Home → simulizi
→ Love story:ANKO INATOSHA
Mwandishi:JAFARI MPOLE
Sehemu:10
ILIPOISHIA..
,..lakini kwa Ruth haikuwa
hvyo,akasubiri muda muafaka aende kujua ukweli kwa anko
Tony,na kweli baada ya saa 6
usiku ilipotimu ndipo akatoka
kuelekea kwa anko
Tony...HAYA TWENDE SAWA...
Akasogea mpaka kwenye mlango wa anko Tony na kwa
mbali akasikia mihemo na
kelele za mahaba zikisikika
kutoka mule chumbani kwa
mbali sana,akazidi kutega
sikio kwa umakini kusikiliza. "ah anko...anko inatosha
sasa,oh kwa leo inatosha"
"ngoja kidogo Eliza,ehee
zidisha utundu,..tena..
.tena..a.a.a.a.h hapo ha..p..oh..
oh"zilisikika sauti hzo mule chumbani,zikamfanya Ruth
abaki akishika mdomo
haamini anachosikia.."mungu
wangu..!na Eliza nae kumbe
yumo?mamaaa"alijisemea
Ruth pale mlangoni,akatoka pale na kuelekea chumbani
kwa akina Rose,akafungua
mlango na kuwasha taa
kweny swichi,na kweli
akamkuta Rose tu amelala
pekeake. "jamani,jamani hii sasa balaa
na ikijulikanaa,!cjui Rose
atatuona watu wa aina
gani,mwenzetu kajilalia zake
cye viguru na njia,ah haya
ntafanyaje mimi haina jinsi!"alisema Ruth na kuzima
taa na kutoka chumbani kwa
Rose.Kitendo cha kutembea
hatua mbili tu anatokea mama
yao na kutazamana uso kwa
uso huku akiwa amevaa kanga yake ya kulalia."heh we
mtoto mpaka saa7 hii hujalala
kulikoni,na umetoka wapi
huko?"alisema mama mtu.
"ah nilienda chooni sasa
wakati narudi nkaona mlango wa akina Rose uko wazi na
hawakuzima taa wamesahau
wenyewe wamelala.ndo
nimewazimia"alisema Ruth
kwa kujiamini kama kweli
vile. "hawa nao kwa
kujisahau,haya kalale
mwanangu"
"sawa mama"alisema Ruth na
kuingia chumbani kwake na
mama yake nae akarudi chumbni.Ruty akarudi
kitandani na kukaa huku
akitabasamu."leo kazi ipo
humu ndani mama nawewe
nitajua tu nawewe dhamira
yako"alisema Ruth na kujipumzisha.
Huku kwa mama Rose nae
baada ya dakika 20 kupita
akatoka nakwenda kwa anko
Tony,akafika mlangoni na
kuufungua mlango taratibu mpaka ndani."waoh mpenzi
umekuja"alisema anko Tony
huku akisogelewa na mama
Rose na kukumbatiana.
"lazima nije c nilikwambia
tangu uje hapa cjaonja hata radha ya joto ka mwili
wako,ndo nimekuja rasmi
tukumbushie ya miaka mi3
iliyopita"alisema mama rose
huku akishika shika kifua cha
anko Tony. "usijali mpenzi mimi ni
wako"alisema anko Tony na
taratibu wakaigusanisha
midomo yao huku wakisifiana
sifa kedekede na
kukumbushana mambo ya zamani.
Huku Ruth nae akatoka
chumbani kwake baada ya
kusubiri kwa muda
mrefu,akarudi tena mpaka
pale mlangoni mwa anko tony,safari hii aliweza kusikia
vizuri yasemwayo mule ndani
kutokana na mlango
kutofungwa vzuri.
"ah Tony....Tony hujasahau tu
makeke yako!unanikumbusha ya nyuma mpenzi wangu,aah
we Tony taratibu basi jamani"
"ah Magreth,wewe
unaniwezea aisee,mambo
yako ya taratibu kama hutaki
vile,kweli n'gombe hazeeki maini"alisema anko tony huku
wakiwa kwenye dimbwi la
mapenzi,.Maongezi yale
yalimchanganya ruth na
kutokujua kinachoendlea,a
kawa makini tu kusikiliza bila ya kupitwa na neno.
"Tony nakupenda sana jamani
uuuuuuuwi,hahaha michezo
yako sijui unaitolea wapi hii,"
"Magreth, mie mwanaume
lazima nibuni jinsi ya kukupa raha mtoto wa kike"alisema
anko Tony huku akizidi
kupeleka moto akiwa juu ya
kifua cha mama rose.
"mungu wangu!!"alijisemea
ruth pale mlangoni baada ya kujua jambo,haraka akarudi
chumbani kwake na kukaa
kitandani huku akishika
kichwa."inamaana hawa
wafahamiana zaidi ya
tunavyodhani sisi,mama anatuambia ni anko wetu
kumbe ni hawala wake?
jamani jamani sisi..loh"aliji
semea Ruth mule chumbani
akajichokea na kuegamia
ukuta usingizi ukamchukua.** Asubuhi ya saa 4 familia nzima
inakutana mezag kwa kupata
kifungua kinywa huku wote
wakionekana na furaha,lakini
kwa Ruth haikuwa
hivyo,muda wote alikuwa akimtazama mama yake kwa
jicho la aina yake mpaka
wanamaliza kunywa chai na
wote wakatawanyika,siku
hyo wote walikuwa nyumbni
ilikuwa ni jumamosi ya wikiendi,Eliza na Rose
wakiwa chumbni kwao
hawana habari wakiangalia
cd,huku mwenzao Ruth akiwa
chumbani kwake akiwa bdo
anatafakari swalaa la anko Tony na mama yao,nafsi yake
ikamtuma kujua ukweli wa
jambo hili,ajue kwanini mama
yao kawadanganya kuwa ni
anko wao? na kwani
amemleta mpaka mule ndani na kuishi nao?."hapana kazima
nijue"alisema Ruthy na
kunyanyuka safari moja kwa
moja chumbani kwa mama
yake..NINI KITATOTEKEA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: