Home → simulizi
→ SIMULIZI FUPI: USIKU USIO NA JINA
NDEGE wa angani pekee nd’o walikuwa wakiendelea kulipa uhai anga lililotanda kwa giza nene huku nyota zikishindwa kufua dafu katika kuileta nuru. Anga lilipoanza kutoa miale mikali inayong’ara, ndege walivikumbuka viota vyao na makundi kwa makundi walitoweka anga ikabaki katika hali ya upweke, miale mikali pekee nd’o uhai mdogo uliosalia.
Miale hiyo haikuishia kuleta uhai katka anga pekee, bali ulimurika pia katika chumba kimoja ambacho kilikuwa kimekaliwa na mwanamke. Alikuwa amevaa nguo za kulalia, macho yake yakiwa makavu. Taa ilikuwa imezimwa hivyo ule mwanga ukaibua undugu kati ya macho na sasa.
Ilikuwa yapata saa tisa usiku. Yule bwana aliyemuoa kwa mbwembwe zote na mapenzi miaka miwili iliyopita alikuwa hajarejea nyumbani bado.
Ni kweli alikuwa ameanza tabia za kuchelewa nyumbani lakini siku hii alipitiliza.
Mwanamke akakunja uso wake kwa uchungu mkuu, akajiziba na viganja vya mikono yake. Akatambua kuwa amebanwa na donge la hasira kooni na hawezi kulihimili mpaka atoe kilio. Hapo akaamua kutimua mbio kuelekea chumbani kwake. Akafika akaduwa chumbani kwake huku akitiririkwa na machozi. Akaliendea kabati la nguo ili aweze kuchukua kitambaa atumie kukabiliana na machozi yale.
Mara paah! Kikaanguka kitu kikilia mfano wa sarafu, akainama kutazama ni kitu gani. Hofu ikazidi kutanda.
Ilikuwa pete ya ndoa, pete ambayo kwa mikono yake alimvisha mume wake wakati wanaamuriwa kuwa mume na mke. Pete hiyo imetolewa kidoleni sasa na kufichwa kabatini. Hapa uvumilivu ukamshinda akakimbilia kitandani, akajirusha na kuanza kugalagala huku akilia kilio cha uchungu mkubwa, lakini alijitahidi sana kuizuia sauti ile isipenye na kukifikia chumba kilichokuwa kinafuata, kwani hakutaka huyo mtu katika chumba kile aweze kutambua kuwa alikuwa katika kulia.
Kilio hiki kilikuwa na mengi ndani yake, alijiuliza iwapo huo nd’o ulikuwa uhitimisho wa safari ya ndoa yake, alijiuliza kama hiyo ni talaka alikuwa ameandaliwa kwa vitendo. Kama sio kwanini aitupe pete yangu humu, kwanini anachelewa kurejea nyumbani? Alijiuliza bila kupata majibu.
Mawazo tele aliyokuwanayo yalimfanya asisikie mchakato wowote wa mtu kutembea katika korido kisha kukifikia chumba na kugonga mlango. Mlango ulipogongwa kwa mara ya pili ndipo akili zikamkaa sawa. Akajifuta machozi kwa kutumia shuka, kisha akaenda kufungua bila kuuliza aliyekuwa mlangoni ni nani.
Alitambua tu kuwa lazima atakuwa mumewe na hakika ilikuwa hivyo, mwanamke huyu alimtazama mumewe kidoleni akidhani atakutana na pete na kujitoa mawazo kuwa huenda aliifananisha tu ile iliyodondoka.
Kapa!! Hakuona kitu.
“We Felista…..” mumewe aliita huku harufu ya pombe ikitambaa mle chumbani.
Mungu wangu ameniita jina langu!!
Mwanamke yule alitahamaki, haikuwa kawaida hata kidogo kwa mume wake kumuita kwa jina hilo na badala yake alizoea kumuita mpenzi, mahabuba na majina mengineyo yanayotangaza huba.
Leo hii anamuita Felista!!! Tena we Felista!!
Kama mbwa vile!!!! Mshikemshike.
Felista hakuitika lakini yule mwanaume mlangoni hakujali akapiga hatua moja mbele, hakika alikuwa amelewa na alitaka kukosa muhimili, kama lisingekuwa kabati basi angepiga mweleka na kusalimiana na ile marumaru pale chumbani.
Akiwa ameegemea kabati mwanaume yule ambaye ni kwa mara ya kwanza alirudi nyumbani akiwa amelewa alianza kubwabwaja maneno machafu sana kwa mkewe, maneno ambayo hata Malaya na hawara pia akiambiwa yanaweza kumkera, lakini maneno haya aliambiwa mwanamke wa ndoa iliyobarikiwa kabisa.
Maneno yakazidi mwanamke naye akazidi kukasirika, mwanzoni alipuuzia lakini ikamtoka yule mwanaume kauli mbaya sana ambayo ilibadili usiku ule na kuwa usiku wa kukumbukwa.
Usiku wa sintofahamu na huenda usiku mrefu kupita yote katika maisha yao.
Usiku usio na jina!!!
*****
URAFIKI wao ulianzia ufukweni mwa bahari, Felista na rafiki zake waliokuwa wanasoma shule moja walipokuwa wakicheza na mchanga wa bahari, mara warushiane mchanga mara wamwagiane maji. Mchezo ukiwa umewanogea mara Felista akamponda mwenzake na kiatu chake chepesi, bahati mbaya kusudio lake likashindikana baada ya kiatu kile kukwepwa na mlengwa kisha kikamfikia mwanaume mmoja aliyekuwa ufukweni pia.
Bila kufikiria mara mbili mwanaume yule ambaye labda kwa sababu zake binafsi alikuwa akingoja litokee jambo ili aweze kuwakabili wasichana wale ambao mmoja wao tayari alikuwa amemjibu vibaya alipojaribu kumweleza juu ya mapenzi. Mbio mbio mwanaume yule akaenda kumkabili Felista ambaye alikuwa ameduwaa akiwa amejiziba midomo yake kwa mshangao mkubwa.
Mwanaume yule akamfikia Felista na kuanza kumkaripia pasi na kumpa nafasi ya kuomba msamaha ama kujieleza vyovyote vile. Felista aliyekuwa anatetemeka alimuona mwanaume mwingine akijongea mahali pale.
“Frank, acha hasira kaka. Mtoto wa kike huyu halafu si unaona watu wanavyokushangaa…..jifanye hakijatokea kitu. Halafu na wewe binti waambie wenzako kama michezo mkafanyie mbali, si unaona hapa watu wamekaa sawa eeh!” sauti ilisihi. Yule kijana aliyekuwa anazidi kupandwa za jazba akapiga kite cha hasira kisha akakubaliana na yule rafiki aliyemsihi.
Felista na rafiki zake wakatafuta eneo jingine, si kwa minajiri ya kucheza tena la! Kila mmoja kuvaa nguo na kutoweka. Ufukwe ushakuwa gundu tena.
Wakati wanaondoka pale, Felista alimwona yule kijana aliyewasuluhisha baada ya yule kijana mjeruhiwa wa ajali ya kiatu kumkabili.
“Asante kaka.” Alimwambia baada ya kumkaribia.
Wakazungumza kidogo kisha wakati wanaagana kwa kushikana mikono akasikia kama kuna kitu anapewa mkononi, akaufunga mkono vyema kisha akaondoka na rafiki zake.
Alipoufungua mkono baada ya kufika mbali alikutana na kadi ya biashara ikiwa na namba za simu na eneo la ofisi zinapopatikana.
Bahati nzuri ofisi za huyu msuluhishi zilikuwa zinahusika na jambo ambalo Felista alikuwa akisomea katika masomo yake chuo kikuu cha Dodoma. Hivyo alimtafuta kwa lengo la kuulizia kama ataweza kupata nafasi ya kufanya mazoezi yake kwa vitendo katika ofisi hizo. Huo ukawa mwanzo wa mazoea yao, kisha urafiki na baada ya kumaliza chuo walikuwa wachumba.
“Nakupenda Gervas.”
“Nakupenda Felista”
Maneno haya waliambizana kwa mara ya kwanza mjini Dodoma. Yakadumu hadi walipofanikiwa kufunga ndoa.
Ndoa iliyobarikiwa na pande zote mbili bila kinyongo chochote kile. Kila mmoja akiwa amemuelezea mwenzake juu ya siri zake na historia za miaka ya nyuma bila kificho.
Maisha ya ndoa yakaanza rasmi!
Upande wa mawifi palikuwa shwari kabisa na hata mashemeji walimpenda Felista naye alijitahidi kuwapenda pia.
MIAKA miwili ikakatika upendo ukaanza kupooza, ulipooza kwa sababu Felista alikuwa hajaongeza zao lolote katika ukoo wa Gervas wala katika nyumba waliyokuwa wanaishi jijini Dar es salaam.
Gervas aliahidi kuwa atavumilia mpaka mwisho, neno hilo lilimpa faraja sana Felista, akajipa imani kuwa akipata upendo wa mumewe basi hawa wengine wanabaki kuwa wa ziada tu. Hakuumiza kichwa kuhusu wao.
Lakini alitilia maanani ule usemi usemao, ‘damu nzito kuliko maji!!’ na hapo akakumbuka kuwa mume wake si ndugu yake wa damu na hakuna damu yoyote ambayo inawaunganisha. Akajiwekea tahadhari hii kichwani.
HAKIKA baada ya mwaka mwingine, mume wake akaanza kubadilika, akawa anawasikiliza dada zake sana, kuna maneno fulani hivi ambayo japo Felista hakuwa anayafahamu lakini aliamini maneno hayo ndiyo chanzo cha kila kitu kuwa shaghalabaghala. Akajaribu kujiimarisha ili aweze kuwa kinara katika nyumba lakini haikuwezekana kabisa tayari wale wana’damu’ moja walikuwa kitu kimoja.
Alitamani kuikimbia nyumba lakini asingeweza kurudi nyumbani bila kupewa talaka, akatamani kuiomba talaka yake lakini kibaya zaidi mume wake hakuwa amewahi kumtamkia kuhusu talaka hata siku moja. Hili kwake likawa tatizo, akawa anaishi utumwa katika nyumba yake.
Ugeni wa mawifi ukawa haukatika nyumbani kwake, wakifika wanagawana jiko mawifi hawataki chakula cha mama mwenye nyumba. Wanajipikia wao wenyewe, salamu wanajibu kwa kujilazimisha tu na maisha yanaendelea.
Felista alipomuuliza mumewe akajibiwa kuwa ajitahidi kuwazoea mawifi zake. Hilo nd’o lilikuwa jibu pekee aliloweza kutoa mume, tena katika namna ya kupuuzia tu.
Mawifi wote waliopita walikuwa micharuko na wasumbufu lakini wifi aitwaye Sarah huyu alikuwa wa aina yake alionyesha ushirikiano wa hali ya juu kwa Felista, alimsaidia kazi za ndani na kuna wakati walipika wote jikoni. Alimpa moyo kuwa hiyo anayopitia ni mitihani tu kutoka kwa mwenyezi Mungu na ipo siku itapita na maisha yataendelea.
Wifi huyu wa ajabu, kila walipokuja mawifi wakorofi yeye alikuwa akijiondokea kabla hawajafika. Jambo hili lilimshangaza sana Felista lakini moyoni akaamini amepata shujaa wa kweli wa kumpigania, aliamini kuwa wifi yule anawachukia na kuilaani tabia wanayofanya wadogo zake. Hata ambapo wifi yule hakuwa ndani ya nyumba yake, alikuwa akimpigia simu usiku na wakati wowote ule kwa lengo la kumfariji, alimueleza kila kitu kilichokuwa kinatokea. Alijaribu kumsihi aongee na kaka yake ili aweze kuwa kama zamani, wifi Sarah akakubaliana na Felista na kumwahidi kuwa ataongea na kaka yake vizuriu kwa kina juu ya hilo.
Hakika siku iliyofuata Felista alipokea ujumbe kutoka kwa Wifi Sarah kuwa mambo yanaenda vizuri amemsema kaka yake kwa kirefu na bila shaka amemuelewa.
Juma lililofuata furaha kiasi ilirejea ndani ya nyumba. Felista akakiri kuwa wifi Sarah ni wifi wa kweli kabisa.
Muda ukazidi kusogea na tabia ikawa ileile, wakija mawifi wakorofi na mama mkwe basi Sara anajiondokea. Na maisha yakaendelea.
Baada ya miezi kadhaa wifi sarah alishika ujauzito. Hakumficha Felista alimueleza ukweli kabisa juu ya jambo hilo. Felista alimpongeza huku moyoni akiumia sana na kutamani ile mimba ingekuwa ya kwake, wifi Sarah akaanza kuwa mkorofi, uvivu ukamtawala na akawa mtu wa kulala tu kutwa nzima.
Mimba bwana!!!........ Felista alijisemea huku akitabasamu, aliamini kuwa ni mimba imemfanya kuwa vile wifi yake mkarimu kabisa. Hakutaka kumkera na kila lililokuwa likitokea kwake aliisingizia mimba ya wifi yake.
Mara usumbufu wa mimba ukaongezewa na usumbufu wa mumewe, akaanza tena kuwa mkorofi ndani ya nyumba. Zile tabia zake za zamani zisizotabirika zikaanza kujirudia. Mara akapitiliza zaidi na kuanza kulala sebuleni siku nyingine.
Mara akilala chumbani hataki kuguswa na mkewe, Felista alilia sana lakini nd’o lilikuwa tatizo tayari. Mshauri mkuu alikuwa ni wifi yake lakini huyu naye mimba ilikuwa imemfanya awe mtukutu na msumbufu. Hivyo mchezo ukawa hivi.
Kutwa ni usumbufu na vimbwanga vya wifi na usiku ni karaha za mume wa ndoa. Hapa sasa Felista alikonda barabara. Wazazi wake na ndugu zake wengi walikuwa mkoani Kagera hivyo hakuwa na pa kupumulia, akijaribu sana kuitafuta furaha basi ni siku ambayo alikuwa akienda kutengeneza nywele saluni. Huku aliweza kuburudisha akili yake kwa kusikia maneno ya wanawake wenzao wakipigana vijembe wao kwa wao.
Baada ya kurejea nyumbani zilikuwa karaha tupu.
Hadi miezi tisa ije kumaliziaka nitakuwa nimebakia kama sindano!! Felista alijisemea kwa masikitiko makuu.
Mzigo wa ndoa ulikuwa unamuelemea, afadhali basi angekuwa anafanya kazi mahali walau shilingi mbili tatu zingekuwa katika hifadhi yake lakini hakuwa kazini, mume alikuwa hajamruhusu kufanya kazi bado kwa kauli ya kwamba bado haijapatikana kazi ambayo inamfaa. Mume amesema mke angebisha nini?
Maisha magumu yakaendelea kuishi katika nyumba ya Felista.
MWANZONI Gervas alikuwa anafanya vimbwanga vyote lakini katu hawezi kulala nje ya nyumba yake bila taarifa. Lakini hili nalo likaibuka kutokea pasipofahamika.
Baada ya yule wifi mtukutu kutoweka pale nyumbani na kuonekana kuwa walau nyumba itakuwa na amani kidogo, jambo jingine likazuka. Gervas naye akaanza kuchelewa kurudi nyumbani.
“Afadhali Wifi angekuwepo maana alikuwa anamkaripia akichelewa kurudi….ona sasa” alilalamika mwenyewe huku akiitazama saa ya ukutani. Ilionyesha kuwa ule ulikuwa usiku wa saa nne. Akaendelea kungoja hadi akapitiwa na usingizi.
Siku hiyo alillalasebuleni na mumewe hakurejea kabisa.
Aliporejea siku iliyofuata Felista alijiandaa kumkabili na kupambana naye amweleze alilala wapi. Bahati ikawa mbaya upande wake, mumewe hakumjibu kitu. Alivua nguo zake alizokuja nazo akajitupa kitandani na kusinzia hoi!!
Kizungumkuti hakika!!
Ina maana hatambui tena umuhimu wangu!! Ina maana hakumbuki kama aliwahi kusema atanipenda milele….alijiuliza Felista biula kuupata muafaka.
Mienendo mibovu ikaendelea kuchukua hatamu, ikafikia kipindi Felista akaiomba talaka yake.
Neno hili likamshtua Gervas, hakuwahi kulitegemea. Wakati Felista alidhani kuwa itakuwa kazi rahisi lakini Gervas hakuwa tayari. Akaahidi kubadilika kabisa, akasingizia msongo wa mawazo unamsumbua.
Lakini wakati wote huu kuna jambo ambalo Felista alikuwa akiliona machoni mwa mumewe.
Aliuona uongo waziwazi…uongo usiopingika kuwa kuna kitu anaficha lakini hana mapenzi tena. Hakumpenda Felista.
Hakumpenda kwa sababu alikuwa tasa.
Felista akarudisha moyo nyuma akampokea tena Gervas.
*****
BAADA ya miezi kadhaa, Felista bila kujua kwanini amepata wazo hilo alijikuta tu akifunga safari ya kwenda hospitali kwa mara nyingine kuangalia tatizo lilikuwa nini hadi hapati mtoto. Hakumweleza mumewe kama ataenda hospitali siku hiyo.
Aliuacha funguo mahali ambapo wote wawili wanafahamu kuwa huwa wanahifadhi. Akaenda zake hospitali.
Akaongea kwa kirefu na daktari, akamweleza hata yasiyomuhusu juu ya namna anavyodharauliwa na fdamilia ya mume wake. Daktari akamchukua vipimo na kuingia maabara. Baada ya hapo akaketi na kumweleza kila kitu juu ya kizazi chake, majibu haya alikuwa akiambiwa kila siku iendayo kwa Mungu na madaktari tofauti tofauti. Lakini huyu kuna moja la ziada alimweleza Felista. Lilimtingisha kidogo Felista lakini alilipokea kwa tabasamu hafifu kana kwamba alilitambua hapo kabla.
Alizungumza sana na daktari. Kisha wakaagana.
Alipofika nyumbani alikuta nyumba ikiwa na uhai, kulikuwa kuna kilio cha mtoto mchanga. Akiwa anastaajabu alipokelewa na tabasamu kali la wifi Sarah. Felista akastaajabu, kumbe ilikuwa imepita miezi lukuki tangu waonane, sasa Sarah alikuwa na kichanga.
Hakuwa mkorofi tena. Hakuwa na tabia zake za kununa. Felista akakiri kuwa ni mimba tu iliyokuwa inamsumbua wifi yake mzuri.
Wakakumbatiana na kubusiana mashavuni. Ilikuwa furaha tena katika familia ile.
Felista alitaka kumshirikisha Sarah juu ya kilichojiri hospitali, lakini akaona ni mapema sana kumweleza mzazi huyu aliyejikita katika kukilea kichanga chake.
FELISTA akafikia maamuzi ya kumweleza mume wake na liwalo na liwe.
Hapa ndipo ukafika ule usiku usiosahaulika kamwe, usiku wa kizaazaa. Ule usiku ambao haukuwa na jina.
Ilikuwa saa tisa usiku ambapo mlango ulifunguliwa, mume wake aliyekuwa amelewa kwa mara ya kwanza akaingia ndani huku akiyumba yumba.
“We Felista wewe….mpuuzi mpuuzi malaya usiyekuwa na nidhamu….ni wewe uliyeniomba talaka yako sio….sasa nasema andika hiyo talaka tasa mkubwa wewe mimi nitaweka sahihi. Andika naachwa kwa sababu sizai, kwa sababu ya umalaya wangu andika upesi wewe changudoa mzoefu….” Alibwabwaja Gervas. Felista akapokea kama pigo kali maneno yale. Hakuamini kama yanatoka kwa mume wake. Akatamani kulia kwa nguvu lakini kifua kilikuwa kinambana.
“…Tena ikiwezekana uondoke usiku huu umwachie mwanamke anayeweza kuzaa nyumba yake hayawani wewe, mwenzako mbona amezaa upesi tu…wewe unanikalishia makalio humu ndani unamaliza sofa zangu kunguru usiyefugika wewe…rudi kwa mama yako mwambie umalaya wako umekuponza na sikutaki tena….hiyo pete yako vua nitamvalisha mwingine.”
AKILI hapa ikamchemka Felista, yaani ina maana wifi Sara amezaa na mume wangu? Alijiuliza.
Halafu ananiita mimi malaya wakati ameniambukiza UKIMWI huyu mwanaharamu!!! Alilaani Felista huku akikumbuka majibu aliyopewa na daktari hospitalini. Hapa sasa ujasiri ukamshinda akataka kuuliza lakini mume akaendelea kuropoka.
“Sara wewe ndiye mke wangu asante kwa bebi boi uliyeniletea…asante sana kwa zawadi hiyo…nakupenda Sara wee…mwaaaah!!” alizidi kubwabwaja kilevilevi.
Felista akalipata jibu kuwa kumbe kuna sintofahamu katikati. Akatazama kushoto akakutana na chupa ya soda. Alairukia kwa hasira akaitwaa na kuituliza katika kichwa cha mume wake, mlevi yule akalainika na kutua sakafuni.
Haikutosha akaendelea kumtwanga nayo hadi akahakikisha mikono imechoka. Kisha mbio mbio akakimbilia jikoni akatwaa kisu.
Akakimbilia chumbani kwa wifi Sara.
“Sara wewe ni nani katika nyumba hii.” Akamuuliza kwa ghadhabu, huku akiwa amekificha kisu chake kwa nyuma.
“Mama mwenye nyumba kwani vipi?” akajibu kwa dharau na hili likawa kosa kubwa sana, laiti angejua angejitetea kuliko kujibu jeuri.
Felista akamvamia na kuzamisha kisu chote mb avuni kwa ujasiri akakichomoa tena na kukizamisha katika chemba ya moyo.
Wifi feki Sarah kimya!!!
Akakitazama kile kitoto kilichokuwa kimesinzia akataka kukimalizia lakini huruma ikamwingia. Akatimua mbio chumbani kwake akakuta Gervas ametulia vile vile.
Akahaha bila kujua ni kipi anafanya pale chumbani. Akajigonga huku na kule kisha akafanikiwa kutuliza akili akachukua pesa katika mifuko ya mumewe, akaongezea na ya kwake kisha akatoweka.
ASUBUHI alikuwa safarini kuelekea Mwanza, akili ilikuwa haijatulia kabisa kutokana na kilichotokea.
Safari nzima aligubikwa na mkasa mzito sana ambao aliamini akimshirikisha mama yake anaweza kupata afueni. Mkasa wa kumfuga mke mwenza akidhani ni wifi yake...
Hakika alifika Mwanza, na kumsimulia mama yake kila kitu. Hakujua na wala hakusema kama alikusudiia kuua.
SIKU MBILI baadaye wakatangaza tukio la mauaji ya kutisha jijini Dar es salaam.
Mwanaume kwa kupondwa pondwa kichwani na chupa, mwanamke kwa kuchomwa kisu na mtoto mdogo kwa kukosa chakula.
Ni taarifa hii iliyoondoka na akili za Felista na kumfanya mwendawazimu milele…..taarifa ya kuhusika katika mauaji ya watu watatu
Mama yake mzazi pekee nd’o aliweza kusimulia mkasa ulivyokuwa kabka mwanaye hajawa na wazimu kichwani, wazimu wa kuvua nguo na kukimbiza watu hovyo. Hapakuwa na la kumshtaki kichaa huyu. Simulizi ya mama yake ikabakia kuwa simulizi inayogusa jamii, hasahasa wanandoa zenye utata na vijana ambao walikuwa hawajaingia katika ndoa bado.
Ikapita miezi kadhaa, yule kichaa Felista akabeba mimba mtaani, hakujulikana aliyembebesha mimba ile. Kilio kikazuka upya na watu wakaanza kujiuliza je? Tatizo alikuwa mumewe ama???
Nani angejibu iwapo mume ni marehemu na mke ni kichaa?? Yule aliyemjaza mimba pekee ndiye ajuaye na ule UKIMWI aliojiambukiza ndio utakaomuumbua...
MWISHO
NB: Toa maoni yako kuhusu simulizi hii, je umejifunza kitu?? sema lolote kumshauri mwandishi huyu....
Usisite KU SHARE yaweza kuwa funzo kwa wengine
SIMULIZI FUPI: USIKU USIO NA JINA NDEGE wa angani pekee nd’o walikuwa wakiendelea kulipa uhai anga lililotanda kwa giza nene huku nyota zikishindwa kufua dafu katika kuileta nuru. Anga lilipoanza kutoa miale mikali inayong’ara, ndege walivikumbuka viota vyao na makundi kwa makundi walitoweka anga ikabaki katika hali ya upweke, miale mikali pekee nd’o uhai mdogo uliosalia. Miale hiyo haikuishia kuleta uhai katka anga pekee, bali ulimurika pia katika chumba kimoja ambacho kilikuwa kimekaliwa na mwanamke. Alikuwa amevaa nguo za kulalia, macho yake yakiwa makavu. Taa ilikuwa imezimwa hivyo ule mwanga ukaibua undugu kati ya macho na sasa. Ilikuwa yapata saa tisa usiku. Yule bwana aliyemuoa kwa mbwembwe zote na mapenzi miaka miwili iliyopita alikuwa hajarejea nyumbani bado. Ni kweli alikuwa ameanza tabia za kuchelewa nyumbani lakini siku hii alipitiliza. Mwanamke akakunja uso wake kwa uchungu mkuu, akajiziba na viganja vya mikono yake. Akatambua kuwa amebanwa na donge la hasira kooni na hawezi kulihimili mpaka atoe kilio. Hapo akaamua kutimua mbio kuelekea chumbani kwake. Akafika akaduwa chumbani kwake huku akitiririkwa na machozi. Akaliendea kabati la nguo ili aweze kuchukua kitambaa atumie kukabiliana na machozi yale. Mara paah! Kikaanguka kitu kikilia mfano wa sarafu, akainama kutazama ni kitu gani. Hofu ikazidi kutanda. Ilikuwa pete ya ndoa, pete ambayo kwa mikono yake alimvisha mume wake wakati wanaamuriwa kuwa mume na mke. Pete hiyo imetolewa kidoleni sasa na kufichwa kabatini. Hapa uvumilivu ukamshinda akakimbilia kitandani, akajirusha na kuanza kugalagala huku akilia kilio cha uchungu mkubwa, lakini alijitahidi sana kuizuia sauti ile isipenye na kukifikia chumba kilichokuwa kinafuata, kwani hakutaka huyo mtu katika chumba kile aweze kutambua kuwa alikuwa katika kulia. Kilio hiki kilikuwa na mengi ndani yake, alijiuliza iwapo huo nd’o ulikuwa uhitimisho wa safari ya ndoa yake, alijiuliza kama hiyo ni talaka alikuwa ameandaliwa kwa vitendo. Kama sio kwanini aitupe pete yangu humu, kwanini anachelewa kurejea nyumbani? Alijiuliza bila kupata majibu. Mawazo tele aliyokuwanayo yalimfanya asisikie mchakato wowote wa mtu kutembea katika korido kisha kukifikia chumba na kugonga mlango. Mlango ulipogongwa kwa mara ya pili ndipo akili zikamkaa sawa. Akajifuta machozi kwa kutumia shuka, kisha akaenda kufungua bila kuuliza aliyekuwa mlangoni ni nani. Alitambua tu kuwa lazima atakuwa mumewe na hakika ilikuwa hivyo, mwanamke huyu alimtazama mumewe kidoleni akidhani atakutana na pete na kujitoa mawazo kuwa huenda aliifananisha tu ile iliyodondoka. Kapa!! Hakuona kitu. “We Felista…..” mumewe aliita huku harufu ya pombe ikitambaa mle chumbani. Mungu wangu ameniita jina langu!! Mwanamke yule alitahamaki, haikuwa kawaida hata kidogo kwa mume wake kumuita kwa jina hilo na badala yake alizoea kumuita mpenzi, mahabuba na majina mengineyo yanayotangaza huba. Leo hii anamuita Felista!!! Tena we Felista!! Kama mbwa vile!!!! Mshikemshike. Felista hakuitika lakini yule mwanaume mlangoni hakujali akapiga hatua moja mbele, hakika alikuwa amelewa na alitaka kukosa muhimili, kama lisingekuwa kabati basi angepiga mweleka na kusalimiana na ile marumaru pale chumbani. Akiwa ameegemea kabati mwanaume yule ambaye ni kwa mara ya kwanza alirudi nyumbani akiwa amelewa alianza kubwabwaja maneno machafu sana kwa mkewe, maneno ambayo hata Malaya na hawara pia akiambiwa yanaweza kumkera, lakini maneno haya aliambiwa mwanamke wa ndoa iliyobarikiwa kabisa. Maneno yakazidi mwanamke naye akazidi kukasirika, mwanzoni alipuuzia lakini ikamtoka yule mwanaume kauli mbaya sana ambayo ilibadili usiku ule na kuwa usiku wa kukumbukwa. Usiku wa sintofahamu na huenda usiku mrefu kupita yote katika maisha yao. Usiku usio na jina!!! ***** URAFIKI wao ulianzia ufukweni mwa bahari, Felista na rafiki zake waliokuwa wanasoma shule moja walipokuwa wakicheza na mchanga wa bahari, mara warushiane mchanga mara wamwagiane maji. Mchezo ukiwa umewanogea mara Felista akamponda mwenzake na kiatu chake chepesi, bahati mbaya kusudio lake likashindikana baada ya kiatu kile kukwepwa na mlengwa kisha kikamfikia mwanaume mmoja aliyekuwa ufukweni pia. Bila kufikiria mara mbili mwanaume yule ambaye labda kwa sababu zake binafsi alikuwa akingoja litokee jambo ili aweze kuwakabili wasichana wale ambao mmoja wao tayari alikuwa amemjibu vibaya alipojaribu kumweleza juu ya mapenzi. Mbio mbio mwanaume yule akaenda kumkabili Felista ambaye alikuwa ameduwaa akiwa amejiziba midomo yake kwa mshangao mkubwa. Mwanaume yule akamfikia Felista na kuanza kumkaripia pasi na kumpa nafasi ya kuomba msamaha ama kujieleza vyovyote vile. Felista aliyekuwa anatetemeka alimuona mwanaume mwingine akijongea mahali pale. “Frank, acha hasira kaka. Mtoto wa kike huyu halafu si unaona watu wanavyokushangaa…..jifanye hakijatokea kitu. Halafu na wewe binti waambie wenzako kama michezo mkafanyie mbali, si unaona hapa watu wamekaa sawa eeh!” sauti ilisihi. Yule kijana aliyekuwa anazidi kupandwa za jazba akapiga kite cha hasira kisha akakubaliana na yule rafiki aliyemsihi. Felista na rafiki zake wakatafuta eneo jingine, si kwa minajiri ya kucheza tena la! Kila mmoja kuvaa nguo na kutoweka. Ufukwe ushakuwa gundu tena. Wakati wanaondoka pale, Felista alimwona yule kijana aliyewasuluhisha baada ya yule kijana mjeruhiwa wa ajali ya kiatu kumkabili. “Asante kaka.” Alimwambia baada ya kumkaribia. Wakazungumza kidogo kisha wakati wanaagana kwa kushikana mikono akasikia kama kuna kitu anapewa mkononi, akaufunga mkono vyema kisha akaondoka na rafiki zake. Alipoufungua mkono baada ya kufika mbali alikutana na kadi ya biashara ikiwa na namba za simu na eneo la ofisi zinapopatikana. Bahati nzuri ofisi za huyu msuluhishi zilikuwa zinahusika na jambo ambalo Felista alikuwa akisomea katika masomo yake chuo kikuu cha Dodoma. Hivyo alimtafuta kwa lengo la kuulizia kama ataweza kupata nafasi ya kufanya mazoezi yake kwa vitendo katika ofisi hizo. Huo ukawa mwanzo wa mazoea yao, kisha urafiki na baada ya kumaliza chuo walikuwa wachumba. “Nakupenda Gervas.” “Nakupenda Felista” Maneno haya waliambizana kwa mara ya kwanza mjini Dodoma. Yakadumu hadi walipofanikiwa kufunga ndoa. Ndoa iliyobarikiwa na pande zote mbili bila kinyongo chochote kile. Kila mmoja akiwa amemuelezea mwenzake juu ya siri zake na historia za miaka ya nyuma bila kificho. Maisha ya ndoa yakaanza rasmi! Upande wa mawifi palikuwa shwari kabisa na hata mashemeji walimpenda Felista naye alijitahidi kuwapenda pia. MIAKA miwili ikakatika upendo ukaanza kupooza, ulipooza kwa sababu Felista alikuwa hajaongeza zao lolote katika ukoo wa Gervas wala katika nyumba waliyokuwa wanaishi jijini Dar es salaam. Gervas aliahidi kuwa atavumilia mpaka mwisho, neno hilo lilimpa faraja sana Felista, akajipa imani kuwa akipata upendo wa mumewe basi hawa wengine wanabaki kuwa wa ziada tu. Hakuumiza kichwa kuhusu wao. Lakini alitilia maanani ule usemi usemao, ‘damu nzito kuliko maji!!’ na hapo akakumbuka kuwa mume wake si ndugu yake wa damu na hakuna damu yoyote ambayo inawaunganisha. Akajiwekea tahadhari hii kichwani. HAKIKA baada ya mwaka mwingine, mume wake akaanza kubadilika, akawa anawasikiliza dada zake sana, kuna maneno fulani hivi ambayo japo Felista hakuwa anayafahamu lakini aliamini maneno hayo ndiyo chanzo cha kila kitu kuwa shaghalabaghala. Akajaribu kujiimarisha ili aweze kuwa kinara katika nyumba lakini haikuwezekana kabisa tayari wale wana’damu’ moja walikuwa kitu kimoja. Alitamani kuikimbia nyumba lakini asingeweza kurudi nyumbani bila kupewa talaka, akatamani kuiomba talaka yake lakini kibaya zaidi mume wake hakuwa amewahi kumtamkia kuhusu talaka hata siku moja. Hili kwake likawa tatizo, akawa anaishi utumwa katika nyumba yake. Ugeni wa mawifi ukawa haukatika nyumbani kwake, wakifika wanagawana jiko mawifi hawataki chakula cha mama mwenye nyumba. Wanajipikia wao wenyewe, salamu wanajibu kwa kujilazimisha tu na maisha yanaendelea. Felista alipomuuliza mumewe akajibiwa kuwa ajitahidi kuwazoea mawifi zake. Hilo nd’o lilikuwa jibu pekee aliloweza kutoa mume, tena katika namna ya kupuuzia tu. Mawifi wote waliopita walikuwa micharuko na wasumbufu lakini wifi aitwaye Sarah huyu alikuwa wa aina yake alionyesha ushirikiano wa hali ya juu kwa Felista, alimsaidia kazi za ndani na kuna wakati walipika wote jikoni. Alimpa moyo kuwa hiyo anayopitia ni mitihani tu kutoka kwa mwenyezi Mungu na ipo siku itapita na maisha yataendelea. Wifi huyu wa ajabu, kila walipokuja mawifi wakorofi yeye alikuwa akijiondokea kabla hawajafika. Jambo hili lilimshangaza sana Felista lakini moyoni akaamini amepata shujaa wa kweli wa kumpigania, aliamini kuwa wifi yule anawachukia na kuilaani tabia wanayofanya wadogo zake. Hata ambapo wifi yule hakuwa ndani ya nyumba yake, alikuwa akimpigia simu usiku na wakati wowote ule kwa lengo la kumfariji, alimueleza kila kitu kilichokuwa kinatokea. Alijaribu kumsihi aongee na kaka yake ili aweze kuwa kama zamani, wifi Sarah akakubaliana na Felista na kumwahidi kuwa ataongea na kaka yake vizuriu kwa kina juu ya hilo. Hakika siku iliyofuata Felista alipokea ujumbe kutoka kwa Wifi Sarah kuwa mambo yanaenda vizuri amemsema kaka yake kwa kirefu na bila shaka amemuelewa. Juma lililofuata furaha kiasi ilirejea ndani ya nyumba. Felista akakiri kuwa wifi Sarah ni wifi wa kweli kabisa. Muda ukazidi kusogea na tabia ikawa ileile, wakija mawifi wakorofi na mama mkwe basi Sara anajiondokea. Na maisha yakaendelea. Baada ya miezi kadhaa wifi sarah alishika ujauzito. Hakumficha Felista alimueleza ukweli kabisa juu ya jambo hilo. Felista alimpongeza huku moyoni akiumia sana na kutamani ile mimba ingekuwa ya kwake, wifi Sarah akaanza kuwa mkorofi, uvivu ukamtawala na akawa mtu wa kulala tu kutwa nzima. Mimba bwana!!!........ Felista alijisemea huku akitabasamu, aliamini kuwa ni mimba imemfanya kuwa vile wifi yake mkarimu kabisa. Hakutaka kumkera na kila lililokuwa likitokea kwake aliisingizia mimba ya wifi yake. Mara usumbufu wa mimba ukaongezewa na usumbufu wa mumewe, akaanza tena kuwa mkorofi ndani ya nyumba. Zile tabia zake za zamani zisizotabirika zikaanza kujirudia. Mara akapitiliza zaidi na kuanza kulala sebuleni siku nyingine. Mara akilala chumbani hataki kuguswa na mkewe, Felista alilia sana lakini nd’o lilikuwa tatizo tayari. Mshauri mkuu alikuwa ni wifi yake lakini huyu naye mimba ilikuwa imemfanya awe mtukutu na msumbufu. Hivyo mchezo ukawa hivi. Kutwa ni usumbufu na vimbwanga vya wifi na usiku ni karaha za mume wa ndoa. Hapa sasa Felista alikonda barabara. Wazazi wake na ndugu zake wengi walikuwa mkoani Kagera hivyo hakuwa na pa kupumulia, akijaribu sana kuitafuta furaha basi ni siku ambayo alikuwa akienda kutengeneza nywele saluni. Huku aliweza kuburudisha akili yake kwa kusikia maneno ya wanawake wenzao wakipigana vijembe wao kwa wao. Baada ya kurejea nyumbani zilikuwa karaha tupu. Hadi miezi tisa ije kumaliziaka nitakuwa nimebakia kama sindano!! Felista alijisemea kwa masikitiko makuu. Mzigo wa ndoa ulikuwa unamuelemea, afadhali basi angekuwa anafanya kazi mahali walau shilingi mbili tatu zingekuwa katika hifadhi yake lakini hakuwa kazini, mume alikuwa hajamruhusu kufanya kazi bado kwa kauli ya kwamba bado haijapatikana kazi ambayo inamfaa. Mume amesema mke angebisha nini? Maisha magumu yakaendelea kuishi katika nyumba ya Felista. MWANZONI Gervas alikuwa anafanya vimbwanga vyote lakini katu hawezi kulala nje ya nyumba yake bila taarifa. Lakini hili nalo likaibuka kutokea pasipofahamika. Baada ya yule wifi mtukutu kutoweka pale nyumbani na kuonekana kuwa walau nyumba itakuwa na amani kidogo, jambo jingine likazuka. Gervas naye akaanza kuchelewa kurudi nyumbani. “Afadhali Wifi angekuwepo maana alikuwa anamkaripia akichelewa kurudi….ona sasa” alilalamika mwenyewe huku akiitazama saa ya ukutani. Ilionyesha kuwa ule ulikuwa usiku wa saa nne. Akaendelea kungoja hadi akapitiwa na usingizi. Siku hiyo alillalasebuleni na mumewe hakurejea kabisa. Aliporejea siku iliyofuata Felista alijiandaa kumkabili na kupambana naye amweleze alilala wapi. Bahati ikawa mbaya upande wake, mumewe hakumjibu kitu. Alivua nguo zake alizokuja nazo akajitupa kitandani na kusinzia hoi!! Kizungumkuti hakika!! Ina maana hatambui tena umuhimu wangu!! Ina maana hakumbuki kama aliwahi kusema atanipenda milele….alijiuliza Felista biula kuupata muafaka. Mienendo mibovu ikaendelea kuchukua hatamu, ikafikia kipindi Felista akaiomba talaka yake. Neno hili likamshtua Gervas, hakuwahi kulitegemea. Wakati Felista alidhani kuwa itakuwa kazi rahisi lakini Gervas hakuwa tayari. Akaahidi kubadilika kabisa, akasingizia msongo wa mawazo unamsumbua. Lakini wakati wote huu kuna jambo ambalo Felista alikuwa akiliona machoni mwa mumewe. Aliuona uongo waziwazi…uongo usiopingika kuwa kuna kitu anaficha lakini hana mapenzi tena. Hakumpenda Felista. Hakumpenda kwa sababu alikuwa tasa. Felista akarudisha moyo nyuma akampokea tena Gervas. ***** BAADA ya miezi kadhaa, Felista bila kujua kwanini amepata wazo hilo alijikuta tu akifunga safari ya kwenda hospitali kwa mara nyingine kuangalia tatizo lilikuwa nini hadi hapati mtoto. Hakumweleza mumewe kama ataenda hospitali siku hiyo. Aliuacha funguo mahali ambapo wote wawili wanafahamu kuwa huwa wanahifadhi. Akaenda zake hospitali. Akaongea kwa kirefu na daktari, akamweleza hata yasiyomuhusu juu ya namna anavyodharauliwa na fdamilia ya mume wake. Daktari akamchukua vipimo na kuingia maabara. Baada ya hapo akaketi na kumweleza kila kitu juu ya kizazi chake, majibu haya alikuwa akiambiwa kila siku iendayo kwa Mungu na madaktari tofauti tofauti. Lakini huyu kuna moja la ziada alimweleza Felista. Lilimtingisha kidogo Felista lakini alilipokea kwa tabasamu hafifu kana kwamba alilitambua hapo kabla. Alizungumza sana na daktari. Kisha wakaagana. Alipofika nyumbani alikuta nyumba ikiwa na uhai, kulikuwa kuna kilio cha mtoto mchanga. Akiwa anastaajabu alipokelewa na tabasamu kali la wifi Sarah. Felista akastaajabu, kumbe ilikuwa imepita miezi lukuki tangu waonane, sasa Sarah alikuwa na kichanga. Hakuwa mkorofi tena. Hakuwa na tabia zake za kununa. Felista akakiri kuwa ni mimba tu iliyokuwa inamsumbua wifi yake mzuri. Wakakumbatiana na kubusiana mashavuni. Ilikuwa furaha tena katika familia ile. Felista alitaka kumshirikisha Sarah juu ya kilichojiri hospitali, lakini akaona ni mapema sana kumweleza mzazi huyu aliyejikita katika kukilea kichanga chake. FELISTA akafikia maamuzi ya kumweleza mume wake na liwalo na liwe. Hapa ndipo ukafika ule usiku usiosahaulika kamwe, usiku wa kizaazaa. Ule usiku ambao haukuwa na jina. Ilikuwa saa tisa usiku ambapo mlango ulifunguliwa, mume wake aliyekuwa amelewa kwa mara ya kwanza akaingia ndani huku akiyumba yumba. “We Felista wewe….mpuuzi mpuuzi malaya usiyekuwa na nidhamu….ni wewe uliyeniomba talaka yako sio….sasa nasema andika hiyo talaka tasa mkubwa wewe mimi nitaweka sahihi. Andika naachwa kwa sababu sizai, kwa sababu ya umalaya wangu andika upesi wewe changudoa mzoefu….” Alibwabwaja Gervas. Felista akapokea kama pigo kali maneno yale. Hakuamini kama yanatoka kwa mume wake. Akatamani kulia kwa nguvu lakini kifua kilikuwa kinambana. “…Tena ikiwezekana uondoke usiku huu umwachie mwanamke anayeweza kuzaa nyumba yake hayawani wewe, mwenzako mbona amezaa upesi tu…wewe unanikalishia makalio humu ndani unamaliza sofa zangu kunguru usiyefugika wewe…rudi kwa mama yako mwambie umalaya wako umekuponza na sikutaki tena….hiyo pete yako vua nitamvalisha mwingine.” AKILI hapa ikamchemka Felista, yaani ina maana wifi Sara amezaa na mume wangu? Alijiuliza. Halafu ananiita mimi malaya wakati ameniambukiza UKIMWI huyu mwanaharamu!!! Alilaani Felista huku akikumbuka majibu aliyopewa na daktari hospitalini. Hapa sasa ujasiri ukamshinda akataka kuuliza lakini mume akaendelea kuropoka. “Sara wewe ndiye mke wangu asante kwa bebi boi uliyeniletea…asante sana kwa zawadi hiyo…nakupenda Sara wee…mwaaaah!!” alizidi kubwabwaja kilevilevi. Felista akalipata jibu kuwa kumbe kuna sintofahamu katikati. Akatazama kushoto akakutana na chupa ya soda. Alairukia kwa hasira akaitwaa na kuituliza katika kichwa cha mume wake, mlevi yule akalainika na kutua sakafuni. Haikutosha akaendelea kumtwanga nayo hadi akahakikisha mikono imechoka. Kisha mbio mbio akakimbilia jikoni akatwaa kisu. Akakimbilia chumbani kwa wifi Sara. “Sara wewe ni nani katika nyumba hii.” Akamuuliza kwa ghadhabu, huku akiwa amekificha kisu chake kwa nyuma. “Mama mwenye nyumba kwani vipi?” akajibu kwa dharau na hili likawa kosa kubwa sana, laiti angejua angejitetea kuliko kujibu jeuri. Felista akamvamia na kuzamisha kisu chote mb avuni kwa ujasiri akakichomoa tena na kukizamisha katika chemba ya moyo. Wifi feki Sarah kimya!!! Akakitazama kile kitoto kilichokuwa kimesinzia akataka kukimalizia lakini huruma ikamwingia. Akatimua mbio chumbani kwake akakuta Gervas ametulia vile vile. Akahaha bila kujua ni kipi anafanya pale chumbani. Akajigonga huku na kule kisha akafanikiwa kutuliza akili akachukua pesa katika mifuko ya mumewe, akaongezea na ya kwake kisha akatoweka. ASUBUHI alikuwa safarini kuelekea Mwanza, akili ilikuwa haijatulia kabisa kutokana na kilichotokea. Safari nzima aligubikwa na mkasa mzito sana ambao aliamini akimshirikisha mama yake anaweza kupata afueni. Mkasa wa kumfuga mke mwenza akidhani ni wifi yake... Hakika alifika Mwanza, na kumsimulia mama yake kila kitu. Hakujua na wala hakusema kama alikusudiia kuua. SIKU MBILI baadaye wakatangaza tukio la mauaji ya kutisha jijini Dar es salaam. Mwanaume kwa kupondwa pondwa kichwani na chupa, mwanamke kwa kuchomwa kisu na mtoto mdogo kwa kukosa chakula. Ni taarifa hii iliyoondoka na akili za Felista na kumfanya mwendawazimu milele…..taarifa ya kuhusika katika mauaji ya watu watatu Mama yake mzazi pekee nd’o aliweza kusimulia mkasa ulivyokuwa kabka mwanaye hajawa na wazimu kichwani, wazimu wa kuvua nguo na kukimbiza watu hovyo. Hapakuwa na la kumshtaki kichaa huyu. Simulizi ya mama yake ikabakia kuwa simulizi inayogusa jamii, hasahasa wanandoa zenye utata na vijana ambao walikuwa hawajaingia katika ndoa bado. Ikapita miezi kadhaa, yule kichaa Felista akabeba mimba mtaani, hakujulikana aliyembebesha mimba ile. Kilio kikazuka upya na watu wakaanza kujiuliza je? Tatizo alikuwa mumewe ama??? Nani angejibu iwapo mume ni marehemu na mke ni kichaa?? Yule aliyemjaza mimba pekee ndiye ajuaye na ule UKIMWI aliojiambukiza ndio utakaomuumbua... MWISHO NB: Toa maoni yako kuhusu simulizi hii, je umejifunza kitu?? sema lolote kumshauri mwandishi huyu.... Usisite KU SHARE yaweza kuwa funzo kwa wengine
Artikel Terkait
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA (26) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia ndo icho tu au kuna kingine nikamjibu hamna nilishangaa kuona kanikubalia kwa haraka sana huku akiniambia tuwahi bank tukachukue hela kisha kesho tupige mechi moja matata kama ya leo ile nataka kumjibu nilipo tazama kwenye kioo nilimwona mdada akiwa anatu record na simu ila uzuri wake sauti haiwezi kuwepo ila vitendo vitaonekana niliwai kufungua mlango na kumkuta yule mdada bila ya wasiwasi akaniambia tuingie kwenye gari ana maongezi na sisi.............. endelea sasa alinaza kwa kughuna kwanza huku akituangalia alikua amekaa siti ya nyuma ya gari na sisi tupo mbele. "we errycah wewe ni wakufanya mapenzi kwenye gari la baba yako tena barabarani sasa nampelekea ushahidi wote baba yako na utaona atakacho kufanya mana Alisha wai kuniambia Siku akisikia kuna mtu anamchezea binti yake atawamwaga ubongo hapo hapo" "kwani we nani"errycah alimuuliza swali bila ya wasiwasi wowote "unijui eeeh baba yako akiondokaga unajua anaendaga wapi.sasa kwa taarifa yako anakuja kwangu Mimi ni mama yako mdogo.na wewe kijana naona unayachezea maisha yako"alipo maliza kusema Yale akachukua simu na kumpigia mjomba "hallo" "yes Darling niambie"ilikua ni sauti ya mjomba hapo hapo tukampa ishara asizungumze chochote alimkatia simu na kutuuliza "si mnajifanya amniamini sasa mkitaka niifute hii video na nisimweleze wewe kijana leo usiku njoo ulale kwangu mana nime penda dozi yako.na wewe errycah kwanzia leo sitaki nikuone ukiwa karibu na huyu kijana." sikua na lakupinga ila nilijisemea moyoni mwangu ivi kwa nini kila mwanamke anaye niona anataka nifanye nae mapenzi lilikua swali ambalo halina majibu kimya changu kilionyesha kukubaliana na lile na akaniambia "jioni SAA 1:30 toka nje ya geti nitakufata na gari twende kwangu na usipo tokea mtaniona mbaya." alishuka yule mdada na kuondoka zake ukimwangalia analipa mana tako analo sema yeye mrefu kuliko Mimi.errycah hakua na la kusema zaidi ya kuniambia ukienda naomba utumie mpira alafu mkomoe mpe dozi mpaka atoke kizazi mana anaonekana Malaya sana yule mchiiiiuuuuuuu......" alimaliza kwa kumsonya yule mdad tukaweka siti vizuri na kuliondoa gari kuelekea bank uzuri wa pale tuliingia ndani kabisa na kukutana na kiongozi tuka mwelekeza akatupa na fomu tukajaza akatuambia tusuburi nje kwa mda atatuita tuje kuchukua mzigo. tulisubiri nje kwa dakika kama 20 hivi tukaitwa ndani kisha tuka hakikisha imetimia na kumuambia atu tenganishie.hela ikapakiwa kwenye briefcase mbili maana moja yangu moja ya mjomba ilibidi tupate lunch mana ilikua mida kama ya SAA 9 ivi.nilishindwa kumficha errycah kwamba yule mgeni wa jana ni mdogo wangu merry.errycah hakushtuka sana zaidi ya kusema "nilihisi ni yeye ila sikua na uhakika"mana alikua mchafu sana.nikamwambia na hizi hela naenda kumnunulia nyumba na Mimi nitaondoka pale kwenu..... "nini uwezi kuondoka pale kama bado hatuja jua ukweli wowote na utaondokaje ? uniache Mimi ? nani atanikuna ? au unaona raha Mimi kufanya mapenzi na baba ? tutaondoka wote baada ya kukamilisha mambo yote na kama tutamkuta na hatia basi tumdoshe chini na aishi kama shetani.mana si kwa madhambi ya baba.ila naomba uniahidi utanioa mana nakupenda sana hata kama sisi ni ndugu naomba tuweke undugu pembeni I love you Kenny..... sawa nilimwitikia kwa kichwa kuonyesha nimekubaliana naye kwa 100% kwamba Nita mwoa ila dhumuni langu ni kuhalikisha maisha yangu yana kaa vizuri.niliemdesha gari mpaka horena hotel na kumkuta merry akiwa amekaa alionekana ana mawazo sana tulipata lunch wote kwa pamoja kidogo alionekana mchangamfu tukiwa pale errycah alipigiwa simu ma mjomba na kutuambiwa tuwahi kutudi anatusubiri sisi ilibidi tufanye upesi nilimwachia hela kidogo merry na kumuahidi kesho nitakufanyia surprise kubwa mdogo wangu. nili mkumbatia na tukaagana ile naelekea kwenye gari nilishangaa kusikia sauti ikiniita alikua ni yule muhudumu niliye sex nae nilimpa ishara Nina haraka Sana na kumwambia atanipigia tuongee vizuri nilitoa gari kwa speed ya ajabu mpaka errycah akaniuliza nani aliye kufundisha Ku drive gari kwa kasi namna hiii.nikamwambia ni utundu tu na kujiongeza tulipiga kona ya kwanza ya pili tulifika nyumbani na kumkuta mjomba akiwa na wasiwasi mwingi tulimpa document zote na hela zake alifurahi sana na kuniambia atanipa zawadi.tuliendelea kupiga story huku tukiangalia mpira ilikua mechi kati ya liverpool na manchester city ambapo liva alishinda 4 kwa 3 nilisikitika sana mana nilikua nashabikia man city kibaya zaidi niliweka mkeka wangu wa 50000 nikaliwa. (ipate simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 500 tu) 0744204283 mjomba aliagiza nikamwite mlinzi kuna maagizo anataka ampe nikatokanje kwenda kumuita nilishangaa kumkuta mlinzi akiwa nje.nilipotoka nje kabisa ya geti nilimkuta yule mdada aliye tufumania kaja kunifata nika mpe dozi naka mwita mlinzi nika mwelekeza anaitwa ndani nikampa ishara yule mdada anisubiri dakika 5.niliingia ndani na kumuomba mjomba ruhusa rafiki zangu wamekuja kunipitia tunaenda kwenye mkesha wa kuliombea taifa litakalo fanyika st peter.kwa sababu mjomba na mambo ya kanisani sukari na chumvi aliniruhisu haraka haraka nika waaga nikaondoka zangu huku nikimwacha mlinzi ndani akiwa anaongea na mjomba.nilifika moja kwa moja nikaingia kwenye gari na safari ya kuelekea kwake ikaanza alikua anaishi masaki ile ile na hapakua mbali na nyumbani kitendo cha dakika 10 tu tukafika kwake.geti lilifunguliwa tukaingia lakini kabla ya kushuka aliniambia utalala mpaka asubuhi kisha Nita kurudisha ilikua nyumba kubwa kama ile ya mjomba kidume nika zama ndani na yule mdada ukimwangalia anacheza kwenye miaka 25-26 ni saiz yangu kabisa. sema kanizidi kidogo tu nilipofika sebreni nilikutana na ma binti wawili akanitambulisha huyu anaitwa rose ni mdogo wangu na huyu ni Dada yetu wa kazi anaitwa tekla.walinipa salamu nikawaitikia kisha aka muagiza yule Dada wa kazi atuandalie chakura kisha akamwambia rose kama umesha kula nenda kalale usiku huu kesho shule. "jamani Dada bado sijamalizia kuandika essay tuliyo pewa leo tuition na kesho wanakusanya"nilipo sikia vile nikajua huyu yupo secondary tena kama sio form 3 basi 2 alafu kulika ana lika kabisa mana ana shepu flani kama la Dada yake nilijikuta namtamani na kujiapiza lazima nimpitie nilisahau kile kiapo nilicho jiapiza.tuliletewa kuku aliye kaaangwa na ka ugali kadogo sikufichi mtu wangu nilishindilia nyama mana kibarua kilichopo mbele yangu kizito huku tukisindikiza na wine. tulivyo maliza kupata dinner wote wawili tulikua kama tume lewa vile tulikokotana mpaka chumbani huku tukiwaacha rose na tekla pale sebreni.yule Dada aliwaambia mkimaliza naomba mkalale na msije mkamwambia shemeji yenu.wote waliitikia kwa pamoja "sawa" tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA (27) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... endelea sasa nilimsogelea yule dada ambae hakunitajia jina lake mpaka mda huu.nika mweka sawa lakini nilishangaa aliziba papa yake kwa mkono kuashiria hayupo teali kwa mechi.nilianza kusikia maumivu kwa mbali akaniambia nimuandae na yeye ili tuienjoy wote nika kubari nikaanza kumnyonya chuchu zake nika mwona anaanza kujikunja kunja kama nyoka anaye vua gamba lake huku akitoa miguno nilishindwa kuendelea kutokana na maumivu niliyonyasikia nilisha ngaa kuona dude likikaka maa nilimtanua mapaja yake na kuanza kupitisha mashine yangu kwenye kitumbua cha bibie “aaaaaaaaaaaah,,,,ssssssssssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiii,,ooooooooh,.,aaashiiiii,,,ashiiiiiiii,,"alitoa miguno kwa sauti hata walio kua nje wanaisiki niliendelea kupampu mpaka bibie akaanza kutoa kilio cha kuonyesha yupo karibu kukujoa “aaaaaahhh,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,nakojoaaaaaaaaaaaaaaa,,"Alitangaza kukojoa ambapo alijinyonganyonga huku akifanya kama anataka kujichomoa mana alihisi moto kwenye kitimbua chake kidume sikujali niliendelea kutembeza dozi tena nika mbananisha kwenye kona ya kitanda mtoto aliendelea kutoa miguno oooooooooohh.......mamaweeeeee........ tupumzikeeee kidogooooooohh aiiiiiishhhhiiii taaaamuuuuuu,......... nilipo taka kuchomoa alinivuta na kuniambia usichomoeeeee endeleaaa nakaribia cha piliiiiii nitiiiiiieeeeee yani kile kidonge safi sana kidume nilikua bado sna hata dalilii nilimpampu mpaka k yake ilikauka majii akaanza kusikia maumivu bahati nzuri niliwaona wazungu wakija nilimwagia humo humo aaaaaaaishhhhiiiiii asante baby......... endeleeaaaaaa........ mzigo hauku lala nilendelea kumpeleka puta tulishtushwa na sauti ya mdogo wake rose ilija kutugongea aliamka yule Dada na kwenda kumsikiliza mlangoni...... "we vipi" ,"dada shemeji kaja yupo getini mlinzi anamzubaisha zubaisha mtoe haraka Huyo mtu," "mungu wangu Fanya haraka mjomba wako kaja nitafanyeje mimi " mda huo pombe zote ziliisha nika okota nguo zangu na boxa nikiwa uchi nilipo toka kwenye korido waliniambia niingie chumba cha rose huku dude likiwa lime kakamaa vile vile lenyewe halijui hatari linataka kitumbua tu. niliingia ndani na kujibanza nyuma ya mlango huku nikiwa natetemeka mana mjomba akinikuta hapa lazima anilambe shamba kwa nje nilimsikia mjomba akionge ongea akielekea chumbani kwa yule mdada kidogo nikawa na amani nikaanza kuvaa boxa yangu lakini sikuweza kutokana na maumivu niliyo yasikia dawa yake nipate show niifanyie kazi kwa bahati nzuri aliingia rose akiwa na daftari zake huku akiwa amevalia kanga moja sikutaka kumlemba nika msogelea na kumwomba tafadhari naomba unisaidie mwenzako nakufa Dada yako kanipa vidonge vya kuongeza nguvu bado ninahamu naomba unisaidie. sikufichi mtu wangu ukitumia vibaya hivi vidonge tuna kuzika.sasa sikia Mimi hiyo shughuli siiwezi mana hapo mpaka ipungue nguvu inabidi uwe umepiga kama bao 5 hivi uko ulipotoka umepiga ngapi nikamjibu moja heheeee leo lazima ufe kwaiyo mda wrote huo umepiga moja izo NNE unimalizie Mimi hata nyege zangu lazima ziishie mwenye bao LA pili njoo unipige izo mbili zitakazo baki utakua pa kuzipeleka usije ukanitoa kizazi Bure...mtoto wa watu. kitendo cha kunipa ruhusa tu lilikua ni kosa kubwa sana ni sawa na nyoka kaku ng'ata alafu unamkanyaga tena mkia nilimsogelea rose kuanza kumpa romance mtoto alikua anamate matamu yule nilizidi kuchanganyikiwa pale nilipo mtoa kanga yake aliyo jifunga mtoto alikua mweupe peeee na chuchu ndogo zilizo simama Dede swali nililo muuliza ushawai Ku sex mtoto alinijibu kwa ishara ndio kutoka na kuzidiwa na utamu wa denda alilegea kama teja aliye piga vitu vyake.nika Pima oil kwenye kitumbua chake na kukuta mtoto kajichafua zamani sana.nikaona ndo mda muafaka wa kutuliza hasira za nyoka wangu aliye pandishwa mizuka na dada yake.nika mnyakua na kumbwaga kitandani huku mtoto akiwa ajielewi kumbe nyege zake ukimpa ulimi tu umesha mmaliza.kika mkunja saba mtoto kisha kitumbua chake kikaja kwa nyumba nakwambia hawa watoto wadogo watamu bwana.ila sikushauli mana mtaanza kuwaalibu bure na kusema tumesoma story ya chas360 imetuambia wadogo watamu LA hasha hii ni stori ya kutunga tu. ok twendelee mzigo ulizama wote tena ndani kulikua na joto balaa lililo nifanya nisikie utamu ambao sikuwai kuupata hapo mwanzo kwa dada mtu nilimsugua taratibu taratibu ili niendelee kuusikia ule utamu na rose akaanza kutoa miguno “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," huku akiibana midomo yake kwa kuusilizia utamu ulivyo kua unapenya kwenye kitumbua chake, macho nayo yalikuwa kama teja mana aliyalegeza huku akiyafumba na kufumbua kwa utamu uliopo kwa mwendo ule ule nilijikuta mashindwa kujizuia na kuanza kucheua kabla yake mmmmmmmmmmmhhhh..............aaaaaaaaaaahhhh........... niliwaachia askari wangu waende kwenye kitumbua cha rose.huku rose akionyesha kufurahishwa kwa kitendo kile na kuanza kuzungusha kiuno chake kidogo kama nyigu nilipiga nje ndani kwa mwendo wa madaha na mtoto na yeye akatoa askari wake ili wakutane wafanye mazungumzo nakojooooooooooooooo........!!!! alishindwa kumalizia sentesi akabaki kimya huku speed ya kuzungusha kiuno ikiongezeka zaidi ya Mara ya kwanza kidume niliendelea na safari ya kulitafuta bao la pili kwa rose.mtoto alionekana kuchoka kutokana na mashine yangu kuonekana ipo imara rose alifulia kimya kama hayupo kwenye mechi nikaaanza kupampu haraka haraka ili kuuwai ute ute ulio kwepo mle ndani usikauke.alizidisha miguno baada ya mashine kwenda kwa speed aaaaaaah....... ooooooohhhh.... aiiiiiiiiiii...... yessssssa......aaaaaaahhhhh woooooww.......lugha zote zilikua zake nilijikakamua mpaka tukafika wote mlima Everest aaaaaaahhhhh......!!!!! “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 01* Sehemu Ya Kwanza (1) KWA UFUPI: Kitendo cha Jerry kuharakisha kazini na kupuuzia hisia za mke wake katika hali ya ubaridi ndio kosa lake pekee, ni kwa wakati huo ndipo Lisa mke wa Jerry alipojikuta akivuta hisia za kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA ili walau atoe mshawasha uliokuwa umempanda asubuhi hiyo iliyokuwa na mvua za rasharasha na kibaridi cha kupuliza., Kitendo chake cha kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA lilikuwa kosa lingne tena . Kwani Lisa anakutana na mimkuno ambayo hakuwahi kukutana nayo hata siku moja katika maisha yake, mavituzi hayo yanamdumbukiza Lisa mzima mzima katika dimbwi zito la mapenzi ya MUUZA MAZIWA na kujikuta anasahau yote kuhusu mumewe(Jerry). Ni nini hatma ya penzi hilo jipya na la wizi lililoibuka ghafla kwenye moyo wa Lisa, na vipi kuhusu ndoa yake na Jerry itaweza kudumu kama tayari iimeshaanza kutafunwa na MUUZA MAZIWA? Ungana na GIFT KIPAPA katika chombezo hii ambayo haita kusisimua tu bali pia kujifunza kitu kilichojificha katika mahusiano ya kmapenzi. SIMULIZI YENYEWE: Mvua kubwa ilinesha usiku uliopita, ahsubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la da es salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe siku kuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki. Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao. “Kidogo tu mume wangu jamani” No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!” Yalisikika mabishano hayo katika nyumba moja ya kifahari maeneo ya kimara Stop over. “jamani mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.” Aliongea kwa sauti nyororo iliyolegea, msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositili maungo yake. Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu. Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu. Mapaja yake laini yaliyo jaa jaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilicho jaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo. Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake, pozi alilokuwa amesimama liyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kweli kweli, makalio yake yallitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo , jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo. Mikono yake ilicheza cheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde. “jamani Honey njoo basi!” Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya , Jerry azidi kupagawa kimahaba, Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake. “Oh, Dear haraka basi!” Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga. “uh!” Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakii gusa gusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suluari lakini lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli. “Ah, honey!” lisa alilalama mara baada ya jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu, midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana, macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake. “ oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!” Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baaaa a kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table. “no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please” ( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezi kunifanyi hivyo mimi tafadhari ) Aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza, alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo. Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapa kazi haswana mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake. Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja. “jamani , honey kidogo tu” Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho. Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake. “mwaa” Alafu akampulizia mkewe. “Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi ) Kisha akatoka nje. “Honey!!” lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile. Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka. ITAITAENDELEA *MUUZA MAZIWA EP 02* Lisa alijitupa kitandani huku akilia. Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa mnyama. Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple. Kama ukishuudia mwenyewe jinsi kitumbua hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote huo bila hata ya kuonja na kukimbilia kuushurutisha mwili wake. Tako lote lile , chuchu zilizosimama na midomo laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa katika kuzungusha nyonga, lakini huyu mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha machozi yabubujike katika mashavu ya mwanamke huyo kwa kukataa kufanya nae mapenzi. “ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?” Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata pale kitandani. “Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba anaumwa?” Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani. Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini kama vilea anengua. “ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote hii” aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa, kubaki peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa huo. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote uliouwa umetanda katika mtaa huo. “fyonz” Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe yalimtosha. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya akereke . “sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda wazimu” Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo muona mtu ametoka na kumpa chombo cha kukingia maziwa. “nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa nachukua mara moja moja.” Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii itadumu masikioni mwake. Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza maziwa nae akaanza kuita. “MAZI….” Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao. “Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa kimya kimya mpaka utupigie kelele!?” Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua kichwa chake aligongana na macho ya Lisa ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau huku akiibenua benua midomo yake. “sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa chuchu na mkamua maziwa ?“ Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho Lisa. Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake ilipotea. “samahani” Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda kwa kasi. Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu zilianza kumwishia miguuni, akaanza kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na haja ndogo. “vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?” Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika. Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kui busu midomo yake. Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa, kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba. “Twende ndani basi” Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu. “Ni huku” Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe. Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake. “Aaaa, assii, muuza maziwa!” Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba. “Aaaa, assii!” Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya aanze kuhema nusunusu. “Utani_uua wee muu…” Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa. “Anza basiiiii…” “Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake” Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network. Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa. “Oh, honey anza basi sweety” Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu. “Auuh, Asii, Muuza maz….” Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa. “Auuh, Taratibu basiiiiii!” Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “Ngo, ngo, ngo” Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana. Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha . Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe? Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa. “Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?” Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa . “ngo, ngo , ngo” Ilisikika tena hodi ya mlango.. Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango. Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda wanacho lala pamoja. “fyouz” Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. ITAENDELEA MUUZA MAZIWA EP 03 ILIPOISHIA….. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. MUENDELEZO WAKE : Mambo yote aliyokuwa akiyafikiria dakika chache zilizopita kuhusu muuza maziwa yalijirudia tena kichwani mwake, na kuushuudia mshawasha ukimpanda tena kwa kasi ya ajabu nukta chache toka hapo Lisa alikuwa hajiwezi kabisa. Alikuwa mahututi kiasi kwamba kama asingelimpata daktari bingwa basi tiba kwake ingelikuwa ni ndoto. “Eti dada hauchukui maziwa niondoke?” Muuza maziwa akamua kuuliza tena swali lake baada ya kuona muda unapita hajibiwi chochote. “Subiri nakuja!” Lisa aliitikia haraka haraka “haraka basi” Muuza maziwa aliongea Kwa kujivuta Lisa aliutupa mto aliokuwa ameukumbatia pembeni na kisha akachukua khanga na kujifunga. “nitamnasa tu!” Aliwaza Lisa huku akielekea nje ya chumba hicho , alipofika kwenye mlango wa kutokea nje aliufungua huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu. “karibu!” Lisa aliongea kwa sauti laini na nyororo yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni. “asante , mh , nimekusubiri sana ujue?“ Muuza maziwa aliongea “Oh pole sana lakini usijali” aliongeaLisa kwa sauti ileile ya kimitego huku macho yake akiyarembua. “ishapoa, nipatie chombo basi nikupimie maziwa basi” Aliongea muuza maziwa huku akimwangalia Lisa kwa jicho la wizi .macho yake yalishindwa kukwepa kuangalia uzuri alikuwa nao Lisa , hasa kwa pigo lake la khanga moja ndio lilizidi kumaliza muuza maziwa. “njoo ndani basi unipimie” Lisa aliongea na kisha kutangulia kuingia ndani, muuza maziwa nae alifuata nyuma na maziwa yake. “funga mlango!” Lisa aliongea na kisha muuza maziwa alifunga. Kwa jinsi Lisa alivyokuwa akitembea basi ndio alikuwa akipoteza kabisa network za muuza maziwa. Makalio ya Lisa yalikuwa yakitisika kila alipokuwa akipiga hatua, Muuuza maziwa alijikuta anatokwa na udenda , Lisa akageuka nyuma ghafla na kumfumania muuza maziwa akiwa ameduwaa kuyaangalia makalio yake, akatabasamu akijua tayari samaki ameingia kwenye wavu, hapo hapo akaitegua khanga aliyokuwa ameivaa na kubaki mtupu kabisa. Muuza maziwa alitoa macho na kujikuta anadondosha maziwa yake chini na kujishika kichwa kwa mikono yake yote miwili. Chupa ya maziwa ilipasuka na maziwa yakamwagika lakini muuza maziwa hakujali. “Ahayaaaaa!!!!!!” Muuza maziwa aliongea kwa kuropoka huku akiwa ameuacha mdomo wake wazi akistaajabu kwa kile alichokiona. Kilichomshangaza zaidi muuza maziwa ni badala ya Lisa kuokota khanga yake na kujistili, alianza kupiga hatua za taratibu akimsogelea huku macho yake yakiwa yamelegea kabisa. “Mwaaa!” Lisa akambusu muuza maziwa shavuni, busu lililomfanya muuza maziwa asisimke mwili mzima na dakika hiyo hiyo mashine yake ilisimama tayari kwa kutandika bakora. Kwa ujasili Muuza maziwa aliunyanyua mkono wake mpaka kwenye shingo ya lisa , ambapo aliuterezesha mkono huo moja kwa moja mpaka kwenye chuchu na kuanza kuzibofya taratibu. “Asssii!” Lisa alilalama pale Muuza maziwa alipozitomasa chuchu zake, huku mkono wake mwingine akiushusha mpaka kiunoni na kuanza kuchezea shanga moja baada ya nyingine. “Aauuuu!!!!” Lisa alilalamika pale muuza maziwa alipombusu kama mfaransa yaani ulimi wake kwenye sikio lake. Na huo ulikuwa mwanzo tu wa vimbweka vya muuza maziwa. Lisa alishakuwa hoi alishindwa hata kusimama vizuri , Muuza maziwa aliligundua hilo akambeba juu hadi sofani., na huku ndiko alikoanza upya manjonjo yake. Alianza kunyonya chuchu za Lisa kwa mdomo wake na taratibu alianza kushusha ulimi wake huku akiuchezesha chezesha kama wa nyoka na kuushusha mpaka sehemu za kitovu. “Assiii!!, we muu….” Lisa alizidi kulalama kwa hisia huku mwili wake wote ukisisimka . Muuza maziwa hakuishia hapo alizidi kuushusha ulimi wake mpaka kunako chumvini na bila kusita aliifakamia chumvi hiyo. “Assii, ahh sisss!” Lisa alizidi kulalama huku network yake ikiwa imekata kabisa msisimko wa kweli ulikuwa umemtanda pale muuza maziwa alipokuwa amemkazia kama vile amempania. “sibakishi kitu leo na hakikisha patupu” Aliwaza muuza maziwa akwa ameshikilia mapaja ya Lisa yaliyokuwa yame jaa jaa kiuakika Nusu saa ilikwisha katika Muuza maziwa bado alikua ajachoma sindano kwa mgonjwa wake “aanz-a , basiii, muuu_za ma….!!”. Lisa aliongea kwa kigugumizi huku akisisimka kwa manjonjo ya muuza maziwa , aliona muuza maziwa anachelewa kuanza dozi , Muuza maziwa hakutaka kuipoteza nukta nyingine tena akaanza kusalula viwalo vyake kwa haraka kama vile anakimbizwa. Kila kitu alitupia kwake , shati huku suruali kule, alibaki na kufuli alipotaka kulitoa tu Lisa alimzuia kwa ishara , Muuza maziwa hakupinga akamuacha afanye atakacho. Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. wa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. MUENDELEZO WAKE : “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. Kwa ghafla Lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza Muuza maziwa kwenye sofa, Muuza maziwa hakuelewa kwanini Lisa amefanya hivyo, akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya , alimwangalia Lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia Muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo Fulani. Muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini Lisa alimsukumiza tena palepale , hakuelewa kwanini Lisa anafanya hivyo , alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata.. Lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu. “Asiiii” Lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa. “asiiii, auh, aauuh!!!” Lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu . Muuza maziwa alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza Lisa alivyokuwa akijipampu. Asiiii” Lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia, taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno. Dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile, Muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake. Akamnyanyua Lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka. “Auuh, taratibu, muu-za ma……..” ITAENDELEA. ... Read More
SHINDU LA KIHAYA-18 ,,,mmmmh,,,aaaaaaaaaaah,,,aashiiiiiiiiiiiiiii,,,aliendelea kulalamika mtoto wa kike ambapo nyege kweli zilimpanda,kujinasua mikononi mwa Mwalimu ilikuwa ni ngumu hasa kwani alilegea mwili wote ,,,sawa,waweza kwenda darasani,nimeacha tabia mbaya,,,aliongea kwa makusudi Hedimasta akitaka kumvalisha nguo Lisa ,,,hapaaanaaa usiniache hivyo,,,kwa sauti ya kelegea kimahaba tena ile yenye uhitaji aliongea Lisa,sura ilikuwa ya huruma sana,yaani hapo huku chini kwenye ndani ya kitumbua chake alihisi kama anawasha balaa hata angewekwa kidole pengine angemwaga Kwa umbo la Lisa,mtu mwenye nguvu hata za wastani anaweza kumbeba kirahisi,ndivyo alivyofanya Hedimasta huyo,alimbeba Lisa akiwa yuko uchi kabisa,Hedimasta mwenyewe dudu lake lilisimama kweli,Lisa alipokuwa akiliona na jinsi alivyokuwa akijisikia nyege basi ndio zilizidi kuongezeka.Kitu kimoja,sio kwamba wanawake huwa hawatamani dudu za wanaume,huwa wanatamani sana,na wanawake walio wengi hupenda dudu kubwa,tena akipatikana mtu anayejua kulitumia vyema ndio kabisa umemaliza kazi,na kama ukitaka kuthibitisha hilo,siku nenda na mschana wako pengine kwa jamaa yako,kisha jamaa yako awe na bukta kisha lile dudu lijichore jinsi lilivyo refu na nene,wewe kuwa makini kumwangalia msichana wako machoni halafu utathibitisha. Hedimasta alipombeba Lisa alimkalsha juu ya meza yake,hapo ni baada ya kusukuma vitabu na nyaraka za Serikali zilizoangukia sakafuni,hakujali hata kidogo.Alimpanua miguu na kuiweka mabegani mwake,ikawa kama inataka kumkaba shingo,mikono ya Lisa ilishika meza,ila mikono ya Hedimasta ilimshika Lisa kiuno chake,huku chini kilibaki kitumbua kikiwa kimelowa utamu Aisee njia nyingine ya kumpagawisha mwanamke kabla ya kuchanganya makongoro ni hiyo aliyoifanya Hedimasta,alilishika dudu lake kwa mkono mmoja kisha akawa anaanzia juu kidogo ya kitumbua yaani kwenye kitobo cha mkojo,kile kichwa cha dudu akawa anakikandamiza huku akikishusha chini taratibu,kilipofika kwenye kiarage mtoto alishtuka na kupiga yowe la utamu,hakuingiza dudu ndani ya kitumbua,akawa anafanya hivyo kwa kurudia,aiseee mtoto wa watu aliweuka kweli kwa utamu,.,,aaaaaaaaaaaaah,,,sssssssssssshiiiiiiiiiiii,,,uuuuuuuuuuuuuh,,,alilalamka hivyo ambapo Hedimasta alichanganua kwenye akili yake na kujua kuwa kilio kile cha mwanzoni ni tofauti kabisa na hiki kwasababu hiko cha mara ya pili ni chenyewe zaidi na kilivutia hisia. Lisa alipata shida kwani alikuwa anataka aingizwe dudu na Mwalimu haingizi ila anakisugua kiarage kwa nje ,,,unanitesa jamaniiii ingizaaaa yoteeee,,,aliongea kabisa Lisa ambapo Hedimasta alipokichusha kichwa cha dudu chini na kulenga mlango wa kitumbua,taratibu alilisukuma kwa ndani,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,ssssssssssssssssssssh,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika Lisa kwa utamu ambapo Mwalimu alilizamisha dudu lote na kuanza kupampu kwa hisia. Unafikiri Lisa alichelewa basi!,mapigo thelathini ya haraka haraka mtoto alikojoa bao lake na kumganda mwalimu wa watu,baada ya hapo alianza mauno yake ya kichokozi,kwanza hakukubali kuwekwa kwenye meza,alimganga mwalimu mpaka akanyanyuka naye,mwalimu kwa kumkomoa na kumpagawisha zaidi alimpeleka kwenye kona na kumbananisha hapo,e bwana kumbe hakufanya kitu mtoto alimkatikia mauno ya nyege mpaka mwalimu akaanza kuona joto la mwili linapanda,utamu ulipanda mpaka akajikuta anamwaga bila kutarajia maana mtoto alikuwa hafai kwa mauno sumu Mwalimu wa watu alikojoa bao lake ambapo ilibaki kidogo amdondoshe Lisa kwa kunogewa utamu,baada ya hapo sasa kila mmoja akawa hana abu na mwenziye,Lisa ndio kabisa hakumwangalia kama Hedimasta,alimwona ni mpenzi wake ambaye anaweza kumfanya lolote.Basi kwa adabu mbaya ya mahaba,Lisa akamshika tako Hedimasta,kidume unafikiri kulipiga kelele wala kuwaka,kilipotezea na kucheka tu. Siku hiyo aliyeshtukia mchezo alikuwa ni sekretari maana ndiye aliyemtetea sana Hedimasta pale alipohisi hali ya tofauti juu ya walimu waliokuwa wana shida naye.Kweli hakuna hata walimu waliojua ila yeye pekee alielewa kila kilichokuwa kinafanyika.Kuna muda hisia chafu zilimjia kichwani lakini alizipinga kwani hapakuwa mahali pake sahihi pa kuziruhusu. Yule mama jirani aliyesuguliwa na Alex ambaye kwa jina alijulikana kama Agnes,alikuwa akimuinjoi mumewe alipokuwa akimuhoji kuhusu jeraha lilipo kwenye paji la uso wake,alijua tu mumewe ndiye aliyekuwa akipiga chabo siku ile,cha kushangaza hakushtukia kitu chochote.Tabu ya kumsaliti mpenzi wako iko hivi,na ndio itakayokufanya ujulikane mapema,kwa mfano Angesi alikuwa mtu wa kulazimishwa sana Sex kutoka kwa mumewe,na akipewa huwa anashukuru sana kwasababu jamaa huwa anajisahau muda mwingine kazi nyingi,tangu apate kitu cha ukweli hakuwahi kumsumbua tena mumewe,sasa hiyo humpelekea mumewe kuanza kuhisi tofauti. Hassan alikuwa amemfanya Agnesi kama chakula chake,ndani akawa hapiki tena,analetewa chakula kuanzia cha asubuhi,mchana na jioni,na mara nyingi akilete cha mchana huwa lazima asuguliwe ndio aondoke hawezi kuachwa hivihivi,na alivyokuwa mtundu wa kupika,Hassana alikamatika hasa ndio maana wanasemaga mwanamke mapishi bwana. Ilipita kama mwezi mzima hivi,Hassana akiendelea kumsugua Agnesi.Siku hiyo akiwa amelala hana hili wala lile,asubuhi hodi ilibishwa mlangoni kwake.Hassan alijua tu ni yule mama ndio anabisha maana ni kawaida imeshakuwa,,,,INAENDELEA SHINDU LA KIHAYA-19 Ile kufungua mlango,alimkuta mtu tofauti kabisa na hakutegemea,yeye mwenyewe alihamaki kwanza kwani mtoto alikuwa mzuri usipime, ,,,mambo vipi,,,alisalimia Hassan ,,,safi,,,alijibu mtoto huku akitabasamu ,,,karibu ndani,,,alimkaribisha kwa sauti fulani ya kukoroma ,,,ahsante,,, Hassan alihisi kama ngekewa,hapo alikuwa ndani ya pensi fulani ya kijanja na vesti yake zinazotaka kufanana rangi,mtoto alipita mpaka ndani bila uwoga wowote na kwenda kukaa kwenye kochi. Hakuwa mwingine,alikuwa ni Lisa.Hassan hakujua kuwa huyo ni mtoto wa mama ambaye anamsugua na kumweka mjini,tayari alishamtamani kwanza,Lisa mwenyewe alivyovaa likuwa ni utata tupu,alivalia gauni fulani lililomwishia juu ya magoti,lilimbana na kumchora umbo lake vyema la kimahaba,hapo kifuani mwake ni kama hakuvaa kitu ndani maana Chuchu zilichomoza na kuhamasisha hasa. ,,,najua hunijui ila napaswa kukuita baba,,,alisema Lisa ,,,kwanini unasema hivyo,,,aliongea Hassan huku akiweka tabasamu usoni ,,,mi mtoto wa Skola,,,alijitambulisha,hapo ndipo akili zilimjia vizuri na kumwangalia vyema,picha alikuwa ameshaonyeshwa lakini hakutegemea kabisa kukutana naye kwenye mazingira hayo,hivyo alimkumbuka ,,,mmmh,ngoja nimuulize kwanza,,,aliposema hivyo alichomoa simu na kujifanya kama anataka kumpigia ,,,hapana usifanye hivyo,ye hajui mi niko wapi,,,aliposema hivyo Hassan aliaghirisha zoezi hilo,tena aliposikia kuwa mama yake hajui kama yuko hapo,ndio moyo ulifurahi kabisa na kuhisi anaweza kufanya jambo Hassan alianza kujihangaisha huku akichangamka hasa kwani Lisa alikuwa sio mchezo,ushawishi wake ni hatari sana.Kwanza alipokaa tu kwenye kochi yale mahipsi yake yalitanuka zaidi halafu tumboni flati,kifuani ndio usiseme.Haraka kidume kilikwenda kutafuta supu na chapatti.Lisa hakujivunga,alikunywa vyema kisha akashushia na soda ya baridi. Musa,rafiki yake kipenzi na Hassan,ambaye ni mzito sana kwenye suala la kuongea na wasichana yaani kutongoza.Aliingilia kati mchezo na kumkuta Lisa ndio anamalizia chakula,baada ya kusalimia Musa,alikaribishwa chakula ambapo kwa sura ya upole alijibu ameshiba.Moyoni Hassan alikasirika ujio huo wa Musa ila kwa nje alionyesha kufurahi. Hassan hakufanya hata utambulisho kwa jinsi alivyo na roho mbaya,kila wakati macho ya Musa yalikuwa kwenye mapaja mazuri yaliyonona ya Lisa,yaani aliyatolea macho ya matamanio yale ya waziwazi kabisa.Lisa alijua kabisa wakati anayopitia musa hata Hassan,kwa makusudi Lisa alimkonyeza Musa,e bwana mapigo ya moyo yalianza kumwenda mbio Musa mpaka alipoongeleshwa na Hassan alijikuta akishindwa kutamka maneno vyema. Alichokifanya Hassan ili kuendeleza harakati za kumvutia mtoto kwenye box.Alimtoa nje Musa na kuanza kumpanga,Lisa naye kwa umbea alijivuta mpaka usawa wa mlango ili kusikiliza ,,,sikia,we hujui kuongea,potea kabisa eneo hili,chukua hii buku tano,,,Hassana alisema hivyo ,,,kaka lakini mbon amenipenda bwana,,,alijibu Musa na kutaka kurudi ndani,kwa kukonyezwa alishahisi kitu.Hassana alicheka kwa nguvu kabisa kisha akarejea ile sauti yake ndogo ,,,una kichaa wewe,mtoto mzuri huyu utampa nini,,, ,,,sa sikia,kila siku mi unaniona mjinga sijui kutongoza,acha niende ndani nikaongee naye,nikishindwa kutoka naye,mi nitaondoka,,, ,,,poa nenda,,,kwa Dharau Hassana alijibu hivyo ambapo alijua Musa hata angeenda kuongea nini asingekubalika. Kiukweli hata dakika haikupita,Musa alitoka na Lisa nje tayari kwa kuondoka,walimkuta Hassan nje kisha Lisa ndiye aliyeaga ,,,baba natoka kidogo,ili mradi nimeshapajua nitakuwa nakuja,ahsante kwa supu,,,kauli hiyo ilimpa wakati mgumu Hassan kujibu lakini alijikaza sana ,,,sawa,lakini mbona unawahi sana jamani,ngoja niwasindikize,,,alisema hivyo na kumkata jicho la husuda Musa aliyekuwa akikenua meno nje kumcheka ujinga Basi wakaanza safari wote watatu,walivyojipanga tu ilikuwa maumivu kwa Hassan,yaani mtoto sijui alipenda nini kwa Musa ghafla.Akajikuta anamshobokea jamaa ambaye hata hawezi kutongoza.Lisa alkuwa pembeni kabisa akiwa ameshikana mkono na Musa,Hassan alimfuatia musa,basi hapo Musa tayari dudu lilishasimama kushika mkono tu ,,,sio mbali sana,,? ,,,hamna ni bajaji tu tunafika,,, ,,,pasiwe mbali bwana,,, ,,,usijali muda si mrefu tutafika,,,maongezi hayo kati ya Musa na Lisa,yalimchoma moyo moja kwa moja Hassan na kumfanya awe kama mtu anayetaka kulia.Alitamani aichukue elfu tano yake aliyompa Musa ili aondoke,matokeo yake elfu tano hiyo ndio ilitumika kumsafirisha Lisa mpaka kwenye gheto la Musa Roho ilimuuma kumwona Lisa na umbo lake tamu kupanda bajaji na kuelekea gheto kwa Musa ila hakuwa na jinsi,mtoto alijituliza kwenye bajaji,mara amshike bega na kuegemeza kchwa chake,mara washikane mikono ndani ya bajaji ilikuwa raha tu kwa Musa,kiukweli Musa alikuwa ndotoni kabisa. Walipofika gheto ndio kabisa hakuamini,sasa kwa Musa ilikuwa ni tofauti,alikuwa anakaa kwenye nyumba fulani kubwa peke yake,aliachiwa na mjomba wake akae kwani mjomba huyo hakuwa na haraka ya kuhamia kwasababu anafanya kazi mbali kidogo.Nyumba ilkuwa na kila thamani ndani yake,Lisa mwenyewe alipapenda ,,,nyumba yako nzuri,,,alsifu Lisa ,,,kama wewe ulivyo mzuri,,,alijishangaa kufungua kinywa na kusema hivyo Musa ,,,mi mzur kweli,,? Alihamaki Lsa kwa makusudi ,,,kweli,hilo la kuuliza jamani,,, ,,,nihakikishie kamani mzuri,,,aliposema hivyo ndio alizua balaa mtoto wa kike,maana jamaa mwenyewe alikuwa na Ugumu hasa,,,ITAENDELEA KESHO SHINDU LA KIHAYA-20 Lisa alimsogelea mpaka kwa karibu,aliubana mdomo wake wa chini na meno kisha taratibu aliuachia huku akiupeleka mdomoni mwa Musa,masikini Musa wa watu alikuwa hajafanya mapenzi kitambo,alisisimka mwili mzima na kujikuta akilegeza mdomo wake bila kutarajia. Mtoto wa kike alifumba macho kuvutia utamu ambapo mikono yake taratibu aliipitisha shingoni kwa Musa,yaani midomo ilipogusana,Musa alijihisi kama anapaa,kule kusogeleana mpaka kugusana kabisa ndio ilimaliza kila kitu,mikono ya Musa ikawa inatalii kwenye kiuno cha Lisa taratibu bila shaka. Lisa akawa anamshikashika kimahaba kichwani Musa wa watu ambaye denda liliendelea,ndani ya mdomo mtoto aliuzungusha ulimi ipasavyo na kumsisimua kweli Musa.Kidume kilimwaga pale ambapo mikono ya Lisa ilishuka mpaka kiunoni mwake na kuingia ndani ya shati,ikawa kama inamkunakuna kimahaba,aisee kuna wanaume wengine huwa wanapagawa sana ukiwashika migongo,Musa alimwaga ambapo Lisa alishangaa kidume kikijihangaisha na kuzidisha nguvu za kumkumbatia,akajua tu kijana wa watu amemwaga. ,,,pole Musa wangu,,,kwa sauti ya chini sana,kuliko kawaida aliongea Lisa ,,,ahsante,,aliitikia kidume huku akijishtukia Lisa alimvuta Musa taratibu na kumtupa kwenye kochi.Akamfuata na kuanza kumvua shati na vesti yake,alipomaliza hapo alipiga magoti kama mtumwa anayetaka kuomba msamaha kwa bwana wake baada ya kukosa,kumbe Lisa ndani ya gauni yake alivaa chupi pekee tena bikini,basi mtoto kwa taratibu alijivua gauni lake na kubaki na bikini tu,mapaja yake manono sasa!,yalionekana laivu bila chenga,hapo kiunoni,kitovu kizuri kilichoingia ndani,rangi adimu aliyonayo Lisa vyote vilimfanya Musa ajione kama yuko ndotoni,hakujion akuwa anastail mtoto mzuri namna hiyo kumsugua. Alipomaliza kuvua gauni lote na kulitupa pembeni,alitembea kwa magoti na kuingia katikati ya mapaja ya Musa,taratibu bila pupa limfungua mkanda na kuishusha suruali,alipoivuta tu na kufika magotini,alijifanya ameshtuka jambo ,,,aaaah!,jamani umemwaga,,!,alishangaa hivyo akiwa anatabasamu Musa na uwoga wake alishindwa hata ajibu nini,alibaki kimya kama mzimu huku akitabasamu. Ni kweli Musa alikuwa hajui kuongea lakini sio kwamba ukimwonyesha shimo hajui kuchomeka,japo alimwaga,lakini dudu liliendelea kusimama,hapo lilikuwa ndan ya Boksa,Lisa alishusha ile suruali mpaka chini kabisa,alipoivua yote,sasa akawa anahema kuliangalia dudu la Musa lilivyotuna kwenye boksa yake,tena lilikuwa kama lnapumua vile ndani ya boksa. Alilegeza mdomo mtoto wa kike na kujaza mate ya kutosha,aliusogeza mdomo wake mpaka kwenye mtuno huo wa dudu,mtuno wenyewe ulionyesha dudu limeelekea kushoto,basi alitoa ulimi wake na kuanza kulifuatisha mpaka kwenye kichwa cha dudu hilo,,,aaaaaaaaaaaah,,,aliguna Musa ambapo mtoto alikiingiza kile kichwa mdomoni kikiwa vilevile ndani ya boksa akawa anafanya kama anakipumulia ile hewa ja moto mdomoni,Musa alijihis raha mpaka kuinua sura yake juu kwa utamu Taratibu alianza kuivua boksa yake mpaka chini kabisa,dudu la Musa liliachwa huru sasa liknesanesa,halikuwa imara sana,basi Lisa akaanza kazi ya kulifanya lwe imara ili miguso mnato ianze,aliutoa ulimi wake nje kama nyoka vile,alikuwa akucheza juu chini haraka haraka,alipokigusa kichwa cha dudu kwa staili hiyo,Musa alianza kuguna tu kwa utamu,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,ssssssssssssssssss,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,alilalamika Musa wa tu huku dudu lake likishughulikiwa kile kichwa tu,Lisa alipoona kdume knapagawa,aliliingiza lote mdomoni,alilizungusha na kulitekenya na ulimi wake hasa kwenye kichwa kile,Musa mwenyewe alishindwa hata kukaa vizuri kwenye kochi. Mikono yake laini Lisa aliipeleka mpaka kwenye kende na kuanza kuzitomasatomasa,nyege zilimpanda Musa mpaka akachanganyikiwa kabisa,dudu lilidinda vyema kiasi kwamba hata kurudi chin halikurudi,lilinesa lakini juu kwa juu.Hapo tena Musa hakufundishwa kitu.Alimshika uso Lisa kama anataka kumpiga kisha akaanza kumnyonya denda huku akimwinua taratibu. Dudu lake bado lilisimama hasa kama kijiti kilichochomekwa ardhini.Alimshika kiuno Lisa na kumvutia upande wake,mtoto naye alijilegeza hasa,Musa aliivuta ile bikini na kuikata mikanda yake kisha kuitupa kule,aliyavamiwa matako laini ya Lisa na kuanza kuyaminyaminya kama anachagua nyanya sokoni,,,,aaaaaaaaaaaah,,,bebiiiiiiiiii aaaaaaaaaaah,,,alilalamika Lisa ambapo ni kama alikuwa akmpandisha mizuka Musa. Bila ya kuambiwa Lisa mwenyewe,alijipanua mapaja na kujiandaa kukalia dudu la Musa lililosimama hasa,Musa aliliandaa lile dole la kati ambalo wengi huliita la matusi kisha akalipenyeza kwenye kitumbua cha Lisa na kuanza kumtekenya kiarage chake kilichosimama,,,aaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,musaaaaaaaaaaaaaaaaa,,aaaaaaaaaashiiiiiii,,,oooooooouuuuuh,,,eeeuuuuuuuuuwii,,,mtoto alilalamika kwa utamu mpaka alitia nyege tena.Basi Musa alipokuwa akimchezea kiarage chake,akawa anakishusha kidole chake chini taratibu huku akijua chini kuna dudu limesimama,naye Lisa alikuwa akikifuata kidole taratibu kwa alihisi utamu alipokuwa akitenywa kiarage chake,ilifika muda Lisa alishtuka na kupiga yowe la utamu,pale dudu la Musa lilipogusa mashavu ya kitumbua,,,aaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiii,,,taratibu mpenziiiiiiiii,,,,,INAENDELEA ... Read More
Story - - - - - NI WEWE TU PENINA. BY GIVAN IVAN PHONE & WHATSAPP____0769673145 Karibuni tuianze story yetu hii mpya yenye kusisimua iliyojaa visa mbali mbali kuhusu mapenzi. Sehemu ya kwanza (1) Mapenzi ya vijana wawili walionza kupendana toka wakiwa wadogo mpaka Sasa wakiwa na umri wa miaka 25 kila mmoja, yalikuwa yakizidi kukolea kila siku na kuwa matamu zaidi na zaidi. Vijana Hawa ni Frank pamoja na Penina. "nahisi kuvurugwa nahisi kufa kufa yaani najiona kama napepea juu juu kwa jinsi navyompenda mpenzi wangu Penina." alikuwa frank akiongea maneno hayo mbele ya wazazi wake pamoja na mdogo wake Wa kike aitwaye Angel. "na siku si nyingi utakuwa chizi wewe sio kwa kupenda huko kaka yangu." akaongea Angel kumuambia Frank. "acha niwe chizi tu mdogo wangu, lakini sio chizi wa kutembea uchi barabarani bali chizi wa kupenda." akaongea Frank maneno hayo na kuwafanya wazazi wake wacheke sana. "lakini mwanangu Sasa inabidi mfanye taratibu mfunge ndoa Sasa." aliongea baba yake Frank. "Hamna shida baba usijali yote hayo yatafanyika muda mfupi ujao. " Akaongea Frank ambaye muda wote furaha ilijaa usoni mwake. *wakati huo huo Penina mpenzi wake Frank naye alikuwa katika moja saloon akitengeneza nywele zake ikiwa ni maandalizi ya kwenda kukutana na mpenzi wake Frank. " Dada nitengeneze vizuri tafadhali maana napenda muda wote niwe navutia mbele ya mpenzi wangu." aliongea Penina kumwambia mwanadada aliyekuwa akimtengeneza nywele. "usijali dada nitakutengeneza vizuri mpaka mwenyewe ufurahi." Dada yule akamjibu Penina na kumfanya atabasamu. Baada ya dakika kadhaa Penina alimaliza kutengenezwa nywele zake na moja kwa moja akazama kwenye pochi yake na kutoa simu yake, kisha akatafuta Jina lililoandikwa my love Frank na moja kwa moja akazipiga namba hizo. * Frank akiwa bado anaongea na wazazi wake ghafla simu yake ilianza kuita, akatoa na kuangalia mpigaji ni Nani. Frank alianza kutabasamu baada ya kukuta mpigaji ni Penina kipenzi cha moyo wake. "haloo mke wangu mtarajiwa mambo vip?" akaongea Frank baada ya kupokea simu. "poa tu mpenzi wangu nimekumiss hadi nahisi kizunguzungu." akajibu Penina. "Asante mpenzi wangu yaani kuachana Jana tu ndio kunimiss hivyo?" " yeah nimekumis sana hebu jiandae nakupitia Sasa hivi tukale bata kidogo. " akaongea Penina kumwambia Frank. " waoow ok najiandaa Sasa hivi utanikuta tayari my love." akajibu Frank na simu ikakatwa. Frank aliwaacha wazazi wake pale sebuleni kisha yeye akaenda kujiandaa kwa ajili ya kutoka na mpenzi wake. Penina naye baada ya kukataa simu aliingia kwenye gari yake nyeupe aina ya rava4 na kuanza kuelekea nyumbani kwa Frank. Tumfahamu Penina vizuri. Penina ni mwanamke mrembo sana aliyebarikiwa na Mungu kuwa na kila kitu kizuri katika mwili wake. Popote pale Penina alipopita aliacha gumzo kwa wanaume ambao walikuwa wakimmezea mate. Penina ametoka katika familia ya kitajiri yenye watoto watatu, wawili wa kike na mmoja wa kiume ambao ni Nolan, Penina na Irene. Penina amefanikiwa kusoma mpaka elimu ya juu kabisa na kufanikiwa kuwa mfanyabiashara mdogo anayechipukia kwa kasi sana. Penina alianza uhusiano wa kimapenzi akiwa kidato cha tatu, na alianza uhusiano na kijana aliyeitwa Frank ambao mpaka Sasa wapo pamoja. Lakini kitu kimoja ambacho kanalitia dosari penzi tamu kabisa la Penina na Frank, ni baba yake Penina kutopenda mwanawe aolewe na Frank. Baba yake Penina hakutaka kabisa mtoto wake aolewe na Frank, yeye alitaka mtoto wake aolewe na mzungu kutokana na uwezo wao wa kipesa. Mama yake Penina pamoja na Nolan kaka yake Penina ndio Watu pekee waliokuwa wanayaunga mkono mapenzi ya Penina na Frank katika familia yao. Lakini Irene mdogo wake Penina pamoja na baba yake Penina ndio watu pekee ambao walikuwa hawataki kabisa kuyaona mapenzi ya Penina na Frank yakiendelea. * Frank yeye anatoka katika familia yeye hali ngumu kimaisha, hawakuwa na uwezo hata wa kuwa na nyumba nzuri kama wenzao. Frank aliishia kidato cha pili kutokana na wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumuendeleza zaidi. Kadhalika pia Angel mdogo wake Frank naye aliishia darasa La saba kutokana na Wazazi wao kutokuwa na uwezo wa kuwaendeleza zaidi. * Baada ya dakika kadhaa Penina aliwasili nyumbani kwa kina Frank, akapaki gari yake pembeni na kushuka Kisha akaingia katika nyumba ya kina Frank ambayo ilikuwa imechoka Sana. "waoow mkwe wetu karibu Sana." mama yake Frank ndio alimpokea Penina kwa furaha Sana. "Asante Sana mama yangu nimekaribia." akajibu Penina huku akiketi pembeni ya mama yake Frank. "eeh mwanetu lete habari." akaongea mama yake Frank. "Sina hata mpya nimekuja kumchukua mtoto wenu." akajibu Penina. Na Muda huo huo Frank akajitokeza akiwa tayari ameshajiandaa. Licha ya umaskini uliopo katika familia Yao, bado Frank alijitahidi Sana katika kuupendezesha mwili wake ili aweze kuendana na mpenzi wake Penina ambae Muda wote alikuwa mtu wa kupendeza tu. "waoow my love mwaaa." Penina ndio alinyanyuka na kumkumbatia Frank na kumuachia busu Zito la shavu. Frank naye hakuwa nyuma alimpokea mpenzi wake kwa furaha pia. Penina pamoja Na Frank waliaga na kutoka nje, wakaingia kwenye gari na kuondoka. "tunaelekea wapi Sasa mpenzi wangu?" akahoji Frank. "surprise my love sikuambii tunaelekea wapi." Penina akamjibu Frank huku akitabasamu. "haya bhana bas nafunga macho mpaka tufike." akaongea Frank na kumfanya Penina azidi kutabasamu.* Katika bar moja iliyopo maeneo ya sinza kikao kimoja kilikuwa kikiendelea, na huku kilichokuwa kikipangwa Katika kikao kile ni namna ya kulivunja na kuliharibu penzi la Penina na Frank. Mzee Joel ambaye ni baba yake Penina, pamoja na Angel ambaye ni mdogo wake Penina pamoja na vijana wengine watatu wa kiume na mmoja wa kike, ndio waliokuwa wahusika wakuu wa kikao kile. .... Itaendelea ... Read More
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na tatu (13) Ilipoishia....... Mzee Joel ndio hakuamini baada ya kuingia ndani na kukuta vijana wote wamelazwa chini alafu kidogo hivi akatokeza Nolan akiwa amepigilia suti nyeusi Kisha akamwambia baba yake ambaye ni mzee Joel, "naenda kwenye kikao cha harusi ya Penina na Frank na kama utahitaji kadi unijulishe nikuletee ya kwako." ***********Endelea ********* Nolan baada ya kumuambia baba yake maneno hayo aliingia kwenye gari na kuondoka. Nolan alifikia sehemu ambayo ilikuwa maalumu kwa ajili ya kutengeneza kadi za harusi. Nolan alitengeneza kadi za harusi zisizopungua Mia moja hamsini kwa ajili ya harusi ya Penina na Frank. Kadi hizo hazikuwa za kuchangia harusi ya Frank na Penina bali kadi za mualiko. Nolan alijipanga kusimamia kila kitu Katika harusi ya Penina na Frank hivyo yeye alitengeneza kadi ambazo ni kama kiingilio cha kuhudhuria harusi hiyo bila kuchangia chochote. Nolan baada ya kukamilisha zoezi la kutengeneza kadi zile akaanza kutafuta ukumbi Mkubwa wenye hadhi ya kufanyia sherehe ya harusi ya Frank na Penina. Nolan alifanikiwa kuupata ukumbii ambao aliuhitaji na baada ya hapo Nolan akaanza kuzigawa kadi zile kwa watu mbali mbali ikiwemo na marafiki pia. Nolan moja kwa moja aliwasili nyumbani kwa kina Frank na kuwakuta Wazazi wake Frank ambao walimpokea kwa furaha Sana. "kikubwa kilichonileta hapa ni kuhusu harusi ya mtoto wenu Frank pamoja na mdogo wangu Penina, napenda kuwaafahamisha kuwa taratibu za harusi ya ndugu zetu hawa inaendelea vizuri na hapa nimewaletea kadi za mualiko." alianza kuongea Nolan baada ya kukaribishwa ndani na Wazazi wake Frank huku akiwakabidhi kadi zile Wazazi wake Frank. "Asante Sana kijana wetu na hongera Sana kwa hapa ulipofikia Mungu azidi kukusimamia zaidi na zaidi." wakaongea Wazazi wake Frank huku wakimshukuru Sana Nolan. "msijali Sana hii kazi ilikuwa lazima niifanye na lazima nitaitimiza, na kingine ninachotaka kukifanya kwa Sasa nataka niwahamishe hapa nyumbani kwenu niwapelekee sehemu mkakae hapo kwa siku kadhaa mpaka pale harusi ya mtoto wenu itakapokamilika, nafanya hivi kwa sababu ya usalama wenu kwasababu kuna vita kubwa inaendelea. " akaongea Nolan na kutoa maelezo hayo ambayo Wazazi wake Frank walikubaliana nayo bila wasi wasi wowote. Wazazi wake Frank pamoja na Mdogo wake Frank walijiandaa na kuondoka na Nolan ambaye aliwapeleka Katika hotel moja iliyopo nje kidogo ya jiji la dar es salam na kuwataka wakae hapo kwa wiki tatu kabla ya harusi ya Frank na Penina na gharama zote atazisimamia yeye Nolan. Nolan baada ya hapo alishika njia ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kwenda kupumzika kidogo. * Dickson aliwasili Tanzania kwa Mara nyingine tena Ila awamu hii alikuwa na vijana wake wanne alioongozana nao. Baada ya kuwasili uwanja wa ndege moja kwa moja Dickson pamoja na vijana wake walichukua gari ndogo na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwa mzee Joel.* Mzee Joel alizidi kuchanganyikiwa baada ya kumaliza siku ya pili Sasa bila kumuona Penina na wala hajui ni wapi Penina alipo. Jambo hilo lilimvuruga Sana mzee Joel na kumfanya ashindwe hata kula chakula anachopikiwa na mkewe. Mzee Joel pia aliweza kuwasiliana na mkuu wa kikosi cha the killer na kumueleza jinsi vijana wake walivyoshindwa kuifanya kazi waliyoagizwa na kujikuta wakipokea kichapo kikali kutoka kwa Nolan. Mkuu yule wa kikosi cha the killer aliyejulikana kwa Jina la buffalo alipigwa na butwaa baada ya kupewa taarifa zile na mzee Joel. buffalo hajawahi kuamini kama kuna mtu yoyote anayeweza kupambana na vijana wake na akawaweza, hivyo taarifa zile zilimshangaza Sana. Buffalo akaamua ni lazima amjue huyo kijana ni nani aliyeweza kuwatandika vijana wake. "mzee hiyo kazi niachie mimi nitapambana nae mwanzo mwisho." akaongea buffalo kumwambia mzee Joel. Mzee Joel aliweza kumuelewa buffalo na kukataa simu na kumsubiri buffalo aingie kazini mwenyewe kwasababu yeye ndio mtu pekee Sasa aliyebaki wa kumtegemea. Dakika chache baada ya mzee Joel kuongea na buffalo, mzee Joel alipata taarifa kuwa kuna wageni nje wanahitaji kuonana na yeye. Mzee Joel alitoa ruhusa wageni hao wakaribishwe ndani. Kitendo bila kuchelewa wageni wale walifunguliwa geti na kukaribishwa mpaka ndani. Mzee Joel alishtuka baada ya kuona ugeni wenyewe ni wa Dickson pamoja na vijana wake wanne. "karibuni karibuni Sana." akaongea mzee Joel huku akijaribu kujichekesha japo hakuwa na amani hata kidogo. "hatuna haja ya kukaa mzee Joel, tumekuja kumchukua Penina nataka kujua kama inawezekana au haiwezekani?" akauliza Dick huku akionesha dhahiri kupandwa na hasira. "inawezekana kijana wangu tafadhali kaeni kidogo bas." akaongea mzee Joel kwa upole. "nimeshakuambia hatuna haja ya kukaa sisi tumekuja kumchukia Penina tu." akaongea Dick kwa msisitizo. "kijana wangu Dick naomba nipe muda wa siku mbili tu nitakuwa tayari nimeshakamilisha hili swala." akaongea mzee Joel kuwaambia wakina Dick. "Mzee umenipotezea Muda na umekula pesa zangu nyingi Sana, Sasa naondoka na kesho nitarudi unikabidhi Penina la sivyo pesa zangu utarudisha na utalipa Muda wangu nilioupoteza kwa ajili yako." akaongea Dick kwa jazba na kuondoka pamoja na vijana wake na kumuacha mzee Joel akitokwa na jasho jembamba. Baada ya dakika chache wakina Dick kuondoka Nolan naye aliwasili nyumbani na kumkuta baba yake akiwa na mawazo tele huku pembeni akiwa chupa ya pombe kali. "Baba shikamoo" akasilimia Nolan lakini alijua baba yake hataitikia salamu yake. Mzee Joel kweli hakuitikia salamu ya Nolan alibaki akimtizama tu kwa hasira. Nolan naye hakujali alitoa kadi tano za harusi ya Penina na Frank na kumwekea baba yake kwenye Meza iliyokuwa mbele yake. "karibu Sana Katika harusi ya Penina na mpenzi wake wa Muda mrefu Frank, wewe pamoja na rafiki Zako mnakaribishwa. " Nolan ndio alimwambia baba yake mzee Joel baada ya kumuwekea kadi zile kwenye Meza iliyokuwa mbele yake, Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. ............ Itaendelea ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: