Home → simulizi
→ MCHORO WA AJABU (13)
“ungenipa taarifa mapema kama tunalaal kabisa hapa hapa …so kunishtukza naona kma hujafanya poa.” Aliongea Mudrick na kumuangalia Tina
”nilipokuambia surprise ndio hii sasa.. wewe unafikiri ningekuambia kua tunalala ingekua surprise gani hiyo?” aliongea Tina kwa sauti ya kilevi.
“mimi siwezi kulala na wewe ukiwa umelewa.. tafuta siku ambayo upo mkavu kabisa ili wote tuwe na akili timamu.
“usikatae Wizard… napenda sana kuwa na wewe usiku huu jamani.. nimetumia gharama zangu kuhakikisha kua naimalizia furaha yangu na wewe.” Alilalamika Tina.
“sijakataa kulala na wewe…lla mimi na pombe ni vitu viwili tofauti. ndio maana sipendi kukereka na harufu ya pombe unayonuka… so ungeniambia mapema ningekuambia kua usinywe pombe ili tufurahie pamoja usiku huu.” Aliongea Mudrick na kushika nnywele za Tina kuashiria kua alikua tayari kuwa nae kama asingelewa.
“basi leo hatutofnya chochote…ila tu naomba usiwe mbali na mimi.” Aliongea Tina huku akionyesha kua ameshaelewa.
“sawa.” Aliongea Mudrick na kumtazama Tina aliye muonyesha tabasamu.
Walipata chakula cha usiku na kwenda kwenye chumba chao walichokipata kwenye hotel hiyo.
Mudrick alishuhudia Tina akivua nguo na kubaki na nguo za ndani. Sidiria ndogo iliyobeba maziwa madogo ilifanana kabisa na kufuli aliyovaa.
Mudrick alijikaza na kuvua suruali yake na kubaki na boxer ndefu kidogo na juu akaamua kulala na t shirt laini aliyovaa.
Walilala pamoja huku Tina akiutawala mwili wa Mudrick kwa kumuwekea paja lake na mikoni kifuani kwake.
Hisia za kiume zilimtesa Mudrick, lakini akikumbuka onyo alilopewa na malikia wa majini viungo vyake vya uzazi vikasalimu amri na kulala tulii na kumfanya Mudrick kuwa na Amani.
“kweli tuna lala hivi mpaka asubuhi bila hata kuonjana kidogo mpezi wangu?” aliuliza Tina baada ya kugalagala na kuhangaika juu ya kumchezea mwanaue huyo ambaye hakuonyesha hisia zozote za kutaka kufanya mapenzi nae.
“kweli tena… tuta futane siku nyingine ndio nikuonyeshe kazi…lakini leo umejitwika kilevi ndio umeharibu.” Aliongea Mudrick na kumfanya Tina kugeukia upande wa pili na kulala.
Tina alifumbua macho asubuhi na kutomkuta Mudrick kitandani. Alimka a kwenda bafuni, alimkosa pia. Alifungua mlango na kumuona akiwa anaongea na mmoja wa muhudumu wa hoteli hiyo.
Tina alimfuata na kumshika kiuno.
“ulikua unaongea nae nini huyu?” aliuliza kimasihara Tina.
“alikua ananiuliza tunakunywa chai na vitafunwa gani…so ndio nlikua namuelekeza vitafunwa ninavyohitaji.” Aliongea Mudrick na kumfanya Tina atabasamu na kumbusu.
“mimi nakunywa chai na vitafunwa alivyoagiza mume wangu.” Aliongea Tina na kumuangalia Mudrick ambaye moyoni alishtuka sana baada ya kuitwa mume kabisa.
Ilipotimia saa nne asubuhi, gari ilikuja kuwafuata na kuondoka. Walirudi na kushushwa nyumbani kwao.
“mimi naelekea kariakoo muda huu.. maana nimeizima simu yangu ili nisisumbuliwe na watu wa kazini.” Aliongea Mudrick na kuondoka.
“alifika pancha na kukuta kuna wateja wawili wakiwa wanasubiria foleni. Alimpa salamu Bob ya juu juu na kuanza kazi.
“Unamkumbuka yule dada tuliyeenda kumpakia rangi nyumba yake na kutulipa mpunga mrefu?” aliongea Bob huku wote wakiendelea na kazi.
“aah..yule dada wa kinondoni?” aliuliza Mudrick ili kuhakikisha kua kumbukumbu zake zilikua sahihi.
“ndio huyo huyo.. amenipigia simu na kuniambia kua anakuhitaji leo ukiwa na nafasi.” Aliongea Bob na kumfanya Mudrick ashangae kidogo.
“hajakudokeza kua alikua ana shida gani na mimi?” aliuliza Mudrick.
“nilimuuliza lakini hakunijibu kua ana shida gani na wewe.. sema ukimmaliza huyo mtu nenda ndugu yangu… unaweza kuwa mchongo wa mpunga mrefu.” Alionga Bob na kumfanya Mudrick akubaliane na Bob.
Baada ya kuingiza shilingi elfu tano mfukoni kwake , akaamua kuonganisha magari kuitafuta kinondoni. Alifika nje ya nyumba ya dada huyo na kugonga mlango.
“wewe ni nani na una shida gani?” aliuliza mlinzi ambaye sura yake ilikua ngeni kwa Mudrick tofauti na yule wa siku waliyoenda.
“nina shida na mama mwenye nyumba hii.” Aliongea Mudrick na kumuangalia mlinzi huyo.
“nimuambie nani anamuulizia?” aliongea milinzi na kumtolea macho Mudrick.
“muambie mchoraji ameshafika.” Aliongea Mudrick na yule mlinzi akafunga geti na kwenda ndani. Daika moja baadae alirudi na kugongua tena geti hilo.
“karibu.” Alikaribisha mlinzi huyo na Mudrick akaingia ndani na kumkuta dada huyo amejiachia sebuleni kwake.
Alikua amevaa skin jeans fupi na juu amevaa nguo Fulani lakini ikiwa transparence huku ndani sidiria ndogo iliyo bust maziwa yake ikionekana vyema.
Mapaja meupe yaliyokua wazi ndio yalikua ya kwanza kumkaribisha Mudrick alipoambiwa akae kwenye sofa lililokua likiangaliana na sofa alilokaa dada huyo mrembo.
“unatuma kinywaji gani ?” aliuliza dada wa kazi ambaye alifika haraka baada ya kumuona mgeni huyo.
“naomba maji ya kunywa tu.” Aliongea Mudrick na muda si mredu yule dada wa kazi akaleta glass iliyokua na tissue ndani yake na maji ya lita moja na nusu ya Kilimanjaro baridi.
Alimuangalia dada huyo ambaye alikua anakunywa amarula huku chupa ya nyingine ndogo ikiwa imelala kuashiria kua alianza kunywa muda mrefu. Tabasamu lillilotoka liliashiria kua dada huyo alishakolea kinywaji hicho.
Macho malegevu kama mtu aliyekula kungu yaliongeza mvuta wa dada huyo ambaye aliyatuliza macho yake kwa Mudrick ambaye allipata tabu kumuangalia usoni.
“rangi uliyopiga chumbani kwangu kuna sehemu imechafuka.. so nataka uirudishie.” Aliongea dada huyo baada ya kuulizwa na Mudrick sababu ya kumuita pale.
“rangi ipi hiyo …. ya green apple au?” Aliuliza Mudrick.
“nimeshanunua tayari. Wewe twende tu nikakuonyeshe.” Aliongea dada huyo na kunyayuka. Alitangulia na Mudrick akawa anamfuata nyuma.
Walifika ndani na Mudrick akaona kweli ile rangi ilikua na uchafu fulan hivi lakini sehemu ni mdogo sana.
Aligeuka nyuma na kumkuta dada huyo amefunga mlango huku akiwa ameuegemea na kumuangalia kimahaba Zaidi.
Wakati akiwa ametoa macho kumuangalia. Alisikia sauti ya zipu ya dada huyo na punde tu kimini hicho kikaanza kushuka na kumfanya azidi kutoa macho baada ya kuona tukio hilo ambalo analifananisha na msichana anaye karibia kubakwa huku akiwa hana mtetezi kwenye pori lenye kiza kinene.
ITAENDELEA
MCHORO WA AJABU (13) “ungenipa taarifa mapema kama tunalaal kabisa hapa hapa …so kunishtukza naona kma hujafanya poa.” Aliongea Mudrick na kumuangalia Tina ”nilipokuambia surprise ndio hii sasa.. wewe unafikiri ningekuambia kua tunalala ingekua surprise gani hiyo?” aliongea Tina kwa sauti ya kilevi. “mimi siwezi kulala na wewe ukiwa umelewa.. tafuta siku ambayo upo mkavu kabisa ili wote tuwe na akili timamu. “usikatae Wizard… napenda sana kuwa na wewe usiku huu jamani.. nimetumia gharama zangu kuhakikisha kua naimalizia furaha yangu na wewe.” Alilalamika Tina. “sijakataa kulala na wewe…lla mimi na pombe ni vitu viwili tofauti. ndio maana sipendi kukereka na harufu ya pombe unayonuka… so ungeniambia mapema ningekuambia kua usinywe pombe ili tufurahie pamoja usiku huu.” Aliongea Mudrick na kushika nnywele za Tina kuashiria kua alikua tayari kuwa nae kama asingelewa. “basi leo hatutofnya chochote…ila tu naomba usiwe mbali na mimi.” Aliongea Tina huku akionyesha kua ameshaelewa. “sawa.” Aliongea Mudrick na kumtazama Tina aliye muonyesha tabasamu. Walipata chakula cha usiku na kwenda kwenye chumba chao walichokipata kwenye hotel hiyo. Mudrick alishuhudia Tina akivua nguo na kubaki na nguo za ndani. Sidiria ndogo iliyobeba maziwa madogo ilifanana kabisa na kufuli aliyovaa. Mudrick alijikaza na kuvua suruali yake na kubaki na boxer ndefu kidogo na juu akaamua kulala na t shirt laini aliyovaa. Walilala pamoja huku Tina akiutawala mwili wa Mudrick kwa kumuwekea paja lake na mikoni kifuani kwake. Hisia za kiume zilimtesa Mudrick, lakini akikumbuka onyo alilopewa na malikia wa majini viungo vyake vya uzazi vikasalimu amri na kulala tulii na kumfanya Mudrick kuwa na Amani. “kweli tuna lala hivi mpaka asubuhi bila hata kuonjana kidogo mpezi wangu?” aliuliza Tina baada ya kugalagala na kuhangaika juu ya kumchezea mwanaue huyo ambaye hakuonyesha hisia zozote za kutaka kufanya mapenzi nae. “kweli tena… tuta futane siku nyingine ndio nikuonyeshe kazi…lakini leo umejitwika kilevi ndio umeharibu.” Aliongea Mudrick na kumfanya Tina kugeukia upande wa pili na kulala. Tina alifumbua macho asubuhi na kutomkuta Mudrick kitandani. Alimka a kwenda bafuni, alimkosa pia. Alifungua mlango na kumuona akiwa anaongea na mmoja wa muhudumu wa hoteli hiyo. Tina alimfuata na kumshika kiuno. “ulikua unaongea nae nini huyu?” aliuliza kimasihara Tina. “alikua ananiuliza tunakunywa chai na vitafunwa gani…so ndio nlikua namuelekeza vitafunwa ninavyohitaji.” Aliongea Mudrick na kumfanya Tina atabasamu na kumbusu. “mimi nakunywa chai na vitafunwa alivyoagiza mume wangu.” Aliongea Tina na kumuangalia Mudrick ambaye moyoni alishtuka sana baada ya kuitwa mume kabisa. Ilipotimia saa nne asubuhi, gari ilikuja kuwafuata na kuondoka. Walirudi na kushushwa nyumbani kwao. “mimi naelekea kariakoo muda huu.. maana nimeizima simu yangu ili nisisumbuliwe na watu wa kazini.” Aliongea Mudrick na kuondoka. “alifika pancha na kukuta kuna wateja wawili wakiwa wanasubiria foleni. Alimpa salamu Bob ya juu juu na kuanza kazi. “Unamkumbuka yule dada tuliyeenda kumpakia rangi nyumba yake na kutulipa mpunga mrefu?” aliongea Bob huku wote wakiendelea na kazi. “aah..yule dada wa kinondoni?” aliuliza Mudrick ili kuhakikisha kua kumbukumbu zake zilikua sahihi. “ndio huyo huyo.. amenipigia simu na kuniambia kua anakuhitaji leo ukiwa na nafasi.” Aliongea Bob na kumfanya Mudrick ashangae kidogo. “hajakudokeza kua alikua ana shida gani na mimi?” aliuliza Mudrick. “nilimuuliza lakini hakunijibu kua ana shida gani na wewe.. sema ukimmaliza huyo mtu nenda ndugu yangu… unaweza kuwa mchongo wa mpunga mrefu.” Alionga Bob na kumfanya Mudrick akubaliane na Bob. Baada ya kuingiza shilingi elfu tano mfukoni kwake , akaamua kuonganisha magari kuitafuta kinondoni. Alifika nje ya nyumba ya dada huyo na kugonga mlango. “wewe ni nani na una shida gani?” aliuliza mlinzi ambaye sura yake ilikua ngeni kwa Mudrick tofauti na yule wa siku waliyoenda. “nina shida na mama mwenye nyumba hii.” Aliongea Mudrick na kumuangalia mlinzi huyo. “nimuambie nani anamuulizia?” aliongea milinzi na kumtolea macho Mudrick. “muambie mchoraji ameshafika.” Aliongea Mudrick na yule mlinzi akafunga geti na kwenda ndani. Daika moja baadae alirudi na kugongua tena geti hilo. “karibu.” Alikaribisha mlinzi huyo na Mudrick akaingia ndani na kumkuta dada huyo amejiachia sebuleni kwake. Alikua amevaa skin jeans fupi na juu amevaa nguo Fulani lakini ikiwa transparence huku ndani sidiria ndogo iliyo bust maziwa yake ikionekana vyema. Mapaja meupe yaliyokua wazi ndio yalikua ya kwanza kumkaribisha Mudrick alipoambiwa akae kwenye sofa lililokua likiangaliana na sofa alilokaa dada huyo mrembo. “unatuma kinywaji gani ?” aliuliza dada wa kazi ambaye alifika haraka baada ya kumuona mgeni huyo. “naomba maji ya kunywa tu.” Aliongea Mudrick na muda si mredu yule dada wa kazi akaleta glass iliyokua na tissue ndani yake na maji ya lita moja na nusu ya Kilimanjaro baridi. Alimuangalia dada huyo ambaye alikua anakunywa amarula huku chupa ya nyingine ndogo ikiwa imelala kuashiria kua alianza kunywa muda mrefu. Tabasamu lillilotoka liliashiria kua dada huyo alishakolea kinywaji hicho. Macho malegevu kama mtu aliyekula kungu yaliongeza mvuta wa dada huyo ambaye aliyatuliza macho yake kwa Mudrick ambaye allipata tabu kumuangalia usoni. “rangi uliyopiga chumbani kwangu kuna sehemu imechafuka.. so nataka uirudishie.” Aliongea dada huyo baada ya kuulizwa na Mudrick sababu ya kumuita pale. “rangi ipi hiyo …. ya green apple au?” Aliuliza Mudrick. “nimeshanunua tayari. Wewe twende tu nikakuonyeshe.” Aliongea dada huyo na kunyayuka. Alitangulia na Mudrick akawa anamfuata nyuma. Walifika ndani na Mudrick akaona kweli ile rangi ilikua na uchafu fulan hivi lakini sehemu ni mdogo sana. Aligeuka nyuma na kumkuta dada huyo amefunga mlango huku akiwa ameuegemea na kumuangalia kimahaba Zaidi. Wakati akiwa ametoa macho kumuangalia. Alisikia sauti ya zipu ya dada huyo na punde tu kimini hicho kikaanza kushuka na kumfanya azidi kutoa macho baada ya kuona tukio hilo ambalo analifananisha na msichana anaye karibia kubakwa huku akiwa hana mtetezi kwenye pori lenye kiza kinene. ITAENDELEA
Artikel Terkait
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU—SEHEMU YA TATU (ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI; Raya anarekodi Video ikimuonyesha yule Mama akimtesa mtoto wake wa kambo, akimpiga na kumfanyisha kazi. Anamkabidhi Baba Jack ili aone kinachoendelea. Je nini kitatokea ENDELEA.. Kama hujasoma sehemu ya pipi basi bonyeza hapa; Iddi Makengo Dada alimuona namna Baba anavyobadilika, namna ambavyo uso wake alikua anaukunja, ghafla nilimuona Baba machozi yanamtoka, nikitegemea kama atapandwa na hasira kama nillivyokua mimi na kuanza kumtandika Dada makofi niliona anamgeukia taratibu, alimuangalia kwa uchungu kama vile alikua anataka kusema kitu lakini maneno hayatoki. “Ni…ni nini hiki?” Alijitahidi kuuliza, wakati huo Dada alikua kimya akiangalia chini kwa aibu. “Nisamehe mume wangu ni hasira tu, huyu mtoto wakati mwingine ananiudhi nalazimika kumpiga…” Alijitetea. Mimi bado nilikua nashangaa ni kwanini Dada hakua amelala chini akitokwa damu kwa kipigo. “Hasira ndiyo unwe unampiga mtoto namna hii, hizi ni hasira gani?” Hapa Baba aliuliza kwa hasira kidogo, nilipata faraja labda atamtandika makofi lakini haikutokea. Dada alianza kulia, “Hata mimi sijui mume wangu, sijui hata nini kilinitokea siku hiyo nikampiga mtoto, mimi sina mkono wakupiga kabisa, wewe mwenyewe unanijua labda ni hii mimba…nikiwa katika hali hii nakua tofauti sana…” “Muongo, ni kila siku anampiga, hata haya anayoita mapele ni yeye. Hata chakula anamnyima, anamtukana, anamfanyisha makazi kama Mbwa, huyu si mwanamke ni shetani!” Niliongea huku nikinyanyuka kwa hasira, Baba alikua kama zezeta flani hivi, baada ya kutajiwa neno mimba ni kama alisahau kuwa yule mwanamke alikua ni shetani. Nilikua nasikia mambo ya limbwata lakini nilikua sijawahi kuona mtu kalogwa akalogeka. Kwa namna ile video ilivyokua mtu yeyote mwanye akili timamu hata kama asingekua mzazi wa Jack angekasirika na asingemsikiliza yule mwanamke. “Una mimba mke wangu, ina miezi mi ngapi? Mbona hukuniambia?” Alisahau kabisa kuhusu Jack na kuanza kuulizia upuuzi mwingine ambao nilijua kabisa ni uongo. “Hakluna cha mimba wala nini, hivi wewe huoni kama anataka kukuchota akili!” Niliongea kwa hasira, pale nilikua kama mfanyakazi ila kwa wakati ule nilijua kazi sina hivyo ilikua ni lazima kumtetea Jack na kuhakikisha haki inatendeka. Nilipiga kelele na harakaharaka nilitaja karibu kila kitu ambacho mimi nilikishuhudia Dada akimfanyia Jack. “Mume wangu unaona, huyu binti ndiyo sababu ya kila kitu. Hataki kufanya kazi, nyumba ikakua chafu na kamjaza mwanao kiburi, mbona kabla ya kuja tulikua tunaishi salama. Jack namfundisha kazi na ananisaidia kufanya kazi za ndani, kwa hali yangu hii siwezi kufanya chochote, wewe mwenyewe unakumbuka kilichotokea kipindi kile. Unajua namna tulivyohangaikia huyu mtoto, hivi kweli kumfundisha mtoto wa kike kazi za nyumbani ni kosa? Au kumchapa akikosea ni kosa? Au kwakua mimi sina kazi nipo hapa nyumbani, au kwakua mimi ni Mama wa kambo ndiyo mnaniona kama shetani. Huyu binti anajazwa maneno na Mama yake, kila siku wanaongea na ndiyo wanataka kutuvuruga. Mimi siwezi, mimi siwezi kama umenichoka niambie tu niondoke zangu!” Aliongea huku akilia, kila kitu kilikua ni uigizaji, wakati anaongea alianza kunyanyuka, alinyanyuka huku akishika tumbo kama vile ana maumivu tumboni. “Nini? Kuna nini kimetokea, tumbo linauma?” Baba alimuuliza lakini hakujibu zaidi ya kumuambia niache kama umeamua kumsikiliza huyo baki naye mimi naondoka. Alinyanyuka kwa kupepesuka kisha taratibu alidondoka chini. Niliona kabisa kafanya makusudi kwani hakudondokea sakafuni, alipiga jicho pembeni kisha akapepesa macho na kudondokea kwenye sofa, akawa kama kakaa kiupende kisha ndiyo akafika chini. Baba alipaniki, alianza kuhaha, simu alitupa pembeni na kuacha kuangalia, watoto wake nao walikuja kulia na kumlilia Mama yao. Ilikua ni kama maigizo flani, Baba alianza kuongea habari za Hospitali ndipo alijifanya kufungua macho na kulazimisha kupelekwa chumbani. Aliniambia nimsaidie kumnyanyua lakini sikua tayari, nilimshika Jack mkono na kuondoka naye mapaka chumbani, nilimuacha Baba akihangaika kumnyanyua ili kumpeleka chumbani, alisahau kabisa ishu ya mwanae. **** Usiku mzima sikulala, nilijua nafukuzwa lakini suala la kumuacha Jack pale halikuingia akilini. Nilimuambia Jack nimpeleke kwa Bibi yake lakini alikataa katakata. “Watakuja tu kunichukua, hata nikisema nini hakuna mtu wa kunisikiliza. Wewe dada ondoka tu uniache hapa, nimeshazoea kila dada anayekuja anachoka na kuondoka mimi naendelea tu kubaki. Baba hawezi kuruhusu niondoke, alishagombana na Bibi mara nyingi lakini anasema ananipenda na hawezi kukaa mbali na mimi. Kumbe sikua mimi peke yangu niliyeona yale mateso na kukerwa nayo, kulikua na wafanyakazi wengine wawili nyuma ambao walishafukuzwa kwaajili ya Jack ndiyo maana alikata tamaa. Mmoja alisema kwa Bibi yake Jack na mwingine alimpa chakula na alikua anawasiliana na Mama yake Jack. Asubuhi Baba aliamka kama kawaida, ni kama kulikua hakuna kitu kilichotokea, Dada alijifanya kuamka na kumuamsha Jack kwaajili ya shule, alijidai kumuandaa na kujifanya hana kinyongo. Waliwaaandaa na kuwapeleka shule, alipoondoka tu Dada aliniambia nikusanye kila kilicho changu na kuondoka. Alinitukana sana kwa kutaka kuingilia nyumba yake akiniambia kuwa pale hawezi kuondoka. Alitaka kunipiga lakini kwakua sikuwa nikihitaji kazi tena na nilishajua siwezi kubaki tena pale kumlinda Jack niliamua kumtolea hasira. Baba alishaondoka kwenda kazini hivyo tulibaki wawili tu, pamoja na mwili wangu mdogo lakini nilipitia mengi, maisha ya kupigana mtaani nilishayazoea. Nilimsubiri aliponipiga kofi la kwanza na la pili. Nilimuacha anogewe ndiyo nikaanza kumtandika, hakuamini. Nilimtandika kama vile mtoto mdogo, nilimpiga sana akapiga kelele lakini hakukua na mtu wa kumsikia. Baada ya hapo nilichukua kilicho changu na kuondoka. Nilimuambia naondoka lakini nitarudi, nitarudi kwaajili ya Jack. Alinyamaza kimya bila kusema chochote. Kumbe mtu mwenyewe alikua mayai mayai halafu anajifanya kuonea watu. Niliondoka na kwenda kwa kijana mmoja, huyo alikua ni X wangu, tulizinguana kitambo kabla sijaacha kazi nilipokua nikifanya mwanzoni, yeye alikua ni Kondakta wa daladala hivyo mchana alikua kazini. Mlango wake nilikua naujua vizuri hivyo niliufungua hata bila funguo. Sikua na pakwenda kwani sikua na ndugu Dar, ingawa sikuachana naye vizuri lakini nisingelala mtaani. Jioni alirudi na kunikuta, hata hakukasirika, alianza kucheka na kunitania kama siwezi kuishi bila yeye. Nilimuambia ishu yangu, nikamuonyesha ile video katika simu yangu, hata yeye pamoja na Bangi zake hakuamini kama kuna mtu anaweza kufanya vile tena kwa mtoto mdogo kama yule. “Huyo mwanaume kashatengenezwa, cha kufanya hapo ni kwenda Polisi, mbona siku mbili huyo akikaa ndani anakaa sawa…” Aliongea huku akinigusa, najua alitaka mapenzi lakini sikua katika mood kabisa, ila aliongea jambo amaalo sikuliwaza kabisa hapo awali. “Baba yake anaweza asijali lakini sidhani kama Polisi hawatajali.” Niliwaza kufanya hivyo lakini ulikua ni usiku, niliamua kusubiri mpaka asubuhi. Lakini niliwaza kama itakua vizuri nikienda na Jack kwani nilijua kuwa wakiangalia makovu yake basi utakua ni ushahidi tosha na watamuonea huruma. Lakini ningempataje wakati yuko shuleni, niliamua kwenda nyumbani kwao kumsubiri wakati anatoka shule. Wakati wanashushwa na gari kabla ya kuingia ndani nimchukue na kuondoka naye. Mchana muda wa wao kutoka shule nilichukua Bajaji, nilimuambia Dereva kupaki karibu na geti kabisa, Gari la shule lilipokuja na kuwashusha nilishuka na mimi. Wote waliniona, wale wengine walikimbilia ndani lakini Jack ambaye alikua anaogopa alisimama na kuniambia niondoke kwani atapigwa. Sikumsikiliza wala sikusubiri kumuelezea. Nilimshika na kumvuruta mpaka kwenye Bajaji, nikamuingiza kwa lazima kisha nikamuambia Dereva tuondoke. Kwakua nilishamuambia kila kitu aliwahsa Bajaji mpaka kituoni. Kule nilienda mpaka mapokezi, hakukua na watu wengi, nilianza kuelezea kila kitu, nikawaonyesha na Video. Kila askari aliyeiona alikasirika, tulipewa askari wa kike ambaye alienda kumkagua Jack. Alikua ni Mama mtu mzima, wakati anamkagua alianza kutokwa na machozi ingawa alijizuia sana. Mwanzoni Jack alikataa kusema lakini baada ya kuhakikishiwa usalama wake lielezea kila kitu. Niliandikisha maelezo kisha tukapewa PF3 ili akatibiwe, askari mmoja alitupeleka hospitalini na gari yake binafsi. Baada ya hapo ilitolewa RB, Dada na Baba wote walikamatwa na kufikishwa kituoni. Wote walikua na kesi, haikua ni ya mtu mmoja tena. Polisi waliwasiliana na ndugu wengine kwaajili ya kumchukua Jack na kukaa na wale watoto wengine kwani wote hawakupewa dhamana. Mimi niliondoka lakini nilikua naenda Hospitalini kumuangalia Jack mara kwa mara. Alilazwa kupatiwa matibabu kwa muda wa wiki moja hivi, Mama yake alikuja na baadaye kukabidhiwa mtoto wake. Baba na Dada walikaa mahabusu kwa wiki moja na kutoka kwa dhamana lakini cha kushangaza hawakupelekwa mahakamani. Sijui nini kilitokea lakini binafsi naamini walitoa pesa nyingi kwani Baba Jack alikua na pesa na kacheo flani. Kesi iliisha chinichini na mimi sikuweza kufuatilia, baada tu ya Jack kurudi na kukabidhiwa kwa Mama yake kwangu hilo lilitosha hayo mengine yalikua hayanihusu. Hela yenyewe ya kula ilikua ni shida nisingeweza kufuatilia maisha ya wengine. Sasa hivi imepita kama miaka miwili hivi tangu hili tukio litokee, nipo hapahapa Dar lakini nimehama mtaa. Sifanyi tena kazi za ndani, nimefungua Genge langu ambalo nauza mbogamboga na matunda. Bado nawasiliana na Jack kupitia Mama yake na anaendelea vizuri, wanaishi maisha ya kawaida sana lakini yenye furaha. Katika kazi yangu hii ya kuuza Genge wateja wangu wengi ni wadada wakazi ‘House Girl’ mengi wanayokutana nayo katika nyumba za watu ni kubwa. Kwa wa mama ambao ndiyo mabosi wetu kumbukeni hata sisi ni wanadamu kama nyinyi. ***MWISHO MAMA KWANI BABA YETU NDIYO HUYU HUYU AU SISI NI MAYATIMA? Baba yao ndiyo alikua na kila kitu, mali zote zilikua za kwao lakini kila akisafiri walikua wakiishi kama mashetani, Shangazi zao na Baba zao wadogo waliungana kuwachukia, Mama yao alikua akinyanyaswa na kutukanwa. Kila siku walimuambia yeye ni mzigo na hawezi kuchukua mali za Kaka yao. Bibi yao ambaye alitegemewa kuwa upande wao naye walimjaza maneno. Walimuambia huyu mwanamke kama Kaka akimuacha watagawana mali na Kaka akifa basi atachukua mali zote. Kilichopo hapa ni kuhakikisha Kaka hawi na kitu chochote cha yeye kuchukua…. JE UNATAKA KUJUA KISA HIKI KINAHUSU NINI…Kama kisa kilichopita kilikutoa machozi hiki kitakupigisha mayowe… Lakini nacho kimetokea niseme kinaendelea kutokea, unaweza kuwa na mali nyingi na wanao wakaishi kama mashetani hata kabla hujafa. Kama unataka kuwa wa kwanza kukisoma basi hakikisha umelike ukurasa ... Read More
*Love bite* Sehemu Ya Kwanza (1) Ni siku ya jumapili iliyokuwa na kila aina ya mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbali mbali walionekana kwenye kumbi za starehe. Wengi ambao walikua wanapenda taarab basi walijazana travertine hotel kuwaangalia jahazi. Kwa wengine wanaopenda bongo flavour basi walikutana bills,maisha,masai..Dar live na kumbi zingine zilikuwa na wasanii pendwa waliokuwa wanaburudisha week end hiyo. JOTHAN alikua anapendelea sana mixing za ma dj mbali mbali. Hivyo jumapili hiyo aliamua kwenda coco beach usiku huo. Upepo mwanana uliokuwa ukipuliza huko coco beach na ukichanganya na big screen iliyokuwa inaenda sambamba na mixing za maana alizokuwa anazipiga dj huyo aliyezikonga roho za watu wengi waliokuwa pale, iilikuwa burudani tosha kwa waliohudhuria usiku ule. Jotham alipaki gari yake pembeni, alichagua kiti kilichukokuwa karibu na meza ya mwisho na kuagiza kinywaji alichokipendelea na kuendelea kufurahia mziki uliokuwa unaonyeshwa kwenye screen hiyo. Mara kwa mara madada poa walikuwa wanajipitisha pale alipo, lakini aliwachora tu na hakuwa na mpango nao. Baada ya dakika kadhaa, walitokea madada watatu waliokuwa wameingia pale coco beach na kuanza kutafuta mahali pa kukaa. Waliangaza meza nyingi zilikua na nafasi ya mtu mmoja au wawili tu na wao walikuwa na lengo la kukaa wote watatu kwenye meza moja. Baada ya kuangaza kwa muda, waliiona meza aliyokaa Jothan ikiwa na nafasi tatu za kukaa. Waliisogelea ile meza na walipokaribia tu kuifikia ile meza. Walishuhudia jamaa mmoja akiwa ameenda kukaa pale. “wewe kaka sogea sehemu yetu.” Aliongea mmoja kati ya wale wadada watatu baada tu ya kuifikia ile meza. “mbona hakuna alama yoyote kuwa mlikaa hapa. Hakuna vinywaji wala kitu chochote.” Aliongea yule jamaa huku akionyesha wazi kuvutiwa na ile sehemu iliyokuwa chemba lakini ikiwa inaonyesha vizuri ile tv. “ni vyema uwapishe kwa sababu waongeacho sio uongo.” Aliongea Jotham kumwambia yule jamaa. Hakuwa anapenda makelele ambayo alijua yatatokea baada ya mvutano huo wa kugombania ile sehemu. Yule jamaa akaamua kunyanyuka na kuwapisha wale warembo na yeye kwenda kukaa meza nyingine. “ahsante sana kaka, maana yule jamaa alitaka atubanie wakati sisi tumehangaika kutafuta meza tutakayokaa wote watatu”. Aliongea yule dada aliyeonekana kama kiongozi wao. Mavazi waliyovaa yalitosha kumshawishi mvulana yeyote rijali na kufanya iwe lazima macho ya matamanio kumtoka. Uzuri wa mabinti hao likuwa unashinda lakini huyo aliyekuwa kiongozi wao aliwazidi wenzake kwa kila kitu. Macho ya Jotham yaliona kila kitu kutoka kwa binti huyo mbichi. Chuchu zilitokeza kwa kujichora kwenye gauni ile nyepesi ambayo haikuwa na nguo nyingine ndani. “sikiliza oda zao, ziingize kwenye bili yangu” aliongea Jotham baada ya kumuita muhudumu aliyekuwa anamuhudumia toka afike pale. “ahsante.” Waliitikia wale madada baada ya kupewa ofa hiyo. Waliagiza vyakula na vinyaji walivyopendelea. Walipiga story za kawaida huku wakigongeana glass za vinywaji na kucheka. Jotham alikuwa kimya wakati wote huku akiwa bize kuangalia na kusikiliza mixing ambazo ndizo zilizomleta pale. Baada ya masaa kadhaa, alimuita muhudumu na kulipia bili yake. “ahsante kwa ofa yako.” Aliongea yule kiongozi wao baada ya Jotham kuwaaga. Jotham aliingia kwenye gari yake aina ya opah na kuondoka eneo hilo. Njiani alimkumbuka yule dada lakini aliishia kucheka tu kwakua hakuwa na hisia zozote za mapenzi juu yake. Zaidi alimtamani kuwa nae japo kwa usiku mmoja kwa jinsi alivyotoka. Hakika alikuwa na kila aina ya uchochezi wa kufanya ngono. Alifika kwake usiku mnene na kwenda kulala fofofo kutokana na usingizi uliojaa wakati huo. Asubuhi aliamka na uchovu tele na kwenda kuoga ili kujaribu kuupunguza uchovu aliokuwa nao. Alipomaliza kuoga. Alijiandaa tayari kwa kwenda kazini. Alisumbuka sana kuwasha gari lake lakini halikuwaka. Alipoangalia mafuta, aligundua kuwa wese lilikuwa limekata. Kwa kuhofia kuchelewa zaidi kazini, aliamua kwenda kituoni na kupanda daladala. Alifika kazini huku macho yake yakiwa mekundu yaliyoashiria kuwa bado alikuwa na usingizi. “mshikaji bora ukapate supu, maana hiyo harufu ya pombe uliyamka nayo ni noma. Utaongea vipi na bosi?” alishauri mmoja wa wafanyakazi wenzake aliyekuwa karibu naye. “poa, ngoja nielekee canteen basi.” Aliongea Jothan na kwenda canteen kupata supu ya mbuzi na chapati. Baada ya kunywa chai, alirudi na kuendelea na kazi. Saa nane ndio muda waliokuwa wanatoka kazini. Alienda kupata chakula cha mchana canteen na kuondoka zake kuelekea kituo cha daladala ambacho hakikuwa mbali na ofisini kwao. Alisubiri daladala kwa muda na kupanda gari iliyokuwa inaelekea mwenge kwa malengo ya kushuka kinondoni anapoishi. Usingizi ulichukua nafasi yake baada ya kupanda tu lile gari lililokuwa likisubiri abiria kwa dakika kadhaa pale kituoni Baada ya muda mrefu kidogo kupita, aliamka na kuangalia gari lilikuwa limefika wapi. Wakati akiwa anaanga angaza, macho yake yaligongana na yule mrembo aliyekuwa naye kwenye meza moja siku ya jana yake. Wote walikumbukana na kila mmoja akamuachia mwenzake tabasamu. Hapo alifanikiwa kumuona vizuri huyo msichana mwenye kila sifa ya uzuri. Usingizi uliendelea kumzonga Jotham na kujikuta anapitiwa na usingizi bila kuongea chochote na yule msichana. Gari lilifika mpaka mwenge na kupitiliza kituo alichokua anashuka Jothan. Aliamshwa na konda baada gari kushusha abiria wote. “tuko wapi hapa.” Aliuliza Jothan baada ya kuamka na kuangalia nje ambapo kulikua tofauti na mazingira anayoishi. “tumeshafika mwenge kaka.” Alijibu yule konda. Jothan aliangalia huku na kule na hakuona abiria yeyote aliyekuwa kwenye lile gari zaidi yake. Hakusikitika kupitishwa kituo, bali alisikitika sana kutochukua namba wala kujua jina la yule msichana aliyevutika naye zaidi baada ya kuonana nae kwa mara ya pili. Hakua na budi Jotham, zaidi ya kubaki ndani ya daladala na kugeuza nalo. Alipofika kinondoni kwa manyanya alishuka na kufuata njia ilyoelekea shule ya kambangwa secondary school na kupita chuo cha tumaini na kuingia nyumbani kwake ambapo hapakuwa mbali na pale. Hakuwa na hela nyingi sana, ila uwezo wa kula anachokitaka na kubadilisha nguo alikuwa nao. Alifika nyumbani na kujilaza kitandani kwake. Aliamka sa tatu usiku na kutoka kwenda sheli kununua mafuta kwenye kidumu kisha akaenda bar ya jirani na kupata chipsi kuku kisha akarudi nyumbani na kufungua tv na kuangalia yaliyomo. Saa tano usiku alianza kunyemelewa na usingizi,. Alizima tv yake na kwenda kulala. Alijikuta yupo na msichana yule mzuri kwenye fukwe za bahari wakipanga maswala yao ya kuoana. Alitoa pete na kumvisha mwanamke huyo mwenye kila aina ya sifa zilizompeleka Jotham kudata juu yake. Alikurupuka asubuhi na kugundua kuwa hali ile haikuwa halisi, bali alikua anaota.. aliangalia Alarm yake ambayo ilikuwa inalia wakati huo na kuizima. Alijiandaa na kupanda gari yake ambayo alishainunulia mafuta na kwenda nayo kazini kama kawaida. Baada ya mwezi mmoja kupita, Jothan alipata uamisho kikazi kwa miezi sita huko Morogoro. Alilaani ila hakua na jinsi kukubaliana na matakwa ya kazi. Ile ndoto ya kukutana tena na yule msichana iliyeyuka kwakua alijua kabisa kuwa kukaa kwake huko marogoro utakuwa mwisho wa kukutana tena na yule msichana kwa miezi mingi. Siku ya safari ilipofika. Alijiandaa na kupitiwa na gari la ofini kwao na kusafiri pamoja na wenzake waliopata uhamisho huo wa muda huko morogoro. Alifanya kazi huko kwa miezi mitatu na kupelekwa Arusha kwa ajili ya kumalizia miezi hiyo mitatu iliyobakia. Nia na madhumuni ni kuwafundisha kazi wafanyakazi wa mikoa hiyo kwakua ofisi yao ilikua imefungua matawi mapya katika mikoa hiyo. Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya kurudi Dar, Jothan alipita barabara moja na kumkuta msichana mzuri akiwa ameshika tenga anauza maua. Moyo ulimlipuka ghafla na kujikuta anamsogelea yule dada bila kujitambua. “unauzaje maua” aliuliza Jothan huku akimuangalia binti yule mzuri ambaye alikua anatabasamu baada ya kumuona yeye pale. “shilingi elfu moja kwa kila moja.” Aliongea yule dada bila kumuangalia Jothan usoni. “nikitaka yote utaniuzia shilingi ngapi?” aliuliza Jothan huku akizidi kumtathmini binti yule huku akionyesha kufurahi na muonekano mzuri aliokuwa nao msichana huyo. “nisaidie kuhesabu, kisha nitajie idadi ili nikuuzie kwa bei ya jumla.” Aliongea yule dada na kumfanya Jothan kushangaa. Alijiuliza maswli ya haraka . labda hyule msichana hajui kusoma au alikua anamtega. “kwanini usiniambi tu, maana siyo mengi yaliyobaki.” Aliongea Jothan kwa sauti ya upole. “mi sioni kaka yangu.” Aliongea yule dada na kumfanya Jothan kupigwa na butwaa. “kweli???” aliuliza Jothan huku akiwa haamini alichoambiwa na yule dada. Kwa kumuonyeshea kuwa haoni, yule dada alivua miwani na kumuonyesha macho yake ambayo yalikuwa na watoto ndani. Aliingiwa na roho ya imani Jothan na kukiri moyoni kuwa yule dada alikua nahitaji msaada kwakua tatizo lake linatibika ila matibabu yake yalikuwa ghali sana. “unaishi mbali na hapa?” aliuliza Jothan baada ya kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuyachukua maua sita yaliyobakia. “si mbali na hapa, ni mtaa watatu hapo mbele.” Aliongea yule dada mwenye asili ya kichaga lakini asiyekuwa na lafudhi hiyo wala meno yake kuharibika. Ngozi yake ilikubali baridi na kuwa nyeupe yenye mvuto. “unaonaje kama nikikusindikiza?” aliuliza Jothan. “sawa” Alijibu yule dada na safari ya kuelekea kwao ilianza. Mwendo wa kuupapasa kwa fimbo ndio uliomfanya Jothan kuamini kuwa ni kweli huyo dada alikua kipofu. Alikaribishwa mpaka ndani na kukutana na mama yake huyo binti. “karibu baba,”alikaribisha mama yake yule dada na kuwapisha. “huyo ndio mama yangu wa peke, sina msaada mwengine zaidi yake.” Aliongea yule dada huku anatabasamu. Hakua anamuona Jothan ambaye wakati huo alikua anaumia juu ya msichana huyu ambaye alionyesha hali aliyokuwa nayo ameizoea. Aliaga baada ya kuongea na kupiga stori mbili tati ikiwemo maisha yao kwa ujumla. Alirudi kwenye nyumba waliyopangiwa na kumpa story rafiki yake anayekaa naye kwenye nyumba hiyo. “kwa hiyo unataka ufanyaje ndugu yangu,” aliuliza rafiki yake huyo baada ya kumpa mkanda mzima. “nitajitahidi kwa uwezo wangu wote ili BAHATI apone kabisa.” Aliongea Jothan na kumuonyesha rafiki yake ni jinsi gani ameguswa na mdada huyo. “kwa hiyo unampango wa kumchukua na kwenda naye Dar?” aliuliza rafiki yake huyo huku wakiendelea kula bisi zilizokuwa kwenye meza yao. “exactly” alijibu Jothan kiingereza kuonyesha msisitizo. Asubuhi ya siku ya pili, Jothan aliamka na kwenda tena kwa kina Bahati. Kabla hajafika, tayari alishamuana dada huyo mwenye juhudi na kazi yake akiwa barabarani kama kawaida yake akiuza maua. “mambo Bahati.” Alisalimia Jothan Kwakua sauti ya Jotham alikua ameshaijua, alimng`amua na kuachia tabasamu mwanana lililomuacha hoi Jotham. “safi” alijibu Bahati. Waliongea mengi na kubwa zaidi ni juu ya Jothan kumsaidia Bahati swala lake la macho. Bahati alifuraha sana na wote wakaenda kwa mama yake na kumpa taarifa zile njema. “nitashukuru sana mwanangu..mungu akuzidishie.” Aliongea mama yake Bahati na zoezi la kujiandaa kwa ajili ya safari ya Dar-es-salaam lilianza mara moja kwa kufua nguo zake chafu na kupanga zingine kwenye mabegi. “tutakupitia kesho saa kumi na mbili asubuhi.” Aliongea Jothan na kuaga. Bahati alipanga kila kitu chake akisaidiwa na mama yake tayari kwa safari ya kesho yake ambayo ilikuwa na matumaini makubwa kwake. Alisali na kumuomba mungu afike Dar salama na lengo la kufanyiwa upasuaji lifanikiwe kwa nguvu zake mungu wa viumbe vyote. Asubuhi na mapema gari ya kina Jothan ilimpitia Bahati na safari ya kuitafuta Dar-es-salaam ilianza. Njiani walipiga story na kucheka kama vile walikuwa wamezoeana muda mrefu au walikuwa wameshakutana kabla. Uchangamfu wa Bahati uliwapendeza watu wote waliokuwemo kwenye lile basi. Bahati alipendelea kukaa dirishani kwa ajili ya upepo. Lakini Jothan aliamini kuwa Bahati alikua anatamani pia kuona vilivyokuwa nje. Saa nane mchana walifika mombo na kupaki gari lao kwa ajili ya kupata chakula cha mchana. Waliokwenda haja walienda ilimradi safari ikiendelea pasiwe na usumbufu kati yao. “unapendelea chakula gani?” aliongea Jothan baada ya kuingia naye Bahati kwenye mgahawa huo. “kama kuna wali huwa napenda hata ikiwa na mboga yoyote.” Aliongea Bahati. Jothan alimuagizia wali na nyama ya kuku. “ahsante kwa chakula.” Aliongea Bahati baada ya kumaliza kula kile chakula. Baada ya hapo safari iliendelea na kufika ubungo saa kumi na mbili jioni. Safari ya kuwapeleka makwao ilianza na Jothan na Bahati walishuka kinodoni na kuingia ndani. Kutokana na uchovu wa safari, Jothan alimpeleka Bahati chumba atakachokuwa analala na kutoka nje kununua chakula watakachokula usiku huo. Baada ya kiza kutawla, Jothan alimpelekea chakula Bahati na kumuonyesha choo na bafu ambavyo vyote vilikua mule ndani kwenye kile chumba. Baada ya mapumziko ya siku mbili, Jothan alimpeleka Bahati kwenye hospitali kubwa ya macho CCBRT kwa ajili ya upasuaji. Vipimo vilileta majibu mazuri kuwa kulikowa na uwezekano mkubwa wa kutolewa hivyo vitoto vya jicho na Bahati kona tena. Tarehe ya upasuaji ilipangwa kwa ajili ya upasuaji huo na Jothan alimpeleka Bahati ili apate huduma hiyo ambayo kama itafanikiwa itakuwa imempa maisha mengine kabisa mrembo huyo ambaye alikuwa haoni toka alipozaliwa.. Muenendo mbaya wa utendaji kazi huko marogoro ndio uliomfanya Jothan kurudishwa tena mkoani humo. Alisikitika kumuacha mgeni wake katika hospitali kabla hajashuhudia matokeo ya upasuaji huo, lakini hakuwa na jinsi kwakua aliuachia uongozi jukumu la kumuangalia mgonjwa wake huyo. Miezi sita ilikatika akiwa huko Morogoro huku mawasiliano yakikosekana kati yake na Bahati. Hata alipouuliza uongozi wa kampuni yao walimwambia kuwa walikuwa wamempa kiasi cha hela baada ya kupona na tokea wamkabidhi hawakupata mawasiliano naye. Mawazo yalimsonga Jothan na hakujua kwanini Bahati aliamua kufanya vile. Baada ya uchumi wa kampuni hiyo kutengamaa na kupata uongozi uliokuwa ukipiga kazi kama ipasavyo, Jothan alirudi Dar kuendelea na majukumu yake ya kila siku. Alipofika nyumbani kwake palikuwa pamefungwa kama alivyo paacha. Aliingia ndani na kuikagua nyumba yake kwa macho kisha akaenda kulala kutokana na uchovu aliokuwa nao. Usiku wa jumamosi, aliamua kwenda club kwakua ni muda mwingi alikosa kwenda. Hivyo aliamua kwenda kupata mixing za ma dj wakubwa ambao wanajua kubadilisha nyimbo na kumfanya mtu aburudike na mpangilio wa nyimbo wanazoziweka kulingana na wakati. Wakati akiwa anaburudika na kinywaji chake huku akipata burudani nyingine akiwa kwenye kiti, mzuka alkampanda na kujikuta anaingia kati na kuucheza wimbo ulimvutia zaidi. Style alizocheza ziliwavutia wengi hadi baadhi ya wasichana walimfuata na kucheza nae. Aliifurahia sana hiyo siku na kurudi nyumbani akiwa na hamu ya kwenda tena siku ya jumapili. Kwakua alikua na likizo ya mwezi mzima kazini, hakuona tabu kulala mchana ili usiku akeshe tena kutokana na kuwa mziki ni starehe kubwa anayoipenda japokuwa siyo muimbaji. Siku hiyo alifika mapema na kutulia kwenye meza kwanza za nyuma na kuendelea kupata kinywaji na nyama choma kwa wingi. Wasichana wengi walimshobokea na kuomba ofa za bia. Kwakua Jothan alikuwa akiingia sehemu yoyote ya starehe huwa anakua amependeza mfukoni, basi hakuona shida kumwaga ofa mbali mbali kwa wanaomuomba bila kujali jinsia. Wakati disco likizidi kuchanganya. Kwa mbali kwenye mwanga hafifu Jothan alimuona msichana aliyemfananisha. Hakujiuliza mara mbili, alinyanyuka na kumfuata pale pale kwenye meza yao. Kadri alivyozidi kumsogelea, ndipo sura ya yule binti iliyozidi kumjia kichwani. Alimsogelea na kumuangalia kwa ukaribu zaidi. “kaka,tukusaidie nini?” aliuliza yule dada baada ya kumuona Jothan akiwa mbele ya meza yao amesimama na kumuangalia kupita kiasi. “sijui ndio wewe au nakufananisha?” aliongea Jothan huku akiwa haamini baada ya kumuona yule binti aliyekuwa kapendeza kupita kiasi. “kaka hizo swaga za kizamani kweli, za kuaza kufananishana mara sijui nilikuona wapi, achana na sisi bro” aliongea yule dada na kuwafanya wenzake kucheka. Kutokana na hadhi aliyokuwa nayo Jothan, alifedheheka kiasi na kumfanya akubali matokeo. Aliwaacha wale mabinti huku wakiwa wanamjadili na yeye kurudi kwenye siti yake. Ladha ya club ilipotea na kuamua kurudi nyumbani kwake. Alijitupa kitandani na kuwaza sana. Kwa jinsi alivyotekoa kufurahi kumuona tena yule msichana na majibu aliyopewa hata kabla hajajitambulisha yalimtia simanzi. “naweza kusema kuwa hawezi kunifahahamu, lakini hata sauti kashindwa kuitambua?… au kwa sababu sauti yangu ilikuwa ya kilevi?” Alijiuliza Jothan maswali mengi bila ya kuwa na majibu. Asubuhi ya siku ya pili alienda kupata supu maeneo ya karibu na kwao. Aliporudi alijitupa kitandani na usingizi ukamchukua mpaka saa kumi jioni. Njaa ilikuwa ina muuma sana. Aliamua kutoka na gari lake na kwenda kwenye Bar kubwa iliyokuwa msasani kwa ajili ya kupata chakula ambacho siku hiyo kilikuwa kinapikwa kwa ustadi mkubwa. Aliagiza oda yake na kuletewa baada ya muda kama wa dakika tano. Kabla hajaanza kula, kwa mbali aliisikia sauti ya yule mmsichana aliyekutana naye Club usiku wa jana yake. Alinyanyuka na kwenda kwenye ile meza ambayo alimkuta akiwa na rifiki yake mmoja wa kike. “samahani, wewe sio BAHATI!!!?” Aliuliza Jothan huku akiwa na uhakika asilimia zote kwakua alikua anafahamu fika kuwa yule ndiye mwenyewe kutokana na sauti yake na muanekano wake ingawaje kwa sasa alikuwa anavutia zaidi. “ndio mimi, umenijuaje?” aliuliza yule dada na Jothan aliachia tabasamu huku akitikisa kichwa chake. “ina maana Bahati hata sauti yangu huikumbuki?” aliuliza Jothan huku akiwa haamini kumuona Bahati akiwa na macho mazuri tena yaliyoongezewa uzuri na kope za bandia alizo bandika. “ningekuwa nakujua nisingekuuliza umenijuaje?” alijibu yule dada na kuendelea kuifyonza juice yake iliyosindikizwa na chpsi pamoja na nyama choma waliyokuwa wanakula yeye na rafiki yake. “nitakushangaa sana ukisema kuwa sauti ya Jothan hauikumbuki.” Aliongea Jothan na kubaki kumuangalia Bahati aliyepigilia mapigo ya ki sister duu. “WHO A JOTHAN BY THE WAY????” Aliuliza yule dada na kumfanya Jothan aondoke bila kuaga. Alienda counter na kulipia oda yake bila kuigusa na kuondoka zake. Hakuamini kuwa Bahati angewaza kuongea yale maneno mbele yake tena kwa nyodo wakati ni yeye ndie aliyemleta mjini na kumpa msaada wa kuyatibu macho yake baada ya yeye kuikubali hali ya ukipofu kutokana na kuwa kulikuwa na uhaba wa pesa nyumbani kwao. Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza. ”who a Jonathan by the way??” Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale. ITAENDELEA ... Read More
*LOVE BITE EP 04* ILIPOISHIA…… Aliongea Jothan huku machozi yakimlenga lenga. Hakika ni uamuzi mgumu aliouchukua kwakua aliamini ilikuwa ni mtihani mkubwa katika mapokezi ya mlengwa. Alipoinua macho yake kumtazama Prisca, tayari mashavu ya prisca yalishalowana kwa machozi huku macho yakiwa mekundu. Kilio cha kwiki kilianza kusikika na kumfanya Jothan kuingiwa na imani baada ya kumtaza mpenzi wake huyo anaye amua kumuacha bila kosa lolote. SONGA NAYO…………….. Machozi na kilio cha kwikwi kiliendelea kwa dakika kadhaa, Prisca alimuangalia Jothan ambaye alikua ana muonea aibu wakati huo. Hakuamini kuwa ndiye yeye aliyetamka maneno yale,. “kwanini mimi?…. kwanini Jothan umeamua kuzichezea hisia zangu kwa miaka yote hiyo niliyokuwa na wewe kumbe ulikuwa huna malengo ya kuwa na mimi. Kwanini Jothan umeamua kunifanyia hivyo?” aliongea Prisca huku analia. “sorry Prisca. Unafikiri ningefanyaje kwa hali niliyokuwa nayo hivi sasa. Sina jinsi japokuwa bado nakupenda sana. Ningekuwa mtu mwengine hivi sasa ningeendelea kuwachanganya wote wawili. Ila roho huwa inanisuta kufanya hivyo kwakua hata mimi sihitaji kuchezewa hisia zangu. Naomba kubaliana tu na maamuzi yangu japokuwa unaumia.” Aliongea Jothan huku na yeye akijifuta machozi yaliyomdondoka kutokana na hali aliyokuwa nayo Prisca inavyosikitisha. “thank you for everything.” Aliongea Prisca na kunyanyuka na kuondoka. Alimuacha Jothan ambaye alijiinamia na kujilaumu kwa alichokifanya. Akili nyingine ilimwambia kama mwanaume wa ukweli na mwenye msimamo basi alifanya maamuzi sahihi na ya busara. Alirudi nyumbani na kumkuta Shani amejaa tele nyumbani kwake. Alipofika tu, Shani alimfuata na kumkumbatia. Ingawaje Jothan alijichekesha, lakini Shani aligundua kuwa hakuwa sawa. “una nini mume wangu?. Aliuliza Shani baada ya kumuangalia usoni Jothan. “kawaida tu mke wangu.. kwani naonyesha nina tatizo?” aliuliza Jothan kuhakikisha alichokisikia kutoka kwa Shani. “sura yako inaonyesha kama ullikuwa unalia au ulikuwa unahuzunika muda si mrefu.” Aliongea Shani na kumfanya Jothan kumuangalia usoni Shani. “kichwa kilikua kinanigonga sana, hata hivyo sasa hivi niko sawa.” Aliongopa Jothan “pole mume wangu, kama bado kinaendelea we niambie nikununulie panadol au nikusindikize hospital… usidharau mume wangu.” Aliongea Shani huku akionyesha kwa alikua anajali sana afya ya mwenzi wake. “usijali, niko sawa tu.” Aliongea Jothan na kuingia chumbani kwake. Alijilaza na kuwaza yaliyotokea muda mfupi uliopita. Aliamua kupiga moyo konde na kuona yote yalikuwa ni majaribu tu. Maisha yalikuwa mazuri huku kila mmoja akifurahia uwepo wa mwenzake. Hata Jothan mwenyewe alikiri kuwa uamuzi wake ulikuwa sahihi sana kumchagua Shani katika maisha yake badala ya Prisca ambaye mpaka kipindi hicho alikuwa ameshakatisha mawasiliano naye. Shani naye alijitahidi kuhakikisha anafanya yale yote apendayo Jothan na kumteka Jothan kisawa sawa. Ilkuwa akiongelewa mwanamke bora basi Jothan alilipitisha jina la Shani bila kuangalia kuwa alikuwa na nani au alizungukwa na wasichana wazuri. Alitumia muda mwingi kuwa karibu na Shani. Hata kama alikua anataka kwenda kutanua, basi Shani alikuwa ubavuni kila walipoenda. Siku moja ambayo ilikua ni mwisho wa wiki, Jothan aliamua kulala tu Jumaapili hiyo kutokana na uchovu aliokuwa nao wa jana yake kwakua walienda club yeye na Shani na kurudi asubuhi kabisa. Nyumbani kwake aligonga hodi mgeni mmoja wa kike na kufunguliwa mlango na Shani ambaye alishaamka na alikuwa anfanya usafi nyumbani kwake. “za saa hizi dada.” Alisalimia yule mgeni ambaye alionyesha wazi kuwa alikua amechoka kutokana na mimba kubwa aliyokuwa nayo. “salama tu.” Alijibu Shani na kumsikiliza huyo msichana shida yake. “sijui nimemkuta mwenye nyumba hii?” aliuliza yule dada na kumuangalia Shani aliyekuwa makini akimsikiliza. “mwenyewe kalala, ila naweza kukusaidia kama hutajali kunieleza shida yako.” Aliongea Shani na kumuangalia yule dada. “ni vyema kama nita onana nae mwenyewe.” Aliongea yule dada na kumfanya Shani amkaribishe ndani. Kwakua Shani alikua anaandaa chai, hakuona ubaya kuandaa ya kutosha na kumkaribisha yule mgeni aliyekunywa chai kama anafukuzwa kutokana na njaa aliyokuwa nayo. Shani aligundua njaa aliyokuwa nayo mgeni huyo na kumuongezea vyakula mpaka alipohakikisha ameshiba ndio akaamua kumfuata na kumuuliza maswali machache wakati wanamsubiri bwana mkuwa aamke. “tunsubiri aamke, si unajua alikesha jana kwa hiyo sio vizuri kumuamsha mtu akiwa katika uchovu kama huo.” Aliongea Shani na wazo hilo likapitishwa na yule mgeni. Jothan aliamka na kwenda kuoga. Alivaa nguo zake nyepesi na kwenda sebuleni na kumkuta mgeni aliyekuwa anamsubiri. Yule dada alipogeuza shingo kumuangalia Jothan, macho yalimtoka na kujikuta mshangao mkuu umempata. “wewe, umefuata nini nyumbani kwangu?” aliuliza Jothan kwa hasira. Yule mgeni hakua na la kujibu zaidi ya kujiinamia. “na wewe unawakaribishwa watu humu ndani wengine ni nyoka kama huyu mwanamke.” Aliongea Jothan na kumuweka Shani kwenye bumbuwazi. “mbona sielewi, maana mimi aliniambia ni mgeni wako ndio maana nikaona si vibaya kumkaribisha ndani.” Alijitetea Shani. “mimi simjui huyu, .. kwani wewe msichana unaitwa nani?” aliuliza Jothan na kwenda kukaa kwenye moja ya sofa za pale sebuleni. “BAHATI.” Alijibu yule mgeni kwa aibu na kuangalia chini. “WHO A BAHATI BAY THE WAY??” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati kupiga magoti mbele yake na kuanza kulia kwa uchungu. “sihitaji kupigiwa magoti mama, mpigie magoti mungu wako na umuombe msamaha kwa ulichokitenda kwangu mimi.” Aliongea Jothan na kumuinua Shani pale chini. “naomba unisamehe, nimehadaika tu na jiji na hivi sasa limeshanifunza Jothan.” Aliongea Bahati huku analia. “leo hii unamjua Jothan wewe?.. si ulikua hunijui wewe?.. nani kakutajia jina langu?” aliuliza Jothan maswali mfulumizo yaliyomshinda Bahati kujibu na kubaki analia tu. “nyamaza kulia dada, kwani tatizo ni nini?.. niewekeni wazi jamani.” Aliongea Shani baada ya kukaa kimya muda mrefu. “sikiliza mke wangu, huyu dada ni mpumbavu na hana akili hata kidogo. Alikuwa na matatizo ya macho yaliyomsababishia upofu na hakuwa anaona hapo mwanzo. Mimi kwa imani yangu nikamchukua kutoka kwa mama yake Arusha na kuja naye hapa Dar kwa nia njema ya kumtibu. Sikuhitaji chochote kutoka kwake. Ila malipo aliyokuja kunilipa haki ya mungu kanifanya moyo wangu uwe na sugu na kuwa mgumu kuwasaidia wengine. Yaani alipopata macho ndio akaniona mimi takataka baada ya bosi wangu kumtaka. Siku niliyokutana naye akajifanya sauti yangu kaisahau. Yaani hata nilipojitambulisha bado akijifanya hanijui. Nikasamehe na kuachana naye, bado akaona haitoshi akaamua kunifanyia fitina mpaka nikafukuzwa kazi bila kosa. Sasa huyu utamuita mtu au kiatu tena kisichokuwa na kamba?” Aliongeea Jothan maneno yaliyomchoma Bahati na kumfanya aanze kulia kwa sauti kubwa zaidi ya aliyokuwa analia. “msamehe mume wangu, mungu kakujaalia umepata kazi nyingine. Na hujui kakuepusha na nini kukutoa kule. Na huyu adhabu yake ndio hii. Maana amepewa mimba na ametimuliwa. Hana msaada mwingine zaidi yako wewe. Msamehe tu mume wangu.” Aliongea Shani na kumsogelea Jothan aliyekuwa kafura kwa hasira na kuanza kumshika shika. Jothan alivuta pumzi ndefu kisha akamuangalia Bahati. “ni msaada gani unaotaka kutoka kwangu?” aliuliza Jothan na kumfanya Bahati kufuta machozi. “naomba unisaidie kunipeleka tu Arusha kwa mama yangu.” Aliongea Bahati huku analia. Kauli hiyo iliwaigia wote wawili. Ghafla walishangaa kumuona Jothan machozi yanamtoka kwa jinsi alivyokuwa anamuonea imani msichana mzuri walivyomtumia vibaya na kuwa kama kituko. Hakua Bahati yule kipofu mwenye bashasha usoni kila wakati. Sasa hivi mashavu yalimuingia ndani, nywele zake hazitazamiki mara mbili. Ngozi yake ilijaa makovu ya kupigwa kila sehemu. Jothan alijikuta ameguswa na kuanza kulia kwa sauti. Alinyanyuka huku analia na kumfuata Bahati na kumuinua kichwa chake na kuitazama sura yake iliyokuwa imelowa machozi na kuvimba kutokana na kulia kwa muda mrefu. “utakaa hapa mpaka utakapojifungua na kurudisha afya yako… pole sana kwa yaliyo kukuta.” Hatimaye aliongea maneno hayo yaliyomfanya Bahati kumkumbatia Jothan bila kujali uwepo wa mke wake pale. Wali muhurumia Bahati na kumpa chumba mule ndani. Siku tatu baadae, Bahati alipatwa na uchungu na kumuwahisha hospitali ya kulipia iliyopo kinondoni. Uchungu ulidumu kwa siku mbili mfululizo na kwa bahati nzuri Bahati alifanikiwa kujifungua salama mtoto wa kike. Aliwashukuru sana Shani na Jothan kwa utu wao waliouonyesha juu yake, maana walikuwa nae bega kwa bega na kuhakikisha kuwa anajifungua salama. Baada ya miezi mitatu kupita, Jothan aliamua kumsafirisha Bahati na kumrudisha kwao Arusha. Alilazimika kwenda naye kwakua Bahati hakua anapajua kutokana na hali yake ya upofu aliyokuwa nayo mwanzo. Walipofika Arusha mjini, Jothan alikodi taksi iliyowafikisha mpaka nyumbani kwa kina Bahati. Ilikuwa zaidi ya furaha kwa mama yake Bahati baada ya kumuona mwanaye akiwa anaona . alimfuata na kumkumbatia. “karibuni…. Karibuni nyumbani.” Alikaribisha mama huyo kwa Furaha. “ahsante, tumeshakaribia.”aliongea Jothan na kuingia ndani. Kwa furaha ya ajabu, mama huyo alikuwa anatabasamu kila muda kutokana na kumkumbuka mwanaye. Wakati wanaendelea na stori za kawaida. Ghafla mlango ulianza kugongwa kwa nguvu. Mama yake Bahati alitoka na kwenda kumsikiliza mtu anayegonga mlango. Alikaa huko kwa dakika kadhaa. Na baadae alirudi huku akiwa hana furaha kama aliyokuwa nayo mwanzo. “samahani baba, namchukua huyu tukatete kidogo.” Aliongea mama yake Bahati. “hamna shida mama.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati anyanyuke na kumfuata mama yake.. “mwanangu, aliyekuja kugonga ni mwenye nyumba. Amesema kuwa ametuchoka kutokana na kutomlipa kodi yake kwa muda mrefu. Yaani nimechanganyikiwa hata sijui tutafanyaje.” Aliongea mama yake Bahati baada ya kumuita mwanaye chemba. “usijali mama, nililijua hili ndio maana nikamuelezea Jothan mapema. Ametuahidi kutusaidia.” Aliongea Bahati na kumfanya mama yake amuangalie. “kwani, wewe na huyo Jothan mkoje?” Alijikuta mama yake Bahati anauliza swali lile kutokana na kutoelewa mazingira na makubaliano ya kumponyesha mtoto wake macho na kumrudisha akiwa na mtoto. “ni story ndefu mama, ila kifupi ni mkombozi wangu na wewe pia. Naweza sema hivyo.” Aliongea Bahati. “kwa hiyo unataka kusema kuwa hata huyu mtoto si wa kwake.” Aliuliza mama yake Bahati. “ndio mama.” Aliongea Bahati kimkato huku akitaka kumuonyesha mama yake ni jinsi gani asivyotaka kuaonngelea ile mada kwa muda ule. Baada ya muda Bahati alirudi sebuleni alipomuacha Jothan na mama yake akaenda kuandaa chakula cha jioni. “mbona hivyo, kwema?” aliuliza Jothan baada ya Bahati kurejea pale. “sio kwema, kama nillivyokuambia siku ile. Mama kashindwa kulipa kodi hivyo mwenye nyuumba anataka hela yake au tuhame.” Aliongea Bahati na kumuangalia Jothan. Baada ya chakula cha usiku, Jothan alimkabidhi mama yake Bahati fedha tasilimu shilingi laki saba kwa ajili ya kulipa deni la laki nne analodaiwa na hiyo nyengine kwa ajili ya mkataba mpya. Mama yake Bahati alifurahi kidogo machozi yamtoke na kumuombea sana dua za mafanikio Jothan. “naomba niwaache, naenda kulala Hotel na mungu akipenda kesho ndio safari yangu ya kurudi Dar-es-salaam” aliongea Jothan baada ya kuangalia saa yake ya mkononi na kumuonyesha kuwa ilishatimu saa tatu kamili. “sawa mwanangu. Mungu akutangulie katika kila jambo lako.” Aliongea mama yake Bahati na jothan akatoka huku Bahati akimsindikiza. “nakushukuru kwa yote ulioamua kuyafanya katika maisha yangu. Nakuomba usichoke kuwasaidia wasiojiweza kama nilivyokuwa mimi japokuwa nilikuumiza… kwa mungu kuna fungu lako Jothan.” Aliongea Bahati walipokuwa njiani wakisindikizana. “usijali, hata mimi naamini mambo yangu yananinyookea kwakua nakigawa kidogo kwa wenzangu wenye shida. Yale yalikuwa maneno tu tena kwa sababu nilikuwa na hasira. Mimi sina kinyongo na wewe. Moyo wangu mweupe na nakuombea pia maisha mazuri na ya furaha na mtoto wako. Naamini hutofanya makosa tena kwakua umeshajifunza.” Aliongea Jothan huku wakiikaribia bara bara. Baada ya kufika kituoni, waliagana huku Bahati machozi yanamtoka kwakujua kuwa ule ulikuwa mwisho wa kuonana na mwanaume huyo wa ajabu maishani mwake. Aliondoka huku kila baada ya hatua moja akigeuka nyuma kumtazama Jothan. Kwa mbali kulikuwa na gari linakuja spidi upande aliokuwa Bahati. Jothan alipotupa macho yake kuitazama ile gari ilikaribia kabisa kumgonga Bahati ambaye wakati huo Bahati hakuiona ile gari kwakua likua bize kumuangalia Jothan. Aliamua kutupa begi lake na kumkimbilia Bahati, alipofika tu alimsukuma na kwa bahati mbaya ile gari ilikuwa inajaribu kumkwepa Bahati na kumgonga Jothan. “MAAAMAAAAAA!” Alipiga kelele Bahati baada ya kumshuhudia Jothan akianguka chini baada ya kugongwa. Damu nyingi zilikuwa zinamtoka puani na mdomoni. Yule dereva aliyemgonga Jothan, alisimamisha gari na kumuingiza Jothan pamoja na Bahati na safari ya kuelekea hospitali kwa ajili ya kujaribu kuokoa maisha ya Jothan ilianza mara moja.. Walipofika hospitali, walipokelewa haraka na Jothan akakimbizwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “jamani kwa hali ya mgonjwa wenu, anatakiwa kufanyiwa operation haraka iwezekanavyo ili kuokoa maisha yake.” Aliongea daktari na wote wakakubaliana kuwa tendo lile lifanyike. Bahati alikuwa mtu wa kulia tu usiku nzima. Alijua yeye ndio sababu iliyomsababishia Jothan kugongwa na lile gari.. Alilia na kumuomba mungu asimchukue Jothan. Alirudi nyumbani asubuhi na kumtaarifu mama yake juu ya kilichotokea. Mama yake alisikitika sana na kwenda hospitali ambapo walikaa kwa masaa manne bila kuruhusiwa kumuona mgonjwa. Walirudi nyumbani na kurudi tena hospitalini jioni ambapo waliruhusiwa kuingia ndani na kumkuta yule mtu aliyemgonga Jothan akwa pale hospitalini. Bahati alimuelekeza mama yake kwa yule mtu aliyeonekana na moyo wa pekee kwa kukubali kuisimamia afya ya Jothan kwa kipindi chote atakacholazwa pale hospitalini. “kwa maelezo ya dokta, amesema kuwa atarejewa na fahamu kiasi katikati ya wiki hii,.. ila itachukua muda mrefu kurudiwa na kumbukumbu.” Aliongea yule jamaa alyemgonga baada ya kujitambulisha kwa jina la Saimon. Baada ya taarifa zile, walikubaliana na kuondoka huku zoezi la kumuangalia Jothan likiwa linaendelea kila siku. Baada ya wiki mbili jothan alifumbua macho. Lakini hakuweza kuongea na hakuwa na kumbukumbu yoyote. “kwa hiyo dokta tunaruhusiwa kuondoka naye” aliuliza Saimon baada ya daktari kuridhika na maendeleo ya Jothan. “mnaruhusiwa, ila kwa masharti. Msimsumbue kwa kumlazimisha akumbuke kitu chochote. Maana kumbukumbu zake zitakuja taratibu kutokana na mazingira katika ubongo wake.” Aliongea dakrari katika moja ya kuwapa maangalizo juu ya mgonjwa wao. “sawa, sasa inaweza kuchukua muda gani hadi kurudiwa na fahamu zake sawa sawa?” aliuliza Bahati. “inaweza kuchukua miezi sita, nane au mwaka mzima kutokana na ukubwa wa tatizo lenyewe.” Aliongea daktari na kuwafanya wote waliokuwa pale waishiwe nguvu. Walikubaliana waondoke naye na kwenda kukaa kwa kina Bahati huku Simon akiwaambia kuwa atakuwa pamoja nao katika kila hali. Kutokana na kuchanganyikiwa siku aliyopata ajali Jothan, Bahati hakuokota kitu chochote alichokuwa amebeba Jothan siku ile. Hivyo hakuwa na mawasiliano angalau amjulishe Shani juu ya ajali iliyompata mpenzi wake. Siku zilikatika kwa kasi bila Jothan kuonyesha dalili zozote za kukumba yaliyokuwa nyuma. Hata jina lake tu alianza kulizoea baada ya Shani na mama yake kulitamka kila mara. Kwa upande wa Bahati alijisikia raha kumuuguza Jothan kwakua alikua analipa fadhila kwa yale aliyomtendea. Alihakikisha kuwa kila alichokihitaji mgonjwa wake basi alikua anakipata kwa wakati. Aliamua kurudia kazi yake ya kuuza maua ili alishe familia inayomkabili. Baada ya miezi sita kupita, Jothan alianza kuonekana kukumbuka kidogo kidogo. Aliweza hata kuuliza kuwa yupo wapi na ni nini kilichomleta pale. Alitamani kwenda kazini tena kama zamani. “PRISCA…… PRISCA” Alisikika Jothan usiku akilitaja jina la mwanamke huyo mara kadhaa. Bahati ambaye alikua amekaa kimya wakati wote, aliamka kutoka kwenye godoro la chini alipolala na mtoto wake na kumsogelea Jothan. Alishangaa kumuona Jothan akitokwa machozi. “mimi ni Bahati “ alijitambulisha Bahati mbele ya Jothan ambaye alikua macho usiku huo huku akitokwa na machozi. “yupo wapi Prisca.” Aliuliza Jothan na kumfanya Bahati ashtuke kidogo kwakua hakulifahamu jina hilo.. “Prisca mimi simjui… au ndio Shani ana majina mawili?” aliuliza Bahati na kumfanya Jothan afikirie kwa muda mrefu. “Shani.. Shani… ndio nani huyo?” aliuliza Jothan huku akionyesha kutokuwa na kumbukumbu nae. “si yule aliyekuwa unaishi nae kabla ya kuja huku ?” aliongea Bahati na kumfanya Jothan avute taswira juu ya mtu huyo aliyekuwa anamzungumzia Bahati. “huyo simkumbuki, yupoje kwani?” aliuliza Jothan na kumuangalia Bahati ambaye wakati huo alikuwa mbele yake akiongea kwa sauti ya taratibu kwa kuwa usiku ulikuwa tayari ni mkubwa. Hivyo sauti zao zilipea na kusikika kila mahali mule ndani. “ni mnene kiasi, mweupe na ana shepu Fulani hivi .. anapenda kuvaa ma wigi ya rihanna.” Alijaribu kumkumbusha Jothan kwa kumtajia muonekana halisi wa mtu huyo. “huyo simukumbuki,….. ninaye mkumbuka mimi ni msichana mzuri niliyeanza naye mapenzi toka tukiwa shuleni. Ni msichana mzuri sana. Na kila siku zilivyozidi kujongea, basi uzuri wake ulikua unaongezeka kila siku iendayo kwa Mungu. Nalikumbuka jina lake huyo dada. Anaitwa Prisca. Ila sijui muonekano wake kwa sasa. Labda ikitokea kuonana nae.” Aliongea Jothan huku akijaribu kuvuta hisia zake juu ya msichana huyo anaye mkumbuka kwa machache tu. “daktari alituambia kuwa tusikusumbue kwa kukumbusha ya nyuma. Ila utakumbuka taratibu. Ni vyema ulale Jothan ili uipumzishe akili yako.” Aliongea Bahati na Jothan akakubaliana nae. Kila siku ambayo Bahati alikua anarudi kutoka katika mihangaiko yake, aliutumia muda huo kupiga stori mbali mbali na Jothan. Wakati mwengine alimtembeza sehemu kadhaa maarufu. Kila akipata fedha nyingi, basi humchukua Jothan na kumpeleka shooping kwa ajili ya kumnunulia nguo. Baada ya miezi miwili kupita, Jothan alirejewa na fahamu zake kamili. Alikumbuka kila kitu. Hata siku aliyokuwa anataka kurudi Dar na kupata ajali ya gari pia aliikumbuka. Alimkumbuka pia Bahati ambaye wakati huo alikuwa naye bega kwa bega wakishirikiana na Simon ambaye alikua anakuja kumtembela mara kwa mara na kumuachia chochote kitu. Siku moja Jothan akiwa barazani anapunga upepo, alifuatwa na Bahati aliyekuwa amebeba Juice glasi mbili na kumkabidhi moja. Aliipokea na Bahati akakaa karibu yake. “lete story” aliongea Jothan baada ya kumuona Bahati kama alikua ana kitu Fulani alichokuwa anataka kumwambia. “nina mpya basi, zaidi kama hutojali. Nilikuwa nahitaji ushauri kutoka kwako.” Aliongea Bahati na kumtazama Jothan. “ulikuwa au unahitaji ushauri kutoka kwangu.” Aliongea Jothan kimzaha. “naomba unishauri,.. Simon ameniambia kuwa ananipenda na yupo tayari kufunga ndoa na mimi. Wewe kama wewe unamuonaje Simon. Anafaa kuwa mume wangu?” alifunguka Bahati na kumuangalia Jothan aliyekuwa anamuangalia pia. “kwa muda mfupi toka nimfahamu huyo mtu, sina shaka naye hata kidogo. Maana alikuwa na uwezo wa kukimbia siku ile aliyonisababishia ajali au hata kunikimbia hospitali. Lakini mpaka sasa ametupa hela nyingi kwa ajili yangu. Huwezi jua Bahati, si ajabu Mungu kamkutanisha na wewe kupitia mgongo wangu. Cha msingi zisikilize hisia zako maana wewe ndio utakuwa naye kipindi hicho mimi nitakapokuwa mbali na wewe. Kama na wewe unampenda na yeye yupo tayari kumlea mtoto wako ni dhahiri shahiri kuwa na yeye anakupenda pia.” Jothan aliongea maneno yaliyomkuna sawasawa Bahati. Alibaki anatabasamu na kumuangalia Jothan ambaye naye alikua anatabasamu pia. “nilikuwa nampenda muda mrefu sana, sema nashukuru sana kuwa hata yeye kumbe alikua ananifikiria.” Alingea Bahati. “hongera. Nilitaka kurudi Dar wiki hii, ila kama ndoa iatapangwa mapema basi nitasubiria mpaka muoane.” Aliongea Jothan na kumfanya Bahati afurahi kupita kiasi. Siku ya harusi kati ya Bahati na Simon iliwadia na maharusi walionekana kupendeza kupita kiasi. Jothan alilifurahia tukio lile baada ya Bahati kuonekana kubadilika na kuwa mwema na mtu mwenye jitihada kama alivyokuwa zamani. Baada ya siku mbili, Jothan aliaga na kurudi Dar. Kwakua hakuwa mgeni wa jiji, alitambua magari ya kinondoni na kuelekea kwake. Alifika nyumbani kwake na kukuta kufuli nje ya geti lake. Hakuwa na jinsi zaidi ya kukaa pembeni kwenye Café iliyokuwa inatazamana na geti lake ili Shani atakaporudi aweze kukutana naye. Alikaa mpaka saa mbili usiku, lakini hakukuwa na dalili za mtu yeyote kufika pale. Aliamua kwenda kulala Gesti kutokana na uchovu wa safari aliokuwa nao. Aliamka asubuhi na kupata chai, baada ya hapo akaelekea nyumbani kwake. Pia alikuta geti likiwa limepigwa kufuli kama ilivyokuwa jana yake. Aliamua kumfuata dalali mmoja aliyekuwa ameweka benchi lake pembeni ya nyumba yake na kumuuliza. “samahani mzee Sadi, hivi huyu mke wangu ana muda gani toka afunge hili geti?” aliuliza Jothan baada ya kusalimiana na mzee huyo aliyemzoe kwa muda mrefu akiwa pale nje na kufanya shughuli zake za udalali wa nyumba,viwanja na vyumba vya kupangisha. “hivi hauna habari?” aliongea mzee Sadi na kumshangaa sana Jothan kwakua alikua anajua kila kitu. “sina habari yoyote mzee wangu. Nimeingia jana tu kutoka Arusha, hivyo sina habari yoyote mie!!.” Aliongea Jothan kwa mshangao mkuu. Alianza kuhisi jambo baya linaweza kuwa lilimkumba Shani kipindi ambacho alikuwa hayupo. “mbona hii nyumba imeshauzwa miezi miwili iliyopita?… tena matangazo yalibandikwa muda mrefu. Sema wenye nyumba bado hawajahamia. Si unajua watu wenye fedha zao bwana?.” Aliongea yule dalali na kumfanya Jothan apigwe na bumbu wazi. “OOOOH MY GOD……..WHY ME?????” Alijikuta nguvu zinamuishia Jothan na kukaa chini. Aliiangalia nyumba yake aliyoijenga kwa gharama kubwa na machozi yalianza kummiminika kama maji. ITAENDELEA ... Read More
SHINDU LA KIHAYA-8 ,,,aaaaaaaaassssssssssssssssssss,,,aaaaaaaaaaaaaaaaahmmmmmmmmmh,,,eeeuuuuuuuuwiiiiiiiiiii,,,alilalamika mtoto wa watu na kujikuta akihisi kama yuko ulimwengu mwingine wa maraha,na Alex alipojua tu hivyo,alimpeleka mpaka kwenye ukutani,alimbananishia hapo ambapo mtoto kwa kiburi cha utamu naye alijibinua matako yake ili dudu la Alex lipenye vizuri kwenye kitumbua chake,kwa jinsi alivyojibinua hayo matako,daah! Ni utamu tupu,Alex alimshika shingoni kwa nguvu huku ulimi wake ukiungiza kwenye masikio ya Lisa,hapo ndio alimchanganya kabisa mtoto wa watu,,,aaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiishiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaaleeeeee,,,,aaaaaaaaaaaah,,,utamu ulimfanya mpaka ashindwe kumalizia jina la mpenzi wake,naye Alex kwa mbwembwe alikuwa akimsugua kwa kasi,na hayo mauno sasa,alianza kuhisi utamu wa kumwaga,akiwa anafikiria ataanzaje wakati Lisa bado,akamsikia naye Lisa akitangaza kukojoa,kwa ile staili aliyobananihwa hata angekuwa mwanamke gani lazima angeielewa,tena kwa ambaye hapandi mazoezi angeona kama ameonewa ,,,nakojoaaaa mpenziiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,aaaaashiiiiiii,,aaaaaaaaaah,,,ashiiiiiiiii,,aaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika hivyo mtoto wa kike kwa utamu ambapo alisimama kwa vidole vya miguu,pia hata Alex alisimama kwa vidole vya miguu,utamu ulinoga Alex aliona kama dudu linawaka moto kwa utamu,,,wote walikojoleana ambapo bila ya kutarajia walijikuta chini sakafuni Kila mmoja alianza kumcheka mwenzake kwa kudondoka huko sakafuni,Lisa kwenye kitumbua chake bado kulikuwa kunatoka bao la Alex na la kwake,pia kwenye kitobo cha dudu la Alex palikuwa pakitoka ute wa bao. Huku kwa upande wa mama Lisa(Skola) mambo yaliendelea mpaka asubuhi,ila kwa Lisa haikuwa hivyo,aliogopa kukutwa na mama yake,hivyo majira ya saa kumi na mbili yalipofika walichezeana kidogo kisha Alex alimkojolea Lisa cha kuagana ambacho kiukweli huwa kinakuwaga kitamu sana,niwaombe wadada na wamama ambao mnasoma utamu huu,msiwaache wanaume zenu waende kazini asubuhi bila kuwachangamsha kidogo,humwondoa na mawazo mabaya juu ya wanawake wengine. Basi Alex aliondoka zake ambapo mama mtu naye huko aliko asubuhi alilitafuta dudu la Hassan kama mwanamuziki mwenye mizuka ya kuimba,alianza kulinyonya mpaka likasimama,jamaa alianza kumsugua asubuhi hiyo,ila kwao haikuwa cha kuagana,kwasababu baada ya chai walisuguana tena ndipo Skola aliondoka akiwa mwepesi haswa Alipofika nyumbani kwake Skola,hakuhangaka kujua kama Skola yupo au hayupo kwani alitembea na funguo,na alijua kabisa siku ni lazima Skola awepo shule,alijiachia sebuleni na kumpigia shababi wake aliyemkuna kisawasawa ,,,nambie Hassan wangu,nimefika mie tayari jamani,,,sauti ya kumbembeleza kabisa aliitoa Skola ,,,oooh nashukuru,nimeshakumis jamani,,,Hassan alijibu hivyo kwa sauti ya bezi ,,,kweli unaujua mwili wangu,yaani umekwangua nyege zote,daah,,, ,,,mi ni wako,na ninakuhakikishia nitakuridhisha kila tendo,,, ,,,nauaminia mpini wangu,ila nikikukuta na mwingine!,,, ,,,hapana haiwezi kutokea,nakupenda sana,,, ,,,mi pia nakupenda sana,,, ,,,lini tena bebii wangu,,, ,,,ntafanya dharula ya kushtukiza,,,aliposema hivyo wote walicheka kisha wakaagana,Skola alipokata simu,kweli usoni mwake lilibaki tabasamu la furaha ya ukweli,simu aliiweka kifuani baada ya kumaliza kuongea ,,,nakupenda sana Hassan,mungu akuweke hai mpenzi wangu,,,alizungumza maneno hayo Skola huku akiwa katika sura ya furaha sana Kumbe muda wote huo Skola anazungumza na simu,Lisa alikuwa akisikiliza maneno yote,na alijibana kwa makusudi.Kuanzia siku hiyo alijua kuwa kuna kijana anaitwa Hassan ndiye anayemsugua mama yake.Basi hakujitokeza muda huo,alikwenda chumbani kwake na kuendelea kulala,hata mama yake alipomwona huko chumbani kwake,alijua amelala tu amepumzika alimwacha mpaka aamke ndio aseme kwanini hakwenda shule. Siku hiyo Alex alihudhuria shule,basi alikuwa mpweke huku akiwa haelewi sababu iliyomfanya kisura wake asije shule,masomo hakuelewa kabisa.Muda wa chai ulipofika ambapo alizoea kwenda na Lisa wake,hakwenda siku hiyo alibaki darasani.Ilikuwa hivi,jinsi wanaume wanavyomfuata sana Lisa kumtongoza ndivyo wasichana walivyokuwa wakimtongoza Alex kwasababu alijaaliwa mvuto wa sura na umbo la kimahaba. Msichana mmoja kwa jina la Dainesi,alimfuata na kumwambia kuwa Lisa amekuja yuko kwenye madarasa yale wanayoonana siku zote,basi jamaa alichangamka na kuanza kuelekea huko alkoambiwa Lisa yupo,mbio mpaka kwenye madarasa hayo,pepesa macho Lisa hayupo,ila kulkuwa na kikundi fulani cha wadada kimekaa,walikuwa kama sita hivi,wawili ni marafiki wa Lisa,aliwafuata na kuwauliza kuhusu Lisa,majibu yao sasa ndio yalikuwa balaa,na hayo mapozi,kama mwanaume rijali lazima udindishe ukiachana na hicho alichowakuta wakifanya alipowasogelea karibu,,,INAENDELEA SEHEMU YA TISASHINDU LA KIHAYA-9 ,,,sikia Alex,kila siku Lisa tu jamani,kwani wengine hutuoni,,?,walianza kumtania kwa majibu ya kichokozi,wale rafiki wawili wa Lisa walimvuta na kumkalisha katikati yao,kwahiyo jamaa akawa kati amezungukwa na wasichana,ye mwenyewe alipomkosa Lisa na kukutana na mashauzi ya hao wasichana alitulia. Kwanza walikuwa wote wazuri,wengine sketi zao zilikuwa fupi hatari,na walivyokaa kihasara mpaka taiti zao zilionekana.Kilichomshangaza Alex ni kuwakuta wote wakiangalia pilau(video za X),na sio kwamba waliacha,wengine waliona aibu huku msichana mmoja alyejulikana kwa jina la Eliza,aliendelea kuangalia na kuongea kwa ushabiki kama wa mpira ,,,kha!kumamake cheki dudu linavyoingia,,mmmmmmmh hadi raha,mmmh msenge anajua kusugua hatari,,,aliongea hivyo Eliza huku ambaye alikuwa na mapaja mazuri mpaka matako yaliwachanganya wanaume wengi,mtoto mweupe na sura yake ya kipole basi ndio alikamilisha uzuri wake,wenzake walicheka na kumtaka Alex amzoee ,,,Shemeji Alex nizoee jamani,mi napenda sana kuangalia X,au nikuonyeshe kidogo,,,aliongea hivyo Eliza huku Alex akbakia kucheka tu ,,,aah shemeji unayaweza lakini? Mbona unacheka tena?,,,kwa sauti ya kimbea alizungumza hivyo tena Eliza ambapo wale marafiki wawili wa Lisa waliomweka katikati Alex walimwambia Eliza aache mambo yake huku nao wakicheka Sasa sauti ambayo ilikuwa ikisikika kwenye ile video ya X,japo ni ya chini ila wote walisikia,Alex alianza kupandwa na mizuka taratibu,dudu lake lliinuka na vile alivyowekwa katikati dah! ilikuwa tabu kweli,Rozi ambaye alikaa ukutani alimshtukia Alex jinsi anavyohangaika,yaani walimbana umbazli sifuri kabisa,kwa sauti ya taratibu alimsogelea kwenye sikio na kumnong’oneza ,,,shem umesimama jamani,,,aliongea hivyo kwa sauti ya kuhema kimahaba kama nayeye alizidiwa na nyege ,,,acha mambo yako bwana,,,aliongea hivyo Alex huku akitabasamu ,,,kweli nimeona zinga la,,,mmh Lisa anafadi,,,aliendelea na maneno yake ya kichokozi ambapo Alex alizidi kusimamisha dudu lake ukichanganya na maneno ya Eliza anavyoshabikia dudu jinsi linavyozama kwenye kitumbua ndio kabisa Alex aliisha. Rozi alijaaliwa umbo la ukweli hasa,hata sura pia.Yale mapaja yake laini yalikuwa yakimpa raha Alex na ukizingatia sket aliyovaa n fupi,basi upaja mweupe wastani ulionekana.Alex alivumilia akiitafuta gia ya kuondokea kwani dudu lilisimama na kama angeinuka angeonekana tu ,,,jamani mizuka ilishanipanda,kaniitieni mume wangu Konyo,,,Eliza alisema hivyo ambapo Alex alichukulia kama mzaha,alijua Konyo yuko kidato cha kwanza hata umbo lake ni dogo sana Kilichofuata,waliondoka wasichana wote ila Rozi alibaki na aliyetoa amri,kumbe Eliza walikuwa wakimsikiliza hasa,ndo kama mkuu wao anayewafundisha kusuguana.Alex akiwa haelewi kinachoendelea,alijishaurishauri aondoke au lah,na akiangalia dudu bado limesimama.Eliza aliinuka taratibu,mtoto alijaaliwa matako mazuri hasa,yalitingishika alivyokuwa akitembea,alihamia kona nyingine na kuwaacha Rozi na Alex kona nyingine tena akawa hana hata habari nao ,,,leo sijui atakutuliza nani mizuka,na umejaaliwa jamani,,,aliongea Rozi kwa mapozi akimvuta hisia Alex ,,,nitamfata nyumbani,,, ,,,una taba mbaya,mpaka umfuate jamani,kwani yeye si ana mapaja kama haya,,,Rozi alianza kumwaga radhi,maneno yake yalikwenda sambamba na kitendo cha mkono wake kufunua sketi mpaka usawa fulani wa tatiti yake ilipoishia ili amwonyeshe utamu. Sasa Alex,nyege tayari zilishampanda,naye Rozi kwavile alianza kuangalia X muda mrefu nyege zilianza kumtekenya kitumbua chake ,,,ila Lisa,,,alpotaka kuongea hivyo alizibwa mdomo na Rozi kisha mtoto alusogeza mdomo wake mpaka kwenye mkono wake,ikawa wamesogeleana midomo yao kiasi kwamba mkono ndio uliozuia wasigusane hiyo midomo. Basi ROzi kwa makusudi alianza kutoa mkono mkono wake taratibu,mpaka alipoumalizia,midomo iligusana,jicho lembwende mtoto alilegeza,midomo laini minene ya denda aliyojaariwa alianza kuitumia,walianza kunyonyana denda,Rozi hakuremba,alishusha mkono chini kwenye zipu ya suruali ya Alex kisha akaifungua taratibu huku wakiendeleza zoezi la denda.Mkono wake uliendelea kushuka mpaka akalishika dudu la Alex lililosimama hasa,aliufuatisha ule mtuno wa dudu mpaka kwenye kichwa chake,akagundua kuwa Alex alishatoa majimaji maana kwenye boksa usawa wa kitobo cha mkojo palikuwa pamelowa na panateleza Mtoto wa kike hakutaka mashauzi,aliishusha taiti yake taratibu mpaka chini kisha akabaki na sketi yake tupu,hapo ikawa rahisi,Alex alishusha suruali yake pamoja na boksa mpaka usawa wa magotini kisha akaliacha huru dudu lake lililosimama hasa,Eliza kwa mbali alikuwa akishuhudia mchezo,mtoto wa kike Rozi almpandia kwa juu Alex huku akiwa hata hajielewi,alijpanua mapaja yake akionyesha kweli ana hamu ,,,taratibuuu mpenzi,,,aliongea hivyo huku akiikalia,yaani kichwa kilivyoanza tu kuzama mtoto aliwika kwa utamu,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,ssssssssssssssssssssssss,,,,taratibu aliteremka huku Alex akimshikilia kiuno hicho,mpaka lilipozama lote ndani ya kitumbua,Alex alichokifanya alimshika mguu mmoja kisha akaupandisha juu kidogo,mkono wake mmoja akamshika eneo la kwapa,ikawa kama anatakakumnyanyua juu kwa nguvu ila hakufanya hivyo,mwanaume aloianza kuzungusha kiuno akikatika na kumsugua Rozi,e bwana mtoto alihisi utamu wa ajabu hasa,,,aaaaaaaaaaaaassssssssssssss,,,,mmmmmmh,,,nakupendaaaaaaa Alexxxx sikuachi maaamaaaaanguuuuuuuu,,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaah,,,una dudu tamuuuuuu jamaaniiiiiiii,,,aaaaaaashiiiiiiiiiiii,,,mtoto wa kike yalimtoka mdomoni maneno hayo ambapo Alex aliendelea kupampu,kasi ilipoongezeka ndio kabisa mtoto wa kike alichanganyikiwa kabisa,dudu la Alex lilikuwa likilenga pale pale kwenye kiarage chake,mtoto hakuchelewa,alikojoa palepale na kumfanya Alex aonekane shababi kweli,naye Alex alijivuta nakumwaga bao lake nje ya kitumbua cha Rozi,aisee Rozi hakuwahi kupata utamu huo alimwona Alex ni kidume haswa,,,Alex alivyotoa bao hilo alikuwa amechoka hasa kwani usiku wa jana yake alikesha akimsugua Lisa ,,,pole sana mpenzi wangu,,, ,,,ahsante,pole na wewe jamani,,,walipeana pole huku Rozi akionyesha kumzimia moja kwa moja Alex wa watu,ila sasa walipogeuka upande wa pili alikokaa Eliza,waliona maajabu,huyo mtoto aliyetwa Konyo aligeuka na kuwa Nyoko,,,, SHINDU LA KIHAYA-10 Mtoto Konyo alikuwa akimchughulikia Eliza,yaani usingeamini huo muungano kwa ndogo alikuwa akionekana kama dhaifu kiumbo halafu Eliza amejazia kidogo mapaja na matakoni.Alex mwenyewe ilmbidi kumwangalia mara mbili Konyo,anayoyafanya hayakuendana na jinsi alivyo. Eliza pamoja na ukubwa wote na kujifanya mzoefu mpaka anaangalia X,lakini kwa mtoto huyo alitulia.Muda huo Eliza alikuwa juu ya meza fulani fupi,kisha Konyo alimjia kwa juu na kumzamisha dudu lote,maana alijaaliwa dudu la maana,Alex mwenyewe aljikuta akisarenda amri. Walichokuwa wakikishuhudia Alex na Rozi ni matako ya huyo mtoto yanavyokwenda mbele na kurudi nyuma huku yakijibana hasa.Eliza hakuwa na hali mtoto wa kike aliskika akilalamika kimahaba kama kakutana na mkubwa mwenzake,,,aaaaaaaaashiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaassssssssssssss,,,ooooooooooooh,,,Konyo aliposikia kelele hizo ni kama alimzidisha mizuka,alikuwa akipampu haraka mpaka Eliza akawa anamshika kiuno kumrudisha nyuma,sijui nguvu alikuwa anatoa wapi mtoto huyu mwembamba asiyedhanihika. Hapo hapo juu ya meza Konyo alimpindua kidogo na kumweka kiuvavu ila sio ile ubavu moja kwa moja,ni mguu tu ndo uligeuka na so mwili mzima,halafu alivyo mshenzi,aliukunja ule mguu kama anataka kuukutanisha na kichwa cha Eliza,sasa kitumbua ndio kilipanuka vyema,basi Konyo aliongeza kasi ya kumdugua,kiukwel Eliza kelele zote alizokuwa nazo kwenye mchezo alishikika hasa,Konyo ni nyoko mtoto anasugua balaa,yaani kilichosikika ni milio ya mapaja ya Eliza yakigongana na ya Konyo,kama kukojoa mtoto wa kike alishajikojolea muda tu Kwa vile meza ilikuwa ndefu kidogo,Konyo aliona amalizie staili yake anayopendaga kumsuguaga nayo Eliza.Alimlaza juu ya meza kifudifudi,mtoto nyuma alinona hasa,mapaja manene,matako makubwa mazuri yasiyo na michirizi,tena yalikuwa na ngozi ya kuteleza Basi Konyo alimpanua matako kisha akalipenyesha dudu lake lililokuwa refu na nene lisiloendana na jinsi alivyo,yaani dudu lilivyokuwa linaingia kwenye kitumbua,Eliza alikuwa akilalamika tu maana huo utamu hauelezeki,e bwana Konyo alipoanza kupampu kwa kasi,Eliza alitamani kupaa angani maana dudu lilimkuna vyema kona za kitumbua chake mpaka raha,llimgusa kila mahali palipo na msisimko wa mahaba ndani ya kitumbua,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaashiiiiiiiii,,,,eeeeeuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaaah,,eeeewwwiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaah,,,alilalamika mtoto wa kike ambapo Konyo alishindilia dudu mpaka akakojoa bao lake ndani ya kitumbua,bao lingine lilimwagikia juu ya matako likazagaa mpaka kiunoni mwake Eliza,alsisimka kidogo bao lilivyomwagikia kwenye kiuno. Kweli darasa hilo lilikuwa la mahasi sana,walimu hawakugundua hilo,wanafunzi baadhi ndio walikuwa wakilitumia kwa siri.Kiukweli watu walikuwa wanasuguana sana.Eliza alipomaliza kusuguliwa hata kunyanyuka ilikuwa shida,mapaja yalikuwa yakimuuma hasa,basi Konyo alimsaidia kumnyanyua ambapo Eliza alikuwa hoi na ukubwa wake ,,,we mtoto utaniua jamani mmmh,,,alisema Eliza ,,,mmh na ulivyo mtamu mbona hapo bado nakutamani,,,alijibu Konyo ,,,ina maana hapa ungetaka tuendelee?,, ,,,ndio,kukisugua ni raha sana kwasababu we ni mtamu kiukweli,,, ,,,hapana,ndo maana nasema utaniua we mtoto,,,Eliza aliishiwa mapozi kabisa kwa Konyo aliyekuwa ana moto wa hali ya juu kwenye kumsugua,Alex na Rozi walikuwa wamekaa kimahaba ambapo mkono wa Rozi ulikuwa kwenye kidevu cha Alex ukimshikashika ndevu zake ,,,ahaa,mshatoana nyege tayari,,,aliropoka Eliza akiwalenga kina Rozi ,,,yanakuhusu,mwache mme wangu bwana,,,alijibu Rozi huku akimbusu Alex shavuni ,,,mmh,wacha wee,asali ya mtu hiyo,ngoja mwenye mzinga ajue,,,alimtishia Rozi ,,,wapi wewe,,,alijibu Rozi na kugusanisha mdomo na Alex kisha kuanza kunyonyana denda. Yule jamaa yake na mama Lisa,Hassan.Mazingira yaliyomzunguka yalikuwa na wasichana wengi ambao ni mama wa nyumbani,kwahiyo mabwana zao wakienda kutafuta ridhiki nyumbani wanabaki peke yao.Siku hiyo Hassan akiwa ndani peke yake,kiukweli alimkumbuka sana Skola ila ndio hivyo tatizo la Skola mpaka ajisikie kukunwa ndio anakuja kwa Hassan. Nje ya dirisha lake palikuwa na mama fulani mweupe mwenye matako makubwa akifua nguo za mume wake.Hassan alidindisha dudu lake akitamani matako ya huyo mama,alimchungulia kupitia dirisha lake bila mama mwenyewe kuwa na taarifa,ndani ya khanga mama huyo alivalia chupi pekee na ilijionyesha mistari yake ikikata matakoni.Akitembea kwenda kuanika alivyokuwa anatingisha matako ni hatari,akiwa meinama anafua ndio kabisaaa,Hassan aliumia tu na dudu lake lenye nyege,aliwaza apige punyeto au amwite mama huyo,akawa haelewi la kufanya Hassan wa watu,basi kuna muda mama huyo akawa anajifunua khanga ili ajifunge vyema,daaah! Hapo Hassan alisisimka mpaka moyoni,yaani ile chup[I alivyoivaa mama huyo ilimchora vyema kitumbua chake kilichovimba kwa kuficha utamu,tena mahali alipogeukia ni kwa Hassan ila hakujua kama anaangaliwa,hakuwa na tumbo kubwa,ni flati kabisa. Wakati akiendelea kuanika,akawa anaupungufu wa vibanio,basi ikabidi amwombe jirani yake ambaye naye kwa siku hiyo alikuwa anafua ,,,mi mwenyewe nimevitumia mpaka nmemwazima pia mama salumu,,,almjibu hivyo jirani huyo ,,,mmh sasa nitabania nini hizi nguo jamani,,,alijishauri jirani aliyeishiwa vibanio ,,,piga hodi kwa Hassan,kama atakuwepo akuazime vibanio anavyo,,,sauti ya jirani mwingine ilimshauri jirani mwenye matako aliyeishiwa vibanio na kuuchukulia maanani,basi aliongoza mpaka nje ya mlango wa chumba cha Hassan na kubisha hodi kwa uwoga maana hakuwahi hata kumsemesha Hassan,,,,INAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA (26) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia ndo icho tu au kuna kingine nikamjibu hamna nilishangaa kuona kanikubalia kwa haraka sana huku akiniambia tuwahi bank tukachukue hela kisha kesho tupige mechi moja matata kama ya leo ile nataka kumjibu nilipo tazama kwenye kioo nilimwona mdada akiwa anatu record na simu ila uzuri wake sauti haiwezi kuwepo ila vitendo vitaonekana niliwai kufungua mlango na kumkuta yule mdada bila ya wasiwasi akaniambia tuingie kwenye gari ana maongezi na sisi.............. endelea sasa alinaza kwa kughuna kwanza huku akituangalia alikua amekaa siti ya nyuma ya gari na sisi tupo mbele. "we errycah wewe ni wakufanya mapenzi kwenye gari la baba yako tena barabarani sasa nampelekea ushahidi wote baba yako na utaona atakacho kufanya mana Alisha wai kuniambia Siku akisikia kuna mtu anamchezea binti yake atawamwaga ubongo hapo hapo" "kwani we nani"errycah alimuuliza swali bila ya wasiwasi wowote "unijui eeeh baba yako akiondokaga unajua anaendaga wapi.sasa kwa taarifa yako anakuja kwangu Mimi ni mama yako mdogo.na wewe kijana naona unayachezea maisha yako"alipo maliza kusema Yale akachukua simu na kumpigia mjomba "hallo" "yes Darling niambie"ilikua ni sauti ya mjomba hapo hapo tukampa ishara asizungumze chochote alimkatia simu na kutuuliza "si mnajifanya amniamini sasa mkitaka niifute hii video na nisimweleze wewe kijana leo usiku njoo ulale kwangu mana nime penda dozi yako.na wewe errycah kwanzia leo sitaki nikuone ukiwa karibu na huyu kijana." sikua na lakupinga ila nilijisemea moyoni mwangu ivi kwa nini kila mwanamke anaye niona anataka nifanye nae mapenzi lilikua swali ambalo halina majibu kimya changu kilionyesha kukubaliana na lile na akaniambia "jioni SAA 1:30 toka nje ya geti nitakufata na gari twende kwangu na usipo tokea mtaniona mbaya." alishuka yule mdada na kuondoka zake ukimwangalia analipa mana tako analo sema yeye mrefu kuliko Mimi.errycah hakua na la kusema zaidi ya kuniambia ukienda naomba utumie mpira alafu mkomoe mpe dozi mpaka atoke kizazi mana anaonekana Malaya sana yule mchiiiiuuuuuuu......" alimaliza kwa kumsonya yule mdad tukaweka siti vizuri na kuliondoa gari kuelekea bank uzuri wa pale tuliingia ndani kabisa na kukutana na kiongozi tuka mwelekeza akatupa na fomu tukajaza akatuambia tusuburi nje kwa mda atatuita tuje kuchukua mzigo. tulisubiri nje kwa dakika kama 20 hivi tukaitwa ndani kisha tuka hakikisha imetimia na kumuambia atu tenganishie.hela ikapakiwa kwenye briefcase mbili maana moja yangu moja ya mjomba ilibidi tupate lunch mana ilikua mida kama ya SAA 9 ivi.nilishindwa kumficha errycah kwamba yule mgeni wa jana ni mdogo wangu merry.errycah hakushtuka sana zaidi ya kusema "nilihisi ni yeye ila sikua na uhakika"mana alikua mchafu sana.nikamwambia na hizi hela naenda kumnunulia nyumba na Mimi nitaondoka pale kwenu..... "nini uwezi kuondoka pale kama bado hatuja jua ukweli wowote na utaondokaje ? uniache Mimi ? nani atanikuna ? au unaona raha Mimi kufanya mapenzi na baba ? tutaondoka wote baada ya kukamilisha mambo yote na kama tutamkuta na hatia basi tumdoshe chini na aishi kama shetani.mana si kwa madhambi ya baba.ila naomba uniahidi utanioa mana nakupenda sana hata kama sisi ni ndugu naomba tuweke undugu pembeni I love you Kenny..... sawa nilimwitikia kwa kichwa kuonyesha nimekubaliana naye kwa 100% kwamba Nita mwoa ila dhumuni langu ni kuhalikisha maisha yangu yana kaa vizuri.niliemdesha gari mpaka horena hotel na kumkuta merry akiwa amekaa alionekana ana mawazo sana tulipata lunch wote kwa pamoja kidogo alionekana mchangamfu tukiwa pale errycah alipigiwa simu ma mjomba na kutuambiwa tuwahi kutudi anatusubiri sisi ilibidi tufanye upesi nilimwachia hela kidogo merry na kumuahidi kesho nitakufanyia surprise kubwa mdogo wangu. nili mkumbatia na tukaagana ile naelekea kwenye gari nilishangaa kusikia sauti ikiniita alikua ni yule muhudumu niliye sex nae nilimpa ishara Nina haraka Sana na kumwambia atanipigia tuongee vizuri nilitoa gari kwa speed ya ajabu mpaka errycah akaniuliza nani aliye kufundisha Ku drive gari kwa kasi namna hiii.nikamwambia ni utundu tu na kujiongeza tulipiga kona ya kwanza ya pili tulifika nyumbani na kumkuta mjomba akiwa na wasiwasi mwingi tulimpa document zote na hela zake alifurahi sana na kuniambia atanipa zawadi.tuliendelea kupiga story huku tukiangalia mpira ilikua mechi kati ya liverpool na manchester city ambapo liva alishinda 4 kwa 3 nilisikitika sana mana nilikua nashabikia man city kibaya zaidi niliweka mkeka wangu wa 50000 nikaliwa. (ipate simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 500 tu) 0744204283 mjomba aliagiza nikamwite mlinzi kuna maagizo anataka ampe nikatokanje kwenda kumuita nilishangaa kumkuta mlinzi akiwa nje.nilipotoka nje kabisa ya geti nilimkuta yule mdada aliye tufumania kaja kunifata nika mpe dozi naka mwita mlinzi nika mwelekeza anaitwa ndani nikampa ishara yule mdada anisubiri dakika 5.niliingia ndani na kumuomba mjomba ruhusa rafiki zangu wamekuja kunipitia tunaenda kwenye mkesha wa kuliombea taifa litakalo fanyika st peter.kwa sababu mjomba na mambo ya kanisani sukari na chumvi aliniruhisu haraka haraka nika waaga nikaondoka zangu huku nikimwacha mlinzi ndani akiwa anaongea na mjomba.nilifika moja kwa moja nikaingia kwenye gari na safari ya kuelekea kwake ikaanza alikua anaishi masaki ile ile na hapakua mbali na nyumbani kitendo cha dakika 10 tu tukafika kwake.geti lilifunguliwa tukaingia lakini kabla ya kushuka aliniambia utalala mpaka asubuhi kisha Nita kurudisha ilikua nyumba kubwa kama ile ya mjomba kidume nika zama ndani na yule mdada ukimwangalia anacheza kwenye miaka 25-26 ni saiz yangu kabisa. sema kanizidi kidogo tu nilipofika sebreni nilikutana na ma binti wawili akanitambulisha huyu anaitwa rose ni mdogo wangu na huyu ni Dada yetu wa kazi anaitwa tekla.walinipa salamu nikawaitikia kisha aka muagiza yule Dada wa kazi atuandalie chakura kisha akamwambia rose kama umesha kula nenda kalale usiku huu kesho shule. "jamani Dada bado sijamalizia kuandika essay tuliyo pewa leo tuition na kesho wanakusanya"nilipo sikia vile nikajua huyu yupo secondary tena kama sio form 3 basi 2 alafu kulika ana lika kabisa mana ana shepu flani kama la Dada yake nilijikuta namtamani na kujiapiza lazima nimpitie nilisahau kile kiapo nilicho jiapiza.tuliletewa kuku aliye kaaangwa na ka ugali kadogo sikufichi mtu wangu nilishindilia nyama mana kibarua kilichopo mbele yangu kizito huku tukisindikiza na wine. tulivyo maliza kupata dinner wote wawili tulikua kama tume lewa vile tulikokotana mpaka chumbani huku tukiwaacha rose na tekla pale sebreni.yule Dada aliwaambia mkimaliza naomba mkalale na msije mkamwambia shemeji yenu.wote waliitikia kwa pamoja "sawa" tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA (27) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... endelea sasa nilimsogelea yule dada ambae hakunitajia jina lake mpaka mda huu.nika mweka sawa lakini nilishangaa aliziba papa yake kwa mkono kuashiria hayupo teali kwa mechi.nilianza kusikia maumivu kwa mbali akaniambia nimuandae na yeye ili tuienjoy wote nika kubari nikaanza kumnyonya chuchu zake nika mwona anaanza kujikunja kunja kama nyoka anaye vua gamba lake huku akitoa miguno nilishindwa kuendelea kutokana na maumivu niliyonyasikia nilisha ngaa kuona dude likikaka maa nilimtanua mapaja yake na kuanza kupitisha mashine yangu kwenye kitumbua cha bibie “aaaaaaaaaaaah,,,,ssssssssssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiii,,ooooooooh,.,aaashiiiii,,,ashiiiiiiii,,"alitoa miguno kwa sauti hata walio kua nje wanaisiki niliendelea kupampu mpaka bibie akaanza kutoa kilio cha kuonyesha yupo karibu kukujoa “aaaaaahhh,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,nakojoaaaaaaaaaaaaaaa,,"Alitangaza kukojoa ambapo alijinyonganyonga huku akifanya kama anataka kujichomoa mana alihisi moto kwenye kitimbua chake kidume sikujali niliendelea kutembeza dozi tena nika mbananisha kwenye kona ya kitanda mtoto aliendelea kutoa miguno oooooooooohh.......mamaweeeeee........ tupumzikeeee kidogooooooohh aiiiiiishhhhiiii taaaamuuuuuu,......... nilipo taka kuchomoa alinivuta na kuniambia usichomoeeeee endeleaaa nakaribia cha piliiiiii nitiiiiiieeeeee yani kile kidonge safi sana kidume nilikua bado sna hata dalilii nilimpampu mpaka k yake ilikauka majii akaanza kusikia maumivu bahati nzuri niliwaona wazungu wakija nilimwagia humo humo aaaaaaaishhhhiiiiii asante baby......... endeleeaaaaaa........ mzigo hauku lala nilendelea kumpeleka puta tulishtushwa na sauti ya mdogo wake rose ilija kutugongea aliamka yule Dada na kwenda kumsikiliza mlangoni...... "we vipi" ,"dada shemeji kaja yupo getini mlinzi anamzubaisha zubaisha mtoe haraka Huyo mtu," "mungu wangu Fanya haraka mjomba wako kaja nitafanyeje mimi " mda huo pombe zote ziliisha nika okota nguo zangu na boxa nikiwa uchi nilipo toka kwenye korido waliniambia niingie chumba cha rose huku dude likiwa lime kakamaa vile vile lenyewe halijui hatari linataka kitumbua tu. niliingia ndani na kujibanza nyuma ya mlango huku nikiwa natetemeka mana mjomba akinikuta hapa lazima anilambe shamba kwa nje nilimsikia mjomba akionge ongea akielekea chumbani kwa yule mdada kidogo nikawa na amani nikaanza kuvaa boxa yangu lakini sikuweza kutokana na maumivu niliyo yasikia dawa yake nipate show niifanyie kazi kwa bahati nzuri aliingia rose akiwa na daftari zake huku akiwa amevalia kanga moja sikutaka kumlemba nika msogelea na kumwomba tafadhari naomba unisaidie mwenzako nakufa Dada yako kanipa vidonge vya kuongeza nguvu bado ninahamu naomba unisaidie. sikufichi mtu wangu ukitumia vibaya hivi vidonge tuna kuzika.sasa sikia Mimi hiyo shughuli siiwezi mana hapo mpaka ipungue nguvu inabidi uwe umepiga kama bao 5 hivi uko ulipotoka umepiga ngapi nikamjibu moja heheeee leo lazima ufe kwaiyo mda wrote huo umepiga moja izo NNE unimalizie Mimi hata nyege zangu lazima ziishie mwenye bao LA pili njoo unipige izo mbili zitakazo baki utakua pa kuzipeleka usije ukanitoa kizazi Bure...mtoto wa watu. kitendo cha kunipa ruhusa tu lilikua ni kosa kubwa sana ni sawa na nyoka kaku ng'ata alafu unamkanyaga tena mkia nilimsogelea rose kuanza kumpa romance mtoto alikua anamate matamu yule nilizidi kuchanganyikiwa pale nilipo mtoa kanga yake aliyo jifunga mtoto alikua mweupe peeee na chuchu ndogo zilizo simama Dede swali nililo muuliza ushawai Ku sex mtoto alinijibu kwa ishara ndio kutoka na kuzidiwa na utamu wa denda alilegea kama teja aliye piga vitu vyake.nika Pima oil kwenye kitumbua chake na kukuta mtoto kajichafua zamani sana.nikaona ndo mda muafaka wa kutuliza hasira za nyoka wangu aliye pandishwa mizuka na dada yake.nika mnyakua na kumbwaga kitandani huku mtoto akiwa ajielewi kumbe nyege zake ukimpa ulimi tu umesha mmaliza.kika mkunja saba mtoto kisha kitumbua chake kikaja kwa nyumba nakwambia hawa watoto wadogo watamu bwana.ila sikushauli mana mtaanza kuwaalibu bure na kusema tumesoma story ya chas360 imetuambia wadogo watamu LA hasha hii ni stori ya kutunga tu. ok twendelee mzigo ulizama wote tena ndani kulikua na joto balaa lililo nifanya nisikie utamu ambao sikuwai kuupata hapo mwanzo kwa dada mtu nilimsugua taratibu taratibu ili niendelee kuusikia ule utamu na rose akaanza kutoa miguno “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," huku akiibana midomo yake kwa kuusilizia utamu ulivyo kua unapenya kwenye kitumbua chake, macho nayo yalikuwa kama teja mana aliyalegeza huku akiyafumba na kufumbua kwa utamu uliopo kwa mwendo ule ule nilijikuta mashindwa kujizuia na kuanza kucheua kabla yake mmmmmmmmmmmhhhh..............aaaaaaaaaaahhhh........... niliwaachia askari wangu waende kwenye kitumbua cha rose.huku rose akionyesha kufurahishwa kwa kitendo kile na kuanza kuzungusha kiuno chake kidogo kama nyigu nilipiga nje ndani kwa mwendo wa madaha na mtoto na yeye akatoa askari wake ili wakutane wafanye mazungumzo nakojooooooooooooooo........!!!! alishindwa kumalizia sentesi akabaki kimya huku speed ya kuzungusha kiuno ikiongezeka zaidi ya Mara ya kwanza kidume niliendelea na safari ya kulitafuta bao la pili kwa rose.mtoto alionekana kuchoka kutokana na mashine yangu kuonekana ipo imara rose alifulia kimya kama hayupo kwenye mechi nikaaanza kupampu haraka haraka ili kuuwai ute ute ulio kwepo mle ndani usikauke.alizidisha miguno baada ya mashine kwenda kwa speed aaaaaaah....... ooooooohhhh.... aiiiiiiiiiii...... yessssssa......aaaaaaahhhhh woooooww.......lugha zote zilikua zake nilijikakamua mpaka tukafika wote mlima Everest aaaaaaahhhhh......!!!!! “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: