Home → simulizi
→ KIJIJI CHA SHETANI
Sehemu ya Kwanza
.....NI mida ya jioni kijua chekundu kikielekea kuzama magharibi mwa kigoma katika mtaa wa Ujiji.
Zuma aliludi kutoka kisimani akiwa na mdogo wake wa kike aliekwenda kwa jina la Miriamu,Walikuwa wakisaidizana kukokota baiskeli iliyobeba madumu ya maji.Hatimae safari ilifika nyumbani na kumkuta mama yao akimalizia kutwanga mpunga kwa ajiri ya ubwabwa wa jioni.
ZUMA alishusha madumu huku akipokelewa na mdogo wao wa mwisho wa kiume alieitwa Amos.Shughuri ya kushusha madumu ilipoisha Zuma alichukua jukumu la kumsaidia mama yake kutwanga mpunga,Miriamu aliingia jikoni kuwasha moto kwa ajiri ya maandalizi ya kupika chakula,Shughuri ya kutwanga mpunga ilipoisha mama Zuma alipepeta kisha akaingia ndani na kutoka na kikombe kidogo na mfuko wa rambo,Alichota vikombe viwili vya mchele kisha akaweka kwenye rambo.
"Zumaaa"Sauti ya mama iliita wakati huo Zuma alikuwa ndani,Hivyo ilimbidi atoke kumsikiliza mama anasema nini."Chukua huu mchele wapelekee babu na bibi yako sawa mwanangu".Mama alisema na kumpatia mwanae ule mfuko wa mchele kwa ajili ya kuupeleka alipoagizwa.Zuma aliuchukua kisha kuanza safari.Babu yake Zuma ni babu maarufu sana pale kijijini ndani ya Ujiji katika mkoa wa Kigoma,Watu wengi walisikika wakisema"Huyu mzee sio kabisa anamambo ya ajabu sana".Licha ya kuwa taarifa hizo zilikuwaga zinamfikia Zuma kuwa babu yake anamambo ya kishirikina lakini Zuma hakuwahi kuona tabia hiyo kwa babu yake hata siku moja.Pia babu yake alimuona ni mtu mwenye roho nzuri sana na kwa ukweli alikuwa na upendo sana kwa Zuma.
ZUMA alifika kwa babu yake na bibi yake.Babu yake alijulikana kwa jina la Mzee Shomary na bibi yake aliitwa Bi Hindu,Wazee hawa walibahatika kupata watoto takribani sita lakini cha ajabu ni mama yake Zuma tu ndie aliesalia maana wengine wote walikuwa wameshafariki,Zuma aliwakabidhi mchele wakati huo aliwakuta wamewasha moto wanaota wakiwa wamekaa wawili huku wakiongea mambo ya hapa na pale."Asante sana mjukuu wangu kwa mzigo huu mwambie mama babu na bibi wanashukuru sana"Aliongea Bi hindu kutoa shukrani kwa Zuma na mama yake kwa mzigo ule.
"Vipi za masomo mjukuu wangu...Chukua kiti ukae tuongee mawili matatu"Alisema mzee shomary.
"Za masomo nzuri..ila babu mi leo sikai kesho tunamtihani si unajua tena ndio tupo mwishoni kumaliza kidato cha nne hivyo mitihani ni mingi sana na nikisema tu nisisome basi wataninyan'ganya nafasi yangu ya kuwa wakwanza kama nilivyozoea,Ngoja niwahi nikajisomee kesho ntakuja tupige story vizuri"Alisema Zuma akimwambia babu yake.
"Sawa mjukuu wangu wahi ukasome maana ni wewe pekee ndio tunakutegemea".Asante babu,Bibi mimi naenda Usiku mwema."Alisema Zuma kisha kuaga na kuanza safari ya kurudi nyumbani
ALILUDI nyumbani na kukuta tayari wamepika,alienda kuoga kisha haraka haraka akatayarisha vitabu vyake mezani,Mama yake alikuwa anampenda sana Zuma aliingia chumbani kwake na kutikisa kama kibatari kina mafuta na kukuta kimepungua,Aliitwa Amos afuate mafuta ili kuja kujazilishia mafuta kwenye kibatari.Baada ya hapo mama alisema"Miriamu mpakulie kaka yako chakula ili awahi kula aanze kujisomea".Bila kupoteza muda Miriamu alifanya kama alivyoagizwa na Zuma alianza kula akiwa sebureni huku mama yake amekaa anaweka sawa vitu vyake kwenye kapu ambalo huwa anabebea kwa ajiri ya biashara yake ya umama ntilie(Mama lishe) katika kibada kimoja kilichopo barabarani ndani ya Ujiji.
Mama pia alitumia mwanya huo kumpa maneno yenye nguvu mwanae yatakayomfanya asome kwa uchungu"Soma mwanangu,Tangu baba yako afariki wewe ndie umebaki kuwa baba katika huu mji soma kwa uchungu uje ukomboe wadogo zako,Mimi mama yenu huwezi jua leo mzima je kesho ntakuwaje wadogo zako pia wanahitaji kufika mbali katika elimu,Wote wanakuangalia wewe uwaongoze jitahidi sana mwanangu mimi ntajitahidi kila njia kukupigania ufike mbali."Mama Zuma alisema maneno yale kwa mwanae ili yampe nguvu ya kusonga mbele.
MAFUTA yaliletwa na sasa Zuma alivuta koroboi kwa ukaribu zaidi na daftari kisha kuanza kukomaa na maandishi kuyaweka kichwani kwa ajiri ya mtihani wa kesho,Sebureni mama na wadogo zake wawili walipata chakula kisha wakamtakia masomo mema na wao wakaingia kulala.
NI mida ya saa sita usiku Zuma bado yupo mezani,ghafla kichwa kilianza kumuuma kwa mbali na mwili ulianza kutoa jasho,Alivumilia kusema kwamba hakusikia maumivu yale badala yake aliendelea kukomaa na kitabu ili asije akaaibika kwenye ubao wa matangazo shule ikishuhudia kinara anaeshika namba moja katika shule ya pale Ujiji sasa wamemtoa.
Lakini kila akijitahidi kusoma mambo yalizidi kuwa mabaya mwili ulizidi kutoa jasho na kichwa kuuma,Hakutaka amwamshe mtu yoyote yule badala yake alichukua panadol za akiba alizokuwa nazo mle ndani na kunywa kisha kumwachia Mungu siku ya kesho katika mtihani wake,Aliingia kulala huku mwili wake ukiendelea kutoa jasho.Kilichokuja kumshangaza zaidi richa ya kuwa anatoa jasho na joto kali kuwemo mle ndani lakini cha ajabu mwili wake ulikuwa unatetemeka kama mtu anaesikia baridi.Alijilaza kitandani na hatimae usingizi ulimpitia
ZUMA ghafla alikuja kushtuka kutoka usingizini na kabla hajafumbua macho alisikia kelele za watu ni kama kundi kubwa la watu likiimba nyimbo zisizojulikana,Alifumbua macho haraka na hapo ndipo alikuja kujikuta yupo porini ndani ya msitu mnene sana.Alikuwa amefungwa kwenye kitanda cha ngozi na huku akiwa amezunguukwa na watu asiowafahamu,Giza nene lilikuwepo pale licha ya kuwepo mienge ya moto kuwashwa kwa pembeni na mingine kushikiriwa na watu walioimba huku wakizinguuka eneo lile,Kwa macho ya kupepesa huku akitaka kupiga kelele ndipo mzee mmoja alipomnyooshea kidole mdomoni na kujikuta Zuma hawezi kutoa sauti yoyote ile ya kupiga kelele,Alibaki akitoa macho kwa kuwaangalia wale watu huenda labda atamtambua hata mmoja na hapo ndipo hakuamini macho yake kuona yule mzee aliemnyooshea kidole alikuwa ni babu yake mzee Shomary,Kuita babu alishindwa kutokana na kuzibwa na uchawi kutokuongea kabla hajamaliza kushangaa uwepo wa babu yake ghafla pia alimuona mzee maarufu sana pale kijijini aliejulikana kwa jina la Mzee Kagusa.Mzee alijulikana kama ni mtu mshirikina sana pale kijijini na aliogopwa sana na wanakijiji,Mzee yule alikuwa ameshikilia kisu pia na pembe la mnyama ambae hakujulikana.
MZEE Kagusa aliamlisha"Haya ile siku tuliyoingojea ya mjukuu wetu Zuma kukabidhiwa uongozi wa kundi letu hatimae umefika,Pongezi ziende kwa babu yake kwa kumteua Zuma kuwa kiongozi wetu na sisi tuko tayari atuongoze,Tujitolee kumfundisha kama sisi tulivyofundishwa na mababu zetu anghari tukiwa bado wadogo"Alisema Mzee Kagusa kisha pembe kupulizwa na sherehe kuanza.
KAZI iliyokuwepo pale ilikuwa ni kumlisha uchawi Zuma ili awe miongoni mwa wachawi,Tena sio miongoni mwa wachawi bali ni kiongozi mkuu.Zuma alishindwa la kufanya alibaki akijitikisa kitandani napo hakuweza alijitahidi kupiga kelele alishindwa.Wakati nyimbo zikiendelea na wachawi wengine wakiendelea kuzunguuka na kuimba pia ngoma zikipigwa ndipo sasa Mzee kagusa na mzee Shomary wakiwa na wabibi kama wanne waliozeheka kweli walimsogelea Zuma mahali alipo kwa ajili ya kukabidhiwa mikoba.
ZUMA alianza kutetemeka sana aliona siku zake za uhai zimekwisha,mkojo mwembamba ulimtoka akiwa pale kwenye kitanda cha ngozi,Hatimae wazee wale walimsogelea na kumzunguuka,Mzee Kagusa alimkabidhi moja kati ya wale wabibi wanne kisu bibi huyo alikuwa kazeheka kuliko wote pale.Alipewa kisu ili aongoze shughuri rasmi.
KISU kilinyanyuliwa juu kwa ajiri ya kumchana Zuma kifuani ili dawa iwekwe ya kichawi itakayomfanya awe mchawi bila kubisha.Mara ghafla yule bibi alipotaka kutelemsha kisu alianza kutetemeka,Kila akijitahidi kukishusha kisu kiligoma,Ilibidi aahilishe zoezi na kushusha kisu kisha kufumba macho kama dakika tano.Baada ya dakika tano Bibi yule alifumbua macho na kusema"mungu wetu amekataa...anasema ili kumpa uongozi huyu ni lazima damu ya mama yake imwagike kama sadaka kwa hiyo ametupa wiki moja tumpelekee nyama na damu ya mama yake kama sadaka kisha ndio tumkabidhi uongozi"Alisema Bibi yule na kurudisha kisu kwa Mzee Kagusa.
ZUMA aliyasikia yale maneno vizuri,Alianza kutetemeka na kuita Mamaaaa.....Mamaaaaa.....ndani ya moyo wake bila kutoa sauti.Alikuja babu yake na kumgusa katika paji la uso na hapo Zuma alitoweka maeneo yale.
SAA kumi na mbili Alfajili Zuma akiwa chumbani kwake kalala anashtuka kwa kusikia sauti ya mama yake chumbani kwake inamuita"Zumaaaaaa.........Zumaaaaa.....Njoo mwanangu....njooooo nakufa mimi mama yako".Ni sauti hafifu aliyokuwa akiitoa mama yake kule chumbani kuonyesha ni kama mtu aliekuwa akielekea kufa kweli.
Zuma pale pale akiwa kitandani alikumbuka kilichotokea usiku ule porini.Mwanzo alivyoshituka kutoka usingizini alijua ni ndoto kama ndoto za kawaida ila kwa sauti na maneno ya mama yake kule chumbani akiitwa alijua hiyo haikuwa ndoto tena bali alichokiona kilikuwa ni kweli kikiendelea katika ulimwengu wa kishetani.Alikurupuka kutoka kitandani mbio akielekea chumbani kwa mama yake.Hofu ya kumpoteza mama yake ambae ni nguzo katika masomo yake ilimtanda......
JE NINI KITAENDELEA
...Naam usikose katika sehemu ya pili ya story hii ya KIJIJI CHA USHETANI itakayokufunza mengi zaidi yanayotokea katika maisha.
Usisahau pia ku-Like,Na kukomenti ili kutoa maoni juu ya Simulizi hii
PIA nikiwa kama mtunzi wako ninaombi moja tu....Nisaidie kusambaza simulizi hii kwa kushare katika magroup mbalimbali na pia sehemu zingine.
Ukifanya hivyo hii itakuwa ni kama shukrani yako kwangu na malipo yako kwangu juu ya simulizi hii.Pia utakuwa umenipa nguvu zaidi ya kusonga mbele na kutenga muda wangu ili nizidi kuiandika zaidi nawe uisome ujifunze.Pia MUNGU ATAKUBARIKI SANA
ASANTENI SANA.
KIJIJI CHA SHETANI Sehemu ya Kwanza .....NI mida ya jioni kijua chekundu kikielekea kuzama magharibi mwa kigoma katika mtaa wa Ujiji. Zuma aliludi kutoka kisimani akiwa na mdogo wake wa kike aliekwenda kwa jina la Miriamu,Walikuwa wakisaidizana kukokota baiskeli iliyobeba madumu ya maji.Hatimae safari ilifika nyumbani na kumkuta mama yao akimalizia kutwanga mpunga kwa ajiri ya ubwabwa wa jioni. ZUMA alishusha madumu huku akipokelewa na mdogo wao wa mwisho wa kiume alieitwa Amos.Shughuri ya kushusha madumu ilipoisha Zuma alichukua jukumu la kumsaidia mama yake kutwanga mpunga,Miriamu aliingia jikoni kuwasha moto kwa ajiri ya maandalizi ya kupika chakula,Shughuri ya kutwanga mpunga ilipoisha mama Zuma alipepeta kisha akaingia ndani na kutoka na kikombe kidogo na mfuko wa rambo,Alichota vikombe viwili vya mchele kisha akaweka kwenye rambo. "Zumaaa"Sauti ya mama iliita wakati huo Zuma alikuwa ndani,Hivyo ilimbidi atoke kumsikiliza mama anasema nini."Chukua huu mchele wapelekee babu na bibi yako sawa mwanangu".Mama alisema na kumpatia mwanae ule mfuko wa mchele kwa ajili ya kuupeleka alipoagizwa.Zuma aliuchukua kisha kuanza safari.Babu yake Zuma ni babu maarufu sana pale kijijini ndani ya Ujiji katika mkoa wa Kigoma,Watu wengi walisikika wakisema"Huyu mzee sio kabisa anamambo ya ajabu sana".Licha ya kuwa taarifa hizo zilikuwaga zinamfikia Zuma kuwa babu yake anamambo ya kishirikina lakini Zuma hakuwahi kuona tabia hiyo kwa babu yake hata siku moja.Pia babu yake alimuona ni mtu mwenye roho nzuri sana na kwa ukweli alikuwa na upendo sana kwa Zuma. ZUMA alifika kwa babu yake na bibi yake.Babu yake alijulikana kwa jina la Mzee Shomary na bibi yake aliitwa Bi Hindu,Wazee hawa walibahatika kupata watoto takribani sita lakini cha ajabu ni mama yake Zuma tu ndie aliesalia maana wengine wote walikuwa wameshafariki,Zuma aliwakabidhi mchele wakati huo aliwakuta wamewasha moto wanaota wakiwa wamekaa wawili huku wakiongea mambo ya hapa na pale."Asante sana mjukuu wangu kwa mzigo huu mwambie mama babu na bibi wanashukuru sana"Aliongea Bi hindu kutoa shukrani kwa Zuma na mama yake kwa mzigo ule. "Vipi za masomo mjukuu wangu...Chukua kiti ukae tuongee mawili matatu"Alisema mzee shomary. "Za masomo nzuri..ila babu mi leo sikai kesho tunamtihani si unajua tena ndio tupo mwishoni kumaliza kidato cha nne hivyo mitihani ni mingi sana na nikisema tu nisisome basi wataninyan'ganya nafasi yangu ya kuwa wakwanza kama nilivyozoea,Ngoja niwahi nikajisomee kesho ntakuja tupige story vizuri"Alisema Zuma akimwambia babu yake. "Sawa mjukuu wangu wahi ukasome maana ni wewe pekee ndio tunakutegemea".Asante babu,Bibi mimi naenda Usiku mwema."Alisema Zuma kisha kuaga na kuanza safari ya kurudi nyumbani ALILUDI nyumbani na kukuta tayari wamepika,alienda kuoga kisha haraka haraka akatayarisha vitabu vyake mezani,Mama yake alikuwa anampenda sana Zuma aliingia chumbani kwake na kutikisa kama kibatari kina mafuta na kukuta kimepungua,Aliitwa Amos afuate mafuta ili kuja kujazilishia mafuta kwenye kibatari.Baada ya hapo mama alisema"Miriamu mpakulie kaka yako chakula ili awahi kula aanze kujisomea".Bila kupoteza muda Miriamu alifanya kama alivyoagizwa na Zuma alianza kula akiwa sebureni huku mama yake amekaa anaweka sawa vitu vyake kwenye kapu ambalo huwa anabebea kwa ajiri ya biashara yake ya umama ntilie(Mama lishe) katika kibada kimoja kilichopo barabarani ndani ya Ujiji. Mama pia alitumia mwanya huo kumpa maneno yenye nguvu mwanae yatakayomfanya asome kwa uchungu"Soma mwanangu,Tangu baba yako afariki wewe ndie umebaki kuwa baba katika huu mji soma kwa uchungu uje ukomboe wadogo zako,Mimi mama yenu huwezi jua leo mzima je kesho ntakuwaje wadogo zako pia wanahitaji kufika mbali katika elimu,Wote wanakuangalia wewe uwaongoze jitahidi sana mwanangu mimi ntajitahidi kila njia kukupigania ufike mbali."Mama Zuma alisema maneno yale kwa mwanae ili yampe nguvu ya kusonga mbele. MAFUTA yaliletwa na sasa Zuma alivuta koroboi kwa ukaribu zaidi na daftari kisha kuanza kukomaa na maandishi kuyaweka kichwani kwa ajiri ya mtihani wa kesho,Sebureni mama na wadogo zake wawili walipata chakula kisha wakamtakia masomo mema na wao wakaingia kulala. NI mida ya saa sita usiku Zuma bado yupo mezani,ghafla kichwa kilianza kumuuma kwa mbali na mwili ulianza kutoa jasho,Alivumilia kusema kwamba hakusikia maumivu yale badala yake aliendelea kukomaa na kitabu ili asije akaaibika kwenye ubao wa matangazo shule ikishuhudia kinara anaeshika namba moja katika shule ya pale Ujiji sasa wamemtoa. Lakini kila akijitahidi kusoma mambo yalizidi kuwa mabaya mwili ulizidi kutoa jasho na kichwa kuuma,Hakutaka amwamshe mtu yoyote yule badala yake alichukua panadol za akiba alizokuwa nazo mle ndani na kunywa kisha kumwachia Mungu siku ya kesho katika mtihani wake,Aliingia kulala huku mwili wake ukiendelea kutoa jasho.Kilichokuja kumshangaza zaidi richa ya kuwa anatoa jasho na joto kali kuwemo mle ndani lakini cha ajabu mwili wake ulikuwa unatetemeka kama mtu anaesikia baridi.Alijilaza kitandani na hatimae usingizi ulimpitia ZUMA ghafla alikuja kushtuka kutoka usingizini na kabla hajafumbua macho alisikia kelele za watu ni kama kundi kubwa la watu likiimba nyimbo zisizojulikana,Alifumbua macho haraka na hapo ndipo alikuja kujikuta yupo porini ndani ya msitu mnene sana.Alikuwa amefungwa kwenye kitanda cha ngozi na huku akiwa amezunguukwa na watu asiowafahamu,Giza nene lilikuwepo pale licha ya kuwepo mienge ya moto kuwashwa kwa pembeni na mingine kushikiriwa na watu walioimba huku wakizinguuka eneo lile,Kwa macho ya kupepesa huku akitaka kupiga kelele ndipo mzee mmoja alipomnyooshea kidole mdomoni na kujikuta Zuma hawezi kutoa sauti yoyote ile ya kupiga kelele,Alibaki akitoa macho kwa kuwaangalia wale watu huenda labda atamtambua hata mmoja na hapo ndipo hakuamini macho yake kuona yule mzee aliemnyooshea kidole alikuwa ni babu yake mzee Shomary,Kuita babu alishindwa kutokana na kuzibwa na uchawi kutokuongea kabla hajamaliza kushangaa uwepo wa babu yake ghafla pia alimuona mzee maarufu sana pale kijijini aliejulikana kwa jina la Mzee Kagusa.Mzee alijulikana kama ni mtu mshirikina sana pale kijijini na aliogopwa sana na wanakijiji,Mzee yule alikuwa ameshikilia kisu pia na pembe la mnyama ambae hakujulikana. MZEE Kagusa aliamlisha"Haya ile siku tuliyoingojea ya mjukuu wetu Zuma kukabidhiwa uongozi wa kundi letu hatimae umefika,Pongezi ziende kwa babu yake kwa kumteua Zuma kuwa kiongozi wetu na sisi tuko tayari atuongoze,Tujitolee kumfundisha kama sisi tulivyofundishwa na mababu zetu anghari tukiwa bado wadogo"Alisema Mzee Kagusa kisha pembe kupulizwa na sherehe kuanza. KAZI iliyokuwepo pale ilikuwa ni kumlisha uchawi Zuma ili awe miongoni mwa wachawi,Tena sio miongoni mwa wachawi bali ni kiongozi mkuu.Zuma alishindwa la kufanya alibaki akijitikisa kitandani napo hakuweza alijitahidi kupiga kelele alishindwa.Wakati nyimbo zikiendelea na wachawi wengine wakiendelea kuzunguuka na kuimba pia ngoma zikipigwa ndipo sasa Mzee kagusa na mzee Shomary wakiwa na wabibi kama wanne waliozeheka kweli walimsogelea Zuma mahali alipo kwa ajili ya kukabidhiwa mikoba. ZUMA alianza kutetemeka sana aliona siku zake za uhai zimekwisha,mkojo mwembamba ulimtoka akiwa pale kwenye kitanda cha ngozi,Hatimae wazee wale walimsogelea na kumzunguuka,Mzee Kagusa alimkabidhi moja kati ya wale wabibi wanne kisu bibi huyo alikuwa kazeheka kuliko wote pale.Alipewa kisu ili aongoze shughuri rasmi. KISU kilinyanyuliwa juu kwa ajiri ya kumchana Zuma kifuani ili dawa iwekwe ya kichawi itakayomfanya awe mchawi bila kubisha.Mara ghafla yule bibi alipotaka kutelemsha kisu alianza kutetemeka,Kila akijitahidi kukishusha kisu kiligoma,Ilibidi aahilishe zoezi na kushusha kisu kisha kufumba macho kama dakika tano.Baada ya dakika tano Bibi yule alifumbua macho na kusema"mungu wetu amekataa...anasema ili kumpa uongozi huyu ni lazima damu ya mama yake imwagike kama sadaka kwa hiyo ametupa wiki moja tumpelekee nyama na damu ya mama yake kama sadaka kisha ndio tumkabidhi uongozi"Alisema Bibi yule na kurudisha kisu kwa Mzee Kagusa. ZUMA aliyasikia yale maneno vizuri,Alianza kutetemeka na kuita Mamaaaa.....Mamaaaaa.....ndani ya moyo wake bila kutoa sauti.Alikuja babu yake na kumgusa katika paji la uso na hapo Zuma alitoweka maeneo yale. SAA kumi na mbili Alfajili Zuma akiwa chumbani kwake kalala anashtuka kwa kusikia sauti ya mama yake chumbani kwake inamuita"Zumaaaaaa.........Zumaaaaa.....Njoo mwanangu....njooooo nakufa mimi mama yako".Ni sauti hafifu aliyokuwa akiitoa mama yake kule chumbani kuonyesha ni kama mtu aliekuwa akielekea kufa kweli. Zuma pale pale akiwa kitandani alikumbuka kilichotokea usiku ule porini.Mwanzo alivyoshituka kutoka usingizini alijua ni ndoto kama ndoto za kawaida ila kwa sauti na maneno ya mama yake kule chumbani akiitwa alijua hiyo haikuwa ndoto tena bali alichokiona kilikuwa ni kweli kikiendelea katika ulimwengu wa kishetani.Alikurupuka kutoka kitandani mbio akielekea chumbani kwa mama yake.Hofu ya kumpoteza mama yake ambae ni nguzo katika masomo yake ilimtanda...... JE NINI KITAENDELEA ...Naam usikose katika sehemu ya pili ya story hii ya KIJIJI CHA USHETANI itakayokufunza mengi zaidi yanayotokea katika maisha. Usisahau pia ku-Like,Na kukomenti ili kutoa maoni juu ya Simulizi hii PIA nikiwa kama mtunzi wako ninaombi moja tu....Nisaidie kusambaza simulizi hii kwa kushare katika magroup mbalimbali na pia sehemu zingine. Ukifanya hivyo hii itakuwa ni kama shukrani yako kwangu na malipo yako kwangu juu ya simulizi hii.Pia utakuwa umenipa nguvu zaidi ya kusonga mbele na kutenga muda wangu ili nizidi kuiandika zaidi nawe uisome ujifunze.Pia MUNGU ATAKUBARIKI SANA ASANTENI SANA.
Artikel Terkait
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA NANE (08) ILIPOISHIA SEHEMU YA SABA: Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. endelea........ Niram alishindwa kuamini alichokionaa, kwa muda ule kiukweli alitoa macho kama ndubwi, spidi ya moyo kwenda mbio vilizidi kuongezea. Hakuamini kuona mtu aliyekuwa anamuhitaji kwa muda huo ndo alikuwa anampigia.basi alichukua simu yake na kuipokea. "hellow vicent".ilikuwa ni sauti tamu yenye kusisimua mwili.hakika hata vicent alipata kigugumizi cha gafla na wakati yeye ndie aliepiga. "aaaghahg!! Niambie niram umeshindaje kipenzi? ".aliongea vicent kwa sauti ya upole na ya kiume,kiasi niram alijisikia raha sana kuisikiliza. "nipo poa kulikuwa na wageni leo basi kulikuwa na kazi kweli".aliongea niram kwa sauti yake ile nzuri na ya upole, kama ya Madeko hivi. "oooh pole mamy si ungeniita nije nikusaidie".aliongea vicent, kwa utani huku akisubiri jibu. "ahhhhah! Uongo tu ungekuwa kweli wewe".alijichekesha ki kikekike niram huku anabadili mikao ya kukaa pale alipokuwa. "yaap ningekuja kwanini nisije kwa rafiki yangu kumsaidia jamani?".alijiongelesha kama anauliza hivi huku ikiwa sauti fulani inayoonyesha hali ya kujali. Niram alifurahi sanaa kusikia vile. "mmh! Basi nashukuru kwakunijali kipenzi".aliongea niram kwa madeko. "usiliongelee hilo ni wajibu wangu kama rafiki".aliongea vicent. "basi wifi anapata raha sana".aliongea niram huku akitia kijineno cha mtego. "sina mama yangu, bado sijabahatika".aliongea vicent kwa utulivu wa hali ya juu, kwa hakika ungesema kweli mwanaume ndiyo huyu. Alijua sana kuongea na mwanamke na akaelewa. "ooh usijali Mungu atakupa my"aliongea niram. "sawa nashukuru sana na mimi ntajiona ni mwenye bahati".alijibu vicent,basi waliongea mengi sana mpaka walipoagana, kwa maana kesho ilikuwa ni siku ya shule. **** Ilikuwa ni siku ya pili, watu walikuwa na pilikapilika zao kama kawaida. Huku kila mmoja akiwa katika harakati za utafutaji. Magari yakikuwa yanapishana kila wakati. Basi muda huo shuleni niram, alikuwa ni mtu wa tabasamu muda wote,alikuwa kachangamka sana hata marafiki zake wakimshangaa, ila aliyejua tofauti ya niram ni hajra peke yake. Alimtazama kwa muda kisha akamuuliza "vipi dada mbona huko happy hivyo?".aliuliza kwa sauti ya chini hajra, huku wengine wakiwa bize kufanya yao. "mmh kwani nikoje jamani!?".akiuliza niram,huku akiachia tabasamu pana sana usoni mwake. "we mwenyewe ujioni kama upo tofauti leo?".aliongea hajra huku akapachika na swali. "hamna bwana mama jana alinifurahisha sana ".aliongea niram, huku akionyesha kuwa hakuwa akiongopa. "oooh!! Sawa".alijibu hajra, huku anageuka kujumuika na wengine. Niram yeye muda wote alikuwa ni kutabasamu alijishangaa hata kwanini, anajiona ni mwenye amani sana. Basi akachukua kitabu na kuanza kujisomea kwa umakini wa hali ya juu. **** Na huku shuleni kwa akina vicent mambo yalikuwa hatari. Maana suma alikuwa ana mchecheto wa hali ya juu halikuwa kwenye stori za kufa mtu. "basi jana niwaambie si somoe akanipigia bwana unajua nilichokifanya nikamchunia mi nilikuwa na miadi na hadija ye ananiletea kiwingu".akanyamaza kidogo kisha akaendelea. "basi jana nikakutana na hadija weeeeeh!!mtoto fundi mtoto anakata uno kama feniii we acha, yule mtoto balaaa".aliongea suma huku richard na vicent wakiwa wanamuangalia.ila rachard mbavu alikuwa hana kwa kicheko, huku vicent akiwa kutabasamu tu. "umemaliza? ".aliuliza vicent. "daah!huyu kashaanza ulokole wake".aliongea suma. "siyo ulokole uwo ni ushamba, we mwenyewe unaona sifa alafu ukigongewa dada yako unawaka kama pilipili ".aliongea vicent akionyeshwa kuchukizwa na rafiki yake huyo. "yani kwakuwa wewe upendo kwahiyo sisi tusiongee? "alihoji suma, huku kama alishaanza kupaniki hivi maana sura ilichenji. "yani hakuna kusema chochote hapo tabia zako azituvutiii unawazalilisha dada zetu tusikuambie".aliongeara Richard huku amemkazia macho bila chembe ya uoga. "mwambie huyoo huo ni ujinga broo".aliongea tena vicent huku anamtazama. "eeh basi yaishe ,tuongee mengine vipi yule mtoto wa Kihindi nipe stori basi".aliongea tena suma. "aisee suma ukoje mbona hupendeza kuwa mmbea".aliongea richard. "aaah! Kausha mi si nishabadili mada, nauliza mambo mengine".alijitetea suma huku akikaa vizuri kuambiwa yaliyojiri. "hivi unajua kwanini jana nilikukatia simu? Coz lisilokuhusu usilikingie kifua, kila mtu apambane na hali yake mambo ya mahusiano yangu hayakusu"aliongea vicent huku akinyanyuka,na kuanza kutoka nje, richard akamfuata, maana vicent alionyesha kuchukia. Suma akabaki katulia kanywea vibayaaaa, kama kamwagiwa maji.*** Mama vicent alikuwa sebuleni, alikuwa amekaa na mama wa makamo kama yeye kwakweli walionekana ,kama wapo kwenye maongezi mazito, maana vilisikika vicheko vya hali ya juu. Ila gafla wakaacha kucheka macho yote yakageuka kutazama........ Itaendelea. ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya nane (8) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp....... 0769673145 Ilipoishia........ Lakini Sasa watu wale ambao walikuwa ni wakina Zaza hawakujua wanamfuata nani. Wazimu wa wazimu Nolan naye alifungua mlango na kutoka kwenye gari Lake na kuanza kuwafuata wakina Zaza bila kuwa na uoga wowote.* *************Endelea ********* Zaza pamoja na wenzake walishtuka kuona Nolan anashuka kwenye gari na kuona anawafuata bila wasi wasi wowote. Na baada ya sekunde chache Nolan alikuwa mbele yao. "mnataka nini mbona tunapotezeana Muda?" Nolan akawauliza wakina Zaza huku akiwa amesimama mbele yao. "hahahaaaa Nolan kwa siku ya leo huna bahati leo umeingia pabaya." akaongea zaza huku akimsogelea Nolan. "leo hakika tutakufunza adhabu." akaongea zaza na kumshushia Nolan fimbo ya mgongo, lakini kabla fimbo Ile haijamfikia Nolan aliidaka na kuivunja. Kitendo kile kilimshtua Zaza na kumfanya akasirike kwa fimbo yake kuvunjwa. Zaza alimrushia Nolan ngumi ya uso lakini nayo pia ilikingwa vizuri na Nolan. "acha kupoteza Muda wako kupigana na mimi hata mkiwa ishirini bado hamtaniweza." akaongea Nolan kumwambia Zaza. Lakini zaza hakusikia, akachomoa kisu na kutaka kumchoma Nolan cha tumbo, lakini Nolan alimkamata mkono ule wenye kisu Kisha akamtandika ngumi tatu tumboni za haraka haraka na Kisha akauosokota ule mkono wenye kisu na kuuvunja. Zaza alijikuta akipiga kelele kwa maumivu aliyoyapata. Wale vijana wengine kuona mkubwa amevunjwa mkono nao wakachomoa visu vyao na kuanza kumfuata Nolan kwa kasi. Nolan akawaangalia na kuwapigia hesabu za haraka haraka. "wewe nitakupiga teke la tumbo, wewe wa pili nitakupiga ngumi mbili za kichwa alafu wewe wa tatu na wa mwisho nitatukutoboa kwenye paja la mguu na kisu chako mwenyewe." hizo ni hesabu za haraka haraka ambazo Nolan aliwapigia vijana wale. Na wakati huo huo vijana wale walimkaribia Nolan, na kama Nolan alivyowapigia hesabu aliwafanya vile vile na kila mmoja akadondokea upande wake. "nyie ni kina nani na mnataka nini?" Nolan akamuuliza kijana mmoja kati ya wale wanne aliowapiga. "sijui hata sisi ni wakina nani" akajibu kijana yule. "nitakuvunja shingo jibu swali nililokuuliza." Nolan akamuamrisha kijana yule. "si nimesema sijui sisi ni wakina nani." akajibu kijana yule jibu hilo ambalo lilimpelekea apokee ngumi nzito ya uso kutoka kwa Nolan. Lakini kumbe wakati Nolan anamuhoji kijana yule, kulikuwa na mwanamke mmoja ambaye ni dereva wa kina Zaza yeye alibaki kwenye gari na Nolan hakumuona. Mwanamke yule alishuka kwenye gari taratibu akachomoa kisu chake na kuanza kumsogelea Nolan taratibu bila yeye kujua. Mwanamke yule alipofika sehemu ile aliyokuwa Nolan akimuhoji kijana yule alikinyanyua kisu chake juu kwa mikono miwili na kukusanya nguvu Zake zote na kuanza kuhesabu moja mpaka tatu kwa ajili ya kumshushia Nolan kisu kile cha kichwa. Nolan akiwa bado pale chini akimhoji kijana yule ghafla alishangaa kumuona kijana yule akianza kucheka, kumbe kijana yule alimuona yule Mwanamke ambaye ni mwenzao akijiandaa kummaliza Nolan. Lakini kucheka kwa yule kijana kulimfanya Nolan ahisi kitu. Lakini kidogo hivi Nolan aliona kivuli cha mtu pembeni yake, akageuka haraka kuangalia ni nini kipo nyuma, lakini Ile kugeuka Nolan alikutana na kisu kikija kwa kasi kichwani kwake. Nolan alipojaribu kukikwepa kisu alikuwa tayari ameshachelewa, lakini kwa bahati nzuri kisu kile hakikumpata Nolan kichwani, kwani Ile kugeuka nyuma kulimfanya alindishe kichwa kidogo hivyo kisu kile kikampata Nolan bega karibu na shingo. Nolan alisikia uchungu ambao hajawahi kusikia Katika maisha yake. Lakini mwanamke yule alidhamiria kummaliza Nolan, kwani alikichomoa kisu kile kwenye bega la Nolan na kukirudishia tena pale pale na kumfanya Nolan azidi kupiga kelele kwa maumivu aliyoyapata. Mwanamke yule alikichomoa tena kisu kile na kutaka kummaliza Sasa Nolan kwa kumkata shingo. Mwanamke yule alipotaka kumkata Nolan shingo, Nolan alijijaza licha maumivu aliyokuwa nayo alikikamata kisu. Lakini kwa kukimata kisu kile alijikuta akipokea teke Zito kutoka kwa yule yule Mwanamke na kutupwa mbali. Lakini kwa kupigwa teke lile ilikuwa kama vile Nolan ameamshwa kutoka usingizini. Nolan alinyanyuka na kusimama na kumtizama mwanamke yule huku akiapa lazima amuue. "umenipiga Sana hata wewe Sasa umeisha." akaongea Nolan na kuanza kutoka mbio kumfuata yule Mwanamke. Yule Mwanamke naye akatoka mbio na kuanza kumfuata Nolan huku akiwa na kisu chake mkononi. Walipokaribiana yule Mwanamke akaruka juu huku akiwa amekielekeza kisu kichwani kwa Nolan, Nolan kuona vile naye akaruka juu zaidi ya yule Mwanamke na kupita juu kidogo ya kichwa cha Mwanamke yule na kutua nyuma ya Mwanamke yule. Bila kupoteza hata sekunde moja Nolan aligeuka na kuruka juu na kurusha teke Zito ambalo lilimpata sawia kabisa Mwanamke yule la kichwa na kumuweka chini. Nolan hakusubiri yule Mwanamke anyanyuke, akaruka tena juu na kukunja miguu na kutua kwa magoti mgongoni mwa yule Mwanamke yule na kumvunja mgongoni huku wenzake wakishuhudia lakini wasiweze kufanya lolote kwa kuwa nao walikuwa hoi kwa kichapo walichokipata kutoka kwa Nolan. "wewe lazima nikuue umenijeruhi Sana ngombe wewe." Nolan ndio alimwambia Mwanamke yule Kisha akammaliza kwa kumtandika ngumi nzito ya shingo ambayo ilimpandisha ndege ya kuzimu. Baada ya Nolan kummaliza Mwanamke yule naye alijikuta akidondoka chini na kuzimia kutokana damu nyingi iliyomwangika kutoka kwenye mwili wake. Taarifa zilienea kila mahali kwa mauaji yale yaliyotokea sehemu ile huku wengine wakiwa hoi bin taabani. Polisi pamoja na kikosi cha kutoa huduma ya kwanza kilifika pale na bila kupoteza muda, Nolan pamoja na wakina Zaza wakabebwa na kupelekwa hospital.* Mzee Joel akiwa ametulia nyumbani kwake akipata moja baridi moja ya moto, aliweza kupata taarifa Ile ambayo ilimshangaza Sana. "inakuaje wakina Zaza wako hoi na pia Nolan yupo hoi, kuna nini kilitokea?" akajiuliza mzee Joel bila kupata jibu. Huzuni ilianza upya tena kwa Penina baada ya kupata taarifa ya Nolan mtu pekee ambaye alikuwa akimtegemea kwa chochote, kuwa na yeye yuko hoi bin taabani hospitalini. Bila kupoteza Muda Penina aliingia kwenye gari Lake na kuanza safari ya kuelekea Katika hospital aliyolazwa Nolan, Penina alihisi kuchanganyikiwa hasa akifikiria mambo anayotendewa na baba yake, na pia kupotea kwa mpenzi wake Frank. Hali hiyo ilimfanya Penina akose umakini barabarani na akiwa amebakiza mita chache kufika Katika hospital aliyopo Nolan, Penina alijikuta akikosa balance na kupoteza mwelekeo na kutoka nje ya barabara na kwenda kugonga mti uliokuwa pembeni ya barabara Ile. Pale pale Penina alipoteza fahamu baada ya kugonga mti ule, na alipokuja kushtuka alijikuta yupo hospitalini. Taarifa ilimfikia mzee Joel kwamba Penina amepata ajali Muda mchache uliopita. "shit ni bora afe mtu yoyote lakini sio Penina, utajiri wangu upo kwa Penina." akaongea mzee Joel huku akitoka ndani haraka haraka na kuingia kwenye gari na kuanza kuwahi hospitalini kwenda kumuangalia binti yake Penina.* Baada ya kubangaiza huku na kule kwa siku kadhaa hatimaye Frank alifanikiwa kupata pesa ambayo aliihitaji, na bila kupoteza sekunde, dakika wala masaa, moja kwa moja Frank aliianza safari ya kurudi dar es salam huku mawazo yake yote yakiwa kwa Penina tu Mwanamke aliyempenda kwa moyo wake wote. .......... Itaendelea ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TANO (15) & (16) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ endelea sasa aligeuka na kuniludia kwa kasi ya ajabu. Nilimdaka na kumweka stairi ya mbuzi kagoma kwenda nilibinya binya mpododo wake taratibu Sophi alianza kutoa sauti fulani yaani zilizidi kuniongeza mzuka. Nikazidisha kumpampu mtoto nasma kwa udambwi dambwi wa hali ya juu. nasma aliaanza kutoa maneno ambayo hata mingine sikuyaelewa. Nilizidi kumpeleka moto moto, niliona ndio dawa ya wanawake wa aina hii wanao taka kunikomoa tena kibaya zaidi alinipa kidonge yeye mwenyewe. Niliendelea kujisemea kimoyo moyo wakati naendelea na zoezi langu nasna alizidi kulalamika. Ooh.. uhiiiiii… ahaaa! utamu utamu unakuja uwi… uwi.. ahaa! baby nasma aliita baby..baby! hata zisiokuwa na idadi nilimpelekea moto tu yaani bandika bandua Mtoto mwenyewe akaomba poo! Ooh… baby inatosha nilimsikia nasma akisema nikaona mmh! itakuwa imekolea hata rudi tena kunisumbua. “nasma nasma vipi mbona kimya? niliamua kumuuliza maana niliona yupo kimya kwa muda kidogo tangia twende mapumziko. “Hapana kenny yaani” “Yaani nini? nasma. “Raha zako tu zinanipagawisha” “Zinakupagawisha? “Ndio baby yaani umemzidi hata mjomba wako” “We.. Sophi acha zako” “kwa iyo umesha wai kulala ma mjomba ""kumbe hujui mjomba wako kalala na watu wote humu ndani"" unamaanisha kalala hadi na errycah......? "ndio tena ndo aliyetoa bikra lakini errycah hajui aliye mtoa bikra ni baba yake mzazi" mungu wangu ni laana ya aina gani mtu kulala na mtoto wake nilimuuliza nasna.kwaiyo na nyie amewalala niliiuliza jibu ambalo teali nilisha pewa. tuachane na hayo mambo yote yapo kwenye kile chumba cha siri ambacho funguo take hiii apa. alinikabidhi lakini hapo hapo nika muuliza. "umeipata vipi" akaniambia "mjomba wako wakati anaingia amesha zoea kunikumbatia. nikatumia mda huo huo kumchomolea ufunguo hakika sikuachi na kesho nakuja tena” “nasma usifanye hivyo mimi sihitaji kesi” “Kesi gani? tena” “Mimi nataka raha zako usinizingue” Alinitisha kidogo Nasma ila mtoto wa kiume kwa vile nishakutana na mabalaha yeye anaiga, nilichomjibu usijali nilimwambia tu awe makini asinifanye nikimbie mji.mana mjomba katika watu anao wakubali nasma namba moja Niliongea nae mengi nasma huku akiwa. kifuani anachezea chezea chezea garden love. Yaani sikuwa nyuma kwa namna vile alivyokuwa ananichezea. aliniamsha mpini wangu na ulishaanza kunyanyuka kutafuta shamba lililipo. Mmh… ahaaa! Nasma wewe ahaa.. niligumia kwa utamu nilio usikia kumwongeza nae hamu iliturudi tena uwanjani maana wangu mpini ulikuwa unatafuta pakulima tena. Mtoto alizidi kunichezea we nami sikubaki nyuma hata kidogo. nika chomeka dude langu kwenye kitumbua chake. "oooooh aaaah oooh tia yoteeee aaah shhhhhh oooh oopps."alizidi kutoa miguno ya raha. Nikaanza ingiza toa ingiza toa mchezo ulininoga hadi nasma akaanza kuropoka maneno ya ajabu kiswahili si kiswahili kingereza sio sijui lugha gani tu yote utamu wa dude, nilipenda uwajibikaji wa nasma alikiwa anakiuno kama cha verasidika anakizungusha kwa kunatana hali iliyo nipelekea kutoa wazungu wangu ooooooooooohh,,,,,,!!! mmmmmhhh oooooooosssshhhh ""****** niligugumia kwa utamu nilio upata. lakini nilishangaa kuona mjomba bado amesimama vile vile kumaanisha bado anahitaji mchezo...... isome simulizii hii mpaka mwisho kwa sh 2000 tu 0744204283 ni follow instagram @chas360tz tembelea mtandao wetu www.chas360tz.com SEHEMU YA 16 endelea sasa " kenny mi naenda kulala naona leo mjomba wako lazima aje chumbani kwetu.acha niwai mana hua ana tulala wote wawili" kitendo kile kiliniuma sana nika muuliza kwani kitu gani kinawafanya mpaka mdhalilike ivyo alinijibu mshahala wetu ni milioni 1 na laki tatu kwa mwezi sasa tutaachaje ukiangalia nyumbani kwetu hali ngumu tunasomesha wadogo zetu" nika mtwanga swali kwani wewe na husna ni ndugu "akasema ndio kwani hutuoni tulivyo fanana Mimi na yeye ni mapacha nadhani ndio sababu inayo tufanya mjomba wako atu ng'ang'anie hapa mana alianza kulala na sisi kipindi tuna miaka 13 alitutoa bikra zetu kwa siku moja hadi leo tuna miaka 18 na hulala na sisi kila ifikapo tarehe 6 mwezi wa 12 kila mwaka hata mkewake anatambua hilo" na kila tukilala nae tunapewa shi milioni 2 kila mtu tushazoea na saizi tunaona kawaida mana atafanya lakini haondoki nacho na hajawai kumwagia ndani na toka tulipo kuona tulivutika sana na wewe ndio mana tumekubali mimi na husna tu share penzi ila tunaomba usituache " alimaliza kutoa hayo maelezo huku machozi yakimlenga lenga naomba usije ukamwambia mtu juu ya hiki tulichokifanya nafikili umenielewa" " ndiyo nasma " nilimjibu huku nikiwa najifunika shuka vizuri " kuanzia leo sitaki uniite nasma tukiwa wa wili tu sawa" "Sawa nimekuelewa" tulipomaliza kuongea nasma alitokazake na kuondoka akiniacha Mimi kitandani na kwakuwa nilikuwa nimechoka sana sikuchukua muda mrefu nikapiwa na usingizi mpaka asubuhi nilipostuka baada ya kuamshwa na errycah " we we hamka mbona umelala sana " " daaaah mmmmh naaamka " nilijibu huku nikijifikicha macho" " unajua umelala sana Leo ila pole Jana ulifanya kazi kubwa sana!!! kuzunguka nusu nyumba mpaka mama " " aaaah!!! samahani sana nimeshindwa kutunzia penzi lako " kasema umechoka sana nyumba nzima wameondoka tumebaki sisi tu" " mmmh poa kwaiyo tumebaki wawili tu??" " ndiyo mana baba akisha maliza kulala na husna na nasma lazima watoke waende bank akawape hela zao na wanaenda kuwaona wazazi wao tanga" errycah alinijibu huku akitoka chumbani kwangu " poa nakuja tuongee vizuri ngoja nikaoge" niliaamka nikaelekea bafuni kuoga nilipomaliza nilivaa singlendi na kipensi cha jinzi nikatoka nikaelekea sebreni nilipomkuta errycah akiniandalia kifungua kinywa kilikuwa ni chapati na rosti ya maini bila kusahau na chai ya maziwa nikanywa chai pale mpaka nikashiba kabisa nikasema leo ndio leo lazima nijue siri ya kile chumba. lakini errycah alikuja na kunivamia pale pale kwenye sofa Alianza kunila denda na Mimi nikampa ushilikiano na kwajinsi alivyokuwa na mapaja mazuri na ngozi laini alizidi kunipa msisimko.nikawa namuangalia nione kama kaongeza ujuzi kama wengine akavua kitop chake akabaki na sidilia huku viziwa vyake vikiwa vimechongoka kama mshale nikaanza kuvinyonya hapohapo kwenye sofa " mmmmh aaashhiiiii oooooh taaamu" alikuwa akitoa kilio cha hisia.huku na Mimi nikiendelea kunyonya maziwa yake huku mkono wangu wa kulia ukiwa kwenye kitumbua chake ukisugua kiharage mpaka nikahisi majimaji yamoto yakitoka " iiiiiiiiiiishhhhh baby mmmmh kweeeeliii" " tulia baby " nimwambia huku nikiendelea kunyonya viziwa vyake nikienda mpaka shingoni nikamlaza kwenye sofa vizuri nilipomlaza akalishika dudu langu akaliingiza kwenye kitumbua chake huku akilikatikia miuno nikaanza kupampu mdogo mdogo sikutaka kuwa na papara nikiwa napampu kama sitaki. " baby ngoja nikae hivi"aliniambia huku akikaa mkao unaoitwa mbuzi kagoma kwenda na kiuo chake kakibinua kama nyigu nikashika dudu laku nikaliingiza kwenye kitumbia chake japo lilikuwa likiingia kwa ugumu kutokana lilikuwa kubwa lakini liliingia loooote. " mmmmh aaaaaah oooooshoiii" kilikuwa ni kilio cha mtoto wakike huku akikatika viuno vilivyokuwa vikinipa msisimko wa kuendelea kupampu huku wowowo lake likijipiga kwenye mapaja yangu nilimplekesha mpaka nikaona anatoa machozi " mmmmh baby ingiza yote kumbe tamuuuuuui oooooshhhhiiioo" " mmmh baby kumbe mtamu hivi" nilimwambia mtoto huyu huku nikichomoa na kuchomeka mtoto alikuwa mtamu kiasi kwamba sikuchukua hata muda nikapiga goli langu moja huku nayeye akitangaza ushindi tulimaliza wote kwa furaha. " asante baby kwa penzi lako" " asante pia " nilimwambia binamu huku nikimalizia kufunga zipu ya kipensi changu. " asante mana sasa nimekujua vizuri ulivyo" " kivipi "nilimuuliza " unajua Jana wakati mna sex na husna niliwasikia kila kitu na lijua vingi sana kumbe baba yangu ndie aliye nifanyia unyama wa kunitoa bikra yangu" " inamana jana ulisikia kila kitu" " ndiyo tena naomba kama ikiwezekana utuoe wote wa NNE mana sote tunakupenda." " mmmh jamani nitawezaje kuwaoa wote wanne?" " ndiyo hivyo mana leo asubuhi tume kutana wote tume kubaliana tupo teali tuolewe na wewe" "nilibaki kimya kwa mda nikamwambia twende basi kwenye chumba cha sili tujue mbivu na mbichi"............. je walifanikiwa kuingia chumba cha siri Mimi na wewe hatujui tukutane sehemu ya 17 like page yetu sasa share kama tupo pamoja....... ... Read More
MUUZA MAZIW EP 07 “aaaaahh!! Jamani wifi wao!!” Aliongea kwa furaha baada ya kumuona mgeni aliyekuwa akigonga ni penina. “asante wifi , shikamoo!” Penina aliongea na kisha kumkumbatia wifi yake kwa furaha. “ marhaba wifi ,vipi masomo?” Aliongea huku akiipokea mizigo aliyo ibeba “naendelea vizuri tu wifi” “haya mungu akusaidie” Aliongea lisa na kuelakea sebuleni , aliiiweka mizigo pembeni ya kochi na kasha kuelekea sehemuk ilipo friji. Penina, penina akaamua kuichukua mizigo ili aipeleke chumbani. “hapana wifi, hapana , hiyo iache hapo hapo nitaiingiza mwenyewe,, wewe kwanza kunywa juisi upumzike.“ Aliongea lisa huku akiwa ameshikilia jagi lenye juisi pamoja na glasi, alifanya hivyo kwa sababu chumba anachotakiwa kulala penina ndicho chumba ambacho amemficha muuza maziwa. “usipate tabu wifi wangu kunywa juisi upumzike, nipo kwa ajili yako “ Aliongea lisa huku akiibeba mizigo na kuelekea chumbani na kumuacha penina akinywa juisi taratibu. Alipoingia chumbani alimshutua muuza maziwa na kumweleza hali halisi. “kwahiyo nitatoka saa ngapi humu?” “ itabidi uvumilie mpaka usiku wifi akilala , mlango wa nje nitauacha wazi leo” Aliongea lisa “Sawa lakini vipi kuhusu chakula manaake niana njaa” “ usijali nitakuletea utakula humu humu , jitahidi usitoke nitajaribu kufanya mpango hata kamakabla ya usiku ikiwezekana” “poa” Muuza maziwa aliitikia “alafu nitaa……” Lisa alikatiza kauli yakebaada ya kusikia mlio wa kitasa kikifunguliwa. Haraka haraka muuuza maziwa aliingia kabatini na kisha lisa aliufunga mlango wa kabati hiyo kabla hata hajauachia mlango huo alisikia sauti nyuma yake. “wifi mbona unagombana na hilo kabati!?” Swali hilotoka kwa penina lilimfanya lisa ashikwe na kigugumizi cha ghafla huku akitoa maelezo ya kujikanyagakanyaga. “ah, mh, a-, u-n-a-j-u-a hi-li ka-ba-ti ni bo-vu” “limeharibika , ooh, mungu wangu!” Penina aliongea huku akilisogelea kabati hiloili kuiangalia sehemu ilipoaribika. “ah, hapana wifi usiiguse hapa nimeitegesha , iache hivyo hivyo mpaka atakapokuja fundi kulirekebisha” Aliongea Lisa haraka haraka. “okey”[sawa] Aliongea Penina huku akitikisa kichwa kuonyesha kwamba ameelewa. “nataka kuoga wifi” “na kweli manaake umechoka kweli kweli wifi yangu” Aliitikia Lisa haraka haraka kwani alijua huo ndio upenyo wa kumtoa muuza maziwa. Na kweli penina alipoingia bafuni lisa aliufungua mlango wa kabati haraka na kumtoa muuza maziwa , akala chakula haraka na kuanza safari ya kutoka nje ya nyumba hiyo , walipofika kwenye mlango wa kutokea muuza maziwa alimbusu lisa kwa mara ya mwisho , alipomaliza kufanya hivyo alitoka ndani ya chumba hicho na kutokeza koridoni ili atoke nje kabisa ya nyumba hiyo lakini kabla ya kufanya hivyo alisikia muungurumo wa gari, halikuwa gari lingine bali gari la Jerry mume wa Lisa. Hofu iliwaingia kwa ghafla na haraka haraaka walirudi tena chumbani kwa penina , ambapo kama kawaida alimfungia muuza maziwa kabatini, hawakuwa na njia nyingine tena bali hile waliyoipanga awali, muuza maziwa asubiri mpaka usiku wa manane Penina atakapo lala ndipo atoke kwani Lisa atauacha mlango wa kutokea wazi. Lisa alipomaliza kumfungia muuza maziwa katika kabati alitoka nje ya chumba hicho,akiwa koridoni aligongana ana kwa ana macho na mumewe. Wote wawili waliinamisha vichwa vyao chini. Kwani kila mmoja aliona aibu kwa kumsaliti mwenzake. Lisa kwa muuza maziwa na Jerry kwa sekritari wake. “Ah, mmh, wifi amekuja , kakaribu!” Aliongea Lisa kwa kujiumauma huku akiwa na wasi wasi. “ asante amekuja saa ngapi?” “sio muda mrefu” “aah yuko wapi sasa nimsalimie?” “yuko bafuni anaoga” “Okey” [sawa] Aliitikia na kisha kuelekea chumbani kwake. Lisa nae alimfuata mumewe nyuma hukubado akiwa na hofu juu ya kugundulika kwa uwepo wa muuza maziwa ndani ya nyumba hiyo. “Pole na kazi dear” Aliongea Lisa huku akijibaraguza kwa kumvua tai mume wake, macho yake bado yalikuwa na aibu sababu bado alikuwa na wasi wasi kwamba labda mumewe amegundua chochote. “ah, asante mpenzi” Aliitikia Jerry huku akitabasamu, lakina nae pia tabasamu lake liliishia mdomoni tu moyoni nafsi ilimsuta . Maovu aliyoyafanya na sikritari wake ofisini kwake yalikuwa bado yakionekana katika kichwa chake. Akavua nguo na kuingia bafuni kuoga lisa nae alimfuata na kujumuika nae kuoga . Alifanya hivyo ili Jerry hasihisi chochote. Walioga huku kila mmoja akiwa hana habari na mwenzake. Kwani wote wawili walikuwa wamechoka, walipomaliza kuoga wakavaa na kasha kwenda sebuleni. Huko wakamkuta Penina akianga lia tv. “mdogo wangu huyo!” Jerry aliongea kwa furaha huku wakicheka. “kaka!” Penina aliitikia na kisha kumkimbilia kaka yake. “waoo!!!” Waliongea kwa pamoja na kisha kukumbatiana kwa furaha. “habari za masomo!?” ITAENDELEA.. ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA TISA (9) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita basi mtoto alikaa kimya sikumwelewa kama amekubali au laa nikaamua kumvutia chumba kimoja kilichokua karibu yetu nilipo tazama mlangoni nilishangaa kuona namba #966 juu ya mlango siku wekea maanani sana.nikataka kufungua ili nimuingize husna tufanye yetu... Endelea sasa alikuja errycah na kutoa sauti kwa ukali nyie mnafanya nini hapo ? "we husna mnataka kufanya nini kwenye hicho chumba umesahau baba alivyo sema haruhusiwi mtu yoyote kufungua icho chumba ?" ilibidi kidume nimtulize binamu kwa point zilizo shiba sikia errycah husna hana kosa mwenye kosa ni Mimi nilikua namuuliza hiki chumba kwa nini hakifunguliwi samahani kama tumekukosea.kama unavyo nijua sipendagi kuongea sana hua naongea sentensi fupi zenye maana. "husna shauli yako Mali ya mtu hii cheza Nayo mbali" aliongea binamu bila ya aibu husna akaendelea kupiga zake deki hakumjibu kitu nilipenda sana busara yake.kumbuka wakati huo sijajua nasma yupo wapi ilibidi nimuulize binamu "nasma mbona simuoni yupo wapi" "unamuulizia yule Malaya wa nini yupo jikoni huko nimempa kazi asafishe vyombo vyote vya nyumba nzima achana nae njoo unywe chai" baada ya kumaliza chai binamu akaniaga anaenda stendi kumpokea mgeni ila atawai kurudi niwe makini na nasma na husna nikitabasamu nikamsindikiza mpaka getini. "vipi mbona leo huendi na gari" swali lilitoka kwa mlinzi "aaah tutachukua tax mana kwenda na gari mpaka ubungo naona usumbufu" kama kawaida yake akanipa busu mbele ya mlinzi akaenda zake.nikaona huu ndo mda mwafaka wa kuongea na mlinzi.babu eee shikamoo "mda wote huo ukuniona ndo unaniona sasa ivi" aaah babu nilikua natafuta mda mzuri wa kuja kukusalimia "haya marhaba kijana unasemaje" kama kawaida yangu sio mzee wa maneno mengi nikaenda kwenye point moja kwa moja "babu kwa nini mda ule naingia ndani ulikua unatikisa kichwa ?" "kijana nakuonea huruma sana mana mwisho wa maisha yako umeshafika umejikoroga wewe mwenyewe sasa chagua moja umuwai mjomba wako au akuwai we we" nilishtuka sana kusikia vile nika mwambia mbona sijakuelewa "kuna chumba kimoja kipo ndani Hakuna mtu aliye wai kuingia zaidi ya mjomba wako. mlangoni kimeandikwa namba #966 ukifanikiwa kuingia humo ndani ndo utajua ukweli wote lakini kuwa makini wakati unaingia humo na funguo za chumba hicho anazo mjomba wako na anatembea Nazo mda wote kiufupi hicho chumba kina siri zote za mjomba wako" alimaliza kunipa maelezo kisha akaondoka zake "acha nikapumzike mana nimechoka sana kumbuka usije ukanitaja uki dakwa mana yule mwenzako wa kwanza alinitaja kilicho mkuta atakusimulia" mwenzangu wa kwanza nani huyoo........? "si yule dereva" haya babu nimekuelewa sikutaka ku hoji sana mana nilikua na shauku ya kwenda kufungua kile chumba.nikaingia zangu nikiwa na mawazo mengi.cha ajabu nilipo mwona tu husna akili yangu ililuka na kuanza kumtamani.nika mfata mpaka pale alipo nika mwambia anifate chumbani.husna akuvunga aliitikia kwa kichwa na tukaelekea chumbani.kumbe wakati tunaingia nasma alikua anatutazama tu nikampa ishala anyamaze lakini aliniita nikaenda kumsikiliza akaniambia leo nitalala chumba cha wageni hivyo usiku uje unipe mpe dozi. nilifurahi sana mana nina nyege hatari nimekaa miaka mitano sijamwona mwanamke acha saizi nitembeze dozi.nikaludi fasta chumbani na kumkuta husna kajilaza kitandani huku wowowo lake kaliachia. nilipo fika pale niligundua njia nzuri ya kufaidi vizuri mzigo wa husna ni kubana miguu yake yote miwili,na kuielekezea kwa pembeni kidogo,kisha akaikunja, ambapo iliikunjia kwenye magoti,nilimkandamiza kiasi kwamba sura zetu zilitaka kukutana, hapo kitumbua kilibana vyema na kuniruhusu kushughulika na upande mmoja ambao nilishajua ndipo kipele G cha husna kilipo,ilikuwa ni utamu hasa,hakuweza kuvumilia “aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,,mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,,oooooooooooooooooh,,,mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaa,,ooooooooooooooooooooooh,,,,mmmaaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaaaaa,," Alipayuka kwa nguvu husna kama anataka kufa,utamu ulizidi,muda huo alikuwa anataka kukojoa,muda huo kipele G chake kilikuwa kinasuguliwa ipasavyo. Mtoto wa watu alitamani aombe apumzike,aliona kama anataka kukojoa mkojo wa kawaida, hautoki, alihisi kama haja kubwa imembana, haitoki,husna alianza kutoa machozi kabisa. Sasa kikawa sio kilio cha utamu,kilipitiliza mpaka mtoto wa watu akawa anatoa machozi “aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,kwa sauti ya ndani kabisa,husna alimwaga bao lake na kutulia kimya. niliendelea kupampu huku nikiwa nimembana vile, nilishangaa kuona mtu hanipi ushirikiano kabisa, nilishtuka. nikachomoa dudu langu nilipomwangalia husna alikuwa amelegea sana hali hiyo iliniogopesha,nilipomgusa sehemu ya moyo............... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI (10 ) UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyopita niliendelea kupampu huku nikiwa nimembana vile, nilishangaa kuona mtu hanipi ushirikiano kabisa, nilishtuka. nikachomoa dudu langu nilipomwangalia husna alikuwa amelegea sana hali hiyo iliniogopesha,nilipomgusa sehemu ya moyo............... endelea sasa ilikuwa inafanya kazi “husna! husna!" niliita hivyo lakini hakuitika Uwoga ukaniingia nilizidi kuchanganyikiwa nisijuwe nini cha kufanya nikajiuliza sijui nimbebe na kwenda kumtupumba nnje ? lakini moyoni alikua teali kashaingia nilimpenda sana na nikajikuta naanza kutoka na machozi “wee nawe hutaniwi?" nikashtuliwa na sauti ya husna ikiniuliza hivyo nilipomuangalia usoni nikaona husna akitabasamu nikashusha pumzi na kusema “ujuwe baby umenishtua kupita kiasi!" “nimekushtua kitu gani my" “nilijuwa umekufa eti!" ”mmh kama kufa tutakufa wote, baby twende tukaoge asije mwenye Mali akanikuta " nika mjibu mwenye Mali nani siwezi kukuacha husna kwa raha ulizo nipa sijawai zipata n "niahidi hauto niacha Kenny" siwezi hata kidogo tuliingia bafuni tukaogeshana huku tukipiga stori. husna alikua anahofu sana aliwai kutoka na kuniacha bafuni sikuchukua mda mrefu ile natoka bafuni nilimwona nasma akitandua mashuka ya kitanda changu na kuniwekea mashuka masafi.kisha akaniambia "haya kidume naona unakamilisha ratiba sasa zamu yangu na Mimi nahitaji dozi uliyo watembezea wenzangu naomba leo usiku uje chumba cha wageni utanikuta nimelala ukifika sitaki stori anza kazi" nika kumbuka ule mstari wa young killer msodoki aliyo imba "mtoto akililia dudu unampata anapata m***" nikasema sio kinyonge nitakuja ila saizi naenda kunyoosha miguu kidogo Nita rudi kwenye SAA 2 hivi.akachukua mashuka na kwenda kuyafua kwenye mashine. nilivyokua navaa ndipo nikaliona lile box nilikua bado sijalifungua hadi leo.nikalishika lile box na kulifingua sikuamini macho yangu kulikua na simu aina ya iPhone X ambayo bei yake inacheza kwenye milioni 2 na laki 7 nililuka luka kwa furaha nikavaa zangu nguo acha niende zangu mitaani kikapige selfie kidogo na Mimi nitambe kama wenzangu. kwanza nikajiseme nikikutana na dem mkali simuongeleshi sana namuonyesha simu tu ana nifunulia mwenyewe nikatoka zangu nje huku nikiwa na furaha nilipo fika getini ile natoka tu nilipishana na gari linaingia ndani kuangalia vizuri alionekana binamu na mtu mmjo sukutilia mkazo yalikua majira ya SAA 12:30 jioni nikawa natembea zangu kidogo nione uzuri wa masaki mana watu wanapasifia sana nilitembea sana na kujionea wasichana wazuri mijengo ya maana kweli masaki pazuri nikaingia bar moja kuagiza soda nilisha ngaa kuona muhudumu aki angua kicheko cha dhalau huku akisema "heeee we mkaka na u handsome wote huo unakunywa soda kama mtoto ebu cheki wenzako wale wanakunywa pombe tena whisky sasa we mtu wa wapi" wahenga wana sema ukikutana na walevi basi na wewe jifanye mlevi nika mjibu kwa dhalau "sio kila MTU anaye agiza soda anataka kunywa sikia we binti wengine tuna wabebea wadogo zetu haya niletee whisky nipo pale kwa wale vijana" basi kidume nikajichanganya kwa watoto wa kishua nika wapa hi waliniitikia kiroho safi sio uswahilini ukionekana mgeni ukienda kujichanganya unatafuta maumivu unapukutishwa kila kitu uku unajiona. walijitambulisha na Mimi nikajitambulisha tukajenga urafiki pale pale tukabadilishana na namba za simu nilishangaa pale nilipo toa iPhone 10 yangu hamna mtu aliye shangaa walikua kawaida na kuona kama kitu cha kawaida tofauti na nilivyo chukulia nikaandika namba zao huku pombe ikianza kunipanda kichwani kusema ukweli sikuwai kunywa pombe ilikua ni first time yangu nijikuta mwepesi sana nikaona nisije nikazua mabalaa acha niludi zangu home mdogo mdogo ilikua ni kama saa 8:30 ivi. nilijikongoja mpaka nyumbani uzuri wa masaki hamna vibaka kama manzese au mbagala kwa wale wa morogoro kama chamwino na mafisa. nadhani wanaelewa shughuli ya mitaa hiyo yani ukijipendekeza tu kupita mitaa hiyo na wewe ni mgeni ndugu yangu umeisha nilifika ndani na kuwakuta wote wapo vyumbani mwao. nikasogea mezani nikajipakulia chakula sikula sana kwa sababu pombe ndo ilikua inanipanda kichwani nikaona bora nikajimwagie maji nipunguze mana nisije nika zua mabalaa nika kimbia bafuni haraka nika jimwagia maji kidogo kichwa kilianza kutulia nikachukua simu yangu na kuiweka chaji nika kumbuka kua Nina ahadi na nasma kwenye chumba cha wageni nikaona ndo mida hii . basi kidume nikatoka zangu kuelekea chumba cha wageni nikaona cha msingi nipitie kwenye main switch nizime umeme nisipate shida nijilie zangu tunda la nasma bila usumbufu mana nilijua tu binamu lazma aje chumbani kwangu akiona Giza lazima aogope mana hamna mwanamke mjanja kwenye Giza nilipo maliza kuizima nyumba nzima kulikua na Giza nikaenda mpaka chumba cha wageni na kumkuta............... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA MOJA (11 ) UMRI ±18 ILIPOISHIA basi kidume nikatoka zangu kuelekea chumba cha wageni nikaona cha msingi acha nipitie kwenye main switch nizime umeme nisipate shida nijilie zangu tunda la nasma bila usumbufu mana nilijua tu binamu lazma aje chumbani kwangu akiona Giza lazima aogope mana hamna mwanamke mjanja kwenye Giza nilipo maliza kuizima nyumba nzima kulikua na Giza nikaenda mpaka chumba cha wageni na kumkuta............... ENDELEA SASA...... mtu akiwa amelala bila kuuliza bila nini ,,,,, nika mgusa nasma kwa kumpapasa nilishangaa kumuona akitaka kupiga kelele nikamuwahi na kumziba mdomo huku nikimtaka anyamaze,, Tena haitoshi nika mziba na mdomo akatulia mwenyewe nilicho kifanya ni kumnusanusa nasma mana nilisikia harufu nyingine tofauti na ya nasma nika jipa moyo labda amenunua perfume mpya kwakuwa alikuwa kalala na kanga moja tu! ilinila wepesi wa kuivuta na kuitupia pembeni nasma alikuwa anatetemeka nika mshika maziwa yake na kuanza kumnyonywa kila sehemu ili kumletea hisia Mtoto wakike alibana midomo yake kitendo kilicho niacha na maswali "nasma kawaje mbona ananibadilikia " niliwaza moyoni. sikukata tamaa nili anza kutalii kwenye mwili wake kumlaza chali kisha nika mlandia kwa juu taratiibu alikisikia kitu kizito kikipita kwenye kisimi chake. Hapo alitoa mguno wa hajaa “aaaaaaaaaaah,,,sssssssssssss,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,ooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiii,,,,mmmmh,,,,aaaaaaaaaaaah,," nikaanza kumpampu ulikuwa nimwendo wa minyato Mpaka kitumbua kililainika. nasma alihisi utamu wa ajabu yeye mwenyewe akaanza kuzungusha kiuno chake kulikatikia Dudu. "sssssssssssssss,,,,,,ooooooooooooh,,,,ashiiiiiiiiiiiiiiiiii,,"utamu wa dudu ulinoga kwa nasma ambapo mtoto wa watu aliweuka kwa utamu mpaka machozi kwa mbali yakawa yanataka kumtoka ikawa sio kuvamia tena bali maridhiano. siku mwachia nili mpandia na kumpindua utasema sijui hajui kama mtoto wa watu nilizidi kumsugua kwa kasi ambapo Dudu langu lilikuwa linaingia na kutoka lote, makende yangu yalikuwa yanampigapiga kwenye ile sehemu karibu na mpododo na kumfanya ajisikie raha zaidi,pia ulaini wa matako ya nasna ulinisisimua sana kwani matako hayo yalikuwa yakinipiga piga na kukoleza utamu wa mapenzi. nikaushika mguu mmoja na kuunyanyua juu kidogo huku nikiendelea kupampu bila kupumzika nasma alilegea kabisa ambapo jasho jembamba lilishanaanza kumtoka kwani si mchezo wa "UTAMU WA KITUMBUA" mwili wake ukaanza kuchemka kwa msisimko alioupata ambapo utamu alianza kuusikilizia kutoka kwenye visigino alikazana kuzungusha kiuno kwa kasi na kwa nguvu huku mdomo wake akiuacha wazi kwa raha aliyoisikia usipime harakati za bao kutoka, nadhani kwa wanaume wanajua, tena lile bao linalotoka wakati mtu umechoka, lina raha yake ya kipekee kichwa cha dudu ndani ya kitumbua kilituna na kuongezeka ukubwa ambapo namsa naye alihisi kabisa kwani kitumbua chake kilibana sio kama hapo awali “aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh,,,,ooooooooooooooooooooooooh,," nililalamika na kumwaga bao langu ambapo nafsi ilinisuta na kuonekana kama nimefanya dhambi kubwa, nasma alilegea kama mtu aliyepigwa na bumbuwazi,dudu langu bado lilikuwa ndani ya kitumbua cha bibiye mtoto watu nilishangaa kusiki sauti laini ambayo ni sauti tofauti naya nasma ikiniambia kaka Kenny ahsante sana kwa dozi uliyo nipa naomba usichomoe tuendelee...... we ni nani na kwa nini hukujitambulisha pale mwanzo......? nilimuuliza swali la kipuuzi wakati mimi ndo mwenye makosa aka nijibu "Mimi ni mtoto wa mama yako mkubwa naitwa vannesa nasomea udaktari bugando nime kuja leo kutoka mwanza ila nashukuru mana nilikua na hamu sana na kuomba usije ukaniacha mana kwa utamu huu siwezi kukuacha kamwe hata kwa nini tena kingine jiandae kuitwa baba mana leo nipo kwenye Siku ya kushika mimba nakupenda sana Kenny" nilihisi kuishiwa nguvu baada ya kusikia maelezo Yale hata nyoka wangu alisinyaa na kua mdogo zaidi ya kibamia please nisamehe sana naomba utoe hiyo mimba kama itakwepo mana ita nichafulia CV kaka Kenny sikia siwezi kutoa mimba tena naomba mungu mimba iwepo mana hata ulivyo mwagia ndani nimeona kabisa kitu kime ingia.kinguni zaidi upo teali kunipoteza ....? nika mjibu "hapana" kama haupo teali kunipoteza utanilea mana nimetoa mimba kama 4 na niliponea chupu chupu kufa nikitoa na hii ma daktari wenyewe wameniambia siponi Kenny nakupenda na kama uki kataa nitaku report police umenibaka. **†********* (TANGAZO NAOMBA MNI FOLLOW INSTAGRAM @CHAS360TZ) **†************ endelea sasa ........ duuuu kidume nilichoka kama kawaida yangu nika kumbuka ule usemi wangu any way liwalo na liwe kwani Mimi ndo wakwanza kutembea na ndugu zangu nikiwa bado nawaza nilishangaa kuona hisia zikinipanda tena tukaanza kulana denda huku nikimpapasa vanessa maeneo ya kiunoni huku na yeye akishika mashine yangu akifanya kama anaichua wakati huo nikamuweka vizuri ili tupige game ya mwisho nilimpanua mapaja yake nikakaa katikati ya mapaja yake huku macho yangu yalikutana na kitumbua kikiwa kinamafuta yani daaah mpaka kilikuwa kinatamanisha nikapeleka mkono mpaka kwenye k**simi nikaanza kusugua"mmmmh shiiiiii oooooyiiiii aaahhha" alikuwa analalamika nikaingiza mashine yangu na kuanza kupampup nikiwa naendelea kusex gafla mlango ukafunguliwa............ usikose sehemu ya kumi na mbili like page yetu sasa ili uwe wakwanza kuipata simulizi hiii ***************** Share kama tupo pamoja ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: