Home β Love sms
β ππππππππππ
*MWALI WANGU UKIKOSA CHEKA UKIPATA CHEKA MPAKA JINO LA MWISHO*
πππππππππππππ
πmtu wa kwanza kumfariji mumeo ikiwa amerudi nyumbani bila kitu Ni WW mwali wanguπ
πsio mumeo anarudi nyumbani bila kazigo mkononi unavuta Domo linarefuka km __-_-_ ya kobeππ
πSiku mumeo akikosa ndio siku AMBAYO unatakiwa umpe Raha zote za dunia mpaka apate akili mpya za kutafuta kesho yakeππ
πsiku hiyo ukampe hate juu ya kabati au uvunguni. Na umbebe mgongoni alale upooo mwaliππ₯π..
πUkiwa mtu wa tabasamu muda wote kwa mumeo utamfanya awe na afya nzuri na anenepe. Ukiwa na tabia ya visirani na dharau utamuua mapema mumeo na utabaki mjane manina wwππ
π
π
π
π
π
π
ππππππππππ
ππππππππππ *MWALI WANGU UKIKOSA CHEKA UKIPATA CHEKA MPAKA JINO LA MWISHO* πππππππππππππ πmtu wa kwanza kumfariji mumeo ikiwa amerudi nyumbani bila kitu Ni WW mwali wanguπ πsio mumeo anarudi nyumbani bila kazigo mkononi unavuta Domo linarefuka km __-_-_ ya kobeππ πSiku mumeo akikosa ndio siku AMBAYO unatakiwa umpe Raha zote za dunia mpaka apate akili mpya za kutafuta kesho yakeππ πsiku hiyo ukampe hate juu ya kabati au uvunguni. Na umbebe mgongoni alale upooo mwaliππ₯π.. πUkiwa mtu wa tabasamu muda wote kwa mumeo utamfanya awe na afya nzuri na anenepe. Ukiwa na tabia ya visirani na dharau utamuua mapema mumeo na utabaki mjane manina wwππ π π π π π π ππππππππππ
Artikel Terkait
ππ MWALI SHAHAWA NAMNA YA KUZIKANYAGA ππ MWALI SHAHAWA NI TAMU UKIJUWA KUZICHEZEYA SHAHAWA ZINA NG'ARISHA NGOZI NA KUSOFTISHAA SHAHAWA UKIZILA ZINA AFYA NDANI YAKE UNAWEZA KULA ....NA STREBERY AU PIPI KIFUWA....TUACHANE NA IYO TWENDE TUKAZIKANYAGE ....UCHAWI WA MWANAMKE ANAO MWENYEWE ....NDANI KWAKO ....Lala na mzee mpige sex ya nguvu sio ya kitoto wakati huo chini ya mto usikose vitambaa vi2 kimoja chako kimoja cha mzee ...WAKATI AMEMALIZA KUKOJOA KWANZA KABISA UWE NA MAWAZOWEYA KUMFUTA MUMEO HAPA UTAFANIMIWA KAMA HUMFUTAGI UTAFELI HUWEZI KUMFUTA ATAKUSHAANGAA IVYO YAPASWA TUWE TUNAWAFUTA WAUME ZETU HII INASOGEZA UPENDO KARIBU KATI YENU WAWILI...SASA AKIMALIZA TU UWE SHAPU CHUKUWA KITAMBAA CHAKO WEKA KWA KUMA KIPACHIKE...KISHA CHUKUWA KINGINE KWA MKONO WA SHOTO MFUTE MZEEE...huku mkono wa kulia unaibia SHAHAWA KUZIPAKA KIGANJANI CHUNGA SANA ASIKUONE UKISHA JIPAKAZA ZILE SHAHAWA KIGANJANI PUMZIKA KIDOGO SASA SOGEA MWISHO WA KITANDA UKIJIANDAA KUSHUKA KWENDA CHOON...jipake kwa mguuu wa kulia anza kutembea pole pole ukielekea choon tayar SHAHAWA ZIPO CHIN YA MGUU....unaanza kunuwiya KIMNYA KIMNYA WEWE MUME WANGU FLANI UNAMTAJA jna lake na la baba yake NAKUKANYAGA KUANZIA LEO UTAKUWA CHINI YANGU MIMI MKEO FLAN BIN FLAN UNAJITAJA JINA LAKO NA LA BABAAKO UNIPENDE MIMI USIPENDE MWANAMKE YOYOTE ZAID YANGU TENA UKOME KUPENDA PENDA OVYO MANJIAN NIPENDE MIMI TU ...chochote nitakacho kwambia unisikilize mimi hii kuma yangu ndo uitombe na KUILILIA USITOMBE KUMA YOYOTE MAMAYOZAKO UNAMTUKANA UTANUWIYA MENGI HUKU UKIELEKEA CHOONI NUWIYA YOTE UNAYO YATAKA UKIFIKA CHOONI NAWA RUDI KULALA ....FANYA IVYO MARA 3 NDAN YA MAISHA YAKO UNAWEZA FANYA LEO UKAA KAMA WIK UKAKANYAGA TENA HADI UMALIZE CKU 3 OK KLA LA KHER MWALI DAWA UNAZO MWENYEWEEEE HEHEIYAAAA PAMBE TU ππΎ ... Read More
π»π»π»π»π»π»π»π»π»π»π» *πJINSI YA KUMCHANGANYA MWANAUME MPAKA AKIKUFIKIRIA JINA LAKO AKUWAZA NA KUTABASAMU HATA AKIWA KWA OFISIπ* πΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊ _βπΎUnajua mwanaume ni kiumbe *weak sana* inapokuja Kwenye swala la mchochomeo sasa hivi ni vitu ambavyo ukifanya Kama mke sio girlfriend, mume wako atakuwa na *kiwewe cha maisha akitembea atakuwa anashikilia suruali kwa mbele ya zipu muda woote, heheee*_ _βπΎBe the queen *( yaani usafi nyumba*) well decorated na uchafu si mzuri your house inatakiwa kuwa *so lovely romantic na sio mambo ya jiko la mkaa ndani na mnaishia kuumua mafuta ya taa .*_ _βπΎRafiki zake usiwageuze maadui *( wapende .wa entertain na accommodate )*_ _βπΎMapishi *(pika Kama Leo mwisho wa dunia chakula kitamuuuuuu)*_ _βπΎLearn how to swim, guitar, piano, fishing na football *(Wanaume Wanapenda challenge ukipenda mpira mbona atafurahia atakaa ndani)*_ _βπΎswala la chumbani *(yaani Huko inabidi m practice TANTRIC sex)* humo ndio uwe malaya wake na usiogope si mmeoana kanisani au msikitini mungu Anashuhudia_ _*Namalizia kwa hili*_ _βπΎHakikisha Mumeo *ANALIA* kwa tendo la ndoa na kokote atakapoenda hakuna tena *(ushauri wangu viuno vimepitwa na wakati jaribu kumchanganya ya Brazil, Urusi, Kiarabu na kizunguzungu)*_ ```Usiku mwema na endeleeni na mengineyo``` _Β©brayton official love _ πππππππππππ ... Read More
*KWA NINI BAADHI YA WANAWAKE HULIA WAKATI WA TENDO LA NDOA?* Inaelezwa kuwa hatua ya baadhi ya wanawake wakati wa tendo la ndoa ni kama kutua mzigo wa moyo na kisaikolojia. Kupitia kilio hicho, mwanamke huonesha furaha yake ya kuwa karibu na mumewe na kuonesha kuwa hana tatizo la kuelezea kuridhia kwake na kufika kileleni. Baadhi ya nyakati mwanamke huyaelezea yote hayo kupitia kilio. Lakini kwa upande mwingine, mwanamke anaweza akalia kwa sababu ya kutofurahia tendo la ndoa, jambo linaloonesha kuwa hakuna utamu kwenye tendo husika na kuonesha kuwa wanandoa husika hawana mrandano. Hivyo, mchanganyiko wa hisia za furaha na kufika kileleni au kutofurahia tendo kama atakavyo, humfanya alie. Hivyo unapokutana na hali hiyo ya mwanamke, usimkasirikie, usimkimbie na kumgeuzia mgongo kwa kuamini kwamba hajakufurahia au hakupendi. Bali unatakiwa kujua kwamba katika hali ya kwanza mwanamke anafurahia tendo la ndoa pamoja nawe na anakujali, lakini katika hali ya pili unatakiwa umsaidie aweze kufurahia tendo na kuboresha ukaribu wa kimwili na kisaikolojia kati yenu ili kufikishana kileleni kama inavyotakiwa. Nakutakieni usiku mwema ... Read More
*JINSI YA KUSISIMUA KISIMI* Hivi karibuni katika somo langu la jinsi ya KUCHEZEA KISIMI (katerero) kuna memba aliniuliza swali lifuatalo: Kama kisimi ni zaidi ya uume kwa raha ya mapenzi kwa nini baadhi ya wanawake wakisisimuliwa kisimi bado huwa hawajisikii raha...?..?...?... JIBU: ......πΉπ» Hakuna tatizo lolote na hao wanawake ingawa ni kweli kisimi/kinembe ni kiungo maalumu na cha tofauti sana kwenye mwili wa mwanamke. .........πΉπ» Ila kumbuka kila mwanamke na mwili wake ni tofauti na mwanamke mwingine, wengine hupenda na kujisikia raha kisimi kikiguswa kwa nguvu, wengine si kwa nguvu sana, wengine kubusiwa, wengine kunyonywa, wengine kikilambwa, wengine kikisuguliwa na wengine hawawezi kupata raha hadi kifanyiwe mazoezi kwa muda zaidi (baada ya miezi na miaka kadhaa). ......π»πΉ Pia kumbuka wapo wanawake ambao huwa hawasikii raha hasa mwanaume akiwahi kisimini kabla ya kusisimuliwa sehemu zingine kama matiti nk kwani huko kuna nerves 8,000 so ukigusa haraka anaweza kurusha rocket mwezini. ......π»πΉ Pia kuna wanawake ambao ni mbumbu kuhusu sexuality na miili yao mfano kama anaamini unampotezea muda kuhangaika na kisimi chake, je unadhani atapata raha yoyote? ......πΉπ» Sex huanza kwenye mind kama ameweka password kwenye mind yake utafungua vipi? ......π»πΉ Kumsisimua mwanamke huhusika moja kwa moja na ubongo wake au nini unaongea naye wakati mwingine hata kabla ya kuingia chumbani au kitandani. ......π»πΉ Ili asisimke inategemea sana nini unaongea kwenye sikio lake, kile unamnongβoneza kina maana sana katika kuuandaa mwili wake, kama hujajua kuongea maneno fulani fulani ambayo huongelewa kwenye sikio la mwanamke kabla ya sex basi huna budi kujifunza. ........π»πΉ Jinsi unavyoweza kumsisimua kabla hata nguo hajavua utakuwa na kazi rahisi sana wakati akiwa hana hata nguo moja na hii itakurahisishia yeye kutaka zaidi. ......π»πΉ Kama umeoa mwanamke ambaye hajijui mwili wake na kisimi kina kazi gani kwake jaribu hii na unaweza kuwa mbunifu zaidi ukiongeza skills inazozijua wewe. ......π»πΉ Kwa kuwa unajua kisimi ni nini na kipo wapi hongera maana umeshapiga hatua kubwa on this game, hakikisha ame-relax, ungana naye kuhakikisha miili inapata joto la mahaba kimwili, kiroho na kiakili. ......πΉπ» Jisikia comfortable, hakikisha unapumua vizuri na ukitaka hakikisha mnapumua pamoja sare na deep , ukiweza mfanyie massage mwili mzima kuanzia kichwa hadi vidole vya miguu, anza kwa kutumia ncha za vidole vyako na baadae kwa kupalaza viganja na mikono yote. ......π»πΉ Sasa hakikisha unalishikilia vizuri hekalu lako, uso, shingo, masikio, mabaga, mikono, kifua, matiti, tumbo, mgongo, mapaja na miguu hadi vidole. ......π»πΉ Huku ukimchunguza kama vile umewahi fanya kazi FBI angalia kama yupo relax na amesisimuka ( anapumua kwa nguvu zaidi, chuchu zimesimama, na south pole kunalowa kimbiza mikono yako kwenye kuta za uke na kisimi. ......π»πΉ Ukiaona bado hajisikii raha kwenye kisimi chake, rudi ground zero kichwani tena kwa kumbusu sawa kama ulivyompa massage. ...π»πΉ Then rudi tena kwenye kuchezea kisimi kwa skills zote...π»πΉ Then fanya unachojua wewe! *JINSI YA KUSISIMUA KISIMI.* *1.VIDOLE.* ......π»πΉ Kwanza mikono lazima iwe safi na kucha fupi zilizokatwa vizuri zisizo na mikwaruzo yoyote wala ncha mpya kali. ......π»πΉ Na kabla hujatujuliza vidole au kidole chako hapo hakikisha unapita kwanza kusalimia sehemu zingine kama mapaja na eneo zima la uke. ......π»πΉ Kujua ni pressure kiasi gani utumie wewe si bubu muulize mkeo anaweza kukujibu kwa kukunongβoneza au kwa kukupa signal, kumbuka kuna aina ya kuchezesha vidole au kidole iwe duara au square na kama hukusoma geometry au vector basi rudi shule maana hapo ndo application yake. ......π»πΉ Kumbuka hilo ni eneo sensitive kuliko eneo lolote katika mwili wa binadamu hivyo usicheze rafu. *2.KINYWA.* ......πΉπ» Wapo ambao kwao sex si uchafu na huweza kutumia viungo vyao nyote katika mwili na kwao kufanya hivyo ni kuwa karibu zaidi kati ya mke na mume na ni mwili mmoja na zaidi tendo la ndoa ni kuwaunganisha wawili kimwili, kiakili na kiroho hivyo si kuingiliana tu bali kuwa kitu kimoja. ......πΉπ» Kwa kuwa ulimi ni kiungo au msuli imara kuliko yote katika mwili wa binadamu basi kisimi kikikutana na ulimi mbingu hufunguka na watu kurushwa International Space Station bila kujijua basi kama umejazwa Roho Mtakatifu unaweza kunena kwa lugha kwa raha inayotokea. ......π»πΉ Lubricant ya asili iliyopo kweny ulimi na joto la kinywa hutoa sensation ambayo ni kama dream team pamoja na kuzungusha ulimi kwa skills zote mke wako atakutana na lift itakayomnyenyua hewani kuelekea kileleni. *3.UUME.* ......πΉπ» Uume ni toy la mwanamke yeyote ambaye ameolewa, uume unaweza kuingia kwenye game la kuchezea kisimi. ......πΉπ» Ila jiangalie usije maliza haraka kwani kusugua kisimi kwa uume huweza kuupa uume sensation za kupelekea kumaliza haraka. *MWISHO*. ... ... Read More
*ππKUFANAYA MAPENZ SI KUPATA WATOTO KUWA MBUNIFU WA TABIAπππ* *πππππππππSex kwa wanandoa haipo kwa ajili ya kutengeneza watoto tu. Kama mke, kila mara lazima uwe tofauti kwa mumeoππππππ*. Mshawishi mumeo, usiruhusu mumeo akuombe sex, usiwe na ratiba ya sex. Kuwa mbunifu, na wala usitabirike. Mpe ile anayostahili.. kama ukipoteza mvuto kwa mumeo, basi umepoteza thamani yako kama mwanamke. Kuwa sehemu ya mipango ya mume wako. Hakuna kitu mume wako atakipenda kama kumuomba sex, toa aibu....huyo ni mume wako..mmehalarishwa mbele za Mungu, penis yake ni mali yako pia... Inashangaza kuna baadhi ya wanawake hata hawajui penis za waume zao zikoje. Ichezee unavyotaka, usiku usilale na suruali au jinsi...acha ngozi yako laini imguse mumeo...kuna raha kubwa mwanaume anavyoguswa na ngozi yako laini...msisimuko wake ni wa kiwango cha PhD. ```Mwanaume anavyokuwa satisfied na sex siku zote anakuwa stable kiakili na kimwili...anafurahia maisha na atatamani kurudi nyumbani kila mara...πΉππΉππΉππΉπ``` *ππππππππππππππππMsikariri kwamba sex lazima iwe usiku tu, fanyeni hata mchana...kama uko nyumbani na mumeo yupo kazini...mwite hata muda wa lunch aje nyumbani...fanyeni tendo hata la nusu saa tu...huo ndio ubunifu na ndoa haitaboa.πππππππππππ* ```πππππππππMtii mumeo kwa moyo mmoja, kamwe usimweleze kwamba upo hapo kwa ajili ya watoto.. Kumbuka ulianza kumjua yeye kabla watoto hawajaja.πππππππππ``` *πΉππΉππΉππππΉππΉπ½πΉππΉπ½Mbembeleze mumeo, weka kichwa chake kwenye kifua chako. Muombee...mpe kiss ya kibabe...mmmhwwwwaaa....usijihisi vibaya kumkiss mbele ya public...yeye ni mumeo..mali yako halali kabisa hata malaika mbinguni wanajuaππΉππΉππΉπππΉπΉ*. ```ππππππππππππππKuwa romantic uwapo nyumbani, vaa nguo laini za mitego....usivae mivitenge na magauni magumu....πππππππππ``` *ππΉππΉππΉππΉπΉππΉπΉπKuwa msafi kila muda...Nukia kwa manukato yenye mvuto, usinukie mapilipili hoho na mavitunguu swaumu....kama vipi nunua sex lingarie halafu vaa kila muda uwapo na mumeo peke yenu.β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€* *πππππππππππππUsionekane kama una miaka 50 wakati hata 40 hujafikisha...fanya mazoezi, acha bia, nyama choma, chips mayai, mapizza, na mavyakula mengine yenye wanga mwingi.ππΉππΉππΉππΉπΉππΉπ* *ππΉππΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉππΉπΉππΉTunza vizuri mwili wako, mwanamke ni pambo ndani ya nyumba na fahari ya macho ya mume...sasa ukipoteza mvuto umefanya kosa kubwa sana. Fanya jitihada kupigania kuwa na mwili uliokuwa nao mwanzo.ππππππππππ* ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: