πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ *```WANAWAKE NAOMBA LEO N0IZUNGUMZE NANYI NIWADOKEZEE JINSI YA KUMTULIZA HASIRA MUMEO AKIKASIRIKA πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Kama umemkasirisha mumeo mfano asubuhi jitahidi uwe mpole usiwe muongeaji Sana kama ameenda kazini hakikisha saa nne unatumia sms msalimie Kisha mtakie kazi njema..... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ alafu mida ya saa saba ivi mwambie pole na kazi laazizi wangu, nimemiss sana uwepo wako, nipo mpweke tu apa, natamani ungekuwa karibu yangu Muda huu, kwa sms hii itamfanya hasira zipungue ata tamani muda ufike arudi nyumbani mapema...... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Siku hiyo mpikie chakula akipendacho, Pamba nyumba ivutie, fukiza udi chumbani, Oga, vaa nguo nzuri, jipambe upendeze, Siku hiyo tafuta na Kungu manga itafute uile mapema..... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Kisha akirudi mumeo mvue viatu au mpokee alichobeba huku wamuambia karibu mume wangu...... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Akikaa msalimie Kisha mwambie pole na uchovu wa kazi laazizi wangu. Kwa mapokezi hayo hasira zitayayuka mlangoni alipokuona, maana atajisikia furaha kwa mapokezi aliyoyakuta kwako...... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Akitulia mpelekee maji ya kuoga Kisha mwambie twende nikakuogeshe mume wangu..... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ Mtengee chakula vizuri ulichomuandalia, kisha mnawishe mikono, akimaliza mlishe tonge mbili tatu Kisha wamuacha aendelee kula mwenyewe taratibu..... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Akimaliza mnaweza kuhamia chumbani huko jiachie ili uweze kumtega vizuri, Mkipanda kitandani tu mkafanya mambo yetu Yaleeeee hapo utakuwa umezimaliza kabisa hasira zake..... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Cheza na akili za mumeo, changamka mwanamke usikubali siku ipite mumeo akiwa na hasira. Mfanyie mambo mazuri hata mkipanda kitandani hasira ziwe zimemuisha..... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Wanaume wengi sio watu wa kuwekea vitu moyoni sie tu hatujui jinsi ya kuwashusha hasira..... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Kuazia leo usipate tabu ya kuwaza tumia uanamke wako kumfurahisha mumeo..... πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ ☞ Mwanaume Mbele ya mkewe hapindui, kwetu ni jambo na mkate ukiutia kwenye chai unalainika na Kuwa mdogo. πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ Wanawake zingatieni hayo, ili kuweka ndoa yako murua na maridhawa nduguyangu πŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œπŸ’œ

at 9:31 AM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top