💫🌷JINSI YAKUTENGENEZA UDI MWENYEWE UKIWA NYUMBANI🌷💫 🌷Nunua vijiti vya Oud kilo moja, kwa Zanzibar vijiti vinapatikana kwa Swaleh madawa na kwengine jaribu kuulizia wanauza dawa zakisunnah 🌷Roweka vijiti vyako kwenye chupa yenye mfuniko alafu roweka kwa muda wa wiki moja, roweka kwa mafuta ya manukato mazuri na makali kwa muda wa wiki moja 🌷MAFUTA YANAWEZA KUWA AINA HII AU NYENGINE🌷 Ward Sheikha Rashiqa Montana Musk Mwenyewe utatizama dukani utakayopenda 🌷Baada ya Wiki 🌷Sukari kilo mbili 🌷Mafuta tola tano( Aina ya mafuta ya manukato makali na mazuri) 🌷Chemsha Sukari na maji M paka iwe nzito kama ya visheti. Ipua weka chini Tia udi ulouroweka changanya vizuri utandaze kwenye sinia funika vizuri. 🌷 Acha upoe waweza ukaweka tena mafuta yako na kuuroweka tena kwa muda wa angalau siku tano ili uzidi kuwa mzuri 🌷MWANAMKE UREMBO NI ASILI YAKE🌷

at 11:24 AM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top