Home → simulizi
→ [9/26, 15:50] +255 714 435 449: NIPE BHANA
Sehemu ya 09
Mwandishi:Mmaka
.........ilipoishia.....
"vipi mama yupo wapi mbona simuoni nimsalimie "niliuliza kutaka kujua hali ya mama Zena
Hapo ndo ikawa nimemkumbusha kuhusu mke wake akatoka haraka mpaka chumani kwao amabapo alimuamusha mke wake akimhoji kuhusu hali yake hasa baada ya kuchelewa kuamka ikiwa sio kawaida yake kwani alizoea kuamka saa kumi na mbili asubuhi
"ni kauchovu tu mume wangu wala usijali niache nipumzike kidogo"alijibu mama Zena
"sawa mke wangu we pumzika lakini nahisi kuna washenzi wameanza kuiwangia nyumba yangu ngoja niwaendee kwa mzee chuma"alisema mzee Saidi nakumwita Zena akimuagiza ampelekee kifungua kinywa mama yake kisha akanifuata na kuniambia
"kijana wacha niende hapo mbele kwa babu si unajua maisha ya kijijini huku ukikaa bila kujilinda kidogo lazima wakuchezee"
"saaaa..wa mzee mi nipo "
nilimjibu kwa hofu nikijua basi kama ana kwenda kwa mganga nimeanzisha vita mpya ambayo nisingekuwa na uwezo wa kupambana nayo..
............endelea.............
Kwa kweli kuondoka kwa mzee Saidi akidai ana kwenda kwa babu ilinimaliza nguvu kabisa na kunifanya nijione kama mmoja wa watu wenye mikosi zaidi kwani kila nilikokwenda lazima kuna baya lilipata, nilijikongoja mpaka taratibu na kuingia ndani ya chumba alicho kuwa ame lala ma Zena nilimkuta ndo anashuka kitandani kichovu na nikamwambia
"Mambo yameshaharibika mama ntafanyaje mimi sasa maana kama ameenda kwa mganga lazima tuumbuke"
Cha ajabu mama yule hakuonyesha hofu yeyote kuhusu jambo hilo badala yake ndo kwanza alikuwa akijinyoosha.
"Jamani mama mbona hivyo inamaana wewe huofii mzee akijua tulicho fanya jana" nilimwambia wakati huo nikimkazia macho kuonesha niko serious
Badala yake alitabasamu na kuniambia
"hivi kijana unacho ogopa nini kwani aliye kupa raha nani? we tulia niachie mimi najua jinsi ya kulimaliza hakuna anayeweza kujua" alisema mama yule maneno yaliyo nifanya nishindwe kabisa kumuelewa kwani nilifikiria ujasiri aliokuwa nao wakati ule na tukio la mzee Saidi kwenda kwa mganga akitaka kuujua ukweli juu ya kubadilika ghafla kwa afya ya mkewe
"Sasa mama wewe utawezaje kulimaliza hili kumbuka ameenda kwa mganga , hata kama hautodhurika wewe kumbuka mimi nitaingia kwenye matatizo mengine ilihali nilipotoka bado hali si shwari na kwa hali niliyo nayo nikifukuzwa hapa au kufanyiwa ushirikina si nitafia huku" nilimwambia huku sasa nikionesha wazi hofu niliyokuwa nayo
"hahaha!!!! kijana nimekuambia ondoa shaka mi ndio mtoto wa mlunguru bhana jambo dogo kama hilo haliwezi kunishinda
kwanza hebu toka huku maana mzee anaweza kuja akikukuta humu sijui utamwambia unafanya nini "
alinijibu mama yule kijasiri huku akitabasamu nami sikuwa mbishi ilibidi nimsikilize japo kwa shingo upande nikatoka ndani ya chumba kile taratibu
"niitie Zena"ilisikika sauti ya mama Zena ikiniambia
Nilitoka nikaelekea mpaka jikoni na kumkuta Zena akikoroga uji huku akiimba nyimbo za kilugha ambazo sikuweza kuzielewa hakika msichana yule wa kijijini alijaliwa sauti nzuri hapo nilijiapiza siku moja lazima nimuweke ndani awe mke kabisa
wakati huo alikuwa ame kaa kwenye kigoda na kuitanua miguu yake ambapo sasa baada ya kuingia ndani ya jiko lile dogo nilibaki nimemtumbulia macho katikati ya miguu yake mapaja laini na kwa mbali nikaona chupi yake nyekundu aliyokuwa amevaa
wakati huo yeye hakuutambua uwepo wangu jikoni pale kwani aliendelea kukoroga uji taratibu huku akiendelea kuimba kwa sauti yake nyororo akiwa ameangalia chini
Nilipiga hatua kidogo mpaka nilipomfikia ndipo akastuka na baada ya kuniona aliibana miguu yake na kuivuta sketi yake vizuri ili kujisitiri
"jamani Zena mbona leo unaninunia hutaki hata kunisalimia au tumegombana mrembo "nilimwambia huku nikitabasamu
"nyooo!! nani mrembo" aliniambia huku akitabasamu kwa aibu
"si wewe hujioni , yani sikutofautishi na malaika "
"na wewe kaka Sam mbona unapenda utani ivyo mimi wa huku kijijini naanzaje kuwa mrembo huko mjini kwenu ndo kuna warembo" alinijibu akitabasamu
"kaone sura yake , nani alikuambia mjini ndio kuna warembo , kijijini ndo kuna watoto wazuri kibao lakini wote wewe umewazidi na tangu nianze kuishi mjini sijawahi kumuona malikia kama wewe
yani wewe nikikupeleka mjini utawaungisha wanaume mstari wakikutolea udenda maana dahh !! sijui nisemeje"
"we Sam nimekutuma nini " sauti ya mama Zena ilikatisha mazungumzo yetu" hapo ndio nikakumbuka kilichoni peleka jikoni nikatazama na mlangoni na kumwana mama Zena amekunja uso kidogo akionyesha kukasirika kidogo
"Zenaa mama anakuita" nilijikuta nikitamka
"Zena na mama yake wakabaki wanani cheka kwa udhaifu niliounesha mbele yao"
"na wewe njoo kazi kukenua tu" alisema mama Zena akimuita Zena wakatoka nje wakifuatana na kuniacha jikoni nami nikatoka lakini bado lengo langu la kumfanya Zena asiniogope likiwa halijatimia kabisa
nilitoka na kuingia chumbani kwangu kuuchapa usingizi ambapo niliamka mida ya saa sita mchana na kukuta tayari mzee Saidi alisharudi wakati huo alikuwa akipata mlo wa mchana
" karibu chakula kijana halafu nime sikia hujala tangu asubuhi"
"kausingizi kalinipitia tu mzee wangu wala usihofu nipo salama, vipi kuhusu ulipotoka umefanikiwa??"nilimuuliza nikiwa na nia ya kujua hatima yangu
"hata sijamkuta mganga wangu nimeambiwa ameenda Nigeria kuchukuwa dawa zake, lakini hata hivyo haina haja tena maana hali ya mke wangu si mbaya labda ni kauchovu tu kalimpata"alisema mzee yule hapo kidogo presha yangu ikapungua wakati huo mama Zena alikuwa akininawisha mkono akatabasamu na kunikonyeza nami nikamrudishia tabasamu
Tulimaliza kula mida ya jioni mzee Saidi aliondoka pale nyumbani tukabaki mimi , Zena na mama yake ambapo Zena alikwenda kujilaza kidogo kutokana na uchovu
"Sam" nikasikia mama Zena akiniita kutoka chumbani kwake nilitoka taratibu na kwenda
" Nime kuambia Zena achana naye huyo mtoto amewekewa tego asifanye mapenzi mpaka atakapoolewa kwa hiyo kwa sasa usimsumbue na wala usiwe na hofu kwani mimi nitahakikisha akifikia umri ana kuwa mkeo muhimu usije kumsaliti na umtunze vizuri" alisema mama yule wakati huo amejalaza kitandani akiukunja mguu mmoja hali iliyosababisha nilione paja lake vizuri
"sawa mama ila una nisisimua"nilimwambia kimtego na kwa hofu kidogo nione atasemaje
"na wewe bhana sasa nifanyaje si unaona kuna joto"
"ila mimi tayari umeshaniumiza ntafanyaje sasa"nilimjibu wakati huo mtarimbo wangu umesimama kwa nguvu na kuisukuma suruali niliyo vaa
"mhhh!!!! hivi wewe unakulaga nini yani kitu kidogo tu ushaanza kutolea udenda"
Alisema mama Zena nikarudishia mlangowa chumba kile alicho tumia yeye na mume wake kichwani sikuwaza kingine tena, nikajua huyu hawezi kuzuia nikamvamia na kupanda juu ya kifua chake kilicho jaa vizuri na kuanza kumlamba shingoni kimahaba nikapitisha ulimi hadi sikioni kwake akaanza kutoa miguno mikali ya kimahaba akijishika shika kwenye matiti yake na kuanza kujinyonga nyonga nikajua hiyo ndio sehemu yake yenye msisimko
nikaona nisipoteze muda maana sauti alizotoa zilionesha tayari alisha lowesha kitumbua chake
Nikamvua dera na chupi yake iliyokuwa tayari imelowa , naye haraka akanivua suruali yangu hadi magotini juu nikabaki na shati kisha akautoa mtalimbo wangu ndani ya boksa yangu na kuanza kuunyonya kiufundi japo ilimuwia vigumu kutokana na unene wa mtalimbo wangu , aliu ramba kiufundi kichwani na kunifanya nihisi raha mpaka miguu ikaanza kukosa nguvu maana nilikuwa nimesimama pembeni ya kitanda, nikaona nisipige bao kabla mechi haijaanza nikamwomba asitishe tuanze mechi lakini alikataa akidai jana nilimuonea sana asinge taka shoo ya kibabe kama ile kwani hali yake bado haikuwa imetengamaa vizuri
Nilimwacha akazidi kuinyonya mboo yangu kiufundi kutokana na utamu nilioupata nikajikuta nami naanza kumpampu kwa nguvu mdomoni na kutokana na ukubwa wa mboo yangu nilijikuta na mzuia kupumua huku nikizidi kuigandamiza japo iingie yote
"ohhhhhh!!!! oppppsaahhhhh!!!!!"sauti za utamu zilinitoka
ghafla alinisukuma "we kijana unataka kuniua na hili dude lako nyoooko!!!" alisema mama Zena
Sikutaka kumjibu chochote nikamvuta na kumbeba nikaizungusha miguu yake nyuma ya kiuno changu na kuuzamisha mtarimbo wangu wote ndani ya kitumbua chake , nikaanza kumkatia mauno ya nguvu nikiwa nime simama nikuhakikisha mohogo wangu ulisugua pande zote wakati huo tukiendelea kunyonyana ndimi kiufundi hakika wote tulijihisi tupo sayari nyingine , nilihamia kwenye yake shingo na kuanza kuinyonya kama pipi huku pia ulimi ukitalii masikioni kwake
" 00hhhhppppssss!!!!!!!!ingiza yote!!!!!!!!!!!!mwangizewe!!!!!!!!!!!tamu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ohhhwiiii!!!!!!!!!!! neneee!!!!!!!!!!!!!! Mali..ya......!!!!!!kooo!!!!!!!!!nimekupa!!!!!!!!!oshhhhhhhhhh!!!!! utanuiwaa!!!!!!.....kijana!!!!! "
Ni maneno na miguno ya kimahaba aliyotoa mama Zena huku nikimvujia viuno vya mwendo kasi wakati huo nime mbeba na msurubu vilivyo...
ghafla mlango ulifunguliwa....
Mlango umefunguliwa tena duuh!!! Leo nimefumwa
Je nini kitaendelea ?? usikose sehemu ya kumi ..
Itaendelea.....
[9/27, 00:13] +255 714 435 449: NIPE BHANA
Sehemu ya 10
Mwandishi:Mmak Jumaa
........ilipoishia.......
Ashhhhiii!!!!!!!tamu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ohhhwiiii!!!!!!!!!!! Opppppppsssss!!!!!!!!!!!!!! Maliya......!!!!!!kooo!!!!!!!!!nimekupa!!!!!!!!!oshhhhhhhhhh!!!!! utanuiwaa!!!!!!.....kijana!!!!! "
Ni maneno na miguno ya kimahaba aliyotoa mama Zena huku nikimvujia viuno vya mwendo kasi wakati huo nime mbeba na msurubu vilivyo...
ghafla mlango ulifunguliwa....
.......endelea.......
Aliingia Zena kwa pupa bila kujua kinachoendelea lakini alipotazama kitandani niliona ameufunika mdomo wake kwa mkono huku akitoa macho ya kutoamini alicho kiona papo hapo bila kusema chochote nguvu zikamuisha akaanguka chini na kuzimia wakati huo mimi nguvu ziliniisha nikajikuta mtarimbo wangu umelala kwa hofu na hamu ya kuendelea na mechi ili niisha kabisa nili mtua kitandani mama Zena na wote tulikuwa tumejifunika na vipande vya shuka sehemu za siri kwa aibu
Nilimtazama mama Zena ambapo baada ya mwanaye kuanguka alianza kutetemeka nikaona ana nyanyuka pale kitandani na bila hata kujisitiri na chochote ikiwa na maana alikuwa uchi akawa anaenda kumnyanyua Zena nikaona nisipotumia akili mambo yataharibika zaidi nikachukua kipande cha khanga nikamrushia ajisitiri , nikavaa suruali yangu haraka na kuchukua shati langu nikatoka nje ya chumba kile na kumwambia mama Zena ajitahidi kumkokotabmpaka sebuleni kwani niliogopa huenda mzee Saidi angerudi na kunikuta chumbani kwake huku mkewe akiwa na khanga moja ange nihisi vibaya
"nenda kavae niache mimi nimpepee"nilimwambia mama Zena baada ya kufanikiwa kumfikisha Zena sebuleni na kumlaza kwenye kitanda alichozoea kulala
"hapana usimpepee ngoja nakuja" alinijibu mama Zena na kuondoka kuelekea chumbani
Baada ya kitambo kidogo aliondoka na kurudi akiwa amevaa mavazi mekundu akionekana kama mganga wa kienyeji huku mkononi ameshikilia kibuyu
Kwa kweli hali ile ilinishitua kidogo lakini yeye akanituliza akiniambia ndiyo njia yakuzuia tulicho fanya kisijulikane na yeyote,sikuwa na la kubisha nilisogea pembeni nimuache afanye alicho hitaji..
Mama Zena alisimama pembeni na alipo lala Zena akanyanyua kibuyu chake juu kwa mikono miwili na kuanza kutamka maneno ambayo sikuweza kuyaelewa kadiri alivyo tamka ndivyo spidi ya utamkaji wa maneno ilivyozidi kuongezeka akiyarudia rudia kisha ghafla alinyamaza na kumimina majimaji kutoka kwenye kibuyu kile akimnynyuzia Zena kichwani alirudia kufanya hivyo mara sita kisha akakifunika kibuyu na kuondoka sebleni pale bila kuongea chochote
Nikiwa pale sebuleni nilimuona Zena akianza kujigeuza nakupumua vizuri hapo nikaamini dawa ya mama yake imefanya kazi lakini bado kichwani nikabaki najiuliza endapo akiamka itakuwaje maana lazima atakumbuka tu..
Mama Zena naye baada ya muda alirejea pale sebuleni akiwa ame vaa khanga moja tena sasa akiikunja ambapo alipoijifunga iliishia juu ya magoti na kunipa nafasi ya kuyaona mapaja yake yaliyo jaa vizuri na umbo lake matata lenye uwezo wa kumsisimua mwanaume yeyote rijali
Mara mama yule akaiangusha khanga aliyokuwa avaa pale pale huku akinitizama kwa macho ya mahaba akaniambia
"jamani Sam uliniacha katika hali mbaya naomba japo kidogo tu nizipunguze yani hapa mwili wote nahisi joto huku chini ndio balaa nipe hata kimoja tu kitanitosha"alisema mama yule na bila aibu na kuwaza kwamba tulikuwa sebuleni na tena alipo lala mwanaye akanivamia na kuishusha suruali yangu akaitoa bunduki yangu ambayo ilikuwa imelala kutokana na hofu niliyo kuwa nayo akaishika ikiwa katika hali hiyo hiyo na kuinama kisha akaigusisha kwenye mashavu ya kitumbua chake, nilihisi kama nimepigwa shoti ambapo
ghafla mtalimbo wangu ulisimama tena kwa nguvu ajabu huku damu ikinichemka kwa hamu ya kufanya ngono..
Mama Zena haraka aliuchukua mtarimbo wangu na kuuingiza kwenye kitumbua chake japo ulizama kwa shida kidogo nilimsapoti kwa kuugandamiza mpaka ulipozama wote kisha kama kawaida yake akaanza kunizungushia viuno huku amejishikiza ukutani kwa mikono yake
Wakati huo nami hamu isiyo ya kawaida ya kufanya tendo hilo la watu wazima ilinifanya nianze kupiga kelele za utamu ambapo ghafla nje ya nyumba nilisikia sauti za minong'ono ya watoto hapo nikang'amua walikuwa wakijaribu kupiga chabo washuhudie mchezo ule mchafu niliokuwa naucheza ndani ya nyumba ya Mzee Said
Nilijaribu japo kwa shida kumuambia mama Zena tusogee japo kwenye chumba changu maana pale sebuleni hakukuwa salama lakini ndio kama nilimwambia aongeze mwendo wa kukinengua kiuno chake huku naye akianza kutoa sauti za mihemko ya kufika kileleni
Nikaona nimfikishe mapema , hivyo nikaongeza mwendo wa kukichimba na kusafisha kitumbua chake nikilazimisha hadi shina la mhogo wangu lizame
Wote tukajikuta tukilia kama watoto wadogo kwa raha tulizozi pata
huku tukimwagiana sifa kila mmoja ikiwa ni wakati wa kuvunja dafu lililotuacha hoi hadi nikajishangaa bao moja tu nikachka vile basi nilimshukuru mama Zena nikatoka nimeshika nguo zangu na kuingia chumbani
wakati huo huo naye mzee Said ndio alirejea nyumbani akiwa amebeba kitoweo cha Samaki nilimuona kwa kumchungulia kwenye kidirisha kidogo cha nyumba ile
"Zena"aliita
hakukuwa na jibu
"we mama Zena"aliita tena akimuita mama Zena
"nipo huku bafuni mume wangu"
alisema mama Zena , hivyo nikaona nitoke kumpokea mzee yule
" kijana wangu vipi mbona unaonekana mchovu sanaau maisha ya kunywa uji asubuhi umeyachoka"aliniuliza kiutani mzee Said
"wala hata mzee wangu uchovu tu kwanza haya maisha yamenikubali sana tofauti na kule mjini natamani niishi huku mpaka uzee"nilimjibu kitani lakini moyoni dhamira ikinisuta kumfanyia vile mzee aliye nitendea mema na kuonesha kunijali kila mara
"haya kijana wangu utaishi huku hadi uzee, kesho safari ya kurudi mjini si umeshapona mipango yote nimesha maliza nimekukodia pikipiki itakayo kupeleka mpaka barabara kuu na nitakupa na nauli ya kuridi kwenu ila masharti yangu ukifanikiwa huko mjini usitusahau huku , Zena yupo tunamuandaa kwa ajili yako muhimu tafuta hela na ujilinde na magonjwa"
aliniambia mzee Saidi maneno yaliyo penya hadi katika uvungu wa moyo wangu na kuwasha moto , nilijikuta najuta kutembea na mke wa mzee yule ambaye kwangu alikuwa zaidi ya mwema
"nashukuru sana mzee wangu kamwe sitasahau haya uliyonitendea naahidi kukulipa kwa wema na nitafanya kama ulivyo niagiza"
"ila Zena sijamuona kwani ameenda wapi?"aliuliza mzee Said swali lililonifanya ni bwabwaje kwa woga..
Je nini kitaendelea.. usikose sehemu ya 11
itaendelea...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: