Home → simulizi
→ JINA: NYOKA WA KUTUMWA
SEHEMU YA 7
…………..ILIPOISHIA………………………
KIJANA 1: Jamani nini kimetokea hapa maana sielewi mbona mtego umefyatuka na hakuna kitu kilichonaswa.
KIJNA 2: Hata mimi nana shangaa jambo hili, au kuna mtu ametuchezea.
KIJNA 3: Nahisi maana tangu nianze kutega hii mitego sijawai kuona ikifyatuka nyenyewe bila kunasa kitu.
KIJANA 4: labda kuna kitu kiligusa huu mtego . Kama vipi tutege tena alafu tukajifiche na tuangalie kama itatokea tena .
Wakatega tena kisha wakaenda kujificha bila kujua kuwa walifanikiwa kumnasa wakiemtaka na kumtoa wenyewe kwenye mtego na kumuacha huru tena. Walipoenda kujificha tena, Yoka akarudi kwenye umbile lake ya nyoka na kurudi nyumbani kwake.
……………… ENDELEA…………………..
Walikaa mda mrefu bila mafanikio yoyote na hatimae jioni ikaingia wakarudi mpaka kwa mfalme na kumpa taarifa hukusu kushindwa kwao kumpata nyoka. taarifa ile ilimuhuzunisha sana mfalme maana alitegemea mafanikio makubwa kutokana na wale watu walio wachagua kuwa hodari kwenye kazi kama zile. Lakini mmoja kati ya wale vijana aliongea kitu ambacho kiliwashangaza sana wenzake pamoja na mfalme.
KIJANA: Lakini kuna kitu kinanishangaza kila nikitafakari, hivi ukili una uwezo wa kuufyatua ule mtego, alafu nimeshangazwa na kitu kimoja pale ambapo nilikuwa nimeuhifadhi sikuuona wakati tunatoa ule mtego.
MFALME: Mh! Ukili sijawai kusikia ukifyatua mtego, au kuna mtu atakuwa anatuchezea mchezo hapa kijini, sasa nyie nendeni hili jambo nitalifikisha kwa wazee wa kijiji tutajua jinsi gani tufanye.
Wale vijana wakaondoka na kurudi majumbani kwao huku kila mmoja akifikiria kuhusu ule ukili, mda mfupi mbele mfalme akaita wazee baadhi wenye cheo pale kijijini kisha akamtuma mlinzi wake mmoja aende akamuite mzee sube. Zikapita dakika kadhaa hatimae yule mlinzi akarudi akiwa ameongozana na mzee sube, mfalme alifurahi kuona vile maana alikuwa anampenda sana yule mzee bila kujua yeye ndie chanzo cha matatizo yote pale kijijini. Kikao kiaanza huku wale wazee wakiwa awajui nini wameitiwa hamala pale.
MFALME: Wazee wangu nimewaita hapa kwa ajili ya kuwapa taarifa niliyoipata kutoka kwa wale vijana tuliowatuma kumtega nyoka, lakini kwa bahati mbaya hawakubahatika kumpata lakini kuna jambo wameniambia la kushangaza kidogo.
Mfalme akaeleza kama alivyoambiwa na yule kijana na mwisho akawapa nafasi na wao watoe mawazo yao juu ya kile alichowaambia, ndipo mzee mmoja akaanza kuongea.
MZEE: Mtukufu mfalme kutona na hiyo taarifa moja kwa moja inaonyesha kuna mtu anatuchezea kwahiyo hatuna budi kumtafuta mganga atakae wenza kutusaidia kututatulia hili tatizo.
Mzee sube akamuangalia yule mzee kwa jicho Fulani la kuonyesha kuchukia kile alichokiongea lakini kwa bahati mzuri hakuna mtu ambae alimuona akiwa kwenye hiyo hali.
MFALME: Kweli kabisa mzee wangu maana watu wamekuwa wakikichezea sana hiki kijiji chetu cha mbaka kwahiyo lazima tumtafute huyo mganga na ikiwezekana leo hii hii tumchague mganga na apewe taarifa yake ili kesho aje aianze kazi yake, Au unasemaje mzee Sebe unasemaje kuhusu wazo hili. { Aliuliza huku akimtazama mzee sube usoni na kumwachia nafasi ya kuongea }
MZEE SUBE: Ni wazo zuri na hatuna budi kulifanya maana huyu nyoka sasa hivi amekuwa hatari na endapo tutamuacha aendelea kuzuru watu wa hiki kijiji tutajikuta wote tumepotea.
Mfalme alifurahi sana kuona wote wamekubaliana jambo lile na ndipo akatoa nafasi ya kumpendekeza mganga ambae wao wanaona ataweza kusaidia kutokana na lile tatizo, mzee mmoja akasimama na kumtaja mganga aliehisi yeye kuwa anafaa kuifanya hiyo kazi.
MZEE: Mtukufu mfalme kuna mganga mmoja anaitwa mzee Duba ambae tangu ujana wake amekuwa akiifanya hiyo kazi ya uganga na amesaidia watu wengi sana hapa kijijini na kwa sasa anapatika karibia na msitu wa dawa.
Mfalme akawauliza wale wazee wengine kama kweli kile alichokisema mwenza, kila aliemuuliza aliitikia haraha lakini ilipofika zamu yam zee sube alisita kwa sekunde kadhaa kisha akakubali kuwa yule huyo mzee Duba anafaa kuifanya hiyo kazi. Baada ya wote kukubaliana mfalme akafunga ule mkutano na kuwaruhusu wale viongozi warudi majuimbani kwao ili kesho yake asubuhi wawai kufika kwa ajili ya kumpokea huyo mzee Duba maana yeye alikuwa hamfahamu. Wale wazee walipoondoka akatumwa kijana mmoja aende huko kwa huyo mganga akampe taarifa kuwa anahitajika kufika kwa mfalme kesho yake, kijana akafanya kama alivyo ambiwa akaanza safari ya kwenda huko karibu na msitu wa dawa kumfuata mganga. Sube alipofika nyumbani kwake akaingia moja kwa moja mpaka ndani bila kumwambia kitu chochote mke wake ambae kwa mda huo alikuwa amekaa nje na kumsababishia mawazo mengi, Haraka mke akainuka na kumfuata mumewe ili akajue nini tatizo mpaka awe kwenye ile hali na wakati sio kawaida yake.
BIBI SUBE: Kulikoni mbona upo hivyo.
MZEE SUBE: Mke wangu tupo kwenye wakati mgumu sana, usiku wa leo kuna kazi tunatakiwa tuifanye.
BIBI SUBE: E ! kwani kimetokea nini huko kwa mfalme. { Aliuliza huku akiwa na uwoga }
MZEE SUBE: Kuna mganga kachaguliwa kwa ajili ya kuja kualibu mambo yetu.
Bibi sube aliposikia vile, akaanza kutetemeka huku akimrahumu mume wake juu ya wazo ambalo alilitoa ambalo sasa hivi limeanza kuwatia jamba jamba.
BIBI SUBE: Heeee ! Sasa tutafanyaje si kuhumbuka huku mume wangu. Lakin mimi nilikuambia hiki tunachokifanya yatatukuta kama yaliyomkuta mzee SUI .
MZEE SUBE: Mke wangu wala usiogope haiwezi kutokea kama kilachotokea kwa mzee sui na kila siku nakuambia kuwa mzee sui kilchofanya afe ni uzembe wake yeye pamoja na mwanae. Sasa sikiliza mganga aliechaguliwa ni yule mzee duba kwahiyo leo usiku inatakiwa twende tukapoteze uhai wake maana kama tukimuacha kweli yatatukuta kama ya mzee sui na ama.
BIBI SUBE: Hivi kweli tutaweza kumuua yule mzee maana kaanza mda mrefu sana ile kazi na lazima katuzidi uwezo.
MZEE SUBE: Hahahaha mke wangu unafurahisha sana. Mzee duba hawezi kufurukuta kwangu japokuwa ameanza zamani ile kazi ila mimi ni zaidi kwahiyo awezi kuzuia uchawi wetu hata siku moja.
BIBI SUBE: Hapo sawa mume wangu maana roho yangu ilikuwa hipo juu.
Kwa upande wa yule kijna ambae alitumwa aende kutoa taarifa kwa yule mganga kwa bahati mzuri akabahatika kumkuta yule mganga akiwa anatengeza dawa na wakati huo giza lilikuwa lishaanza kuingia. Alipokelewa vizuri sana na mzee Duba na baada ya kufahamiana akamueleza kilichompeleka pale, Mzee duba alifurahi sana kusikia amechaguliwa kuwa mganga anaetakiwa kutatua lile tatizo lililopo pale kijiji, akamuomba yule kijana ile siku walale pale alafu asubuhi na mapema waanze safari yao ya kwenda kwa mfalme. Wakati huo Duba alikuwa Hafahamu kitu chochote kinachoendelea juu yake. Masaa yalienda na hatimae mda wa kulala ukafika Duba akamuandalia yule kijana sehemu mzuri ya kupumzika, na yeye akaenda kulala sehemu yake, mda huo kwa upande wa sube na mke wao walikuwa wakijiandaa kwenda kuifanya kazi walio ikusudia kuifanya siku ile. Mda wa kazi ulipofika wakakusanya vitu vyao na kuweka kwenye ungo kisha na wao wakapanda na kusafiri mpaka nyumbani kwa Duba na kumkuta akiwa amelala fofofo. Walipofika wakamwaga unga huku wakiizunguka nyumba na mwisho wakashikana mikono na kuingia ndani kwa kutumia ukuta. Ghafla sura zao zikabadili na kuwa tofauti ambazo mtu yoyote isingekuwa rahisi kuwafahamu, Wakaanza kuimba na kucheza nyimbo zao za kichawi huku wakizunguka kitanda cha ukambaa alicholalia Duba, Walipomaliza wakamwamsha kwa mkitikisa mpaka alipozinduka kutoka usingizini. Duba alishtuka sana alipokutana uso kwa uso na wawili wale waliokuwa na sura za kutisha, akakurupuka pale kitandani na kuangukia chini. Wawili wale waliendelea kumfuata mpaka huku yeye akiwa anarudi nyuma nyuma, na mwisho akasimama na kukimbilia nje, Ghafla nje ya nyumba mulipo mwagiwa ule unga mkaanza kuwaka moto na kumfanya Duba ashindwe kuendelea kukimbilia mbali na pale. Akadondoka chini huku akitafuta wapi wale watu walipo, Ndipo sube na mke wakatokea pale pale alipokuwa ameanguka ndipo Duba akaanza kuwauliza maswali wawili wale huku kijasho kizito cha kujuta kikimtiririka.
MGANGA: Kwani munataka nini kwangu kama kuna kitu munakiitaji niambieni mimi nitawapatia.
Yule mganga baada ya kusema vile ndipo mzee sube akaanza kucheka kwa dharahu na kumjibu.
MZEE SUBE: Hahahaha wewe si mganga ambae unataka ukaaribu mambo yangu. Sasa nimekuja kwa ajili ya kupambana, uwezo wako ndio utakufanya uendelee kuishi .
Sube baada ya kujibu vile ndipo Duba akagungua kuwa ni mzee sube, maana walikuwa pamoja zamani kwenye shughuli zao za kichawi lakini baadae Duba akaacha kuloga watu na kuwa mgawa, chapokuwa nae ni mchawi.
MGANGA: Nimekujua wewe sube na mimi nilijua tu lazima hipo siku utanifanyia kitu kama hiki maana umezoea kuwatesa wanakijiji. kama unataka kuniua niue tu ila endapo utaniacha nitasema ukwel kwa mfalme.
Sube alichukia sana kusikia vile, ndipo akajibadirisha na kurudi kwenye sura yake ya kawaida na kusogea karibu na alipo Duba na kuanza kuongea.
MZEE SUBE: Vizur sana kama umegundua mimi nani sasa kwa kuwa unajfanya jeuri basi leo ndio utakuwa mwisho wako wa kuonahuu ulimwengu, kamwe sitakuacha hai.
MGANGA: Sawa wewe fanya utakalo lakini jua kuwa siku za mwizi ni arobaini hipo siku ukweli utajurikana tu hata kama utaniua.
Sube akasimama akamkazia macho Duba ghafla damu zikaanza kumtoka puani mdomoni na masikioni, huku akiangaika kutokana na maumivu makali aliyokuwa anayapata hatimae akakata roho.
SEHEMU YA 8
JINA: NYOKA WA KUTUMWA SEHEMU YA 7 …………..ILIPOISHIA……………………… KIJANA 1: Jamani nini kimetokea hapa maana sielewi mbona mtego umefyatuka na hakuna kitu kilichonaswa. KIJNA 2: Hata mimi nana shangaa jambo hili, au kuna mtu ametuchezea. KIJNA 3: Nahisi maana tangu nianze kutega hii mitego sijawai kuona ikifyatuka nyenyewe bila kunasa kitu. KIJANA 4: labda kuna kitu kiligusa huu mtego . Kama vipi tutege tena alafu tukajifiche na tuangalie kama itatokea tena . Wakatega tena kisha wakaenda kujificha bila kujua kuwa walifanikiwa kumnasa wakiemtaka na kumtoa wenyewe kwenye mtego na kumuacha huru tena. Walipoenda kujificha tena, Yoka akarudi kwenye umbile lake ya nyoka na kurudi nyumbani kwake. ……………… ENDELEA………………….. Walikaa mda mrefu bila mafanikio yoyote na hatimae jioni ikaingia wakarudi mpaka kwa mfalme na kumpa taarifa hukusu kushindwa kwao kumpata nyoka. taarifa ile ilimuhuzunisha sana mfalme maana alitegemea mafanikio makubwa kutokana na wale watu walio wachagua kuwa hodari kwenye kazi kama zile. Lakini mmoja kati ya wale vijana aliongea kitu ambacho kiliwashangaza sana wenzake pamoja na mfalme. KIJANA: Lakini kuna kitu kinanishangaza kila nikitafakari, hivi ukili una uwezo wa kuufyatua ule mtego, alafu nimeshangazwa na kitu kimoja pale ambapo nilikuwa nimeuhifadhi sikuuona wakati tunatoa ule mtego. MFALME: Mh! Ukili sijawai kusikia ukifyatua mtego, au kuna mtu atakuwa anatuchezea mchezo hapa kijini, sasa nyie nendeni hili jambo nitalifikisha kwa wazee wa kijiji tutajua jinsi gani tufanye. Wale vijana wakaondoka na kurudi majumbani kwao huku kila mmoja akifikiria kuhusu ule ukili, mda mfupi mbele mfalme akaita wazee baadhi wenye cheo pale kijijini kisha akamtuma mlinzi wake mmoja aende akamuite mzee sube. Zikapita dakika kadhaa hatimae yule mlinzi akarudi akiwa ameongozana na mzee sube, mfalme alifurahi kuona vile maana alikuwa anampenda sana yule mzee bila kujua yeye ndie chanzo cha matatizo yote pale kijijini. Kikao kiaanza huku wale wazee wakiwa awajui nini wameitiwa hamala pale. MFALME: Wazee wangu nimewaita hapa kwa ajili ya kuwapa taarifa niliyoipata kutoka kwa wale vijana tuliowatuma kumtega nyoka, lakini kwa bahati mbaya hawakubahatika kumpata lakini kuna jambo wameniambia la kushangaza kidogo. Mfalme akaeleza kama alivyoambiwa na yule kijana na mwisho akawapa nafasi na wao watoe mawazo yao juu ya kile alichowaambia, ndipo mzee mmoja akaanza kuongea. MZEE: Mtukufu mfalme kutona na hiyo taarifa moja kwa moja inaonyesha kuna mtu anatuchezea kwahiyo hatuna budi kumtafuta mganga atakae wenza kutusaidia kututatulia hili tatizo. Mzee sube akamuangalia yule mzee kwa jicho Fulani la kuonyesha kuchukia kile alichokiongea lakini kwa bahati mzuri hakuna mtu ambae alimuona akiwa kwenye hiyo hali. MFALME: Kweli kabisa mzee wangu maana watu wamekuwa wakikichezea sana hiki kijiji chetu cha mbaka kwahiyo lazima tumtafute huyo mganga na ikiwezekana leo hii hii tumchague mganga na apewe taarifa yake ili kesho aje aianze kazi yake, Au unasemaje mzee Sebe unasemaje kuhusu wazo hili. { Aliuliza huku akimtazama mzee sube usoni na kumwachia nafasi ya kuongea } MZEE SUBE: Ni wazo zuri na hatuna budi kulifanya maana huyu nyoka sasa hivi amekuwa hatari na endapo tutamuacha aendelea kuzuru watu wa hiki kijiji tutajikuta wote tumepotea. Mfalme alifurahi sana kuona wote wamekubaliana jambo lile na ndipo akatoa nafasi ya kumpendekeza mganga ambae wao wanaona ataweza kusaidia kutokana na lile tatizo, mzee mmoja akasimama na kumtaja mganga aliehisi yeye kuwa anafaa kuifanya hiyo kazi. MZEE: Mtukufu mfalme kuna mganga mmoja anaitwa mzee Duba ambae tangu ujana wake amekuwa akiifanya hiyo kazi ya uganga na amesaidia watu wengi sana hapa kijijini na kwa sasa anapatika karibia na msitu wa dawa. Mfalme akawauliza wale wazee wengine kama kweli kile alichokisema mwenza, kila aliemuuliza aliitikia haraha lakini ilipofika zamu yam zee sube alisita kwa sekunde kadhaa kisha akakubali kuwa yule huyo mzee Duba anafaa kuifanya hiyo kazi. Baada ya wote kukubaliana mfalme akafunga ule mkutano na kuwaruhusu wale viongozi warudi majuimbani kwao ili kesho yake asubuhi wawai kufika kwa ajili ya kumpokea huyo mzee Duba maana yeye alikuwa hamfahamu. Wale wazee walipoondoka akatumwa kijana mmoja aende huko kwa huyo mganga akampe taarifa kuwa anahitajika kufika kwa mfalme kesho yake, kijana akafanya kama alivyo ambiwa akaanza safari ya kwenda huko karibu na msitu wa dawa kumfuata mganga. Sube alipofika nyumbani kwake akaingia moja kwa moja mpaka ndani bila kumwambia kitu chochote mke wake ambae kwa mda huo alikuwa amekaa nje na kumsababishia mawazo mengi, Haraka mke akainuka na kumfuata mumewe ili akajue nini tatizo mpaka awe kwenye ile hali na wakati sio kawaida yake. BIBI SUBE: Kulikoni mbona upo hivyo. MZEE SUBE: Mke wangu tupo kwenye wakati mgumu sana, usiku wa leo kuna kazi tunatakiwa tuifanye. BIBI SUBE: E ! kwani kimetokea nini huko kwa mfalme. { Aliuliza huku akiwa na uwoga } MZEE SUBE: Kuna mganga kachaguliwa kwa ajili ya kuja kualibu mambo yetu. Bibi sube aliposikia vile, akaanza kutetemeka huku akimrahumu mume wake juu ya wazo ambalo alilitoa ambalo sasa hivi limeanza kuwatia jamba jamba. BIBI SUBE: Heeee ! Sasa tutafanyaje si kuhumbuka huku mume wangu. Lakin mimi nilikuambia hiki tunachokifanya yatatukuta kama yaliyomkuta mzee SUI . MZEE SUBE: Mke wangu wala usiogope haiwezi kutokea kama kilachotokea kwa mzee sui na kila siku nakuambia kuwa mzee sui kilchofanya afe ni uzembe wake yeye pamoja na mwanae. Sasa sikiliza mganga aliechaguliwa ni yule mzee duba kwahiyo leo usiku inatakiwa twende tukapoteze uhai wake maana kama tukimuacha kweli yatatukuta kama ya mzee sui na ama. BIBI SUBE: Hivi kweli tutaweza kumuua yule mzee maana kaanza mda mrefu sana ile kazi na lazima katuzidi uwezo. MZEE SUBE: Hahahaha mke wangu unafurahisha sana. Mzee duba hawezi kufurukuta kwangu japokuwa ameanza zamani ile kazi ila mimi ni zaidi kwahiyo awezi kuzuia uchawi wetu hata siku moja. BIBI SUBE: Hapo sawa mume wangu maana roho yangu ilikuwa hipo juu. Kwa upande wa yule kijna ambae alitumwa aende kutoa taarifa kwa yule mganga kwa bahati mzuri akabahatika kumkuta yule mganga akiwa anatengeza dawa na wakati huo giza lilikuwa lishaanza kuingia. Alipokelewa vizuri sana na mzee Duba na baada ya kufahamiana akamueleza kilichompeleka pale, Mzee duba alifurahi sana kusikia amechaguliwa kuwa mganga anaetakiwa kutatua lile tatizo lililopo pale kijiji, akamuomba yule kijana ile siku walale pale alafu asubuhi na mapema waanze safari yao ya kwenda kwa mfalme. Wakati huo Duba alikuwa Hafahamu kitu chochote kinachoendelea juu yake. Masaa yalienda na hatimae mda wa kulala ukafika Duba akamuandalia yule kijana sehemu mzuri ya kupumzika, na yeye akaenda kulala sehemu yake, mda huo kwa upande wa sube na mke wao walikuwa wakijiandaa kwenda kuifanya kazi walio ikusudia kuifanya siku ile. Mda wa kazi ulipofika wakakusanya vitu vyao na kuweka kwenye ungo kisha na wao wakapanda na kusafiri mpaka nyumbani kwa Duba na kumkuta akiwa amelala fofofo. Walipofika wakamwaga unga huku wakiizunguka nyumba na mwisho wakashikana mikono na kuingia ndani kwa kutumia ukuta. Ghafla sura zao zikabadili na kuwa tofauti ambazo mtu yoyote isingekuwa rahisi kuwafahamu, Wakaanza kuimba na kucheza nyimbo zao za kichawi huku wakizunguka kitanda cha ukambaa alicholalia Duba, Walipomaliza wakamwamsha kwa mkitikisa mpaka alipozinduka kutoka usingizini. Duba alishtuka sana alipokutana uso kwa uso na wawili wale waliokuwa na sura za kutisha, akakurupuka pale kitandani na kuangukia chini. Wawili wale waliendelea kumfuata mpaka huku yeye akiwa anarudi nyuma nyuma, na mwisho akasimama na kukimbilia nje, Ghafla nje ya nyumba mulipo mwagiwa ule unga mkaanza kuwaka moto na kumfanya Duba ashindwe kuendelea kukimbilia mbali na pale. Akadondoka chini huku akitafuta wapi wale watu walipo, Ndipo sube na mke wakatokea pale pale alipokuwa ameanguka ndipo Duba akaanza kuwauliza maswali wawili wale huku kijasho kizito cha kujuta kikimtiririka. MGANGA: Kwani munataka nini kwangu kama kuna kitu munakiitaji niambieni mimi nitawapatia. Yule mganga baada ya kusema vile ndipo mzee sube akaanza kucheka kwa dharahu na kumjibu. MZEE SUBE: Hahahaha wewe si mganga ambae unataka ukaaribu mambo yangu. Sasa nimekuja kwa ajili ya kupambana, uwezo wako ndio utakufanya uendelee kuishi . Sube baada ya kujibu vile ndipo Duba akagungua kuwa ni mzee sube, maana walikuwa pamoja zamani kwenye shughuli zao za kichawi lakini baadae Duba akaacha kuloga watu na kuwa mgawa, chapokuwa nae ni mchawi. MGANGA: Nimekujua wewe sube na mimi nilijua tu lazima hipo siku utanifanyia kitu kama hiki maana umezoea kuwatesa wanakijiji. kama unataka kuniua niue tu ila endapo utaniacha nitasema ukwel kwa mfalme. Sube alichukia sana kusikia vile, ndipo akajibadirisha na kurudi kwenye sura yake ya kawaida na kusogea karibu na alipo Duba na kuanza kuongea. MZEE SUBE: Vizur sana kama umegundua mimi nani sasa kwa kuwa unajfanya jeuri basi leo ndio utakuwa mwisho wako wa kuonahuu ulimwengu, kamwe sitakuacha hai. MGANGA: Sawa wewe fanya utakalo lakini jua kuwa siku za mwizi ni arobaini hipo siku ukweli utajurikana tu hata kama utaniua. Sube akasimama akamkazia macho Duba ghafla damu zikaanza kumtoka puani mdomoni na masikioni, huku akiangaika kutokana na maumivu makali aliyokuwa anayapata hatimae akakata roho. SEHEMU YA 8
Artikel Terkait
SHINDU LA KIHAYA-18 ,,,mmmmh,,,aaaaaaaaaaah,,,aashiiiiiiiiiiiiiii,,,aliendelea kulalamika mtoto wa kike ambapo nyege kweli zilimpanda,kujinasua mikononi mwa Mwalimu ilikuwa ni ngumu hasa kwani alilegea mwili wote ,,,sawa,waweza kwenda darasani,nimeacha tabia mbaya,,,aliongea kwa makusudi Hedimasta akitaka kumvalisha nguo Lisa ,,,hapaaanaaa usiniache hivyo,,,kwa sauti ya kelegea kimahaba tena ile yenye uhitaji aliongea Lisa,sura ilikuwa ya huruma sana,yaani hapo huku chini kwenye ndani ya kitumbua chake alihisi kama anawasha balaa hata angewekwa kidole pengine angemwaga Kwa umbo la Lisa,mtu mwenye nguvu hata za wastani anaweza kumbeba kirahisi,ndivyo alivyofanya Hedimasta huyo,alimbeba Lisa akiwa yuko uchi kabisa,Hedimasta mwenyewe dudu lake lilisimama kweli,Lisa alipokuwa akiliona na jinsi alivyokuwa akijisikia nyege basi ndio zilizidi kuongezeka.Kitu kimoja,sio kwamba wanawake huwa hawatamani dudu za wanaume,huwa wanatamani sana,na wanawake walio wengi hupenda dudu kubwa,tena akipatikana mtu anayejua kulitumia vyema ndio kabisa umemaliza kazi,na kama ukitaka kuthibitisha hilo,siku nenda na mschana wako pengine kwa jamaa yako,kisha jamaa yako awe na bukta kisha lile dudu lijichore jinsi lilivyo refu na nene,wewe kuwa makini kumwangalia msichana wako machoni halafu utathibitisha. Hedimasta alipombeba Lisa alimkalsha juu ya meza yake,hapo ni baada ya kusukuma vitabu na nyaraka za Serikali zilizoangukia sakafuni,hakujali hata kidogo.Alimpanua miguu na kuiweka mabegani mwake,ikawa kama inataka kumkaba shingo,mikono ya Lisa ilishika meza,ila mikono ya Hedimasta ilimshika Lisa kiuno chake,huku chini kilibaki kitumbua kikiwa kimelowa utamu Aisee njia nyingine ya kumpagawisha mwanamke kabla ya kuchanganya makongoro ni hiyo aliyoifanya Hedimasta,alilishika dudu lake kwa mkono mmoja kisha akawa anaanzia juu kidogo ya kitumbua yaani kwenye kitobo cha mkojo,kile kichwa cha dudu akawa anakikandamiza huku akikishusha chini taratibu,kilipofika kwenye kiarage mtoto alishtuka na kupiga yowe la utamu,hakuingiza dudu ndani ya kitumbua,akawa anafanya hivyo kwa kurudia,aiseee mtoto wa watu aliweuka kweli kwa utamu,.,,aaaaaaaaaaaaah,,,sssssssssssshiiiiiiiiiiii,,,uuuuuuuuuuuuuh,,,alilalamka hivyo ambapo Hedimasta alichanganua kwenye akili yake na kujua kuwa kilio kile cha mwanzoni ni tofauti kabisa na hiki kwasababu hiko cha mara ya pili ni chenyewe zaidi na kilivutia hisia. Lisa alipata shida kwani alikuwa anataka aingizwe dudu na Mwalimu haingizi ila anakisugua kiarage kwa nje ,,,unanitesa jamaniiii ingizaaaa yoteeee,,,aliongea kabisa Lisa ambapo Hedimasta alipokichusha kichwa cha dudu chini na kulenga mlango wa kitumbua,taratibu alilisukuma kwa ndani,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,ssssssssssssssssssssh,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika Lisa kwa utamu ambapo Mwalimu alilizamisha dudu lote na kuanza kupampu kwa hisia. Unafikiri Lisa alichelewa basi!,mapigo thelathini ya haraka haraka mtoto alikojoa bao lake na kumganda mwalimu wa watu,baada ya hapo alianza mauno yake ya kichokozi,kwanza hakukubali kuwekwa kwenye meza,alimganga mwalimu mpaka akanyanyuka naye,mwalimu kwa kumkomoa na kumpagawisha zaidi alimpeleka kwenye kona na kumbananisha hapo,e bwana kumbe hakufanya kitu mtoto alimkatikia mauno ya nyege mpaka mwalimu akaanza kuona joto la mwili linapanda,utamu ulipanda mpaka akajikuta anamwaga bila kutarajia maana mtoto alikuwa hafai kwa mauno sumu Mwalimu wa watu alikojoa bao lake ambapo ilibaki kidogo amdondoshe Lisa kwa kunogewa utamu,baada ya hapo sasa kila mmoja akawa hana abu na mwenziye,Lisa ndio kabisa hakumwangalia kama Hedimasta,alimwona ni mpenzi wake ambaye anaweza kumfanya lolote.Basi kwa adabu mbaya ya mahaba,Lisa akamshika tako Hedimasta,kidume unafikiri kulipiga kelele wala kuwaka,kilipotezea na kucheka tu. Siku hiyo aliyeshtukia mchezo alikuwa ni sekretari maana ndiye aliyemtetea sana Hedimasta pale alipohisi hali ya tofauti juu ya walimu waliokuwa wana shida naye.Kweli hakuna hata walimu waliojua ila yeye pekee alielewa kila kilichokuwa kinafanyika.Kuna muda hisia chafu zilimjia kichwani lakini alizipinga kwani hapakuwa mahali pake sahihi pa kuziruhusu. Yule mama jirani aliyesuguliwa na Alex ambaye kwa jina alijulikana kama Agnes,alikuwa akimuinjoi mumewe alipokuwa akimuhoji kuhusu jeraha lilipo kwenye paji la uso wake,alijua tu mumewe ndiye aliyekuwa akipiga chabo siku ile,cha kushangaza hakushtukia kitu chochote.Tabu ya kumsaliti mpenzi wako iko hivi,na ndio itakayokufanya ujulikane mapema,kwa mfano Angesi alikuwa mtu wa kulazimishwa sana Sex kutoka kwa mumewe,na akipewa huwa anashukuru sana kwasababu jamaa huwa anajisahau muda mwingine kazi nyingi,tangu apate kitu cha ukweli hakuwahi kumsumbua tena mumewe,sasa hiyo humpelekea mumewe kuanza kuhisi tofauti. Hassan alikuwa amemfanya Agnesi kama chakula chake,ndani akawa hapiki tena,analetewa chakula kuanzia cha asubuhi,mchana na jioni,na mara nyingi akilete cha mchana huwa lazima asuguliwe ndio aondoke hawezi kuachwa hivihivi,na alivyokuwa mtundu wa kupika,Hassana alikamatika hasa ndio maana wanasemaga mwanamke mapishi bwana. Ilipita kama mwezi mzima hivi,Hassana akiendelea kumsugua Agnesi.Siku hiyo akiwa amelala hana hili wala lile,asubuhi hodi ilibishwa mlangoni kwake.Hassan alijua tu ni yule mama ndio anabisha maana ni kawaida imeshakuwa,,,,INAENDELEA SHINDU LA KIHAYA-19 Ile kufungua mlango,alimkuta mtu tofauti kabisa na hakutegemea,yeye mwenyewe alihamaki kwanza kwani mtoto alikuwa mzuri usipime, ,,,mambo vipi,,,alisalimia Hassan ,,,safi,,,alijibu mtoto huku akitabasamu ,,,karibu ndani,,,alimkaribisha kwa sauti fulani ya kukoroma ,,,ahsante,,, Hassan alihisi kama ngekewa,hapo alikuwa ndani ya pensi fulani ya kijanja na vesti yake zinazotaka kufanana rangi,mtoto alipita mpaka ndani bila uwoga wowote na kwenda kukaa kwenye kochi. Hakuwa mwingine,alikuwa ni Lisa.Hassan hakujua kuwa huyo ni mtoto wa mama ambaye anamsugua na kumweka mjini,tayari alishamtamani kwanza,Lisa mwenyewe alivyovaa likuwa ni utata tupu,alivalia gauni fulani lililomwishia juu ya magoti,lilimbana na kumchora umbo lake vyema la kimahaba,hapo kifuani mwake ni kama hakuvaa kitu ndani maana Chuchu zilichomoza na kuhamasisha hasa. ,,,najua hunijui ila napaswa kukuita baba,,,alisema Lisa ,,,kwanini unasema hivyo,,,aliongea Hassan huku akiweka tabasamu usoni ,,,mi mtoto wa Skola,,,alijitambulisha,hapo ndipo akili zilimjia vizuri na kumwangalia vyema,picha alikuwa ameshaonyeshwa lakini hakutegemea kabisa kukutana naye kwenye mazingira hayo,hivyo alimkumbuka ,,,mmmh,ngoja nimuulize kwanza,,,aliposema hivyo alichomoa simu na kujifanya kama anataka kumpigia ,,,hapana usifanye hivyo,ye hajui mi niko wapi,,,aliposema hivyo Hassan aliaghirisha zoezi hilo,tena aliposikia kuwa mama yake hajui kama yuko hapo,ndio moyo ulifurahi kabisa na kuhisi anaweza kufanya jambo Hassan alianza kujihangaisha huku akichangamka hasa kwani Lisa alikuwa sio mchezo,ushawishi wake ni hatari sana.Kwanza alipokaa tu kwenye kochi yale mahipsi yake yalitanuka zaidi halafu tumboni flati,kifuani ndio usiseme.Haraka kidume kilikwenda kutafuta supu na chapatti.Lisa hakujivunga,alikunywa vyema kisha akashushia na soda ya baridi. Musa,rafiki yake kipenzi na Hassan,ambaye ni mzito sana kwenye suala la kuongea na wasichana yaani kutongoza.Aliingilia kati mchezo na kumkuta Lisa ndio anamalizia chakula,baada ya kusalimia Musa,alikaribishwa chakula ambapo kwa sura ya upole alijibu ameshiba.Moyoni Hassan alikasirika ujio huo wa Musa ila kwa nje alionyesha kufurahi. Hassan hakufanya hata utambulisho kwa jinsi alivyo na roho mbaya,kila wakati macho ya Musa yalikuwa kwenye mapaja mazuri yaliyonona ya Lisa,yaani aliyatolea macho ya matamanio yale ya waziwazi kabisa.Lisa alijua kabisa wakati anayopitia musa hata Hassan,kwa makusudi Lisa alimkonyeza Musa,e bwana mapigo ya moyo yalianza kumwenda mbio Musa mpaka alipoongeleshwa na Hassan alijikuta akishindwa kutamka maneno vyema. Alichokifanya Hassan ili kuendeleza harakati za kumvutia mtoto kwenye box.Alimtoa nje Musa na kuanza kumpanga,Lisa naye kwa umbea alijivuta mpaka usawa wa mlango ili kusikiliza ,,,sikia,we hujui kuongea,potea kabisa eneo hili,chukua hii buku tano,,,Hassana alisema hivyo ,,,kaka lakini mbon amenipenda bwana,,,alijibu Musa na kutaka kurudi ndani,kwa kukonyezwa alishahisi kitu.Hassana alicheka kwa nguvu kabisa kisha akarejea ile sauti yake ndogo ,,,una kichaa wewe,mtoto mzuri huyu utampa nini,,, ,,,sa sikia,kila siku mi unaniona mjinga sijui kutongoza,acha niende ndani nikaongee naye,nikishindwa kutoka naye,mi nitaondoka,,, ,,,poa nenda,,,kwa Dharau Hassana alijibu hivyo ambapo alijua Musa hata angeenda kuongea nini asingekubalika. Kiukweli hata dakika haikupita,Musa alitoka na Lisa nje tayari kwa kuondoka,walimkuta Hassan nje kisha Lisa ndiye aliyeaga ,,,baba natoka kidogo,ili mradi nimeshapajua nitakuwa nakuja,ahsante kwa supu,,,kauli hiyo ilimpa wakati mgumu Hassan kujibu lakini alijikaza sana ,,,sawa,lakini mbona unawahi sana jamani,ngoja niwasindikize,,,alisema hivyo na kumkata jicho la husuda Musa aliyekuwa akikenua meno nje kumcheka ujinga Basi wakaanza safari wote watatu,walivyojipanga tu ilikuwa maumivu kwa Hassan,yaani mtoto sijui alipenda nini kwa Musa ghafla.Akajikuta anamshobokea jamaa ambaye hata hawezi kutongoza.Lisa alkuwa pembeni kabisa akiwa ameshikana mkono na Musa,Hassan alimfuatia musa,basi hapo Musa tayari dudu lilishasimama kushika mkono tu ,,,sio mbali sana,,? ,,,hamna ni bajaji tu tunafika,,, ,,,pasiwe mbali bwana,,, ,,,usijali muda si mrefu tutafika,,,maongezi hayo kati ya Musa na Lisa,yalimchoma moyo moja kwa moja Hassan na kumfanya awe kama mtu anayetaka kulia.Alitamani aichukue elfu tano yake aliyompa Musa ili aondoke,matokeo yake elfu tano hiyo ndio ilitumika kumsafirisha Lisa mpaka kwenye gheto la Musa Roho ilimuuma kumwona Lisa na umbo lake tamu kupanda bajaji na kuelekea gheto kwa Musa ila hakuwa na jinsi,mtoto alijituliza kwenye bajaji,mara amshike bega na kuegemeza kchwa chake,mara washikane mikono ndani ya bajaji ilikuwa raha tu kwa Musa,kiukweli Musa alikuwa ndotoni kabisa. Walipofika gheto ndio kabisa hakuamini,sasa kwa Musa ilikuwa ni tofauti,alikuwa anakaa kwenye nyumba fulani kubwa peke yake,aliachiwa na mjomba wake akae kwani mjomba huyo hakuwa na haraka ya kuhamia kwasababu anafanya kazi mbali kidogo.Nyumba ilkuwa na kila thamani ndani yake,Lisa mwenyewe alipapenda ,,,nyumba yako nzuri,,,alsifu Lisa ,,,kama wewe ulivyo mzuri,,,alijishangaa kufungua kinywa na kusema hivyo Musa ,,,mi mzur kweli,,? Alihamaki Lsa kwa makusudi ,,,kweli,hilo la kuuliza jamani,,, ,,,nihakikishie kamani mzuri,,,aliposema hivyo ndio alizua balaa mtoto wa kike,maana jamaa mwenyewe alikuwa na Ugumu hasa,,,ITAENDELEA KESHO SHINDU LA KIHAYA-20 Lisa alimsogelea mpaka kwa karibu,aliubana mdomo wake wa chini na meno kisha taratibu aliuachia huku akiupeleka mdomoni mwa Musa,masikini Musa wa watu alikuwa hajafanya mapenzi kitambo,alisisimka mwili mzima na kujikuta akilegeza mdomo wake bila kutarajia. Mtoto wa kike alifumba macho kuvutia utamu ambapo mikono yake taratibu aliipitisha shingoni kwa Musa,yaani midomo ilipogusana,Musa alijihisi kama anapaa,kule kusogeleana mpaka kugusana kabisa ndio ilimaliza kila kitu,mikono ya Musa ikawa inatalii kwenye kiuno cha Lisa taratibu bila shaka. Lisa akawa anamshikashika kimahaba kichwani Musa wa watu ambaye denda liliendelea,ndani ya mdomo mtoto aliuzungusha ulimi ipasavyo na kumsisimua kweli Musa.Kidume kilimwaga pale ambapo mikono ya Lisa ilishuka mpaka kiunoni mwake na kuingia ndani ya shati,ikawa kama inamkunakuna kimahaba,aisee kuna wanaume wengine huwa wanapagawa sana ukiwashika migongo,Musa alimwaga ambapo Lisa alishangaa kidume kikijihangaisha na kuzidisha nguvu za kumkumbatia,akajua tu kijana wa watu amemwaga. ,,,pole Musa wangu,,,kwa sauti ya chini sana,kuliko kawaida aliongea Lisa ,,,ahsante,,aliitikia kidume huku akijishtukia Lisa alimvuta Musa taratibu na kumtupa kwenye kochi.Akamfuata na kuanza kumvua shati na vesti yake,alipomaliza hapo alipiga magoti kama mtumwa anayetaka kuomba msamaha kwa bwana wake baada ya kukosa,kumbe Lisa ndani ya gauni yake alivaa chupi pekee tena bikini,basi mtoto kwa taratibu alijivua gauni lake na kubaki na bikini tu,mapaja yake manono sasa!,yalionekana laivu bila chenga,hapo kiunoni,kitovu kizuri kilichoingia ndani,rangi adimu aliyonayo Lisa vyote vilimfanya Musa ajione kama yuko ndotoni,hakujion akuwa anastail mtoto mzuri namna hiyo kumsugua. Alipomaliza kuvua gauni lote na kulitupa pembeni,alitembea kwa magoti na kuingia katikati ya mapaja ya Musa,taratibu bila pupa limfungua mkanda na kuishusha suruali,alipoivuta tu na kufika magotini,alijifanya ameshtuka jambo ,,,aaaah!,jamani umemwaga,,!,alishangaa hivyo akiwa anatabasamu Musa na uwoga wake alishindwa hata ajibu nini,alibaki kimya kama mzimu huku akitabasamu. Ni kweli Musa alikuwa hajui kuongea lakini sio kwamba ukimwonyesha shimo hajui kuchomeka,japo alimwaga,lakini dudu liliendelea kusimama,hapo lilikuwa ndan ya Boksa,Lisa alishusha ile suruali mpaka chini kabisa,alipoivua yote,sasa akawa anahema kuliangalia dudu la Musa lilivyotuna kwenye boksa yake,tena lilikuwa kama lnapumua vile ndani ya boksa. Alilegeza mdomo mtoto wa kike na kujaza mate ya kutosha,aliusogeza mdomo wake mpaka kwenye mtuno huo wa dudu,mtuno wenyewe ulionyesha dudu limeelekea kushoto,basi alitoa ulimi wake na kuanza kulifuatisha mpaka kwenye kichwa cha dudu hilo,,,aaaaaaaaaaaah,,,aliguna Musa ambapo mtoto alikiingiza kile kichwa mdomoni kikiwa vilevile ndani ya boksa akawa anafanya kama anakipumulia ile hewa ja moto mdomoni,Musa alijihis raha mpaka kuinua sura yake juu kwa utamu Taratibu alianza kuivua boksa yake mpaka chini kabisa,dudu la Musa liliachwa huru sasa liknesanesa,halikuwa imara sana,basi Lisa akaanza kazi ya kulifanya lwe imara ili miguso mnato ianze,aliutoa ulimi wake nje kama nyoka vile,alikuwa akucheza juu chini haraka haraka,alipokigusa kichwa cha dudu kwa staili hiyo,Musa alianza kuguna tu kwa utamu,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,ssssssssssssssssss,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,alilalamika Musa wa tu huku dudu lake likishughulikiwa kile kichwa tu,Lisa alipoona kdume knapagawa,aliliingiza lote mdomoni,alilizungusha na kulitekenya na ulimi wake hasa kwenye kichwa kile,Musa mwenyewe alishindwa hata kukaa vizuri kwenye kochi. Mikono yake laini Lisa aliipeleka mpaka kwenye kende na kuanza kuzitomasatomasa,nyege zilimpanda Musa mpaka akachanganyikiwa kabisa,dudu lilidinda vyema kiasi kwamba hata kurudi chin halikurudi,lilinesa lakini juu kwa juu.Hapo tena Musa hakufundishwa kitu.Alimshika uso Lisa kama anataka kumpiga kisha akaanza kumnyonya denda huku akimwinua taratibu. Dudu lake bado lilisimama hasa kama kijiti kilichochomekwa ardhini.Alimshika kiuno Lisa na kumvutia upande wake,mtoto naye alijilegeza hasa,Musa aliivuta ile bikini na kuikata mikanda yake kisha kuitupa kule,aliyavamiwa matako laini ya Lisa na kuanza kuyaminyaminya kama anachagua nyanya sokoni,,,,aaaaaaaaaaaah,,,bebiiiiiiiiii aaaaaaaaaaah,,,alilalamika Lisa ambapo ni kama alikuwa akmpandisha mizuka Musa. Bila ya kuambiwa Lisa mwenyewe,alijipanua mapaja na kujiandaa kukalia dudu la Musa lililosimama hasa,Musa aliliandaa lile dole la kati ambalo wengi huliita la matusi kisha akalipenyeza kwenye kitumbua cha Lisa na kuanza kumtekenya kiarage chake kilichosimama,,,aaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,musaaaaaaaaaaaaaaaaa,,aaaaaaaaaashiiiiiii,,,oooooooouuuuuh,,,eeeuuuuuuuuuwii,,,mtoto alilalamika kwa utamu mpaka alitia nyege tena.Basi Musa alipokuwa akimchezea kiarage chake,akawa anakishusha kidole chake chini taratibu huku akijua chini kuna dudu limesimama,naye Lisa alikuwa akikifuata kidole taratibu kwa alihisi utamu alipokuwa akitenywa kiarage chake,ilifika muda Lisa alishtuka na kupiga yowe la utamu,pale dudu la Musa lilipogusa mashavu ya kitumbua,,,aaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiii,,,taratibu mpenziiiiiiiii,,,,,INAENDELEA ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 01* Sehemu Ya Kwanza (1) KWA UFUPI: Kitendo cha Jerry kuharakisha kazini na kupuuzia hisia za mke wake katika hali ya ubaridi ndio kosa lake pekee, ni kwa wakati huo ndipo Lisa mke wa Jerry alipojikuta akivuta hisia za kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA ili walau atoe mshawasha uliokuwa umempanda asubuhi hiyo iliyokuwa na mvua za rasharasha na kibaridi cha kupuliza., Kitendo chake cha kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA lilikuwa kosa lingne tena . Kwani Lisa anakutana na mimkuno ambayo hakuwahi kukutana nayo hata siku moja katika maisha yake, mavituzi hayo yanamdumbukiza Lisa mzima mzima katika dimbwi zito la mapenzi ya MUUZA MAZIWA na kujikuta anasahau yote kuhusu mumewe(Jerry). Ni nini hatma ya penzi hilo jipya na la wizi lililoibuka ghafla kwenye moyo wa Lisa, na vipi kuhusu ndoa yake na Jerry itaweza kudumu kama tayari iimeshaanza kutafunwa na MUUZA MAZIWA? Ungana na GIFT KIPAPA katika chombezo hii ambayo haita kusisimua tu bali pia kujifunza kitu kilichojificha katika mahusiano ya kmapenzi. SIMULIZI YENYEWE: Mvua kubwa ilinesha usiku uliopita, ahsubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la da es salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe siku kuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki. Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao. “Kidogo tu mume wangu jamani” No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!” Yalisikika mabishano hayo katika nyumba moja ya kifahari maeneo ya kimara Stop over. “jamani mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.” Aliongea kwa sauti nyororo iliyolegea, msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositili maungo yake. Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu. Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu. Mapaja yake laini yaliyo jaa jaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilicho jaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo. Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake, pozi alilokuwa amesimama liyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kweli kweli, makalio yake yallitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo , jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo. Mikono yake ilicheza cheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde. “jamani Honey njoo basi!” Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya , Jerry azidi kupagawa kimahaba, Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake. “Oh, Dear haraka basi!” Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga. “uh!” Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakii gusa gusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suluari lakini lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli. “Ah, honey!” lisa alilalama mara baada ya jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu, midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana, macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake. “ oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!” Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baaaa a kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table. “no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please” ( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezi kunifanyi hivyo mimi tafadhari ) Aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza, alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo. Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapa kazi haswana mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake. Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja. “jamani , honey kidogo tu” Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho. Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake. “mwaa” Alafu akampulizia mkewe. “Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi ) Kisha akatoka nje. “Honey!!” lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile. Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka. ITAITAENDELEA *MUUZA MAZIWA EP 02* Lisa alijitupa kitandani huku akilia. Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa mnyama. Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple. Kama ukishuudia mwenyewe jinsi kitumbua hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote huo bila hata ya kuonja na kukimbilia kuushurutisha mwili wake. Tako lote lile , chuchu zilizosimama na midomo laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa katika kuzungusha nyonga, lakini huyu mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha machozi yabubujike katika mashavu ya mwanamke huyo kwa kukataa kufanya nae mapenzi. “ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?” Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata pale kitandani. “Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba anaumwa?” Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani. Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini kama vilea anengua. “ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote hii” aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa, kubaki peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa huo. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote uliouwa umetanda katika mtaa huo. “fyonz” Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe yalimtosha. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya akereke . “sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda wazimu” Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo muona mtu ametoka na kumpa chombo cha kukingia maziwa. “nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa nachukua mara moja moja.” Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii itadumu masikioni mwake. Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza maziwa nae akaanza kuita. “MAZI….” Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao. “Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa kimya kimya mpaka utupigie kelele!?” Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua kichwa chake aligongana na macho ya Lisa ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau huku akiibenua benua midomo yake. “sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa chuchu na mkamua maziwa ?“ Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho Lisa. Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake ilipotea. “samahani” Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda kwa kasi. Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu zilianza kumwishia miguuni, akaanza kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na haja ndogo. “vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?” Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika. Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kui busu midomo yake. Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa, kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba. “Twende ndani basi” Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu. “Ni huku” Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe. Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake. “Aaaa, assii, muuza maziwa!” Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba. “Aaaa, assii!” Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya aanze kuhema nusunusu. “Utani_uua wee muu…” Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa. “Anza basiiiii…” “Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake” Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network. Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa. “Oh, honey anza basi sweety” Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu. “Auuh, Asii, Muuza maz….” Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa. “Auuh, Taratibu basiiiiii!” Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “Ngo, ngo, ngo” Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana. Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha . Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe? Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa. “Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?” Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa . “ngo, ngo , ngo” Ilisikika tena hodi ya mlango.. Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango. Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda wanacho lala pamoja. “fyouz” Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. ITAENDELEA MUUZA MAZIWA EP 03 ILIPOISHIA….. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. MUENDELEZO WAKE : Mambo yote aliyokuwa akiyafikiria dakika chache zilizopita kuhusu muuza maziwa yalijirudia tena kichwani mwake, na kuushuudia mshawasha ukimpanda tena kwa kasi ya ajabu nukta chache toka hapo Lisa alikuwa hajiwezi kabisa. Alikuwa mahututi kiasi kwamba kama asingelimpata daktari bingwa basi tiba kwake ingelikuwa ni ndoto. “Eti dada hauchukui maziwa niondoke?” Muuza maziwa akamua kuuliza tena swali lake baada ya kuona muda unapita hajibiwi chochote. “Subiri nakuja!” Lisa aliitikia haraka haraka “haraka basi” Muuza maziwa aliongea Kwa kujivuta Lisa aliutupa mto aliokuwa ameukumbatia pembeni na kisha akachukua khanga na kujifunga. “nitamnasa tu!” Aliwaza Lisa huku akielekea nje ya chumba hicho , alipofika kwenye mlango wa kutokea nje aliufungua huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu. “karibu!” Lisa aliongea kwa sauti laini na nyororo yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni. “asante , mh , nimekusubiri sana ujue?“ Muuza maziwa aliongea “Oh pole sana lakini usijali” aliongeaLisa kwa sauti ileile ya kimitego huku macho yake akiyarembua. “ishapoa, nipatie chombo basi nikupimie maziwa basi” Aliongea muuza maziwa huku akimwangalia Lisa kwa jicho la wizi .macho yake yalishindwa kukwepa kuangalia uzuri alikuwa nao Lisa , hasa kwa pigo lake la khanga moja ndio lilizidi kumaliza muuza maziwa. “njoo ndani basi unipimie” Lisa aliongea na kisha kutangulia kuingia ndani, muuza maziwa nae alifuata nyuma na maziwa yake. “funga mlango!” Lisa aliongea na kisha muuza maziwa alifunga. Kwa jinsi Lisa alivyokuwa akitembea basi ndio alikuwa akipoteza kabisa network za muuza maziwa. Makalio ya Lisa yalikuwa yakitisika kila alipokuwa akipiga hatua, Muuuza maziwa alijikuta anatokwa na udenda , Lisa akageuka nyuma ghafla na kumfumania muuza maziwa akiwa ameduwaa kuyaangalia makalio yake, akatabasamu akijua tayari samaki ameingia kwenye wavu, hapo hapo akaitegua khanga aliyokuwa ameivaa na kubaki mtupu kabisa. Muuza maziwa alitoa macho na kujikuta anadondosha maziwa yake chini na kujishika kichwa kwa mikono yake yote miwili. Chupa ya maziwa ilipasuka na maziwa yakamwagika lakini muuza maziwa hakujali. “Ahayaaaaa!!!!!!” Muuza maziwa aliongea kwa kuropoka huku akiwa ameuacha mdomo wake wazi akistaajabu kwa kile alichokiona. Kilichomshangaza zaidi muuza maziwa ni badala ya Lisa kuokota khanga yake na kujistili, alianza kupiga hatua za taratibu akimsogelea huku macho yake yakiwa yamelegea kabisa. “Mwaaa!” Lisa akambusu muuza maziwa shavuni, busu lililomfanya muuza maziwa asisimke mwili mzima na dakika hiyo hiyo mashine yake ilisimama tayari kwa kutandika bakora. Kwa ujasili Muuza maziwa aliunyanyua mkono wake mpaka kwenye shingo ya lisa , ambapo aliuterezesha mkono huo moja kwa moja mpaka kwenye chuchu na kuanza kuzibofya taratibu. “Asssii!” Lisa alilalama pale Muuza maziwa alipozitomasa chuchu zake, huku mkono wake mwingine akiushusha mpaka kiunoni na kuanza kuchezea shanga moja baada ya nyingine. “Aauuuu!!!!” Lisa alilalamika pale muuza maziwa alipombusu kama mfaransa yaani ulimi wake kwenye sikio lake. Na huo ulikuwa mwanzo tu wa vimbweka vya muuza maziwa. Lisa alishakuwa hoi alishindwa hata kusimama vizuri , Muuza maziwa aliligundua hilo akambeba juu hadi sofani., na huku ndiko alikoanza upya manjonjo yake. Alianza kunyonya chuchu za Lisa kwa mdomo wake na taratibu alianza kushusha ulimi wake huku akiuchezesha chezesha kama wa nyoka na kuushusha mpaka sehemu za kitovu. “Assiii!!, we muu….” Lisa alizidi kulalama kwa hisia huku mwili wake wote ukisisimka . Muuza maziwa hakuishia hapo alizidi kuushusha ulimi wake mpaka kunako chumvini na bila kusita aliifakamia chumvi hiyo. “Assii, ahh sisss!” Lisa alizidi kulalama huku network yake ikiwa imekata kabisa msisimko wa kweli ulikuwa umemtanda pale muuza maziwa alipokuwa amemkazia kama vile amempania. “sibakishi kitu leo na hakikisha patupu” Aliwaza muuza maziwa akwa ameshikilia mapaja ya Lisa yaliyokuwa yame jaa jaa kiuakika Nusu saa ilikwisha katika Muuza maziwa bado alikua ajachoma sindano kwa mgonjwa wake “aanz-a , basiii, muuu_za ma….!!”. Lisa aliongea kwa kigugumizi huku akisisimka kwa manjonjo ya muuza maziwa , aliona muuza maziwa anachelewa kuanza dozi , Muuza maziwa hakutaka kuipoteza nukta nyingine tena akaanza kusalula viwalo vyake kwa haraka kama vile anakimbizwa. Kila kitu alitupia kwake , shati huku suruali kule, alibaki na kufuli alipotaka kulitoa tu Lisa alimzuia kwa ishara , Muuza maziwa hakupinga akamuacha afanye atakacho. Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. wa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. MUENDELEZO WAKE : “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. Kwa ghafla Lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza Muuza maziwa kwenye sofa, Muuza maziwa hakuelewa kwanini Lisa amefanya hivyo, akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya , alimwangalia Lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia Muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo Fulani. Muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini Lisa alimsukumiza tena palepale , hakuelewa kwanini Lisa anafanya hivyo , alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata.. Lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu. “Asiiii” Lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa. “asiiii, auh, aauuh!!!” Lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu . Muuza maziwa alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza Lisa alivyokuwa akijipampu. Asiiii” Lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia, taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno. Dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile, Muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake. Akamnyanyua Lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka. “Auuh, taratibu, muu-za ma……..” ITAENDELEA. ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SITA (06) ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO: Siku ya pili, vicent alitoka mapema nyumbani, aliwahi shule kabla hata ya rafiki zake. Hii yote ni kutokana hata usingizi haukupatikana,kutokana na mawazo aliyo nayo. Alikuta baadhi ya wanafunzi wapo darasani, Alifika akakaa kwenye kiti na kufungua begi,kuchukua kitabu na kuanza kusoma. Ila hata sijui nini kilimtuma kutazama mbele maaana alijikuta anatoa macho. ENDELEA....... Alijikuta Anatoa macho, baada ya kuona,marafiki zake nao wamewahi shule. Aiseeee vicent alichekaaaa sana, mpka akajishika tumbo. "hadi nyinyi mmewahi leo aaah kweli mtihani siyo poa".aliongea vicent huku anawatazama kwa zamu. "mimi mwenyewe sijaamini nilivyo kuona ndo maana nikasimama mlangoni nihakikishe ni wewe au hahhhhhah".aliongea Richard huku anaelekea kule alipo vicent.ila cha kushangaza suma akuchangia neno zaidi ya kuachia tabasamu na kutembea kwenda walipokuwa wenzake. "aiseeee kama tuliambizana yani"aliongea tena vicent. Hapo suma ndo na yeye akanyanyua,mdomo wake na kuongea. " hivi unajua kwanini nimeshindwa kuongea chochote?,nikwasababu naona uchuro hapo nje nimekutana na rich, hapa nakuona wewe, nikawa najiuliza hivi hawa waliambizana nini mimi wamenichunia ila nimewabamba".aliongea suma,huvu anavuta kiti anakaa. "hii ili iweje sasa imetokea tu"alijibu richard. "sisi hatuwezi kukufanyia hivyo kwasababu sote ni wamoja". Alisema vicent, suma hakuwa na neno. " oyaa tusomeni basi kabla muda wa kwenda mstalini aujafika"aliongea tena vicent. "poa mwanangu umeongea point" alijibu suma.basi kikapita kimyaa,kila mtu alifanya yakeee kwa muda huo. ******* Mwezi ulipita,hatimae miezi, na si vicent, wala niram aliye kumbuka kama walishawahi kuonana. Basi ilikuwa weekend, moja walionekana marafiki, watatu wakiwa wamesimama stendi ya mabasi,si wengine bali ni vicent, richard na suma wakiwa wamevalia nguo za nyumbani.ilibaki kama wiki mbili wafanye mtihani. Ilionyesha kuwa walikuwa wamelewa kwenye maongezi sasa sijui vicent, walikuwa wanasubiri usafiri maana vicent hakuwa na gari siku hiyo. Mara gaflaa walishtushwa na sauti, nyororo iliotokea,barabarani. "vicentiiiiiiiiiiiii" ilikuwa sauti ya niramu, aliekuwa ndani ya range nyekundu, huku akiwa amependa,kupindukia wanasemaga kadamshi, ile mbayaaaa. Wote macho yalikuwa mbele,ila hakuna mtu alieshtuka kama vicent, maana akutegemea kuonana na binti yule ana muwaza siku zote. Na ilikuwa muda Awajaonana. Kiukweli vicent, moyo ulikuwa unampenda mbio vibaya.ila alijikaza, huku nyuma suma pamoja na richard, aisee!! Macho yaliwatoka maana walishindwa kuelewa, wanae muona machoni mwao, ni jini au malaika. Vicent alijikongoja mpaka kwenye dirisha la gari, na kumsababishia niram. " mambo niram siamini kama ni wewe, kumbe unani nakumbuka? ".alijikuta anaongea mfululizo vicent huku akiuliza, swali humohumo. "poa vicent, nakukumbuka sana vp leo huna usafiri? Maana naona kama mpo wenyewe mnasubiri usafiri? ".aliuliza niram,huku macho akiwaelekezea wakina rich. "aaah ndiyo tunamsubiri dereva tax mmoja hivi,katuambia hayupo mbali".alijibu vicent huko akiangalia huku na kule kama anaetafuta kitu. "haah kwani mnaelekea wapili niwape lifti?maana mimi naelekea mbezi"aliuliza niram. Vicent akapiga mahesabu ya haraka,alafu akaongea. "aaah! Wale wanarudi nyuma ila mimi naenda kunduchi" alijibu vicent. Ila wadau ngoja niwaambie kitu, vicent ameongopa, kwasababu wenzie wanaenda kawe sawa yeye anaenda kunduchi, ila njia ni ileile wameachwa wakina suma, yeye angeendelea mbele, ila aliamua kusema vile ili aweze, kutupa ndoano Kiulaini. Tuendelee, basi niram akamwambia "basi twende nikupe lifti waage wenzio".vicent akachomoka na kuwafata, wenzie alimkuta suma anashauku si mchezo. " vipi yule ndo yule demu uliesema? Na anaelekea wapi ili atupe lift basi kama vipi" alijikuta anaongea maneno,mfululizo na swali juu. "hamna aendi huko kaniambia nimsindikize kariakoo".aliongea vicent huku anageuka nyuma, akagongana macho na niram,wote wakatabasamu. "duuuh mwana kwahiyo umetuacha? ".aliongea richard huku anakazia macho kwenye gari. "aaah aina jinsi ila chukueni hii mpande tax".alisema vicent huku anazamisha mkono mfukoni na kutoa noti tatu za elfu kumi akamkabidhi suma. Suma alizichukua na kuzitia mfukoni. "oyaaa Usikose kutupigia ukifika home"alisema rich. Na suma akadakia. "ndiyo utupe data zote maana duuuh! Mpaka nakuonea wivu".vicent hakutia neno aliishia kutabasamu huku Anaendelea kutembea, basi aliingia ndani ya gari, huku ukimya mwingi ulitawala.vicent akaona avunje ukimya, "basi nilijua utanisahau kabisa".aliongea Vicent Huku ametoa tabasamu hafifu usoni mwake, Huku macho yanatazama mbele. "Ooooh!!Hapana siwezi kukusahau,mtu muhimu Kama wewe Kwa ule Msaada wako ".aliongea Niram,huku anamwangalia Vicent, macho yakakutana, wote wakatabasamu, Niram akageuka mbele na kuendelea, kuushika usukani akizidi kukanyaga mafuta. "hahhhhah!! Ni kweli niram lakini Siyo wote wanao kumbuka fadhila".aliongea Vicent ,Huku kimoyomoyo akiomba wasifike haraka. "haaahhh sawa bwana Wala ujaongopa, ".aliongea niram,huku akizidi kuuchapa mwendo, na bahati nzuri hakukuwa na foleni. "niram nikuombe kitu Kama hutojali? ".aliuliza Vicent Huku amemgeukia kabisa, aliongea Kwa sauti nzito, tens yakubembeleza. "usijali Kama kipo Ndani ya uwezo wangu ntakupa".alijibu niram. Vicent hakaona asizubae Sana, akasema alilokusudia."nilikuwa naomba unisaidie namba yako ya simu ili niwe nawasiliana nawe hata kukujulia Hali,maana tushakuwa marafiki".aliongea Vicent,kwa umakini wa hali ya juu ili asije kukosea step,akamkwaza Niram. " Ooooh!! Wala usijali Kwa hilo".alisema niram, huku anamtajia namba zake. Vicent aliziandika kwenye simu yake. " asante sana".alishukuru vicent. "asante nawe kwa kushukuru".alijibu niram, mara ikawa kama vituo viwili vicent ashuke. "sasa niram mie nashuka hapo kituo kinachofuata utaniacha hapo" aliongea vicent, lakini kama ungemuona moyoni mwake, alichukia kupita kiasi, alitamani wazunguke mpaka alfajiri. Duuuuh kweli mapenzi siyo poa wadau. "haaah ni hapo oky sawa"alijibu niram, na alipofika, akakanyaga break, na kusimamamisha gari. "oooh!!asante sana umenifaa mungu akufikishe salama".aliongea vicent huku anafungua mlango wa gari na kushuka. "haya asante ufike salama pia".alijibu niram, akawasha gari na kuishia, vicent alibaki anampungia mkono, mpaka alipo ishia. Kiukweli ile siku aliiona ya bahati sana kwake, hakika alikuwa na furaha mno. Alifika kwao. Akagonga geti likafunguliwa, alikuta mlinzi akamsalimu, na kuingia ndani hakumkuta yeyote ndani zaidi ya house girl. Alimsalimia akajitupa kitandaniii , pwaaaaaaah!! Aliangalia sana juu vicent, hakika kuwa na namba ya niram,kwake ilikuwa ni furaha tupu. ********* Vanessa alikuwa mezani wakipata chakula cha usiku, maana leo ilikuwa weekend kwahiyooo alikuwa mwenyewe jikoni, ila leo mawazo yalipungua kwani mawasiliano yalikuwa kama zamani na hadi asubuhi ya siku hiyo, vicent alimuaga kuwa atatoka na wakina richard. Mara ghafla alishtukia, akizibwa macho. "mmmh juliana nini bwana,ebu acha mzaha njoo ule"aliongea vanessa. " mmmh dada kwahiyo wewe mtu wako wa karibu ni Vanessa tu? ".aliuliza kwa manung'uniko Clara. Mdogo wake wa nne akitoka huyo ndo juliana, kumbuka wakiume ni wawili kwenye familia yao na ndio wakwanza na wapili. "hamna mamy wote nawapenda ila nilijua yeye, kaa chini ule mdogo wangu".aliongea Vanessa kwa sauti ya kubembeleza,huku akimvuta akae. Basi mambo yakaisha,walikula kwa furaha, wazazi na kaka zao hawakuwepo, walibaki wenyewe. ********* Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita...... Itaendelea CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SABA (07) ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA: Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita. endelea........ Mara gafla akaona simu inaanza kuita. Niram akaangalia mpigaji, akaona namba ngeni. " mmh! Atakuwa Nani huyu?".alijiuliza niram, alitafakari Sana maana sikawaida kupigiwa na namba ngeni, baada ya kutafakari kwa muda.akaamua kupokea. "hellow".aliitika niram. "hallow Niram huko poa?, Vicent hapa". Ilisikika sauti upande wa pili."oooh! Vicent nashukuru mungu niko poa sijui wewe ulifika salama? ".alijibu niram nakupachika swali. "nilifika salama niram hofu ilikuwa kwako".alisema vicent. "namimi nashukuru mungu nimefika salama".alijibu niram kwa sauti nyororo kabisa. ****** Vanessa alikuwa ndani kwake akaona mbona muda unaenda sana,na ajaona msg wala simu kupigwa kutoka kwa vicent. Alikaa akasubiri na kusubiri weeeeh lakini ikawa kimya. "mmmh!! Ina maana itakuwa ajarudi bado huko alipoenda"alijisemea mwenyewe, akaona muda unaenda lakini simu aipigwi. "mmh ngoja nipige"aliamua apige yeye, akachukua simu yake na kuipiga. Jibu alilokutana nalo ni NAMBA UNAYOPIGA INATUMIKA KWA SASA.. "mmmh saa tano hii au ndo amerudi hivyo anaongea na wenzie kuwa julisha kuwa amerudi?".alijiuliza jibu akakubaliana kuwa anawasiliana na rafiki zake. ****** Huku vicent akiwa anaongea, akaona kama kuna mlio wa simu nyengine kuingia akaiangalia , alipoona mpigaji kuwa ni Vanessa akaendelea kuongea. Simu iliita mpka ikakata. Waliongea mengi na baadae niram akaaga kuwa anahitaji kupumzika. Basi waliagana na simu ikakatwa. Baada ya hapo alipiga simu kwa Vanessa,huku Akiwa ameshaupanga uongo wa kumwambia. "hellow baby mbona kimya, na napiga unatumika?".aliongea vanessa mara baada ya kupokea simu. "aaah amna nilikuwa naongea na mzee maana mchana,hakuwa na nafasi ndo kunitafuta sasahivi".alijibu vicent kwa ujasiri wa hali ya juu,bila kubabaisha maneno. "oooh kumbe haya niambie mizunguko ilikuwaje? ".Aliuliza Vanessa huku alibadili mikao ya kila aina Hapo kitandani. "ilikuwa poa sema nimechoka sana".alijibu vicent huku akijifanya anapiga mihayo. "oooh basi pumnzika baba angu tutaongea kesho".aliongea Vanessa kwasauti fulani hivi ya madeko. "sawa mama ntakuchek kesho ulale salama"alimaliza kuongea vicent akakata simu. Alienda moja kwa moja bafuni akaoga, maana choo kilikuwa ndani kwake humohumo. Alipomaliza alitoka sebleni muda ulikuwa umeenea sana ila alikuwa bado ajala, alikuta msichana ameshaenda kulala,aliwasha taa ya sebuleni akachukua sahani jikoni nakuenda kula chakula. Mara ghafla akasikia mlango unafunguliwa alikuwa mama yake, "yani wewe Bwana mi nilivyorudi nikaambiwa upo ndani nikajua ushakula".aliongea mama yake vicent,huku anavuta kiti pale sehemu ya kulia chakula akakaa. "hapana mama uwezi amini yani nilipitiwa na usingizi nikalala ndo nimeshtuka sasa hivi".aliongopa vicent, aisee huyu jamaa hatari."ooooh pole baba ni uchovu tu huo"aliongea kwa huruma mama yake. "asante mama".alijibu vicent huku anafakamia wali kwa maini. Basi waliongea mengi mama mtu alinyanyuka, na kuenda kulala. "ukimaliza usisahau kuzima taa baba".aliongea mama yake. "sawa mama ntaizima".vicent alikula akashushia juisi, akaelekea kwenye swichi akazima taa na kuenda kulala. ******* Pilikapilika zilikuwa zinaendelea, katika nyumba ya kina niram.ilikuwa Jumapili kulikuwa na ugeni mkubwa kwao, kuna ndugu zao walikuja.basi yalipikwa masontojoo siyo ya kawaida. Zilisagwa juisi za matunda basi ilikuwa tafrani. Niram akutulia alikuwa bize vibaya. "niram ebu kuongezeae chumvi kwenye biriani kule".ilikuwa sauti ya mama yake. "sawa mama".alijibu huku anaacha alichokuwa anafanya na kwenda kuweka chumvi kwenye chakula. Kila kitu kilikuwa sawa sasa niram alikuwa chumbani anajiandaa akaoge. ******** Suma alipoona ajapigiwa jana, akaona isiwe kesi ngoja amchek yeye maana umbea ulikuwa unamuwasha mtoto wa kiume huyu. Akukubali kitu kimpite hivihivi,yani alikuwa tofauti na richard mwenzie hakuwa mpenda kufuatilia yasiyo muhusu. Basi aliweka vocha akampigia "oyaaa mwanangu unayumba"haliongea suma ."hamna nilichoka sana yani uwezi amini ".alijibu vicent. "eeeh ilikuwaje jana na yule mtoto mzuri?".aliongea suma huku akitegesha masikio vizuri kupata udaku "hahhhhah suma eeh nna kazi kama unataka kuhusu hiyo stori ntakupigia baadae " "ok poa basi usisahau ".alijibu suma huku anakata simu. Ila suma akakumbuka kitu ayaaaaaah!! Daaah!!.Nimesahau kumuuliza Kitu, yeye na haraka zake mpaka nimesahau".aliongea suma huku anamlaumu vicent,kwa uamuzi wa kukata simu haraka. "anyway nitamchek baadae".aliongea suma, mara kisimu chake kikaanza kuita."duuuh huyu somoe ana mpya gani nae mi leo nnampango wa kuonana na hadijaa".alijiseme suma kimoyomoyo ,huku anaangalia ile simu bila kuipokea. Labda niwafafanulie vijitabia vya huyu ismail au kwa ufupi ndo unaweza kumuita suma. Yani suma yupo tofauti na wenzake, suma kwanza ni mwingi wa habari,anapenda kujua mambo ya watu ni mwongeaji mno kuliko wenzake.ajatulia hata kidogo isimpitie sketi mbele yake lazima amfate tu, ila richard na vicent wapo tofauti sana na yeye, richard ana mahusiano na binti mmoja anasoma, shule tofauti na yao. Na ni huyohuyo tu ndo yupo nae. Lakini suma weeeeeeh!! Mwiko mkubwa tena uchuro, kutulia na mwanamke mmoja. Basi baada ya simu kukata akaizima na kuendelea na mambo mengine. ******* Ilikuwa ni mida ya jioni. Wageni wameshaondoka, nyumbani kwa kina niram. Na mama yake kama unavyomjua mtu wa pilikapilika usiseme, alikuwa ameshaenda kuzurura muda mrefu. Aaaaah ahhh!!,sijui muhindi gani huyu mwenye tabia za Kiswahili.ok tuachane nae tuendelee. Basi niram alikuwa amekaa sebuleni peke yake, maana mdada wa kazi hupendelea kukaa ndani kwake kama kazi ameshazimaliza. Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. Itaendelea.... ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA KWANZA (01) Ilikuwa alfajiri moja nyepesi, katika jiji la dar-es-salaam, katika mtaa mmoja tulivu sana mbezi beach, dio kwanza nikama pilika zilikuwa zinaanza, yalionekana magari machache ya kifahari, yakikatiza kwenye viji barabara vya mtaa, na kupoteea barabara kuu, watu wakikwep foleni kwa kuwai makazini na mashuleni, au sehemu mbali mbali za kijamii, mapema namna hii, huku watu wachache walio tembea kwa miguu wakionekana wakitembea haraka kuelekea barabarani, Ndani jumba moja la kifahari lililo zungukwa na uzio(fensi) wa ukuta mkubwa, ilisikika sauti ya msichana mmoja, mrembo mwenye asili ya Kihindi akiongea na mama yake, ilionekana alikuwa anataka kutoka. "mama mi naondoka naenda shule, maana kuna mitihani muhimu nawahi ingekuwa bila ya hiyo mitihani nisingeenda" alisikika binti mwenye sauti kinanda, akimwambia mama yake, ambae pia, ni mwenye asili ya Kihindi,japo alionekana ni mama wa makamo, lakini akika alifanana na binti yake., maana unge weza kuona uzuri wa mama huyu, japo tayari alisha kuwa mkubwa, "basi haya, chukua gari hiyo nyeusi, uwahi mwanangu" alisema mama huyu huku anawonyeshawanae funguo ya hili gari alilo mtajia, "hapana mamy, ntaomba lifti huko huko, leo sijisikii kuendesha" alijibu binti mrembo, huku akichukuwa begi lake juu ya meza na kuanza kuondoka, akiufwata mlango mkubwa wa kutokea nje. "haya basi baadaye mwanangu, jitazame huko uendako" aliongea mama huku anamsindikiza kwa macho binti yake, ambae toka akiwa mdogo amekuwa nae makini sana, ungesema amezaliwa peke yake, "ok mumy" alijibu binti chotara, huku anainua mkono wake na kuchezesha vidole, akimaanisha ana mpungia mkono mama yake, kisha akatoweka. Naam huyu ni binti mrembo NIRAM, ni binti wakihindi, mwenye sura nzuri ya kuvutia, macho ya duara, pua iliyochongoka vizuri, mwenye midomo mipana ambayo kila anapo tabasamu, basi uacha vijishimo mashavuni mwake, alikuwa na urefu wa futi tano, na pointi kadhaa, kifua cha wastani na tumbo dogo, kiuno chake kilibeba makalio ma nene kihasi na pia, vi hips vya kumwagika vilivyojazia na kuchomoza pembeni, vilizidi kumpendezesha, asa anapokuwa katika mwendo, kiufupi mdau wa story hii, ilikuwa si rahisi upishane nae, ushindwe kumgeukia, iliuone uumbaji. Huyu anaitwa Niram Popat, baba yake ni mfanya biashara mkubwa, na kwa sasa yupo nchini Uingereza, kwa shughuli zake za kibiashara, binti huyu akualiwa peke yake, Niram alikuwa na kaka yake, ambae kwa sasa yupo chuo kikuu cha Indira Gandhi nchini india akijichukulia masters yake, kifupi katika familia yao wamezaliwa wawili tu! yani yeye na kaka yake, Niram alipendwa kuliko kawaida. Hiyo ndo historia fupi ya niram, ebu tuendelee na kisa hiki cha Chaguo langu, Niram alitembea taratibu akiongozana na watu waliokuwa wanaelekea huko kwenye kituo cha dala dala, dakika chache baadae, Niram alifika kituoni, nakuwakuta watu wengi wakisubiri usafiri,binti huyu, alijitenga pembeni kabisa na abiria wengine, usafiri ilionyesha ulikuwa wa shida sana siku hiyo, maana magari yalifika pale yakiwa yamesha jaa, hivyo waliofanikiwa kupanda, walijibana kama nyanya kwenye matenga, Niram alijikuta ana kumbuka gari ambalo amelikataa nyumbani,”haaa, kwanini niliamua hivi?” alijilahumu binti huyu mzuri, ambae asilimia tisini ya wanaume waliokuwepo pale, walikuwa wanamkodolea macho, wakisanifu uumbaji, Lakini wakati anawaza hayo,mara ghafla ilisimama range nyeusi, mbele yake na paka shushwa vioo, ilionekana sura moja matata sana, ya mwanaume mtanashati, hakika alifaa kuitwa handsome wa Kiafrika "hellow" yule kijana ndani yagari alimsabahi Niram, nae akajibu kwa kichwa, yule jamaa akatabasamu kidogo, "naweza kukupa lifti? Aliuliza kijana yule. na Niram akuwa mbishi, aliitikia kwa kichwa kama kawaida yake, hapo ukafunguliwa mlango Niram akaingia. na kufunga mlango, sasa akawa ametulia kwenyeseat yake, huku macho mbele, akitegemea kuona gari linaondoka, na maswali yanaanza, lakini zika pita dakika kadhaa na gari halikuondoka. Muda wote haku endesha gari, alikuwa ameduwaa, kumshangaa msichana alie ingia garini mwake. Alizidi kushangaa "sorry kaka mimi nashuka vituo vinne mbele ndipo ilipo shule yetu"aliongea niram. Maskini kijana yule aligutuka, akababaika huku anaondoa gari, "oooh! aaagh sawa unasoma shule ipi dada?" aliongea huku gari ikienda taratibu "shadhiliya slamic internation school" alijibu Niram, "ooh ile shule ya kiislam "aliuliza kijana. "yap! nasoma kidato cha tano pale" alijibu niram "ok mi mwenyewe nasoma pale st joseph international school kidato cha sita "alisema kijana "aah kumbe" alisema Niram kwa uchangamfu kidogo, akiona kuwa yupo na mwanafunzi mwenzie, "ndiyo ninaitwa Vincent, sijui naweza kulijuwa juna lako kama hutojali?" aliuliza Vincent huku anatabasamu, kidogo wengee lilianza kumtoka, "mimi naitwa Niram..” alisema Niram lakini kama alistuka kidogo, “ooh! kaka nishushe unapitiliza" aliongea niram kwa mshtuko "ooh sorry, kwa kweli" alijibu Vincent,huku ana peleka mguu wake wkulia katikati na kukanyaga bleack, akippunguza mwendo na kuweka gari pembeni ya barabara, kisha akasimama, Niram alishuka, na akashukuru Vincent kwa kupitia kwenye dirisha la upande aliokaa, na kuondoka zake. Vicent alibaki kaduwaa, maana alishangazwa na uzuri wa aina yake, kwa yule msichana. "daah nimesahau kuomba namba" alijilahumu Vicent, lakini hakuwa na lakufanya, akawasha gari akasepaaa. Anaitwa Vicent Ngosha, ni mtoto wa mzee Emanueli Ngosha mfanya biashara mkubwa nchini Tanzania na nje ya nchi.Vincent alikuwa ni mvulana wa kisukuma, mama yake ni muhaya, Vicent ni mtoto pekee kwenye familia yao, ni familia yenye uwezo mkubwa, baba yake alikuwa mkoani kibiashara, hivyo alibaki pale nyumbani na mama yake, pamoja na house girl, Vicent alifika shuleni akiwa na mawazo lukuki, “ok! mdau huu nimwanzo wa mkasa huu wakusisimua, ...... CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA PILI (02) ILIPOISHIA SEHEMU YA KWANZA : Anaitwa Vicent Ngosha, ni mtoto wa mzee Emanueli Ngosha mfanya biashara mkubwa nchini Tanzania na nje ya nchi.Vincent alikuwa ni mvulana wa kisukuma, mama yake ni muhaya, Vicent ni mtoto pekee kwenye familia yao, ni familia yenye uwezo mkubwa, baba yake alikuwa mkoani kibiashara, hivyo alibaki pale nyumbani na mama yake, pamoja na house girl, Vicent alifika shuleni akiwa na mawazo lukuki. ENDELEA......... Vincent alifika shule akiwa na mawazo kibao. Aliwaza kwamba alikutana na jini au mtu wa kawaida, hakika alikuwa hayupo sawa alishachanganywa na mtoto wa Kihindi, akujua afanye nini ili aweze kuwa karibu na binti yule, akika Vicent likuwa katika wakati mgumu, alijikuta anatembea bila kujielewaakinyoosha moja kwamoja mpaka darasani, “dah! nime kuwa mjinga sana, ninge omba namba, mbona demu alikuwa poa kabisa” alijilahimu Vicent, akiwa amekaa kwenye kiti chake, na kuegemea meza, kama vile anataka kulala, "hey! niggar vipi mbona umezubaa mwanangu?, yani tumekutafuta pande zote, mpaka kule bustanini, kumbe umekuja kujichimbia class, tena hata assemble ukuja" Vicent aligutushwa kidogo na kuinua kichwa kumtazama alie msemesha, japo sauti alisha itambua, kuwa alikuwa Richard, ni rafiki kipenzi wa vicent, nikama Vicent aliganda kidogo, akimtaza Richard, ambae alishangazwa na rafiki yake,Richard akageuka nakumtazama kijana mwingine alie kuwepo pembeni yake, "vipi Rich mbona leo amepoa sana, yani kama amemwagiwa maji, unanini wewe?" alidakia suma rafiki yake mwengine. maana awakumuelewa mwenzao, Vincent akujuwa amjibu nani kati yao, na awajibu nini, hivyo aliishia kutabasamu kisha akajikohoza kidogo, na kuanza kuwaambia "yani leo najiona kama nipo ndotoni, kwa nilichokutana nacho" ilikuwa sauti iliyo jaribu kuonyesha msisitizo wakile anacho kiongea, "hahahahaha! kashaanza sound zake huyu" alisema suma, huku wote wanacheka,kabla mmoja wao ajakumbuka jambo, "hoya! alafu nimekumbuka, Vannessa alikuwa anakuulizia" aliongea Richard, kama unge msikia unge juwa kuwa huyo Vannesa, alikuwa anainshu muhimu sana na Vicent, maana aliongea kwa msisitizo, "mmh! yani huyo Vanessa naomba usinitajie, maana leo ana nafasi ya kuzungumziwa hapa" alisema Vincent, ila kabla ya kuongeza neno, mara ikasikika "waoooh! jaman baby nilikutafuta huko nje kotesijakuona" wote watatu wakageuza shingo zaona kutazama upande wa mlangoni sauti iliko tokea, macho yao yaka mshuhudia binti mrembo wa ki afrika, alie kuwa anatembea taratibu kuja pale walipo kuwepo wakina Vicent, huyu ni Vanessa alie zungumziwa, “mpaka nikawa na wasi wasi kuwa leo auto kuja” aliongea tna Vanessa, kwa sauti iliyojaa furaha na mania moyoni, Wakati hiuo tayariwanafunzi walishaanza kuingia darasani, Vanesa alienda moja kwa moja mpaka kwa Vicent na kumkumbatia kwa furaha, lakini cha kushangaza kijana huyu akuonyesha ushirikiano, ushirikiano kwa mrembo Vanessa, "baby una nini leo?" alihoji vannessa.kwa mshngao huku anajitoa kwenye kumbatiao lake kwa Vicent, "sina kitu"lilikuwa jibu la mkato,toka kwa Vicent, "sasa kwanini huko hivyo?" aliuliza tena Vanessa, kwa sauti iliyoanza kubadirika na kunyongea, huku wezao wakiwatazama, yani Richard na Ismail wenyewe wana mwita Suma, “nimekuambia niko sawa, unielewi wewe unataka nikuambieje” safari hii Vicent aliongea kwa sauti ya juu, iliyo jaa ukali wa wazi, kihasi cha kulitikisa darasa zima, sekunde kadhaa, wtu wote kimya, wakigeuza shingo zao na kuwatazama wakina Vicent, kwa mshangao. Kitendo hiki akikuwashangaza walewanafunzi wenzao peke yao, ata Richard na Ismail, nao walishangaa, Vanesa alitanzana chini kwa aiu, maana macho yake haya kuweza kutazama, macho ya wanafunzi wenzake me darasani, tenamacho hayo yalishindwa kuya zuwia machozi, ambayo yalianza kumtoka, akika binti huyu, akashindwa kuendelea kusimama mbele ya mvulana ambe sikuzote ame nae karibu, hivyo akageuka na kuondoka zake, huku anakimbia, akielekea nje ya darasa, "una nini mwanangu, mbona kama umeurugwa?" alihoji Richard, huku suma akidakia "mbona si kawaida yako mshikaji wangu" akika wakina Suma walionekana kusikitishwa na kitendo kile, ambacho awakukitarajia, kutokana na ukaribu wa wawili awa, hapo Vicent alikuwa ametulia nikama anawaza jambo, kisha akainua usowake taratibu, "sikilizeni niwaambie washakaji, mimi toka zamani niliwaambia kuwa, Vanesa simpendi, nyie mkasema ooh! mkubalie sijuwi hooooh! mtoto mzuri yule, et! shule nzima wanamfukuzia, bahati imekuja kwako, mala ooh! sasa nimegundua leo kuwa, mwanamke ninaempenda yupo, tena nimemuona, kwa macho yangu" alijibu vincent.marafiki zake wakatazamana kwa mshngao, huku wakimsikia Vicent anaendelea, "leo nimekutana na mwanamke ambae naweza sema ni wa ndoto zangu, sijawahi kujihisi hivi kabla, ila kwasasa ndo naanza kuhisi nimependa kwa mara ya kwanza" Vicent alizidi kuwashangaza marafiki zake, lakini kabla ajawaeleza zaidi juu ya mtoto wa Niram, mara Mwalimu akaingia darasani, na mazungumzo yakaisha kwa muda huo. ****** Vanessa ni binti mmoja mzuri mwenye sura ya duara macho ya kusinzia ana kimdomo furahi hivi cha rangi ya pink, nyuma amefungashia balaha, kiasi cha kupendezwa na kunguo yoyote atakayo ivaa, kifupi kila mwanaume, iwe mtaani au hapa shuleni, alikuwa anammezea mate, na rangi yake ya chocolate ndo kabisa, ilichangia uzuri wake kwa kwa kihasi kikubwa, ikichangia na urefu wake wa wastani,ila binti huyu Vannesa alivutiwa sana vincent mpaka akawa anashindwa kujizuia, japo alikuwa akisumbuliwa na wanaume wengi hadi walimu ila yeye limfanya Vicent kuwa ndie mwanaume wa ndoto zake, Vannesa alijitahidi kufanya kila njia na ushwishi, mpaka akafanikiwa kumfata na kumwambia, ukweli kijana huyu, Ilikuwa ni vigumu kwa vicent kukubali, maana hakuwahi kumpenda msichana, na hakujua afanye nini, ila vishawishi vilimfanya akubali, kwa maana yeye aliona labda ndo inavyokuwa mapenzi yapo hivyo, japo alisumbuliwa na wanawake wengi, ila vicent akuwahi kujihusisha na msichana yeyote yule. Kwahiyo Vanessa ni mwanamke wake wa kwanza, kimahusiano, lakini leo tangu amekutana na Niram alijihisi tofauti, yani kama kuna kitu kina Uchoma moyo wake, hapo ndipo alipojua kuwa, kumbe sasa huku ndiko kupenda kwenyewe, maana ukiachilia kuwa alisha ona waschana wazuri wengi katika maisha yke, yaliki yule binti alimwingia sana moyoni mwake, na kuivuruga hakiri yake, Vanessa aliingia darasani kwao, huku akifuta machozi, kwakutumia kitambaa chakechepe, akiofia wenziewasije wakaona, na kugundua kuwa alikuwa analia, hilisiyo darasa ambalo Vincent yupo, maana walisoma madarasa tofauti, licha ya kuutamachozi na kujaribu kujizuwia kulia, lakini aikuwezekana, maana donge la uchungu lilikuwa lime laa shingoni mwa Vanessaalijikuta anashindwa na kuendelea kuangua kilio cha kwikwi, Vanesa aliwai kwenyekiti chake na kukaa, huku akijizima uso kwakuegemea kwenye meza, akizuwia na mikono yake miwili, ilimuuma sana binti huyu, akika machungu haya ya ghafla, sizani kama nitaweza kuya eezea, "nimemkosea au anipendi tena" alijiwaziwa kimoyo moyo, binti huyu, huku machozi yakizidi kutililika machonimwake na kulowesha mikono yake,mala akastuka kunamtu akimshika begani,aka jifutamacho ziharaka na kumtazama alie mshika begani, "Vanessa una nini, mbona unaonekana kama umetoka kulia" aliuliza Maria, rakifi yake na Vanessa, huku anakaa chini kwenye kiti chakee, pembeni ya Vanessa alimwangalia rafiki yake kwa macho yenye majonzi, hakika kama ungemuona usingetofautisha na mtu aliefiwa, alinyongea kupita kiasi."Maria sijui nimemkosea nini vicent amenikaripia kama mtoto mdogo" aliongea Vanessa kwasautia mbayo nikama kilio kilitaka kurudi upyaa, ila alijitahidi kukizuwia, akaendelea kuzungumza "nilimtafuta sana nje, sikumuona, baada ya kuzunguka kwa muda mrefu, ndo likanijia wazo la kumfata darasani kwao, hakika niliingia kwa bashasha ila nikapokelewa kwa hasira na dharau" mpaka hapo Vanessa alishindwa kuendelea nakuanza kulia kwa kwikwi, ilibidi Maria aanze kumbembeleza kwa kumpiga piga mgongoni, inaonyesha wanafunzi wengine awakujuwa kunacho endelea kwa Vanessa, maana kila mtu aliendelea na mambo yake,******** Mida ya saa nne, ndani ya viunga vya Shadhiliya slamic internation school, yani shuleni kwa kina Niram, mambo yalikuwa shwari, ulikuwa wakati wa mapumziko, wanafunzi walikuwa wametawanyika kwenye viunga vya shule, mida hii binti mrembo Niram, alikuwa na rafiki zake watatu ndani ya canteen ya shule, wanapata chai, mara Niram akawa kama amekumbuka jambo fulani. "jamani mwenzenu leo nimepewa lift na kijana mmoja wa Kiswahili, lakini mzuri sijapata kuona" kabla ajamaliza kuongea binti Niram, akadakia shira huyu nae ni jamii ya kina Niram yani ni muhindi pure kasoro, hawa wengine hajra na Salma, ni tofauti, wakati Salma alikuwa mpemba mweusi, ila Hajra alikuwa Mwarabu kabisaaaaa, "ahhhhh usitake kusema umempenda mswahili, hivi mzee Popat uta mbebea mbebeo gani?, si ata kuchinjaa" alisema Shira, na hapo vikafata vicheko kwa woteee, kasro Niram peke yake ambae alisema, "wala sina mpango huo, ntampeleka wapii mimi, ila nimemsifiatu! sababu katika wavulana niliowai kuwaona, kwa hapa mtanzania, yule kaka ni handsome sanaa" alisema Niram huku anawaangalia marafiki zake, ambao wakakubaliana nae, kwakiikisa vicwavyao juu chini, na wakati huo kengele ya darasani ikagongwa, wakasimama tayari kwa kuanza safari ya kuingia darasani itaendelea ...... ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Tano (5) By GIVAN IVAN PHONE & WHATSAPP_____0769673145 Ilipoishia........... Na wakati huo huo taratibu Frank alianza kurudiwa na fahamu Zake. Milango ya gari Ile aliyowekwa Frank ilifungwa, na Kisha gari likaanza kuondoka kwenda kumtupa Frank sehemu ambayo kamwe hatoweza kuonana tena na Penina. ********Endelea ******* Zaza pamoja na wenzake walipongezana kwa kazi waliyoifanya na kuamini tayari wameshampoteza Frank. Zaza alitoa simu yake na kumpigia mzee Joel na kumpa taarifa Ile. Mzee Joel alifurahi Sana na akaamini sasa tayari anakaribia kutimiza lengo Lake kumtenganisha Penina na Frank. "hahahaaaa ninachokitaka mimi lazima nikitimize mtoto ni wangu lazima aolewe na mtu ninayemtaka mimi." alisikika mzee Joel akijitambaa mwenyewe. * Masaa manne yamepita Sasa bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Baba yake Frank, mama yake Frank pamoja na Angel wakiwa na Penina walishindwa kuelewa Frank amepatwa na nini ghafla hivyo. Penina ndio alihuzunika Sana hakujua afanye nini kwa wakati ule. "mama ngoja mimi nirudi nyumbani tu maana nahisi kuchanganyikiwa." aliongea Penina kumuambia mama yake Frank. Kisha akaingia kwenye gari yake na kuondoka huku akiwa hana furaha kabisa. Wazazi wake Frank walihisi kuchanganyikiwa kwa mtoto wao kupotea ghafla, lakini walijipa moyo na kuamua kusuburi labda pengine atarejea baada ya Muda. Penina alifika nyumbani na kuanza kupiga honi kwa fujo afunguliwe geti. Hii ilikuwa sio kawaida ya Penina kufanya hivyo, ikabidi Wazazi wake pamoja na Nolan pamoja na Irene watoke nje ili kujua kwa nini Penina amefanya vile. Geti lilifungjliwa Penina akaingiza gari ndani kwa kasi na kulipaki sehemu yake, Kisha akashuka huku akiwa amenuna na kuingia ndani bila kumsemesha mtu yoyote. "kulikoni tena huyu mbona haeleweki?" akauliza mama yake Penina kwa mshangao. "Nenda kamuulize unatuuliza sisi kwani tulikuwa naye." mzee Joel akamjibu mama Penina. Mama yake Penina aliondoka na kumfuata Penina chumbani kwake. Nolan naye akaungana na mama yake kwenda chumbani kwa Penina ili kujua tatizo ni nini. Mzee Joel alibaki akiwa anatabasamu tu kwasababu yeye alijua kila kitu kuhusu Penina. "Penina ni nini tena mwanangu?" akahoji mama yake Penina baada ya kufika chumbani kwa Penina na kumkuta akiwa analia. "Frank mama." akasema Penina huku akizidi kulia, na wakati huo huo Nolan naye aliwasili chumbani kwa Penina. "Frank kafanya nini tena mwanangu hebu nyamaza unieleze vizuri." akaongea mama yake huku akimbebeleza. Penina alimwelezea mama yake pamoja na Nolan mkasa mzima wa jinsi Frank alivyotoweka kimaajabu. Mama yake Penina pamoja na Nolan kaka yake Penina, walipigwa na butwaa kwa maelezo ya Penina. Lakini hata hivyo Nolan akamwambia Penina, "usijali mdogo wangu kwa Sasa wewe tulia mimi nitalifuatilia hili swala hapa nahisi kuna kitu." "kaka mimi naumia Sana sikutegemea kitu hichi tena ghafla hivi." akaongea Penina huku akizidi kulia. "najua unaumia ila nipe Muda nilifuatilie hili swala, naomba uwe mvumilivu." akaongea Nolan kumtuliza Penina. "nyamaza mwanangu usilie tena, mwachie kaka yako hii kazi atakusaidia." akaongea mama yake pia kumtuliza Penina. * Frank taratibu alianza kurudiwa na fahamu akiwa Katika gari Ile aliyowekwa, Frank alianza kujikagua na kugundua kuwa amefungwa miguu mikono pamoja na usoni, hivyo hakuweza kuona chochote zaidi alihisi yupo kwenye gari ambalo lipo kwenye mwendo wa kasi sana. Frank alipiga kelele lakini alitulizwa kwa kupigwa na kitu kizito cha uso na kuzimia tena. Baada ya safari ya masaa ishirini na nne, hatimaye Frank alifikishwa Katika misitu fulani inayopatikana huko tabora. Mida ya usiku usiku Frank alitolewa kwenye gari na kutupwa pembeni ya misitu Ile Kisha wao wakaingia kwenye gari na kuondoka kwa kasi sehemu ile na moja kwa moja wakaanza safari ya kurudi dar es salam na kumuacha Frank akiwa Katika hali mbaya Katika misitu Ile. Baada ya masaa kadhaa mbele Frank alizinduka na kujihisi yupo sehemu ambayo hakuweza kuilamba. Frank alipojaribu kunyanyuka aligundua kuwa amefungwa miguu, mikono pamoja na usoni hivyo hakuweza kufanya lolote. Frank aliamua kupiga kelele ili aweze kupata msaada lakini hakuweza kufanikiwa kupata msaada. Baada ya kupiga kelele kwa Muda mrefu bila kupata msaada, Frank aliamua kutulia na kusubiri chochote kitakachotokea huku akimuomba Mungu amsaidie.* Wazazi wake Frank walihangaika usiku na mchana bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Ilifika sehemu Sasa wakaamua kumuachia Mungu kwasababu wao wameshachoka kumtafuta bila mafanikio yoyote. * Kaka yake Penina aitwaye Nolan yeye hakuamini kama Frank amepotea bali aliamini kuna mchezo unafanyika, Nolan alianza kuchunguza juu ya upoteaji wa Frank. Kwanza Nolan alianza kumchunguza baba yake ambaye Muda wote alikuwa pamoja na Irene mdogo wake Penina. "Baba wewe unalichukuliaje hili swala la kupotea kwa Frank mpenzi wake Penina?" akauliza Nolan. "hahahaaaa! wewe nani amekwambia Frank amepotea? Frank hajapotea kashapata mwanamke mwingine akatoroka naye wewe unasema amepotea, acha kujisumbua mwanangu." akaongea mzee Joel baba yake Penina kumuambia Nolan. "Kaka sikia nikuambie, mimi Nina uhakika Frank yupo na mwanamke mwingine nyie mnahangaika tu tena mwambie Penina aache kuhangaika na mwanaume ambaye hajatulia." akaongea Irene mdogo wake Penina kuunga mkono maneno ya baba yake. "Irene mdogo wangu huko unakoelekea unapotea, wewe una uhakika gani na maneno unayoongea?" akauliza Nolan kwa upole. "ana uhakika na anachokiongea wewe unafikiri yupo kwenye ndoto?" akadakia baba yake Penina kumtetea Irene. "Mbona mnateteana kama kuna kitu ndani yenu mbona siwaelewi?" akaongea Nolan kwa mshangao. "huwezi kutuelewa kwasababu upo nyuma Sana kama mkia wa ngombe." akaongea mzee Joel maneno hayo ambayo kidogo yalimfanya Nolan apandwe na hasira, lakini akajitahidi kuzishusha. "ok nashukuru kwa maneno yenu lakini nawaahidi lazima ukweli utajulikana." akaongea Nolan Kisha akanyanyuka na kuondoka. Penina Sasa alikuwa mtu wa kushinda ndani tu huku akiwa hana furaha kabisa kutokana na kutoweka kwa mpenzi wake Frank. Mzee Joel naye Sasa kumbe alikuwa tayari ameshamtafutia Penina mwanaume mwingine wa kutoka Norway na ndio alitaka amuoe mtoto wake Penina. * Hatimaye kulipambazuka Katika misitu ile aliyotupwa Frank. Frank alizidi kuhangaika bila kupata msaada wowote. Njaa pamoja na kiu vilimtesa Sana Frank pale msituni, alipiga kelele mpaka sauti ikaisha bila kupata msaada wowote. "Eeh Mungu Kwanini unaniacha niteseke hivi? Kama huu ndio mwisho wa maisha yangu bas naomba unichukue haraka usiniache nife Katika mateso makali kiasi hiki." akajisemea Frank kwa sauti ya chini akimuomba Mungu wake. Lakini hata hivyo baada ya masaa mawili mbele, aliweza kupita mzee mmoja aliyekuwa akichunga ngombe, karibu na sehemu Ile aliyotupwa Frank na pia akaweza kumuona Frank akiwa amelala pale chini akiwa hajiwezi kwa lolote. ....... Itaendelea Tukutane JUMATATU ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: