Home → simulizi
→ *LOVE BITE EP 02*
ILIPOISHIA………..
Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza.
”who a Jonathan by the way??”
Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale.
SONGA NAYO…..
Mawazo yalimuandama Jothan kwa kile alichotendewa na Bahati. Lakini alikubali moyoni kuwa msemo wa wahenga kuwa tenda wema nenda zako hawakukosea kusema hivyo.
Aliamua kusahau yote ya nyuma ingawaje ubongoni alikosa tafsiri. Alijua kuwa msaada wowote utakaompa mtu basi hujawekeza chochote zaidi ya maumivu pindi utakapo fadhila kutoka kwake.
Likizo yake ilipoisha alienda kazini kama kawaida. Alishangaa mabadiliko Fulani aliyoyaona pale ofisini. Meza yake alikuwa amekaa mtu mwingine kabisa.
“salama kaka.” Alisalimia Jothan baada ya kumsogelea yule mtu aliyekaa nafasi yake.
“safi tu.” Aliitikia yule mtu ambaye alionekana kuendelea na kazi yake kama kawaida.
“samahani, nadhani wewe ni mgeni hapa. Hicho kiti ulichokalia ni changu.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule mtu ambaye alikua anamshangaa tu na kujifanya hajasikia na kuendelea na mahesabu yake.
“sina taarifa zozote hapa juu yako wewe, kwa hiyo hiki kiti nimepangiwa na bosi mkuu na hakuniambia kama nitahitajika kutoka ukija wewe.” Aliongea yule mtu kwa kujiamini.
Jothan aliona kuwa alikuwa anapoteza muda kuongea na yule mtu. Maamuzi ya kuingia ofisini kwa bosi wake yalimjia na kuamua kwenda huko.
“Mr.Jothan, hukupata barua yako mapokezi pale nje?” aliongea basi wake hata kabla ya salamu.
“barua?…barua gani?” aliuliza Jothan kwa mshangao mkuu.
“we nenda ukaichukue… utakachokikuta ndio utajua hiyo barua inahusu nini.” Aliongea bosi wake na kumfanya Jothan kuzidi kushangaa mambo yanavyoenda.
Muonekana wa bosi wake ulikuwa tofauti kabisa na muonekano wa kila siku aliokuwa nao. Alionekana kama mtu aliyemkasirikia Jothan wakati alitakiwa kuonyesha hali ya kumlaki ikiwezekana kumpandisha cheo Jothan kwa kufanya kazi kubwa ya kuirudisha kampuni katika hali yake ya kawaida.
Jothan alitoka mpaka mapokezi na kumuangalia yule dada wa mapokezi.
“doh.. nilishasahau. Kuna barua yako Mr. Jothan.” Aliongea yule dada wa mapokezi huku akishika kichwa chake baada ya kumuona Jothan kuonyesha ishara kuwa alipitiwa kumpa ile barua kabla hajaingia ndani.
“ndio nimeifuata.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule dada aliyeinama na kuanza kupekua barua kadhaa alizokuwa nazo na kutoa moja yenye jina la Jothan na kumkabidhi.
Jothan aliichukua ile barua na kuifungua. Hakuamini kitu kilichandikwa kwenye ile barua. Hakuamini kuwa anaweza kufukuzwa kazi kwa kosa ambalo hajawahi kulifanya. Kampuni ilikuwa inamtuhumu kwa kuisababishia hasara kampuni yake huko Morogoro jambo ambalo halikuwa na ukweli ndani yake. Hasara ilitokea kabla hajaenda na yeye ndio aliyesababisha mpaka baadhi ya wahujumu wa kampuni yake kugunduliwa na kuiweka kampuni hiyo katika hali inayoridhisha kwa sasa.
Taarifa hizo zilimchanganya na kumfanya arudi tena kwa bosi wake.
“kilichoandikwa humo ndio uamuzi wangu,.. bila shuruti naomba utoke ofisini kwangu.”
Aliongea bosi wake na kukataa katukatu kumsikiliza hoja zake.
Jothan aliona kama mikosi mfululizo inazidi kumuandama. Hakubishana na mtu. Aliamua kusaini alipotakiwa kusaini na kwenda NSSF kwa ajili ya kufuatilia mafao yake.
Kwakua vyeti vyake vilikua vimependeza, hakuchukua muda mrefu kupata kazi kwenye kampuni nyingine. Huko alipewa cheo kikubwa zaidi ya alichokuwa nacho kwenye kampuni yake ya zamani. Hapo aliamini kuwa mungu hakuumba ugonjwa bali ulikuwa na dawa yake. Alimshukuru mungu kwa kupata sehemu iliyokuwa inathamini uwezo wake wa utendaji wa kazi tena kwa muda mfupi.
Saikolojia na mahusiano ndilo jambo pekee lililompa chati kwa haraka hapo ofisi kwao kutokana na wateja wengi waliokuwa wakiwasiliana na yeye alipokuwa ofisi yake aliyokwa anafanya kazi zamani wote walihamia kwenye ofisi hiyo mpya.
Miezi nane baada kampuni ilimuandalia tafrija kutokana na kuipa jina na mafanikio makubwa kampuni hiyo ambayo ilikuwa haijulikani japo kuwa ilikuwa na miaka mitatu toka ianzishwe.
Zawadi alizopewa hata yeye hakuzitegemea. Alipewa na gari aina ya prado mpya kabisa kutokana na mchango wake mkubwa ndani ya kampuni hiyo.
Baada ya sherehe hiyo kuisha, watu walitawanyika kwenda makwao. Jothan akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwake, kwa mbali alimuona msichana mrembo akimpa ishara ya kuomba lifti kwake. Bila hiyana alipunguza mwendo na kupaki pembeni kidogo.
Alipigwa na butwaa baada ya kumuona mtu mwenyewe anayeomba lifti. Hata baada ya yule msichana kumuona Jothan alishtuka kidogo na kuonyesha ishara ya kutoamini kwamba angekutana na Jothan maeneo yale.
“wewe, za miaka?” aliongea Jothan na kufungua mlango wa prado yake ambayo ndio kwa mara ya kwanza inatembea kwenye lami ya Tanzania toka ilipoagiziwa huko nchi za ng`ambo.
Yule dada alipanda na kukaa nae siti ya mbele.
“sikutarajia kama ipo siku nitaonana na wewe” aliongea yule dada na kuvua miwani yake na kuiweka kwenye pochi yake.
Jothan alimuangalia yule msichana aliyevaa gauni fupi lililomuonyesha mapaja. Juu alivalia kikoti cheusi na kofia aina ya Cow boy.
Muonekana wa yule binti ulizidi kuvutia japo kuwa ni muda mrefu Jothan hakumuona yule msichana. Weupe asilia na wa kujiongezea pia ulizidi kumfanya yule dada asijulikane kama ni Mtanzania au kachanganya na watu kutoka nchi za ughaibuni. Nywele za bandia alizobandika zililingana na muonekano wa Marichui. Tabasamu lilipasua midomo minene iliyopendezeshwa na kimsitari chembamba kilichokuwa katikati ya meno yake ndio kilikuwa kivutio kingine kwenye sura ya yule dada.
Hakua mwembamba, pia hakua na unene uliomfanya kuchukiza. Alijua kuutumia mwili wake kwa kukataa tumbo kubwa na kuyafanya maziwa yake kujitegemea yenyewe bila kutumia sidiria.
Hayo yote yalibainika haraka kutokana na mtoko alionyuka siku hiyo.
“hata mimi, yaani nikikumbuka siku ile sijui ilikuaje mpeka nikapitiwa na usingizi.” Aliongea Jothan na kuonyesha kuwa kichwa chake kilikua kimehifadhi kumbumbu kubwa toka mara ya mwisho kuonana na binti yule aliyeushitua moyo wake kabla ya kukutana na Bahati.
“una kumbukumbu wewe.. kwani wewe unaishi wapi?” aliuliza yule dada.
“naishi kinondoni kwa manyanya.” Aliongea Jonathan na kumfanya yule dada kupigwa na butwaa.
“sasa mbona mimi nakaa kinondoni kanisani baada ya kituo cha Biafra?… na mpaka nashuka nilikuacha ndani gari!” aliongea yule dada na kumfanya Jonathan kutabasamu.
“unafikiri niliamka tena?.. yaani nilipitiliza kituo na kwenda kuamshwa na konda gari ilipofika mwenge.” Aliongea Jonathan huku akiendesha gari yake hiyo mpya kwa umakini mkubwa.
Waliongea mengi ikiwemo kujuana majina na kupeana namba za simu. Jothan alimfikisha yule dada mpaka kanisani kituo anachoshukia na yeye akageuza gari na kurudi kwake.
Kwakua saa ilisoma ni saa mbili usiku, aliamua kwenda kuoga na kulala moja kwa moja kutokana na uchovu wa shughuli yao.
Macho hayakufumba haraka japokuwa alikuwa kitandani kwa takribani masaa matatu. Alikizunguka kitanda chote na kukumbatia mito huku akijenga taswira ya kuwa na msichana yule waliokuwa wameonana kitambo lakini hawakupata nafasi ya kuongea kama siku hiyo. Alitabasamu peke yake kila wakati huku ubongo wake ukijaribu kumpa data muhimu za uzuri wa msichana huyo kila nukta aliyokuwa akifanya jambo lolote lililoukosha moyo wake.
Hakujua alilala saa ngapi, ila alishtushwa na alarm yake iliyokua inamuamsha kila siku saa moja kamili asubuhi.
Aliichukua simu yake na kukuta sms tatu zilizomtakia asubuhi njema kutoka kwenye namba aliyoi save kwenye simu yake jina la SHANI.
Alitabasamu na kuzijibu zile sms na kuondoka kwenda kazini baada ya kumaliza kunywa chai aliyoiandaa mwenyewe.
Walipiga story kwenye simu alipokuwa njiani na msichana huyo na kukubaliana kukutana kwenye chakula cha mchana Bondeni hotel iliyokuwa magomeni.
Kwakua alikua hana kazi nyingi ofisini kulingana na siku yenyewe ilikua nusu siku kwao. Siku ya ijumaa waliitumia kumalizia viporo tu na kazi za siku hiyo walizihesabu kuanza nazo wiki ijayo.
Japokuwa alikua si mfuatiliaji, Jonathan aliingia facebook na kutafuta jina analo litumia Shani kwenye mtandao huo wa jamii. Baada ya kulitafuta alilipata na kuanza kuperuzi picha za binti huyo. Hakika muonekano wake ulizidi kumfanya Jothan azidi kuwa na hamu ya kuwa naye. Alikua ni binti ambaye hayuko nyuma wala kupitwa na wakati. Alijua jinsi ya kupangilia nguo na pozi zilizowaacha hoi watu wengi waliomuona. Kila picha aliyopiga ilikuwa na comments zisizopungua mia mbili kutoka kwa marafiki zake waliokuwa wanazikubali pigo zake.
Akiwa amezama mtandaoni huku akizifurahia picha za Shani, muda wa kwenda kupata chakula cha mchana uliwadia na Jothan akazima computer yake aina ya apple iliyokuwa mezani kwake na kwenda kwenye gari yake kuitafuta Bondeni hotel ilipo.
Baada ya dakika chache alishawasili maeneo hayo na kuchukua simu yake ili ampigie Shani na kumpa taarifa kuwa ameshafika walipo ahidiana kukutana.
Kabla hajabonyeza kitufe cha kupigia, moyo wake ulipatwa na mshituko wa ajabu baada ya kuangalia mbele ya meza kadhaa za kwenye hotel hiyo na kumuona Bahati akiwa na bosi wake wa zamani wakilishana huku wakiwa hawana habari.
LAliamua kuheshimu hisia za ke na kupiga simu kwa Shani.
“umefika wapi babie” aliongea Jothan baada ya salamu.
“nimeshafika wangu, wewe upo upande gani?” aliuliza Shani kwenye simu.
“nipo upande wa mlango wa kuingilia hotelini kabisa…. Upande wa chakula huku.” Aliongea Jothan na Shani akakata simu baada ya kumuona.
Mavazi aliyovaa Shani yalizi kumpagawisha Jothan, kila mtu aliyemuona hakusita kuyagandisha macho yake kwa mdada huyo mwenye uzuri wa ajabu.
Hatua za Shani zilimfikisha kwa Jothan na kusalimiana kisha wakaingia ndani pamoja.
Macho ya Bahati yaligongana na Jothan ambaye alikuwa na msichana mzuri Shani pembeni yake. Bahati aliangalia pembeni na kujifanya hajamuona Jothan na kuendelea kulishana na mpenzi wake. Jothan naye hakujishughulisha nao, aliwaangalia tu na kuwapita. Akaenda kutafuta sehemu nzuri yenye upepo na kukaa.
“uliniambia unaisha peke yako, kwa nini sasa?” aliuliza Shani baada ya kukaa na kuletewa vitu walivyoagizwa.
“si unajua kuwa bado sijampata mwanamke wa kuishi nae, ndio maana nimekuwa mpweke pale nyumbani.” Aliongea Jothan na kutabasamu.
“jamani, wanawake wote waliojaa hapa mjini, ukizingatia your so handsome. Unanitania wewe?” aliomgea Shani na kucheka.
“sikutanii, huo ndio ukweli wenyewe. Nipo single mwenzio.” Aliongea Jothan na kucheka.
“ila kaka una moyo wa ajabu sana.” Aliomgea Shani na kumuacha Jothan njia panda.
“kwanini unasema hivyo?” aliuliza Jothan.
“unajua toka siku ya kwanza tuliyoonana mimi na wewe kule coco beach, sijui kwanini ila niseme ukweli nilitokea kuvutiwa na tabia yako. Maana angekuwa mtu mwengine baada ya kutoa ofa tu basi angeanza kutusumbua mara unaitwa nani mara nipeni namba zenu za simu. Lakini wewe ulikuwa bize na mambo yako na ulipochoka ulituaga na kuondoka zako…. Kusema ukweli nilivutiwa sana na tabia yako.” Alionge Shani na kumfanya Jothan atabasamu.
“mi naamini kama unampenda mtu si lazima mpaka umpe ofa ndio uanze kumuelezea… hata mimi nilivutiwa na wewe sema nilishindwa kukueleza kwakua ulikua na marafiki zako na nilihofia pia kuniona msumbufu kwakua niliwapa ofa.” Aliongea Jothan na kumfanya Shani atabasamu.
Walimaliza kula na na kutoka mule hotelini, Jothan hakuwaona tena wakina Bahati na hapo ndipo aipogundua sababu ya kuachishwa kazi.
Alitikisa kicwa kama ishara ya kusikitika na kuelekea kwenye gari yake na kumpakiza Shani ambaye kwa muonekana hawakuwa na tofauti na wapenzi wawapo out.
Kama kawaida yake,. Alimfikisha Shani kituo cha kanisani na yeye akarudi kwake.
Usiku wa siku ya jumamosi ilikuwa ni siku Spacial ya mtoko kati ya Shani na Jothan kwenda club. Walifika club na kucheza mziki vya kutosha na kila mmoja aliifurahia ile siku.
Walirudi nyumbani pamoja, na Shani kwa mara ya kwanza akaingia nyumbani kwa Jothan. Kwakua walikuwa wamelewa, walilala wote mpaka asubuhi bila kufanya lolote na kuamka asumbuhi. Waliangaliana na kucheka huku kila mmoja akiwa hana kumbukumbu sawa sawa kuwa ilikuwaje mpaka wakalala wote chumba kimoja tena kila mtu akiwa amelala kivyake.
Mazoea yalizidi mpaka ikafikia wakati Shani akawa anapewa ufunguo wa nyumba na Jothan ambaye akirudi kazini alikuta nyumba safi na amepikiwa chakula kizuri. Upishi wa Shani haukufanana na muonekano wa ke. Wasichana wengi wazuri jikoni huwa hamna kitu. Lakini yeye alikua anatoa vitu ambavyo akati mwengine Jothan alishindwa kuvumilia na kumwambia kuwa alikua anataka kumuoa kabisa ili awe anampkia daima.
Uakaribu ukajenga penzi moto moto lililowashinda mpaka wenyewe na kujikuta Shani amehamia kabisa nyumbani kwa Jothan.
Maisha ya furaha na yenye raha tele yalizidi kujijenga kwa Jothan. Hakuwa na mawazo tena zaidi ya kumshukuru mungu kwa kumpamsichana ambaye hata yeye alikuwa na mapenzi a kweli kwake.
Kuna siku ambazo Shani alikua analala na Jothan na siku nyingine alikuwa analala kwao kutokana na kuwa bado hajawa mke wake halali. Jothan alivizia siku ambayo Shani hayupo mule ndani na kuamua kufungua kabati yake ambayo ilijaa siri zake nyingi za maisha yake na kumbukumbu mbali mbali zinazomuhusu yeye. Vitu vilivyofaa alivirudisha kwenye kabati na vingine ambavyo vilikuwa havifai kwa usalama wa penzi lake alivichukua kwa lengo la kuvitia moto.
Baada ya kupekua muda mrefu, aliibamba alburm moja iliyokuwa na picha kadhaa za zamani toka yupo shule. Baada ya kufungua kurasa kadhaa, alishtuka baada ya kuona picha ya msichana mzuri aliyekuwa amemkumbatia huku wanatabasamu. Mawazo yalimpeleka mbali sana.
***************************
Ilikua siku ya aina yake baada ya Jothan kupelekwa katika mashinadano na Shule aliyokuwa anasoma. Mashindano hayo yalikuwa yanatafuta mshindi wa mdahalo kwa lugha ya kiingereza. Kila shule ilitakiwa itoe wanafunzi wawili. Wakiume na wakike.
Mwanafunzi wa kiume alichaguliwa yeye kutokana na kuwa na lafudhi nzuri na ya kuvutia kwenye lugha hiyo. Ingawaje alikua kidato cha pili, lakini shule ilimuamini na kuona kuwa ni yeye pekee ndio anafaa kutokana na uwezo wake kwenye somo hilo na vile anavyojiamini.
Mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa shule ya sekondari Jitegemee.
Kwanza ufunguzi ulifanyika na Bendi ya shule hiyo kwa kupiga ala za muziki zilizokuwa zikifuatishwa na watu wate waliohudhuria pale. Kulikua na shule zisizopungua Arobaini.
Kila shule iliwakilishwa kwenye sekta mbali mbali, wapo walioigiza kiingereza na wengine waruka sarakasi. Shule za international zenyewe zilishindana kwenye mdahalo uliokuwa wakibishana kati ya watoto wa mitaani na walio shueni, wapi wanaoharibiwa zaidi na utandawazi?.
Mada hiyo ilibeba ubishani mkubwa lakini Jothan aliweza kuifanya shule yake kuibuka kidedea kutokakana na hoja kali na zenye uzito alizokuwa akizitoa kwenye utetezi na kuwashindwa wapinzani wake.
Walipowa wakipata chakula baada ya shindano, dada mmoja aliyekuwa shule pinzani alimfuata na kumuomba akae nae kwenye meza moja.
“hamna shida, karibu” aliongea Jothan na yule dada akaweka chakula chake na kuanza kumuuliza Jothan maswali.
“nifaye nini ili niweze kuongea kingereza kizuri kama wewe?” aliuliza yule dada na kumuangalia Jothan
“ni kazi rahisi, kwanza kipende na kuwa na juhudi nacho, ni lazima utakuwa na uwezo wa kukitumia utakavyo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu.
“hivi unaitwa nani?” aliuliza yule dada baada ya kimya kifupi kupita.
“Jothan” alijibu Jothan kifupi.
“wooh.. nice name,… mimi naitwa Prisca.” Alijitambulisha yule msichana,
“Prisca, jina la mama yangu hilo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu.
“una simu?” aliuliza Prissca.
“ndio.” Alijibu Jothan huku akijua ni kitu gani kilifuata baada ya Prisca kumuuliza swali lile.
“unaonaje tukipeana contact sababu nahitaji sana ushauri wako na ukaribu pia kati yangu mimi na wewe kama hautajali.” Aliongea yule dada na Jothan alianza kumtajia namba zake na yule dada alitoa simu yake na kuandika zile namba alizokuwa anatajiwa. Baada ya kuihifadhi kwenye kitabu cha simu yake, alimbipu Jothan nay eye akai hifadi pia.
Waliagana na kila mmoja akarudi kwao baada ya kuruhusiwa. Kesho yake Jothan alienda shuleni kwao na kupongezwa na mwalimu mkuu baada ya kupigwa kengele ya dharula na wanafunzi wote kukusanyika msitarini. Alimpongeza. pia mwalimu wa Jothan kwa kumpa muongozo mzuri.
Aliporudi nyumbani, aliiwasha simu yake na baada ya sekunde kadhaa message tatu ziliingia mfululizo. Alipofungua zote zilikua za Prisca. Na zote zilimtaka akutane naye kama atakuwa na muda.
Kwakua kwenye simu yake kulikuwa na vocha za kutosha. Aliamua kumuendea hewani.
“niambie” aliongea Jothan baada ya simu yake kupokelewa upande wa pili.
“safi tu, nilikuwa nahitaji kuonana na wewe leo kama utakuwa na muda.” Aliongea Prisca na kumfanya Jothan kutabasamu.
“tutaonana wapi sasa?” aliuliza jothan huku akionyesha wazi kuafiki swala la kuonana na binti huyo.
“popote tu utakapoamua wewe.” Aliongea Prisca na kumpa mwanya Jothan wa kuchagua.
“sio mbaya kama tukikutana namanga, au wewe una semaje?” aliongea Jothan.
“poa, saa ngapi?.” Aliuliza Prisca.”
“mida hii mi najiandaa, nafikiri tukutane baada ya saa limoja kutoka sasa.” Aliongea Jothan.
“poa” alijibu yule msichana na Jothan akakata simu. Jothan alienda kuoga haraka na kuvaa nguo zake nzuri mpaka mama yake akamshangaa.
“wapi tena hiyo mwanangu?” aliuliza mama yake Jothan baada ya kumuona mwanaye amependeza kupita kiasi.
“naenda maktaba kujisomea.” Aliongopa Jothan ili kukwepa maswali mengi kutoka kwa mama yake ambaye alikuwa anampiga vita juu ya kujihusisha na mahusiano na watoto wa kike
Jothan alishuka namanga walipopanga kukutana na yule msichana. Dakika tano baade, Prisca naye alishuka na kukutana na Jothan.
Mavazi aliyovaa Prisca yalimpendeza sana na kumfnaya Jothan kidogo moyo umshtuke kumuona msichana huyo ambaye ndio mara ya kwanza kukatana nae akiwa nje ya sare za shule.
Aliduwaa kwa muda akiutathmini uzuri wa msichana huyo mgeni kwake mwenye kasi ya ajabu.
“wooo.. umependeza sana.” Alisifia Jothan baada ya kukutana na yule msichana.
“sikushindi wewe.” Alijibu yule msichana na kutabasamu.
“kwakua muda bado unaruhusu, unaonaje tukichukua bajaji twende coco beach tukapate kipupwe na kufurahisha nafsi zetu.”
Alishauri jothan na kumuangalia msichana huyo aliyemvutia kila akimtazama.
“ok, nadhani itakuwa poa zaidi.”
Aliongea Prisca na safari ya kuelekea coco beach ilianza mara moja baada ya kupata bajaji ya kukodi iliyowafikisha salama maeneo hayo.
Walitembea huku ha huko huko wakila cone na crips. Watu walikuwa wengi na kuchangamsha eneo hilo. Tamasha pia lilikuwepo na baadhi ya wasanii wa bongo flavour walifika na kutumbuiza kwenye ufukwe huo uliomiminika watu kila dakika.
Kutokana na kutopenda makelele, Jothan na Prisca walienda kwenye mapango ambapo kulikuwa na watu wachache wakiwa wametulia na wapenzi wao. Na wao waliafuta sehemu tulivu na kukaa na kuongea yao.
Wakiwa wamejisahau baada ya kuzama kwenye stori na vicheko vya hapa na pale, ghafla wakajikuta wamezungukwa na watu watatu na mmoja wao akiwa amevalia mavazi ya kiaskari.
“aroo, mna fanya nini hapa?” aliuliza yule askari aliyevalia sare kwa ukali.
“sisi…sisi tumekaa tu.” Alijibu Jothan huku akitetemeka.
“mmekaa tu, mbona mmejitenga?” aliuliza askari huyo na kudakiwa na mwenzake aliyekuwa amevaa nguo za kiraia lakini akiwa na pingu kama nne kiunoni mwake.
“walikuwa wanafanya ufuska hawa.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kukataa kwa kutikisa kichwa. Uoga uliwa jaa kupita kiasi. Huyo Prisca ndio kabisaa, hakuweza kufanya lolote zaidi ya kuanza kulia.
“wewe si mwanafunzi?” aliuliza yule askari huku akiendelea kumkazia macha Jothan
“hapana.” Alikanusha Jothan
“na wewe msichana si bado mwanafunzi wewe?”
Yule askari alimgeukia Prisca na kumuuliza kiukali na kumfanya azidi kuogopa na kijasho cha uoga kiliamza kumtiririka.
“ndio..bado mwanafunzi afande.” Alijibu kiuoga Prisca.
“sasa wewe unaenda kufungwa miaka thelethini jela, unamrubuni mwanafunzi?,,,mfunge pingu mara moja.”
Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kushangaa. Hakuamini kuwa wale maaskari walikuwa na nia ya kuwakamata. Alizunguka askari yule mwenye pingu na kumfunga Jothan mikononi.
Walichukuliwa wote wawili na kwenda nao pembeni ambapo waliwakuta wavulana wengi rika mbali mbali waliokuwa wamekamatwa na wapenzi wao waliokuwa kule mapangoni.
Wavulana waliitwa mmoja mmoja na kuhojiwa na baadae waliruhusiwa baada ya kutoa faini kutokana na kosa hilo la kukaa faragha mapangoni kitu ambacho maaskari wanaolinda eneo hilo wamekataza.
Waliwaacha Jothan na Prisca wa mwisho kama walivyo wakamata.
“unajua kuwa kutembea na mwanafunzi ni kosa kisheria na adhabu yake ni kubwa sana. Sasa usipoteze muda. Una shilingi ngapi tuwaachie?” aliongea askari aliyekuwa anawahoji wale watu waliowakamata.
“hapa nimebakiwa na shilingi elfu nane tu.” Aliongea Jothan kiunyonge.
“sasa hiyo elfu nane tutagawanaje?.. acha utani dogo utaenda kuozea segerea.” Aliongea yule askari na kuanza kumsachi Jothan. Aligundua kuwa ni kweli salio lake lilikuwa elfu nane. Alimuita Prisca na kumuuliza.
“una shilingi ngapi ili tuwaachie?” aliuliza yule askari na kumuangalia Prisca ambaye bado alikuwa analia.
“elfu ishirini.” Alijibu Prisca.
“zilete hapa, haya na wewe zilete hizo elfu nane zako.” Aliongea yule afande na wote wakatii haraka na kutoa hela walizokuwa nazo.
“mna nauli?” aliuliza yule afande na baada ya kupokea zile hela zote.
“hatuna, hela zote ndio hizo.” Alijibu Jothan.
Yule afande alichomoa elfu tatu na kuwapa kama nauli.
“haya poteeni haraka, msirudie tena kujiingiza kwenye vitendo vinavyoshawishi ngono sawa..haya potea kabla sijabadili maamuzi.”
Alipiga mkwara yule askari na wao wakaondoka haraka. Hawakuwa na hamu ya kuendelea kukaa pale coco beach, waliamua kuondoka. Walipofika kituoni waliagana na kila mmoja akapanda magari yaendayo kwao.
Walipigiana simu na kila mmoja alimtaarifu mwenzake juu ya kufika salama nyumbani kwao. Kisanga kilichowakuta ilibaki kuwa siri yao. Hakuna aliyediriki kumuhadithia mtu yeyote.
Mapenzi ya kishule shule yalianza taratibu na mwosho wakajikuta wanapendana kiukweli na hakuna aliyeridhika kupita siku bila tukio la kuonana. Walimaliza elimu yao ya kidato cha nne huku mapenzi yakiendelea kati yao.
Waliridhika kuonana na kuchat kupitia simu na mitandao ya kijamii.
Jothan alipomaliza kidato cha nne alichaguliwa kwenda kibaha kumalizia elimu yake ya kidato cha tano na sita. Alifaulu vizuri na kwenda chuo kikuu morogoro.
Huo ndio ulikuwa mwanzo wa kupotezana na Prisca. Kwani alipoteza simu na akaamua kubadisha line wakati namba ya Prisca haikuwa kichwani mwake kutokana na tabia ya Prisca kutodumu na namba mmoja muda mrefu.
Alimuwaza sana mpenzi wake huyo waliyekutana enzi za shule na kukua pamoja. Hakua na jinsi zaidi ya kupiga kitabu baada ya kuona anapoteza muda kumuwaza mtu ambaye hata kwao walipo hivi sasa hapafahamu. Hii ni baada ya kupewa taarifa za kuhama Prisca pale walipokuwa wana kaa mwanzo baada ya kuuza nyumba yao.
*****************
Mawazo yalirudi tena kwenye ile picha na kuamua kuificha bila kuichoma moto kama alivyotaka mwanzo kufanya. Badala yake alienda sehemu ambayo kulikuwa na hati ya nyumba yake na kuiweka ile picha katikati. Ni kweli Prisza alikuwa anampenda na hawakuwahi kuachana. Ni muingiliano tu wa maisha ndi uliowatenganisha. Moyo wake aliona kama si haki kuichoma ile picha kwakua bado alikua na nafasi ndani ya moyo wake japokuwa kuonana na msichana huyo ni ngumu sana. Hata alipomaliza chuo alijitahidi kumtafuta bila mafanikio. Mpaka muda huu anajitegemea ni kipindi kirefu cha miaka sita tuko walipokutana na Prisca kwa mara ya mwisho.
Mawazo ya msichana huyo wa kwanza katika maisha yake yalimchanganya kichwa na hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali matokea na kuanzisha ukurasa mwengine wa maisha yake kwenye mapenzi na shani
Baada ya usafi huo wa kabati lake, aliamua kujilaza kitandani na usingizi ukamchukua.
ITAENDELEA
*LOVE BITE EP 02* ILIPOISHIA……….. Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza. ”who a Jonathan by the way??” Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale. SONGA NAYO….. Mawazo yalimuandama Jothan kwa kile alichotendewa na Bahati. Lakini alikubali moyoni kuwa msemo wa wahenga kuwa tenda wema nenda zako hawakukosea kusema hivyo. Aliamua kusahau yote ya nyuma ingawaje ubongoni alikosa tafsiri. Alijua kuwa msaada wowote utakaompa mtu basi hujawekeza chochote zaidi ya maumivu pindi utakapo fadhila kutoka kwake. Likizo yake ilipoisha alienda kazini kama kawaida. Alishangaa mabadiliko Fulani aliyoyaona pale ofisini. Meza yake alikuwa amekaa mtu mwingine kabisa. “salama kaka.” Alisalimia Jothan baada ya kumsogelea yule mtu aliyekaa nafasi yake. “safi tu.” Aliitikia yule mtu ambaye alionekana kuendelea na kazi yake kama kawaida. “samahani, nadhani wewe ni mgeni hapa. Hicho kiti ulichokalia ni changu.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule mtu ambaye alikua anamshangaa tu na kujifanya hajasikia na kuendelea na mahesabu yake. “sina taarifa zozote hapa juu yako wewe, kwa hiyo hiki kiti nimepangiwa na bosi mkuu na hakuniambia kama nitahitajika kutoka ukija wewe.” Aliongea yule mtu kwa kujiamini. Jothan aliona kuwa alikuwa anapoteza muda kuongea na yule mtu. Maamuzi ya kuingia ofisini kwa bosi wake yalimjia na kuamua kwenda huko. “Mr.Jothan, hukupata barua yako mapokezi pale nje?” aliongea basi wake hata kabla ya salamu. “barua?…barua gani?” aliuliza Jothan kwa mshangao mkuu. “we nenda ukaichukue… utakachokikuta ndio utajua hiyo barua inahusu nini.” Aliongea bosi wake na kumfanya Jothan kuzidi kushangaa mambo yanavyoenda. Muonekana wa bosi wake ulikuwa tofauti kabisa na muonekano wa kila siku aliokuwa nao. Alionekana kama mtu aliyemkasirikia Jothan wakati alitakiwa kuonyesha hali ya kumlaki ikiwezekana kumpandisha cheo Jothan kwa kufanya kazi kubwa ya kuirudisha kampuni katika hali yake ya kawaida. Jothan alitoka mpaka mapokezi na kumuangalia yule dada wa mapokezi. “doh.. nilishasahau. Kuna barua yako Mr. Jothan.” Aliongea yule dada wa mapokezi huku akishika kichwa chake baada ya kumuona Jothan kuonyesha ishara kuwa alipitiwa kumpa ile barua kabla hajaingia ndani. “ndio nimeifuata.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule dada aliyeinama na kuanza kupekua barua kadhaa alizokuwa nazo na kutoa moja yenye jina la Jothan na kumkabidhi. Jothan aliichukua ile barua na kuifungua. Hakuamini kitu kilichandikwa kwenye ile barua. Hakuamini kuwa anaweza kufukuzwa kazi kwa kosa ambalo hajawahi kulifanya. Kampuni ilikuwa inamtuhumu kwa kuisababishia hasara kampuni yake huko Morogoro jambo ambalo halikuwa na ukweli ndani yake. Hasara ilitokea kabla hajaenda na yeye ndio aliyesababisha mpaka baadhi ya wahujumu wa kampuni yake kugunduliwa na kuiweka kampuni hiyo katika hali inayoridhisha kwa sasa. Taarifa hizo zilimchanganya na kumfanya arudi tena kwa bosi wake. “kilichoandikwa humo ndio uamuzi wangu,.. bila shuruti naomba utoke ofisini kwangu.” Aliongea bosi wake na kukataa katukatu kumsikiliza hoja zake. Jothan aliona kama mikosi mfululizo inazidi kumuandama. Hakubishana na mtu. Aliamua kusaini alipotakiwa kusaini na kwenda NSSF kwa ajili ya kufuatilia mafao yake. Kwakua vyeti vyake vilikua vimependeza, hakuchukua muda mrefu kupata kazi kwenye kampuni nyingine. Huko alipewa cheo kikubwa zaidi ya alichokuwa nacho kwenye kampuni yake ya zamani. Hapo aliamini kuwa mungu hakuumba ugonjwa bali ulikuwa na dawa yake. Alimshukuru mungu kwa kupata sehemu iliyokuwa inathamini uwezo wake wa utendaji wa kazi tena kwa muda mfupi. Saikolojia na mahusiano ndilo jambo pekee lililompa chati kwa haraka hapo ofisi kwao kutokana na wateja wengi waliokuwa wakiwasiliana na yeye alipokuwa ofisi yake aliyokwa anafanya kazi zamani wote walihamia kwenye ofisi hiyo mpya. Miezi nane baada kampuni ilimuandalia tafrija kutokana na kuipa jina na mafanikio makubwa kampuni hiyo ambayo ilikuwa haijulikani japo kuwa ilikuwa na miaka mitatu toka ianzishwe. Zawadi alizopewa hata yeye hakuzitegemea. Alipewa na gari aina ya prado mpya kabisa kutokana na mchango wake mkubwa ndani ya kampuni hiyo. Baada ya sherehe hiyo kuisha, watu walitawanyika kwenda makwao. Jothan akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwake, kwa mbali alimuona msichana mrembo akimpa ishara ya kuomba lifti kwake. Bila hiyana alipunguza mwendo na kupaki pembeni kidogo. Alipigwa na butwaa baada ya kumuona mtu mwenyewe anayeomba lifti. Hata baada ya yule msichana kumuona Jothan alishtuka kidogo na kuonyesha ishara ya kutoamini kwamba angekutana na Jothan maeneo yale. “wewe, za miaka?” aliongea Jothan na kufungua mlango wa prado yake ambayo ndio kwa mara ya kwanza inatembea kwenye lami ya Tanzania toka ilipoagiziwa huko nchi za ng`ambo. Yule dada alipanda na kukaa nae siti ya mbele. “sikutarajia kama ipo siku nitaonana na wewe” aliongea yule dada na kuvua miwani yake na kuiweka kwenye pochi yake. Jothan alimuangalia yule msichana aliyevaa gauni fupi lililomuonyesha mapaja. Juu alivalia kikoti cheusi na kofia aina ya Cow boy. Muonekana wa yule binti ulizidi kuvutia japo kuwa ni muda mrefu Jothan hakumuona yule msichana. Weupe asilia na wa kujiongezea pia ulizidi kumfanya yule dada asijulikane kama ni Mtanzania au kachanganya na watu kutoka nchi za ughaibuni. Nywele za bandia alizobandika zililingana na muonekano wa Marichui. Tabasamu lilipasua midomo minene iliyopendezeshwa na kimsitari chembamba kilichokuwa katikati ya meno yake ndio kilikuwa kivutio kingine kwenye sura ya yule dada. Hakua mwembamba, pia hakua na unene uliomfanya kuchukiza. Alijua kuutumia mwili wake kwa kukataa tumbo kubwa na kuyafanya maziwa yake kujitegemea yenyewe bila kutumia sidiria. Hayo yote yalibainika haraka kutokana na mtoko alionyuka siku hiyo. “hata mimi, yaani nikikumbuka siku ile sijui ilikuaje mpeka nikapitiwa na usingizi.” Aliongea Jothan na kuonyesha kuwa kichwa chake kilikua kimehifadhi kumbumbu kubwa toka mara ya mwisho kuonana na binti yule aliyeushitua moyo wake kabla ya kukutana na Bahati. “una kumbukumbu wewe.. kwani wewe unaishi wapi?” aliuliza yule dada. “naishi kinondoni kwa manyanya.” Aliongea Jonathan na kumfanya yule dada kupigwa na butwaa. “sasa mbona mimi nakaa kinondoni kanisani baada ya kituo cha Biafra?… na mpaka nashuka nilikuacha ndani gari!” aliongea yule dada na kumfanya Jonathan kutabasamu. “unafikiri niliamka tena?.. yaani nilipitiliza kituo na kwenda kuamshwa na konda gari ilipofika mwenge.” Aliongea Jonathan huku akiendesha gari yake hiyo mpya kwa umakini mkubwa. Waliongea mengi ikiwemo kujuana majina na kupeana namba za simu. Jothan alimfikisha yule dada mpaka kanisani kituo anachoshukia na yeye akageuza gari na kurudi kwake. Kwakua saa ilisoma ni saa mbili usiku, aliamua kwenda kuoga na kulala moja kwa moja kutokana na uchovu wa shughuli yao. Macho hayakufumba haraka japokuwa alikuwa kitandani kwa takribani masaa matatu. Alikizunguka kitanda chote na kukumbatia mito huku akijenga taswira ya kuwa na msichana yule waliokuwa wameonana kitambo lakini hawakupata nafasi ya kuongea kama siku hiyo. Alitabasamu peke yake kila wakati huku ubongo wake ukijaribu kumpa data muhimu za uzuri wa msichana huyo kila nukta aliyokuwa akifanya jambo lolote lililoukosha moyo wake. Hakujua alilala saa ngapi, ila alishtushwa na alarm yake iliyokua inamuamsha kila siku saa moja kamili asubuhi. Aliichukua simu yake na kukuta sms tatu zilizomtakia asubuhi njema kutoka kwenye namba aliyoi save kwenye simu yake jina la SHANI. Alitabasamu na kuzijibu zile sms na kuondoka kwenda kazini baada ya kumaliza kunywa chai aliyoiandaa mwenyewe. Walipiga story kwenye simu alipokuwa njiani na msichana huyo na kukubaliana kukutana kwenye chakula cha mchana Bondeni hotel iliyokuwa magomeni. Kwakua alikua hana kazi nyingi ofisini kulingana na siku yenyewe ilikua nusu siku kwao. Siku ya ijumaa waliitumia kumalizia viporo tu na kazi za siku hiyo walizihesabu kuanza nazo wiki ijayo. Japokuwa alikua si mfuatiliaji, Jonathan aliingia facebook na kutafuta jina analo litumia Shani kwenye mtandao huo wa jamii. Baada ya kulitafuta alilipata na kuanza kuperuzi picha za binti huyo. Hakika muonekano wake ulizidi kumfanya Jothan azidi kuwa na hamu ya kuwa naye. Alikua ni binti ambaye hayuko nyuma wala kupitwa na wakati. Alijua jinsi ya kupangilia nguo na pozi zilizowaacha hoi watu wengi waliomuona. Kila picha aliyopiga ilikuwa na comments zisizopungua mia mbili kutoka kwa marafiki zake waliokuwa wanazikubali pigo zake. Akiwa amezama mtandaoni huku akizifurahia picha za Shani, muda wa kwenda kupata chakula cha mchana uliwadia na Jothan akazima computer yake aina ya apple iliyokuwa mezani kwake na kwenda kwenye gari yake kuitafuta Bondeni hotel ilipo. Baada ya dakika chache alishawasili maeneo hayo na kuchukua simu yake ili ampigie Shani na kumpa taarifa kuwa ameshafika walipo ahidiana kukutana. Kabla hajabonyeza kitufe cha kupigia, moyo wake ulipatwa na mshituko wa ajabu baada ya kuangalia mbele ya meza kadhaa za kwenye hotel hiyo na kumuona Bahati akiwa na bosi wake wa zamani wakilishana huku wakiwa hawana habari. LAliamua kuheshimu hisia za ke na kupiga simu kwa Shani. “umefika wapi babie” aliongea Jothan baada ya salamu. “nimeshafika wangu, wewe upo upande gani?” aliuliza Shani kwenye simu. “nipo upande wa mlango wa kuingilia hotelini kabisa…. Upande wa chakula huku.” Aliongea Jothan na Shani akakata simu baada ya kumuona. Mavazi aliyovaa Shani yalizi kumpagawisha Jothan, kila mtu aliyemuona hakusita kuyagandisha macho yake kwa mdada huyo mwenye uzuri wa ajabu. Hatua za Shani zilimfikisha kwa Jothan na kusalimiana kisha wakaingia ndani pamoja. Macho ya Bahati yaligongana na Jothan ambaye alikuwa na msichana mzuri Shani pembeni yake. Bahati aliangalia pembeni na kujifanya hajamuona Jothan na kuendelea kulishana na mpenzi wake. Jothan naye hakujishughulisha nao, aliwaangalia tu na kuwapita. Akaenda kutafuta sehemu nzuri yenye upepo na kukaa. “uliniambia unaisha peke yako, kwa nini sasa?” aliuliza Shani baada ya kukaa na kuletewa vitu walivyoagizwa. “si unajua kuwa bado sijampata mwanamke wa kuishi nae, ndio maana nimekuwa mpweke pale nyumbani.” Aliongea Jothan na kutabasamu. “jamani, wanawake wote waliojaa hapa mjini, ukizingatia your so handsome. Unanitania wewe?” aliomgea Shani na kucheka. “sikutanii, huo ndio ukweli wenyewe. Nipo single mwenzio.” Aliongea Jothan na kucheka. “ila kaka una moyo wa ajabu sana.” Aliomgea Shani na kumuacha Jothan njia panda. “kwanini unasema hivyo?” aliuliza Jothan. “unajua toka siku ya kwanza tuliyoonana mimi na wewe kule coco beach, sijui kwanini ila niseme ukweli nilitokea kuvutiwa na tabia yako. Maana angekuwa mtu mwengine baada ya kutoa ofa tu basi angeanza kutusumbua mara unaitwa nani mara nipeni namba zenu za simu. Lakini wewe ulikuwa bize na mambo yako na ulipochoka ulituaga na kuondoka zako…. Kusema ukweli nilivutiwa sana na tabia yako.” Alionge Shani na kumfanya Jothan atabasamu. “mi naamini kama unampenda mtu si lazima mpaka umpe ofa ndio uanze kumuelezea… hata mimi nilivutiwa na wewe sema nilishindwa kukueleza kwakua ulikua na marafiki zako na nilihofia pia kuniona msumbufu kwakua niliwapa ofa.” Aliongea Jothan na kumfanya Shani atabasamu. Walimaliza kula na na kutoka mule hotelini, Jothan hakuwaona tena wakina Bahati na hapo ndipo aipogundua sababu ya kuachishwa kazi. Alitikisa kicwa kama ishara ya kusikitika na kuelekea kwenye gari yake na kumpakiza Shani ambaye kwa muonekana hawakuwa na tofauti na wapenzi wawapo out. Kama kawaida yake,. Alimfikisha Shani kituo cha kanisani na yeye akarudi kwake. Usiku wa siku ya jumamosi ilikuwa ni siku Spacial ya mtoko kati ya Shani na Jothan kwenda club. Walifika club na kucheza mziki vya kutosha na kila mmoja aliifurahia ile siku. Walirudi nyumbani pamoja, na Shani kwa mara ya kwanza akaingia nyumbani kwa Jothan. Kwakua walikuwa wamelewa, walilala wote mpaka asubuhi bila kufanya lolote na kuamka asumbuhi. Waliangaliana na kucheka huku kila mmoja akiwa hana kumbukumbu sawa sawa kuwa ilikuwaje mpaka wakalala wote chumba kimoja tena kila mtu akiwa amelala kivyake. Mazoea yalizidi mpaka ikafikia wakati Shani akawa anapewa ufunguo wa nyumba na Jothan ambaye akirudi kazini alikuta nyumba safi na amepikiwa chakula kizuri. Upishi wa Shani haukufanana na muonekano wa ke. Wasichana wengi wazuri jikoni huwa hamna kitu. Lakini yeye alikua anatoa vitu ambavyo akati mwengine Jothan alishindwa kuvumilia na kumwambia kuwa alikua anataka kumuoa kabisa ili awe anampkia daima. Uakaribu ukajenga penzi moto moto lililowashinda mpaka wenyewe na kujikuta Shani amehamia kabisa nyumbani kwa Jothan. Maisha ya furaha na yenye raha tele yalizidi kujijenga kwa Jothan. Hakuwa na mawazo tena zaidi ya kumshukuru mungu kwa kumpamsichana ambaye hata yeye alikuwa na mapenzi a kweli kwake. Kuna siku ambazo Shani alikua analala na Jothan na siku nyingine alikuwa analala kwao kutokana na kuwa bado hajawa mke wake halali. Jothan alivizia siku ambayo Shani hayupo mule ndani na kuamua kufungua kabati yake ambayo ilijaa siri zake nyingi za maisha yake na kumbukumbu mbali mbali zinazomuhusu yeye. Vitu vilivyofaa alivirudisha kwenye kabati na vingine ambavyo vilikuwa havifai kwa usalama wa penzi lake alivichukua kwa lengo la kuvitia moto. Baada ya kupekua muda mrefu, aliibamba alburm moja iliyokuwa na picha kadhaa za zamani toka yupo shule. Baada ya kufungua kurasa kadhaa, alishtuka baada ya kuona picha ya msichana mzuri aliyekuwa amemkumbatia huku wanatabasamu. Mawazo yalimpeleka mbali sana. *************************** Ilikua siku ya aina yake baada ya Jothan kupelekwa katika mashinadano na Shule aliyokuwa anasoma. Mashindano hayo yalikuwa yanatafuta mshindi wa mdahalo kwa lugha ya kiingereza. Kila shule ilitakiwa itoe wanafunzi wawili. Wakiume na wakike. Mwanafunzi wa kiume alichaguliwa yeye kutokana na kuwa na lafudhi nzuri na ya kuvutia kwenye lugha hiyo. Ingawaje alikua kidato cha pili, lakini shule ilimuamini na kuona kuwa ni yeye pekee ndio anafaa kutokana na uwezo wake kwenye somo hilo na vile anavyojiamini. Mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa shule ya sekondari Jitegemee. Kwanza ufunguzi ulifanyika na Bendi ya shule hiyo kwa kupiga ala za muziki zilizokuwa zikifuatishwa na watu wate waliohudhuria pale. Kulikua na shule zisizopungua Arobaini. Kila shule iliwakilishwa kwenye sekta mbali mbali, wapo walioigiza kiingereza na wengine waruka sarakasi. Shule za international zenyewe zilishindana kwenye mdahalo uliokuwa wakibishana kati ya watoto wa mitaani na walio shueni, wapi wanaoharibiwa zaidi na utandawazi?. Mada hiyo ilibeba ubishani mkubwa lakini Jothan aliweza kuifanya shule yake kuibuka kidedea kutokakana na hoja kali na zenye uzito alizokuwa akizitoa kwenye utetezi na kuwashindwa wapinzani wake. Walipowa wakipata chakula baada ya shindano, dada mmoja aliyekuwa shule pinzani alimfuata na kumuomba akae nae kwenye meza moja. “hamna shida, karibu” aliongea Jothan na yule dada akaweka chakula chake na kuanza kumuuliza Jothan maswali. “nifaye nini ili niweze kuongea kingereza kizuri kama wewe?” aliuliza yule dada na kumuangalia Jothan “ni kazi rahisi, kwanza kipende na kuwa na juhudi nacho, ni lazima utakuwa na uwezo wa kukitumia utakavyo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu. “hivi unaitwa nani?” aliuliza yule dada baada ya kimya kifupi kupita. “Jothan” alijibu Jothan kifupi. “wooh.. nice name,… mimi naitwa Prisca.” Alijitambulisha yule msichana, “Prisca, jina la mama yangu hilo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu. “una simu?” aliuliza Prissca. “ndio.” Alijibu Jothan huku akijua ni kitu gani kilifuata baada ya Prisca kumuuliza swali lile. “unaonaje tukipeana contact sababu nahitaji sana ushauri wako na ukaribu pia kati yangu mimi na wewe kama hautajali.” Aliongea yule dada na Jothan alianza kumtajia namba zake na yule dada alitoa simu yake na kuandika zile namba alizokuwa anatajiwa. Baada ya kuihifadhi kwenye kitabu cha simu yake, alimbipu Jothan nay eye akai hifadi pia. Waliagana na kila mmoja akarudi kwao baada ya kuruhusiwa. Kesho yake Jothan alienda shuleni kwao na kupongezwa na mwalimu mkuu baada ya kupigwa kengele ya dharula na wanafunzi wote kukusanyika msitarini. Alimpongeza. pia mwalimu wa Jothan kwa kumpa muongozo mzuri. Aliporudi nyumbani, aliiwasha simu yake na baada ya sekunde kadhaa message tatu ziliingia mfululizo. Alipofungua zote zilikua za Prisca. Na zote zilimtaka akutane naye kama atakuwa na muda. Kwakua kwenye simu yake kulikuwa na vocha za kutosha. Aliamua kumuendea hewani. “niambie” aliongea Jothan baada ya simu yake kupokelewa upande wa pili. “safi tu, nilikuwa nahitaji kuonana na wewe leo kama utakuwa na muda.” Aliongea Prisca na kumfanya Jothan kutabasamu. “tutaonana wapi sasa?” aliuliza jothan huku akionyesha wazi kuafiki swala la kuonana na binti huyo. “popote tu utakapoamua wewe.” Aliongea Prisca na kumpa mwanya Jothan wa kuchagua. “sio mbaya kama tukikutana namanga, au wewe una semaje?” aliongea Jothan. “poa, saa ngapi?.” Aliuliza Prisca.” “mida hii mi najiandaa, nafikiri tukutane baada ya saa limoja kutoka sasa.” Aliongea Jothan. “poa” alijibu yule msichana na Jothan akakata simu. Jothan alienda kuoga haraka na kuvaa nguo zake nzuri mpaka mama yake akamshangaa. “wapi tena hiyo mwanangu?” aliuliza mama yake Jothan baada ya kumuona mwanaye amependeza kupita kiasi. “naenda maktaba kujisomea.” Aliongopa Jothan ili kukwepa maswali mengi kutoka kwa mama yake ambaye alikuwa anampiga vita juu ya kujihusisha na mahusiano na watoto wa kike Jothan alishuka namanga walipopanga kukutana na yule msichana. Dakika tano baade, Prisca naye alishuka na kukutana na Jothan. Mavazi aliyovaa Prisca yalimpendeza sana na kumfnaya Jothan kidogo moyo umshtuke kumuona msichana huyo ambaye ndio mara ya kwanza kukatana nae akiwa nje ya sare za shule. Aliduwaa kwa muda akiutathmini uzuri wa msichana huyo mgeni kwake mwenye kasi ya ajabu. “wooo.. umependeza sana.” Alisifia Jothan baada ya kukutana na yule msichana. “sikushindi wewe.” Alijibu yule msichana na kutabasamu. “kwakua muda bado unaruhusu, unaonaje tukichukua bajaji twende coco beach tukapate kipupwe na kufurahisha nafsi zetu.” Alishauri jothan na kumuangalia msichana huyo aliyemvutia kila akimtazama. “ok, nadhani itakuwa poa zaidi.” Aliongea Prisca na safari ya kuelekea coco beach ilianza mara moja baada ya kupata bajaji ya kukodi iliyowafikisha salama maeneo hayo. Walitembea huku ha huko huko wakila cone na crips. Watu walikuwa wengi na kuchangamsha eneo hilo. Tamasha pia lilikuwepo na baadhi ya wasanii wa bongo flavour walifika na kutumbuiza kwenye ufukwe huo uliomiminika watu kila dakika. Kutokana na kutopenda makelele, Jothan na Prisca walienda kwenye mapango ambapo kulikuwa na watu wachache wakiwa wametulia na wapenzi wao. Na wao waliafuta sehemu tulivu na kukaa na kuongea yao. Wakiwa wamejisahau baada ya kuzama kwenye stori na vicheko vya hapa na pale, ghafla wakajikuta wamezungukwa na watu watatu na mmoja wao akiwa amevalia mavazi ya kiaskari. “aroo, mna fanya nini hapa?” aliuliza yule askari aliyevalia sare kwa ukali. “sisi…sisi tumekaa tu.” Alijibu Jothan huku akitetemeka. “mmekaa tu, mbona mmejitenga?” aliuliza askari huyo na kudakiwa na mwenzake aliyekuwa amevaa nguo za kiraia lakini akiwa na pingu kama nne kiunoni mwake. “walikuwa wanafanya ufuska hawa.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kukataa kwa kutikisa kichwa. Uoga uliwa jaa kupita kiasi. Huyo Prisca ndio kabisaa, hakuweza kufanya lolote zaidi ya kuanza kulia. “wewe si mwanafunzi?” aliuliza yule askari huku akiendelea kumkazia macha Jothan “hapana.” Alikanusha Jothan “na wewe msichana si bado mwanafunzi wewe?” Yule askari alimgeukia Prisca na kumuuliza kiukali na kumfanya azidi kuogopa na kijasho cha uoga kiliamza kumtiririka. “ndio..bado mwanafunzi afande.” Alijibu kiuoga Prisca. “sasa wewe unaenda kufungwa miaka thelethini jela, unamrubuni mwanafunzi?,,,mfunge pingu mara moja.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kushangaa. Hakuamini kuwa wale maaskari walikuwa na nia ya kuwakamata. Alizunguka askari yule mwenye pingu na kumfunga Jothan mikononi. Walichukuliwa wote wawili na kwenda nao pembeni ambapo waliwakuta wavulana wengi rika mbali mbali waliokuwa wamekamatwa na wapenzi wao waliokuwa kule mapangoni. Wavulana waliitwa mmoja mmoja na kuhojiwa na baadae waliruhusiwa baada ya kutoa faini kutokana na kosa hilo la kukaa faragha mapangoni kitu ambacho maaskari wanaolinda eneo hilo wamekataza. Waliwaacha Jothan na Prisca wa mwisho kama walivyo wakamata. “unajua kuwa kutembea na mwanafunzi ni kosa kisheria na adhabu yake ni kubwa sana. Sasa usipoteze muda. Una shilingi ngapi tuwaachie?” aliongea askari aliyekuwa anawahoji wale watu waliowakamata. “hapa nimebakiwa na shilingi elfu nane tu.” Aliongea Jothan kiunyonge. “sasa hiyo elfu nane tutagawanaje?.. acha utani dogo utaenda kuozea segerea.” Aliongea yule askari na kuanza kumsachi Jothan. Aligundua kuwa ni kweli salio lake lilikuwa elfu nane. Alimuita Prisca na kumuuliza. “una shilingi ngapi ili tuwaachie?” aliuliza yule askari na kumuangalia Prisca ambaye bado alikuwa analia. “elfu ishirini.” Alijibu Prisca. “zilete hapa, haya na wewe zilete hizo elfu nane zako.” Aliongea yule afande na wote wakatii haraka na kutoa hela walizokuwa nazo. “mna nauli?” aliuliza yule afande na baada ya kupokea zile hela zote. “hatuna, hela zote ndio hizo.” Alijibu Jothan. Yule afande alichomoa elfu tatu na kuwapa kama nauli. “haya poteeni haraka, msirudie tena kujiingiza kwenye vitendo vinavyoshawishi ngono sawa..haya potea kabla sijabadili maamuzi.” Alipiga mkwara yule askari na wao wakaondoka haraka. Hawakuwa na hamu ya kuendelea kukaa pale coco beach, waliamua kuondoka. Walipofika kituoni waliagana na kila mmoja akapanda magari yaendayo kwao. Walipigiana simu na kila mmoja alimtaarifu mwenzake juu ya kufika salama nyumbani kwao. Kisanga kilichowakuta ilibaki kuwa siri yao. Hakuna aliyediriki kumuhadithia mtu yeyote. Mapenzi ya kishule shule yalianza taratibu na mwosho wakajikuta wanapendana kiukweli na hakuna aliyeridhika kupita siku bila tukio la kuonana. Walimaliza elimu yao ya kidato cha nne huku mapenzi yakiendelea kati yao. Waliridhika kuonana na kuchat kupitia simu na mitandao ya kijamii. Jothan alipomaliza kidato cha nne alichaguliwa kwenda kibaha kumalizia elimu yake ya kidato cha tano na sita. Alifaulu vizuri na kwenda chuo kikuu morogoro. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa kupotezana na Prisca. Kwani alipoteza simu na akaamua kubadisha line wakati namba ya Prisca haikuwa kichwani mwake kutokana na tabia ya Prisca kutodumu na namba mmoja muda mrefu. Alimuwaza sana mpenzi wake huyo waliyekutana enzi za shule na kukua pamoja. Hakua na jinsi zaidi ya kupiga kitabu baada ya kuona anapoteza muda kumuwaza mtu ambaye hata kwao walipo hivi sasa hapafahamu. Hii ni baada ya kupewa taarifa za kuhama Prisca pale walipokuwa wana kaa mwanzo baada ya kuuza nyumba yao. ***************** Mawazo yalirudi tena kwenye ile picha na kuamua kuificha bila kuichoma moto kama alivyotaka mwanzo kufanya. Badala yake alienda sehemu ambayo kulikuwa na hati ya nyumba yake na kuiweka ile picha katikati. Ni kweli Prisza alikuwa anampenda na hawakuwahi kuachana. Ni muingiliano tu wa maisha ndi uliowatenganisha. Moyo wake aliona kama si haki kuichoma ile picha kwakua bado alikua na nafasi ndani ya moyo wake japokuwa kuonana na msichana huyo ni ngumu sana. Hata alipomaliza chuo alijitahidi kumtafuta bila mafanikio. Mpaka muda huu anajitegemea ni kipindi kirefu cha miaka sita tuko walipokutana na Prisca kwa mara ya mwisho. Mawazo ya msichana huyo wa kwanza katika maisha yake yalimchanganya kichwa na hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali matokea na kuanzisha ukurasa mwengine wa maisha yake kwenye mapenzi na shani Baada ya usafi huo wa kabati lake, aliamua kujilaza kitandani na usingizi ukamchukua. ITAENDELEA
Artikel Terkait
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SITA (06) ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO: Siku ya pili, vicent alitoka mapema nyumbani, aliwahi shule kabla hata ya rafiki zake. Hii yote ni kutokana hata usingizi haukupatikana,kutokana na mawazo aliyo nayo. Alikuta baadhi ya wanafunzi wapo darasani, Alifika akakaa kwenye kiti na kufungua begi,kuchukua kitabu na kuanza kusoma. Ila hata sijui nini kilimtuma kutazama mbele maaana alijikuta anatoa macho. ENDELEA....... Alijikuta Anatoa macho, baada ya kuona,marafiki zake nao wamewahi shule. Aiseeee vicent alichekaaaa sana, mpka akajishika tumbo. "hadi nyinyi mmewahi leo aaah kweli mtihani siyo poa".aliongea vicent huku anawatazama kwa zamu. "mimi mwenyewe sijaamini nilivyo kuona ndo maana nikasimama mlangoni nihakikishe ni wewe au hahhhhhah".aliongea Richard huku anaelekea kule alipo vicent.ila cha kushangaza suma akuchangia neno zaidi ya kuachia tabasamu na kutembea kwenda walipokuwa wenzake. "aiseeee kama tuliambizana yani"aliongea tena vicent. Hapo suma ndo na yeye akanyanyua,mdomo wake na kuongea. " hivi unajua kwanini nimeshindwa kuongea chochote?,nikwasababu naona uchuro hapo nje nimekutana na rich, hapa nakuona wewe, nikawa najiuliza hivi hawa waliambizana nini mimi wamenichunia ila nimewabamba".aliongea suma,huvu anavuta kiti anakaa. "hii ili iweje sasa imetokea tu"alijibu richard. "sisi hatuwezi kukufanyia hivyo kwasababu sote ni wamoja". Alisema vicent, suma hakuwa na neno. " oyaa tusomeni basi kabla muda wa kwenda mstalini aujafika"aliongea tena vicent. "poa mwanangu umeongea point" alijibu suma.basi kikapita kimyaa,kila mtu alifanya yakeee kwa muda huo. ******* Mwezi ulipita,hatimae miezi, na si vicent, wala niram aliye kumbuka kama walishawahi kuonana. Basi ilikuwa weekend, moja walionekana marafiki, watatu wakiwa wamesimama stendi ya mabasi,si wengine bali ni vicent, richard na suma wakiwa wamevalia nguo za nyumbani.ilibaki kama wiki mbili wafanye mtihani. Ilionyesha kuwa walikuwa wamelewa kwenye maongezi sasa sijui vicent, walikuwa wanasubiri usafiri maana vicent hakuwa na gari siku hiyo. Mara gaflaa walishtushwa na sauti, nyororo iliotokea,barabarani. "vicentiiiiiiiiiiiii" ilikuwa sauti ya niramu, aliekuwa ndani ya range nyekundu, huku akiwa amependa,kupindukia wanasemaga kadamshi, ile mbayaaaa. Wote macho yalikuwa mbele,ila hakuna mtu alieshtuka kama vicent, maana akutegemea kuonana na binti yule ana muwaza siku zote. Na ilikuwa muda Awajaonana. Kiukweli vicent, moyo ulikuwa unampenda mbio vibaya.ila alijikaza, huku nyuma suma pamoja na richard, aisee!! Macho yaliwatoka maana walishindwa kuelewa, wanae muona machoni mwao, ni jini au malaika. Vicent alijikongoja mpaka kwenye dirisha la gari, na kumsababishia niram. " mambo niram siamini kama ni wewe, kumbe unani nakumbuka? ".alijikuta anaongea mfululizo vicent huku akiuliza, swali humohumo. "poa vicent, nakukumbuka sana vp leo huna usafiri? Maana naona kama mpo wenyewe mnasubiri usafiri? ".aliuliza niram,huku macho akiwaelekezea wakina rich. "aaah ndiyo tunamsubiri dereva tax mmoja hivi,katuambia hayupo mbali".alijibu vicent huko akiangalia huku na kule kama anaetafuta kitu. "haah kwani mnaelekea wapili niwape lifti?maana mimi naelekea mbezi"aliuliza niram. Vicent akapiga mahesabu ya haraka,alafu akaongea. "aaah! Wale wanarudi nyuma ila mimi naenda kunduchi" alijibu vicent. Ila wadau ngoja niwaambie kitu, vicent ameongopa, kwasababu wenzie wanaenda kawe sawa yeye anaenda kunduchi, ila njia ni ileile wameachwa wakina suma, yeye angeendelea mbele, ila aliamua kusema vile ili aweze, kutupa ndoano Kiulaini. Tuendelee, basi niram akamwambia "basi twende nikupe lifti waage wenzio".vicent akachomoka na kuwafata, wenzie alimkuta suma anashauku si mchezo. " vipi yule ndo yule demu uliesema? Na anaelekea wapi ili atupe lift basi kama vipi" alijikuta anaongea maneno,mfululizo na swali juu. "hamna aendi huko kaniambia nimsindikize kariakoo".aliongea vicent huku anageuka nyuma, akagongana macho na niram,wote wakatabasamu. "duuuh mwana kwahiyo umetuacha? ".aliongea richard huku anakazia macho kwenye gari. "aaah aina jinsi ila chukueni hii mpande tax".alisema vicent huku anazamisha mkono mfukoni na kutoa noti tatu za elfu kumi akamkabidhi suma. Suma alizichukua na kuzitia mfukoni. "oyaaa Usikose kutupigia ukifika home"alisema rich. Na suma akadakia. "ndiyo utupe data zote maana duuuh! Mpaka nakuonea wivu".vicent hakutia neno aliishia kutabasamu huku Anaendelea kutembea, basi aliingia ndani ya gari, huku ukimya mwingi ulitawala.vicent akaona avunje ukimya, "basi nilijua utanisahau kabisa".aliongea Vicent Huku ametoa tabasamu hafifu usoni mwake, Huku macho yanatazama mbele. "Ooooh!!Hapana siwezi kukusahau,mtu muhimu Kama wewe Kwa ule Msaada wako ".aliongea Niram,huku anamwangalia Vicent, macho yakakutana, wote wakatabasamu, Niram akageuka mbele na kuendelea, kuushika usukani akizidi kukanyaga mafuta. "hahhhhah!! Ni kweli niram lakini Siyo wote wanao kumbuka fadhila".aliongea Vicent ,Huku kimoyomoyo akiomba wasifike haraka. "haaahhh sawa bwana Wala ujaongopa, ".aliongea niram,huku akizidi kuuchapa mwendo, na bahati nzuri hakukuwa na foleni. "niram nikuombe kitu Kama hutojali? ".aliuliza Vicent Huku amemgeukia kabisa, aliongea Kwa sauti nzito, tens yakubembeleza. "usijali Kama kipo Ndani ya uwezo wangu ntakupa".alijibu niram. Vicent hakaona asizubae Sana, akasema alilokusudia."nilikuwa naomba unisaidie namba yako ya simu ili niwe nawasiliana nawe hata kukujulia Hali,maana tushakuwa marafiki".aliongea Vicent,kwa umakini wa hali ya juu ili asije kukosea step,akamkwaza Niram. " Ooooh!! Wala usijali Kwa hilo".alisema niram, huku anamtajia namba zake. Vicent aliziandika kwenye simu yake. " asante sana".alishukuru vicent. "asante nawe kwa kushukuru".alijibu niram, mara ikawa kama vituo viwili vicent ashuke. "sasa niram mie nashuka hapo kituo kinachofuata utaniacha hapo" aliongea vicent, lakini kama ungemuona moyoni mwake, alichukia kupita kiasi, alitamani wazunguke mpaka alfajiri. Duuuuh kweli mapenzi siyo poa wadau. "haaah ni hapo oky sawa"alijibu niram, na alipofika, akakanyaga break, na kusimamamisha gari. "oooh!!asante sana umenifaa mungu akufikishe salama".aliongea vicent huku anafungua mlango wa gari na kushuka. "haya asante ufike salama pia".alijibu niram, akawasha gari na kuishia, vicent alibaki anampungia mkono, mpaka alipo ishia. Kiukweli ile siku aliiona ya bahati sana kwake, hakika alikuwa na furaha mno. Alifika kwao. Akagonga geti likafunguliwa, alikuta mlinzi akamsalimu, na kuingia ndani hakumkuta yeyote ndani zaidi ya house girl. Alimsalimia akajitupa kitandaniii , pwaaaaaaah!! Aliangalia sana juu vicent, hakika kuwa na namba ya niram,kwake ilikuwa ni furaha tupu. ********* Vanessa alikuwa mezani wakipata chakula cha usiku, maana leo ilikuwa weekend kwahiyooo alikuwa mwenyewe jikoni, ila leo mawazo yalipungua kwani mawasiliano yalikuwa kama zamani na hadi asubuhi ya siku hiyo, vicent alimuaga kuwa atatoka na wakina richard. Mara ghafla alishtukia, akizibwa macho. "mmmh juliana nini bwana,ebu acha mzaha njoo ule"aliongea vanessa. " mmmh dada kwahiyo wewe mtu wako wa karibu ni Vanessa tu? ".aliuliza kwa manung'uniko Clara. Mdogo wake wa nne akitoka huyo ndo juliana, kumbuka wakiume ni wawili kwenye familia yao na ndio wakwanza na wapili. "hamna mamy wote nawapenda ila nilijua yeye, kaa chini ule mdogo wangu".aliongea Vanessa kwa sauti ya kubembeleza,huku akimvuta akae. Basi mambo yakaisha,walikula kwa furaha, wazazi na kaka zao hawakuwepo, walibaki wenyewe. ********* Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita...... Itaendelea CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SABA (07) ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA: Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita. endelea........ Mara gafla akaona simu inaanza kuita. Niram akaangalia mpigaji, akaona namba ngeni. " mmh! Atakuwa Nani huyu?".alijiuliza niram, alitafakari Sana maana sikawaida kupigiwa na namba ngeni, baada ya kutafakari kwa muda.akaamua kupokea. "hellow".aliitika niram. "hallow Niram huko poa?, Vicent hapa". Ilisikika sauti upande wa pili."oooh! Vicent nashukuru mungu niko poa sijui wewe ulifika salama? ".alijibu niram nakupachika swali. "nilifika salama niram hofu ilikuwa kwako".alisema vicent. "namimi nashukuru mungu nimefika salama".alijibu niram kwa sauti nyororo kabisa. ****** Vanessa alikuwa ndani kwake akaona mbona muda unaenda sana,na ajaona msg wala simu kupigwa kutoka kwa vicent. Alikaa akasubiri na kusubiri weeeeh lakini ikawa kimya. "mmmh!! Ina maana itakuwa ajarudi bado huko alipoenda"alijisemea mwenyewe, akaona muda unaenda lakini simu aipigwi. "mmh ngoja nipige"aliamua apige yeye, akachukua simu yake na kuipiga. Jibu alilokutana nalo ni NAMBA UNAYOPIGA INATUMIKA KWA SASA.. "mmmh saa tano hii au ndo amerudi hivyo anaongea na wenzie kuwa julisha kuwa amerudi?".alijiuliza jibu akakubaliana kuwa anawasiliana na rafiki zake. ****** Huku vicent akiwa anaongea, akaona kama kuna mlio wa simu nyengine kuingia akaiangalia , alipoona mpigaji kuwa ni Vanessa akaendelea kuongea. Simu iliita mpka ikakata. Waliongea mengi na baadae niram akaaga kuwa anahitaji kupumzika. Basi waliagana na simu ikakatwa. Baada ya hapo alipiga simu kwa Vanessa,huku Akiwa ameshaupanga uongo wa kumwambia. "hellow baby mbona kimya, na napiga unatumika?".aliongea vanessa mara baada ya kupokea simu. "aaah amna nilikuwa naongea na mzee maana mchana,hakuwa na nafasi ndo kunitafuta sasahivi".alijibu vicent kwa ujasiri wa hali ya juu,bila kubabaisha maneno. "oooh kumbe haya niambie mizunguko ilikuwaje? ".Aliuliza Vanessa huku alibadili mikao ya kila aina Hapo kitandani. "ilikuwa poa sema nimechoka sana".alijibu vicent huku akijifanya anapiga mihayo. "oooh basi pumnzika baba angu tutaongea kesho".aliongea Vanessa kwasauti fulani hivi ya madeko. "sawa mama ntakuchek kesho ulale salama"alimaliza kuongea vicent akakata simu. Alienda moja kwa moja bafuni akaoga, maana choo kilikuwa ndani kwake humohumo. Alipomaliza alitoka sebleni muda ulikuwa umeenea sana ila alikuwa bado ajala, alikuta msichana ameshaenda kulala,aliwasha taa ya sebuleni akachukua sahani jikoni nakuenda kula chakula. Mara ghafla akasikia mlango unafunguliwa alikuwa mama yake, "yani wewe Bwana mi nilivyorudi nikaambiwa upo ndani nikajua ushakula".aliongea mama yake vicent,huku anavuta kiti pale sehemu ya kulia chakula akakaa. "hapana mama uwezi amini yani nilipitiwa na usingizi nikalala ndo nimeshtuka sasa hivi".aliongopa vicent, aisee huyu jamaa hatari."ooooh pole baba ni uchovu tu huo"aliongea kwa huruma mama yake. "asante mama".alijibu vicent huku anafakamia wali kwa maini. Basi waliongea mengi mama mtu alinyanyuka, na kuenda kulala. "ukimaliza usisahau kuzima taa baba".aliongea mama yake. "sawa mama ntaizima".vicent alikula akashushia juisi, akaelekea kwenye swichi akazima taa na kuenda kulala. ******* Pilikapilika zilikuwa zinaendelea, katika nyumba ya kina niram.ilikuwa Jumapili kulikuwa na ugeni mkubwa kwao, kuna ndugu zao walikuja.basi yalipikwa masontojoo siyo ya kawaida. Zilisagwa juisi za matunda basi ilikuwa tafrani. Niram akutulia alikuwa bize vibaya. "niram ebu kuongezeae chumvi kwenye biriani kule".ilikuwa sauti ya mama yake. "sawa mama".alijibu huku anaacha alichokuwa anafanya na kwenda kuweka chumvi kwenye chakula. Kila kitu kilikuwa sawa sasa niram alikuwa chumbani anajiandaa akaoge. ******** Suma alipoona ajapigiwa jana, akaona isiwe kesi ngoja amchek yeye maana umbea ulikuwa unamuwasha mtoto wa kiume huyu. Akukubali kitu kimpite hivihivi,yani alikuwa tofauti na richard mwenzie hakuwa mpenda kufuatilia yasiyo muhusu. Basi aliweka vocha akampigia "oyaaa mwanangu unayumba"haliongea suma ."hamna nilichoka sana yani uwezi amini ".alijibu vicent. "eeeh ilikuwaje jana na yule mtoto mzuri?".aliongea suma huku akitegesha masikio vizuri kupata udaku "hahhhhah suma eeh nna kazi kama unataka kuhusu hiyo stori ntakupigia baadae " "ok poa basi usisahau ".alijibu suma huku anakata simu. Ila suma akakumbuka kitu ayaaaaaah!! Daaah!!.Nimesahau kumuuliza Kitu, yeye na haraka zake mpaka nimesahau".aliongea suma huku anamlaumu vicent,kwa uamuzi wa kukata simu haraka. "anyway nitamchek baadae".aliongea suma, mara kisimu chake kikaanza kuita."duuuh huyu somoe ana mpya gani nae mi leo nnampango wa kuonana na hadijaa".alijiseme suma kimoyomoyo ,huku anaangalia ile simu bila kuipokea. Labda niwafafanulie vijitabia vya huyu ismail au kwa ufupi ndo unaweza kumuita suma. Yani suma yupo tofauti na wenzake, suma kwanza ni mwingi wa habari,anapenda kujua mambo ya watu ni mwongeaji mno kuliko wenzake.ajatulia hata kidogo isimpitie sketi mbele yake lazima amfate tu, ila richard na vicent wapo tofauti sana na yeye, richard ana mahusiano na binti mmoja anasoma, shule tofauti na yao. Na ni huyohuyo tu ndo yupo nae. Lakini suma weeeeeeh!! Mwiko mkubwa tena uchuro, kutulia na mwanamke mmoja. Basi baada ya simu kukata akaizima na kuendelea na mambo mengine. ******* Ilikuwa ni mida ya jioni. Wageni wameshaondoka, nyumbani kwa kina niram. Na mama yake kama unavyomjua mtu wa pilikapilika usiseme, alikuwa ameshaenda kuzurura muda mrefu. Aaaaah ahhh!!,sijui muhindi gani huyu mwenye tabia za Kiswahili.ok tuachane nae tuendelee. Basi niram alikuwa amekaa sebuleni peke yake, maana mdada wa kazi hupendelea kukaa ndani kwake kama kazi ameshazimaliza. Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. Itaendelea.... ... Read More
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi (10) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp...... 0769673145 Ilipoishia...... Baada ya dakika kadhaa Frank na Penina waliwasili nyumbani kwa Frank. Wakashuka kwenye bajaji na kuelekea kwenye nyumba ya kina Frank. Walipoufikia mlango Frank alijificha nyuma ya Penina na kumtaka Penina abishe hodi ili wawafanyie surprise Wazazi wake Frank. ***********Endelea ********* Mlango ulifunguliwa na mama yake Frank na kukutana uso kwa uso na Penina. "ooh mwanangu hujambo?" akauliza mama yake Frank. "sijambo mama shikamoo." akasalimia Penina "marahaba karibu ndani." mama yake Frank akamkaribisha Penina. "Asante mama ila nataka nikufanyie surprise." Penina akamwambia mama yake Frank. "hii ipi tena mwanangu usije ukaniue kwa presha." akaongea mama yake Frank, na Muda huo huo baba yake Frank naye akajitokeza sehemu pale na kuungana na mama yake Frank. Penina alisogea pembeni na hapo hapo Frank akajitokeza mbele ya Wazazi wake. Mama yake Frank alijikuta akishindwa kuongea na kumrukia Frank kwa furaha isiyo na kifani. Frank pamoja na Wazazi waliingia ndani huku wakiwa na furaha tele kwa kumuona tena Frank ambaye alitoweka kwa siku kadhaa. Lakini kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kujua ni nini kilimtokea Frank. Frank ilibidi awaeleze kilichomtokea mwanzo mpaka mwisho. Kila mtu alihuzunika kwa hicho kilichomtokea Frank. Lakini pia Penina aliwaeleza pia kilichomkuta kaka yake Nolan na Mpaka Muda ule kaka yake alikuwa bado yupo hospitalini. Lakini hata hivyo furaha ilirejea upya usoni mwa Penina pamoja na Wazazi wake Frank baada ya kumuona Frank kwa Mara nyingine tena. Frank alienda kuoga na kubadilisha nguo Zake zile zilizochakaa na kuvaa nguo zingine nzuri ambazo ziliendana vizuri na yeye. Frank aliondoka na Penina na kuelekea moja kwa moja mpaka Katika hospital aliyopo Nolan kwa ajili ya kumjulia hali. * Lakini kumbe Katika hospital ile, Nolan baada ya kujua kuwa baba yake ndio alimfanyia mchezo ule. Nolan hakubaki tena pale hospitalini alitoroka bila hata kuruhusiwa na daktari na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwao. Penina na Frank baada ya kufika hospitalini pale. Walistaajabu kuambiwa kuwa Nolan hayupo pale hospitalini na hawajui alipoelekea. Penina na Frank waliondoka na kuelekea nyumbani kwa kina Penina wakihisi labda Nolan ameelekea huko. Na kweli baada ya kufika nyumbani kwa kina Penina walimkuta Nolan akiwa ameketi nje ya geti lao huku akionekana kuwa na mawazo tele. "Nolan vip ndugu yangu mbona mawazo tele?" alikuwa Frank akimuuliza Nolan baada ya kumkaribia. Nolan alinyanyua kichwa chake na hakuamini baada ya kumshuhudia Frank akiwa amesimama mbele ya macho yake akiwa pamoja na Frank. "oooh Frank ni wewe?" akauliza Nolan kama vile haamini, Kisha akanyanyuka na kumkumbatia Frank kwa furaha Sana. "nimefurahi Sana kukuona tena Frank, hakika wewe ndio furaha ya mdogo wangu Penina karibu tena Frank." akaongea Nolan kumuambia Frank. Na hapo hapo Nolan akamtaka Frank amueleze ni nini kilichomkuta mpaka akatoweka Muda wote ule. Frank Bila kusita alimuelezea Nolan mkasa mzima uliomkuta wa kutekwa na watu asiowafahamu. Nolan alimhurumia akampa moyo na kumtaka ajikaze kwasababu wana vita nzito mbele yao. Lakini pia Nolan akawaelezea jinsi baba yake mzee Joel alivyomtumia watu waje wamuue kwasababu ya kutetea penzi La Penina na Frank. "ina maana baba anataka akuue?" Penina akamuuliza Nolan kwa mshangao. "ndio nadhani ndio nia yake kwasababu ameona mimi ndio niliyeamua kusimama na kulitetea penzi lenu." akaongea Nolan kwa huzuni Sana. Penina pia alihuzunika Sana mpaka machozi yakaanza kutiririka usoni mwake baada ya kugundua baba yake ndio alipanga njama ya kummaliza Nolan. "lakini msijali kuweni na amani mimi nawakikishia lazima mtaoana na kuwa mume na mke." akaongea Nolan kwa kujiamini. "tunashukuru kusikia hivyo hata sisi tutakuwa pamoja na wewe kwa lolote lile." akaongea Frank naye kwa kujiamini. "Sasa sikilizeni niwaambie, nataka niwasafirishe muende mkakae nchi nyingine kwa miezi miwili alafu mimi nitabakia hapa Tanzania nikifanya taratibu za nyie kufunga ndoa na kila kitu kikiwa tayari nitawajulisha na mtarejea Tanzania kwa ajili ya kufunga ndoa yenu." akaongea Nolan kumwambia Frank na Penina. Bila kipingamizi chochote Penina na Frank walikubaliana na wazo la Nolan na kilichotakiwa ni kwenda kujiandaa na kuondoka. "ngoja bas nikajiandae Mara moja." akaongea Penina, lakini Nolan akamzuia na kumwambia. "usiingie ndani tena, sitaki uonane na baba kuanzia Sasa kila kitu utakachahitaji nitakutimizia mimi, katafuteni hoteli yoyote mkae hapo mkijianda na kama na pesa au kitu chochote mtaniambia mimi." aliongea Nolan kwa msisitizo. "ok tumekuelewa tupo pamoja." akajibu Frank Kisha wakaondoka pamoja na Penina. Nolan alinyanyuka pale chini akagonga geti na kufunguliwa na mlinzi na bila kusema kitu Nolan akaelekea moja kwa moja mpaka sebuleni ambapo alimkuta baba yake mzee Joel akiwa ameketi huku akionekana kuwa na mawazo. "Niko sambamba na wewe kwa chochote kile utakachokifanya, sitajali kama wewe ni baba yangu au nani wangu lakini nachotaka utambue Frank lazima amuoe Penina." akaongea Nolan kumwambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake bila kusikiliza baba yake atasema nini. "wewe lazima nikuue wewe hata kama mimi ni baba yako huwezi kuniingilia Katika mambo yangu." akajisemea mzee Joel na kutoka nje kwa kasi mpaka kwenye gari Lake. Mlinzi alifungua geti na moja kwa moja mzee Joel akatoka kwa kasi mpaka Katika hospital waliyolazwa wakina Zaza. Mzee Joel alishuka kwa kasi kwenye gari Lake na kuelekea mpaka Katika chumba walicholazwa wakina Zaza. "Zaza mlifanya nini mbona mmeniangusha kias hiki?" akaongea mzee Joel kwa jazba. "mzee Joel yule mwanao ni hatari Sana hebu ona tulivyovunjwa vunjwa." akaongea Zaza huku akionesha jinsi walivyopigwa na Nolan . "ni bora mlivyopigwa kuliko hichi kingine kilichoibuka." akaongea mzee Joel na kushika kiuno. "nini tena mzee wangu?" akahoji Zaza huku akiwa anajinyanyua pale kitandani alipokuwa amelala. "Frank amerudi" akajibu mzee Joel na kuwafanya wakina Zaza washangae. "yaani kwa kweli mmeniangusha Sana alafu isitoshe Nolan ameshaanza kuota mapembe na kama nyie mmemshindwa bas itabidi nitafute wababe wengine zaidi yenu na nyie lazima nitawaua pesa niliyowapa ni nyingi Sana lakini hakuna cha maana mlichokifanya pumbavu nyie. " akaongea mzee Joel kwa hasira Kisha akageuka na kuondoka. * Penina na Frank waliwasili kwenye hoteli moja ya kifahari na kufanya taratibu zote na kuchukua chumba kwenye hoteli Ile na kulipia kukaa hapo kwa siku tatu. Lakini Frank aliwapa taarifa Wazazi wake ya jinsi mipango inavyofanyika hivyo akawataka wasiwe na hofu yoyote kuhusu yeye.* Upande wa Nolan yeye alipanga lazima amfundishe adhabu baba yake kwa namna yoyote ile. "Wewe ni baba yangu ndio sikatai, umenitunza vizuri, umenipa elimu ya kutosha Sawa, lakini kwa unyama huu unaotaka kuufanya hakika sitakuacha lazima nitaenda sambamba na wewe." alijisemea Nolan akiwa chumbani kwake akipanga mipango yake. Lakini pia Nolan aliapa kama asipofanikisha ndoa ya Frank na Penina bas atajiua. ............. Itaendelea ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA 28 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. endelea sasa nilitoka pale kitandani na kuelekea mlangoni ile nafungua tu nilikuatana na yule Dada wa kazi tekla akiwa hoi yaani kazidiwa na nyege mana nilimuona akiwa ana jitia vidole kwenye ikulu yake kitendo cha kuniamsha mashetani yangu.nika mwambia atangulie chumbani kwake nakuja mana nilikua uchi na nguo zipo chumbani kwa rose.nililudi chumbani na kumwambia rose tekla alikua natupiga chabo inabidi na yeye nikampe dozi ili asitangaze kama kawaida natembeza formula yangu.alinikubalia nika mpe dozi na yeye mpaka akome kuchungulia wakubwa wakifanya yao mana tekla alikua anacheza kwenye range ya 16-17. huku akinishukuru sana mana nimemkwangua nyege zote.nilichukua nguo zangu ila sikuweza kuzivaa kutokana na maumivu ya dude langu lililo kakamaa likiwa bado lina hasira.niliamini Yale maneno ya rose aliyo niambia ile dawa inabidi nipige bao tano.nilitoka chumbani kwa rose na luelekea chumba cha yule Dada wa kazi tekla nayeye kumkuna kitumbua chake kinacho muwasha nilipo toka kwenye korido nilimwona tekla akinipa ishara nimfate chumbani kwake. wakati naenda nilisikia kurupushani ikiendelea chumba cha yule Dada na mjomba ni mwendo wa miguno tu.nilifika mpaka chumba cha tekla na kumkuta mtoto kajilaza kitandani huku mguu mmjoja kautupa huku na mwingine huku sikutaka kumlemba sana mana maumivu niliyo kua nayasikia kama kawada yangu cha kwanza ni kupima oil lakini safari hii sikupima na kidole nilipima na mashine yangu niliisogeza kwenye kitumbua chake mzigo ukapitiliza moja kwa moja mpaka tekla akarudi kwa nyuma mana mzigo haukua saizi yake na kuanza kutoa kilio cha mahaba. “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,,,,,,,tia yote oooooooh ........ashiiiiiiii tamuuuuuu" niliendelea kumpampu nilishangaa kuona tofauti kwa telka nilianza kupiga bao kabla ya yeye.sasa nikabakina wazo moja tu nimalizie hicho cha tano nitulie zangu mana nitakufa si kwa kutom** huku kidume nili mbadilisha style na kumweka chuma mboga heee asikwambie MTU hii style kiboko bwana mtoto alikua mbishi kukuojoa alianza kutoa miguno “a,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,weweeeeeeeeeewww,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,chomoaaaa nataka kujoaaaaaaaaaaaaa kwanzaaaaa,," nilimwambia kojoa humo humo.nikaendelea kutembeza dozi.nilishangaa kumuona tekla akinivuta kwa nguvu na kunibana kiasi kwamba kama tunagombana vile alinibana kisawasawa huku akizungusha kiuno nami nilikua nakaribia kukojoa nika mbana kwa nguvu huku wote tukilia kilio cha furaha ooooooooooooooohhhhh............mmmmmmmmmmhhhh aaaaaaiiiiiiiiiii........!!!!! nilimaliza ule mchezo nilivyo taka kuchomoa dude langu tekla alinizuia na kuniambia usichomoe tuendelee nikaona huyu anataka iue kutembeza mb** nyumba nzima masiara nilichomoa na kuona mzigo ukianza kurudi kwenye hali yake ya kawaida.sikua na hata mda wa kuoga nilivaa zangu nguo na kumuaga naludi nyumbani mana mjomba akiamka asije akanikuta hapa ilikua mida ya SAA 10 usiku.nilipofika getini mlinzi alianza kunizingua kwa kunikatalia kufungua geti nika mdanganya naenda kuchukua tax kuna mgonjwa ndani sijui alidanganyika vipi wakati mle mdani kuna gari zaidi ya mbili.alinifungulia na nikaanza safari ya kuelekea nyumbani uzuri wa jiji la dar watu awalali niliona boda boda zimepaki nikawafata nikawapa hi na kuwaelekeza wanipeleke nyumba namba 116. hicho ndio kilicho niokoa mana ningesema nimwelekeze angenipeleka nyumba gofuti.nilipanda kwenye pikipiki na safari ikaanza.yule boda boda aliniuliza swali moja. "mtoto wa kishua usiku huu unatoka wapi ?." si unajua tulikua tuna patty alafu gari limenizimikia njiani.sikumaliza kumdanganya tulikua tumesha fika uzuri mfukoni linikua na 20000 nikamwachia 10000 nikampa tu abaki nayo mana aliniambia 2000 mpaka home.jamaa alishukuru sana nikabisha hodi na kumkuta babu akiwa macho huku akinywa kahawa. "aaaa kijana jiangalie mana maisha yako yapo hatarini mjomba wako akijua mchezo unayo ifanya"poa poa babu nimechoka sana acha nipumzike tutaongea vizuri kesho...... nilimwacha mzeee na kuingia ndani.miguu ilikua inatetemeka kiasi kushindwa kupiga hatua nikaanguka chini huku nikipiga kelele waje wanisaidie alitoka manka na errycah............. nilikua nimeishiwa nguvu kabisa mana ile dawa ilimaliza nguvu zangu zote.errycah alipo niona aligundua nimeishiwa nguvu.sikutambua nini kilitokea zaidi ya kujikuta hospitani niliwa nime tundikiwa drip ya maji.nilipo jaribu nilizuiwa na nurse.huku akiniambia "subiri mpaka drip hili liishe mana uletwa hapa ulikua hoi hata ujielewi hivi hao ulio lala nao walikubaka au ? mana hatujawai kupata mgonjwa namna hii na unaonekana upo vizuri.kizazi cha sasa mtu kupiga mechi mpaka kuishiwa kabisa nguvu ni ajabu walikua wangapi hao ?" nilimtazama yule nesi sikumpa jibu nikamuuliza walio nileta wapo wapi ? "wameenda kukuchukulia nguo na chakura" "wanajua Nina umwa tatizo gani ?" "apana bado atujawaambia tulisubiri uamke tuwape taarifa na wewe ukiwepo" naomba uniitie doctor nitaka niongee nae.akaenda nje kuniitia doctor alikua ni doctor wa kike tena mzuri balaa alafu mweupe yupo kama shombe shombe hivi sema umri wake unacheza kwenye 30-31.nilipo mwona tu nilihisi kupata nafuu nilimwomba yule nesi atoke nataka kuongea na doctor.tulisalimiana na kunipa pole. "samahani doctor Nina ombi moja naomba unifichie siri yangu kwa ugonjwa huu nilio upata wakija ndugu zangu naomba uwaambie niliishiwa maji mana itakua aibu kama mjomba akisikia nilikua kwa wanawake ilibidi nitumie na kauongo licha ya hivyo familia yetu INA msimamo mkali wa kidini please doctor nitakupa kiasi chochote cha fedha ukitakacho." "alicheka sana kisha akaniambia we we kijana una nichekesha sana kwa hela gani uliyo kua nayo utanipa.Mimi ni doctor bingwa tena hapa nimekuja kwa mda wa mwezi mmjo tu kwa ajiri ya kutibu maradhi ya wanaume natembea nchi zote za Africa mashariki naishi Kigali nina familia yangu kiufupi sina shida na hela.alafu huo umalaya wako wa kufanya mpaka uishiwe nguvu ni nyege au tamaa na kama ulilala na msichana mmoja ukampiga izo bao 5 sijui yupo kwenye hali gani uko ya nini kujiumiza mtoto mdogo kama wewe tafuta mtu mmoja tulia nae alafu hata kama una pepo basi walau Mara moja kwa wiki sio kila Siku mana nilivyo kuona umeishiwa kabisa sperm/shahawa na cell zake zinaweza kufa kabisa mana zilikua zikijizalisha wewe unazitoa nataka nikusaidie nitakupa dawa utatumia kwa Siku tano ili uzijaze ziludi kwenye hari yake ya kaida na ndani ya sikuizo tano usikutane na mwanamke.na utabaki hapa hapa hospitali nitaendelea kukusimamia mpaka umalize dozi.dawa yenyewe ni sindano tano kila siku nitakua nakuchoma moja." sikua na lakusema zaidi ya kumwambia asimwambie mjomba asije akanijazia vibaya kwenye report yangu ya kurudisha shirikani. aliniuliza "kwani wewe ni mseminali ?" "ndio" "mbona una Fanya mambo ya ajabu sana.upo shirika gani ?." "nipo st Vincent ya pale Rwanda" yani kwa nidhamu mbovu uliyo onyesha siwezi kika kusaidia tena nitaenda kuku report mana hatutaki mapadri wasio kua na maadili. nilihisi kupalalaizi mana doctor alizidisha ukari Mara mbili zaidi.nilishangaa baada ya kuona manka na errycah wanakuja huku wakiangua kilio. "mbona mnalia" errycah alinijibu huku akibubujikwa na machozi "ba...........ba ame.......farikiiiiiii" "what kafa kwa nini" ""amefumaniwa na mke wa mtu amekatwa sehemu zake ya siri amevuja damu nyingi sana ndio sababu iliyo pelekea kupoteza maisha ila police wamesha mkamata aliye fanya unyama huu wa kumuondoa mumewangu "" manka alijalibu Ku nyoosha maelezo ambayo bado yalikua na maswali mengi sana kwangu "na huyo mwanamke aliye fumaniwa nae yupo kwenye hari gani"niliuliza kinafiki huku nikijifanya kama sielewi "mwanamke aliye fumaniwa nae kachomwa chomwa visu yupo muhimbili sijui kama atapona sijui baba alikosa nini mpaka kutembea na mkewamtu" kweli mungu bado ananipenda nilijisemea moyoni mwangu mana hili zali linge nikuta mimi nilijiapiza kwa Mara nyingine sitokuja kufanya mapenzi tena mpaka mwisho wa uhai wangu. manka aliongea "inabidi uamke tuanze kufanya maandalizi ya msiba"wakati huo doctor alikua pembeni anatusikiliza aliamua kutoa la moyoni mwake "poleni sana wadogo zangu naombeni mjipange upya mana maisha bado yapo yanendelea cha umuhimu mtumainini mungu na mumuombee marehemu apumzuke kwa amani." hakuimaliza sentesi aliingia merry huku akicheka kwa kwa dhalau.niliamua kumuuliza merry "unacheka nini hauoni tupo kwenye matatizo makubwa." "yametimia mwisho wa ubaya ni aibu hatimaye mwenyezi Mungu kaamua kutenda haki.na kufichua mabaya yake na bado sasa tutaona mengi baada ya msiba huu mficha maradhi kifo humuumbua.... PUMZIKENI KWA AMANI BABA. NA MAMA YANGU."maneno ya Merry yalikua ukweli mtupu hakukua na mtu wa kumpinga mana kila mtu alikua najua madhambi ya mjomba.nilijikaza kiume huku doctor akinifungua ile mipira ya maji niliyo tundukiwa na kuanza safari ya kwenda nyumbani kufanya kikao cha familia kwa ajiri ya kuzika msiba wa mjomba doctor aliniambia nikimaliza msiba niludi ili anipe matibabu mana mfumo wangu wa shahawa unamatatizo inabidi niwai nipate matibabu nisije nikawa mgumba.nika mwitikia kwa ishara mana nilikua nusu ya chizi mambo kibao yana nichanganya kifo cha wazazi wangu sijui wamezikwa wapi dereva aliye niambia atanipa siri zote kawa kichaa.nikipata matumaini baada ya kukumbuka chumba cha siri lazima nika kifungue ili nijue ukweli wa mambo yote. tuliingia kwenye gari na safari ya kwenda nyumbani ikaanza tukiwa njiani errycah yeye alikua anaangua kilio tu asikwambie mtu msiba ni msiba tu hata akifa mbaya wako kama ume share naye damu lazima uumie.ila msiba wa shoga sizani kama kuna mtu atatoa machozi yake. nilitumia busara yangu kumpa maneno matam matam ya kumpooza huku moyoni nikiwa na amani mana mbaya wangu kashavuta kamba. manka ali drive kwa mwendo wa kawaida mpaka nyumbani.tuliposhuka kwenye gari tulisikia taarifa ya kifo cha mjomba kwenye radio ya mlinzi aliyo kua ameifungulia kwamba (BHG) brotherhood gang ""inasikitika kutangaza kifo cha member no #966.x.112 bwana Theophile .s. mluku kilichotokea leo majira ya SAA 2 asubuhi.mwili wa merehemu utasafirishwa mpaka makao makuu yao nchini Nigeria.Taalifa iwafikie wafuasi wote wa (BHG) waliopo Tanzania na nchi nyingine""" wote tulisikia tangazo hilo lililo tangazwa na shirika LA utangazaji nchini TBC. Tulizidi kushtuka zaidi pale tuliposikia mwili utasafirishwa kuelekea makao yao makuu nchini Nigeria. hatukua na mda wa kufanya kikao ilibidi tuelekee monchwari moja kwa moja ili tuuzuie mwili wa mjomba usije ukachukuliwa na (BHG).Tunataka mwili uzikwe hapa hapa. Tulitoka wote nyumba nzima hadi mlizi na kuelekea muhimbili.tulipo kua tuna karibia tulikutana na msafara wa magari ya kifahari yakiingia pale hospitalini tulishtuka zaidi kuona watu wamevalia suti za blue na miwani mwekundu ilibidi tupaki gari pembeni nakuelekea ndani wale watu walinikazia sana macho huku wakino ng'onezana wengine wali diriki hata kuninyooshea vidole nilipo watazama kwa umakini niliwakumbuka ndio wale nilio waonaga horena hoteli.kama unavyojua seminarini tunafundishwa mbinu nyingi hasa ujasiri.nilipita karibu yao na kuelekea monchwari.tulipofika tulieleza tulishangaa walivyo tujibu.mbona mnatuchanganya huyu mtu anakuja kuchukuliwa na (BHG) na wamesha jaza kila kitu na malipo wamesha yafanya pia tumeonyeshwa na mkataba wake kwamba akifa asizikwe na familia yake azikwe na kikundi chake tulionyeshwa baadhi ya copy za mkataba alio ingia mjomba. ""why daddy.........!!! kwanini umeamua kufanya hivi tungekua masikini tusinge ishiii ona sasa yaliyo kukuta sita kuona tena baba yang....uuuu please nisaidieni......jamani baba azikwe hapa hapa nyumbaniiii ......."" aliongea errycah kwa uchungu mkubwa. akachukua simu yake na kumpigia mwanasheria wa mjomba simu haikuita.na baada ya mda mfupi tuliwaona wale (BHG) wakiingia ndani huku wakiwa wamepanga foreni walikua wengi sana.wake kwa waume nilipo jaribu kuwachunguza wengine niliwafahamu kabisa.kuna baadhi ya wasanii wa dini,bongo fleva,hiphop wa hapa nchini wachungaji matajiri wakubwa wandishi wa habari watangazaji wanasiasa hata baadhi ya wanafunzi wa vyuo walikwepo.tuliwekwa pembeni na police ili kuwapisha wale (BHG) kufanya ibada ya kumtoa ndugu yao jeneza la dhahabu lilitolewa mle ndani na likawa linapita mikononi mwao huku kila aliye libeba alilitemea mate.sikuelewa wana maanisha nini ila mlinzi alituambia ile ndo ibada yao ya mwisho ya kumuaga mwenzao na wakioka hapa wanapanda ndege na kwenda kuzika. errycah na manka wao ulikua ni mwendo wa kilio tu.Mimi na merry hatukuumia hata kidogo kutokana na madhambi aliyo tufanyia mjomba.kwa kutuondolea wazazi wetu.walipeleka jeneza kwenye gari na wote kwa mstari ulio nyooka waliingia kwenye magari yao na safari ya kuelekea airport iliianza tulibaki na viulizo kichwani huku mlizi akiendelea kutupa stori "wote unao waona hapo wanaenda Nigeria moja kwa moja hiyo ndio sheria yao lazima mwenzao akifariki wamzike na hao wote watazikwa Nigeria cha msingi nacho washauri wanangu. kaeni meza moja muongee myamalize na mjue mtaanza vipi maisha ""ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO."" "ama kweli mshahara wa dhambi ni mauti"alimalizia errycah huku tukielekea kwenye gari.tulipokua njiani tuliendelea kukumbushana mambo tuliyo yaona kule hospitali.mpaka tukaanza kubishana na Merry.ubishi wenyewe merry alisema kwenye ule msafara amemuona mwandishi wa story ya utamu wa kitumbua chas360tz nilimkatalia kwa sababu chas360 namfahamu vizuri Jamaa hapendi mambo ya kijinga kwanza saizi yupo zake studio anaanda kitabu chake.ubishi ule uliisha pale mlizi alipo ingilia kati na kusema chas360 ni baba yangu mdogo msimsingizie mambo ya ajabu ajabu.tushuka kwenye gari na kuingia ndani moja kwa moja huku wote nia ikiwa moja kwenda kufungua chumba cha siri.kabla ya kwenda kufungua simu ya mezani iliita tulitazamana huku tukisakiziana kila mtu apokee.kidume nikajitosa nika pokea na kuanza kusikiliza maelezo unaongea na OLOMO IGWE kutoka (BHG) samahani naongea na KENNY .J. SIMBULI nilishanguu kuona kalijuaje jina langu nika mjibu ndio. "nadhani unatambua mjomba wako kafariki kuna baadhi ya document zake tumezipitia na tumeona kakuandika wewe ndie mrithi wake.unatakiwa kufika Nigeria kesho ili tukufanyie usajiri na kama ukikataa basi ukoo mzima mtakufa na Mali zote mtanyang'anywa mana ni Mali ya brotherhood gang (BHG). kuhusu usafiri na kupata utaratibu wote nenda horena hotel chumba namba #966 utakutana na agent wetu atakuelekeza kila kitu." uzuri simu niliweka loudspeaker kila mtu akasikia nili mjibu kwa dhalau "sikia bro nikwambie siogopi kufa mana hamna uwezo wa kuondoa maisha yangu hamuwezi kuiteteresha imani yangu.na kuacha kumua budu mungu wangu aliye juu.kama Mali njoeni mchukue bora nife masikini kuliko kua na Mali nyingi sio halali.kwa imani ya Mwenyezi Mungu hii vita nitaishinda na hamniwezi kwa chochote kile." "sikia kijana naona ume panic sana bora uishi naisha mafupi yenye raha kuliko maisha marefu yenye shida.kama umekataa cha moto utakiona wewe na ndugu zako nikimaliza kuzungumza na wewe nakupa masaa 48 mkusanye kilicho chenu wewe na ndugu zako na mtoke kwenye nyumba.ila kitu chochote cha mjomba wako naomba chumba namba #966 msikifungue........nadhani nimeeleweka."alikata simu tulianza kujadiliana kutokana na ile simu iliyo pigwa.nikaonyesha msimamo wangu kama mwanaume hapa tunaenda kufungua kile chumba ili tujue kuna kitu gani tukitoka hapo tubebe kilicho chetu tuhame uzuri wa Mali za kishirikina kama ukichukua kabla ya marehemu ajafariki hiyo Mali ni yako ila ukichukua baada ya marehemu kasha kufa utakacho kutana nacho ni juu yako.zile million hamsini ndo zitakua Mali yetu ya uhalali mana tulichukua kabla ya mjomba hajafariki ukiangalia erycah na yeye alikua amewekewa hela toka utotoni mwake kuyumba hatuto weza.maumivu yalikua kwa manka yeye hakulipwa chochote kibaya zaidi alicho jiharibia ni ile tabia yake ya kutoa Tigo ningeweza kumuoa alijiharibia CV alicho kiomba yeye ni nauli arudi Rwanda akaanze maisha.mlizi hatuwezi kumuacha tumezoeana naye sana hata tukisema arudi kijijini tuta mtesa tu. errycah alileta ufanguo wa chumba cha siri nikauchukua na kwenda kukifungua.nilifika mlangoni wote walikusanyika pale kutaka kushuhudia kitu gani kipo kwenye chumba kile.nilianza kufungua kufuri la kwanza nikatekenya kitasa kitu kikajibu.nilifungua taratibu na kuona chumba kipo tupu tena kuna Giza Nene nilitangulia kwanza peke yangu nikawapa ishara waje ndani waliingia hatukufanikiwa kuona kitu chochote nisogea kwenye ukutu nilishangaa kuona kama mlango ukutani nilipo ugusa ulifunguka.kumbe kule ndio chumba chenyewe namba #966 tulipo ingia tuliona vitu vya ajabu tulikuta kabati mikufu ya dhahabu vibuyilu chungu na kiti cha kifalme errycah alifungua lile kabati tukaanza kusikia harufu mbaya nilipo mulika na vizuri na tochi ya simu yangu.oooooooh mungu wangu sikuamini nilicho kiona niliona mafuvu ya vichwa nilipo mulika vizuri niliona fuvu LA kwanza likiwa likeandikwa jina la baba na lingine jina LA mama nilianza kutokwa na machozi niliumia sana..hakukua na mtu wa kuvumilia wote tulianza kuangua kilio.hiyo ilikua ni flem ya kwanza. flem ya pili ya kabati tulikuta fuvu moja kuangalia pale juu kwenye paji LA uso lilikua limeandikwa jina LA shangazi mama yake mzazi errycah. errycah baada ya kuona vile aliishiwa nguvu kabisa alikaa kimya huku akitoa kilio... huku akisema ""baba kumbe ulimuua mamaaaaa....."" nikafungua flem ya 3 tukakuta mafuvu ma tano yaliyo wekwa pamoja kumulika vizuri tuliona majina kwenye mafuvu yale lilikua fuvu la vannesa nasma husna yule shangazi na dereva....... ""mungu wangu huyu dereva kafariki lini nakumbuka sikuile tulimkuta mwanza akiwa anaokota makopo.jamani duniani kuna watu wabaya.""aliongea manka kwa majonzi tukaendelea na fkemu ya 4 tutakuta viperushi vya majina yetu inaonesha na sisi tulikwepo kwenye list. mlinzi alituamuru tuvichukue kisha tukavichome moto ili hata wenzake wakija kuchukua madude yao majina yetu yasiwepo... uwezi kuamini nilisahau utamu wa vitumbua nilivyo kula na kujuta kuzaliwa mana si kwa vitu hivi. kutupa macho pembeni niliona nyele zikiwa kwenye kindoo na hapo ndipo nilipo gundua kwa nini mjomba hakua na nywele na sikuwai kumuona akienda saloon kunyoa.nilisogea mpaka pale kwenye kiti cha kifalme nikakuta bahasha niliichukua na tukatoka kwenye kile chumba.nilikifunga kama nilivyo kikuta tukaenda sebreni kuifungua ile bahasha na kukutaa ma dhambi yote aliyo yafanya mjomba kama kafara ya kuongeza Mali ameyaandika.kweli mjomba amewaua wazazi wangu mkewake (mapacha) husna na nasma na dereva ......... karatasi ya pili tulikuta majina yetu yakiwa yameandikwa kwa rangi nyekundu.........niliumia sana ila nilijikaza kiume tukiwa bado tunasoma zile karatasi.walikuja ma agent wa (BHG) wakatumbia tubebe kila kilicho chetu na tuondoke la sivyo tujisajiri na chama chao wote tuligoma kila mtu akaingia chumbani kwake na kupaki nguo.nilifika ndani na kuanza kupanga kila kilicho changu nilipofungua kabati LA chumbani kwangu nilishangaa kuiona ile bahasha niliyo achiwa na sethi kule horena hoteli.sikupata mda wa kuifungua niliweka kwenye begi na kutoka nje kuwapisha wale ma agent wa BHG.kibaya zaidi tulimwona na yule wakili wa mjomba akiwa nao sambamba wale ma agent. alijifanya kama hamjui errycah.ama kweli MWISHO WA MAWINDO MBWA HANA THAMANI. hatuweza kuondoka na gari tulipotoka nje nilimwona yule boda boda aliye nileta juzi.tuka salimiana nika muulizia hamna nyumba inayo uzwa ? "bro hapa umefika Mimi ndo dalali wa mijengo sema ikifika mida kama hii napiga boda boda jina langu naitwa dalali kiongozi kuna mjengo masaki hii hii unauzwa million 450 kama upo vizuri unaingia leo leo." nilidata kuisikia ile bei.nilishangaa kuona errycah akidakia ok twende hela ipo.ndo ikawa nafuu yetu alimwita mwenye nyumba baada ya lisaa limoja tulikamilisha kila kitu na kuingia kwenye nyumba mpya huku zile million 50 tulizo mwibiaga mjomba alikua Nazo merry.niliingia ndani na kufungua begi langu ili nipange vitu vyangu niliiona tena ile bahasha nilipo ifungua sikuamini macho yangu nilikuta majibu ya hospitali ya sethi ya kipimo cha damu na kuonyesha ni mwathilika nilihisi Ku data mana yeye alikua msichana wangu wa kwanza Ku lala nae ukiangalia sikutumiaga condom. """ina maana na mimi nimeathilika Mungu nionee huruma Mimi sito ludia tena kwaiyo kama Nina HIV inamaana wote nilo lala nao na wenyewe wanao oooohh mungu wangu nimekwisha nikianza kulia kwa sauti mamaaaaaaaa.........nimekwishaaaaaa.............sethi..........umeniponza........ .kwanini...........Mimi.....nimesha......upoteza u padri........na nimewaua ndugu zangu..........nime muua mpaka mdogo wangu..........bora nife siwezi kuendelea kuishi kama nimewaua ndugu zanguuuuuu""" kumbe kina merry walikua wana nisikiliza lakini hawakuelewa walipo fika waliniuliza sikua na mengi ya kuongea zaidi ya kuwaonyesha Yale matokeo na kuwaambia Huyo ndo alikua msichana wangu wa kwanza kutembea nae........ "Kenny kwaiyo umetuua woteeee"wote watatu waliniuliza kwa Mara moja niliumia sana niliwaomba samahani ila mlinzi alitushauri twende hospitali tuka hakikishe hatukua na mda wa kupoteza tulienda hospitali kwa yule doctor wa Rwanda bahati nzuri tulimkuta yupo zamu ya usiku nilimwelezea akachukua vipimo vyetu.akatuambia turudi baada ya wiki tatu hapo ndo tutapata majibu ya uhakika alinichana ukweli mda ule ule na kuniambia hauto kua na uwezo wa kumpa mimba mwanamke yoyote yule labda muujiza wa mwenyezi mungu niliona dunia ngumu na kujilaumu sana kwa kunogewa na UTAMU WA KITUMBUA............... ************** MWISHO WA SIKU KENNY NA WALE WOTE ALIO FANYA NAO MAPENZI WALIPATA UKIMWI (NGOMA) ILA MAISHA HAYAKUISHIA HAPO YALISONGA MBELE KENNY HAKU BAHATIKA KUPATA MTOTO ALISHINDWA KURUDI SEMINALINI ALIMRUDIA MUNGU ALIFUNGUA KANISA LAKE NA KUA MCHUNGAJI.......!!!! ERRYCAH NA MERRY WALIOLEWA MANKA ALILUDI NCHINI KWAO NA MLINZI ALIRUDI KIJIJINI KUANZISHA BIASHARA YAKE *************MWISHO********** ... Read More
SHINDU LA KIHAYA-14 Mzee huku udenda ukimtoka akiliangalia shindu la Lisa mtoto wa kihaya aliyefunzwa mambo.Lisa alimjia taratibu kisha aliakampanua matako,mzee wa watu alishika dudu lake na kulielekeza kwenye kitumbua ,,,aaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaasssssssssssssssssss,,,mtoto alideka kwa kilio cha mahaba na kumwacha mzee wa watu akiunguruma kwa utamu,hapo dudu lilikuwa linazama taratibu kwenye kitumbua,usiombe ukutane na kitumbua cha Lisa kilichobana. ,,,aaaaaaaaah,,,mzee alishusha pumzi ndefu kwani dudu lilizama lote ndani ya kitumbua,yale matako laini ya Lisa ndio yaligusa kende zake,halafu Lisa alivyo na makusudi hakuanza kufanya kitu chochote,aliganda kama alikuwa na lengo la kumkalia tu.Akawa kama anajitikisa matako yake,,,mmmmmmmmmh,,,mzee aliishia kuguna tu huku akimshikilia kiuno. Lisa alipoanza mautundu yake mzee aliona pesa hazitoshi,kiuno laini kilizunguka taratibu kwa hisia huku akhakikisha anamkuna mzee sehemu zote za dudu lake.Mzee alibaki akiwa amemshikilia kiuno mtoto huyo huku akitetemeka kwa utamu,yaani mikono yake ilikuwa inayumbayumba mpaka Lisa alipata wasiwasi ,,,tamu bebiiii,,,tamuuuuu bebiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,una dudu tamuuu,,,nimekuachia kitumbuaaa,,,kitumbua chakooo ksugueee mpenziiiii,,aaaaaaaaaashiiiiii,,,mtoto wa kke alilalamika hivyo huku akimkatikia kiuno kile chenyewe ambapo hata mtu asiyehusika na tukio hilo akiangalia tu kinavyozunguka lazima apendwe na mizuka ,,,mmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaah,,,mmmmmmmh,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,,alianza kuweuka mzee huku naye akishiriki kupandisha kiuno juu chini,Lisa akajua tu mzee anakaribia,basi kwa makusudi,Lisa akajtikisa kisha dudu likachomoka,mzee wa watu alibaki mdomo wazi akilalamika kama anamwaga halafu bao halikutoka,utamu ukapotea,Lisa alielewa nini amefanya,alijiweka sawa na kujichomeka tena dudu hilo Hakupita muda mzee alipojisikia kukojoa bao,Lisa alirudia tena le tabia yake ya kujitikisa kisha dudu linachomoka,mzee wa watu alita huruma sana anavyolalamika halafu hamwagi,kwake Lisa hakuona cha ajabu,alichokuwa anataka ni kumfanya mzee amwage kwa utamu mwingi sana kupita maelezo Kwa mara ya tatu,utamu ulichelewa kuja,ila ulipokaribia tena,Lisa alipokuwa akijiandaa afanye tena ule mchezo wake,basi mzee hakukubal kumwachia,alimwotea na kumng’ang’ania hasa,alimshika kiuno kwa nguvu na kuzidisha kasi ya kumsugua mpaka akamwaga bao lake,alivyokuwa muhuni mzee,Lisa alipotaka kujichomoa alimwambia asiondoke kwanza ,,,kwanini jamani,,,Lisa alihoji hivyo ,,,we ni mtamu sana,chukua kabisa dudu langu uende nalo,,,alipojibu hivyo mzee huyo Lsa alicheka kisha akajichomoa taratibu huku akiwa amejibunia mgongo wake kisha akamgeukia mzee,sura zao zilikaribiana kabisa hasa midomo. Kilichofuata ni denda,Lisa alimtunuku denda mzee wa watu la hisia hasa ili kumkoleza siku nyingine atake tena.Wakati anamnyonya denda vikucha vyake vilivyochongoka kiasi vilikuwa vikimkunakuna Chuchu zake na mpaka mgongo kote alimkwaruza kimahaba ,,,kwanini nisilal na wewe jamani,,,aliropoka mzee huyo ,,,mmh sio leo,ila siku nyingine nitakuja,,, ,,,jisikie huru kabisa hapa ni kama kwako,,, ,,,we unaishi hapa,,?,alipoulizwa hivyo Lisa,mzee huyo hakumjibu papo hapo bali alinyanyuka huku akimwambia Lisa asivae nguo Nje Lisa alibaki na uwoga akijua pengine jamaa ameenda kuchukua bastora halafu aje na wazee wenzake kumbe hakuwa hivyo kabisa.Mzee aliporejea tena alimvalisha nguo Lisa na kumweka sawa kabisa ,,,usije ukasema wazee hatuwezi kunyenyekea,,,aliposema hivyo Lisa alitabasamu tu,baada ya kumvalisha,mzee kwa mbwembwe alimbusu Lisa kwenye mdomo kisha wakaganda kidogo wakinyonyana ndimi. Bila ya kutegemea mzee wa watu kumbe mambo yalimwingia kwenye damu kabisa,yale mauno ya Lisa na michezo ya hapa na pale mzee alpagawa kweli na alitaka ajenge kibanda kwa Lisa na sio hema ,,,chukua kadi hii,ni wewe peke yako unayo,hii hoteli hapa ni yangu kwahyo muda wowote utakaojisikia kuja kutumia uwe na marafiki zako au familia wewe njoo ule ulale,vyovyote utakavyoamua,ukionyesha hii kadi hutalipa,,,mzee alongea maneno hayo ambayo Lisa alishtuka,ilikuwa ni zaidi ya kurahisishiwa maisha.Kwa ukubwa wa hoteli hiyo ndio akili zilimrudia Lisa na kuona hata pesa aliyoitaja kama malpo ya kusuguliwa kitumbua chake ni kama mia kwenye laki ya mzee. Lisa alichukua kadi hiyo kisha akambusu mzee na kushuka chini alipokuwa akipata chakula chake.Akiwa kwa mbali anarudi,hakuona mtu kwenye meza kwani alitegemea kumkuta mama yake.Muziki uliendelea na watu walikuwa wakiburudika,wenye rangi za kibongo ni wakuhesabu,wengi ni wazungu.Mezani aliona simu ya mama yake,ni ya Gharama ila hoteli hiyo ina ulinzi wa kutosha kwahiyo tabia za wizi hakuna. Lisa aliangaza macho yake vyema na kuona kuwa mama yake haukuwepo hapo kwenye Muziki.Alichukua simu na kuanza kuikagua ili amjue anayemsugua mama yake.Kwenye majina alishindwa,ila alipokwenda kwenye jumbe fupi(SMS) alijua haraka,maana ilionyesha siku kama nne zilizopita kuna mtu alichati naye kimahaba kabisa ile ya kusuguana kupitia simu,akajua tu ndo huyo,alichokifanya akachukua namba yake,si mwngine ni Hassan ndo ilichukuliwa namba yake,yule anayemsugua mama yake. Kwa upande wa mama yake,baada ya kucheza sana na huyo mzungu,kweli mzungu alfunguka dola za kuelelewa zlizoweza kumshusha chupi mama Lisa,hivyo muda huo Lisa amerudi,mama yake alikuwa chooni akipewa dudu na mzungu,aisee mama Lisa alikuwa ni fundi jamani kwa staili hiyo aliyompa mzungu wa watu,,,,INAENDELEA SEHEMU YA 15. SHINDU LA KIHAYA-15 Muda huo mzungu alimwinamisha mama Lisa ambapo mama lisa aliongeza kujibinua hasa,yaani yale matobo yake mawili yote yalikuwa wazi,dudu lake nene mzungu huyo alilzamisha kwenye kitumbua taratibu ambapo Mama lisa alilipokea kwa milio ya utamu kisha mikono yake ikaanza kazi ya kumchezea mzungu. Ndio maana huwa nasema kuwa mwanamke mtundu utamgundua hata kwenye tendo la dakika chache tu kwani hujishughulisha ili kuleta raha zaidi.Mkono ya Mama Lisa ilishaanza kupanda kwenye mapaja ya mzungu,ilimtekenya kende zake mpaka matakoni,mzungu hakuchelewa kumwaga,haraka alimwagiwa humo humo ndani baada ya hapo walibusiana kisha kila mmoja alipita njia yake Alipofika mezani kwa mwanaye,wote walikuwa wamechoka,hivyo walielekea nyumbani ambapo walipofika mlango wa kutokea hotelini hapo,mama alikumbuka kitu ,,,aaaah,hatujalipa pesa lakini,,, ,,,usijali nimeshalipa,,,kwa kifupi alijibu hivyo Lisa,mama yake hakuelewa chochote,kumbe kadi aliyokabidhiwa na yule mzee ilianza kufanya kazi siku hiyo. Vituko vitimbwi vichekesho,hivyo vyote vilikuwa kwa Hassan,kijana anayemsugua mama Lisa,yule mama jirani aliyeonja utamu wa dudu mpaka akamuaga mumewe kuwa usiku huo hatakuwepo,alikuwa amepumzika gheto kwa Hassan kimya.Basi majirani walivyokuwa wakimtania nje ya nyumba,Hassan na mama huyo walisikia vyema kabisa na kubakia wakicheka tu kimya kimya,mazungumzo walyoyasikia yalikuwa hivi kati ya wale wamama wa mchana walioelewa mkewe alichofanyiwa pamoja na mwenye mke ,,,hivi siku ukimfumania mkeo itakuwaje jamani,,,majirani hao walilanzisha ,,,nampeleka kwao,akapumzike,,,alijibu mwenyewe mke aliyeko kwa Hassan anasuguliwa muda huo ,,,ila inaelekea dada yetu unamshughulikia vyema,,, ,,,aah hilo sio la kuuliza,unanonaje kwanza shemeji,,, ,,,mmmh haya bwana,kwahiyo mkeo hawezi kwenda kwa mwingine,,? ,,,ataanzia wapi?,kila kona nimekaba,,,walicheka kwa pamoja ,,,ila akiwepo hapa hata kuongea huongei na sisi,,, ,,,heshima,unajua namheshimu sana mke wangu na nampenda kuliko chochote,,,maneno hayo ya huyo bwana,mkewe aliyasikia vyema na yalimwingia akiwa chumbani kwa Hassan ila aliyapuuzia kwani alipata utamu hasa kwa Hassan.Maongezi yao yaliendelea ambapo ili kujifunga masikio,Hassan alianza michezo ya umauma ninyegenyue,zikinipanda nifekechue,alifanya kama anamuuma na meno kwenye tumbo lake flati akishuka mpaka kwenye mapaja,mama wa watu alcheka kidogo akhisi kama anatekenywa hivi. Kwanza huo mwanga wa ndani humo ulshawishi hasa,walonekana kama wako dunia ya ngapi sijui.Mama wa watu alizidi kupagawa ,,,naomba nsugue mpenzi,,,aliomba mwenyewe mama huyo ambapo usiku huo alichokifuata ndo hicho ,,,usijali,leo mpaka utasema basi,,,alipoongea hivyo Hassan,ile kushusha mkono chini kwenye kitumbua cha mama huyo alimkuta ameshalowa kabisa,alijiuliza amemchezea saa ngapi kwa kiasi hicho mpaka awe amelowa hakupata jibu,ila alipozungusha akili yake,akagundua kuwa kuna maongezi walikuwa wakiyaongea tena wakiwa uchi,maongezi yenye maneno machafu sana kwa muda mrefu.Akajua hayo ndio yaliyomfanya bibie kulowa hivyo Mtindo mzuri kabisa aliupendekeza mama huyo ambapo alijigeuza kwa kulala kifudifudi kisha akanyuka taratibu kwa kubinua matako yake,kitumbua na mpododo vyote vilionekana vyema ambapo hassana lishawishika hasa,alijua kabisa huo utakuwa mwendo mrefu kwasababu mchana wake walipeana kashikashi hasa. Hassan akiwa amesimama gobole lake,alimjia taratibu kwa nyuma mama huyo ambaye kwa kuvutia mchezo alikuw akiyatikisa matako yake makubwa huku akicheka sio kucheka kuguna sio kuguna,,,kichwa taratibu kilianza kuzama kwenye kutumbuaaa,,,aaaaaaaaaaaaah,,,,ssssssssssssssssshiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaah,,,Hassan kwa adabu zote alikuwa akiingiza dudu lake, ebwana kweli wanawake husikia raha sana wanapoingizwa dudu taratibu,lilipozama lote bado hakuwa na pupa tena mama mwenyewe alimsisitizia ,,,taratiiibu mpenziiiiiii aaaaaaaah,,,aaaashiiiiiiii,,,alisikika hivyo ambapo Hassan litekeleza alichoambiwa,alipampu taratibu huku akiyachezea matako ya mama huyo,mikono yake ilizunguka mpaka kiunoni,mwanaume alikata kiuno ili kumpa utamu mama wa watu ambaye aliugulia utamu kwa sauti ya chini sana. Lakini kadri alivyokuwa akipampu alianza kuyasaliti maneno ya mama huyo yaliyomtaka kwenda mwendo wa taratibu,alianza kuongeza kasi,tena ili kumsugua vyema,mkono mmoja alimshika paja na kulipeleka mbele kidogo,e bwana huo utamu wake ni hatari,zile kelele za taratibu alishindwa mama wa watu,akaanza kuweuka japo si kwa sauti ya juu,mtu akiwa nje ya dirisha mita kadhaa lazima angesikia miguno hiyo. Ili kuweka msawazo,Hassana aliwasha sabufa,hapo ndio kama alimpa uhuru mama huyo alipiga kelele kwa kujiachia hasa.Ilitokea kama bahati mbaya umeme kukatika wakiwa katika mchezo halafu mama wa watu sauti ikiwa juu hasa,mpaka wale majirani walisikia,tena wakiwa hapo nje na yule mume wa huyu mwanamke anayesuguliwa na Hassan ,,,Hassan ana mwingine sasahivi,atakufa huyu kaka jamani,,,jirani mmoja alisema hivyo msichana,ni wale waliojadiliana saa zile ,,,vijana hao bwana,sema jamaa atakuwa anapiga kazi,hizo kelele sio masihara ngoja nkapige chabo bwana,,,Jamaa huyo aliyatii maneno yake ambapo aliongoza kwenda kupiga chabo kwenye dirisha la Hassan,wale majirani waliokuwa wakipiga naye stori walimzuia kisha waliopona ashikiki,walishika vichwa na kusubiri kitakachotokea,,,,SHINDU LA KIHAYA-16 Mume wa mama huyo ambaye alikuwa akisuguliwa na Hassan kwa jina alijulikana kama Josefu.Masikini wa Mungu hakujua kama aliyemsikia akilalamika akimahaba ni mkewe,wale majirani waliokuwa wakimwangalia kila mmoja alikuwa na hamu ya kujua nini atafanya akigundua ni mkewe Kilichotokea sasa,huku ndani kweli mkewe alikuwa akisuguliwa,kwasababu hakuwahi kumsugua sana na kumridhisha kabisa,hiyo ilimpelekea kutojua sauti ni ya mkewe,,,aaaaah,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssshiiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,mmmh,,mama huyo alilalamika kimahaba kwa sauti ambayo haikumpa mashaka kabisa mume wake Tatizo likaja kwamba,ndani hakukuwa na mwanga wa kuweza kumwonyesha mtu ni nani,Hassan alishtukia kuwa kuna mtu anachungulia hivyo alichukua nondo fulani ndogo na kumtoboa kwenye uso,hakudhamiria kumuumiza ila alitaka kumweka alama iwe rahisi kumtambua kesho yake kama ni mtu wa jirani Josefu aliugulia kimyakimya ambapo alikimbia na kwenda moja kwa moja mpaka chumbani kwake kuugulia,wale majirani walipomwona anakimbia walijua labda anakwenda kuchukua panga.Josefu alikuwa ametobolewa kitobo kidogo kwenye paji la uso ambapo damu zilimtoka kwa kiasi kidogo. Huku ndani gheto kwa Hassan sasa mama mtu alikuja juu kwani kama kutekeka alitekeka haswa kwenye miguso ya Hassan ,,,ina maana huyo ni bora kuliko mimi,,,! ,,,hamna sikutaka akuone mamaa,,, ,,,sa ndo unikatishe utamu,,, ,,,usijali,,,aliposema hivyo Hassan alirudia kwenye kumnyonya kitumbua chake,mwanamke alijinyonganyonga kwa utamu ambapo kiarage kiliposimama tena kidume kikaja juu tena safari hii kilimkazia hasa.Ilikuwa kama komesha. Hakutaka mchezo ufanyikie kitandani tena,alimwinua na kusimama naye chini,ila mama huyo alikuwa ameangaliza kwenye kona ya chumba.Kidogo aliinama mama huyo na kuacha matako yake wazi kabisa yaliyobinuka kwa utamu.Hassan alimpenyeza dudu lake lenye utamu,taratibu mpaka likazama kwenye kitumbua lote Hassan alimtaka mama huyo kusimama kisha kujibinua mgongo wake kidogo,mama huyo alipofanya hivyo ndio Hassan alianza kumshughulikia.Alimpeleka mpaka kwenye kona ya ukuta,mkono wake mmoja ulikuwa kwenye shingo ya mama huyo mwingine ukiwa kwenye kiuno cha mama huyo.E bwana kama hujajaribu hii stail ukajaribu,ni utamu hasa aisee. Mama huyo alizidi kumpa vyeo Hassan kwa staili zake ambazo alivutia picha asingezipata kwa mumewe pengine mpaka anakufa.Utamu ni pale dudu nene refu lilipokuwa likiingia na kutoka kwenye kitumbua,,,aaaaaaaaaaaasssssssssssssss,,,aaaaaaaaashiiiiiiiiiii,,,mmmmmmmmmmmh,,aaaaaaaaaaaaah,,mamaaaaaaaaaaaaaa,,aaaaaaaaaah,,eeeeeeeeeuwiiiiiiiiiiiiiii,,,alilalamika mwanamke huyo huku akizdi kujibinua dudu limkune vyema kitumbua chake alichohisi kama kinawaka moto. Alikojoa bao lake mwanamke huyo ambapo Hassan aliendelea na kumsugua tena kwa kutembea naye,kweli kwa mwanamke yeyote kama ndio mara ya kwanza kufanyiwa hivyo na mwanaume ukizingata hujawahi kufanyiwa,lazima udate hasa hata kama hutosema ukweli.Hassan wa watu mpaka alipokoa bao lake,mama huyo alijihisi mwepesi hasa,baada ya hapo wote walirejea kitandani ,,,hivi leo ndio itakuwa mwisho?,,,alihoji mama huyo,alishindwa kuficha ya moyoni ,,,we unaonaje mamaaa,,, ,,,mmmh,mie tena mpana kila dakika ntakuwa nakuja,,, ,,,we ukikutwa huku utachinjwa,,, ,,jamani kumbe kuna mwenyewe,,,alijishaua mama huyo kama hajui vile,Hassan hakumficha,alimweka wazi kila kitu. Huku shuleni upande wa Lisa siku hiyo walimkaribisha Hedimasta mpya hivyo wakati huo wa asubuhi alikuwa akiwasalimia wanafunzi na kuongea nao kwa mara ya kwanza asembo.Basi Lisa alikuwa kwenye mstari wa kidato cha nne B,Hedimasta alipiga porojo zake na kuomba ushirikiano wa kutosha,wanafunzi walimpigia makofi sana,alipomaliza kuongea,aluliza kitu kimoja ambacho wengi hawakukishtukia,waliona ni kawada tu ila alanzia mbali sana ,,,hawa ni fomu ngapi?,,,alijibiwa ni fomu foo,basi akawaangalia vyema na kuwasifu walivyo wasafi kisha aliondoka zake Baada ya muda kidogo,kuna mwanafunzi wa kidato cha kwanza alitumwa kwenye darasa la kina Lisa kumwita Lisa.Tena wakati huo kulikuwa na mwalimu wa Hesabu,Lisa aliruhusiwa na kutoka,aliyekuwa anamhitaji ni hedimasta.Maswali yalikuwa mengi sana kwake kwani walishaambiwa Hedimasta huyo ni mkali na huwa anafuatilia mbambo kwa kina sana. Aliwaza mambo mengi sana kwa kina akiwa anaelekea Ofisini kwa Hedimasta.Ila baadaye akapotezea kwani hakuwa na skendo mbaya yeyote shuleni.Cha ajabu alipofika ofisini kwa Hedimasta.Alimkuta akiwa katika tabasamu zito sana na macho ya matamanio ,,,karibu ukae Lisa,,,alisema hivyo na kumshangaza Lisa,jina alijuaje? ,,,ahsante,,,kwa sauti ya upole aliitikia Lisa ,,,vipi utakuwa huru mlango ukiwa wazi au tufunge kwanza?,,,swali hilo lilimtatanisha kidogo Lisa ila akawa amepata majibu haraka nini Hedimasta huyo anataka ,,,funga tu,,,kwa sauti ya kudeka alijibu hivyo ambapo Hedimasta alionekana kufurahia sana kauli hiyo,,,INAENDELEA SHINDU LA KIHAYA-17 Alikwenda na kufunga mlango taratibu kisha akarudi haraka kwenye kiti chake,ila Lisa alimchabo haraka kwenye zipu yake na kugundua Hedimasta hali tete.Kwanza Lisa mwenyewe akiwa kwenye mavazi ya shule alitamanisha sana yale matako yake na jinsi kiuno kilivyojitenga na makalio.Miguu ndio usiseme sasa,alikuwa na vgezo vyote vya kuwa mzuri Hedimasta alianza kupiga swaga zake akijisifu sana kuwa yeye ni mfundishaji mzuri,amesoma sana na anaweza kubadilisha maisha ya Lisa,hakujua tu Lisa anajiweza sana.Alichoharibu ni kitendo cha kujisifu kuwa anapesa nyingi,kichwani mwake alijua kuwa mwanafunzi hawezi kuhitaji pesa nyingi sana kwakuwa hana matumizi makubwa.Kumbe haikuwa hivyo kwa Lisa Mbaba wa watu aliinuka na kuanza kuleta fujo za kichokozi,kweli zipu yake haikujficha,ilituna dudu kwa hamu.Lisa akawa ameweka sura ya kuogopa jambo hilo ila moyoni ujasiri ulijaa pipa,hakuogopa chochote ,,,sikiliza nitakupa pesa nzuri tu Lisa ukinitimizia hili,,,aliongea hivyo huku akimwingua Lisa kutoka kwenye kiti tena kwa kumshika kiuno ,,,jamani mwalimu,ila mi bado mwanafunzi,,,aliongea kwa uwoga sura yake kama akitaka kulia,hapo alikuwa ameshikwa kiuno chake laini ambapo mkono wa Hedimasta haukutamani kuachia kw aulaini wake Kichwani mwake alipokumbuka kuwa ana ndugu zake wanatafuta vyeti bandia wengine wakitaka kusoma kwa majina ya watu wengine,akaona hapo itakuwa rahisi kwake kuwasaidia kama akimwachia Hedimasta akojoe bao lake,na bado pesa atapata.Lisa alipowaza hivyo alianza kulainika ili kulainisha shughuli Taratibu naye alianza kujibu mapigo,Hedimasta alipomwomba denda,mtoto wa kike alijishaua kwa kukwepesha mdomo wake lakini mwishowe aliutoa kiulaini,Hedimasta alifaidi denda tamu kutoka kwa mtoto wa kike.Mikono ya Hedimasta ilianza kupandisha ile sketi ya Lisa mpaka juu kabisa,akamwacha na chupi tu aina ya bikini,yaani mtoto utamu wote ulionekana laibu,huku nyuma matakoni ni kimstari tu cha chupi ndio kilipita,hapo Hedimasta alichanganyikiwa kabisa na matako laini ya mtoto huyo.Aliyavamia na kuyaminyaminya kwa utamu ambali kwa mbali Lisa alianza ile mihemko ya mahaba,,,aaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaasssssssssssss,,,alilalamika hivyo kwa sauti ndogo sana Naye Lisa alianza kumwonyesha mautundu Hedimasta aliyekazana na denda akijua mtoto anajua kunyonyana denda tu kumbe kila kitu ni fundi.Mikono yake ilishuka mpaka kwenye zipu ya Hedimasta na kuifungua kisha akalitoa dudu lake na kulacha huru,kumbe Hedimasta hakuwa na kitu kizito sana. Kwa sura ya upole,mtoto Lisa alichuchumaa na kuanza kulinyonya dudu hilo,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,mmmmmmmh,,mmmmh,,,Hedimasta hakutegemea hayo,alihisi tamu sana na mtoto alivyokuwa mtaalamu wa kucheza na koni.Hedimasta alitamani kupiga kelele kwa sauti ila angeonekana ni mshamba.Basi Lisa alilinyonya mpaka kwenye kende kabisa,hapo Hedimasta alianza kutoa ahadi nyingi nyingi kwamba hata kusoma atasoma bure kabisa ada atalipiwa. Alipoona Hedimasta amesimamaisha vya kutosha,alimkalisha kwenye kiti,kisha akamshusha suruali yake mpaka chini kabisa,yeye alilivua shati lake na kuliweka pembeni,akabaki na blauzi fulani ambayo ni kama hakuvaa kitu kwani iliangaza ndani kabisa,bado Hedimasta aliendelea kuinjoi kuona Chuchu changa zilizochongoka kifuani mwa Lisa Mtoto alimjia kwa juu Hedimasta huku akiwa ameshajitoa kichupa chake,taratibu alikalia dudu la Hedimasta,e bwana mzigo uliingia taratibu bila kuskrachi,,,aaaaaaaaaah,,aaaaah,,,uuuuuh,,,Hedimasta alilalamika hivyo huku Lisa akimkonyeza ili kumnogesha zaidi,Lisa hakumremba mwalimu huyo,alianza mauno yake ya taratibu kama hataki vile,Hedimasta alinogewa na kuishia kuyashikashika matako ya Lisa,kweli mtoto alijua kukata mauno hasa kwa staili alimweka Hedmasta,kukojoa mapema ni lazima. Kuna muda ilifika Hedimasta aliona atakuwa ametegea sana,si akajaribu kumshika mgongoni kwa kumkumbatia,lengo lake amvute kwa chini wakati analipenyeza dudu lake vyema kwenda juu,alijua atampunguz kasi ya kuzungusha kiuno,Hedimasta alipampu hasa kwenye juu ambapo naye Lisa alikuwa akizungusha kiuno kama halioni dudu vile,kwa sauti ndogo sana ya hisia kama mtu anayehema alimwongelesha masikioni mwake lugha chafu hasa,hata akilalamika alilalamikia kwenye masikio yake kwa zamu,alipoanza kumnyonya na ulimi wake ndipo Hedimasta alianza kuhangaika kumwaga,aisee kutoa bao ni kutamu jamani japo wanawake ndio hujisikia raha zaidi yetu,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika Hedimasta kwa sauti ya chini ambapo alimwaga bao lake nakubaki kama anataka kufa kwa jinsi alivyozubaa ,,,pole sana babaangu,polee,,,alibembeleza Lisa ambapo Hedimasta alivimba hasa kichwa ,,,haiwezekani iishie hapa,lazima iwe na mwendelezo,,,Hedimasta alidai hivyo huku akimbusu Lisa,aliona haitakuwa vyema asipozishika Chuchu za Lisa maana zilitamanisha hasa hapo kifuani ,,,jamani mwalimu,umezipenda eeh?,,alideka mtoto aliposhikwa Chuchu zake ,,,nzuri sana jamani,,,aliongea hivyo huku akiendelea kuzitomasa taratibu ,,,mmmmmmmh,,jamaniiiiiiiiiii mwalimuuuuu,,,,alilalamika Lisa akisikia nyege za kweli ,,,mwalimmuuuuu achaaaa jamaniiiiiiiii baadayeee tena aaaaashiiiiiiii,,,alilalamka Lisa huku akishangaa ushikaji Chuchu wa mwalimu huyo ni tofauti sana,alishangaa nyege zikimpanda za kweli,,,,,ITAENDELEA KESHO ... Read More
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU—SEHEMU YA TATU (ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI; Raya anarekodi Video ikimuonyesha yule Mama akimtesa mtoto wake wa kambo, akimpiga na kumfanyisha kazi. Anamkabidhi Baba Jack ili aone kinachoendelea. Je nini kitatokea ENDELEA.. Kama hujasoma sehemu ya pipi basi bonyeza hapa; Iddi Makengo Dada alimuona namna Baba anavyobadilika, namna ambavyo uso wake alikua anaukunja, ghafla nilimuona Baba machozi yanamtoka, nikitegemea kama atapandwa na hasira kama nillivyokua mimi na kuanza kumtandika Dada makofi niliona anamgeukia taratibu, alimuangalia kwa uchungu kama vile alikua anataka kusema kitu lakini maneno hayatoki. “Ni…ni nini hiki?” Alijitahidi kuuliza, wakati huo Dada alikua kimya akiangalia chini kwa aibu. “Nisamehe mume wangu ni hasira tu, huyu mtoto wakati mwingine ananiudhi nalazimika kumpiga…” Alijitetea. Mimi bado nilikua nashangaa ni kwanini Dada hakua amelala chini akitokwa damu kwa kipigo. “Hasira ndiyo unwe unampiga mtoto namna hii, hizi ni hasira gani?” Hapa Baba aliuliza kwa hasira kidogo, nilipata faraja labda atamtandika makofi lakini haikutokea. Dada alianza kulia, “Hata mimi sijui mume wangu, sijui hata nini kilinitokea siku hiyo nikampiga mtoto, mimi sina mkono wakupiga kabisa, wewe mwenyewe unanijua labda ni hii mimba…nikiwa katika hali hii nakua tofauti sana…” “Muongo, ni kila siku anampiga, hata haya anayoita mapele ni yeye. Hata chakula anamnyima, anamtukana, anamfanyisha makazi kama Mbwa, huyu si mwanamke ni shetani!” Niliongea huku nikinyanyuka kwa hasira, Baba alikua kama zezeta flani hivi, baada ya kutajiwa neno mimba ni kama alisahau kuwa yule mwanamke alikua ni shetani. Nilikua nasikia mambo ya limbwata lakini nilikua sijawahi kuona mtu kalogwa akalogeka. Kwa namna ile video ilivyokua mtu yeyote mwanye akili timamu hata kama asingekua mzazi wa Jack angekasirika na asingemsikiliza yule mwanamke. “Una mimba mke wangu, ina miezi mi ngapi? Mbona hukuniambia?” Alisahau kabisa kuhusu Jack na kuanza kuulizia upuuzi mwingine ambao nilijua kabisa ni uongo. “Hakluna cha mimba wala nini, hivi wewe huoni kama anataka kukuchota akili!” Niliongea kwa hasira, pale nilikua kama mfanyakazi ila kwa wakati ule nilijua kazi sina hivyo ilikua ni lazima kumtetea Jack na kuhakikisha haki inatendeka. Nilipiga kelele na harakaharaka nilitaja karibu kila kitu ambacho mimi nilikishuhudia Dada akimfanyia Jack. “Mume wangu unaona, huyu binti ndiyo sababu ya kila kitu. Hataki kufanya kazi, nyumba ikakua chafu na kamjaza mwanao kiburi, mbona kabla ya kuja tulikua tunaishi salama. Jack namfundisha kazi na ananisaidia kufanya kazi za ndani, kwa hali yangu hii siwezi kufanya chochote, wewe mwenyewe unakumbuka kilichotokea kipindi kile. Unajua namna tulivyohangaikia huyu mtoto, hivi kweli kumfundisha mtoto wa kike kazi za nyumbani ni kosa? Au kumchapa akikosea ni kosa? Au kwakua mimi sina kazi nipo hapa nyumbani, au kwakua mimi ni Mama wa kambo ndiyo mnaniona kama shetani. Huyu binti anajazwa maneno na Mama yake, kila siku wanaongea na ndiyo wanataka kutuvuruga. Mimi siwezi, mimi siwezi kama umenichoka niambie tu niondoke zangu!” Aliongea huku akilia, kila kitu kilikua ni uigizaji, wakati anaongea alianza kunyanyuka, alinyanyuka huku akishika tumbo kama vile ana maumivu tumboni. “Nini? Kuna nini kimetokea, tumbo linauma?” Baba alimuuliza lakini hakujibu zaidi ya kumuambia niache kama umeamua kumsikiliza huyo baki naye mimi naondoka. Alinyanyuka kwa kupepesuka kisha taratibu alidondoka chini. Niliona kabisa kafanya makusudi kwani hakudondokea sakafuni, alipiga jicho pembeni kisha akapepesa macho na kudondokea kwenye sofa, akawa kama kakaa kiupende kisha ndiyo akafika chini. Baba alipaniki, alianza kuhaha, simu alitupa pembeni na kuacha kuangalia, watoto wake nao walikuja kulia na kumlilia Mama yao. Ilikua ni kama maigizo flani, Baba alianza kuongea habari za Hospitali ndipo alijifanya kufungua macho na kulazimisha kupelekwa chumbani. Aliniambia nimsaidie kumnyanyua lakini sikua tayari, nilimshika Jack mkono na kuondoka naye mapaka chumbani, nilimuacha Baba akihangaika kumnyanyua ili kumpeleka chumbani, alisahau kabisa ishu ya mwanae. **** Usiku mzima sikulala, nilijua nafukuzwa lakini suala la kumuacha Jack pale halikuingia akilini. Nilimuambia Jack nimpeleke kwa Bibi yake lakini alikataa katakata. “Watakuja tu kunichukua, hata nikisema nini hakuna mtu wa kunisikiliza. Wewe dada ondoka tu uniache hapa, nimeshazoea kila dada anayekuja anachoka na kuondoka mimi naendelea tu kubaki. Baba hawezi kuruhusu niondoke, alishagombana na Bibi mara nyingi lakini anasema ananipenda na hawezi kukaa mbali na mimi. Kumbe sikua mimi peke yangu niliyeona yale mateso na kukerwa nayo, kulikua na wafanyakazi wengine wawili nyuma ambao walishafukuzwa kwaajili ya Jack ndiyo maana alikata tamaa. Mmoja alisema kwa Bibi yake Jack na mwingine alimpa chakula na alikua anawasiliana na Mama yake Jack. Asubuhi Baba aliamka kama kawaida, ni kama kulikua hakuna kitu kilichotokea, Dada alijifanya kuamka na kumuamsha Jack kwaajili ya shule, alijidai kumuandaa na kujifanya hana kinyongo. Waliwaaandaa na kuwapeleka shule, alipoondoka tu Dada aliniambia nikusanye kila kilicho changu na kuondoka. Alinitukana sana kwa kutaka kuingilia nyumba yake akiniambia kuwa pale hawezi kuondoka. Alitaka kunipiga lakini kwakua sikuwa nikihitaji kazi tena na nilishajua siwezi kubaki tena pale kumlinda Jack niliamua kumtolea hasira. Baba alishaondoka kwenda kazini hivyo tulibaki wawili tu, pamoja na mwili wangu mdogo lakini nilipitia mengi, maisha ya kupigana mtaani nilishayazoea. Nilimsubiri aliponipiga kofi la kwanza na la pili. Nilimuacha anogewe ndiyo nikaanza kumtandika, hakuamini. Nilimtandika kama vile mtoto mdogo, nilimpiga sana akapiga kelele lakini hakukua na mtu wa kumsikia. Baada ya hapo nilichukua kilicho changu na kuondoka. Nilimuambia naondoka lakini nitarudi, nitarudi kwaajili ya Jack. Alinyamaza kimya bila kusema chochote. Kumbe mtu mwenyewe alikua mayai mayai halafu anajifanya kuonea watu. Niliondoka na kwenda kwa kijana mmoja, huyo alikua ni X wangu, tulizinguana kitambo kabla sijaacha kazi nilipokua nikifanya mwanzoni, yeye alikua ni Kondakta wa daladala hivyo mchana alikua kazini. Mlango wake nilikua naujua vizuri hivyo niliufungua hata bila funguo. Sikua na pakwenda kwani sikua na ndugu Dar, ingawa sikuachana naye vizuri lakini nisingelala mtaani. Jioni alirudi na kunikuta, hata hakukasirika, alianza kucheka na kunitania kama siwezi kuishi bila yeye. Nilimuambia ishu yangu, nikamuonyesha ile video katika simu yangu, hata yeye pamoja na Bangi zake hakuamini kama kuna mtu anaweza kufanya vile tena kwa mtoto mdogo kama yule. “Huyo mwanaume kashatengenezwa, cha kufanya hapo ni kwenda Polisi, mbona siku mbili huyo akikaa ndani anakaa sawa…” Aliongea huku akinigusa, najua alitaka mapenzi lakini sikua katika mood kabisa, ila aliongea jambo amaalo sikuliwaza kabisa hapo awali. “Baba yake anaweza asijali lakini sidhani kama Polisi hawatajali.” Niliwaza kufanya hivyo lakini ulikua ni usiku, niliamua kusubiri mpaka asubuhi. Lakini niliwaza kama itakua vizuri nikienda na Jack kwani nilijua kuwa wakiangalia makovu yake basi utakua ni ushahidi tosha na watamuonea huruma. Lakini ningempataje wakati yuko shuleni, niliamua kwenda nyumbani kwao kumsubiri wakati anatoka shule. Wakati wanashushwa na gari kabla ya kuingia ndani nimchukue na kuondoka naye. Mchana muda wa wao kutoka shule nilichukua Bajaji, nilimuambia Dereva kupaki karibu na geti kabisa, Gari la shule lilipokuja na kuwashusha nilishuka na mimi. Wote waliniona, wale wengine walikimbilia ndani lakini Jack ambaye alikua anaogopa alisimama na kuniambia niondoke kwani atapigwa. Sikumsikiliza wala sikusubiri kumuelezea. Nilimshika na kumvuruta mpaka kwenye Bajaji, nikamuingiza kwa lazima kisha nikamuambia Dereva tuondoke. Kwakua nilishamuambia kila kitu aliwahsa Bajaji mpaka kituoni. Kule nilienda mpaka mapokezi, hakukua na watu wengi, nilianza kuelezea kila kitu, nikawaonyesha na Video. Kila askari aliyeiona alikasirika, tulipewa askari wa kike ambaye alienda kumkagua Jack. Alikua ni Mama mtu mzima, wakati anamkagua alianza kutokwa na machozi ingawa alijizuia sana. Mwanzoni Jack alikataa kusema lakini baada ya kuhakikishiwa usalama wake lielezea kila kitu. Niliandikisha maelezo kisha tukapewa PF3 ili akatibiwe, askari mmoja alitupeleka hospitalini na gari yake binafsi. Baada ya hapo ilitolewa RB, Dada na Baba wote walikamatwa na kufikishwa kituoni. Wote walikua na kesi, haikua ni ya mtu mmoja tena. Polisi waliwasiliana na ndugu wengine kwaajili ya kumchukua Jack na kukaa na wale watoto wengine kwani wote hawakupewa dhamana. Mimi niliondoka lakini nilikua naenda Hospitalini kumuangalia Jack mara kwa mara. Alilazwa kupatiwa matibabu kwa muda wa wiki moja hivi, Mama yake alikuja na baadaye kukabidhiwa mtoto wake. Baba na Dada walikaa mahabusu kwa wiki moja na kutoka kwa dhamana lakini cha kushangaza hawakupelekwa mahakamani. Sijui nini kilitokea lakini binafsi naamini walitoa pesa nyingi kwani Baba Jack alikua na pesa na kacheo flani. Kesi iliisha chinichini na mimi sikuweza kufuatilia, baada tu ya Jack kurudi na kukabidhiwa kwa Mama yake kwangu hilo lilitosha hayo mengine yalikua hayanihusu. Hela yenyewe ya kula ilikua ni shida nisingeweza kufuatilia maisha ya wengine. Sasa hivi imepita kama miaka miwili hivi tangu hili tukio litokee, nipo hapahapa Dar lakini nimehama mtaa. Sifanyi tena kazi za ndani, nimefungua Genge langu ambalo nauza mbogamboga na matunda. Bado nawasiliana na Jack kupitia Mama yake na anaendelea vizuri, wanaishi maisha ya kawaida sana lakini yenye furaha. Katika kazi yangu hii ya kuuza Genge wateja wangu wengi ni wadada wakazi ‘House Girl’ mengi wanayokutana nayo katika nyumba za watu ni kubwa. Kwa wa mama ambao ndiyo mabosi wetu kumbukeni hata sisi ni wanadamu kama nyinyi. ***MWISHO MAMA KWANI BABA YETU NDIYO HUYU HUYU AU SISI NI MAYATIMA? Baba yao ndiyo alikua na kila kitu, mali zote zilikua za kwao lakini kila akisafiri walikua wakiishi kama mashetani, Shangazi zao na Baba zao wadogo waliungana kuwachukia, Mama yao alikua akinyanyaswa na kutukanwa. Kila siku walimuambia yeye ni mzigo na hawezi kuchukua mali za Kaka yao. Bibi yao ambaye alitegemewa kuwa upande wao naye walimjaza maneno. Walimuambia huyu mwanamke kama Kaka akimuacha watagawana mali na Kaka akifa basi atachukua mali zote. Kilichopo hapa ni kuhakikisha Kaka hawi na kitu chochote cha yeye kuchukua…. JE UNATAKA KUJUA KISA HIKI KINAHUSU NINI…Kama kisa kilichopita kilikutoa machozi hiki kitakupigisha mayowe… Lakini nacho kimetokea niseme kinaendelea kutokea, unaweza kuwa na mali nyingi na wanao wakaishi kama mashetani hata kabla hujafa. Kama unataka kuwa wa kwanza kukisoma basi hakikisha umelike ukurasa ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: