๐MKE JIANDAE KWA TENDO LA KUPANDA KITANDANI ๐๐ ❤❤❤❤❤❤ Kwanza kikubwa kwako Usafi...yaani hakikisha Muda wa mumeo kukaribia tu kurudi nenda bafuni unaogaa vizuriii haswaa jisafishe... ๐๐๐๐๐๐ Mke mpenda kuoga maji baridi...unajua mwili hasa na huko kukipigwa na maji baridi kunavyokuwa na msisimko mbona na mmeo mtafurahi eehhh>๐๐๐๐๐๐ >Mke hakikisha tunda safii na limelimwa majani sio msitu huo ni uchafu pia najisi>>> ๐ผRudi piga mswaki mdomo utakuwa freshhhh>> ๐ผRudi jivalishe nguo yako kwa mitego mitego au vaa bikini>>> ๐ผRudi chukua udi mke najifukize Vizuri hadi kwenye uke... ๐ผUdi kuwa nazo aina nyingi sio mmeo azoee aina moja au akuzoee na harufu moja na kama hiyo siku utokuwa na udi basi tumia manukato.... ๐ผNajua kuna wale watauliza unavaa hivyo na watoto au familia...jamani vaa hivyo jifunike hata kitenge ukifika kitandani kitoe... ๐ผMmeo akirudi sasa apokewe kwa busu kisha..mpelekee maji bafuni andaa chakula..akirudi mkaushe maji nae umpake manukato kisha avae msuli ili ufunue tu wakati wa raha baada ya kula mwombe apige mswaki ili ulimi upate raha ๐ผJamani kama kuna watoto peleka hata chakula chumbani mkalishane hukooo...yani mtegee tu wazi hatomaliza chakula ๐ผKingine panda kitandani uwe hata na pipi vile mdomoni raha mdomo unukiee vizuriii Jamani hakuna kitu kinaudhi kama uko na mmeo kitandani ananuka mdomoo au unanuka ๐ผTia mapambo ya kumvutia mmeo kama shanga, hereni, mkufu, wanja na kipini cha pua basi msubiri umchokoze na penzi murua ๐ผHapo sasa kuandaana kwa kuamsha hisia mkiwa tayari mnapeana haki kwa mikao tofauti kama KIBAO CHA MBUZI, MENDE, MIBINUKO, NNE, MBUZI KAGOMA, huku vitaulo na maji ya uvuguvugu ili kujifuta na rahaa sana endapo mtashirikiana hadi mtosheke yaani na usingizi mkitoka apo kuoga pamoja mkasuguane hata mkimalizia bafuni rahaa tu ๐POLE UNAE CHUKIA NDOA ⌚ ๐POLE MLIOPANGA NYUMBA leteni na vingine tupeane mbinu ndoa zidumu
No comments:
Post a Comment