Friday, July 14, 2017

M๐Ÿ…ฐ๐Ÿ†Ž๐Ÿ…ฐ๐ŸŒ€๐ŸŒ€๐ŸŒ€๐ŸŒ€PR๐Ÿ…พFESSI๐Ÿ…พN๐Ÿ…ฐL๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’ ๐ŸŒธ๐Ÿ’JINSI YA KUMTULIZA MWANAUME KICHECHE๐Ÿ’๐ŸŒธ . iyo yuleyule mfundaji wako. Nitakuwa hapa kila siku kwa uwezo wa Mungu ili kukupa somo, vilevile kujibu maswali yako. Lengo langu ni moja tu, kukuwezesha wewe mwanamke mwenzangu kutulia kwenye ndoa au penzi lako. ⏩๐Ÿ’Mwanamke ndiyo dira ya mwanaume. Ukiona mumeo hatulii, mwanaume wako anakuwa na hulka ya kurukaruka, jiangalie mwenyewe mara mbili๐Ÿ‘Œ ❤❤❤ ⏩๐Ÿ’Katika kila uhusiano wenye migogoro, ukiuchunguza kwa makini unabaini uwepo wa upungufu mkubwa wa mwanamke katika ‘kumhendo’ mwanaume wake.๐Ÿ‘Œ ❤❤❤ ⏩๐Ÿ’. Shoga yangu, nataka kuanzia leo utambue kuwa mwanaume si malaika. Kwa maana hiyo, unatakiwa ujue jinsi ya kucheza naye kama binadamu.๐Ÿ‘Œ ❤❤❤ ๐Ÿ’‹MAMBO YA KUACHA UNAPOTAKA MUMEO ATULIE๐Ÿ‘Œ ๐ŸŒธKIBURI Kuna baadhi ya wqnawake wqna viburi kwa waume zao,ujue shoga angu mwanaume afanyiwi kiburi mwanaume ni kama mtoto unatakiwa umpe heshima ya kiume shoga๐Ÿ‘Œ ๐ŸŒธDHARAU binadamu yeyote hapendi kudharauliwa๐Ÿ‘Œsasa shoga ukimdharau mmeo ndio unampa chance ya kutafuta mwanamke atakaempa heshima zote kama mume kwako atakua anarudi tu kutimiza wajibu wa mume lkn uanaume wake wote atauacha nyumba ndogo upoo๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜limewachoma eeh๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰ sizubae, msome vizuri kisha mpatie. Atatulia tu.Mikononi mwako๐Ÿ‘Œ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ ❤❤❤ ⏩๐Ÿ’๐ŸŒธShost, kumbuka kuwa unatakiwa kumbembeleza mumeo kwa njia yoyote mpaka atulie. Mwanaume hauzwi dukani, ‘supermarket’ wala hana bei. Ingekuwa anauzwa na bei yake inajulikana, kila mtu angekuwa naye. ๐Ÿ‘ŒAngetumia jeuri ya fedha kumpata anayemtaka upo๐Ÿ‘Œ ❤❤❤ ⏩๐Ÿ’๐ŸŒธ shoga yangu kaa na mshangao sasa, wanawake wengi tu tena wana fedha nyingi, wanaumia upweke, hawana waume wa kutulia nao. Kama wewe unaye wako, tena bahati nzuri mmefunga ndoa, hakikisha unamtuliza ili ufurahie maisha yako ya kimapenzi.๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ‘Œ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ ๐ŸTUMIA NJIA HIZI KUMWEKA SAWA MWANAUME WAKO๐Ÿ‘Œ ⏩๐ŸŒนKwanza kabisa, unapoona mwanaume wako amekuwa kiguu na njia, yaani hatulii, tafuta sababu zinazomfanya awe hivyo. Je, sababu ni wewe mwenyewe? Una wivu sana, una mdomo mchafu, kiburi, huelekei anavyokuelekeza? Labda una roho mbaya kwa ndugu zake. Tazama mambo hayo. ❤❤❤ ⏩๐Ÿ’๐ŸŒนhatua ya pili; Ukishajichunguza, muombe mwanaume wako kikao ili mzungumzie matatizo yenu. Usikae kimya wala usimwogope. Katika kikao hicho, mwache aongee ya moyoni, nawe sema yako, mwisho utajua nani mwenye matatizo. Baada ya hapo, fanyeni masahihisho. Ulipokosea omba msamaha. ❤❤๐Ÿ ⏩๐Ÿ’๐ŸŒทHatua ya tatu; ikiwa katika mazungumzo umegundua mwanaume wako ndiye tatizo, mweleweshe taratibu mpaka aelewe makosa yake. Achana na maneno ya watu wasiojua thamani ya mume ambao hudiriki kusema: “Atajijua akitaka atasema na mimi asipotaka aache mimi nd’o mkewe.” ❤❤❤ ⏩๐Ÿ’Kasoro nyigine ni kwamba wapo wanawake hutaka kuishi kwa mashindano na wanaume zao. Nawaombeni mashoga zangu msifanye hivyo, mwanamke akiwa kicheche /kiguu na njia, aibu yake ni kubwa zaidi ya mwanaume. Uchafu wako, utamfanya yeye aonekane Msafi e wakati ukweli naye hajatulia. ❤❤❤ ⏩๐Ÿ’‹pengine mwanaume wako hatulii nyumbani lakini si kwa sababu ana wanawake wengine. Inawezekana ni mtu wa kuwaendekeza marafiki, kwa hiyo wanakaa baa au maeneo mengine, wanazungumza mpaka usiku wa manane ndiyo anarudi nyumbani. Sasa ikiwa nawe utaanza kuzurura halafu mna watoto, mtawalea saa ngapi? Nani atamrekebisha mwenzake? Nakuhakikishia shoga, wewe ukiamua, mwanaume wako atatulia nyumbani. ๐Ÿ‘Œ ❤❤❤ ⏩๐Ÿ’Maneno yako mazuri na tabia yako njema, ni silaha kubwa kwa mwanaume kicheche mpe maneno mazuri ya kumtoa nyoka pangoni๐Ÿ‘Œ ⏩๐Ÿ’Mpe mapenzi motomoto tenga mda kwaajili ya mmeo weka ratiba nyumbani kwako ya kumfanyia mambo adimu mumeo nakwambia shoga ukifanya hivyo hatobanduka ๐Ÿ‘Œutakua ushamtia kwapani๐Ÿ‘Œhafurukuti,maana akitoka kazini lazima arudi home kwa mcheouko ataenda mda gani kila kitu wamfanyia?๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ’‰ ❤❤❤ ๐Ÿ’‹WANAWAKE TUNAPOTEA๐Ÿ’‹ Bibie, sisi wanawake wa siku hizi ni tatizo. Angalieni ndoa za zamani zilikuwa zinadumu kwa sababu wanawake walikuwa wakifuata taratibu. Mke anamuomba mume wake wakae na kutafuta suluhu pasipo hata jirani kujua. Siku hizi, rafiki au shoga ndiyo wa kwanza kwenda kumhadithia na kumuomba ushauri na mashoga wengi wa town utaadhirishwa mchana kweupe navmmeo atabeba๐Ÿ‘Œndio atambeba si ushamuadisia mapungufu ya mmeo?ye atayarekebisha ili ammiliki vizuri ๐Ÿ‘Œ ❤❤❤ Ikiwa mtaweka vikao, hamtapigana hata kama mmoja wenu atakuwa na jazba. Vizuri pia kuweka vikao kipindi ambacho kila mmoja hasira zake zimepungua. Bila mazungumzo hamtapata ufumbuzi, wanaume wengine siyo waongeaji ila akishakasirika utaona tu amebadilika. Sasa basi, kwa nini usimshawishi akwambie? Hiyo ni kazi yako, atakwambia tu. Ukienda kumsimulia rafiki ndiyo utapata jawabu?Ongea na mmeo taratibu uliza nini anakikosa kwako kama mwanaume muelewa atakwambia mapungufu yako kazi yako kuyalekebisha tu ๐Ÿ‘Œ ๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹ ๐Ÿ’MWANAMKE NDIYO SERIKALI YA MWANAUME ๐Ÿ’ ๐Ÿ’‹⏩Mwisho kabisa nakutaka mwanamke ujitambue na uelewe nafasi yako ndani ya nyumba. ๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹ ๐Ÿ’‹⏩ Mwanamke ndiyo serikali ya mume, usijaribu kukaribisha shetani ndani ya nyumba. Endapo utampa maneno mazuri mumeo, wazimu wake wote utaondoka๐Ÿ‘Œ๐Ÿ’ ๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹ ⏩๐Ÿ’‹Shoga mwanaume ni kama mtoto. Ukimdekeza atadeka, ukimbembeleza anabembelezeka, ukimchapa, atakuchukia.๐Ÿ‘Œ ๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹ ⏩๐Ÿ’Hata kama una kazi, jaribu kupanga muda wa kumpikia mumeo,๐Ÿ‘Œ kumfulia nguo na kumwandalia mambo megine muhimu ili ajisikie raha na ajivune kuwa na mwanamke mzuri๐Ÿ‘Œ ๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹ ⏩๐Ÿ’๐Ÿ’‹. Ukimwachia kila kitu afanye dada wa kazi, matokeo yake hali ya hewa kuchafuka ndani ya nyumba๐Ÿ‘Œ Hakuna mtaalamu wa mapenzi kukuzidi shoga ni mbinu na ujuzi tu๐Ÿ‘Œ๐Ÿ’ƒmwanaume ukimjulia hakupi tabu๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜Mahaba profesional๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

No comments:

Post a Comment