Home → simulizi
→ KURUDI KWA MOZA: 22
Rose alijua Salome ataanguka chini ila ilikuwa kinyume maana Salome hakuanguka chini, Rose akamsukuma tena ila Salome alisimama kamavile mlingoti. Muda huu Rose alipotaka kumsukuma tena Salome alishangaa mkono wake ukianza kutetemeka. Kila mmoja ndani ya nyumba yake alimshuhudia Rose akitetemeka mkono, Ana akainuka kwani aliona mama yake asije akaumbuka yeye kisha Ana akamsukuma yeye Salome ila kwake ndio ikawa kinyume kabisa kwani mkono wake uliganda kwenye mwili wa Salome, kila mmoja alikuwa akishangaa na kati ya wale mapacha na Sara hakuna aliyeweza kuongea neno lolote.
Mara Salome alianza kuelekea vyumbani ila Ana ambaye mkono wake uliganda kwa Salome alikuwa akimfata nyuma, halafu Rose naye ambaye mkono wake ulikuwa ukitetemeka alikuwa akimfata nyuma pia, kitendo hiko kiliwafanya wale mapacha na Sara wafate nyuma kwani walitaka kujua ni nini kinaendelea au ni kitu gani huyo Salome anataka kufanya.
Salome aliongoza moja kwa moja mpaka chumbani kwa Rose na kufungua mlango, kila mmoja alikuwa akimfata nyuma huku wengine hawaelewi elewi, alikutwa Patrick akiwa amelala chini sakafuni, Salome akamuangalia Rose na kumuamuru,
“Muamshe”
Rose akiwa anatetemeka, alisogea kwa Patrick na kujaribu kumuamsha. Alimuamsha kwa muda akashindwa, akainua kichwa chake na kumtazama Salome kwa uoga kisha akamwambia,
“Nakuomba basi wanangu watoke humu chumbani nimuamshe”
“Unashindwa nini kumuamsha hivyo hivyo?”
“Tafadhali usinidhalilishe, nakuomba watoke kwanza ndio nimuamshe. Nipeni dakika chache tu nitakuwa nimemuamsha”
Salome akatoka nje na wengine wote walimfata nyuma hadi sebleni kwahiyo walimuacha mama yao akiwa chumbani na Patrick.
Kila mmoja alikuwa akimshangaa tu Salome na wala Ana hakuweza kuutoa mkono wake kwenye mwili wa Salome maana uligandia alipotaka kumsukuma, kwahiyo walikuwa wamesimama tu na hakuna yeyote aliyethubutu kukaa wala kusema neno lolote kwa wakati ule kwani wote walijikuta wakimtazama tu Salome.
Baada ya muda kidogo, mama yao alirudi na Patrick sebleni na muda huu hata Ana akaweza kuutoa mwili wake kwenye mwili wa Salome, basi Salome alienda kumfata Patrick na kumkalisha kwenye kiti kisha akapitisha mkono wake machoni pake na kusema,
“Nataka uone yote na zaidi ya yote amabayo mkeo amekuwa akikutendea kwa miaka yote hii”
Ikawa kama akili ya Patrick imefunguka kiasi hivi kwani alianza kujishangaa na kuhoji kuwa yuko wapi,
“Nikowapi hapa?”
Ni Salome pekee aliyekuwa na ujasiri wa kumjibu,
“Unatakiwa kutulia kwanza maana ndio umetoka kifungoni ni ngumu kujua kwa mara moja ulipo. Tulia kwanza tuliza akili halafu utajua ulipo na kila kitu ingawa kuna baadhi ya vitu utavitambua badae sana”
Patrick alikaa kimya kwani alikuwa kama haelewi elewi vile.
Walitamani kumuhoji Salome lakini hakuna aliyekuwa na ujasiri wa kufanya hivyo, kisha Salome akainuka na kwenda zake ndani kisha akawaacha wote pale sebleni. Yani kama kuna siku ambayo Rose aliwaonea wanae aibu basi ilikuwa ni siku ya leo maana nae hakuweza tena kukaa pale sebleni bali aliondoka na kwenda chumbani kisha Ana nae akafata na kwenda chumbani kwake. Kwahiyo sebleni walibaki wale mapacha, Sara na Patrick. Muda kidogo Patrick alimuangalia Sara na kumuomba jambo,
“Naomba kaniletee simu yangu na funguo za gari chumbani”
Sara hakubisha wala nini, alifanya hivyo na kwenda chumbani kwa mama yake ambapo aligonga na mama yake alimkaribisha kwani alijua ni Ana, akashangaa kumuona ni Sara. Akamuuliza kwa mshangao,
“Vipi tena?”
“Baba kanituma funguo za gari na simu yake”
“Chukua hivyo hapo mezani mpelekee”
Yani siku ya leo hata kuhoji hakuhoji zaidi ya kusema funguo zilipo na simu ya mumewe, simu ambayo mume wake ana kitambo sana hajaishika wala kuwasiliana na watu. Sara alichukua na kwenda kumpelekea baba yake huyo wa kambo. Alipompa tu Patrick alitoka nje na kuondoka zake, tena hakuna aliyemuaga kuwa anaenda wapi.
Wale mapacha waliangaliana na dada yao Sara, halafu Sara akawaambia,
“Yani kwa matukio haya naogopa hata kulala peke yangu”
“Sasa utalala na nani?”
“Sijui yani”
“Basi kalale na Ana au Salome”
“Mmmh hao watu ni bora uniambie nikalale getini na mlinzi, nawaogopa hao watu kama kitu gani”
Mara Salome akatokea, Sara akajikuta tu akimwambia
“Baba kaondoka tena bila kuaga, halafu leo kachukua na simu yake”
“Ungekuwa ni wewe ungeweza kuaga?”
“Kivipi?”
“Unajifanya hujui ambayo baba yangu alikuwa akitendewa kwenye nyumba hii? Sasa anatambua kila kitu, maswala ya kumfanya mwenzenu kama ndondocha mwisho”
Sara aliwaangalia wenzie, halafu Salome alitoka nje kabisa na alionekana akielekea getini ambako alitoka na kuondoka.
Sara aliwauliza wenzie,
“Jamani mnamuelewa huyu mtoto?”
“Simuelewi na sitaki kuongea sana”
“Hata mimi pia simuelewi na naogopa kuongea sana”
Kisha wale mapacha wakaondoka zao na Sara akaondoka zake.
Rose alipoona mwanae Ana hajaenda chumbani kwake ikabidi yeye mwenyewe ndio aende chumbani kwa Ana, aliingia na kumuuliza mwanae,
“Hivi wewe umeweza kumuelewa huyu Salome?”
“Mama naomba tuzungumze usiku kwenye muda wetu sio muda huu”
“Hata tukisema tuzungumze usiku hatatusikia kweli?”
“Mama, mimi ndio nimekwambia na bado natafakari maana sipo sawa kabisa. Amewezaje Yule kugandisha mkono wangu mama? Yule msichana ana majini sio bure”
“Ndiomana nakwambia tujadili sasa hivi, unajua ile majuzi nilienda kwa mganga mwingine halafu ndani kwa mganga nilimkuta Moza”
“Moza!”
“Ndio nilimkuta Moza”
“Si amekufa huyo mama”
“Mwanangu hatuna uhakika na kifo cha Moza, kumbuka maiti yake ilitoweka kaburini”
“Ndio ilitoweka ila nikajua utafanya jambo, na imekuwaje hadi Moza awe hajafa kweli?”
“Sijui mwanangu, ila kama ile dawa iliyomuua Moza ilichomwa moto basi tumeisha”
“Unamaana gani mama?”
“Ile dawa mwanangu nilipewa na ilikuwa hairuhusiwi kuonekana na mtu yeyote halafu sitakiwi kuiweka mbali na nyumba yangu ndiomana nikaifukia kwenye ua ili nijue ni ua gani nimeifukia. Ni ya muda mrefu sana ile dawa na ilikuwa hairuhusiwi kuonekana na mtu yeyote wala kuungua na moto ndiomana hata kuunguza mboga humu kwenye nyumba yangu huwa sitaki. Sasa kama imechomwa moto sijui itakuwaje, ndiomana tulitakiwa kumzika nayo Moza”
“Sasa mama kama imechomwa moto imechomwa na nani wakati Moza alikuwa amekufa nayo mkononi”
“Kwamaana hiyo inawezekana ipo mahali eeh! Lakini mbona tuliitafuta bila kuiona popote”
“Mi nadhani mama tufanyie usafi kile chumba cha Moza tuitafute kabla hayajawa majanga”
“Sasa lile shetani linalolala kwenye chumba kile tutalifanya nini?”
“Yani huyo mtu ananiumiza kichwa balaa, ila mama na wewe kwanini dawa ya maana hivyo ukaenda kuifukia kwenye ua? Mbona mimi dawa yangu ile ipo chini ya godoro”
“Ni masharti ya ile dawa, kwanza haikutakiwa kuwekwa ndani ya nyumba ila inatakiwa iwe karibu na nyumba halafu haitakiwi mtu aione.”
“Basi mama nitatumia dawa yangu kufanya kitu ili tuweze kupekua kile chumba cha Moza”
“Sawa mwanangu, ndiomana nilikuwa nakufata tujadili. Sasa wewe unataka tufanye kwenye muda wetu, unadhani mambo yalivyotinga hivi tutakumbuka kujadiliana kweli! Ni ngumu mwanangu”
“Kweli mama ila chanzo cha mambo yote haya ni mwanao Sara, yani simpendi Yule mdada simpendi kabisa”
“Kweli mwanangu ni chanzo cha yote lakini ni mwanangu, kumbuka hilo. Yule ni dada yako mpende tu”
Rose akajiribu pale kumshawishi mwanae ili ajende upendo kwa ndugu yake maana alikuwa anapenda watoto wake wapendane.
Salome alienda nyumbani kwa mama yake na kumkuta kama kawaida akiwa na wale wadogo zake John na Joseph. Aliwasalimia kisha mama yake akamuomba chumbani kwake ili wakazungumze
“Kwanza imefurahi umerudi nyumbani maana mambo yako siku hizi siyaelewi kabisa. Halafu ngoja nikuulize, hivi una simu”
Salome akacheka,
“Sio unacheka Salome, nijibu una simu?”
“Ndio nina simu”
“Umeitoa wapi?”
“Baba yangu kaninunulia ili niweze kuongea nae”
“Haya, wadogo zako wameniambia Ashura hakuja huku kwenye nyumba mpya, halafu wewe na Ashura kuna mchezo mlikuwa mnacheza kisha Ashura akaanguka. Unajua sijaelewa naomba nieleweshe maana huyo Ashura hata nikimpigia simu zangu hapokei zaidi ya kunitumia ujumbe tu”
“Hivi hat nikikueleza unaweza ukanielewa!”
“Nieleze tu, kwanini nisikuelewe?”
“Acha tu ufahamu unavyofahamu, Yule Ashura si ndugu yako? Uliza kwa ndugu zenu alipo”
“Hivi wewe mtoto unaongelea nini mbona sikuelewi?”
“Huyo mamdogo Ashura yupo kwenye kijiji cha baba yenu amesema anaenda kuangalia kaburi la baba yenu kwahiyo ungeenda na wewe kijijini ili uulize vizuri kuhusu Ashura”
“Tutaenda na wewe?”
“Hapana, mimi nitabaki ila utaenda na wadogo zangu. Mimi nabaki na baba yangu.”
“Haya nitafikiria kwenda”
Salome akainuka, na kumfanya Neema amuulize tena,
“Sasa mbona unaondoka kabla hata sijamaliza maongezi na wewe”
“Subiri nakuja sasa hivi”
Salome aliondoka zake, Neema nae alitoka ila kiukweli hakumuelewa kabisa mwanae na mambo aliyokuwa anayafanya.
Alipokaa muda kidogo mwanae alirudi kisha akampa mama yake tiketi,
“Nimeshakukatia tiketi, wewe na wadogo zangu ya kwenda kutembelea kaburi la babu”
“Kheee kwahiyo ndio unataka tusafiri!”
“Ndio, si mnaenda kukaa wiki tu mnarudi”
“Kwahiyo tiketi umekata ya kuondoka lini?”
“Kuondoka kesho”
“Kheee Salome hebu acha masikhara, tutaondokaje kesho wakati hatujajipanga!”
“Unataka mjipangaje?”
“Sijapanga nguo za watoto, sijawanunulia mama zangu vitenge”
“Ni hayo tu au kuna mengine?”
“Ni hayo ndio”
“Basi nitakusaidia, yani wewe tulia tu nitakusaidia kupanga ila tiketi ni ya kesho”
Neema alimshangaa sana Salome kuwa mtoto wake amebadilika sana na amekuwa na maamuzi ya haraka haraka, akawa anaziangalia tu zile tiketi ambazo alikuwa amekatiwa na Salome.
Usiku kwenye mida ya saa tatu, Neema akiwa amejipumzisha kidogo akamsikia Salome akiingia ndani kwake na kumwambia,
“Mama kila kitu nimekupangia kwahiyo kesho safari”
“Na nguo zangu, na za wadogo zako umepanga?”
“Ndio tayari”
“Ila vitenge bado sijanunua”
“Nilishaenda kununua”
“Kheeee hebu tuvione”
Salome alimtolea Neema vitenge ambavyo aliviangalia na kushangaa tu kuwa Salome amewezaje kwenda mjini kwa muda mfupi vile na kuchagua vitenge bvizuri vile, akainuka na kuangalia mabegi ni kweli yalikuwa yamepangwa vizuri kabisa kwahiyo hakuwa na cha kubisha kuhusu safari ya kesho, swala hilo hata likamsahaulisha kuwa alishauriwa mwanae ampeleke kwenye maombi.
“Nishaongea na dereva tax, kwahiyo atakuja kuwachukua kesho asubuhi”
“Kwahiyo nyumba nani atafunga?”
“Mimi nitafunga, na mkiwa mnarudi mtanikuta maana nitakuwa narudi mara kwa mara”
Neema alimuangalia mwanae Salome hakummaliza maana kwa kawaida Salome wake ni muoga ila leo hii anakubali kuachwa mwenyewe nyumbani na anasema atakuwa anaenda mara kwa mara hata wakirudi watamkuta, alimshangaa kwakweli ila akajisemea labda ndio kukua kumemfanya abadilike.
Usiku wa manane, Rose alichukuana na mwanae kwenda kufanya msako kwenye chumba cha Moza kutafuta ile dawa iliyomuua Moza maana walihisi bado ipo ndani. Basi walipekua na kupekua lakini hawakufanikiwa kuiona, ndipo walipoanza kupekua nguo moja moja ya Moza ila Ana akamwambia mama yake,
“Mama, tutajichosha bure. Ngoja twende chumbani kwangu nikachukue ile dawa yangu ituonyeshe”
Rose aliafikiana na mwanae na kujilaumu kuwa kwanini walikuwa wakijichelewesha wakati kuna njia rahisi ya kufanya, basi wakatoka mule chumbani kwa Moza na kuelekea chumbani kwa Ana walipofika walishangaa kumuona mtu amekaa kitandani kwa Ana halafu mtu huyo akawaangalia na kuwafanya wagundue kuwa ni Moza.
Itaendelea kesho usiku…….!!!!!!!
By, Atuganile Mwakalile.
KURUDI KWA MOZA: 22 Rose alijua Salome ataanguka chini ila ilikuwa kinyume maana Salome hakuanguka chini, Rose akamsukuma tena ila Salome alisimama kamavile mlingoti. Muda huu Rose alipotaka kumsukuma tena Salome alishangaa mkono wake ukianza kutetemeka. Kila mmoja ndani ya nyumba yake alimshuhudia Rose akitetemeka mkono, Ana akainuka kwani aliona mama yake asije akaumbuka yeye kisha Ana akamsukuma yeye Salome ila kwake ndio ikawa kinyume kabisa kwani mkono wake uliganda kwenye mwili wa Salome, kila mmoja alikuwa akishangaa na kati ya wale mapacha na Sara hakuna aliyeweza kuongea neno lolote. Mara Salome alianza kuelekea vyumbani ila Ana ambaye mkono wake uliganda kwa Salome alikuwa akimfata nyuma, halafu Rose naye ambaye mkono wake ulikuwa ukitetemeka alikuwa akimfata nyuma pia, kitendo hiko kiliwafanya wale mapacha na Sara wafate nyuma kwani walitaka kujua ni nini kinaendelea au ni kitu gani huyo Salome anataka kufanya. Salome aliongoza moja kwa moja mpaka chumbani kwa Rose na kufungua mlango, kila mmoja alikuwa akimfata nyuma huku wengine hawaelewi elewi, alikutwa Patrick akiwa amelala chini sakafuni, Salome akamuangalia Rose na kumuamuru, “Muamshe” Rose akiwa anatetemeka, alisogea kwa Patrick na kujaribu kumuamsha. Alimuamsha kwa muda akashindwa, akainua kichwa chake na kumtazama Salome kwa uoga kisha akamwambia, “Nakuomba basi wanangu watoke humu chumbani nimuamshe” “Unashindwa nini kumuamsha hivyo hivyo?” “Tafadhali usinidhalilishe, nakuomba watoke kwanza ndio nimuamshe. Nipeni dakika chache tu nitakuwa nimemuamsha” Salome akatoka nje na wengine wote walimfata nyuma hadi sebleni kwahiyo walimuacha mama yao akiwa chumbani na Patrick. Kila mmoja alikuwa akimshangaa tu Salome na wala Ana hakuweza kuutoa mkono wake kwenye mwili wa Salome maana uligandia alipotaka kumsukuma, kwahiyo walikuwa wamesimama tu na hakuna yeyote aliyethubutu kukaa wala kusema neno lolote kwa wakati ule kwani wote walijikuta wakimtazama tu Salome. Baada ya muda kidogo, mama yao alirudi na Patrick sebleni na muda huu hata Ana akaweza kuutoa mwili wake kwenye mwili wa Salome, basi Salome alienda kumfata Patrick na kumkalisha kwenye kiti kisha akapitisha mkono wake machoni pake na kusema, “Nataka uone yote na zaidi ya yote amabayo mkeo amekuwa akikutendea kwa miaka yote hii” Ikawa kama akili ya Patrick imefunguka kiasi hivi kwani alianza kujishangaa na kuhoji kuwa yuko wapi, “Nikowapi hapa?” Ni Salome pekee aliyekuwa na ujasiri wa kumjibu, “Unatakiwa kutulia kwanza maana ndio umetoka kifungoni ni ngumu kujua kwa mara moja ulipo. Tulia kwanza tuliza akili halafu utajua ulipo na kila kitu ingawa kuna baadhi ya vitu utavitambua badae sana” Patrick alikaa kimya kwani alikuwa kama haelewi elewi vile. Walitamani kumuhoji Salome lakini hakuna aliyekuwa na ujasiri wa kufanya hivyo, kisha Salome akainuka na kwenda zake ndani kisha akawaacha wote pale sebleni. Yani kama kuna siku ambayo Rose aliwaonea wanae aibu basi ilikuwa ni siku ya leo maana nae hakuweza tena kukaa pale sebleni bali aliondoka na kwenda chumbani kisha Ana nae akafata na kwenda chumbani kwake. Kwahiyo sebleni walibaki wale mapacha, Sara na Patrick. Muda kidogo Patrick alimuangalia Sara na kumuomba jambo, “Naomba kaniletee simu yangu na funguo za gari chumbani” Sara hakubisha wala nini, alifanya hivyo na kwenda chumbani kwa mama yake ambapo aligonga na mama yake alimkaribisha kwani alijua ni Ana, akashangaa kumuona ni Sara. Akamuuliza kwa mshangao, “Vipi tena?” “Baba kanituma funguo za gari na simu yake” “Chukua hivyo hapo mezani mpelekee” Yani siku ya leo hata kuhoji hakuhoji zaidi ya kusema funguo zilipo na simu ya mumewe, simu ambayo mume wake ana kitambo sana hajaishika wala kuwasiliana na watu. Sara alichukua na kwenda kumpelekea baba yake huyo wa kambo. Alipompa tu Patrick alitoka nje na kuondoka zake, tena hakuna aliyemuaga kuwa anaenda wapi. Wale mapacha waliangaliana na dada yao Sara, halafu Sara akawaambia, “Yani kwa matukio haya naogopa hata kulala peke yangu” “Sasa utalala na nani?” “Sijui yani” “Basi kalale na Ana au Salome” “Mmmh hao watu ni bora uniambie nikalale getini na mlinzi, nawaogopa hao watu kama kitu gani” Mara Salome akatokea, Sara akajikuta tu akimwambia “Baba kaondoka tena bila kuaga, halafu leo kachukua na simu yake” “Ungekuwa ni wewe ungeweza kuaga?” “Kivipi?” “Unajifanya hujui ambayo baba yangu alikuwa akitendewa kwenye nyumba hii? Sasa anatambua kila kitu, maswala ya kumfanya mwenzenu kama ndondocha mwisho” Sara aliwaangalia wenzie, halafu Salome alitoka nje kabisa na alionekana akielekea getini ambako alitoka na kuondoka. Sara aliwauliza wenzie, “Jamani mnamuelewa huyu mtoto?” “Simuelewi na sitaki kuongea sana” “Hata mimi pia simuelewi na naogopa kuongea sana” Kisha wale mapacha wakaondoka zao na Sara akaondoka zake. Rose alipoona mwanae Ana hajaenda chumbani kwake ikabidi yeye mwenyewe ndio aende chumbani kwa Ana, aliingia na kumuuliza mwanae, “Hivi wewe umeweza kumuelewa huyu Salome?” “Mama naomba tuzungumze usiku kwenye muda wetu sio muda huu” “Hata tukisema tuzungumze usiku hatatusikia kweli?” “Mama, mimi ndio nimekwambia na bado natafakari maana sipo sawa kabisa. Amewezaje Yule kugandisha mkono wangu mama? Yule msichana ana majini sio bure” “Ndiomana nakwambia tujadili sasa hivi, unajua ile majuzi nilienda kwa mganga mwingine halafu ndani kwa mganga nilimkuta Moza” “Moza!” “Ndio nilimkuta Moza” “Si amekufa huyo mama” “Mwanangu hatuna uhakika na kifo cha Moza, kumbuka maiti yake ilitoweka kaburini” “Ndio ilitoweka ila nikajua utafanya jambo, na imekuwaje hadi Moza awe hajafa kweli?” “Sijui mwanangu, ila kama ile dawa iliyomuua Moza ilichomwa moto basi tumeisha” “Unamaana gani mama?” “Ile dawa mwanangu nilipewa na ilikuwa hairuhusiwi kuonekana na mtu yeyote halafu sitakiwi kuiweka mbali na nyumba yangu ndiomana nikaifukia kwenye ua ili nijue ni ua gani nimeifukia. Ni ya muda mrefu sana ile dawa na ilikuwa hairuhusiwi kuonekana na mtu yeyote wala kuungua na moto ndiomana hata kuunguza mboga humu kwenye nyumba yangu huwa sitaki. Sasa kama imechomwa moto sijui itakuwaje, ndiomana tulitakiwa kumzika nayo Moza” “Sasa mama kama imechomwa moto imechomwa na nani wakati Moza alikuwa amekufa nayo mkononi” “Kwamaana hiyo inawezekana ipo mahali eeh! Lakini mbona tuliitafuta bila kuiona popote” “Mi nadhani mama tufanyie usafi kile chumba cha Moza tuitafute kabla hayajawa majanga” “Sasa lile shetani linalolala kwenye chumba kile tutalifanya nini?” “Yani huyo mtu ananiumiza kichwa balaa, ila mama na wewe kwanini dawa ya maana hivyo ukaenda kuifukia kwenye ua? Mbona mimi dawa yangu ile ipo chini ya godoro” “Ni masharti ya ile dawa, kwanza haikutakiwa kuwekwa ndani ya nyumba ila inatakiwa iwe karibu na nyumba halafu haitakiwi mtu aione.” “Basi mama nitatumia dawa yangu kufanya kitu ili tuweze kupekua kile chumba cha Moza” “Sawa mwanangu, ndiomana nilikuwa nakufata tujadili. Sasa wewe unataka tufanye kwenye muda wetu, unadhani mambo yalivyotinga hivi tutakumbuka kujadiliana kweli! Ni ngumu mwanangu” “Kweli mama ila chanzo cha mambo yote haya ni mwanao Sara, yani simpendi Yule mdada simpendi kabisa” “Kweli mwanangu ni chanzo cha yote lakini ni mwanangu, kumbuka hilo. Yule ni dada yako mpende tu” Rose akajiribu pale kumshawishi mwanae ili ajende upendo kwa ndugu yake maana alikuwa anapenda watoto wake wapendane. Salome alienda nyumbani kwa mama yake na kumkuta kama kawaida akiwa na wale wadogo zake John na Joseph. Aliwasalimia kisha mama yake akamuomba chumbani kwake ili wakazungumze “Kwanza imefurahi umerudi nyumbani maana mambo yako siku hizi siyaelewi kabisa. Halafu ngoja nikuulize, hivi una simu” Salome akacheka, “Sio unacheka Salome, nijibu una simu?” “Ndio nina simu” “Umeitoa wapi?” “Baba yangu kaninunulia ili niweze kuongea nae” “Haya, wadogo zako wameniambia Ashura hakuja huku kwenye nyumba mpya, halafu wewe na Ashura kuna mchezo mlikuwa mnacheza kisha Ashura akaanguka. Unajua sijaelewa naomba nieleweshe maana huyo Ashura hata nikimpigia simu zangu hapokei zaidi ya kunitumia ujumbe tu” “Hivi hat nikikueleza unaweza ukanielewa!” “Nieleze tu, kwanini nisikuelewe?” “Acha tu ufahamu unavyofahamu, Yule Ashura si ndugu yako? Uliza kwa ndugu zenu alipo” “Hivi wewe mtoto unaongelea nini mbona sikuelewi?” “Huyo mamdogo Ashura yupo kwenye kijiji cha baba yenu amesema anaenda kuangalia kaburi la baba yenu kwahiyo ungeenda na wewe kijijini ili uulize vizuri kuhusu Ashura” “Tutaenda na wewe?” “Hapana, mimi nitabaki ila utaenda na wadogo zangu. Mimi nabaki na baba yangu.” “Haya nitafikiria kwenda” Salome akainuka, na kumfanya Neema amuulize tena, “Sasa mbona unaondoka kabla hata sijamaliza maongezi na wewe” “Subiri nakuja sasa hivi” Salome aliondoka zake, Neema nae alitoka ila kiukweli hakumuelewa kabisa mwanae na mambo aliyokuwa anayafanya. Alipokaa muda kidogo mwanae alirudi kisha akampa mama yake tiketi, “Nimeshakukatia tiketi, wewe na wadogo zangu ya kwenda kutembelea kaburi la babu” “Kheee kwahiyo ndio unataka tusafiri!” “Ndio, si mnaenda kukaa wiki tu mnarudi” “Kwahiyo tiketi umekata ya kuondoka lini?” “Kuondoka kesho” “Kheee Salome hebu acha masikhara, tutaondokaje kesho wakati hatujajipanga!” “Unataka mjipangaje?” “Sijapanga nguo za watoto, sijawanunulia mama zangu vitenge” “Ni hayo tu au kuna mengine?” “Ni hayo ndio” “Basi nitakusaidia, yani wewe tulia tu nitakusaidia kupanga ila tiketi ni ya kesho” Neema alimshangaa sana Salome kuwa mtoto wake amebadilika sana na amekuwa na maamuzi ya haraka haraka, akawa anaziangalia tu zile tiketi ambazo alikuwa amekatiwa na Salome. Usiku kwenye mida ya saa tatu, Neema akiwa amejipumzisha kidogo akamsikia Salome akiingia ndani kwake na kumwambia, “Mama kila kitu nimekupangia kwahiyo kesho safari” “Na nguo zangu, na za wadogo zako umepanga?” “Ndio tayari” “Ila vitenge bado sijanunua” “Nilishaenda kununua” “Kheeee hebu tuvione” Salome alimtolea Neema vitenge ambavyo aliviangalia na kushangaa tu kuwa Salome amewezaje kwenda mjini kwa muda mfupi vile na kuchagua vitenge bvizuri vile, akainuka na kuangalia mabegi ni kweli yalikuwa yamepangwa vizuri kabisa kwahiyo hakuwa na cha kubisha kuhusu safari ya kesho, swala hilo hata likamsahaulisha kuwa alishauriwa mwanae ampeleke kwenye maombi. “Nishaongea na dereva tax, kwahiyo atakuja kuwachukua kesho asubuhi” “Kwahiyo nyumba nani atafunga?” “Mimi nitafunga, na mkiwa mnarudi mtanikuta maana nitakuwa narudi mara kwa mara” Neema alimuangalia mwanae Salome hakummaliza maana kwa kawaida Salome wake ni muoga ila leo hii anakubali kuachwa mwenyewe nyumbani na anasema atakuwa anaenda mara kwa mara hata wakirudi watamkuta, alimshangaa kwakweli ila akajisemea labda ndio kukua kumemfanya abadilike. Usiku wa manane, Rose alichukuana na mwanae kwenda kufanya msako kwenye chumba cha Moza kutafuta ile dawa iliyomuua Moza maana walihisi bado ipo ndani. Basi walipekua na kupekua lakini hawakufanikiwa kuiona, ndipo walipoanza kupekua nguo moja moja ya Moza ila Ana akamwambia mama yake, “Mama, tutajichosha bure. Ngoja twende chumbani kwangu nikachukue ile dawa yangu ituonyeshe” Rose aliafikiana na mwanae na kujilaumu kuwa kwanini walikuwa wakijichelewesha wakati kuna njia rahisi ya kufanya, basi wakatoka mule chumbani kwa Moza na kuelekea chumbani kwa Ana walipofika walishangaa kumuona mtu amekaa kitandani kwa Ana halafu mtu huyo akawaangalia na kuwafanya wagundue kuwa ni Moza. Itaendelea kesho usiku…….!!!!!!! By, Atuganile Mwakalile.
Artikel Terkait
*MWAGIA HUM HUMO EP 01* ```NEW NEW NEW NEW NEW``` V. _BY ADMIN MODDY_ Sehemu Ya Kwanza (1) Toka nimezaliwa nimekuwa mwanamke mwenye mkosi kila mpenzi wangu mwanzo wa mapenzi yalikuwa motomoto. Lakini baada ya muda fulani mwanaume alinimwaga bila sababu za msingi. Kila siku ya Mungu nilishindwa kuelewa nina matizo gani mtoto wa kike miye. Kibaya zaidi ndoa niliyofunga miezi minne iliyopita ilivunjika huku mpenzi wangu akipagawa na penzi la nje. Jamani mbona makubwa, huyo mwanamke aliyenivunjia ndoa yangu hata mkonioni hajai, hanizidi kwa lolote si kwa sura wala umbile. Niliamini maneno ya watu huenda yule mwanamke ni mchawi. Kitendo cha ndoa yangu kuvunjika na historia yangu ya nyuma ya kuachwa kwenye mataa na wanaume kiasi cha kugeuzwa jina ubao wa shabaha kila mwanaume kujifunza kulenga kwangu na akichoka hiondoka bila kwaheri. Bahati niliyokuwa nayo mwanaume yeyote aliyenitaka, yupo radhi kunihonga hata milioni ili mradi anipate, Mungu alijilalia umbile na sura lakini niliamini kuna kitu kikubwa kimepungua kwangu kinachofanya wanaume wanikimbie. Kwani moto anaoanza nao mwanaume kama maji ya moto lakini baada ya muda hupoa. Lakini hachelewi kupoa, wapo niliokaa nao mwezi mwili, mitatu , wiki na wengine wakionja hawarudi tena. Kuna watu walionifuata na kunieleza labda niende kwa waganga wa kienyeji ili nisafishwe nyota yangu. Ushauri ule niliufuata baada ya kutumia dawa zile sikuchelewa kupata bwana aliyetangaza ndoa kabisa. Lakini baada ya miezi minne ndoa yangu ilivunjika, kitendo kile kilinitia aibu, yote ya kuchezewa na wanaume na kuachwa ilikuwa tisa, kumi ilikuwa kuachwa bila sababu huku mume wangu akizama kwenye penzi ya kinyago msela mwanamke asiye na mbele wala nyuma. Kitendo kile kilinidhalilisha sana, sikuweza kuvumilia bila kujieleza siku ya pili nilipanda gari mpaka Dar na kufikia kwa rafiki yangu niliyekuwa nasomanaye shule moja ambaye baada ya kumaliza shule alikwenda Dar kutafuta maisha na baadaye alinieleza amepata chumba tena anafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi. Kwa vile nilikuwa na siku yake nilipomjulisha nakwenda Dar hakunikatalia Nilipanda basi hadi Dar. Baada ya kufika nilikaa mwa muda wa mwezi mmoja na kunitafutia kibarua katika kiwanda kimoja, ajabu msimamizi alinizimikia na kuanzisha mahusiano na mimi. Kwa vile kila mmoja alikuwa na ujiko kuwa na uhusiano na bosi basin a mimi nilimkubalia. Kama kawaida haikuchukua hata mwezi akanimwaga na kashfa nyingi kwamba heri atembee na mwanaume mwenzake kuliko kulala na mimi. Kwa kweli kitendo kile kilizidi kunidhalilisha na kuniweka kwenye wakati mgumu, kibaya kila mwanaume niliyekuwa nakutana naye na kuniacha hakunieleza tatizo langu. Kwa kweli niliumia sana na kuamua kuacha kazi, niliapa sitakuwa tayari kufanya kazi wala kuanzisha uhusiano na mwanaume yeyote. Baada ya shoga yangu kupata bwana ilinibidi nihame kwa kutafutiwa chumba sehemu za uswahili kwa bibi mmoja maarufu pale mtaani Bi Shuu, ni bibi wa miaka 55 lakini mambo yake temea chini. Bibi yule alinilea kama mwanaye wa kuzaa hata kodi yangu hakuitaka. Kuhamia kwa Bi Shuu nilijikuta nikiingia dunia nyingine kabisa, kweli nimekubali tembea uone mambo, ningekaa Arusha ningeyajua haya. Nazidi kukubali kweli vikiungwa vitamu, tena mtu ataomba aongezwe na akimaliza kula lazima ajilambe vidole. Najua una hamu kuvijua hivyo vitamu vilivyo ungwa mpaka watu wakajilamba, Naomba twende pamoja tuipate wote faida ya kuwa karibu na makungwi kama Bi Shuu. ******** Katika mambo niliyokuwa siyapendi katika maisha yangu ni pamoja na kusumbuliwa na mwanaume wakati wa kilimo cha mhogo. Ooh! Inama, mara jipinde hivi, mara geuka hivi. Siku zote nilijiuliza kwani bila kukusumbua hivyo mwanaume hawezi kufikisha mzigo wake. Kitendo cha kijana huyu ambaye alinipata kupitia kwa Bi Shuu kutaka kunisumbua kilinikera sana. “Manka mbona hivyo sasa raha ya mapenzi ipo wapi?” “Nimesema sifanyi unavyotaka, sipo kwenye mazoezi ya yoga hapa kama huwezi hivi, vaa nguo zako ondoka, ” nilisema kwa ukali bila kumuangalia nyuma yangu alipokuwa amekaa. “Lakini Man…,” “Ee..ee..eeh, nasema hivi kwani tatizo nini bila hivyo unavyotaka hufiki safari yako?” Nilimkata kauli Edward. “Manka raha ya chakula ubadili mapishi mchele mmoja lakini una mapishi zaidi ya kumi.” “Kwani huo mchele ukipika bila kubadili mapishi hauivi?” “Lakini Manka kuna tatizo gani kufanya ninavyotaka, sema niongeze kiasi gani ukubaliane na mimi ili nami nifaidi raha ya mapenzi?” “Kaka eeh! Mimi sio chombo cha mazoezi, mlango huoo, unaweza kuondoka hukuitwa na mtu chumba changu mwili wangu eeh.” Yule kijana alipandwa na hasira, alinyanyuka na kupitia suruali yake na kutoka bila kuaga, nilifyonza na kujilaza huku nikinyanyuka na kupitia upande wa kanga na kujifunga kisha nilirudi kujilaza kitandani. Nilijikuta nikipandwa na ghadhabu kitendo cha Bi Shuu kunitafutia wanaume na kugawana kitakacho patikana. Nilijikuta nikijiona nimekataa nini na ninafanya nini. Sikuwa na tofauti na wale wanawake wanaojiuza kwenye vyumba vyao kwa wanaume kupanga foleni. Japo kwangu haikuwa hivyo, mimi ilikuwa naitwa na Bi Shuu na kuelezwa juu ya kijana kunipenda na kuwa mtu wangu wa karibu wakati mambo yangu hayajawa mazuri. Lakini kila mvulana aliyekuja baada ya kunionja hakurudi tena, lakini wa leo yeye alikuwa tofauti na waliotangulia, alikuwa mwanaume msumbufu ambaye sikukubaliana naye. Baada ya kuondoka nikiwa bado nimejilaza katika vazi la kanga moja Bi Shuu aliingia chumbani kwangu kama askari aliyevamia chumba cha jambazi. Sikushtuka niligeuza shingo na kumtizama, mama mtu mzima asiye na haya wala kujua vibaya kunigeuza kitega uchumi chake. Japo alinisaidia vitu vingi kama chakula na matumizi madogo madogo ninapokwama kipindi kila nilipoacha kazi bila kujua hatima ya maisha yangu. Akiwa amenisimamia pembeni ya kitanda changu kama jini la kutumwa huku akinikata jicho kali ambalo hakuwahi kulionesha kwangu. Nilijikuta nikishtuka na kujiuliza kulikoni kuniijia kama shetani wa kutumwa. “Manka,” aliniita jina langu. “Abee.” “Unataka msaada gani kwangu?” “Upi huo?” nilimuuliza huku nikaa kitako. “Kila kijana ninayemleta kwako anaondoka bila kuaga tatizo nini?” “Kwani wao wamekueleza nini?” “Hakuna hata mtu wa kuelezea kitu zaidi ya kuondoka bila kuaga, kwani kuna tatizo gani?” “Kwangu sina, labda wao.” “Kwa mtindo huu, hali itakuwa ngumu si muda utageuka mzigo wa moto usioshikika wala kubebeka.” Mmh! Nilijua nimenyea kambi, nilijiuliza kama Bi Shuu kama ataniona mzigo sikujua nitakwenda wapi. Kurudi Arusha sikuwa tayari, kuendelea kulipiwa chumba na shoga yangu niliona aibu baada ya kujitoa kwake, lakini ningefanya nini katika mji wa watu. “Kwa mtindo huo kuanzia mwezi ujao utalipa kodi,” Bi Shuu aliniambia kwa sauti kavu. “Bi Shuu, nitatoa wapi pesa za kodi nami kazi sina.” “Kazi huna au hutaki kazi.” “Kazi za kudhalilishana hata siwezi.” “Kipi cha ajabu dunia ya leo, Mungu amekupa vitumie.” “Navitumia lakini sina bahati.” “Basi habari ndiyo hiyo, mwezi ujao utalipa kodi, la huna rudisha chumba changu.” “Bi Shuu, lakini si wewe ndiye uliyemkataza shoga yangu kuwa aache kulipia kodi nitaishi nawe kama mwanao?” “Mwanangu gani asiye na msaada, mimi na mzee wangu ninatulia na mwanaume akionja lazima arudie na akimaliza sharti ajilambe.” “Sasa mimi nimekataa mwanaume gani, wenyewe ndiyo wananikataa.” “Basi utakuwa na kasoro ambayo unaificha, lakini nitaijua muda si mrefu.” Bi Shuu alisema huku akitoka nje, nilibakia nimejilaza kitandani nikiwa na mawazo mengi juu ya mapungufu yangu kwa wanaume, kufikia hatua kila mwanaume akionja harudii tena. Kingine kilichonichanganya ni kulipa kodi na kazi sina, nilishangaa Bi Shuu kunigeuka kama kinyonga. Nikiwa katikati ya mawazo nilisikia hodi ikigongwa chumbani kwangu. “Pita mlango u wazi,” nilipaza sauti kumruhusu anayegonga aingie. Mlango ulifunguliwa na mtu aliingia, ha! Kumbe alikuwa shoga yangu Mage. “Aah, Mage umenikumbuka leo.” “Ni kweli Manka, vipi mbona ka.a.maaa?” Nilijua kuna hali ilimfanya aingie wasiwasi, nilishukuru Mage hakumkuta yule mwanaume alikwisha nionya nisikubali kuugeuza mwili wangu kitega uchumi na kunieleza ninapozidiwa kimaisha nikimbilie kwake. Lakini niliona aibu motto wa kime niliye kamilika kuomba kwa mtu kila siku. “Hamna kitu, nilikuwa nataka kwenda kuoga,” nilidanganya. “Ni hivi shoga yangu, shemeji yako amekupatia kazi kwenye kampuni moja kama secretary, si bado unakumbuka kutaipu kwa computer?” “Mmh muda, lakini sijasahau, labda wepesi.” “La muhimu uipate hiyo kazi, mengine yatajulikana humo humo.” “Nitashukuru shoga yangu.” “Na kazi yenyewe ni kesho asubuhi jiandae shemeji yako atakupitia, kesho asubuhi na kukupeleka kwenye hiyo kazi kisha atakwenda kazini kwake.” “Nashukuru shoga yangu kweli wewe ni ndugu wa damu” Nilimkumbatia Mage huku nikimuomba Mungu asitokee mwanaume atakaye nitaka kimapenzi. Niliamini hata kama nitamkataa huo utakuwa mwanzo wa kuchukiwa na mwisho wa siku kufukuzwa kazi. Lakini nilimuomba Mungu kabla ya kuianza hiyo kazi, aniepushe ni matamanio ya wanaume japo kila vazi nililovaa liliwaweka katika wakatii mgumu wanaume. Lakini nilimuomba Mungu usiku na mchana ili aniepushe na mataanio ya wanaume. &&&& Japo nilikuwa na furaha ya kupata kazi kwenye ofisi, lakini bado moyo wangu ulikosa raha kutokana na kuwa na bahati ya kupendwa lakini mkosi wa kuachwa. Lakini nilijipiza moyoni kuwa na msimamo wa kutojirahisi kwa wanaume yoyote. Baada ya taarifa zile shoga yangu aliondoka na kuniacha nikijipanga kwa ajili ya siku ya pili. Niliapa tena kutomkubalia mwanaume yoyote kimapenzi kutokana na kujijua nina kasoro ambayo sikuifahamu. Mwanzo nilikuwa nikisimama mbele ya kioo na kujiangalia niliona mwanamke mzuri kuliko wote. Hata nilipotipa mbele za watu, watu waliumia shingo kunitazama, wenye pesa waligongana. Nilimchagua niliyempenda lakini mwisho wa siku walinitema kama ganda la mua. Lakini sasa hivi hata kusimama mbele ya kioo naona udhia sikuwa na kipya, sikujua sababu ya mimi kugeuzwa mpira wa kona kila mmoja anataka kufunga na akifunga hana hamu tena na mimi. Nikiwa katika lindi la mawazo mara aliingia Bi Shuu bila hodi kama kawaida yake. Alipofika alisimama mbele yangu kama jini wa kutumwa, kwa sauti ya nyodo alisema. “Hivi Manka utaendelea kuwa tegemezi mpaka lini?” “Mbona sikuelewi Bi Shuu, mbona leo umenishupalia hivyo mtoto wa mwenzio?” Nilijikuta namtolea uvivu maana toka asubuhi amekuwa na mimi huku akizidi kunikosesha raha bila kosa. “Hujui?” Aliniuliza kwa jicho la kukata. ”Kujua nini Bi Shuu?” “Baada ya kukueleza ujitume katika maisha yako unaona nakuonea, badala yake unampigia simu shoga yake. Hujisikii aibu mwenzio ana maisha yake utaendelea kuomba mpaka lini?” Mmh, makubwa nilijikuta nikimshangaa Bi Shuu kwa kunishupalia kwa maneno bila sababu, hata bila kujua Mage alikuja kufanya nini yeye ananibwatukia. Au sababu nipo kwake kanigeuza mtoto wake. “Bi Shuu leo naona umeniamkia.” “Sijakuamkia bali nakupa makavu, chungu lakini dawa.” “Unajua shoga yangu kaniletea nini?” Nilimuuliza huku nikumtazama jicho kali. “Kuna kingine zaidi ya kukuletea ya pesa za kodi, hivi hujiulizi mwenzako anaishi vipi na mumewe muda wote na wewe kwa nini umekuwa kama ubao wa shabaha kila mwanaume akionja arudi una tatizo gani mtoto wewe wa kike?” “Lakini Bi Shuu, shoga yangu hakuleta pesa alikuja na mengine kabisa.” “Mankaaaa weweee, unataka kunidanganya mtu mzima mimi niliyeona jua kabla yako.” “Bi Shuu unanionea, shoga yangu hakuniletea hela.” “Haya nieleze amekuletea nini?” “Taarifa ya kazi.” “Kazi! Wapi?” “Kwenye kampuni ya rafiki ya mumewe.” “Mmh, kazi gani?” “Ya secretary wa bosi.” “Mmh, kama nakuona vile, kama kweli chumba utaendelea kukaa bure sitaki hata senti tano yako. Shida yangu kubwa ujishughulishe si kingine ndiyo maana hata hao wanaume niliwatafuta ili upate chochote na ikiwezekana upate mume miongoni mwao.” “Nashukuru Bi Shuuu, niombee niipate hiyo kazi.” “Si umesema kila kitu tayari?” “Eeh, pamoja na dua zako ni muhimu wewe ni mama yangu.” “Dua zangu zote kwako wala usiihofu utaipata.” Tulijikuta nimekuwa kitu kimoja tena kwa kuondoa tofauti za mwanzo, Bi Shuu alikenua mpaka gego la mwisho lilionekana baada ya taarifa zangu za kupata kazi. “Manka kaoge basi tuje tupate kifungua kinywa.” Nilikwenda kuoga na kuungana na Bi Shuu kupata kifungua kinywa, moyoni nilijiuliza bila kupata taarifa za kazi Bi Shuu angenifanya nini. Lakini nilimshukuru Mungu kwa muujiza alionifanyia wakati nilikuwa nimeisha kata tamaa. ******* Usiku kabla ya kulala nilitafuta nguo nzuri yenye heshima itakayofaa mbele ya macho ya watu. Kuhusu umbile na sura Mungu alinipendelea lakini sijui alininyima nini mwilini kiasi cha kuonekana Big G za Kichina ukitafuna kidogo utamu umekwisha. Baada ya kuchagua suti rangi ya bluu, niliinyoosha vizuri na viatu vyangu ambavyo nilivipiga kiwi tangu mchana niliviweka vizuri na kupanda kitandani. Saa kumi na mbili nilikuwa tayari nipo bafuni naoga, baada ya kuoga wakati najipamba mlango uligongwa. Nilijua shemeji amefika, kumbe alikuwa Bi Shuu nilipomuona nilitabasamu na kumkaribisha. “Bi Shuu karibu, mbona asubuhi?” “Hakuna cha ajabu, umeamkaje?” “Mmh, salama shikamoo.” “Marahaba, umeisha jipamba?” “Ndiyo Bi Shuu.” “Njoo mara moja.” Nilitoka hadi chumbani kwake, nilipofika nilikutana na kitezo kilichokuwa kikifuka moshi uliokuwa na harufu nzuri. Nilijiuliza vitu vile alivifanya wakati gani na alimfanyia nani au mimi. Nikiwa nimesimama nisijue alichoniitia aliniambia. “Manka chutama kwenye kitezo hicho,” mmh, makubwa madogo yana nafuu, nilifanya kama alivyoniagiza. Baada ya kuchutaka alitoa udi kwenye karatasi na kuuongeza kwenye makaa ya moto, baada ya kuuweka ulianza kutoa moshi wenye manukato mazuri. Alinipa shuka nijifushe, niliuinamia ule moshi ulionifanya ninukie kila kona ya mwili. Baada ya kujifusha alinieleza niufunike ule moshi na sketi kwa kuchutama moshi wote uliingia chini. Mtoto wa kike nilinukia kama malkia wa Kihindi, baada ya kuhakikisha nanukia kila kona alinipa pafyumu ambayo sikuwahi kuiona na kunipulizuia kidogo na mwisho alinipa wanjaa mwembamba kwa kunisaidia kunipaka. Kwa kweli nilipendeza mtoto wa kike. “Manka leo mwanangu umependeza,” Bi Shuu alinisifia. “Asante.” Wakati huo shemeji alikuwa amefika kwa kupiga hoi, kabla ya kuondoka Bi Shuu alinipa usia. “Manka Mungu kakujalia kila kitu alichotakiwa kuwa nacho mtoto wa kike, kama ningekuwa mtoto wa kiume ningekupata kwa gharama yoyote. Sasa usiwe macho juu. Hii inaweza kuwa nafasi ya pekee kupata bwana aliye bora ambaye atakuwa mumeo. Itumie nafasi yako vizuri, kazi njema.” “Asante, pia nimekusikia Bi Shuu yote nitayafanyia kazi.” “Basi kazi njema mmmwa.” Kwa mara ya kwanza Bi shuu alinibusu kuonesha furaha ya ajabu moyoni mwake. Baada ya kuachana na Bi Shuu alikwenda chumbani kwangu kupitia mkoba wangu kisha niliifuata gari aliyokuja nayo shemeji. Shemeji aliponiona tu alitanguliza sifa. “Hakika mke wangu umependeza.” “Asante mume wangu.” “Kwa mtindo huu nisije ibiwa tu.” “Ni wewe tu mume wangu, haya ni mapambo lakini upendo wangu kwako upo moyoni.” Nilijibu shemeji huku nikiingia ndani ya gari. Gari liliondoka huku utuli niliojinyunyizia ukitalawa ndani ya gari, baada ya kujuliana hali na shemeji aliniuliza maswali mawili matatu. “Mmh, shemu ulikuwa unaishije bila kazi maana mwenzio aliniambia siku hizi huchukui huduma?” “Bi Shuu kwa kweli alinilea kama mtoto wake.” “Sasa ungekaa kumtegemea mpaka lini?” “Ndiyo hivyo kazi zenyewe kila mtu anakutaka kimapenzi ukiwanyima inakuwa kero, nitawakubali wangapi?” “Ooh, pole.” “Sasa ni hivi kampuni ni ya rafiki yangu kipenzi hivyo nakuomba ujiheshimu ili kunilindia heshima yangu.” “Nakuahidi shemeji kujiheshimu.” “Itakuwa vizuri.” Tulipofika kwenye kampuni ya rafiki ya shemu tulitelemka na kuingia ndani, tulipofika tulipokelewa. Muda ule Mkurugenzi alikuwa hajafika tulikaribishwa kwenye makochi. Baada ya dakika kumi aliingia alipomuona shemeji walisalimiana kwa kukumbatiana. “Ooh, Aloys karibu sana.” “Asante Mr Shaka .” “Samahanini kwa kuchelewa.” “Bila samahani hatujafika muda mrefu.” “Basi karibuni ofisini.” Tuliongozana naye hadi ofisini kwake, mmh lilikuwa bonge la ofisi ambalo sikuwahi kuwaza kuingia katika ofisi kama ile. Nilibakia nang’aa macho mtoto wa kike kwa ushamba. Lakini niliuficha ushamba wangu, baada ya kutulia tuli kitini mwenyeji wetu ambaye nilimfahamu jina kwa kumsikia akiitwa na shemu Mr Shaka alikuwa akipitia vitu muhimu mezani kabla ya kutugeukia. “Mhu, Mista lete habari?” “Habari nzuri, huyu ndiye shemeji yangu,” alisema huku akinigeukia. “Ooh, mrembo kwanza nilisahau kukusalinia, za asubuhi?” “Nzuri tu.” “Pia hongera umependeza” ‘Asante.” “Basi kama ulivyoelezwa kazi ipo na unatakiwa kuianza mara moja, wala usihofu ugeni ila nitakuwa nawe pamoja muda wote.” “Nitashukuru kwa hilo.” Baada ya kupokelewa kazini shemeji aliaga na kuniacha kwenye kazi yangu mpya, baada ya kuondoka nilibaki nimeinama chini kama mwanamwali. Pamoja na ukali wa Bi Shuu bado alinipa mafunzo kwa mtoto wa kike kuinamisha macho mbele ya mwanaume. “samahani mrembo unaitwa nani” “Manka” “Manka nani Kileo” “Jina zuri” “Asante.” Mr Mateja alinyanyuka na kunishika mkono huku akisema. “Hebu njoo uanze kazi mama.” Alinipeleka katika computer iliyokuwa nje ya ofisi yake ilikuwa imekaa vizuri sana. “Basi hapa kuanzia leo ndio ofisi kwako.” “Nashukuru sana” Alinionesha kazi za kufanya siku ile, kabla ya kuanza nilijitetea. “Lakini bosi ni muda mrefu sijafanya kazi hivyo lazima nitakuwa mzito.” “Usihofu kwa hilo fanya kwa uwezo wako,” pia alinielekeza kutumia simu nikiwa nana shida ame nimelaliza kazi bila kumfuata ofisini kwake. “Asante bosi,” nilishukuru kwa upole na ukarimu wa bosi “Niite Mr Mateja” “Sawa Mr Mateja” “Nakutakia kazi njema.” “Nawewe pia” Baada ya kuondoka niiliingia kwenye kazi ya kuchapa kazi zilizokuwa wenye meza yangu. Hazikuwa kazi ngumu sana nilizifanya kwa muda mfupi sikuwa nimepoteza kasi ya mikono kihivyoo. Baada ya kuchapa kazi niliyopewa, niliziprinti kwenye karatasi na kuzipiga pini kisha nilimpelekea ofini. Nilimkuta bosi macho yapo kwenye monitor ya computer, nilimuona alinyanyua macho kunitazama. Aliponiona aliachia tabasamu pana, nakiri kuwa bosi wangu Mr Shaka alikuwa mwanaume mtanashati tena mwenye umbile la mvuto kwa mwanamke yoyote. Kule kutabasamu kwake kuliniweka katika wakati mgumu sana kwa kumuomba Mungu aniepushe na shetani wa upendo. Niliamini kama akinitaka kimapenzi jibu la sitaki litakosekana mdomoni mwangu, lakini nilipiga moyo konde kufuata kilichonipeleka ofisini kwa bosi. “Manka karibu.” “Asante bosi, kazi iliyokuwa na haraka nayo tayari.” “Ooh, vizuri sana sikutegemea ungeifanya kwa muda mfupi hivi.” “Najitahidi japo nilikuwa na muda mrefu sijagusa computer,” nilimjibu huku nikimkabidhi kalatasi, nami nikiachia tabasamu pana ambayo huogopa kuitoa kwa wanaume ili kuepusha ungongano wa mawazo. Ilikuwa ugonjwa wa wanaume kila ninapotabasamu mashavu huweka visima ‘dimples’ wanaume wengi ulikuwa uchawi mkubwa kwao. Kila mwanaume niliyekutana naye alipenda kunifurahisha ili aone madhari mantashau ya mashavu yangu. ITAENDELEA ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na moja (11) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp....... 0769673145 Ilipoishia......... Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. *********Endelea ******** Nolan alivunja kibubu chake cha kuhifadhia pesa na kugundua pesa iliyopo huko ni ndogo Sana na haitatosha kutimiza mipango aliyoipanga. Nolan aliamua kuwa mwizi wa ghafla kwa ajili tu ya kutimiza anachokitaka. Lakini hata hivyo hakuenda kuiba sehemu nyingine yoyote, aliamua kumuibia baba yake ikiwa ni njia moja wapo ya kumkomesha baba yake. Nolan alikuwa anajua baba yake ana tabia ya kuhifadhi pesa chumbani kwake. Na baada ya Nolan kugundua kuwa baba yake hayupo haraka akaamua kwenda chumbani kwake na kumuibia pesa kiasi cha shilingi million hamsini. Baada ya zoezi hilo, Nolan alichukua kiasi cha fedha kati ya zile alizomuibia baba yake na Kisha zingine akazificha sehemu ambayo mtu mwingine hawezi kuziona. Kisha Nolan akatoka nje na kuchukua gari Lake na kuondoka nyumbani Muda ule ule. * Mzee Joel alitia nanga Katika kikosi kimoja kilichojulikana kwa Jina la the killer (wauaji) Baada ya kufika mzee Joel alielezea shida Zake zilizompwleka pale na Sasa akitaka Frank pamoja na Nolan wauwawe Mara moja. Mzee Joel alitoa picha ya Nolan pamoja na ya Frank na kumkambidhi mkuu wa kikosi kile cha the killer. "mzee tunahitaji pesa kiasi cha shilingi million thelathini ili kuitimiza kazi yako." akaongea mkuu wa kikosi kile kumwambia mzee Joel. "hakuna tatizo kuhusu pesa nyie fanyeni kazi niliyowapa." akaongea mzee Joel. "Sawa kuanzia Sasa kazi imeanza na tutakuletea majibu Muda si mrefu." mkuu yule wa kikosi cha the killer akamwambia mzee Joel. Mzee Joel aliweza kuondoka huku akiwa na uhakika wa Kaz yake kufanyika kwa ufasaha Sasa. Mkuu wa kikosi kile cha the killer aliwateua vijana wanne kwenda kuanza kazi ya kummaliza Nolan na Kisha wengine wanne akawatuma kwa Frank. * Katika hoteli ile ya kifahari Penina na Frank wakiwa wameketi kitandani wakitizama tv, ghafla bila kutarajia walishtukia kumuona Nolan akigonga mlango. "Eeh kaka mbona umekuja bila taarifa?" akauliza Penina kwa mshangao baada ya kufungua mlango. "lazima nije ghafla na taarifa zangu ziwe za ghafla kwasababu nataka nifanye kitu cha kuwafurahisha, na hivi nimekuja kuwaambia mjiandae tuondoke tayari nimeshawakatia tiketi za kwenda South Africa (Afrika kusini)" akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Zilikuwa taarifa za ghafla kwa kina Penina na Frank, lakini hata hivyo hawakuwa na namna ilibidi waanze kujiandaa kwa ajili ya safari yao waliyoandaliwa na Nolan. * Vijana wanne waliopewa kazi ya kumuangamiza Frank walichunguza wakachunguza na hatimaye wakafinikiwa kupajua nyumbani kwa kina Frank. Na bila kupoteza muda wakavamia nyumbani kwa kina Frank na kuwaweka chini ya ulinzi Wazazi wake Frank pamoja na mdogo wake Frank. Vijana wale wakawaamuru Wazazi wake Frank waseme sehemu alipo Frank la sivyo watawaangamiza. Wazazi wake Frank kwa kuogopa kuuwawa wakajikuta wakitaja sehemu aliyopo Frank. Vijana wale bila kuchelewa waliachana na Wazazi wake Frank wakaingia kwenye gari na kuanza safari ya kuelekea sehemu aliyopo Frank ambapo ni Katika hoteli moja ya kifahari. * Frank pamoja na Penina walimaliza kujiandaa na moja kwa moja wakatoka ndani ya chumba kile na kuelekea mpaka nje ya hoteli ile na kuingia kwenye gari la Nolan. Lakini wakati huo huo vijana wale wanne wa the killer walikuwa tayari wameshawasili kwenye gari lile na waliweza kumuona Frank pamoja na Nolan ambao ndio walikuwa wakiwatafuta wawamalize. Mmoja kati ya vijana wale wanne wa the killer alitoa simu yake na kuwapigia wale vijana wengine wanne waliokuwa wakimtafuta Nolan, na kuwaeleza sehemu aliyoonekana Nolan pamoja na Frank. Vijana wale waliokuwa wakimtafuta Nolan nao walianza safari ya kutoka sehemu nyingine waliyokuwa wakimtafuta Nolan na kushika njia ya kuelekea Katika hotel waliyoelekezwa na wenzao. Wakati huo huo Nolan aliliondoa gari pale hotelini na kuanza safari ya kuelekea Katika uwanja wa ndege. Vijana wale wanne wa the killer nao wakawasha gari Lao na kuanza kuwafuatilia ili waweze kujua wanaelekea wapi na kama ikiwezekana wakaulie huko huko. Safari ikiwa inaendelea, ghafla Nolan aliona gari moja nyekundu ikiwa nyuma na kuitilia mashaka kuwa inawafuatilia. Nolan aliamua kufanya kitu ili apate uhakika kama gari lile linawafuatilia au haliwafuatilii. Nolan alipunguza mwendo wa gari Lao ili lile gari jekundu lililokuwa nyuma yao liwapite. Lakini cha kushangaza gari lile halikuwapita nalo pia lilipunguza mwendo na kwenda taratibu pia. Nolan akaamua kuongeza mwendo wa gari Lao ili kuliacha gari lile, lakini pia gari lile liliongeza mwendo na kuwa Sawa Sawa kabisa na gari la kina Nolan. Nolan hapo Sasa ndio akapata jibu kuwa asilimia Mia moja hilo gari jekundu linawafuatilia vibaya mno. "hawa hawanijui ngoja niwaoneshe mimi ni nani." akajisemea Nolan kimoyo moyo na hapo hapo akaongeza mwendo wa gari Lao ili kuliacha gari lile lililokuwa likiwafuatilia. Wakati huo huo kile kikosi cha pili cha the killer kiliwasili pale hotelini na kuwapigia wenzao simu ambao ni wale wanaowafuatilia wakina Nolan, na kuwatarifu kuwa tayari wameshafika. Kikosi kile cha kwanza kikawapa maelekezo ya sehemu walipo wakiwa bado wanawafuatilia wakina Nolan. Kikosi kile cha pili bila kupoteza Muda nacho kikatoka pale hotelini na kuanza kuwafuatilia wakina Nolan pia. Wakati hayo yote yanaendelea Frank na Penina walikuwa wakicheka na kufurahi kwenye gari bila kufahamu chochote kinachoendelea, na hata Nolan hakutaka kuwaambia chochote kwa kutokutaka kuwavuruga Katika safari yao. Nolan bado alizidi kujaribu kulipoteza gari lile lakini bado hakufanikiwa. Nolan alifika kwenye mataa ya kuongozea magari na baada ya Nolan kuvuka tu kwenye mataa yale, zikawaka taa nyekundu kuashiria magari yaliyokuwa yakitoka upande ule wa kina Nolan yasimame kwa dakika kadhaa. Lakini Nolan wao walikuwa tayari wameshavuka lakini vijana wale wa the killer walikuwa bado hawajavuka hivyo ikawabidi wasimame. Nolan aliweza kugundua kuwa gari lililokuwa likiwafuatilia limesimamishwa kwenye mataa. Lakini Nolan akataka kuwafahamu ni wakina walikuwa wanawafuatilia. Nolan alipaki gari pembeni Kisha akawashusha Frank na Penina na kuwapakiza kwenye tax iliyokuwa pembeni yao, na kuwakabidhi kila kitu kilichostahili kwenye safari yao na kuwataka watangulie na kuanza safari yao. Penina na Frank walishangazwa Sana na maamuzi ya Nolan lakini hata hivyo Nolan hakutaka wamuulize swali lolote, alimwamuru dereva wa tax ile awashe gari na kuondoka. Kisha Nolan naye akaingia kwenye gari yake na kugeuza kuwafuata vijana wale wa the killer na wakati huo walikuwa tayari wameshaungana wote kwa maana ya kikosi kile cha kwanza kilichokuwa kikimtafuta Nolan na kile cha pili kilichokuwa kikimtafuta Frank. ............ Itaendelea ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA SABA (7) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita nikaingia zangu ndani ile nafika sebureni sikukuta mtu nika nyoosha mpaka mezani nika kuta chakula changu nikala nilivyo maliza nika ingia zangu chumbani.niliwasha taa ya chumbani nilishangaa kuona......... Endelea nayo ........ mtu akiwa amelala kitandani kwangu tena kajifunika mwili mzima.nikasogea mpaka pale kitandani.nikafunua lile blanketi nilistaajabu kumuona dada binamu akiwa mtupu tana hana hata nguo nika mwamsha lakini akajifanya amelala nikaona nisimsumbue acha nikalale sebureni. wakati nataka kutoka nje nilishangaa naitwa na binamu "we Kenny unaenda wapi njoo unikune bwanaaah mwenzako nawashwa" nilimjibu siwezi kufanya hivyo tambua wewe ni ndugu yangu nilishangaa sana kuona kauli aliyo nijibu binamu ni nyama ya hamu we njo hata usiogope ujue nilikua nakupenda sana toka kipindikile mdogo nilikua naogopa kukuambia. na toka nimetolewa bikra yangu sijawai kukutana na mwanaume mwingine hivyo hapa nilipo nina ugwadu hatari. nilitamani sna kumuuliza nani aliye kutoa bikra ila nili sita nika kausha.basi kidume nika mwambia kwa leo nimechoka sana labda kesho ndo tutafanya nikaenda kitandani nikajifunika shuka nikalala.usiku wakati tumelala nilishanga kujikuta tume kumbatiana na binamu na hapo ndipo tulipoingia kwenye mahaba mazito. yani hakukuwa na muda wa kupoteza kwa kweli, mapenzi hakuna muda wa kufanya, popote kambi mnapojisikia, inabidi dozi itembee,yani binamu alinikumbatia kwa nguvu huku midomo yetu ikibadilishana juice, tayari Suruali ilishavuliwa muda mrefu na kumwacha Askari Kipara aliyesimama kama Mnara Dole lilizama kwenye kitumbua laini cha errycah na kukichezea kama napiga kinanda. Tena kwa vidole vitatu, basi errycah kwake ilikuwa kama kitu kigeni kuchezewa kiarage chake kwa vidole vitatu. “aaaaaaaaaaaaaaaaah,,, ,aaaaaaaaaaasssssssssssss,,,,m mmmmmmmmmh,,,,oooooh,,j,,,,aaa aaaaaaaaah,," Alilalamika huku akijilamba midomo yake kama ilipakwa asali,nilitumia mda mwingi kumnyonya Chuchu zake zilizosimama, basi mtoto wa watu alilegea kabisa, hapo sikuremba,wapi Askari Kipara ngoto a.k.a Dudu Mshedede,kwa mkono wake alilishika dudu na kuliingiza kwenye kitumbua chake. “aaaaaaa aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaas sssssssssssssssssss,,,,,mmmmh, ,,ooooooooouushiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaa aaaaaaaah,,," Alizidi kulalamika pale dudu lilipokuwa likiingia kwenye kitumbua chake kilichobana, taratibu mpaka likazama lote,ilikuwa ni utamu tupu Ujue wanawake wengi hupenda pale mwanaume unapoingiza dudu kwenye kitumbua chake,aanze kwa kasi ndogo sana kama hataki,yani aisikilizie mashine kama hatua za mtoto katika ukuaji. Aanze na kutambaa,kusima ma kutembea kisha kukimbia. Ndivyo ambavyo nilifanya, nilikua nampa maneno matamu huku nikimsugua taratibu, alikizungusha kiuno chake juu chini,kulia kushoto ili mradi afanikishe zoezi la kukikuna kiarage chake “aaaaaaa aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaaaa aaaaaaah,,,,oooooooooooh,,,,,m mmmh,," Alilalamika hivyo kimahaba huku akiwa hana hali,hata naye alijaribu kujibu mapigo. Akaanza kuongeza kasi kama anaingiza gia za scania ,hapo ndipo utamu ulipoongezeka kwa bibiye aliyehisi anataka kupaa. nilendelea kumsugua kwa kasi mpaka akaanza tuongea kama mtoto mdogo aliye pewa uji wa moto “aaaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiyuuuuuuuuuuuushuu uuuuuuuuuuuuu,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaas sssssssssssssss,,,,oooooooooooooh, aaaaaaaah," Alilalamika hivyo binamu, Dudu lilivyokuwa likimsugua vyema,alihisi utamu mpaka ndani kabisa kule utamu ulikojificha,dudu lilichokonoa kila aina utamu mpaka bibiye alimwaga bao lake,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,mmmm mmmmmmmmmh,," Alimalizia kulalamika hivyo baada ya kumwaga bao lake, akanipa sapoti Mwanaume mpaka nami nika ana kuweweseka huku maneno yakinitoka ooooohhhhh....,,,,, na.......ko,,,,,,,joooo sikumalizia maneno nikajikuta na mwagia ndani ya kitumbua cha binamu.kutokana na utamu ulio kolea. ila nilijipa matumaini mimba haiwezi kutokea mana nilianza mechi kwa sethi.tuliingia bafuni tukaoga kisha akaludi chumbani kwake nilijitupa kitandani nikapitiwa na usingizi mpaka pale nilipo kuja kuamshwa na na nasma. kaka Kenny amka mda umeenda sana ukanywe chai niliamka kwa aibu kama unavyo jua tena sisi wanaume tukitoka kuamka lazima mjomba asimame cha ajabu nasma alinikodolea macho huku akilitamani "Dude langu nika mwambia tangulia nakuja" nikashangaa jibu alilo nipa "nitangulie wapi na Mimi nataka uni............... usikose ya 8 share kwa wingi nitume sehemu ya nane CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA NANE (8) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyopita........ kaka Kenny amka mda umeenda sana ukanywe chai niliamka kwa aibu kama unavyo jua tena sisi wanaume tukitoka kuamka lazima mjomba asimame cha ajabu nasma alinikodolea macho huku akilitamani "Dude langu nika mwambia tangulia nakuja" nikashangaa jibu alilo nipa........... endelea sasa....... "nitangulie wapi naomba unikune kama ulivyo mkuna binamu yako Jana mpaka kashindwa kuamka mpaka mda huu" alinichukiza sana nikamjibu kwa hasira "sikia siwezi we dem sijaja kufanya mapenzi kwenye hii nyumba kwanza hapa nilipo Nina matatizo kibao mpaka saizi sijui wazazi wangu na mdogo wangu wamezikwa wapi alafu unaniletea ujinga wako sepa ukoo......." "eeeeh unasemaje kumbe unijui eeeeh kwa taalifa yako mjomba ako akifika tu nampa ubuyu wote tena exclusive yani kama unasikiaga shilawadu shilawadu hapa ndo kwake. sasa chagua moja utakuna au aunikuni"aliongea huku akijitikisa tikisa wowowo lake. nilishindwa nifanye nini kwa mkwala mzito alio nichimba ukiangalia nasma alivyo umbika nikaona acha nimtulize mjomba wangu alie vimba kwa hasira mvuta karibu yangu lakini ile nataka nianze kunyonya chuchu zake tulisikia kishindo mlangoni nilikimbilia bafuni moja kwa moja nasma akatoka nje kuangalia kwa mbali nilisikia maongezi yao,,,,,,,,,,!!!!! "we unatafuta nini huku" binamu alimuuliza nasma "nimekuja kumuamsha kaka Kenny" "yani kuja kumuamsha Kenny ndo umvalie kanga moja alafu nilisha anza kukushtukia toka mwanzo" "kha jamani Dada kwani unataka upa........" hakumalizia sentesi yake ali pigwa Kofi na errycah """paaaaaaaaaaah,,,,,,,,,!!!!""""" "shenzi tena nikusikie ukitamka huo ujinga wako utahama hapa ooohoo naona umenisahau malaya mkubwa we potea hapaaa" nasma aliondoka zake na binamu akaingia ndani nasha ngaa baada ya kunisubiri pale nje alikuja moja kwa moja hadi bafuni.niliinamisha kichwa changu chini kwa aibu kwa kitendo tulichofanya fanya jana.ilikua tofauti kwa errycah yeye aliona ni kitu cha kawaida tena ndo kwanza akataka tuendeleze gem. nilisikia mlinzi akiiniita kwa nje nikawai haraka kutoka kwenda kumsikiliza nilipofika aliniambia yule dereva wako yupo nje anakusubiri nilifurahi sana kusikia vile mana huyu dereva ana siri nyingi sana nikawai haraka nilipo mkuta nika mkalibisha ndani lakini cha ajabu alikataa kata kata kuingia ndani na alisema "kwa madhambi na machafu yanayo fanyika kwenye hiii nyumba siwezi nikatia mguu wangu hata Siku moja " machafu gani hayo yaliyo fanyika kwenye hii nyumba mpaka una zungumza ivyo....... janja nikianza kukupa story nitatengeneza sumu kubwa sana kati yako na huyo mjomba wako sasa sikia nimekuja kukuaga naenda mwanza nikirudi tukutane nikupe story nzima ila naomba iwe siri yako wewe na Mimi tena hata mjomba wako akikuuliza nani aliye kupeleka pale horena hotel naomba usinitaje mana nilisha wai kufanyanae kazi mwisho wa siku aliniwekea.......... tulikatishwa maongezi yetu na binamu aliye kuja "mbona humkalibishi mgeni ndani" hamna amekuja kunisalimia tu kasema anaharaka sana na anaotaondoka sasa ivi.kitu kilicho nishangaza zaidi ni kumuona dereva akigeuza sura yake na kuificha ili errycah asimuone aliingi ndani ya gari haraka na kuondoka kwa speed kubwa.kitu kilicho nifanya nibaki na mawali mengi nikiwa bado najiuliza nilitupiwa swali na binamu """huyu rafiki yako anaitwa nani""" nilibaki kimya mana hata jina lake simfahamu na sijawai kumuuliza.nika baki namtumbulia macho tu. "ila mbona kama kafanana na marehemu kaka john tulikua tunaishi nae hapa nyumbani alifariki kwa ajari ya gari." mmmmh..... binamu utakua ume mfananisha bwana ila nilianza kupata picha kichwani kwangu kwa nini kila mtu nina yesikia amefariki kafariki kwa ajali ya gari.nikabaki na maswali kichwani nikasema kuna namna tu hapa haiwezekani........ "tuingie ndani basi" ilikua ni sauti ya binamu ikiniambia wakati tunaingia ndani nilishangaa kumuona mlinzi akitikisa kichwa nilishindwa kumuelewa ila alionekana kuna kitu anataka kuzungumza.acha nikanywe chai niludi kwa huyu mzee nipige nae stori mbili tatu. nikafika sebureni nikaa kwenye kochi nikisubiri nitengewe chai kutupa macho kwenye korido nili mwona husna akiwa anapiga deki huku akiwa amevalia kanga hisia zilinipeleka mbali sana na kujikuta naanza kumtamani kusema ukweli husna ni mschana mzuri sana sema tu hajapata matunzo sura yake utasema yule msanii aliye imba "nagusagusa" nandy yani Siku ya kwanza kumuona nikasema naishi nyumba moja na superstar nilizama kwenye dimbwi la mawazo huku macho yangu yakitazama wowowo la husna jinsi lilivyo kua linatikisika nikajikuta napata ujasiri wa kusimama na kuanza kumfata. nilimsogele mpaka pale nika mshika kalio lake mtoto ali shtuka na kunitazama. nili tabasamu na kumbembeleza ili atulie na akaanza kuni lembulia .sikulemba mtoto wa kiume nika msogele karibu nika mkumbatia na kuanza kumpa maneno matamu "nandy oooh,,,,,,,,,,!!! eti nandy husna nakupenda sana please naomba unikubali mana toka nilivyo kuona moyo wangu ulitokea kukukubali sana ndio mana nimeshindwa kujizua" niliongea maneno machache ya kisomi sio unaongea maneno mengi mpaka una mchosha mwenzako.kama kuna jamaa yangu mmoja utamsikia swagger zake "mi mtoto baba yangu gavana wa bank kuu BOT hela zote yeye ndo anatia saini yake" Ukiangalia anapokaa tuachane na hayo tuendelee na stori yetu.... basi mtoto alikaa kimya sikumwelewa kama amekubali au laa nikaamua kumvutia chumba kimoja kilichokua karibu yetu nilipo tazama mlangoni nilishangaa kuona namba #966 juu ya mlango siku wekea maanani sana.nikataka kufungua ili nimuingize husna tufanye yetu......... _Kesho tutaendelea na sehem ya 9_ *usiku mwem* ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI(22 ) ILIPOISHIA nikaona isiwe tabu acha nikaaiangalie hiyo bahasha. tulianza kupanda ngazi kuelekea juu na mda huo ilikua SAA 6 mchana nilishangaa ananielekeza chumba anacholala yeye kama unavyo jua kuna baadhi ya hotel wahudumu wanalala hotelini humu humo.aliniambia ingia usiogope handsome boy kidume nikazama bila shida mana mhudumu sio haba mtoto mashalaah kaumbika hata ukimwangalia nyumba ilo wowowo alilo libeba utasema kontena alafu kiunoni kama nyigu uongo dhambi mhudumu alinivutia sana.............. Endelea sasa "akijilengesha tu napiga mzigo silembi" mana formula yangu moja yoyote atakaye fahamu siri zangu lazima nilale nae ili asije kunisumbua.mana nikimwacha ataanza kuni nyanyasa acha nimpe dozi asinizoee tena. yule mhudumu kama alikua akilini mwangu nikamwona anaanza kuvua shati la juu na kuanza kunionyesha chuchu zake zilizo simama kama embe sindano.swali nililo muuliza CCTV zipo wazi au zimezimwa mtoto aliitikia kwa kichwa basi nikamsogelea hapo hapo na kuanza kumpiga mate asikwambie mtu hakuna raha ya kufanya mapenzi na mtu ambaye anajua mtoto nilikua naenda nae sambamba hata vingine akawa ananifundisha aliuoa ulimi wake nje nikaudaka na kuanza kuunyonya kwa staili ya kuuvuta nadhani wataalamu wamesha nielewa nilipiga vikombe vingi huku mkono wangu ukiwa unachezea chuchu ya kushoto basi taratibu nikapeleka mkono wangu kwenye kitumbua cha bibie na hapo ndipo nilipo sikia miguno ya ajabu ikianza......... aaaaaaaaaaaaahhhhh.......!!!! m.mm..m.m...m.m.hhhhh.........!!!! oooooooooooossshhhhhh........!!!! niligusa kiarage chake na hapo hapo nika mwona mtoto ana jikunja jikunja huku akitoa kilio baby nakojoaaa aaaaaaaaaaaaahhhh......!!!! nilishangaa mtoto hata sijaanza kumtia kashakojoa ukikutana na mwanamke wa namna hii safi sana mana anaonekana ana ugwadu wa mda mrefu ajakutana na dude nili malizia kuvua chupi yake ka kuiondoa ile sketi yake na mtoto akabaki uchi kama alivyo zaliwa nilishangaa kumuona yupo kimya akiwa amelege kwanzi macho mpaka viungo vyake vyote nikaona nisimcheleweshe sana nikachojoa fasta na kumtoa mjomba wangu teali kwa ajiri ya kazi ya kuupanda mlima kilimanjaro. nikamtanua mapaja yake ili mjomba apite vizuri bila shida uzuri alikua amesha kojoa ile nagusa tu kichwa kwenye kitumbua chake hapo hapo mzigo ukatereza mapaka ndani na mtoto akaanza kuikatikia mb** alikua najua kuzungushwa kiuno alinikatikia mpaka ikafika stage nikawa nime ganda tu kwa utamu nilio upata kutoka kwa muhudumu yule.alinipa vitu adimu nilijikuta mpaka dakika 50 hata sina dalili ya kukujoa mpaka akaniuliza "we we vipi ushakojoa mangapi" "bado hata moja"nilimjibu "ooooooohhh....... mungu wangu leo kazi ninayo sasa si utanitoa kizazi" nilibaki nacheka tukaamua kubadilisha style nikalala chini yeye akanijia kwa juuu asikwambie mtu hiii style ina wataalamu wake bwana mtoto akinizungushia kiuno haikuchukua dakika 5 mzee nikaanza kuona wazungu wanakuja kwa kasi ya ajabu nikataka niiochomoe ili nimwagie pembeni mtoto aliniwai na kunikumbatia kwa nguvu kumbe tulikua tunafika wote kileleni alitoa kelele iyoo aaaaiiiiiiiissshhhhhh.......!!!! oooooopsss........!!! mmmmmmmmmhhh....!!!!!, oooooooooohhhhhhh....!!!! pppppppsssiiiiiii.......!!!,, shitttttiiiii. ,,,,!!!! alinilalia kifuani wote tulijikuta tuna tabasamu kwa utamu tulio upata ilibidi tuingie bafuni tuoge tulivyo maliza kuoga alinipa bahasha sikuifungua nika toka nayo bila kuisoma nilipotoka nje nilipitia gereji na kukuta gari limesha limekebishwa nilimwelekeza akaniambia haina shida chukua gari na mjomba wako atakuja kulipa kusema ukweli siku hiyo nilitamba kama aslay na gari kama unavyojua ma binti wa kudanga wanavyopenda mapedeshee niliwachunia kama siwajui nikaona isiwe tabu acha nijirudie zangu nyumbani.nilitoka na speed yangu ile ile lakini nilipo ingia main road nilijikuta Jason statham nilipo kuja kushtuka nilijikuta nime mpush bint mmjoja na ule upepo wa gari na akaanguka chini nilisimamisha gari.ile nashuka niliona wananchi wenye hasira Kali wakiwa wana ninyooshea vidole huku wakipaza sauti zaoo "eeeehh kaua kaua uyoooo" ilibidi nisogee mpaka pale na nikamkuta binti akiwa amevaa nguo chafu niliwaambia wanisaidie nimpakie kwenye gari nimpeleke hospitali nisikamatwe na police.nilitoka na mwendo ule ule mpaka nyumbani mana nikisema nimpeleke hospitali bila rb awezi kutibiwa nilipofika nyumbani niliikuta familia ya nzima ikiangalia movie sebreni niliwaelezea jinsi ilivyokua tuka mshusha yule binti akiwa bado ajapata fahamu.uzuri errycah alikua amesomea nursing ndio mana hata Mimi sikuile nilipo zirahi alinihudumia yeye alisema tumpeleke kwenye chumba cha wageni ili apate hewa na aanza kumpa Huduma ya kwanza.moyoni nilipata wasiwasi sana niliogopa asije akapoteza maisha. errycah aliendelea kumpa Huduma ya kwanza niliendela kuwa na wasiwasi mana mda ulizidi kisonga mbele na kufika masaa ma NNE toka tukio like binti bado ajazinduka......nilikaa pale nje ya chumba hadi nikapitiwa na usingizi.sikutakiwa kuingia ndani mana mjomba asije akaniisi vibaya alikuja errycah kuniamsha na kuniambia "wewe huyu mtu umemtoa wapi jinsi alivyo kua mchafu ana nuka alafu anaonekana ana njaa inaonekana ajala siku mbili au mpenzi wako nini umemleta kwa ujanja ujanja" "amna ukweli ndo ule nilio waeleza pale lakini mda ule tukiwa pale kwenye korido tulimwona mjomba akiwa amebeba chungu kidogo na box huku akiwa amevalia kaniki (nyeusi) akielekea chumba cha siri #966................. usikose mtu wangu like page yetu sasa ili uisome yote nguvu yako ya buku yaani 1000 itakuwezesha kuisoma simulizihii mwanzo mpaka mwisho tutakutumia popote unapo taka iwe Facebook whatsapp au instagram lipa sasa uisome simulizi hii Pia Utaungwa Kwenye Group Letu...... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU (23 ) ILIPOISHIA........... "amna ukweli ndo ule nilio waeleza pale lakini mda ule tukiwa pale kwenye korido tulimwona mjomba akiwa amebeba chungu kidogo huku akiwa amevalia kaniki (nyeusi) akielekea chumba cha siri #966............. endelea sasa.............. ilibidi tukimbilie chumbani kwangu mana akitukuta hapa lazima atuondoe uhai wetu. tume mwona kitu anacho kifanya.kingine nipo na binti yake.tulijibanza chumbani kwa mda ili kumpisha mjomba apite aingie kwenye kile chumba kwa jinsi tulivyo kua tumesogelea na errycah ilisababisha tuanze kujihisi tupo dunia nyingine na tukaanza kapeana mate huku tukisahau mission yetu ya kumfatilia mjomba usiku ule Nikaanza kuyachezea matiti yake taratibu kitendo kilichomfanya afumbe macho na kuanza kutoa miguno ya taratibu ikiashiria kwamba alikuwa akijisikia raha isiyo kifani. mmmmmmhhh....... ooooooooohh.........!!! Nikaanza kuyanyonya maziwa yale taratibu huku mkono wangu wa kulia ukiwa umefika kwenye ikilu yake na sasa nilikua namchezea taratibu na kwa umakini wa hali ya juu.ili asitoe miguno mpaka mjomba asikie ajue nini kinaendelea Nilizidisha utundu wangu katika kumchezea na kwa wakati wote huu alikuwa akipiga kelele za mahaba mithili ya mtoto mdogo aliye nyimwa pipi.nika mnyanyua mpaka kitandani Nikaanza kumlamba mwili wake taratibu kama chatu anavyomlamba mwanakondoo kabla ya kummeza. Kitendo kile kilimfanya asisimkwe sana. na kuzidisha miguno yake oooooooooooooooohhhhh......... jamaniiiiii Kenny nipe basiiiii mwenzako una nitesaaaaaaaahhhh..... Niliendelea kumlamba kuanzia shingoni, masikioni mdomoni, tumboni na kisha kitovuni mahali ambapo alionesha kwamba alipenda nipalambe zaidi kwani alipiga ukulele mkubwa pindi nilipofika hapo. “Ooooooh! Aaaaaashhh! Please give me!”. Nami nikaona isiwe shida. Nikachukua mchi wangu na kuanza kuutwanga kwenye kinu ambacho kina majimaji kwa mbali.haikuchukua mda errycah aliwai kukojoa kabla yangu kitendo kilicho nifanya nishindwe kumaliza mchezo.ilikua bahati mbaya sana kwangu mana nilibaki na nyege na sikuelewa wapi nitazimalizia ilibidi tutoke chumbani na kuanza mfatilia mjomba tulipo fika kwenye korido hatukuona mtu ilibidi tusogee mpaka kwenye kile chumba #966 ile tunafika tu kumbe tulikua tumechelewa mjomba alikua amesha maliza shughuli zake alikua anajiandaa kutoka kusikia kitendo cha mjomba akitoka nje tulikimbia kila MTU na upande wake na Mimi nikajikuta nipo chumba cha yule mgeni nilie mgonga na gari leo jioni.nilimkuta amesha oga na amejilalia zake kifudifudi huku akiwa amevalia kanga moja sijui vipi niliingiliwa na mawazo ya kishetani na kuanza kumtamani ukizingatia bado sijamaliza hamu yangu...... nilisogea hadi pale nikapanda kitandani na kuanza kumchezea viungo vyake huku taa ikiwa inawaka kila Mtu aone uzuri wa mwenzie.nilianza kumchezea kwanzia kichwa hadi kwenye unyayo. wakati huo mtoto ametulia kimya huku akijifanya amelala nikamvua kilakitu na akabaki uchi wa mnyama nami nikavua kila kitu na kubaki kama nilivyo zaliwa nikawa nachezea kisimi chake kwa kua alikua amelala alianza kujikunja kunja na kujinyoosha kuashiria utamu unamuingia barabara. japo hakunipa ushirikiano wowote nika mshika mjomba wangu na kuanza kuu piga piga kwenye kitumbua cha yule binti ambaye hata jina simjui.hapo mtoto alishindwa kuvumilia akaanza kutoa sauti nyororo iliyo nipa mzuka zaidi wa ku vunja naye amri ya 6 nika upeleka mdomo wangu kwenye matiti yake na nikaanza kumnyonya kama nilivyo kua namnyonya errycah.mtoto alilegea na kuanza kutoa sauti tam za utamu "iiiiiiiiiiishhhhhhii" weeeeeeekaa basi hiyoooooooo....... unasubiri niniiiiiii akaushika mtalimbo wangu na kuuweka kwenye kitumbua chake kunako utamu.mtoto akaanza kunikatikia kama feni alizidi kunibenulia makalio yake ili dude lipite vizuri. hadi k yake ikaanza kulainika asikwambie mtu hamna raha kama Ku sex na dem mwenye mnato raha niliyo ipata hapo iliwazidi wote lakini hakumfikia husna. "aaaaaa yaaaaa ah ah aaaaaa endeleaaa nipe nipe yoteeee" alitoa kauli ambazo sikuzisikiza niliendelea kuzamisha dude mpaka likawa linaingia lote chezea mnato wewe nilianza kusikia utamu ukinijia na kuanza kuongea peke yangu "ch...ch chiiiiiii. oooooshhhh....... looooooollll shyyh chyyyy," nililala mika na kujikuta nikianza kukaka maaaa misuli nika nyoosha miguu yangu huku mtoto akiniambia na yeye yupo teali kuni pokea basi tulimaliza mchezo ki design hiyo huku kila mmjoja aki enjoy show..... kama unavyo jua tena nyege zikiisha akili inakaa sawa na kuanza kujilaumu kwa kitendo kile nilicho fanya .huku nikijisemea moyoni maswala ya kuvamia vamia wadada nisio wajua nitakuafa na ukimwi.ilibidi nianze kumuuliza "samahani unaitwa nani." "mmmmmhh yani umenilala alafu saizi ndo unaanza kuniuliza.ila asante kwa dozi uliyonipa mana nime ridhika unajua kutom*** mpaka umenikojolesha toka nikojoleshwe kijijini sija kojoleshwa tena hadi leo. Naitwa Merry John Simbuli." what................ nini unasemaje nilijikuta mwili unakosa nguvu baada ya kulisikia hilo jina mana................ CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE (24 ) UMRI ±18 ILIPOISHIA........... "mmmmmhh yani umenilala alafu saizi ndo unaanza kuniuliza.ila asante kwa dozi uliyonipa mana nime ridhika unajua kutom*** mpaka umenikojolesha toka nikojoleshwe kijijini sija kojoleshwa tena hadi leo. Naitwa Merry John Simbuli." what nini unasemaje nilijikuta mwili unakosa nguvu baada ya kulisikia hilo jina mana................ endelea sasa "Mimi mwenyewe naitwa Kenny john Simbuli. "inamaana Mimi na wewe ni ndugu ?" nilimpachika swali... "kwani na wewe upo kwenye ukoo wa simbuli ?"aliniuliza nikamjibu ila nikamwomba aendelee kunipa historia ya maisha yake. "kama nilivyo tangulia kukuambia naitwa merry john simbuli ni mzaliwa wa kijiji cha karenga kilichopo mkoani iringa tumezaliwa wawili lakini kwa bahati mbaya sijawai kukutana na kaka yangu ambaye nasikia yupo seminary anasomea upadri nchini Rwanda."alivyo kua anaendelea kunipa historia nilijikuta nabanduka mwilini mwake mdago mdogo mana nilikua nime mkumbatia..... "tulia basi niendelee kukusimulia mbona unakua ivyo.lakini kwa bahati mbaya wazazi wangu wamefariki kwa mauaji tena ni kwa nguvu za kishirikina mana baba na mama tuliwazika bila kichwa kutokana na vichwa vyao vilikatwa na hadi leo hatuja jua nani aliye fanya kitendo kile mana sikuile wana niaga wanakuja dar kwa mjomba ndio siku ile ile nikaletewa msiba nyumbani ilikua ni mwaka juzi nipo darasa la 7.ila waliniambia wamepata ajari hivyo vichwa vyao vimekatwa mana waliumia vibaya sana ndipo nilipo amua kufatilia kwa kwenda kwa mzee mmjoja pale kijijini na kuniambia wazazi wako wametolewa kafara lakini hakunitajia mtu aliye fanya ivyo na kuniambia na wewe ukikaa kizembe utatolewa naomba ukimbie usiendelee kuishi hapa kijijini mana mbaya wako bado anakusaka.nilihama iringa na kukimbilia dar kwa ajiri ya usalama wa maisha yangu. sitokuja kusahau siku nilipo kutana na mjomba wangu aliahidi kunisaidia alinipangia chumba maeneo ya ubungo lakini alinipa sharti moja atanigeuza mke wake hapo ndipo niliona dunia haina huruma Siku kubaliana na jambo lile nikaamua bora niishi maisha yangu ya mahangaiko kuliko kufanya ile dhambi na mwisho wa siku mjomba aliniwekea sumu kwenye chakula cha mama ntilie ambaye nilikua nafanya kazi ya kuosha vyombo nashukuru mungu niliwai kupata maziwa kutoka kwa wasamalia wema na wakampa taarifa mjomba kua nimefariki na aliwapa hela na kuwaamulu wakanitupe baharini alikua hataki hata kuniona nilianza kuishi maisha ya shida nalala kwenye majalala naitwa chizi siogi nikioga basi nime nyeshewa na mvua." alimaliza kutoa historia yake fupi huku aki bubujikwa na machozi nilimuonea huruma sana na kujikuta naanza kutoa machozi huku moyo ukiniuma sana pale nilipo gundua yule ni mdogo wangu ambaye nilipewa taarifa amefariki kwa ajali. "mbona unalia sana ?"aliniuliza swali "samahani sana dada yangu Mimi ndie kaka yako Kenny nisamehe sana sikujua kama nina mdogo nilipewa taarifa na mjomba kua umefariki kwa ajari.kumbe mjomba mbaya kiasi hiki pole sana mdogo wangu kwanzia saizi hauta hangaika tena.sasa inabidi kwa saizi nikutafutie sehemu salama uishi mdogo wangu mana akija kujua kama ni wewe upo atatumaliza wote" "nilimwona mdogo wangu akiwa bado anaendelea kulia hasa pale alipojua kua amefanya mapenzi na kaka yake.ilikua ni kama ajari tu.nilimwambia asiwe na wasiwasi aingie bafuni ajisafishe kisha nimtoroshe usiku ule ule.mana walipotezana na mjomba kama miaka miwili iliyo pita.si unajua tena wanawake wanavyo kua haraka saizi ukimwangalia utasema mdada gani kumbe ni binti mdogo sana ambaye anatakiwa awe form 2 au 3.moyoni niliumia sana kufichwa mambo mengi ila nikaapa lazima nipeleleze nijue ukweli wote wa mambo ili nikija kumuhukumu mjomba iwe hukumu itakayo endana na makosa yake. nilienda chumbani kwangu nikajimwagia maji usiku uo uo nikachukua simu yangu na hela niliyo pewaga na sethi kama unakumbuka nilikua bado sijaitumia nikaenda chumbani kwa merry nikamchukua tukawa tunatoka nje uzuri funguo ya gari la mjomba nilikua nao mimi tuliingia kwenye gari na kutoka taratibu japo mlinzi alitaka kunigomea nika mwambia yule mgonjwa kazidiwa acha nimpeleke hospitali,alinifungulia geti nikanyoosha moja kwa moja mpaka horena hotel mana nilisha anza kua maarufu maeneo Yale nikamchukulia chumba apumzike kwa alafu kesho nimfanyie mpango wa chumba.nilishindwa kulala pale ilibidi niludi nyumbani usiku ule ule nikiwa narudi ndipo nilipo iona ile bahasha kwenye gari.niliyo pewa yule muhudumu ambayo nimeachiwa na sethi nikaichukua nikasema naenda kuifungulia ndani.nilipofika nilimkuta mjomba akiwa sebreni akinisubiri kumbe aliniona kipindi natoka na merry.akaniuliza "vipi mbona umetoka na yule mgonjwa umempeleka wapi ?"sijui alikua anataka amlale mana huyu mjomba ni balaa "kasema awezi kulala hapa nimludishe kwao watakua wanamtafuta" nilitumia uongo ili nisi haribu mambo mapema.tuliongea ongea ongea kisha akaniambia kesho utaenda bank kunitolea hela mana zimeingia leo pesa nyingi sana isije serikali ikanishtukia bure.nikaona muda huo huo ndo mzuri wa kumuuliza mjomba anafanya kazi gani.nilisha ngaa jibu alilo nipa. "ukikua nitakuambia saizi bado mdogo sana nenda kalale". nikaingia zangu ndani na bahasha yangu nilishindwa kuifungua kutokana na uchovu na mwingiliano wa mambo nikaiweka ndani ya kabati.na kujitupa kitandani huku nikifikiria mambo yote na kujiapiza sito Fanya mapenzi tena na kuomba mungu anisaidie........ CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO (25) 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia sehemu iliyopita nikaingia zangu ndani na bahasha yangu nilishindwa kuifungua kutokana na uchovu na mwingiliano wa mambo nikaiweka ndani ya kabati.na kujitupa kitandani huku nikifikiria mambo yote na kujiapiza sito Fanya mapenzi tena na kuomba mungu anisaidie.... endelea sasa nilipitiwa na usingizi na kuja kushtuka ni SAA 1:30 asubuhi nikaamka nikaingia bafuni nikajisafisha na kutoka nje nilimwona manka akinipa ishara nimfate nika msogelea alionekana na furaha sana.na kuniambia ile plan niliyo mpa imefanikiwa "plan ipi mana akili yangu saizi inamuwaza mdogo wangu tu sitaki upuuzi tena" "we nawe ukumbuki jana mjomba wako alitaka gem nika mwigizia kama bikra vile limefurahi hilo nashukuru ajagundua"tulisikia kama mtu anakuja upande ule tulikatisha maongezi na kila mtu kufata shughuli zake niliitwa na mjomba na kuniambia sikia utaenda na errycah kutoa hela mana password/namba ya siri yeye anaifahamu mkatoe million 50 kwanza alafu mje kuniambia imebaki sh ngapi.moyoni nilichukia sana kuambiwa niende na errycah mana nilipanga akinitajia namba ya siri nakomba hela zote nahama kabisa Tanzania niende mbali na mdogo wangu akasahau matatizo yaliyo mpata.nikawa sina jinsi tulikunywa chai tukatoka Mimi na errycah na kuelekea bank.tukiwa njiani errycah aliniambia nisimamishe gari na tulipaki pembeni nikafanya kama alivyo taka nikamuuliza vipi. "kenny mwenzako nawashwa naomba unikune kidogo" "ivi we unakichaa nini unajua saizi tunaenda wapi alafu saizi sina mambo hayo tena sitaki hata kuyasikia naomba unielewe errycah tafuta mtu wa kukukuna na sio mimi isitoshe wewe ni ndugu yangu......."sikumaliza maneno alianza kunitekenya kile kitendo cha kucheka tu alinivamia na kuanza kunipa denda,nikiwa nataka kumchomoa nilikua nikesha chelewa alikua teali amesha shika dudu langu akawa ameniweza nikamwambia asubiri nikunjue seat.nilipo maliza kuweka seat sawa nikapitisha kidole changu haraka kwenye kitumbua chake kilichokuwa tayari kimelowa kumbe kweli alikua nawashwa hivyo kidole kiliteleza tu ambapo nilianza kukisugua kile kiarage chake “aaaaaaaaaaaaaaah,,,mmmmmmmmhhh,,,,aaaaaaaaaah ooooooooh,,"Alialamika errycah ambaye naye hakuwa nyuma,wakati denda linaendelea mkono wake ulikua unashugulika na dudu langu.nilianza kusisimka kutokana na mikono laini ya errycah ilivyokua INA nisugua dudu langu mtoto wakike kwa mapozi akaundaa ulimi wake uliojaa mate kutokana na uchu aliyokuwa nao na kuanza kulamba dudu langu... “assssssssh,,,,,mmmmmmm,,,ohooooo,, nilianza kugugumia baada kunyonywa Dudu langu Mtoto wakike akakibugia kichwa na kuuzungusha ulimi kwenye kitobo cha mkojo “osssssssssh,,,,,,,o,,o,oooooooo,,,,hapooooo,," Kisimi cha bibiye kilikuwa kikitoa ute ute Sasa ikafikia zamu ya nyoka kuingia pangoni sikutaka kumchosha sana ukizingatia tupo safarini kuelekea bank.errycah alijilaza chali na kujipanua mapaja yake manono yaliyojaa utamu.nami nikamjia kwa juu na kulichomeka dudu lake liliteleza na kuingia kwenye kitumbua “aaaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,sssssssssssssssssssssss,,,,,mamaaaaaaaaaaaaa,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,," Alilalamika alijitahidi kulikatikia kimahaba taratibu huku akinikumbatia na kunipapasa mgongoni “aaaaaaaaaaaaaah,,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,sssssssssssssss,," Wote wawili tulikua tunatoa miguno huku gari likiwa lina nesa nesa huku tuliendelea kusuguana. nikamshika mguu mmoja bibiye na kumnyanyua juu ambapo nilizidisha kupampu huku naye akizungusha kiuno chake kwa madaha “aaaaaaaaaaah,,,,mamaaaaaa,,,,,sisisisisiisssssssssssssssssss,,,,aaaashiiiiiiiiiii,," Mtoto wa watu alilalamika ambapo alinyonganyonga akiwa anakaribia kuwatoa wazungu wake. “aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,mmmmh,,ooooooh,," Alilalamika hivyo na kumwaga bao lake ambao alinikumbatia na kuni busu mdomoni. sikumwachia nilimgeuza na kumwinamisha mana errycah anatabia ya kuanza kukojoa kabla yangu muonekano wa matako ulimfanya nisisimke zaidi, sio siri errycah alikuwa na matako mazuri laini yaliyo nona ukubwa wastani ambapo ukiyaona yalivyojitenga, kama ni mwanaume kamili lazima utasimamisha Dudu kabla hajavua nguo, aliniachia kitumbua nililengesha pale pale kitu. kiliteleza kutokana na bao alilo mwaga nikajikuta natoa miguno ya kiume “aaaaaaaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaah,,,,sssss,,ooooh,,,oooh,," errycah akawa anazidisha kukibinua kiuno chake na kukizungusha ili kuzamisha Dudu lote limkune vizuri “ingizaaaa,,,aaaaaaaaaaah,,,,,tamuuuuuu,,,mamaaaaaaaaaa,," Alilalamika ambapo nilichomoa dudu langu nikaanza kumpiga piga nalo kwenye kinena chake mtoto alilia kwa sauti ya mahaba oooooooooooohhhh........!!!! nakufaaaaaaaa..... kenny please nitie bwanaaaaaahhhh.......aiiiiuiuiiiiiii uwezi kuamini errycah alitoa machozi ya ukweli kuashiria yupo njiani kupiga bao la pili nikaliingiza Dudu langu kwenye kitumbua kilichokuwa kimelowa kwa Mara ya tatu, lilizama lote kwa mwendo wa taratibu ambapo nilimsugua kwa kasi huku mtoto akiendeleza kilio na kuniambia ongezaaaaah ongezaaaaa jamani Kenny mbona utomb*** tia yoteeee. kitendo hicho kilipelekea Dudu langu kufika mpaka mwisho wa kitumbua. “aaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssssssss,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaaaaaaah,," muda huu ndio nililalamika kwa utamu uliokua unakuja ambapo nilimwaga bao langu ndani ya kitumbua. errycah alihisi utamu pindi uji wa moto ukitembea kwenye kitumbua chake alinipa asante na kuniambia asante kwa dozi hakika wewe kweli mwanaume nakuruhusu niambie chochote kile mimi nitakupa.nikaona acha nitumie nafasi hiyo hiyo mana wanawake ukiwaridhisha we omba chochote kile utapata ila kiwe ndani ya uwezo wake. nika mwambia "naomba leo tukatoe sh million 100 alafu Mimi nichukue mil50 mana Nina shida NAyo sana please nisaidie errycah." ndo icho tu au kuna kingine nikamjibu hamna nilishangaa kuona kanikubalia kwa haraka sana huku akiniambia tuwahi bank tukachukue hela kisha kesho tupige mechi moja matata kama ya leo ile nataka kumjibu nilipo tazama kwenye kioo nilimwona mdada akiwa anatu record na simu ila uzuri wake sauti haiwezi kuwepo ila vitendo vitaonekana niliwai kufungua mlango na kumkuta yule mdada bila ya wasiwasi akaniambia tuingie kwenye gari ana maongezi na sisi.............. ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 02* Sehemu Ya Pili (2) Lakini pamoja na yote sikuwa na sifa ya kumteka mwanaume kimapenzi zaidi ya kunionja na kuniacha. Wasiwasi wangu huenda mwili wangu hauna asali itakayo mfanya mwanaume yoyote atakaye nionja anirudie mara mbili. Basi baada ya kupokea aligeuka na kuondoka kurudi ofisini kwangu. Nilipofika mlangoni nilikumbuka kitu nilitaka kumuuliza bosi, niligeuka ili nimuulize kitu. Niligeuka ghafla na kukutanisha macho na bosi ambaye kumbe nyuma yangu alikuwa akinifuatia. Maskini kaka wa watu alishtuka mpaka akadondoka chini, nilijikuta namuonea huruma. Nilirudi hadi chini alipokuwa amekaa bila kuonesha kujinyanyua, mwili wake haukuwa mkubwa sana nilimshika mkono ili kumnyanyua. “Hapana Manka nitanyanyuka mwenyewe.” “Hapana bosi naomba unipe mkono,” nilimwambia kwa sauti ya huruma yenye kubembeleza. Alinipa mkono na kumnyanyua, baada ya kunyanyuka nilitoa kitambaa changu na kumfuta sehemu yenye vumbi. “Tosha Manka sehemu zingine nitafuta mimi.” “Hapana bosi ni wajibu wangu kufanya hili.” Aliniacha nimfute kisha nilimtengenezea kiti na kumuomba akae. “Unaweza kukaa.” Bila kuongeza neno alikaa kwenye kiti chake huku uso wake ukionesha aibu imemtawala. “Pole bosi,” nilimwambia kwa sauti ya chini. “Asante.” “Hukuumia?” “Nipo sawa.” “Pole sana.” “Asante Manka, nipo sawa kaendelee na kazi.” Niligeuka na kuondoka hata nilichotaka kumuuliza nilikiacha na kupanga kumuuliza kupitia simu yangu ya mezani. Nilitoka hadi ofisini kwangu kuendelea na kazi, kabla ya kuanza kazi nilijikuta nikijiuliza kilichomdondosha bosi wangu ni nini. Wasiwasi ulikuwa uleule bosi kapagawa na mimi, kitu ambacho sikutaka kinitokee kwa muda ule kwani ilikuwa mapema sana. Niliamini kabisa bosi kwa mtazamo wa nje alikuwa amepata bonge la mwanamke, lakini ndani sikuwa na sifa zile za kukaa na mwanaume kwa muda mrefu. Niliyapuuza na kuendelea na kazi, nilikumbuka kuna kazi nilitaka kupata maelekezo kwa bosi. Nilimnyanyua simu kumpigia baada ya kuita kwa muda ilipokelewa. “Haloo bosi.” “Ooh..Aah…Nani Manka,” maskini bosi wangu alionesha kiwewe bado hakijamtoka. “Bosi mbona hivyo?” “Aah, kawaida tu, unasemaje?” “Ok, bosi nilikuwa nauliza hii kazi ya malipo kuna maandishi ya mkono nayo niyaandike?” “Hakuna tatizo, yaandike kama ilivyoandikwa.” Nilikata simu na kuendelea ka kazi yangu kama kawaida, baada ya muda nikiwa bize simu ya mezani iliita, nilinyanyua na kupokea. “Haloo bosi.” “Ndiyo Manka jiandae tukapate lunch.” “Nashukuru bosi.” Baada ya kukata simu, niliangalia saa kubwa ya ukutani iliyokuwa mbele yangu, ilionesha ni saa saba kasoro kumi mchana. Nilimalizia kazi yangu ili nipate muda wa kwenda kula, nikiwa bado nimeinama nikirekebisha tatizo la kisarufi nilishtuliwa na sauti ya bosi. “Manka tunaweza kwenda.” “Hakuna tatizo bosi, namalizia kurekebisha sarufi.” “Utamalizia tukirudi.” Nilisave kisha nilizima computer na kunyanyuka, nilijitengeneza vizuri nguo niliyovaa. Kwa chati nilimuona bosi wangu koo likimcheza kama mtu mwenye kiu kikali. Baada ya kuhakikisha nipo sawa tulitoka hadi kwenye gari lake kisha tulikwenda kwenye moja ya hoteli ya kifahari ambayo ilinikumbusha mbali enzi nipo kwenye ndoa yangu. Tulipofika Mateja alionesha kutojiamini sana kwangu kitu ambacho sikuamini mwanaume kama yeye kuwa katika hali ile. Sikuwa na sifa kubwa zaidi ya mwanamke aliyepoteza matumaini ya kupata hadhi mbele ya mwanaume. Niliamini kaniona kwa nje hanijui ndani nilivyo ndio maana ananipapatikia. Nilijua akikipata anachokitafuta kwangu pengine ndiyo siku ya kunifukuza kazi, lakini sikuwa na jinsi kila mwanaume mwenye pesa aliamini mwanamke sahihi wa kukaa naye ni mimi. Baada ya kuketi kwenye viti vyetu muhudumu alifika na kutaka oda zetu. “Manka agiza chochote ukitakacho kwa bei yoyote.” “Asante, nataka kula unachokipenda wewe,” utanishangaa kwa nini nimesema vile, nilifanya vile ili kumtoa wasiwasi na kumfanya awe huru kwangu japo si katika suala la mapenzi. “Hapana Manka nataka wewe leo ndio uchague chakula tutakacho kula.” “Sawa,” nilichagua chakula ambacho wote tulikuwa. Baada ya chakula wakati wa kunywa vinywaji Shaka aliniuliza. “Samahani.” “Bila samahani.” “Manka, umeolewa?” “Sijaolewa.” “Una mchumba sina?” “Sina.” “Rafiki wa kiume?” “Sina.” “Manka mbona unanidanganya.” “Kweli bosi.” “Hivi Manka kwa umbile alilokujali muumba usiwe na mwanaume?” “Si kwamba sijawahi mwanaume ila kwa sasa sina.” “Kweli?” “Kweli kwa nini nikufiche ili iwe nini?” “Mara nyingi watu wamekuwa si wakweli.” “Huo ndio ukweli wangu.” “Kwa nini mrembo kama wewe huna rafiki wa kiume?” “Sina bahati nimeamua kuishi peke yangu.” “Ina maana hata ombi langu litagonga ukuta?” “Ombi gani?” “Kwa vile huna mtu nilifikili unafaa kuwa mke wangu.” “Aaah, bosi,” kauli ile ilinishtua sikupenda kuisikia masikioni mwangu. Sikuwa na jibu la moja kwa moja, moyo mapigo ya moyo walinienda mbio na machozi yalinitoka. Mateja alishtuka kuniona nikitoka machozi badala kumpa jibu lake. “Manka vipi?” “Hataa,” nilitikisa kichwa. “Mbona machozi yanakutoka.” “Kauli yako imenishtua.” “Kivipi?” “Sikutegemea kuniambia neno hilo mapema kiasi hiki.” “Manka, penzi limuingiapo mtu huwa kama kichaa aliyekatikiwa na mishipa ya fahamu. Niyasemayo si mimi ni moyo wangu naomba unihurumie.” “Ni kweli, lakini sina bahati kila siku mapenzi limekuwa likinitesa.” “Kivipi?” “Mpaka leo sijajua sababu ya kuachwa na wanaume.” “Ni wazi wote waliopita walikuwa na tamaa ya kukujua ulivyo na si mapenzi ya dhati. Lakini nakuamini mimi ndiye mwanaume sahihi kwako.” “Hiyo kauli kwangu nimeizoea, lakini mwisho wa siku mambo huwa kinyume.” “Niamini Manka, nitakuwa mume mwema.” “Mmh nitashukuru, lakini usinitende utaniumiza.” “Siwezi.” Baada ya chakula tulirudi ofisini, hatukufanya sana kazi Mateja alikuwa na uchu wa fisi. Aliniomba tufunge ofisi twende tukastarehe, sikuwa na pingamizi nilifunga kazi na kuongozana naye kwenye gari lake. Mateja alinipeleka kwenye hoteli ya kifahari ya nyota tano. Kwa vile shida yake niliijua sikushtuka kumsikia akiuliza chumba cha VIP, baada ya kulipia tulikwenda kwenye chumba kilichokuwa ghorofa la pili. Chumba kilichokuwa cha kifahari, ambacho kilikuwa kipo katika hadhi ya juu. Katika maisha yangu sikuwahi kuingia kwenye chumba kizuri kama kile. Chumba nilikiona kilikuwa kinapendeza lakini wasiwasi wangu bosi wangu atakipata alichokifikilia kukipata mwilini mwangu. Sikutaka nami kijiweka nyuma kwani nilikumbuka kauli za Bi Shuu mama mlezi wangu shangingi mstaafu, kuwa niwapo mbele ya mwanaume nijionesha nipo tayari kumpa kile anachokitaka. Siku zote aliniambia nijiamini ili kumfanya mwanaume naye ajiliuze mara mbili mbili ataniingiaje. Sikupoteza wakati baada ya kuingia tu chumbani nilivua nguo zote na kubakia kama kuku aliyenyonyolewa. Sikuchelewa kumsaula na yeye tukawa sale sale maua. Nilitembea kama miss kuelekea kwenye kabati kuchukua taulo kwa makusudi nimuoneshe umbile langu ambalo mwanzo huwa utata kwa wanaume. Lakini wakiisha nipata nakuwa kama Big G iliyotafunwa na kuisha utamu mwisho wake hutemwa. Kwa kweli sikupenda kutongozwa siku moja na siku hiyo hiyo kumvulia mwanaume nguo ya ndani. Niliamini kabisa kujilahisi vile lazima thamani yangu ingepungua lakini kama ningemzungusha, kidogo thamani yangu kwake ingepanda. Nilijua lazima ataniona maharage ya Msanga maji nusu kijiko. Lakini sikuwa na jinsi kutokana na njia aliyotumia kwa kweli nilijikuta siwezi kuuruka mtego wake mwepesi. Sikuwa ndege mjanja lakini nilinaswa kijinga sana, japo sikujua tatizo langu lakini nilipokuwa natembea na kumuachia umbile la nyuma lililokuwa linawatesa wanaume wengi. Niliinama makusudi kama najikuna mguu ili tu nizidi kumpagawisha. Kitu kilichofanya Mateja azidi kuwa katika wakati mgumu, wakati nafungua kabati nitoe taulo Mateja alikuwa tayari yupo nyuma yangu na kunikumbatia kwa nyuma. Nilijua uzalendo ulikuwa umemshinda, mambo yalianzia pale. Tulianza kubadilishana mate palepale kwenye kabati, baada ya muda aliona anachelewa, mwanaume alinibeba juujuu mpaka kitandani. Kwa vile mchicha ulikuwa umeishakolea nazi tuliumwaga juu ya ubwabwa na kuanza kujimegea tataribu. Mateja alionekana ana pupa kama mamba mwenye njaa, hakuchelewa kukifikisha chombo ukingoni mwa bahari. Baada ya mapumziko mafupi tulirudi ndani ya ngarawa kuendelea na safari, katika vitu ambavyo katika maisha yangu nilikuwa sivipendi ni usumbufu ndani safari. Ooh geuka hivi, lala hivi, inama hivi, nyanyuka hivi, kwa upande wangu niliona usumbufu lakini nilivumilia kwa vile ndiyo ilikuwa siku yetu ya kwanza kukutana. Kama ningekuwa nimemzoea ningempasha, kwani hakuna starehe ya mapenzi mpaka kusumbuana kumgeuza mwenzako kituko,ile kwangu sikuona mapenzi zaidi ya adhabu. Siku zote niliamini baada ya safari ndefu mtu humwaga mzigo na kutelemka. Siku ile tulikaa kaa mpaka saa tatu usiku baada ya kuoga na kula alinirudisha nyumbani. Kabla ya kuondoka Mateja aliniahidi vitu vingi ikiwemo kunijengea nyumba kuninunulia gari na kuyabadili maisha yangu kwa ujumla. Siku ile moja tu alinipatia laki tano taslimu, sikuamini niliona miujiza kupata raha na kiasi kikubwa cha pesa kama kile. Nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu yupo chumbani kwake, Nilifungua mlango wa chumba changu na kuingia ndani. Nilipowasha taa nilishtuka kumuona Bi Shuu kanisimamia nyuma, akuzungumza chochote ila alinikata jicho kali. “Shikamoo Bi Shuu” “Hainisaidii kitu” “Mbona hivyo mama yangu” “Kazi gani ya kutoka saa moja asubuhi kurudi saa tano za usiku?” Mmh, makubwa nimekuwa mtoto mdogo wa kuwa chini yake kwa kila kitu. Nilijua uchawi wa Bi Shuu ni nini, niliinama na kuchukua mkoba wangu na kufungua. Nilihesa nyekundu tano na kumpa. “Za nini?” “Katumie tu” “Za kodi?” “Walaa, nimekutunuku tu mama yangu.” “Kweli!?” “Kweli unafili uliyonifikiza madogo” Bi Shuu alifurahi na kunikumbatia na kusahau aliyobwatuka muda mfupi, baada ya kunipandisha na kunishusha alisema. “Weee mwana kulikoni” “Kaa chini nikupashe kazi imekuwa kaziiiii” “Usiniambie” “Habari ndiyo hiyo shilingi moja kwa sekunde ndio mpango” “Wacha wee leo Mchaka kawa mzaramu” “Umenifundisha wewe, ngoja nikaoge nikupashe upashike” Nilimuacha Bi Shuu chumbani kwangu akizirudia kuzihesabu pesa nilizompa mimi nikaenda kujimwagia maji. Nilipotoka kuoga nilimkuta akinisubiri kwa hamu kubwa. “mmhu, hebu nipe raha” “Bi shuu nitakueleza yote kesho” “Mwana wee siwezi kulala mpaka unipe siri ya rangi nyekundi kupendeza na kusikitisha” Huku nikijifuta maji nilimueleza yote bila kumficha hata moja, mwisho wa yote nilielezea masikitiko yangu ya bahati ya kupendwa na mkosi wa kuachwa. “Bi Shuu, japo nimepata lakini wasiwasi wangu sichelewi kumwagwa” “Kwani una tatizo gani?” “hata silijui hakuna hata mwanaume mmoja aliyenieleza tatizo langu” “Mmh, kuna umuhimu wa kulifanyia kazi” “Siamini kama tatizo langu litaisha” “Hebu kila ukiwa na huyu bwana msikilie na muulize an apenda nini chochote usimnyime” “mmh, Bi Shuu wanaume wengine waharibifu ukimchekea anakuharibu” “Sio unavyo fikiria’ “Kuna nini wanaume wanacho taka zaidi ya kuwaharibu wanawake, sijazaa babu wee cha kuwekewa matambala” “Sina maana hiyo si wote wana penda mchezo huo.” “mmh, nitamsikiliza” “Sasa mwana wee lala nakuomba muheshimu mpenzio kama Mungu wako huoni muda si mrefu nasi tutatembelea gari” “Ndicho ninachokiomba, sijui yatakuwa yale yale.” “Basi mwali lala usingizi unono.” “Nawe pia Bi shuu” Bi Shuu aliniaga na kuondoka na kuniacha nikimalizia kujifuta maji ili nilale. ****** Siku ya pili wakati namalizia kujipodoa kabla ya kwenda kujifusha udi kwa Bi Shuu simu ya Mateja iliingia, niliipokea na kuzungumza naye. “Haloo ma’ Sweet.” “Ooh, ma honey girl.” “Ni mimi, mhu baba nipe habari naona simu za asubuhi asubuhi?” “Aah, kawaida ila kuna dereva nimemtuma atakupitia muda si mrefu.” “Hakuna tatizo Sweet.” Baada ya Mateja kukata simu, kwa vile nilikuwa tayari nimeisha jipodoa nilikwenda chumbani kwa Bi Shuu. Kabla ya kuingia nilikutana na moto uliokuwa ukinukia vizuri, harufu ya asubuhi ile ilikuwa zaidi na ya jana yake Niliingia na kumkuta akiweka udi kwenye kitezo, aliponiona alitabasamu na kusema. “Haya mwali jifushe uwahi kazini.” Niliinama na kufunikwa shuka ili moshi wote wa harufu nzuri uishie kwenye nguo na mwilini, baada ya muda alifunua shuka na kuninusa kama mbwa anayesaka chakula jaani. Asikuambie mtu Bi Shuu havumi lakini yumo, mtu mzima lakini ovyooo. “Umevaa kufuri gani?” Bi Shuu aliniuliza swali ambalo sikufikiria kuniuliza. “Nyeupe.” “Hebu nione.” Mmh, makubwa nilinyanyua gauni na kuiona nilikuwa nimevaa kufuli la mikanda ‘Bikini’. “Mwali ndio nini?” Bi Shuu alishtuka. “Mbona umeshangaa?” “Unakwenda kwenye starehe au kazini?” “Kazini.” “Sasa mbona umevaa kufuri kama unakwenda kwenye kilimo cha mihogo.” “Babu weee kwenda na wakati.” “Acha ushamba vaa kufuri la kawaida, hilo kufuri unalivaa siku unayokutana na mpenzi ukitoa nguo tu akiona anaingia kimuhemuhe.” Mmh, sikutaka kubishana naye nilirudi hadi chumbani kubadili kufuri, wakati namaliza kuvaa honi ya gari ilipigwa nje nilijua mtu aliyetumwa kunifuata amefika. Nilikimbilia chumbani kwa Bi Shuu kumuaga. “Bi Shuu naondoka.” “Umebadili kufuri?” “Ndiyo.” “Hebu nione.” Nilinyanyua tena gauni na kunitazama, nilikuwa nimevaa ya kawaida tena ya rangi nyekundu, alipoiona alisema. “Ewaaa, sasa hapo ndipo nilipopataka.” “Basi nawahi kuna mtu ananisubiri hapo nje katumwa na mzee,” nilisema huku nikiteremsha gauni ili niwahi nje. “Wee Manka ndio nini?” “Vipi tena Bi Shuu mwenzio nachelewa kazini.” “Hebu jifushe na hiyo kufuri linukie.” Nilirudi haraka na kuchutama kwenye kitezo kwa kulitanua gauni langu moshi wote uingie chini. Baada ya kufanya yote niliyoelekezwa na Bi Shuu nilimuaga kwa kumbusu kisha nilipitia mkoba wangu na kutoka nje. Nilimkuta gari likinisubiri, niliingia kwenye gari na gari liliondoka. “Mambo?” “Poa, sijui yako?” “Hata mimi ipo poa.” Safari iliendelea hadi ofisini, nilipofika nilipita moja kwa moja hadi ofisini kwa Mateja, alivyokuwa ameisha ingia ofisini. Baada ya kufungua mlango wa ofisi niliingia huku nikiachia tabasamu pana na kutanua mikono yangu, Mateja aliponiona alizunguka meza yake kunipokea. Tulikutana katikati na kukumbatiana. Tuliporomosheana mabusu moto moto huku tukigandisha midomo kwa muda na kubadilisha mate. “Mmh, tosha,” nilisema huku nikijitoa mikononi kwa Mateja. “Mhu, za nyumbani?” “Mmh, mzuri sijui kwako?” “Kwangu ilikuwa ngumu kidogo kutokana na kuwa na wakati mgumu baada ya kukuota tupo pamoja niliposhutuka nilijikuta nipo peke yangu.” “Pole sana, basi ndio ufanye haraka kunichukua.” “Kwa mateso ya jana kuna umuhimu wa kufanya hivyo.” “Basi mengine baada ya kazi.” “Haya mama, mimi niseme nini.” Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Pamoja na furaha ile bado wasiwasi wangu ulikuwa nini hatima yangu kwake, nitaendelea naye au ndiyo atanitosa kama waliotangulia. Wazo la awali lilikuwa kuomba msaada kwa Bi Shuu ili niweze kumdhiniti. Niliendelea na kazi zangu kama kawaida, muda wa mchana tulikwenda kula pamoja kama wapenzi wasiojificha. Siku ile baada ya kurudi nyumbani aliniomba tuwe wote usiku wa siku ile, sikumkatalia kwa vile ndiye aliyekuwa mmiliki wa mwili wangu. Usiku alinipitia na kuondoka kwenda kulala naye mpaka asubuhi, kaonja kaona tamu sasa anataka kula kabisa. … Ni kweli nilifurahi kulala na Mateja mpaka asubuhi kuonesha jinsi gani alivyopagawa kwangu, lakini usiku kwangu ulikuwa wa karaha sana yaani mambo nisiyoyapenda ya kusumbuana wakati wa mapenzi yalijirudia tena. Nilishindwa kumkatalia kwa vile alikuwa bosi wangu kwa kuogopa kufukuzwa kazi na maisha ya kutangatanga yalinichosha. Usiku mzima kugeuzwa kama chapati ooh geuka hivi, lala hivi fanya hivyo, basi kero mtindo mmoja. Nilijiuliza bila kunisumbua vile hawezi kukidhi haja zake, mpaka kunakucha nilikuwa nimekasirika mtoto wa kike kila kona ya mwili iliniuma hayakuwa mazoezi bali adhabu ya mapenzi. Asubuhi Mateja alifurahi sana na kuniahidi kabla ya yote kukibadili chumba changu kwa kuninunulia sofa za nguvu, alinipa pesa nyingi za kutumia na kunirudisha nyumbani. Huwezi amini nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu akinisubiri, kutokana na uchovu nilimsalimia na kuingia ndani nijilaze. Kabla sijabadili nguo na kuvaa kanga nyepesi Bi Shuu aliingia. “Mankaaaaa,” aliniita kimbea. “Unasemaje Bi Shuu,” nilimuuliza huku nikimuangalia jicho zito la usingizi. “Mmh, sikuwezi.” “Kwa nini Bi Shuu?” “Mambo yako mazito.” “Mmh kawaida tu, vipi ushakunywa chai?” “Nilikuwa nakusubiri wewe.” “Mimi kwa sasa hivi siwezi nimechoka sana.” “Eeeeh Manka weee, mlikuwa mnakomoana.” “Wee Acha tu,” niliona kama ananichelewesha kulala kutokana na umbea wake wa utu mzima. Nilivuta pochi na kutoa noti kadhaa za kumi kumi na kumpatia Bi Shuu bila kuzihesabu. “Za nini?” “Za kwako.” Bi Shuu alichanganyikiwa na kunivamia kwa furaha na kujitahidi kunibeba japo uzito wangu ulikuwa mkubwa. Kweli pesa sabuni ya roho Bi Shuu alipagawa na kuniona kama malaika niliyetumwa kuja kumpa furaha ya asubuhi ile. “Bi Shuu niache nipumzike.” “Mwali weee lala, tena utakutana nimekuandalia chakula kizuuuri.” Bi Shuu alitoka na kuniacha nikimalizia kuondoa nguo mwili kisha kuchukua kanga nyepesi kisha kujitupa kitandani. Nililala kwa muda wa saa zaidi ya nane kutokana na uchovu wa mbilinge za Mateja usiku kucha. Majira ya jioni Mateja alifanya kweli kwa kuleta sofa za nguvu kitu kilichofanya Bi Shuu kunipa chumba kikubwa cha nyumba kubwa. Niliamini ule ulikuwa mwaka wangu wa mimi kurudi katika maisha ya kutanua. Niliamini muda si mfupi lazima niwe na gari langu mwenyewe. Baada ya kukipamba chumba changu na kupendeza Bi Shuu aliniweka chini na kunipa somo. “Manka Mungu akupe nini, ukishikwa shikamana mwali wee.” “Hata mimi najua Bi Shuu.” “Unaonekana mwanzo ulikuwa ukifanya makusudi mbona sasa hivi mwanaume kapagawa muda si mrefu utakuwa dunia ya wenye nazo.” “Ndio maana yake.” “Basi Manka nitakuongezea vikorombwezo akigusa amenata.” “Usiniambie!” “Kwanini wazee wenzangu pamoja na umri wangu wakionja wanapagawa itakuwa wewe ukioga maji yanatelemka.” “Tena kweli ufanye haraka maana ameisha tangaza ndoa.” “Basi hiyo kazi niachie.” Mateja alinipigia simu kuwa siku ile angekuja kulala ili jumatatu twende kazini pamoja nami sikumkatalia. Kweli usiku alikuja kulala kwenye chumba changu kilichokuwa na hadhi kubwa kwa mtu yoyote. Kama kawaida ya usiku wa jana yake yalijirudi ya kusumbuliwa lala hivi geuka hivi fanya hivi, basi taabu mtindo mmoja. Na siku ile nilivumilia lakini moyoni nilijisemea siku nyingine nitampasha kweli wake hawezi kunigeuza kama mwanasesele na kunichezea apendavyo. Nikajikuta siyachukia mapenzi na kuyaona kwangu ni karaha na si starehe, mwanaume alikuwa akipanda juu ya mnazi hashuki mpaka nahisi kichefuchefu. Niliamini kabisa alitaka kunikomoa kwa vitu alivyonipa, kwangu sikuona mapenzi zaidi ya mateso. Uvumilivu uliponishinda nilianza kuwa mkali kwa kumgomea kwa usumbufu wake kwa kumueleza makavu kuwa sitaki kama hawezi kifo cha mende tuache. Mateja alinielewa na kustarehe bila usumbufu, nilishangaa kumbe anaweza kukwea mnazi bila kujifunga kamba za miguu. Kilichonishangaza ndani ya mapenzi yetu yaliyochukua miezi minne, Baadhi ya mambo yalianza kutoonesha dalili zozote za kutimiza ahadi yake. Siku zilivyozidi kwenda mbele ndivyo uhusiano na Mateja ulivyozidi kulega, hata kuwa pamoja baada ya kazi ikafutika kila muda alionekana yupo bize. Kitendo cha kutokuwa karibu na Mateja kilimshtua sana Bi Shuu kwani hata vizawadi navyo vilikatika. Siku moja aliniweka chini na kuniuliza. “Manka kulikoni?’ ”Hata mimi sijui.” “Manka kila siku hujui wakati unaharibu.” “Bi Shuu unanilaumu bure.” “Hivi kama na huyu atakuacha unafikiri utampata nani?” “Bi Shuu nimejitahidi kwa kila ulilonifundisha nililifanya lakini matokeo yake ndio hayo lazima kuna mkono wa mtu.” “Manka kuna kitu gani alichokipenda Mateja hukumpa?” “Mmh, kila kitu nimempa.” “Kweli?” “Kweli kabisa, nikudanganye ili iweje.” “Sasa itakuwa nini?” “Hata mimi sijui, huu utakuwa ni mkosi tu” “Basi naomba kesho ukienda kazini niitie Mateja.” “Mmh, sijui kama atakuja, lakini nitafikisha ujumbe.” Siku ya jumatatu nilikwenda kazini kama kawaida huku nikifikilia jinsi ya kufikisha wito kwa Mateja wa kuitwa Bi shuu. Hakuwa Mateja niliyekuwa namfahamu. Ilionesha mapenzi yalikwisha kabisa. Kila alipoingia ofisini alinisalimia lakini hakuna kilichoendelea. Nilipomuuliza alinijibu kwa kifupi “Nipo bize,” nilijikuta nikiiona kazi ngumu kama si Bi Shuu ningeacha kazi kutokana na kujiona sina thamani tena kwa Mateja. Siku moja roho iliniuma sana baada ya msichana mmoja kuingia ofisini kwa Mateja bila kumuulizia kwangu kama ilivyokuwa kwa wateja wengine. Niliacha kazi zangu na kumfuata ndani, nilipoingia ofisini mbona lilinishuka mtoto wa kike. Niliwakuta wamekumbatiana na Mateja huku midomo yao ikiwa imegandiana. Nilitamani ardhi ipasuke inimeze, nilisimama kama sanamu nisijue cha kufanya, machozi yalinitoka bila kizuizi, pamoja na kuniona hawakushtuka ndio kwanza walizidisha kutomasana kimahaba. Niliona wazi kabisa penzi langu na Mateja limefika ukingoni. Nilirudi ofisini kwangu na kukaa chini kazi ilikuwa chungu nilijikuta nikilia peke yangu, nilitamani kuondoka niiache kazi. Lakini niliyakumbuka maneno ya Bi Shuu kuwa siku zote penzi tamu ni lile lisilo sukumwa ninalosukumwa lina kasoro. Nikiwa nimeinama nafuta machozi nilishtushwa na sauti ya Mateja. “Manka.” Bila kuitika nilinyanyua uso kumuangalia huku kitambaa kikiwa karibu na macho kufuta machozi. Mateja alikuwa amesimama mbele ya meza yangu akiwa ameshikana kimahaba mmoja alimshika mwenzake mkono shingoni na mwanaume kiunoni. “Vipi mbona unalia?” Mateja aliniuliza kwa kunikujeli, sikumjibu niliendelea kufuta machozi. “Manka huyu ndiye mke wangu mtalajiwa.” Sikumjibu niliinama chini na kulia kilio cha kwikwi ambacho Mateja na mpenzi wake hawakukijali. Niliwasikia wakiondoka, niliwasindikiza kwa macho mpaka walipotoweka, baada ya kutoweka machoni mwangu nilijikuta nikijiuliza nalia nini kwani tukio lile halikuwa la kwanza upande wangu kutendewa. Ni kweli lazima moyo uniume kutokana na ahadi nzuri za Mateja ambazo nilijua zitanibadilisha katika maisha yangu. Ndoto yangu ya mchana ya kumiliki gari na nyumba iliyeyuka kama bonge la mafuta katika kikaango cha moto. Baada ya muda Mateja alirudi na kunipita kuingia ofisini kwake bila kunisemesha jambo lolote. Nilikumbuka wito niliopewa na Bi Shuu wa kwenda kuzungumza naye juu ya matatizo yangu, kila nilipotaka kumwambia moyo ulisita na kuamua kuipotezea tu. Muda wa kutoka nilijikuta nikijikaza kike na kumueleza. “Samahani bosi.” “Bila samahani,” Mateja alinijibu kistaarabu. “Bi Shuu alikuwa anakuita.” “Bi shuu naye ana shida gani tena?” “Hata sijui.” “Mmh, yule bibi na umri wake yuko vile wakati wa usichana wake alikuwaje?” “Mmh, sijui.” “Basi mwambie nitamtembelea wikiendi.” Jamani kauli ya Mateja ilinipa matumaini labda atarudisha moyo wake, siku zote nilimuamini Bi Shuu kwa maneno yake matamu yaliyojaa misemo nahau na methani ili kumlainisha mtu. “Jamani bosi kwa nini usiende leo?” “Manka nipo bize sana atanisamehe, lakini mwambie sijamdharau nitaitikia wito wake.” ITAENDELEA ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: