Home → ushauri
→ *MUHIMU*```
➡Kuna siku marafiki tutatengana💔 hatutaonana tena wala kuwasiliana.💌
➡Wengine umri utakuwa umeenda🕢 sana wamekuwa wazee na wengine hawatakuwepo duniani.😢😰
➡Tutakumbuka🙇 tulivyokuwa tunachat💌 tutakumbuka tulivyokuwa tunapendana ❤na kushirikiana👯 tutakumbuka tulivyokuwa vijana wenye nguvu💪 tukikimbizana💃 huku na kule lkn hatutaweza kuwa pmj tena.💔
➡Labda bado tutakuwa na picha 👤za marafik zetu tutaziangalia na kukumbuka mengi.🙇💬
➡Watoto na wajukuu zetu watatuuliza
"Ni kina nani hawa👉👭?"
➡Kwa maskitiko tutawaambia "Ni wapendwa wetu tulioshirikiana na kupendana nao" ❤❤❤💋
➡Huzuni zitatufunika maana hakutakuwa na njia ya kuonana tena zaidi ya kukumbuka enzi zetu!💏
➡Huu ni wakati wa kufurahi na marafiki 👫 💃🏃 💑 👭 na kutendeana mema ili tusije kujuta baadae.🙇
➡Huu ni wakati wa kupendana na kila aliye karibu na wewe.❤❤
➡Onyesha upendo ❤ na moyo❤ wa furaha kwa kila unaechat nae kwa sasa.💞💋
➡Tunza kumbukumbu za yale mazuri unayotendewa na marafiki zako🙆
➡Tunza picha zake kwa bidii👥👤
➡Kama unakubaliana na mimi wakumbushe marafiki zako wote kuwa upendo ❤ni kitu cha thamani sana!!❤❤❤❤
➡ _Mkumbushe_ _kila_ _unayechati naye kuwa hataendelea kuchat na wewe milele hivyo autumie huu wakati_ 🌄 _vizuri_. 💋
➡```Kama na mimi ni mmojawapo nikumbushe kukuthamini na kukutendea mema``` 💗💋🌸❤💐💕💞💓🌹🌷💐🌺
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: