Home → Arsip Untuk August 2017

Tatizo la kukosa hedhi ni jambo ambalo linawakumba wanawake wengi waliovunja ungo. Aidha suala hili limekuwa likiwaletea usumbufu mwingi wa kisaikolojia wanawake wengi waliowahi kukumbana nalo. Tatizo la kukosa hedhi au amenorrhea linaweza kutokea awali kabisa ( primary) au baadaye kabisa maishani ( secondary) . Primary amenorrhea ni hali ya kukosa hedhi inayoweza kumtokea msichana aliye katika umri wa kuvunja ungo na ambayo huweza kuendana na hali ya kukosa mabadiliko ya kubalehe kama vile kuota matiti au nywele za kinena; au msichana anaweza kuwa na mabadiliko ya kubalehe lakini asipate hedhi. Secondary amenorrhea ni hali ya kukosa hedhi inayomtokea mwanamke ambaye si mjamzito, hanyonyeshi, na ambaye hajavuka umri wa kukosa hedhi ( menopause ) na wala hatumii njia za uzazi wa mpango kama vile sindano au vidonge, na ambaye hapo awali alikuwa akipata hedhi kama kawaida lakini akasimama kwa miezi mitatu au zaidi. Mwanamke hupataje hedhi? Ili mwanamke aweze kuwa na mzunguko ulio sahihi wa hedhi, ni lazima matezi yake ya hypothalamus na pituitary pamoja na kiwanda cha kutengeneza mayai ya kike ( ovaries ) na mji wa mimba ( uterus ) vifanye kazi zake sawasawa. Hypothalamus huchochea tezi la pituitary kuzalisha hormone chochezi ya follicle au follicle-stimulating hormone (FSH) pamoja na homoni ya luteinizing (LH ) . Hizi FSH na LH kwa pamoja huchochea ovaries kuzalisha homoni za estrogen pamoja na progesterone . Kazi za estrogen na progesterone ni kusababisha mabadiliko katika ukuta wa uterus yaani endometrium ikiwepo kupata hedhi. Ili damu ya hedhi iweze kutoka nje, njia ya uzazi ya mwanamke haina budi kuwa huru yaani isiyo na matatizo yeyote yale. Amenorrhea husababishwa na nini? Visababishi vya amenorrhea vyaweza kugawanywa katika makundi makuu matatu, vile vinavyohusisha matatizo katika mfumo wa homoni, vile vinavyohusisha matatizo ya kimaumbile katika njia ya uzazi ya mwanamke na vile vinavyohusisha mabadiliko katika mwili wa mwanamke. 1. Matatizo katika mfumo wa homoni : Matatizo katika mfumo wa homoni yanaweza kuwa katika tezi za hypothalamus, pituitary au ovary. 1. Matatizo katika Hypothalamus: Matatizo katika hypothalamus yanayoweza kusababisha mwanamke kukosa hedhi ni pamoja na Uvimbe katika ubongo karibu na tezi ya pituitary Ukosefu au upungufu wa homoni zinazochochea kukua na kufanya kazi kwa via vya uzazi. Ugonjwa huu hujulikana kama Kallmann syndrome Lishe duni na utapia mlo Uzito mdogo kuliko kawaida (kukonda kwa kupitiliza) 2. Matatizo katika tezi ya Pituitary: Vyanzo vinavyohusisha tezi ya pituitary ni pamoja na Kuwepo kwa kiwango kikubwa cha homoni ya prolactin katika damu au kwa kitaalamu Prolactinemia . Prolactin ni homoni inayochochea uzalishaji wa maziwa wakati wa kunyonyesha. Hali ya kuwa na prolactin nyingi katika damu inaweza kutokea iwapo kuna uvimbe unaoitwa ( prolactinoma ) katika tezi ya pituitary. Kuwepo kwa uvimbe mwingine wowote katika tezi ya pituitary. Pituitary kushindwa kufanya kazi baada ya seli zake kufa, hususani iwapo mama alipoteza damu nyingi wakati wa kujifungua. Kuharibika kwa tezi ya pituitary baada ya seli zake kushambuliwa na mfumo wa kinga ya mwili. Kuwa na historia ya kupata tiba ya mionzi inayohusisha tezi ya pituitary. 3. Matatizo katika ovary: Vyanzo vinavyohusisha matatizo katika viwanda vya kuzalisha mayai ya kike yaani ovaries ni pamoja na Kutozalishwa kabisa kwa mayai ( Anovulation ) Kuwepo kwa kiwango kingi cha homoni za kiume katika damu ( Hyperandrogenemia ) Ovary kuwa na vifukovifuko ( Polycystic ovarian syndrome) na kushindwa kufanya kazi zake vizuri. Haya ni matatizo ya homoni ambayo huwapata baadhi ya wanawake walio katika umri wa kuzaa Kufa na kushindwa kufanya kazi kwa ovary kabla ya muda wake Ugonjwa wa kuzaliwa unaoitwa Turner syndrome ambao humbatana na kukosekana kwa ovary au ovary kuwa changa kuliko kawaida, msichana kushindwa kuvunja ungo na msichana kuwa na kimo kifupi kuliko kawaida. Ugonjwa huu hutokana na matatizo ya kijenitikia (genetic disease) Ukosefu wa kimaumbile wa ovary ambao hutokea wakati wa ukuaji Kufa kwa ovary baada ya seli zake kushambuliwa na mfumo wa kinga ya mwili Historia ya kuwahi kupata tiba ya mionzi au madawa yanaathiri ovary Ugonjwa wa kurithi wa Galactosemia unaoambatana na kuwa na kiwango cha juu cha sukari aina ya galactose katika damu 2. Matatizo ya kimaumbile katika njia ya uzazi: Matatizo ya kimaumbile katika njia ya mfumo wa uzazi wa mwanamke yanayoweza kusababisha ukosefu wa hedhi ni pamoja na 1. Mwanamke/msichana kuzaliwa bila kuwa na uke, shingo ya uzazi au mji wa mimba (uterus) 2. Kuta za uterus zinazotazamana kujishikiza pamoja 3. Utando unaozunguka uke ( hymen ) kuziba kabisa na kukosekana kwa tundu la kupitishia damu ya hedhi ( imperforate hymen ) 4. Kuwepo kwa utando unaokatiza katika uke unaozuia damu ya hedhi kushindwa kutoka 3. M abadiliko katika mwili wa mwanamke : Mambo yanayoweza kuathiri mwili wa mwanamke na kumfanya ashindwe kupata hedhi ni pamoja na 1. Kula kiasi kidogo sana cha chakula kuliko kawaida au kula kupita kiasi 2. Unene uliopitiliza au kupungua uzito/kukonda isivyo kawaida 3. Uwepo wa magonjwa sugu kama kifua kikuu 4. Utapiamlo 5. Msongo wa mawazo 6. Matumizi ya madawa ya kulevya 7. Matumizi ya baadhi ya madawa hususani baadhi ya dawa za kutibu magonjwa ya akili 8. Kuwa na hofu iliyopitiliza 9. Kufanya mazoezi ya mwili kupita kiasi Dalili za Amenorrhea ni zipi? Kukosa hedhi siyo ugonjwa bali ni dalili ya kuwepo kwa tatizo au ugonjwa fulani katika mwili. Kulingana na ugonjwa unaosababisha tatizo hili, kukosa hedhi kunaweza kuambatana pia na Matiti kutoa maziwa wakati mwanamke si mjamzito na wala hanyonyeshi, maumivu ya kichwa na matatizo katika kuona vitu ambavyo kwa pamoja vinaweza kuashiria uwepo wa uvimbe katika ubongo Mwanamke kuwa na nywele na vinyweleo vingi mwilini na kuota ndevu kama mwanaume hali inayoashiria kuwepo kwa wingi kwa homoni za kiume za androgen Ukavu katika uke, kutoka jasho sana wakati wa usiku, au mabadiliko katika kupata usingizi vinaweza kuashiria matatizo katika ovary Kuongezeka uzito kupita kiasi au kupungua kwa uzito isivyo kawaida Mwanamke kuwa na mhemko kuliko kawaida yaweza kuashiria kuwepo kwa matatizo ya kiakili na kisaikolojia Uchunguzi na vipimo Msichana yeyote aliyefikia umri wa kubalehe na kuvunja ungo na ambaye bado hajaanza kupata mabadiliko yeyote ya kubalehe katika mwili wake hana budi kumuona daktari kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Aidha msichana aliyefikia umri wa miaka 16 na ambaye bado hajaanza kupata hedhi anatakiwa pia kumuona daktari kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Kwa wanawake waliokuwa wakipata hedhi kama kawaida lakini ghafla wakaacha kupata kwa muda wa miezi mitatu mfululizo au zaidi nao pia hawana budi kumuona daktari kwa ajili ya uchunguzi wa tatizo hili. Vipimo vifuatavyo vinaweza kufanywa kuchunguza sababu za kukosa hedhi kwa mwanamke: Kupima damu kwa ajili ya kuchunguza kiwango cha homoni za FSH, LH, TSH na prolactin ambazo uzalishwaji wake unachochewa na tezi ya pituitary, na pia kupima kiwango cha homoni ya estrogen inayozalishwa na ovary. Kipimo cha ultrasound ya nyonga kwa ajili ya kuchunguza uwepo wa matatizo katika njia ya uzazi na pia kuchunguza hali ya ovary. CT scan au MRI ya kichwa kwa ajili ya kuchunguza uwepo wa matatizo kwenye tezi ya pituitary au hypothalamus. Vipimo vya kufahamu ufanyaji kazi wa tezi ya thyroid Kupima damu ili kufahamu kiwango cha homoni ya prolactin katika damu Kuchunguza uterus kwa kutumia aina ya X-ray inayoitwa Hysterosalpingogram na kipimo kingine kiitwacho Hysteroscopy ambacho huchunguza chumba cha uterus. Matibabu ya kukosa hedhi Matibabu ya kukosa hedhi yanaweza kufanyika nyumbani bila kuhitaji dawa, ingawa pia, kutegemeana na chanzo cha tatizo, yanaweza kuhitaji dawa na hata upasuaji wakati mwingine. 1. Matibabu yasiyohitaji dawa Baadhi ya wanawake wanaopata tatizo la kukosa hedhi kwa sababu ya kujinyima kula (wanaofanya dieting) na hivyo kupata upungufu wa virutubisho mwilini, wanashauriwa kula lishe bora. Baadhi ya wanawake wanaopata tatizo hili la kukosa hedhi kwa sababu ya kuongezeka uzito kupitiliza, wanashauriwa kuwa makini katika aina ya vyakula wanavyokula ili kuwa na uzito unaotakiwa. Wanawake wanaokosa hedhi kwa sababu ya kufanya mazoezi ya mwili kupita kiasi wanashauriwa kujiwekea kiasi katika ufanyaji wao wa mazoezi. Iwapo kukosa hedhi kumesababishwa na msongo wa mawazo, ni jambo jema kutafuta njia za kushughulikia matatizo hayo na kuyatatua ili kuondoa msongo wa mawazo Inashauriwa kutokuvuta sigara na kuacha kunywa kunywa pombe. 2. Matibabu yanayohitaji dawa: Matibabu ya kukosa hedhi hutegemea chanzo cha tatizo. Matibabu huelekezwa katika kutibu chanzo, na iwapo chanzo cha tatizo ni matatizo ya kimaumbile, upasuaji unaweza kufanyika. Kwa wanawake wenye matatizo ya kuwa na kiwango kingi cha prolactin, daktari anaweza kushauri matumizi ya dawa aina ya bromocriptine au pergolide . Kwa wanawake wenye upungufu wa homoni ya estrogen au wale wenye matatizo katika ovary zao, dawa zenye kurejesha homoni hiyo zaweza pia kutumika. Wakati mwingine dawa za uzazi wa mpango zaweza kutumika kurejesha mzunguko wa hedhi na pia kusaidia kuongeza kiwango cha homoni ya estrogen mwilini. 3. Upasuaji : Upasuaji unaweza kufanywa iwapo kuna Uvimbe katika ubongo unaoathiri tezi ya pituitary na hypothalamus Matatizo katika njia ya uzazi ya mwanamke Je kukosa hedhi kunaweza kusababisha nisipate mtoto? Ikumbukwe kuwa, kukosa hedhi si ugonjwa bali ni dalili ya kuwepo tatizo hivyo basi iwapo tatizo hilo lina uhusiano na kutunga mimba na kupata mtoto, uwezekano wa kupata mtoto utakuwa mdogo ikiwa tatizo hilo halitashughulikiwa. Matatizo kwenye tezi za pituitary, hypothalamus pamoja na ovary ambayo yana uhusiano mkubwa na kukosa hedhi, husababisha pia tatizo la ugumba. Iwapo matatizo hayo yatashughulikiwa ipasavyo, uwezekano wa kupata kupata hedhi na hatimaye kupata mimba huwa mkubwa.

KWANINI MZUNGUKO WA HEDHI KWA WASICHANA UNAVURUGIKA? Tumekuwa tukisikia mambo mengi sana yanayohusu mzunguko wa hedhi kwa wanawake na wakati mwingine hutufanya tudhani kuwa mzunguko huo huenda sana na saa nzima kwamba hauna vikwazo vyovyote. Wengi wamekuwa wakisema kuwa wanawake wanaopata hedhi kila baada ya majuma manne ndio mzunguko sahihi lakini pengine unaweza kusema kuna vitu kuhusu wanawake ambavyo hatuvifahamu. Kiuhalisia, sio wanawake wote wanapata hedhi katika mzunguko ulio sawa kama ilivyokuwa mara ya mwisho. Wasichana wengi huanza kupata hedhi kati ya umri wa miaka 10 hadi 15, lakini wachache huanza mapema au huchelewa. Hedhi ya kwanza kwa kitaalamu huitwa Wataalamu wengi wa afya huzungumzia mzunguko wa hedhi kwa siku 28, lakini hicho ni kiwango cha wastani ambacho madaktari hukitumia. Urefu wa mzunguko wa hedhi kwa wanawake hutofautiana ambapo baadhi mzunguko wao huchukua siku 24 wakati wengi huenda hadi siku 34. Kufuatia kutofautiana huko, msichana anaweza kujiona kuwa ana tatizo, kumbe sio. Na utofauti huo katika mwezi unaweza kuwa ni kwa kipindi cha miaka michache tu tangu alipopata hedhi kwa mara ya kwanza. Mwili wa msichana unaweza usifuate kikamilifu mzunguko wa hedhi hasa katika kipindi cha miaka miwili ya mwanzo, na jambo hili si tatizo. Wakati mwingine unaweza usipate hedhi au ukapata kwa kuchelewa tofauti na awali. Ugonjwa, kupungua uzito ghafla au msongo wa mawazo vinaweza kusababisha mzunguko wa hedhi kuvurugika kwa sababu sehemu ya ubongo inayoshughulika na hedhi, huathiriwa na vitu hivyo. Jambo jingine linalosababisha kubadilika kwa mzunguko kwa hedhi ni pamoja na kubadilisha ratiba yako au kusafiri kwenda katika mazingira mapya. Mbali na mvurugano huo, idadi ya siku za msichana kutokwa na damu pia hutofautiana kutoka hedhi moja kwenda nyingine ambapo unaweza kupata hedhi kwa siku 3, lakini nyingine ikawa siku 7. Yote haya yanatokana na kiasi tofauti cha homoni ambacho mwili huzalisha kila mwezi. Wasichana wengi ambapo mzunguko wao huvurugika huwa mara nyingi wanapata wakati mgumu kujua ni lini atapata hedhi ili aweze kujiandaa. Hapa chini ni baadhi ya dalili mwili wako utazionyesha kuwa unakaribia kupata hedhi; Matiti kuongezeka uzito au kuuma Maumivu ya kichwa Kutokuwa kawaida (moods) Maumivu ya tumbo Kutokwa chunusi Kuumwa/kukakamaa mgongo Kutolala kawaida Kuvurugika kwa mfumo wa hedhi ni jambo la kawaida hasa kwa wasichana katika miaka ya mwanzo ya hedhi, lakini kadiri umri unavyokwenda na mzunguko huo unazidi kuwa sawa sawa. Lakini, baadhi ya wasichana wanaweza kuwa na kuvurugika kwa hedhi au wasipate kabisa kutokana na, kufanya mazoezi sana, kutumia dawa, kupungua kwa uzito sana au kutokula vyakula sahihi mfano, kalori ya kutosha, lakini pia kutokuwapo kwa uwiano sawa wa homoni ndani ya mwili. Endapo mwili wa msichana utazalisha kwa wingi homoni ya androgen huenda ikasababisha tatizo hilo. Homoni hii huhitajika kwa wingi kwa mwanaume ili kusaidia kuota ndevu, nywele kifuani, sauti kuwa nzito, kujenga msuli. Unashauriwa kumuona daktari endapo tatizo hili la kuvurugika kwa mfumo wa hedhi litaonekana kukusababishia matatizo zaidi au limekaa kwa zaidi ya miaka mitatu tangu ulipopata hedhi kwa mara ya kwanza. Lakini pia unashauriwa kuonana na daktari kama ikitokea hujapata hedhi na huna ujauzito na pia endapo hedhi yako itakaa zaidi ya siku 7, au muone daktari kama umepata hedhi ndani ya kipindi cha muda mfupi tangu ulipopata mara ya mwisho. Vinginevyo, unashauriwa kutembea na pedi kwa ajili ya kujikinga kama mzunguko wako sio ule ambao unatabirika kwamba utatokea lini. Share :

TATIZO la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na wale waliomaliza majukumu yao ya uzazi. Tatizo linapojitokeza huleta athari nyingi kwa mwanamke kwa kumfanya ashindwe kupangilia mipango yake. JINSI TATIZO LINAVYOTOKEA Mwanamke hulalamika kutofahamu vizuri siku zake, hajui anaingia lini, yaani damu inaweza tu kutoka na inachukua muda mrefu hata zaidi ya siku saba ikiwa nyingi au matone matone. Mwanamke hushindwa kupangilia siku za kupata mimba, tatizo huanza taratibu na mwishowe huchukua muda mrefu. CHANZO CHA TATIZO Tatizo hili huweza kusababishwa na kuvurugika kwa mfumo wa homoni mwilini, hasa homoni au vichocheo vinavyoendesha na kudhibiti hedhi na uzazi kwa ujumla. Uwepo wa uvimbe ndani ya kizazi au kwenye vifuko vya mayai pia ni tatizo. Mabadiliko katika tabaka la ndani la kizazi, maambukizi sugu ya kizazi na kuharibika kwa mimba ni mojawapo ya matatizo haya yanayochangia siku za hedhi zitoke bila ya mpangilio. Matumizi ya baadhi ya madawa na hata dawa za uzazi wa mpango kwa wengine mfano sindano au vipandikizi huweza kuvuruga homoni na kusababisha matatizo haya. DALILI ZA TATIZO Mwanamke mwenye tatizo hili hulalamika kutokufahamu mwenendo wa mzunguko wake, hulalamika damu kutoka muda mrefu au siku chache sana chini ya siku tatu, wakati mwingine hapati kabisa. Anaweza kuwa na maumivu ya tumbo chini ya kitovu, maumivu wakati wa hedhi, maumivu wakati wa kujamiiana na hata damu kutoka mabonge au nyingi na nyepesi. Pia ataelezea ni muda mrefu anatafuta mtoto lakini hapati. UCHUNGUZI Tatizo hili humuathiri mwanamke kwa kiasi kikubwa hasa pale damu inapotoka kwa muda mrefu kwa zaidi ya siku saba au asipopata kabisa hedhi katika umri wake kama unamruhusu, pia mwanamke hatakuwa vizuri anapopata maumivu wakati wa hedhi, au anapotafuta mtoto halafu hapati ujauzito. Uchunguzi hufanyika katika kliniki za madaktari bingwa wa akina mama katika hospitali za mikoa, vipimo mbalimbali vitafanyika kadiri daktari atakavyoona inafaa. Vipimo pia vitazingatia mahitaji ya mwanamke kama yupo tayari kushika ujauzito kwa kipindi hicho. Kwa hiyo katika upimaji atachunguzwa na mfumo wake wa uzazi. NINI CHA KUFANYA? Ni vema mwanamke mwenye matatizo haya akazingatia ushauri wa daktari wake ili aweze kupona na kufanikiwa malengo yake ya kupata ujauzito. Baada ya uchunguzi wa kina ndipo utaratibu wa matibabu unaanza. Mwanamke ambaye ameshafikia ukomo wa kuzaa yaani zaidi ya miaka arobaini na tano na ana matatizo haya basi azingatie sana uchunguzi na tiba. Pamoja na kwamba tumeona vyanzo mbalimbali vya tatizo hili, lakini pia tusisahau saratani au kansa ya shingo ya kizazi na ya kizazi kwa ujumla vinabidi vichunguzwe kwani dalili zake hazitofautiani sana na matatizo mengine. Wahi hospitali kwa uchunguzi na tiba.

Kurekebisha mzunguko wa hedhi Hili ni tatizo linalowatokea karibu wanawake wote katika safari yao ya kuishi hapa chini ya jua. Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huanza ghafla au polepole ambapo mwanzo mwanamke alikuwa akipata siku zake katika utaratibu unaoeleweka lakini mara haelewi au hajielewi namna mzunguko wake unavyoenda. Kuvurugika kwa hedhi ni kitendo cha mwanamke kuanza kuona siku zake bila tarehe au mzunguko maalumu na matokeo yake ni kuwa mwanamke atashindwa kutimiza malengo yake kwa kutumia mzunguko huo sababu ni haueleweki. Unaweza kutokewa ghafla tu unapata hedhi mahali usipotarajia jambo linakufanya ubaki na woga na huelewi nini cha kufanya kwani hukuwa umejiandaa kwa tukio hilo kama matokeo ya siku zako kutokuwa mzunguko maalumu. Wakati mwingine unaweza kupitiliza mwezi hata miezi kadhaa bila kuona kabisa siku zako na hata ukipima ujauzito unakutwa huna ujauzito wala dalili huna. Madhara ya kuvurugika kwa mzunguko ni pamoja na; kushindwa kupata ujauzito, maambukizi katika kizazi na kuziba kwa mirija ya uzazi. Kwanini unahitaji mzunguko wa hedhi ulio sawa? Faida za kuwa na mzunguko wa hedhi ulio sawa: 1. Utakusaidia kupata ujaouzito ulioupangilia 2. Utakuepusha kupata ujauzito ambao hukuupangilia 3. Utaweza kuamua jinsia ya mtoto unayemtaka Nini husababisha kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi Ni rahisi kugundua kama mzunguko wako umevurugika ikiwa tu unauafahamu vizuri mzunguko wako ulio sahihi. Kufahamu mzunguko unahitaji uifahamu siku ambayo ulianza kuona damu hadi siku utakapoona tena katika mzunguko unaofuata. Karibu kila mwanamke huwa na mzunguko wake usiofanana na wa mwingine. Tatizo linaweza kuanza kwa kurukaruka siku, mwanamke pia anaweza kupoteza siku yaani mwezi mwingine anaona na mwezi mwingine haoni, au anaingia mara mbili kwa mwezi au anaona damu ya hedhi kwa siku nyingi hata zaidi ya siku arobaini mfululizo. Damu yake inaweza kutokea kidogo kidogo kila siku au nyingi huku ikiambatana na mabongemabonge na maumivu pia. Maumivu haya ya wakati wa hedhi huenea chini ya tumbo mpaka miguuni na kiunoni. Kuvurugika kwa hedhi kunaweza kutokea kutokana na sababu zifuatazo: 1. Mabadiliko ya mazingira ambayo hupelekea mfumo wa mwili hubadilika pia hasa mwanamke akitoka sehemu ya joto kwenda mikoa ya baridi au toka mikoa ya baridi kwenda mikoa ya joto. 2. Msongo wa mawazo (stress) 3. Hofu 4. Woga 5. Mabadiliko ya kisikolojia 6. Uvimbe kwenye kizazi 7. Matatizo kwenye mfumo wa homoni 8. Matatizo kwenye vifuko vya mayai 9. Mimba kuharibika 10. Maambukizi sugu ya kizazi pia ni mojawapo ya sababu. 11. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ya mara kwa mara na kila ukipima unaambiwa ni ugonjwa wa U.T.I kumbe siyo yutiai 12. Kutokwa na uchafu ukeni 13. Maumivu wakati wa tendo la ndoa. Kurekebisha mzunguko wa hedhi Kabla ya yote unapopa
JIFUNZE KUMTAMBUA MTU MWENYE MAPENZI YA DHATI NA WEWE:  Unajua unaweza kuwa na mahusiano na mtu unayempenda sana ila yeye hakupendi kama vile umpendavyo lakini anashindwa kukwambia kuwa "sikupendi". Unawakati mzuri sana wa kumtambua mtu ambaye hakupendi na pia kumtambua anayekupenda. Vilevile kukubaliana na hali halisi. Watu wengi hawapendi kutambua kwamba mtu anayempenda yeye hampendi, kwasababu ni maumivu makubwa sana moyoni. Unapokuwa kwenye mahusiano na mtu huyo nae inamuwia vigumu kukwambia "sikupendi" hufanya hivi katika kuzihurumia hisia zako juu yake. MTU AMBAYE HAKUPENDI KWA DHATI: ==> Anapokuwa nawe inamuwia vigumu sana kukwambia neno NAKUPENDA mara kwa mara, utajikuta wewe ndio unakuwa mtumwa kwake kwa kumwambia nakupenda kila mara. Majibu yake baada ya neno hilo, mara nyingi atakwambia asante kwa kunipenda basi, na akikuhurumia sana atakwambia nakupenda pia ili kukuridhisha wewe na moyo wako. ==> Utajikuta una mawazo sana juu yake na kujiuliza "hivi kweli mtu huyu ananipenda?" Utajaribu kumuuliza, "je unanipenda?" Jibu lake kwanza litafikiriwa sana, sababu ya kufanya hivyo ni kwa vile anatambua kwamba hakupendi sasa kukwambia ukweli wa swali lako anahisi utaumia, kwahiyo baada ya swali hilo anaweza kukuuliza swali na wewe "kwani unaonaje?" kwavile unampenda sana utamjibu, "naona kuwa unanipenda" naye atakwambia "basi ndio hivyo". Mara nyingine baada ya wewe kumuuliza swali kuwa je anakupenda kweli, atakujibu "ukweli unaujua ila kwanini unapenda kuniuliza swali hilo kila mara?" kama umeshaingiza dosari juu ya upendo wake utajikuta unamuuliza "ukweli upi?" naye atakujibu "kuwa nakupenda", hapo utajikuta umepata furaha kugundua kuwa anakupenda kumbe mwenzio amekuhurumia tu. ==> Huwa hajali mambo yako unayomwambia, ukimueleza muda huu badae anajifanya kusahau ili tu akupotezee mueleleo. ==> Unapopanga kukutana nae huwa ni mtu asiyeishiwa na sababu za kushindwa kufika, huwa na aibu ya kukutambulisha kwa watu. Unaweza kufika nae mahali akakwambia kuwa "kuna watu wanafahamiana na mama/baba mahali hapa kwahiyo tusiongozane karibu", hapo anaweza yeye akatangulia mbele au kukuacha wewe utangulie. ==> Hufanya tabasamu la kuigiza au kicheko cha kejeli ili wewe uridhike kwamba anafurahishwa na uwepo wako kwake. ===> Wakati mwingine inampasa mtu kujitambua na kumpa uhuru huyo umpendaye aweze kuamua mwenyewe labda kuendelea na wewe au kumfata anayempenda yeye. Cha muhimu ni kuwa using'ang'anie mahusiano ambayo yanayoumiza moyo kwani yanaweza pasua moyo wako kwa mawazo. MTU ANAYEKUPENDA KWA DHATI:  <3 ==> Hachoki kukwambia NAKUPENDA, kwani anajisikia raha sana pale atamkapo neno hilo juu yako kwahiyo unaweza ukawa kama wimbo wake kwako.  <3 ==> Anajivunia kuwa na wewe na atapenda kukupa sifa nzuri kila mara, yani Hachoki kukusifia. Atakushauri pale unapokosea ili uwe katika njia nzuri. Unaponuna atajua cha kufanya ili wewe ufurahi na kurudi kwenye hali ya kawaida.  <3 ==> Hachoki kukuombea mema na kukutakia mafanikio.  <3 ==> Atapenda kukueleza ukweli kila mara ili uweze kujenga uaminifu na imani juu yake.  <3 ==> Wewe utakuwa ni mtu muhimu sana katika maisha yake, atakuthamini na kukujali. Tatizo lako litakuwa sawa na tatizo lake, atakupa ushauri bila kuchoka.  <3 ==> Kabla ya kumuuliza swali kuwa "je unanipenda?" atakuwa ameshakujibu tena kwa hisia nzito kuwa "nakupenda sana mpenzi wangu".  <3 ==> Hatokuonea aibu kukutambulisha kwa watu kuwa wewe ndiye mpenzi wake, kwakuwa wewe ndiye furaha yake. ====> Thamani yako ni kubwa sana kwake, anakuona mpya kila siku na hachoki kuvutiwa na wewe. Anakupenda kwa kumaanisha na si kukupenda kimazoea tu. Neno NAKUPENDA litamtoka moyoni na ataridhihirisha kwa kinywa chake. Mtambue mtu huyu kuwa anakupenda kwa dhati. NB: Hakuna aliyekamilika, kila mtu ana kasoro na mapungufu yake. Si vyema kutumia mapungufu ya mwenzio kama fimbo katika mapenzi, cha muhimu ni kumuelimisha na kumuelekeza ili muweze kwenda sambamba. Nadhani baadhi ya maswali ya wadau yatakuwa yamejibiwa na hiyo mada. Kama kuna nyongeza au swali lolote kuhusiana na hiyo mada tuambiane hapa na kupatiana majibu hapa hapa wadau. By, *🅱 professional love*
NJIA ZA KUTONGOZA MWANAMKE AKAKUPENDA DAIMA.  Kuna baadhi ya wanaume hawajui jinsi ya kuzungumza na mwanamke au msichana. Kwa njia hii wanaume wengi wanaishi maisha ya bila kumvutia mwanamke yeyote. Hapa kunanjia 15 utakazozitumia wewe mwanaume ili kuhakikisha humkwazi mwanamke unayempenda mnapokuwa katika mazungumzo ; 1. Wakati ukizungumza nae, jaribu kuzungumzia "hisia" kama vile kumbu kumbu yako ya utotoni, matarajio ya baadae au matamanio yake. Mada hii ya mazungumzo yenu yatafungua milango ya hisia zake ghafla. 2. Wanawake huhitaji mwanaume asiyekuwa na uoga wa kuwamiriki na kuwaongoza. Wakati unazungumza na mwanamke tawala mazungumzo yenu na kamwe usimpe nafasi ya yeye kuanza kufikiri kuwa nini ulichokuwa ukizungumzia. 3. Kuwa makini wakati unapokuwa ukizungumza nae huku akikupatia majibu yasiyo na hisia zozote za mapenzi. Hapo utajua kunakitu, hivyo kama kwa bahati mbaya uko nae karibu kiasi cha kugusana, basi jisogeze pembeni wakati ukiwa unaendelea kuongea ili asishtukie au unaweza kumuona hayuko sawa katika utoaji majibu.. kwa kawaida atakuonyesha ishara, hivyo kuwa nazo makini. 4. Kumbuka hii kauli mbiu "Ucheshi/vituko si mapenzi". Wanawake huvutiwa sana na wanaume wanaoweza kuwafanya wawe na furaha muda wote. Usijikite zaidi katika kufanya utani unaopita kiasi na kusahau ulichokuwa unaongea. Bali jikite zaidi katika mambo yanayomfanya ajisikie kuwa na msisimko na starehe wakati ukonae. 5. Zama katika undani wa mazungumzo baina yako na yeye. Mwanamke huendana na mwanaume asiyekuwa muoga wa kuzungumzia mambo binafsi kwa ukaribu. 6. Wanawake wengi hupenda kujua maoni yako kuhusiana na jinsi unavyomuona. Mwambie vitu unavyoviona kutoka kwake, lakini jaribu kuwa makini ili usitamke vitu vingine vitakavyo msababishia apoteze furaha. 7. Epuka kumpa ofa nyingi mwanamke, mwanamke huwa na mashaka na mwanaume anayempatia vitu vingi kwa wakati mmoja ama kila mara. Kwasababu atafikiri vitu unavyompatia ni kutaka kumvutia tu ili umpate kiurahisi. Kitu ambacho baadae kitaleta madhara makubwa. 8. Kama unahitaji kujua njia nzuri ya kuweza kuongea na mwanamke au msichana bila kumfanya asikudharau au kuboreka, basi usitumie njia ya kumuuliza maswali mengi katika mazungumzo yenu. Bali jaribu kueleza mawazo yako kuhusu vitu flani. 9. Kumbuka kauli juu ya kuuliza maswali: Badala ya kumuuliza "wewe umekulia wapi?", uliza "unaonekana kama hujakulia maeneo haya!" Hii itakusaidia wewe kufanya uchunguzi juu yake bila yeye kujua. 10. Usifiche utambulisho wako - zungumza vitu kutoka katika hisia zako, onyesha uhalisia wako katika kuzungumza na usitumie mikogo ya mtu yeyote. Njia bora ya kufikiria jinsi ya kuzungumza na mwanamke, ni kutambua njia sahihi ya mazungumzo ya furaha na yakimahaba utakayopenda kuitumia, isipokuwa usimuige mtu. Kuzungumza na mwanamke sii vigumu bali nikujua ni vitu gani hasa mwanamke hapendi kuvizungumzia na vitu gani anapenda kuvisikia. Fuata maelekezo hapo juu utaona matunda yake...kisha rudi toa maoni yako hapa. MUHIMU: Maelekezo haya yote yatafanikiwa kwa mwanamke mwenye kuhitaji mapenzi ya kweli - yani sio kwa wanawake wanaolenga kuchota pesa kwako na kutokomea. Hivyo kuwa makini sana.
MWANAMKE FANYA MAZOEZI YA KUKAZA MISURI YA UKE MWANAMKE FANYA MAZOEZI YA KUKAZA MISURI YA UKE  Kama ilivyokuwa kwa baadhi ya wanawake kuwasema na kuwacheka wanaume wenye “vibamia” hali kadhalika na wao huwa wanacheka na kusema wanawake wenye “Kuma” kubwa/pana wakidai kuwa hawafurahii kwa vile haibani na kupoteza ule msuguano ambao ndio chanzo cha raha na hatimae utamu. Natambua kuwa ni jambo linalotia aibu kama ilivyokua kwenye suala zima la ngono lakini hili ni tatizo ambalo linasumbua wanawake wengi. Hili tatizo mara nyingi hutokea au kujitokeza mara baada ya kuzaa watoto 2 na kuendelea. Hakuna sababu ya wewe kuona aibu ikiwa una tatizo hili hasa pale unapokwenda kumuona daktari wako kwani wanatambua kabisa nini huwa kinatokea baada ya kuzaa. Ukiwa mtu wa kufanya mazoezi au ulikuwa mtu kwa kufanya mazoezi kabla hujapata mtoto huwa rahisi kurudisha u-tight wa misuli ya uke wako kwa kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo pamoja na yale maalumu kabisa yanayoitwa Kegel. Zoezi hili limepewa jina la Kegel baada ya Dr.Arnold Kegel ambae ni “Obstetrician” alietambulisha zoezi hili kama sehemu ya kuwasaidia akina mama wajawazito kuboresha na kukaza misuli ya uke ambao huwasababishia kuvunjwa kwa mkono pale wanapocheka, kohoa, piga chafya n.k. mara baada ya kujifungua. Baada ya miaka michache imegundulika kuwa zoezi hilo lijulikanalo kama Kegel husaidia kurudisha “mnato” wa uke pia na wengi hufanikiwa kurudisha ule “u-tight” wa uke hali inayowafanya wajiamini wanapofanya mapenzi na vilevile kuwafanya wapenzi wao na wao wenyewe kufurahia kama ilivyokuwa awali (kabla ya kuzaa). Misuli inayofanyiwa zoezi hili ni ile iliyozunguuka uke, njia ya mkojo na sehemu ya haja kubwa(mkundu). Unajua unapokunya (toa haja kubwa) ile ngumu au hata ya kawaida huwa huliachii mpaka liwe reefu kama na mara nyingi unakata kimba hilo, ukilikata lile "javi " sehemu yako ya nyuma (mkundu) inakuwa kama vile ina "hema" au "inamwenyua-mwenyua" samba-mba na ile ya mbele....sasa unatakiwa kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo ukiwa mahali popote na sio wakati unakunya. Lakini kumbuka ku-hold na kuachia....sio unafanya haraka-haraka ili uwahi kumaliza. Hali hiyo ya mkundu na Kuma "kuhema" pia hujitokeza wakati ukisikilizia utamu wa kufanya mapenzi mara tu baada ya uume unapotolewa haraka ukeni pale unapofika.....hasa ikiwa Mpenzi anataka kumaliza lakini kwa nje. Vilevile unaweza ukalifanya zoezi hilo kila unapokwenda kukojoa, jaribu kuzuia mkojo usitoke kwa kutumia misuli yako ya uke kwa muda wa dakika fulani....kwamba uzuie kisha hesabu 1....2....3....4...5...6 kisha uachie na rudia tena mpaka mkojo wote uishe. Zoezi hili halifanywi na wenye uke mpana na wenye maji-maji mengu tu bali na mwanamke yeyote ili kuboresha maisha yake ya kingono na mpenzi wake. Ikiwa unafanya haya mazoezi mara kwa mara yatakusaidia kumpatia mpenzi wako kilele cha maana kwa kubana-vuta na kukamua uume wake kila unapo ingia deep inside na vile vile kunaendeleza mnato wako na ikiwa wewe ni kati ya wale wanawake wenye maji-maji mengi basi unaweza kutumia misuli yako hiyo kuubana uume na kumpatia utamu na raha mpenzi wako ambayo hajawahi kuipata toka umaji-maji ujitokeze. Nitajuaje kama nimepatia? Ni rahisi, ingiza kidole kisha fanya Kegel na utahisi kidole chako kikibanwa na kuachiwa. Fanya zoezi hili kila siku, mahali popote na utapata matokea(utaona mabadiliko) ndani ya miezi miwili hadi minne kwa wale wenye uke mpana. Ikiwa wewe uke wako uko sawa (sio mpana)na unafanya Kegel ili kuongeza raha ya kufanya mapenzi basi itakuchukua wiki moja. Hakikisha unafanya zoezi hili kila wakati unapofanya mapenzi na hakikisha anapokaribia mbane-mwachie na kamua "cream" yote. Pia Kegel inaweza ikafanywa kwa kulala chali, weka mikono huku nahuku kisha ipumzishe kwenye sakafu alafu kunja miguu yako sehemu ya magoti na vikanyagio viwe sambamba kwenye sakafu kisha inua kiwili-wili chako kwenda juu baki hapo juu (huku ukiwa umebana msuli ya uke kama vile unazuia mkojo usitoke) kwa muda kisha rudi chini na rudia tena kadiri uwezavyo.

Namna rahisi ya kung’arisha meno yako  Ni siku nyingine ya jumatatu siku yenye ubize mwingi na pilikapilika za hapa na pale. Binafsi jana jumapili na hata jumamosi sikufanya kabisa kazi yoyote na leo nikasema niamke mapema niweze kuwajibu wale waliokuwa wameniachia maswali na mambo mengine kwenye WhatsApp, kweli nimeamka saa kumi usiku nimekaa kwenye computer nikiwajibu watu hadi saa kumi jioni lakini bado sijaweza kuwamaliza! Basi nikaona isipite jumatatu bila kukuandikia lolote japo dogo. Leo nakuletea mbinu rahisi kabisa ya kung’arisha meno yako na yakaonekana meupe na yenye kupendeza. Namna rahisi ya kung’arisha meno yako Unahitaji vitu viwili, limau na baking soda au wengine huiita bicardonate of soda nayo ni ile wamama huitumia wanapopika maandazi au mikate, inapatikana maduka ya kawaida hata kwa mangi hapo nje ipo. Namna ya kuandaa: Chukua limau kubwa moja ikate katikati, chuja kupata maji maji yake (juisi) kisha changanya baking soda ya unga kijiko kidogo kimoja cha chai. Changanya vizuri mchanganyiko huo.Sukutua kinywa chako vizuri ukitumia mswaki na huo mchanganyiko ndiyo iwe dawa yako ya meno. Sukutua (piga mswaki) taratibu kama dakika 3 hadi 5 hivi na mwisho jisafishe kinywa na maji safi. Mhimu: Fanya zoezi hili nyakati za jioni au usiku unapokaribia kwenda kulala na ufanye mara moja tu kwa wiki na si zaidi ya hapo kwani unaweza kuharibu fizi zako kwa dawa hii usipokuwa makini. Ukifanya hivi mara 2 au 4 yaani mwezi mmoja utaona tayari meno yako yameanza kuwa meupe na yanayong’aa na kupendeza. Vyakula kadhaa vifuatavyo vinasaidia kung’arisha meno yako navyo ni pamoja na machungwa, stawrberry, mapeazi, maziwa na mtindi, maji ya kunywa, jibini (cheese), broccoli, celery, karoti, tufaa (apple), kitunguu maji, mbegu mbegu (kama korosho, karanga, almonds) nk . Vyakula au vitu vinavyoharibu rangi ya meno ni pamoja na uvutaji tumbaku/sigara, chokoleti, chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi na vinywaji vingine baridi vyenye kaffeina. Nakutakia kazi njema sana …
NIKIFANYA MAPENZI NACHUBUKA NA KUTOKWA NA DAMU NYINGI KAMA HEDHI  Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Ninatatizo ambalo nimeshindwa kupata tiba yake hata bada ya kwenda kumuona Daktari. Mimi na mpenzi wangu tumekuwa pamoja kwa muda wa miaka miwili. Mwanzo tulikuwa tukitumia Condom tunapofanya mapenzi lakini mimi nilikuwa napatwa na maumivu makali sana na wakati mwingine kutokwa na damu kama vile niko kwenye siku zangu za Hedhi. Baada ya muda nikaja kugundua kuwa nilikuwa nachanika kidogo kidogo ukeni, basi tukakubaliana kuacha kutumia Condoms. Pamoja na kuacha kutumia Condom bado hali hiyo iliendelea kila ninapofanya mapenzi na Boyfriend wangu. Nilipokwenda kwa Daktari, nilishauriwa niwe nabana sehemu zangu za siri kama vile navuta pumzi, nikajaribu kufuata ushauri huo lakini wapi! Sasa nimeanza kupatwa na mawazo je kuchanika huku chini kunaweza kunisababishia Cancer, labda sitoweza kushika mimba na kuendelea kuchanika zaidi na zaidi. Naomba ushauri wenu. USHAURI 1.Inawezekana mwanamume wako hauju kula, anatumia mwili wako kupiga punyeto(MASTABATORY SEX)!!! Jaribu kuongea naye ajifunze kula kutokana na mahitaji ya mwili wako! 2. Yawezekana hupati maandalizi ya kutosha na kusababisha uke wako kuwa mkavu, kiasi kwamba mume wako au mpenzi wako huyo anapofanya mapenzi na wewe anatumia nguvu nyingi kuingiza uume na kusabisha michubuko, na damu kutoka, 3.Jaribu kuhakikisha kuwa unakuwa katika mudi ya kufanya ngono ili uke uwe na maji maji ya kutosha ikishindakana jaribu kutumumia vilainishi ya uke then jaribu uone kama utatokwa damu 4.Pia yawezekana cervix yako iko jirani kiasi kwamba mumeo anapofanya mapenzi na wewe anaigusa na kusababisha damu kuvuja na machubuko kwenye cervix. Nenda kwa daktari bingwa wa magojwa ya wanawake na sio alie kushauri uwe unabana uke huyo si dhani kama ana elimu husika katika suala hilo.
KILA NIKIFANYA NAE MAPENZI- NAPATA MAUMIVU MAKALI SANA  Dada violet, pole na kazi, nahitji msaada wako kama utaweza kunisaidia nitakushukuru sana, pia kama inawezekana weka kwenye blog yako (ila usinitaje jina) ili niweze kupata ushauri zaidi, Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22, niko Zanzibar, tangu niwe mwali hadi leo nimekutana na wanaume wawili, mmoja aliniacha, kwa sababu ambazo hata sizielewi Mpaka leo hii na alinitamkia kabisa sina sababu ila tu sikutaki tena, iliniuma sana nilitamani hata kujiua, ukizingatia niliweka nadhiri kuwa atakaenibikiri ndie atakaenioa, lakini akawa ameshapotosha ndoto zangu, Baada ya muda nikiwa chuo, nilipata boyfriend mwingine, ambae niko nae hadi sasa, cha ajabu kila ninapokutana nae, tukimaliza tu! Huwa naumwa sana hadi nameza dawa, yani akishaniambia kesho tutafanya mimi nitalala nawaza usiku kucha, Napata maumivu makali sana huku chini na maeneo ya kwenye kinena panauma sana, huwa naumia hata saa zima na jasho linanitoka kabisa Huyu boyfriend wangu hadi anaogopa kunigusa, sasa nawasiwasi asije akashawishika kuwa na mwanamke mwingine, nampenda sana, na hata kwetu wameshamjua bado kuja rasmi tu!, Aliwahi kunichukuwa kunipeleka hospitali moja huku huku Zanzibar, dada violet nilipimwa kila kitu, lakini hakukuwa na tatizo, hata daktari alishangaa, yani alichukuwa vipimo vyote, lakini hakukuwa na tatizo, siku ingine tena tulisafiri nae kwenda Kigoma, tulipofika tulilala pamoja hotelini, alivyonifanya tu! Sikulala hadi kunakucha, kiuno kinauma hadi miguu, asubuhi alinipeleka hospitali kule kule kigoma, napo wakaniambia kuwa sina shida Tukakaa kama wiki mbili baada ya kutoka hsptl tukafanya tena, maumivu pale pale, nikaenda hospitali ingine tena kwa mara ya tatu, napo wakasema kuwa mimi sina tatizo lolote, wakampima hata na boyfriend wangu wakasema pia hana tatizo, Hadi sasa sijielewi, maana nakosa kitendo cha muhumu kuliko vyote, naumia sana na hasa wasi wasi wangu ni kwamba huyu boyfriend wangu atanikimbia, Napata taabu sana naombeni mnisaidie nifanye nini? nawaza labda tatizo linaweza kuwa kwangu ndio maana hata mwanaume wa kwanza alinikimbia bila sababu

NENO (NAUMIA) WAKATI WA TENDO LA NDOA LANITATIZA  Kwakifupi nihivi:- Kila tufanyapo tendo la ndoa, mwenzangu hutoa kilio pasipo machozi, huku ameikunja sura yake na wakatihuo hutamka neno naumia. Hiikiti imekua inanipa wakati mgumu na kunifanya nimuonee huruma mpenziwangu na kumuuliza, nitoke? chakushangazi yeye hukataa na kuonyesha kufurahia tendo. Maswali:- Je, hulia kwa kupata maumivu? Je, hulia kwa kuhisi raha? Je, nawengine wanaliaga kama wangu? Je, hutoa kilio kwa mbwembwe tu? Naombeni ushauri wenu wakuu

ZIFAHAMU STYLES 6 ZA KIUFUNDI ZA KUFAIDI MAPENZI KATIKA TENDO LA NDOA, JIFUNZE HIZI UONE FAIDA ZAKE IKIWEMO KUMDHIBITI MWANAUME ASITOKE NJE YA NDOA LAKINI UTACHANA NA STYLES ILE YA KIFO CHA MENDE KUTOKANA UHONDO WAKE !!!.  TUKUMBUSHANE: JIFUNZE SEX STYLES ZA KUPEANA RAHA NA UTAMU ZAIDI NA MKE WAKO AMA MUMEO KUPORESHA PENZI. G-WHIZ G-WHIZ Jinsi Ya Kujipanga. Mwanamke alale chali(uso,matiti na kila kitu viangalie juu),kisha Mwanaume apige magoti mbele yake,baada ya hapo,mwanamke aweke miguu yake kwenye mabega ya mwanaume(kama inavyoonekana kwenye picha),unaweza kuweka mto(pillow) chini ya makalio ya mwanamke awe more comfortable and relaxed. Faida za Hii Style Mwanamke akiweka miguu juu ya mabega ya mwanaume wakati wa kupeana Raha na Utamu,kuna faida mbili mtaenjoy,ya Kwanza, mashine ya mwanamme na uke wa mwanamke zote zinakuwa katika level sawa,hii inasaidia mashine ya mwanaume kuisugua vizuri G-spot,na Pili Uke wa mwanamke unajibana kidogo,ikijibana inaongezeka kuwa tight,na kufanya starehe ya tendo kuzidi Maujanja Zaidi. Mwanaume inabidi ashikilie makalio ya mwanamke,akipump kuelekea juu ili aweze kuilenga vizuri G-spot G-Whiz How? You lie back with your legs resting on each of his shoulders. Benefit. When you raise your legs, it narrows the vagina and helps target your G-spot. Bonus Ask him to start rocking you in a side-to-side or up-and-down motion. That should bring his penis into direct contact with your G-spot. FACE-OFF FACE-OFF Jinsi Ya Kujipanga. Mwanaume akae juu ya kiti au pembeni ya kitanda(kama inavyoonekana hapo kwenye picha juu),mwanamke aje akae juu yake(kama inavyoonyesha kwenye picha hapo juu). Faida Za Hii Style Mwanamke anakuwa ana uwezo wa kucontrol kila kitu, spidi itakayotumika na mashine iingie ndani ya uke kiasi gani na pia ni style nzuri kwa wale ambao wanapenda kupeana Raha na Utamu kwa Spidi kubwa, mwanamke hawezi kuchoka haraka kwa kuwa anapata balance na support ya kutosha. Maujanja Zaidi. haina ulazima wala haja ya kuongea sana,vidole na mikono yako ndo vinatakiwa viwe busy kutomasa,kupapasa na kushikashika sehemu zote zitakazoongeza Raha na Utamu katika tendo. FACE-OFF How ?. He sits on a chair or the edge of the bed; you face him, seated on his lap. Benefit You’re in control of the angle and depth of the entry and thrust. Being seated provides support, so it’s great for marathon sex. Bonus Let your fingers (and hands) to the talking. Once seated, you can put your hands anywhere on your body or his to make things more interesting. COWGIRL Jinsi Ya Kujipanga Mwanamke apige magoti juu ya mwanaume usawa wa mashine ya mwanaume(kama inavyoonyesha kwenye picha),then aikalie taratibu,anaweza kupata balance either kwa kuegemea na kuweka mikono yake juu ya kifua cha mwanaume au juu ya magoti ya mwanaume. Kisha aanze kwenda juu na chini,itafika muda atachoka,badala ya kubadili style au kutulia kidogo kwa sekunde kadhaa(apate nguvu ya kuendelea),inashauriwa utumie muda huo wa kupumzika kidogo(may b sekunde 10 au 15) kwa kumshika shika na kumtomasa mwanaume kifuani, zungusha kiuno taratibu huku ukiongea maneno ya kimahaba sana, endeleeni kufanya hivi mpaka wote mfike kileleni (orgasm), au mkitosheka mnaweza kubadili style. Faida Za Hii Style. Ni style ambayo Mwanamke anakuwa anacontrol kila kitu,yeye ndo anajua ajiweke kwenye angle ipi ili mashine iweze kusugua sehemu zipi ndani ya uke wake ili aweze kufika kileleni kwa urahisi zaidi,ni style ya pekee ambayo inawafanya wanawake wengi wafike kileleni(orgasm) bila matatizo. Maujanja Ya Ziada. Raha na Utamu wa hii style utaongezeka zaidi kama mikono ya mwanaume ikiwa busy ikishikashika,ikitomasa na kupapasa makalio,hips,kiuno na sehemu yeyote ambayo anaweza kuifikia kiurahisi. How ?. Similar to the popular Cowgirl position, you kneel on top of him, pushing off his chest and sliding up and down his thighs. But he helps by supporting some of your weight and grabbing your hips or thighs while he rises to meet each thrust. Benefit Less stress on your legs, making climaxing easier. Plus, female-dominant positions delay his climax, so everyone wins. Bonus Alternate between shallow and deep thrusting to stimulate different parts of the vagina. LEAP FROG Jinsi Ya Kujipanga Hii ni Doggy-style iliyoboreshwa,mwanamke akiwa kitandani,ainame halafu hips na makalio yake ainue juu huku mikono na kichwa chake avilaze juu ya mto(kama inavyoonekana kwenye Picha hapo juu),kuna haja jamani ya kusema mwanaume akae wapi? hehehe. Faida Ya Hii Style Hii style inatengeneza mazingira ya kuruhusu mashine ya mwanaume iweze kuingia ndani zaidi kadri apendavyo,na mwanamke anapata nafasi ya kupumzisha kichwa chake juu ya mto(kidogo anarelax huku akienjoy raha na utamu). Maujanja Ya Ziada Ili kuongeza Raha na Utamu zaidi, mwanamke atumie mkono wake kujisugua (clitoris). How ?. This is a modified doggy-style. Get on your hands and knees, then, keeping hips raised, rest your head and arms on the bed. Benefit Creates deeper penetration—and gives you a chance to rest on a pillow. Bonus . Use your hands to stimulate your clitoris. BALLET DANCER Jinsi Ya Kujipanga Mwanamke na Mwanaume wote wasimame,kisha Mwanamke ainue mguu wake wa kulia auweke kwenye kiuno cha mwanaume,mwanaume aushikilie mguu wa mwanamke aliouinua ili kumpa balance. Faida Za Hii Style Hii Style inaruhusu na inawapa nafasi ya kuangaliana uso kwa uso huku mkipeana Raha na Utamu kitu ambacho kinasaidia sana kuwaunganisha kihisia na kimwili pia Maujanja ya Ziada Kama mwanamke yupo flexible anaweza kuuweka mguu begani badala ya kiunoni kwa ajili ya kuipa nafasi mashine iingie ndani zaid. How ?. Standing on one foot, face your guy and wrap your other leg around his waist while he helps support you. Benefit Allows for quality face time and connecting. Bonus If you’re a Flexi Lexie, try putting the raised leg on his shoulder for even deeper penetration. FLATIRON Jinsi Ya Kujipanga Mwanamke alale kitandani uso ukiangalia chini makalio yaangalie juu, asisahau kubinua nyonga/makalio juu kidogo(kama mvivu kidogo aweke mto(pillow) chini ya kinena),kujibinua kwake kutaongeza raha na utamu zaidi Faida Za Hii Style Mwanamke anapata nafasi ya kuenjoy Raha na Utamu akiwa amerelax,na kwakuwa miili inakuwa imebanana sana,mashine ya mwanaume itaonekana kubwa kidogo Maujanja Ya Ziada Mwanaume awe anapump taratibu kwa juu sio lazima sana aingie deep,akumbuke kuhema vizuri asije akachoka haraka FLATIRON How ?. You lie face down on the bed, legs straight, hips slightly raised. Benefit This position creates a snug fit. Your guy’s stuff will seem even larger.

Mzunguko Wa Hedhi  Mwnamke yeyote mwenye afya mwilini na aliye na umri wa miaka kumi na miwili kuendelea, huwa na nyakati ambapo hutokwa na damu sehemu za unzazi, hali ambayo hujukana kama hedhi. Hali hii ni ya kawaida na huonyesha ya kuwa youle mwanamke ni amefikia kiwango cha kutunga mimba. Hali ya maisha ya siku hizi imebadilisha umri wa kuanzia kutokwa na hedhi ikawa hata watoto wa umri wa miaka tisa wanajipata wakati mwingine wakiwa na hali hii. Mzunguko huu wa hedhi huendelea ukirudiwa kila baada ya siku kama ishirini na nane isipokuwa wakati wa uja uzito na miezi kadhaa baada ya kujifungua. Wakati mwingine wa kutopata hedhi ni mwanamke anapokoma uzazi kwa sababu ya umri, hali ambayo huanzi aumri wa miaka 45 na kuendelea hadi 49 au 50. Hedhi au kutokwa na damu, huwa ni hali ya nyumba ya uzazi inapoachia yai amabalo limefikia wakati wa kurutubishwa kwa mbegu yakiume lakini halijapata. Yai hilo hutoka nje likianadamana na ngozi ya ndani ya nyumba ya uzazi amabayo huwa imeandaliwa kwa ajili ya kufunga mimba. Ngozi ile hutoka ikiwa kama damu, na kuacha nyumba ya uzazi ikiwa tayari tena kwa mbegu nyingine. Hedhi ni kipindi maalumu katika mzunguko wa mwanamke mwenye umri wa kuzaa. Wakati huu kwa kawaida unarudi kila baada ya mwezimmoja hivi, yeye hutokwa na damu kwenye sehemu ya uke. Wasichana wengi hupata siku zao za kwanza kati ya umri wa miaka kumi na moja na kumi na nne. Lakini baadhi ya wasichana wanaweza kuanza mapema wakiwa na umri wa miaka nane na wengine wakachelewa hadi miaka kumi na saba. Msichana anapopata hedhi ina maana kuwa mwili wa mwanamke unakuwa umepevuka na ni maandalizi kwa ajili ya baadaye kupata mtoto. Wakati wa hedhi, mifuko ya tumbo la uzazi (mji wa mimba) hutumika kumwaga damu kwa njia ya uke. Kutokwa na damu kwa kawaida huchukua muda wa siku nne hadi saba (lakini inaweza kujichukua muda mrefu kidogo zaidi ya hapo ) na kwa kawaida hutokea kila mwezi. Wakati binti anapokuwa kwenye siku zake anapaswa kujisafisha mara kwa mara. Anaweza kutumia vitambaa safi kwa ajili ya kuzuia damu. Jinsi ya kuhesabu mizunguko tofauti Mzunguko wa siku kumi na sita Huu si mzunguko wa kawaida ila kuna wanawake ambao hua na aina hii ya mzunguko. Kama umemeanza kutoa damu leo tarehe 12 / 7/2016 chukua daftari na uandike alafu uhesabu kuanzia hapo mpaka utakapo fika tarehe kumi na sita na ujua siku ya kumi na sita itaangukia tarehe ngapi? utakuja kuona siku ya kumi na sita itakua tarehe 27/7/2016 hivyo hedhi yako inafaa kuanza 28/7/2016. Hivyo utaanza kuhesabu kutoka tarehe 28/7/2016 mpaka kumi na sita na utakuja kungundua kuwa siku ya kumi na sita itakuwa ni tarehe 12/8/2016. hivyo inatakiwa uanze hedhi tarehe 13/8/2016. Kila mwezi unafaa kuendelea kuhesabu hivyo. Wanawake wanaopatwa na hedhi siku kumi na nane kurudi chini huwa wana matatizo hivyo wanatakiwa waende kumuona daktari kwani kitaalamu sio sahihi. Mzunguko wa siku ishirini na nane Kama umeanza hedhi tarehe kumi na mbili mwezi wa saba unafaa kuhesabu kuanzia siku hio. Ili kujua siku utakayo pata hedhi unaeza ongeza siku ishirini na nane. Hivyo basi utapatwa na hedhi tena tarehe nane mwezi wa nane. Ikifika siku ya nane yai huwa liko yatari na huanza kushuka. Kipindi hiki msichana hutokwa na ute mzito wa kunata ambao huwa ni dawa kwa ajili ya kulinda na kutengeneza mji wa mimba kuwa tayari kupokea mbegu za kiume kwa ajili ya urutubisho. Hivyo mbegu za mwanaume huweza kusafiri kwa urahisi zaidi katika maji maji haya. Mzunguko wa siku thelathini Kama umeanza hedhi tarehe kumi na mbili mwezi wa saba. Unafaa kuhesabu siku thelathini ili kujua utakayoipata tena. Ukifanya hivyo utaona kuwa siku utakayopata hedhi ni ya nane tarehe kumi na mbili nmwezi wanane lakini utaanza kuhesabu tena tarehe kumi na moja. Siku za hatari Ikiwa mwanmke anataka kutofunga mimba au youko katika hali ya kupanga uzazi anapawa kuwa mwangalifu kuhakikisha ya kwamba hashiriki ngono mara baaddha ya mwezi wake kuanza na pia pale mwhishoni. Nyakati hizo huwa hatari maana kuna uwezekano zaidi wa kuwa na mbegu za unzazi zilizoko tayari kwa kutunga mimba. Njia mwafaka ni kuwa na nukuu ya matukio katika mzunguko wa hedhi ili kubaini nyakati barabara. Watu wa mzunguko wa siku ishirini na nane wanafaa kuchukua ishirini na nane watoe kumi na nne hivi basi watapata kumi na nne kumaanisha kuwa siku yao ya hatari ni ya kumi na nne. Kwa kua mbegu ya kiume inaweza kuishi mpaka siku tano na yai la kike linaweza kuishi mpaka masaa ishirini na nne ndani ya mfuko wa uzazi basi siku nne kabla na siku moja baada ya siku ya kumi na nne ni hatari. Mwanamke wa mzunguko wa siku thelathini anafaa kuondoa kumi na nne kutoka kwa thelathini ili apate kumi na sita. Hivi basi siku ya kumi na mbili, kumi na tatu , kumi na nne, kumi na tano, kumi na sita na kumi na sita ni hatari kwani anaweza kupata mimba haraka. Dalili kuwa uko katika siku hatari ni kuongezeka kwa joto , tumbo kuuma , na ute unaotoka sehemu za siri kuwa mzito kushinda siku za kawaida, ute hua huwa na rangi kwa mbali kama vile kutu, matiti ya upande wa kulia chini ya tumbo huuma kwa mbali. Kugeuka kwa mzunguko wa hedhi Wakati mwingine mzunguko wa hedhi hubadilika. Sababu zinazofanya mzunguko wa hedhi wa mwanamke ubadilike ni kama zifuatazo: Kubadili njia ya Mpango wa uzaziUjauzito au kunyonyeshaMatatizo ya mazoezi mazitoOvari kuacha kufanya kazi mapemaMatatizo ya tezi ya thyroid – Uvimbe katika nyumba ya uzazi husababisha damu kutoka kwa wingi wakati wa hedhi na kutokwa damu katikati ya hedhi.Kubadili chakula unachokula au kupungua kwa mwili.
MAPENZI YA FACEBOOK. *🅱 professional love* Phidelis anasimulia; Nakumbuka nilifahamiana naye kupitia Facebook, alikuwa ni rafiki yangu, nilipenda sana kulike pamoja na kukomenti picha zake. Alikuwa ni msichana mrembo sana, alijaaliwa kila sifa zinazoweza kumshawishi mwanaume yoyote rijali atamani kuwa naye. Alikuwa akijulikana kwa jina la Cleopatra Mushi ila kwa facebook alikuwa akitumia jina la Precious Girl, sijui kwanini aliamua kutumia jina hili ila pengine ni kutoka na uzuri aliyokuwa nao. Alikuwa akipenda sana maisha ya starehe, picha zake alizokuwa akipost katika akaunti yake ziliweza kuakisi maisha halisi ambayo alikuwa akipendelea kuishi. Alionekana kuwa msichana wa maisha ya kitajiri sana. Nilitamani sana kuwa naye kimapenzi ila sikuwa na maisha kama aliyokuwa nayo hivyo niliona sikustahili kufanya hivyo, niliogopa kumwambia. Picha zake alizokuwa akizipost akiwa na mwanaume zilizidi kuniweka katika wakati wa maumivu sana, nilikuwa nikiumia kwasababu nilikuwa nikimpenda sana. Nilitamani siku moja afahamu ni kwa jinsi gani nilivyokuwa nikimpenda lakini muda haukuweza kuruhusu hilo. “Nampenda sana huyu demu ila tatizo ana mtu wake,” niliamua kumueleza ukweli rafiki yangu Juma juu ya Cleopatra alivyokuwa ameniteka akili yangu. “Sasaunachoogopa hapo ni nini?” aliniuliza Juma huku akionekana kutojali lolote. “Tatizo ana mtu wake.” “Mbona mimi sioni tatizo hapo kama unampenda mwambie ukweli halafu akikataa basi unakula kona,” aliniambia Juma. Kwa kweli kila nilipokuwa nikizitazama picha za Cleopatra zilizidi kuniweka katika wakati mgumu, nilikuwa nikimpenda sana. Nilitamani afahamu ukweli wa moyo wangu. Ulikuwa ukimpenda japo mpaka kufikia wakati ule sikuwa nafahamu historia ya maisha yake. “Umependeza mdada,” niliamua kukomenti picha yake moja aliyokuwa ameipost muda mfupi. Alikuwa amevalia sketi fupi iliyoyaacha vyema mapaja yake wazi yaliyoonekana kunona huku juu akiwa amevaa kishati kilichokuwa kimembana kisawasawa, kilimkaa vyema na kuzidi kuonekana msichana wa kisasa. Alipendeza sana tena na kwa weupe aliyokuwa amejaaliwa ndiyo kwanza alizidi kunoga. “Asante mkaka,” alinijibu kitendo ambacho kilinishangaza sana, sikutegemea kama angeweza kunijibu kwa wakati ule. Ngoja nikuambie kitu ndugu yangu, nilikuwa nikipenda sana kulike na kukomenti picha zake, nilikuwa nikijaribu kujiweka karibu naye ili japo niweze kupata nafasi ya kuzungumza naye lakini mara zote alikuwa ni mtu wa kunitolea nje, hakuwa akinijibu lolote. Siku ile nilipoamua kukomenti picha yake na yeye kunijibu hakika nilikiona kuwa nikitendo cha kipekee. Niliitazama kwa muda wa dakika tatu lile jibu lake huku nikitabasamu. Nilikuwa nahisi furaha isiyokuwa na kifani. Sikutaka kupoteza muda nikaamua kumfuata inbox. “Mambo mrembo,” nilimtumia ujumbe mfupi lakini alikuwa kimya hakuweza kunijibu lolote. Sikukata tamaa, niliamua kumtumia tena ujumbe mwingine lakini hakuweza kujibu kitu. Tukio hili lilizidi kuniumiza sana, alikuwa akionekana kuwa online lakini hakuwa akizijibu meseji zangu jambo ambalo lilizidi kunifanya nianze kumuona alikuwa akijisikia. Kila nilipokuwa nikiziona picha zake pamoja na mwanaume aliyekuwa akimpost katika akaunti yake nilikuwa nikijisikia vibaya sana, kuna kipindi sikutaka kabisa kumuona Cleopatra katika macho yangu. Niliamua kutoka facebook na kufanya mambo mengine lakini ajabu haikupita siku nilijikuta nikitamani kumuona msichana huyo hivyo niliingia facebook na kumuangalia. Nilijikuta nikifurahi mara baada ya kumuona. Alikuwa akivutia sana machoni mwangu. “With my baby!” haya yalikuwa ni moja kati ya maelezo yaliyoambatana na picha aliyokuwa amepiga yeye pamoja na mwanaume mmoja aliyekuwa na asili ya kiarabu. Walikuwa wakionekana kuwa wenye furaha sana. Nilizidi kuumia sana kila nilipokuwa nikimuona mwanaume huyo, nilimchukia sana katika maisha yangu japo sikuwahi kuonana naye. Sikuchoka kumtumia ujumbe mfupi kila nilipopata nafasi niliamua kumtumia huku nikiamini kuna siku angeweza kunijibu jambo ambalo lingeweza kuufurahisha moyo wangu. Baada ya kupita siku kadhaa aliweza kunijibu. “Poa Phidelis, mzima wewe? Samahani nilikuwa bize ndiyo maana ukaona kimya.” “Usijali, mimi niko salama kabisa sijui wewe mrembo.” “I’m oky.” “Nafurahi kusikia hivyo mrembo.” “K,” alinijibu kwa kifupi kwa kuandika herufi “K” akimaanisha neno Ok. Kwa kweli nilijisikia vibaya sana, niliona kama alikuwa amenidharau. Nilijaribu kumtumia ujumbe mwingine lakini hakuweza kunijibu lolote japo nilimuona kuwa online. Hilo lilizidi kuniumiza sana moyoni mwangu. Je, nini kitaendelea? Tukutane Kesho mahali hapa hapa.
RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA NNE. “Wewe ndiyo unaejifanya mzuuuuri kuliko wote hapa shuleni kiasi cha kuchukua wanaume za watu unajiamini nini na kwa uzuri gani unanitafta nini wewe kidudu mtu, eeenh” aliongea Candy kwa hasira zenye mchanganyiko wa jazba, nilishindwa kumwelewa nilibaki nimetoa macho huku nimeachama mdomo. “Candy sielewi unaongea nini?” nilisema. “Uelewi naongea nini?” Candy aliongea huku amenibania pua. “Mpumbavu sana we msichana umefika hapa shuleni unaanza kujiona wewe ni mzuri umeshazoea shule kiasi unaingia anga za watu nataka nikwambia kwamba hapa umekalia kuti kavu.” “Candy unanichanganya sijui unaongea kuhusu nini mbona sikuelewi kwani nimekufanya nini mimi?” “hujui ee hujui unajifanya hujui” alidakia Naima. “Usione tumekunyamazia kimya tunakuogopa tunakuchora tu maana umekuja hapa unataka kujifanya wewe staaa eee” walizidi kunichanganya nilishindwa kuwaelewa. “Candy kama hutaki kunielezea ni nini kimetokea mimi sikuelewi na siwezi kuendelea kukusikiliza nina mambo mengi ya kufaya nielezee tatizo ni lipi ili mi nijue tatizo likowapo sasa unaniambia tu unaniongeleshaongelesha mi vitu sivielewi nashindwa kukuelewa” niliongea kwa kupaniki, “unashindwa kunielewa?” Alichukua leso ambayo ilikuwa katika madaftari yangu pale juu. “hii leso umeipata wapi unajua imetoka wapi hii wewe eee?” haaa! Nilishangaa. “Hiyo leso hata sijui kwangu imefikaje” niliongea huku nikionesha kutojiamini “hiyo leso hata sijui kwangu imefikaje” Aliongea huku amebana pua zake, nilibaki tu nimeshangaa. “sikia nikwambie kaa mbali na wanaume za watu” nilijiuliza maswali yaliyokosa majibu, maloya ameweka wapi leso yake kwenye madaftari yangu na ni lini?, nikabaki najiuliza. Waliendelea kunipasha na kunipashua. Sikutamani kuendelea kuwasikiliza, nilijawa na mawazo mengi sana, waliongea, walinisema na matusi makali ya nguoni walinitukana waliporidhika walicheka kwa dharau na kisha wakatoka. Nilipanda kitandani kwangu nikiwa mnyonge na mwenye mawazo mengi, nililia sana, nililia mno nimekosa nini mimi, toka nimefika hapa shuleni sina hata miezi miwili tayari nimeshaanza kukutana na mambo ya ajabu kama haya nitaweza kweli, Maloya kwanini umenisababishia matatizo hivi uliweka vipi leso yako katika madaftari yangu ona sasa jinsi nilivyotukanwa, mungu nisaidie, nililia kwa uchungu. Nililia hadi nilipopitiwa na usingizi nilikuja kuamka tayari ilishakuwa jioni, nilihisi njaa lakini sikuwa na hamu ya kula kabisa. Nilioga na kisha nikatoka kwenda darasani sikutamani hata kuhudhuria kwenye kipindi cha dini cha siku hiyo nilikuwa na mawazo mengi sana, nilipoingia darasani nilishindwa kujisomea, nilikuwa mnyonge sana niliendelea kuwaza na kuwazua pasipo majibu. “Cathe” Martin aliniita niligeuka na kunitazama kisha nikaendelea nikarudisha macho yangu chini alivuta kiti na kukaa pembeni yangu, “Cathe unaonekana mnyonge sana leo, unaumwa?” aliniuliza kwa upole “hapana siumwi niko salama” niliongea kana kwamba nimelazimishwa, “unaonekana hauko sawa any way kama huoni umuhimu wa kuniambia sawa.” Niliinama pasipo kumjibu lolote “Cathe nataka nikwambie kitu” aliongea. “Nilipofika hapa shuleni nilikuwa nikisumbuliwa sana na wasichana, wengi walikuwa wakinitaka kimapenzi lakini nilikataa kwa vile sikutaka kuwa nao yote kwa yote nilishindwa kwa mtu mmoja tu sio kwa sababu ya kwamba yeye ni mzuri au kwa sababu alikuwa na kila kitu ambacho nilikuwa na kihitaji au kwasababu alikuwa na pesa ila kwasababu alitumia nguvu kuniforce. Muda mchache wa mapenzi yetu nilijikuta nampenda sana aliongea kwa hisia kali zenye kugusa moyo niligeuza macho yangu na kumtazama “eeeehe” nilimwambia huku nikionesha utayari wa kuendelea kumsikiliza. “Alitumia nguvu sana kuniforce sikuwa na jinsi kwa maana alitumia hadi vitisho kwa vile mimi nayeye hatutokei mkoa mmoja niliona atakuwa akinisumbua sijui ni nini kilinifanya najikuta nampenda hivi, vituko vyake vilinichosha. Maisha yaliendelea lakini alikuwa akionekana akibadilika sana kitabia nilichoka kumvumilia,, nikampa uhuru afanye kile anachokitaka, niliendelea na maisha yangu. Siku akinimisi alikuwa akija kwa mbwembwe nyingi, vizawadi na ahadi kemukemu, alikuwa anajishaua mbele yangu, nilikuwa nikimwonesha ushirikiano kwasababu yeye ni mtoto wa kigogo mkubwa sana baba yake ndiye anamiliki hii shule alikuwa akinitishia kunifukuzisha shule mara kwa mara wazazi wangu walikuwa wakinihusia sana kuhusu kusoma, kwasababu wanatoa hela nyingi sana kunilipia ada hapa shuleni hivyo walikuwa hawapendi nifanye ujinga hapa shuleni nilitii amri, kiukweli taarifa yako imeniumiza sana sitaki kuamini kwamba candy wangu alikuwa anatembea na maloya kiasi cha kubeba mimba” Nilishituka, nikajikuta nimetoa macho, nilishtuka pasipo na kifani. Nilishituka pasipo kawaida pasipo na kifani, “Martin unaongea nini?” nilimuliza kwa sauti darasa zima waligeuka na kutuangalia “aaanh sorry class mnaweza mkaendelea kusoma” niliongea kwa woga Martin alitikisa kichwa pasi na hakuniangalia “ndivyo ilivyokuwa Cathe” nilishusha pumzi za uwoga, “inamaana wewe ndiyo uliweka leso yako kwenye madaftari yangu” aligeuka kwa haraka na kuniangalia “sijaiyona leso yangu leo nina siku ya pili, ni leso ambayo alinipatia candy” “ooh my god kumbe” nilionge “nimetukanwa sana na Candy kisa hiyo leso nilijua ni leso toka kwa Maloya sikujua kama una mahusiano na Candy samahani kwa kukuletea taarifa mbaya” niliongea nilinyanyuka na kusimama, alinivuta mkono, “martin sikuwahi kujua kama uhusiano wangu na wewe utaleta shida nimekuja hapa kwa ajili ya kusoma sio vitu vingine tazama nimeanza kugombana na watu kisa ni wewe endelea na candy wako na mimi niache nisome” nilisema kwa hasira lakini kwa upole wa ajabu chozi likinitoka. “Candy yupi sasa?” ailiniuliza kwa kutojiamini, “Candy mwenye ujauzito wa mwalimu na bado unasema Candy wangu” nilishindwa kuongea nilimwonea huruma sana “pole kwa kilichokukuta Cathe” “asante” nilisema kwa upole “yaliyotokea yamesha tokea la muhimu ni kujua nini kinachofuata nashukuru mungu sihusiki na ujauzito wa Candy” aliongea lakini kwa sauti iliyoonesha kukata tamaa, “martin kuna tatizo zaidi ya hili?” “ndio tatizo lipo….., nilijua ni kwa nini Candy alinitakaa mimi na hakupenda uhusiano wetu uwe wazi” “kwa nini?” niliuliza “anataka kunitumia mimi kama chambo endapo tatizo litakuwa kubwa” “unamaanisha nini?” “ninamaanisha huo ujauzito utakapogundulika Candy atanitaja mimi na sio Maloya” “huuu” nilishusha pumzi ndefu “pole Martin” “sijapoa na sitapoa mbele yangu naona giza kubwa sana.” Nilijutia kiherehere changu cha kwenda kumwambia Martin kuhusu Candy. nilishindwa nimwambie nini mtoto wa watu aliyekuwa mbele yangu amekata tamaa. “Martin nitakuwa bega kwa bega na wewe nitahakikisha kwamba hakuna kitu kibaya kinatokea kwako, nitakupigania kadri ya uwezo wangu naomba usikate tamaa wala usijifikirie vibaya kuhusu Candy nitasimama upande wako” niliongea kwa kujiamini zaidi, aliniangalia, akaachia tabasamu la uchungu “aaahh sawa” alisema. “ok” “tuendelee kusoma” nilisema. “sina mood wa kusoma kabisa” alisema, “mimi pia” “basi tupige story nyingine.” Tuliendelea kupiga story nyingine mpaka mda wa prepo ulipoisha aliomba kwenda kupumzika na mimi nilielekea chumbani kwajili ya kupumzika. Kila siku ugumu ulizidi, nilikuwa nikitukanwa kila sehemi niliyokuwa napita na marafiki zake Candy nilichekwa bila sababu, huku nikiendelea kupata adhabu. Siku moja niliitwa na mwalimu Maloya ofisini kwake niliogopa hata kwenda ingawa na jinsi, nilipofika alinikaribisha kwa tabasamu pana lililofanya uzuri wake uzidi kuonekana zaidi. “karibu Cathe, karibu ukae.” Nilikaa kwenye kiti. “Cathe unajua wewe ni msichana mzuri sana sijaona msichana mzuri kama wewe hapa shuleni, naomba unisaidie kitu kimoja” aliongea, nilishikwa na bumbuwazi lisilo na kifani. “nikusaidie nini tena mwalimu, mimi nina uwezo wa kukusaidia kitu gani?” “aaaaa usiwe na haraka Cathe nisikilize kwa umakini” aliongea. Alisimama kutoka kwenye kiti chake akazunguka meza iliyokuwa katikati yetu hadi alipofikia kwenye kiti ambacho nilikuwa nimeketi akanishika begani, “Cathe nakuhitaji” alisema “aaaaaa hapana mwalimu” niliongea nikiutoa mkono wake. “sitaki”, “Cathe embu nionee huruma mwenzio nakuhitaji sana” Alinichefua nilitamani kumwambia kuhusu yeye na Candy lakini nilisita nikaamua kunyamaza kimya. “hapana mwalimu ninakuheshimu sana naomba heshima hii iendelee kati yangu mimi na wewe, siwezi naomba uniache ” niliongea kwa kujiamni na kisha kutoka nje. Nikarejea bwenini, sikuweza kuendelea na vipindi vya siku hiyo, nikajifungia mlango nikaanza kulia. Nikajuta kujua kwangu mahusiano kati ya Candy na Martin na kati Candy na Maloya. Nilijiona nimejisababishia matatizo makubwa sana kitu ambacho sikujua ni kwamba kuna matatizo makubwa mbele yangu zaidi ya hayo yaliyokuwa yakinikabili, katika maisha yangu yote niliilaumu high school imenibadilisha maisha yangu sana na kunifanya kuwa kiumbe mwenye roho ya utofauti. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>
CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA SABA #Brayton SEHEMU YA SABA ................................ Wakati Huo huo Simu ya Amanda kutoka kwenye mkoba wake ikaweza kuita Amanda alipogeuka kuangalia chin alipokuwa ameutupia ule mkoba wake Mchumba wa TABU alimwah na kumnyakua kile kisu akakitupa kwa pemben kisha kumkamata Amanda mikono yote miwili na kuikutanisha kwa nyuma TABU alitumia nafas hyo kusogea na kuanza kumrushia Amanda mateke "TABU mwacheee" aliongea mchumba wake kwa hasira "Niachieee" aliongea AMANDA huku akijarbu kutaka kujitoa mikonon mwa mchumba wa TABU "Ujanja wote mfukon mtizame utaipata dawa yako " aliongea TABU na baada ya muda waliamua kumwingiza katika chumba ambacho kilitumika Kama stoo na kumfunga kamba huku amekaa kwenye kiti na mdomon walimwekea kitambaa ilikusud asiweze kupiga kelele "Dada nilikwambia mapema huku taka kusikia sasa utakula jeur yako humu hakuna wa kukuona utakufa taratbu kwa jeur yako"Aliongea mchumba wa TABU huku TABU akiwa amesimama kwa pemben Mchumba wake TABU alipo hakikosha Amanda hatoweza kutoka mule alifungua malango na kutoka nje Akabakia TABU "Hahahhaahhha kiko wapi sasa Nakuonea huruma Sana Kujifanya unayaweza mmh Pole hiv karbun utakwenda kuwa mait mtarajiwa hapo ndipo utaiona roho mbaya nlokuwa nayo Mshenz mkubwa wewe " Alipomaliza kusema maneno Yale Alimpiga Kofi AMANDA aliangusha machoz kutokana na maumivu ya kibao kile lakin hakuwa na namna yeyote ile TABU akaamua kutoka nje na kufunga mlango Dada yake Baada ya wiki moja kupita Mama LINDA aliamua kufunga safar na kwenda nyumban kwa mdogo wake AMANDA baada ya kufika Nyumban kwa mdogo wake na kufika kugonga Sana mlango aliamua kuuliza kwa jiran na kuambiwa hajaonekana wiki sasa Aliondoka akiwa na mawazo atakuwa wapi akaona ni bora aende kutoa ripot ile polisi kujitaj msaada wao , Siku mbili baadae AMANDA akiwa bado ndan ya nyumba ya TABU "TABU kwann unanitesa hiv Mimi kosa langu kujuanana na wewe " aliongea AMANDA huku kilio cha kwikwi kikimtoka "Hahahhahha AMANDA wewe siulikuwa ukitamba umesahau siyo utakula jeur yako mwaka huu Utajuta kunifaham mm ndiyo TABU na kila anaye niletea ujinga Tabu lazima azipate humu hutotoka na hakuna hata mmoja anae jua Kama wewe hupo humu ndan " aliongea TABU kwa kujigamba huku akiranda randa huku na huku "Lakin Mimi sikuwa na ubaya na wewe nilitaka kukutishia tu kumbuka tulipotoka TABU nihurumie unanitesa " "Hahahahahhh Unateseka na lipi Kama chakula cha bureee unapata unaishi pazur na kuhusu swala la kukumbuka tuliko toka kwenye maisha yangu ilo halipo kurasa yake nisha ichana na kuitupa na huo ubaya wewe ndo umeuanzisha Mimi nitaumaliza " Wakat wanaendelea kuongea aliingia mchumba wake GIDI "Wooow! Baby ! TABU alimsogelea na kumkumbatia huku akimpiga mabusu kumwuumiza roho AMANDA "Vipi Hajakusumbua ? "Hapana ataanzia wapi kawa mdogo Kama nukta ubabe woote mfukoni " GIDI alisogea taratabu mpk alipokuwa AMANDA na kumwinua kichwa huku amezikamata nywele za AMANDA kwa nguvu na kumpelekea maumivu yaliyomfanya apige kelele "Kimyaaaaa! " aliongea GIDI kwa sauti ya juu "Unaniumiza "aliongea AMANDA kwa saut ya kugugumia akionekana waz kuumia GIDI alimwachia nywele na kumshika mabegan "Muda wako wa kukaa humu unazid kuisha Pumzi zako zitakwenda kukata muda si mrefu Najua tutakapo kwenda kuuzika mwili wako nyuma ya nyumba yetu hakuna hata mmoja atakaye kwenda kujua hili " aliongea GIDI "Nisameheni Na ahid sinto rudia tena ...Nawaomba TABU nakuomba rafiki yangu " aliongea AMANDA kwa sauti iliyoambatana na kilio pamoja na kwikwi "Urafiki baina yangu Mimi na wewe sahau kabisa tena futa we ni wakufa tu unafikir nan atakuwa kila siku akupe chakula ,akupeleke uwah Hutulipi Mama Utakufa we jua hilo Wewe ni nguruwe tu umeingia kwenye chaka la simba " aliongea TABU "Baby chukua hii pesa kaniletee sumu za panya tano "aliongea GIDI huku akimpatia TABU pesa aliyoitoa mfukon kwake TABU aliipokea na kutoka chumban mule akielekea dukani "Kaka nionee huruma usinifanyie ivo Mimi n binadam mwenzio unataka kuniua Kama mnyama "aliongea AMANDA "Sasa sikia nisaidie nami nikusaidie ndicho kilichobaki kwa nyakat zako hiz za mwisho bila hivo utakwenda kufa kwa kujiua mwenyewe " "Unamaana ipi ?! Aliongea AMANDA huku uso wake uliotapakaa machoz ukimtazama GIDI "Unatakiwa ufanya mapenz na Mimi mda huu kabla TABU hajarud ukikubali hilo nitakusaidia ukikaidi basi unastahili kifo " "Kaka nisaidie nisife niko tayar " Bila ya kupoteza Muda GIDI alimfungua kamba Amanda kutoka kwenye kiti na kuanza kumshika shika maeneo ya kiuno na kumlamba lamba shingo yake AMANDA akijitutumua na kuvuta nguvu kias na kumpiga GIDI kwa nguvu sehemu zake za siri GIDI alipata maumivu makali kwa kitendo kile alijiinamia chini huku akiwa amezishika nyeti zake Amanda alitumia upenyo huo kutoka mule ndan haraka Wakat anatoka anafungua geti na kutoka alijikuta akimpamia TABU ,TABU alianguka kwa pemben AMANDA alinyanyuka haraka na kuendelea kukimbia kuokoa uhai wake TABU alinyanyuka kwa hasira huku Dawa zile za panya alizokuwa amezifuata dukan zikiwa chini alifungua geti na kuingia ndan alimkuta Mchumba wake GIDI akiwa nje huku ameshikilia suruali yake akichechemea TABU alimtazama kwa hasira na kumsogelea "GIDI wewe ni msaliti Amanda amewezaje kukutoroka na wewe ni mwanaume " aliongea TABU kwa sauti ya ukal "TABU usinifokee unajua nini kimetokea au unaongea tu unajua nimefanya nn Sikia wewe ni mwanamke tu utabaki kuwa mwanamke " "Mmmh GIDI hata wewe ni mwanamke wewe siyo mwanaume basi tu hayo mavaz yako huna lolote " "Usinitukane TABU " aliongea GIDI kwa hasira huku akimsogelea TABU " Usinitishe ..Sikuogopi GIDI ungekuwa mwanaume hili lisingekishinda unawezaje kumwachia Amanda " "TABU huwa sibishani na wanawake " aliongea GIDI na kumwahi kumkaba TABU shingoni akikusudia kumwuua Muda huo huo wakaingia polisi na kuwaweka chin ya ulinzi waliwa kamatwa na kuwafunga pingu walipotoka nje ya geti walimwona AMANDA akiwa amesimama na Dada yake Polis waliondoka nao na kuelekea kituon pamoja na ushahid wa sumu za panya alizoziacha TABU pale nje Baada ya siku ile kupita Amanda akiwa nyumban kwa Dada yake akitibiwa makovu na maumivu aliyoyapata kutokana na kipigo pamoja na kukaa kwa muda mrefu kwenye kiti huku akiwa amefungwa kamba "Mdogo wangu unaona ulivo jitafutia makubwa wangekuua " "Dada nimekuomba msamaha hukutaka kunisamehe ningefanya nini " "Mimi nimeshakusamehe nimeona nikubali tu matokeo miaka mitatu siyo mingi mwanangu LINDA ataachiwa huru na kurud nyumban " "Nimekoma miye Dada ,sinto jiamulia mambo ovyo pasipo ushaur wa mtu " "Mim ungeniomba ushaur ningejua nikushaur kipi wewe unakurupuka unachukua maamuz yako mkonon " "Ndo nimekoma hata sirudii ila TABU na yule Bwana ake Mungu awalaan na huko polisi wanyee ndoo mpaka " Miezi miwili Baadae katika maeneo ya gerezan LINDA akiwa anawasimamia wafungwa wenzie waliokuwa wakifanya usafi wa kufyeka fyeka nyasi Mara ghafla akajisikia kizungu zungu na kuanguka chini Rafiki yake PENDO alimkokota taratibu mpaka pemben kidogo ya jengo la Gereza na kuweza kumpumzisha Baada ya dakika kadhaa "LINDA Unajisikiaje ? Aliuliza PENDO "Sijisikii vizur PENDO mmmmh! Najisikia kizungu zungu kwa mbali sijui nini " PENDO alitoa macho na kutizama pembeni akashusha pumzi na kumwangalia tena LINDA "LINDAA ! Una mimba ;?!! LINDA alistuka na kumtazama PENDO "Eeeeh! Mungu wangu mimii PENDO naomba usimwambie mtu jambo hili mmmmh Munguu wangu lakini ilikuwa siku moja tu " "LINDA inaonesha waz wakat afande anakufanyia tukio lile ulikuwa katika siku zako za hatar ..." "Nitafanyeje ?" "Mmmh ! Kiukweli hata sijui mm mwenyewe nimechanganyikiwa " "Nakuomba usimwambie mtu " "Usijali rafiki yangu basi jikaze turude ukasimamie wasiweze kuhis chochote muda umebaki kidogo tuelekee kuchukua chakula PENDO alimnyanyua na kuweza kusogea walipokuwa wenzao
UNAUJUA MZUNGUKO WA HEDHI VIZURI????? *🅱 professional love*  zunguko wa hedhi ni mpangilio wa mabadiliko yanayotokea katika mwili wa mwanamke kwa lengo la kuandaa mwili kwa hali ya ujauzito unaoweza kutokea. Kila mwezi katika mwili wa mwanamke ovari moja huachilia yai katika mchakato unaoitwa ‘ovulation’. Kwa wakati huo huo kila mwezi mabadiliko ya homoni huuandaa mfuko wa uzazi ‘uterus’ kutengeneza ukuta mpya ‘endometrium’ kwa ajili ya kujiweka tayari kwa mapokezi ya mimba inayoweza kutungwa. Kama yai litaachiliwa na kutorutubishwa na mbegu za mwanamme, basi ukuta wa mfuko wa uzazi humeguka na kutoka nje ukiwa pamoja na damu kupitia ukeni. Kitendo hiki cha mzunguko hadi kutoka kwa damu ndicho huitwa hedhi (menstruation) au mzunguko wa hedhi (menstrual cycle). Mzunguko wa kawaida ni upi? Mzunguko wa hedhi huanzia siku ya kwanza ya kutoka kwa damu hadi siku ya kwanza tena ya kutoka damu ya mzunguko unaofuata. Japokuwa mzunguko wa hedhi wa kawaida ni siku 28, ni jambo la kawaida kuwa na mzunguko wenye siku pungufu au zaidi ya hizo. Mzunguko huu huweza kutofautiana kati ya wanawake lakini pia kati ya mzunguko mmoja na mwingine. Mzunguko wa kawaida huwa na siku 21 hadi siku 35 kwa wanawake wakubwa na siku 21 hadi 45 kwa wasichana wadogo walioanza hedhi. Kwa miaka michache ya awali baada ya msichana kupata hedhi yake ya kwanza (kuvunja ungo), kupata mizunguko mirefu huwa ni jambo la kawaida. Mizunguko huanza kupungua urefu (idadi ya siku) na kuanza kuwa ya kawaida kadri umri unavyosonga na mara nyingi mzunguko huwa kati ya siku 21 hadi 35. Msichana huanza kupata hedhi (period) wakati gani? Kwa kawaida, msichana huanza kupata hedhi ya kwanza (menarche) afikapo umri wa miaka 11-14. Hata hivyo, hedhi huweza pia kutokea binti angali na miaka 8 na hali hii huwa ni kawaida pia. Umri wa wastani ni miaka 12 lakini hii haimaanishi kwamba wasichana wote hupata hedhi ya kwanza katika umri sawa. Mara nyingi hedhi ya kwanza huanza miaka miwili baada matiti ya binti kuanza kutokeza. Iwapo binti hajapata hedhi ya kwanza angali na miaka 15 au ni miaka 2 hadi 3 baada ya kuanza kuota matiti, anapaswa amuone daktari. Ukomo wa hedhi ni wakati gani? Mwanamke huanza kupata ukomo wa hedhi (menapause) anapofika umri kati ya miaka 45-55. Wanawake wengine hupata ukomo wa hedhi angali na umri mdogo zaidi kwa sababu mbalimbali ikiwemo kufanyiwa upasuaji au baadhi ya matibabu, kuugua au sababu nyingine. Katika hali ya kawaida, mwanamake huanza kupata hedhi chache anapofika umri wa miaka 40 ambapo huanza kupata mizunguko mirefu na inayobadilika mara kwa mara. Mizunguko huanza kuwa mirefu na baadaye kukoma kabisa. Hedhi ya kawaida ni ipi? Wakati wa hedhi, mwanamke hutokwa na mchanganyiko wa damu pamoja na ukuta wa mfuko wa uzazi uliomeguka kupitia sehemu ya uke. Kiasi cha damu inayotoka (menstual flow) huweza kutofautiana kati ya mizunguko. Kwa wastani mwanamke hutokwa na damu ya hedhi kiasi cha ujazo wa mililita 35 (sawa na vijiko viwili na nusu vya chai). Hata hivyo, kutokwa na damu inayofikia mililita 10 hadi 80 (kijiko 1 hadi vijiko 6) bado huchukuliwa kama hali ya kawaida. Wanawake wengi hupata hedhi inayodumu kwa siku 3-5, lakini hedhi yoyote inayodumu siku 2-7 huwa ya kawaida. Kabla ya hedhi kuanza, wanawake wengi hupatwa na dalili mbalimbali. Dalili zinazowapata zaidi ni pamoja na kutokwa chunusi, matiti kuuma, kuhisi uchovu, kukasirika haraka na kubadilika kwa ukimwa (mood). Hata hivyo, kiwango cha dalili hizi hutofautiana kati ya wanawake na wengine huwa na dalili kali zaidi. Nini hutokea mwilini wakati wa mzunguko wa hedhi? Mzunguko wa hedhi huendeshwa na homoni mbalimbali za mwili. Wakati wa mzunguko wa hedhi, sehemu za kwenye ubongo ziitwazo ‘hypothalamus’ na ‘pituitary gland’ hupeleka taarifa za homoni kwenda kwenye ovari na kurudi kwenye ubongo. Taarifa hizi huziweka ovari na mfuko wa uzazi tayari kwa ajili ya kubeba mimba. Kwanza pituitary gland hutoa homoni iitwayo Follicle Stimulating Hormone-FSH ambayo huenda kusababisha kukomaa kwa yai ndani ya ovari. Baada ya hapo homoni ya estrogen hutolewa ambayo huenda kusaidia ujenzi wa ukuta wa mfuko wa uzazi kwa ajili ya maandalizi ya mimba inayoweza kutokea (kwenye ukuta huu ndipo mimba hujishika, kupata virutubisho na kukua). Wakati kiwango cha estrogen kimepanda mwilini, hali hii husababisha utolewaji wa homoni nyingine iitwayo Gonadotropin-Releasing Hormaone-GnRH kutoka kwenye sehemu ya ubongo. Uwepo wa homoni ya GnRH husababisha pituitary gland kusababisha ongezeko la homoni ya lutenizing (LH). Baadaye LH husababisha uachiliwaji wa yai kutoka kwenye ovari, kitendo kinachojulikana kitaalamu kama ‘ovulation’. Baada ya yai kutolewa kutoka kwenye ovari, husogezwa karibu na mfuko wa uzazi ‘uterus’ kusubiri kuungana na mbegu za mwanamme, na endapo litakutana nazo basi mimba hutungwa. Kama hakutatokea muunganiko kati ya yai na mbegu (kitaalamu huitwa ‘fertilization’) basi yai humeguka na kufa ndani ya masaa 6 hadi 24. Dalili za yai kutoka/kuachiliwa Muda mfupi kabla ya yai kuachiliwa kutoka kwenye ovari mwanamke hutokwa na ute katika mlango wa uzazi ambao huwa katika hali ya kuteleza na usio na rangi; ni kama sehemu ya nje ya yai bichi (isiyokuwa kiini). Ute huu huvutika sana pia. Mwanamke anapokuwa katika hali hii huweza kupata ujauzito iwapo atagusana na mbegu za kiume. Ute huu husaidia kurutubisha mbegu za kiume pindi zinaposafiri kupita mlango wa uzazi ‘cervix’. Iwapo mwanamke hayupo katika kipindi hiki cha yai kuachiliwa, ute wa kwenye mlango wa uzazi ‘cervical mucus’ huwa na rangi tofauti na katika hali ya tofauti. Ute huu huweza kuwa unanata, mweupe kama maziwa, ukiwa na muonekano kama losheni ya kujipaka au kuwa na rangi ya njano. Ute huu huwa hauvutiki na huwa na harufu kali kidogo. Aidha, nafasi ya mlango wa uzazi nayo hubadilika wakati wote wa mzunguko wa hedhi. Wakati wa yai kuachiliwa kutoka kwenye ovari, mlango wa uzazi husogea juu kidogo na njia hutanuka kidogo zaidi. Baadhi ya wanawake huhisi hali ya maumivu wakati wa yai kuachiliwa. Maumivu haya hutofautiana na huweza kuwa ya kuvuta au ya jumla katika sehemu ya tumbo, au maumivu ya kukata upande mmoja wa tumbo ambao ndio yai huachiliwa. Ni siku gani yai huachiliwa (ovulation)? Mara nyingi wanawake huamini kuwa yai huachiliwa katikati ya mzunguko wa hedhi. Ukweli ni kwamba yai huachiliwa siku 12 hadi 16 kabla ya mzunguko unaofuata kuanza. Kwahiyo, japokuwa kwa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 yai lake laweza kuachiliwa katikati ya hedhi (kati ya siku ya 12 na 16), mwanamke mwenye mzunguko wa hedhi wenye siku 36 yai lake huachiliwa kati ya siku 20 na 24. Kwa wanawake wenye mizinguko isiyobadilika sana, njia nzuri ya kukadiria siku ya yai kuachiliwa ni kutoa 16 kutoka kwenye jumla ya siku za mzunguko wake wote na baada ya kupata jibu, ajumlishe jawabu hilo na 4. Hii itampa siku ambayo yai huweza kuachiliwa. Kwa mfano, mwanamke mwenye mzunguko wenye siku 22 mara nyingi yai lake huachiliwa kati ya siku ya 6 hadi 10 ya mzunguko wake (22-16=6, halafu 6+4=10).
UTAMU WA KUNYONYA DUDYU JIFUNZE MAUTUNDU HAPA  1-Anza kwa kubusu ktk mtindo wa kulamba maeneo yaliyo karibu na uume hasa sehemu ya ndani ya mapaja, anza paja la kulia na hamia paja la kushoto.....wakati unaendelea na safari yako ya kulamba tumia mkono wako mmoja kumshika sehemu ya kiunoni pale karibu na mboo. 2-Utaona uume unaanza ku-move (ukiwa umesimama), sasa ili usikuharibie utamu wa kubusu ushikilie kwa mkono wako mwingine kama vile umeshika mua au chupa ya soda kwa juu na peleka mkono huo juu na chini huku ukiendelea kubusu-kulamba. 3-Mkono wako ukiendelea na safari ya juu-chini hamishia mdomo wako kwenye pumbu (makende), yalambe taratibu na ukiweza yakoweshe kwa mate (yabugie a.k.a yaingize yote mdomoni mwako) huku ukitembeza ulimi taratibu...kuwa mwangalifu na meno yako wakati umeyabugia kwani ni "sensitive" na wanadai kuwa ukikosea kidogo huwa yanauma. 4-Toka sehemu hiyo ya makende kwa kubusu taratibu wakati unaelekea kwenye mtunguli wenyewe (mboo), tumia mkono wako kwenda juu-chini (kamanilivyosema awali) kisha anza kulamba ktk mtindo wa kunyonya kwenye shaft a.k.a shina la uume....ulambaji wa hapa unategemea na mpezni mwenyewe unaweza lamba kuanzia "base" kwenda juu kuzunguuka mboo au unaulamba ktk mtindo wa kubugia hatua kwa hatua (kiupande-upande kama unamenya mua kwa kutumia meno yako) hehehehehe nimewakumbuka Wasukuma. **Mpaka hapa mpenzi anaweza kumwaga.....ikitokea basi jipongeze kwa job well done.....vinginevyo endelea kama ifuatavyo:- 5-Sasa shusha mkono wako na shika kule mwishoni mwa shina la uume (base) au karibu na "base"(inategemea na ukubwa)....kufanya hivi kutakusaidia wewe kujua kiasi gani cha uume unaweza kumudu ndani ya mdomo wako hasa kama unataka kumpeleka mpaka kwenye koromeo (angalia usijitapishe tu). 6-Anza shughuli sasa ya kuunyonya uume na zingatia zaidi kumkichwa kwani ndio kunako utamu, kwa kutumia midomo yako ya nje (lips) ficha meno yako ili usimkwaruze (kuwa kibogoyo kwa muda huo sawa?) alagu endelea na juu chini huku ukipunguza na kuongeza "speed". Hakikisha unatumia mikono yako yote miwili ili kumuongezea raha mpenzi wako....mkono mmoja unacheza na pumbu....mkono mwingine unatembea kutoka "base" kwenda kati ya shina la uume. Unapokwenda juu kwa kutumia mdomo wako hakikisha mkono unakufuata na ukirudi chini hakikisha mkono wako unakufuata.....time to time baki kichwani na tumia ulimi na lips zako kunyonya/lamba na wakati huo mkono unakwenda juu-chini kwa speed kali (kama vile anajichua) na hapo utamuongezea kautamu.... Endelea mpaka atakapo cheka.....
KUPIGA NYETO KWA WANAWAKE SOMA HAPA  Kujichua a.k.a kujichezea a.k.a "a little help from ur hand" (kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako huru kulizungumzia au kukili kuwa wakizidiwa huwa wanajisaidia…….wakati mwingine mtu anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani mpaka upige moja ndio nguvu zinakuja…hasa kama umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi hayupo karibu. Kujichua au kujichezea ni njia pekee ya kujifunza kufika kileleni, kuujua na kuuelewa mwili wako na kujua utamu wa ngono ukoje(kama hujui utamu huo ukoje). Kwa kujichua utajua jinsi kutoa na kupokea raha ya kufanya mapenzi na mpenzi wako, utasaidia ngozi yako kuwa nzuri na laini (mambo ya Urembo hayo) na vilevile utajua jinsi ya kuzuia (kuchelewa kwa makusudi kufikia mshindo au kilele) au kumsubiri mwenzio ili mfike pamoja, hakuna raha ya kufanya mapenzi kama kufika kwa wakati mmoja. Unajua kuwa kujichua ni njia pekee itakayo kufanya uujue mwili wako na hivyo itakuwa rahisi kwako wewe kumuongoza mpenzi wako afanyie kazi mahali gani wakati mnashughulikiana. Huenda tayari wewe unajua jinsi ya kujichua bila kuelekezwa na mtu lakini kumbuka kuwa kuna watu hawajui au wanaogopa kutokana na sababu zao tofauti kama vile kuwa bikira, Uoga kutokana na imani kuwa ukizoea unaishiwa na hamu, unapata Saratani, n.k. Kujichua kwa wanawake ni kitu kigeni kwa baadhi ya wanawake tofauti na wanaume, huenda ni kutokana na swala zima la kulinda "utandu" a.k.a bikira kwamba wanawake wanafundishwa kujimwagia maji ili kuondoa shombo ya mkojo na sio kujishika-shika huko kunako Uke kwa uoga wanaweza kusikia utamu accidentally na kuendelea hivyo.... Wanawake huwa wanajifunza kuijua miili yao pale wanapoanza mahusiano ya kimapenzi au kushiriki ngono, kwamba baada ya kushikwa titi ndio unajua alaa kumbe nikishikwa chuchu huku chini nako kunaitikia (pata unyevu) Lakini kwa wanaume ni jambo la kawaida na wao huanza mapema sana kuijua miili yao, nadhani hujua hata utamu wa ngono kabla hawajaanza manaa'ke huanza kumwaga wakiwa wanaelekea balehe au ktk kipindi hicho. Jinsi ya kujichua kujichua kwa wanawake walio kwenye mahusiano au tayari wamenza kushiriki ngono. 1)-Kwa kutumia kidole kuchezea kisimi na maeneo mengine ya Uke wako (kwa wale wanaoshiriki ngono sio bikira) 2)-Kusugua kisimi ukiwa umelalalia tumbo, ikiwa kisimi chako kimejitokeza ni vizuri zaidi na unaweza kujichua ukiwa na nguo zako….vinginevyo unaweza kuweka kifundo cha chupi yako au aina yoyote ya kitambaa laini juu ya kisimi chako kisha ukaanza kujichua kwa kuzunguusha kiuno au ku-move huku na huku. 3)-Kwa kutumia sanamu…. Jinsi ya kujichua kwa kutumia kidole Ili kuondoa uoga na kujua ni kitu gani unaenda kukichezea ni vema basi ukatafuta muda na kukaa mbele ya kioo kisha anza kujiangalia huko chini….ndio jichungulia uone mashavu yalipo, kisimi kilivyo, rangi yanje na ndani, sura ya uke wako kwa ujumla, jaribu kukaza misuli ya uke uone uke wako unavyoitikia n.k. Sasa jilaze chali, anza kujishika-shika (akilini ukifikiria mpenzi wako au mtu mwingine umpendae sana kingono anakushika), nenda kwenye matiti yashike vile unapenda ushikwe, taratibu fikicha na kupitisha kidole chako kwa kasi juu chuchu zako mpaka utakapo hisi zimesimama na kuwa ngumu……kwa vile mishipa ya kwenye matiti iko-connected na viungo vya uzazi basi utahisi unyevu huko chini na nyege zitaanza kuibuka polepole. Tuliza misuli ya uke wako na taratibu gusa kisimi chako kwa kidole cha kati (kile kirefu kuliko vyote), kizunguushe kidole hicho pale juu ya kisimi kwa muda kisha shuka chini na utagusa ule unyevu…..rudi tena kwenye kisimi na endelea kukichua taratibu na utaanza kuhisi ka utamu Fulani hivi hali itakayo kufanya uanze kukaza misuli ya miguu na matako. Pia utahisi unataka kuongeza mwendo (speed ya kidole chako) ili kufurahia zaidi endelea na speed yako, kaza misuli wee huku ukimfikiria mpenzi wako umpendae mpaka utakapo fika kileleni (kilele cha kisimi). Jinsi unavyozidi kujichua ndivyo utakapo kuwa na hamu ya kuujua zaidi mwili wako na siku nyingine basi anza kama nilivyoeleza kisha ingiza kidole ndani ya uke, jichue huko ndani….jaribu kubana misuli ya uke wako na utahisi kama kidole kinanyonywa na uke (wanaita Kuma mnato) sasa mnato huo utakao uhisi kwenye kidole chako ndio mpenzi wako huwa anahisi ikiwa utabana misuli ya uke wakati mnafanya mapenzi. Faida za kujichua/chezea: 1)Kuujua mwili wako na kujiamini zaidi linapokuja swala la kungonoka(fanya mapenzi) 2)Kuongezeka kwa hamu ya kufanya mapenzi kwa vile utakuwa unajua utamu wake. 3)Kujua "vipele vyako viliko". 4)Kutokuusaulisha mwili wako ikiwa uko nje ya uhusiano au umeamua kuwa single kwa muda. 5)Kuepuka mimba na maambukizo ya virusi vya UKIMWI na magonjwa mengine. Madhara ya kujichua/chezea: 1)Sijawahi kushuhudia wala kusikia tatizo lolote kutokana na kujichaua kiasili. 2)Kujichua kwa kutumia sanamu a.k.a Dildos ni kusamburuka kwa nyama za nyeti zako(inategemea na aina ya sanamu), kupoteza hisia za uume halisi kutokana na kuzoea "dubwana" hizo, kifo kutokana na "shock" ikiwa unatumia ya umeme, vilevile saratani ikiwa unatumia vilainishio ili kurahisisha "dubwana a.k.a toy a.k.a Dildo" kuingia.
UTUNDU WA KUNYONYA KYUMA FULL MAHABA  Kwanza unatakiwa utambue kuwa baadhi ya wanawake hawako huru kukuachia wewe mwanaume ukodolee macho kwenye Kuma yake hivyo kama unampango wa "kumshukia chini" basi utalazimika au niseme hakikisha kuwa unamuandaa kwa kusifia Kuma yake, harufu asilia ya Kuma yake , mhakikishie kuwa hakuna kitu kinakufurahisha/kupa raha kama kuangalia mandhali ya Kuma yake, mwambie vipi unapenda anyoe nywele zake za huko (mnyoe ukiweza) n.k Pamoja na juhudi zako za kusifia hakikisha unaonyesha kwa vitendo kuwa unatukuza uumbaji wa Kuma yake(unamaanisha unayosema hapo juu)…..mfano 1-Nusa chupi yake hasa pale katikati ikiwa imelowa kutokana na "kunyegeka". 2-Ibusu (kwa juu) au busu eneo la Kuma hata kama ni mbali kidogo kwamba sehemu ya kiunoni kwa kuanzia, vilevile mnapokuwa tayari kulala weka mkono wako juu ya K yake mpaka upitiwe/apitiwe na singizi. 3-Cheza na Kuma yake kabla ya kufanya mapenzi, kwamba ichezee na vidole kisha vilambe. 4-Sifia jinsi ilivyokuwa siku iliyopita mlipokuwa mkifanya mapenzi MF-" unam-sms kwa kusemakuwa "kila nikikumbuka ilivyotuna/lainika unasikia raha sana" n.k. Bikira wa chumvini. Fanya zoezi hili la ulimi; kwa kujiangalia kwenye kioo toa ncha ya ulimi wako bila kupanua mdomo wako na bila kuung'ata na meno yako kisha upeleke ulimi huo mbele na nyuma, huku na huko taratibu, kisha chora # 8 kidoleni kwako mara mbili alafu kinyonye kidole hicho kama vile unalamba mabaki ya kitu kitamu . Zamia sasa! Baada ya kulambana na kukumbatiana na kila kitu shuka taratibu maeneo ya chini(usiende moja kwa moja kisimini, ukichelewa ndio raha yenyewe hiyo) pia itasaidia usiumbuke Sasa anza kwa kubusu na kulamba taratibu sehemu ya kiunoni kuelekea chini, hamia ndani ya mapaja, rudi juu kwenye eneo zima la Kuma lakini sio mashavuni/lips ni lile eneo la juu (msikilizie) ukiona ana-relax au kushika kichwa taratibu endelea ukiona anajibana-bana acha kwani hatokuwa tayari (jaribu siku nyingine na ongeza zoezi la kusifia mapenzi yako juu ya kiungo Kuma). Baada ya kutembelea eneo zima la Kuma na yeye yuko "relaxed"(kwamba anajiachia na ku-move taratibu au kutoa miguno fulani) hamia taratibu kwenye "labia" wenyewe mnaita shavu/lips na upitishe ulimi wako kuzunguuka hilo eneo, wakati huo Kisimi kitakuwa kinaanza kuinuka (sio wote wako hivyo lakini) basi wakati huo ndio muafaka kabisa wa kukinyonya na kuachia x3 kwa kutumia midomo yako(lips) na ulimi (kama unanyonya kitu kitamu kidoleni sio kufyonza). Baada ya hapo sasa ndio unaanza kufanya mitindo niliyoisema na hapa tuanze na Mduara a.k.a mzunguuko; Kwa kutumia ncha ya ulimi lamba kisimi kwa kukizunguuka kwa muda kisha kinyonye na kuachia alafu endelea na mzunguuko, ongeza "speed" kutokana na mpenzi wako anavyo itikia/furahia utamu(utajua tu kutokana na movement zake au anakandamiza kichwa chako au anajinyajua kuufuata mdomo wako kama sio kutoa sauti za ajabu). Ikiwa utachoka basi unaweza kuupumzisha ulimi wako kwa kulamba eneo na pembe zote za Kuma kama "ice cream" vile alafu rudia kama mwanzo na mambo yatakuwa bomba. Umbo namba 8; Fanya kama nilivyoeleza hapo awali ila unapofika kisimini badala ya kuzunguuka chora namba nane kwenye kisimi kwa kubadilisha mfano unaanza na kulia next round unaanza na kushoto. Pembe 2 pembe a.k.a huku na huku a.k.a juu-chini; Fanya kama nilivyosema mwanzo kabisa lakini unapofika kwenye kisimi unatakiwa kukilamba kwa kutumia ncha ya ulimi wako kama vile unapiga vigeregere (ila sio kwa speed ya kigeregere mzee). Hey.....Usisahau kukinyonya kisimi kwa kutumia lips na ulimi kwenye kila "mtindo" ili kupumzika na wakati huohuo kutopoteza utamu unaompatia huyo unaemnyonya (mpenzi wako). Ukishazoea kucheza na kisimi kwa kutumia ulimi na yeye akazoea nakuwa relaxed na mkajifunza kuwasiliana while doing it mambo yatakuwa safi sana, kwani itakurahisishia wewe kujua mwendo gani anapenda zaidi, unamfikisha haraka n.k. Vilevile wewe mwanaume ukizoea utaweza kubudi mbinu nyingine na wakati mweingine ku-mix all in one na mambo yatakuwa barabara.....ila kwa sasa fanya moja at a time mpaka hapo wote mtakapo zoea. Kwa kuanzia sio lazima umeze yale mate yaliyochanganyikana na ute wa mwanamke (kutoakana na nyege au utamu anaoupata) unaweza ukawa unaachia mmiminiko huo kumwagikia kwenye shuka/godoro ni vema kuhakikisha kuwa chini kuna taulo au nguo yeyote ambayo itaondolewa mara baada ya kumaliza "kuzamia" ili muendelee na game lingine bila unyevu usio wa lazima. Wanawake pia huwa wanaachia mchanganyiko huo (wengi huwa wanautumia kama "jelly" asilia unapompa mwanaume "blow&hand job"mpaka ujekuzoea ndio unaamua kama kumeza au kuachia (ni chaguo lako). Kumbuka kufanya hivi na mpenzi unaemwamni au tumia Condom kwani Ngoma na magonjwa mengine yanaambukizika kwa ngono ya mdomo. Chukua tahadhari, Jiheshimu, Jali, Tunza na thamini utu wako.....tumia Condom. Kwa wale ndugu ambao ni wazoefu Big up to u all na shukurani sana kwa kutambua haki ya mwanamke kufurahia mwili wake kila anapofanya mapenzi na wewe.
UNAIJUA LUGHA NZURI YA MAPENZI?????  Hakuna linalouma moyo kama mtu kuachana na aliyempenda. Moyo husafiri kilometa nyingi kwa kuwaza. Hakukosea aliyesema sikitiko la mahaba linashinda msiba. Lakini yote hayo yanaweza kuepukika na kukaa mstari ulionyooka endapo mawasiliano yatabeba umuhimu unaotosheleza na kusimama kwenye nguzo zake kuu. MAWASILIANO: Ni nguzo kuu ya uhusiano. Ikiimarishwa huchochea amani ya kudumu lakini kinyume chake ni kichocheo cha wapenzi kuachana. Ni vizuri kujifunza lugha inayoweza kukufanya uelewane na mwenzako. Sauti yako ukiwa mtaani itofautiane na ile ambayo unaitumia chumbani. Pengine una kawaida ya kutoa majibu ya mkato unapokuwa unazungumza na rafiki zako, lakini tabia hiyo hutakiwi kuizoea pale unapokuwa na mwenzio chumbani. Ikiwa umezoea kuwaita wenzako: “Wewe!” Mwenzi wako hutakiwi kumwita hivyo. Ni elimu ambayo kila mtu anatakiwa kuwa nayo kwamba kutofautisha maeneo ni jambo la busara. Kwamba sura yako iwe nyingine unapokutana na watu wa mitaani, itofautiane unapokuwa na wazazi, vivyo hivyo pale ambapo upo sehemu ‘spesho’ na mwenzi wako. Lazima uwe unabadilika kama kinyonga. Ukiwa kazini mbele ya watu unaowaongoza unazungumza kwa sauti ya amri, lakini hiyo hupaswi kuitumia unapokuwa na wazazi wako. Unaongea kwa sauti kali ya kuamrisha mbele ya baba yako, hiyo adabu umefundishwa wapi? Kuna lugha ya kuzungumza ukiwa na mwenzi wako. Ni mwiko kutoa sauti ya kuamrisha. Ni vizuri kumnyenyekea lakini si katika kiwango ambacho kitakufanya uonekane una kasoro za kisaikolojia. Tawile kwa kila linalosemwa na mpenzi wako hairuhusiwi, unatakiwa kuweka mbele hisia zako. Upole kupitiliza hauna maana kwamba wewe ni mpenzi sahihi. Eti, utaonekana una nidhamu na unamsikiliza vizuri mwenzio, la hasha! Utatambulika kuwa mtu hai kulingana na jinsi akili yako inavyofanya kazi. Namna hisia zako zinavyoonesha uhai unapoguswa na matukio mbalimbali ndivyo na ubinadamu wako unavyosomeka. Unahoji mambo kwa sauti yenye ujazo wa kutosha, unachukia pale unapoona mambo hayajaenda sawa, unaumia pale unapotendwa na unafurahi mipango inapokuwa chanya. Hii ndiyo mantiki ya kukutaka uwe na akili hai. Itashangaza umepata habari kwamba mwenzi wako yupo gesti na mpenzi mwingine halafu utabasamu. Sumu hatari inayosababisha mmomonyoko wa ndoa au uhusiano wa kimapenzi kwa watu wengi ni kushindwa kujipanga kimaeneo. Ratiba za ofisini kuingiza nyumbani. Marafiki kuathiri taratibu za mapenzi yenu, ingawa kila kitu kina umuhimu wake kulingana na wakati husika. Umeudhiwa na wafanyakazi wenzako kazini, unatakiwa kuweka hekima mbele. Unarudi nyumbani ukiwa na imani kwamba huko utakutana na mwenzi wako na ndiye mfariji wako. Kichwa kizito, basi mueleze mwenzio ajue kinachokusibu kuliko kumpa majibu ya mkato. Itakuharibia badala ya kukusaidia Ninachosisitiza hapa ni kuwa uhusiano wa aina yoyote unadumishwa na mawasiliano. Lugha yako mbele ya mwenzi wako ina nafasi kubwa ya kukufanya uendelee kufurahia penzi lake. Kinyume chake unaweza kujikuta ni kero kwake. Atakuvumilia mwisho atachoka kwa sababu hujui kubembeleza, unapenda kuamrisha. Unataka kuwa mtu bora kwenye uhusiano? Zingatia chachandu zifuatazo: TAMBUA MAKOSA YAKO Hii ni lugha nzuri mno kwenye mapenzi. Unatakiwa kutambua makosa yako haraka na kutafuta njia ya kusuluhisha. Ukijielewa kwamba umekosea halafu ukakaa kimya hutoa ishara mbaya mbele ya safari. KUWA MWEPESI KUSEMA SAMAHANI Kiingereza kinatawala sehemu kubwa ya mawasiliano ya Watanzania, kwahiyo ukiona samahani utaonekana upo kienyeji, basi sema I am sorry. Hii ni baada ya kutambua makosa na unapoomba msamaha umaanishe kutoka moyoni. USINUNE AKINUNA Ni lugha ya mapenzi kwamba mwenzako akinuna, wewe jishushe ili mpate muafaka. Nyote mkigoma mtafika saa ngapi? Ni kosa kubwa unapobaini mwenzi wako ana hasira, nawe ukapandisha jazba kwani ni kiashiria cha kuachana. CHUKIA ASIYOYAPENDA Inafundishwa kwamba rafiki wa rafiki yako ni rafiki yako. Adui wa rafiki yako ni adui yako. Rafiki wa adui yako ni adui yako. Adui wa adui yako ni rafiki yako. Falsafa hii ikupe somo kwamba hutakiwi kupenda yale ambayo anayachukia. Haikubali mtu ambaye hana jema kwa mwenzi wako, wewe umfanye rafiki. Fikiria upande wako kwamba kuna mtu anakula yamini kukumaliza, halafu ugundue kwamba mpenzi wako huwa anaketi naye na kuzungumza kwa kugongeshana mikono? Heshimu hisia za mwenzako. ONGEZA MAPENZI KWA ANAYOPENDA Mapenzi ni sanaa, ukiweza kucheza karata zako mtadumu bila kuchokana. Umeweza kuchukia yale ambayo hayapendi, sasa ni vizuri kuongeza mapenzi kwa yale ambayo anayapenda. Hii itasaidia kuwafanya muonekane ni kitu kimoja daima. Hata hivyo, iga kwa mambo mazuri, isije ikawa mwenzako ni mtu wa baa kwa sana halafu na wewe umuige. Anapenda siasa, mpe ushirikiano nawe uipende taratibu. Mpira nenda mkaangalie pamoja, muvi na mengineyo, hayo ndiyo mapenzi. MFANYE AKUTAMANI MUDA WOTE Ni rahisi, unapokuwa naye muoneshe mapenzi ya dhati. Hakikisha hakasiriki mkiwa pamoja, yanayomhusu unabeba kama yako. Humkaripii na unamfanya yeye ni bora. Msifie kwamba ni mzuri na umueleze kwa hisia jinsi unavyomkubali. Hiyo itamfanya ajenge imani kubwa kwako na ukiwa mbali atajiona pungufu. USITHUBUTU KUPAYUKA Hata kama mmegombana, linda sauti yako. Tumia hekima na myamalize kimyakimya. SWEETHEART, DARLING, BABY, HONEY, DEAR Mpe heshima yake na umuoneshe ni kwa kiasi gani alivyo na nafasi kubwa kwako. Usipende kumuita kwa kumtaja jina lake au wengine wakishapata mtoto ndiyo utasikia “Mama Chausiku!” au “Baba Semeni!” Haifai, tumia majina hayo au ukiweza tumia mengine yenye mvuto. Ikupe raha kutamka na yeye imfanye afurahi kusikia kutoka kwako. Mapenzi ni rahisi, utundu kidogo utakufanya uone dunia yote unaimiliki wewe.
UNAYAJUA HAYA ILI UFURAHIE MAPENZI YAKO??  1.FANYA UCHAGUZI SAHIHI Hapa ndipo watu wanapotakiwa kutumia akili zao mpaka zile za akiba, ukikosea hapa ni rahisi sana kuvurunda hapo baadaye. Uhusiano wenye nguvu, hujengwa na penzi la kweli. Acha kukurupuka, lazima ujihakikishie kwamba uliyenaye ni chaguo kutoka ndani ya moyo wako. Najua una maswali; kwamba utawezaje kumjua mwenye mapenzi ya kweli, hiyo ni mada ambayo nimeshaandika mara kadhaa katika ukurasa huu na gazeti damu na hili, Ijumaa. Kimsingi, kwa kufuata maelekezo hayo, mwenzi ambaye unatarajia kuwa naye katika maisha ya ndoa hapo baadaye, lazima msingi uwe ni uchaguzi sahihi. Sikia, watu wengi waliokuwa na fedha, wamefilisika baada ya kuoa/kuoleawa na wenzi ambao si sahihi. Aidha, wapo wenye mafanikio makubwa sana, ambayo wameyapata baada ya kuoa/kuolewa na wenzi sahihi. Rafiki zangu, si jambo rahisi kumpata yule aliye sahihi. Inahitaji utulivu. Yapo mengi sana ambayo unapaswa kuyaangalia, ambayo nimekwishaeleza sana katika makala zangu zilizopita. Wakati nahitimisha kipengele hiki, shika neno moja tu; unapomchagua mwenzi wa maisha yako, hakikisha ni yule aliye sahihi! Tuendelee na kipengele kingine. 2. JIELEZE Migogoro mingi baina ya walio kwenye uhusiano husababishwa na wenzi kutowafahamu vyema wenzao. Usiingie katika mkumbo huu, ni suala la kujieleza tu. Kumweleza mpenzi wako ulivyo, kutamfanya ajue vitu unavyopenda na usivyopenda. Aidha, kama unao udhaifu wowote wa kiafya na kadhalika, mweleze mwenzako. Kumweleza kutamfanya ajiamini kuwa anapendwa. Kunaonesha unavyojiamini na unayetaka mwenzako ashirikiane na wewe katika hali uliyonayo. Si vibaya mwenzio kukufahamu kwamba una hasira sana. Yes! Maana akishajua hilo, ataacha utani unaokaribia kukuudhi maana anajua vizuri kuwa una hasira za karibu. Ipo mifano mingi sana, lakini kikubwa cha kushika katika kipengele hiki ni kuwa mkweli kwa mwenzako kuhusu maisha yako. Acha kumdanganya kwamba familia yenu ina uwezo mkubwa, wakati ni wa kawaida. Kuwa mkweli, mapenzi si utajiri, ni hazina iliyojificha ndani ya moyo. Kama anakupenda, anakupenda tu! Siku akigundua kwamba unamdanganya, pendo lake litapungua kwa kiasi kikubwa sana. Jieleze kwa uwazi na ukweli kutoka ndani ya moyo wako. Naye atakuheshimu na utakuwa umetengeneza mwanzo mzuri wa kuelekea kwenye ndoa isiyo na migogoro. 3. MPE UHURU Wengi wanaamini kumbana mpenzi ni njia sahihi ya kumfanya awe mwaminifu, si kweli. Kuna wenye tabia ya kuvizia simu za wenzao na kuzipekua, si utaratibu mzuri. Mpe uhuru, usimbane! Kuonesha kumwamini sana mpenzi wako, kunamfanya naye aishi ndani ya uaminifu. Kumchunga hakumnyimi kuendelea na mambo yake, sana sana atafanya kwa siri kubwa. Kumpa uhuru, kutamwogopesha, atajua yupo na mwaminifu ndiyo maana hafuatiliwi, hapo utakuwa umechochea naye awe mwaminifu kama wewe. 4. ACHA PAPARA Katika hatua za mwanzo kabisa za uhusiano wenu, hutakiwi kuwa na papara katika jambo lolote. Kila kitu kifanywe kwa utaratibu. Huna sababu ya kurukia mambo, hasa makubwa. Wengi wamekuwa na haraka sana ya kukutana kimwili, haya ni makosa makubwa sana. Haraka ya nini kama unatarajia awe wako wa maisha. Ngoja nikuambie rafiki yangu, unapoanza kuulizia mapema mambo ya faragha, unamfanya mwenzako ashindwe kukuamini. Kwanza, atahisi wewe upo kwa ajili ya kutaka kujistarehesha tu, lakini pia anaweza kufikiria kwamba unapenda sana mambo ya chumbani. Kumfanya agundue kasoro hiyo ni tatizo kubwa sana kwako. Hata hapo baadaye mtakapoingia kwenye ndoa, ni rahisi zaidi kukumbuka mambo ya zamani, kwamba yupo na mtu anayependa sana mambo ya mahaba. Kwa maneno mengine, hata akihisi tu au kusikia kwamba una mtu mwingine pembeni, atapeleka moja kwa moja hisia zake kwenye kuamini moja kwa moja juu ya jambo hilo. Papara si jambo jema kabisa kwa mwenzi ambaye unatarajia awe wako wa maisha. Tulia, mchunguze kwanza. Kumbuka unatakiwa kufikiria kuhusu mustakabali wa maisha yako ya baadaye, kama ndivyo, huna haja ya kuharakisha mambo ya mapenzi. 5. JENGA URAFIKI Ukitaka kutengeneza uhusiano wenye nguvu, basi zingatia zaidi urafiki. Kumfanya mwezi wako rafiki ni silaha kubwa na yenye nguvu katika kuuimarisha uhusiano. Mwenzi wako anapojiona kama rafiki, anakuwa katika nafasi nzuri ya kuzungumza chochote, ikiwemo matatizo na migongano mbalimbali kama rafiki zaidi. Hawezi kukuficha siri zake. Atakuwa na wewe muda wote na atakusogeza karibu yake kwa kila kitu. Hata penzi lenu pia litakuwa na nguvu zaidi. Urafiki ni kila kitu ndugu zangu. Acha tabia ya kumkaripia mpenzi wako, jenga mazoea ya kujadiliana zaidi kuliko kutumia kauli za ukali. Rafiki zangu, yote hayo niliyoyazungumza yanajengwa na jambo moja tu; urafiki! 6. MSIFIE Wengine wanaweza kushangazwa na kauli hiyo, lakini nataka kuwaambia kuwa kati ya mambo muhimu kabisa kumfanyia mpenzi wako na kulifanya penzi kuwa jipya ni kumsifia. Unapomwambia mwenzako kauli nzuri za kumbembeleza kuwa yeye ni mzuri, anakuvutia kwa kila hali, unajenga penzi. Unamfanya anajihisi wa thamani, atajiamini kuwa yeye ni mkamilifu, si kwa watu wanaomzunguka pekee, bali hata wewe ambaye umemchagua na kumfanya awe wako. Kama huna utamaduni wa kumsifia mpenzi wako, huu ni wakati wako wa kufanya hivyo kwa lengo la kuzidisha mapenzi na kuyapa nguvu. 7. SAIDIA KUKUZA UHUSIANO WENU Kila mmoja ana wajibu wa kuhakikisha penzi linazidi kukua siku hadi siku. Kwa maana hiyo, wewe kwa nafasi yako unatakiwa kuhakikisha unakuwa mstari wa mbele kukuza uhusiano wenu. Kuna mambo mengi sana ambayo yakifanyika, yanakuza uhusiano. Vipo vitu vya kufanya, kutoka pamoja ni njia mojawapo ya kukuza uhusiano. Rafiki zangu, mnapokwenda katika matembezi, husaidia kubadilisha mapenzi na kuonekana mapya. Si lazima kwenda nje ya mji, kikubwa ni kuzingatia mfuko wako. Hata mkienda mahali pa kawaida tu, mkanywa juice na keki, bado ni nafasi nzuri kwenu ya kukuza uhusiano huo. Kila mmoja ana wajibu wa kufanya hivyo, lakini hutakiwi kumsubiri mwenzako afanye, wewe kwa nafasi yako unatakiwa kuhakikisha unamfanya mwenzi wako afurahie uhusiano wenu. Kufanya hivyo, kutampa deni na yeye la kufanya hivyo kwako. 8. MFANYE NAMBA MOJA Kuna baadhi ya marafiki wana fikra potofu (hasa wanaume). Hawa wanaamini kumpa mwanamke nafasi katika maisha ni kumfanya akukalie. Si kweli. Mwanamke unapompa nafasi ya kwanza, anaufurahia uhusiano wenu. Anajiona mwenye hadhi kubwa zaidi kwako, hutafuta njia za kukufanya umpende maradufu, kuliko kumuacha akijiona hana nafasi. Ongozana na mpenzi wako kwenye kumbi za burudani, mialiko ya sherehe mbalimbali, lakini pia mpe kipaumbele kwa kila kitu. Hili halihitaji elimu ya darasani. Chunguza wenzako wanaowapa wenzi wao kipaumbele wanavyoishi. Achana na mifumo ya kizamani, ukimpa mwenzako usawa anajiona ana nafasi kwako na thamani katika uhusiano mlionao. 9. MPE NAFASI Hapa hakuna kitu kikubwa sana, ni kiasi cha kumpa nafasi katika mambo yako muhimu. Mathalan unataka kununua kiwanja Gongo la Mboto; Hata kama umeshaweka kila kitu sawa, lakini kumshirikisha tu, kutamfanya ajione mwenye nafasi kubwa kwako. Hili si kwa wanaume pekee, hata wanawake nao wanapaswa kutoa vipaumbele kwa wanaume zao. Hii itasaidia kwa kiasi kikubwa sana kuongeza ladha ya mapenzi kwa wapendanao. Inawezekana elimu hii imekupitia kushoto, hebu jaribu uone mafanikio yake. Kumpa nafasi mwenzako katika mambo yako, tafsiri yake ni kumuamini na kumfanya azidi kujiamini kwako. Ni rahisi sana, lakini habari njema kwako ni kwamba, atakusikiliza kwa kila kitu, maana anajiona yeye ni sehemu yako kikamilifu. 10. MTAMBULISHE Mapenzi ya siri yana ukomo wake marafiki zangu. Ngoja niwaambie, unapokuwa unapenda mapenzi ya siri sana, unampa wakati mgumu mwenzako. Ni rahisi kufikiria kwamba, unafanya hivyo kwa kuwa ama hujiamini au una mtu mwingine. Weka mambo hadharani. Mtambulishe mwenzi wako kwa marafiki zako. Jiamini, unapokutana na mtu uliyesoma naye zamani au kuishi naye sehemu moja, mwambie kwamba uliyenaye ni mwenzako na unatarajia kuingia naye kwenye ndoa. Kufichaficha kunaondoa utamu wa mapenzi. Kunazidisha maswali ambayo hayana majibu. Kama yapo ni huyo mwenzako kujijibu mwenyewe. Kwa kawaida, hatajipa majibu mazuri. Yatakuwa ya kinyume – yenye tafsiri mbaya. Kwamba yawezekana hutaki kumtambulisha kwa kuwa una mtu mwingine. Je, ni kweli? Kama ndivyo huna sababu ya kumpotezea muda mwenzako. Kama si kweli, basi amka. Gundua kwamba ulikuwa unafanya makosa na uanze ukurasa mpya. 11. GUSIA MAMBO YA KIIMANI Kuzungumzia mambo ya dini kulingana na imani yenu, kutamsogeza mwenzako kwenye ukweli kuwa una lengo naye la kuungana katika maisha ya ndoa. Angalizo kwako ni kwamba, wakati unamweleza hayo, iwe kweli yanatoka ndani ya moyo wako. 12. WAHUSISHE VIONGOZI WA DINI Ikiwa uhusiano wenu umekomaa, unatakiwa kuwashirikisha viongozi wa dini. Angalia mazingira, unaweza kwenda naye, au kwenda mwenyewe na kuwaeleza nia yako. Waambie wakuombee au wawaombee ili uhusiano wenu uwe na nguvu. Kumbuka ndoa ni tendo la heri, hivyo shetani naye hutumia nafasi hiyo kuwaharibia! Kumuingiza Mungu katika uhusiano wenu kuna maana, mtakuwa katika ulinzi wenye nguvu zaidi. Yamkini pia, kama uliyenaye si chaguo kutoka kwa Muumba atamuengua mikononi mwako na kukupeleka palipo sahihi. Usiogope, nenda kaonane na viongozi wa dini na uwaeleze kinagaubaga. 13. KAMILISHA TARATIBU ZA KIFAMILIA/KIMILA Ikiwa una uhakika kuwa mwenzako ndiye uliyemkusudia (zaidi kwa wanaume) wajulishe wazazi wako, kisha anza taratibu za kimila na kifamilia. Tuma wazee wapeleke posa, lipa mahari, halafu sasa anza kutimiza maagizo mengine yote utakayoagizwa. Ni njia ya kuelekea kwenye ndoa. Uhusiano wenye baraka za wazazi, si tu kwamba unakuwa na nguvu, bali una radhi za wazazi wenu wa pande zote mbili. Je, kwa hali hiyo uhusiano wenu hautaimarika? Bila shaka utazidi kuchanua. 14. JADILINI KUHUSU NDOA Hii ni hatua ya muhimu kabisa katika kuelekea kwenye ndoa. Mnapaswa kuijadili ndoa yenu ni ya namna gani? Kama imani zenu zimetofautiana, nini kifanyike? Pindi mtakapojadiliana, mtaweza kupata muafaka juu ya ndoa ambayo ni sahihi kwenu. Ndugu yangu, usilazimishe kumbadilisha mwenzako akufuate katika imani yako kama yeye hataki au pengine kuna vipingamizi katika familia yao. Kila mmoja wenu anapaswa kuweka hoja mezani na mnazijadili kwa mapana yake na mwisho muafaka utapatikana, mtaoana. Hakuna kinachoshindikana katika majadiliano, tumia lugha nzuri kumshauri mwenzako ili ajue unamjali hivyo ni rahisi kuridhia ulichomshauri. Ieleweke tu ndoa yoyote mtakayokubaliana kupitia majadiliano yenu, basi itadumu kuliko mkitumia njia ya kulazimishana. (b) Kwa wanandoa hapa sasa mnisome kwa makini maana wengi wamekuwa wakifeli katika hatua hii kutokana na kujisahau. Mikikimikiki ya maisha inapoibuka inaweza kuwafanya kila mmoja wenu akawa na maamuzi yake katika maisha hata kama mwanzoni (kabla ya ndoa) dhamira yenu ilikuwa njema. Siku ya leo, Lets Talk About Love itakumegea vipengele sita ambavyo kimsingi ukivisoma kwa makini itakuwa ni dozi sahihi kama mwanandoa kuweza kujua siri hizi muhimu za kufurahia mapenzi yenu na nikushauri kuitumia kila siku. 15. WEKENI MIPANGO PAMOJA Wanandoa wengi wamekuwa wakijisahau pindi wanapokuwa ndani ya ndoa. Inawezekana awali walikuwa na mikakati mizuri lakini baadaye mmoja wao huanza kujiamulia bila kumshirikisha mwenzake. Tatizo hili lipo zaidi kwa wanaume, mfumo dume unachukua mkondo wake. Utakuta mwanaume anafanya maamuzi peke yake akiamini yeye ndiyo kila kitu. Jeuri hii inakuja hasa pale mwanaume anapoamini kuwa yeye ndiyo chanzo cha fedha wanayotaka kufanyia kitu fulani. Ataamua bila kumshirikisha mkewe kwa kuwa fedha anakuwa nazo yeye bila kujua mipango yote inapaswa kuzungumzwa pamoja kabla ya kufanya maamuzi. Ndoa ni makubaliano baina ya watu wawili hivyo basi, katika kila jambo la maendeleo litafanikiwa pale tu mtakapolipanga pamoja. Ndugu yangu, acha kujiona wewe ni zaidi katika ndoa kutokana na kipato ulichonacho. Fedha si lolote si chochote katika maisha ya ndoa. Fedha zisibadilishe maamuzi ya mipango yenu, kila mnachotaka kukifanya basi mkifanye pamoja. 16. TUMIA MAJADILIANO ZAIDI Yamkini wote wawili mlifanya majadiliano kabla ya kufikia maamuzi ya ndoa, basi ni wajibu wenu kuishi katika majadiliano kila siku. Wapo watu wasiopenda kuona ndoa za watu zinakuwa na furaha. Wataingilia na kuwafanya mgombane. Inawezekana pia mkapishana kauli katika mazungumzo, busara huhitajika. Kutofautiana kwa kauli pamoja na vitu vingine, vinaweza kumalizwa kwa njia ya majadiliano. Jadilini katika lugha nzuri itakayomfanya mwenzio aone thamani yake. Mkijadili yote kwa uyakinifu, mwisho mtagundua kumbe kilichokuwa kinawatatiza ni kitu kidogo ambacho hakikuhitaji nguvu kubwa kukitatua. Mnapojadiliana ni rahisi pia kutambua kosa lilikuwa wapi au lilisababishwa na nani, hivyo ni rahisi kumuepuka. 17. PALIZI YA NDOA Kama ilivyo kwa mazao yakiwa shambani yanavyohitaji kupaliliwa ili yaweze kushamiri, vivyo hivyo katika ndoa. Ndoa inapaswa kupaliliwa kila siku. Jaribu kila wakati kusoma alama za nyakati, vitu gani anavipenda mwenzako basi umfanyie kila wakati. Mfano unaweza kupanga siku moja katika wiki ukamchukua mkeo au mumeo na kumtoa nje kimatembezi. Ndoa hupaliliwa na vitu kama hivyo. Zawadi za hapa na pale zisipungue, acha kuishi kwa mazoea eti kwa kuwa tayari ni mkeo au tayari ni mumeo. Unapoipalilia ndoa katika staili za zawadi, mitoko na vitu vingine huifanya ionekane mpya kila siku. Mnunulie mkeo au mumeo vazi unaloona linaendana na wakati mlionao. 18. KINYWA CHENYE LADHA Inawezekana ukaona labda nazungumzia kitu cha kawaida sana, lakini kama ukitafakari kwa kina na kwa mapana yake, utagundua kwamba ni mjadala wenye maana katika ndoa. Hata kwenye Kitchen Party, sherehe za ndoa n.k, suala la kinywa chenye ladha nzuri huzungumzwa sana, ila hapa nitakuongezea baadhi ya vitu vingine usivyovijua. Kwa kawaida, wanawake ndiyo ambao huaswa zaidi katika kuwa na kauli nzuri kwa waume zao. Wanaume wamesahaulika kabisa. Wanaonekana kama wao hawana wajibu wa kuwa na kauli nzuri kwa wake zao; jambo hili si la kweli hata kidogo. Wote wanapaswa kuweka masikilizano kwa kauli ya pamoja, huku kila mmoja akiwa na shabaha ya kuhakikisha mwenzake haudhiki na maneno yake. Ni jambo jepesi sana – kuwa na ulimi wenye ladha. KUJITAMBUA kwamba unayezungumza naye ni mke/mumeo. Hebu jiulize, ikiwa mwanzoni wakati wa uchumba wenu mliweza kuwa na kauli nzuri, kila mmoja akiwa na hamu ya kumsikiliza mwenzake muda wote, iweje katika ndoa? Jibu la swali hili litakuwa mwongozo mzuri zaidi wa kuinakshi ndoa yenu kuwa bora yenye furaha siku zote. Ndugu zangu, furaha ndiyo kila kitu katika uhusiano wowote ule. Kukiwa na furaha, hakuwezi kuingia tatizo lolote. Litapitia wapi, wakati mioyo ina amani? Ikiwa kinyume chake, ni rahisi hata kugombana, maana hata mgombanishi hupata nafasi zaidi sehemu isiyo na amani, isiyo na majadiliano, pasipo na maelewano. Usikubali kuwa katika ndoa ya namna hiyo. 19. EPUKA MANENO YA KUUDHI Kipengele hiki hakina tofauti sana na kilichopita, lakini hapa kuna la zaidi la kuongezea. Kuna wakati wenzi wanaweza kuingia katika mtafaruku ambao chanzo chake ni cha ajabu kabisa! Kwa mfano, unakuta mpenzi anamwambia mwenzake: “Mh! Na wewe unanuka sana mdomo!” Kauli gani hiyo kwa mpenzi wako? Mwanaume unalala naye kila siku, kwa nini umwambie ananuka? Wewe ukifanya hivyo, huko nje wamuambieje? Kwanza kama ni kweli ana tatizo hilo, ni jukumu lako kumtibu, lakini pia kumtunzia siri. Kama nje anachekwa, ndani ya familia pia anachekwa, wapi atapata faraja? Yapo maneno mengi sana yenye kuudhi, lakini hapa nitataja machache. Wengine wanawaambia wenzao wananuka kikwapa, hawajapendeza, hawana akili nk. Haya ni maneno ya kuudhi. Hebu fikiria kauli kama hii mtu anamtamkia mkewe! “Yaani kweli wewe huna akili, kitu kidogo kama hicho kweli unaweza kukosea? Ndiyo maana wenzetu wanafanikiwa kimaisha, wanatuacha. Sijui nilikutana na wewe wapi?...maisha yangu yanazidi kuwa giza tu, nikiwa na wewe!” Acha maneno ya kufuru, kwani siku zote hukuona upungufu wake? Kuwa makini na kauli zako. Ndoa yako utaivunja wewe mwenyewe, pia kama ni kuijenga, utaijenga wewe mwenyewe! 20. UBORA KATIKA TENDO LA NDOA Hapa ndipo panapotakiwa kupewa heshima kubwa zaidi kuliko vipengele vyote vilivyotangulia. Katika masomo yaliyopita, nimewahi kufafanua hili kwa undani zaidi, leo nitagusia juu juu tu! Rafiki zangu, tendo la ndoa ni la heshima. Halitaki papara na linatakiwa kupewa nafasi na kila mmoja kuridhika. Acha kujifikiria mwenyewe, maana hapa ndipo panapopatikana mianya ya kutoka nje ya ndoa. Hakikisha mwenzako anaridhishwa na wewe mnapokuwa chumbani. Tafuta elimu zaidi ya kufurahia tendo hilo ili mwenzako awe na sababu ya kuwa na wewe. Sikia nikuambie, tendo la ndoa kwa wanandoa hasa waliozoeana linachosha! Huu ni ukweli ambao wengi wanaupinga. Yes! Linachosha na kukikanaisha. Hakuna kipya. Mwanaume yule yule. Kitanda kile kile, chumba kile kile. Lazima umchoke. Hata hivyo, ukiwa mbunifu utaendelea kumuona mwenzako mpya kila siku. Badilisheni mazingira, tafuteni muda wa kutoka pamoja angalau mara moja ndani ya miezi mitatu – kwa mwaka mara nne. Yapo mengi sana, elimu hii ni pana, hasa kama utakuwa mbunifu na mwenye kuisaka kila siku. Rafiki zangu, nadhani mnafahamu namna inavyokuwa vigumu kueleza kila kitu hapa gazetini, lakini kikubwa cha kumalizia mada hii ni hiki; unapokuwa na mwenzako faragha, ujue kuwa anategemea zaidi wewe kumfanya afurahie tendo hilo. Ukijua hivyo, naye akajua hivyo, furaha ya tendo la ndoa itadumu siku zote za ndoa yenu.
UNAFANYAGA MAPENZI SALAMA????  -Kondom ivaliwe haraka sana baada ya kuvua nguo ya ndani, haijalishi kama utafanya ngono au la!. Pia hakikisha huingizi ulimi wako ndani sana ya mdomo wake na hakikisha hupati kabisa mate kutoka kinywani kwake……tafuta njia mbadala ya kuibua nyege zake kuliko kubusu kwa mate. -"Withdrawal" (kukojolea nje) baadhi ya watu wanaamini kuwa kufanya hivyo huepusha mimba zisizotarajiwa na maambukizo ya Ukimwi(wakidhani kuwa ni manii pekee ndio hubeba virusi), lakini ifahamike kuwa jinsi tendo linavyoendelea kabla (mwanaume) kufikia kileleni na "kuwithdrawal"ndivyo Manii yanavyobaki ndani ya Uke na kujikuta umeambukizwa bila wewe kujijua. -kamwe usikubari kufanya ngono bila kinga (skinny dipping) hata kidogo, wakati wote angalia kuwa Kondom inayotumika haina mipasuko n.k. -"Going Down" wataalam wa magojwa ya zinaa wanakili kuwa mtindo huu wa kutumia mdomo si hatari sana ikiwa tu, hakutakuwa na michubuko nje/ndani ya mdomo, matatizo ya koo, kuvuja damu kwa fidhi n.k. -Kamwe usijaribu kufanya hivi wakati ukijua kwa unamatatizo ya fidhi, koo, ulimi n.k, lakini ni vyema ikafahamika kuwa ni vigumu sana kugundua kuwa unamichubuko kwenye mdomo, ulimi na hasa koo.
Mwanaume Ukitumia Aina Hii ya Chai Utakuwa Mwanaume Haswa!  Katika blogu hii nimetoa takriaban mada sita (06) zinazohusu vyakula na aina mbalimbali ya mazoezi ambayo mwanaume akizingatia hakika hatokuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Mada hizo ni pamoja na: Ongeza Nguvu za kiume kwa Viagra za Asili, Vyakula Vinavyoongeza Hamu na Nguvu ya Kufanya Tendo la Ndoa, Fahamu Aina 7 ya Vyakula Vinavyoongeza Nguvu za Kiume, Vijue Vyakula Hatari kwa Kupunguza Nguvu za Kiume, Fanya Mazoezi Haya kwa Wiki Tatu Kuongeza Nguvu za Kiume na Zifahamu Nutrients na Madini Muhimu kwa Nguvu za Kiume. Leo nakuletea mada nzuri kuhusu namna ya kutengeneza chai ya viungo vya chakula ambayo mwanaume akiitumia atakuwa na hamu ya kufanya mapenzi na atakuwa na nguvu kubwa za kiume. Chai hii inaboresha shahawa za mwanaume kwa kiwango kikubwa kwa maana ya kuondoa tatizo la mbegu za kiume kuwa na umbo lisilofaa (sperm abnormalities), kuongeza wingi wa mbegu za kiume ndani ya shahawa (sperm count) na kuongeza kasi ya mbegu za kiume kuogelea ndani ya uke wa mwanamke (sperm motility). Chai hii itamfanya mwanaume kuwa rijali haswa kwani atakuwa na hamu kubwa ya kufanya mapenzi (libido), ataweza kuanza na kumaliza tendo bila kuishia njiani hali ambayo inawakera wanawake, inafanya uume kuwa mkubwa na inafanya uume kusimama haswaa kibabe na kufanya mashambulizi maridadi kunako sita kwa sita. Kabla sijakueleza namna ya kuandaa chai hii napenda niwambie wanaume wenzangu kuwa matumizi ya chai na kahawa yenye caffeine sio nzuri kwao kwani huchangia kupunguza nguvu za kiume na kuzorotisha ubora wa shahawa. Wengi tumekuwa tukitumia chai au kahawa yenye caffeine bila kujua madhara yake kwetu wanaume. Watafiti nchini Italy waligundua kwamba hatari ya mwanaume kuwa na mbegu za kiume zisizo na ubora (unhealthy sperm) huongezeka kadri mwanaume huyo anapozidi kutumia chai au kahawa zaidi kwa siku. Hatari hii pia huwakumba wanaume wanao tumia kilevi (alcohol). Kadhalika wanaume wanaovuta sigara wanakabiliwa na hatari ya kupoteza ubora wa shahawa na upungufu wa mbegu za kiume. Aidha uwezo wao wa kufanya mapenzi (sexual performance) hupungua. Bila kukuchosha kwa maelezo marefu napenda kukushauri wewe mwanaume kupunguza kabisa au kuachana na unywaji wa chai au kahawa yenye caffeine, uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe usiofaa. Badala yake tumia chai hii ya viungo vya chakula. Ifanye iwe ndiyo chai yako kila siku asubuhi na jioni. Mimi binafsi nimeachana na chai au kahawa yenye caffeine. Natumia chai ya viungo na situmii sukari ya kawaida, natumia asali kwenye chai yangu ya viungo. Nimeona mafanikio makubwa sana na nimeona leo nishiriki pamoja na wewe siri ya mafanikio yangu. Chai ya viungo, changanya viwango sawa vya unga wa viungo hivi: Tangawizi (ginger), kitunguu swaumu (garlic), unga wa haradali (mustard), pilipili manga, mdalasini, sweet basil, coriander na kungumanga (nutmeg). Viungo hivi vinapatikana kwa urahisi sokoni au supermarket. Matumizi yake: chukua kiasi cha mchanganyiko wa viungo hivyo weka kwenye maji ya moto na weka asali badala ya sukari. Hata ukikosa sweet basil na coriander sio mbaya lakini hivyo viungo vingine ni MUHIMU SANA! Ukitumia hii chai hutodanganywa na watu wanaonadi dawa za kuongeza nguvu za kiume, kuongeza hamu ya tendo au kurudia tendo na ubora wa shahawa kwa maana kwamba hutopoteza pesa yako kununua dawa zao! Isitoshe jiulize Je, hizo dawa au tiba zinazouzwa na watu hao ni salama? Zimehakikiwa na watalaamu wa Chakula na Dawa katika nchi unayoishi?
KWENYE MAPENZI KAMA HUYAJUI HAYA UMEISHA!!!!!!!!!!!  Uaminifu: Katika maisha ya uhusiano, mpaka mnaamua kuwa wawili ina maana mmekubali kwa ridhaa yenu. Mmewaacha wengi na kuamua kuwa pamoja, hivyo mnatakiwa kulilinda penzi lenu kwa kuwa waaminifu. Tabia nzuri: Hii ndiyo inayobeba uwakilishi wa mwanadamu ndani ya nyumba, ndiyo nguzo imara ambayo itakufanya usimame popote kwa kujiamini. Katika hili wengi hukosea wanapojiona wana sura na umbile zuri au fedha, basi huanza kuwanyanyasa wenzao kwa kujivunia walivyonavyo na kusahau hakuna kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya kukasirishwa. Mara nyingi uhusiano wa watu huvunjika kutokana na tabia ya mmoja kuwa mbaya isiyovumilika. Huruma: Ndani ya uhusiano, huruma ni kitu muhimu sana, ukiwa nao, huwezi kumuumiza mwenzako. Nyumba yenye huruma kwa wapendanao hudumu milele na kutenganishwa na kifo. Asiyekuwa na huruma, hufanya jambo lolote bila kujali maumivu ya mwenzake. Upendo: Huu ndiyo unaobeba kila kitu kwa vile mwenye upendo ana huruma, ni mvumilivu na tabia njema ndiyo asili yake. Wote mkiwa na upendo hata familia yenu itakuwa yenye tabia nzuri. Hapa mara nyingi kumekuwa na tatizo kwa baadhi ya watu kuchagua watu hasa wanawake kuchukia ndugu wa mume na mwisho wa siku ndoa huvunjika. Uvumilivu: Huu ndiyo muhimu katika maisha yetu ya kila siku, wengi wasio wavumilivu, wamekuwa wakitengana na wenzao. Kuna vitu ambavyo tunatakiwa tuvumiliane kwa vile wanadamu ni viumbe wenye upungufu. Kukosana ni sehemu ya maisha, lazima mvumiliane, mtangulize kusameheana na kuyasahau yaliyopita. Yapo ya kuvumilia, lakini si yaliyovuka mipaka kwa mtu kushindwa kujirekebisha.
DUDU LA HOUSE BOY🤦🏼♀👙 * SEHEMU YA 01.......✍🏼 * *🅱 professional love* '''Taraaaaaatibu ahaaaa shiiiiiii mme Wangu Dudu ilo umelitoa wapi mpaka najihisi niko Peponi"" Mwanamke aliendelea kulalamika kwa utamu aliokuwa akipewa na Houseboy wake akidhani ni mme wake..... ••••••••• Kipindi anapewa raha mme wake Bwana HOSEA BUCHWARD alikuwa kazin akifanya shughuli zake ofisi lakini Mungu saidia boss wake alimpigia simu na kuitaji fail ambalo lilokuwa na nyaraka muhimu,,... lakini kwa bahati mbaya au nzuri fail lile lilikuwa nyumbani kwake hivyo ilimbidi arudi Nyumbani ili akachukue faili kwamaana boss wake alilihitaji......???? %%Alifika ndani na kuweza kukuta mtoto wake akilia sebuleni na hakuweza kuona mtu sebuleni alihita kijana ambaye alikuwa ni houseboy RICHARD,RICHARD,RICHARD.. Ikawa kimya akamua kuita mke wake SOPH,SOPH naye akawa kimya..... Na ndipo alipombeba mtoto na kutaka kuingia chumbani kwake?,.... ""Alishituka sana kumuona mke wake Akifanya mapenzi na house boy,..... kitendo kile kilimuumiza sana lakini kabla awajamuona aliamua kuondoka bila ya kuonwa na mtu..... Alienda mpaka bar alikunywa pombe bwana BUCHWARD ilimradi hasau alichokiona lakini Ilishindikana yalipita masaaa 10...,, Ikawa ni saa tano za usiku ikambidi arudi Nyumbani.... Aliporudi nyumbani mke wake alimshangaaa sana kwamaana mme wake Alikuwa sio mnywaji wa pombe kabsaa alimuandalia maji lakin bwana BUCHWARD Akutaka kuoga wala kula alipita mpaka kitandani na kulala bila hata ya kuvua viatu... Mke wake soph alishangaa kumuona mme wake alivyokuwa katika hali ile Ilimbidi nae Alale?? usikose mwendelezo huu wa ##DUDU LA HOUSEBOY# INAENDELEA............
CHOMEZO MALKIA WA JELA SEHEMU YA NNE By B professional love SEHEMU YA NNE .................................. Baada ya kuniona pale ghafla alistuka na kuvuta shuka na kujifunika gubigubi Nilisogea huku nikiwa nimejawa na hasira kisha kulivuta lile shuka na kulitupa chini "Unajificha nini GEOFREY naona safar yako nzur nimeipenda Sana hapa ndo safarin ? "Niliongea maneno yake huku kifua kikiwa kimenibana kwa hasira "PENDO nisamehe Baby shetan kanipitia "Aliongea GEOFREY huku akijibana bana pale kitandani Yule msichana alisogea karbu Nam "we Dada vipi mbona mnapenda kuharbu starehe za watu we huyu unamjua au Umalaya tu " aliongea yule Dada nilijikuta napatwa na hasira na kumsukuma na kumgeukia GEOFREY kutaka anambie kwanini kaniongopea Mara ikasikika kelele ya saut ambayo haikutokea mbali nasi nilipogeuka alikuwa ni yule Dada baada ya kumsukuma alienda kujigonga ukutani na kuumia sehemu ya kichwan kelele zile zilipenya mpk nje ya chumba kile ikawastua mpk watu waliokuwemo ndan ya hotel ile DINA na yule Dada wa Reception waliamua kuja moja kwa moja mpk ndan ya chumba tulichokuepo na kukuta yule Dada akiwa chin kaegemea ukutan huku michiliz ya damu ikitiririka ukutan GEOFREY alitumia nafas ile na kuweza kupenya na kukimbia akiwa amevalia boksa Dada wa reception alibak akitetemeka PENDO alimwomba rafiki yake DINA simu na kuweza kuwapigia polisi na kujisalimisha mikonon mwao "Mmmh ! Pole Sana PENDO ila lako linaonekana kubwa kuliko langu "Alisema LINDA katika maeneo ya kule Gerezan NYANZARA alipostuka usingizin alishangaa kuona LINDA hayupo kwa kuwa alimtenga na PENDO na kumweka karbu na alipokuwa amelala alinyanyuka na kuangalia alipokuwa PENDO nae hakuweza kumwona alifuata kamba yake na kuanza kuzunguka akiwatafuta na kuweza kuwakuta wakiwa wamejificha wakiongea aliwaamuru wamfuate huku wakiwa wanatembea kwa magoti mpk kwa askar wasimamiz wa Gereza hilo na kuweza kuhadhibiwa na kupewa adhabu ya kufyeka nyasi usiku kucha huku wakilindwa na askar hakuna kula wala kulala mom adhabu yao itakapoisha Kula wala kulala mpaka watakapokuwa wameimaliza adhabu yao lakin askar baada ya kuona kuwa wamechoka Sana na muda umekwenda aliamua kuondoka nao na kuwarudisha ndan ya gereza baada ya kupambazuka wafungwa wengine wakiwa wameshaamka LINDA na PENDO walikuwa bado wamelala kutokana na adhabu ya Jana pamoja na njaa NYANZARA alisogea mpka walipokuwa wamelala na kuwakurupua waamke haraka na kwenda kuchukua chakula walipochukua Kama kawaida yao walienda kujitenga pemben "PENDO maisha ya hapa yamenishinda nataman leo kesho nijifie nikapimzike tu " Huku vichozi vyembamba vikimlenga machon "LINDA utazoea tu hakun a jinsi kila mtu alikuja Kama ulivo wewe ila wameshazoea na kuona ni hali ya kawaida tu " "PENDO itakuwa ngumu sisi wakulala njaa tunafanyishwa kaz mpk usiku wa manane tunampepea binadam mwenzetu asiumwe mbu kweli hii haki ?" "Mmh! Hii mbona ni kawaida ndo maana nakwambia utazoea tu taratibu hakuna namna " "Kwann huyu NYANZARA anakuwa mkatiri kiasi hiki hajui sisi n wasichana wenzie " "Usimwazie we vumilia haya yote yana mwisho wake Baada ya Miez kadhaa kupita LINDA akiwa anafagia fagia eneo la nje ya ofisi ya Askari alitoka askari mmoja umri wake ulikuwa umekwenda kwenda aliyejulikana kwa jina la Afande MUGA na kuweza kusogea pale alipokuwa akifagia fagia LINDA ,,LINDA akiwa hana hili wala lile akawa anaendelea kufagia bila ya kujua kwa nyuma yake kuna mtu Afande MUGA alikuwa akiangalia maungo ya nyuma ya msichana LINDA na kuamua kumsogelea na kumshika LINDA alistuka na kuinuka kumtazama "Binti unafanya usafi " Aliuloza Afande LINDA aliitikia kwa kutikisa kichwa Afande MUGA aliangaza huku na kule alipoona hakuna askar yeyote yule Alisogea na kumshika LINDA pegan LINDA alimtoa mkono na kurud nyuma "Usiogope Nataka kukusaidia na Kama utakubal nitakacho kwambia utaishi kwa aman Sana humu ndan utakula vizur tofauti na wenzako " LINDA alikuwa akimtizama Askar yule kwa woga huku akionekana kutetemeka "Skia Binti kwanza unaitwa nan ? "LI...LINDA " "Unajina zur sina Sasa akili yako itakuokoa Nataka uwe mpenzi wangu nahii iwe siri yetu hakuna hatakae jua yoyote yule hapo utaish kwa aman na utakula vizur " Kabla hawajamaliza kuongea alitokea PENDO "LINDA fikiria "Aliongea Afande na kuondoka PENDO alibakia akishangaa bila kujua ni kipi kilikuwa kikiendelea Kati ya askar na LINDA "LINDA vipi kuna usalama hapa " "Ndiyo hakuna kitu " NYANZARA akiwa kwa mbali aliweza kuwaona wakiwa wamesimama pale aliweza kuwafuata na kuwaomba waondoke haraka eneo lile Muda wa usiku wakiwa ndan ya gereza LINDA alionekana kufikiria Sana maneno aliyoambiwa na yule askar alipokuwa akifanya usaf aliingia katika mawazo mazito juu ya jambo lile PENDO alipomwangalia alimwona hayupo sawa alinyanyuka mahala alipokuwa amekaa na kumsogelea LINDA "LINDA?!" Alijaribu kumwita lakin LINDA hakuonekana kuwepo eneo hilo PENDO alijarbu kuweka mkono wake mbele ya uso wa LINDA na kuchezesha vidole vyake kujarbu kuona Kama atafanya chochote lakn bado alionekana kuwa na mawazo Aliamua kumshika began na kumtikisa ndipo LINDA akastuka na kujikuta akiropoka "Usinifanyie ivoo" "Mmh ! LINDA Una nini ?" Aliuliza PENDO "MH! hakuna kitu nimekumbuka Sana uraiani nimemkumbuka mama yangu PENDO " "Hapana siyo kweli LINDA kuna kitu unanificha " "PENDO hakuna nitakachoweza kukuficha ni kweli " NYANZARA alipowaona aliwafuata pale walipo "Ni Mara ngapi nawaambia sitaki mkae pamoja " Aliongea NYANZARA kwa saut ya ukali "lakini ............" Alitaka kuongea PENDO lakin NYANZARA alimzuia "Sasa Leo hamto Lala Mtanipepea Mbu mpk asubuh haya nyanyuken " PENDO alinyanyuka haraka pale chini ila LINDA akawa bado amekaa akionesha kukaid amri ile "Wewe ndo mbishi siyo umesha kuwa " Aliongea NYANZARA "Mim nimechoka kila siku sisi Nimechoka mm sifanyi nahitaji kupumzika Kama wewe " LINDA alijibu huku machoz yakim mwagika "Oooooh! Sasa Utakula jeur yako kumbe hunijui vizur Eeeh Huwa huna tabia ya kuuliza wenzio Mimi amri yangu huwa haikaidiwi hata Mara moja utafanya nachokitaka PENDO rudi ukae " "Ahsanteee" alisema PENDO na kurud kukaa "Binti nyanyuka hapo " NYANZARA aliongea kwa sauti ya juu Wafungwa wenzao walibaki wakiangalia ni kipi kitafuata baada ya LINDA kukaid amri ile NYANZARA aliinama na kumshika mkono kisha kumvuta anyanyuke kwa lazima na kumsukuma mahala ambapo huwa analala kisha kumpatia cha kujipepelea na kumwamrisha afuate Kama alivyoambiwa LINDA alikitupa kile cha kujipepelea NYANZARA alimshika na kuanza kumpiga huku akitaka mtu yeyote asisogee na kuamua ugomvi ule mpaka pale atakapoona inatosha PENDO roho ilimwuuma Sana kwa kile kitendo kilichotokea ila hakuwa na namna ya kufanya kumwokoa rafiki yake LINDA _______________
Kwanini wanawake wanapenda Uume mkubwa, Sababu iko hapa ni muhimu kujua *🅱 professional love*  Mimi ni mwanaume ambaye natambua kuwa sina uume mkubwa lakini kilampenzi ninayekutana naye anashangaa kuona kuwa ninaweza kumtosheleza tofauti na alivyotarajiaMara nyingi ninapoongea na wanawake nimekuwa ninapata maelezo kuwa wangependa kupata mwanaume mwenye UUME mkubwa kuliko mwenye UUME mdogo ili kufaidi tendo la ndoa.Naomba wanablog hii Kido Tz, hasa wanawake mnielimishe, kwa nini wanawake wengi wanapenda wapenzi wenye UUME mkubwa kuliko wale wenye UUME mdogo?Na wale wanaume wenye UUMEmdogo wanatakiwa wafanye nini ili kuwatosheleza vizuri wapenzi wao? Mimi naona wanawake wengi wanakosa wanaume wabunifu kunako sita kwa sita.
HIZI NDIO SABABU ZA WANAWAKE WENGI KUPENDA KULIWA TIGO..!! *🅱 professional love*  Tunapoamua kufanya jambo sio kwamba tunafuata mkumbo au kulazimishwa bali ni our choice Kufanya ng0no kusiko a.k.a 0713 “MWIKO” katika jamii nyingi Ulimwenguni sio kwa vile tu inamaanika kuwa ni uchafu na inamadhara makubwa ya kimwili, kiakili na kiafya bali ni kinyume na mafundisho ya imani zetu za Dini. Kinachofanyika chumbani ni uamuzi wenu ninyi wawili mnaopendana ikiwa tu mtakubaliana na kufanya hivo na pia ni siri yako wewe na mpenzi wako, kuna wapenzi wengi tunafanya mambo ya ajabu sana na watu tunaowapenda na tunafurahia na tunazidi kupendana na kutakana zaidi na zaidi kila siku….lakini mambo hayo ni “tab0o” ktk jamii kama ilivyo kwa Tigo au Ukware/uziNz! Kuna baadhi ya watu (wake kwa waume) hujaribu na kisha wanajikuta wanafurahia na hivyo wanaendelea na kuna wengine hutaka kujua “unajisikiaje” lakini wanajikuta hawafurahii au mmoja wao hafurahii na hivyo wanaacha na kutorudia tena tendo hilo la mugongo-mugongo. Pamoja na kuwa watu kuheshimu miiko ya dini zao, kupinga na kulisema vibaya tendo hili wachunguzi wa mambo ya Tigo wanadai kuwa mwanamke mmoja kati ya wanne anashiriki ngono ya nyuma (sasa hii sijui ni kuridhisha wapenzi au ni wao wanafurahia)…….wazoefu watusaidie hapa. Ukweli kuhusu Tigo.- Sio tendo asilia ktk swala zima la ng0no na mapenzi hivyo kumbuka unapoamua kugawa tako kuwa na uhakika ndio kitu unataka kukifanya na sio kukifanya kwa vile “mchumba” kaomba/anataka…..wewe ndio mwenye maamuzi makuu ya nini unataka kifanyike mwilini mwako. Kama unahisi unachokwenda kukifanya sio “n*atural*” na hujisikii vema kushiriki ng0no Tigo basi acha/kataa kufanya hivyo. -Mara mishipa ya Tigo ikitanuka kutokana na kufanywa huko mara kwa mara huwa haijirudi kama ilivyo kwenye uke kwa vile haikuumbwa kwa ajili ya shughuli hiyo. -Wengi tunaamini kuwa kufanywa nyuma ni kwa mashoga tu lakini kuna wanawake wanafurahia kama ilivyo ngono ya mdomo na baadhi hujigeuza kama njia mbadala ya kuzuia mimba au kulinda bikira (zaidi ni ktk jamii ya waarabu). -Ukizoea sana kupigwa nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa wakati wa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo hulegea baada ya kuzaa. Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi. Ukiangalia yale yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda. MADHARA MAKUU NI: Mwanamke anayefanyiwa mchezo huu hupata matatizo makubwa wakati wa kujifungua ikiwa ni pamoja na kutokwa na haja kubwa mfululizo wakati akijaribu kumsukuma mtoto. Tukio hili humsababishia aibu kubwa mwanamke, kiasi cha kumshushia hadhi yake mbele ya jamii. Umri unaposonga, haja kubwa hutoka bila kizuizi kutokana na misuli ya sphincter inayobana njia ya haja kubwa kulegea. Inaweza kusababisha saratani ya eneo hilo ‘cancer of col0n’. Ugonjwa wa UTI, yaani uambukizi kwa njia ya mkojo, huwa sugu, maana akitokea mwanaume alifanya kitendo hicho kisha akafanya ngono kama kawaida, bakteria wanaoishi sehemu hiyo wanaingia na kuwa na madhara makubwa. hasara yake kubwa mwanaume anayekufanyia mchezo huwa hawezi kukuoa, pia ni rahisi kukutangaza kwa jamaa zake na kuonekana kituko mbele za watu, kama umeolewa heshima yako hupungua ndani ya ndoa. Paparaziwetu inakushauri na inapinga kwa nguvu zangu zote swala la Ng0no kusiko (tigo) ila na heshimu chaguo/uamuzi wako…..wewe ndio mweye mwili na unafanya vile utakavyo. Ushuri wa bure-Jiheshimu na thamini mwili wako…..usitoe tako lako kama dawa ya kumfanya mume asitoke nje au akupende zaidi…..ni aibu mumeo akikuta nyuma jamaa waliwahi pia. Pia anaweza kumuua mtoto kwa vile kila akimsukuma atoke, pumzi hukata kutokana na misuli inayofahamika kwa jina la ‘sphincter’ kulegea na kusababisha ambane mtoto.

Dawa ya asili ya fangasi Ukeni *🅱 professional love*  Fangasi ukeni ni muwasho sehemu ya ndani ya uke ambao unaweza kuambatana pia na kuvimba kwa uke. Leo sitaongelea sana juu ya nini kinasababisha hizi fangasi sehemu ya uke bali tutaona dozi kamili ya asili inayoweza kutibu kabisa tatizo hili linalosumbuwa wanawake wengi miaka sasa. Tumia dawa hizi 3 zote kwa pamoja ili kupata matokeo mazuri na usiache kuleta mrejesho hapa namna unavyoendelea: 1. LEMONADE Lemonade inaandaliwa kwa kutumia limau na asali na mdalasini ya unga kidogo, nayo inaandaliwa hivi: * Chukua asali nusu Lita *Chukua limau kubwa 12, zikate katikati kila moja. Tumbukiza ndani ya sufuria na weka maji Lita 3, chemsha mpaka limau ziive (zisiive sana), ipua utowe zile nyama nyama za ndani za liamau moja baada ya nyingine, ganda la nje tupa na uchuje kupata juisi ambayo itakuwa na ujazo wa lita 2 na nusu hivi. Kwenye sufuria nyingine kubwa changanya ile asali nusu Lita na hiyo juisi ya limau Lita 2 na nusu, ongeza maji Safi ya kawaida Lita 2 ili kupata lemonade ya ujazo wa lita 5 Kunywa robo Lita kutwa mara 2 kwa siku 10 hadi 11 hivi. Unaweza kuongeza vijiko vikubwa vitatu vya mdalasini ya Unga ndani ya hii juisi ya LEMONADE 2. MAZIWA YA MTINDI Mtindi au bidhaa zitokanazo na maziwa ya mtindi, ni tiba ya kuaminika ya fangasi wa ukeni. Unaweza kutumia njia yeyeote kuweka maziwa ya mtindi au yogati kiasi kidogo labda kijiko kidogo cha chai ukeni wakati wa kulala na asubuhi unajisafisha kama kawaida. Pia inashauriwa kula tu huu mtindi kiasi cha kutosha kila siku. Uke wenyewe una uwezo wa kuondoa mabaki yote ya mtindi na kubakisha kiwango kikubwa cha bakteria wazuri (lactobacillus) pamoja na hali ya tindikali yenye uwezo wa kuzuia kujitokeza na kukua kwa fangasi. Bakteria hawa wanaopatikana katiaka mtindi hukusanywa viwandani na huuzwa kama bidhaa ijulikanayo kwa kitaalamu kama “Supplements of Acidophiles”. 3. KITUNGUU SWAUMU Kitunguu swaumu kina sifa na uwezo wa kuua bakteria na hata virusi mwilini. *Chukuwa kitunguu swaumu kimoja *Kigawanyishe katika punje punje *Menya nusu yake (punje 8 au 10 hivi), *Menya punje moja baada ya nyingine *Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo na kisu Meza kama unavyomeza dawa na maji vikombe 2 kila unapoenda kulala na asubuhi ukiamka tu. Fanya hivi kila siku kwa wiki 2 hadi tatu. Mama mjamzito chini ya miezi 4 ni vema asitumie, kwa ujumla tu mjamzito uwe makini utakapotumia kitunguu swaumu kwa namna hii kama wewe ni mjamzito. 4. MAFUTA YA NAZI Kama fangasi hao wa ukeni wanajitokeza hadi sehemu kidogo ya nje ya uke na unapata muwasho pia, hakikisha unapakaa mafuta ya asili ya nazi yaliyotengenezwa nyumbani. Hii dawa tosha kwa fangasi wowote juu ya ngozi. MAMBO MHIMU YA KUZINGATIA: Fangasi hii inaweza ikachelewa kupona au ikawa inajirudia hata baada ya kupona kama hutazingatia yafuatayo: *Kunywa maji mengi kila siku kuanzia glasi 8 hadi 10 *Punguza vyakula vyenye wanga *Acha kutumia sukari na badala yake tumia asali *Acha vinywaji baridi, acha pia chai ya rangi na kahawa *Acha matumizi ya pafyumu hasa maeneo ya huko *Acha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango, hii ni kwa sababu vidonge hivi vinasemwa huwa vinasababisha kushuka kwa kinga ya mwili na kukufanya mrahisi kupata maambukizi ya fangasi. *Epuka mapenzi kinyume na maumbile Kama una swali au unahitaji ushauri wowote comment hapo chini sasa hivi nitakujibu

Dawa asili na vyakula 20 vinavyotibu tatizo la msongo wa mawazo  *🅱 professional love* Dawa asili na vyakula 20 vinavyotibu tatizo la msongo wa mawazo (stress) Hali ya mfadhaiko inasemwa kutokea wakati ubongo unapokabiliana na tatizo la mvurugiko wa akili na kujikuta ukishindwa kuendana na hali zingine zinazohitaji umakini kwa wakati mmoja. Jambo hili linaweza kuuteka ubongo na kudhoofisha uwezo wake. Hatimaye hali hii ya ufadhaikaji katika ubongo inaweza kutengeneza dalili tofauti ambazo zimepachikwa majina mengi kwa mjibu wa sampuli tabia za nje anazozionesha mtu. Idadi kubwa zaidi ya watu wanazidi kupatwa au wanategemewa kupatwa na aina fulani fulani za mifadhaiko. Baadhi ya aina za mifadhaiko ni hali za asili katika hatua za maendeleo na kukua kwa mtu. Kwa bahati mbaya, baadhi ya watu uwezo wao ni mdogo kushughurika na woga, wasiwasi na hamaki zinazohusiana na mifadhaiko. Kwa bahati mbaya tena wanapotafuta msaada wa kitaaluma, wanapewa aina fulani za madawa. Mfadhaiko huongeza utiririkaji wa asidi ndani ya tumbo. Utafiti uliofanywa katika miaka ya hivi karibuni umeonyesha kuwa akili hutumia sehemu kubwa ya nguvu ya mwili. Baadhi ya madaktari wamesema mfadhaiko huchangia sana katika kutokea kwa magonjwa mengi mwilini zaidi ya 50. ! Inaelezwa na wataalamu kwamba karibu asilimia 50 ya wafanyabiashara wote duniani wanasumbuliwa na maradhi ya kutoridhika, kufunga choo, vidonda vya tumbo na maradhi ya moyo. Na wafanyabiashara ambao hawajui namna ya kupambana na wasiwasi au mashaka hufa wakiwa vijana. Wasiwasi na hofu ya maisha humfanya yeyote kuwa mgonjwa. Mvurugiko wa hisia una matokeo hasi katika afya ya mwili, pia wasiwasi na hofu ya maisha huweza kuleta magonjwa yanayoweza kuuwa kabisa sawa sawa na inavyotokea pia kwa magonjwa yale yatokanayo na lishe dhaifu. Baridi yabisi, maradhi ya moyo, tezi, kisukari, vidonda vya tumbo, kansa, yote yanaweza kusababishwa na mvurugiko wa mawazo. Utafiti wa kisayansi unasema hisia zetu na hali zetu na jinsi tunavyomudu kudhibiti mifadhaiko inaweza kutusaidia kuelewa ni kwa kiwango gani afya zetu zilivyo madhubuti au zilivyo dhaifu. Ingawa utafiti katika uwanja huu ni mpya, lakini utendaji kazi wa mfumo wa kinga ya maradhi ya mwili unaweza kukandamizwa na mfadhaiko wa akili au mawazo yatokanayo na shida za maisha. Majaribio yaliyofanywa kwa watu wenye mifadhaiko sana kama wajane, watu wanaosumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu, watu waliopewa talaka na wale wenye kupambana na adui yalionesha kuwa watu hao huweza kupata maradhi mara kwa mara kutokana na mfumo wao wa kinga ya maradhi kugandamizwa. Mfano katika kukabiliana na adui, akili hutambua hofu na ubongo hupata taarifa; neva zenye kujiendesha zenyewe hupanda juu ili kukutana na adui. Hapo moyo huenda mbio, msukumo wa damu nao hupanda na damu huvimba kwenye misuli kwa ajili ya maandalizi ya mapigano au makabiliano na adui. Oksijeni na virutubishi vingine hukimbilia kwenye ubongo vikimfanya mtu awe tayari zaidi kwa mapigano, na hapo mnyunyizo wa adrenalini, homoni inayohusika na uzalishwaji wa nguvu mwilini huongezeka. Kadri mfadhaiko unavyokuwa ni wa muda mfupi, ndivyo pia athari zake zinavyokuwa ni fupi. Lakini pindi mfadhaiko unapodumu kwa muda mrefu kama vile kipindi cha ndoa isiyo na amani au katika hali ya matatizo mengi kila mara, athari zake nazo hudumu kwa muda mrefu. Dawa asili na vyakula 20 vinavyotibu tatizo la msongo wa mawazo (stress) Katika kujidhibiti au kujitibu na mfadhaiko au stress jambo la kwanza ni kutambua nini chanzo cha huo mfadhaiko wako, ukishapata kujuwa chanzo ni rahisi kupata suluhisho kwa haraka. Tambuwa kuwa kila mtu ana matatizo na kila mtu hufeli katika mipango yake na kila mtu hupata hasara. Tofauti ni kwamba wakati baadhi ya watu wanaweza kumudu kudhibiti mvurugiko wa mawazo, wengine hawajui kabisa nini cha kufanya na matokeo yake hupatwa na mfadhaiko ambao huweza kusababisha maradhi mengi mwilini bila idadi. Kama utakubali kuyapokea maisha kama yanavyokuja, ukaacha kuyakopa maisha ya jana na ukaacha kuhofu maisha ya kesho, ni hakika kabisa utaweza kujidhibiti kupatwa na mfadhaiko. Kuna watu wakipatwa na matatizo huyaficha kimya na kuendelea kuumia ndani kwa ndani peke yao, hii ni tabia mbaya sana kiafya, unapopatwa na tatizo jaribu kutafuta mtu au watu unaowaamini na uwaeleze tatizo lako hata kama hawatakusaidia moja kwa moja lakini mawazo na ushauri wao tu vinaweza kuwa ni dawa tosha ya mfadhaiko au stress yako. Pamoja na hilo dawa asili na vyakula vifuatavyo vitakusaidia kupunguza kama siyo kutibu kabisa hali hii mbaya inayoendelea kuwasumbuwa mamia ya watu kila siku. 1. Iliki Iliki inao uwezo wa kuzirudishia nguvu mpya seli za mwili na kusafisha mwili jambo ambalo mwishowe linasaidia kuweka sawa akili yako. Kunywa chai yenye iliki kila siku. Iliki inaweza pia kuongezwa kwenye vyakula na mboga nyingi jikoni. Kazi ni kwako. 2. Kungumanga Kungumanga hufanya kazi kama dawa ya kuchangamsha ubongo na kuondoa uchovu na mfadhaiko. Kama matokeo yake matumizi ya tunda hili kutakufanya kuwa na akili yenye utulivu nah ii ni moja ya dawa rahisi kabisa za kutibu mfadhaiko. Tumia nusu kijiko kidogo cha chai cha unga wa kungumanga ndani ya kikombe kimoja cha chai ya kijani kutwa mara 1 kila siku. 2. Korosho na maziwa ya moto Korosho zina vitamini C kwa wingi ambayo inaweza kuuamsha mfumo wako wa neva za fahamu. Vile vile korosho zina kitu kinaitwa kwa kitaalamu ‘riboflavin’ ambacho huongeza nguvu za mwili na hivyo ukajisikia ni mwenye furaha na mchangamfu. Korosho pia zina magnesiamu, vitamini B6 na tryptophan ambavyo huhusika na afya ya akili moja kwa moja na hivyo kukusaidia kupigana na mfadhaiko. Muunganiko wa korosho na maziwa ya moto unakuwa ndiyo dawa bora zaidi ya asili ya kutibu mfadhaiko wa akili. Changanya unga wa korosho kijiko kidogo kimoja ndani ya kikombe kimoja cha maziwa ya moto na unywe yote kutwa mara 1 kila siku. 3. Baking Soda Baking soda inaweza kusaidia kukupunguzia kiasi cha hamaki katika ubongo wako na hivyo kukuondolea msongo wa mawazo. Sababu kubwa ni kuwa baking soda ina uwezo mkubwa wa kuondoa asidi ndani ya mwili wako. Tumia nusu kijiko kidogo cha chai kutwa mara 1 ndani ya maji ya uvuguvugu kikombe kimoja kila siku. 4. Mafuta ya Samaki Kwa mjibu wa tafiti mbalimbali watu wengi wanaosumbuliwa na mfadhaiko wa akili huwa wana upungufu wa omega 3 ndani ya miili yao. Na mafuta ya samaki ni moja ya vyanzo vizuri vya mafuta yenye omega 3 ambayo huhitajika na ubongo wako kwa ajili ya ufanisi wa kazi zake kila siku. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha mafuta ya samaki kila siku au kula samaki wa maji baridi kwa wiki kila mara. 5. Figili Figili (Celery) ina kiasi kingi cha ‘folic acid’ na potasiamu vitu viwili vinavyoweza kukusaidia usipatwe na mfadhaiko wa akili kirahisi. Hakikisha kila mara haikosi kwenye mlo wako hii figili. 6. LOZI Lozi (Almonds) zina vitamini B12 na madini ya zinki kwa wingi ambavyo ni mhimu katika kushusha mfadhaiko wa akili. Tengeneza juisi yenye lozi 10, kipande cha tangawizi, kikombe kimoja cha maziwa na kiasi kidogo cha unga wa kungumanga kupata radha. Kunywa juisi hii kila unapoenda kulala na stress yako itapotea yenyewe. 7. Tufaa Tunda la tufaa (Apple) lina kingi cha potasiamu, phosphorus, na vitamini B. Viinilishe hivi ni mhimu kwa ajili ya ubongo wako kujiripea na kuunda seli mpya jambo ambalo linaweza kusaidia kutuliza akili yako. Kwenye mlo wako usikose kuwa na tunda hili kila siku. 8. Nyama ya kuku Upungufu wa vitamini B6 hupelekea msongo wa mawazo kirahisi zaidi. Mwili wako unahitaji vitamini B6 kwa ajili ya kutengeneza transmita nyurolojia zinazohusika na kuchangamka kwa akili na mwili wako ambazo ni ‘dopamine’ na ‘serotonin’. Nyama ya kuku inayo kiasi cha kutosha cha vitamini B6. Furaha iliyoje kuona kuwa kumbe kula kuku tu kunaweza kukupunguzia au kukuondolea kabisa msongo wa mawazo (stress)?. Kula nyama ya kuku mara kwa mara. Kwa kawaida asubuhi mi binafsi napendelea sana kula supu ya kuku. Mhimu zingatia ni kuku wa kienyeji na siyo hawa wa kizungu ambao wanaweza kukuletea shida zaidi mwilini. 9. Spinach Kwa mjibu wa utafiti moja ya sababu nyingine ya msongo wa mawazo ni kupungua ‘folic acid’ mwilini. Ukweli ni kuwa wanasayansi wamegundua watu wengi wanaosumbuliwa na msongo wa mawazo wana kiasi kidogo cha folic acid ukilinganisha na wengine wenye utulivu katika akili zao. Vile vile homoni mhimu inayojihusisha na udhibiti wa matendo ya akili ijulikanayo kama ‘serotonin’ kiwango chake hushuka chini sana inapotokea folic acid imeshuka mwilini jambo ambalo ndilo hupelekea kutokea kwa msongo wa mawazo au stress moja kwa moja. Kwa bahati mbaya upungufu huu wa folic acid unawatokea zaidi wanawake kuliko wanaume. Kikombe kimoja cha spinachi kwa siku kinatosha kukupa folic acid unayohitaji kila siku. 10. Masaji Masaji ni njia nyingine rahisi ya kuondoa msongo ndani ya mwili wako isiyo na madhara yoyote. Masaji ambayo inahusisha matumizi ya mafuta ni njia nzuri sana ya kuweka sawa akili yako na kuondoa sumu mwilini kirahisi. Masaji ya mwili itakufanyia ujisikie vizuri kimwili na kiakili pia. Kwa kazi hii unaweza kutumia mafuta ya nazi ua ya ufuta au ya karafuu kwa matokeo mazuri zaidi. Mara moja moja katika wiki pata nafasi ya kupata huduma hii ili kuzuia na kukabiliana na tatizo la msongo wa mawazo (stress). 11. Kahawa Kahawa inao uwezo pia wa kukufanya ujisikie vizuri na hivyo kuondoa msongo wa mawazo. Kunywa kikombe kimoja cha kahawa asubuhi ikiwa unakabiliwa na tatizo la mfadhaiko wa akili. Hata hivyo kuwa makini, kunywa kahawa kupita kiasi kunaweza kukupelekea ukapatwa na mfadhaiko zaidi sababu kahawa ina kaffeina ndani yake ambayo ni dawa ya kulevya kundi la madawa ya kulevya yanayosisimua akili (stimulants drugs). 12. Mafuta ya habbat soda Tafiti zimeonyesha mafuta ya habbat soda kuwa msaada mkubwa katika kudhibiti tabia za kuhamaki na wasiwasi na hivyo kukuwezesha kujisikia vizuri kila mara. Na utaona matokeo haya baada ya matumizi ya habbat soda kwa siku 30 hivi. Tafiti kadhaa zimeonyesha watu waliokuwa wakitumia mafuta ya habbat soda wanakuwa ni watu wenye furaha ya asili na kuwa si wepesi kuwa na huzuni au kufadhaika. Kazi hii ya mafuta ya habbat soda ndiyo mhimu kuliko zote sababu mamilioni ya watu wanakabiliwa na tatizo la kuwa na huzuni au stress na mifadhaiko ya akili kitendo ambacho kinaweza kuharibu kinga zao za mwili na maisha kwa ujumla. Ni vigumu sana kupata mtishamba ambao unaweza kutibu matatizo yanayohusiana na saikolojia moja kwa moja lakini mafuta ya habbat soda yanaweza kutumika kwa dhumuni hili la kutuliza, kupunguza na kutibu tatizo la huzuni au kufadhaika kwa akili. Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku 13. Chai ya Kijani Watu wanaosumbuliwa na msongo wa mawazo mara nyingi wanapungukiwa na nguvu na ujasiri. Na chai ya kijani inaweza kukurejeshea vyote hivi viwili yaani nguvu pamoja na ujasiri sababu ina kiinilishe mhimu kwa ajili kijulikanacho kama ‘L- Theanine’ ambacho hufanya kazi hii ya kuondoa mfadhaiko wa akili. Hivyo kupunguza na kuondoa stress hakikisha hukosi kunywa chai hii mara 2 hata 3 kwa siku. 14. Chumvi Unaweza ukashangaa kuona chumvi nayo imo kwenye orodha hii. Ukweli ni kuwa watu wengi hawatumii chumvi ya kutosha kwenye vyakula vyao miaka ya sasa jambo linalopelekea wengi wao kupatwa na mfadhaiko wa akili na hata magonjwa kama shinikizo la juu la damu na kisukari. Huwezi kuwa na afya bora kama hutumii ya kutosha kwenye vyakula vyako kila siku. Chumvi ni mhimu mwilini kama ilivyo kwa maji ya kunywa. Chumvi ninayoizungumzia hapa ni ile yam awe ya baharini ambayo haijapita kiwandani kwakuwa ndiyo huwa madini madogo madogo (trace minerals) mhimu zaidi kwa afya ya binadamu. Najuwa umeambiwa chumvi ni mbaya na kuwa unatakiwa ule vyakula vyenye chumvi kidogo au visivyo na chumvi kabisa, hata hivyo madai haya hayana ukweli wowote na ndiyo sababu unaona hata kwenye dripu la maji lazima na chumvi iwekwe ndani yake. Kila lita moja la dripu la maji ndani yake huwekwa chumvi gramu 9. Chumvi inaweza kuwa mbaya ikiwa tu wewe si mtu unayependa kunywa maji mengi kila siku, ila kama unakunywa maji mengi kila siku basi unahitaji pia chumvi ya kutosha kwenye vyakula unavyokula kila siku. Kama una msongo wa mawazo na unakula vyakula vyenye chumvi kwa mbali ni wakati sasa wa kubadili mtindo huo na hutakawia kuona mabadiliko mazuri. 15. LIMAU Limau ni dawa nyingine ya asili rahisi ya kutibu msongo wa mawazo unayoweza kuiendea isiyo na madhara yoyote mabaya hapo baadaye kwenye afya ya mwili wako. Ndiyo maana kila ukipewa supu asubuhi hawaachi kukuwekea na limau pembeni, kwakuwa limau huondoa uchovu na kujisikia vibaya kirahisi zaidi. Tumia limau mara kwa mara kwenye kachumbali zako au unaweza kuchanganya vijiko vikubwa viwili vya maji ya limau ndani ya kikombe kimoja cha maji ya kawaida na unywe kila siku kutwa mara 1. Usizidishe matumizi ya limau hata hivyo kwani kufanya hivyo kunaweza kupelekea kupungua kwa kiasi cha damu mwilini mwako. 16. KABEJI Imethibitika pasipo na shaka kuwa kabeji ni chakula bora kabisa ambacho kinaweza kuulinda mwili wako dhidi ya aina mbalimbali za kansa, shinikizo la juu la damu, magonjwa ya moyo, maambukizi mbalimbali, na mhimu kuliko yote ni kuwa kabeji inao uwezo pia wa kuzuia usipatwe na hamaki na mfadhaiko wa akili. Kabeji lina vitamini B6, vitamini K na vitamini C. Ukiacha hayo kabeji pia ni chanzo kizuri cha folate, vitamini B1, potasiamu, copper, nyuzinyuzi (fiber) na manganizi. Viinilishe hivi ni mhimu sana katika kuichangamsha afya ya akili na mwili kwa ujumla. Unaweza kutengeneza supu ya kabeji, juisi ya kabeji, kachumbali yenye kabeji ndani yake au ule tu mboga ya kabeji kila mara ili kupunguza stress yako bila gharama wala kutumia dawa yoyote yenye kemikali. 17. MAZOEZI YA VIUNGO Mazoezi ya viungo ni dawa nyingine inayoweza kukuondoela msongo wa mawazo kirahisi zaidi bila gharama yoyote wala madhara yoyote katika afya yako. Kuna watu mi nawaita kina chauvivu, kina chauvivu utawasikia ‘nakosa muda wa mazoezi’. Unakosa muda wa mazoezi mbona muda wa kulala hukosi? Huo ni uvivu tu ndiyo unakusumbuwa. Hata katika kupungua uzito watu wengi hawapendi kusikia kuhusu mazoezi, wanahitaji dawa hata kupunguza uzito! Unapopatwa na msongo wa mawazo au mfadhaiko nenda kawe bize na mazoezi na mazoezi na hutakawia kuona akili yako inarudi kwenye hali ya kawaida bila kukawia. Mazoezi huongeza furaha, huongeza kujiamini na hukufanya ujisikie mwenye utulivu kwa haraka sana. Haijalishi upo bize kiasi gani hakikisha unatenga muda wa lisaa limoja la mazoezi kila siku ili kujikinga au kujitibu na msongo wa mawazo. 18. KOROSHO Unapokuwa unasumbuliwa na mfadhaiko kiasi chako cha madini ya zinki huwa kinashuka chini kwa kiasi kikubwa sana. Kwahiyo namna nzuri ya kujitibu tatizo hili ni kutumia vyakula vyenye madini ya kutosa ya zinki kila siku. Korosho ni moja ya vyakula vyenye madini ya kutosha ya zinki. Mhimu ni utambuwe kuwa miili yetu haijaundwa kuwa inahifadhi madini ya zink kila siku, hivyo unahitaji kuwa unatumia vyakula hivi siku zote kwa matokeo mazuri zaidi. Kula kiganja kimoja cha mkono wako cha korosho kila siku na hutakawia kuona akili yako inapata utulivu unaohitajika. 19. MBEGU ZA MABOGA Msongo wa mawazo au stress kama mlivyozoea wengi ni tatizo linaloendelea kuwasumbua watu wengi miaka ya sasa. Mbaya zaidi wengi huwa hawaelewi nini madhara ya msongo wa mawazo kiafya. Yaani stress au msongo wa mawazo unaweza kukuletea magonjwa mengine mwilini zaidi ya 50, hivyo utaona ni jinsi gani ilivyo mhimu kwako kuweka chini stress zako na uendelee na maisha kwani kuendelea kuwa na stress ni hatari zaidi kwa afya yako. Moja ya sababu kuu ya watu wengi kuwa na stress ni usawa usio sawa wa homoni zao (hormonal imbalance). Hivyo kama una tatizo la homoni kwenye mwili hebu weka mazoea ya kutafuna mbegu za maboga kila siku na hutakawia kuona tofauti. Mbegu za maboga zina kimeng’enya mhimu sana kwa kutuliza mawazo kiitwacho ‘tryptophan’ na asidi amino zingine mhimu zinazohusika kutengenezwa kwa homoni nyingine ijulikanayo kama ‘serotonin’. Kama ulikuwa hujuwi ni kuwa serotonin ni homoni inayohusika na kazi mhimu sana ya kurekebisha matendo ya kitabia na kutoa matokeo chanya kwa mambo yanayohusu usingizi, hali ya mawazo kwa ujumla na mambo yanayohusu njaa. Mbegu za maboga ni msaada mkubwa kwa kina mama waliofikia ukomo wa siku zao na huondoa matatizo ya kiafya yatokanayo na kukoma kwa hedhi. Ni msaada kwa watu wenye saratani mbalimbali, huimarisha ukuaji na ustawi wa mifupa na meno, huondoa harufu mbaya ya kinywa na husaidia pia wenye tatizo la kufunga choo au kupata choo kigumu kila mara. 20. MPANGILIO WA CHAKULA Chakula unachokula kila siku kinaweza kupelekea mfadhaiko zaidi kama hutakuwa makini. Hivyo chakula bora kwa ajili ya kukulinda dhidi ya mfadhaiko lazima kijumuishe vitu vifuatavyo: Kula zaidi vyakula vyenye omega 3.Vyakula vyenye magnesium kwa wingi.Vyakula vyenye vitamini C zaidi.Vyakula vyenye vitamini kundi BUnywe maji mengi kila siku lita 2 mpaka 3Vyakula vyenye tryptophan kwa wingi kama nyama ya kuku, mbegu za maboga, maziwa nkPunguza matumizi ya sukari na badala yake hamia kutumia asaliAcha vilevi vyoteUsikae mpweke hata mara mojaShiriki tendo la ndoa mara kwa mara
Kwa nini wanawake wengi wanapenda kumegwa bila condom? *🅱 professional love*  Walio wengi huwa wanasema zinawaumiza Ukiondoa suala la mimba na stds, 'pipi ni tamu zaidi ikiliwa bila maganda'! Ni ajabu sana mpaka leo hii watu bado tunapima HIV kwa kutizama kwa macho. sababu,kuna wengine wanaamini ya kuwa condom ni kwa ajili ya malaya tu{hao huwa hawapendi kujiingiza kundi hilo}wengine huhisi kwa kuwa wao wamependa kupitiliza,huyo anaempenda kwake special ni bila condom,wengine wanaona condom haina raha ni kama unawasokomezea liplastic,wengine tufe wote anajisikia raha anapomrushia mwenzake vidudu,mwengine wanapenda wanase mimba pengine wataolewa.sababu zipo nyingi,ila mihangaiko ya nini jamani?kuwa na mmoja huwa hatoshi mpaka vijana muhangaike? Hawa wamesha choka na maisha.ndio maana hawa jali. Ambao hajaolewa hupenda matumizi ndomu lkn wake za watu hawataki kabisa ndomu. Sijui ni kwasababu gani.... Umesema kweli na inasikitisha saana... Kuna rafiki yangu mmoja (tena msomi) nashangaa siku hio katoka kwa boy friend wake ana so much energy na furaha ya juu saaana.... ikabidi nimuulize kulikoni?? The jibu alinipa niliishiwa pose kabisa... nilishindwa sema lolote; kua huyo boyfriend wake toka wameanza huo uhusiano wa two months siku hio ilikua ni mara ya tatu kufanya hilo tendo - Siku zoote the guy alikua anatumia Condom, but siku hio hakutumia.... Furaha ya huyo rafiki yangu ilikua kwamba sasa the Guy inaonesha kaanza kumuamini (yeye mdada) maana kalala nae bila condom, hivo ni kisa cha firaha yake!! Imagine ni mwana chuo.... kasoma but elimu bado haijamkomboa pande hizo.... kwamba kipimo cha kupendwa ni kulalwa bila condom... while i thot otherwise.... mkuu ni kweli wanawake hawapendi kucondomize.sababu kubwa ni kwamba wanawake huwa wanapenda kweli.yaani anajitoa kwako kwa kila kitu ndo maana unapomtongoza inakua ngumu kukubali huwa wanogopa kutendwa.yaani yupo tayari kufa kwa ajiri yako.so vyovyote utakavyo yeye anakubali.ndo maana %kubwa ya wanake wameathirika kuliko wanaume.ndo maana ukaambiwa mwanaume ni kichwa.kwenye mapenzi mwanamke hana kauli.so wewe mwanamme akili kukichwa.usimdanganye mwenzio anapokupenda.mia

UKUBWA WA UUME *🅱 professional love* Ukubwa wa uume unategemea vitu kama kiwango cha mhemuko, muda, hali ya hewa na unashiriki tendo la ndoa mara ngapi. Si wanawake pekee ambao huwa bize kuona wanakuwa na maumbile mazuri na kwamba wanakuwa ni wenye kuvutia muda wote. Ni kawaida kukuta chumbani kwa mwanamke vipodozi vingi vya kila namna na ukakuta mafuta ya aina moja tu kwenye chumba cha mwanaume. Wapo wanaume wachache sana ambao wamebarikiwa kuwa na uume mkubwa kwa asili. Aina ya maisha unayoamua kuishi yanaweza kuathiri ukubwa na uimara wa uume wako. Kwahiyo ikiwa una shaka kidogo juu ya ukubwa wa uume wako fanya mambo 8 yafuatayo kuongeza ukubwa wa uume kwa asili. Mwanamke yeye huwa na uke wenye urefu wa inch 4 ingawa unaweza kuongezeka ukubwa kutegemea na namna anavyoandaliwa au mwanaume mwenyewe alivyo. Kwa watu wazima, wastani wa ukubwa wa uume uliosimama ni kati ya inch 3.9 mpaka 5.8. Wapo pia wanaume wachache ambao kwa asili wana uume wa ukubwa wa inch 7 au 8. Uume unachukuliwa kuwa mdogo ikiwa uko chini ya inch 4 ukiwa umesimama. Usiwaze ukubwa wa uume ukiwa umelala. Kuna wanaume wa aina mbili, kuna wale ambao uume ukiwa umelala huonekana ni mkubwa lakini uume utakaposimama hauwi mkubwa sana na kuna wale ambao uume ukiwa umelala uume wao unaonekana ni mdogo sana na ndiyo hao ukisimama unakuwa mkubwa zaidi hata ya wale ambao ukiwa umelala unaonekana ni mkubwa. Hivyo ukiona uume wako umelala na unaonekana ni mdogo sana usiwaze, ni hali ya kawaida, unatakiwa uwaze ukiwa umesimama kabisa. Kanuni mhimu 10 ili kuongeza ukubwa wa uume kwa asili 1. Acha kuvuta sigara Moshi na kemikali za kwenye sigara hujirundika kwenye mishipa ya damu (ateri). Hii ndiyo sababu uvutaji sigara una uhusiano mkubwa na ugonjwa wa moyo. Usambazwaji mdogo wa damu kwenye ogani hizo mwilini husababisha ufanyaji kazi wa chini ya kiwango wa ogani husika. Kumbuka uume umeundwa kwa mishipa mitupu ya damu, hakuna mfupa kwenye uume. Kama damu haitembei kwa uhuru wote katika ogani kadhaa mwilini na kwenye mishipa ya damu kwa ujumla uume wako nao unaweza kuathirika ukubwa wake. 2. Fanya mazoezi ya viungo mara nyingi Kutengeneza mishipa na kupunguza uzito isiwe ndiyo sababu pekee ya kwenda gym. Kama unahitaji uume wenye afya au uume mrefu, unahitaji kujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara ili kusafisha mishipa ya damu na hivyo kuongeza kiasi cha utiririkaji wa damu kwenda kwenye uume. Kama uzito wako upo juu sana na ni mnene fanya mazoezi ya kukimbia (jogging) kila siku kwa mwezi mmoja mpaka miwili. Kama uzito wako upo sahihi tu kwa mjibu wa urefu wako fanya sana mazoezi ya kuchuchumaa na kusimama. Una chuchumaa na kusimama mara 25 mpaka 30, unaweza kupumzika dakika mbili unaendelea tena kuchuchumaa na kusimama hivyo hivyo unapumzika dakika 2 mpaka mizunguko (round) 5 kila siku. 3. Epuka vyakula vyenye mafuta sana Kula kwa wingi vyakula vyenye mafuta sana hupelekea kuongezeka kwa uzito na unene na matokeo yake unaweza kupatwa na magonjwa ya moyo na kupungua kwa ukubwa wa uume. Kutokutenga muda kwa ajili ya mazoezi huongeza kolesto katika ateri za damu na kupelekea kupungua kwa msukumo wa damu kwenda kwenye uume. Kwahiyo acha kula kula vyakula feki (junk foods) ili uwe na uume wenye afya ya kutosha. 4. Kula sana matunda na mboga za majani Kula sana mboga za majani na matunda yenye sifa kubwa ya kuondoa sumu na taka mwilini. Mazoea haya husaidia mwili kupigana na vijidudu nyemelezi na kuongeza afya katika ateri za damu. Kwahiyo unaweza kuongeza kimo cha uume wako kwa kuamua kula mboga majani na matunda ili kuondoa sumu na taka nyingine zisizotakiwa mwilini. 5. Ondoa kitambi Kuwa na kitambi au tumbo kubwa ni sababu inayofanya uume uonekane ni mdogo. Hata kama una uume mkubwa kwa asili ukianza tu kufuga kitambi uume utaanza kuonekana ni mdogo. Kuondoa kitambi soma dondoo namba 2 hapo juu au kama umefanya kila jitihada kuondoa kitambi na umeshindwa nitafute WhatsApp 6. Punguza mawazo Hamaki na mawazo mengi (stress) hupunguza ukubwa wa uume kwani mawazo hasi au stress inapozidi na kudumu kwa muda mrefu huondoa damu kutoka kwenye uume na kupelekea ugumu kwa ukuaji wake. Pia woga au wasiwasi wa kutokumfikisha mwenza wako unapodumu muda mrefu ni sababu ya kuwa na uume mdogo. 7. Oga maji ya moto Hali ya ubaridi sana hupelekea kupungua kwa ukubwa wa uume, kwahiyo kama unaishi sehemu yenye baridi sana jitahidi uwe unaoga maji ya moto kila mara au muda mchache kabla ya kwenda kushiriki tendo la ndoa ili kuuweka mwili wako ni wa moto ili kuongeza msukumo wa damu mwilini na kwenye uume kwa ujumla. 8. Shiriki tendo la ndoa mara nyingi Kuna stori zinasema twiga hakuzaliwa na shingo ndefu namna hii kama anavyoonekana akiwa mkubwa, bali wanasema ile tabia yake ya kupenda kula majani ya juu ya miti ndiyo ikapelekea shingo yake ikarefuka!. Inawezekana kuna ukweli kidogo wa stori hizi. Usinielewe vibaya wala usije ukasema huyu jamaa anahamasisha watu kufanya mapenzi! Hapana usiwe na haraka hivyo utanielewa tu ninachotaka kusema Wanasayansi wa masuala ya mapenzi wanasema ikiwa mtu mzima hana msongo wowote wa mawazo (stress), ana afya nzuri tu ya kutosha na anakula vizuri basi anaweza kushiriki tendo la tendo kila baada ya masaa 24. Angalia na umsome pia mwenza wako pia angalia umri wako, sababu kuna wanawake wengine kwa asili hawapendi kushiriki tendo la ndoa kila mara pia hatuwezi kusema mtu mwenye miaka 50 atakuwa na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kila mara kama mtu wa miaka 18 hadi 40 hivi. Ni vigumu mtu anakaa mwenzi mzima mwingine miezi miwili mwingine anakaa miezi 6 bila kushiriki tendo la ndoa na utegemee utakuwa na uume mzuri na wenye afya. Kama hushiriki tendo la ndoa kuna uwezekano mkubwa ukawa unapiga punyeto kitendo ambacho ni kibaya zaidi kwa afya ya uume wako. Kwahiyo unaweza kushiriki mara 2 hadi 3 kwa wiki na unaposhiriki tuliza akili na upate muda wa kutosha siyo haraka haraka tu (short time). 9. Tafuta wa saizi yako Ni ukweli uliowazi kwamba kamwe hatuwezi kuwa sawa kwa kila kitu. Kuna msemo wa wahenga pia unasema waacheni wafu wawazike wafu wenzao, kadharika hata katika suala hili la tendo la ndoa mwanaume ifike wakati uamini kwamba kuna wanawake wengine si saizi yako, wapo wanaume kwa ajili yao. Hivyo jiangalie mwenyewe na umtafute mwenza ambaye anaendana na wewe. Wakati mwingine unaweza kupata mwenza ambaye ni saizi yako lakini sababu ya mabadiliko ya kimwili na kihomoni inatokea naye anakuwa anakuzidi, ikikutokea hivi usimwache, njoo uonane na mimi zipo dawa za asili maalumu zinazoweza kurudisha uke katika umbo dogo na unaobana vizuri kama mwanzo. Au utaona aibu tena! Kuna namna ya kuongea naye. 10. Tumia mitishamba ambayo haina madhara Ndiyo mitishamba, kuna baadhi ya mitishamba inayoweza kurekebisha mzunguko na msukumo wa damu yako na hatimaye kuongeza ukubwa wa uume. Uwe makini sana hapa kwani unaweza kusababisha hatari zaidi hapo baadaye ukienda kwa pupa. Usitumie dawa zinazoahidi kukuongezea urefu au ukubwa sana wa uume bila kujuwa nini madhara yake hapo baadaye, epuka pia dawa zenye kamikali kwa ajili hiyo. Jambo la mhimu Badala ya kuwa bize na ukubwa wa uume wako, jitahidi kutafuta G-spot ili uweze kumchezea mwenza wako katika maeneo yanayomsisimua zaidi. Kumchezea mwenza wako ni muhimu sana ili aweze kufikia kileleni mapema. Kuna mwingine anaweza kusema huyu jamaa naye vipi na hizi habari za ukubwa wa uume? Na ukaanza kunishangaa. Mimi naandika chochote ninachoona kinaweza kuwa msaada kwa msomaji wangu, inawezekana wewe una msumari wa inch 6 na unaposikia habari kama hizi unaanza kushangaa na kudhani kama ni jambo lisilotakiwa kuzungumzwa. Pole sana ndugu, hapa chini ya jua kila mtu ana shida zake na shida yako haifanani na yangu wala shida yangu haifanani na yako, mimi naweza kuwa nina uhitaji wa 10000 na wewe ukawa na uhitaji wa 100,000 zote hizi ni shida na zinahitaji ufumbuzi. Kwahiyo wapo wanaume wenye uume mdogo kweli mtu ana uume wa inch tatu mwingine inch 4 je mtu kama huyu tunamsaidiaje kama tutasema hili jambo siyo la kuzungumziwa? Kwahiyo kila shida lazima iwe na mtu anayeweza kuisuluhisha kwa ajili ya wengine, mtu asiye na aibu kwa ajili ya wengine. Na wala usilete dharau kwenye hicho kiungo, mimi na wewe tupo hapa kama matokeo ya mahusiano hivyo ni kusema bila mahusiano kusingekuwa na hii dunia na mambo madogo madogo kama haya ndiyo yanaleta mivurugano kwenye mahusiano mengi. Na mwanaume huwezi kuwa na nguvu za kufanya kazi kwa bidii ikiwa kuna makelele kwenye mahusiano yako. Ukitaka uone uume nao ni kiungo mhimu ngoja uuguwe ugonjwa wowote wa zinaa na utokwe na maji mazito mara moja utachanganyikiwa na kumtafuta daktari kokote aliko! Biblia inasema viungo vyote ni sawa na kila kimoja kinamtegemea mwenzake ili kufanya kazi vizuri, soma 1 Wakorintho 12: 14 – 26. Kwahiyo usiseme hiki hakizungumzwi hapana, kila kiungo kina umhimu wake tena hakuna kiungo mhimu kwa mwanaume kama uume kwani ndicho hasaa kinachomfanya aitwe mwanaume! Hivyo lolote linaloathiri kazi za uume linaathiri pia utendaji kazi kwa ujumla wa mwanaume husika. Ushuhuda je? Kuna mtu ananiuliza ushuhuda yaani nimpe namba ya mwanaume aliyekuwa na uume mdogo kabla na sasa amefanikiwa. Nikuambie tu ndugu mpaka sasa hakuna mwanaume aliye tayari kwa ajili hiyo kwamba niweke namba yake au jina lake hadharani kwamba alikuwa hivi na sasa amekuwa hivi. Kama ikikupendeza ukifanikiwa wewe naomba uwe tayari kuleta ushuhuda hadharani na mimi nitakuwa tayari kukuzawadia japo kukurudishia robo ya bei ili niweze kufanikiwa zaidi.
MWANAMKE WAKO ANAKUFANYIAGA HAYA?????? MKIWA KITANDANI *🅱 professional love*  KAMA wewe ni mwanaume, basi bila shaka unafahamu ile milio na miguno ya wanawake wakati wa kujamiiana, na kama wewe ni mwanamke pia unafahamu kwamba huwa unatoa milio na miguno hiyo. Ni nini basi kinachopelekea milio na miguno hii kutolewa? Je milio na miguno hii ni ya kweli au ni zuga tu, ili kumfanya mwanaume ajisikie “kijogoo“? Baadhi ya wataalamu wa masuala ya kujamiiana na mapenzi walijiuliza pia maswali hayo. Mwaka jana, Gayle Brewer wa Chuo Kikuu cha Central Lancashire na Colin Hendrie, wa Chuo Kikuu cha Leeds waliibuka na utafiti wao waliouita “Copulatory Vocalization“ (kwa tafsiri nyepesi-“Milio/sauti za kujamiiana”). Katika utafiti huo, waliuliza wanawake 71 ambao wanashiriki tendo hilo mara kwa mara (sexually active) kati ya umri wa miaka 18 na 48 kwa ajili ya kupata undani zaidi wa suala hili la kutoa milio wakati wa kujamiiana. Wataalamu hao waliweza kubaini kwamba wengi wa wanawake hao walikuwa wanatoa milio, lakini sio tu wakati wanafika kileleni (orgasm), bali 66% walisema walitoa milio, ili kuharakisha wanaume zao kufika kileleni, na 87% walisema kwamba walitoa milio, ili kumfanya wanaume ajisikie “Kijogoo” (boost his self-esteem). Wataalamu hao waliongeza kusema kwamba “Wakati mwanamke kwa kawaida hufika kileleni wakati wa kutomasana, mara nyingi milio ya kujamiiana imeripotiwa kutokea mara kwa mara kabla au sambamba na wakati ambao mwanaume anafika kileleni“. Walisema pia katika utafiti wao imebainika kwamba wakati mwingine wanawake walitoa milio na miguno, ili kukabiliana na kuboheka, uchovu, na maumivu wakati wa tendo la ndo, kwahiyo basi wanaume inabidi kuwa makini kwani wakati mwengine kumbe mtoto wa watu ana umia! Au pengine yupo kwenye zile harakati za kukuzuga, ili ujione “Kijogoo”? Wataalamu wanaendelea kusema kwamba tatizo kubwa ni kwamba jamii imefanywa kuamini kwamba milio wakati wa tendo la kujamiiana huusishwa na mwanamke kufika kileleni au kufurahia tendo hilo, kiasi kwamba imefikia wanawake kuona ni busara kudanganya (fake) kwamba wamefika kileleni (wakijua fika kwamba mwanaume tayari ana amini hivyo) wakati kumbe hawajafika popote. Wataalamu wanaonya kwamba sio busara kwa wanawake kudanganya kwamba wamefika kileleni, kwani kufanya hivyo kunapelekea wanaume kufikiri kwamba wanafanya kila kitu sawa wakati wa mapigo, wakati kumbe sio. Mwalimu wa elimu ya kujamiiana, Patty Brisben, anashauri kwamba wanawake watumie miguno/milio kama “njia ya kuonyesha kwamba wanafurahia tendo, lakini sio njia ya kuficha kama tendo hawalifurahii.” Kuficha au kutokuficha, wataalamu wanasema kwamba suala la kutoa milio/miguno wakati wa tendo la kujamiiana sio suala la binaadamu peke yao, utafiti kwa wanyama umebaini kwamba hata manyani jike (baboons) hutoa milio fulani kabla au wakati wa tendo hilo. Nyani jike hutoa milio fulani kuhashiria kwa nyani dume kwamba yupo tayari kwa tendo hilo na pia manyani jike huongeza milio wakati wanajamiiana na nyani dume, ambae ana cheo katika kundi lao (higher-ranked male baboon). Zaidi ya hayo, nyani jike aina ya “Macaque” amebainika pia kutoa milio/miguno wakati wa tendo hili nyeti, ili kumfikisha mwenza wake kileleni haraka! Mwisho wa yote wataalamu wanamalizia kusema kwamba suala la kuridhishana kimapenzi (tuite “ukijogoo” wa mwanaume au vinginevyo), ni suala muhimu kwa pande zote mbili, yaaani mwanaume na mwanamke. Kwahiyo basi, suala la kutoa milio sio tu suala la mwanamke kudanganya au kufanya mambo asiyotaka, bali ni suala la kuwepo “hai” (sexually present) (mara ngani umeshasikia wanaume wa kitanzania wakilalamika kuhusu wanawake wanaokaa kama “gogo” au “kusoma gazeti” wakati wa kujamiiana??) wakati wa tendo hilo na kubadilishana mahaba na mwenza wake. Mwisho kabisa, wanasema, “wote (wanaume na wanawake) tutoe milio!” Je unakubaliana na utafiti huu? Source: CNN Health
RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA TATU. Niliyazoea mazingira ya shule mpya, ilikuwa ni shule ya kifahari ambayo haikuwa rahisi kwa mtu wa kawaida kuweza kumsomesha mtoto wake. Ufaulu wangu pia ulikuwa juu. Mwalimu Maloya ambaye alikuwa ni mwalimu wa mazingira alikuwa akifatilia maendeleo yangu kwa ukaribu zaidi, mara zote nilipokosea aliniita ofisini kwake na kunionya. Na wakati nilipofanya vizuri hakusita kunisifia mbele ya watu, nilimpenda kwakuwa alijali maendeleo yangu. Candy aliendelea na tabia yake ya kulala kila mara, mara nyingi nilimkuta amelala wakati wa vipindi, nilijua ndio aina yake ya maisha aliyokuwa akiishi tangu alipofika shuleni kwani pamoja na tabia yake ya kulala kupitiliza Candy alikuwa vizuri kimasomo, kitaaluma alikuwa juu na alikuwa akiwaongoza wenzie darasani. Dharau za Candy zilizidi maradufu sikujali kabisa. Urafiki wangu na Martin ulizidi kadri siku zilivyozidi kwenda, alikuwa ni mvulana mwenye kujali, mpole na mwenye haiba nzuri. Mwanzoni sikupenda kampani ya wavulana, lakini kutokana na haiba yake niliweza kumzoea na tulishirikiana kwenye masomo na kuweka ushindani baina yetu. Nilikuja kugundua martin ni raisi (kiranja mkuu wa shule) na pia alikuwa ni kiongozi wa kwaya kwenye jumuiya yetu kanisani. Alipenda kuimba na alikuwa na sauti nzuri sana. Pia nilikuja kujua kuwa Candy alikuwa ni kiongozi wa mazingira. Candy alianza tabia ya kujiandaa alfajiri mapema kabla sijaamka kila nilipoamka nilikuta tayari ameshamaliza na wakati mwingine alishaondoka. Hakuwa na nafasi katika akili yangu hivyo nilimpotezea. Ilikuwa ni siku ya ijumaa siku niliyowahi kuamka tofauti na kawaida nilimshuhudia candy akivaa mkanda wa kupunguza tumbo nilijiuliza maswali bila majibu mkanda wa nini na hakuwa na tumbo. Huku nikijifanya nimelala niliendelea kumtazama wakati akivaa. “Ili tumbo mwishowe litaniumbua, looh!” alijiongelesha mwenyewe. “Leo lazima huyu kidudu mtu anipe mustakabali wangu kabla mambo hayajawa mabaya”, aliongea. Nilichelewa kugundua kuwa candy ni mjamzito. aliendelea kujiandaa na kisha alijongea kabatini kwake. Alipofika kwenye meza ya kujisomea mahali nilipoweka daftari zangu na vitu vyangu alisita, alichomoa kitambaa ambacho hata kwangu kilionekana kipya sikuwa nimewahi kuwa na kitambaa cha namna hiyo nilijiuliza kimetoka wapi na cha nani na kimefikaje kwangu, bila majibu. Candy alikitazama, akasonya na kisha akakirudisha kilipokuwa na kisha akaliendea kabati lake. “Candy” sauti ilipenya kwenye masikio yangu, alikuwa ni msichana mwingine ambaye nilizoea kumwona pale shuleni ambaye alikuwa akiitwa Naima alipenda kujiita Nana. “Niambie best yangu” Candy alijibu, “meseji yako nimeiona leo asubuhi nikaona nije sasa hivi kabla ya kuingia darasani” alisema Naima. “Ndio hivyo shoga yangu” Candy alijibu. “sasa itakuwaje?” Naima aliuliza, “Nataka nimfate maloya anipeleke nikaitoe kwa maana imeshafikisha miezi miwili, mwisho wake tumbo litakuwa kubwa itajulikana hali itakuwa mbaya zaidi.” Kijasho chembamba kilinitiririka kumbe Candy ana uhusiano na Maloya uhusiano uliozaa mimba na sasa wanampango wa kuitoa hiyo mimba, duuh! Nilichoka. Waliendele na maongezi yao hadi walipofikia muafaka kuwa candy aende kwa Maloya ampeleke kuitoa hiyo mimba. “Huyu kiazi ajasikia kweli?” aliongea Naima kwa dharau “mmmh, linalala kama ling’ombe” Candy alijibu kwa nyodo wakacheka na kisha wakatoka. Niliendelea kuwaza pale kitandani candy kwanini umefanya hivyo jamani we ni msichana mzuri kwanini unajiaribia uzuri wako niliwaza. Ni kweli Maloya alikuwa kijana tena mzuri alikuwa ni mwalimu mzuri sana na zaidi ya yote alikuwa na haiba nzuri, lakini Candy ni kwanini ukaingilia mambo haya wakati sio wako. Ona sasa umepata ujauzito na sasa unataka kuhatarisha maisha yako kwa kutoa huo ujauzito. Niliendelea kuwaza pasipokuwa na majibu. Nilikuja kushituka wakati umeshaenda na nilikuwa nimeshachelewa sana niliamka na kujiandaa kwa haraka na kukimbilia darasani muda wote nilionekana mtu mwenye mawazo sana, Martha aliligundua hilo na Martin pia, kila mmoja aliniuliza kwa wakati wake. Nilimjibu Martha sina tatizo. “Martin ninaomba mda niongee na wewe” nilimwambia Martin “aaanh sawa tutaongea wakati wa mapumziko” alinijibu kwa sauti yake nzuri. Kiukweli nilishindwa kuvumilia kuyabeba mambo ambayo niliyasikia asubuhi ya siku hiyo niliona ni vema kumshirikisha Martin kwa sababu nilikuwa nikimuamini na alikuwa rafiki yangu wa karibu sana. Wakati wa mapumziko hatukwenda kula tulibakia darasani. “Martin” “nakusikiliza bibie” Martin alijibu. “Unafahamu kwamba naishi na Candy chumba kimoja?” “ndiyo najua” alisema. “Kiukweli nimejua kitu ambacho binafsi kimenichanganya sana na nimeshindwa kuvumilia kukaa nacho nimeona bora nikushirikishe” “niambie kitu gani hiko?” alisema Martin. “Candy ni mjamzito” Martin alishituka isivyo kawaida tofauti na nilivyo tegemea. “Say whaaat!?” alisema kwa ghadhabu “Martin candy ni mjamzito.” “Huweza kuwa serious Catherine, kwanini unaongea utani?” aliniuliza. “Hapana sio utani nina uhakika na hilo.” Alishindwa kuendelea alibakia akitweta huku jasho jembamba likimtiririka. “Na ana mpango wa kuitoa” niliendelea, hakujibu aliendelea kujiinamia pale chini. “Kibaya zaidi” niliendelea, “ujauzito huo ni wa mwalimu maloya.” Martin aligeuka na kunitazama kwa jicho kali “unaongea nini wewe?” “Martin huamini ninachokuambia?” niliongeza. “Katika siku ambayo umewahi kunichanganya leo ni siku ya kwanza sitaki kukwamini Catherine sitaki kabisa” alisema Martin kwa sauti ya kukata tamaa. “Martin nina uhakika na ninacho kiongea.” “Kumbe ndo mana candy amebadilika sana siku hizi aonekani darasani hataki tena kuja kuniona naa…..” Ni kama alishitushwa na akaishia hapo, “ok sawa nitalifanyia kazi kwaheri Catherine.” Aliondoka Martin mbele yangu, nilitamani kumwita lakini nilishindwa nilijua kutokana na yeye kuwa ni raisi wa shule lazima ingemchanganya lakini sio kwa kiwango kama hicho. Ana nini huyu Candy anamhusu vipi? Nilijiuliza maswali bila majibu. Mwisho wa yote niliendelea kukaa darasani kwa ajili ya vipindi Martin hakurudi tena, vipindi vilipoisha nilirejea bwenini kwetu. Nilipoingia chumbani kwangu nilimkuta Naima na Candy wamesimama kana kwamba wanamsubiri mtu kisharishari nilisita nikaingia na kisha nikawasalimia mambo zenu, hawakunijibu. Nilishangaa kwani kuna tatizo lolote niliuliza hawakunijibu baada ya kukosa majibu niliamua kuendelea na mambo yangu, nikasogea mezani kwangu kwa ajili ya kuweka madaftari yangu, candy alinisukuma. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>
STORI TAMU MALKIA WA JELA SEHEMU 03 .................................... Alipofika mama yake alishangaa kuona akiwa analia na kuamua kumwuuliza ni kitu Gan ambacho kimemsibu "Kulikon tena tiyar mmesha udhiana huko maana hamkawii mnakuwa Kama watoto wadogo....Haya kafufanyaje mwenzio ? "Mama BEN Leo wakunifanyia mie hiv kweli mama "Sasa usiponieleza Mimi sintojua nikusaidiaje hebu nambie moja kwa moja nini tatzo "Mama BEN kila siku Ana amka saa kum na moja na kusema ratba ya kazn imebadilika kwakuwa naamin tunapendana nikaamn itakuwa kweli sikutaka kumwuuliza DAVID kumbe ananiongopea Mimi na kwenda kulala na wanawake wengine gest mama" Aliangua kilio "Hebu nyamaza kwanza usilie haya yote umeyataka Mimi na mama yako mdogo tulikwambia BEN hakufai mtoto ukang'ang'ana unayaona sasa anayokufanyia sasa basi nataka uachane nae na kuanzia Leo urud nyumban "Eeeh mama siwez kurud nyumban mama ile ni nyumba yangu isitoshe BEN ni Mme wangu Nina ndoa nae "Mmh! Kumbe umekuja kunijarbu siyo Kama unampenda umeijia nini hapa ungejua hilo simngeyamaliza nilivo simpend Mimi huyo mwenzio nilijua atakusumbua nanitahakikisha unaachana nae " LINDA aliamua kunyanyuka na kurud chumban kwake BEN baada ya kufika nyumban hakuweza kukuta mtu na geti likiwa limefungwa ilimbid aondoke na kuelekea kazn Baada ya siku kadhaa kupita ilimbid LINDA aweze kukutana na DAVID na kuweza kuongea nae "Shemej Kama nilivokuambia BEN amebadilka mno sijui n kwanini simwelew inafikia hatua ananiongopea ofisn mnaingia saa kum na mbili anaamka saa kum "Shem ulifanya vbaya kuto kuniuliza BEN nimchelewaj mmoja mzur tu pale ofisn kila mtu anamjua yupo pale kwaajil yangu ni kweli amebadilika inafikia hatua hata naona aibu nikiwa Kama mtu wa karibu niliyemtafutia kazi pale "Shemeji nadhan unajua ni kias Gan ninavyompenda nilikuwa nikigombana na mama pamoja na mamdogo kwaajili ya BEN ili tu niweze kuwa naye hatiamye tumefunga ndoa nyumba yangu nimeamua kuandika jina lake halafu Leo kweli inafikia kunilpiza haya "Shem mim nitapanga muda niongee nae Kama atashindwa kubadilika siyo sir nitashindwa nimteteaje maana hata kazn watamwondoa "Ukiongea nae utakuwa umenisaidia sana anayonifanyia mpk najutia maamuz yangu "Usijali Shem atabadilika tu "Nakutegemea Sana Shemeji yangu nisaidie Katika maeneo ya nyumban BEN akiwa seburen anakunywa Soda huku akitazama TV alinyanyuka Mara moja na kuelekea chumban kufuata kitu TABU akawa ameingia ndan alipokuta ile soda mezan alimimina kwenye glass aliokuwa ananywea BEN na kuanza kunywa huku amesimama akiwa ana pepesa macho kwenye mazingira ya pale seburen Muda huo huo akawa anaingia LINDA akaweza kumkuta TABU pale seburen "Wewe ni nan naunatafuta nini nyumban kwangu "Aliuliza LINDA "Hhahahaa pole kumbe bado unakibarua Eeh .....hujanijua Mimi ningependa nikuulize wewe "TABU alimjibu kwa dharau Ilimbid LINDA aanze kupaza saut akimwita BEN ,BEN alitoka hajui kinachoendelea huku na CD ya movie mkonon ambayo alikuwa ameifuata Alipofika seburen alishangaa kumkuta TABU tena akiwa amebebelea ile glass ya soda aliyokuwa akiitumia "BEN kweli umenichoka hukumbuki fadhira zangu niligombana na mama angu kwaajili yako Nyumba yangu nimefuta jina langu nikaandika lako kumbe hukumbuki nilipokutoa BEN "Aliongea kwa uchungu huku machozi yakimtoka "TABU umeijia nini hapa ? "Kwani kunatatzo kumtembelea Mume wangu "Unasema nni ? "Unamsikia BEN umenichoka kias hiki umeamua kuniletea mpk mwanamke ndan kweli BEN shukran ya punda.......... "Na haya ndo mateke "Alimjibu TABU huku akionesha kujiamn na kumnyali mbele ya BEN "We malaya Naomba utoke "Aliongea LINDA kwa sauti ya juu "Hahaha wakunitoa itakiwa wewe hapa sitoki nitaondoka nikitaka " "TABU siuende "BEN aljaribu kumwambia akitegemea ataondoka LINDA alisogea mpk mezan na kunyanyua ile chupa ya soda na kutaka kumpiga nayo TABU ,BEN aliwahi kuzuia na kujikuta ikimpata kichwan ile chupa na kuanguka chin LINDA alibaki ameshkilia kipande cha chupa mkononi alikitupa chin na kujitazama mikono yake BEN damu nyingi zilikuwa zikimvuja kichwan pamoja na puan TABU alivyoona vile aliamua kuweka glass mezan na kukimbilia nje LINDA taratibu alisogea alipokuwa ameangukia BEN na kupiga magoti kisha kumwinamia kifuani huku akimtikisa aamke na kilio cha uchungu kikimtoka kilichoambatana na kwikwi Mara ghafla TABU anarud akiwa na polisi "Huyo hapo Afande Mwuuaji "Aliongea TABU mbele ya wale Polisi Polisi walitoa silaha na kumnyooshea LINDA huku wakimtaka anyanyuke kisha ageuke nyuma kisha afande akatoa pingu na kumvisha na kuweza kuondoka nae kuelekea kituon huku afande mwingine akiwasiliana na askar wenzie kwaajili ya usafiri wa kuubebea mwili wa BEN LINDA alimaliza kumsimulia chanzo kilichompelekea kuwemo mule ndani "Pole Sana LINDA wanaume siyo watu wazur hata kidogo tukio langu halitofautian na lako hata kidogo "aliongea PENDO na kuanza kumsimulia Ilikuwa siku moja jion kuna rafiki yangu wa kike aliyeitwa DINA tulipendana Sana siku moja nikiwa sina hili wala lile mida ya saa kumi na mbili jion DINA alikuja nyumban kwangu huku akionekana ni mtu aliyekuja anakimbia nilipojarbu kumwuuliza akanambia amemwona GEOFREY ambaye ni bwana wangu anaingia Hotel na msichana "mh! Utakuwa umemfananisha GEOFREY Hana tabia hyo halafu yuko safar tangu juz " nilimwambia DINA lakin DINA alinisisitiza niweze kwenda nae na kushuhudia kwa macho Moyo wangu ulikuwa mgumu kumwamin bado niliamin GEOFREY alikuwa safarn huenda amemfananisha "PENDO najua ila twende kwanza Kama siyo yeye nitakulipa gharama za usumbufu "Aliongea DINA "DINA we nisumbue tu ole wako "Nilimwambia maneno hayo Kisha nikatoka nae na kwenda kuingia ndan ya gari na kuelekea maeneo ya Hotel alipomwona akiingia GEOFREY nilipofika nilipaki gar kwa pemben na kushuka kwenda kujarbu kuulizia Reception "Dada samahn kuna mgen wangu anaitwa GEOFREY ninatakiwa kuonana nae sijui yupo"Nilimwuuliza yule mdada aliyekuepo pale reception "Aam tuna wagen wengi Sana sasa sijui huyo unayemwuulizia anaitwa GEOFREY nan ?" "Anaitwa GEOFREY JONAS " Yule Dada aliangalia kwenye kitabu cha list ya wagen aliowapokea "OK ila Ana mgen tiyar halafu hakuniachia maagizo yoyote kama kuna mtu atakuja"aliongea yule Dada wa Reception "Dada sisi niwafanya biashara tu hata huyo aliyanae ni mfanyabiashara mwenzetu pia "Nilijarbu kumwongopea ili nipate nafas ya kwenda kumshudia kwa macho yangu "Mfanyabiashara Dada labda utakuwa umekosea tu jina au mgen nliyenae majina yamefanana na huyo mtu wako aliyeko hapa yupo na mkewe Leo siku ya tatu sasa unaponambia hivo kwamba n mfanyabiashara mwenzie nashindwa kujua nikusaidiaje " Maneno aliyonambia huyo Dada nilimtizama DINA pemben huku nikijifikiria nitumie njia ipi "Mmh! Saw a ila samahan kwa kukuongopea Mimi n Dada yake sikupenda ujue hilo na GEOFREY alishanipigia Sana simu kuniomba nije kumwona ila kutokana na kazi nyng nikawa sipat muda ikashindikana na hapa nimetoka kazn nikaona acha nionane nae then niende nyumban"Nilijiumauma kwa kuunda maneno ya uongo "Kama ni hivyo bas ngoja nimpigie simu " "Aa haina haja Dada huniamin "Nilimwuuliza yule Dada "Hapana ila ndo kaz yangu kumtaarifu mteja hili Kama anajua ujio wako kuna watu wengine hawapend usumbufu "Alinambia yule Dada "usijali Bwana "PENDO alitoa noti ya Elfu kumi na kumpatia "Sawa nenda namba 124 " DINA alipotaka kuongozana na Mimi yule Dada aliomba niende mwenyewe kwa kuwa si taratibu za Hotel yao Nilipandisha ngaz mpk sehemu iliyokuwa na vyumba vimepangana nikaanza kuangalia kila mlango kuipata namba 124 na kuweza kuupata Nilishusha pumzi na kutaka kubisha hodi nilikuwa nikisita sita nikajikaza na kuamua kubisha Nikasubr kwa mda kidogo akatoka mwanamke na kuja kunifungulia mlango yule Dada alikuwa amejifunga taulo "Samahan Dada sijui unashida gan maana hatujaagiza kitu chochote huenda umekosea chumba"Aliongea yule Dada baada ya kufungua mlango Nilimpush na kuingia ndan kwa nguvu na kumkuta GEOFREY akiwa amevalia boksa _______________
STORI YA MAPENZI; MALKIA WA JELA SEHEMU YA PILI .................................. "Mimi ni mkeo hata ingekuwa usiku wa manane wewe niamshe uniage nijue kabisa kweli unakurupuka tu asubuh unaondoka hata ujumbe basi ungeandika nao umeshindwa "Baby nimekuelewa nisamehe basi nitafanyia kazi BENSON anajarbu kumbembeleza kwa kusogea na kupeleka mikono yake taratibu na kumshka LINDA kiunoni kwa nyuma na kumbusu shingoni "Baby sikujua Kama nitakuudh kuondoka bila ya kukuambia nisamehe nakuahd hata nikiwa naenda choon lazima nikuage "Hahahah anaangua kicheko "Unafrah nini sasa ? "Ushaanza matan yako chooni ukienda Mimi hata usiniage "Utajua nimeenda wapi Kama nisipofanya hvo "Sitak " wanacheka wote wawili Baada ya muda LINDA aliandaa chai na kuweza kukaa katika meza ya chakula na kunywa Wiki moja baadae BENSON akiwa seburen peke yake mkewe akiwa ameondoka ameenda nyumban kwao Mara moja kusalimia BENSON aliamua kuitumia nafas ile kumpigia simu kimada wake na kuongea naye kabla ya LINDA kurud nyumban "Halloo! Baby ! Alipokea simu kimada huku akitoa saut lain na nyororo "Hallo ! Baby nambie "Safi nimekumith ile mbaya BEN wangu "Hunishind Mimi "Unanitania.... kweli Baby ? "Ndiyo kwanini nikuongopee nimeimis Sana ile mechi ya siku ile ulinifanya nione sinto maliza mchezo niliona uwanja mkubwa "Hahahaahah Ikasikika saut ya kicheko "Nilihisi kufa kufa "Amna bhana usingekufa woga wako tu kufa huwez kufa ila cha moto lazima ungekipata "Aa sikufich mke wangu anasubir we mtoto kibokoooo lini tena ligi yetu ya ugenini ? Muda wako Uwanja wako sikuzuii kuja kufanya mazoez afu mechi kwa mkeo "Hahahahah BENSON akaangua kicheko "Baby hata ukitaka sahv tutafanya hata kwa kutumia "whatsapp" voice note "Hahahah ndo maana nakupendaga Bab..................Kabla hajamalizia kuongea LINDA alifungua mlango BENSON alistuka na kuikata simu LINDA alibakia kasimama pale mlangon huku akimtazama Mumewe na kuanza kudondokwa na machozi Mkoba aliokuwa ameubeba aliuachia na kuuangusha chin "BABY umewah nilijua utachelewa " Huku akionekana kuwa na wasiwasi Alinyanyuka na kutaka kumsogelea alipokuwa "BENSON naomba usinisogelee "akamzuia kwa ishara ya mkono "Mbona sielew Nyumban wazima mbona hukuondoka hivo afu umewah kurud kuna tatzo kwani "Malaya mkubwa wewe Endelea kuongea na simu uliyekuwa unaongea naye nimesikia kila kitu "Nan ? Mimi nilikuwa naongea na DAVID ananieleza habar za NITTY "Mwanaume huna shukran BEN ni mangapi nimekufanyia kumbe ndo unavyo niongelea kwa hao Malaya zako "LINDA mke wangu kwanini tugombane nilikuwa naongea na DAVID jarbu kunielewa Nakupenda hakuna mwingine zaid yako "Mwongo mkubwa kwanini nilipoingia hukuendelea kuongea ukakata simu "Tulikuwa tumeshamaliza maongez "Ahsante kwa kunidanganya " Kumbe LINDA alikuja na DAVID ,DAVID alikuwa kwa nje akiwasikiliza akaona bora aingie alipoingia BEN aliishiwa nguvu na kuinamisha uso chin huku akijarbu kumtizama mkewe kwa kuibia ibia "Endelea kuniongopea siumezoea haya ulokuwa unaongea nae huyu hapa Endelea BEN... LINDA kwa hasira alimfuata BEN na kuanza kumpiga mingumi huku akilia kwa uchungu DAVID alimshika LINDA na kuomba wasigombane Alipowaamua aliamua kuwaacha kwa muda watulie kwanza baada ya robo saa kupita DAVID akamgeukia BEN na kutaka aseme alikuwa anaongea na nan "DAVID sema ukweli " "Mimi nilikuwa naongea na Dada yangu alinipigia kunijulia hali "Unamwon a alivyo mwongo Dada yako gani umwambie maneno Yale BEN niambie "kwa jazba huku akijarbu kutaka kunyanyuka alipokaa "Aaa shemej punguza jazba Mimi nipo hapa kila kitu kitaisha BEN Una uhakka "Ndiyo Kwanini nimwongopee amesikia vibaya tu "Shemej huenda ikawa ni kweli jaribu kusahau hili "DAVID unapendelea au kwa kuwa BEN ni mwanaume mwenzio Ahsantee LINDA Alinyanyuka na kuondoka kuelekea chumban "Kaka bora hata ulivyokuepo sijui ingekuaje Leo "BEN punguza hata Kama Una kimada nje hapa ni nyumban kwako paheshimu ukitaka kuongea nae Hakikisha mkeo kaenda mbali "Saw a kaka "Mi nilipita kukusalimia nilikutana na mkeo kwenye folen nikaon a bora Nam nipite kukuona kwahyo Mimi nafikir nimeshakuon a naondoka jarbu kumpoza mkeo "Haina shida BEN alimtoa DAVID mpka nje na kuweza kuagana kisha akarud na kuingia chumban alimkuta mkewe amejilaza kitandani kifudifudi amelalia mto huku akiwa Analia"LINDA mke wangu kwanini unapenda kujiumiza kwa vitu ambavyo siyo kwanini Mimi na wewe tugombane kwa vitu vidogo "Aliongea BEN LINDA alijigeuza na kunyanyuka pale kitandan akaanza kuzunguka mule chumban huku na kule "Unajua sikuekewi sasa unapozunguka hivi unamaanisha nini ? Alirudia tena kumwuuliza baada ya kuona hajibiw "BEN lazima utaona ni jambo la kawaida kwasababu lipo kwangu ila ipo siku BEN unajua Mimi na wewe tumetokea wapi siyo kwamba hujui unajisahau Sana BEN "Aliongea LINDA huku akionekana kuwa na hasira Sana BEN anaamua kumsogelea na kujishusha akaamua kupiga magoti kumbembeleza "Sawa naamua kukubali kosa nisamehe Mke wangu kipenzi nakupenda najua unajua siwez kukusaliti " "BEN acha kuniigizia Mkeo "Aliongea LINDA "Mke wangu nakuahd Kama nitakukosea basi amua lolote lile uwezalo "Unanifanyia kusud kwakuwa unajua nakupenda "Najua hilo Mke wangu ndo maana nimeamua kukupigia magoti kuomba msamaha "Sawa umeshajua Mimi ni mdhaifu kwako kila ukikosea unakimbilia kuomba msamaha kwakuwa unajua siwez kukataa sawa utumie udhaifu wangu "Aliongea LINDA kwa uchungu huku machozi yakimtiririka Baada ya siku kadhaa kupita LINDA akiwa seburen anaonekana kuna kitu anakitafuta pale seburen baada ya kutafuta kwa muda na kuonekana kukikosa aliamua kuchukua simu yake na kumpigia Mume wake hili aweze kuuliza Katika maeneo ya Gesti BEN alikuwa ameingia Bafuni kuoga na kitandan amemwacha Kimada wake TABU ,Simu ilikuwa ikiita TABU alinyanyuka kitandan na kwenda kwenye dressing kuichukua na kuangalia ni nan anaye piga alipoona ni Mke wa BEN aliirudsha LINDA alipoona simu haipokelew akaamua kupiga tena TABU alipokuwa anataka kurud kitandan akaona simu tena kwa mara nyingine inaita alimua kuipokea "Nikusaidie nini mbona hamtulii majumban kwenu Asubuh yote hii unampigia simu kakwambia harud nyumban au unatafuta matatzo (Alipokea TABU kwa kusema maneno hayo "We nan unapokea simu ya Mme wangu !!!? Aliuza LINDA "Mke mwenzio "Tafadhar usinitanie najua mume Wangu yupo kazin kama wewe ni mfanyakaz mwenzie naomba niongee nae Mara moja "Dada sikujui hunijui Ila mume Kama hakuwah kukwambia shukuru nimekwambia na hapa niko nae Gesti "Eti nini ! "Ndo ivo tunakula raha tu Kama kakwambia yupo kazn kaz Gan za saa kum na mbili LINDA alikata simu na kwenda kukaa kwenye kochi huku akitokwa na machozi TABU alipokuwa anairudsha simu BEN nae akawa anatoka Bafuni "Vipi ulikuwa unaongea na nani ? Aliuliza BEN "Mkeo "Kwenye simu yangu ??! "Ndiyo kwani kuna ubaya "Umemwambia nini "BEN akionekana kupanik "Nimemweleza ukwel kwann tuendelee kujificha "TABU huu siyo wakat wa utani naomba usinitafutie tabu Kama jina lako "Mmh! Sasa nikutanie nalipwa au nimemwambia yupo na mke mwenzie Gesti au nimekosea BEN alimvamia TABU na kuanza kumpiga vibao "BEN unanipiga Mimi kwaajil ya huyo mke wako Kama hukunipenda kwanini ulinambia tukutane BEN alivaa nguo zake haraka haraka huku akiwa amejawa na hasira "Ole wako kitokee kitu chochote kile TABU nitakuonesha "Aliongea BEN kwa hasira huku akiondoka "Mtu mzima hatishiw nyau kwenda kulee hapa utakuja tu mkeo mkeo ungempenda ungeendekeza umalaya LINDA aliamua kuondoka na kwenda nyumban kwao _______________

Kwanini wanawake wengi wanapenda Mbo0o ndefu? *🅱 professional love* Jamani, kwanza naanza kwa kurudia kusema kuwa mboo ni mboo tu na kila mboo ina utamu wake iwe ndefu ama fupi kutegemea na mchezaji mwenyewe katika yale mambo yetu yale. Nimekua nikiulizwa maswali mengi sana na watu kuhusu hili, naomba leo nifunge huu mjadala kwa machache nitakayoyasema. Kulinganisha urefu wa mboo na raha ya mchezo kupo kisaikolojia sana, ni kama vile baadhi ya wanawake wanavyolinganisha ukubwa wa matiti au matako na mvuto wa kimapenzi bila ya kujua kua wanaume tulio wengi ukubwa wa matiti au matako haunaga ishu sana kwani titi ni titi tu liwe kubwa ama dogo kama konzi litanyonywa tu na katika mambo yetu yale mboo itamwaga tu, na matako kama kawa haijalishi liwe kubwa kama gunia la lumbesa au kifua cha Batista ama dogo dogo kama la Betina wa sani, kama msela kapenda kapenda tu (kwanza huwa halitumiwi kivile katika yale mambo yetu). Hebu twende katika pointi yetu kwa kuzingatia mambo yafuatayo hapo chini sasa: 1. Mapenzi hayaanzi na kutambua kama umpendaye ana mboo/kuma kubwa au la, bali unaanza kwanza kumtamani mtu na ukubwa wa mboo yake au kuma yake utauona wakati wa kutombana. Hivyo siyo sahihi kuanza kufikiria ukubwa wa nyeti zake ili uweze kumpenda; 2. Ukiacha wale wanaume wenye mboo chini ya 4 Inch na wale wenye mboo ndefu zaidi ya 12 Inch, wanaume wote wenye mboo kati ya Inchi 4 na Inchi 12 wana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kimapenzi. Wanachotakiwa ni kuhakikisha kuwa wanajua wajibu wao na wanajua wapenzi wao wanahitaji nini ili wafike kileleni; 3. Kwa kuwa hakuna shule nayofundisha mbinu za kutombana, ni vema wanawake na wanaume waongee na wapenzi wao mara kwa mara kuhusu mahitaji yao kimapenzi. Sehemu kubwa ya malalamiko yanayohusishwa na size ya mboo yanatokana na kukosekana kwa uwazi kati ya wapenzi wawili wawapo kwenye ngono. Kuweni open na zungumzia mapenzi na kutombana kwa uwazi mnapokuwa kwenye starehe ya kutombana na kila mmoja atafaidika. 4. Ili ufaidi utamu wa mpenzi uliye naye, epuka kuhamisha hisia za mpenzi wako wa zamani ili kupata furaha ya mapenzi kwa huyo uliye naye maana utakuwa unamtumia huyo mpenzi wako kama toy (Dildo) ya kukutosheleza kwa niaba ya mpenzi wako wa zamani. Kila mtu ni unique na jitahidi ufaidike na unique features alizonazo bila kujali kama kabla ya hapo uliwahi kukutana na mpenzi mwingine tofauti na yeye. Hii itakufanya ufurahie mapenzi na kila unayetiana naye bila kujali kama ana mboo kubwa au ndogo.
Je, unazijua sifa za mwanaume anayefaa kuwa mwenza wako *🅱 professional love*  Je, unazijua sifa za mwanaume anayekufaa kuwa mwenza wako? Hili limekuwa swali gumu kwa wanawake wengi ambao wamekuwa wakijiuliza watawezaje kuwafahamu au kumfahamu mwanaume f’lani kama ana sifa za kuwa mpenzi wake? Mwanaume anayekufaa katika uhusiano wa kimapenzi lazima awe na sifa zifuatazo; AWE CHAGUO LAKO Ni lazima mwanaume unayetaka au unayempenda awe mpenzi wako, awe na sifa kubwa ya wewe mwenyewe kumpenda, kumridhia na siyo kumpenda kwa sababu au shinikizo f’lani. MWENYE KUJIAMINI Mwanamke anapokuwa na mwanaume anayejiamini, anaamini yupo salama zaidi. Hata kama kuna lolote linaloweza kutokea wakiwa wote basi mwanamke hatakuwa na woga kwa sababu tu anaamini yupo na mwanaume mwenye kujiamini ambaye atakuwa kinga au mtetezi wake. MWENYE UAMUZI Mwanaume mwenye uamuzi ndiye anayekufaa kwa ajili ya kujenga uhusiano makini na ulio bora. Yule mwenye uwezo wa kusema jambo na kulisimamia. Awe mtu mwenye msimamo na asiyetetereka kwa jambo lolote linaloweza kumyumbisha katika uhusiano wake, kwa sababu yeye ndiye aliyeamua kupenda basi hayuko tayari kusikiliza maneno ya pembeni kwa sababu anaamini katika fikra zake. ASIWE MVIVU Ili kuhakikisha kuwa familia au uhusiano wako hauyumbi, mwanaume asiyekuwa mvivu ndiye anayekufaa. Awe mtu ambaye anajituma ili kudumisha penzi na hata familia yake. Uvivu ninaouzungumzia hapa ni ule wa kimajukumu ya kutafuta fedha na anapokuwa faragha. shutterstock-couple-huggingANAYETUNZA SIRI Katika uhusiano wako kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kutunza siri za ndani hata kama mtakuwa mmekoseana au kuhitilafiana. Awe tayari kuvumilia jambo hilo moyoni mwake. Kama ukiona amelitoa nje basi ujue limemzidi uwezo, ndiyo maana kuna wakati mtu akitaka kukwambia jambo anakuuliza ‘je, una kifua?’ Kuna mambo mengi sana nyuma ya uhusiano ambayo mengine hayastahili kumwambia kila mtu hivyo lazima mwanaume wako awe mtunza siri. ASIYEPAYUKA Uhusiano wowote una migongano kama ambavyo kazi zote zina changamoto katika utendaji wake. Kwenye uhusiano, unapaswa uchague mwanaume asiye na tabia ya kupayuka mnapokuwa mmekosana. Tabia ya kupayuka kiasi cha kuwafanya hata majirani wajue jambo mnalogombania haifai.
Ukitegemea kupata kitu penzi utaliona chungu *🅱 professional love*  Si jambo la kushangaza kuwaona au kusikia mwanamke na mwanaume wanapendana. Yaani kila mmoja anampenda mwenzake na hivyo kuanzisha uhusiano. Hapa nazungumzia upendo wa umoja na si wa wingi. Yaani wale wanaopendana huku kila mmoja akiwa hana mwenza mwingine. Inapotokea mtu ana mwenza halafu akapenda kwingine, huo ni usaliti na si mada yangu ilipolalia wiki hii. MADA YENYEWE Mada yangu inajieleza hapo juu; ukitegemea kitu penzi utaliona chungu. Wapo watu ambao wanaingia kwenye mapenzi kwa sababu ya kupenda kutoka kwenye sakafu ya mioyo yao. Yaani mfano, mwanamke anatokea kumpenda mwanaume fulani pasipo na sababu yoyote. Huo ndiyo upendo unaoitwa wa dhati! Lakini wapo wanaopenda kwa sababu ya kitu. Mfano, mwanamke anatokea kumpenda mwanaume kwa sababu ana gari, ni msomi, ana pesa, ni mfanyabiashara, ana cheo serikalini, ni staa wa mpira wa miguu, ni mwimbaji mzuri wa Bongo Fleva au ana umaarufu sana mitaani. HATA MBWEMBWE ZINA UPENDO? Katika hili, nimewahi kushuhudia dereva wa bodaboda akipendwa na msichana kwa sababu tu ya uendeshaji wake wa bodaboda mitaani. Akiingia watu wanajua huyo ni Yusuf kwani mlio mkubwa, mwendo kasi akiwakwepa watoto wa mitaani, honi nyingi, breki za ghafla, sehemu nyembamba anapita kwa spidi na watu wanamsema vibaya kila siku; ‘huyu Yusuf huyu, iko siku.’ Kwa tabia hiyo tu, msichana mmoja aliondokea kumpenda sana Yusuf. Nilibaini hilo kwani Yusuf alipokuja kunyang’anywa pikipiki na bosi wake akawa hana mbwembwe tena na uhusiano wake na yule msichana ukafa. Yusuf hakuwa na pesa za kumhonga huyo msichana, kwani yeye alikuwa akifanya biashara zake, sanasana yeye Yusuf ndiye aliyekuwa akipigwa tafu ya vijisenti. LAKINI KUNA KUNDI HILI Kundi ninalopenda kulizungumzia kwa leo ni lile la wanawake hasa, ambao wanaingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanaume kwa dira zao. Utakuta mwanamke anamkubali mwanaume kwa sababu tu amehisi atakuwa akipewa pesa nyingi. Au kama mwanaume ana duka, anategemea akimkubali atakuwa akipewa bidhaa za dukani bure. Wengine ni wale wanaoingia kwenye uhusiano kwa sababu wanaume hao wana vyeo vikubwa au ni mastaa, hawa ndiyo ninaosema mimi kwamba, inapotokea pesa zimekata, hapewi kama zamani, inapotokea cheo kimeisha, inapotokea hali ya biashara inayumba hivyo hapewi mchele kama zamani ndiyo hujuta na kuliona penzi ni chungu. KUWA KATIKA KUNDI HILI Siku zote unapotaka kuingia kwenye uhusiano kubali kwa mwanaume ambaye kila ukipima upendo wako kwake unauona hauna sababu yoyote. Yaani humpendei pesa, humpendei cheo wala ustaa, bali unampenda tu! Ndiyo maana wahenga walisema penye penzi la kweli, mwenye chongo huonekana ana makengeza! Ukipenda kwa mtindo huu, huwezi kuteseka kwani hali yoyote utakubaliana nayo.
Mambo 11 muhimu unayopaswa kumwambia mpenzi wako kila siku *🅱 professional love*  Kutengeneza uhusiano wenye nguvu ni moja ya mambo yenye changamoto kubwa. Japo hakuna maelekezo maalum, kuna mambo machache na rahisi ambayo unaweza kumwambia mpenzi wako yakaujenga zaidi. Weka desturi ya kusema mambo haya kwa mpenzi wako na muda mfupi tu mtakuwa couple itakayowapa wivu marafiki zetu. 1. Nakupenda Nakupenda ni kitu rahisi na cha wazi cha kumwambia mpenzi wako. Hakikisha tu kuwa unamaanisha. Jaribu kulisema neno hilo pindi mpenzi wako anapokuchekesha au pale anapofanya kitu kinachokukumbusha kwanini mko pamoja. 2.Nilikuwa nakuwaza Ni muhimu kumjulisha mpenzi wako kuwa unamuwaza hata kama hamko sehemu moja. Ukiona kitu kizuri au cha kuchekesha katika siku yako ambacho kinakufanya umkumbuke, mjulishe. 3. Siku yako ilikuaje? Muulize masuala ambayo mpenzi wako anakutana nayo katika shughuli za kila siku. Muulize kuhusu huyo mfanyakazi mwenzie anayemkera au kazi kubwa waliyokuwa wakifanya. Kumpa nafasi mpenzi wako kushare sehemu zingine za maisha yake kutasaidia kuunganisha dots kati ya muda mnaokuwa pamoja. 4. Nakuunga mkono Mpe moyo mpenzi wako kwa kumjulisha kuwa unaunga mkono maamuzi yake. Unaweza ukaenda mbali zaidi kwa kujaribu kumsaidia afanikishe malengo aliyojiwekea. Maisha yamejaa vikwazo vingi, na ile hisia kuwa una mtu mwingine upande wako zinaweza kukusaidia kuvivuka. Msiwe couple tu, kuweni timu. Kumkumbusha mpenzi wako kuwa upo nyuma yake kutaimarisha uhusiano wenu. 5.Umependeza Kama umekuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu, ni rahisi kujisahau katika mengi. Ni muhimu kumkumbusha mpenzi wako kuwa anakuvutia. Kumjulisha kuwa ‘gauni hilo limekupendeza sana’ kutamfanya ajisikie vizuri na kukumbusha kwanini ulimchagua yeye. 6. Samahani Kila mtu hukosea wakati fulani. Wakati mwingine hujikuta tukiongea maneno kwa hasira na baadaye kugundua kuwa hatukuwa sahihi. Ubishi hauna nafasi kwenye uhusiano wenye furaha, hivyo omba msamaha unapofanya kosa. Omba msamaha kwa kukasirika. Omba msamaha kwa kuumiza hisia za mpenzi wako. Omba msamaha hata kwa vitu ambavyo sio kosa lako. 7. Hakuna kama wewe Mpenzi wako anatakiwa kuwa rafiki yako. Kama hautaki kutembea naye, basi hamkupaswa kuwa kwenye uhusiano. Mfanye mpenzi wako ajue kuwa yeye ni bora na hakuna kama yeye. 8. Napenda mawazo yako Mwambie mpenzi wako kuwa unapenda mawazo yake. Mjulishe kuwa unaona ana akili, mcheshi, anajua kupenda na ana kipaji. 9.Nakuheshimu Kama ulivyo uhusiano wa marafiki, heshima ni kitu muhimu kwako na mpenzi wako. Mpe nafasi ya kukushauri au kukupa mawazo kwenye mambo yanayokutatiza. Mtu anapohisi anaheshimiwa, hujisikia pia furaha na salama, vitu ambavyo ni muhimu kwenye uhusiano wowote mzuri. 10. Napingana na hilo Sehemu moja wapo ya kumheshimu mpenzi wako ni kumjulisha pale usipokubaliana naye. Hakuna mtu anapenda kuoa mtu anayekubaliana na kila kitu na hakuna mwanamke anayetaka kuzaa watoto na mwanaume asiye na msimamo. Mnaweza kuwa timu, lakini nguvu ya timu yoyote ipo kwenye mawazo na matendo ya kila mmoja. Kuwa na maoni yako na yaseme kwa mtindo wa heshima. Kumpa mpenzi wako mtazamo tofauti kunaweza kumsaidia kupata suluhisho kwa tatizo ambalo hakuwa ameliwaza. 11. Usiku mwema Tunaishi kwenye wakati ambapo mawasiliano ni rahisi mno. Kwa kubonyeza tu kitufe tunaweza kutuma ujumbe kuvuka bahari, hivyo hakuna kisingizio cha kushindwa kusema ‘usiku’ mwema. Haimjulishi mpenzi wako tu kuwa unataka kulala, bali pia inamjulisha kuwa unamfikiria. Hata kama hamjaongea siku nzima na hasa kama mmejibizana, maliza siku na kishindo chanya.
Watoto wanaonyonya kwa muda mrefu wanakuwa na akili zaidi, na wenye uwezo kifedha wanapokuwa watu wazima *🅱 professional love*  Utafiti uliofanyika nchini Brazil umebaini kuwa watoto wanaonyonya kwa muda mrefu wanakuwa na akili zaidi,wasomi,na wenye uwezo kifedha wanapokuwa watu wazima. Ripoti ya utafiti huo iliyochapishwa katika jarida la afya la Lancet Global Health unafuatilia makuzi ya mtoto hadi kuikia utu uzima wake. Wataalam hao wanasema kwa mtoto anayenyonya kwa takriban mwaka mmoja anakuwa na kiwango cha akili cha juu zaidi ya yule ambaye hajanyonya kwa muda huo kwa kiwango cha IQ cha mara nne zaidi. Katika maziwa ya mama kwa mjibu wa wataalam hao kuna madini mhimu ambayo husaidia ukuaji wa ubongo na kuongeza kiwango cha ufahamu. Hata hivyo utafiti wa safari hii kwa mjibu wa wataalam hao nikwamba una uhakika zaidi kwani walitumia kubwa ya watoto tofauti na idadi iliyotumika awali miaka 1980. -BBC
Kwawale wanao penda kuruka ukuta 'Ngono kinyume cha maumbile' someni hapa madhara yake *🅱 professional love*  Raha ya mapenzi ni pale yanapofanyika kwa nafasi na usalama. Kila mmoja akaendelea kufurahia uhusiano kwa maana ameridhika katika njia ambayo ni salama kwa pande zote mbili.Ndugu zangu, penzi linanoga pale linapomhusisha mwanaume na mwanamke katika njia ambazo hazina madhara na si vinginevyo. Ukitazama kichwa cha habari hapo juu, suala la watu kuingiliana kinyume na maumbile ni tatizo ambalo linaendelea kushamiri kwa kasi kama moto wa kifuu siku hadi siku katika kizazi cha sasa. Linaonekana kuzoeleka na watu kutaka kulifanya la kawaida au kusema ndiyo fasheni ya kisasa. Kweli jamani! Utasikia binti akikwambia kwamba bila kufanywa tendo hilo hajisikii raha. Anasema hivyo kwa sababu ya mazingira ambayo ameyapitia maishani, simlaumu kwa sababu tatizo hilo limehamia hadi kwa wanaume, kutokana na mazingira waliyoyapitia nao sasa wapo ambao hawasikii raha bila kufanya tendo hilo. Utasikia mwanaume anakwambia bila kufanya kinyume na maumbile hasikii raha. Tatizo linakuwa hapo, anayependa kufanya mchezo huo akikutana na ambaye hapendi kufanya huwa unaibuka ugomvi na madhara yake inakuwa ni ugomvi kila kukicha. Wanawake wengi wamekuwa wakinitumia ujumbe mfupi wakiniambia jinsi wanavyopata usumbufu kutoka kwa wanaume ambao wanapenda hako kamchezo.Wengi wamesema huwa wanakataa lakini wanaume huwa wabishi na wakati mwingine hufanya tendo hilo kwa kulazimisha au kujifanya wamekosea. Historia inaonesha kizazi cha mababu zetu, mchezo huu haukuwa ukifanyika lakini vitendo hivi vimeshamiri kwa kizazi cha sasa kutokana na ujio wa DVD za ngono kutoka nchi za magharibi. Watu wameona, wakakopi na kupesti katika uhalisia na kuona yanafaa. Wakaanza kuyatumia tena wakanogewa kiasi cha kusema: “Mimi bila kinyume na maumbile, sijainjoi mahaba.” Taasisi moja ya Kimarekani imetoa taarifa kwamba licha ya magonjwa mengi ambayo yanaweza kusababishwa na tatizo la kuingiliana kinyume na maumbile lakini pia upo uwezekano wa mtu kuweza kuambukizwa kansa. Imeelezwa kuwa, virusi aina ya human papilloma ambavyo husababisha kansa huweza kuhama kwa urahisi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa kupitia tendo hilo la kujamiana kinyume na maumbile. Mbali na hilo, inaelezwa kwamba ni rahisi sana mtu kupata magonjwa ya zinaa ikiwemo Ukimwi kutokana na msuguano unaosababishwa na ‘nature’ ya mazingira ya eneo husika ambalo halina majimaji ya asili yanayoweza kulainisha kuepusha msuguano ambao unaweza kusababisha magonjwa kusafiri kwa urahisi kupitia damu. Nini kifanyike? Licha ya kuwa wapo wataalamu wanaoshauri njia mbalimbali za kufanya ili kuhalalisha aina hii ya ngono iwe salama lakini nikushauri tu msomaji kuacha kabisa mchezo huu maana faida zake ni chache kuliko hasara. Inatajwa kuwa huweza kuwasababishia wanawake matatizo wakati wa kujifungua kwa kutenda tendo ambalo linapingana na lile ambalo Mungu mwenyewe amelipitisha katika njia ya kuzaliana kupitia sehemu ya kawaida. Hii ni tabia ambayo iliingia, tuna uwezo kabisa wa kuipinga kwa nguvu zote kwani raha ya mapenzi ipo katika mfumo mzuri ambao kila mmoja anaufahamu. Kwa yule ambaye ameshaathirika na mchezo huu, inampasa kubadilika na kurudi katika njia salama ambayo haina madhara mengi.
Je, unazijua sifa za mwanaume anayekufaa kuwa mwenza wako? *🅱 professional love*   Je, unazijua sifa za mwanaume anayekufaa kuwa mwenza wako? Hili limekuwa swali gumu kwa wanawake wengi ambao wamekuwa wakijiuliza watawezaje kuwafahamu au kumfahamu mwanaume f’lani kama ana sifa za kuwa mpenzi wake? Mwanaume anayekufaa katika uhusiano wa kimapenzi lazima awe na sifa zifuatazo; AWE CHAGUO LAKO Ni lazima mwanaume unayetaka au unayempenda awe mpenzi wako, awe na sifa kubwa ya wewe mwenyewe kumpenda, kumridhia na siyo kumpenda kwa sababu au shinikizo f’lani. MWENYE KUJIAMINI Mwanamke anapokuwa na mwanaume anayejiamini, anaamini yupo salama zaidi. Hata kama kuna lolote linaloweza kutokea wakiwa wote basi mwanamke hatakuwa na woga kwa sababu tu anaamini yupo na mwanaume mwenye kujiamini ambaye atakuwa kinga au mtetezi wake. MWENYE UAMUZI Mwanaume mwenye uamuzi ndiye anayekufaa kwa ajili ya kujenga uhusiano makini na ulio bora. Yule mwenye uwezo wa kusema jambo na kulisimamia. Awe mtu mwenye msimamo na asiyetetereka kwa jambo lolote linaloweza kumyumbisha katika uhusiano wake, kwa sababu yeye ndiye aliyeamua kupenda basi hayuko tayari kusikiliza maneno ya pembeni kwa sababu anaamini katika fikra zake. ASIWE MVIVU Ili kuhakikisha kuwa familia au uhusiano wako hauyumbi, mwanaume asiyekuwa mvivu ndiye anayekufaa. Awe mtu ambaye anajituma ili kudumisha penzi na hata familia yake. Uvivu ninaouzungumzia hapa ni ule wa kimajukumu ya kutafuta fedha na anapokuwa faragha. shutterstock-couple-huggingANAYETUNZA SIRI Katika uhusiano wako kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kutunza siri za ndani hata kama mtakuwa mmekoseana au kuhitilafiana. Awe tayari kuvumilia jambo hilo moyoni mwake. Kama ukiona amelitoa nje basi ujue limemzidi uwezo, ndiyo maana kuna wakati mtu akitaka kukwambia jambo anakuuliza ‘je, una kifua?’ Kuna mambo mengi sana nyuma ya uhusiano ambayo mengine hayastahili kumwambia kila mtu hivyo lazima mwanaume wako awe mtunza siri. ASIYEPAYUKA Uhusiano wowote una migongano kama ambavyo kazi zote zina changamoto katika utendaji wake. Kwenye uhusiano, unapaswa uchague mwanaume asiye na tabia ya kupayuka mnapokuwa mmekosana. Tabia ya kupayuka kiasi cha kuwafanya hata majirani wajue jambo mnalogombania haifai.
JINSI YA KUCHEZEA MATAKO YA MWANAMKE NA KUMPA RAHA YA AJABU KWA KUYABINYA KATIKA MIELEKEO MAALAM SOMA HAPA *🅱 professional love*  Mke anawezza kuchezea uume wa mumewe kwa kuuweka katikati ya maziwa yake mawili ,kuuchezesha kwenye mapaja ,nyuma ya magoti yake ,,au kwenye mstari unaogawa matako yake. Hata hivo kutokana na tofauti za kimaumbile na kisaikolojia baina ya wanaume ,ni jukumu la mke kufahamu ni eneo gani hasa mumewe akiguswa anapandwa na mizuka haraka. Kwa upande wa wanawake wanasaikolojia takribani wote wanakubaliana ya kuwa popote utakampomshika hupandwa na kuweza kufanya mapenzi. Hata hivyo mke husikia raha zaidi pale anapotekenywa na mumewe kwa namna yoyote ile ,kuchezewa maziwa kwa kutekenywatekenywa ,kuvutwavutwachuchu na kuguswa kiunoni. Inapendekezwa awe atleast amevaa shanga chain mbili kiunoni si vibaya akawa kava zaidi inategemea na mume anavyopenda Mbali na hayo mwanamke anapenda achezewe kitovuni .kupapaswa kwenye kinena ,kulambwa kiarage (kisimi) na hata uke mzimaaaaaaaaaa. Mostly hujiskia raha zaidi kuzamishwa vidole ukeni na kupekechwa ekechwa. Kwa kuwa uume husimama mara tyu fikra za jimai zinapoujia basi utaposimama mwanamme anatakiwa aupigepige na uke kichwa cha uume huo katika kisimi cha mke. Mara nyingi unapofanya hivo mwanamke hulainika mwili mzima na nyege humpanda zaidi ,kiasi cha uke wake kuroa zaidi. Aidha mke hupendelea kupapaswa mapaja ,kushikwa makalio ,kuchezewa shanga za kiunoni ,kupapaswa mgongoni mostly kwenye mfereji ulioanzia chini ya shingo till matakoni. KUCHEZEANA Kabla ya tendo la ndoa ni vyema mume na mke wakaanza kupeana maneno matamu ya kimapenzi hali itakayowapandisha ashqi na kuanza kuchezeana Mume anatakiwa kumchezea mkewe katika maeneo yote yatakayompandisha ashqi kufany tendo la ndoa .mwanamme anaemuingilia mkewe bila ya kumuandaa,kwa sisi waislamu tunamuhisabu kama ni mnyama  MAHALI GANI WACHEZEANE Kila sehemu ya mwili wa mwanamme au mwanamke inapaswwa kuchezewa kama maanadalizi ya tendo lenyewe .lakini yapo maeneo yanampandishaa nyege zaidi mke au mume. Wanasaikolojia wa mapenzi wanakubaliana ya kuwa ,wanaume hutofautiana juu ya mahali gani hasa wanaposhikwa ,kupapaswa ,au kuchezewa na wake zao hupanda ashqi. Lakini wengi husema ya kuwa maeneo yanayowapandisha zaidi ashqi ni kidevu ,nywele ,kifuani, au tumboni ,(garden love) maeneo ya kinena na zaidi zaidi kwenye uume na kunyonya korodani.
RIWAYA: HIGH SCHOOL SEHEMU YA PILI. Nilifanikiwa kupanga vitu vyangu katika mpangilio uliopendeza mbele za macho yangu baada ya hapo nilijiandaa kwa ajili ya ratiba za siku hiyo. Uniform mpya zilinipendeza hakika, sketi yangu fupi nyeusi iliyochanua vyema, shati langu jeupe la mikono mirefu, tai ya pundamilia, soksi ndefu zilizonifika magotini na viatu nilipendeza sana. Muda ulipokaribia mimi na Candy tuliongozana hadi mstarini na baada ya matangazo machache tuliruhusiwa kuingia madarasani. Candy aliniongoza mpaka kwenye darasa letu. Ili ndilo darasa lako aliongea kwa dharau na kisha akaondoka kwa hatua za mikogo, nilibaki nikimtazama mpaka alipopotelea. Hakika Candy ni msichana mzuri niliwaza. Dakika moja ya kumshangaa Candy ilipoisha niliamua kuingia darasani na wakati huo wakati naingia darasani nilijigonga kwenye paji la uso mlangoni. Nilihisi maumivu makali. Madaftari mawili ambayo hayakutosha kwenye kibegi changu cha mgongoni yalidondoka. Nilichutama ili kuyaokota na hapo nilijigonga tena na safari hii sio kwenye mlango tena bali ni mtu alikuwa amenigonga, nilikasirika sana. Nikageuka kwa ghadhabu ili nimuone ni nani ambaye amenigonga nilikutana na sura nzuri ya kiume iliyopambwa na tabasamu laini, hakika sikuwahi kukutana nalo katika maisha yangu yaliyopita. “Sorry” alisema kwa sauti tamu. “Aaaanh usijali nilikua nakusaidia kuokota madaftari yako lakini kwa bahati mbaya nikakugonga samahani kwa hilo.” “usijali na asante sana” nilisema. Aliniokotea madaftari yangu na kisha akanikabidhi, “wewe ni mgeni mahali hapa sijawahi kukuona.” “Ndio nimehamia jana” “Karibu sana” “Asante” nilisema. “Unasoma combination gani?” “Niko ECA” “Wooow karibu kwenye darasa letu” “Asante” “Naitwa Martin, sijui wewe unaitwa nani?” “Naitwa Catherine.” “Catherine karibu sana.” “Asante.” Alinishika mkono na kuniongoza darasani, alisimama mbele ya darasa na kuongea kwa sauti nzuri ya kiume. “Hello class huyu ni mwanafunzi mpya atajitambulisha anahitaji ushirikiano wenu.” Akaniachia nafasi nijitambulishe mbele ya darasa. Nikasema kwa uwoga hali nimeshikwa na aibu za kike. “Hello class naitwa Catherine nimetokea Kibasila” nilishindwa kuendelea, watu walicheka na kisha wakanikaribisha. Nilioneshwa sehemu ya kukaa pembeni yangu aliketi msichana mzuri alinisalimia “hello naitwa Martha karibu sana.” Nilitabasamu na kisha nikamwambia asante. Ghafla mwalimu aliingia akiwa mwenye ghadhabu, tulisimama kumsalimia. Hakujibu salamu yetu alianza kufoka “kama hujafanya assignment simama hivyohivyo na kama umefanya kaa chini.” Nilijikuta nimesimama peke yangu. “All eyes on me.” Nilihisi nimejisemea mwenyewe lakini kumbe niliongea kwa sauti darasa zima wakacheka, nikatoa macho hali nimeachia mdomo. Mwalimu aliniuliza “je wewe ndio ambaye ujafanya kazi yangu ni kitu gani kimekufanya usifanye assignment?” Nilishikwa na kigugumizi, “Eeeeh aaanh mimi ni mgeni” “ahaaa” alisema mwalimu yule ambaye baadae nilikuja kumtambua kama Mr. Maloya. “Kaa chini” nikakaa. Alianza kufundisha huku akitumia muda wake mwingi kunitazama, sikujua kwa sababu ya ugeni wangu au vipi. Tuliendelea na vipindi mpaka wakati wa mapumziko ulipofika. Darasa zima waliondoka. Nilibaki peke yangu nisijue wapi pa kuelekea. Na wakati nimeinama nikifuta viatu vyangu nilisikia nimeguswa begani kwangu. Kwa kuwa sikuwa nimemzoea mtu yeyote nilijua lazima ni Candy ambaye amenipitia kwa ajili ya mapumziko. “Candy” niliita huku nikigeuka, hakuwa Candy nilikutana na sura nzuri ya kiume. “Martin hapa” niliachia tabasamu. “oooh Martin” nilishindwa kuendelea. “Mbona uko hapa peke yako?” aliuliza. “Sijui nielekee wapi” nikasema. “Aaanh ngoja twende restaurant” nikanyanyuka tukaongozana. Tulipofika niliagiza maziwa na slace tatu za mkate. “Unayaonaje mazingira ya shule yetu” aliuliza. Kabla sijamjibu msichana ambaye alikuwa mmoja kati ya wanafunzi alifika mezani kwetu. “Wewe ndio Catherine si ndio?” aliuliza. “Ndio” nilimjibu “Academic master kasema upeleke barua zako za uhamisho ofisin kwake sasa hivi.” Alisema. “Asante kwa taarifa” nilijibu. Nilinyanyuka haraka bila kuaga na kuelekea yalipo mabweni yetu. Nilipofungua nilishangaa kumkuta Candy amelala usingizi, nikashangaa wakati wa mapumziko Candy amelala kwa uchovu gani? Sikumtilia sana maanani kwa vile nilikuwa mgeni, nikachukua barua zangu na kuzipeleka panapohusika na kisha kurejea darasani. Masomo ya siku hiyo yaliendelea kama kawaida. Muda wa vipindi ulipoisha nilirejea bwenini na wakati huo Candy ndio alikuwa akiamka, tulipata chakula cha mchana na kisha kwenda kwenye michezo. Wakati wa jioni ulipofika tuliingia kwenye kusali. Nilikaribishwa vizuri sana nilijihisi ni mmoja kati yao. Nilipata faraja mno kwa vile nilikuwa nikikubalika kila sehemu. Maisha ya shule yaliendelea vizuri. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>>
STORI; MALKIA WA JELA SEHEMU YA KWANZA .............................................. Kwenye maisha ya kila siku katika ufanyaji wa maamuz ya ufanyaji wa jambo fulan una ulazima wa uhitaji wa ushaur kutoka kwa mtu mmoja wa karibu nawe Ila unapoamua kujichukulia maamuz yako na kufanya jambo baya kwa kunufaisha/kujinufaisha baadae unapokuja kuona madhara yake ndipo uona umuhimu wa kutaka ushaur toka kwa wenzako ikiwa tayar umeshachelewa kwan "NGOMA INAPOVUUMA SAANA MWISHO WAKE HUISHIA KUPASUKA" LINDA ni msichana mrembo aliyebarikiwa kwenye kila idara ikiwemo mvuto pamoja na umbo lake lililowavutia watu wengi mtaani kwao ila kwa bahat mbaya anakuja kupata kesi ya kumwuua mpenzi wake bila kukusudia na mahakama kuamua kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela kutumikia kifungo hicho cha kuua bila ya kukusudia ndan ya Gereza la wanawake LINDA siku ya kwanza anaingia ndani ya Gereza ilimpa wakat mgumu Sana kuyazoea mazingira muda mwingi alijitenga peke yake huku akilia na kujutia makosa yake Kwa kawaida kila gereza lazima utakutana na mtu ambaye usimama Kama kiongozi ndan ya gereza aliyejulikana kwa jina la NYAMPALA ,Kuna binti aliyeitwa NYANZARA ndiye aliyekuwa akiliongoza gereza lile Kama Nyampala Aliutumia udhaifu wa LINDA kwa kuwa alikuwa ni mgen na kumfanyia baadh ya kaz zilizokuwa zikiendeshwa ikiwemo usaf ndan ya gereza na ufyekaj wa nyasi katika maeneo ya nje ya gerezan LINDA alikuwa akiumia Sana moyon na kushindwa kufanya lolote kwa kuwa tiyar limeshatokea Adhabu yake kubwa ndan ya gereza lile iliyokuwa inamfanya alie kila wakat ni majira ya usiku anapotakiwa kukesha macho na kumpepea NYANZARA asiumwe na mbu kuna wakat alishindwa kujizuia na kujikuta akipitiwa na usingiz na kujikuta akiambulia kipigo toka kwa NYANZARA Siku moja wakiwa wamejipanga wanachukua chakula LINDA baada ya kupata chakula chake alisogea na kwenda kukaa peke yake chini ya mti Kuna mfungwa mwenzie baada ya kumwona LINDA amekaa peke yake aliamua kubeba chakula chake na kumfuata alipokuwa amekaa "Habar yako Dada ? Alimsalimia yule Dada ilikujua hali yake "Nzur tu .... Yule Dada aliamua kukaa chin ili waweze kuongea "Nimekuona umekaa hapa muda mrefu unaonekana mnyonge wakat wote ....Unaliaa ..Uchangamki ....Bado hujazoea mpka Leo "Mmmh! Nashindwa kujizuia .. Maisha ya huku ni magumu sijazoea "Ipo siku utazoea tu acha kuwaza changamka Mimi naomba niwe rafiki yako "Saw a "Akatabasamu "Nafurah kukubali hili Aam naitwa PENDO sijui wewe mwenzangu ? "Mimi naitwa LINDA "Woow! Jina zur Sana "Nashukuru Hata lako pia "Kwani Dada wewe hasa kilichokufanya uingie humu ndani ni kitu gani ? "PENDO we acha tu sitaki hata kukumbuka Wakat wakiendelea kuongea NYANZARA aliwafuata na kuanza kuwapiga na kuwataka waondoke haraka na kwenda kujumuika na wenzao kufanya kazi LINDA pamoja na PENDO walinyanyuka na kukimbia kujiunga na wenzao kabla hawajafika mbali Sahan zao walizokuwa wanalia walizisahau NYANZARA aliamua kumrudsha LINDA na kumtaka arudie zile sahan haraka LINDA alirud kuchukua sahan "Mlikuwa mnamwachia nan awatolee okota haraka utokee " Aliongea NYANZARA kwa saut ya ukali LINDA aliinama na kuziokota zile sahan kisha kuondoka huku akikimbia Baada ya wiki moja kupita wakiwa wanafyeka nyas katika eneo la nje ya gereza wakati huo NYANZARA alikuwa amejilaza kidogo kwa pemben chin ya mti wakiwa wanaendelea kufyeka nyasi PENDO alimfuata alipokuwa LINDA "Wewe PENDO umeijia nini hapa huogopi ? "Amelala hawez kuamka sahv yule "Angalia Mimi namwogopa Kama nini sitak matatzo "Hapana bhana usiogope ... Sasa sikia siku ile hatukumaliza kuongea haukuniambia ni nini kimekupelekea uwepo hapa "PENDO siku nyingine Leo haitowezekana acha tufanye kaz kwanza "LINDAA watu wote hawa unafikir hapa hapata isha na hata pakiisha hatuach kufyeka Leo wala kesho "Mmh haya tutakaa kwa wapi Walitafuta sehem nzur ya kuweza kukaa ambayo hawatoweza kuonekana kwa haraka na kuanza kuongea "PENDO unajua tangu nimeingia humu umejitolea kuwa mtu wangu wa karbu mno tena mapema "Unajua LINDA Mara nyingi watu wakiletwa huku hukosa furaha kabisa na kupoteza Raman nzima ya maisha ila unapokuwa na rafiki hautaman hata kutoka "Kwani wewe Una mda gani tangu uingie humu ? "Nina mwaka wa tatu sasa Bado miaka yangu minne mbele niweze kumaliza kifungo changu "Eeeeeeh! Miaka minne na umeshamaliza miaka mitatu humu humu ndan "Ndiyo mbona nimeshaona kawaida vipi wewe mwenzangu "Mingi..Miaka mitatu "Ha! Hyo mingi Mbona midogo je ungekuwa Mimi ....Tuachane na hayo niambie kilochotufanya tuje hapa kuongea "Mmh! PENDO Wanaume siyo watu wazur hata kidogo kuna mwanaume nilitokea kumpenda Sana lakin alichokuja kunifanyia sinto sahau mpk natoka humu LINDA alianza kumsimulia Ikiwa ni mida ya saa kumi na mbili asubuh LINDA akiwa usingizn anajarbu kupeleka mkono wake pemben akijarbu kupapasa papasa na kukuta hakuna anachokitafuta anastuka na kufumbua macho kuhakikisha na kukuta mumewe BENSON hayupo kitandan alijinyoosha huku akipiga mihayo na kujirekebisha rekebisha nywele zake kwa mikono akaamua kutoka kitandan na kusogea mpk kwenye kioo cha kwenye dressing table na kuanza kujiangalia alipoona yupo sawa alisogea mpk karibu na mlango akitaka kuufungua muda huo huo BENSON akawa amefungua na kuingia chumban "Baby ulikuwa wapi ? "Nilienda kazn Mara moja kulikuwa na dharura "Uliamka sa ngapi mbona sikukusikia "Sikutaka kukusumbua nimeamka usiku Sana "Ungeniaga bwana ya Mungu mengi unaweza kupatwa na tatzo "Sorry! siku nyingine nitafanya hvo nilijua ntakusumbua

ZIKO FAIDA NYINGI ZA KULALA UCHI PENGINE HUZIJUI: TAGS afya bora joto la mwili kulala uchi Kulala ni kitu cha muhimu sana ambacho huwa tunakifanya kila siku usiku. Kupata muda sahihi wa kulala na ni mara ngapi haihesabiki na kiasi cha faida, na sio kulala usingizi wa kutosha. kuna hili tatizo ambalo lipo nchi nyingi ulimwenguni, hivi unajua kuwa unapata faida nyingi ukiwa unalala uchi? Na hapa nakuletea hizo faida za kulala ukiwa huna nguo kabisa. Hata hivyo imehakikishwa kuwa kulala uchi unakuwa na afya . 1.Kulala Uchi Inakusaidia Usingizi Usikuruke. Miili yetu hutoa joto na kulirudisha, kama mwili wako hautoi joto ni kwa sababu ya nguo zako za kulalia, utakumbwa na kukosa usingizi mara kwa mara unapokuwa umelala, kwa sababu kiini chako hakiwezi kutoa joto. Kulala uchi kunaruhusu joto la mwili kutoka kwa haraka na kukusaidia kulala kwa haraka bila ya kuanza kusubiri usingizi. 2.Walala Uchi Hupata Usingizi Wa Kina Na Kulala Muda Mrefu. Joto la mwili la kitandani huwa linajirekebisha lenyewe na kumpa mtu usingizi wa kina na kulala kwa muda mrefu. Watu wengi hulalamika kuwa hawapati usingizi wa kutosha , wengine huamua kwenda kwa madactari , kumbe tatizo ni wao kulala na manguo mengi kitandani. Na wanapokuwa kitandani huchukua muda mrefu kupata usingizi. 3.Kulala Uchi Inakusaidia Kuzuia Ongezeko La Belly Fat. Kawaida mwili hutulia usiku,ili kukusaidia kushusha kiasi cha cortisol, unapolala bila kustuka kati ya masaa ya saa 4 usiku na saa 8 alfajiri, kiasi cha cortisol kinakuwa kiko chini , lakini baada ya saa 8 alfajiri zile gland zinazozalisha cortisol zinaanza kufanya kazi zaidi kwa ajili ya kujiandaa na kazi inayofuatia kwa siku, ndio maana huwa unajisikia una nguvu unapoamka. Unapokuwa hupati usingizi wa kutosha ndio hapo unapoamka na hizo cortisol nyingi, zinazoleta hamu ya kula chakula kingi na kusababisha kupata belly fat. Unapolala bila nguo unakuwa unatoa joto linalo rekebisha kiasi cha cortisol mwilini mwako. 4.Kulala Uchi Utavifanya Viungo Vyako Vya Siri Kuwa Na Afya. Sehemu ya vagina kwa kawaida huwa kuna joto na baridi na unyevunyevu, ni mazingira ambayo yana chachu ya hutengeneza vimelea na kustawi . kwa kutoa manguo mengi na kuacha wazi , utaruhusu hewa safi kupita, na vagina yako itapumua vizuri ili kupunguza kustawisha vimelea na chachu inayokuwepo . Kwa wanaume , kutunza testes kuwa cooler na kusaidia kuweka sperm ziwe na afya na kuwa na uzalishaji mzuri wa kawaida, hio ndio maana testes zimeachwa nje ya mwili, unapovaa tight briefs, testes zinapata joto na kupunguza kiasi cha sperm zako. 5.Joto La Mwili Husaidia Kuzuia Kuzeeka. Kulala uchi , unachochea kupunguza kukua kwa homoni za melatonin , ambazo ndio muhimu katika kuzuia kuzeeka. Kwa hio jinsi unavyolala vizuri na zaidi, ndivyo unavyozalisha hizi homoni. Kwa hio kwa sababu tumeelewa kuwa kulala uchi kunasaidia kupata usingizi mzito na wa muda mrefu, nani asiependa kupunguza uzee na kuwa mwenye nguvu siku zote.? 6.Mguso Wa Ngozi Kwa Ngozi Unaboresha Maisha Ya Tendo La Ndoa. Kama hulali peke yako , mguso wa ngozi kwa ngozi na mwenza wako inatoa oxytocin katika miili yenu , ambayo hio oxytocin ina nguvu ya kukufanya ujisikie vizuri, homoni , ambazo zinahitaji kuondokana na srtress wakati wa sex, na kujiona kama kitu kamili kimoja. Ni muhimu kujua kuwa unapokuwa uchi unaondoa vikwazo kati yako na mwenza wako na kupata hamu zaidi ya tendo la ndoa. Na mazingira yenu yanakuwa rahisi sana. 7,Kutoa Hewa Kwenye Ngozi Yako Inazuia Magonjwa Ya Ngozi. Ngozi inapopumua kutoka mwilini mwako, hasa maeneo ya kwapani mwako na sehemu za siri za viungo vyako vya uzazi, unapunguza ugonjwa wa ngozi, kama wale wanaolala na soksi , kwenye vidole vyao, hupatwa na matatizo kutokana na joto. 8.Kuuachia Mwili Wako Kunaboresha Heshima Na Kujikubali. Washauri husema unapokaa uchi mara nyingi , hasa ukiwa ndani kwako , unajijengea kujiamini na kuona ngozi yako jinsi ilivyo na afya njema. Na unakuwa unajisikia kuwa huru na mwenye ujasiri wa kutosha , itakufanya uwe na furaha na wa kuvutia kwa vile unajitambua . kuliko wale wanaolala na nguo , hata nje wanakuwa ni waoga mbele za watu. 9.Kulala Uchi Inasaidia Kuondoa Aina Ya Pili Ya Kisukari, 2 Diabetes. Watu wanaolala uchi hawako kwenye hatari ya kupata kisukari , lakini wale wanaolala na nguo nyingi wana hatari ya kupata ugonjwa huo. 10.Utaona Damu Yako Ikitembea Vizuri Mwilini. Bila hizo nguo za kubana, soksi, tishets,na kuondoa mzunguko wote wa damu utakuwa mzuri mwili mzima, na itakuwa ni faida kwa moyo wako kuwa na mapigo ya kawaida, misuli , na arteries kam oxygen ndani ya damu inavyoenda vizuri bila matatizo. Kwa taarifa hizi zote za kwa nini kulala uchi ni SO MUCH better kwa ajili yako, kwa nini uendelee kulala na nguo ? endelea, anza kulala uchi, kulingana na wanasayansi hutajilaumu hata siku moja.

NGUO ZINAZOFAA KUVALIWA CHUMBANI,UKIWA NA MPENZI WAKO.Mapenzi ni hisia,na hisia hizo huwa kwa wote yaani kwa wanaume pamoja na wanawake,baadhi ya walio kwenye uhusiano huwalalamikia sana wenzi wao nasababu kuu huwa ni kutokuwa na hamu yakufanya nao tendo la ndoa.Hapa nitazungumzia mavazi yanayopaswa kuvaliwa chumbani hasa mnapokuwa wawili tu yaani mke na mume..Mwanaume siku zote huwa na hisia za haraka sana hasa ukimjulia,lakini baadhi ya wanawake huwa wanashindwa kuzijua haraka mbinu za kumpandisha mzuka mumewe hata kama amechoka au ana hasira kwa siku hiyo...Ndugu yanguuchawi rahisi kwa mumeo ni kumvalia nguo nyepesi na yenye kuonyesha maumbile yako kamili,hii inaweza kuwa gauni nyepesi inayoonyesha maumbile yako ama siku hizi kuna mitandio milaini ambayo pia unaweza kuivaa pindi unapokuwa na mwenzi wako,ikumbukwe pia wanaume wengi hupatwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume kwa kukosa hisia za kufanya tendo hilo lakini wanawakeni dawa nzuri ya tatizo hilo ikiwa ataweza kumuhamasisha mumewe kwa njia mbalimbali ikiwemo ya vazi ambalo litamfanya mzee asisimke..

Zijue faida 11 za kulala uchi au mtupu nyakati za Usiku HOME / AFYA / ZIJUE FAIDA 11 ZA KULALA UCHI AU MTUPU NYAKATI ZA USIKU UMEZOEA kulala na nguo nyepesi za kulalia? Au unahisi vizuri zaidi ukilala na nguo nzito laini za kulalia? Watu wengi hujifunika mashuka na wengine hujifunika mablenketi kabisa. Katika makala haya, FikraPevu itakufumbua macho uanze kulala uchi/mtupu kwa kutumia hoja bora zilizochaguliwa kuelezea kwanini kulala uchi ni kuzuri kwako. Nguo za kulalia zina gharama kubwa Ni kiasi gani cha fedha ambazo wewe hutumia kununua pea ya nguo za kulalia? Inaweza kuwa kati ya fedha za kitanzania kati ya shilingi 20,000 na 40,000 au zaidi. Ni mara ngapi huzifua hizo nguo? Sasa fikiria ni kiasi gani cha pesa na muda unachoweza kuokoa usipovaa nguo za kulalia. Hutengeneza uhusiano mzuri ukisaidiwa na kichocheo cha Oxytocin Natasha Turner, daktari wa tiba asilia aliyeandika kwenye blogu ya Huff Post Canada, alifichua kwamba kulala karibu au mkiwa mmekumbatiana na mwenzi wako mkiwa uchi/watupu hufanya mwili kutoa kichocheo kiitwacho Oxytocin kinachofanya ujisikie vizuri. Hii inatokea pale kunapokuwa na mgusano wa ngozi kwa ngozi, hii inaweza kusaidia kuondoa msongo ( Stress ) na kushuka moyo ( Depression). Oxytocin pia inaweza kupunguza shinikizo la damu, kuimarisha tumbo na kupunguza uvimbe kwenye utumbo. Pia, utendaji wako wa tendo la ndoa pengine unaweza kuboreka. Hupelekea usingizi mwanana Hivi unafahamu baadhi ya matatizo ya kukosa usingizi ( Insomnia ) yanaambatana kutokana na tatizo la mwili kudhibiti jotoridi? Taasisi ya Usingizi ya Los Angeles inaripoti kwamba hali hii haiathiri tu mzunguko wa usingizi ila pia hukuzuia kupata usingizi mnono. Kulala uchi/mtupu husaidia katika kurekebisha jotoridi la mwili (hivyo mwili hauchemki kupita kiasi, ni vibaya kuamka umelowana jasho. Hukufanya ubaki kijana Kama tulivyoona hapo juu kuhusu kudhibiti jotoridi kama unahitaji usingizi mzuri, Natasha Turner anashauri kuweka mwili katika jotoridi chini ya 21°C ukiwa kitandani na njia nzuri kufanta hivyo ni kulala uchi/mtupu. Hii huruhusu vichocheo vinavyozuia uzee na Melatonin ambayo hudhibiti mzunguko wa kusinzia na kuamka kutenda kazi vizuri. Utajihisi huru, Kulala kitandani kwako, bila kuvaa chochote inakufanya kujisikia huru. Huhamasisha vichocheo vya furaha (kuponya) Unapolala na nguo au kulala chini ya blanketi zito unazuia utokaji wa kichocheo cha ukuaji (Growth Hormone/HGH). Hii ina maana hutoweza kupunguza mafuta ukiwa katika usingizi au hautofaidika na ukarabati wa usiku wa mifupa, ngozi na nyama za mwili wako. Kulala uchi/mtupu pia huthibiti kiwango cha Cortisol , zinazo dhoofisha kinga ya mwili, kupandisha shinikizo la damu na lehemu (C holestrol), kuvuruga mpangilio wa usingizi, kupunguza hamu ya tendo la ndoa na kuongeza hamu ya sukari. Inaimarisha kujipenda Kama una matatizo ya kutokujiamini basi kulala uchi/mtupu kutakusaidia kujifunza kujipenda. Kwa kuanza, jizoeshe kulala bila nguo kila jioni. Baada ya muda utazoea pia baada ya muda unaweza kuwa umejifunza kuupenda muonekano wako bila nguo. Inatunza kiafya viungo vya uzazi. Kina dada, mnafahamu mnaweza kupunguza matatizo ya mabukizi ya fangasi kwa kulala uchi/watupu? Unaweza kupunguza kuzaliana kwa fangasi na uke wako utakushukuru kwa hilo. Vilevile wanaume wanaweza kufaidika kulala uchi/watupu kwa kuwa korodani zinakuwa katika jotoridi la kutosha na uzazi unaongezeka. Mzunguko wa damu unakuwa bora Hakuna kitu kibaya kama lastiki inayozuia mzunguko wa damu. Ondoa nguo zenye lastiki na utajipata uko na furaha kwa mtiririko wa damu mzuri ndani mwili wako. Kuwa na ngozi nzuri Unapokuwa uchi/mtupu ngozi yako inapata nafasi ya kupumua. Kama una chunusi au vipele mgongoni ni kitu cha thamani kuacha hewa ya Oxygen kufika kwenye maeneo hayo. Ngozi yako inastahili uhuru kidogo na utajisikia vizuri kwa kuiacha ngozi wazi. Kutokuwa mvivu Faida nyingine ya kulala uchi/mtupu ni kwamba mara baada ya kuamka unakuwa na ulazima wa kuvaa nguo kwa ajili ya siku hiyo mpya na sio kuamka na nguo zako za kulalia na kutoka nazo nje.
JINSI YA KUCHEZEA MATITI YA MWANAMKE NA KUYANYONYA *🅱 professional love*  Kuna baadhi ya wanaume tena wengi hawajui kunyonya au kuchezea matiti ya wanawake badala yake wanakuwa wanawaumiza wanawake bila kujua. Kila k2 kinataka ujanja na utaalamu ili ukifanye kwa ufasaha sana bac leo tunafundishana jinsi ya kunyonya matiti au maziwa kama wengi wenu mnavyoita na kama una maujanja mengne waweza kutupia hapa maana lengo ni kufundishana wote maujanja ya kimapenz humu kwenye APPLE TUNDA LA MAPENZI Ili mwanamke asikie raha sana lazima ujue kuyachezea maziwa yake kwa ustadi wa hali ya juu,huku ukiyapapasa kwa mbali sasa cha kufanya hapa ni kitu kidogo sana na wala hutakiwi kutumia nguvu katika sekta hii. Mweke mkao wa kula mpenz wako ambapo unajua utakuwa rahis kucheza na maziwa yake, anza kwa kuyashika shika maziwa ya mpenz wako taratbu huku unayapapasa kwa mbali na kuyabinya binya kama vile unabinya embe dodo kuckia kama limeiva na wakat unafanya hivyo usisite kuyacfia matiti ya mpenz wako, endelea kuchezea titi moja huku moja lingne anza kwa kulinyonya ziwa moja huku ukicheza juu ya chuchu taratibu na kuzungusha ulimi wako juu ya chuchu ya mpenz wako na wakat huo mkono mmoja unachezea ziwa lingne, ingiza mdomo wote huku ukiwa unamung'unya ziwa la mpenz wako kisha toa mdomo wako na ufunge na kisha weka lips zako juu ya chuchu ya mpenz wako anza kusugua lips zako juu ya chuchu huku ukizungusha lips zako juu ya chuchu na wakati huo huo ule mkono moja utakuwa unachezea ziwa moja na baada ya hapo waweza kuhamia ziwa lingne huku ukifanya kama hapo awali nilvyokueleza na ule mkono ambao ulikuwa unachezea ziwa sasa uhamishie kwenye ziwa ambalo lilkuwa linanyonywa na kisha endelea kufanya hivyo ila epuka sana kutumia meno maana meno yatamkera mpenz wako. Kama mwanaume ni mwepesi sana wakati unanyonya ziwa moja waweza panda juu ya shingo ya mpenz wako na kuanza kuilamba huku ukiimung'unya kwa kutumia lips zako na meno kwa mbali ili kumuongezea raha mpenz wako na kisha waweza panda juu ya masikio yake na kuingiza ncha ya ulimi na kuuzungusha taratibu huku ukiyapuliza mackio ya mpenz wako kwa sauti fulan ya mihemo ya kimapenz ili kumpa raha zaid beb wako.
Fahamu Sehemu Tano Muhimu za Kumshika Mwanaume Zitakazo Mpandisha Nyege/Hamu ya Kungonoka.. *🅱 professional love*  wanaume nao huwa na maeneo ya kuwa sisimua na kuwpandisha nyege kwa kasi zaidi huku akipata raha ya ajabu.... leo nitayataja maeneo ambayo mwanaume akiguswa kimahaba huwa yanamsisimua sana na kumfanya ahisi kuchanganyikiwa kimahaba 1/ masikio hii ni seheme ambayo hubeba hisia nyingi sana za mwanadamu; hapa mwanamke hebu afanye kama kukunong'oneza kimaha kisha atumie ulimi wake kukugusa masikio ndani,nje na kwa nyuma pia 2/shingoni hii ni sehemu yenye hisia sana kwa kila kiumbe kwa sabubu mishipa mingi ya fahamu hukutania hapo mguso wako wa pole pole kutumia ulimi wako na pumzi ya kimahaba vinaweza mfanya achanganyikiwe zaidi juu yako na kumfanya asahau mengine maana nyege zitampanda kwa haraka zaidi KAZI KWAKO kujua jinsi ya kumwekea na yey "love bite" pia mwanamke unatakiwa uwe fundi wa kutumia ulimi wako na lips hapo kwenye shingo ya mwanaume 3/ Ngozi ngozi hapa ni namaanisha kushikana/kupapasana kabla ya kungonoka ni jambo zuri sana kwani utaufanya miili yenu isisimuke kwa pamoja na kumfanya mwanaume mzunguko wake wa damu kuongezeka na kuwa wenye kasi hii itamsaidia uume kuwa wenye nguvu na kusimama kwa muda(kumuongezea pumzi ya kutomwaga haraka na hata akimwaga iimpe nguvu ya mboo kutokulala baada ya kumwaga) na pia itampandisha nyege zake sana TUMIA HATA ZAIDI YA DAKIKA ISHIRINI KUSHIKANA/KUPAPAANA NA MWENZI WAKO KABLA YA TENDO 4/ Busu la Denda hii sio kitu cha kushangaza jinsi gani denda(deep kiss) linavyo sisimua na kuamsha hisia na kuongea hashiki ya kufanya ngono//tendo la ndoa ila mwanamke inatakiwa ujue jinsi ya kumpagawisha mwanaume na Denda kwa kumyonya na kubite lips zake kimahaba tafadhali pia kwa kucheza na na ulimi wake kimahaba na sio kubadilishana mimate tuu mpe raha kuwa fundi kwenye denda asikumbuke kutoka nje kila mara akuwaze wewe tuu 5/ Sehemu yake ya ndani(uume) hii ndio sehemu yenye kumchanganya zaidi mwanaume kimahaba na ndiko sehemu hisia zake za kimahaba zimekaa . hapa mwanamke haitaji ujuzi mwingi bali ni kujua ni wakati gani ni mguse eneo hilo na nimguse vipi mfano; mme simama kwenye ukuta utamgusa kwa kumpapasa juu ya alichokivaa kwa kupandisha mkono na kuushusha huku ukimguga uume wake fanya hivyo mara 8 mpaka 10 kabla ya kuingiza mkono ndani na kuitoa nje ili kuishika vizuri kimahaba na labda kuanza kuinyonya kiufundi na kimahaba zaidi vivyo hivyo hata mkiwa kitandani usikurupuke kumshika uume wake unatakiwa umlegeze na umchanganye kimahaba kwanza KABLA YA TENDO PENDA KULAMBA KONI KWANZA maana wanaume wengi hupenda kunyonywa mboo na kwa kufanya ivyo itakusaidia kutunza uhusiano wako na mwenzi wako usimbanie sana mwenza wako ujuzi wako na pia usipende kufanyia mapenzi gizani jiamini we ni mkali kwa mwenza wako na maumbile yeko aliyo kuumbia Mungu jitoe kwa mwenza wako
Hii kwa wanawake pekee list ya vyakula vya kuongeza urembo wako *🅱 professional love*  Vifuatavyo ni vyakula vinavyoweza kusaidia kuimarisha afya ya ngozi:- Asali ambayo hutengenezwa na nyuki huwa na viambato asilia na ni moja ya chakula muhimu kwa ajili ya kuimarisha afya ya ngozi . Asali husaidia kutunza na kuhifadhi unyevu kwenye ngozi na ina kiwango kikubwa cha sukari na asidi ambazo huzuia vijidudu wanaozaliana kwenye ngozi. Tumia asali kwa kupaka wakati wa kuoga, kisha acha kwa muda na ioshe. Kufanya hivyo husaidia kuinawirisha ngozi. Mayai pia ni muhimu kwa afya ya ngozi yako, kiini cha yai huwa na vitamini A na B, huku sehemu yenye ute ikiwa na protini nyingi ambayo ni muhimu pia kwa ngozi, ute wa yai ni muhimu katika kuifanya ngozi kuwa nyororo na yenye kung'aa na pia husaidia ngozi kujilinda vizuri na mionzi ya jua. Matunda nayo ni muhimu pia hususani chungwa na limao ambayo husaidia kuimarisha afya ya ngozi, kwa sababu husaida kutengeneza collagen, ambayo ni aina ya protini inayotengeneza ngozi. Ndani ya matunda hayo huwa na Vitamini C , ambayo husaidia sana kuondoa uvimbe na mikunjo ya ngozi na hivyo kuilinda ngozi isizeeke mapema. Mboga za majani pia ni muhimu kwa afya ya ngozi kama tujuavyo zimesheheni vitamin na virutubisho vya aina mbalimbali vyenye faida kubwa kwa ngozi na mwili kwa ujumla. Mboga hizi za majani kwani husaidia ngozi kuzalisha seli mpya na kuondoa zile zilizokufa, hivyo kupunguza ukavu na kutunza ngozi na kuifanya ing’are na kuvutia. Vyakula vya baharini kwa ujumla ni vizuri kwa afya ya ngozi. Vyakula vingi vya baharini vina kiwango kikubwa cha Zinc na Omega 3 ambazo ni muhimu kwa siha ya ngozi. Faida za Omega 3 ni pamoja na kuondoa kukakamaa au ukavu wa ngozi, kupunguza kuvimba na kukunjamana kwa ngozi na husaidia mzunguko mzuri wa damu mwilini hivyo kuboresha ngozi. Anza kupenda kula vyakula vyenye lishe bora kwa kuwa na ngozi bora zaidi.
Kama Mwanamke Hataki Kujibu Texts Zako chukua hatua hizi *🅱 professional love*  Unafukuzia mwanamke mzuri mnaanza kuzungumza. Mnachukua muda wa dakika 20 hadi 30 kuongea na yeye mara ya kwanza. Anapendeza na kuvutia, na unaona kama ni mwanamke ambaye ni yule aliyekuwa ndotoni mwako maishani mwako. Mazungumzo yenu yanaenda vizuri mpaka ukwamwomba namba yake. Baadaye unajaribu kumtumia text na hazijibu. Labda mnaeza kuchat kwa madakika halafu baada ya hapa anakataa kujibu texts zako. Unabaki ukijiuliza maswali ni kitu gani ambacho umefanya ambacho umekosea. Ok labda anaweza kuwa yupo buzy unampa muda kiasi ajibu text zako...unangojea masaa, siku, wiki mpaka inafikia wakati unagundua kuwa amekupuuza. Kwa nini hajajibu text zako? So kwa nini hakujibu text zako? Katika situation nyingi ni kuwa sababu kuu ambayo amekataa kujibu texts zako ni kuwa haukumpendeza mara ya kwanza ulipokutana naye. Ok labda sababu nyingine inaweza ni kuwa ameibiwa simu yake wakati alipokuwa akitext na wewe barabarani ama kitu kingine kama hicho, lakini hapa acha tumakinike na hatua ya kwanza uliokutana naye...yaani first impression ambayo unakudana na mwanamke yeyote. 1. Hakikisha unampendeza mara ya kwanza unapokutana naye Anaweza kuwa hana muda mrefu wa kukaa na wewe ili akutambue zaidi so kile kitu ambacho unahitaji kufanya ni kuwa lazima uuonyeshe upendo wako kwa kuwa mpole, mkarimu na mtulivu. Hii itamfanya yeye kumakinika na labda kutaka kukufahamu. Hakikisha kuwa wakati unapoongea na yeye tumia mbinu za kuonyesha kuwa ungependa kukutana na yeye wakati mwingine. Kama hakuonyesha dalili zozote za kukuelewa basi hata kama atakupatia namba yake ya simu fahamu ya kwamba itakuwa ni kazi bure. 2. Taja sababu zako za kuongea na yeye Mfano: Nimefurahia sana kuongea na wewe. Kusema kweli nimependa maonezi yetu machache. Nataka kwenda lakini naonelea wikendi nitakutext tukutane ili tuongee tena. Hapa utakuwa umeeleza ajenda yako kwake hivyo ukianza kuchat na yeye baadae haitakuwa vigumu kwake kukujibu. 3. Hakikisha kuwa unamtumia text wakati ufaao Ukiomba namba ya simu kwa mwanamke inamaanisha kuwa wewe umeonyesha intrest kwake vilevile mwanamke akikupatia namba yake ya simu inamaanisha kuwa labda itakuwa amependezwa na wewe. Lakini je, ni muda upi unaotakikana hadi umtext mwanamke huyo. Wanawake wanapenda kuona wanababaikiwa na kufukuziwa. So usijaribu kumtext hapo hapo wakati amekupatia namba yake. Hakikisha umejibatia shughli nyingi ili usahau kabisa kama uchukua namba kwa mwanamke. Masaa mazuri ambayo yangekuwa sawa ya kumtext ni baada ya masaa 24 baada ya kuchukua namba yake. Hii itamfanya mwanamke yeyote kujiuliza maswali ya kwa nini umechukua muda mrefu kumtext. Itamfanya kuingiwa na maswali ya kama: kwani hajapenda chat yangu? yuko na mwingine? nk. Ukichukua muda huu mrefu hadi kumtext, itakuwa rahisi kwake kukujibi. ONYO: Hakikisha ya kwamba haupitishi zaidi ya siku tatu kwani anaweza kukusahau kwa haraka ama kuona unampotezea wakati wake. 4. Kitu cha kuandika kwa text yako ya kwanza Messages za kwanza ambazo utazituma kwa mwanamke zitachangia pakubwa kuona kama wewe uko uko interesting ama unaboa. Unaweza kuuharibu mchezo mzima kama iwapo utaanza kumtext na mambo ambayo hayana manufaa kwake. Kile kitu unachohitajika kufanya hapa ni kuonekana hauna haraka na ujaribu kutumia lugha za kirafiki. Mfano unaweza kujaribu kumtext swala ambalo aliligusia kwa chat iliyopita. Labda aliongea kuhusu kwenda shopping na nduguyake, so swali lakini linaweza kuwa: Je ile shopping yenu na nduguyako iliendaje?. Hii itamfanya kuwa interested na wewe manake ataona ya kuwa ulikuwa umemakinika wakati mlipokuwa pamoja. Hii itamfanya kujibu text zako mara kwa mara bila yeye kuchoshwa. 5. Jaribu kuhepa stori ambazo hazitafikia popote Mara ya kwanza anaweza kukujibu lakini itafikia pahali atanyamaza. KUMBUKA: Siri kuu ya kumfanya mwanamke ajibu texts zako ni uwe makini kwake, yaani unamtext vtu ambavyo unajua yuko intrested navyo. 6. Weka wazi kuwa unataka mkutano Acha stori za kumzungusha huku na huku kama wanaume wengine. Ukitaka akujibu text zako hakikisha ya kuwa unadhihirisha azma yako kwa kumwambia kuwa unataka kukutana naye. 7. Usikate tamaa Kuna wanaume wengine kama wamekataliwa kujibiwa texts zao mara moja basi wanakasirika na wanaachana kabisa na kushungulika tena. Tatizo labda linaweza kuwa mwanamke anakupima akili aone bidii yako kwake. Kama tujuavyo tabia za wanawake ni kuwa hawapendi kuonekana kama ni watu wa kukubaliana na kila kitu hivyo basi wakati mwingine wanakuwa hawaeleweki. Ukiona mwanamke amekataa kujibu text yako kwa siku tatu, fanya kumtext tena huku ukionyesha kuwa hauna intrest naye sana vile halafu achana naye. Hii itamfanya yeye kuona una interest na yeye lakini hauna haraka. Baadaye anaweza kuanza chat yeye mwenyewe. KUMBUKA: Kuna sababu tofauti tofauti ambazo zinaweza kumfanya mwanamke kukataa kujibu texts zako. Labda umemtusi, hujampendeza, ni mwanamke mwenye haya nk. So hizi hatua zitategemea na vile imetokea katika situation yako
Wanawake Hebu Tujitahidi Sasa Kujishusha Kwa Wanaume Wetu Ili Kunusuru Hali *🅱 professional love*  Nianze moja kwa moja kwenye mada. Ni kweli maisha ya sasa ya mahusiano na ndoa kwa ujumla hapo tete sana. Sasa wanawake wenzangu, si vibaya tukakaa chini na kufikilia nini chanzo. Japokuwa sisi wanawake tunavumilia mengi kwenye mahusiano na ndoa kwa ujumla, lakini tuna jukumu na nguvu kubwa kunusuru mahusiano yetu na kuishi kwa amani na furaha. Tujitahidi yafuatayo: 1. Tusiwe watu wa gubu Wanaume wengi hawapendi mwanamke mropokaji, mjuaji, mkorofi. Tujishushe! 2. Tupende ndugu wa mume Hili nalo ni changamoto sana. Mara nyingi sana huwa tunajisahau, tunaona ndugu wa mume ni maadui zetu. Mama mkwe si adui, hapana tuwapende. Hata wao wakiwa miiba kwetu tujishushe wataona aibu na tutaenda sawa. 3. Heshima Hakuna kitu kizuri kama Heshima, nawaambia. Mwanaume yeyote anapenda kuheshimiwa kwani 'naturally' iko hivyo. Mwanaume ni kichwa cha nyumba, yatupasa kuwatii na kuwaheshimu. Inapotokea Mungu kakubariki na kipato zaidi ya mume au mwenza wako, hiyo isiwe tiketi ya ujeuri, kuchelewa kurudi nyumbani wala vurugu. 4. Uaminifu Hii ni kubwa kuliko yote. Asikudanganye mtu, uaminifu ni kitu kikubwa sana. Uaminifu unapopotea mwanaume anakuacha! Mwanaume anaweza akakuvumilia yoooote but faithfulness is one among those things men need from you!! 5. Mapenzi Hapa naongelea mapenzi kwa ujumla jinsi unavyomhandle mpenzi au mume. Mfano:- katoka kazini, hata akiwa mbali umemuona mpokee chochote alichobeba hata gazeti. Mvue viatu, ikiwezekana mchumu kidogo(" pole mpenzi Wangu kwa kazi"). Hiyo itamfanya ajisikie vizuri sana na kuondoa stress. Hawa waume, wapenzi wetu msiwaone hivyo, wanaumiza sana kichwa kwa ajili ya future zetu na watoto hivyo tuwaenzi. 6. Mapenzi ya kitandani Hii ilitakiwa iwe ya kwanza. Iko hivi, kitu cha kwanza mwanaume anachofuata kwa mwanamke yeyote ni hiyo starehe, mengine yanasindikiza tu. Sasa ewe mwanamke mwenzangu unayelemaa kitandani, hujibidishi, hukatiki viuno, umelala tu, unaiua ndoa yako au mahusiano yako mwenyewe. Jitahidi uwe mchezaji hodari. Ukiwa uwanjani hapo sahau yote hakikisha anaomba maji ya kunywa. Naelewa wapo wanaume waliojaaliwa na wasiojaaliwa nikimaanisha mihogo ya Jang'ombe na vibamia. Kama ana kibamia siku hizi kuna utaalamu mwingi nasikia, kibamia kinaweza nenepa(fuatilia). Usiache kumfurahisha kitandani eti ana kibamia wala usimwonyeshe kama hakikukuni bali jitahidi hivyo hivyo huku moyoni ukiapa kumtafutia dawa ya kuinenepesha( zipo sana) uvivu tu wa kufuatilia. 7. Usafi Asikuongopee mtu, mwanaume yeyote hapa duniani anavutiwa na mwanamke msafi kuanzia chumbani, nje ya nyumba na mwilini. Mfanye mumeo awahi kurudi nyumbani, kila wakati nukia marashi au spray au perfume. Vitu hivi siku hizi vinapatikana tena at an Affordable price. 8. Ubahili Sawa najua, mwanaume kama kichwa cha familia ni wajibu wake atunze, ahudumie nyumba. Jamani hata kama mada zangu nyuma nimewatetea sana wanawake wenzangu lakini kutokana na hali ya maisha ya sasa, na hasa kama ewe mwanamke una kibarua chochote, tafadhari sana wekeni mezani mnachopata kwa jili ya kuboresha maisha yenu. Usimkomoe mwanaume, lenu ni moja. 9. Kumsikiliza mpenzi/mume Kila wakati mume au mpenzi anapotaka kuongea na wewe hebu hayo masimu yazime, acha kila kitu msikilize. Imekuwa kawaida sana mume anaongea wewe upo busy unachati, hivi ndugu yangu unajipenda kweli wewe au ndo umefika tena hapindui? Ukiachwa oooh nimerogwaaaa, Wapiii umejiroga mwenyewe. Respect ni muhimu. 10. Ibada Mwanamke mwenzangu, unapopitia magumu yooooooote kwenye ndoa au mahusiano Usimwache Mungu. Mahusiano au ndoa huzaa familia na familia hutoka kwa Mungu. Sali sana kwa imani yako. Nakwambia ukweli, ipo nguvu kubwa katika kumtegemea Mungu. Hebu anza leo kuomba, kuhudhuria ibada na kusoma biblia mambo yote yatanyoooka. Amen!
Njia 8 Za Kugundua Iwapo Mwanamke Amepandwa Nyege Akiwa Kando Yako .. *🅱 professional love*  Je unaweza kutambua iwapo mwanamke amepandwa na nyege akiwa kando yako? Well, kama unazifahamu ishara bayana basi inakuwa rahisi kwako. Ok, tuanze hivi. Hebu chukulia umeketi na marafiki zako wa kiume na wa kike halafu ghafla rafiki yako mmoja akaanza kuonyesha ishara fioa ambazo wewe pekee ndio umezitambua kuwa amepandwa na nyege na anataka ufanye makamuzi ya haraka haraka. Hiki ni kipawa kilioje? Sasa waonaje kipawa hiki cha kutambua mwanamke kama amepandwa na nyege bila hata kumgusa wala kumchungulia mwili wake wa ndani kiwe unakimiliki? Relax, Nesi Mapenzi iko hapa. Tutakupa ishara zote tuzijuazo hapo chini. Zama nasi... #1 Anakuangalia kana kwamba wewe ni nyama iliyotandazwa vyema Kwa lugha nyingine tunaweza kuita ‘macho ya mahabat’ ama ‘macho ya mlalano’. Kuna mtizamo wa macho ambao mwanamke atakuangalia tofauti na vile ambavyo unamtambua kukuangalia. Hii ni ishara ya kukuambia kuwa amekupa nafasi ya wewe uchukue hatua ya kwanza kwake. Utamwona kuwa mara kwa mara anataka umwangalie machoni mwake na pindi utakapomwangalia atakuangalia halafu atatabasamu na kuangalia chini. Halafu atakuangalia tena huku akiuuma mdomo wake wa chini. Hapa usiwe mjinga. Amka, anza kumuapproach ili uongee na yeye. #2 Anakusuka kuliko kikawaida Ok, katika hali kama hii tutaichukulia kuwa wewe na huyu rafiki yako mumewekeana mipaka flani kati yenu. Kwa kawaida munafanya mambo ya kawaida ambayo marafiki hufanya. Kwa mfano mnakutana sehemu flani mnaspend muda pamoja, mnaongea normal. Lakini siku moja, bila sababu zozote unamwona mwanamke kama huyu anaanza kukusuka kuliko vile ambavyo umezoea. Mfano iwapo mmezoea kuwa mkiwa mmeketi pamoja mnaweka nafasi kati yenu, siku hii unaona kuwa amehakikisha kuwa amekubana kabisa huku akikwambia mambo ambayo ni tofauti na vile ulikuwa ukitarajia. Tashwishi yako itahakikishwa zaidi pale ambapo atakutenganisha na wale waume wengine walioko na wewe. Hii ni obvious kuwa anafanya hivyo ili kuteka atenshen yako yote na amakinike na wewe pekeake. Anakusuka. Ukiona kuwa anajaribu kuteka atenshen yako kama hivi, usizubae. Pia wewe makinika na yeye na uende sambamba ili usipoteze hata dakika moja. #3 Anakuwa huru kimguso Ishara nyingine ya kuonyesha kuwa mwanamke kama huyu amejawa na nyege nyingi ni pale ambapo anaipeleka mikono yake sehemu ambazo kikawaida hazijazoeleka. Hapa sasa inaweza kuleta ule mchanganyiko wa kubainisha iwapo ni kusudi ama ni kwa bahati mbaya. Lakini kama tujuavyo ni kuwa katika kamusi ya wanaume hakuna kitu kama ‘miguso ya kibahati mbaya’. Lakini tambua kuwa hii haimaanishi kuwa mwanamke atashika pumbu zako ghafla ili kuonyesha amepandwa na nyege, la. Miguso yake inaweza kuwa fioa huku akitoa ishara kwako pia ufanye vile anavyofanya yeye kama hutomaindi. Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kukugusa kuonyesha kuwa amepandwa na nyege nazo ni; kuupeleka uso wake karibu yako, kukukumbatia, kuifungata mikono yake kiunoni mwako ama mkononi, kuipapasa miguu yako na yake, ama wakati mwingine kukunong’onezea karibu na sikioni mwako. #4 Mazungumzo yenu yanakuwa ya kiundani Kama unamwona kuwa anaanza kuuliza maswali mengi ya kibinafsi ama anatoa maoni ya kiushawishi katikati ya mazungumzo yenu basi ni ishara ya kuwa amepandwa na nyege. Kutumia maneno ya kutatiza ni njia ya moja kwa moja kuonyesha kuwa mwanamke kama huyu anatoa ishara kuwa ana hamu ya kitu flani kiasi cha kuwa anasema moja kwa moja. Anaweza kufanya hivi kwa kueleza mahusiano yake ya awali, staili nzuri kwake za kufanya mapenzi, ama kukuuliza mahusiano yako na mwanamke huwa yakoje, kiufupi atajaribu kukuambia mambo ambayo kwa kawaida mwanamke hawezi kukufungukia. Njia nzuri ya kukabiliana na hili ni kuwa usipanik wala usiwe na pupa. Nenda na spidi yake polepole ili mwisho wa siku unahakikisha kuwa unampandisha mzuka zaidi na zaidi. #5 Anakusifia vile ulivyopendeza Katika hali ya kawaida jambo hili la kumsifia mtu huwa tunachukulia ni jambo la kawaida kabisa kwa mwanamke yeyote kufanya. Lakini inaweza kufikia kiwango flani ambacho kinaleta msisimko wa kutaja na kugusia maswala ya moja kwa moja ambayo ni ya kibinafsi. Mambo ambayo mara nyingi yakitamkwa huwa ndani ya akili ya mwanaume huwa na maana tofauti kabisa. Ok, hebu tuchukulie hivi. Umezoa mwanamke flani kuwa anapenda kusifia mavazi yako, tabasamu lako nk. Lakini pindi ambapo ataanza kukusifia kwa kutaja jinsi ulivyo na mikono iliyoumbika, kifua kilichopanuka, ama jinsi mabega yako yalivyo, ama kwa kukusifia jinsi suruali uliyoivaa imebana vizuri makalio yako ama wakati mwengine anagusia umweleze sehemu ambayo unafanya mazoezi ni ishara tosha kuonyesha kuwa huyu mwanamke ana jambo ambalo linataka kushughulikiwa mara moja. Upo!? #6 Anakuonyesha ‘mali’ zake Tushaona mambo kama haya awali. Mwanamke kama huyu anazifungua nywele zake ili zining’inie karibu na shingo yake wakati mnapoongea, anavalia tsheti ya kola ya V pamoja na sidiria ya ‘push up’, kuvalia skin tyt, ama kujiandaa hata kama mnakutana sehemu ya kawaida. Mwanamke kwa kawaida hufanya haya yote akiwa na lengo moja kuu...kuteka atenshen yake yote kwako. Ishara ya kuwa ana matamanio ambayo anayahitaji kutoka kwako. Usizubae. #7 Hatulii mbele ya uwepo wako Wanawake huwa na mbinu tofauti tofauti ambazo hufanyika wakati wanaposisimuliwa ama wanapokuwa na nyege. Hii ni kuanzia kuwa na mpigo wa haraka kwa mioyo yao, kupumua kwa uzito na wakati mwingine kutokuwa na utulivu wakati wanapokuwa wamekaa, hii ndio sababu utamsikia akikwambia yuko ‘HOT’ So hebu tuchukulie umetoka deti na yeye halafu unamwona haangamani sehemu aliyoketi, unamwona anasogea huku na huku ilhali anakuangalia, anacheza na nywele zake, ama anaenda bafuni kujisaidia. Hii ni ishara moja kuwa amebambika na wewe na anataka umpatie full atenshen kwake. #8 Anakuruhusu umguse Hii ni kiashirio cha mwisho zaidi kuonyesha kuwa amejiachilia kwako na hakuna kurudi nyuma. Wanawake, hata wale ambao wamezoea kutongozwa, huwa wanakuwa sensitive kwa miguso ambayo haijakaribishwa. Sasa kama wewe ni yule anayependa changamoto, na unataka kujua kama anaitamani, na akakuachilia umguse, basi hakuna la zaidi la kuelezea kwa sababu kile ambacho kinafuata baada ya hapo kinajulikana. Lakini kuwa makini, anza polepole. Usijaribu kuupitisha mkono wako ndani ya blauzi yake. Balada yake ifanye romantik ili ulete tenshen ya kemia. Anza kwa kuiweka mikono yako kiunoni kwake, hadi kwa mikono yake na ufikie shingo yake. Soma sehemu ambazo anapenda uziguse sana huku akikuelekeza zaidi. Upo!? Kazi kwako.

SEHEMU 4 za Mwili Usizopaswa Kumshika Mkeo Nyakati Hizi 18+ *🅱 professional love*  Ingawa kuna mtazamo uliojengeka katika jamii kuwa ukishamuoa mwanamke na mkawa mwili mmoja basi una kila haki ya kumshika sehemu yoyote uipendayo hasa wakati unahitaji kufanya nae tendo la ndoa. Lakini utafiti na uzoefu uliokusanywa na wataalam wa mahusiano na ndoa waliofanya mahojiano na wanawake kama kuna sehemu wazisopenda kuguswa na waume zao na nyakati husika, umetoa picha na mtazamo ambao wanaume wanapaswa kuufahamu mapema kabla hawajaingia katika hatari ya kuwa kero au kuwakwaza wake zao. Kama tunavyofahamu, wanawake ni viumbe wenya mlango mmoja wa ziada wa fahamu kuwapita wanaume. Hii nitaizungumzia siku nyingine. Lakini mlango huu wa ziada ndio huwapa hisia ya ziada pamoja na kuwafanya kujali sana vitu ambavyo mwanaume hasa mwenye haja ya kufanya tendo anaweza asizingatie sana anataka kukidhi haja yake. Ukifuatilia sehemu hizi za mwili wa mwanamke nitakazozitaja na nyakati zake, utabaini kuwa ni rahisi sana kufahamu kwani mwanamke katika nyakati hizo anaweza kuonesha kusita sana wakati anataka kuguswa. 1. Chuchu wakati miili yao inaendelea na shughuli nyingine za ndani Idadi kubwa ya wanawake huwa hawapendi kuguswa na wanaume chuchu zao wakati wananyonyesha au wakati wako katika hedhi. Hiki ni kipindi ambacho kama mwanamke ananyonyesha na mwanaume anataka kumgusa sehemu hiyo basi maziwa yanaweza kutoka kwa kasi na kumfanya ajisikie hayuko ‘confortable’ kuendelea na zoezi la kushiriki tendo. 2. Kwapani wanapokuwa wanatoka jasho kabla ya kuoga Wanaume wengine huwa na hisia za matamanio zaidi wanapoyaona makwapa ya wake zao. Hii ni hali ya kisaikolojia inayojengeka kwa baadhi japo sio wengi. Kuna wanaume wakiona kwapa la mwanamke basi matamanio yao huongezeka mara dufu. Lakini wanawake wengi wameeleza wazi kuwa hujisikia vibaya na kukosa amani pale wanaume zao wanajaribu kuwashika kwapani wakati ambapo wametokwa jasho. 3. Sehemu za siri kabla ya kuoga Hili ni eneo ambalo wanawake wengi wameonesha kulalamikia waume zao. Kwa mazoea wanaume wengi huwa kama wanawabaka wake zao bila kufahamu, hasa pale wanapotoka safari zao wakiwa na matamanio. Lakini wanawake wengi wameeleza wazi kuwa hupoteza hali ya kuwa ‘comfortable’ pale wanapoguswa na wanaume zao sehemu za siri wakati bado hawajaoga. Wanaume wengi hujikuta wakishiriki tendo la ndoa na wake zao ghafla baada ya kukamilisha kazi kadhaa za ndani wakati wanawaangalia. Wanaume wanaweza kuwa wanafurahia zaidi tendo hilo lakini wanawake pamoja na kwamba hufurahia pia lakini mlango wao wa ziada wa fahamu huwafanya kukosa amani kwa kiasi fulani wakati wa tendo ukilinganisha na nyakati ambazo wanajiamini ni wasafi. 4. Nywele zao dakika chache baada ya kutoka saloon kujiremba Ingawa unaamini kuwa mkeo alienda saloon kujiremba kwa ajili ya kukuvutia wewe, usithubutu kutaka kuzivuruga nywele zake dakika chache baada ya kutoka kwa mtaalam wa kutengeneza nywele, hata kama pesa aliyotumia ulimpa wewe. Hiki ni kama kituko hivi, lakini ndio ukweli. Wanawake hutumia muda mrefu sana kwenye vibanda au saloon za gharama kwa ajili ya kujiremba ili waongeze mvuto. Lakini, hugeuka kuwa walinzi wa vichwa vyao angalau kwa saa kadhaa. Msifie uwezavyo, lakini nywele zake usizivuruge mapema mtaharibiana ‘mood’. Haya ni kati ya mambo machache ambayo wanaume huyaona madogo sana na kufuatilia yale wanayoamini ni makubwa zaidi. Lakini mambo haya ni kati ya machache yanayokwangua taratibu kuta za hisia za mwanamke kwa mmewe.
I Love My Boyfriend But I Enjoy Having S3x With Stranger *🅱 professional love*  I know my romantic boyfriend is planning some Valentine’s treat but whatever it is, it won’t thrill me as much as having séx with strangers. I’m 24 and he’s 25. We met in school and we both work in tourism. He’s a really nice guy and we’ve been together five years. We’ve been happy for most of that time but lately I’ve realised I’m totally bored with my life. He worked late one night and I went to the bar with a friend. I was up at the bar when this really cool guy started flírting with me. When I sat down he kept turning to look and then giving a smile. It made me feel séxy and hot. My friend had a cold and soon phoned for a cab. I said I’d walk home as it wasn’t that far. That guy was still there at the bar and I wanted to see what would happen. What happened was that we flirtéd some more and then we went back to his car and had séx. It was great and I felt like a wild child or something who lives for the moment and isn’t afraid to have fun. That was the first time I did it but last month it happened again, this time with a guy I met on a training course. I’d never seen him before and I’ve no wish to see him again but the thrill was imménse. Last night I had sé.x with a stranger I met in a club. I know that it’s wrong but it’s thrilling and risky and fun. I don’t like telling lies but if I told my boyfriend the truth it would destroy him.
Dalili 5 za Mpenzi Anayetoka na Rafiki yako *🅱 professional love*  KWANZA namshukuru Mungu kwa kunijaalia afya njema na kunifanya nimudu kutimiza majukumu yangu ya kila siku likiwemo hili la kufunguana juu ya masuala mbalimbali yanayogusa maisha yetu ya kimapenzi. Mpenzi msomaji, katika maisha ya sasa kuna vijitabia ambavyo vimeibuka kiasi cha kuyafanya mapenzi kuwavuruga walio wengi. Tumekuwa tukisikia habari za baadhi ya watu kutembea na watu wao wa karibu lakini pia suala la mtu kutembea na rafiki wa mpenzi wake si geni masikioni mwetu. Juzi nilibahatika kuzungumza na dada mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Furaha Juma wa Morogoro. Katika maelezo yake anamlalamikia mume wake ambaye amekuwa kwenye uhusiano na shoga yake kwa muda mrefu bila yeye kujua. Anasema: “Huu ni mwaka wa pili rafiki yangu wa karibu amekuwa akitembea na mume wangu. Kuna dalili za hapa na pale nilikua naziona ila sikuzitilia maanani, nikaona niwe mpole lakini hivi karibuni ndiyo nimeujua ukweli, nimeumia sana.” Kwa maelezo ya dada huyu tunaweza kuona ni kwa jinsi gani rafiki yako unayemuamini anaweza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mpenzi wako kwa muda mrefu bila wewe kujua. Hili limekuwa likiwaliza wengi pale wanapokuja kubaini usaliti wa aina hiyo kwa kuwa ni bora usalitiwe na mtu mwengine lakini siyo rafiki yako wa damu. Kwa kuzingatia hilo, wiki hii nimeona niwaandikie dalili tano za mpenzi anayetoka na rafiki yako. Ni dalili zilizofanyiwa utafiti kiasi kwamba ukiziona hizi na nyinginezo ambazo siwezi kuziandika leo kutokana na ufinyu wa nafasi, utajua kuwa unasalitiwa, hivyo utatafuta mbinu za kukabiliana na tatizo hilo. Simu, sms hazikauki Unaweza ukakuta mara nyingi sana rafiki yako amekuwa akimpigia simu laazizi wako na wakati mwingine kumtumia sms za kufumba. Tena inawezekana spidi ya rafiki yako kumpigia mpenzi wako ikawa ni kubwa kuliko jinsi anavyokupigia wewe. Mbaya zaidi mpenzi wako akipokea simu ya rafiki yako huyo unaweza kukuta anaondoka na kwenda kuongelea mbali au ikiingia sms yake anaifuta fasta, hujiulizi kwa nini? Tena iweje ampigie mpenzi wako simu amsalimie tu wakati wewe ana siku mbili hajakutumia hata sms? Akili kichwani mwako. ‘Wanakutanaga’ bila wewe kujua Kiutaratibu mpenzi wako anapokwenda kukutana na mtu tena wa jinsi tofauti maeneo flani ‘hatarishi’ ni lazima akuombe ruhusu kama siyo kukupa taarifa. Sasa unaweza kushangaa siku unaambiwa mpenzi wako na besti wako walikuwa baa flani wakipiga stori, ukimuuliza mpenzi wako anakataa. Hii moja kwa moja inaashiria kuwa unazungukwa. Urafiki unapungua Mapenzi ni kitu cha ajabu sana. Huyo rafiki yako akishanogewa na penzi la mpenzi wako anaweza kufikia hatua ya kukuchukia bila sababu. Eti anaona kama vile unamuingilia anga zake. Kwa maana hiyo ukiona rafiki yako amekubadilikia ghafla, tambua siyo bure, anakuchukulia wewe kama mke/mume mwenza. Kupondwa kiaina Usishangae pia rafiki yako akaanza katabia ka’ kumponda mpenzi wako na wakati mwingine kukushauri muachane. Kiukweli rafiki ambaye alikuwa akiufagilia uhusiano wenu halafu ghafla akaanza kuonesha kumponda ‘mtu’ wako, ujue ana lake jambo. Anachotaka muachane ili yeye ajilie vyake kwa kujinafasi. Mapenzi kupungua Ukishaona yote hayo hapo juu kisha ukabaini kupungua kwa mapenzi kutoka kwa mtu uliyetokea kumpenda, elewa unasalitiwa. Hapo sasa hutakiwi kukurupuka wala kuchanganyikiwa, unachotakiwa kufanya ni kutulia na kufanya utafiti ili kubaini ukweli. Nasema unatakiwa kutulia kwa sababu niliyoeleza hapo juu siyo ushahidi kamili kuwa mpenzi wako anatoka na rafiki yako. Kitakachokusaidia ni kuanza kuwafuatilia nyendo zao kwa karibu na utaujua ukweli, baada ya hapo fanya uamuzi sahihi.
Jinsi ya kuchagua mtoto wa kike, wa kiume au mapacha soma hapa *🅱 professional love*  Jamani wote tunajua kwamba ni kwa uwezo wa Mungu pekee ndio analeta aina ya mtoto lakini pia kuna vitabu vimeelezea uwezekano wa kupata aina ya mtoto (kwa uwezo wa Mungu) kwa kufuata taratibu hizo hapo chini, kuna watu wengi tumejaribu kufuata njia hii na kupata watoto tunaowataka, nikaona si vibaya ku share na wana jamii forum anaetaka na ajaribu. Ikiwa mwanamke yupo ktk siku anazoweza kupata ujauzito,mtaarishe (mchezee) mwenzako kwa muda mrefu ili awe tayari na sehemu zake ziwe tayari ktk sex, (Anza kwa kuomba dua kwa imani yako) halaf anzeni kufanya tendo la ndoa na baada ya kumaliza mwambie mwanamke alalie kiubavu upande wa kulia kama unataka mtoto wa kiume (alale kwa dakika 15) kwahiyo zile sex chromosomes zinazoweza kusababisha mtoto wa kiume (XY) zitawahi kufika haraka katika yai lililo pevushwa kwahiyo kama tendo lile litaleta ujauzito basi atapatikana mtoto wa kiume. Kama unataka mtoto wa kike baada ya tendo la ndoa mwambie mwanamke alalie ubavu wa kushoto kwa muda wa dakika 30, ili zile chromosomes zinazosababisha mtoto wa kike (XX) zitakuwa za kwanza kukutana na yai lililoiva maalum kwa ajili ya kwenda na kupata ujauzito, kwahiyo kama tendo lenu litaleta ujauzito basi utakuwa na asilimia kubwa kupata mtoto wa kike. Kama unataka mapacha (mtoto wa kike na wakiume), basi baada ya tendo la ndoa, mwanamke alalie tumbo lake kwa dakika 60 ili zile chromosomes zote ziwe sambamba kwenda kukutana na yai lililo tayari kwa ujauzito, kwahiyo zitasababisha mapacha. Wakati mwanamke amelalia upande uliomwelekeza basi unaweza kumshika na kuomba dua katika imani yako ili jambo lako liwe na mkono wa Mungu (omba moyoni tu sio lazma utoe sauti). Jamani uchunguzi umefanyika kwa muda mrefu na hii ni elimu ya bure sina jinsi ya kuelezea sana hapa, chamsingi wewe jaribu utakuja kutoa ushuhuda hapa.
Sababu Kuu 10 za Ugomvi kati ya Mke na Mme Katika Mahusiano *🅱 professional love*  Ugomvi baina ya wapenzi katika mahusiano ni kitu cha kawaida kutokana na watu hao wawili kutoka katika malezi na mazingira tofauti ya ukuaji toka wakiwa wadogo hadi watu wazima. Wawili hao wanapoaanza kujenga mahusiano na kukaa pamoja kama familia,kuna vitu kadhaa ambavyo kila mmoja wao huvitazama tofauti na hivyo kuleta migongano. Migongano ambayo inaweza ikarekebishika kama wenza hao watamua kuifanyia kazi na kuelewana. Kuna vitu vingi ambavyo husababisha ugomvi na migongano ndani ya mahusiano ya mke na mme na hapa tunaeleza sababu kuu ambazo kwa kawaida hutokea karibu katika kila mahususiano 1. Wivu na Kukosa Kujiamini Wivu unatokana na jinsi ambavyo mpenzi mmoja anavyohusiana na watu wengine wa jinsia tofauti. Inaweza ikawa marafiki,wafanyakazi wenza au wapenzi wa zamani. Vyovyote vile itakavyokuwa ni kwamba wivu unasababisha ugomvi katika mahusiano mengi. Kunatakiwa kuweka mipaka ya kutosha na iliyo wazi ili kujenga uaminifu kwa mpenzi wako na kumpa kujiamini. Mpenzi ambaye hajiamini ni tatizo kubwa kwani uwezekano wa kuanzisha ugomvi ni mkubwa.Hivyo ni vizuri ukamjengea mweza wako katika mapenzi kujiamini kwa kuwa mwaminifu. Uaminifu ni kitu kimoja kikubwa sana katika mapenzi. Kama mwenza wako akikuamini hakutakuwa na wivu wa kupita kiasi na pia atakuwa anajiamini kuwa yeye peke yake ndio chaguo lako na hakuna mwingine. 2. Mawasiliano Finyu Mawasiliano yanapovunjika katika mahusiano ugomvi ni kitu cha kawaida kutokea. Mawasiliano ya kawaida kati ya wapenzi husaidia sana kutoa wasiwasi wa nyendo za mwenza wako. Huleta amani na kujenga uaminifu kwa mpenzi kwako. Kuzungumza juu ya mipango yako ya mendeleo kama ujenzi au biashara ni vitu ambavyo ni muhimu sana kuvifanya vinginevyo utajenga wasiwasi kwa mweza wako na itasababisha ugomvi wa mara kwa mara. Kuwa muwazi kwa mipango ya maendeleo binafsi,ya familia yako na ndugu. Utafiti unaonyesha kuwa wapenzi wanaoongea na kusikilizana mara kwa mara hawagombani mara nyingi kama wale wasio na mawasiliano ya kutosha. 3. Masuala ya Fedha Japokuwa fedha si msingi wa mapenzi,lakini ni kitu ambacho kinahitajika sana katika maisha ya kila siku ya kila mtu na ya familia. Na kimekuwa ni mojawapo ya vitu ambavyo wapenzi katika mahusiano au ndoa hugombana sana juu yake. Mwenza mmoja anapokuwa mtumiaji mbaya wa fedha na mwingine siyo,huibua malalamiko na ugomvi. Baadhi ya wapenzi hasa wanawake hawataki kuchangia kwa kiasi kikubwa katika mahitaji ya msingi ya nyumbani na badala yake kuwaachia mzigo mkubwa wanaume. Hili linaibua malalamiko mengi kwa baadhi ya wanaume,na wakati ungine toka kwa wanawake. Matumizi makubwa ya fedha kwaajili ya pombe na sharehe nyingine kwa wanaume na baadhi ya wanawake kumekuwa mojawapo ya sababu za ugomvi juu ya fedha katika mahusiano. Ni muhimu kwa wenza wawili kupanga jinsi ambavyo fedha zao zitapatikana na kutumika. Vipaumbele vya kufanyika kwanza na kiasi cha kutumika kwajili ya starehe na urembo kwa wanawake kwa mfano. 4. Masuala ya Familia Familia ya nani ianze kwanza na ipi ifuate ni tatizo kubwa katika mahusiano. Upendeleo wa upande mmoja ambao kwa asili huwa unatokea tu ni chanzo cha ugomvi ndani ya nyumba. Mitazamo tofauti kati ya mmojawapo katika wapenzi na familia ya mwenza wake husababisha kutoelewana kwa wapenzi hao ndani ya nyumba. Mbaya sana inakuja pale wanandugu wanapoingilia mambo ya ndani ya nyumba yenu. Wazazi wa kike na mawifi mfano, wamejulikana kusababisha matatizo mengi kwenye familia za watoto na kaka zao. Kuepukana na hili ni muhimu kwa wapenzi ndani ya nyumba kuweka mipaka kwa ndugu ambayo haitaathiri uhusiano nao kama ndugu. Pia ni muhimu kwa wenza hao kuweka mikakati ya pamoja juu ya kuhusiana nakusaidia ndugu toka katika familia zao mbili. 5. Suala la Unyumba Japo kuwa suala kufanya mapenzi si kila kitu kwa wapenzi ndani ya nyumba lakini linachangia sana katika kuleta ugomvi aina yao. Kufanya mapenzi kupita kiasi au mara chache kunaleta matatizo kwa wapenzi hasa ambao wana uhitaji tofauti. Wengine wanaona kama mpenzi ambaye hahitaji kufanya mapenzi mara nyingi na mwenzake labda anauhusiano na mtu mwingine zaidi yake. Au hamvutii tena kama zamani na huenda akaanza kuangalia nje. Hii inajenga kutojiamini na kupoteza uaminifu,ambalo ni tatizo jingine kubwa katika mahusiano kama tulivyoonesha mwanzoni. 6. Vipaumbele katika Maisha Wapenzi wawili wanapokuwa na mipango na malengo tofauti ni tatizo kubwa. Watu wanapokuwa katika uhusiano ambao ni wa kuishi daima,malengo na vipaumbele vyao ni lazima vioanishwe na juhudi za kila mmoja zilenge katika kufanikisha mipango hiyo ya pamoja. Kunapotokea kuwa kila mmoja ana malengo tofauti basi hata vipaumbele vitakuwa tofauti na hapo ndipo shida zinapoanzia. 7. Uaminifu Uaminifu katika mahusiaono ni jambo la muhimu sana. Bila uaminifu ni ngumu sana kwa mahusiano yoyote kudumu. Uaminifu ni kitu ambacho hujengwa kwa muda mrefu na kikipotea ni ngumu sana kukirudisha. Japo inawezekana kujenga upya uaminifu lakini huchukua muda mrefu sana. 8. Wapenzi,Marafiki na Maisha ya Zamani Mojawapo ya vyanzo vya ugomvi kati ya wapenzi ni wapenzi wa zamani. Mawasiliano ya aina yoyote na wapenzi wa zamani huleta wasiwasi mkubwa kwa mpenzi wa sasa. Ni kitu ambacho wapenzi wawili wanahitaji kuongea na kupanga jinsi ya kuepukana na matatizo ambayo yanaweza kusababishwa na historia zao za maisha. Kuepukana na hii ni vyema kuvunya uhusiano wa aina yoyote na wapenzi wa zamani labda tu kama wapenzi hao ni wazazi wenza au mnafanya kazi pamoja na ni ngumu kutokuonana au kuwasiliana. Suala linalofanana na hili ni uhusiano na baadhi ya marafiki wa jinsia moja ambao wanachukuliwa kuwa mfano mbaya na mpenzi wako. Kama haiwezekani kutowasiliana na kuonana na wapenzi wa zamani au marafiki, basi ni vyema wakawa marafiki wa familia nzima na mawasiliano yoyote kati yenu nao yawe wazi pasipo kificho. 9. Watoto Suala la uleaji na ukuzaji wa watoto linasababisha ugomvi mara nyingi kati ya wazazi. Jinsi gani mtoto avae au shule ipi aende linapelekea wazazi wengi kugombana. Ni jambo la muhimu sana kukubaliana juu ya mambo ya msingi juu ya malezi ya watoto. Tofauti za wazazi ziangaliwe kwanza vinginevyo zitaingilia malezi ya watoto na kusababisha ugomvi juu yao. 10. Kazi za Nyumbani Imekuwa kama utamaduni kwa waafrika kuacha kazi nyingi kama si zote za nyumbani kwa mke. Kwa Wanawake ambao wanafanya kazi pia inakuwa ngumu sana. Hili linasababisha pia ugomvi kwa wapenzi nyumbani. Kama nguo ambazo mume anazivaa na kuzichafua tu bila ya kujali kuwa mweza wake ataumia wakati wa usafi na ikiwa yeye mwenyewe hajishughulishi na kufanya baadhi ya kazi za nyumbani ni wazi itasababisha ugomvi. Ni vyema wanaume kuchukua baadhi ya majukumu nyumbani hata kama kutengeneza bustani au kulisha chakula mifugo. Faida ya Ugomvi kati ya Mke na Mme Katika Mahusiano Japokuwa ugomvi ni kitu cha kuepuka,lakini kina uzuri wake katika mahusiaono kama kikichukuliwa vizuri na kutumika kama kioo. Kama mtu anagombana na mpenzi wake kwa madhumuni ya kuboresha ni kitu kizuri. Hii inaonesha kuwa anahitaji kuwa na wewe na anahitaji amani. Ugomvi na mifarakano pia inatoa nafasi kwako kujiangalia vizuri na kama kinacholalamikiwa na mwenzio kina ukweli basi ni nafasi ya kujirekebisha. Ni mategemeo kuwa kuna kipindi ambapo ugomvi utakuwa mkubwa na baadae wapenzi hao wataelewana na kurekebisha mambo yao. i. Ugomvi Unatoa Nafasi ya Kuongea Mambo Magumu Wakati mwingine mazungumzo ya kawaida hayatoi nafasi ya wapenzi wawili kusema yale ya ndani na yanayozizonga nafsi zao. Ugomvi hufungua milango ya hisia za ndani na huenda vyanzo vya matatizo vikawekwa wazi na hivyo kufanyiwa kazi. ii. Ugomvi unaonyesha Kuwa Mnajali na Mnataka Maboresho Katika uhusiano ambao wenza hawajali,au hawana malengo ya muda mrefu huwa hawatoi duku zao juu ya utofauti na wapenzi wao.Hivyo wapenzi wanaogombana wanaonesha kuwa wana nia ya dhati na mwenzao na sio tu kupitisha muda. iii. Ugomvi Unaboresha Uhusiano Kwa muwa ugomvi unaibua hisia zilizojificha toka kwa wapenzi,ni wakati mzuri kuona matatizo ya kila mmoja. Na kama wapenzi hao wana nia ya dhati ya kuwa pamoja basi watafanyia kazi tofauti na mataizo waliyonayo. Hivyo kuboresha mahusiano yao Kuna sababu nyingine nyingi ambazo zinachangia ugomvi kati ya mke na mme katika mahusiano lakini haya ni yale yanayotokea katika mahusiano mengi. Je wewe unasababu nyingine inayosababisha ugomvi na mwenza wako? Shiriki nasi na tuandikie katika sanduku la maoni. Nawatakia mahusiano mema na wapenzi wenu
Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa *🅱 professional love*  Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha maswali kama kutoa huko sauti ni jambo la asili au ni mwanamke mwenyewe anaamua hapa atoe sauti na kwingine asitoe. Mwaka 2011 watafiti wawili mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Lancashire na mwingine kutoka Chuo Kikuu cha Leeds wote wa nchini Uingereza walichapisha utafiti wao walioufanya uliokuwa ukihusu utoaji wa sauti wa kati wa kujamiina. Walitaka hasa kujua kwanini wanawake hutoa sauti hizo. Katika utafiti huo, waliwahoji wanawake 71 wenye umri kati ya miaka 18 na 48 ambao hushiriki mapenzi mara kwa mara juu ya utoaji wa sauti wakati wa kujamiiana. Katika utafiti huo ulibaini kuwa wanawake wengi huto sauti hizo lakini sio pale tu wanapokuwa wamefika kileleni. Asilimia 66 walisema kuwa hutoa sauti wakati wa kujamiina ili kuwasaidia wenza wao kufika kileleni haraka, wakati asilimia 87 walisema kuwa hutoa sauti hizo ili kuwaongezea wenza wao kujiamini kwa kile wanachokifanya kuwa wapo sawa. Wanawake walieleza kuwa mara nyingi hutoa sauti wakati wenza wao wanapofika kileleni. Baadhi pia walieleza kuwa sauti hizo huwasaidia kuwaondolea uoga walionao, hali ya kutojisikia kuwa sawa, wakati mwingine kuondoa maumivu lakini pia kama njia ya kufurahia raha anayokuwa anaipata. Aidha, wataalamu hao walisema kuwa kwa vile wanaume wengi huhusisha utoaji wa sauti na mwanamke kufika kileleni, basi baadhi ya wanawake hutoa sauti hizo kwa uongo ili tu kuwaridhisha wenza wao waone kila kitu kipo sawa. Kwa upande mwingine, imegundulika kuwa wanawake si jamii ya wanyama pekee ambao hutoa sauti wakati wa kujamiiana kwani hata nyani (baboons) wana aina zao za sauti ambazo huzitoa wakati wakijamiiana. Imeelezwa kuwa wakati mwingine huwa ni vigumu sana kuelezea kila kinachotokea wakati wa kijamiiana kwa sababu kila mtu huwa na utashi wake. Lakini kitu wataalamu walichokubaliana ni kuwa sauti hizo zinaweza kumsaidia mwenza kujua kama anachofanya ni sasa hivyo aendelee au aache, aongeze au apunguze.
STORY :HIGH SCHOOL SEHEMU YA KWANZA. Jina langu ninaitwa Catherine Kindamba, Ilikua ni siku ya jumanne nilipowasili shuleni Hans pope Academy mkoani Mwanza kutoka Dar es salaam. Nilimaliza kidato cha nne katika shule ya secondary Canossa na kupata division one na kisha kuchaguliwa kujiunga katika shule ya secondary Kibasila kwa mchepuo wa ECA, yani Economics, commerce na Accountancy. Baba yangu hakuyapenda kabisa mazingira ya pale Kibasila, hivyo aliamua kuniamishia Hans pope Academy Mwanza. Ni kiasi kama mwenzi wa pili niliamia shuleni hapo. Mimi ni msichana mpole na mwenye ushirikiano na wenzangu. Ninapenda dini na kulelewa kimaadili. Marafiki wawili tu Winnie na Angel walitosha kuifanya jamii yangu ndogo. Daima sikupenda company ya wavulana kwakuwa sikupenda vile baba alivyokuwa akimfanyia mama, hali iliyopelekea kuwepo kwa migogoro isiyoisha pale nyumbani. Pamoja na hayo yote baba yangu ambaye alikuwa mhasibu wa pale bandarini pamoja na mama yangu ambaye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi ya Academy International school niliyosoma hapo awali walinipenda sana nikiwa kama mzaliwa wa pekee. Mazingira ya shule mpya ya Hans pope Academy yalikuwa mazuri niliyapenda. Ilifika jioni saa moja nikaingia chumba nilichopangiwa katika jengo lililoitwa white house nikalala fofofo. Saa kumi na mbili kamili ya alfajiri nilishtushwa na mlio wa kengele, nilishuka dekani kwangu na hapo ndipo niligundua kuwa sikuwa peke yangu. Kilikuwa ni chumba kidogo kizuri kilichopangiliwa vizuri, cha watu wawili. Kulikuwa na makabati mawili makubwa yaliyojigawa ukutani, meza ya kusomea na madirisha mapana ambayo yaliweza kuingiza mwanga na hewa safi. Katika kitanda cha chini alikuwepo msichana ambaye pamoja na kuwa alikuwa bado usingizini haikuniwia vigumu kujuwa kuwa huyu kiumbe aliyeko mbele yangu ni mzuri na mrembo wa kutosha kutwaa taji la miss Dunia. Ninajiamini kuwa mimi ni mzuri huyu msichana hakika alikuwa shani mbele ya macho yangu. Nilimsanifu kuanzia sura yake zuri, lips zake ambazo kwa juu zilichora kama umbo la kopa, rangi yake nyeupe ya kung’aa, ngozi yake laini, shape yake, hakika huyu msichana alikuwa ni mzuri sana. Nilimuangalia hadi macho yangu yalipotosheka kisha nikasimama tu nisijue nini cha kufanya nikageuka kwenda sehemu ambayo niliweka mabegi yangu. “wewe ni nani” sauti tamu ilipenya katika masikio yangu. Niligeuka kwa mshituko na kutazama pale sauti ilipotokea. Yule mrembo wa dunia alikuwa bado amelaa alikuwa akiniangalia macho yake makubwa na matamu yalitosha kunihakikishia kuwa huyu msichana aliumbwa kwa utulivu zaidi. “aaaaah aaaaa mimii” nilishikwa na kigugumizi sikujua nimjibu nini kile kitu kilinichanganya. “naitwa Catherine Catherine Kindamba” hatimaye niliweza kuongea na kujitambulisha. “Catherine unafanya nini hapa” aliongea huku akinyanyuka kutoka kitandani. “mimi ni mgeni nimefika hapa jana usiku, nimehamia” niliongea “mmmh” alinitazama kwa Dharau huku akibetua midomo yake. “Catherine karibu” “Ahsante” nilijibu “Sasa umeamka saizi unaenda wapi” aliniuliza. “aaaaah nimesikia kengele nataka nijue ni nini kinaendelea” “oooh sasa hivi ni mda wa jogging kama unapenda nenda ila sio lazima sana unaweza kubaki hapo ukijiandaa kwa ajili ya kuingia darasani, mi pia nipo siendi jogging.” “Aaaaah sawa hata mimi pia sipendelei jogging acha nipange vitu vyangu” niliongea. “ooooh unsoma Combination gani?” aliniuliza “niko ECA” nilijibu “ooooh” “wewe je unaitwa nani” nilimuuliza “naitwa Candy, niko HGE na ukipenda unaweza kuniita Queen Candy” alisema. Hakika nilijua kwamba huyu msichana aliyekuwa mbele yangu ni mtu mwenye Dharau sana hata hivyo sikuwa na papara dharau zake hazikuwa kitu kwangu lakini katika siku hizo za mwanzo ilikuwa ni hali ya kawaida tu kwakuwa nilihitaji kuijua shule vizuri sikumtilia maanani sana. <<<<<<<<<<<<<<<< ITAENDELEA >>>>>>>>>>>>>>>>>
Maneno Mabaya 10 ya Kutosema Kwa Mwenza Wako Mojawapo ya nguzo kuu kabisa ya mahusiano mazuri ni mawasiliano. Mawasiliano mazuri yanahusisha vitu viwili vikubwa, kuwa na ujumbe wa kusema na namna ya kusema ujumbe wako. Maneno ni kitu hatari sana katika mahusiano yakitumiwa vibaya na yakitumika vizuri ni nguzo kubwa ya mahusiano mazuri na yenye furaha. Hivyo unatakiwa kupangilia maneno yako unapoongea na mwenza wako ili kupata athari chanya. Ifahamike kuwa maneno mabaya yakisha semwa hayarudi mdomoni na madhara yake yatabaki siku zote hata kama mwenza wako atasema kuwa amesamehe au kusahau. Maneno yafuatayo ni hatari kwa kuwa yanaleta madhara makubwa moyoni mwa mlengwa na ni vyema kuzuia kuyatamka kwa namna yoyote ile. Maneno 10 Mabaya Ambayo Hutakiwi Kusema Kwa Mwenza Wako: Maneno ya Matusi Maneno kama “mjinga” au “mpumbavu” yasitumike kwa mwenza wako hata kama yana ukweli ndani yake. Japo ujinga ni kutofahamu kitu fulani lakini neno hili linaleta majeraha kama likitoka kwa mwenza. Hasa kama linatoka wakati wa ugomvi au kutofautiana. Useseme maneno mabaya yanayomshusha mweza wako mfano kuhusu mwonekano mbaya wa mwenza wako kama “sura mbaya”,”Mnene kama nguruwe” n.k “Nakuchukia” Chuki ni kitu kikubwa sana,kwa kweli huwezi kuishi na mtu ambaye unamchukia. Hutakiwi kumtamkia mwenza wako neno hili. Unaweza kuchukia tabia yake lakini si yeye mwenyewe. Njia nzuri ni kusema kuwa “Nachukia au sipendi tabia yako ya kuchelewa kurudi nyumbani” au maneno yanayofanana na hayo. “Ameiga Tabia Zako” Wazazi wanatabia ya kurusha lawama kwa wenza wao pale watoto wanapokuwa na tabia mbaya. Utasikia mzazi mmoja akisema kwa mtoto “Tabia za mama yako hizi” au “Tabia za baba yako” pale mtoto anapoonesha tabia mbaya. Maneno haya hayafai kutumika katika familia kwakuwa yanashambulia nafsi ya mwenza wako. Kumfananisha Tabia Mbaya za Mwenza na Wazazi Wake “Tabia zako kama mama yako”, au “..kama baba yako” maneno yanayomfananisha mwenza wako na wazazi au familia anakotoka yanachokoza sana na huweka vidonga kwa muda mrefu moyoni na yaepukwe. “Acha!Nitafanya Mwenyewe” Katika mahusiano kusaidiana ni jambo la kawaida na muhimu,maneno mabaya ya namna hii yanamvunja moyo mweza wako kutaka kufanya jambo kwako siku nyingine na linaleta utengano na kuvunjika kwa upendo. Maneno Mabaya ya Kukatisha Tamaa “Hutaweza” ,”Hutafanikiwa” n.k yanavunja moyo kwa mwenza wako na kurudisha nyuma maendeleo. Ni muhimu kwa wenza kupeana moyo na kusaidiana ili wote muende mbele kwa pamoja. Umoja ni nguvu. “Mtoto wangu” Itambulike kuwa hakuna mtoto wa mtu mmoja,wenza wote wawili wana haki na wajibu sawa juu ya mtoto wao. Najua mila na desturi zimetufundisha tofauti juu ya haki juu ya mtoto kwa wazazi wawili lakini ukweli ni kuwa wazazi wote wana nafasi na haki sawa kwa mtoto wao. “Haya yote ni makosa yako” Lawama hazijengi bali zinabomoa. Lawama zinavunja moyo kwa mwenza wako. Pale panapotokea shida au matatizo kati yenu ni vyema kuyachukua kama yenu wote na mtafute suluhisho kwa pamoja. Kutolea Mifano Mahusiano ya Zamani Usithubuthu kumfananisha mwenza wako na mpenzi wa zamani hata kama wazamani alikuwa bora zaidi kwa vigezo vyako. Mfano “John alikuwa ananitoa sana,lakini wewe hufanyi hivyo” au “John alikuwa anapenda sana chakula hiki” Maneno juu ya Kuachana Usitumia maneno yanayoashiria nia ya kuachana,yanaondoa imani juu ya masiha ya mahusiano yenu. Mfano “Kwa mtindo huu mimi nafikiri hatutafika mbali” Mwenza wako ataanza kujiandaa kuachana na hatajiachia kwa asilimia zote kwa mapenzi na mipango ya pamoja. Maneno haya yanajenga utengano taratibu ndani ya moyo wako na wa mwenza wako. Mwisho Kama nilivyosema mwanzoni,mawasiliano ni nguzo ya mahusiano mazuri kati ya weza wawili. Ni kitu ambacho kila mmoja anatakiwa kujifunza na kukitilia maanani hasa kwa kujua mahusiano ya mke na mume yana changamoto kubwa kutokana na utofauti wa kihisia na kitafakuri kati ya mke na mume. Mwanamke na mwanaume wanaonekana kama viumbe tofauti toka sayari tofauti kutokana na namna zao tofauti za kuwasiliana na kuelewa ujumbe toka kwa mwingine. Busara za kuchambua nini cha kusema na kipi kuacha kutasaidia sana kuboresha mahusiano na mwenza wako Nini changamoto zako na mwenza wako katika mawasiliano? Maneno mabaya yapi ambayo yanakukera kuambiwa na mweza wako na unafikiri si vyema kuyatumika kwa weza ukiacha haya? Tafadhari shiriki kujadili kwa kuandika katika kisanduku hapa chini. Asante na nawatakia mahusiano na mwasiliano mema.
Jifunze Namna ya Kumpagawisha Mpenzi Wako Wakati Wowote Sio Mpaka Chumbani Tu. 7 days ago  Namna ya Kumpagawisha Mwanaume wako na Kumfanya Akuone ndio wewe Mwanamke Pekee Dunia Nzima Hakuna Kama Wewe. Kama wewe ni mwanamke na unataka mpenzi au mume wako asiwaze kwingine inakupasa kusoma hapa upate utundu zaidi. mi kwanza huwa sipendi kutulia yaani naanzisha game popote pale hata kama ni kwenye halaiki nitatsfuta njia tu ili ajue kua nataka tamu. yaani hii humfanya anyegeke na awe na hamu na mm mara kwa mara. yy huwa ananiambia G mtundu sana ww unanifanya niwe na hamu na ww muda wote. kama yupo kazini basi nitahakikisha namtumia sms na vipicha vya kimahaba ilimrad tu kuamsha hisiazake.. hii imetusaidia tumekua karibu sana. tukija faragha sasa. hahaa mtoto wa kike najituma mpaka basi yaaani msujuzi yote nayaaply mpaka kanivulia kofia.. so akina mama tujitahidi tuwe wabunifu na mawasiliano yawepo. unapenda kitu mwambie na kama hupendi mwmbie usifanye tu kutimiza wajibu u will be happy... 1.Mbinu yangu ya kwanza huwa sipendi KUWE NA TIME TABLE!!!!! Hell No! Yaani ajue wiki hii kuna mechi 3, zitachezwa oldtrafold, Emirates na Anfield. Hakuna biashara kama hiyo!!!! Mambo ni suprise tu. 2. Funguo ninayo, nawahi mwenyewe, nasafisha afu nachojoa viwalo vyote, naoga afu najitupa kwenye 6*6 nazuga na novel ya SYDNEY SHELDON!!! Mdogo mdogo nasubiri arudi. ( Noma kna siku alirudi na Maza wake, afu maza anapenda kukagua kila kona, NILIZAMAJE UVUNGUNI FASTA!!!!!! Hatari! Surprise zingine nomaaa!) 3.Nyingine ni design za KABA KOO, mtu yupo busy na Match au TV we umelala mwenyewe unangoja aje, Nainuka na khanga naenda kunywa maji ya Uongo, khanga inadondoka mbele yake siiokoti naendelea na safari. Lazima aje.(Tatizo akisikia GOOOOOOOOOO!!!! Anastopisha game ya huku na kwenda kuchungulia nani kafunga? Nani?) 4.Nikiona amenuna kama COBRA almanusura kupasuka, NAMPOOZA KIDOGO manaake hawakawii hawa! 5. Namtext tu kazini leo ukitoka pitia hapa hotelini chumba namba 3, baasi wee masaa yanakuwa hayaendi.
Jinsi Ya Kumridhisha Mwanamke Kitandani Wakati wa Mapenzi Dondoo 10 muhimu, ambayo mwanaume akizifanya kwa mwanamke wake, hakika atakuwa amejijengea ulinzi mwenyewe kujilinda dhidi ya mwizi au dokozi yeyote huko nje kwenye mapenzi yake na mpenzi wake,. 1.Mfanye akojoe kabla hujaanza kumuingilia (kungonoka) Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo. Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi. Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye uke, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo. Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke akojoe kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la kutiana zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake. Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa uume wako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kukojoa haraka sana. Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu...Mruhusu!!! 2 .Vumbua maeneo mengine yenye kumsisimua Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, ki**mi, kiharage, kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi kuishia hapo tu. Kama ambavyo wanaume wamezoea baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa kupitia maeneo hayo. Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu, anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atakojoa namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke. Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo yakichezewa au kuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza hata kumfanya mwanamke huyo kukojoa kabla ya kuingiliwa. Tumezoea G-Sport kwa mfano, lakini ni wangapi tunajua kuhusu U-Spot katika uchi wa mwanamke? Wangapi tunajua kuhusu A-Spot? ..... ufahamu vizuri mwili wa mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati wa kufanya mapenzi naye, na hakika utakuwa shujaa wake. Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke! 3. Usiwe kama kuku Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa utaweza kumfanya mwanamke afike kileleni kabla ya kumuingilia, unamjengea mazingira ya kufika kileleni haraka pindi unapomuingilia, lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika. Mwanaume kudumu kwenye tendo kwa muda wa kutosha, ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake na kumuona kuwa yu shujaa. Sometimes, pumzi zako kitandani zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini na watu unaotakiwa kupigana nao? Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa, wanaume wengi hujamiiana kwa minajili ya kufika kileleni, ilhali wanawake hujamiiana kwa minajili ya kustarehe. So, usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja...lakini pia usiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke uchi hadi akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa. Nusu saa hadi dakika 50 ni muda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa. 4. Maandalizi ya kumpa mshawasha wa kuihitaji Ndio, wapo wanaume wengi tu wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa wanawake zao kwakuwa wanajua kuwanyonya vi**mi, kunyonya matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo. Kama ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha hisia zao kwa ajili ya kujamiiana, bali kwa minajili ya kuwafanya wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia. Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya kumtia hamu hadi ikiwezekana aanze kuulilia muhogo. Jidai kama unataka kumnyonya ki**mi, lakini usifanye hivyo, pumua usawa wa mdomo wa uke wake kiasi cha kumfanya ahisi pumzi yako, mlambe mapajani...sio lazima kila siku iwe kwenye tundu la uke....... Haya ni baadhi ya yatayomfanya aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha hisia zake kwa namna ya kipekee. Na hili basi ndilo lenye kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo wanawake hulihitaji....cheki namba 5 hapa chini Tumichezo kama hutu twa Manaiki Sanga tunasaidia... 5.Kutiana kwa ulimi/mdomo Inashangaza sana kwa kweli...wakati wanaume wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao. Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza kumfanya mwanaume akasimama vya kutosha kuwaingilia. Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa. Umepewa viungo zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia tendo la ndoa, na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania? Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako unadhani ulimi huo unaweza kufika na ukamfanya aseme "Oh...am going crazy" 6. Msisimue kwa kauli zako Wanaume wengi sana huwa mabubu wawapo kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria namna gani vipi wakisema sema wakati wanajamiiana nao... lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga makelele wanapotaka kushusha mizigo yao? Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele wakati wa kukojoa, kwanini basi ujizuie kumpa maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha? Nong'ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu....hata zile oooh....sss....mmmm zako, zifanye sikioni kwake..... wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kujamiiana, ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana ambalo linashangaa kilichoko mbele yake. Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa. Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu na akaanza kukwambia kwa ile sauti ya kipekee akisema "hapo hapo...hapo hapo jamani raaaha".... Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia kuanza kuelea angani. Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza.... 7 .Jenga mahusiano ya macho yenu Hivi, ishakutokea ukakojoa ukiwa unamtizama mpenzi wako machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kukojoa? Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anakojoa? Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya kipekee ambayo huwezi kuelezea kwa maneno. Mawasiliano ya macho wakati wa kujamiiana, huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa na mwanaume ambaye wakati wanajamiiana alikuwa akimtizama usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa kimaso maso na kukuuliza "mbona ulifumba macho wakati unakojoa", na hapa atakuwa akimaanisha kuwa kuna ulichomnyima. Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima taa wakati mnajamiiana, acha taa ziwake wakati mwingine, na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake, huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia. Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika, na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya, akizoea hakika atakuwa akikufurahia zaidi. 8. Mzingatie baada ya kumaliza kujamiiana Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa, ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa wamemaliza kujamiiana. Hawajui kuwa, huu ni muda ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule. Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la kuingiliwa. So, unaweza kuwa umemkojolesha na kumgusa kila angle ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga busu na kumwambia "asante", huku ukimruhusu alaze kichwa chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka kukifanya. Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu ya wewe safari nyingine utapomhitaji. 9 .Mpe fursa ya kuliongoza jahazi kwa niaba yako Wanaume wengi sana wameumbwa kutaka kuwa vinara kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye kujamiiana, hupenda wao ndio waongoze kila move. Sio mbaya kwasababu wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo linaeleweka. Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota, lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala dimba wakati wa mchezo. Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha uhangaike na mhogo wangu unavyotaka, laa...atakuona mdhaifu, uliyechoka au unayemsusia tu. Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu. Wanawake wana-enjoy sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji. Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyonya muhogo ya wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo....au anamuacha ila akikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa .... si umuache? Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa? Mpe nafasi, anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu, maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka umfanye, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako awe mkakamavu. Hata kama akitaka "akufanye" mruhusu tu...!!! 10. Ondoa mazoea Wanaume ni watu wa ajabu sana. Wakati wanaweza kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke, nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kujamiiana. Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea...kesho akijitega mbuzi kagoma kwenda, itaendelea hivyo hivyo. Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa, wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa wakiendelea na game. Ni kama mchezaji wa football vile, anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea. Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza
Subscribe to:
Posts (Atom)