkiliweza poa sisemi ila mkishindwa naenda kusema"shangazi aliongea wakati huo huku akiwa ameshika simu akitaka kumpigia mjomba. "Usitufanyie hivyo shangazi tuambie sharti lako na sisi tutafnya unachotaka" "Aaah...kama ni hvyo sawa sasa nataka mfanye mapenzi mbele Yangu" "Aaaah!!."tulijikuta tumeshanga wote mimi na Vanessa" "Mnashanga nini sasa kama hamtaki semeni siwalazimishi"alituambia shangazi.ukweli nilimuona shangazi sio mtu mzuri kabisa.nilifikilia kweli nifanye mapenzi na vanessa mbele ya shangazi na nisipofanya habari hizi zitafika kwa mjomba kitu nisichokitaka. "Sawa nimekubali"nilikubali huku nikimwangalia vanessa aliyekuwa kajikunyata kama kuku anayesubili kuchinjwa mpaka nikamuonea huruma " ndiyo nimekubali na Mimi"vanessa alikubali huku akitokwa na machozi. Basi hatukuwa na budi tuliingia tena kwenye mechi kipindi hiki sikutaka kuwa lelemama nilotaka kumuonesha shangazi Mimi ni nani.nikamuanda vizuri vanessa kwa mechi nilitanua mapaja yake nikaingia kati mzee na limashine langu likiwa limedinda mbaya vanessa alishika mashine yangu akaingiza kwenye kitumbua chake huku akitetemeka alionekana kweli ananyege sana.tuliendelea kuonesha ufundi pale kitandani mpaka nilipomuona vanessa anataka kutangaza goli lake la kwanza (tangazo usisahau kuni follow instagram @ brayton Official Love "ooooohb shiiiiii mmmmmh baby mmmmh tamu " vanessa aliongea huku macho yamemlegea mbaya niliendelea kupiga mambo yangu na Mimi sikuchukua muda mzee nikapiga bao langu.nilikuwa nimechoka sana. "Hapo mmenifurahisha"alituambia shangazi huku akifungua mlango na kutoka zake nje.yani nilibaki na mawazo sana nikatoka zangu ili niende chumbani nilishangaa kuona umeme umewashwa nikatoka mpaka sebreni nikiwa sina raha kabisa muda huo ili kuangalia kama mjomba amesha ludi niligundua mjomba bado ajaludi. nikiwa pale sebleni Mara nikamuona shangazi akiwa amevaa kanga moja huku akiniitia chumbani kwake...... usikose sehemu ya kumi na tatu like page yetu sasa share kama tupo pamoja isome yote mwanzo mpaka mwisho kwa sh 2000 *************CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TATU (13) INSTAGRAM: CHAS360TZ UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyopita "Hapo safi mmenifurahisha"alituambia shangazi huku akifungua mlango na kutoka zake nje.yani nilibaki na mawazo sana nikatoka zangu ili niende chumbani nilishangaa kuona umeme umewashwa nikatoka mpaka sebreni nikiwa sina raha kabisa muda huo ili kuangalia kama mjomba amesha ludi niligundua mjomba bado ajaludi. nikiwa pale sebleni Mara nikamuona shangazi akiwa amevaa kanga moja huku akiniitia chumbani kwake......!!!! endelea sasa....... shangazi alizidi kuniitia chumbani kwake hata sikujua anataka nini.nilinyanyuka pale kwenye sofa ili kumfuata nilipofika pale mlangoni kwake nilikuta upo wazi kabisa shangazi akiwa ndani ya kanga moja tena anaonekana alitoka kuoga mana kanga ilikuwa imeloaloa maji na kufanya ile kanga kushikana na mwili wake "ingia sasa nawewe unashanga nini"alinistua shangazi kutoka kwenye Lindi la mawazo nikaingia mpaka ndani.shangazi alikuja kwa nyuma yangu akafunga mlango nikataka nikae kwenye sofa lililokuwepo chumbani kwake lakini akaniambia"aaah wewe utakaaje hapo hembu njo hapa kitandani nikasogea mpaka kitandani nikakaa shangazi akaenda kabatini akatoa mafuta laini akanikabizi. "Nataka unipake hayo mafuta mgongoni " "Aaah sawa Hamna shida" "Tena unipake vizuri" "Hata usijali ntakupaka vizuri tu"nikiwa naendelea kumpaka mafuta akawa ananielekeza na sehemu zingine za kupaka mara nimpake shingoni mpaka kwenye mapaja na mapaja yake yalivyokuwa yamejazia mpaka mate yamenijaa mdomoni mtoto anapaja nene jeupe laini kama la mtoto mchanga. labda ngoja nikufahamishe kidogo histori ya huyu shangazi.huyu shangazi sio mama mzazi errycah.huyu alikua mke wa pili wa mjomba baada ya mama yake kufariki kwa ajari ya gari ndio mjomba akaamua atafute mke mwingine ukimwangalia shangazi yangu huyu ni wamakamo yetu kabisa kama sio wa 96 basi 97 na hana hata mtoto ndio mana sijawai kumsalimia. ni kijana mwenzetu wakati nikiendelea kumpaka nikaona anazidi kurembua kama amekula kungu manga"mmmmh kenny hapo hapo jamani mpaka nasikia raha" "Mmmh!!!."niliguna kimoyo moyo Mara akanishika shingoni akanivutia kwake akaanza kunila denda si nikagoma"aaah!!! sitaki niachie bwana we haujui kama wewe ni shangazi Yangu"nilifoka mzee huku nikimuangalia usoni kwa hasira "Ah ah ah ah"alicheka shangazi kwazarau alinyanyuka kitandani huku akilitingisha wowo lake lililoja vizuri akaenda kwenye mkoba wake akatoa simu yake akabonyeza bonyeza kisha akanipa nione nilistuka nilipoona video yangu nikiwa nafanya mapenzi na Vanessa . "Kwanini umeamua kunirecody video nikiwa nafanya mapenzi na vanessa???"nilimuuliza kwa hasira. "Mmmh pole sana kenny hata Mimi nililitamani penzi lako ndo mana nikakuacha umalize kisha uje kwangu...kwaiyo utanipa huo utamu au haunipi???"aliniuliza huku akianza kuvua kanga yake. "Sikupi!!!"na Mimi nilimjibu kwa zarau "Aaaaah sawa najua sio muda mrefu mjomba wako atarudi na lazima nimuoneshe huu upuuzi wako mliofanya leo na ushahidi ninao"shangazi aliniambia huku akinionesha video ile. lakini baada ya kuoneshwa ile video niliona kimeshanuka nikaona bora nikubali huku nikijiuliza hii siku ya Leo mbona nikama ya mkosi sana kwangu basi mana toka nimeanza kufanya mapenzi na sethi hamna siku niliyo pumzika kila Sikh natembeza dozi. alinisogelea nilipo akasogeza mdomo wake kalibu yangu tukaanza kurana denda "mmmmh mmh mmmmh" alikuwa anatoa miguno tu mzee nikaona nisimkawize kwakuwa hakuwa amevaa kitu ndani hakikuwa kazi ngumu kufika kitumbua chake kilipo nikamwambia asimame na mguu mmoja hapandishe kwenye kitanda akafanya kama nilivyomuulekeza na Mimi nikapiga magoti katikati ya mapaja yake yani kitumbua nilikuwa nakiangalia kwa juu. ujue wengi wana jua mapenzi kuchukua mashine yako na kuingiza kwenye kitumbua wengi huwa tunakosea sana muuandae mwenzio kwa mechi kisha mnaingia uwanjani kuoneshana ufundi........ basi tuliendelea nikiwa nimepiga magoti huku kitumbua kipo kwa juu nikapeleka ncha ya ulimi kwenye kitumbua nikaona shangazi miguu ikianza kutetemeka nikaendelea na usafi wangu "mmmmh ooooshhh ta...mu baby " alikuwa analalamika kama hawa machangu doa nikaendelea kumpa Raha ya kufanyia usafi huku nikiendelea kumuanda mtoto wa kike mpaka nilipolizika tukaingia uwanjani daaah aiseee!!! shangazi alikuwa anajua kuliko wasichana wote niliotembeanao mana hivyo viuno alivyokuwa anakata duuuuh noma kama snura kwenye ile nyimbo yake na Christian Bella ""nioneshe wanachumaje mchicha tembele"" nilisikia utamu ukianzia kichwani mpaka kwenye kisigino cha mguu Nili tetemeka kwa utamu ule wa kitumbua nilicho kionja hapo hapo nika cheua mmmmmmmmmhhh,,,,,, ooooooooooshhhh tulifika mshindo wetu kwa pamoja tulipumzika huku tukiwa hoi mara gafla akaingia.......... usikose sehemu ya 14 like page yetu sasa ili uwe wakwanza kuipata simulizi hii kila ikitoka......... pata simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 2000 tu ***************** CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA NNE (14) UMRI ±18 ilipo ishia nilisikia utamu ukianzia kichwani mpaka kwenye kisigino cha mguu Nili tetemeka kwa utamu ule wa kitumbua nilicho kionja hapo hapo nika cheua mmmmmmmmmhhh,,,,,, ooooooooooshhhh tulifika mshindo wetu kwa pamoja tulipumzika huku tukiwa hoi mara gafla akaingia.......... endelea sasa aliingia errycah bila hata kupiga hodi huku akiwa anahema"nyie amkeni baba yupo nje amerudi" daaah!!! nilikurupuka pale kitandani kama mshale mpaka mlangoni nikafungua mlango bila kuangalia noma nikiwa mlangoni kwangu nimeshika kitasa ili nifungue mlango nikashanga naitwa "kenny" kumbe alikuwa mjomba "kachukue mizigo kwenye gari "mjomba aliniambia huku akiingia chumbani kwake huku akionekana kuchoka kwa safari.nikatoka mpaka nje nikakutana na nasma alinitolea sana macho " na kuniambia yani wew kweli kidume umepita nyumba nzima sasa sikia nakuomba unifate saizi jikoni unipe kimoja tu kinatosha ...... jamani nasma naomba unionee huruma mana hata sijapumzika na sizani kama hata spem zitatoka akaniambia nisijali atanipa kidongo cha kuongeza nguvu na kama nikimgomea basi atanitobolea siri yangu kwa mjomba.maneno yake hayakunishawishi sana lakini nilijikuta namkubalia baada ya kumwona akiwa ameshika funguo ya kile chumba cha siri na kuniambia sikia najua una shida ya huu ufunguo twende ukanisugue usiku huuu chagua twende jikoni au chumbani kwako...... nika mwambia anisaidie kupeleka mizigo ndani kisha twende tukafanye yetu.tulipangua mizigo na kuingiza ndani sikujua nini kiliendelea chumbani kwa mjomba ila niliona hali shwari mana huyu shangazi yangu kwa Ku igiza tu namuelewa sana tuliingia zetu chumbani.nikameza kile kidonge cha kuongeza nguvu nikamvamia na kuanza kumchezea nasma. Nikaona mlango unafunguliwa na mtu akiingia kwa kunyata tulitulia huku tukimuangalia kwa umakini aliyekuwa anaingia.kumbe alikuwa vanesa tena alikuwa amevaa kanga moja tu. mmmmh nikaguna kimoyomoyo na kusema INA maana dozi niliyo mpa haijamtosha mbona anataka kunitia aibu nikafaamika Nina tembea na ndugu zangu mana shangazi na errycah teali wanajua Nimetembea na Vanessa na nasma na yeye ajue" nikataka kuongea nasma akaniziba mdomo na vanesaa nae alipotuona alistuka mpaka akataka kudondoka " umefata nini we malaya!!!??" Aliulizwa swali na nasma likiambatana na tusi " ni,,,, ni,,, nili,,, kuwa naenda chooni" "Huku chooni sasa" "Mmmmmh mmmmh" alikata kwa kutingisha kichwa. mzee nilikuwa nimetulia tu nikiangalia move linaloendelea " haya toka haraka "vanesa alifukuzwa kama mbwa.aligeuza akitaka kukimbia. " we we we we ngoja kwanza" nasma alimwambia vanesaa na Vanessa akasimama mlangoni huku akitetemeka " na ole wako ukaseme kwa mtu yoyote ntakunyonga" nadhani una nijua vizuri nilikufanyaga nini........ aliongea nasma kwa hasira huku kayatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ usikose sehemu ya 15 like page yetu sasa ili uisome bila usumbufu ********* ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA KWANZA (01) Ilikuwa alfajiri moja nyepesi, katika jiji la dar-es-salaam, katika mtaa mmoja tulivu sana mbezi beach, dio kwanza nikama pilika zilikuwa zinaanza, yalionekana magari machache ya kifahari, yakikatiza kwenye viji barabara vya mtaa, na kupoteea barabara kuu, watu wakikwep foleni kwa kuwai makazini na mashuleni, au sehemu mbali mbali za kijamii, mapema namna hii, huku watu wachache walio tembea kwa miguu wakionekana wakitembea haraka kuelekea barabarani, Ndani jumba moja la kifahari lililo zungukwa na uzio(fensi) wa ukuta mkubwa, ilisikika sauti ya msichana mmoja, mrembo mwenye asili ya Kihindi akiongea na mama yake, ilionekana alikuwa anataka kutoka. "mama mi naondoka naenda shule, maana kuna mitihani muhimu nawahi ingekuwa bila ya hiyo mitihani nisingeenda" alisikika binti mwenye sauti kinanda, akimwambia mama yake, ambae pia, ni mwenye asili ya Kihindi,japo alionekana ni mama wa makamo, lakini akika alifanana na binti yake., maana unge weza kuona uzuri wa mama huyu, japo tayari alisha kuwa mkubwa, "basi haya, chukua gari hiyo nyeusi, uwahi mwanangu" alisema mama huyu huku anawonyeshawanae funguo ya hili gari alilo mtajia, "hapana mamy, ntaomba lifti huko huko, leo sijisikii kuendesha" alijibu binti mrembo, huku akichukuwa begi lake juu ya meza na kuanza kuondoka, akiufwata mlango mkubwa wa kutokea nje. "haya basi baadaye mwanangu, jitazame huko uendako" aliongea mama huku anamsindikiza kwa macho binti yake, ambae toka akiwa mdogo amekuwa nae makini sana, ungesema amezaliwa peke yake, "ok mumy" alijibu binti chotara, huku anainua mkono wake na kuchezesha vidole, akimaanisha ana mpungia mkono mama yake, kisha akatoweka. Naam huyu ni binti mrembo NIRAM, ni binti wakihindi, mwenye sura nzuri ya kuvutia, macho ya duara, pua iliyochongoka vizuri, mwenye midomo mipana ambayo kila anapo tabasamu, basi uacha vijishimo mashavuni mwake, alikuwa na urefu wa futi tano, na pointi kadhaa, kifua cha wastani na tumbo dogo, kiuno chake kilibeba makalio ma nene kihasi na pia, vi hips vya kumwagika vilivyojazia na kuchomoza pembeni, vilizidi kumpendezesha, asa anapokuwa katika mwendo, kiufupi mdau wa story hii, ilikuwa si rahisi upishane nae, ushindwe kumgeukia, iliuone uumbaji. Huyu anaitwa Niram Popat, baba yake ni mfanya biashara mkubwa, na kwa sasa yupo nchini Uingereza, kwa shughuli zake za kibiashara, binti huyu akualiwa peke yake, Niram alikuwa na kaka yake, ambae kwa sasa yupo chuo kikuu cha Indira Gandhi nchini india akijichukulia masters yake, kifupi katika familia yao wamezaliwa wawili tu! yani yeye na kaka yake, Niram alipendwa kuliko kawaida. Hiyo ndo historia fupi ya niram, ebu tuendelee na kisa hiki cha Chaguo langu, Niram alitembea taratibu akiongozana na watu waliokuwa wanaelekea huko kwenye kituo cha dala dala, dakika chache baadae, Niram alifika kituoni, nakuwakuta watu wengi wakisubiri usafiri,binti huyu, alijitenga pembeni kabisa na abiria wengine, usafiri ilionyesha ulikuwa wa shida sana siku hiyo, maana magari yalifika pale yakiwa yamesha jaa, hivyo waliofanikiwa kupanda, walijibana kama nyanya kwenye matenga, Niram alijikuta ana kumbuka gari ambalo amelikataa nyumbani,”haaa, kwanini niliamua hivi?” alijilahumu binti huyu mzuri, ambae asilimia tisini ya wanaume waliokuwepo pale, walikuwa wanamkodolea macho, wakisanifu uumbaji, Lakini wakati anawaza hayo,mara ghafla ilisimama range nyeusi, mbele yake na paka shushwa vioo, ilionekana sura moja matata sana, ya mwanaume mtanashati, hakika alifaa kuitwa handsome wa Kiafrika "hellow" yule kijana ndani yagari alimsabahi Niram, nae akajibu kwa kichwa, yule jamaa akatabasamu kidogo, "naweza kukupa lifti? Aliuliza kijana yule. na Niram akuwa mbishi, aliitikia kwa kichwa kama kawaida yake, hapo ukafunguliwa mlango Niram akaingia. na kufunga mlango, sasa akawa ametulia kwenyeseat yake, huku macho mbele, akitegemea kuona gari linaondoka, na maswali yanaanza, lakini zika pita dakika kadhaa na gari halikuondoka. Muda wote haku endesha gari, alikuwa ameduwaa, kumshangaa msichana alie ingia garini mwake. Alizidi kushangaa "sorry kaka mimi nashuka vituo vinne mbele ndipo ilipo shule yetu"aliongea niram. Maskini kijana yule aligutuka, akababaika huku anaondoa gari, "oooh! aaagh sawa unasoma shule ipi dada?" aliongea huku gari ikienda taratibu "shadhiliya slamic internation school" alijibu Niram, "ooh ile shule ya kiislam "aliuliza kijana. "yap! nasoma kidato cha tano pale" alijibu niram "ok mi mwenyewe nasoma pale st joseph international school kidato cha sita "alisema kijana "aah kumbe" alisema Niram kwa uchangamfu kidogo, akiona kuwa yupo na mwanafunzi mwenzie, "ndiyo ninaitwa Vincent, sijui naweza kulijuwa juna lako kama hutojali?" aliuliza Vincent huku anatabasamu, kidogo wengee lilianza kumtoka, "mimi naitwa Niram..” alisema Niram lakini kama alistuka kidogo, “ooh! kaka nishushe unapitiliza" aliongea niram kwa mshtuko "ooh sorry, kwa kweli" alijibu Vincent,huku ana peleka mguu wake wkulia katikati na kukanyaga bleack, akippunguza mwendo na kuweka gari pembeni ya barabara, kisha akasimama, Niram alishuka, na akashukuru Vincent kwa kupitia kwenye dirisha la upande aliokaa, na kuondoka zake. Vicent alibaki kaduwaa, maana alishangazwa na uzuri wa aina yake, kwa yule msichana. "daah nimesahau kuomba namba" alijilahumu Vicent, lakini hakuwa na lakufanya, akawasha gari akasepaaa. Anaitwa Vicent Ngosha, ni mtoto wa mzee Emanueli Ngosha mfanya biashara mkubwa nchini Tanzania na nje ya nchi.Vincent alikuwa ni mvulana wa kisukuma, mama yake ni muhaya, Vicent ni mtoto pekee kwenye familia yao, ni familia yenye uwezo mkubwa, baba yake alikuwa mkoani kibiashara, hivyo alibaki pale nyumbani na mama yake, pamoja na house girl, Vicent alifika shuleni akiwa na mawazo lukuki, “ok! mdau huu nimwanzo wa mkasa huu wakusisimua, ...... CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA PILI (02) ILIPOISHIA SEHEMU YA KWANZA : Anaitwa Vicent Ngosha, ni mtoto wa mzee Emanueli Ngosha mfanya biashara mkubwa nchini Tanzania na nje ya nchi.Vincent alikuwa ni mvulana wa kisukuma, mama yake ni muhaya, Vicent ni mtoto pekee kwenye familia yao, ni familia yenye uwezo mkubwa, baba yake alikuwa mkoani kibiashara, hivyo alibaki pale nyumbani na mama yake, pamoja na house girl, Vicent alifika shuleni akiwa na mawazo lukuki. ENDELEA......... Vincent alifika shule akiwa na mawazo kibao. Aliwaza kwamba alikutana na jini au mtu wa kawaida, hakika alikuwa hayupo sawa alishachanganywa na mtoto wa Kihindi, akujua afanye nini ili aweze kuwa karibu na binti yule, akika Vicent likuwa katika wakati mgumu, alijikuta anatembea bila kujielewaakinyoosha moja kwamoja mpaka darasani, “dah! nime kuwa mjinga sana, ninge omba namba, mbona demu alikuwa poa kabisa” alijilahimu Vicent, akiwa amekaa kwenye kiti chake, na kuegemea meza, kama vile anataka kulala, "hey! niggar vipi mbona umezubaa mwanangu?, yani tumekutafuta pande zote, mpaka kule bustanini, kumbe umekuja kujichimbia class, tena hata assemble ukuja" Vicent aligutushwa kidogo na kuinua kichwa kumtazama alie msemesha, japo sauti alisha itambua, kuwa alikuwa Richard, ni rafiki kipenzi wa vicent, nikama Vicent aliganda kidogo, akimtaza Richard, ambae alishangazwa na rafiki yake,Richard akageuka nakumtazama kijana mwingine alie kuwepo pembeni yake, "vipi Rich mbona leo amepoa sana, yani kama amemwagiwa maji, unanini wewe?" alidakia suma rafiki yake mwengine. maana awakumuelewa mwenzao, Vincent akujuwa amjibu nani kati yao, na awajibu nini, hivyo aliishia kutabasamu kisha akajikohoza kidogo, na kuanza kuwaambia "yani leo najiona kama nipo ndotoni, kwa nilichokutana nacho" ilikuwa sauti iliyo jaribu kuonyesha msisitizo wakile anacho kiongea, "hahahahaha! kashaanza sound zake huyu" alisema suma, huku wote wanacheka,kabla mmoja wao ajakumbuka jambo, "hoya! alafu nimekumbuka, Vannessa alikuwa anakuulizia" aliongea Richard, kama unge msikia unge juwa kuwa huyo Vannesa, alikuwa anainshu muhimu sana na Vicent, maana aliongea kwa msisitizo, "mmh! yani huyo Vanessa naomba usinitajie, maana leo ana nafasi ya kuzungumziwa hapa" alisema Vincent, ila kabla ya kuongeza neno, mara ikasikika "waoooh! jaman baby nilikutafuta huko nje kotesijakuona" wote watatu wakageuza shingo zaona kutazama upande wa mlangoni sauti iliko tokea, macho yao yaka mshuhudia binti mrembo wa ki afrika, alie kuwa anatembea taratibu kuja pale walipo kuwepo wakina Vicent, huyu ni Vanessa alie zungumziwa, “mpaka nikawa na wasi wasi kuwa leo auto kuja” aliongea tna Vanessa, kwa sauti iliyojaa furaha na mania moyoni, Wakati hiuo tayariwanafunzi walishaanza kuingia darasani, Vanesa alienda moja kwa moja mpaka kwa Vicent na kumkumbatia kwa furaha, lakini cha kushangaza kijana huyu akuonyesha ushirikiano, ushirikiano kwa mrembo Vanessa, "baby una nini leo?" alihoji vannessa.kwa mshngao huku anajitoa kwenye kumbatiao lake kwa Vicent, "sina kitu"lilikuwa jibu la mkato,toka kwa Vicent, "sasa kwanini huko hivyo?" aliuliza tena Vanessa, kwa sauti iliyoanza kubadirika na kunyongea, huku wezao wakiwatazama, yani Richard na Ismail wenyewe wana mwita Suma, “nimekuambia niko sawa, unielewi wewe unataka nikuambieje” safari hii Vicent aliongea kwa sauti ya juu, iliyo jaa ukali wa wazi, kihasi cha kulitikisa darasa zima, sekunde kadhaa, wtu wote kimya, wakigeuza shingo zao na kuwatazama wakina Vicent, kwa mshangao. Kitendo hiki akikuwashangaza walewanafunzi wenzao peke yao, ata Richard na Ismail, nao walishangaa, Vanesa alitanzana chini kwa aiu, maana macho yake haya kuweza kutazama, macho ya wanafunzi wenzake me darasani, tenamacho hayo yalishindwa kuya zuwia machozi, ambayo yalianza kumtoka, akika binti huyu, akashindwa kuendelea kusimama mbele ya mvulana ambe sikuzote ame nae karibu, hivyo akageuka na kuondoka zake, huku anakimbia, akielekea nje ya darasa, "una nini mwanangu, mbona kama umeurugwa?" alihoji Richard, huku suma akidakia "mbona si kawaida yako mshikaji wangu" akika wakina Suma walionekana kusikitishwa na kitendo kile, ambacho awakukitarajia, kutokana na ukaribu wa wawili awa, hapo Vicent alikuwa ametulia nikama anawaza jambo, kisha akainua usowake taratibu, "sikilizeni niwaambie washakaji, mimi toka zamani niliwaambia kuwa, Vanesa simpendi, nyie mkasema ooh! mkubalie sijuwi hooooh! mtoto mzuri yule, et! shule nzima wanamfukuzia, bahati imekuja kwako, mala ooh! sasa nimegundua leo kuwa, mwanamke ninaempenda yupo, tena nimemuona, kwa macho yangu" alijibu vincent.marafiki zake wakatazamana kwa mshngao, huku wakimsikia Vicent anaendelea, "leo nimekutana na mwanamke ambae naweza sema ni wa ndoto zangu, sijawahi kujihisi hivi kabla, ila kwasasa ndo naanza kuhisi nimependa kwa mara ya kwanza" Vicent alizidi kuwashangaza marafiki zake, lakini kabla ajawaeleza zaidi juu ya mtoto wa Niram, mara Mwalimu akaingia darasani, na mazungumzo yakaisha kwa muda huo. ****** Vanessa ni binti mmoja mzuri mwenye sura ya duara macho ya kusinzia ana kimdomo furahi hivi cha rangi ya pink, nyuma amefungashia balaha, kiasi cha kupendezwa na kunguo yoyote atakayo ivaa, kifupi kila mwanaume, iwe mtaani au hapa shuleni, alikuwa anammezea mate, na rangi yake ya chocolate ndo kabisa, ilichangia uzuri wake kwa kwa kihasi kikubwa, ikichangia na urefu wake wa wastani,ila binti huyu Vannesa alivutiwa sana vincent mpaka akawa anashindwa kujizuia, japo alikuwa akisumbuliwa na wanaume wengi hadi walimu ila yeye limfanya Vicent kuwa ndie mwanaume wa ndoto zake, Vannesa alijitahidi kufanya kila njia na ushwishi, mpaka akafanikiwa kumfata na kumwambia, ukweli kijana huyu, Ilikuwa ni vigumu kwa vicent kukubali, maana hakuwahi kumpenda msichana, na hakujua afanye nini, ila vishawishi vilimfanya akubali, kwa maana yeye aliona labda ndo inavyokuwa mapenzi yapo hivyo, japo alisumbuliwa na wanawake wengi, ila vicent akuwahi kujihusisha na msichana yeyote yule. Kwahiyo Vanessa ni mwanamke wake wa kwanza, kimahusiano, lakini leo tangu amekutana na Niram alijihisi tofauti, yani kama kuna kitu kina Uchoma moyo wake, hapo ndipo alipojua kuwa, kumbe sasa huku ndiko kupenda kwenyewe, maana ukiachilia kuwa alisha ona waschana wazuri wengi katika maisha yke, yaliki yule binti alimwingia sana moyoni mwake, na kuivuruga hakiri yake, Vanessa aliingia darasani kwao, huku akifuta machozi, kwakutumia kitambaa chakechepe, akiofia wenziewasije wakaona, na kugundua kuwa alikuwa analia, hilisiyo darasa ambalo Vincent yupo, maana walisoma madarasa tofauti, licha ya kuutamachozi na kujaribu kujizuwia kulia, lakini aikuwezekana, maana donge la uchungu lilikuwa lime laa shingoni mwa Vanessaalijikuta anashindwa na kuendelea kuangua kilio cha kwikwi, Vanesa aliwai kwenyekiti chake na kukaa, huku akijizima uso kwakuegemea kwenye meza, akizuwia na mikono yake miwili, ilimuuma sana binti huyu, akika machungu haya ya ghafla, sizani kama nitaweza kuya eezea, "nimemkosea au anipendi tena" alijiwaziwa kimoyo moyo, binti huyu, huku machozi yakizidi kutililika machonimwake na kulowesha mikono yake,mala akastuka kunamtu akimshika begani,aka jifutamacho ziharaka na kumtazama alie mshika begani, "Vanessa una nini, mbona unaonekana kama umetoka kulia" aliuliza Maria, rakifi yake na Vanessa, huku anakaa chini kwenye kiti chakee, pembeni ya Vanessa alimwangalia rafiki yake kwa macho yenye majonzi, hakika kama ungemuona usingetofautisha na mtu aliefiwa, alinyongea kupita kiasi."Maria sijui nimemkosea nini vicent amenikaripia kama mtoto mdogo" aliongea Vanessa kwasautia mbayo nikama kilio kilitaka kurudi upyaa, ila alijitahidi kukizuwia, akaendelea kuzungumza "nilimtafuta sana nje, sikumuona, baada ya kuzunguka kwa muda mrefu, ndo likanijia wazo la kumfata darasani kwao, hakika niliingia kwa bashasha ila nikapokelewa kwa hasira na dharau" mpaka hapo Vanessa alishindwa kuendelea nakuanza kulia kwa kwikwi, ilibidi Maria aanze kumbembeleza kwa kumpiga piga mgongoni, inaonyesha wanafunzi wengine awakujuwa kunacho endelea kwa Vanessa, maana kila mtu aliendelea na mambo yake,******** Mida ya saa nne, ndani ya viunga vya Shadhiliya slamic internation school, yani shuleni kwa kina Niram, mambo yalikuwa shwari, ulikuwa wakati wa mapumziko, wanafunzi walikuwa wametawanyika kwenye viunga vya shule, mida hii binti mrembo Niram, alikuwa na rafiki zake watatu ndani ya canteen ya shule, wanapata chai, mara Niram akawa kama amekumbuka jambo fulani. "jamani mwenzenu leo nimepewa lift na kijana mmoja wa Kiswahili, lakini mzuri sijapata kuona" kabla ajamaliza kuongea binti Niram, akadakia shira huyu nae ni jamii ya kina Niram yani ni muhindi pure kasoro, hawa wengine hajra na Salma, ni tofauti, wakati Salma alikuwa mpemba mweusi, ila Hajra alikuwa Mwarabu kabisaaaaa, "ahhhhh usitake kusema umempenda mswahili, hivi mzee Popat uta mbebea mbebeo gani?, si ata kuchinjaa" alisema Shira, na hapo vikafata vicheko kwa woteee, kasro Niram peke yake ambae alisema, "wala sina mpango huo, ntampeleka wapii mimi, ila nimemsifiatu! sababu katika wavulana niliowai kuwaona, kwa hapa mtanzania, yule kaka ni handsome sanaa" alisema Niram huku anawaangalia marafiki zake, ambao wakakubaliana nae, kwakiikisa vicwavyao juu chini, na wakati huo kengele ya darasani ikagongwa, wakasimama tayari kwa kuanza safari ya kuingia darasani itaendelea ...... ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA NANE (08) ILIPOISHIA SEHEMU YA SABA: Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. endelea........ Niram alishindwa kuamini alichokionaa, kwa muda ule kiukweli alitoa macho kama ndubwi, spidi ya moyo kwenda mbio vilizidi kuongezea. Hakuamini kuona mtu aliyekuwa anamuhitaji kwa muda huo ndo alikuwa anampigia.basi alichukua simu yake na kuipokea. "hellow vicent".ilikuwa ni sauti tamu yenye kusisimua mwili.hakika hata vicent alipata kigugumizi cha gafla na wakati yeye ndie aliepiga. "aaaghahg!! Niambie niram umeshindaje kipenzi? ".aliongea vicent kwa sauti ya upole na ya kiume,kiasi niram alijisikia raha sana kuisikiliza. "nipo poa kulikuwa na wageni leo basi kulikuwa na kazi kweli".aliongea niram kwa sauti yake ile nzuri na ya upole, kama ya Madeko hivi. "oooh pole mamy si ungeniita nije nikusaidie".aliongea vicent, kwa utani huku akisubiri jibu. "ahhhhah! Uongo tu ungekuwa kweli wewe".alijichekesha ki kikekike niram huku anabadili mikao ya kukaa pale alipokuwa. "yaap ningekuja kwanini nisije kwa rafiki yangu kumsaidia jamani?".alijiongelesha kama anauliza hivi huku ikiwa sauti fulani inayoonyesha hali ya kujali. Niram alifurahi sanaa kusikia vile. "mmh! Basi nashukuru kwakunijali kipenzi".aliongea niram kwa madeko. "usiliongelee hilo ni wajibu wangu kama rafiki".aliongea vicent. "basi wifi anapata raha sana".aliongea niram huku akitia kijineno cha mtego. "sina mama yangu, bado sijabahatika".aliongea vicent kwa utulivu wa hali ya juu, kwa hakika ungesema kweli mwanaume ndiyo huyu. Alijua sana kuongea na mwanamke na akaelewa. "ooh usijali Mungu atakupa my"aliongea niram. "sawa nashukuru sana na mimi ntajiona ni mwenye bahati".alijibu vicent,basi waliongea mengi sana mpaka walipoagana, kwa maana kesho ilikuwa ni siku ya shule. **** Ilikuwa ni siku ya pili, watu walikuwa na pilikapilika zao kama kawaida. Huku kila mmoja akiwa katika harakati za utafutaji. Magari yakikuwa yanapishana kila wakati. Basi muda huo shuleni niram, alikuwa ni mtu wa tabasamu muda wote,alikuwa kachangamka sana hata marafiki zake wakimshangaa, ila aliyejua tofauti ya niram ni hajra peke yake. Alimtazama kwa muda kisha akamuuliza "vipi dada mbona huko happy hivyo?".aliuliza kwa sauti ya chini hajra, huku wengine wakiwa bize kufanya yao. "mmh kwani nikoje jamani!?".akiuliza niram,huku akiachia tabasamu pana sana usoni mwake. "we mwenyewe ujioni kama upo tofauti leo?".aliongea hajra huku akapachika na swali. "hamna bwana mama jana alinifurahisha sana ".aliongea niram, huku akionyesha kuwa hakuwa akiongopa. "oooh!! Sawa".alijibu hajra, huku anageuka kujumuika na wengine. Niram yeye muda wote alikuwa ni kutabasamu alijishangaa hata kwanini, anajiona ni mwenye amani sana. Basi akachukua kitabu na kuanza kujisomea kwa umakini wa hali ya juu. **** Na huku shuleni kwa akina vicent mambo yalikuwa hatari. Maana suma alikuwa ana mchecheto wa hali ya juu halikuwa kwenye stori za kufa mtu. "basi jana niwaambie si somoe akanipigia bwana unajua nilichokifanya nikamchunia mi nilikuwa na miadi na hadija ye ananiletea kiwingu".akanyamaza kidogo kisha akaendelea. "basi jana nikakutana na hadija weeeeeh!!mtoto fundi mtoto anakata uno kama feniii we acha, yule mtoto balaaa".aliongea suma huku richard na vicent wakiwa wanamuangalia.ila rachard mbavu alikuwa hana kwa kicheko, huku vicent akiwa kutabasamu tu. "umemaliza? ".aliuliza vicent. "daah!huyu kashaanza ulokole wake".aliongea suma. "siyo ulokole uwo ni ushamba, we mwenyewe unaona sifa alafu ukigongewa dada yako unawaka kama pilipili ".aliongea vicent akionyeshwa kuchukizwa na rafiki yake huyo. "yani kwakuwa wewe upendo kwahiyo sisi tusiongee? "alihoji suma, huku kama alishaanza kupaniki hivi maana sura ilichenji. "yani hakuna kusema chochote hapo tabia zako azituvutiii unawazalilisha dada zetu tusikuambie".aliongeara Richard huku amemkazia macho bila chembe ya uoga. "mwambie huyoo huo ni ujinga broo".aliongea tena vicent huku anamtazama. "eeh basi yaishe ,tuongee mengine vipi yule mtoto wa Kihindi nipe stori basi".aliongea tena suma. "aisee suma ukoje mbona hupendeza kuwa mmbea".aliongea richard. "aaah! Kausha mi si nishabadili mada, nauliza mambo mengine".alijitetea suma huku akikaa vizuri kuambiwa yaliyojiri. "hivi unajua kwanini jana nilikukatia simu? Coz lisilokuhusu usilikingie kifua, kila mtu apambane na hali yake mambo ya mahusiano yangu hayakusu"aliongea vicent huku akinyanyuka,na kuanza kutoka nje, richard akamfuata, maana vicent alionyesha kuchukia. Suma akabaki katulia kanywea vibayaaaa, kama kamwagiwa maji.*** Mama vicent alikuwa sebuleni, alikuwa amekaa na mama wa makamo kama yeye kwakweli walionekana ,kama wapo kwenye maongezi mazito, maana vilisikika vicheko vya hali ya juu. Ila gafla wakaacha kucheka macho yote yakageuka kutazama........ Itaendelea. ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya tisa (9) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp..... 0769673145 Ilipoishia....... Baada ya kubangaiza huku na kule kwa siku kadhaa hatimaye Frank alifanikiwa kupata pesa ambayo aliihitaji, na bila kupoteza sekunde, dakika wala masaa, moja kwa moja Frank aliianza safari ya kurudi dar es salam huku mawazo yake yote yakiwa kwa Penina tu Mwanamke aliyempenda kwa moyo wake wote. **********Endelea ****** Baada ya safari ndefu ya takribani masaa kumi na tatu, hatimaye Frank aliwasili jiji dar es salam Katika stand ya ubungo. Frank alikuwa wa kwanza kushuka kwenye gari na moja kwa moja akaanza safari ya kuelekea nyumbani kwa kina Penina badala ya nyumbani kwao. * Baada ya kina Nolan pamoja na kina Zaza kufikishwa hospitalini moja kwa moja walianza kupatiwa matibabu ya majeraha waliyokuwa nayo mwilini mwao. "kwani nyie mlipatwa na nini?" daktari mmoja aliyekuwa akimtibu Nolan akamuuliza. "tulivamiwa." akajibu Nolan kiufupi. "na wa kina nani?" akauliza tena daktari yule. "na mashetani." akajibu Nolan. "wewe umechanganyikiwa?" akauliza daktari yule kwa mshangao. "nahisi hivyo." akajibu Nolan. Daktari yule aliamua kukaa kimya na kutokuuliza tena swali, aliona kweli huyu mtu amechanganyikiwa. * Katika hospital ile ile waliyolazwa wakina Nolan ndiyo hospital hiyo hiyo aliyolazwa pia Penina. Na Muda huo huo mzee Joel aliwasili hospitalini hapo na kuonana na daktari ambaye aliongozana naye mpaka Katika chumba alicholazwa Penina. "Mzee mtoto wako hajaumia sehemu yoyote ila alipatwa na mshtuko tu baada ya kugonga mti hivyo ondoa Shaka tutakuruhusu uondoke na mtoto wako." akaongea daktari yule kumwambia mzee Joel. "ooh afadhali maana nilikuwa na hofu Sana isije kuwa mwanangu ameumia Sana." akaongea mzee Joel na wakati huo huo walikuwa tayari wameshafika Katika chumba alichokuwepo Penina. "mwanangu pole Sana unajisikiaje kwa Sasa?" akaongea mzee Joel huku akimshika Penina kwenye bega. Lakini kwa upande wa Penina alihisi kichefu chefu kumuona baba yake sehemu ile, lakini kwa sababu alikuwa hospitalini hakuwa na jinsi kishingo upande akamjibu baba yake. "najiskia vizuri tu Sasa." akajibu Penina bila kumuangalia baba yake usoni. "OK twende nyumbani ukapumzike maana daktari ameniruhusu kuondoka na wewe." akaongea mzee Joel kumwambia Penina. "nakumbuka nilikuwa nakuja Katika hospital hii kwa ajili ya kumuona kaka yangu na kujua hali yake, hivyo siwezi kuondoka bila kumuona." akaongea Penina kumwambia baba yake mzee Joel. "aah mwanangu kuhusu Nolan anaendelea vizuri wewe usijali twende nyumbani ukapumzike." akaongea baba yake lakini akiwa hana uhakika na anachokiongea kwasababu bado hajaonana na Nolan pale hospitalini. "nimesema nataka nikamuone Nolan kama wewe umemuona mi sijamuona." akaongea Penina kwa kulazimisha. "ok twende bas ukamuone." akaongea mzee Joel naye kwa kununa nuna. Mzee hakutaka Penina akaonane na Nolan kwasababu alijua Nolan anaweza akamwambia Penina vitu ambavyo yeye hataki Penina ajue. Lakini hata hivyo waliongozana kwa pamoja mpaka Katika chumba alicholazwa Nolan. "ooh kaka yangu nani wamekupiga hivyo." akaongea Penina kwa masikitiko makubwa baada ya kuona sehemu kubwa ya bega la Nolan ambayo ipo karibu na shingo ikiwa imefungwa. Penina alisogea na kuchuchuma pembeni ya kitanda alicholazwa Nolan. "mdogo wangu nitakuambia kwa wakati mwingine kwa Sasa nenda nyumbani." Nolan ndio alimwambia Penina kwa msisitizo. "ok kaka pole Sana." Penina akamwambia Nolan na kuondoka. Lakini mzee Joel hakusema kitu yeye alibaki anamtizama Nolan kama vile hamjui. "baba tumeondoka wewe hata hujamuaga kaka." Penina akamwambia baba yake walipokuwa wakitoka kwenye chumba kile. "mimi nilikuwa nimeshamuaga Sasa ulitaka nimuage Mara ya pili tena?" akahoji mzee Joel kwa mshangao, lakini maneno aliyokuwa akiyaongea hayakuwa na ukweli wowote. "mhh bas Sawa." akajibu Penina na moja kwa moja wakaelekea mpaka kwenye gari ya mzee Joel. "gari yangu iko wapi?" akahoji Penina. "ingia kwenye gari Penina tuondoke ile achana nayo nitakuagizia nyingine mpya." mzee Joel akamjibu Penina kwa majivuno. "mhh ok Sawa baba." akajibu Penina lakini moyoni hakupenda kabisa kupanda gari moja na baba yake. Penina aliingia kwenye gari na kuondoka na baba yake kuelekea nyumbani. Baada ya dakika zisisozidi ishirini Penina na baba yake waliwasili nyumbani kwao na gari yao ikiwa imesimama nje ikipiga honi geti lifunguliwe. Lakini wakati huo huo Frank naye aliwasili pia na kukuta gari lile la mzee Joel likiwa bado limesimama pale nje likisubiri geti lifunguliwe ili waingie ndani. Frank alisogea mpaka mbele ya gari ile na mzee Joel ndio alikuwa wa kwanza kumuona. "ni macho yangu au naota huyu mlala hoi bado yupo hapa dar es salam?" akaongea mzee Joel kimoyo moyo huku akimshangaa Frank ambaye alikuwa amevaa mavazi yaliyochakaa. "baba unashangaa nini." Penina akamuuliza baba yake baada ya kumuona alivyokuwa akishangaa. Lakini kabla Penina hajapata jibu kutoka kwa baba yake, ghafla hakuamini macho yake baada ya kumuona mtu ambaye alimfananisha na Frank. Lakini hata hivyo Penina aligundua kuwa yule ni Frank mwenyewe wala hata hajamfananisha licha ya nguo chafu chafu alizokuwa amevaa Frank. Penina alijikuta akifungua mlango wa gari na kutoka mbio mpaka kwa Frank. Penina alimrukia Frank na kumkumbatia kwa nguvu huku machozi ya furaha yakimtoka. Mzee Joel ndio hakuamini kabisa alichokuwa anakishuhudia mbele ya macho yake. Mzee Joel aliingiza gari ndani kwa hasira baada ya geti kufunguliwa na kuwaacha wakina Penina na Frank wakiwa bado wamekumbatiana. "Frank ulikuwa kipenzi changu kwa Muda wote uliokuwa mbali nami niliteseka Sana juu yako Frank ulikuwa wapi?" akaongea Penina na kumuuliza Frank huku machozi yakizidi kutiririka usoni mwa Penina. "niliteseka Sana mpenzi wangu na kama si Mungu bas ningeshakufa." akaongea Frank kumuambia Penina huku akijitihaidi kuzuia machozi yaliyokuwa yakimtiririka usoni mwake. "pole Sana mpenzi wangu nashukuru Sana kukuona tena, twende ukapumzike kwetu alafu utanielezea ulipatwa na nini." akaongea Penina kumwambia Frank. "hapana Penina siwezi kuingia ndani kwenu kwa Sasa Ila ningependa wewe uongozane na mimi mpaka kwetu kwasababu bado sijawaona Wazazi wangu." Frank ndio alimwambia Penina. Na Penina bila kupinga alikubali na kwa kuwa gari Lake Penina lilikuwa limeharibika ilibidi wachukue bajaji na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwa Frank. "vip kaka yako Nolan yuko poa?" Frank akamuuliza Penina. "mhh Kwa kweli hali yake si nzuri kidogo." akajibu Penina kinyonge. "Kwanini tena anaumwa?" akahoji Frank kwa mshangao. "ni bora hata angeumwa kuliko hayo yaliyomkuta wewe twende tufike nyumbani kwanza nitakueleza." Penina akamjibu Frank na ukimya ukatawala kule kwenye bajaji. * Hospital huku Nolan alijihisi afadhali kidogo na kwa kuwa alijua wazi kuwa wakina Zaza wako Katika hospital ile akaamua kula nao sahani moja mpaka wamwambie nani aliwatuma waje kumuua. Kwanza Nolan aliiba sindano ya daktari wake aliyekuwa akimtibu na kuificha. Nolan alianza kuchunguza chumba walicholazwa wakina Zaza na baada ya dakika chache akafanikiwa kufahamu chumba walichopo wakina Zaza. Bila kupoteza Muda Frank akajitokeza mbele ya zaza ambaye alishtuka na kutamani kupiga kelele lakini akawa tayari ameshachelewa. "Broo unaona hii sindano ina sumu nitakutoboa toboa nayo nilumalize, Sasa kuepuka hilo naomba uniambie ni nani aliwatuma mje kunivamia?" akaongea Nolan kumwambia Penina huku akiwa ameishika sindano ile. "mkubwa kusema ukweli ni baba yako ndio alitutuma." akaongea Zaza huku akitetemeka. "una uhakika na unachokiongea?" akauliza Frank huku akimtisha zaza kwa sindano ile. "nasema ukweli kutoka moyoni mwangu baba yako ndio alitutuma." akaongea zaza kumwambia Nolan. Nolan hakuongea tena kitu aliificha sindano yake na kuondoka kwenye chumba kile. * Baada ya dakika kadhaa Frank na Penina waliwasili nyumbani kwa Frank. Wakashuka kwenye bajaji na kuelekea kwenye nyumba ya kina Frank. Walipoufikia mlango Frank alijificha nyuma ya Penina na kumtaka Penina abishe hodi ili wawafanyie surprise Wazazi wake Frank. ........ Itaendelea. ... Read More
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi (10) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp...... 0769673145 Ilipoishia...... Baada ya dakika kadhaa Frank na Penina waliwasili nyumbani kwa Frank. Wakashuka kwenye bajaji na kuelekea kwenye nyumba ya kina Frank. Walipoufikia mlango Frank alijificha nyuma ya Penina na kumtaka Penina abishe hodi ili wawafanyie surprise Wazazi wake Frank. ***********Endelea ********* Mlango ulifunguliwa na mama yake Frank na kukutana uso kwa uso na Penina. "ooh mwanangu hujambo?" akauliza mama yake Frank. "sijambo mama shikamoo." akasalimia Penina "marahaba karibu ndani." mama yake Frank akamkaribisha Penina. "Asante mama ila nataka nikufanyie surprise." Penina akamwambia mama yake Frank. "hii ipi tena mwanangu usije ukaniue kwa presha." akaongea mama yake Frank, na Muda huo huo baba yake Frank naye akajitokeza sehemu pale na kuungana na mama yake Frank. Penina alisogea pembeni na hapo hapo Frank akajitokeza mbele ya Wazazi wake. Mama yake Frank alijikuta akishindwa kuongea na kumrukia Frank kwa furaha isiyo na kifani. Frank pamoja na Wazazi waliingia ndani huku wakiwa na furaha tele kwa kumuona tena Frank ambaye alitoweka kwa siku kadhaa. Lakini kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kujua ni nini kilimtokea Frank. Frank ilibidi awaeleze kilichomtokea mwanzo mpaka mwisho. Kila mtu alihuzunika kwa hicho kilichomtokea Frank. Lakini pia Penina aliwaeleza pia kilichomkuta kaka yake Nolan na Mpaka Muda ule kaka yake alikuwa bado yupo hospitalini. Lakini hata hivyo furaha ilirejea upya usoni mwa Penina pamoja na Wazazi wake Frank baada ya kumuona Frank kwa Mara nyingine tena. Frank alienda kuoga na kubadilisha nguo Zake zile zilizochakaa na kuvaa nguo zingine nzuri ambazo ziliendana vizuri na yeye. Frank aliondoka na Penina na kuelekea moja kwa moja mpaka Katika hospital aliyopo Nolan kwa ajili ya kumjulia hali. * Lakini kumbe Katika hospital ile, Nolan baada ya kujua kuwa baba yake ndio alimfanyia mchezo ule. Nolan hakubaki tena pale hospitalini alitoroka bila hata kuruhusiwa na daktari na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwao. Penina na Frank baada ya kufika hospitalini pale. Walistaajabu kuambiwa kuwa Nolan hayupo pale hospitalini na hawajui alipoelekea. Penina na Frank waliondoka na kuelekea nyumbani kwa kina Penina wakihisi labda Nolan ameelekea huko. Na kweli baada ya kufika nyumbani kwa kina Penina walimkuta Nolan akiwa ameketi nje ya geti lao huku akionekana kuwa na mawazo tele. "Nolan vip ndugu yangu mbona mawazo tele?" alikuwa Frank akimuuliza Nolan baada ya kumkaribia. Nolan alinyanyua kichwa chake na hakuamini baada ya kumshuhudia Frank akiwa amesimama mbele ya macho yake akiwa pamoja na Frank. "oooh Frank ni wewe?" akauliza Nolan kama vile haamini, Kisha akanyanyuka na kumkumbatia Frank kwa furaha Sana. "nimefurahi Sana kukuona tena Frank, hakika wewe ndio furaha ya mdogo wangu Penina karibu tena Frank." akaongea Nolan kumuambia Frank. Na hapo hapo Nolan akamtaka Frank amueleze ni nini kilichomkuta mpaka akatoweka Muda wote ule. Frank Bila kusita alimuelezea Nolan mkasa mzima uliomkuta wa kutekwa na watu asiowafahamu. Nolan alimhurumia akampa moyo na kumtaka ajikaze kwasababu wana vita nzito mbele yao. Lakini pia Nolan akawaelezea jinsi baba yake mzee Joel alivyomtumia watu waje wamuue kwasababu ya kutetea penzi La Penina na Frank. "ina maana baba anataka akuue?" Penina akamuuliza Nolan kwa mshangao. "ndio nadhani ndio nia yake kwasababu ameona mimi ndio niliyeamua kusimama na kulitetea penzi lenu." akaongea Nolan kwa huzuni Sana. Penina pia alihuzunika Sana mpaka machozi yakaanza kutiririka usoni mwake baada ya kugundua baba yake ndio alipanga njama ya kummaliza Nolan. "lakini msijali kuweni na amani mimi nawakikishia lazima mtaoana na kuwa mume na mke." akaongea Nolan kwa kujiamini. "tunashukuru kusikia hivyo hata sisi tutakuwa pamoja na wewe kwa lolote lile." akaongea Frank naye kwa kujiamini. "Sasa sikilizeni niwaambie, nataka niwasafirishe muende mkakae nchi nyingine kwa miezi miwili alafu mimi nitabakia hapa Tanzania nikifanya taratibu za nyie kufunga ndoa na kila kitu kikiwa tayari nitawajulisha na mtarejea Tanzania kwa ajili ya kufunga ndoa yenu." akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Bila kipingamizi chochote Penina na Frank walikubaliana na wazo la Nolan na kilichotakiwa ni kwenda kujiandaa na kuondoka. "ngoja bas nikajiandae Mara moja." akaongea Penina, lakini Nolan akamzuia na kumwambia. "usiingie ndani tena, sitaki uonane na baba kuanzia Sasa kila kitu utakachahitaji nitakutimizia mimi, katafuteni hoteli yoyote mkae hapo mkijianda na kama na pesa au kitu chochote mtaniambia mimi." aliongea Nolan kwa msisitizo. "ok tumekuelewa tupo pamoja." akajibu Frank Kisha wakaondoka pamoja na Penina. Nolan alinyanyuka pale chini akagonga geti na kufunguliwa na mlinzi na bila kusema kitu Nolan akaelekea moja kwa moja mpaka sebuleni ambapo alimkuta baba yake mzee Joel akiwa ameketi huku akionekana kuwa na mawazo. "Niko sambamba na wewe kwa chochote kile utakachokifanya, sitajali kama wewe ni baba yangu au nani wangu lakini nachotaka utambue Frank lazima amuoe Penina." akaongea Nolan kumwambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake bila kusikiliza baba yake atasema nini. "wewe lazima nikuue wewe hata kama mimi ni baba yako huwezi kuniingilia Katika mambo yangu." akajisemea mzee Joel na kutoka nje kwa kasi mpaka kwenye gari Lake. Mlinzi alifungua geti na moja kwa moja mzee Joel akatoka kwa kasi mpaka Katika hospital waliyolazwa wakina Zaza. Mzee Joel alishuka kwa kasi kwenye gari Lake na kuelekea mpaka Katika chumba walicholazwa wakina Zaza. "Zaza mlifanya nini mbona mmeniangusha kias hiki?" akaongea mzee Joel kwa jazba. "mzee Joel yule mwanao ni hatari Sana hebu ona tulivyovunjwa vunjwa." akaongea Zaza huku akionesha jinsi walivyopigwa na Nolan . "ni bora mlivyopigwa kuliko hichi kingine kilichoibuka." akaongea mzee Joel na kushika kiuno. "nini tena mzee wangu?" akahoji Zaza huku akiwa anajinyanyua pale kitandani alipokuwa amelala. "Frank amerudi" akajibu mzee Joel na kuwafanya wakina Zaza washangae. "yaani kwa kweli mmeniangusha Sana alafu isitoshe Nolan ameshaanza kuota mapembe na kama nyie mmemshindwa bas itabidi nitafute wababe wengine zaidi yenu na nyie lazima nitawaua pesa niliyowapa ni nyingi Sana lakini hakuna cha maana mlichokifanya pumbavu nyie. " akaongea mzee Joel kwa hasira Kisha akageuka na kuondoka. * Penina na Frank waliwasili kwenye hoteli moja ya kifahari na kufanya taratibu zote na kuchukua chumba kwenye hoteli Ile na kulipia kukaa hapo kwa siku tatu. Lakini Frank aliwapa taarifa Wazazi wake ya jinsi mipango inavyofanyika hivyo akawataka wasiwe na hofu yoyote kuhusu yeye.* Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. ............. Itaendelea ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: