*πŸ”°UkumbushoπŸ”°* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *Inatakiwa Wanaume pia wajitambue katika ndoa wajib wao ni upi* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *Sio kila mda wanawshambuliwa wanawake tu nakuwaachia majukum ya nyumba wao* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *Kwanza ili mwanamume atake kuowa lazma kuna mambo aweze kumfanyia mkewe,,,,* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *mwanamume ndie msimamizi kwa mke wake,,, amlishe pindi alapo,, amvishe,,, akiwa mgonjwa aweze kumuhudumia,,* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *mpaka pesa za mapombo mume ndie awe msimamizi,,* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *ikiwa mke ana kazi sio wajib wake mke kusimamia Majukumu hayo,,,, na wala hapaswi kulazimishwa kumsaidia mume jambo lolote katika uwendeshaji wa nyumba yao ila kwa ridhaa yake mke mwenyewe kama ameridhia kununua chochote,* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *ila sio jukumu la mke,,, ila wapo baadhi ya wanaume wao hawajui Majukumu yao, kwanza wao hutafuta wanawake walio na kazi ili wao wakae wasubitmke afanye kila kitu,, inakua ameowa Kwa malengo flani tu apate bure,,,* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *unakuta kila kitu ananunua mke mume hana lolote analo fanya kumfurahisha mkewe,* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» Mke ndio anabeba Majukumu mke,,,,,vitu nyote kununua mke ,kisha mke huyo anaonekaka duni,,, mume maskani tu hataki kujisumbua kutafuta Rizqi yake,,, schoool fees mke πŸ₯€πŸ‘‰πŸ»Ama Akamwambia tugawe Majukumu nusu Kwa nusu,,, hapo mume inakua hajajitambua yeye kama mume,,, Na kama mke hapati mahitaji yake ya kutosha Na mume amezembea,,, mke hali haangaliwi,,, wapo waume hawana khabari Kwa kuvaa kwa mke, matumizi ya mke, mapambo ajinunulia mwenyewe mke,, mume hana khabari,,, utapata inafika wakati mke kachoka hajui kula kizuri, nguo nzuri, Pesa za mume hazionekani,,, ndio hupelekea mke akazini ili apate msaada kwengine,,, πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *mume ukisaidiwa Majukumu yako wewe yanayo kupasa uwajibike Na huna khabari nayo, jua mke atakutoka apate mjuzi ajuwae nini mke afaa kufanyiwa* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *Mwanamke kama yuko katika matatizo Hayo,,, anahaqi kwenda kumshati mume Na ikishindikana mke anahaqi ya kudai Talaka Kwa Kuwa mume ameshindwa Na Majukumu yake,, Na isipelekee mke kuchepuka nje, bora kuziba ufa kuliko kujenga ukuta,,,* πŸ₯€πŸ‘‰πŸ» *Wanaume jitambueni Majukumu yenu,,, musiowe ili kupata bure, eti wewe Upo tu, huungi huungami* *Nb* : *WANAUME TUACHE HII TABIA TUCHAKARIKENI TUWE MA HODARI WA KUWAHUDUMIA WAKE ZETU NA KUWAONGOZA NJIA ILIYONYOOKA* *🌹LADHA YA NDOA🌹*

at 10:48 AM

Bagikan ke

0 comments:

Copyright © Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top