Home → simulizi
→ KIJIJI CHA SHETANI.
Sehemu ya Sita
ILIPOISHIA.........
.... Zuma moja kwa moja akiwa amejaa hasira alimuangalia babu yake,na hapo ndipo walipogonganisha macho yao wote wawili.Balaaaa....
SASA ENDELEA........
.....ZUMA akiwa amepandwa na hasira juu ya Babu yake na kile walichotaka kumfanyia usiku alijikuta anataka kutoka pale alipokuwa kasimama kwenye mlango wa chumba cha wazee wake hao ili akamkute babu yake,Alipotaka kujalibu kufanya hivyo Mzee Shomary alimkazia macho mjukuu wake na kumpiga na uchawi wa chini kwa chini kwa kutumia macho,ghafla Zuma mwili wake uliishiwa nguvu na hatimae akiwa pale mlangoni alizimia,Mzee shomary alifanya hivyo kwa mjukuu wake ili kumzuia asitoe siri kwa kile anachokifahamu
Msiba ulitengwa na watu karibuni kijiji kizima cha Ujiji walihudhuria pale kwa ajiri ya kutoa heshima za mwisho,wakati huo msiba unaendelea pia baadhi ya watu walikuwa wakihangaika kumpepelea Zuma ili aludishe fahamu,Watu walijua huenda amezimia kwa sababu ya mshituko wa tukio la kufariki kwa Bibi yake ambae ni Bi Hindu.
Mama Zuma nae alikuwa ni mtu wa kulia na kuzimia kisha anazinduka na kuendelea kulia tena kutokana na kifo hicho cha mama yake cha bila kutarajia,Hakuamini mama yake yule ambae ameonyesha msaada wa mwisho kwake hatimae ameaga dunia.
Walishindwa kuzika siku hiyo hiyo kutokana na kuwa muda umeenda sana hivyo taratibu za mazishi zilipangwa kesho yake saa nne asubuhi.
Mnamo saa mbili usiku baada ya Zuma kupepelewa sana pia kumwagiwa maji ya baridi hatimae alizinduka,Cha ajabu pamoja na kwa Zuma alizinduka lakini tayari babu yake alikuwa amevuluga akili za Zuma hivyo Zuma alizinduka kama mtu aliepoteza kumbukumbu na akili pia zikiwa zimechanganyikiwa kidogo,Zuma alijikuta akiwa pale msibani alikuwa anauliza watu waliokuwa wanampepelea kuwa hapo kunanini.Licha watu kumueleza kuwa kuna msiba wa bibi yake lakini Zuma hakuonekana kushtuka na kitu chochote au kulia kama awali,Badala yake alibaki kimya akiwaangalia watu tu na kuwashangaa,Hakuwa anakumbuka chochote kinachoendelea na kila kitu alichokiona pale kilionekana kigeni kwake.
Waliamua kumpa chakula kisha kumpa maji ya kuoga baada ya kuona hali aliokuwa nayo haikuwa nzuri kutokana na yeye kuwa amepoteza kumbukumbu na pia akili yake haijakaa vizuri,Baada ya hapo Zuma walimpatia sehemu ya kulala kwa ajili ya mazishi ya Bibi yake kesho,Hatimae wengine wa kulala msibani walilala na pia wegine wa kukesha pale nje wakiwa wamewasha moto walikesha.
Kesho yake asubuhi na mapema maandalizi yaliendelea kwa ajili ya heshima za mwisho na pia kwa ajili ya kumuita shekhe atakaeweza kusoma Dua ya mwisho kwa ajili ya marehemu.Ibada ya Dua ya kumuaga Bi hindu iliandaliwa isimwe saa 4 asubuhi kisha baada ya hapo ni mazishi.
Ukweli ni kuwa ndani hapakuwa na Bi Hindu bali palikuwa na Mgomba uliowekwa kwa mfano wa Bi Himdu maana Bi Hindu alikuwa tayari ameshageuzwa sadaka na kafara kwa ajili yao.
Shamla shamla za uandaaji wa chai kwa ajili ya waliohudhuria kwenye msiba ule ziliendelea n hatimae saa tatu kamili watu walianza kupata chai.
Masikini Zuma hali ya kupoteza kumbukumbu na akili yake kuharibiwa na babu yake bado ilimtawala kichwani,alikuwa bado ni mtu asieelewa chochote kinachoendelea hivyo hata alipoabiwa kuwa bibi yako amefariki na penyewe hakuelewa chochote,Walimpatia pia na yeye chai kisha kumuweka tayari kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho za Bibi yake.
Saa Nne Asubuhi ndani ya alama kila kitu kilikuwa tayari,Mwili ulitolewa nje kwa ajili ya kuswaliwa na watu walishika Udhu kwa ajili ya ibada ya kuuaga mwili.
SHEKHE aliehudhulia pale kwa ajili ya kuongoza ibada ile ya kumuaga Bi Hindu alikuwa si mwingine bali mwite Shekhe Kagusa yaani Mzee Kagusa kiongozi mkuu wa uchawi eneo la ujiji.Ni mtu mnafiki alieonekana kujishirikisha na mambo ya Mungu lakini ndani yake ni mchawi wa kutupa.
Pia kuna sababu za Mzee Shomary kumuweka Mzee Kagusa yeye aongoze ibada ile kwa sababu laiti wangechagua Shekhe mwingine mwenye nguvu za Mungu za rohoni walihofia huenda akagundua upuuzi walioufanya wa kugeuza mwili wa Bi Hindu kama mgomba na wakati Bi Hindu wakati huo alikuwa tayari kwenye matumbo yao pamoja na damu yake.Hivyo ndio maana walimpanga Mzee Kagusa kwa sababu wote lao ni moja.
IBADA ilianza na kama kawaida ibada za kuombea mwili wa marehemu katika Uislamu huwa sio ndefu za kuchoshana hatimae wanaume walinyayuka kwa ajili ya kwenda kumpumzisha Bi Hindu japo hakuwa Bi Hindu.Waliondoka na kubeba mgomba ule wenye sura ya Bi Hindu huku nyuma wakiacha vilio vya wakina mama kutokana na wao kwa sheria ya Dini kutokuruhusiwa kwenda kuzika.Hatimae wanaume walifika mahali ambapo waliandaa kwa ajili ya makazi ya milele ya Bi Hindu na taratibu zikafuata za kuutua mzigo ule kwa ajili ya Mzee Kagusa kumalizia DUA za hapa na pale kabla na baada ya mazishi.HUO NDIO UKAWA MWISHO WA BI HINDU.R.I.P
* * * * * * *
HALI ilikuwa bado tete kwa Zuma,kutokana na kutokujitambua na wakati huo msiba ulikuwa umeisha na waliokuwa wamebaki eneo hilo la msiba ni majirani wa kawaida na pia Mama Zuma,Zuma pamoja na wadogo zake,muda wote Zuma alikuwa hajielewi wala haelewi kinachoendelea,Walikaa pale mpaka mida ya usiku na hatimae Mama Zuma aliamua kuwachukuwa wanawe na kwenda kumuaga baba yake ambae ni Mzee Shomary kuwa anaenda nyumbani kwake na kumuahidi kesho atakuja Asubuhi kumsaidia majukumu ya hapa na pale.Baada ya hayo Mama Zuma aliondoka akiambatana na Zuma pamoja na wanawe.
Ilikuwa mida ya saa moja na nusu usiku ambapo Zuma na mama yake pamoja na wadogo zake wamelejea nyumbani,Moja kwa moja Zuma aliingia kulala.
Mama Zuma alifikia jikoni na kuanza kupika chakula cha usiku huku akisaidiwa na Miriamu mdogo wa pili wa Zuma.
Mida ya saa tatu usiku ikielekea saa nne Zuma alishtuka kutoka usingizini,alipokelewa na giza zito lililokuwa chumbani mwake,kitu cha kwanza alichojiuliza kichwani ni"Hivi hapa nipo wapi".Alitulia pale kitandani kwake kama sekunde kadhaa akiendelea kujiuliza yupo sehemu gani.Alivuta kumbukumbu na kukumbuka tukio la mara ya mwisho pale mlangoni kwa babu yake yeye na babu yake na ndipo akakumbuka kuwa alikuwa msibani kwa bibi yake.Kumbukumbu na akili ya Zuma sasa zilikuwa zimeachiliwa na babu yake baada ya kupigwa na uchawi pale msibani ili asiweze kufanya chochote.Zuma bado alikuwa anajiuliza pale kitandani kuwa kwa sasa hivi yupo eneo gani?,alikuwa bado yupo njia panda je yupo bado msibani kwa bibi yake au yupo sehemu nyingine,Wasiwasi ulianza kumuingiana hofu kuwa asije akawa yupo tena mikononi mwa babu yake na watu wake.
Hapo ndipo Zuma alipoamua kujitikisa kitandani na kupokelewa na mlio wa kitanda chake kile kilichokuwa na ubovu katika nati kikilia "Nyweeeeeeeh" pindi mtu akikitikisa.
Zuma alitabasamu baada ya kusikia mlio ule na kujua moja kwa moja kuwa sasa yupo nyumbani.
Mara sauti ya mama yake ilisikika ikimwambia miriamu nje"Nenda ndani kamlete kaka yako aje ale".Miriamu aliagizwa na mama yake akijua kabisa Zuma bado akili hazijalejea hivyo ni ngumu kumuita aje mwenyewe.Wakati huo walikuwa wametandika mkeka nje na chakula kilikuwa kimewekwa kwa ajili ya kuliwa.
miriamu alianza kupiga hatua za kumfuata Zuma chumbani kwake ili aje ale.Ghafla mama Zuma alishangaa kumuona miriamu akirudi kinyume nyume mara baada ya kutaka kuingia mlangoni ili aingie kuelekea chumbani kwa kaka yake akamuite.Mama Zuma moyo ulimlipuka baada ya kuona kitendo kile cha miriamu kurudi kinyume nyume akirudi alikotoka.
JE NINI KITAENDELEA
Kwanini Miriamu analudi kinyume nyume badala ya kwenda kumuita kaka yake....?
Usikose sehemu ya saba ya Simulizi hii ya kusisimua
KIJIJI CHA SHETANI
Sehemu ya saba
Ilipoishia
...... Ghafla mama Zuma alishangaa kumuona miriamu akirudi kinyume nyume mara baada ya kutaka kuingia mlangoni ili aingie kuelekea chumbani kwa kaka yake akamuite.Mama Zuma moyo ulimlipuka baada ya kuona kitendo kile cha miriamu kurudi kinyume nyume akirudi alikotoka.
Sasa endelea
.....Kilichomfanya Mariamu arudi nyuma ni baada ya kukutana na Zuma mlangoni akiwa amesimama,Zuma wakati huo alikuwa amesimama huku mawazo mengi sana yakipita kichwani mwake,alikuwa akiwaza mengi juu ya msiba wa bibi yake na pia kile alichokifanya babu yake,Kilichomtoa kutoka kule chumbani mpaka pale mlangoni ni kwasababu tayari fahamu na uelewa wake ulikuwa umelejea na alisikia sauti ya mama yake ikimuagiza Miriamu aje amuite hivyo kabla Miriamu hajaja kumuita aliamua aamke mwenyewe aende.
Miriamu aliludi nyuma na kuogopa kwa sababu toka kaka yake apoteze akili zake na uelewa wake alimuona ni hatari hivyo aliogopa hata kukaa nae karibu huenda hata akamdhuru hivyo alivyomuona pale mlangoni kasimama alihisi kiama chake kimefika,Mama Zuma alinyanyuka na kwenda kushuhudia ni kwanini Miriamu alipatwa na wasiwasi kiasi kile mpaka kurudi nyuma,alitembea haraka haraka ili akashuhudie kuna nini mle ndani kinachoendelea,Alipofika eneo la mlango alikutana na Zuma ambae nae alikuwa anataka kuanza kupiga hatua za kutoka nje baada ya kuwaza kwa dakika kadhaa pale mlangoni.
Zuma alipomuona mama yake alimuamkia"Shikamoo mama".Kabla hata Mama zuma hajaitikia salamu ile alianza kudondosha machozi ya furaha kwa kumuona mwanae amelejea katika hali yake,Hakutarajia kama kuona atapona tena alijua ndio alishakuwa wa hivyo hivyo.Wakati mama Zuma akilia kwa furaha juu ya kurejea kwa uzima kwa mwanae Zuma nae alijikuta analia kwa uchungu kila akifikilia yale yatakayotokea mbeleni juu ya mama yake kutokana na Bi Hindu ambae alikuwa msaada mkubwa kuwa amefariki,Hivyo walijikuta wote mtu na mama yake wamekubatiana huku wakilia kila mmoja akilia na la kwake.
Baada ya Vilio vile vya mtu na mwanae sasa familia ilikaa mkekani kupata chakula,Walikuwepo wote yaani Mama yao,Miriamu,Amos pamoja na Zuma mwenyewe,Zuma mda wote akili haikuwepo pale nyumbani bali ilichukuliwa mbali sana na mawazo mazito kutokana na mambo mazito yanayoendelea ambayo hata mama hajui chochote,Hii ilimpelekea hata chakula ale kwa kusitasita kama vile mtu ambae hajapendezwa na chakula.Zuma ilifika kipindi akafikilia hata kuchukua panga na kwenda kumuua babu yake lakini alipokumbula ule uchawi ambao aliofanyiwa siku ile na kumfanya apoteze kumbukumbu aliogopa na kuwa mpole.
Hatimae walimaliza kula na baada ya hapo kukawa na mazungumzo ya hapa na pale kama familia kisha kila mmoja alielekea kulala,Zuma alifika chumbani mwake na sasa zimepita takribani siku kama mbili hajagusa hata daftari,Aliingia moja kwa moja kulala japo usingizi wenyewe haukupita mawazo mengi sana yalikuwa yakipita kichwani mwake kitendo kilichopelekea kichwa chake kuuma usiku ule.Hatimae Mungu si athumani usingizi ulimpitia.
* * * * * *
...NI alfajiri na mapema yapata saa 11 hivi sauti ya adhanaa msikitini kupitia kipaza sauti ilipenya masikioni mwa Zuma,Bila kupoteza muda na wakati Zuma alijisemea moyoni"Lazima leo niende shule hata kama jana nilikuwa na msiba nipo kidato cha nne mwishoni nikizubaa ntafeli,Moja kwa moja aliamka na kisha kuanza taratibu za kujiandaa kuwahi shule,Mama yake nae alikuwa ni fundi pia wa kuitumia sauti ile iliyowaamsha na kuwahimiza ibada waislamu kama sauti ya yeye kuanza pia kufungasha na kujiweka tayari katika biashara yake ya mgahawa lakini kwa siku ile Mama Zuma ilikuwa ya tofauti kwake kwani alishtuka tu na badala ya kuweka vitu sawa alifumbua tu macho na kumsikiliza mwanae akiwa katika maandalizi"Mh mtoto huyu anavyopenda shule hata kusema akae nyumbani hata siku mbili aomboleze msiba wa bibi yake hakuna"Alijisemea mama Zuma huku akiendelea kumsikiliza Zuma na purukushani zake kule chumbani,alijua hana uwezo wa kumzuia asiende shule kwa sababu hata njaa yenyewe ilishindwa kupambana ma Zuma.Hata hivyo japo kuwa shule ilikuwa mbali kiasi kwamba ilimlazimu aamke saa 11 lakini bado Zuma hakuwahi kuonyesha udhaifu wa kutokwenda shule kitendo kilichomfanya aonekane kuwa na bidii katika masomo.
Ndani ya nusu saa purukushani za Zuma kujiandaa kwa ajiri ya kwenda shule ziliisha na sasa alimuita mama yake kwa ajiri ya kumsalimia na kumuaga huku tayari wenzake aliokuwa anasoma nao walikuwa wameshampitia kwa ajiri ya kuianza safari.
Yapata saa moja na nusu baada ya mwendo mrefu na sasa safari ilifikia kikomo katika darasa lililoandikwa kwa maandishi makubwa mlangoni KIDATO CHA NNE "A".Lilikuwa ni darasa la wanafunzi wa sayansi na wakati huo walikuwepo tayari wameingia darasani,ilikuwa ni kawaida kwa Zuma na wenzake kuchelewa kutokana na umbali mrefu kitendo kilichosababisha waalimu kuwapa ruhusa ya wao kuwa wanafika pale shule saa moja na nusu hadi saa mbili asubuhi wakati huo muda wa paredi unakuwa umeisha na sasa unakuwa ni muda wa kipindi cha kwanza darasani.
Darasa lilikuwa limetulia lakini baada tu ya kuingia Zuma darasa lilianza kujawa na mazungumzo huku kila mwanafunzi akienda katika dawati la Zuma kumpa mkono wa pole kutokana na kufiwa na bibi yake.Zuma alipendwa sana na wenzake kutokana na tabia ya kumsaidia kila mtu katika masomo hivyo hakuwa na mtu wa kumchukia kwa mabaya hivyo dawati lake lilijaa watu waliotoa pole kwake.
Baada ya mlima mrefu wa pole za wanafunzi uliojaa katika dawati la Zuma hatimae darasa lilitulia na wanafunzi kuendelea kujisomea.Kwa Zuma ilikuwa tofauti sana kwani kila akishika daftari ajisomee mambo yaligoma na kujikuta anafikilia hatima ya maisha yanayoendelea katika familia yake.
RAMA rafiki yake kipenzi aliekuwa akikaa nae kwenye dawati aliona rafiki yake yupo katika hali ya tofauti sana.Rama ilibidi awe mfariji wa rafiki yake akijua kuwa kilichomsubua Zuma ni kuondokewa na Bibi yake ambae ni Bi Hindu.Kumbe kwa Zuma ilikuwa tofauti yeye hakuwa anawaza msiba bali aliwaza juu ya familia yake na uchawi wa babu yake unaoendelea.Mawazo mengi na sauti ya maneno ya kuriwaza kutoka kwa Rama yalitengeneza usingizi kwa Zuma na kujikuta anapiga usingizi mzito darasani.Rama baada ya kuona rafiki yake amelala hakutaka kumuamsha bali kumuacha apumzishe kichwa labda itokee dharura ya mwalimu kuingia darasani kufundisha
Ni saa 4 mda wa mapumziko Zuma anaamka kutoka usingizini na kukutana na watu wachache darasani ambao walikuwa wamebaki kutokana na wao kutokwenda pumziko.
Mara mlangoni ilisikika sauti ya Rama ikisema"Zuma unaitwa ofisini kuna mgeni wako amekuja kaleta taarifa kutoka nyumbani".Alisema Rama na kuuwacha moyo wa Zuma ukilipuka kwa shauku ya kujua ni taarifa gani iliyoletwa.
JE NINI KITAENDELEA
..Tukutane śaa 2usiku hap hap team b professional love
KIJIJI CHA SHETANI. Sehemu ya Sita ILIPOISHIA......... .... Zuma moja kwa moja akiwa amejaa hasira alimuangalia babu yake,na hapo ndipo walipogonganisha macho yao wote wawili.Balaaaa.... SASA ENDELEA........ .....ZUMA akiwa amepandwa na hasira juu ya Babu yake na kile walichotaka kumfanyia usiku alijikuta anataka kutoka pale alipokuwa kasimama kwenye mlango wa chumba cha wazee wake hao ili akamkute babu yake,Alipotaka kujalibu kufanya hivyo Mzee Shomary alimkazia macho mjukuu wake na kumpiga na uchawi wa chini kwa chini kwa kutumia macho,ghafla Zuma mwili wake uliishiwa nguvu na hatimae akiwa pale mlangoni alizimia,Mzee shomary alifanya hivyo kwa mjukuu wake ili kumzuia asitoe siri kwa kile anachokifahamu Msiba ulitengwa na watu karibuni kijiji kizima cha Ujiji walihudhuria pale kwa ajiri ya kutoa heshima za mwisho,wakati huo msiba unaendelea pia baadhi ya watu walikuwa wakihangaika kumpepelea Zuma ili aludishe fahamu,Watu walijua huenda amezimia kwa sababu ya mshituko wa tukio la kufariki kwa Bibi yake ambae ni Bi Hindu. Mama Zuma nae alikuwa ni mtu wa kulia na kuzimia kisha anazinduka na kuendelea kulia tena kutokana na kifo hicho cha mama yake cha bila kutarajia,Hakuamini mama yake yule ambae ameonyesha msaada wa mwisho kwake hatimae ameaga dunia. Walishindwa kuzika siku hiyo hiyo kutokana na kuwa muda umeenda sana hivyo taratibu za mazishi zilipangwa kesho yake saa nne asubuhi. Mnamo saa mbili usiku baada ya Zuma kupepelewa sana pia kumwagiwa maji ya baridi hatimae alizinduka,Cha ajabu pamoja na kwa Zuma alizinduka lakini tayari babu yake alikuwa amevuluga akili za Zuma hivyo Zuma alizinduka kama mtu aliepoteza kumbukumbu na akili pia zikiwa zimechanganyikiwa kidogo,Zuma alijikuta akiwa pale msibani alikuwa anauliza watu waliokuwa wanampepelea kuwa hapo kunanini.Licha watu kumueleza kuwa kuna msiba wa bibi yake lakini Zuma hakuonekana kushtuka na kitu chochote au kulia kama awali,Badala yake alibaki kimya akiwaangalia watu tu na kuwashangaa,Hakuwa anakumbuka chochote kinachoendelea na kila kitu alichokiona pale kilionekana kigeni kwake. Waliamua kumpa chakula kisha kumpa maji ya kuoga baada ya kuona hali aliokuwa nayo haikuwa nzuri kutokana na yeye kuwa amepoteza kumbukumbu na pia akili yake haijakaa vizuri,Baada ya hapo Zuma walimpatia sehemu ya kulala kwa ajili ya mazishi ya Bibi yake kesho,Hatimae wengine wa kulala msibani walilala na pia wegine wa kukesha pale nje wakiwa wamewasha moto walikesha. Kesho yake asubuhi na mapema maandalizi yaliendelea kwa ajili ya heshima za mwisho na pia kwa ajili ya kumuita shekhe atakaeweza kusoma Dua ya mwisho kwa ajili ya marehemu.Ibada ya Dua ya kumuaga Bi hindu iliandaliwa isimwe saa 4 asubuhi kisha baada ya hapo ni mazishi. Ukweli ni kuwa ndani hapakuwa na Bi Hindu bali palikuwa na Mgomba uliowekwa kwa mfano wa Bi Himdu maana Bi Hindu alikuwa tayari ameshageuzwa sadaka na kafara kwa ajili yao. Shamla shamla za uandaaji wa chai kwa ajili ya waliohudhuria kwenye msiba ule ziliendelea n hatimae saa tatu kamili watu walianza kupata chai. Masikini Zuma hali ya kupoteza kumbukumbu na akili yake kuharibiwa na babu yake bado ilimtawala kichwani,alikuwa bado ni mtu asieelewa chochote kinachoendelea hivyo hata alipoabiwa kuwa bibi yako amefariki na penyewe hakuelewa chochote,Walimpatia pia na yeye chai kisha kumuweka tayari kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho za Bibi yake. Saa Nne Asubuhi ndani ya alama kila kitu kilikuwa tayari,Mwili ulitolewa nje kwa ajili ya kuswaliwa na watu walishika Udhu kwa ajili ya ibada ya kuuaga mwili. SHEKHE aliehudhulia pale kwa ajili ya kuongoza ibada ile ya kumuaga Bi Hindu alikuwa si mwingine bali mwite Shekhe Kagusa yaani Mzee Kagusa kiongozi mkuu wa uchawi eneo la ujiji.Ni mtu mnafiki alieonekana kujishirikisha na mambo ya Mungu lakini ndani yake ni mchawi wa kutupa. Pia kuna sababu za Mzee Shomary kumuweka Mzee Kagusa yeye aongoze ibada ile kwa sababu laiti wangechagua Shekhe mwingine mwenye nguvu za Mungu za rohoni walihofia huenda akagundua upuuzi walioufanya wa kugeuza mwili wa Bi Hindu kama mgomba na wakati Bi Hindu wakati huo alikuwa tayari kwenye matumbo yao pamoja na damu yake.Hivyo ndio maana walimpanga Mzee Kagusa kwa sababu wote lao ni moja. IBADA ilianza na kama kawaida ibada za kuombea mwili wa marehemu katika Uislamu huwa sio ndefu za kuchoshana hatimae wanaume walinyayuka kwa ajili ya kwenda kumpumzisha Bi Hindu japo hakuwa Bi Hindu.Waliondoka na kubeba mgomba ule wenye sura ya Bi Hindu huku nyuma wakiacha vilio vya wakina mama kutokana na wao kwa sheria ya Dini kutokuruhusiwa kwenda kuzika.Hatimae wanaume walifika mahali ambapo waliandaa kwa ajili ya makazi ya milele ya Bi Hindu na taratibu zikafuata za kuutua mzigo ule kwa ajili ya Mzee Kagusa kumalizia DUA za hapa na pale kabla na baada ya mazishi.HUO NDIO UKAWA MWISHO WA BI HINDU.R.I.P * * * * * * * HALI ilikuwa bado tete kwa Zuma,kutokana na kutokujitambua na wakati huo msiba ulikuwa umeisha na waliokuwa wamebaki eneo hilo la msiba ni majirani wa kawaida na pia Mama Zuma,Zuma pamoja na wadogo zake,muda wote Zuma alikuwa hajielewi wala haelewi kinachoendelea,Walikaa pale mpaka mida ya usiku na hatimae Mama Zuma aliamua kuwachukuwa wanawe na kwenda kumuaga baba yake ambae ni Mzee Shomary kuwa anaenda nyumbani kwake na kumuahidi kesho atakuja Asubuhi kumsaidia majukumu ya hapa na pale.Baada ya hayo Mama Zuma aliondoka akiambatana na Zuma pamoja na wanawe. Ilikuwa mida ya saa moja na nusu usiku ambapo Zuma na mama yake pamoja na wadogo zake wamelejea nyumbani,Moja kwa moja Zuma aliingia kulala. Mama Zuma alifikia jikoni na kuanza kupika chakula cha usiku huku akisaidiwa na Miriamu mdogo wa pili wa Zuma. Mida ya saa tatu usiku ikielekea saa nne Zuma alishtuka kutoka usingizini,alipokelewa na giza zito lililokuwa chumbani mwake,kitu cha kwanza alichojiuliza kichwani ni"Hivi hapa nipo wapi".Alitulia pale kitandani kwake kama sekunde kadhaa akiendelea kujiuliza yupo sehemu gani.Alivuta kumbukumbu na kukumbuka tukio la mara ya mwisho pale mlangoni kwa babu yake yeye na babu yake na ndipo akakumbuka kuwa alikuwa msibani kwa bibi yake.Kumbukumbu na akili ya Zuma sasa zilikuwa zimeachiliwa na babu yake baada ya kupigwa na uchawi pale msibani ili asiweze kufanya chochote.Zuma bado alikuwa anajiuliza pale kitandani kuwa kwa sasa hivi yupo eneo gani?,alikuwa bado yupo njia panda je yupo bado msibani kwa bibi yake au yupo sehemu nyingine,Wasiwasi ulianza kumuingiana hofu kuwa asije akawa yupo tena mikononi mwa babu yake na watu wake. Hapo ndipo Zuma alipoamua kujitikisa kitandani na kupokelewa na mlio wa kitanda chake kile kilichokuwa na ubovu katika nati kikilia "Nyweeeeeeeh" pindi mtu akikitikisa. Zuma alitabasamu baada ya kusikia mlio ule na kujua moja kwa moja kuwa sasa yupo nyumbani. Mara sauti ya mama yake ilisikika ikimwambia miriamu nje"Nenda ndani kamlete kaka yako aje ale".Miriamu aliagizwa na mama yake akijua kabisa Zuma bado akili hazijalejea hivyo ni ngumu kumuita aje mwenyewe.Wakati huo walikuwa wametandika mkeka nje na chakula kilikuwa kimewekwa kwa ajili ya kuliwa. miriamu alianza kupiga hatua za kumfuata Zuma chumbani kwake ili aje ale.Ghafla mama Zuma alishangaa kumuona miriamu akirudi kinyume nyume mara baada ya kutaka kuingia mlangoni ili aingie kuelekea chumbani kwa kaka yake akamuite.Mama Zuma moyo ulimlipuka baada ya kuona kitendo kile cha miriamu kurudi kinyume nyume akirudi alikotoka. JE NINI KITAENDELEA Kwanini Miriamu analudi kinyume nyume badala ya kwenda kumuita kaka yake....? Usikose sehemu ya saba ya Simulizi hii ya kusisimua KIJIJI CHA SHETANI Sehemu ya saba Ilipoishia ...... Ghafla mama Zuma alishangaa kumuona miriamu akirudi kinyume nyume mara baada ya kutaka kuingia mlangoni ili aingie kuelekea chumbani kwa kaka yake akamuite.Mama Zuma moyo ulimlipuka baada ya kuona kitendo kile cha miriamu kurudi kinyume nyume akirudi alikotoka. Sasa endelea .....Kilichomfanya Mariamu arudi nyuma ni baada ya kukutana na Zuma mlangoni akiwa amesimama,Zuma wakati huo alikuwa amesimama huku mawazo mengi sana yakipita kichwani mwake,alikuwa akiwaza mengi juu ya msiba wa bibi yake na pia kile alichokifanya babu yake,Kilichomtoa kutoka kule chumbani mpaka pale mlangoni ni kwasababu tayari fahamu na uelewa wake ulikuwa umelejea na alisikia sauti ya mama yake ikimuagiza Miriamu aje amuite hivyo kabla Miriamu hajaja kumuita aliamua aamke mwenyewe aende. Miriamu aliludi nyuma na kuogopa kwa sababu toka kaka yake apoteze akili zake na uelewa wake alimuona ni hatari hivyo aliogopa hata kukaa nae karibu huenda hata akamdhuru hivyo alivyomuona pale mlangoni kasimama alihisi kiama chake kimefika,Mama Zuma alinyanyuka na kwenda kushuhudia ni kwanini Miriamu alipatwa na wasiwasi kiasi kile mpaka kurudi nyuma,alitembea haraka haraka ili akashuhudie kuna nini mle ndani kinachoendelea,Alipofika eneo la mlango alikutana na Zuma ambae nae alikuwa anataka kuanza kupiga hatua za kutoka nje baada ya kuwaza kwa dakika kadhaa pale mlangoni. Zuma alipomuona mama yake alimuamkia"Shikamoo mama".Kabla hata Mama zuma hajaitikia salamu ile alianza kudondosha machozi ya furaha kwa kumuona mwanae amelejea katika hali yake,Hakutarajia kama kuona atapona tena alijua ndio alishakuwa wa hivyo hivyo.Wakati mama Zuma akilia kwa furaha juu ya kurejea kwa uzima kwa mwanae Zuma nae alijikuta analia kwa uchungu kila akifikilia yale yatakayotokea mbeleni juu ya mama yake kutokana na Bi Hindu ambae alikuwa msaada mkubwa kuwa amefariki,Hivyo walijikuta wote mtu na mama yake wamekubatiana huku wakilia kila mmoja akilia na la kwake. Baada ya Vilio vile vya mtu na mwanae sasa familia ilikaa mkekani kupata chakula,Walikuwepo wote yaani Mama yao,Miriamu,Amos pamoja na Zuma mwenyewe,Zuma mda wote akili haikuwepo pale nyumbani bali ilichukuliwa mbali sana na mawazo mazito kutokana na mambo mazito yanayoendelea ambayo hata mama hajui chochote,Hii ilimpelekea hata chakula ale kwa kusitasita kama vile mtu ambae hajapendezwa na chakula.Zuma ilifika kipindi akafikilia hata kuchukua panga na kwenda kumuua babu yake lakini alipokumbula ule uchawi ambao aliofanyiwa siku ile na kumfanya apoteze kumbukumbu aliogopa na kuwa mpole. Hatimae walimaliza kula na baada ya hapo kukawa na mazungumzo ya hapa na pale kama familia kisha kila mmoja alielekea kulala,Zuma alifika chumbani mwake na sasa zimepita takribani siku kama mbili hajagusa hata daftari,Aliingia moja kwa moja kulala japo usingizi wenyewe haukupita mawazo mengi sana yalikuwa yakipita kichwani mwake kitendo kilichopelekea kichwa chake kuuma usiku ule.Hatimae Mungu si athumani usingizi ulimpitia. * * * * * * ...NI alfajiri na mapema yapata saa 11 hivi sauti ya adhanaa msikitini kupitia kipaza sauti ilipenya masikioni mwa Zuma,Bila kupoteza muda na wakati Zuma alijisemea moyoni"Lazima leo niende shule hata kama jana nilikuwa na msiba nipo kidato cha nne mwishoni nikizubaa ntafeli,Moja kwa moja aliamka na kisha kuanza taratibu za kujiandaa kuwahi shule,Mama yake nae alikuwa ni fundi pia wa kuitumia sauti ile iliyowaamsha na kuwahimiza ibada waislamu kama sauti ya yeye kuanza pia kufungasha na kujiweka tayari katika biashara yake ya mgahawa lakini kwa siku ile Mama Zuma ilikuwa ya tofauti kwake kwani alishtuka tu na badala ya kuweka vitu sawa alifumbua tu macho na kumsikiliza mwanae akiwa katika maandalizi"Mh mtoto huyu anavyopenda shule hata kusema akae nyumbani hata siku mbili aomboleze msiba wa bibi yake hakuna"Alijisemea mama Zuma huku akiendelea kumsikiliza Zuma na purukushani zake kule chumbani,alijua hana uwezo wa kumzuia asiende shule kwa sababu hata njaa yenyewe ilishindwa kupambana ma Zuma.Hata hivyo japo kuwa shule ilikuwa mbali kiasi kwamba ilimlazimu aamke saa 11 lakini bado Zuma hakuwahi kuonyesha udhaifu wa kutokwenda shule kitendo kilichomfanya aonekane kuwa na bidii katika masomo. Ndani ya nusu saa purukushani za Zuma kujiandaa kwa ajiri ya kwenda shule ziliisha na sasa alimuita mama yake kwa ajiri ya kumsalimia na kumuaga huku tayari wenzake aliokuwa anasoma nao walikuwa wameshampitia kwa ajiri ya kuianza safari. Yapata saa moja na nusu baada ya mwendo mrefu na sasa safari ilifikia kikomo katika darasa lililoandikwa kwa maandishi makubwa mlangoni KIDATO CHA NNE "A".Lilikuwa ni darasa la wanafunzi wa sayansi na wakati huo walikuwepo tayari wameingia darasani,ilikuwa ni kawaida kwa Zuma na wenzake kuchelewa kutokana na umbali mrefu kitendo kilichosababisha waalimu kuwapa ruhusa ya wao kuwa wanafika pale shule saa moja na nusu hadi saa mbili asubuhi wakati huo muda wa paredi unakuwa umeisha na sasa unakuwa ni muda wa kipindi cha kwanza darasani. Darasa lilikuwa limetulia lakini baada tu ya kuingia Zuma darasa lilianza kujawa na mazungumzo huku kila mwanafunzi akienda katika dawati la Zuma kumpa mkono wa pole kutokana na kufiwa na bibi yake.Zuma alipendwa sana na wenzake kutokana na tabia ya kumsaidia kila mtu katika masomo hivyo hakuwa na mtu wa kumchukia kwa mabaya hivyo dawati lake lilijaa watu waliotoa pole kwake. Baada ya mlima mrefu wa pole za wanafunzi uliojaa katika dawati la Zuma hatimae darasa lilitulia na wanafunzi kuendelea kujisomea.Kwa Zuma ilikuwa tofauti sana kwani kila akishika daftari ajisomee mambo yaligoma na kujikuta anafikilia hatima ya maisha yanayoendelea katika familia yake. RAMA rafiki yake kipenzi aliekuwa akikaa nae kwenye dawati aliona rafiki yake yupo katika hali ya tofauti sana.Rama ilibidi awe mfariji wa rafiki yake akijua kuwa kilichomsubua Zuma ni kuondokewa na Bibi yake ambae ni Bi Hindu.Kumbe kwa Zuma ilikuwa tofauti yeye hakuwa anawaza msiba bali aliwaza juu ya familia yake na uchawi wa babu yake unaoendelea.Mawazo mengi na sauti ya maneno ya kuriwaza kutoka kwa Rama yalitengeneza usingizi kwa Zuma na kujikuta anapiga usingizi mzito darasani.Rama baada ya kuona rafiki yake amelala hakutaka kumuamsha bali kumuacha apumzishe kichwa labda itokee dharura ya mwalimu kuingia darasani kufundisha Ni saa 4 mda wa mapumziko Zuma anaamka kutoka usingizini na kukutana na watu wachache darasani ambao walikuwa wamebaki kutokana na wao kutokwenda pumziko. Mara mlangoni ilisikika sauti ya Rama ikisema"Zuma unaitwa ofisini kuna mgeni wako amekuja kaleta taarifa kutoka nyumbani".Alisema Rama na kuuwacha moyo wa Zuma ukilipuka kwa shauku ya kujua ni taarifa gani iliyoletwa. JE NINI KITAENDELEA ..Tukutane śaa 2usiku hap hap team b professional love
Artikel Terkait
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na mbili (12) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp.... 0769673145 Ilipoishia.......... Penina na Frank walishangazwa Sana na maamuzi ya Nolan lakini hata hivyo Nolan hakutaka wamuulize swali lolote, alimwamuru dereva wa tax ile awashe gari na kuondoka. Kisha Nolan naye akaingia kwenye gari yake na kugeuza kuwafuata vijana wale wa the killer na wakati huo walikuwa tayari wameshaungana wote kwa maana ya kikosi kile cha kwanza kilichokuwa kikimtafuta Nolan na kile cha pili kilichokuwa kikimtafuta Frank. *********Endelea ********* Vikosi vile viwili ambavyo vilikuwa kwenye magari mawili viliweza kumuona Nolan akiwa anarudi kule alikotoka. Vikosi vile navyo haraka haraka vikageuza magari yao na kuanza kumfuata Nolan. Nolan aliweza kuwaona wakimfuatilia na ndio kitu ambacho Nolan alikitaka, lakini kilichomshangaza Nolan ni kwamba Sasa anafuatiliwa na magari mawili tofauti na mwanzo walipokuwa wakimfuatiliwa na gari moja. Lakini Nolan hakujali hilo, akaacha barabara na kukataa kushoto na kuingia kwenye njia moja ya vumbi ambayo haikuwa ikipita watu Mara kwa Mara. Nolan baada ya kuingia kwenye barabara ile akasimamisha gari na kushuka ndani ya gari lile. Na sekunde hiyo hiyo magari mawili ya vijana wale wa the killer wakawasili pale alipo Nolan na kusimamisha magari yao Kisha wote wakashuka kwenye magari yao ambao kwa pamoja walikuwa Nane. Vijana wale wa the killer walishaangaa baada ya kufika na kumkuta Nolan peke yake badala ya kuwakuta wote Nolan pamoja na Frank. Nolan alikuwa amesimama pembeni ya gari yake huku akiwatazama vijana wale waliokuwa wakimsogelea taratibu. "mwenzako yuko wapi?" kijana mmoja wa the killer akamuuliza Nolan huku akijaribu kumkamata Nolan kwenye shingo. Kijana yule alijikuta akipokea ngumi Nzito ya tumbo kutoka kwa Nolan ambayo ilimfanya adondoke chini kwa magoti. Wale vijana wengine walishtuka kuona mwenzao alivyotandikwa ngumi ya tumbo. Lakini hata hivyo bado vijana wale waliamini Nolan hawawezi kwasababu wako wengi na wote wana silaha. Vijana wale kwa pamoja wakaanza kumfuata Nolan, Nolan naye akapiga hatua kadhaa na kurudi nyuma na kuwasubiri. Vijana wale walipomkaribia Nolan kwa pamoja wakaanza kurusha ngumi na mateke kumvamia Nolan. Lakini Nolan alikuwa akiwakwepa tu bila kumgusa mtu yoyote, ndani ya dakika tano Nolan alikuwa akiwakwepa vijana wale waliokuwa wakimshambulia bila mafanikio. Lakini Nolan alizubaa kidogo na kujikuta akipokea ngumi Nzito ya uso kutoka kwa mmoja wa vijana wale. Lakini hata hivyo kijana yule aliyembahatisha Nolan ngumi ya uso ikawa ndio mwisho wake wa kuishi duniani, kwani Nolan alimkamata na kuanza kumshambulia kwa ngumi za haraka haraka na kummaliza kwa kumvunja shingo. Wale vijana wengine ndio walishtuka vibaya mno na kuona huyu mtu sio wa kawaida, wakaamua wamshambulie kwa silaha zao baada ya kuona hawatamuweza kwa mkono. Vijana wale walichomoa bunduki zao na kuziweka tayari kummaliza Nolan. Lakini Nolan alikuwa tayari ameshaingia kwenye gari na kuondoka kwa spidi kali na kuwaachia vumbi kali Vijana wale. Nolan aliamua kukimbia baada ya kuona vijana wale wakitoa bunduki zao, hivyo asingewaweza kwa sababu yeye hakuwa na silaha yoyote. Vijana wale nao hawakumuacha waliingia kwenye gari na kuanza kumfuatilia Nolan. Lakini mpaka pale Nolan alikuwa tayari ameshawapoteza vijana wale na yeye Sasa alikuwa ameshika njia ya kuelekea nyumbani. * Mzee Joel akiwa ameketi sebuleni kwake akisubiri majibu ya kuuwawa kwa Frank na Nolan simu yake ilianza kuita na alipoangalia mpigaji ni nani alikutana na Jina la Dickson, kijana ambaye mzee Joel ndio anataka amuoe mtoto wake Penina. Mara moja mzee Joel akaipokea simu ile. "mzee Joel habari yako?" akauliza Dick baada ya simu yake kupokelewa na mzee Joel. "salama kijana wangu habari ya huko"? Akajibu mzee Joel na kuuliza. " huku Safi tu, Sasa mimi nilikuwa nataka nije kumchukua Penina moja kwa moja nahitaji kuwa na familia Sasa. " akaongea Dick kumwambia mzee Joel. " kijana wangu usiwe na haraka tunaweka mambo Sawa na Muda wowote tutakuita uje umchukue mke wako. " akaongea mzee Joel kumpa moyo Dick. " unaweka mambo Sawa unaweka mpaka lini kama ni pesa nikekupa za kutosha mbona unanizungusha zungusha tu au nikuongezee pesa zingine? " akaongea Dick huku akionesha kuchoshwa na namna mzee Joel anavyomzungusha. "kijana wangu tafadhali naomba utulie Penina ni wako usiogope." mzee Joel akamwambia Dick. "nitulie nitulie mpaka lini nakuja Tanzania kujua Kwanini unanichelewesha kumuoa Penina na wakati nimeshakupa pesa nyingi Sana." akaongea Dick na kukataa simu. Mzee Joel alihisi kuchanganyikiwa hakujua afanye nini ili aweze kumuunganisha Penina na Dick. Na wakati huo huo mlango ulifunguliwa na akaingia Nolan huku akiwa amechafuka kwa vumbi. "Wewe mbwa mbona unaingia ndani kwangu bila hodi?" mzee Joel akamuuliza Nolan huku akiwa amevimba kwa hasira. "mzee tulia huu mchezo umeutaka mwenyewe lazima Frank amuoe Penina." akaongea Nolan maneno hayo ambayo yalizidi kumpandisha hasira mzee Joel na kujikuta akimrushia Nolan glass ya maji iliyokuwa kwenye Meza. Nolan aliigonga ngumi glass ile na kuipasua pasua. "ukiniletea upuuzi na wewe nitakupasua pasua kama hiyo glass." Nolan akamwambia baba yake mzee Joel na kuelekea chumbani kwake. * Frank na Penina baada ya kufika uwanja wa ndege walifuata taratibu zote na hatimaye wakafanikiwa kuingia ndani ya ndege na dakika chache baadae walikuwa angani wakielekea South Africa. "kama tukifanikiwa kufunga ndoa nitafurahi Sana yaani furaha nitakayokuwa nayo sidhani kama itaelezeka." aliongea Penina huku akiwa amejiegemeza kwenye kifua cha Frank. "usijali mpenzi kila kitu ambacho kinatokea kimepangwa na Mungu na vitakavyotokea mbele ni Mungu pia anajua, hakuna mwanadamu asiyependa furaha." akaongea Frank kwa upole kumuambia Penina. "ni kweli mpenzi wangu." akajibu Penina na safari ikaendelea kwa masaa kadhaa na hatimaye wakawasili South Africa Katika jiji la Johannesburg na kuchukua chumba Katika hoteli moja ya kifahari. Baada ya kupumzika kwa dakika kadhaa Penina na Frank waliwasiliana na Nolan na kumjulisha jinsi safari yao ilivyokuwa. Nolan aliwataka wakae kwa amani na wasiwe na hofu yoyote yeye anaweka mambo Sawa na yakiwa tayari bas atawajulisha. * Vijana wa the killer bado walikuwa wakimtafuta Nolan na Sasa waliwasili nyumbani kwa kina Nolan na kukutana na mzee Joel ambaye aliweza kuwaambia Nolan yupo ndani na akawaelekeza chumba chake wakammalizie huko. Vijana wale taratibu walianza kuelekea Katika chumba cha Nolan, lakini kwa bahati mbaya ama nzuri Nolan aliwaona. "mmeamua kunifuata mpaka nyumbani nyie mmeisha." akajisemea Nolan Kisha akatoka chumbani kwake akiwa kifua wazi na kukutana na vijana wale sebuleni. Kilikuwa kitendo cha kushtukiza vijana wale hawakutarajia kukutana na Nolan sehemu Ile. Kitambo waseme waweke silaha zao tayari Nolan alianza kuwashambulia, na baada ya dakika chache Nolan aliwaweka vijana wale wote chini kwa kuwavunja vunja sehemu za miili yao. Mzee Joel ndio hakuamini baada ya kuingia ndani na kukuta vijana wote wamelazwa chini alafu kidogo hivi akatokeza Nolan akiwa amepigilia suti nyeusi Kisha akamwambia baba yake ambaye ni mzee Joel, "naenda kwenye kikao cha harusi ya Penina na Frank na kama utahitaji kadi unijulishe nikuletee ya kwako." ....... Itaendelea. ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 05* MWISHOOOOOOOO Sehemu Ya Tano(5) Nilimweleza huku nikimuongeza mahanjamu yaliyomfanya ajikute katikati ya shamba akipalilia mazao bila kutumia nguvu. Kama alivyonielezea Bi Shuu tulikuwa tukizimua ili kuuchangamsha mwili kutokana na mtanange wa kukata na shoka. Hatukutumia nguvu sana zaidi ya kuichangamsha miili yetu. Baada ya kila mmoja kupata kifungua kinywa kikombe kimoja kikavu kijasho kilitutoka na kwenda kuoga. Huwezi amini Bi Shuu muda wote alikuwa karibu yangu kwa kila hatua. Nilikuta maji ya moto tayari yapo bafuni, tulioga pamoja huku tukishikana hapa na pale. Baada ya kuoga tulirudi ndani, juu ya meza kulikuwa na chupa ndogo ya chai na sahani iliyokuwa imefunikwa sikujua kwenye chupa kuna nini na kwenye sahani kumefunikwa kitu gani. Mateja alipoona chupa ya chai na vikombe vya udongo ambavyo vilionekana mahususi alisema. “Mmh, kweli toka jana umenipania, alfajiri yote hii umeamka saa napi kuandaa kila kitu.” “Kila mwanamke anajua wajibu wake.” “Asante nimekubali.” Moyoni nilibakia na maswali Bi Shuu amelala saa ngapi maji ya moto na kifungua kinywa amevitayarisha saa ngapi. Nilijikuta nikumuonea huruma bibi wa watu na kujiona kama namtesa bure. Lakini kwa upande mwingine alinisaidia sikuamini vitu vile kama mwenyewe ningeviweza. Nilisogea kwenye meza na kuangalia kwenye chupa kulikuwa na tangawizi na kwenye sahani kulikuwa na mayai manne. Mateja alipoviona vile vitu aliniambia. “Nikuambie kitu Manka?” “Niambie.” Mateja anataka kumwambia nini Manka? Kuyajua yote tukutane wiki ijayo. “Kipi nilikifanya kwa ufasaha?” Nilimuuliza kutaka kujua hizo maksi tisini nilizipata vipi. “Vingi sana.” “Vipi hivyo?” “Mwana wee, hata hujapumzika una pupa kama umemuona Mateja kadondosha taulo?” “Jamani Bi Shuu yamekuwa hayo!” “Umerudi pumzika jimwagie maji kisha uache mwili upumue kwa muda, kwa vile muda bado tunaweza kuzungumza kwa kituo, siyo juu juu kama malaya wa Magoti, lamba raha, nipe changu. ” Mmh! Maneno ya bibi huyu yalinifanya niwe mdogo kama pilitoni na kukoma kuuliza swali kama lile. “Basi wacha nikaoge.” “Haya ndiyo maneno, mtoto wa kike huambiwa sio aulize vingine aibu, ushanizoea eeeh. ” Bi Shuu aliniuliza huku akinikata jicho la dharau. “Hapana Bi Shuu.” “Ndivyo nilivyokufunda, eeeh jambo la ndani kulisema hadharani?” He! Makubwa Bi Shuu aligeuka mbogo. “Bi Shuu, samahani basi.” “Samahani basi, ndiyo nini?” Bi Shuu alishika pua. Mmh, niliamini kisebusebu changu ndicho kilichoniponza baada ya kuamini Bi Shuu wa kawaida wa kumuuliza kila nitakacho. “Bi Shuu samahani sana kama nimekukosea.” “Nshakusamehe, nenda kaoge pumzika kisha njoo. ” Nilikwenda chumbani kwangu kubadili nguo kisha niliingia bafuni kuoga, baada ya kuoga nilijilaza kitandani na kupuliziwa upepo mwanana wa feni. Nikiwa nimejilaza nilikumbuka Mateja alitaka chakula cha usiku, nilikurupuka na kumfuata Bi Shuu aliyekuwa amekaa sebuleni kwake akiangalia cd ya taarabu. “ Vipi?” Aliniuliza baada ya kuniona. “Bi Shuu Mateja anataka chakula cha usiku.” “We mwali! Chako amekiona hakifai anataka na changu?” “Jamani Bi Shuu maneno gani hayo?” Jamani Bi Shuu alinipeleka sipo kabisa. “Sasa kosa langu nini, kama angetaka chako usingeniambia ungempa tu, lakini baada ya mwali anataka na vya kungwi wake, naona kanogewa sasa anataka kuku na mayai yake.” “Jamani Bi Shuu sina maana hiyo.” “Ulimaanisha nini?” “Chakula ulichompikia jana kimemrusha akili kimeniongezea maksi mtoto wa kike na kutaka awe anakula kila siku, kitu kitakacho harakisha ndoa.” “Na mchumbake?” “Amechoka kula vya kuchemshwa bila kuungwa.” “Hooooya weee, kweli kula uhondo kwahitaji matendo, umeona eeeh?” “Nimeamini mtembea bure si mkaa bure, Mateja kachanganyikiwa ingekuwa ndoa ni viocha ya simu, mbonaangenifuta na kuniiingiza na sasa hivi angekuwa hewani kwa raha zake.” “Manka huyoo, ushakuwa mtoto wa Kizaramo mineno kama umebemendwa.” “Bi Shuu kweli wewe nyani huoni makalio yako.” “Haya tuachane na hayo anataka chakula gani?” “Kama cha jana.” “Lakini leo utapika mwenyewe.” “He! Bi Shuu mbona unaniumbua mchana, nitaweza wapi kupika chakula kitamu au ndiyo unanivua nguo ukweni.” “Wachina wana methari zao kuwa ukitaka kumsaidia mtu usimpe samaki bali mfundishe kuvua ili aweze kupata zaidi.” “Kwa hiyo nami unanifunza kuvua?” “Ndiyo maana yake, kama ningejitoa kwa Mateja angekupenda wewe au mimi?” “Wewe?” “Basi, leo nina kazi ya kukufundisha kupika baadhi ya vyakula, ushaona chai ina paliliwa.” “Ha!” “Unashangaa, kupika kunataka kituo kutuliza akili sio nyanya hazijaiva wewe unatosa kitoweo, ndiyo maana vikiiva havieleweki kila kitu kipo kivyake.” “Si kuna mafunzo ya kupika mtu anapata cheti?” “Cha darasani si kitamu kama cha asili, wee nenda kanunue vitu ili tuingie jikoni pamoja, siku ya pili umuandalie peke yako bila msaada wangu.” “Nikijua kupika nitafurahi.” “Unatosheka? Hata ukijua kupika bado utajigundua una mapungufu.” Bi Shuu alinielekeza vitu vya kwenda kununua, sikutaka kupoteza muda nilibadili nguo na kwenda kudandia daladala mpaka sokoni, baada ya manunuzi yote muhimu. Nilirudi mara moja na kumkabidhi Bi Shuu ambaye alinieleza nitulie atanishtua. Nilirudi chumbani kwangu na kujilaza chali nikiwa kama nilivyozaliwa na kula upepo wa feni kwa raha zangu. Nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu juu ya mambo ya Bi Shuu, mtu mmoja alikuwa na mambo mia moja. Nilikubali mzee wa watu kutoa huduma pasina kinyongo, kweli alipewa mambo yaliyo katika mzani. Majira ya jioni Bi Shuu aliniamsha na kuanza maandalizi ya kupika, maandalizi ya awali ya kumenya vitunguu maji na swaumu nyanya na viungo vingine nilijua kuandaa baada ya kuandaa tuliingia jikoni. Niligundua makosa yangu mengi katika kupika. Kwa upande wangu nilikuwa natumia muda mchache kupika tofauti na Bi Shuu hakuwa na papara katika kupika hata chuzi lilionekana kweli linajitengeneza tofauti na kina sisi wakina mama kuchemsha, kweli niliamini vitamu vinahitaji utulivu. Nini kitaendelea? Kuyajua yote tukutane wiki ijayo. Baada ya kuandaa chakula kwa kufuata maelekezo ya Bi Shuu, nilikiandaa kwa ajili ya Mateja. Mtoto wa kike nilioga na kumuandalia Mateja maji ya kuoga niliyoweka viungo. Nilirudi chumbani kujiandaa kumpokea mpenzi wangu, kama nilivyoelekezwa na Bi Shuu mwanamke anayetaka kumpokea mpenzi wake hasa penzi linapokuwa changa. Nilijifukiza udi wa manukato kila kona ya mwili hata kanga zangu nilizokuwa nimejifunga na shuka nilizotandika nazo zilikuwa zinanukia. Yote haya yataka kituo huwezi kuyafanya kwa kulipua utaona mzigo. Kujipulizia manukato ya al udi, jicho lililoregea kwa ajili ya kungu manga liliongezwa uzuri na wanja mwembamba wa mwezi mchanga. Nilijilaza kitandani huku nikisindikizwa na muziki wa taarabu wa zamani kidogo ulioporomoswhwa na kikundi cha taarabu cha TOT, kilichoimbwa na bibi Hadija Kopa kisemacho ‘TX mpenzi.’ Niliyakumbuka baadhi ya mashairi yake: Tx mpenzi daktari wangu wa thamani, Kiitikio: Ayaa ayaa ayaaa. Amesipeshalaizi digii yake surgeon (Mtaalamu wa upasuaji) Kiitikio: Aya aya Ayaaa. Aminyapo dawa zake ganzi tele maungoni, Tx nipasua toa maradhi ya ndani. Kiitikio: Nipasue Tx nipasue eeh toa maradhi ya ndani wee nipasue. Siku za nyuma nilipousikia wimbo huo sikuuelewa, lakini nilipojua zuri na baya na kuelezewa maana ya wimbo huo. Nilijitambua kumbe mimi mgonjwa na daktari wangu Mateja niliyemsubiri kwa hamu aje atoe maradhi ya ndani kwa kunifanyia upasuaji. Wimbo huu ukiusikiliza kisha uusikie wimbo wa Mwanaidi Shaabani uitwao Dereva akiwa na kikundi cha Muungano Culture Troop, wimbo huunao kuna maneno kama haya: Dereva nimempata ananiendesha vyema sukani akikamata chombo hakiendi mrama. Breki akikamata wakati wa kusimama ziozile za kugota za kishindo na kuzama. Uniacha naitaita kwa uroda nihema. Hebu niambie mumeo sifa hizi za dereva makini anazo, basi wimbo huu niliupanga baada ya mtinange na Mateja nimewekee. Mwa kwetu sina haja ya kukuwekea wimbo, la hasha nakuomba hasa wewe msichana wa siku hizi tafuta nyimbo hizi kisha zisikilize na upate mnaana zake hakika utaungana nami kumwita mumeo au mpenzio Tx wa mapenzi na mwisho wa safari lazima umwite dereva wako makini mwenye reseni ya kimataifa. Basi mwa kwetu najua nilikupeleka mbali lakini kina mama na dada zetu waliokuwa wakitesa enzi za miaka 95 watakubaliana na yote niliyoyasema, basi nikiwa nimejiandaa vilivyo mtoto wa kike. Jicho lililoregea la kungu manga nilinogeswa na wacha mwembamba wa mwezi mchanga niofundishwa kujipaka na Bi Shuu wanja huu aliniambia unaitwa karibu mpenzi. Baada ya kukamilisha na kujifisha udi mpaka kwa bi mkubwa. Nilijilaza kitandani nikiendelea kutumbuizwa na wimbo wangu wa Tx mahususi ya Mateja wangu. Nikiwa nimejilaza Mateja aliwasiri, kwa vile mlango ulikuwa wazi alipogonga tu mtoto wa kike nilinyanyuka kwenda kumpokea huku nikideka, jicho langu liliongea kama nina usingizi mzito, yote haya mwanzo sikuwa nayo kazi kubwa ya Bi Shuu. “Karibu Tx wangu.” “Una maana gani kuniita Tx.” “Sikiliza huu wimbo” Mateja alisikiliza kwa muda kisha alishusha pumzi ndefu na kutikisa kichwa huku akiniangalia mara mbili mbili. “Vipi Tx wangu?” “Mmh! Haya.” “Sema tu naona kama una maswali yanayohitaji majibu toka kwangu?” “Sina swali, ila kila naona mambo mapya, wee mchaga mambo ya pwani umeyajulia wapi?” “Kwani Bi Shuu ni mtu wa Pwani, Mmanyema mtu wa Kigomayeye kayajulia wapi? Si watu wa mwambao wa Pwani tu wanajua mapenzi.” “Mmh, nimekubali.” Nilimpokea koti lake na kuliweka kwenye kochi, alipokaa alimvua viatu kisha nilihamia kwenye shati nikatelemka kwenye suruali, nikatoa na nanihii kisha nikampa upande wa kanga ili nimpeke bafuni tukaoge. Utajiuliza kwa nini nimempa kanga badala ya taulo, mwa kwetu kanga ina raha yake, huwezi kwenda nyumba ya wageni ukakuta kanga lazima utakuta taulo. Kama mpenzi wako alizoea kwenda nyumba ya wageni ukimpa kanga lazima akili yake ataona kuna tofauti ya nyumba ya wageni na nyumbani kwa mpenzi wake. Baada ya kuoga tulirudi ndani kisha nilijifanya kama kuna kitu kinaniwasha na kujikuna kwa kuipandisha nguo, nilijua lazima Mateja ataangalia, nilirudisha haraka mtego wangu ulinasa, ukimuoneshamaungo nyeti nusu, lazima atataka aone kabisa kufanya vile ilikuwa kumuongezea mahanjamu. Mmh! Mtoto wa kume uzalendo ulimshinda, nimnyime ili iweje, shoga mwili wako mali ya mpenzio, hasa yule mliyeshibana. Alipotaka nikampa kwa nguvu zote, huku nikumuuliza baba chagua kipapatio ili usichoke sana kabla ya kula au paja ushibe kabisa. Mateja alitaka kipapatio, ushaanza- kipapatio ni nini? Wapo waliotafuta maana zao, jamani kipapatio penzi jepesi lisilochosha, nina imani hata paja ushajua. Haya twende kazi, mmh, mtoto wa kike nilijisahau na kumuongezea paja baada ya kumuona kabisa kipapatio hakimtoshi. Mwisho wa shughuli nilimwacha kajilaza na kumuwekea wimbo wa dereva huku nikimbadili jina toka Tx mpaka Dereva. Mateja kila aliponiangalia alitikisa kichwa. Nilimnyanyua na kumpeleka bafuni kisha nilimualika mezani. Baada ya kutafuna tonge la kwanza alitikisa kichwa na kusema: “Hakika wewe ni chura,” kauli ile ilinitisha iweje aniite chura mdudu tena nisiye mpenda. “Mpenzi kwa nini umeniita chura?” “Sina nia mbaya, nina maana chura anaishi kotekote majini na nchi kavu. Umekamili kila idara, nikiwa na na wewe raha zangu hazitakuwa na kikomo.” “Ha! Kumbe, Asante mpenzi.” Nilimkumbatia Mateja kwa furaha. Baada ya chakula tulipumzika chakula kiende sehemu zake baada ya hapo mtoto hakutumwa dukani. Sitaki kukuchosha sasa hivi mimi ni mke halali wa Mateja, tunapendana kwa dhati huku nikiendelea kupokea mawazo ya Bi Shuu bibi ambaye sitamsahau mpaka nakufa. Mwisho nawaomba wanawake wenzangu kutafuta dawa ya mapenzi ambayo ni kujifunza kwa waliotutangulia ili viungwe viwe vitamu wa wapenzi wetu kwani siku zote ukikitoa hamu kitakosa utamu. ******************************************MWISHO*(************************************ ... Read More
*Love bite* Sehemu Ya Kwanza (1) Ni siku ya jumapili iliyokuwa na kila aina ya mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbali mbali walionekana kwenye kumbi za starehe. Wengi ambao walikua wanapenda taarab basi walijazana travertine hotel kuwaangalia jahazi. Kwa wengine wanaopenda bongo flavour basi walikutana bills,maisha,masai..Dar live na kumbi zingine zilikuwa na wasanii pendwa waliokuwa wanaburudisha week end hiyo. JOTHAN alikua anapendelea sana mixing za ma dj mbali mbali. Hivyo jumapili hiyo aliamua kwenda coco beach usiku huo. Upepo mwanana uliokuwa ukipuliza huko coco beach na ukichanganya na big screen iliyokuwa inaenda sambamba na mixing za maana alizokuwa anazipiga dj huyo aliyezikonga roho za watu wengi waliokuwa pale, iilikuwa burudani tosha kwa waliohudhuria usiku ule. Jotham alipaki gari yake pembeni, alichagua kiti kilichukokuwa karibu na meza ya mwisho na kuagiza kinywaji alichokipendelea na kuendelea kufurahia mziki uliokuwa unaonyeshwa kwenye screen hiyo. Mara kwa mara madada poa walikuwa wanajipitisha pale alipo, lakini aliwachora tu na hakuwa na mpango nao. Baada ya dakika kadhaa, walitokea madada watatu waliokuwa wameingia pale coco beach na kuanza kutafuta mahali pa kukaa. Waliangaza meza nyingi zilikua na nafasi ya mtu mmoja au wawili tu na wao walikuwa na lengo la kukaa wote watatu kwenye meza moja. Baada ya kuangaza kwa muda, waliiona meza aliyokaa Jothan ikiwa na nafasi tatu za kukaa. Waliisogelea ile meza na walipokaribia tu kuifikia ile meza. Walishuhudia jamaa mmoja akiwa ameenda kukaa pale. “wewe kaka sogea sehemu yetu.” Aliongea mmoja kati ya wale wadada watatu baada tu ya kuifikia ile meza. “mbona hakuna alama yoyote kuwa mlikaa hapa. Hakuna vinywaji wala kitu chochote.” Aliongea yule jamaa huku akionyesha wazi kuvutiwa na ile sehemu iliyokuwa chemba lakini ikiwa inaonyesha vizuri ile tv. “ni vyema uwapishe kwa sababu waongeacho sio uongo.” Aliongea Jotham kumwambia yule jamaa. Hakuwa anapenda makelele ambayo alijua yatatokea baada ya mvutano huo wa kugombania ile sehemu. Yule jamaa akaamua kunyanyuka na kuwapisha wale warembo na yeye kwenda kukaa meza nyingine. “ahsante sana kaka, maana yule jamaa alitaka atubanie wakati sisi tumehangaika kutafuta meza tutakayokaa wote watatu”. Aliongea yule dada aliyeonekana kama kiongozi wao. Mavazi waliyovaa yalitosha kumshawishi mvulana yeyote rijali na kufanya iwe lazima macho ya matamanio kumtoka. Uzuri wa mabinti hao likuwa unashinda lakini huyo aliyekuwa kiongozi wao aliwazidi wenzake kwa kila kitu. Macho ya Jotham yaliona kila kitu kutoka kwa binti huyo mbichi. Chuchu zilitokeza kwa kujichora kwenye gauni ile nyepesi ambayo haikuwa na nguo nyingine ndani. “sikiliza oda zao, ziingize kwenye bili yangu” aliongea Jotham baada ya kumuita muhudumu aliyekuwa anamuhudumia toka afike pale. “ahsante.” Waliitikia wale madada baada ya kupewa ofa hiyo. Waliagiza vyakula na vinyaji walivyopendelea. Walipiga story za kawaida huku wakigongeana glass za vinywaji na kucheka. Jotham alikuwa kimya wakati wote huku akiwa bize kuangalia na kusikiliza mixing ambazo ndizo zilizomleta pale. Baada ya masaa kadhaa, alimuita muhudumu na kulipia bili yake. “ahsante kwa ofa yako.” Aliongea yule kiongozi wao baada ya Jotham kuwaaga. Jotham aliingia kwenye gari yake aina ya opah na kuondoka eneo hilo. Njiani alimkumbuka yule dada lakini aliishia kucheka tu kwakua hakuwa na hisia zozote za mapenzi juu yake. Zaidi alimtamani kuwa nae japo kwa usiku mmoja kwa jinsi alivyotoka. Hakika alikuwa na kila aina ya uchochezi wa kufanya ngono. Alifika kwake usiku mnene na kwenda kulala fofofo kutokana na usingizi uliojaa wakati huo. Asubuhi aliamka na uchovu tele na kwenda kuoga ili kujaribu kuupunguza uchovu aliokuwa nao. Alipomaliza kuoga. Alijiandaa tayari kwa kwenda kazini. Alisumbuka sana kuwasha gari lake lakini halikuwaka. Alipoangalia mafuta, aligundua kuwa wese lilikuwa limekata. Kwa kuhofia kuchelewa zaidi kazini, aliamua kwenda kituoni na kupanda daladala. Alifika kazini huku macho yake yakiwa mekundu yaliyoashiria kuwa bado alikuwa na usingizi. “mshikaji bora ukapate supu, maana hiyo harufu ya pombe uliyamka nayo ni noma. Utaongea vipi na bosi?” alishauri mmoja wa wafanyakazi wenzake aliyekuwa karibu naye. “poa, ngoja nielekee canteen basi.” Aliongea Jothan na kwenda canteen kupata supu ya mbuzi na chapati. Baada ya kunywa chai, alirudi na kuendelea na kazi. Saa nane ndio muda waliokuwa wanatoka kazini. Alienda kupata chakula cha mchana canteen na kuondoka zake kuelekea kituo cha daladala ambacho hakikuwa mbali na ofisini kwao. Alisubiri daladala kwa muda na kupanda gari iliyokuwa inaelekea mwenge kwa malengo ya kushuka kinondoni anapoishi. Usingizi ulichukua nafasi yake baada ya kupanda tu lile gari lililokuwa likisubiri abiria kwa dakika kadhaa pale kituoni Baada ya muda mrefu kidogo kupita, aliamka na kuangalia gari lilikuwa limefika wapi. Wakati akiwa anaanga angaza, macho yake yaligongana na yule mrembo aliyekuwa naye kwenye meza moja siku ya jana yake. Wote walikumbukana na kila mmoja akamuachia mwenzake tabasamu. Hapo alifanikiwa kumuona vizuri huyo msichana mwenye kila sifa ya uzuri. Usingizi uliendelea kumzonga Jotham na kujikuta anapitiwa na usingizi bila kuongea chochote na yule msichana. Gari lilifika mpaka mwenge na kupitiliza kituo alichokua anashuka Jothan. Aliamshwa na konda baada gari kushusha abiria wote. “tuko wapi hapa.” Aliuliza Jothan baada ya kuamka na kuangalia nje ambapo kulikua tofauti na mazingira anayoishi. “tumeshafika mwenge kaka.” Alijibu yule konda. Jothan aliangalia huku na kule na hakuona abiria yeyote aliyekuwa kwenye lile gari zaidi yake. Hakusikitika kupitishwa kituo, bali alisikitika sana kutochukua namba wala kujua jina la yule msichana aliyevutika naye zaidi baada ya kuonana nae kwa mara ya pili. Hakua na budi Jotham, zaidi ya kubaki ndani ya daladala na kugeuza nalo. Alipofika kinondoni kwa manyanya alishuka na kufuata njia ilyoelekea shule ya kambangwa secondary school na kupita chuo cha tumaini na kuingia nyumbani kwake ambapo hapakuwa mbali na pale. Hakuwa na hela nyingi sana, ila uwezo wa kula anachokitaka na kubadilisha nguo alikuwa nao. Alifika nyumbani na kujilaza kitandani kwake. Aliamka sa tatu usiku na kutoka kwenda sheli kununua mafuta kwenye kidumu kisha akaenda bar ya jirani na kupata chipsi kuku kisha akarudi nyumbani na kufungua tv na kuangalia yaliyomo. Saa tano usiku alianza kunyemelewa na usingizi,. Alizima tv yake na kwenda kulala. Alijikuta yupo na msichana yule mzuri kwenye fukwe za bahari wakipanga maswala yao ya kuoana. Alitoa pete na kumvisha mwanamke huyo mwenye kila aina ya sifa zilizompeleka Jotham kudata juu yake. Alikurupuka asubuhi na kugundua kuwa hali ile haikuwa halisi, bali alikua anaota.. aliangalia Alarm yake ambayo ilikuwa inalia wakati huo na kuizima. Alijiandaa na kupanda gari yake ambayo alishainunulia mafuta na kwenda nayo kazini kama kawaida. Baada ya mwezi mmoja kupita, Jothan alipata uamisho kikazi kwa miezi sita huko Morogoro. Alilaani ila hakua na jinsi kukubaliana na matakwa ya kazi. Ile ndoto ya kukutana tena na yule msichana iliyeyuka kwakua alijua kabisa kuwa kukaa kwake huko marogoro utakuwa mwisho wa kukutana tena na yule msichana kwa miezi mingi. Siku ya safari ilipofika. Alijiandaa na kupitiwa na gari la ofini kwao na kusafiri pamoja na wenzake waliopata uhamisho huo wa muda huko morogoro. Alifanya kazi huko kwa miezi mitatu na kupelekwa Arusha kwa ajili ya kumalizia miezi hiyo mitatu iliyobakia. Nia na madhumuni ni kuwafundisha kazi wafanyakazi wa mikoa hiyo kwakua ofisi yao ilikua imefungua matawi mapya katika mikoa hiyo. Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya kurudi Dar, Jothan alipita barabara moja na kumkuta msichana mzuri akiwa ameshika tenga anauza maua. Moyo ulimlipuka ghafla na kujikuta anamsogelea yule dada bila kujitambua. “unauzaje maua” aliuliza Jothan huku akimuangalia binti yule mzuri ambaye alikua anatabasamu baada ya kumuona yeye pale. “shilingi elfu moja kwa kila moja.” Aliongea yule dada bila kumuangalia Jothan usoni. “nikitaka yote utaniuzia shilingi ngapi?” aliuliza Jothan huku akizidi kumtathmini binti yule huku akionyesha kufurahi na muonekano mzuri aliokuwa nao msichana huyo. “nisaidie kuhesabu, kisha nitajie idadi ili nikuuzie kwa bei ya jumla.” Aliongea yule dada na kumfanya Jothan kushangaa. Alijiuliza maswli ya haraka . labda hyule msichana hajui kusoma au alikua anamtega. “kwanini usiniambi tu, maana siyo mengi yaliyobaki.” Aliongea Jothan kwa sauti ya upole. “mi sioni kaka yangu.” Aliongea yule dada na kumfanya Jothan kupigwa na butwaa. “kweli???” aliuliza Jothan huku akiwa haamini alichoambiwa na yule dada. Kwa kumuonyeshea kuwa haoni, yule dada alivua miwani na kumuonyesha macho yake ambayo yalikuwa na watoto ndani. Aliingiwa na roho ya imani Jothan na kukiri moyoni kuwa yule dada alikua nahitaji msaada kwakua tatizo lake linatibika ila matibabu yake yalikuwa ghali sana. “unaishi mbali na hapa?” aliuliza Jothan baada ya kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuyachukua maua sita yaliyobakia. “si mbali na hapa, ni mtaa watatu hapo mbele.” Aliongea yule dada mwenye asili ya kichaga lakini asiyekuwa na lafudhi hiyo wala meno yake kuharibika. Ngozi yake ilikubali baridi na kuwa nyeupe yenye mvuto. “unaonaje kama nikikusindikiza?” aliuliza Jothan. “sawa” Alijibu yule dada na safari ya kuelekea kwao ilianza. Mwendo wa kuupapasa kwa fimbo ndio uliomfanya Jothan kuamini kuwa ni kweli huyo dada alikua kipofu. Alikaribishwa mpaka ndani na kukutana na mama yake huyo binti. “karibu baba,”alikaribisha mama yake yule dada na kuwapisha. “huyo ndio mama yangu wa peke, sina msaada mwengine zaidi yake.” Aliongea yule dada huku anatabasamu. Hakua anamuona Jothan ambaye wakati huo alikua anaumia juu ya msichana huyu ambaye alionyesha hali aliyokuwa nayo ameizoea. Aliaga baada ya kuongea na kupiga stori mbili tati ikiwemo maisha yao kwa ujumla. Alirudi kwenye nyumba waliyopangiwa na kumpa story rafiki yake anayekaa naye kwenye nyumba hiyo. “kwa hiyo unataka ufanyaje ndugu yangu,” aliuliza rafiki yake huyo baada ya kumpa mkanda mzima. “nitajitahidi kwa uwezo wangu wote ili BAHATI apone kabisa.” Aliongea Jothan na kumuonyesha rafiki yake ni jinsi gani ameguswa na mdada huyo. “kwa hiyo unampango wa kumchukua na kwenda naye Dar?” aliuliza rafiki yake huyo huku wakiendelea kula bisi zilizokuwa kwenye meza yao. “exactly” alijibu Jothan kiingereza kuonyesha msisitizo. Asubuhi ya siku ya pili, Jothan aliamka na kwenda tena kwa kina Bahati. Kabla hajafika, tayari alishamuana dada huyo mwenye juhudi na kazi yake akiwa barabarani kama kawaida yake akiuza maua. “mambo Bahati.” Alisalimia Jothan Kwakua sauti ya Jotham alikua ameshaijua, alimng`amua na kuachia tabasamu mwanana lililomuacha hoi Jotham. “safi” alijibu Bahati. Waliongea mengi na kubwa zaidi ni juu ya Jothan kumsaidia Bahati swala lake la macho. Bahati alifuraha sana na wote wakaenda kwa mama yake na kumpa taarifa zile njema. “nitashukuru sana mwanangu..mungu akuzidishie.” Aliongea mama yake Bahati na zoezi la kujiandaa kwa ajili ya safari ya Dar-es-salaam lilianza mara moja kwa kufua nguo zake chafu na kupanga zingine kwenye mabegi. “tutakupitia kesho saa kumi na mbili asubuhi.” Aliongea Jothan na kuaga. Bahati alipanga kila kitu chake akisaidiwa na mama yake tayari kwa safari ya kesho yake ambayo ilikuwa na matumaini makubwa kwake. Alisali na kumuomba mungu afike Dar salama na lengo la kufanyiwa upasuaji lifanikiwe kwa nguvu zake mungu wa viumbe vyote. Asubuhi na mapema gari ya kina Jothan ilimpitia Bahati na safari ya kuitafuta Dar-es-salaam ilianza. Njiani walipiga story na kucheka kama vile walikuwa wamezoeana muda mrefu au walikuwa wameshakutana kabla. Uchangamfu wa Bahati uliwapendeza watu wote waliokuwemo kwenye lile basi. Bahati alipendelea kukaa dirishani kwa ajili ya upepo. Lakini Jothan aliamini kuwa Bahati alikua anatamani pia kuona vilivyokuwa nje. Saa nane mchana walifika mombo na kupaki gari lao kwa ajili ya kupata chakula cha mchana. Waliokwenda haja walienda ilimradi safari ikiendelea pasiwe na usumbufu kati yao. “unapendelea chakula gani?” aliongea Jothan baada ya kuingia naye Bahati kwenye mgahawa huo. “kama kuna wali huwa napenda hata ikiwa na mboga yoyote.” Aliongea Bahati. Jothan alimuagizia wali na nyama ya kuku. “ahsante kwa chakula.” Aliongea Bahati baada ya kumaliza kula kile chakula. Baada ya hapo safari iliendelea na kufika ubungo saa kumi na mbili jioni. Safari ya kuwapeleka makwao ilianza na Jothan na Bahati walishuka kinodoni na kuingia ndani. Kutokana na uchovu wa safari, Jothan alimpeleka Bahati chumba atakachokuwa analala na kutoka nje kununua chakula watakachokula usiku huo. Baada ya kiza kutawla, Jothan alimpelekea chakula Bahati na kumuonyesha choo na bafu ambavyo vyote vilikua mule ndani kwenye kile chumba. Baada ya mapumziko ya siku mbili, Jothan alimpeleka Bahati kwenye hospitali kubwa ya macho CCBRT kwa ajili ya upasuaji. Vipimo vilileta majibu mazuri kuwa kulikowa na uwezekano mkubwa wa kutolewa hivyo vitoto vya jicho na Bahati kona tena. Tarehe ya upasuaji ilipangwa kwa ajili ya upasuaji huo na Jothan alimpeleka Bahati ili apate huduma hiyo ambayo kama itafanikiwa itakuwa imempa maisha mengine kabisa mrembo huyo ambaye alikuwa haoni toka alipozaliwa.. Muenendo mbaya wa utendaji kazi huko marogoro ndio uliomfanya Jothan kurudishwa tena mkoani humo. Alisikitika kumuacha mgeni wake katika hospitali kabla hajashuhudia matokeo ya upasuaji huo, lakini hakuwa na jinsi kwakua aliuachia uongozi jukumu la kumuangalia mgonjwa wake huyo. Miezi sita ilikatika akiwa huko Morogoro huku mawasiliano yakikosekana kati yake na Bahati. Hata alipouuliza uongozi wa kampuni yao walimwambia kuwa walikuwa wamempa kiasi cha hela baada ya kupona na tokea wamkabidhi hawakupata mawasiliano naye. Mawazo yalimsonga Jothan na hakujua kwanini Bahati aliamua kufanya vile. Baada ya uchumi wa kampuni hiyo kutengamaa na kupata uongozi uliokuwa ukipiga kazi kama ipasavyo, Jothan alirudi Dar kuendelea na majukumu yake ya kila siku. Alipofika nyumbani kwake palikuwa pamefungwa kama alivyo paacha. Aliingia ndani na kuikagua nyumba yake kwa macho kisha akaenda kulala kutokana na uchovu aliokuwa nao. Usiku wa jumamosi, aliamua kwenda club kwakua ni muda mwingi alikosa kwenda. Hivyo aliamua kwenda kupata mixing za ma dj wakubwa ambao wanajua kubadilisha nyimbo na kumfanya mtu aburudike na mpangilio wa nyimbo wanazoziweka kulingana na wakati. Wakati akiwa anaburudika na kinywaji chake huku akipata burudani nyingine akiwa kwenye kiti, mzuka alkampanda na kujikuta anaingia kati na kuucheza wimbo ulimvutia zaidi. Style alizocheza ziliwavutia wengi hadi baadhi ya wasichana walimfuata na kucheza nae. Aliifurahia sana hiyo siku na kurudi nyumbani akiwa na hamu ya kwenda tena siku ya jumapili. Kwakua alikua na likizo ya mwezi mzima kazini, hakuona tabu kulala mchana ili usiku akeshe tena kutokana na kuwa mziki ni starehe kubwa anayoipenda japokuwa siyo muimbaji. Siku hiyo alifika mapema na kutulia kwenye meza kwanza za nyuma na kuendelea kupata kinywaji na nyama choma kwa wingi. Wasichana wengi walimshobokea na kuomba ofa za bia. Kwakua Jothan alikuwa akiingia sehemu yoyote ya starehe huwa anakua amependeza mfukoni, basi hakuona shida kumwaga ofa mbali mbali kwa wanaomuomba bila kujali jinsia. Wakati disco likizidi kuchanganya. Kwa mbali kwenye mwanga hafifu Jothan alimuona msichana aliyemfananisha. Hakujiuliza mara mbili, alinyanyuka na kumfuata pale pale kwenye meza yao. Kadri alivyozidi kumsogelea, ndipo sura ya yule binti iliyozidi kumjia kichwani. Alimsogelea na kumuangalia kwa ukaribu zaidi. “kaka,tukusaidie nini?” aliuliza yule dada baada ya kumuona Jothan akiwa mbele ya meza yao amesimama na kumuangalia kupita kiasi. “sijui ndio wewe au nakufananisha?” aliongea Jothan huku akiwa haamini baada ya kumuona yule binti aliyekuwa kapendeza kupita kiasi. “kaka hizo swaga za kizamani kweli, za kuaza kufananishana mara sijui nilikuona wapi, achana na sisi bro” aliongea yule dada na kuwafanya wenzake kucheka. Kutokana na hadhi aliyokuwa nayo Jothan, alifedheheka kiasi na kumfanya akubali matokeo. Aliwaacha wale mabinti huku wakiwa wanamjadili na yeye kurudi kwenye siti yake. Ladha ya club ilipotea na kuamua kurudi nyumbani kwake. Alijitupa kitandani na kuwaza sana. Kwa jinsi alivyotekoa kufurahi kumuona tena yule msichana na majibu aliyopewa hata kabla hajajitambulisha yalimtia simanzi. “naweza kusema kuwa hawezi kunifahahamu, lakini hata sauti kashindwa kuitambua?… au kwa sababu sauti yangu ilikuwa ya kilevi?” Alijiuliza Jothan maswali mengi bila ya kuwa na majibu. Asubuhi ya siku ya pili alienda kupata supu maeneo ya karibu na kwao. Aliporudi alijitupa kitandani na usingizi ukamchukua mpaka saa kumi jioni. Njaa ilikuwa ina muuma sana. Aliamua kutoka na gari lake na kwenda kwenye Bar kubwa iliyokuwa msasani kwa ajili ya kupata chakula ambacho siku hiyo kilikuwa kinapikwa kwa ustadi mkubwa. Aliagiza oda yake na kuletewa baada ya muda kama wa dakika tano. Kabla hajaanza kula, kwa mbali aliisikia sauti ya yule mmsichana aliyekutana naye Club usiku wa jana yake. Alinyanyuka na kwenda kwenye ile meza ambayo alimkuta akiwa na rifiki yake mmoja wa kike. “samahani, wewe sio BAHATI!!!?” Aliuliza Jothan huku akiwa na uhakika asilimia zote kwakua alikua anafahamu fika kuwa yule ndiye mwenyewe kutokana na sauti yake na muanekano wake ingawaje kwa sasa alikuwa anavutia zaidi. “ndio mimi, umenijuaje?” aliuliza yule dada na Jothan aliachia tabasamu huku akitikisa kichwa chake. “ina maana Bahati hata sauti yangu huikumbuki?” aliuliza Jothan huku akiwa haamini kumuona Bahati akiwa na macho mazuri tena yaliyoongezewa uzuri na kope za bandia alizo bandika. “ningekuwa nakujua nisingekuuliza umenijuaje?” alijibu yule dada na kuendelea kuifyonza juice yake iliyosindikizwa na chpsi pamoja na nyama choma waliyokuwa wanakula yeye na rafiki yake. “nitakushangaa sana ukisema kuwa sauti ya Jothan hauikumbuki.” Aliongea Jothan na kubaki kumuangalia Bahati aliyepigilia mapigo ya ki sister duu. “WHO A JOTHAN BY THE WAY????” Aliuliza yule dada na kumfanya Jothan aondoke bila kuaga. Alienda counter na kulipia oda yake bila kuigusa na kuondoka zake. Hakuamini kuwa Bahati angewaza kuongea yale maneno mbele yake tena kwa nyodo wakati ni yeye ndie aliyemleta mjini na kumpa msaada wa kuyatibu macho yake baada ya yeye kuikubali hali ya ukipofu kutokana na kuwa kulikuwa na uhaba wa pesa nyumbani kwao. Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza. ”who a Jonathan by the way??” Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale. ITAENDELEA ... Read More
SHINDU LA KIHAYA-11 ,,,ngo ngo ngo,,,mlango ulibishwa hodi ambapo Hassan haraka alitoka chumbani huku dudu lake likiwa limesimama ndani ya pensi nyepesi aliyoivaa,aliapa kwamba mama huyo akiingia tu ndani amekwisha,ndani ya penzi hiyo nyepesi hakuvaa kitu chochote,basi alichukua kopo la vibanio na kuliweka mezani,kisha yeye akajilaza kwenye kochi akiwa kifua wazi,hakwenda kufungua mlango kwavile ulikuwa haujafungwa na alijilaza makusudi kwani kuna wanawake wakiona muundo mkubwa wa dudu huchanganyikiwa zaidi kama mabwana zao wanadudu ndogo ,,,karibu,,,aliitikia Hassan kwa sauti ya kuigiza ili aonekane alikuwa amelala. Kitasa cha mlango kilizungushwa ambapo mama wa watu kwa kuhakikisha alipiga tena ile hodi ya kizushi ,,,hodi mpaka ndani jirani,,,alisema hivyo ambapo Hassan hakuitikia alijifanya yuko katika usingizi mzito sana,wala hata macho hakufungua,la alimsoma mama huyo kila atakachokifanya,kwanza mama huyo alisita kuchukua kopo la vibanio,kilichomfanya asite ni mlalo aliolala Hassan. Yalikuwa ni makusudi kabisa,tumezoea kuona wanawake wanaowatega wanaume,lakini hiyo ilikuwa kinyume chake,mwanaume anayemtega mwanamke.Hassan alijilaza kihasara ambapo dudu lake lilichungulia kwenye paja,hata muundo wa urefu wake ulionekana dhahri,nywele za kifuani ambazo wengi huziita bustani ya mapenzi zilionekana vyema kabisa,basi mama wa watu alipoteza kama dakika kuangalia dudu la Hassan kisha akachukua vibanio na kuondoka taratibu. Hassan alihesabu kama ni hatua ya mafanikio,alichokifanya alielekea kwenye dirisha lake na kuendelea kumchungulia shughuli zake,alionekana ni mtu mwenye mawazo tofauti na mwanzoni,kwani kuna muda aliinamia kamba ya nguo huku akitabasamu mwenyewe,Hassan alijipa maksi pengine anawazwa yeye.Ila mahali alipokuja kuonyesha waziwazi kuwa ana uhitaji wa dudu,alijiingiza mkono na kujiweka vizuri kitumbua chake ambapo mdomo wake wa chini aliuuma kidogo na meno,hapo Hassan akawa anajua tu mama huyo atarudi Alchotegemea Hassan mama huyo atarudi hata baada ya nguo kukauka kwasababu alitumia vibanio vyote.Ila mambo hayakuwa hivyo,akiwa ametulia sebuleni analiangalia dudu lake lilivyosimama na kuliambia litulie kwanza.Sauti ya yule mama tena ilibisha hodi,ila hodi ya safari hii haikuwa kubwa sana,ilibishwa kwa sauti ndogo ambayo aliisikia Hassan mwenyewe Hassan alikwenda mlangoni na kufungua mlango,kisha uso kwa uso alikutana na huyo mama, ,,,nimerudisha kopo la vibanio jirani,,,alisema hivyo mama huyo ambaye jina lake halisi aliitwa Agnesi ,,,sasa baadaye utawekea kwenye nini lakini jirani,,,alongea kwa sauti ya kichokozi Hassan ambapo ilikuwa ni sababu tosha kumwaminisha Hassan kuwa mama huyo hakufuata kurudisha kweli kopo ,,,ooh nishasahau,ona sasa uzee huu,,,alipojibu hivyo akataka kuondoka kurudi Hassan alimshika mkono na kumvuta kidogo,mama watu alilegea ile yenyewe kabisa mpaka jicho,ila hapo hakuvutwa ndani ,,,tufahamiane jirani yangu,,,aliposema hivyo Hassan,mama huyo jiran akawa anataka kujitambulishia hapo hapo nje,ila Hassan alimkata kauli ,,,jamani jirani tunaongelea nje kama hatuna sebule?,,, ,,,aah si unajua bado nafua jirani,,,alijitetea mama huyo Hassan hakuelewa kauli hiyo akawa anamvuta kwa ndani huku mama huyo akigoma ile uwongo na kweli ,,,baadaye bwana jirani ntakuja tutapiga stori,,,ikawa vuta nikuvute hapo mlangoni ambapo ambapo dudu la Hassan lilizidi kunyanyua pensi na kutuna hasa,mpaka ikawa sio kificho tena. Mchezo wa vuta nikuvute Hassan alishinda,mama huyo jirani aliingia ndani ila alikataa kukaa alisimama kwnye ukuta akimwomba Hassan kuwa aje baadaye ila sio muda huo ,,,mume wangu hachelewi kurudi Hassan,nitakuja baadaye,,,aliongea hivyo mama huyo huku akiwa ameshaelewa somo Dudu la Hassan lilisimama vibaya mno,yaani ikawa hata ile pensi haizuii kitu,mama huyo alivalia khanga mbili,moja aliipitisha juu ya matiti,ya pili aliifungia kiunoni,basi Hassan alivua Pensi na kubakiza zinga la dudu likinesanesa,eti huyo mama aliziba macho huku akijifanya analia kama mtoto ,,,Hassan bwana mambo gani hayo,,,alisema hivyo kwa sauti ya chini ambapo Hassan alimsogelea mpaka kwa karibu dudu ndilo lilianza kumgusa kitovuni,alimkazia macho hasa ,,,niangalie,,,alisema Hassan,kwa uwoga jirani alimwangalia ,,,unataka kuondoka?,,, ,,,ndio,,,haraka mama huyo jiran aliitikia ,,,piga magoti halafu utaenda,,,mama huyo alishangaashangaa huku akipiga magoti taratibu,hakuziba tena uso,sasa kwa jinsi alivyopiga magoti,akawa usawa wa lile dudu kabisa,yaani mdomo wake ulielekea kabisa kwenye dudu ,,,nadhani unajua cha kufanya,,,aliongea Hassan ,,,mi nifanyaje sasa,,,alijbu kwa kudeka mama huyo ,,,panua mdomo,,,yaani mama huyo alipopanua tu mdomo,Hassan alikingiza kichwa cha dudu lake mdomoni mwa jirani huyo,cha kushangaza hakukutana na meno,akajua tu mama huyo alijiandaa kulinyonya.Kuanzia hapo ni kama uwanja ulifunguliwa ,,,nyonya basi jamani,,,aliongea kwa mapozi Hassan ambapo mama huyo alilifumba tu bila kufanya chochote,ni yeye tu Hassan alikuwa akifanya kama analipeleka mbele na kurudisha nyuma. Alipoona mama huyo hatoi ushirikiano na anataka kusuguliwa alimwinua kisha akaelekea mlangoni kwa hatua za taratibu na kufunga mlango,ile kugeuka kurudi,alishangaa mwenyewe,mama huyo alikuwa amejibakiza na chupi tu,khanga zote alizitoa,Hassan alimfuata na kumvutia karibu,kile kitendo cha kuvutwa mtoto alitoa kicheko fulani cha kutia nyege,basi taratibu mdomo ikaanza kugombaniana ndimi zao,mkono wa huyo mama ulishuka mpaka kwenye kitobo cha dudu,palikuwa na ute fulani ambao ulishaanza kutoka,basia liutumia ule kusugua kile kitobo pamoja na ile sehemu ya chini ya kitobo,e bwana Hassan hakutegemea huo utamu aliouhisi,,,, SHINDI LA KIHAYA-12 Uimara wa dudu kusimama uliongezeka ambapo Hassan alijisikia raha hasa,raha ya dudu ipo kichwani bwana,basi naye kwa uchokozi wa kimahaba Hassan alishusha mkono wake mpaka chini kabisa kisha akawa anapapasa kitumbua kwenye mashavu yake mpaka pale kati kwenye utamu japo hakupakazania,yaani mkono tu kwa nje mama wa watu alishalowa,alikuwa na hamu alipoliona tu dudu la Hassan maana akiangalia mumewe hana mzigo mzito kama huo. Huku nje sasa,wamama wenzake walvyo wambea walianza kujiuliza huku wakihisi kinachoendelea kwa Hassan,walisemezana ,,,angekuwa amesharudi,,, ,,,Hassan atakuwa anamsugua bila shaka,,, ,,,mmh sio rahisi,yule mama mpole vile,,! ,,,upole mdomoni kwani kitumbua kina upole?,,,walicheka wote kwa pamoja na kugonganisha viganja vya mikono yao ,,,ila jamaa naelekea yuko vizuri,,, ,,,ndio kwasababu yule hakuwahi kuongea na Hassan hata siku moja ila leo anasuguliwa,,, ,,,mapenzi bwana,sa yule mama anakosa nini kwa jamaa yake?,,, ,,,ndio hivyo,tuyaache kama yalivyo,,,waliishia hapo na kuendelea na shughuli zao maana waliona hata wakifuatilia sana hayo ni maisha ya mtu anayoamua kuishi Hassan alishamtoa mama huyo chupi na kumbakiza kama alivyozaliwa,yaani kitumbua chake kilituna hasa kwa nyege,matako yake yaliyolaini ndiyo yaliyomvutia zaidi Hassan,hapo walikuwa wameshapelekana kitandani,wote wawili walikuwa uchi kabisa,walianza na mtindo wa kiubavu. Mama huyo alionekana kulitolea macho dudu la Hassan kama mtu anayelitamani na kulihofia kwa wakati mmoja.Kweli mtoto alifundwa mapenzi,unajua kumjua mwanamke anayejua kufanya mapenzi ni rahisi sana,ukimweka mtindo wowote,we angalia ni jitihada gani amezifanya kuhakikisha utapata utamu,ila kama ukimweka ndio hivyo hivyo hata aichangamkii staili huyo namfananisha na mtoto wa miaka sita. Mama Jirani alivyolala kiubavu,yaani kile kiuno na mgongo sijui alijipindaje mpakayale matobo yake mawili yakawa yanaonekana wala sio ya kuyatafuta,na alivyo na matako makubwa huo mtindo ulimpendeza sana,miguu yake aliibana vyema kabisa,raha nyingine ya mtindo huu,hata kama mwanamke atakuwa na kitumbua kikubwa,kwa jinsi mama huyo alivyokaa sio rahisi mwanaume kujua kwani kitakuwa kimebana,vilevile ni njia nzuri ya mwanamke kuwahi kukojoa kwani mwanamke akiwa anaguswa na mboo kwenye kila kona ya kitumbua ndivyo anavyowahi kukojoa. Hassan hakupata kazi yeyote,alimsogelea mama huyo akitokea kwa nyuma yake,tayari kitumbua kilikuwa kimelowa hasa,alilipenyeza dudu lake taratibu ambapo kilizama kichwa chote,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssssssssss aaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaah,,,,miguno ya kimahaba aliitoa Mama huyo kwani mzigo wa Hassan haukuwa wa kitoto,,,taratibu alilisukuma mpaka likazama lote,kweli kitumbua kilikuwa kimebana Hassan aliona hatafaidi kama akilala kiubavu kama mama huyo,kabla hajaanza kupampu dudu likiwa ndani,aliinua na kupiga magoti ambapo aliishika miguu ya Mama huyo ile sehemu ya nyuma ya magoti kisha akaifanya kama anaikutanisha na uso wake,hapo mama jirani alihisi maumivu kidogo,Hassan ndio akaanza kupampu huku akiwa amembana hasa mama wa watu,alianza kwa kasi ndogo sana kama anasindikiza harusi,mama wa watu alichemka hasa kwa utamu ,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooosssssssssssssss,,,,mmmmh,,,alilalamika kimahaba mama huyo akishindwa hata kuchezesha kiungo kimoja zaidi ya kichwa tu,mwanaume akaanza kuchanganya kidogo mwendo,hapo alimlalia na kumnyonya masikio,yaani kutekenywa masikioni na ncha ya ulimi,huku kitumbuani kusuguliwa vyema,mama wa watu alihisi utamu wa ajabu,,,aliguna kwa sauti mpaka Hassan aliogopa,ila wale wamama majirani walisikia kwa mbali ,,,mwanamke anapewa haki yake,,, ,,,mmh sio kwa kilio hicho,,, ,,,usikate jamaa ana mzigo wa hatari,,, ,,,hata kama,atakuwa alikuwa na nyege sana,,, ,,,mmh mambo ya kitanda hayo,,,walisemezana hivyo majirani hao kisha kila mmoja aliendelea na shughuli yake Huku kwa mama jirani anayesuguliwa,aisee alishakojoa bao mbili kwa msuguo wa maana aliopewa,yaani alikuwa akilia kabisa machozi,utadhani alichapwa bakora za nguvu kumbe utamu tu,Hassan alipomwaga aliunganisha na mzunguko wa pili,kibaya zaidi mtindo hakubadilisha,kwahiyo mama wa watu alichoka halafu Hassan ndio alikuwa anatafuta bao la pili. ,,,aaaaaaaaaashiiiiiiiii,,,tubadili bwanaaaaa,,,,aaaaaaaaaaah,,,tubadili stailiiiiiiii,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,unaiumiza jamaniiiiiiiiiiiiii mamaa yanguuuuuuuuuuuu kitumbua changuuuuuuuuu eeeuwiiiiiiiiiiiiiii uuushuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,,,,alilalamika kimahaba ambapo Hassan kama aliweka pamba masikioni hakusikia lolote kumbe ndio alikuwa anakaribia kumwaga,ujue mwanaume akiwa anakaribia kumwaga hata umfanye nini hawezi kubanduka kwenye kitumbua,Hassan alimwaga bao lake na kuganda hapo juu ya mama huyo aliyechoka hasa ,,,we kweli kidume,sijawahi kusikia raha hivi jamani,,,alisifia mama huyo ,,,mi pia sijawahi kupata mwanamke mtamu kama wewe,mtamu sana,,,Hassan alidanganya ,,,mi ntampigia simu mume wangu nimwambie nimepata dharula ya ghafla halafu tubaki wote bwana,,,tayari mama wa watu alishapagawa na mautamu ya Hassan,,,,INAENDELEA SEHEMU YA 13 SHINDU LA KIHAYA-13 ,,,mmmh hawezi kujua jamani,,?,Hassan alihoji kizushi ,,,hawezi,ananiamini sana,,, ,,,kweli eeh?,basi fanya hivyo,nipe dakika kadhaa,,,basi mama huyo alipoongea hivyo alivaa nguo zake kisha akarudi chumbani kwake kwa kujiiba,alioga vyema na kuyatengeneza mazingira aliyoyaahidi,mumewe alipokubaliana na hiyo safari itakayomfanya asiwepo usiku huo,mwanamke alifurahi sana na kutoa maneno matamu kwa mume wake. Sasa hapo ndio uone utofauti,niamini kitu kimoja,sio kwamba Hassan alimpagawisha Mama Jirani kutokana na ukubwa wa dudu lake la hasha!,ila ni kwa utundu wa kucheza na kitumbua,mumewe alikuwa na dudu la wastani ambalo laiti kama angelitumia vyema asingemjengea mkewe udhaifu wa kutamani madudu mengine.Pia mwanamke hutakiwi kutumia vibaya kiasi unachaminiwa na mpenzi wako. Tukirudi upande wa Lisa,siku hiyo akiwa ametoka na mama yake kwenda kupata chakula cha usiku.E bwana kwenye hiyo hotel waliyokwenda waafrika unawahesabu,wazungu walikuwa wengi zaidi,palipikwa vyakula vya kila aina kutokana na nchi.Vingine ni oda maalumu vingine vya kuuza. Waliagiza chakula na kuanza kula,vinywaji vilifuata ambapo walifurahi sana,mwanga haukuwa mkali sana,ulikuwa wa wastani uliowawezesha kuhisi kama wako sehemu ya tofauti sana.Akiwa katika meza hiyo na mama yake,alimwona mzee fulani ambaye alinukia pesa ya maana,alikuwa na uwalaza mkubwa kama mkapa. Sasa ndani ya hotel hiyo kuna wanamuziki rasmi huwa wanatumbuiza,wanaimba nyimbo kuwaburudisha wateja,na kuna muda hupigwa nyimbo za watu wengine kisha wateja hujumuika pamoja na kucheza kwenye sehemu ya wazi kwenye hoteli hiyo.Muziki ulianza muda tu ila watu walipoanza kunyanyuka kuelekea kati,Skola naye alinyanyuka,kwa bahati mbaya au nzuri akapata mzungu wa kucheza naye,wakagandana hasa,mzungu alichanganyikiwa na umbo la Skola,alimwona mpya kweli. Huku Lisa aliletewa ujumbe na mhudumu kuwa kuna mzee anamhitaji,alipoonyeshwa kwa kidole,mzee alinyoosha mkono kumpungia ili aonekane.Mhudumu alipoondoka,naye huyo mzee kwenye kiti chake alinyanyuka na kupanda ghorofa ya juu,alimpa ishara ya mkono Lisa kuwa waonane huko juu. Taratibu mzee alipanda ngazi kuelekea juu huku Lisa akimwangalia anavyopanda ngazi hizo,kwa macho ya wizi,Lisa alimwangalia mama yake na kumwona akiwa ameshikiliwa vibaya na mzungu,tena anabambiwa hasa,alitabasamu kwa hali hiyo kisha akajiweka sawa na kuanza kumfuata yule mzee. Alipanda ngazi taratibu kuelekea huko juu ambapo siku hiyo alivalia gauni fulani sare na mama yake lililokuwa na mpasuo mkubwa sana mbele,pia wepesi wake ulifanya Chuchu zake kuchoreka vyema.Alivyotembea tu Lisa ilikuwa n tabu na yale matako mazuri aliyobarikiwa mtoto wa kike,kweli uzuri unaweza kuwa kipaji na wenywe maana Lisa hata akikutukana vigumu kumrudishia aisee maana hiyo sura na umbo vilivutia sana.Ndo wasichana kama hawa wakiwa wapelelezi kazi yao inakuwaga rahisi sana maana hawatumii nguvu kukukamatisha kwa mapolisi. Huko juu ya ghorofa alipotokeza tu Lisa,mandhari ya huko alipenda,mwanga hafifu ila tofauti na chini,huku juu hakukuzibwa kwahiyo mtu uliweza kuona juu angani.Mzee yule alikuwa amebadili mpaka mavazi,kutoka kuvaa suti mpaka bukta na vesti,mkononi mwake alishika glasi mbili za vinywaji,Lisa bila ya uwoga alimsogelea mpaka karibu,hakukuwa na mtu hata mmoja,bado Lisa hakujua hata uko juu hutumika kufanyaje. ,,,karibu sana mtoto mzuri,,,aliongea mzee na kumpa glasi ya kinywaji ,,,ahsante,nimefuata nini huku,,?,alipokea glasi na kuhoji Kuhusu kinywaji hakikumpa shaka kwani kilifanana na kile alichokuwa akinywa kule chini ,,,aah nahitaji kuwa nawe kwa muda mfupi sana mtoto mzuri Unasemaje,,? ,,,jibu langu linategemea na mfuko wako,,, ,,,basi usijali,,,mzee aliandaa laki mbili,alizito ana kumkabidhi,Lisa aliziangalia kwa dharau kisha hakuongea naye,aligeuka na kuanza kurudi.Mzee kwa kupagawa alimfuata na kumshika mkono akimrudisha tena ,,,yaani umenidharau hivyo? Mi ni wa laki mbili? Kumbe hata hujui vitu vizuri,,,aliongea kwa kujifanya amekasirika Lisa ,,,sawa,hakuna shaka ni kuelewana tu,njoo mama eeh,,,alibembeleza mzee wa watu kisha Lisa alimsogelea mpaka kwa karibu,alibana midomo yake hukumtazama kwa jicho la huba lililommaliza mzee huyo ,,,sikiliza,nitakufanyia milioni moja,ni kawasababu nimekupenda na nahisi una aaaaaah nzuriiii,,,hakutaja hicho kizuri bali alionyesha kwa kushika na mkono kabisa,mzee aliposhtuliwa dudu lake alikubali fasta,kumbe pesa alkuwa nazo,aliingia kwenye chumba fulani kilichokuwa kizuri hasa,kisha akatoka na pesa nyingi akimkabidhi Lisa,Lisa alipopokea tu alianza kumpa utamu mzee Alilivua lile gauni lake na kubakiwa na chupi tu,daaah mtoto aliumbwa jamani,huku juu kifuani hakuvaa chochote kwani Chuchu zake zilijiweza.Alimsogelea mzee huyo aliyekaa kwenye kiti cha kulala,alianza kumnyonya denda,alimvua ile vesti kisha akaanza kumnyonya Chuchu,mzee dudu lilisimama,mtoto taratibu aliivua bukta hivyo na kukutana na dudu la maana,halkuwa limesimama vyema hivyo akaanza kazi,alishusha mdomo wake chini kabisa kwenye kende na kuzinyonya,,,,,aaaaaaaaaaah,,,shiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika mzee ambapo ulimi wa Lisa ulihamia kwenye dudu,ulifyonza kile kichwa cha dudu hasa kile kitobo cha mkojo,,,mzee alitamani kupaa,.,,nyege zilipomkolea mzee huyo,Lisa alimjita kwa juu ili ampe mambo ya nayoendana na pesa yake,alimgeuzia mgongo kisha akaivua chupi huku akiinama kumringishia tamu,vilevile alijirudisha nyuma ili alikalia dudu la mzee huyo,,,ITAENDELEA KESHO ... Read More
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya saba (7) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp.... 0769673145 Ilipoishia....... Baada ya masaa mawili mbele mzee Joel alirejea nyumbani akiwa pamoja na mgeni wake. Geti lilifunguliwa na mlinzi na gari likaingia mpaka ndani na kupaki sehemu yake. "karibu Sana kuwa huru." akaongea mzee Joel huku akimfungulia Dick mlango wa gari. ******Endelea ***** Mzee Joel aliongozana na mgeni wake mpaka sebuleni ambapo watoto wake wote walikuwepo hapo pamoja na mke wake. "Afadhali nimewakuta wote mkiwa hapa mpokeeni mgeni bas." akaongea mzee Joel. Lakini hakuna mtu alieyehangaika kumpokea mgeni yule isipokuwa Irene peke yake, ambaye ndiyo alimpokea na kumuonesha sehemu ya kuketi. "Penina mgeni wako huyu." akaongea mzee Joel huku akimuangalia Penina. Penina hakujibu kitu alibaki kimya kama hakusikia alichoambiwa na baba yake. "Nolan na Irene huyu ni shemegi yenu kwa maana nyingine huyu ndio mume mtarajiwa wa Penina naomba mlitambue hilo kuanzia Sasa." akaongea mzee Joel kwa kusisitiza. "Nimeelewa baba nadhani kila mtu ameelewa pia." akaongea Irene kuonesha yupo pamoja na baba yake. "Irene acha upumbavu mdogo wangu kama wewe umeelewa mi sijaelewa kitu, baba samahani sana huyo mtu wako hawezi kuwa shemegi yangu kamwe." akaongea Nolan kwa jazba. "Nolan wewe na mimi nani baba kwenye hii nyumba?" akahoji mzee Joel. "wewe ndio mkubwa." akajibu Nolan. "Sasa kama mimi ndio mkubwa lazima ufuate kile ninachokisema." akaongea mzee Joel huku akimuangalia Nolan kwa hasira. "siwezi kufuata upuuzi wako unaoutaka wewe never." akaongea Nolan Kisha akanyanyuka na kuondoka pale sebuleni. "Baba asante kwa chaguo lako lakini mimi sio chaguo langu." akaongea Penina kwa upole kumuambia baba yake Kisha na yeye akanyanyuka na kuondoka pale sebuleni na kumfuata Nolan. Mzee Joel alibaki ametumbua macho asijue afanye nini kwa wakati ule. "Usijali Dick huu ni ushambaa wa huku kwetu Africa Ila usijali nitaweka mambo Sawa, hebu njoo tuonge kidogo." akaongea mzee Joel kumwambia Dick, Kisha wakanyanyuka wote na kuongozana mpaka nje ya nyumba Ile kubwa ya kifahari. "Unajua Dick huyu kijana wangu anayeitwa Nolan ndio anamfundisha Dada yake ujinga ili asiolewe na wewe, ila nakuahidi lazima utamuoa Penina." akaongea mzee Joel kumwambia Dick. "hakuna tatizo mimi nakusikiliza wewe na kama nikimuoa huyo mtoto wako nitakupatia pesa nyingi Sana." akaongea Dick kumwambia mzee Joel. "usijali yule ni wako na lazima utamuoa." akaongea mzee Joel kumpa moyo mzee Joel. "bas Sawa mimi naondoka mambo yakiwa Sawa utanipa taarifa." Dick akamwambia mzee Joel na Kisha akaingia kwenye gari na kuondoka, na kumuacha mzee Joel akiwa anakuna kichwa baada ya kusikia atapewa pesa nyingi kama Dick akifanikiwa kumuoa Penina. "alafu huyu Nolan naona anampa kichwa Sana Penina Sasa ngoja nimfundishe adhabu pumbavu yeye." akajisemea mzee Joel kimoyo moyo Kisha akatoa simu yake na kumpigia Zaza. "yes mzee Joel." akaongea zaza baada ya kupokea simu. "Zaza kuna huyu kijana wangu anaitwa Nolan unamfahamu?" akaongea mzee Joel na kuuliza. "ndio tunamfahamu vizuri Sana." akajibu Zaza. "Vizuri Sana Sasa nataka nimfundishe adhabu huyu kijana maana naona anataka kunipanda kichwani." akaongea mzee Joel kumwambia Zaza. "kivip mzee wangu?" akahoji zaza. "sikiliza Zaza nataka mumkamate huyo kijana wangu mumpelekee sehemu mumtandike mpaka ashike adhabu tumeelewana?" akaongea mzee Joel na kuhoji. "nimekupata vizuri mzee wangu na tuko tayari kwa kazi." akajibu Zaza. "OK bas kuna sehemu nitamtuma alafu nitawaambia ni wapi ili mkamatie hapo." akaongea mzee Joel kumwambia Zaza. "OK hamna shinda mzee Joel." akajibu Zaza na simu ikakatwa. "nimefurahi Sana kaka kwa jinsi ulivyonitetea nakupenda Sana kaka yangu." alikuwa Penina akimuambia Nolan. "usijali mdogo wangu lazima nisimame Katika haki siko tayari kuona haki ikipindishwa kwasababu ya pesa." akaongea Nolan kumuambia Penina. Lakini wakiwa bado wanaendelea kuongea Nolan alisikia sauti ya baba yake ikimuita. "hebu ngoja nikamsikilize nasikia ananiita huko." Nolan akamwambia Penina na kuondoka kwenda kumsikiliza baba yake. "Chukua gari hiyo nenda kaniwekee mafuta sehemu tunayowkaga kila siku." mzee Joel akamwambia Nolan huku akimkabidhi pesa kias kadhaa. Nolan alishangaa kwa kuwa ilikuwa sio kawaida yeye kutumwa Muda kama ule, lakini hata hivyo hakuwa na namna aliaaliamua kwenda kuepusha malumbano na baba yake. Baada ya dakika mbili Nolan kuondoka mzee Joel alitoa simu yake Mara moja na kumpigia Zaza, Kisha akamwelekeza sehemu ambayo wataweza kumkamata Nolan na kwenda kumfundisha adhabu. Baada ya Zaza kupata habari Ile Mara moja aliingia kwenye gari pamoja na vijana wake wanne na kuelekea sehemu ambayo walielekezwa na mzee Joel kumkamata Nolan. * Huku msituni hatimaye Frank alimaliza siku mbili za mapumziko, Kisha akagaana na mzee yule aliyemsaidia na kuanza safari ya kuelekea tabora mjini kwa ajili ya kurudi dar es salam. Frank alitakiwa kutumia siku tatu ili aweze kufika tabora mjini, lakini kwa jinsi Frank alivyokuwa na hasira ya kurejea dar es salam ili aweze kuonana tena na mpenzi wake, alijikuta akitumia siku moja na nusu kufika tabora mjini. Baada ya kufika mjini Frank alianza kuhangaika kutafuta usafiri wa kurejea dar es salam bila kufanikiwa kutokana na kukosa pesa. Frank aliamua kujiunga na vijana wengine waliokuwa pale tabora mjini na kuanza kazi ya kuosha magari ili aweze kupata pesa ambayo itamsaidia kurejea dar es salam.* Nolan akiwa amebakiza mita chache kufika Katika sheli iliyokuwa mbele kidogo na sehemu alipokuwa. ghafla alishtukia gari nyeusi ikifunga break mbele yake na kumzuia njia asiweze kupita. Nolan akiwa bado anashangaa kinachoendelea, ghafla akaona wanaume watatu wakitoka kwenye lile gari huku kila mmoja akiwa na fimbo mkononi na kuanza kuanza kusogea Kuja kwenye gari la Nolan. Mara moja Nolan akatambua hawa watu si wema hata kidogo. Lakini Sasa watu wale ambao walikuwa ni wakina Zaza hawakujua wanamfuata nani. Wazimu wa wazimu Nolan naye alifungua mlango na kutoka kwenye gari Lake na kuanza kuwafuata wakina Zaza bila kuwa na uoga wowote.* ......... Itaendelea ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: