Home → simulizi
→ SIMULIZI FUPI: USIKU USIO NA JINA
NDEGE wa angani pekee nd’o walikuwa wakiendelea kulipa uhai anga lililotanda kwa giza nene huku nyota zikishindwa kufua dafu katika kuileta nuru. Anga lilipoanza kutoa miale mikali inayong’ara, ndege walivikumbuka viota vyao na makundi kwa makundi walitoweka anga ikabaki katika hali ya upweke, miale mikali pekee nd’o uhai mdogo uliosalia.
Miale hiyo haikuishia kuleta uhai katka anga pekee, bali ulimurika pia katika chumba kimoja ambacho kilikuwa kimekaliwa na mwanamke. Alikuwa amevaa nguo za kulalia, macho yake yakiwa makavu. Taa ilikuwa imezimwa hivyo ule mwanga ukaibua undugu kati ya macho na sasa.
Ilikuwa yapata saa tisa usiku. Yule bwana aliyemuoa kwa mbwembwe zote na mapenzi miaka miwili iliyopita alikuwa hajarejea nyumbani bado.
Ni kweli alikuwa ameanza tabia za kuchelewa nyumbani lakini siku hii alipitiliza.
Mwanamke akakunja uso wake kwa uchungu mkuu, akajiziba na viganja vya mikono yake. Akatambua kuwa amebanwa na donge la hasira kooni na hawezi kulihimili mpaka atoe kilio. Hapo akaamua kutimua mbio kuelekea chumbani kwake. Akafika akaduwa chumbani kwake huku akitiririkwa na machozi. Akaliendea kabati la nguo ili aweze kuchukua kitambaa atumie kukabiliana na machozi yale.
Mara paah! Kikaanguka kitu kikilia mfano wa sarafu, akainama kutazama ni kitu gani. Hofu ikazidi kutanda.
Ilikuwa pete ya ndoa, pete ambayo kwa mikono yake alimvisha mume wake wakati wanaamuriwa kuwa mume na mke. Pete hiyo imetolewa kidoleni sasa na kufichwa kabatini. Hapa uvumilivu ukamshinda akakimbilia kitandani, akajirusha na kuanza kugalagala huku akilia kilio cha uchungu mkubwa, lakini alijitahidi sana kuizuia sauti ile isipenye na kukifikia chumba kilichokuwa kinafuata, kwani hakutaka huyo mtu katika chumba kile aweze kutambua kuwa alikuwa katika kulia.
Kilio hiki kilikuwa na mengi ndani yake, alijiuliza iwapo huo nd’o ulikuwa uhitimisho wa safari ya ndoa yake, alijiuliza kama hiyo ni talaka alikuwa ameandaliwa kwa vitendo. Kama sio kwanini aitupe pete yangu humu, kwanini anachelewa kurejea nyumbani? Alijiuliza bila kupata majibu.
Mawazo tele aliyokuwanayo yalimfanya asisikie mchakato wowote wa mtu kutembea katika korido kisha kukifikia chumba na kugonga mlango. Mlango ulipogongwa kwa mara ya pili ndipo akili zikamkaa sawa. Akajifuta machozi kwa kutumia shuka, kisha akaenda kufungua bila kuuliza aliyekuwa mlangoni ni nani.
Alitambua tu kuwa lazima atakuwa mumewe na hakika ilikuwa hivyo, mwanamke huyu alimtazama mumewe kidoleni akidhani atakutana na pete na kujitoa mawazo kuwa huenda aliifananisha tu ile iliyodondoka.
Kapa!! Hakuona kitu.
“We Felista…..” mumewe aliita huku harufu ya pombe ikitambaa mle chumbani.
Mungu wangu ameniita jina langu!!
Mwanamke yule alitahamaki, haikuwa kawaida hata kidogo kwa mume wake kumuita kwa jina hilo na badala yake alizoea kumuita mpenzi, mahabuba na majina mengineyo yanayotangaza huba.
Leo hii anamuita Felista!!! Tena we Felista!!
Kama mbwa vile!!!! Mshikemshike.
Felista hakuitika lakini yule mwanaume mlangoni hakujali akapiga hatua moja mbele, hakika alikuwa amelewa na alitaka kukosa muhimili, kama lisingekuwa kabati basi angepiga mweleka na kusalimiana na ile marumaru pale chumbani.
Akiwa ameegemea kabati mwanaume yule ambaye ni kwa mara ya kwanza alirudi nyumbani akiwa amelewa alianza kubwabwaja maneno machafu sana kwa mkewe, maneno ambayo hata Malaya na hawara pia akiambiwa yanaweza kumkera, lakini maneno haya aliambiwa mwanamke wa ndoa iliyobarikiwa kabisa.
Maneno yakazidi mwanamke naye akazidi kukasirika, mwanzoni alipuuzia lakini ikamtoka yule mwanaume kauli mbaya sana ambayo ilibadili usiku ule na kuwa usiku wa kukumbukwa.
Usiku wa sintofahamu na huenda usiku mrefu kupita yote katika maisha yao.
Usiku usio na jina!!!
*****
URAFIKI wao ulianzia ufukweni mwa bahari, Felista na rafiki zake waliokuwa wanasoma shule moja walipokuwa wakicheza na mchanga wa bahari, mara warushiane mchanga mara wamwagiane maji. Mchezo ukiwa umewanogea mara Felista akamponda mwenzake na kiatu chake chepesi, bahati mbaya kusudio lake likashindikana baada ya kiatu kile kukwepwa na mlengwa kisha kikamfikia mwanaume mmoja aliyekuwa ufukweni pia.
Bila kufikiria mara mbili mwanaume yule ambaye labda kwa sababu zake binafsi alikuwa akingoja litokee jambo ili aweze kuwakabili wasichana wale ambao mmoja wao tayari alikuwa amemjibu vibaya alipojaribu kumweleza juu ya mapenzi. Mbio mbio mwanaume yule akaenda kumkabili Felista ambaye alikuwa ameduwaa akiwa amejiziba midomo yake kwa mshangao mkubwa.
Mwanaume yule akamfikia Felista na kuanza kumkaripia pasi na kumpa nafasi ya kuomba msamaha ama kujieleza vyovyote vile. Felista aliyekuwa anatetemeka alimuona mwanaume mwingine akijongea mahali pale.
“Frank, acha hasira kaka. Mtoto wa kike huyu halafu si unaona watu wanavyokushangaa…..jifanye hakijatokea kitu. Halafu na wewe binti waambie wenzako kama michezo mkafanyie mbali, si unaona hapa watu wamekaa sawa eeh!” sauti ilisihi. Yule kijana aliyekuwa anazidi kupandwa za jazba akapiga kite cha hasira kisha akakubaliana na yule rafiki aliyemsihi.
Felista na rafiki zake wakatafuta eneo jingine, si kwa minajiri ya kucheza tena la! Kila mmoja kuvaa nguo na kutoweka. Ufukwe ushakuwa gundu tena.
Wakati wanaondoka pale, Felista alimwona yule kijana aliyewasuluhisha baada ya yule kijana mjeruhiwa wa ajali ya kiatu kumkabili.
“Asante kaka.” Alimwambia baada ya kumkaribia.
Wakazungumza kidogo kisha wakati wanaagana kwa kushikana mikono akasikia kama kuna kitu anapewa mkononi, akaufunga mkono vyema kisha akaondoka na rafiki zake.
Alipoufungua mkono baada ya kufika mbali alikutana na kadi ya biashara ikiwa na namba za simu na eneo la ofisi zinapopatikana.
Bahati nzuri ofisi za huyu msuluhishi zilikuwa zinahusika na jambo ambalo Felista alikuwa akisomea katika masomo yake chuo kikuu cha Dodoma. Hivyo alimtafuta kwa lengo la kuulizia kama ataweza kupata nafasi ya kufanya mazoezi yake kwa vitendo katika ofisi hizo. Huo ukawa mwanzo wa mazoea yao, kisha urafiki na baada ya kumaliza chuo walikuwa wachumba.
“Nakupenda Gervas.”
“Nakupenda Felista”
Maneno haya waliambizana kwa mara ya kwanza mjini Dodoma. Yakadumu hadi walipofanikiwa kufunga ndoa.
Ndoa iliyobarikiwa na pande zote mbili bila kinyongo chochote kile. Kila mmoja akiwa amemuelezea mwenzake juu ya siri zake na historia za miaka ya nyuma bila kificho.
Maisha ya ndoa yakaanza rasmi!
Upande wa mawifi palikuwa shwari kabisa na hata mashemeji walimpenda Felista naye alijitahidi kuwapenda pia.
MIAKA miwili ikakatika upendo ukaanza kupooza, ulipooza kwa sababu Felista alikuwa hajaongeza zao lolote katika ukoo wa Gervas wala katika nyumba waliyokuwa wanaishi jijini Dar es salaam.
Gervas aliahidi kuwa atavumilia mpaka mwisho, neno hilo lilimpa faraja sana Felista, akajipa imani kuwa akipata upendo wa mumewe basi hawa wengine wanabaki kuwa wa ziada tu. Hakuumiza kichwa kuhusu wao.
Lakini alitilia maanani ule usemi usemao, ‘damu nzito kuliko maji!!’ na hapo akakumbuka kuwa mume wake si ndugu yake wa damu na hakuna damu yoyote ambayo inawaunganisha. Akajiwekea tahadhari hii kichwani.
HAKIKA baada ya mwaka mwingine, mume wake akaanza kubadilika, akawa anawasikiliza dada zake sana, kuna maneno fulani hivi ambayo japo Felista hakuwa anayafahamu lakini aliamini maneno hayo ndiyo chanzo cha kila kitu kuwa shaghalabaghala. Akajaribu kujiimarisha ili aweze kuwa kinara katika nyumba lakini haikuwezekana kabisa tayari wale wana’damu’ moja walikuwa kitu kimoja.
Alitamani kuikimbia nyumba lakini asingeweza kurudi nyumbani bila kupewa talaka, akatamani kuiomba talaka yake lakini kibaya zaidi mume wake hakuwa amewahi kumtamkia kuhusu talaka hata siku moja. Hili kwake likawa tatizo, akawa anaishi utumwa katika nyumba yake.
Ugeni wa mawifi ukawa haukatika nyumbani kwake, wakifika wanagawana jiko mawifi hawataki chakula cha mama mwenye nyumba. Wanajipikia wao wenyewe, salamu wanajibu kwa kujilazimisha tu na maisha yanaendelea.
Felista alipomuuliza mumewe akajibiwa kuwa ajitahidi kuwazoea mawifi zake. Hilo nd’o lilikuwa jibu pekee aliloweza kutoa mume, tena katika namna ya kupuuzia tu.
Mawifi wote waliopita walikuwa micharuko na wasumbufu lakini wifi aitwaye Sarah huyu alikuwa wa aina yake alionyesha ushirikiano wa hali ya juu kwa Felista, alimsaidia kazi za ndani na kuna wakati walipika wote jikoni. Alimpa moyo kuwa hiyo anayopitia ni mitihani tu kutoka kwa mwenyezi Mungu na ipo siku itapita na maisha yataendelea.
Wifi huyu wa ajabu, kila walipokuja mawifi wakorofi yeye alikuwa akijiondokea kabla hawajafika. Jambo hili lilimshangaza sana Felista lakini moyoni akaamini amepata shujaa wa kweli wa kumpigania, aliamini kuwa wifi yule anawachukia na kuilaani tabia wanayofanya wadogo zake. Hata ambapo wifi yule hakuwa ndani ya nyumba yake, alikuwa akimpigia simu usiku na wakati wowote ule kwa lengo la kumfariji, alimueleza kila kitu kilichokuwa kinatokea. Alijaribu kumsihi aongee na kaka yake ili aweze kuwa kama zamani, wifi Sarah akakubaliana na Felista na kumwahidi kuwa ataongea na kaka yake vizuriu kwa kina juu ya hilo.
Hakika siku iliyofuata Felista alipokea ujumbe kutoka kwa Wifi Sarah kuwa mambo yanaenda vizuri amemsema kaka yake kwa kirefu na bila shaka amemuelewa.
Juma lililofuata furaha kiasi ilirejea ndani ya nyumba. Felista akakiri kuwa wifi Sarah ni wifi wa kweli kabisa.
Muda ukazidi kusogea na tabia ikawa ileile, wakija mawifi wakorofi na mama mkwe basi Sara anajiondokea. Na maisha yakaendelea.
Baada ya miezi kadhaa wifi sarah alishika ujauzito. Hakumficha Felista alimueleza ukweli kabisa juu ya jambo hilo. Felista alimpongeza huku moyoni akiumia sana na kutamani ile mimba ingekuwa ya kwake, wifi Sarah akaanza kuwa mkorofi, uvivu ukamtawala na akawa mtu wa kulala tu kutwa nzima.
Mimba bwana!!!........ Felista alijisemea huku akitabasamu, aliamini kuwa ni mimba imemfanya kuwa vile wifi yake mkarimu kabisa. Hakutaka kumkera na kila lililokuwa likitokea kwake aliisingizia mimba ya wifi yake.
Mara usumbufu wa mimba ukaongezewa na usumbufu wa mumewe, akaanza tena kuwa mkorofi ndani ya nyumba. Zile tabia zake za zamani zisizotabirika zikaanza kujirudia. Mara akapitiliza zaidi na kuanza kulala sebuleni siku nyingine.
Mara akilala chumbani hataki kuguswa na mkewe, Felista alilia sana lakini nd’o lilikuwa tatizo tayari. Mshauri mkuu alikuwa ni wifi yake lakini huyu naye mimba ilikuwa imemfanya awe mtukutu na msumbufu. Hivyo mchezo ukawa hivi.
Kutwa ni usumbufu na vimbwanga vya wifi na usiku ni karaha za mume wa ndoa. Hapa sasa Felista alikonda barabara. Wazazi wake na ndugu zake wengi walikuwa mkoani Kagera hivyo hakuwa na pa kupumulia, akijaribu sana kuitafuta furaha basi ni siku ambayo alikuwa akienda kutengeneza nywele saluni. Huku aliweza kuburudisha akili yake kwa kusikia maneno ya wanawake wenzao wakipigana vijembe wao kwa wao.
Baada ya kurejea nyumbani zilikuwa karaha tupu.
Hadi miezi tisa ije kumaliziaka nitakuwa nimebakia kama sindano!! Felista alijisemea kwa masikitiko makuu.
Mzigo wa ndoa ulikuwa unamuelemea, afadhali basi angekuwa anafanya kazi mahali walau shilingi mbili tatu zingekuwa katika hifadhi yake lakini hakuwa kazini, mume alikuwa hajamruhusu kufanya kazi bado kwa kauli ya kwamba bado haijapatikana kazi ambayo inamfaa. Mume amesema mke angebisha nini?
Maisha magumu yakaendelea kuishi katika nyumba ya Felista.
MWANZONI Gervas alikuwa anafanya vimbwanga vyote lakini katu hawezi kulala nje ya nyumba yake bila taarifa. Lakini hili nalo likaibuka kutokea pasipofahamika.
Baada ya yule wifi mtukutu kutoweka pale nyumbani na kuonekana kuwa walau nyumba itakuwa na amani kidogo, jambo jingine likazuka. Gervas naye akaanza kuchelewa kurudi nyumbani.
“Afadhali Wifi angekuwepo maana alikuwa anamkaripia akichelewa kurudi….ona sasa” alilalamika mwenyewe huku akiitazama saa ya ukutani. Ilionyesha kuwa ule ulikuwa usiku wa saa nne. Akaendelea kungoja hadi akapitiwa na usingizi.
Siku hiyo alillalasebuleni na mumewe hakurejea kabisa.
Aliporejea siku iliyofuata Felista alijiandaa kumkabili na kupambana naye amweleze alilala wapi. Bahati ikawa mbaya upande wake, mumewe hakumjibu kitu. Alivua nguo zake alizokuja nazo akajitupa kitandani na kusinzia hoi!!
Kizungumkuti hakika!!
Ina maana hatambui tena umuhimu wangu!! Ina maana hakumbuki kama aliwahi kusema atanipenda milele….alijiuliza Felista biula kuupata muafaka.
Mienendo mibovu ikaendelea kuchukua hatamu, ikafikia kipindi Felista akaiomba talaka yake.
Neno hili likamshtua Gervas, hakuwahi kulitegemea. Wakati Felista alidhani kuwa itakuwa kazi rahisi lakini Gervas hakuwa tayari. Akaahidi kubadilika kabisa, akasingizia msongo wa mawazo unamsumbua.
Lakini wakati wote huu kuna jambo ambalo Felista alikuwa akiliona machoni mwa mumewe.
Aliuona uongo waziwazi…uongo usiopingika kuwa kuna kitu anaficha lakini hana mapenzi tena. Hakumpenda Felista.
Hakumpenda kwa sababu alikuwa tasa.
Felista akarudisha moyo nyuma akampokea tena Gervas.
*****
BAADA ya miezi kadhaa, Felista bila kujua kwanini amepata wazo hilo alijikuta tu akifunga safari ya kwenda hospitali kwa mara nyingine kuangalia tatizo lilikuwa nini hadi hapati mtoto. Hakumweleza mumewe kama ataenda hospitali siku hiyo.
Aliuacha funguo mahali ambapo wote wawili wanafahamu kuwa huwa wanahifadhi. Akaenda zake hospitali.
Akaongea kwa kirefu na daktari, akamweleza hata yasiyomuhusu juu ya namna anavyodharauliwa na fdamilia ya mume wake. Daktari akamchukua vipimo na kuingia maabara. Baada ya hapo akaketi na kumweleza kila kitu juu ya kizazi chake, majibu haya alikuwa akiambiwa kila siku iendayo kwa Mungu na madaktari tofauti tofauti. Lakini huyu kuna moja la ziada alimweleza Felista. Lilimtingisha kidogo Felista lakini alilipokea kwa tabasamu hafifu kana kwamba alilitambua hapo kabla.
Alizungumza sana na daktari. Kisha wakaagana.
Alipofika nyumbani alikuta nyumba ikiwa na uhai, kulikuwa kuna kilio cha mtoto mchanga. Akiwa anastaajabu alipokelewa na tabasamu kali la wifi Sarah. Felista akastaajabu, kumbe ilikuwa imepita miezi lukuki tangu waonane, sasa Sarah alikuwa na kichanga.
Hakuwa mkorofi tena. Hakuwa na tabia zake za kununa. Felista akakiri kuwa ni mimba tu iliyokuwa inamsumbua wifi yake mzuri.
Wakakumbatiana na kubusiana mashavuni. Ilikuwa furaha tena katika familia ile.
Felista alitaka kumshirikisha Sarah juu ya kilichojiri hospitali, lakini akaona ni mapema sana kumweleza mzazi huyu aliyejikita katika kukilea kichanga chake.
FELISTA akafikia maamuzi ya kumweleza mume wake na liwalo na liwe.
Hapa ndipo ukafika ule usiku usiosahaulika kamwe, usiku wa kizaazaa. Ule usiku ambao haukuwa na jina.
Ilikuwa saa tisa usiku ambapo mlango ulifunguliwa, mume wake aliyekuwa amelewa kwa mara ya kwanza akaingia ndani huku akiyumba yumba.
“We Felista wewe….mpuuzi mpuuzi malaya usiyekuwa na nidhamu….ni wewe uliyeniomba talaka yako sio….sasa nasema andika hiyo talaka tasa mkubwa wewe mimi nitaweka sahihi. Andika naachwa kwa sababu sizai, kwa sababu ya umalaya wangu andika upesi wewe changudoa mzoefu….” Alibwabwaja Gervas. Felista akapokea kama pigo kali maneno yale. Hakuamini kama yanatoka kwa mume wake. Akatamani kulia kwa nguvu lakini kifua kilikuwa kinambana.
“…Tena ikiwezekana uondoke usiku huu umwachie mwanamke anayeweza kuzaa nyumba yake hayawani wewe, mwenzako mbona amezaa upesi tu…wewe unanikalishia makalio humu ndani unamaliza sofa zangu kunguru usiyefugika wewe…rudi kwa mama yako mwambie umalaya wako umekuponza na sikutaki tena….hiyo pete yako vua nitamvalisha mwingine.”
AKILI hapa ikamchemka Felista, yaani ina maana wifi Sara amezaa na mume wangu? Alijiuliza.
Halafu ananiita mimi malaya wakati ameniambukiza UKIMWI huyu mwanaharamu!!! Alilaani Felista huku akikumbuka majibu aliyopewa na daktari hospitalini. Hapa sasa ujasiri ukamshinda akataka kuuliza lakini mume akaendelea kuropoka.
“Sara wewe ndiye mke wangu asante kwa bebi boi uliyeniletea…asante sana kwa zawadi hiyo…nakupenda Sara wee…mwaaaah!!” alizidi kubwabwaja kilevilevi.
Felista akalipata jibu kuwa kumbe kuna sintofahamu katikati. Akatazama kushoto akakutana na chupa ya soda. Alairukia kwa hasira akaitwaa na kuituliza katika kichwa cha mume wake, mlevi yule akalainika na kutua sakafuni.
Haikutosha akaendelea kumtwanga nayo hadi akahakikisha mikono imechoka. Kisha mbio mbio akakimbilia jikoni akatwaa kisu.
Akakimbilia chumbani kwa wifi Sara.
“Sara wewe ni nani katika nyumba hii.” Akamuuliza kwa ghadhabu, huku akiwa amekificha kisu chake kwa nyuma.
“Mama mwenye nyumba kwani vipi?” akajibu kwa dharau na hili likawa kosa kubwa sana, laiti angejua angejitetea kuliko kujibu jeuri.
Felista akamvamia na kuzamisha kisu chote mb avuni kwa ujasiri akakichomoa tena na kukizamisha katika chemba ya moyo.
Wifi feki Sarah kimya!!!
Akakitazama kile kitoto kilichokuwa kimesinzia akataka kukimalizia lakini huruma ikamwingia. Akatimua mbio chumbani kwake akakuta Gervas ametulia vile vile.
Akahaha bila kujua ni kipi anafanya pale chumbani. Akajigonga huku na kule kisha akafanikiwa kutuliza akili akachukua pesa katika mifuko ya mumewe, akaongezea na ya kwake kisha akatoweka.
ASUBUHI alikuwa safarini kuelekea Mwanza, akili ilikuwa haijatulia kabisa kutokana na kilichotokea.
Safari nzima aligubikwa na mkasa mzito sana ambao aliamini akimshirikisha mama yake anaweza kupata afueni. Mkasa wa kumfuga mke mwenza akidhani ni wifi yake...
Hakika alifika Mwanza, na kumsimulia mama yake kila kitu. Hakujua na wala hakusema kama alikusudiia kuua.
SIKU MBILI baadaye wakatangaza tukio la mauaji ya kutisha jijini Dar es salaam.
Mwanaume kwa kupondwa pondwa kichwani na chupa, mwanamke kwa kuchomwa kisu na mtoto mdogo kwa kukosa chakula.
Ni taarifa hii iliyoondoka na akili za Felista na kumfanya mwendawazimu milele…..taarifa ya kuhusika katika mauaji ya watu watatu
Mama yake mzazi pekee nd’o aliweza kusimulia mkasa ulivyokuwa kabka mwanaye hajawa na wazimu kichwani, wazimu wa kuvua nguo na kukimbiza watu hovyo. Hapakuwa na la kumshtaki kichaa huyu. Simulizi ya mama yake ikabakia kuwa simulizi inayogusa jamii, hasahasa wanandoa zenye utata na vijana ambao walikuwa hawajaingia katika ndoa bado.
Ikapita miezi kadhaa, yule kichaa Felista akabeba mimba mtaani, hakujulikana aliyembebesha mimba ile. Kilio kikazuka upya na watu wakaanza kujiuliza je? Tatizo alikuwa mumewe ama???
Nani angejibu iwapo mume ni marehemu na mke ni kichaa?? Yule aliyemjaza mimba pekee ndiye ajuaye na ule UKIMWI aliojiambukiza ndio utakaomuumbua...
MWISHO
NB: Toa maoni yako kuhusu simulizi hii, je umejifunza kitu?? sema lolote kumshauri mwandishi huyu....
Usisite KU SHARE yaweza kuwa funzo kwa wengine
SIMULIZI FUPI: USIKU USIO NA JINA NDEGE wa angani pekee nd’o walikuwa wakiendelea kulipa uhai anga lililotanda kwa giza nene huku nyota zikishindwa kufua dafu katika kuileta nuru. Anga lilipoanza kutoa miale mikali inayong’ara, ndege walivikumbuka viota vyao na makundi kwa makundi walitoweka anga ikabaki katika hali ya upweke, miale mikali pekee nd’o uhai mdogo uliosalia. Miale hiyo haikuishia kuleta uhai katka anga pekee, bali ulimurika pia katika chumba kimoja ambacho kilikuwa kimekaliwa na mwanamke. Alikuwa amevaa nguo za kulalia, macho yake yakiwa makavu. Taa ilikuwa imezimwa hivyo ule mwanga ukaibua undugu kati ya macho na sasa. Ilikuwa yapata saa tisa usiku. Yule bwana aliyemuoa kwa mbwembwe zote na mapenzi miaka miwili iliyopita alikuwa hajarejea nyumbani bado. Ni kweli alikuwa ameanza tabia za kuchelewa nyumbani lakini siku hii alipitiliza. Mwanamke akakunja uso wake kwa uchungu mkuu, akajiziba na viganja vya mikono yake. Akatambua kuwa amebanwa na donge la hasira kooni na hawezi kulihimili mpaka atoe kilio. Hapo akaamua kutimua mbio kuelekea chumbani kwake. Akafika akaduwa chumbani kwake huku akitiririkwa na machozi. Akaliendea kabati la nguo ili aweze kuchukua kitambaa atumie kukabiliana na machozi yale. Mara paah! Kikaanguka kitu kikilia mfano wa sarafu, akainama kutazama ni kitu gani. Hofu ikazidi kutanda. Ilikuwa pete ya ndoa, pete ambayo kwa mikono yake alimvisha mume wake wakati wanaamuriwa kuwa mume na mke. Pete hiyo imetolewa kidoleni sasa na kufichwa kabatini. Hapa uvumilivu ukamshinda akakimbilia kitandani, akajirusha na kuanza kugalagala huku akilia kilio cha uchungu mkubwa, lakini alijitahidi sana kuizuia sauti ile isipenye na kukifikia chumba kilichokuwa kinafuata, kwani hakutaka huyo mtu katika chumba kile aweze kutambua kuwa alikuwa katika kulia. Kilio hiki kilikuwa na mengi ndani yake, alijiuliza iwapo huo nd’o ulikuwa uhitimisho wa safari ya ndoa yake, alijiuliza kama hiyo ni talaka alikuwa ameandaliwa kwa vitendo. Kama sio kwanini aitupe pete yangu humu, kwanini anachelewa kurejea nyumbani? Alijiuliza bila kupata majibu. Mawazo tele aliyokuwanayo yalimfanya asisikie mchakato wowote wa mtu kutembea katika korido kisha kukifikia chumba na kugonga mlango. Mlango ulipogongwa kwa mara ya pili ndipo akili zikamkaa sawa. Akajifuta machozi kwa kutumia shuka, kisha akaenda kufungua bila kuuliza aliyekuwa mlangoni ni nani. Alitambua tu kuwa lazima atakuwa mumewe na hakika ilikuwa hivyo, mwanamke huyu alimtazama mumewe kidoleni akidhani atakutana na pete na kujitoa mawazo kuwa huenda aliifananisha tu ile iliyodondoka. Kapa!! Hakuona kitu. “We Felista…..” mumewe aliita huku harufu ya pombe ikitambaa mle chumbani. Mungu wangu ameniita jina langu!! Mwanamke yule alitahamaki, haikuwa kawaida hata kidogo kwa mume wake kumuita kwa jina hilo na badala yake alizoea kumuita mpenzi, mahabuba na majina mengineyo yanayotangaza huba. Leo hii anamuita Felista!!! Tena we Felista!! Kama mbwa vile!!!! Mshikemshike. Felista hakuitika lakini yule mwanaume mlangoni hakujali akapiga hatua moja mbele, hakika alikuwa amelewa na alitaka kukosa muhimili, kama lisingekuwa kabati basi angepiga mweleka na kusalimiana na ile marumaru pale chumbani. Akiwa ameegemea kabati mwanaume yule ambaye ni kwa mara ya kwanza alirudi nyumbani akiwa amelewa alianza kubwabwaja maneno machafu sana kwa mkewe, maneno ambayo hata Malaya na hawara pia akiambiwa yanaweza kumkera, lakini maneno haya aliambiwa mwanamke wa ndoa iliyobarikiwa kabisa. Maneno yakazidi mwanamke naye akazidi kukasirika, mwanzoni alipuuzia lakini ikamtoka yule mwanaume kauli mbaya sana ambayo ilibadili usiku ule na kuwa usiku wa kukumbukwa. Usiku wa sintofahamu na huenda usiku mrefu kupita yote katika maisha yao. Usiku usio na jina!!! ***** URAFIKI wao ulianzia ufukweni mwa bahari, Felista na rafiki zake waliokuwa wanasoma shule moja walipokuwa wakicheza na mchanga wa bahari, mara warushiane mchanga mara wamwagiane maji. Mchezo ukiwa umewanogea mara Felista akamponda mwenzake na kiatu chake chepesi, bahati mbaya kusudio lake likashindikana baada ya kiatu kile kukwepwa na mlengwa kisha kikamfikia mwanaume mmoja aliyekuwa ufukweni pia. Bila kufikiria mara mbili mwanaume yule ambaye labda kwa sababu zake binafsi alikuwa akingoja litokee jambo ili aweze kuwakabili wasichana wale ambao mmoja wao tayari alikuwa amemjibu vibaya alipojaribu kumweleza juu ya mapenzi. Mbio mbio mwanaume yule akaenda kumkabili Felista ambaye alikuwa ameduwaa akiwa amejiziba midomo yake kwa mshangao mkubwa. Mwanaume yule akamfikia Felista na kuanza kumkaripia pasi na kumpa nafasi ya kuomba msamaha ama kujieleza vyovyote vile. Felista aliyekuwa anatetemeka alimuona mwanaume mwingine akijongea mahali pale. “Frank, acha hasira kaka. Mtoto wa kike huyu halafu si unaona watu wanavyokushangaa…..jifanye hakijatokea kitu. Halafu na wewe binti waambie wenzako kama michezo mkafanyie mbali, si unaona hapa watu wamekaa sawa eeh!” sauti ilisihi. Yule kijana aliyekuwa anazidi kupandwa za jazba akapiga kite cha hasira kisha akakubaliana na yule rafiki aliyemsihi. Felista na rafiki zake wakatafuta eneo jingine, si kwa minajiri ya kucheza tena la! Kila mmoja kuvaa nguo na kutoweka. Ufukwe ushakuwa gundu tena. Wakati wanaondoka pale, Felista alimwona yule kijana aliyewasuluhisha baada ya yule kijana mjeruhiwa wa ajali ya kiatu kumkabili. “Asante kaka.” Alimwambia baada ya kumkaribia. Wakazungumza kidogo kisha wakati wanaagana kwa kushikana mikono akasikia kama kuna kitu anapewa mkononi, akaufunga mkono vyema kisha akaondoka na rafiki zake. Alipoufungua mkono baada ya kufika mbali alikutana na kadi ya biashara ikiwa na namba za simu na eneo la ofisi zinapopatikana. Bahati nzuri ofisi za huyu msuluhishi zilikuwa zinahusika na jambo ambalo Felista alikuwa akisomea katika masomo yake chuo kikuu cha Dodoma. Hivyo alimtafuta kwa lengo la kuulizia kama ataweza kupata nafasi ya kufanya mazoezi yake kwa vitendo katika ofisi hizo. Huo ukawa mwanzo wa mazoea yao, kisha urafiki na baada ya kumaliza chuo walikuwa wachumba. “Nakupenda Gervas.” “Nakupenda Felista” Maneno haya waliambizana kwa mara ya kwanza mjini Dodoma. Yakadumu hadi walipofanikiwa kufunga ndoa. Ndoa iliyobarikiwa na pande zote mbili bila kinyongo chochote kile. Kila mmoja akiwa amemuelezea mwenzake juu ya siri zake na historia za miaka ya nyuma bila kificho. Maisha ya ndoa yakaanza rasmi! Upande wa mawifi palikuwa shwari kabisa na hata mashemeji walimpenda Felista naye alijitahidi kuwapenda pia. MIAKA miwili ikakatika upendo ukaanza kupooza, ulipooza kwa sababu Felista alikuwa hajaongeza zao lolote katika ukoo wa Gervas wala katika nyumba waliyokuwa wanaishi jijini Dar es salaam. Gervas aliahidi kuwa atavumilia mpaka mwisho, neno hilo lilimpa faraja sana Felista, akajipa imani kuwa akipata upendo wa mumewe basi hawa wengine wanabaki kuwa wa ziada tu. Hakuumiza kichwa kuhusu wao. Lakini alitilia maanani ule usemi usemao, ‘damu nzito kuliko maji!!’ na hapo akakumbuka kuwa mume wake si ndugu yake wa damu na hakuna damu yoyote ambayo inawaunganisha. Akajiwekea tahadhari hii kichwani. HAKIKA baada ya mwaka mwingine, mume wake akaanza kubadilika, akawa anawasikiliza dada zake sana, kuna maneno fulani hivi ambayo japo Felista hakuwa anayafahamu lakini aliamini maneno hayo ndiyo chanzo cha kila kitu kuwa shaghalabaghala. Akajaribu kujiimarisha ili aweze kuwa kinara katika nyumba lakini haikuwezekana kabisa tayari wale wana’damu’ moja walikuwa kitu kimoja. Alitamani kuikimbia nyumba lakini asingeweza kurudi nyumbani bila kupewa talaka, akatamani kuiomba talaka yake lakini kibaya zaidi mume wake hakuwa amewahi kumtamkia kuhusu talaka hata siku moja. Hili kwake likawa tatizo, akawa anaishi utumwa katika nyumba yake. Ugeni wa mawifi ukawa haukatika nyumbani kwake, wakifika wanagawana jiko mawifi hawataki chakula cha mama mwenye nyumba. Wanajipikia wao wenyewe, salamu wanajibu kwa kujilazimisha tu na maisha yanaendelea. Felista alipomuuliza mumewe akajibiwa kuwa ajitahidi kuwazoea mawifi zake. Hilo nd’o lilikuwa jibu pekee aliloweza kutoa mume, tena katika namna ya kupuuzia tu. Mawifi wote waliopita walikuwa micharuko na wasumbufu lakini wifi aitwaye Sarah huyu alikuwa wa aina yake alionyesha ushirikiano wa hali ya juu kwa Felista, alimsaidia kazi za ndani na kuna wakati walipika wote jikoni. Alimpa moyo kuwa hiyo anayopitia ni mitihani tu kutoka kwa mwenyezi Mungu na ipo siku itapita na maisha yataendelea. Wifi huyu wa ajabu, kila walipokuja mawifi wakorofi yeye alikuwa akijiondokea kabla hawajafika. Jambo hili lilimshangaza sana Felista lakini moyoni akaamini amepata shujaa wa kweli wa kumpigania, aliamini kuwa wifi yule anawachukia na kuilaani tabia wanayofanya wadogo zake. Hata ambapo wifi yule hakuwa ndani ya nyumba yake, alikuwa akimpigia simu usiku na wakati wowote ule kwa lengo la kumfariji, alimueleza kila kitu kilichokuwa kinatokea. Alijaribu kumsihi aongee na kaka yake ili aweze kuwa kama zamani, wifi Sarah akakubaliana na Felista na kumwahidi kuwa ataongea na kaka yake vizuriu kwa kina juu ya hilo. Hakika siku iliyofuata Felista alipokea ujumbe kutoka kwa Wifi Sarah kuwa mambo yanaenda vizuri amemsema kaka yake kwa kirefu na bila shaka amemuelewa. Juma lililofuata furaha kiasi ilirejea ndani ya nyumba. Felista akakiri kuwa wifi Sarah ni wifi wa kweli kabisa. Muda ukazidi kusogea na tabia ikawa ileile, wakija mawifi wakorofi na mama mkwe basi Sara anajiondokea. Na maisha yakaendelea. Baada ya miezi kadhaa wifi sarah alishika ujauzito. Hakumficha Felista alimueleza ukweli kabisa juu ya jambo hilo. Felista alimpongeza huku moyoni akiumia sana na kutamani ile mimba ingekuwa ya kwake, wifi Sarah akaanza kuwa mkorofi, uvivu ukamtawala na akawa mtu wa kulala tu kutwa nzima. Mimba bwana!!!........ Felista alijisemea huku akitabasamu, aliamini kuwa ni mimba imemfanya kuwa vile wifi yake mkarimu kabisa. Hakutaka kumkera na kila lililokuwa likitokea kwake aliisingizia mimba ya wifi yake. Mara usumbufu wa mimba ukaongezewa na usumbufu wa mumewe, akaanza tena kuwa mkorofi ndani ya nyumba. Zile tabia zake za zamani zisizotabirika zikaanza kujirudia. Mara akapitiliza zaidi na kuanza kulala sebuleni siku nyingine. Mara akilala chumbani hataki kuguswa na mkewe, Felista alilia sana lakini nd’o lilikuwa tatizo tayari. Mshauri mkuu alikuwa ni wifi yake lakini huyu naye mimba ilikuwa imemfanya awe mtukutu na msumbufu. Hivyo mchezo ukawa hivi. Kutwa ni usumbufu na vimbwanga vya wifi na usiku ni karaha za mume wa ndoa. Hapa sasa Felista alikonda barabara. Wazazi wake na ndugu zake wengi walikuwa mkoani Kagera hivyo hakuwa na pa kupumulia, akijaribu sana kuitafuta furaha basi ni siku ambayo alikuwa akienda kutengeneza nywele saluni. Huku aliweza kuburudisha akili yake kwa kusikia maneno ya wanawake wenzao wakipigana vijembe wao kwa wao. Baada ya kurejea nyumbani zilikuwa karaha tupu. Hadi miezi tisa ije kumaliziaka nitakuwa nimebakia kama sindano!! Felista alijisemea kwa masikitiko makuu. Mzigo wa ndoa ulikuwa unamuelemea, afadhali basi angekuwa anafanya kazi mahali walau shilingi mbili tatu zingekuwa katika hifadhi yake lakini hakuwa kazini, mume alikuwa hajamruhusu kufanya kazi bado kwa kauli ya kwamba bado haijapatikana kazi ambayo inamfaa. Mume amesema mke angebisha nini? Maisha magumu yakaendelea kuishi katika nyumba ya Felista. MWANZONI Gervas alikuwa anafanya vimbwanga vyote lakini katu hawezi kulala nje ya nyumba yake bila taarifa. Lakini hili nalo likaibuka kutokea pasipofahamika. Baada ya yule wifi mtukutu kutoweka pale nyumbani na kuonekana kuwa walau nyumba itakuwa na amani kidogo, jambo jingine likazuka. Gervas naye akaanza kuchelewa kurudi nyumbani. “Afadhali Wifi angekuwepo maana alikuwa anamkaripia akichelewa kurudi….ona sasa” alilalamika mwenyewe huku akiitazama saa ya ukutani. Ilionyesha kuwa ule ulikuwa usiku wa saa nne. Akaendelea kungoja hadi akapitiwa na usingizi. Siku hiyo alillalasebuleni na mumewe hakurejea kabisa. Aliporejea siku iliyofuata Felista alijiandaa kumkabili na kupambana naye amweleze alilala wapi. Bahati ikawa mbaya upande wake, mumewe hakumjibu kitu. Alivua nguo zake alizokuja nazo akajitupa kitandani na kusinzia hoi!! Kizungumkuti hakika!! Ina maana hatambui tena umuhimu wangu!! Ina maana hakumbuki kama aliwahi kusema atanipenda milele….alijiuliza Felista biula kuupata muafaka. Mienendo mibovu ikaendelea kuchukua hatamu, ikafikia kipindi Felista akaiomba talaka yake. Neno hili likamshtua Gervas, hakuwahi kulitegemea. Wakati Felista alidhani kuwa itakuwa kazi rahisi lakini Gervas hakuwa tayari. Akaahidi kubadilika kabisa, akasingizia msongo wa mawazo unamsumbua. Lakini wakati wote huu kuna jambo ambalo Felista alikuwa akiliona machoni mwa mumewe. Aliuona uongo waziwazi…uongo usiopingika kuwa kuna kitu anaficha lakini hana mapenzi tena. Hakumpenda Felista. Hakumpenda kwa sababu alikuwa tasa. Felista akarudisha moyo nyuma akampokea tena Gervas. ***** BAADA ya miezi kadhaa, Felista bila kujua kwanini amepata wazo hilo alijikuta tu akifunga safari ya kwenda hospitali kwa mara nyingine kuangalia tatizo lilikuwa nini hadi hapati mtoto. Hakumweleza mumewe kama ataenda hospitali siku hiyo. Aliuacha funguo mahali ambapo wote wawili wanafahamu kuwa huwa wanahifadhi. Akaenda zake hospitali. Akaongea kwa kirefu na daktari, akamweleza hata yasiyomuhusu juu ya namna anavyodharauliwa na fdamilia ya mume wake. Daktari akamchukua vipimo na kuingia maabara. Baada ya hapo akaketi na kumweleza kila kitu juu ya kizazi chake, majibu haya alikuwa akiambiwa kila siku iendayo kwa Mungu na madaktari tofauti tofauti. Lakini huyu kuna moja la ziada alimweleza Felista. Lilimtingisha kidogo Felista lakini alilipokea kwa tabasamu hafifu kana kwamba alilitambua hapo kabla. Alizungumza sana na daktari. Kisha wakaagana. Alipofika nyumbani alikuta nyumba ikiwa na uhai, kulikuwa kuna kilio cha mtoto mchanga. Akiwa anastaajabu alipokelewa na tabasamu kali la wifi Sarah. Felista akastaajabu, kumbe ilikuwa imepita miezi lukuki tangu waonane, sasa Sarah alikuwa na kichanga. Hakuwa mkorofi tena. Hakuwa na tabia zake za kununa. Felista akakiri kuwa ni mimba tu iliyokuwa inamsumbua wifi yake mzuri. Wakakumbatiana na kubusiana mashavuni. Ilikuwa furaha tena katika familia ile. Felista alitaka kumshirikisha Sarah juu ya kilichojiri hospitali, lakini akaona ni mapema sana kumweleza mzazi huyu aliyejikita katika kukilea kichanga chake. FELISTA akafikia maamuzi ya kumweleza mume wake na liwalo na liwe. Hapa ndipo ukafika ule usiku usiosahaulika kamwe, usiku wa kizaazaa. Ule usiku ambao haukuwa na jina. Ilikuwa saa tisa usiku ambapo mlango ulifunguliwa, mume wake aliyekuwa amelewa kwa mara ya kwanza akaingia ndani huku akiyumba yumba. “We Felista wewe….mpuuzi mpuuzi malaya usiyekuwa na nidhamu….ni wewe uliyeniomba talaka yako sio….sasa nasema andika hiyo talaka tasa mkubwa wewe mimi nitaweka sahihi. Andika naachwa kwa sababu sizai, kwa sababu ya umalaya wangu andika upesi wewe changudoa mzoefu….” Alibwabwaja Gervas. Felista akapokea kama pigo kali maneno yale. Hakuamini kama yanatoka kwa mume wake. Akatamani kulia kwa nguvu lakini kifua kilikuwa kinambana. “…Tena ikiwezekana uondoke usiku huu umwachie mwanamke anayeweza kuzaa nyumba yake hayawani wewe, mwenzako mbona amezaa upesi tu…wewe unanikalishia makalio humu ndani unamaliza sofa zangu kunguru usiyefugika wewe…rudi kwa mama yako mwambie umalaya wako umekuponza na sikutaki tena….hiyo pete yako vua nitamvalisha mwingine.” AKILI hapa ikamchemka Felista, yaani ina maana wifi Sara amezaa na mume wangu? Alijiuliza. Halafu ananiita mimi malaya wakati ameniambukiza UKIMWI huyu mwanaharamu!!! Alilaani Felista huku akikumbuka majibu aliyopewa na daktari hospitalini. Hapa sasa ujasiri ukamshinda akataka kuuliza lakini mume akaendelea kuropoka. “Sara wewe ndiye mke wangu asante kwa bebi boi uliyeniletea…asante sana kwa zawadi hiyo…nakupenda Sara wee…mwaaaah!!” alizidi kubwabwaja kilevilevi. Felista akalipata jibu kuwa kumbe kuna sintofahamu katikati. Akatazama kushoto akakutana na chupa ya soda. Alairukia kwa hasira akaitwaa na kuituliza katika kichwa cha mume wake, mlevi yule akalainika na kutua sakafuni. Haikutosha akaendelea kumtwanga nayo hadi akahakikisha mikono imechoka. Kisha mbio mbio akakimbilia jikoni akatwaa kisu. Akakimbilia chumbani kwa wifi Sara. “Sara wewe ni nani katika nyumba hii.” Akamuuliza kwa ghadhabu, huku akiwa amekificha kisu chake kwa nyuma. “Mama mwenye nyumba kwani vipi?” akajibu kwa dharau na hili likawa kosa kubwa sana, laiti angejua angejitetea kuliko kujibu jeuri. Felista akamvamia na kuzamisha kisu chote mb avuni kwa ujasiri akakichomoa tena na kukizamisha katika chemba ya moyo. Wifi feki Sarah kimya!!! Akakitazama kile kitoto kilichokuwa kimesinzia akataka kukimalizia lakini huruma ikamwingia. Akatimua mbio chumbani kwake akakuta Gervas ametulia vile vile. Akahaha bila kujua ni kipi anafanya pale chumbani. Akajigonga huku na kule kisha akafanikiwa kutuliza akili akachukua pesa katika mifuko ya mumewe, akaongezea na ya kwake kisha akatoweka. ASUBUHI alikuwa safarini kuelekea Mwanza, akili ilikuwa haijatulia kabisa kutokana na kilichotokea. Safari nzima aligubikwa na mkasa mzito sana ambao aliamini akimshirikisha mama yake anaweza kupata afueni. Mkasa wa kumfuga mke mwenza akidhani ni wifi yake... Hakika alifika Mwanza, na kumsimulia mama yake kila kitu. Hakujua na wala hakusema kama alikusudiia kuua. SIKU MBILI baadaye wakatangaza tukio la mauaji ya kutisha jijini Dar es salaam. Mwanaume kwa kupondwa pondwa kichwani na chupa, mwanamke kwa kuchomwa kisu na mtoto mdogo kwa kukosa chakula. Ni taarifa hii iliyoondoka na akili za Felista na kumfanya mwendawazimu milele…..taarifa ya kuhusika katika mauaji ya watu watatu Mama yake mzazi pekee nd’o aliweza kusimulia mkasa ulivyokuwa kabka mwanaye hajawa na wazimu kichwani, wazimu wa kuvua nguo na kukimbiza watu hovyo. Hapakuwa na la kumshtaki kichaa huyu. Simulizi ya mama yake ikabakia kuwa simulizi inayogusa jamii, hasahasa wanandoa zenye utata na vijana ambao walikuwa hawajaingia katika ndoa bado. Ikapita miezi kadhaa, yule kichaa Felista akabeba mimba mtaani, hakujulikana aliyembebesha mimba ile. Kilio kikazuka upya na watu wakaanza kujiuliza je? Tatizo alikuwa mumewe ama??? Nani angejibu iwapo mume ni marehemu na mke ni kichaa?? Yule aliyemjaza mimba pekee ndiye ajuaye na ule UKIMWI aliojiambukiza ndio utakaomuumbua... MWISHO NB: Toa maoni yako kuhusu simulizi hii, je umejifunza kitu?? sema lolote kumshauri mwandishi huyu.... Usisite KU SHARE yaweza kuwa funzo kwa wengine
Artikel Terkait
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA TATU (03) ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI : kas0ro Niram peke yake ambae alisema, "wala sina mpango huo, ntampeleka wapii mimi, ila nimemsifiatu! sababu katika wavulana niliowai kuwaona, kwa hapa mtanzania, yule kaka ni handsome sanaa" alisema Niram huku anawaangalia marafiki zake, ambao wakakubaliana nae, kwakiikisa vicwavyao juu chini, na wakati huo kengele ya darasani ikagongwa, wakasimama tayari kwa kuanza safari ya kuingia darasani, ENDELEA....... Waliingia darasani, na vipindi vikaedelea kama kawaida. Niram alitafakari sana maneno ya rafiki zake,,akujua hata kwanini awazia lile jambo, maana hata sababu ya kuliwazia akuiona. "mmh mimi sasa ntakuwa nataka kurukwa na hakili haki ya Mungu" alijisemea kimoyo moyo Niram. Ila akaamua aachane na fikra zile, ambazo mwenyewe alizoziona za kipuuzi, na kuendelea na ratiba zake nyengine. ****** "hallo mmewangu nimekumisi mno utakuja lini?".ilikuwa sauti ya mama niram, aliye kuwa amepozi kwenye moja ya kochi zuri huku ameweka miguu juu ya meza. "ooh mkewangu kipenzi ratiba zinabana kazi zimekuwa nyingi mno hata mi nimekumisi kipenzi ila sina la kufanya mama".ilisikika sauti upande wa pili, ikiongea kwa masikitiko na mapenzi makubwa kwa mkewe. "ooh darling uwezi kuomba ruhusa ukaja hata kwa siku chache tu?".aliongea kwa kudeka mama niram huku akimpachika na swali mumewe huyo,aliyekuwa mbali na nchi ya Tanzania. "ooh sitawahi, unajua natakiwa kwenda india kuna Mahafali ya Razaki".ilisisitiza sauti ya baba niram. "ooh Mungu wangu nilisahau nasikitika sitoenda kwenye mahafali ya mwanangu".aliongea mama niram kwa unyonge ilionyesha hakuwa na furaha kuikosa hiyo sherehe ya mtoto wake wakiume. "usijali mke wangu, najua uwezi kuja sababu niramu hatokuwa na wakubaki nae wacha niende kukuwakilisha mimi sawa mamaa".aliongea kwakubembeleza baba niram huku akimfariji mkewe ili asijione mkosefu. "oky honey kazi njema nitafute baadae utapomaliza kazi".alisisitiza mama niram, "oky honey byeee ilove you"."love u too mume wangu byee". Waliagana mtu na mumewe, mama niramu akanyanyuka kuelekea jikoni,kuangalia kama msichana wake kama ameshamaliza kupika chakula cha mchana. ********* "eeeh ujue vincent ukumalizia story".alisikika suma akimuambia vicent, wakati huo walikuwa katika uwanja wa mpira, wakiangalia watu wanaofanya mazoezi, akiwemo Richard, yeye alikuwa akifanya mazoezi ya mpira wa kikapu, vicent na suma walikuwa wakimuangalia rafiki yao huyo, ambae alijua kuutumia uwanja vizuri aliku Hodari kweli kweli katika mchezo huo, "hahhhhah suma wewe mshkaji wangu mmbeya sana duuuh! yani kumbe ulisubiri tutoke tu!, yani wewe sikuwezi" aliongea vicent, vikafata vicheko vikaliii, suma alikuwa hana mbavuuu, ungewaona ungesema walikuwa wameona jambo la kuchekesha hapo walipo, "sasa mi nimesubiri we unihadithie naona kimya nikaona bora niseme yanini nife kiholo".aliongea suma huku anakalisha tako vizuri akimgeukua mlengwa. Basi vicent alimuadithia mwanzo mwisho, jinsi alivyokutana nae mpaka ilipofikia kusahau kumuomba namba. "hahahhhah hizo ndoto ndugu yangu yani ndo maana ukamzingua vanessa?".aliongea suma kwa mbwembwe, huku akumuona rafiki yake huyo kama anaota ndoto za mchana kweupe. "sikia suma vanessa mimi simpendi bora tu akate tamaa mapema kuliko nikaja kumuumiza zaidi huko mbele na kuhusu huyo dem ata asiponipenda baridi tu! ilimradi mi nimuekeze hisia zangu tu".aliongea vicent kwa msisitizo akimaanisha anachokisemaa. "aaah naona mnakula tu ubuyu". Aliingia Richard, katikati ya mazungumzo, mwili ukiwa umelowa jasho, aka kaa pembeni yao ilionyesha ashamaliza kufanya mazoezi ******* "mama simu inaita".aliita msichana wa kazi wakina Vincent, akimpelekea simu bosi wake ambae alikuwa amekaa nje kwenye bustani. "asante karunde kaendelee na kazi". Alisema mama yake vicent huku anaweka mkonga sikioni. "hallow magreth niambia rafiki yangu".aliongea mama vicent, aikusikika upande wapili,mara mama vicent akaongea na kuaga"aaah! Sawa basi usijali ntakuambia tarehe ikufika nikutakie siku njema".simu ikakatwa.******** "hahahhhh!! Yani na wewe huo ubuyu tule tumekuwa shilawadu?".aliongea vicent huku anacheka, mabega yote yakifanya kazi ya kunesanesa."yani we acha tu katuchukuliaje huyu sijui huyu bwege".alijibu suma huku akimpiga kofi la bega la kiutani utani. "aaah!bac kausheni vipi ile story ya asubuh nimalizie basi mwana".aliongea Richard huku anajiweka sawa kusikiliza. Vilifwata vicheko hatari. "kumbe na wewe shilawadu" aliongea suma baada ya kumaliza kucheka. Basi story zikaanza upyaa, visent akampa fully data. Richard Akuwa na la kuchangia zaidi ya kumtia moyo na kumwambia akaze buti. mara wakasikia ...... Itaendelea......CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA NNE (04) ILIPOISHIA SEHEMU YA TATU: "aaah! basi kausheni vipi ile story ya asubuh nimalizie basi mwana".aliongea Richard huku anajiweka sawa kusikiliza. Vilifwata vicheko hatari. "kumbe na wewe shilawadu" aliongea suma baada ya kumaliza kucheka. Basi story zikaanza upyaa, visent akampa fully data. Richard Akuwa na la kuchangia zaidi ya kumtia moyo na kumwambia akaze buti. mara wakasikia... endelea....... mara wakasikia, kama kuna vishindo vinakuja mahali walipo wao .ilibidi wakatishe story yao.nakuangalia mbele palipotokea,sauti ya viatu."mmmmh!!", alishusha pumnzi vicent baada ya kumuona mtu huyo aliyekuwa anakuja usawa waliokuwepo wao. Hakuwa mwengine bali ni vanessa, vanessa alizidi kuiongea taratibu kuja mahali pale, walipokuwepo wakina vicent.hatimae alifika."mambo zenu". Aliwasabahi huku akisubiri atajibiwa kwa hali gani salamu yake."nzuri vp vanessa"alijibu suma, mara kabla ajamaliza kuitikia suma, alidakia richard pia."tuambie shemela wa ukweli".kauli hii ili mchukiza, sana vicent alijikuta anamkata jicho moja kali rafiki yake huyo.ila vanessa alipotezea japo vicent,hakujibu salamu yake. "mi niko poa sana samahanini shemeji zangu nilikuwa naomba mnipishe kidogo nna mazungumzo na vicent".aliongea vanesa, huku akiwaangalia shemeji zake hao kwa zamu."ooh!!usijali mama suma eeh tuwapishe wapendanao".aliongea tena richard safari hii huku anatabasamu tabasamu la kichokozi,maana alijua ni jinsi gani anamkera rafiki yake." twenzetu mwanangu uwanja wenu jamani".aliongea suma huku ananyakua kibegi, chake kilicho kuwa pembeni yake, amesimama na kuanza kuondoka,wakati huo richard alikuwa ameshatanguli mbele." oyaa wanangu msifike mbali mnisubiri maana sitachukua mda mwingi hapa".aliongea vicent huku akiwa bize anatazama walipo kuwa wana tokomea wenzie. " poa".walijibu wote kwa pamojaa na kuendelea kutokomea mbele. "nakusikiliza unaweza kuongea" aliongea vicent bila kupepesa macho, akiwa mkavu kabisa." vincent kwani una nini mbona sikuelewi baba"aliongea vannesa huku anakaa pembeni ya vincent. Ila akupata jibu toka upande wapili."vincent si naongea na wewe au kuna kitu nimekukosea niambie ili nijue nikuombe radhi baba,nakupenda sitaki tukosane".aliongea vanesa kwa huzuni huku machozi yakiwa yanalengalenga kwenye macho yake. "sikia vanessa naomba usipoteza muda wako kwa ajili yangu focus katika masomo ujui kuwa tuna karibia mitihani ya kuhitimu kidato cha Sita ".alisema visent bila alama ya uoga,usoni kwake."najua baba lakini hiyo siyo sababu ya kufanya uwe serious ni kuelewana tu" alilalama vanessa huku akijisigeza karibu na vicent."oky basi ndo hivyo vanessa tuzingatie masomo now mapenzi yasimame kwanza".alimaliza vicent huku akijifuta vumbi, kwenye makalio tayari kwakuondoka. "vicent ntawezaje kukuchunia siwezi ntajitahidi nisome kwa bidii ila tusisitishe uhusiano wetu nakupenda sana". "vanessa tuelewane basi au nimefanya kosa kukusikiliza hapa?". Aliuliza vicent,pasipo kusubiri jibu akaanza,kuondoka.ila vanessa alimdaka mkono,na kumvuta asiondoke.daaaaah!! Lilikuwa kosa kubwa maana alisukumwa,akadondoka kama mzigo wa kuni pwaaaaaaah!!.aisee!! Vanessa aliumia akaanza kulia, maana alijiona kama mtu asiekuwa na thamani tena, aliumia kupita kiasi. Kitendo kile, kilimfanya vicent aingiwe na huruma, akaghairisha alipokuwa anakwenda, maana alijiona ana hatia sana. "nyanyuka mpenzi sikuzamilia kufanya hivyo nisamehe mama ". Alisema vicent huku akiinama, kumnyanyua vanessa na kwa bahati nzuri, hakuna alieliona tukio lile. "pole mama nisamehe sana". Alisisitiza vicent akionyeshwa kuchukizwa, na tukio alilolifanya." usijali vicent najua aikuwa kusudio lako kuna vitu haviko sawa kwako". Alijibu vanessa huku anajifuta vumbi, akisaidiwa na vicent. Baada ya hapo vicent alimchukua na kumkalisha chini. " vanessa siyo kama sikupendi laah hasha!! Nakupenda ila nielewe unatakiwa tusome kwanza tukimaliza mitihani tutaendelea, nafanya haya kwaajili yetu mama".aliongea vicent,siyo kama alimaanisha ila aliona si busara, kumuhukumu mtu kisa kampenda ni dhambi kubwa sana. " sawa ila niahidi tutakuwa tuna ongea hata mara moja moja, kwani bila kusikia sauti yako au kukuona sitaweza kusoma". Aliongea kwa kudeka, huku akijiegemeza kwa vicent. " sawa mama itakuwa hivyo ila naona muda unatutupa mkono, sitaki kuwachosha wenzangu wananisubiri". Alisema vicent huku akisimama tayari kwa kuondoka. "oky bby tutawasiliana ukifika".alisema Vanessa huku akiachia, busu matata shavuni mwa vicent. Basi waliagana na vicent akawafata washkaji zake, safari ikaanza..****** Nyumbani kwa kina niramu, palipoa alifika moja kwa moja mpk nyumbani kwao, akamsalimia dada wa kazi " da anna mamy yuko wapi?" aliuliza huku ana jibwaga juu ya kochi, begi akilitupia juu ya meza kubwa ya kioo, " ametoka kaniaga anaenda supermarket kununua bidhaa zimepungua".alijibu anna msichana wao wa kazi.niramu akajizoazoa kivivu, akaliokota begi lake, akaelekea chumbani kwake. Anna aliondoka kuendelea na shughuli zake.******* Vanessa alifika kwao, alikuwa amechoka, alifika akamkuta baba yake, ametulia kwenye kochi,akisoma gazeti. Nyumba yao ilikuwa, kubwa kiasi yenye uzuri wa kawaida.baba yake alikuwa daktari hospitali ya muhimbili, mama yake alikuwa mwalimu wa shule ya msingi.walizaliwa watano yeye ni watatu kati ya wanaume wawili, na wasichana watatu, wakwanza ni kaka yao.alipita akamsalimia baba yake, na kupitiliza chumbani. Hakika alijikuta anawaza sana matukio, yaliyomtokea shule. " mmh!! Au vicent amepata msichana mwengine?". Alijiuliza."kama ni kweli sitakubalii kwanza sina imani hiyo, labda atakuwa na jambo lingine, ila shule ile nzima, hakuna anaenikamata kwa uzuri".alijiwazia mwenyewe,akijiuliza na kujipa majibu mwenyewe. Ila gafla aka...... Itaendelea SEHEMU YA TANO (05) ILIPOISHIA SEHEMU YA NNE: wakwanza ni kaka yao.alipita akamsalimia baba yake, na kupitiliza chumbani. Hakika alijikuta anawaza sana matukio, yaliyomtokea shule. " mmh!! Au vicent amepata msichana mwengine?". Alijiuliza."kama ni kweli sitakubalii kwanza sina imani hiyo, labda atakuwa na jambo lingine, ila shule ile nzima, hakuna anaenikamata kwa uzuri".alijiwazia mwenyewe,akijiuliza na kujipa majibu mwenyewe. Ila gafla aka...... ENDELEA. Ila gafla akakumbuka kitu. "mmh si alisema kuwa, tunawasiliana kama kawaida ngoja tuone kama itakuwa hivyo kweli". Alijisemea peke yake, vanessa huku akijiuliza, na kujipa majibu mwenyewe.kiufupi mapenzi yalisha mchanganya, hakujua afanye nini, kumueka vicent kwenye mstari. Aliwaza sana, mpka akapitiwa na usingizi,akasahau hadi kwenda kula chakula.. ****** Niram akiwa bado yupo chumbani, alikuwa ana mfikiria sana vicent, mpka akawa anajiuliza,ni kwa nini amfikirie kama vile. " mmh mbona sasa nawaza upuuzi, kipi ambacho kinanifanya nikumbuke lile tukio la asubuhi".ila gafla kuma kitu akakumbuka, kikamfanya aangue kicheko siyo cha nchi hii. "hahhhhhhahhh!! hhhah!! uwiiii mama weeeeh hhh!!". Alicheka niram kama kichaa. " hivi sasa kilichokuwa kimemgandisha mpka asiondoe gari ni nini?".alijiuliza kisha akaendelea. "maana mtu aliduwaa kama kaona ela alafu yupo pekee yake anavizia jinsi ya kuikwapua hahhhah!!".alijisemesha mwenyewe kisha akacheka tena kwanguvu. Mala mlango ukafunguliwa, Akaingia mama yake ,inaelekea ndo kwanza alikuwa anafika,maana kipochi kilikuwa kwapani. " Eeeeh!! Mwenzetu vipi unaumwa ukichaa, mbona unacheka peke yakoo?".aliuliza mama yake,huku akiwa amesimama mlangoni, kwenye chumba cha binti yake.Niram alishtuka, maana hakutegemea uwepo wa mama yake eneo lile. Ila aliuficha mshtuko wake. "Eeeeeh!! Mama bwana kuna mwalimu wetu alianguka, wakati anaingia darasani, basi nikikumbuka nachekaaa".alivunga niram huku akijifanya kuwa makini na anachokingea. "wewe mtoto shetani si bure mwalimu kaanguka ndo unacheka hivyoo haaahhhhah hatarii, haya vua hizo nguo ukale, maana nakujua wewe hapo ulipo ujala ". Aliongea mama niramu, huku anapiga hatua kwenda nje. "sawa mama naja". Alijibu niram, mara ukasikika mlango paaaaah!, alikuwa mama niramu anafunga mlango . "uhhhhhhhhuh!!"alishusha punzi ndefu niramu, maana akutegemea kama angeweza kudanganya, haraka hivyo. Alibadili nguo nakutoka kwenda kuchukua chakula.. ******* Vicent alikuwa chumbani kwake, akichezea laptop yake.huku ana kula lakini mawazo mengi, yalikuwa kwa niramu. Alijiuliza kwanini ametumbukia juu ya mapenzi ya msichana, wakihindi hakika chakula hakikulika ,alikuwa na mawazo ya hatari yaliyo mfanya, chakula aone kichungu. " ntajitahidi kumtafuta naimani ntampata tu".alijiwazia kimoyomoyo, asijue aanzie wapi, amalizie wapi.ila gafla akiwa kwenye dimbwi la mawazo, alisikia simu yake inaitaaa. Ngrrrrrrrri ngrirrrrrrr!! "nani tena huyoo?". Alijiuliza huku akijiinua kuifata ,kwenye kochi maana yeye alikuwa kitandani. " daaaah!! Anataka nini tena huyuuu aaah!!".alilalamika vicent huku anaipokea simu. "hellow vanessa". Aliongea " yes bby nimekumic nikaona nikupigie". Ilisikika simu upande wa pili alikuwa vaness. " Oooh!! Kumbe niambie". "vicent nilikuwa na kukumbusha lile ombi langu nililokuomba". " lipi hilo?".alihoji vicent huku akimsikiliza kwa makini. "ni lini utanipa penzi lako?, nashindwa kujizuia vicent". Alilalama vanessa huku akisubiria, jibu upande wa pili. "Vanessa hivi kumbe jini wako apendi amani eeh!!?".aliuliza vicent, na kabla ajajibiwa akaongeza neno. " hivi leo nilitoka kukuambia nini hivi upo serious kweli wewe?, naomba usinitibue kama unawaza ngono badala ya kusoma ni wewe mimi naomba unikaushie kabisa".aliongea kwa jazba vicent, huku mikunjo kwenye paji la uso,likionyesha ni jinsi gani amechukia. "ooh nisamehe bby, mi nilikueleza tu hisia zangu wala sitaki tugombane".alijitetea vannesa maana alijua ashaharibu. " oky nikutakie jioni njema kesho mungu akipenda" aliongea vicent, na bila kusubiri jibu simu ikakatwa. Kiukweli vanessa, alijilaumu kwanini aliongea vile, aliilaani ile siku kwani aliiona siku mbaya kuliko zote. Baada ya kukata simu, vicent alikirudia kitanda na kujibwaga bado kidogo angemwaga chakula, kwenye kitanda. " Oooohsh!! Yote sababu ya huyu mwanamkee aaah!!". Alilalama vicent, huku lawama zote akimtupia vanessa. Eti wadau ukipenda sana unaonekana msumbufuu eeeh?.. Tuendeleee.. Basi vicent akachukua kile chakula na kukiweka chini akaendelea na ratiba zake . ******** Ilikuwa muda wa saa mbili kamili usiku(02.00) vanessa alikuwa yupo selbeni na mdogo wake wa mwisho wa kike, aliitwa juliana.kifupi unaweza mwita juli, walikuwa wanaangalia tv.wengine wakiwa na mishemishe zao, huku wazazi wao wakiwa wameshaingia chumbani,maana hata muda wa kuangalia taharifa ya habari aukuwepo, kutwa watoto wanaangalia movie zao. Ndio maana mzee wao anaamua ajununulie gazeti.. Muda wote wapo sebleni ila vanessa alikuwa kimya, kama anawaza jambo. Ila juli aliiona hali tofauti aliyokuwa nayo dada yake .. "vipi dada unaumwa mbona ueleweki leo?". Swali la juli lilimshtua vanessa ,kwenye dimbwi la mawazo akawa hana jibu sahihi la kumpa akabaki, kumbabaisha tu " hamna juli mdogo wangu nawaza mitihani sijui itakuwa migumu?".alivunga vanessa na kujifanya kuuliza ili kupoteza mada. " mmmh!! Dada usiwaze mbona nakuaminia itakuwa ya kawaida muhimu usome ". Alimjibu juli, vanessa akatingisha kichwa kukubali. Ila hakukaa sana akamuaga nduguye akaingia ndani kwake. ********* Siku ya pili, vicent alitoka mapema nyumbani, aliwahi shule kabla hata ya rafiki zake. Hii yote ni kutokana hata usingizi haukupatikana,kutokana na mawazo aliyo nayo. Alikuta baadhi ya wanafunzi wapo darasani, Alifika akakaa kwenye kiti na kufungua begi,kuchukua kitabu na kuanza kusoma. Ila hata sijui nini kilimtuma kutazama mbele maaana alijikuta anatoa macho......itaendelea ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 02* Sehemu Ya Pili (2) Lakini pamoja na yote sikuwa na sifa ya kumteka mwanaume kimapenzi zaidi ya kunionja na kuniacha. Wasiwasi wangu huenda mwili wangu hauna asali itakayo mfanya mwanaume yoyote atakaye nionja anirudie mara mbili. Basi baada ya kupokea aligeuka na kuondoka kurudi ofisini kwangu. Nilipofika mlangoni nilikumbuka kitu nilitaka kumuuliza bosi, niligeuka ili nimuulize kitu. Niligeuka ghafla na kukutanisha macho na bosi ambaye kumbe nyuma yangu alikuwa akinifuatia. Maskini kaka wa watu alishtuka mpaka akadondoka chini, nilijikuta namuonea huruma. Nilirudi hadi chini alipokuwa amekaa bila kuonesha kujinyanyua, mwili wake haukuwa mkubwa sana nilimshika mkono ili kumnyanyua. “Hapana Manka nitanyanyuka mwenyewe.” “Hapana bosi naomba unipe mkono,” nilimwambia kwa sauti ya huruma yenye kubembeleza. Alinipa mkono na kumnyanyua, baada ya kunyanyuka nilitoa kitambaa changu na kumfuta sehemu yenye vumbi. “Tosha Manka sehemu zingine nitafuta mimi.” “Hapana bosi ni wajibu wangu kufanya hili.” Aliniacha nimfute kisha nilimtengenezea kiti na kumuomba akae. “Unaweza kukaa.” Bila kuongeza neno alikaa kwenye kiti chake huku uso wake ukionesha aibu imemtawala. “Pole bosi,” nilimwambia kwa sauti ya chini. “Asante.” “Hukuumia?” “Nipo sawa.” “Pole sana.” “Asante Manka, nipo sawa kaendelee na kazi.” Niligeuka na kuondoka hata nilichotaka kumuuliza nilikiacha na kupanga kumuuliza kupitia simu yangu ya mezani. Nilitoka hadi ofisini kwangu kuendelea na kazi, kabla ya kuanza kazi nilijikuta nikijiuliza kilichomdondosha bosi wangu ni nini. Wasiwasi ulikuwa uleule bosi kapagawa na mimi, kitu ambacho sikutaka kinitokee kwa muda ule kwani ilikuwa mapema sana. Niliamini kabisa bosi kwa mtazamo wa nje alikuwa amepata bonge la mwanamke, lakini ndani sikuwa na sifa zile za kukaa na mwanaume kwa muda mrefu. Niliyapuuza na kuendelea na kazi, nilikumbuka kuna kazi nilitaka kupata maelekezo kwa bosi. Nilimnyanyua simu kumpigia baada ya kuita kwa muda ilipokelewa. “Haloo bosi.” “Ooh..Aah…Nani Manka,” maskini bosi wangu alionesha kiwewe bado hakijamtoka. “Bosi mbona hivyo?” “Aah, kawaida tu, unasemaje?” “Ok, bosi nilikuwa nauliza hii kazi ya malipo kuna maandishi ya mkono nayo niyaandike?” “Hakuna tatizo, yaandike kama ilivyoandikwa.” Nilikata simu na kuendelea ka kazi yangu kama kawaida, baada ya muda nikiwa bize simu ya mezani iliita, nilinyanyua na kupokea. “Haloo bosi.” “Ndiyo Manka jiandae tukapate lunch.” “Nashukuru bosi.” Baada ya kukata simu, niliangalia saa kubwa ya ukutani iliyokuwa mbele yangu, ilionesha ni saa saba kasoro kumi mchana. Nilimalizia kazi yangu ili nipate muda wa kwenda kula, nikiwa bado nimeinama nikirekebisha tatizo la kisarufi nilishtuliwa na sauti ya bosi. “Manka tunaweza kwenda.” “Hakuna tatizo bosi, namalizia kurekebisha sarufi.” “Utamalizia tukirudi.” Nilisave kisha nilizima computer na kunyanyuka, nilijitengeneza vizuri nguo niliyovaa. Kwa chati nilimuona bosi wangu koo likimcheza kama mtu mwenye kiu kikali. Baada ya kuhakikisha nipo sawa tulitoka hadi kwenye gari lake kisha tulikwenda kwenye moja ya hoteli ya kifahari ambayo ilinikumbusha mbali enzi nipo kwenye ndoa yangu. Tulipofika Mateja alionesha kutojiamini sana kwangu kitu ambacho sikuamini mwanaume kama yeye kuwa katika hali ile. Sikuwa na sifa kubwa zaidi ya mwanamke aliyepoteza matumaini ya kupata hadhi mbele ya mwanaume. Niliamini kaniona kwa nje hanijui ndani nilivyo ndio maana ananipapatikia. Nilijua akikipata anachokitafuta kwangu pengine ndiyo siku ya kunifukuza kazi, lakini sikuwa na jinsi kila mwanaume mwenye pesa aliamini mwanamke sahihi wa kukaa naye ni mimi. Baada ya kuketi kwenye viti vyetu muhudumu alifika na kutaka oda zetu. “Manka agiza chochote ukitakacho kwa bei yoyote.” “Asante, nataka kula unachokipenda wewe,” utanishangaa kwa nini nimesema vile, nilifanya vile ili kumtoa wasiwasi na kumfanya awe huru kwangu japo si katika suala la mapenzi. “Hapana Manka nataka wewe leo ndio uchague chakula tutakacho kula.” “Sawa,” nilichagua chakula ambacho wote tulikuwa. Baada ya chakula wakati wa kunywa vinywaji Shaka aliniuliza. “Samahani.” “Bila samahani.” “Manka, umeolewa?” “Sijaolewa.” “Una mchumba sina?” “Sina.” “Rafiki wa kiume?” “Sina.” “Manka mbona unanidanganya.” “Kweli bosi.” “Hivi Manka kwa umbile alilokujali muumba usiwe na mwanaume?” “Si kwamba sijawahi mwanaume ila kwa sasa sina.” “Kweli?” “Kweli kwa nini nikufiche ili iwe nini?” “Mara nyingi watu wamekuwa si wakweli.” “Huo ndio ukweli wangu.” “Kwa nini mrembo kama wewe huna rafiki wa kiume?” “Sina bahati nimeamua kuishi peke yangu.” “Ina maana hata ombi langu litagonga ukuta?” “Ombi gani?” “Kwa vile huna mtu nilifikili unafaa kuwa mke wangu.” “Aaah, bosi,” kauli ile ilinishtua sikupenda kuisikia masikioni mwangu. Sikuwa na jibu la moja kwa moja, moyo mapigo ya moyo walinienda mbio na machozi yalinitoka. Mateja alishtuka kuniona nikitoka machozi badala kumpa jibu lake. “Manka vipi?” “Hataa,” nilitikisa kichwa. “Mbona machozi yanakutoka.” “Kauli yako imenishtua.” “Kivipi?” “Sikutegemea kuniambia neno hilo mapema kiasi hiki.” “Manka, penzi limuingiapo mtu huwa kama kichaa aliyekatikiwa na mishipa ya fahamu. Niyasemayo si mimi ni moyo wangu naomba unihurumie.” “Ni kweli, lakini sina bahati kila siku mapenzi limekuwa likinitesa.” “Kivipi?” “Mpaka leo sijajua sababu ya kuachwa na wanaume.” “Ni wazi wote waliopita walikuwa na tamaa ya kukujua ulivyo na si mapenzi ya dhati. Lakini nakuamini mimi ndiye mwanaume sahihi kwako.” “Hiyo kauli kwangu nimeizoea, lakini mwisho wa siku mambo huwa kinyume.” “Niamini Manka, nitakuwa mume mwema.” “Mmh nitashukuru, lakini usinitende utaniumiza.” “Siwezi.” Baada ya chakula tulirudi ofisini, hatukufanya sana kazi Mateja alikuwa na uchu wa fisi. Aliniomba tufunge ofisi twende tukastarehe, sikuwa na pingamizi nilifunga kazi na kuongozana naye kwenye gari lake. Mateja alinipeleka kwenye hoteli ya kifahari ya nyota tano. Kwa vile shida yake niliijua sikushtuka kumsikia akiuliza chumba cha VIP, baada ya kulipia tulikwenda kwenye chumba kilichokuwa ghorofa la pili. Chumba kilichokuwa cha kifahari, ambacho kilikuwa kipo katika hadhi ya juu. Katika maisha yangu sikuwahi kuingia kwenye chumba kizuri kama kile. Chumba nilikiona kilikuwa kinapendeza lakini wasiwasi wangu bosi wangu atakipata alichokifikilia kukipata mwilini mwangu. Sikutaka nami kijiweka nyuma kwani nilikumbuka kauli za Bi Shuu mama mlezi wangu shangingi mstaafu, kuwa niwapo mbele ya mwanaume nijionesha nipo tayari kumpa kile anachokitaka. Siku zote aliniambia nijiamini ili kumfanya mwanaume naye ajiliuze mara mbili mbili ataniingiaje. Sikupoteza wakati baada ya kuingia tu chumbani nilivua nguo zote na kubakia kama kuku aliyenyonyolewa. Sikuchelewa kumsaula na yeye tukawa sale sale maua. Nilitembea kama miss kuelekea kwenye kabati kuchukua taulo kwa makusudi nimuoneshe umbile langu ambalo mwanzo huwa utata kwa wanaume. Lakini wakiisha nipata nakuwa kama Big G iliyotafunwa na kuisha utamu mwisho wake hutemwa. Kwa kweli sikupenda kutongozwa siku moja na siku hiyo hiyo kumvulia mwanaume nguo ya ndani. Niliamini kabisa kujilahisi vile lazima thamani yangu ingepungua lakini kama ningemzungusha, kidogo thamani yangu kwake ingepanda. Nilijua lazima ataniona maharage ya Msanga maji nusu kijiko. Lakini sikuwa na jinsi kutokana na njia aliyotumia kwa kweli nilijikuta siwezi kuuruka mtego wake mwepesi. Sikuwa ndege mjanja lakini nilinaswa kijinga sana, japo sikujua tatizo langu lakini nilipokuwa natembea na kumuachia umbile la nyuma lililokuwa linawatesa wanaume wengi. Niliinama makusudi kama najikuna mguu ili tu nizidi kumpagawisha. Kitu kilichofanya Mateja azidi kuwa katika wakati mgumu, wakati nafungua kabati nitoe taulo Mateja alikuwa tayari yupo nyuma yangu na kunikumbatia kwa nyuma. Nilijua uzalendo ulikuwa umemshinda, mambo yalianzia pale. Tulianza kubadilishana mate palepale kwenye kabati, baada ya muda aliona anachelewa, mwanaume alinibeba juujuu mpaka kitandani. Kwa vile mchicha ulikuwa umeishakolea nazi tuliumwaga juu ya ubwabwa na kuanza kujimegea tataribu. Mateja alionekana ana pupa kama mamba mwenye njaa, hakuchelewa kukifikisha chombo ukingoni mwa bahari. Baada ya mapumziko mafupi tulirudi ndani ya ngarawa kuendelea na safari, katika vitu ambavyo katika maisha yangu nilikuwa sivipendi ni usumbufu ndani safari. Ooh geuka hivi, lala hivi, inama hivi, nyanyuka hivi, kwa upande wangu niliona usumbufu lakini nilivumilia kwa vile ndiyo ilikuwa siku yetu ya kwanza kukutana. Kama ningekuwa nimemzoea ningempasha, kwani hakuna starehe ya mapenzi mpaka kusumbuana kumgeuza mwenzako kituko,ile kwangu sikuona mapenzi zaidi ya adhabu. Siku zote niliamini baada ya safari ndefu mtu humwaga mzigo na kutelemka. Siku ile tulikaa kaa mpaka saa tatu usiku baada ya kuoga na kula alinirudisha nyumbani. Kabla ya kuondoka Mateja aliniahidi vitu vingi ikiwemo kunijengea nyumba kuninunulia gari na kuyabadili maisha yangu kwa ujumla. Siku ile moja tu alinipatia laki tano taslimu, sikuamini niliona miujiza kupata raha na kiasi kikubwa cha pesa kama kile. Nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu yupo chumbani kwake, Nilifungua mlango wa chumba changu na kuingia ndani. Nilipowasha taa nilishtuka kumuona Bi Shuu kanisimamia nyuma, akuzungumza chochote ila alinikata jicho kali. “Shikamoo Bi Shuu” “Hainisaidii kitu” “Mbona hivyo mama yangu” “Kazi gani ya kutoka saa moja asubuhi kurudi saa tano za usiku?” Mmh, makubwa nimekuwa mtoto mdogo wa kuwa chini yake kwa kila kitu. Nilijua uchawi wa Bi Shuu ni nini, niliinama na kuchukua mkoba wangu na kufungua. Nilihesa nyekundu tano na kumpa. “Za nini?” “Katumie tu” “Za kodi?” “Walaa, nimekutunuku tu mama yangu.” “Kweli!?” “Kweli unafili uliyonifikiza madogo” Bi Shuu alifurahi na kunikumbatia na kusahau aliyobwatuka muda mfupi, baada ya kunipandisha na kunishusha alisema. “Weee mwana kulikoni” “Kaa chini nikupashe kazi imekuwa kaziiiii” “Usiniambie” “Habari ndiyo hiyo shilingi moja kwa sekunde ndio mpango” “Wacha wee leo Mchaka kawa mzaramu” “Umenifundisha wewe, ngoja nikaoge nikupashe upashike” Nilimuacha Bi Shuu chumbani kwangu akizirudia kuzihesabu pesa nilizompa mimi nikaenda kujimwagia maji. Nilipotoka kuoga nilimkuta akinisubiri kwa hamu kubwa. “mmhu, hebu nipe raha” “Bi shuu nitakueleza yote kesho” “Mwana wee siwezi kulala mpaka unipe siri ya rangi nyekundi kupendeza na kusikitisha” Huku nikijifuta maji nilimueleza yote bila kumficha hata moja, mwisho wa yote nilielezea masikitiko yangu ya bahati ya kupendwa na mkosi wa kuachwa. “Bi Shuu, japo nimepata lakini wasiwasi wangu sichelewi kumwagwa” “Kwani una tatizo gani?” “hata silijui hakuna hata mwanaume mmoja aliyenieleza tatizo langu” “Mmh, kuna umuhimu wa kulifanyia kazi” “Siamini kama tatizo langu litaisha” “Hebu kila ukiwa na huyu bwana msikilie na muulize an apenda nini chochote usimnyime” “mmh, Bi Shuu wanaume wengine waharibifu ukimchekea anakuharibu” “Sio unavyo fikiria’ “Kuna nini wanaume wanacho taka zaidi ya kuwaharibu wanawake, sijazaa babu wee cha kuwekewa matambala” “Sina maana hiyo si wote wana penda mchezo huo.” “mmh, nitamsikiliza” “Sasa mwana wee lala nakuomba muheshimu mpenzio kama Mungu wako huoni muda si mrefu nasi tutatembelea gari” “Ndicho ninachokiomba, sijui yatakuwa yale yale.” “Basi mwali lala usingizi unono.” “Nawe pia Bi shuu” Bi Shuu aliniaga na kuondoka na kuniacha nikimalizia kujifuta maji ili nilale. ****** Siku ya pili wakati namalizia kujipodoa kabla ya kwenda kujifusha udi kwa Bi Shuu simu ya Mateja iliingia, niliipokea na kuzungumza naye. “Haloo ma’ Sweet.” “Ooh, ma honey girl.” “Ni mimi, mhu baba nipe habari naona simu za asubuhi asubuhi?” “Aah, kawaida ila kuna dereva nimemtuma atakupitia muda si mrefu.” “Hakuna tatizo Sweet.” Baada ya Mateja kukata simu, kwa vile nilikuwa tayari nimeisha jipodoa nilikwenda chumbani kwa Bi Shuu. Kabla ya kuingia nilikutana na moto uliokuwa ukinukia vizuri, harufu ya asubuhi ile ilikuwa zaidi na ya jana yake Niliingia na kumkuta akiweka udi kwenye kitezo, aliponiona alitabasamu na kusema. “Haya mwali jifushe uwahi kazini.” Niliinama na kufunikwa shuka ili moshi wote wa harufu nzuri uishie kwenye nguo na mwilini, baada ya muda alifunua shuka na kuninusa kama mbwa anayesaka chakula jaani. Asikuambie mtu Bi Shuu havumi lakini yumo, mtu mzima lakini ovyooo. “Umevaa kufuri gani?” Bi Shuu aliniuliza swali ambalo sikufikiria kuniuliza. “Nyeupe.” “Hebu nione.” Mmh, makubwa nilinyanyua gauni na kuiona nilikuwa nimevaa kufuli la mikanda ‘Bikini’. “Mwali ndio nini?” Bi Shuu alishtuka. “Mbona umeshangaa?” “Unakwenda kwenye starehe au kazini?” “Kazini.” “Sasa mbona umevaa kufuri kama unakwenda kwenye kilimo cha mihogo.” “Babu weee kwenda na wakati.” “Acha ushamba vaa kufuri la kawaida, hilo kufuri unalivaa siku unayokutana na mpenzi ukitoa nguo tu akiona anaingia kimuhemuhe.” Mmh, sikutaka kubishana naye nilirudi hadi chumbani kubadili kufuri, wakati namaliza kuvaa honi ya gari ilipigwa nje nilijua mtu aliyetumwa kunifuata amefika. Nilikimbilia chumbani kwa Bi Shuu kumuaga. “Bi Shuu naondoka.” “Umebadili kufuri?” “Ndiyo.” “Hebu nione.” Nilinyanyua tena gauni na kunitazama, nilikuwa nimevaa ya kawaida tena ya rangi nyekundu, alipoiona alisema. “Ewaaa, sasa hapo ndipo nilipopataka.” “Basi nawahi kuna mtu ananisubiri hapo nje katumwa na mzee,” nilisema huku nikiteremsha gauni ili niwahi nje. “Wee Manka ndio nini?” “Vipi tena Bi Shuu mwenzio nachelewa kazini.” “Hebu jifushe na hiyo kufuri linukie.” Nilirudi haraka na kuchutama kwenye kitezo kwa kulitanua gauni langu moshi wote uingie chini. Baada ya kufanya yote niliyoelekezwa na Bi Shuu nilimuaga kwa kumbusu kisha nilipitia mkoba wangu na kutoka nje. Nilimkuta gari likinisubiri, niliingia kwenye gari na gari liliondoka. “Mambo?” “Poa, sijui yako?” “Hata mimi ipo poa.” Safari iliendelea hadi ofisini, nilipofika nilipita moja kwa moja hadi ofisini kwa Mateja, alivyokuwa ameisha ingia ofisini. Baada ya kufungua mlango wa ofisi niliingia huku nikiachia tabasamu pana na kutanua mikono yangu, Mateja aliponiona alizunguka meza yake kunipokea. Tulikutana katikati na kukumbatiana. Tuliporomosheana mabusu moto moto huku tukigandisha midomo kwa muda na kubadilisha mate. “Mmh, tosha,” nilisema huku nikijitoa mikononi kwa Mateja. “Mhu, za nyumbani?” “Mmh, mzuri sijui kwako?” “Kwangu ilikuwa ngumu kidogo kutokana na kuwa na wakati mgumu baada ya kukuota tupo pamoja niliposhutuka nilijikuta nipo peke yangu.” “Pole sana, basi ndio ufanye haraka kunichukua.” “Kwa mateso ya jana kuna umuhimu wa kufanya hivyo.” “Basi mengine baada ya kazi.” “Haya mama, mimi niseme nini.” Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Pamoja na furaha ile bado wasiwasi wangu ulikuwa nini hatima yangu kwake, nitaendelea naye au ndiyo atanitosa kama waliotangulia. Wazo la awali lilikuwa kuomba msaada kwa Bi Shuu ili niweze kumdhiniti. Niliendelea na kazi zangu kama kawaida, muda wa mchana tulikwenda kula pamoja kama wapenzi wasiojificha. Siku ile baada ya kurudi nyumbani aliniomba tuwe wote usiku wa siku ile, sikumkatalia kwa vile ndiye aliyekuwa mmiliki wa mwili wangu. Usiku alinipitia na kuondoka kwenda kulala naye mpaka asubuhi, kaonja kaona tamu sasa anataka kula kabisa. … Ni kweli nilifurahi kulala na Mateja mpaka asubuhi kuonesha jinsi gani alivyopagawa kwangu, lakini usiku kwangu ulikuwa wa karaha sana yaani mambo nisiyoyapenda ya kusumbuana wakati wa mapenzi yalijirudia tena. Nilishindwa kumkatalia kwa vile alikuwa bosi wangu kwa kuogopa kufukuzwa kazi na maisha ya kutangatanga yalinichosha. Usiku mzima kugeuzwa kama chapati ooh geuka hivi, lala hivi fanya hivyo, basi kero mtindo mmoja. Nilijiuliza bila kunisumbua vile hawezi kukidhi haja zake, mpaka kunakucha nilikuwa nimekasirika mtoto wa kike kila kona ya mwili iliniuma hayakuwa mazoezi bali adhabu ya mapenzi. Asubuhi Mateja alifurahi sana na kuniahidi kabla ya yote kukibadili chumba changu kwa kuninunulia sofa za nguvu, alinipa pesa nyingi za kutumia na kunirudisha nyumbani. Huwezi amini nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu akinisubiri, kutokana na uchovu nilimsalimia na kuingia ndani nijilaze. Kabla sijabadili nguo na kuvaa kanga nyepesi Bi Shuu aliingia. “Mankaaaaa,” aliniita kimbea. “Unasemaje Bi Shuu,” nilimuuliza huku nikimuangalia jicho zito la usingizi. “Mmh, sikuwezi.” “Kwa nini Bi Shuu?” “Mambo yako mazito.” “Mmh kawaida tu, vipi ushakunywa chai?” “Nilikuwa nakusubiri wewe.” “Mimi kwa sasa hivi siwezi nimechoka sana.” “Eeeeh Manka weee, mlikuwa mnakomoana.” “Wee Acha tu,” niliona kama ananichelewesha kulala kutokana na umbea wake wa utu mzima. Nilivuta pochi na kutoa noti kadhaa za kumi kumi na kumpatia Bi Shuu bila kuzihesabu. “Za nini?” “Za kwako.” Bi Shuu alichanganyikiwa na kunivamia kwa furaha na kujitahidi kunibeba japo uzito wangu ulikuwa mkubwa. Kweli pesa sabuni ya roho Bi Shuu alipagawa na kuniona kama malaika niliyetumwa kuja kumpa furaha ya asubuhi ile. “Bi Shuu niache nipumzike.” “Mwali weee lala, tena utakutana nimekuandalia chakula kizuuuri.” Bi Shuu alitoka na kuniacha nikimalizia kuondoa nguo mwili kisha kuchukua kanga nyepesi kisha kujitupa kitandani. Nililala kwa muda wa saa zaidi ya nane kutokana na uchovu wa mbilinge za Mateja usiku kucha. Majira ya jioni Mateja alifanya kweli kwa kuleta sofa za nguvu kitu kilichofanya Bi Shuu kunipa chumba kikubwa cha nyumba kubwa. Niliamini ule ulikuwa mwaka wangu wa mimi kurudi katika maisha ya kutanua. Niliamini muda si mfupi lazima niwe na gari langu mwenyewe. Baada ya kukipamba chumba changu na kupendeza Bi Shuu aliniweka chini na kunipa somo. “Manka Mungu akupe nini, ukishikwa shikamana mwali wee.” “Hata mimi najua Bi Shuu.” “Unaonekana mwanzo ulikuwa ukifanya makusudi mbona sasa hivi mwanaume kapagawa muda si mrefu utakuwa dunia ya wenye nazo.” “Ndio maana yake.” “Basi Manka nitakuongezea vikorombwezo akigusa amenata.” “Usiniambie!” “Kwanini wazee wenzangu pamoja na umri wangu wakionja wanapagawa itakuwa wewe ukioga maji yanatelemka.” “Tena kweli ufanye haraka maana ameisha tangaza ndoa.” “Basi hiyo kazi niachie.” Mateja alinipigia simu kuwa siku ile angekuja kulala ili jumatatu twende kazini pamoja nami sikumkatalia. Kweli usiku alikuja kulala kwenye chumba changu kilichokuwa na hadhi kubwa kwa mtu yoyote. Kama kawaida ya usiku wa jana yake yalijirudi ya kusumbuliwa lala hivi geuka hivi fanya hivi, basi taabu mtindo mmoja. Na siku ile nilivumilia lakini moyoni nilijisemea siku nyingine nitampasha kweli wake hawezi kunigeuza kama mwanasesele na kunichezea apendavyo. Nikajikuta siyachukia mapenzi na kuyaona kwangu ni karaha na si starehe, mwanaume alikuwa akipanda juu ya mnazi hashuki mpaka nahisi kichefuchefu. Niliamini kabisa alitaka kunikomoa kwa vitu alivyonipa, kwangu sikuona mapenzi zaidi ya mateso. Uvumilivu uliponishinda nilianza kuwa mkali kwa kumgomea kwa usumbufu wake kwa kumueleza makavu kuwa sitaki kama hawezi kifo cha mende tuache. Mateja alinielewa na kustarehe bila usumbufu, nilishangaa kumbe anaweza kukwea mnazi bila kujifunga kamba za miguu. Kilichonishangaza ndani ya mapenzi yetu yaliyochukua miezi minne, Baadhi ya mambo yalianza kutoonesha dalili zozote za kutimiza ahadi yake. Siku zilivyozidi kwenda mbele ndivyo uhusiano na Mateja ulivyozidi kulega, hata kuwa pamoja baada ya kazi ikafutika kila muda alionekana yupo bize. Kitendo cha kutokuwa karibu na Mateja kilimshtua sana Bi Shuu kwani hata vizawadi navyo vilikatika. Siku moja aliniweka chini na kuniuliza. “Manka kulikoni?’ ”Hata mimi sijui.” “Manka kila siku hujui wakati unaharibu.” “Bi Shuu unanilaumu bure.” “Hivi kama na huyu atakuacha unafikiri utampata nani?” “Bi Shuu nimejitahidi kwa kila ulilonifundisha nililifanya lakini matokeo yake ndio hayo lazima kuna mkono wa mtu.” “Manka kuna kitu gani alichokipenda Mateja hukumpa?” “Mmh, kila kitu nimempa.” “Kweli?” “Kweli kabisa, nikudanganye ili iweje.” “Sasa itakuwa nini?” “Hata mimi sijui, huu utakuwa ni mkosi tu” “Basi naomba kesho ukienda kazini niitie Mateja.” “Mmh, sijui kama atakuja, lakini nitafikisha ujumbe.” Siku ya jumatatu nilikwenda kazini kama kawaida huku nikifikilia jinsi ya kufikisha wito kwa Mateja wa kuitwa Bi shuu. Hakuwa Mateja niliyekuwa namfahamu. Ilionesha mapenzi yalikwisha kabisa. Kila alipoingia ofisini alinisalimia lakini hakuna kilichoendelea. Nilipomuuliza alinijibu kwa kifupi “Nipo bize,” nilijikuta nikiiona kazi ngumu kama si Bi Shuu ningeacha kazi kutokana na kujiona sina thamani tena kwa Mateja. Siku moja roho iliniuma sana baada ya msichana mmoja kuingia ofisini kwa Mateja bila kumuulizia kwangu kama ilivyokuwa kwa wateja wengine. Niliacha kazi zangu na kumfuata ndani, nilipoingia ofisini mbona lilinishuka mtoto wa kike. Niliwakuta wamekumbatiana na Mateja huku midomo yao ikiwa imegandiana. Nilitamani ardhi ipasuke inimeze, nilisimama kama sanamu nisijue cha kufanya, machozi yalinitoka bila kizuizi, pamoja na kuniona hawakushtuka ndio kwanza walizidisha kutomasana kimahaba. Niliona wazi kabisa penzi langu na Mateja limefika ukingoni. Nilirudi ofisini kwangu na kukaa chini kazi ilikuwa chungu nilijikuta nikilia peke yangu, nilitamani kuondoka niiache kazi. Lakini niliyakumbuka maneno ya Bi Shuu kuwa siku zote penzi tamu ni lile lisilo sukumwa ninalosukumwa lina kasoro. Nikiwa nimeinama nafuta machozi nilishtushwa na sauti ya Mateja. “Manka.” Bila kuitika nilinyanyua uso kumuangalia huku kitambaa kikiwa karibu na macho kufuta machozi. Mateja alikuwa amesimama mbele ya meza yangu akiwa ameshikana kimahaba mmoja alimshika mwenzake mkono shingoni na mwanaume kiunoni. “Vipi mbona unalia?” Mateja aliniuliza kwa kunikujeli, sikumjibu niliendelea kufuta machozi. “Manka huyu ndiye mke wangu mtalajiwa.” Sikumjibu niliinama chini na kulia kilio cha kwikwi ambacho Mateja na mpenzi wake hawakukijali. Niliwasikia wakiondoka, niliwasindikiza kwa macho mpaka walipotoweka, baada ya kutoweka machoni mwangu nilijikuta nikijiuliza nalia nini kwani tukio lile halikuwa la kwanza upande wangu kutendewa. Ni kweli lazima moyo uniume kutokana na ahadi nzuri za Mateja ambazo nilijua zitanibadilisha katika maisha yangu. Ndoto yangu ya mchana ya kumiliki gari na nyumba iliyeyuka kama bonge la mafuta katika kikaango cha moto. Baada ya muda Mateja alirudi na kunipita kuingia ofisini kwake bila kunisemesha jambo lolote. Nilikumbuka wito niliopewa na Bi Shuu wa kwenda kuzungumza naye juu ya matatizo yangu, kila nilipotaka kumwambia moyo ulisita na kuamua kuipotezea tu. Muda wa kutoka nilijikuta nikijikaza kike na kumueleza. “Samahani bosi.” “Bila samahani,” Mateja alinijibu kistaarabu. “Bi Shuu alikuwa anakuita.” “Bi shuu naye ana shida gani tena?” “Hata sijui.” “Mmh, yule bibi na umri wake yuko vile wakati wa usichana wake alikuwaje?” “Mmh, sijui.” “Basi mwambie nitamtembelea wikiendi.” Jamani kauli ya Mateja ilinipa matumaini labda atarudisha moyo wake, siku zote nilimuamini Bi Shuu kwa maneno yake matamu yaliyojaa misemo nahau na methani ili kumlainisha mtu. “Jamani bosi kwa nini usiende leo?” “Manka nipo bize sana atanisamehe, lakini mwambie sijamdharau nitaitikia wito wake.” ITAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TISA (19) & 20 ilipoishia sehemu iliyo pita mda huo mjomba amelala kitandani, errycah alishika mashine ya babayake akajihukumu nayo yeye mwenyewe ila kadiri walivyo kuwa wana binjuana ikaanza kitumbua cha errycah kilianza kulainika na kutanuka kitendo kilicho sababisha dudu lote kuzama ndani.japo ni kitendo cha kibaya walichokua wanafanya lakini waliweka tofauti zao pembeni na kupeana raha......mmmmmmmhhh...... ashhhiiii. tamuuuuu........ ilikua ni miguno ya errrycah*..... endelea sasa............... tukiludi upande wangu chumbani nilihisi kuna mtu ameingia chumbani niliamka na kuwasha taa nilishangaa kumuona manka akiwa na chupi tu nikasema yes leo natoa bikra kwa mara ya kwanza nikamsogelea na tukaanza kuchèzeana kwa muda mrefu ukafika ule wakati nikashka rungu na kuanza kulipeleka kwenye kitumbua cha manka. Nilishangaa kumuona manka akinigeuzia myuma yaani tigo wengine wanaita nyama ya bata na akakalia yote mpaka ikazama bila kikwazo kisha mtoto wa kirwanda alianza kukata mauno kama feni na huku nikishangaa kuona kwa mara ya kwanza nakula tigo. Niligugumia utamu ule nilioupata kutoka kwa manka huku nikiendlea kushikiria kiuno wakati manka anajikunja kunja kama kambare aliyenasa kwenye mtego.kwa akili zangu za kawaida ningekujua kama kuna kufanya ule usodoma nisingeweza kukubali ila kwakuwa nimechomekewa ngoja nitafute Baada ya round ya kwanza tulipumzika pembeni huku nikijawa na maswali mengi juu ya kale kamchezo haramu ka kupeana tigo.tena ukiangalia sina uzoefu.nikaamua kumlopokea. manka kwa nini unanipa tigo badala ya voda we unataka nikupe voda alafu mjomba wako akijua si ataniua mana nime mwambia Nina bikra ? sasa sikia una nipenda au ? nakupenda tena sana tu alinijibu manka basi nipe mbele na sio nyuma jamani siwezi........!!! naogopa kuuliwa mana mjomba wako kanionyesha bastola kama sina bikra.... nikasema huyu nisipo jiongeza sipati kitu nikamvuta mpaka kifuani tukawa tunatazama ila cha ajabu alijipindua na kunilalia kwa mgongo, niliendlea kumchezea chuchu zake naye akakamata mtambo akaupaka mate na kuanza kuhusugua kwa kiganja chake ndo akaamsha madudu yangu nilimgeuza akakaa dog style manka ananenepa makalio kumbe linaliwa tigo ili kulinda hapo baadae aonekane alijitunza sasa mimi kwa hili nataka nimtibulie malengo yake maana najua kama kuolewa ataolewa tu na mjomba. nikabinua zaidi kiuno nikaiona imekaa poa nikapitisha moja kwa moja kwenye kitumbua chake mpaka ikazama yote mtoto alilia sana mpaka nikamuonea huruma alivyolia ila nikasugua kwa nguvu mpaka damu zilianza. Nilijifanya kama sisikii kile kilio alichokuwa anakitoa manka na zile damu zilizokuwa zinamtoka japo hazikuwa nying ila kwangu havikunipa uoga wowote maana nasikiaga ni kawaida sana japo sio wote wanao tokwa na damu. Nilikuwa na alama za kucha niliyo pigwa hadi tendo halikuwa na raha tena maana nilitumia nguvu zaidi na huku manka hakiwa hataki ila maji ndo nimeshavulia nguo niliendlea kusugua mpaka mwenyewe akaishiwa nguvu akawa analia tu maana kama bikra ndo imeshatoka tena. Niliendelea mpaka nikasikia wazungu wanakuja nilishndwa kujizuia nikamwaga humo humo ooooooooppps aaaaaaaahh.......shitiiiiiiiiiiii mchezo ukaishia hapo nikajilaza pembeni manka alionyesha alikuwa na hasira na mimi hakutaka kunitazama zaidi ya kulia na kunilaumu na kuniambia "sasa nilikua Nina siri nzito ya kukupa sasa sikuambii" nilimbembeleza sana mpaka akalopoka yule dereva unaye mtegemea akupe siri ya mambo yalivyo ........tume mkuta mwanza akiokota makopo... "yani dereva kawa chizi" ndio mana yake...... TUNAUNGANISHA offer lipia sh 1000 uisome yote mwanzo mpaka mwisho SEHEMU YA 20 endelea sasa TUKILUDI UPANDE WA MJOMBA NA ERRYCAH.... mjomba akawa anampapasa kifuani huku vidole vyake vikilowa majimaji yanotoka ukeni kwa errycah. alimchezea hadi akalegea kama maiti inayosubiri kuzikwa akaushika mdudu wake na kuanza kuusugua juu ya kinena errycah alijihisi yupo mbinguni kwa raha alizo kuwa ana zipataa. "ba....ba......ba.shiiiii ...utamuuuuuu nakupendaaaa ....iiiiishiiiii"alilia kwa utamu "aishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii baba unanimaliza kabisaaaa yanii raha kama hizi sijawai zipata alisema kwa taratibu masikioni mwa mjomba " "Aaaaaa....aiii iii a ...aaaah..aaiii .uuuuu..uuuu"jamani raha alizokua anazipata hata azielezeki aliemdelea kulia kwa sauti ya utamu mjomba akaanza kuingiza muhogo wake taratiiibu kwenye kitumbua na errycah akatanua mapaja yake ili muhogo uingie vizuri "aaaaaaaaaah..mhmm..aassss aaaasssshhhiii "jamani kale kamchezo ni katamu sana mjomba akambinua tena na kumweka pembe la ng`ombe na akaanza kupiga nje ndani " mhff..uuu...mhmhff uu uussshhhhhii " mjomba alishusha pumzi taratiiibu kwa utamu alio upata kutoka kwa mwanae errycah. akambinua na kumkunja miguu yake na kuiweka kichwani huku aki piga nje ndani naye errycah hakubaki nyuma alimzungushia kiuno kimadoido huku akilalama chinichini kwa utamu wa raha alizokuwa anazipata. ..... aka mkatikia mauno na kuanza kumgongeshea mjomba nnje ndani hadi akamsikia mjomba akilia kwa utamuu " aaaaaaaaaaiiiiiiiiiii. Liiiii ...errycahaaaaaaaaaaaa iiiiiiiiiiiiaaaiiii"akamwaga mchuzi mzito wa motoooo kwenye kitumbua cha bintiyake "aaaaaaaaah " akashusha pumzi na kutoka mwilini mwa errycah. errycah akavuta nguo yake na kujifunika kwa aibu ya kitendo kile walichofanya na baba yake mzazi.nae mjomba akachukua bukta yake haraka lakini errycah aliwai kwenda kuishika ile bukta na kuchomoa ule ufunguo wa siri.akamfata mjomba na kumwambia daddy asante sana kwa raha ulizo nipa sijawai zipata japo tumefanya dhambi lakini asante mana nilikua sijapata mtu wa kunikuna kiasi cha kukujoa mara 4 mfululizo " aliongea hayo huku akiwa ana mvisha mjomba bukta walienda bafuni wakaoga utafikiri mtu na mkewake kumbe mtu na bintie walipomaliza waliingia kitandani na kuuchapa usingizi hadi asubuhiii.. tukija upande wangu manka alinipa plan akaniambia mjomba wako sio mtu mzuri kabisa mana tulivyo kutana tu na yule dereva pale pale dereva akageuka na kua kichaa kitendo kile kilinipa maswali mengi kingine alikuja Rwanda kutafuta binti ambaye hajawai Ku sex kabisa alitangaza na kuweka day kubwa sana la pesa ndipo nilipo amua kukubali ili akinipa izo pesa nikawasaidie wazazi ambao wapo hospitalini. tuliongea mengi na nikampa ushauli jinsi ya kufanya siku watakayo lala na mjomba nika mwambia akianza kuingiza dude lake inabidi u act kama kwel wewe bikra usijisahau mana akijua wwe sio bikra lazima akuondoe duniani hapa. alinisikia na kunipongeza kwa ushauli nilio mpa tukaingia bafuni tukaoga tulipo maliza ilibidi yeye aludi chumbani kwa mjomba ili tusije tukashtukuwa alikua ana jikaza sana mana dozi niliuo MPA ilimfanya achechemee kama kilema vile. nilifika kitandani na kuwaza sana juu ya matendo Yale huku nikiwaza jinsi ya kurudi shirikani ili niendelee na wito wangu wa kuja kua padri kusema ukweli nilitamani sana kua padri lakini vishawishi ndo vinanisonga nilipitiwa na usingizi na nikaja kushtuka ni asubuhi. nika sikia hodii ikibishwa chumbani kwangu Kenny,,,,,,,, Kenny fungua mlango ilikua ni sauti ya mjomba.nilipata wasiwasi labda pengine amejua ujinga nilio fanya na manka nikaamka na kufungua mjomba aliingia akiwa ameshika bastola yake na hapo hapo nikaanza kutetemeka alisogea mpaka karibu yangu na kuniambia..... usikose sehemu ya 21 like page yetu sasa offer malizia simulizi hiii kwa vipande 12 vilivyo baki kwa shilling 1000 tu pia utaungwa kwenye group letu...... ********** CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA (21 ) UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyopita nika sikia hodii ikibishwa chumbani kwangu Kenny,,,,,,,, Kenny fungua mlango ilikua ni sauti ya mjomba.nilipata wasiwasi labda pengine amejua ujinga nilio fanya na manka nikaamka na kufungua mjomba aliingia akiwa ameshika bastola yake na hapo hapo nikaanza kutetemeka alisogea mpaka karibu yangu na kuniambia..... Endelea sasa "kijana una lala mpaka saizi unaonekana umechoka sana eeeeh...... sasa sikia chukua gari nililo pata nalo ajari na ulipeleke gereji si unajua Ku drive ?" nika mjibu "ndio" huku kidogo pressure ikishuka na nikajikuta sawa.lipeleke pale kwenye gereji ya horena hotel ukifika pale utamkuta fundi anakusubiri ukisha maliza shughuli zako utarudi nalo atakua kashamaliza kulitengeneza. alinipatia hela ya mafuta na ya kutembelea kidogo kama laki mbili hivi.nikavunja ukimya vipi mjomba mbona unatembea na bastola. "aaaaah leo Siku ya kuisafisha mana si unajua tena watu wakubwa sisi."aliongea ivyo huku akitoka nje..,.... nikaingia bafuni nikajimwagia maji nikavaa track zangu za puma kama alizovaa Rayvanny kwenye hii nyimbo yake mpya #siri nilijiangalia kwenye kiioo kusema ukweli Rayvanny nilipemdeza kuliko hata yeye.nikatoka sebreni nikakutana na errycah akitoka chumbani kwake alionekana amechoka sana kwa shughuli ya Jana usiku walio kua wanaifanya na mjomba. nilimsalia hakua na maneno mengi sana ya kuzungumza zaidi ya kunipa ufunguo wa chumba cha siri. na kuniambia "leo ukirudi huko tutaingia kwenye chumba cha siri ili tujue kuna nini"nika mwitikia kwa kicha alinikumbatia na kunipa kiss huku akiniambia nakupenda sana Kenny wangu...... **************** kitendo kile cha kunikumbatia........ manka alikishuhudia na kutoa sauti ya ukali "we errycah mnafanya nini apo" kila mtu alisambaratika na kuendelea na shughuli zake nilipata kifungua kinywa huku manka akinitolea sana macho kwa kitendo kile nilicho kifanya cha kukumbatiana na errycah.sikumsemesha mana mjomba alikua naisafisha bastola yake alinipatia ufunguo wa gari huku akiniambia niwe makini barabarani. nikamtoa wasiwasi mana shirikani nilikua dereva mzuri sema sina leseni Nina uwezo wa kuendesha hadi trekta nishindwe Ku drive prado. nikatoka nje na kulitoa gari kwa mwendo wa taratibu lakini nilipo fika nje gari lilinikoma nilitembea na gari speed ya ndogo ilikua ni 210 haikuchukua mda mrefu nilikua nimesha fika gereji nikakutana na fundi nikamwelekeza akasema mpaka SAA 12 gari itakua teali basi kidume nikasema acha nitembee kidogo ni kamkumbuka sethi yule msichana niliye toka naye Rwanda. "alisema amekuja kwenye kongamano LA vijana na atakaa Tanzania kwa siku tatu na hadi leo ni zaidi ya wiki sijui atakwepo acha nikamwangalie" wakati naingia pale horena hotel nilikutana na yule muhudumu aliye tuhudumia siku ile na sethi uzuri alinikumbuka na kunichangamkia kwa furaha "ooooooh jamani handsome boy huyo eeeeh za kupotea mana toka sikuile umempa dozi yule mdada ujaonekana tena alafu nimepemda mashine yako mana si kwa kilio kile alichokua analia yule mdada" nilibaki namshangaa kwa maneno aliyo kua anazungumza yule mhudumu nikampachika swali "we ulituona" "ndio mana vyumba vya hotel yetu vina CCTV camera ambayo ikifika SAA 8:30 tunawasha ili kuangalia usalama mechi nzima niliiona" niliishiwa pozi nikaamua kuuliza kile nilicho kifuata pale ok yule mdada yupo ........? "apana mbona aliondoka siku tatu baada ya Ku fanya yenu siku ile ila ameniachia bahasha nifate uje uichukue" nikaona isiwe tabu acha nikaaiangalie hiyo bahasha. tulianza kupanda ngazi kuelekea juu na mda huo ilikua SAA 6 mchana nilishangaa ananielekeza chumba anacholala yeye kama unavyo jua kuna baadhi ya hotel wahudumu wanalala hotelini humu humo.aliniambia ingia usiogope handsome boy kidume nikazama bila shida mana mhudumu sio haba mtoto mashalaah kaumbika hata ukimwangalia nyumba ilo wowowo alilo libeba utasema kontena alafu kiunoni kama nyigu uongo dhambi mhudumu alinivutia sana.............. usikose sehemu ya 22 like page yetu sasa Offer Malizia Simulizi Hiii Kwa Vipande 11 Vilivyo Baki Kwa Shilling 1000 Tu Pia Utaungwa Kwenye Group Letu...... ********** ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 05* MWISHOOOOOOOO Sehemu Ya Tano(5) Nilimweleza huku nikimuongeza mahanjamu yaliyomfanya ajikute katikati ya shamba akipalilia mazao bila kutumia nguvu. Kama alivyonielezea Bi Shuu tulikuwa tukizimua ili kuuchangamsha mwili kutokana na mtanange wa kukata na shoka. Hatukutumia nguvu sana zaidi ya kuichangamsha miili yetu. Baada ya kila mmoja kupata kifungua kinywa kikombe kimoja kikavu kijasho kilitutoka na kwenda kuoga. Huwezi amini Bi Shuu muda wote alikuwa karibu yangu kwa kila hatua. Nilikuta maji ya moto tayari yapo bafuni, tulioga pamoja huku tukishikana hapa na pale. Baada ya kuoga tulirudi ndani, juu ya meza kulikuwa na chupa ndogo ya chai na sahani iliyokuwa imefunikwa sikujua kwenye chupa kuna nini na kwenye sahani kumefunikwa kitu gani. Mateja alipoona chupa ya chai na vikombe vya udongo ambavyo vilionekana mahususi alisema. “Mmh, kweli toka jana umenipania, alfajiri yote hii umeamka saa napi kuandaa kila kitu.” “Kila mwanamke anajua wajibu wake.” “Asante nimekubali.” Moyoni nilibakia na maswali Bi Shuu amelala saa ngapi maji ya moto na kifungua kinywa amevitayarisha saa ngapi. Nilijikuta nikumuonea huruma bibi wa watu na kujiona kama namtesa bure. Lakini kwa upande mwingine alinisaidia sikuamini vitu vile kama mwenyewe ningeviweza. Nilisogea kwenye meza na kuangalia kwenye chupa kulikuwa na tangawizi na kwenye sahani kulikuwa na mayai manne. Mateja alipoviona vile vitu aliniambia. “Nikuambie kitu Manka?” “Niambie.” Mateja anataka kumwambia nini Manka? Kuyajua yote tukutane wiki ijayo. “Kipi nilikifanya kwa ufasaha?” Nilimuuliza kutaka kujua hizo maksi tisini nilizipata vipi. “Vingi sana.” “Vipi hivyo?” “Mwana wee, hata hujapumzika una pupa kama umemuona Mateja kadondosha taulo?” “Jamani Bi Shuu yamekuwa hayo!” “Umerudi pumzika jimwagie maji kisha uache mwili upumue kwa muda, kwa vile muda bado tunaweza kuzungumza kwa kituo, siyo juu juu kama malaya wa Magoti, lamba raha, nipe changu. ” Mmh! Maneno ya bibi huyu yalinifanya niwe mdogo kama pilitoni na kukoma kuuliza swali kama lile. “Basi wacha nikaoge.” “Haya ndiyo maneno, mtoto wa kike huambiwa sio aulize vingine aibu, ushanizoea eeeh. ” Bi Shuu aliniuliza huku akinikata jicho la dharau. “Hapana Bi Shuu.” “Ndivyo nilivyokufunda, eeeh jambo la ndani kulisema hadharani?” He! Makubwa Bi Shuu aligeuka mbogo. “Bi Shuu, samahani basi.” “Samahani basi, ndiyo nini?” Bi Shuu alishika pua. Mmh, niliamini kisebusebu changu ndicho kilichoniponza baada ya kuamini Bi Shuu wa kawaida wa kumuuliza kila nitakacho. “Bi Shuu samahani sana kama nimekukosea.” “Nshakusamehe, nenda kaoge pumzika kisha njoo. ” Nilikwenda chumbani kwangu kubadili nguo kisha niliingia bafuni kuoga, baada ya kuoga nilijilaza kitandani na kupuliziwa upepo mwanana wa feni. Nikiwa nimejilaza nilikumbuka Mateja alitaka chakula cha usiku, nilikurupuka na kumfuata Bi Shuu aliyekuwa amekaa sebuleni kwake akiangalia cd ya taarabu. “ Vipi?” Aliniuliza baada ya kuniona. “Bi Shuu Mateja anataka chakula cha usiku.” “We mwali! Chako amekiona hakifai anataka na changu?” “Jamani Bi Shuu maneno gani hayo?” Jamani Bi Shuu alinipeleka sipo kabisa. “Sasa kosa langu nini, kama angetaka chako usingeniambia ungempa tu, lakini baada ya mwali anataka na vya kungwi wake, naona kanogewa sasa anataka kuku na mayai yake.” “Jamani Bi Shuu sina maana hiyo.” “Ulimaanisha nini?” “Chakula ulichompikia jana kimemrusha akili kimeniongezea maksi mtoto wa kike na kutaka awe anakula kila siku, kitu kitakacho harakisha ndoa.” “Na mchumbake?” “Amechoka kula vya kuchemshwa bila kuungwa.” “Hooooya weee, kweli kula uhondo kwahitaji matendo, umeona eeeh?” “Nimeamini mtembea bure si mkaa bure, Mateja kachanganyikiwa ingekuwa ndoa ni viocha ya simu, mbonaangenifuta na kuniiingiza na sasa hivi angekuwa hewani kwa raha zake.” “Manka huyoo, ushakuwa mtoto wa Kizaramo mineno kama umebemendwa.” “Bi Shuu kweli wewe nyani huoni makalio yako.” “Haya tuachane na hayo anataka chakula gani?” “Kama cha jana.” “Lakini leo utapika mwenyewe.” “He! Bi Shuu mbona unaniumbua mchana, nitaweza wapi kupika chakula kitamu au ndiyo unanivua nguo ukweni.” “Wachina wana methari zao kuwa ukitaka kumsaidia mtu usimpe samaki bali mfundishe kuvua ili aweze kupata zaidi.” “Kwa hiyo nami unanifunza kuvua?” “Ndiyo maana yake, kama ningejitoa kwa Mateja angekupenda wewe au mimi?” “Wewe?” “Basi, leo nina kazi ya kukufundisha kupika baadhi ya vyakula, ushaona chai ina paliliwa.” “Ha!” “Unashangaa, kupika kunataka kituo kutuliza akili sio nyanya hazijaiva wewe unatosa kitoweo, ndiyo maana vikiiva havieleweki kila kitu kipo kivyake.” “Si kuna mafunzo ya kupika mtu anapata cheti?” “Cha darasani si kitamu kama cha asili, wee nenda kanunue vitu ili tuingie jikoni pamoja, siku ya pili umuandalie peke yako bila msaada wangu.” “Nikijua kupika nitafurahi.” “Unatosheka? Hata ukijua kupika bado utajigundua una mapungufu.” Bi Shuu alinielekeza vitu vya kwenda kununua, sikutaka kupoteza muda nilibadili nguo na kwenda kudandia daladala mpaka sokoni, baada ya manunuzi yote muhimu. Nilirudi mara moja na kumkabidhi Bi Shuu ambaye alinieleza nitulie atanishtua. Nilirudi chumbani kwangu na kujilaza chali nikiwa kama nilivyozaliwa na kula upepo wa feni kwa raha zangu. Nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu juu ya mambo ya Bi Shuu, mtu mmoja alikuwa na mambo mia moja. Nilikubali mzee wa watu kutoa huduma pasina kinyongo, kweli alipewa mambo yaliyo katika mzani. Majira ya jioni Bi Shuu aliniamsha na kuanza maandalizi ya kupika, maandalizi ya awali ya kumenya vitunguu maji na swaumu nyanya na viungo vingine nilijua kuandaa baada ya kuandaa tuliingia jikoni. Niligundua makosa yangu mengi katika kupika. Kwa upande wangu nilikuwa natumia muda mchache kupika tofauti na Bi Shuu hakuwa na papara katika kupika hata chuzi lilionekana kweli linajitengeneza tofauti na kina sisi wakina mama kuchemsha, kweli niliamini vitamu vinahitaji utulivu. Nini kitaendelea? Kuyajua yote tukutane wiki ijayo. Baada ya kuandaa chakula kwa kufuata maelekezo ya Bi Shuu, nilikiandaa kwa ajili ya Mateja. Mtoto wa kike nilioga na kumuandalia Mateja maji ya kuoga niliyoweka viungo. Nilirudi chumbani kujiandaa kumpokea mpenzi wangu, kama nilivyoelekezwa na Bi Shuu mwanamke anayetaka kumpokea mpenzi wake hasa penzi linapokuwa changa. Nilijifukiza udi wa manukato kila kona ya mwili hata kanga zangu nilizokuwa nimejifunga na shuka nilizotandika nazo zilikuwa zinanukia. Yote haya yataka kituo huwezi kuyafanya kwa kulipua utaona mzigo. Kujipulizia manukato ya al udi, jicho lililoregea kwa ajili ya kungu manga liliongezwa uzuri na wanja mwembamba wa mwezi mchanga. Nilijilaza kitandani huku nikisindikizwa na muziki wa taarabu wa zamani kidogo ulioporomoswhwa na kikundi cha taarabu cha TOT, kilichoimbwa na bibi Hadija Kopa kisemacho ‘TX mpenzi.’ Niliyakumbuka baadhi ya mashairi yake: Tx mpenzi daktari wangu wa thamani, Kiitikio: Ayaa ayaa ayaaa. Amesipeshalaizi digii yake surgeon (Mtaalamu wa upasuaji) Kiitikio: Aya aya Ayaaa. Aminyapo dawa zake ganzi tele maungoni, Tx nipasua toa maradhi ya ndani. Kiitikio: Nipasue Tx nipasue eeh toa maradhi ya ndani wee nipasue. Siku za nyuma nilipousikia wimbo huo sikuuelewa, lakini nilipojua zuri na baya na kuelezewa maana ya wimbo huo. Nilijitambua kumbe mimi mgonjwa na daktari wangu Mateja niliyemsubiri kwa hamu aje atoe maradhi ya ndani kwa kunifanyia upasuaji. Wimbo huu ukiusikiliza kisha uusikie wimbo wa Mwanaidi Shaabani uitwao Dereva akiwa na kikundi cha Muungano Culture Troop, wimbo huunao kuna maneno kama haya: Dereva nimempata ananiendesha vyema sukani akikamata chombo hakiendi mrama. Breki akikamata wakati wa kusimama ziozile za kugota za kishindo na kuzama. Uniacha naitaita kwa uroda nihema. Hebu niambie mumeo sifa hizi za dereva makini anazo, basi wimbo huu niliupanga baada ya mtinange na Mateja nimewekee. Mwa kwetu sina haja ya kukuwekea wimbo, la hasha nakuomba hasa wewe msichana wa siku hizi tafuta nyimbo hizi kisha zisikilize na upate mnaana zake hakika utaungana nami kumwita mumeo au mpenzio Tx wa mapenzi na mwisho wa safari lazima umwite dereva wako makini mwenye reseni ya kimataifa. Basi mwa kwetu najua nilikupeleka mbali lakini kina mama na dada zetu waliokuwa wakitesa enzi za miaka 95 watakubaliana na yote niliyoyasema, basi nikiwa nimejiandaa vilivyo mtoto wa kike. Jicho lililoregea la kungu manga nilinogeswa na wacha mwembamba wa mwezi mchanga niofundishwa kujipaka na Bi Shuu wanja huu aliniambia unaitwa karibu mpenzi. Baada ya kukamilisha na kujifisha udi mpaka kwa bi mkubwa. Nilijilaza kitandani nikiendelea kutumbuizwa na wimbo wangu wa Tx mahususi ya Mateja wangu. Nikiwa nimejilaza Mateja aliwasiri, kwa vile mlango ulikuwa wazi alipogonga tu mtoto wa kike nilinyanyuka kwenda kumpokea huku nikideka, jicho langu liliongea kama nina usingizi mzito, yote haya mwanzo sikuwa nayo kazi kubwa ya Bi Shuu. “Karibu Tx wangu.” “Una maana gani kuniita Tx.” “Sikiliza huu wimbo” Mateja alisikiliza kwa muda kisha alishusha pumzi ndefu na kutikisa kichwa huku akiniangalia mara mbili mbili. “Vipi Tx wangu?” “Mmh! Haya.” “Sema tu naona kama una maswali yanayohitaji majibu toka kwangu?” “Sina swali, ila kila naona mambo mapya, wee mchaga mambo ya pwani umeyajulia wapi?” “Kwani Bi Shuu ni mtu wa Pwani, Mmanyema mtu wa Kigomayeye kayajulia wapi? Si watu wa mwambao wa Pwani tu wanajua mapenzi.” “Mmh, nimekubali.” Nilimpokea koti lake na kuliweka kwenye kochi, alipokaa alimvua viatu kisha nilihamia kwenye shati nikatelemka kwenye suruali, nikatoa na nanihii kisha nikampa upande wa kanga ili nimpeke bafuni tukaoge. Utajiuliza kwa nini nimempa kanga badala ya taulo, mwa kwetu kanga ina raha yake, huwezi kwenda nyumba ya wageni ukakuta kanga lazima utakuta taulo. Kama mpenzi wako alizoea kwenda nyumba ya wageni ukimpa kanga lazima akili yake ataona kuna tofauti ya nyumba ya wageni na nyumbani kwa mpenzi wake. Baada ya kuoga tulirudi ndani kisha nilijifanya kama kuna kitu kinaniwasha na kujikuna kwa kuipandisha nguo, nilijua lazima Mateja ataangalia, nilirudisha haraka mtego wangu ulinasa, ukimuoneshamaungo nyeti nusu, lazima atataka aone kabisa kufanya vile ilikuwa kumuongezea mahanjamu. Mmh! Mtoto wa kume uzalendo ulimshinda, nimnyime ili iweje, shoga mwili wako mali ya mpenzio, hasa yule mliyeshibana. Alipotaka nikampa kwa nguvu zote, huku nikumuuliza baba chagua kipapatio ili usichoke sana kabla ya kula au paja ushibe kabisa. Mateja alitaka kipapatio, ushaanza- kipapatio ni nini? Wapo waliotafuta maana zao, jamani kipapatio penzi jepesi lisilochosha, nina imani hata paja ushajua. Haya twende kazi, mmh, mtoto wa kike nilijisahau na kumuongezea paja baada ya kumuona kabisa kipapatio hakimtoshi. Mwisho wa shughuli nilimwacha kajilaza na kumuwekea wimbo wa dereva huku nikimbadili jina toka Tx mpaka Dereva. Mateja kila aliponiangalia alitikisa kichwa. Nilimnyanyua na kumpeleka bafuni kisha nilimualika mezani. Baada ya kutafuna tonge la kwanza alitikisa kichwa na kusema: “Hakika wewe ni chura,” kauli ile ilinitisha iweje aniite chura mdudu tena nisiye mpenda. “Mpenzi kwa nini umeniita chura?” “Sina nia mbaya, nina maana chura anaishi kotekote majini na nchi kavu. Umekamili kila idara, nikiwa na na wewe raha zangu hazitakuwa na kikomo.” “Ha! Kumbe, Asante mpenzi.” Nilimkumbatia Mateja kwa furaha. Baada ya chakula tulipumzika chakula kiende sehemu zake baada ya hapo mtoto hakutumwa dukani. Sitaki kukuchosha sasa hivi mimi ni mke halali wa Mateja, tunapendana kwa dhati huku nikiendelea kupokea mawazo ya Bi Shuu bibi ambaye sitamsahau mpaka nakufa. Mwisho nawaomba wanawake wenzangu kutafuta dawa ya mapenzi ambayo ni kujifunza kwa waliotutangulia ili viungwe viwe vitamu wa wapenzi wetu kwani siku zote ukikitoa hamu kitakosa utamu. ******************************************MWISHO*(************************************ ... Read More
*MWAGIA HUMO HUM EP 04* Sehemu Ya Nne (4) Nilimsogelea na kuusugua mwili wangu kwake, joto langu lilimsisimua. Mmh, kuangalia kwenye kikosi wa miziga,mtutu wa mziga ulikuwa juu. Manshala mtoto wa kike niliupandia mtutu na kuufanyia ukaguzi kabla ya kuingia vitani. Mmh, weee acha tu hukuwepo bali shetani wako alikuwepo. Mateja alikuwa kama mtu aliyekula mishikaki yenye chachandu ya Kihindi jinsi alivyotoa miguno. Taratibu nilishughulika na mtutu wa mzinga ambao ulionekana ulikuwa tayari kutupa makombora mazito kwa adui. Kutokana na utaalamu niliopewa na Bi Shuu na kujua kuufanyia usafi mtutu wa mziga, mara nilimuona Mateja akitetemeka na kutoa machozi laini. “Vipi?” “Aa..aah.” “Pole.” “Asante.” Niliendelea kumpa mshike mshike kwa kugusa hapa na pale, najua unataka kujua niligusa wapi. Vuta subra tukikutana nitakueleza mwanaume anatakiwa aguswe wapi ili kumuongezea mahanjamu. Ila lazima mikono yako iwe laini sio migumu kama mpasua kokoto utamchubua mwenzio. Nilisahau kama tupo bafuni kwa kuendeleza mateso bila chuki. Nilimsikia Mateja akisema. “Manka si tunarudi ndani tumalize kwanza kuoga.” “Waaawooo,” nilifurahia kimoyo moyo kwa kuamini mbwa mwenyewe kakimbilia kichaka cha nyani asubiri vibao vya mashavu. Tulimalizia kuoga huku nikimsugua kila kona ya mwili kisha nilimfuta maji na kumfunga taulo nami nilipitia upande wa kanga na kutoka naye kurudi chumbani. Wakati nakaribia chumbani kwangu Bi Shuu alitokea nyuma ya bafu na kunifanyia ishara ya mdomo. Niligeuka na kusimama ili nimsikilize alikuwa na jambo gani. “Manka,” alisema huku akiachia tabadamu. “Abee.” “Hongera.” “Ya nini?” “Unajua kuifanya kazi umeiva kwelikweli mambo uliyofanya mimi mwenyewe hoi.” “Asante Bi Shuu.” “Basi usiniangushe yote tisa kumi huko mnakokwenda ukifanya makosa umetia nazi kwenye supu.” “Bi Shuu wee acha nina usongo naye ile mbaya” “Usikamie sana ukashindwa kuyanywa.” “Nimekuelewa.” Niliagana na Bi Shuu na kuelekea chumbani kwangu na maswali mengi juu ya tabia ya Bi Shuu kunipiga chapo kila nililokuwa nafanya. Mmh, niligeuka nielekee chumbani Bi Shuu tena aliniita. “Manka usizime taa pia dirisha lako la nyuma liache wazi” Niliingia ndani nikijiuliza mengi juu ya tabia za Bi Shuu Kunipiga chabo, nilijua mwanzo alitaka kujua uwezo wangu lakini baada ya kuona nimeweza hakukuwa na haja ya kunipiga tena chabo zaidi ya kusubiri matokeo. Lakini kwa upande mwingine niliamini ile ndiyo ilikuwa fainali yangu ya kujua nimefundika au nilibahatisha kwa wachovu. Pamoja na kutaka kujua nipo katika kiwango gani, wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa kutojiamini kwa asilimia zote kutokana na kujua kuna mtu ananiangalia. Bora angenivizia nisingejua kinachoendelea na mimi kufanya makamuzi ya nguvu. Ndani nilimkuta Mateja amekaa kitandani, mtoto wa kike kwa usongo niliokuwa nao niliivuta kanga aliyokuwa amejifunga na kubakia kama kuku anayesubiri kuingizwa kwenye mafuta. Nami yangu nikaitupa pembeni na kubakia sale sale maua si unajua asiyejua kuchagua kabila lake Mzigua. Jamani maneno mengine sijui ni kweli au wimbo ina maana Wazigua ndiyo wasiojua kuchagua? Tuachane na hayo wanajua waliosema si mimi, baada ya kuwa sale sale kama kuku wanaosubiri kuingizwa kwenye kalai la mafuta ya moto. Kupitia mafunzo ya Bi Shuu mwanamke kabla ya kusafiri katika bahari ya huba unatakiwa kukiandaa chombo. Sehemu hii naomba twende pamoja huonekana wanawake wengi tunakosea. Kosa kubwa kwa wanawake wengi wakiishafika kitandani husubiri kuandaliwa wao kisha wapande kwenye chombo kuanza safari ya huba wakati mwenzake naye alihitaji kusisimliwa kama yeye. Au wengine ambao huwa kama mimi Manka kabla ya kuingia unyagoni kwa Bi Shuu kujua kabla ya safari vitu gani vinatakiwa kufanywa. Wengi wetu hutangulia kitandani na kutega kama kicheche anavyotega kuku, akiingiza kichwa tu anatimua naye mbio kichakani. Lazima sehemu hii uitumie kuandaana kila mmoja tui likikolea nazi ruksa kutia mchele, tuko pamoja nataka nilichokipata kwa Bi Shuu nawe upande japo kiduchu. Basi mtoto wa kike nilikiwa nimepandwa na maruhani ya mapenzi nilikuwa kama chatu aliyeshiba na kujivuta kushida huku pumzi zikinitoka kwa shida. Nilitambaza mikono yangu laini toka kona moja kwenda nyingine hasa sehemu muhimu zenye kupandisha mahanjamu. Nilianza kumsikia Mateja akisisimka na kuninyonga taratibu kama nyoka anavyopata shida ya kutambaa kwenye sakafu. Nilizipapasa sehemu ambazo humfanya mwanaume asisimke na kumpandisha mzuka wa mapenzi. Kila nilipogusa sehemu nilimuona akitaka kunyanyuka kama samaki pomboo anavyojitupa kwenye maji kwa madoido. Baada ya safari ndefu nilifika mji mkuu na kufanya kituo cha muda mrefu kwa kutumia mikono mdomo na ulimi ambao ulimfanya Mateja agugumie kama dume la njiwa lenye wivu. Niliendelea kuwajibika mpaka alipolia bila msiba huku akiomba tuingie chomboni kuianza safari ya huba yenye utamu usiisha hamu hasa kwa wanaoufahamu shati uwe mtaalamu wa kuitumia yako kalamu ndipo utaipata tamu na kukufanya mahamumu kila uikumbukapo tamu lazima upitate hamu ya kuutafuta utamu. Sijui tupo pamoja au nimekuchanganya, mwa kwetu siku zote chakula maandalizi, na chakula kitamu kinahitaji maandalizi ya kina na katika mwili vile vile. Huwezi kudandiwa kama baskeri na kupigwa pedeli, wakati unachemka mwenzio kesha fika zamani kalala pembeni hoi kuendelea na safari hawezi wakati mwenzake waduduuu wadogowadoooo ndo wamecharuka Wananyemvuanyemvua. Hapa pia kuna somo nililopata kwa Bi Shuu usikubali kuianza safari hakikisha mwakwetu kwako nawe kumetiwa mchuzi wa kutosha sio kula mkavu utakukwama kooni. Nina imani tupo pamoja au nimekuacha njia panda, mwakwetu hakikisha mpenzi wako amekuandaa mpaka hatua ya mchuzi kukolea kwenye ubwabwa hapo ruksa chakula kiliwe. Lazima wote mtakifurahia sio kuwahi kitandani kusubiri hukumu bila kujitetea. Baada ya Mateja mchicha kukolea nazi shetani wa ngono kumpanda alitaka kuchupa mchupo wa mkizi, lakini mtoto wa kike nilimshika kifuani na kumueleza. “Mpenzi pangu pakavu tia mchuzi,” nilikuwa na maana bado hajaniandaa ili tufurahia safari kwa pamoja. Mateja alinielewa ndipo alipoanda kuniandaa kwa kufanya ziara ya mkono na ulimi mwilini kwangu, jamani chakula kitamu kikipata muandalizi asiye na papara. Nakiri sikuwahi kukutana na raha za mwili siku zote niliamini raha zipo chini tu kumbe mwenyezi Mungu aliumba kila kiungo mwilini na makusudio yake. Kila nilipoguswa nilihisi raha tofauti na aliponigusa kwanza, mtoto wa kike nilimaliza maneno yote mdomoni kuomba hukumu baada ya kulia zaidi ya mara mbili bila huruma ya Mateja kuendelea kunipa mateso bila chuki. Baada ya tui kukolea nazi, kile nilichotaka kukionesha kwa Mateja kilitimia. Mtoto wa kike tuliingia kilingeni kujua mbivu na mbichi, najua unahamu kujua kilichoendelea, samahani tukutane wiki ijayo. Mtoto wa kike nilipoguswa tu nililegea mwili ulikuwa kama umepigwa shoti ya umeme, mchezo upoanza tu nilijiachia huku nikizitoa pumzi kwa kufuata mdundo, japo nyonga haikuwa laini sana kama wamakonde nami taratibu nilinyambulika kuhakikisha sitoki nje ya biti. Hakukuwa na ushindani kila mtu alitaka kuonesha uwezo wake kwenye medani ya mapenzi. Kila dakika ilivyokwenda ndivyo kila mtu alipoteza ustaarabu na kutaka kuonekana anaweza kuliko mwenzake. Kila dakika iliyokwenda ilikuwa ni maajabu saba ya dunia kwa Mateja. Nina imani kabisa mwanzo aliona kama nabahatisha kutokana na kunizoe Manka wa kulala kama gogo Manka mbishi nisiyekubali usumbufu wa kugeuzwa kama chapati. Manka nilimpania Mateja bila kujua wito ule ulikuwa na sababu, kila alivyotaka nilifanya bila hiyana kila aliponituma nilikwenda bila kubisha kila alivyoniweka nilikaa bila tatizo. Muda wote niliwajibika bila kuchoka huku nikimmwagia sifa ambazo nina imani hakuwa kupewa toka azaliwe. Kuna kipindi mtoto wa kike nilalamika kama mtoto aliyeny’ang’anywa ziwa na mama yake, kutokana na kuufurahia mchezo nilijikuta nikilia kama naonewa kumbe raha zilikuwa zimekonga kila kona ya mwili. “Mateja kwa nini unanitesa…kosa langu nini?” Nililalama huku nikiwajibika. Siku zote raha ya kurap uendane na mdindo, nilibadilika mtoto wa kike na kuongeza nijuavyo nisivyofunzwa na Bi Shuu. Jamani makubwa ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni. Ghafla Mateja machozi yakaanza kumtoka baada ya kuvamia shamba la mihogo kwa mikono na mdomo jembe nililitoa kwenye mpini na kuchimba muhogo kwa mkono. Kila nilivyoutafuta muhongo nilimuona mtoto wa kiume akihama upande mmoja kwenda mwingine. Mmh, sikuamini nilimuonea huruma lakini siku zote ukitaka kumtiba mgonjwa wa jipu usimuonee huruma. Mateja uzalendo uliomshinda aliamua kusema. “Manka kwa nini ulinitenda?” “Kivipi mpenzi?” “Vitu hivi mbona hukunipa mwanzo?” “Mpenzi vilikuwa havijaungwa, hata vya chukuchuku havikuiva.” “Hapana…hapana…sikubali.” “Hukubali nini tena mpenzi?” “Siwezi kula nisishibe heri nisipewe.” “Mateja leo utakula mpaka utasaza nipo kwa ajili yako.” “Na baada ya leo?” “Mi nipo tu.” “Hapana..hapana …lazima nikuoe.” “Na mchumba wako?” “Wewe ndiye uliyekuwa mchumba wangu.” “Kama nilikuwa mchumba wako kwa nini uliniacha?” Huwezi kuamini wakati tukizungumza hivyo kilimo kiliendelea huku Mateja akishinda kukaa chini kama kakalia moto. “Vipi?” Nilimuuliza huku nikimtazama usoni kwa jicho lilililegea kama mtu mwenye usingizi mzito. “Mm..mm..mmh,” Mateja aligugumia kama dume la panya kwenye ghala la mahindi. Baada ya muda maskini mateja machozi yasiyo na kilio yalimtoka, niliyahifadhi hakugusa chini. “Asante Manka…asante mpenzi.” Mtoto wa kike sifa hazikunivimbisha kichwa niliuchukua mpini na kuurudisha kwenye jembe kilimo kiliendelea. Mmh, kweli kila kiumbe na sehemu zake, kurudisha mpini kwenye jembe kulikuwa kama kumtupia samaki majini. Mateja alikuja juu kama moto wa kifuu kila nilipotaka kumtuliza ndivyo raha zilivyogonga kila kona ya mwili na kujikuta nikiwacha autawale mchezo. Nilifika kipindi duniani nikawa sipo mbinguni sipo nikawa naelea kati, nakiri sikujua kilichokuwa kikiendelea zaidi ya kuhisi kama mtu kanivua nguvu zote mwilini kilichoendelea sikujua. Niliposhtuka nilijikuta nimelala pembeni ya Mateja ambaye alikuwa hajitambua kwa usingizi mzito. Kilinichonishangaza kujikuta sote tumo ndani ya shuka moja, nilijiuliza inawezekana Mateja ndiye aliyenifunika. Nilipotaka kunyanyuka nilihisi kama kizungungu nilijirudisha kulala. Wakati nataka kufumba macho nilisikia naitwa. “Manka…Manka,” niliposikiliza vizuri niligundua ni Bi Shuu. “Abee.” “Amka ujimwagie maji.” “Sina nguvu.” “Jitahidi hivyo hivyo.” Nilijinyanyua kwa kuzilazimisha miguu ikiwa haina nguvu, nilijizoazoa na kwenda kujimwagia maji, Bi Shuu maji alikwisha yapeleka bafuni. Nilioga maji yaliyokuwa ya baridi sijui aliyatoa kwenye friji. Baada ya kujimwagia maji mwili ulichangamka kidogo, hapo ndipo nilipoanza kuisikia njaa. “Manka kamuamshe na mwenzako naye akajimwagie maji ili mle pamoja” “Kwa saa ngapi sasa” “Saa sita kasoro.” “Mtume!” Nilikwenda kumuamsha Mateja aliyekuwa akikoroma ilionekana kalinyekarinde lilimpeleka puta na kujikuta akipoteza nguvu nyingi. Inawezekana kabisa alijua ni yule Manka wa mwaka 47 na kuingia kichwa kichwa matokeo kanyolewa bila maji. Kila nilipomtikisa alionekana yupo hoi kwa kugeuka kama umekufa, niliendelea kumtikisa. “Mateja..Mateja.” “Mmh.” “Amka.” “Niache nilale kidogo.” “Najua umechoka, amka ujimwagie maji upate nguvu.” “Manka naomba nipumzike nimechoka sana.” “Matejaaaa, hebu amka.” Nilimwambia huku nikimshika mkono na kunyanyua, alinyanyuka na kukaa kitako kitandani. Akiwa kama mtu aliyekunywa pombe ambayo ilikuwa bado kichwani, aliinama mkono mmoja alishika kitandani na mwingine kichwani. Sikutaka kumpa nafasi nilimsimamisha na kumfunga upande wa kanga. Huwezi kuamini nilivyokuwa nimechoka bila kuelekezwa na Bi Shuu nisingeweza kuyafanya yale. Maji ya baridi niliyojimwagia ndiyo yaliyonipa nguvu, nilimshika mkono mpaka bafuni ambako nilikuta tayari Bi Shuu ameisha tayarisha maji ya baridi. Kwa kuwa nilijua ubaridi wa maji Mateja atauogopa nilipomtoa kanga nimwagia kwa kumshtukiza kama makopo mawili. Japo alilalamika lakini alinieleza kweli maji yale yameupa tena nguvu mwili wake. Alimuongeza maji mengine na kuufanya mwilini wake uchangamke zaidi. Alipomaliza kujimwagia maji ya baridi tulirudi ndani, sikuamini macho yangu kukuta Bi Shuu amekwisha andaa chakula mezani kukiwa na kila kitu. Muda wa Mateja kujimwagia maji, yeye aliutumia kuandaa chakula. Yaani sijui niseme nini, nimekutana na watu wengi lakini Bi Shuu kiboko. Japo usiku ulikuwa mkubwa lakini mama wa watu hakulala alikwenda sambamba na mimi. Kilichonishangaza baada ya mtinange na kupitiwa usingizi nilijiuliza yeye alikuwa wapi? Kama sisi tulilala kwa zaidi ya masaa matatu yeye muda huo alikuwa anafanya nini? Mateja baada ya kuona nilimsikia akisema. “Manka umejuaje kama nina njaa, maana hapa nahisi tumbo jeupe.” Kwa vile na mimi nilikuwa na njaa tulivamia wote mezani kukishambulia chakula kilichokuwa kimepikwa kwa ustadi wa hali ya juu na Bi Shuu. Tukiwa mezani baada ya kufunua kawa lililikuwa na maneno RAHA YA MUWASHO UKUNWE . Ajabu ya Mungu kawa lile lilionekana jipya halijawahi kutumika, baada ya kulifunua harufu nzuri ya chakula ilijaa puani mwetu. Nilimnawisha mikono kisha nilimkaribisha kama nimepika mie. “Karibu mpenzi.” “Asante,’” Mateja alijibu huku akijipakulia kwenye sahani yake, wakati anaweka kijiko cha kwanza nilisikia kitu kikigongwa dirishani. Ilionesha kuna kosa nimefanya. Nilinyanyuka haraka huku nikisema. “Samahani dear nakuja,” nilitoka nje na kukutana na Bi Shuu. “Vipi Bi Shuu?” “Manka nilikueleza nini?” “Kuhusu nini?” “Mwanaume kama mtoto asiguse kitu kazi yote ifanye wewe.” “Ulikuwa una maana gani?” “Asijipakulie, mpakulie ikiwezekana hata vijiko vya awali mlishe kisha mwache ale mwenyewe.” “Nimekulewa,” nilimjibu bila kusubiri maelezo mengine kumuwahi Mateja asijipakulie zaidi. Nilipofika nilikuta ndio anataka kuongeza kijiko cha tatu. Nilikidaka kijiko na kusema. “Mpenzi kwa nini usumbuke wakati nipo.” “Aah, si kila kitu ukifanye.” “Hapana wewe ni mgeni wangu, kila kitu mimi ndiye dereva.” “Haya mama.” Nilimpakulia chakula cha kiasi kisha nilimuwekea mchuzi na kipande cha ndizi, tonge la kwanza nililikusanya kisha nilimlisha huku nikiweka mkono chini ya kidevu kuzuia punje ya wali isianguke. Baada ya kulisha nilimsubiri atafune ili nimuongeze tonge lingine nami nianze kula. Baada ya kutafuna kwa muda nilimsikia aliguna kitu kilichonitisha na kuwa na wasi wasi huenda chakula si kizuri. “Vipi mpenzi?” “Mmh, chakula kitamu kweli kweli, sijawahi kula chakula kitamu kama hiki, kama nikikuoa na kula hivi kila siku nitenenepa mlangoni nitakuwa sipiti.” “Asante mume wangu,” nilijibu makusudi, moyoni niliisifia kazi nzuri ya Bi Shuu. “Manka,” Mateja aliniita huku akivuta glasi ya maji iliyokuwa pembeni. “Abee.” “Manka mbona leo naona kama nipo ndotoni?” “Kivipi?” “Mbona siku za nyuma hukunifanyia mambo kama haya, mapenzi ya ukweli na chakula kitamu kweli kweli.” “Vimeungwa.” “Una maana gani?” “Mateja mimi ni Manka mpya.” “Una maana gani?” “Ulichokiona kazi kubwa ya Bi Shuu.” “Bado umeniacha njia panda Bi Shuu amefanya nini?” Nilimuelezea bila kumficha kazi kubwa ya Bi Shuu kuniunga na leo kuvionjwa akaviona vitamu. “Upo hapo baba?” “Mmh, nimekubali kweli aliomba likizo yenye mafanikio.” “Basi habari ndio hiyo.” Baada ya chakula tulirudi kuoga tena kisha tulipanda kitandani kulala hakuna aliyekuwa na hamu na mwenzake tulipeana migongo mpaka asubuhi. Mlio wa dirisha uliniamsha toka kwenye usingizi mzito, jicho langu lilitua kwenye saa ya ukutani kunionesha ni saa kumi na moja alfajiri. Nilijinyanyua kivivu na kwenda hadi mlangoni kumsikiliza Bi Shuu alitaka kunielaza nini, nilifungua mlango huku nikifikicha macho kutokana na kuzingirwa na usingizi ulioambatana na uchovu wa mwili. Nilikumbuka usiku wa jana nilitumia nguvu nyingi ili kumuonesha Mateja mimi ni nani. Nakumbuka kuna kipindi niliona kama chini nachochewa kuni jinsi moto ulivyokuwa ukiwaka. Lakini nilikumbuka maneno ya Bi Shuu sifa kubwa ya mwanamke kwa mwanaume ni uvumilivu na kutokukubali kushindwa mapema hata siku ya kwanza unapotaka kuandika CV. Baada ya kufungua mlango nilikutana na Bi Shuu akiwa na upande wa shuka. “Shikamoo Bi Shuu.” “Marahaba mama Shughuli.” “Mmh! Bi Shuu jina gani tena hilo.” “Kwani uongo shughuli unaiweza, mwana wewe temea chini.” “Aii jamani,” nilijikuta nikiona aibu kwa kujua kila nilichokifanya Bi Shuu alikiona ‘live’ bila chenga. “Sasa Manka sicho nilichokuamshia, vipi ushampa cha alfajiri?” “Kipi hicho?” “Ooh, kweli hili sikukuelekeza, raha ya mapenzi ukilala na mwanaume mpe cha asubuhi ili kiwachangamshe, kijasho kikiwatoka mkaoge mjiandae kwenda kazini.” “Si tutachoka sana.” “Uchoke nini, hiyo sawa na kuzimua baada ya kulala na hang over asubuhi ukizimua unajiona sawa hata uzito wa kichwa unapotea sawa na kupata cha asubuhi.” “Mmh! Sawa wacha basi nifanye hivyo.” Niliagana na Bi Shuu na kurudi ndani, Mateja alikuwa bado amelala nilimshtua kwa kumpa mshikemshike wa kuvamia shamba lake kwa kuufukua muhogo taratibu kitu kilichomshtua kunikuta nipo shambani na tayari muhogo nilikuwa nimeisha ufukua upo mkononi. “Vipi mpenzi?” aliniuliza kwa sauti ya usingizi. “Kawaida tu.” “Niache nilale nimechoka.” “Kumekucha mpenzi tunazimua kisha tunakwenda kuoga.” ITAENDELEA ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: