*🌹🌹 MKE MWENYE SIFA HIZI NI KITULIZO CHA MUME 🌹🌹* 🌽πŸ₯’πŸ₯‘πŸ Haiba na urembo wa mke unazidi pale mwanamke anapokuwa na maneno machache mdomoni Hasemi ila mazuri Hana kelele Hana lawama nyingi Mume akipandisha sauti hashindani nae Mpole ila si mjinga 🌽πŸ₯’ Thamani ya mwanamke huongezeka zaidi akiwa mchamungu Mwanamke muumini anapendeza zaidi kwa mumewe Mume anamuonea haya sana mwanamke muumini Anasema nae kwa heshima Mwanamke muumini ana subira Mdomo wake umejaa shukran Anadhibiti hasira zake Anazuia mdomo wake Hajivuni Anajishusha 🌽πŸ₯’πŸ Mwanamke muumini hawi kero kwa jirani zake Ana subira juu yao Haanzishi magomvi Haishindani nao kwenye shari Hajifakharishi kwao 🌽πŸ₯’πŸ Mwanamke muumini mdomo wake umejaa dhikir, kusema yalo sawa. Siyo kudumu na nyimbo(mipasho) au mafumbo na kejeli. 🌽πŸ₯’πŸ Mwanamke muumini humkuti kwenye baraza za umbea Hakai barazani na kumteta kila anaepita njia Hadhuruli au kupenda safari ziso na faida. Hutulia nyumbani Hatoki ila kwa dharula Na hatoki ila kwa ridhaa ya mumewe 🌽πŸ₯’πŸ Mwanamke muumini hamsugui roho mumewe Hatishii kuondoka Hadai talaka bila sababu za kisheria Humtoa hofu mumewe kwa kuthibitisha penzi lake kwa mumewe (kwa maneno na vitendo) 🌽πŸ₯’πŸ Mwanamke muumini anaelewa mtoaji rizki ni Allah Basi si mchoyo nyumbani kwake Mkarimu kwa jamaa na wageni wote. Anaheshimu watu Anajiheshimu pia. 🌽πŸ₯’πŸ Mwanamke muumini ni liwazo njema kwa mumewe. Mume akihuzunika humfariji Akikasirika humpoza Ni mwanamke ambaye mume akimtazama anafurahi Ni mwanamke mwenye kutosheka na hali yake. Hana tamaa Khofu yake iko kwa Allah. 🌽🌽πŸ₯’πŸ₯’πŸ₯’πŸ₯’πŸŒ½πŸŒ½ •┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•

at 1:40 AM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top