Home → ushauri
→ ๐๐๐๐KITANDA CHA NDOA KIPOJEE๐๐๐๐
๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐ช๐Jamani wanandoa hivi kitanda chako unakijuwa vizuri? haswa wanaume ama kwa vile sio jukumu lako kutandika na kununua mashuka hujui kabisa kitanda chako kipo vipi wewe ukija umechoka ulale ukitaka mzunguko ukitumie lakini hukijui kabisa.๐๐haya mwali naja kwako heheheiyaa mwanamke shurti ujali kitanda chako upo nyonyo๐. unajuwa ni godoro gani zuri kulalia unajuwa ni mbao gani murua ngumu za kitanda cha ndoa, mashuka je unajuwa kama kunamashuka yana maana yakiwa kitandani?leo kungwi wako wa mahaba proffesional ninayo majibu yotee ya kitanda chako cha ndoa๐๐kwanza kitanda chako kama ni cha mbao chapaswa ziwe mbao zile ngumu mwali wangu sio mbao nyepes ukilalia tu siku mbili tatu kinaachia๐๐pili kitanda cha mwanamke aloolewa mda wotee chatakiwa kiwe smart๐๐naposema smat nadhani mwali waelewa kitandikwe vizuri kwa shuka zenye rangi nzuri inayong'aa sio kijishuka cheusi tii utafeliii๐pia shuka isiwe na matobo wala madoa madoa yasofaa ๐hakikisha kitanda unatandika kiasi kwamba hata ukilala na mmeo pamoja na fujo zoote za mke na mme wakati wa kufanya mapenz hakiwezi kuvurugika na shuka kutoka๐๐
๐ชtatu๐mwali wangu Sharti kuu la kitanda cha ndoa lazima ulale bila nguo yani mtupu uchii kabisaa kama ulivyozaliwa kwa waliofundwa haya wanayajuwa lakini kwakuwa ndoa za siku hizi tunazichukulia poapoa tu wanawake hawataki kabisa kufundwa kabla hawajaolewa wanafanya tu wanavyojuwa wao na wayaoangalia kwenye tv wakidhani hayo ndio maisha wakati mwanamke mweusi wa kiafrica unatofauti nyingi na mahaba tele unayotakiwa kuyafanya chumbani ukijitambua.๐๐
๐ช๐Kitanda cha ndoa unatakiwa ulale bila nguo labda kwa heshima ya watoto kwa wale waliopanga chumba na sebule ambao watoto chumba cha baba na mama ni kama chao ndio unavaa khanga ukijifunika ili hata wakiingia ghafla umesahau kufunda mlango wasione walipotokea lakini ikifika wakati wa kulala chumba kikiwa kimefungwa khanga tupa huko na ulale kama ulivyo
๐ชnne๐Kitanda cha ndoa mwiko kulala mzungu wa nne, yani wanandoa mimi nashangaa unalala na mumeo mzungu wa nne halafu iweje?nitaandika mada kuhusu madhara ya mzungu wa nne, unatakiwa kile kitanda mlale hata kama hamuongei mmegombana lala tu wote mmegeukia upande mmoja hata kama hamtashikana usiku kucha lakini usiruhusu kulala mzungu wa nne kwenye kitanda chako cha ndoa.pia kitanda cha ndoa ni marufuku kumnyima unyumba mpenz wako hata kama mmenuniana kumbuka mboo na kuma havinuniani๐๐peaneni mkimaliza endeleeni na mnuno wenu lkn kumbuka ukiwa kama mwanandoa unapaswa kongelea matatizo yenu na kuyamaliza kabla ya kupanda kitandani maana kitanda ndo sehemu ya kupeana faraja na kujenga nahusano yenu๐๐๐๐
๐๐ชWanawake wengi wanapoolewa hata mimi nikiwa mmoja wapo unapewa godoro, unalijuwa maana yake ya kwamba umeshakuwa nenda kaanze nyumba yako na wewe ukifika sio lile godoro kisa mnachumba cha wageni ndio ukalipeleke kule hapana, lile godoro unatakiwa mlalie nyie, kama umeolewa na mumeo alikuwa anagodoro lake utalitoa na kupeleka chumba cha wageni halafu lile ulilopewa ndio utandike kwenye kitanda chenu mlalie hiyo ndio maana ya lile godoro yani mmeanza upya katika kila kitu mpaka kulala.๐๐
tano๐๐ni marufuku mwali narudia tenaaa kwa herufi kubwa NI MARUFUKU kumleta shogaako ndani kwako alafu akakaa juu ya kitanda chako mwali ni matusi makubwa pia huwez jua maana marafiki wengi huvuruga ndoa za mashoga zao kupitia vitanda had inapelekea mumeo ama wewe mwenywwe mkifika kitandani kunakuwa hakuna maelewano๐๐
Kama hulikuwa ulijui ilooo shoga HAbari ndo iyooo๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐L๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: