Home → Love sms
→ *πUTAMU WA NDOA KATIKA UISLAMπ*
*Samahani ni neno dogo Sana lakini thamani yake ni kubwa Sana kwa Wanandoa*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Ukimkosea mwenza wako haraka muombe Msamaha*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Ukiishi kwa kujishusha pale unapokosea jua utaishi kwa amani kwenye ndoa yako*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Usione aibu kuomba msamaha*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Msamaha humaliza matatizo katika ndoa, humfanya anayeombwa akuone kweli unajutia Kosa lako, pia unamuheshimu*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Kuomba msamaha sio utumwa bali unaomba ili kumuonyesha mwenza wako kuwa unamjali, unampenda pia haupo tayari kumpoteza*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Kama unampenda mwenza wako muombe Msamaha pale unapomkosea*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Ukiwa mtu wa kuomba Msamaha jua ndoa yako itakuwa tamu Sana maana ibilisi hatopata nafasi ya kuiyumbisha ndoa yenu*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Jitahidi kuishi kwa kuliweka Mbele neno Samahani ili kumfanya mwenza wako azidi kukupenda zaidi*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Msiishi kwa kushindana katu sio Sifa nzuri kwa Wanandoa*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Ukiwa jeuri, hujui kuomba Msamaha jua ndoa yako itakuwa haina furaha*
ππΎππΎππΎππΎπ
*Jishushe Kisha omba Msamaha ili kuifanya ndoa yako iwe yenye furaha na utulivu.*
πΉππΉππΉππΉππΉππΉπ
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: