Home → simulizi
→ KURUDI KWA MOZA: 15 Mara Ana akaingia tena chumbani kwa Sara na kusema, “Nimekusikia yote, subiri nikuonyeshe” Kabla hajaanza kufanya chochote chumba cha Sara kikaanza kutikisika, wote walichanganyikiwa cha kushangaza hata ile hali ilimchanganya pia na Ana hadi akajikuta akipiga kelele ambazo zilimshtua hadi mama yao chumbani. Kelele za Ana zilifanya watu wote mule chumbani wazimie. Rose aliingia chumbani na chumba kikaacha kutikisika, alikuwa akishangaa sana na kumuuliza Ana aliyekuwa amesimama na hasira, “Kuna nini Ana?” Ana alimpushi mama yake na kutoka nje, kwakweli Rose alikuwa akishangaa tu na kwenda kuwagusa wanae ambao walikuwa wamezimia wote. Kiukweli hakuelewa kabisa kwani kabla aliwaacha wakiwa wanaongea na Sara ambaye kapona kimuujiza halafu akakumbuka kuwa Ana alibaki nje wakati amemwambia kuwa waondoke. Ikabidi atoke mule chumbani kwakina Sara na kwenda tena kumfata Ana chumbani kwake, aliingia na kuongea nae kwa utaratibu kabisa, “Mwanangu Ana niambie tatizo ni nini?” “Mama niache, tafadhali niache” “Sawa mwanangu, ila mimi ni mama yako mwanangu jamani. Usiponiambia na mimi utamwambia nani mwingine! Mimi na wewe ndio wa kusaidiana mwanangu. Kumbuka nakupenda sana mwanangu, ndiomana wote wale nimeachana nao ingawa wamezimia ila nimekuja kuzungumza na wewe” “Mama, kuna mtu ananichezea akili halafu Sara anajua ukweli wote” “Mwanangu, kama Sara anaujua ukweli najua cha kumfanya aseme ukweli kwetu hata usijali” “Kwahiyo mama utanisaidia!” “Ndio nitakusaidia mwanangu” “Sasa hivi hakuna siri mama, yani watoto wako wanaelewa fika kuwa mimi ni nani na nina uwezo gani. Sasa nadhani wametafuta vya kuwasaidia ndiomana imekuwa hivi, hebu fikiria mama kabla sijafanya chochote eti chumba cha cha Sara kikaanza kutikisika kwakweli nimechukia sana” “Kheee makubwa, sasa mbona wamezimia?” “Sauti yangu ya kelele imewafanya wazimie, ndiomana nakwambia saivi washanijua kuwa mimi ni mtu wa aina gani. Tafadhali mama fanya kitu nijue ukweli maana nasikia aliyemfanya Sara apone ndiye aliyemuokoa Yule mwalimu aliyeanguka chooni” “Kheee mwanangu, atakuwa jinni huyo sidhani kama ni mtu wa kawaida” “Hata kama ni jinni sidhani kama anaweza kunishinda kiasi hiki halafu kwanini nisipate hata kengele ya hatari kuwa kuna kitu kinatendeka nyuma yangu!” Basi Ana na mama yake wakajadili sana siku hiyo, na mama yake akamwambia atakachokifanya ili Sara aseme ukweli. Muda kidogo Patrick nae alirudi ila aliamliwa akalale siku hiyo bila hata ya kula chochote kile humo ndani. Kulipokucha Patrick alitoka na kuruhusiwa kuondoka ila watoto wa rose walikuwa bado hawajazinduka, na baada ya Patrick kuondoka Ana nae aliondoka na kwenda shuleni kisha huku nyuma Rose aliingia chumbani kwa Sara na kuanza kuwaburuza wanae wale mapacha mmoja mmoja, hadi wote wawili akawaingiza chumbani kwako kisha akawaweka kitandani na kuwafunika mashuka halafu akaenda chumbani kwa Sara na kumuweka vizuri Sara kitandani kisha akamfunika na shuka. Baada ya muda wale mapacha walizinduka ila kila mmoja hakukumbuka kitu chochote kilichokuwa kimetokea ila walijikuta wamechoka sana na kuulizana kwa mshangao, “Mbona tumechelewa sana kuamka!” “Hata sielewi, sijui kwanini” Basi ikabidi wajiandae haraka haraka na kuondoka, sebleni walimkuta mama yao na kumuaga. “Sasa nataka niwaagize” “Wapi tena mama?” “Leo msafiri, muende kule shambani Morogoro” Mmoja akadakia, “Mama, kuna nini tena?” “Sitaki maswali ila nataka muende kule shambani kwangu na mrudi kesho. Nadhani tunaelewana” Akawapa na pesa kidogo ya kuwasaidia kwenye safari hiyo, waliondoka ila walijiuliza mambo mengi sana kuwa mama yao safari hii ana mpango gani maana mara ya mwisho aliwatuma Morogoro kumbe kuna kifo cha Moza, ila kwasababu hawakuwa na kumbukumbu yoyote ya kilichotokea usiku wakapuuzia na kuondoka zao. Muda kidogo Sara nae aliamka, tena akaoga na kujiandaa kuondoka. Alipotoka sebleni akamkuta mama yao amekaa na akamuuliza swali, “Unaenda wapi?” “Naenda kwenye shughuli zangu mama” “Nani amekuruhusu?” “Mama jamani si nimepona! Je kutoka siruhusiwi?” “Njoo ukae kwanza hapa nikuambie” Sara alienda kukaa karibu na mama yake , kisha mama yake akamuuliza swali, “Wewe umejizaa au nimekuzaa?” “Umenizaa mama, ila kwanini umeniuliza hivyo?” “Sasa niambie ukweli, ni kitu gani kimerudisha kuongea kwako na kuona kwako” “Jamani mama inamaana haujapenda nilivyopona?” “Wewe niambie tu umeponaje?” “Nilikuwa nimelala hapa sebleni, mara nikasikia sauti ikisema inuka Sara umepona. Nikafungua macho yangu nikaona halafu nikajaribu kuongea napo nikaweza. Basi nikafurahi sana nimeweza kupona mama” “Sara usinifiche, mimi ni mama yako niambie ukweli” “Huo ndio ukweli mama wala hakuna ukweli mwingine zaidi ya huo” “Sara, sitaki kutumia ukali mwanangu. Niambie ukweli” “Huo ndio ukweli mama” “Nadhani unataka kuona nitakufanya nini” Rose akainuka na kuelekea chumbani, kisha Sara nae akainuka na kutaka kutoka nje ila akakuta mlango umefungwa kila alipojaribu kuufungua ilikuwa ni vigumu kuufungua ikabidi akae chini amsubirie tu mamake arudi. Bado Neema alikuwa akishangaa sana jinsi Salome alivyobadilika kwani mwanae hakuwa hivyo kabla, vitu vingi sana Salome alikuwa anavifanya vya tofauti. Muda huu alikuwa nae sebleni wakiangalia luninga, mara gafla Salome akashika kichwa chake kwa nguvu na kumfanya Neema amuulize kwa mshangao huku ameinuka na kumshikilia, “Vipi Salome mwanangu!” Ila Salome hakujibu zaidi aliinuka na kukimbilia chumbani halafu akafunga mlango. Kwakweli Neema alishindwa kuelewa kabisa kuwa imekuwaje lakini bado hakupata jibu kabisa, akawa tu anamgongea mlango, “Jamani mwanangu Salome fungua, una matatizo gani mwanangu!” Hakujibiwa wala mlango haukufunguliwa na kumfanya azidi kuchanganyikiwa lakini akaamua kwenda kukaa akisikilizia tu kipi kitajili baada ya hayo. Baada kama ya lisaa limoja Salome alitoka ndani, na alimkuta mama yake akilia. Salome alimfata mama yake na kuanza kumbembeleza, “Usilie mama, mimi ni mzima” “Salome mwanangu, ulinifungia mlango lazima nihisi kuna kibaya kimekupata” “Hakuna kibaya chochote mama” “Sasa kwanini uliondoka gafla ukishika kichwa na kwenda kujifungia ndani?” “Kichwa kiliniuma mama, sasa niliingia ndani na kunywa dawa na kupumzika sikutaka kuacha mlango wazi kwamaana niliona ungesumbuka” “Jamani Salome mwanangu mbona siku hizi umebadilika sana, toka lini umefanya hivyo mwanangu?” “Nisamehe mama yangu, naomba unisamehe sana” Neema sasa alinyamaza ila akaja kushtuliwa tena na kauli ya Salome, “Mama nataka kwenda kwa baba” “Kivipi Salome?” “Nataka kwenda kuishi na baba” “Jamani Ssalome jamani, subiri basi kesho nitakujibu” “Sitaki kusubiria kesho, nataka leo leo iende kwa baba” “Hapana Salome, siwezi kukuruhusu leo. Subiri utaenda tu” “Huwezi kubadilisha mawazo yangu mama, nishajipanga kwenda. Nitakuja tena tu hapa nyumbani ila kwa leo niache niende” “Hapana Salome” Ila Salome akainuka na kwenda chumbani kwake kisha akatoka na begi dogo na kumwambia mama yake, “Baki salama mama” Halafu akatoa milioni moja na kumkabidhi mama yake, hakutaka hata kusikia mama yake atasema nini kwani muda huo huo akatoka na kuondoka, kwakweli Neema alikuwa kama amepigwa na bumbuwazi hizi kwani aliona ni mambo ya ajabu sana kutokusikilizwa na mwanae. Wale mapacha walipokuwa wanajiandaa ili wapande basi waende Morogoro maana walichelewa sana kutokana na mambo waliyokuwa wanayafanya ndiomana ikawachelewesha, wakasikia mtu akiwaita, “Kulwa na Doto” Walishtuka na kumuangalia aliyewaita, kwakweli sura ya Yule mtu ilikuwa ni ngeni machoni mwao ila walipomuangalia zaidi waligundua kuwa mtu Yule amefanana na baba yao wa kambo Mr.Patrick. Walimsogelea Yule binti na kumsikiliza vizuri, “Naitwa Salome” Wakatazamana na kumuuliza, “Unatujua sisi?” “Ndio nawajua” “Na je umetuitia nini?” “Nimetumwa na mama ambaye ni mama yenu” “Kwani na wewe ni mama yako?” “Ndio ni mama yangu, kaolewa na baba yangu” Wakashangaana kwa muda na kuuliza kwa makini kuhusu baba wa Salome, naye akawaelezea, “Mzee Patrick ni baba yangu mzazi, nz mimi ni mtoto wake wa pekee na analitambua hilo. Nimefika leo rasmi nyumbani nyie mmeondoka, ndio mama kasema niwafate hapa stendi turudi nyumbani akawatambulishe vizuri. Hata hivyo amesema huko Morogoro ameshamalizana na wakulima tayari kwahiyo hakuna cha kuendea.” Wale mapacha wakaangaliana na kujikuta wakikubaliana nae kile alichowaambia na kuamua kughaili kwenda Morogoro na kurudi nyumbani ila Salome aliwaaga kuwa yeye anapitia mahali kwahiyo ataonana nao nyumbani. Wakati wanarudi njiani walikutana na baba yao ambaye ni Mr.Patrick nae akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwahiyo walimsimamisha na kushuka kwenye gari ya kukodi waliyopanda kisha kuingia kwenye gari ya Patrick. “Baba mbona na wewe unarudi nyumbani muda huu?” “Nimejisikia tu kurudi” Wakaona si vyema waongee sana labda baba yao anaenda kufanyiwa kitu cha kushtukiza kwahiyo wakimwambia watakuwa wameharibu ila baba yao aliwaomba wapiti kumchukua Ana maana amepigiwa simu na walimu wa Ana kuwa arudi kwao. Basi wakapita shuleni kwakina Ana, halafu Patrick akakabidhiwa Ana arudi nae nyumbani. Walimu walimkabidhi na barua mr.Patrick aende nayo. Walirudi na kupanda kwenye gari, kaka zake wakamuuliza kwa mshangao, “Kwani Ana imekuwaje mdogo wetu mbona mapema sana, halafu umerudishwa nyumbani na barua juu” “Achaneni na mimi” “Mmmh haya bhana, tunaachana na wewe ila kumbuka elimu ndio kila kitu katika maisha” “Naweza kupata kila kitu bila ya elimu, achaneni na mimi kabisa” “Haya tumekuacha” Basi safari ilikuwa inafanyika ya kurudi nyumbani. Rose alikuwa anampango wa kumfanyia mambo ya ajabu sana Sara kwavile alimficha bado ila kila alichotaka kufanya aliona kuna kitu kinapingana nae na kushindwa kuelewa kuwa ni kitu gani ambacho kilikuwa kikimshinda kufanya vile alivyotaka kufanya, akamuita Sara kwa nguvu kiasi cha kufanya hadi nyumba yake itikisike ila Sara alishindwa kuinuka pale alipokuwa amekaaa ikabidi amfate kwa hasira na kutaka kumuinua kwa nguvu ila wakati anakazana kumuinua mara gafla nguo zake zote zikaanguka chini hata asielewe kwanini zimeanguka kwahiyo akawa kama alivyozaliwa, gafla mlango ulifunguliwa na waliingia ndani watoto wake na mume wake, kwakweli wote walimshangaa mama yao kuwa kama alivyozaliwa. Ikabidi Ana akimbilie nguo na kumfunika mama yake kisha wale mapacha nao wakatoka nje kwa aibu. Kwakweli siku ya leo ilikuwa ni siku ya aibu kubwa kwa Rose ambayo hajawahi kuitegemea kwa siku zote, hajawahi kutegemea kama kuna siku atadhalilika kiasi kile. Ana alimchukua mama yake na kwenda nae chumbani huku akisikitika sana kwa kilichotokea na kumpa mama yake pole, “Imekuwaje mama?” “Sijui ila nguvu zangu zimepotea mwanangu, yani sina nguvu kama mwanzo. Nimedhalilika sana” “Pole mama, ni kitu gani kimetokea?” “Sijui ila kila nilipokuwa nafanya dawa zilikuwa zinapingana na vitu vingine. Hapo ndipo nilipotaka kwenda kumchukua kwa nguvu Sara ila ndio nguo zikanidondoka halafu nyie mkaingia” Mara wakasikia sauti ya Sara ikiongea kwa nguvu tena kwa ujasiri, “Sasa huyu ndio kiboko ya Ana” Ikabidi watoke ili wakamuone huyo kiboko ya Ana, kwakweli Rose alishtushwa sana kumuona Salome. Itaendelea kesho usiku……!!!!! By, Atuganile Mwakalile.
Mapenzi na Maisha iko kwenye Facebook. Ili kuunganisha kwa Mapenzi na Maisha, jiunge kwenye Facebook leo.
Jiunge
au
Ingia
Mapenzi na Maisha
KURUDI KWA MOZA: 15
Mara Ana akaingia tena chumbani kwa Sara na kusema,
“Nimekusikia yote, subiri nikuonyeshe”
Kabla hajaanza kufanya chochote chumba cha Sara kikaanza kutikisika, wote walichanganyikiwa cha kushangaza hata ile hali ilimchanganya pia na Ana hadi akajikuta akipiga kelele ambazo zilimshtua hadi mama yao chumbani. Kelele za Ana zilifanya watu wote mule chumbani wazimie. Rose aliingia chumbani na chumba kikaacha kutikisika, alikuwa akishangaa sana na kumuuliza Ana aliyekuwa amesimama na hasira,
“Kuna nini Ana?”
Ana alimpushi mama yake na kutoka nje, kwakweli Rose alikuwa akishangaa tu na kwenda kuwagusa wanae ambao walikuwa wamezimia wote. Kiukweli hakuelewa kabisa kwani kabla aliwaacha wakiwa wanaongea na Sara ambaye kapona kimuujiza halafu akakumbuka kuwa Ana alibaki nje wakati amemwambia kuwa waondoke.
Ikabidi atoke mule chumbani kwakina Sara na kwenda tena kumfata Ana chumbani kwake, aliingia na kuongea nae kwa utaratibu kabisa,
“Mwanangu Ana niambie tatizo ni nini?”
“Mama niache, tafadhali niache”
“Sawa mwanangu, ila mimi ni mama yako mwanangu jamani. Usiponiambia na mimi utamwambia nani mwingine! Mimi na wewe ndio wa kusaidiana mwanangu. Kumbuka nakupenda sana mwanangu, ndiomana wote wale nimeachana nao ingawa wamezimia ila nimekuja kuzungumza na wewe”
“Mama, kuna mtu ananichezea akili halafu Sara anajua ukweli wote”
“Mwanangu, kama Sara anaujua ukweli najua cha kumfanya aseme ukweli kwetu hata usijali”
“Kwahiyo mama utanisaidia!”
“Ndio nitakusaidia mwanangu”
“Sasa hivi hakuna siri mama, yani watoto wako wanaelewa fika kuwa mimi ni nani na nina uwezo gani. Sasa nadhani wametafuta vya kuwasaidia ndiomana imekuwa hivi, hebu fikiria mama kabla sijafanya chochote eti chumba cha cha Sara kikaanza kutikisika kwakweli nimechukia sana”
“Kheee makubwa, sasa mbona wamezimia?”
“Sauti yangu ya kelele imewafanya wazimie, ndiomana nakwambia saivi washanijua kuwa mimi ni mtu wa aina gani. Tafadhali mama fanya kitu nijue ukweli maana nasikia aliyemfanya Sara apone ndiye aliyemuokoa Yule mwalimu aliyeanguka chooni”
“Kheee mwanangu, atakuwa jinni huyo sidhani kama ni mtu wa kawaida”
“Hata kama ni jinni sidhani kama anaweza kunishinda kiasi hiki halafu kwanini nisipate hata kengele ya hatari kuwa kuna kitu kinatendeka nyuma yangu!”
Basi Ana na mama yake wakajadili sana siku hiyo, na mama yake akamwambia atakachokifanya ili Sara aseme ukweli.
Muda kidogo Patrick nae alirudi ila aliamliwa akalale siku hiyo bila hata ya kula chochote kile humo ndani.
Kulipokucha Patrick alitoka na kuruhusiwa kuondoka ila watoto wa rose walikuwa bado hawajazinduka, na baada ya Patrick kuondoka Ana nae aliondoka na kwenda shuleni kisha huku nyuma Rose aliingia chumbani kwa Sara na kuanza kuwaburuza wanae wale mapacha mmoja mmoja, hadi wote wawili akawaingiza chumbani kwako kisha akawaweka kitandani na kuwafunika mashuka halafu akaenda chumbani kwa Sara na kumuweka vizuri Sara kitandani kisha akamfunika na shuka. Baada ya muda wale mapacha walizinduka ila kila mmoja hakukumbuka kitu chochote kilichokuwa kimetokea ila walijikuta wamechoka sana na kuulizana kwa mshangao,
“Mbona tumechelewa sana kuamka!”
“Hata sielewi, sijui kwanini”
Basi ikabidi wajiandae haraka haraka na kuondoka, sebleni walimkuta mama yao na kumuaga.
“Sasa nataka niwaagize”
“Wapi tena mama?”
“Leo msafiri, muende kule shambani Morogoro”
Mmoja akadakia,
“Mama, kuna nini tena?”
“Sitaki maswali ila nataka muende kule shambani kwangu na mrudi kesho. Nadhani tunaelewana”
Akawapa na pesa kidogo ya kuwasaidia kwenye safari hiyo, waliondoka ila walijiuliza mambo mengi sana kuwa mama yao safari hii ana mpango gani maana mara ya mwisho aliwatuma Morogoro kumbe kuna kifo cha Moza, ila kwasababu hawakuwa na kumbukumbu yoyote ya kilichotokea usiku wakapuuzia na kuondoka zao.
Muda kidogo Sara nae aliamka, tena akaoga na kujiandaa kuondoka. Alipotoka sebleni akamkuta mama yao amekaa na akamuuliza swali,
“Unaenda wapi?”
“Naenda kwenye shughuli zangu mama”
“Nani amekuruhusu?”
“Mama jamani si nimepona! Je kutoka siruhusiwi?”
“Njoo ukae kwanza hapa nikuambie”
Sara alienda kukaa karibu na mama yake , kisha mama yake akamuuliza swali,
“Wewe umejizaa au nimekuzaa?”
“Umenizaa mama, ila kwanini umeniuliza hivyo?”
“Sasa niambie ukweli, ni kitu gani kimerudisha kuongea kwako na kuona kwako”
“Jamani mama inamaana haujapenda nilivyopona?”
“Wewe niambie tu umeponaje?”
“Nilikuwa nimelala hapa sebleni, mara nikasikia sauti ikisema inuka Sara umepona. Nikafungua macho yangu nikaona halafu nikajaribu kuongea napo nikaweza. Basi nikafurahi sana nimeweza kupona mama”
“Sara usinifiche, mimi ni mama yako niambie ukweli”
“Huo ndio ukweli mama wala hakuna ukweli mwingine zaidi ya huo”
“Sara, sitaki kutumia ukali mwanangu. Niambie ukweli”
“Huo ndio ukweli mama”
“Nadhani unataka kuona nitakufanya nini”
Rose akainuka na kuelekea chumbani, kisha Sara nae akainuka na kutaka kutoka nje ila akakuta mlango umefungwa kila alipojaribu kuufungua ilikuwa ni vigumu kuufungua ikabidi akae chini amsubirie tu mamake arudi.
Bado Neema alikuwa akishangaa sana jinsi Salome alivyobadilika kwani mwanae hakuwa hivyo kabla, vitu vingi sana Salome alikuwa anavifanya vya tofauti. Muda huu alikuwa nae sebleni wakiangalia luninga, mara gafla Salome akashika kichwa chake kwa nguvu na kumfanya Neema amuulize kwa mshangao huku ameinuka na kumshikilia,
“Vipi Salome mwanangu!”
Ila Salome hakujibu zaidi aliinuka na kukimbilia chumbani halafu akafunga mlango. Kwakweli Neema alishindwa kuelewa kabisa kuwa imekuwaje lakini bado hakupata jibu kabisa, akawa tu anamgongea mlango,
“Jamani mwanangu Salome fungua, una matatizo gani mwanangu!”
Hakujibiwa wala mlango haukufunguliwa na kumfanya azidi kuchanganyikiwa lakini akaamua kwenda kukaa akisikilizia tu kipi kitajili baada ya hayo.
Baada kama ya lisaa limoja Salome alitoka ndani, na alimkuta mama yake akilia. Salome alimfata mama yake na kuanza kumbembeleza,
“Usilie mama, mimi ni mzima”
“Salome mwanangu, ulinifungia mlango lazima nihisi kuna kibaya kimekupata”
“Hakuna kibaya chochote mama”
“Sasa kwanini uliondoka gafla ukishika kichwa na kwenda kujifungia ndani?”
“Kichwa kiliniuma mama, sasa niliingia ndani na kunywa dawa na kupumzika sikutaka kuacha mlango wazi kwamaana niliona ungesumbuka”
“Jamani Salome mwanangu mbona siku hizi umebadilika sana, toka lini umefanya hivyo mwanangu?”
“Nisamehe mama yangu, naomba unisamehe sana”
Neema sasa alinyamaza ila akaja kushtuliwa tena na kauli ya Salome,
“Mama nataka kwenda kwa baba”
“Kivipi Salome?”
“Nataka kwenda kuishi na baba”
“Jamani Ssalome jamani, subiri basi kesho nitakujibu”
“Sitaki kusubiria kesho, nataka leo leo iende kwa baba”
“Hapana Salome, siwezi kukuruhusu leo. Subiri utaenda tu”
“Huwezi kubadilisha mawazo yangu mama, nishajipanga kwenda. Nitakuja tena tu hapa nyumbani ila kwa leo niache niende”
“Hapana Salome”
Ila Salome akainuka na kwenda chumbani kwake kisha akatoka na begi dogo na kumwambia mama yake,
“Baki salama mama”
Halafu akatoa milioni moja na kumkabidhi mama yake, hakutaka hata kusikia mama yake atasema nini kwani muda huo huo akatoka na kuondoka, kwakweli Neema alikuwa kama amepigwa na bumbuwazi hizi kwani aliona ni mambo ya ajabu sana kutokusikilizwa na mwanae.
Wale mapacha walipokuwa wanajiandaa ili wapande basi waende Morogoro maana walichelewa sana kutokana na mambo waliyokuwa wanayafanya ndiomana ikawachelewesha, wakasikia mtu akiwaita,
“Kulwa na Doto”
Walishtuka na kumuangalia aliyewaita, kwakweli sura ya Yule mtu ilikuwa ni ngeni machoni mwao ila walipomuangalia zaidi waligundua kuwa mtu Yule amefanana na baba yao wa kambo Mr.Patrick. Walimsogelea Yule binti na kumsikiliza vizuri,
“Naitwa Salome”
Wakatazamana na kumuuliza,
“Unatujua sisi?”
“Ndio nawajua”
“Na je umetuitia nini?”
“Nimetumwa na mama ambaye ni mama yenu”
“Kwani na wewe ni mama yako?”
“Ndio ni mama yangu, kaolewa na baba yangu”
Wakashangaana kwa muda na kuuliza kwa makini kuhusu baba wa Salome, naye akawaelezea,
“Mzee Patrick ni baba yangu mzazi, nz mimi ni mtoto wake wa pekee na analitambua hilo. Nimefika leo rasmi nyumbani nyie mmeondoka, ndio mama kasema niwafate hapa stendi turudi nyumbani akawatambulishe vizuri. Hata hivyo amesema huko Morogoro ameshamalizana na wakulima tayari kwahiyo hakuna cha kuendea.”
Wale mapacha wakaangaliana na kujikuta wakikubaliana nae kile alichowaambia na kuamua kughaili kwenda Morogoro na kurudi nyumbani ila Salome aliwaaga kuwa yeye anapitia mahali kwahiyo ataonana nao nyumbani.
Wakati wanarudi njiani walikutana na baba yao ambaye ni Mr.Patrick nae akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwahiyo walimsimamisha na kushuka kwenye gari ya kukodi waliyopanda kisha kuingia kwenye gari ya Patrick.
“Baba mbona na wewe unarudi nyumbani muda huu?”
“Nimejisikia tu kurudi”
Wakaona si vyema waongee sana labda baba yao anaenda kufanyiwa kitu cha kushtukiza kwahiyo wakimwambia watakuwa wameharibu ila baba yao aliwaomba wapiti kumchukua Ana maana amepigiwa simu na walimu wa Ana kuwa arudi kwao.
Basi wakapita shuleni kwakina Ana, halafu Patrick akakabidhiwa Ana arudi nae nyumbani. Walimu walimkabidhi na barua mr.Patrick aende nayo. Walirudi na kupanda kwenye gari, kaka zake wakamuuliza kwa mshangao,
“Kwani Ana imekuwaje mdogo wetu mbona mapema sana, halafu umerudishwa nyumbani na barua juu”
“Achaneni na mimi”
“Mmmh haya bhana, tunaachana na wewe ila kumbuka elimu ndio kila kitu katika maisha”
“Naweza kupata kila kitu bila ya elimu, achaneni na mimi kabisa”
“Haya tumekuacha”
Basi safari ilikuwa inafanyika ya kurudi nyumbani.
Rose alikuwa anampango wa kumfanyia mambo ya ajabu sana Sara kwavile alimficha bado ila kila alichotaka kufanya aliona kuna kitu kinapingana nae na kushindwa kuelewa kuwa ni kitu gani ambacho kilikuwa kikimshinda kufanya vile alivyotaka kufanya, akamuita Sara kwa nguvu kiasi cha kufanya hadi nyumba yake itikisike ila Sara alishindwa kuinuka pale alipokuwa amekaaa ikabidi amfate kwa hasira na kutaka kumuinua kwa nguvu ila wakati anakazana kumuinua mara gafla nguo zake zote zikaanguka chini hata asielewe kwanini zimeanguka kwahiyo akawa kama alivyozaliwa, gafla mlango ulifunguliwa na waliingia ndani watoto wake na mume wake, kwakweli wote walimshangaa mama yao kuwa kama alivyozaliwa. Ikabidi Ana akimbilie nguo na kumfunika mama yake kisha wale mapacha nao wakatoka nje kwa aibu. Kwakweli siku ya leo ilikuwa ni siku ya aibu kubwa kwa Rose ambayo hajawahi kuitegemea kwa siku zote, hajawahi kutegemea kama kuna siku atadhalilika kiasi kile.
Ana alimchukua mama yake na kwenda nae chumbani huku akisikitika sana kwa kilichotokea na kumpa mama yake pole,
“Imekuwaje mama?”
“Sijui ila nguvu zangu zimepotea mwanangu, yani sina nguvu kama mwanzo. Nimedhalilika sana”
“Pole mama, ni kitu gani kimetokea?”
“Sijui ila kila nilipokuwa nafanya dawa zilikuwa zinapingana na vitu vingine. Hapo ndipo nilipotaka kwenda kumchukua kwa nguvu Sara ila ndio nguo zikanidondoka halafu nyie mkaingia”
Mara wakasikia sauti ya Sara ikiongea kwa nguvu tena kwa ujasiri,
“Sasa huyu ndio kiboko ya Ana”
Ikabidi watoke ili wakamuone huyo kiboko ya Ana, kwakweli Rose alishtushwa sana kumuona Salome.
Itaendelea kesho usiku……!!!!!
KURUDI KWA MOZA: 15 Mara Ana akaingia tena chumbani kwa Sara na kusema, “Nimekusikia yote, subiri nikuonyeshe” Kabla hajaanza kufanya chochote chumba cha Sara kikaanza kutikisika, wote walichanganyikiwa cha kushangaza hata ile hali ilimchanganya pia na Ana hadi akajikuta akipiga kelele ambazo zilimshtua hadi mama yao chumbani. Kelele za Ana zilifanya watu wote mule chumbani wazimie. Rose aliingia chumbani na chumba kikaacha kutikisika, alikuwa akishangaa sana na kumuuliza Ana aliyekuwa amesimama na hasira, “Kuna nini Ana?” Ana alimpushi mama yake na kutoka nje, kwakweli Rose alikuwa akishangaa tu na kwenda kuwagusa wanae ambao walikuwa wamezimia wote. Kiukweli hakuelewa kabisa kwani kabla aliwaacha wakiwa wanaongea na Sara ambaye kapona kimuujiza halafu akakumbuka kuwa Ana alibaki nje wakati amemwambia kuwa waondoke. Ikabidi atoke mule chumbani kwakina Sara na kwenda tena kumfata Ana chumbani kwake, aliingia na kuongea nae kwa utaratibu kabisa, “Mwanangu Ana niambie tatizo ni nini?” “Mama niache, tafadhali niache” “Sawa mwanangu, ila mimi ni mama yako mwanangu jamani. Usiponiambia na mimi utamwambia nani mwingine! Mimi na wewe ndio wa kusaidiana mwanangu. Kumbuka nakupenda sana mwanangu, ndiomana wote wale nimeachana nao ingawa wamezimia ila nimekuja kuzungumza na wewe” “Mama, kuna mtu ananichezea akili halafu Sara anajua ukweli wote” “Mwanangu, kama Sara anaujua ukweli najua cha kumfanya aseme ukweli kwetu hata usijali” “Kwahiyo mama utanisaidia!” “Ndio nitakusaidia mwanangu” “Sasa hivi hakuna siri mama, yani watoto wako wanaelewa fika kuwa mimi ni nani na nina uwezo gani. Sasa nadhani wametafuta vya kuwasaidia ndiomana imekuwa hivi, hebu fikiria mama kabla sijafanya chochote eti chumba cha cha Sara kikaanza kutikisika kwakweli nimechukia sana” “Kheee makubwa, sasa mbona wamezimia?” “Sauti yangu ya kelele imewafanya wazimie, ndiomana nakwambia saivi washanijua kuwa mimi ni mtu wa aina gani. Tafadhali mama fanya kitu nijue ukweli maana nasikia aliyemfanya Sara apone ndiye aliyemuokoa Yule mwalimu aliyeanguka chooni” “Kheee mwanangu, atakuwa jinni huyo sidhani kama ni mtu wa kawaida” “Hata kama ni jinni sidhani kama anaweza kunishinda kiasi hiki halafu kwanini nisipate hata kengele ya hatari kuwa kuna kitu kinatendeka nyuma yangu!” Basi Ana na mama yake wakajadili sana siku hiyo, na mama yake akamwambia atakachokifanya ili Sara aseme ukweli. Muda kidogo Patrick nae alirudi ila aliamliwa akalale siku hiyo bila hata ya kula chochote kile humo ndani. Kulipokucha Patrick alitoka na kuruhusiwa kuondoka ila watoto wa rose walikuwa bado hawajazinduka, na baada ya Patrick kuondoka Ana nae aliondoka na kwenda shuleni kisha huku nyuma Rose aliingia chumbani kwa Sara na kuanza kuwaburuza wanae wale mapacha mmoja mmoja, hadi wote wawili akawaingiza chumbani kwako kisha akawaweka kitandani na kuwafunika mashuka halafu akaenda chumbani kwa Sara na kumuweka vizuri Sara kitandani kisha akamfunika na shuka. Baada ya muda wale mapacha walizinduka ila kila mmoja hakukumbuka kitu chochote kilichokuwa kimetokea ila walijikuta wamechoka sana na kuulizana kwa mshangao, “Mbona tumechelewa sana kuamka!” “Hata sielewi, sijui kwanini” Basi ikabidi wajiandae haraka haraka na kuondoka, sebleni walimkuta mama yao na kumuaga. “Sasa nataka niwaagize” “Wapi tena mama?” “Leo msafiri, muende kule shambani Morogoro” Mmoja akadakia, “Mama, kuna nini tena?” “Sitaki maswali ila nataka muende kule shambani kwangu na mrudi kesho. Nadhani tunaelewana” Akawapa na pesa kidogo ya kuwasaidia kwenye safari hiyo, waliondoka ila walijiuliza mambo mengi sana kuwa mama yao safari hii ana mpango gani maana mara ya mwisho aliwatuma Morogoro kumbe kuna kifo cha Moza, ila kwasababu hawakuwa na kumbukumbu yoyote ya kilichotokea usiku wakapuuzia na kuondoka zao. Muda kidogo Sara nae aliamka, tena akaoga na kujiandaa kuondoka. Alipotoka sebleni akamkuta mama yao amekaa na akamuuliza swali, “Unaenda wapi?” “Naenda kwenye shughuli zangu mama” “Nani amekuruhusu?” “Mama jamani si nimepona! Je kutoka siruhusiwi?” “Njoo ukae kwanza hapa nikuambie” Sara alienda kukaa karibu na mama yake , kisha mama yake akamuuliza swali, “Wewe umejizaa au nimekuzaa?” “Umenizaa mama, ila kwanini umeniuliza hivyo?” “Sasa niambie ukweli, ni kitu gani kimerudisha kuongea kwako na kuona kwako” “Jamani mama inamaana haujapenda nilivyopona?” “Wewe niambie tu umeponaje?” “Nilikuwa nimelala hapa sebleni, mara nikasikia sauti ikisema inuka Sara umepona. Nikafungua macho yangu nikaona halafu nikajaribu kuongea napo nikaweza. Basi nikafurahi sana nimeweza kupona mama” “Sara usinifiche, mimi ni mama yako niambie ukweli” “Huo ndio ukweli mama wala hakuna ukweli mwingine zaidi ya huo” “Sara, sitaki kutumia ukali mwanangu. Niambie ukweli” “Huo ndio ukweli mama” “Nadhani unataka kuona nitakufanya nini” Rose akainuka na kuelekea chumbani, kisha Sara nae akainuka na kutaka kutoka nje ila akakuta mlango umefungwa kila alipojaribu kuufungua ilikuwa ni vigumu kuufungua ikabidi akae chini amsubirie tu mamake arudi. Bado Neema alikuwa akishangaa sana jinsi Salome alivyobadilika kwani mwanae hakuwa hivyo kabla, vitu vingi sana Salome alikuwa anavifanya vya tofauti. Muda huu alikuwa nae sebleni wakiangalia luninga, mara gafla Salome akashika kichwa chake kwa nguvu na kumfanya Neema amuulize kwa mshangao huku ameinuka na kumshikilia, “Vipi Salome mwanangu!” Ila Salome hakujibu zaidi aliinuka na kukimbilia chumbani halafu akafunga mlango. Kwakweli Neema alishindwa kuelewa kabisa kuwa imekuwaje lakini bado hakupata jibu kabisa, akawa tu anamgongea mlango, “Jamani mwanangu Salome fungua, una matatizo gani mwanangu!” Hakujibiwa wala mlango haukufunguliwa na kumfanya azidi kuchanganyikiwa lakini akaamua kwenda kukaa akisikilizia tu kipi kitajili baada ya hayo. Baada kama ya lisaa limoja Salome alitoka ndani, na alimkuta mama yake akilia. Salome alimfata mama yake na kuanza kumbembeleza, “Usilie mama, mimi ni mzima” “Salome mwanangu, ulinifungia mlango lazima nihisi kuna kibaya kimekupata” “Hakuna kibaya chochote mama” “Sasa kwanini uliondoka gafla ukishika kichwa na kwenda kujifungia ndani?” “Kichwa kiliniuma mama, sasa niliingia ndani na kunywa dawa na kupumzika sikutaka kuacha mlango wazi kwamaana niliona ungesumbuka” “Jamani Salome mwanangu mbona siku hizi umebadilika sana, toka lini umefanya hivyo mwanangu?” “Nisamehe mama yangu, naomba unisamehe sana” Neema sasa alinyamaza ila akaja kushtuliwa tena na kauli ya Salome, “Mama nataka kwenda kwa baba” “Kivipi Salome?” “Nataka kwenda kuishi na baba” “Jamani Ssalome jamani, subiri basi kesho nitakujibu” “Sitaki kusubiria kesho, nataka leo leo iende kwa baba” “Hapana Salome, siwezi kukuruhusu leo. Subiri utaenda tu” “Huwezi kubadilisha mawazo yangu mama, nishajipanga kwenda. Nitakuja tena tu hapa nyumbani ila kwa leo niache niende” “Hapana Salome” Ila Salome akainuka na kwenda chumbani kwake kisha akatoka na begi dogo na kumwambia mama yake, “Baki salama mama” Halafu akatoa milioni moja na kumkabidhi mama yake, hakutaka hata kusikia mama yake atasema nini kwani muda huo huo akatoka na kuondoka, kwakweli Neema alikuwa kama amepigwa na bumbuwazi hizi kwani aliona ni mambo ya ajabu sana kutokusikilizwa na mwanae. Wale mapacha walipokuwa wanajiandaa ili wapande basi waende Morogoro maana walichelewa sana kutokana na mambo waliyokuwa wanayafanya ndiomana ikawachelewesha, wakasikia mtu akiwaita, “Kulwa na Doto” Walishtuka na kumuangalia aliyewaita, kwakweli sura ya Yule mtu ilikuwa ni ngeni machoni mwao ila walipomuangalia zaidi waligundua kuwa mtu Yule amefanana na baba yao wa kambo Mr.Patrick. Walimsogelea Yule binti na kumsikiliza vizuri, “Naitwa Salome” Wakatazamana na kumuuliza, “Unatujua sisi?” “Ndio nawajua” “Na je umetuitia nini?” “Nimetumwa na mama ambaye ni mama yenu” “Kwani na wewe ni mama yako?” “Ndio ni mama yangu, kaolewa na baba yangu” Wakashangaana kwa muda na kuuliza kwa makini kuhusu baba wa Salome, naye akawaelezea, “Mzee Patrick ni baba yangu mzazi, nz mimi ni mtoto wake wa pekee na analitambua hilo. Nimefika leo rasmi nyumbani nyie mmeondoka, ndio mama kasema niwafate hapa stendi turudi nyumbani akawatambulishe vizuri. Hata hivyo amesema huko Morogoro ameshamalizana na wakulima tayari kwahiyo hakuna cha kuendea.” Wale mapacha wakaangaliana na kujikuta wakikubaliana nae kile alichowaambia na kuamua kughaili kwenda Morogoro na kurudi nyumbani ila Salome aliwaaga kuwa yeye anapitia mahali kwahiyo ataonana nao nyumbani. Wakati wanarudi njiani walikutana na baba yao ambaye ni Mr.Patrick nae akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwahiyo walimsimamisha na kushuka kwenye gari ya kukodi waliyopanda kisha kuingia kwenye gari ya Patrick. “Baba mbona na wewe unarudi nyumbani muda huu?” “Nimejisikia tu kurudi” Wakaona si vyema waongee sana labda baba yao anaenda kufanyiwa kitu cha kushtukiza kwahiyo wakimwambia watakuwa wameharibu ila baba yao aliwaomba wapiti kumchukua Ana maana amepigiwa simu na walimu wa Ana kuwa arudi kwao. Basi wakapita shuleni kwakina Ana, halafu Patrick akakabidhiwa Ana arudi nae nyumbani. Walimu walimkabidhi na barua mr.Patrick aende nayo. Walirudi na kupanda kwenye gari, kaka zake wakamuuliza kwa mshangao, “Kwani Ana imekuwaje mdogo wetu mbona mapema sana, halafu umerudishwa nyumbani na barua juu” “Achaneni na mimi” “Mmmh haya bhana, tunaachana na wewe ila kumbuka elimu ndio kila kitu katika maisha” “Naweza kupata kila kitu bila ya elimu, achaneni na mimi kabisa” “Haya tumekuacha” Basi safari ilikuwa inafanyika ya kurudi nyumbani. Rose alikuwa anampango wa kumfanyia mambo ya ajabu sana Sara kwavile alimficha bado ila kila alichotaka kufanya aliona kuna kitu kinapingana nae na kushindwa kuelewa kuwa ni kitu gani ambacho kilikuwa kikimshinda kufanya vile alivyotaka kufanya, akamuita Sara kwa nguvu kiasi cha kufanya hadi nyumba yake itikisike ila Sara alishindwa kuinuka pale alipokuwa amekaaa ikabidi amfate kwa hasira na kutaka kumuinua kwa nguvu ila wakati anakazana kumuinua mara gafla nguo zake zote zikaanguka chini hata asielewe kwanini zimeanguka kwahiyo akawa kama alivyozaliwa, gafla mlango ulifunguliwa na waliingia ndani watoto wake na mume wake, kwakweli wote walimshangaa mama yao kuwa kama alivyozaliwa. Ikabidi Ana akimbilie nguo na kumfunika mama yake kisha wale mapacha nao wakatoka nje kwa aibu. Kwakweli siku ya leo ilikuwa ni siku ya aibu kubwa kwa Rose ambayo hajawahi kuitegemea kwa siku zote, hajawahi kutegemea kama kuna siku atadhalilika kiasi kile. Ana alimchukua mama yake na kwenda nae chumbani huku akisikitika sana kwa kilichotokea na kumpa mama yake pole, “Imekuwaje mama?” “Sijui ila nguvu zangu zimepotea mwanangu, yani sina nguvu kama mwanzo. Nimedhalilika sana” “Pole mama, ni kitu gani kimetokea?” “Sijui ila kila nilipokuwa nafanya dawa zilikuwa zinapingana na vitu vingine. Hapo ndipo nilipotaka kwenda kumchukua kwa nguvu Sara ila ndio nguo zikanidondoka halafu nyie mkaingia” Mara wakasikia sauti ya Sara ikiongea kwa nguvu tena kwa ujasiri, “Sasa huyu ndio kiboko ya Ana” Ikabidi watoke ili wakamuone huyo kiboko ya Ana, kwakweli Rose alishtushwa sana kumuona Salome. Itaendelea kesho usiku……!!!!! By, Atuganile Mwakalile. Mapenzi na Maisha iko kwenye Facebook. Ili kuunganisha kwa Mapenzi na Maisha, jiunge kwenye Facebook leo. Jiunge au Ingia Mapenzi na Maisha KURUDI KWA MOZA: 15 Mara Ana akaingia tena chumbani kwa Sara na kusema, “Nimekusikia yote, subiri nikuonyeshe” Kabla hajaanza kufanya chochote chumba cha Sara kikaanza kutikisika, wote walichanganyikiwa cha kushangaza hata ile hali ilimchanganya pia na Ana hadi akajikuta akipiga kelele ambazo zilimshtua hadi mama yao chumbani. Kelele za Ana zilifanya watu wote mule chumbani wazimie. Rose aliingia chumbani na chumba kikaacha kutikisika, alikuwa akishangaa sana na kumuuliza Ana aliyekuwa amesimama na hasira, “Kuna nini Ana?” Ana alimpushi mama yake na kutoka nje, kwakweli Rose alikuwa akishangaa tu na kwenda kuwagusa wanae ambao walikuwa wamezimia wote. Kiukweli hakuelewa kabisa kwani kabla aliwaacha wakiwa wanaongea na Sara ambaye kapona kimuujiza halafu akakumbuka kuwa Ana alibaki nje wakati amemwambia kuwa waondoke. Ikabidi atoke mule chumbani kwakina Sara na kwenda tena kumfata Ana chumbani kwake, aliingia na kuongea nae kwa utaratibu kabisa, “Mwanangu Ana niambie tatizo ni nini?” “Mama niache, tafadhali niache” “Sawa mwanangu, ila mimi ni mama yako mwanangu jamani. Usiponiambia na mimi utamwambia nani mwingine! Mimi na wewe ndio wa kusaidiana mwanangu. Kumbuka nakupenda sana mwanangu, ndiomana wote wale nimeachana nao ingawa wamezimia ila nimekuja kuzungumza na wewe” “Mama, kuna mtu ananichezea akili halafu Sara anajua ukweli wote” “Mwanangu, kama Sara anaujua ukweli najua cha kumfanya aseme ukweli kwetu hata usijali” “Kwahiyo mama utanisaidia!” “Ndio nitakusaidia mwanangu” “Sasa hivi hakuna siri mama, yani watoto wako wanaelewa fika kuwa mimi ni nani na nina uwezo gani. Sasa nadhani wametafuta vya kuwasaidia ndiomana imekuwa hivi, hebu fikiria mama kabla sijafanya chochote eti chumba cha cha Sara kikaanza kutikisika kwakweli nimechukia sana” “Kheee makubwa, sasa mbona wamezimia?” “Sauti yangu ya kelele imewafanya wazimie, ndiomana nakwambia saivi washanijua kuwa mimi ni mtu wa aina gani. Tafadhali mama fanya kitu nijue ukweli maana nasikia aliyemfanya Sara apone ndiye aliyemuokoa Yule mwalimu aliyeanguka chooni” “Kheee mwanangu, atakuwa jinni huyo sidhani kama ni mtu wa kawaida” “Hata kama ni jinni sidhani kama anaweza kunishinda kiasi hiki halafu kwanini nisipate hata kengele ya hatari kuwa kuna kitu kinatendeka nyuma yangu!” Basi Ana na mama yake wakajadili sana siku hiyo, na mama yake akamwambia atakachokifanya ili Sara aseme ukweli. Muda kidogo Patrick nae alirudi ila aliamliwa akalale siku hiyo bila hata ya kula chochote kile humo ndani. Kulipokucha Patrick alitoka na kuruhusiwa kuondoka ila watoto wa rose walikuwa bado hawajazinduka, na baada ya Patrick kuondoka Ana nae aliondoka na kwenda shuleni kisha huku nyuma Rose aliingia chumbani kwa Sara na kuanza kuwaburuza wanae wale mapacha mmoja mmoja, hadi wote wawili akawaingiza chumbani kwako kisha akawaweka kitandani na kuwafunika mashuka halafu akaenda chumbani kwa Sara na kumuweka vizuri Sara kitandani kisha akamfunika na shuka. Baada ya muda wale mapacha walizinduka ila kila mmoja hakukumbuka kitu chochote kilichokuwa kimetokea ila walijikuta wamechoka sana na kuulizana kwa mshangao, “Mbona tumechelewa sana kuamka!” “Hata sielewi, sijui kwanini” Basi ikabidi wajiandae haraka haraka na kuondoka, sebleni walimkuta mama yao na kumuaga. “Sasa nataka niwaagize” “Wapi tena mama?” “Leo msafiri, muende kule shambani Morogoro” Mmoja akadakia, “Mama, kuna nini tena?” “Sitaki maswali ila nataka muende kule shambani kwangu na mrudi kesho. Nadhani tunaelewana” Akawapa na pesa kidogo ya kuwasaidia kwenye safari hiyo, waliondoka ila walijiuliza mambo mengi sana kuwa mama yao safari hii ana mpango gani maana mara ya mwisho aliwatuma Morogoro kumbe kuna kifo cha Moza, ila kwasababu hawakuwa na kumbukumbu yoyote ya kilichotokea usiku wakapuuzia na kuondoka zao. Muda kidogo Sara nae aliamka, tena akaoga na kujiandaa kuondoka. Alipotoka sebleni akamkuta mama yao amekaa na akamuuliza swali, “Unaenda wapi?” “Naenda kwenye shughuli zangu mama” “Nani amekuruhusu?” “Mama jamani si nimepona! Je kutoka siruhusiwi?” “Njoo ukae kwanza hapa nikuambie” Sara alienda kukaa karibu na mama yake , kisha mama yake akamuuliza swali, “Wewe umejizaa au nimekuzaa?” “Umenizaa mama, ila kwanini umeniuliza hivyo?” “Sasa niambie ukweli, ni kitu gani kimerudisha kuongea kwako na kuona kwako” “Jamani mama inamaana haujapenda nilivyopona?” “Wewe niambie tu umeponaje?” “Nilikuwa nimelala hapa sebleni, mara nikasikia sauti ikisema inuka Sara umepona. Nikafungua macho yangu nikaona halafu nikajaribu kuongea napo nikaweza. Basi nikafurahi sana nimeweza kupona mama” “Sara usinifiche, mimi ni mama yako niambie ukweli” “Huo ndio ukweli mama wala hakuna ukweli mwingine zaidi ya huo” “Sara, sitaki kutumia ukali mwanangu. Niambie ukweli” “Huo ndio ukweli mama” “Nadhani unataka kuona nitakufanya nini” Rose akainuka na kuelekea chumbani, kisha Sara nae akainuka na kutaka kutoka nje ila akakuta mlango umefungwa kila alipojaribu kuufungua ilikuwa ni vigumu kuufungua ikabidi akae chini amsubirie tu mamake arudi. Bado Neema alikuwa akishangaa sana jinsi Salome alivyobadilika kwani mwanae hakuwa hivyo kabla, vitu vingi sana Salome alikuwa anavifanya vya tofauti. Muda huu alikuwa nae sebleni wakiangalia luninga, mara gafla Salome akashika kichwa chake kwa nguvu na kumfanya Neema amuulize kwa mshangao huku ameinuka na kumshikilia, “Vipi Salome mwanangu!” Ila Salome hakujibu zaidi aliinuka na kukimbilia chumbani halafu akafunga mlango. Kwakweli Neema alishindwa kuelewa kabisa kuwa imekuwaje lakini bado hakupata jibu kabisa, akawa tu anamgongea mlango, “Jamani mwanangu Salome fungua, una matatizo gani mwanangu!” Hakujibiwa wala mlango haukufunguliwa na kumfanya azidi kuchanganyikiwa lakini akaamua kwenda kukaa akisikilizia tu kipi kitajili baada ya hayo. Baada kama ya lisaa limoja Salome alitoka ndani, na alimkuta mama yake akilia. Salome alimfata mama yake na kuanza kumbembeleza, “Usilie mama, mimi ni mzima” “Salome mwanangu, ulinifungia mlango lazima nihisi kuna kibaya kimekupata” “Hakuna kibaya chochote mama” “Sasa kwanini uliondoka gafla ukishika kichwa na kwenda kujifungia ndani?” “Kichwa kiliniuma mama, sasa niliingia ndani na kunywa dawa na kupumzika sikutaka kuacha mlango wazi kwamaana niliona ungesumbuka” “Jamani Salome mwanangu mbona siku hizi umebadilika sana, toka lini umefanya hivyo mwanangu?” “Nisamehe mama yangu, naomba unisamehe sana” Neema sasa alinyamaza ila akaja kushtuliwa tena na kauli ya Salome, “Mama nataka kwenda kwa baba” “Kivipi Salome?” “Nataka kwenda kuishi na baba” “Jamani Ssalome jamani, subiri basi kesho nitakujibu” “Sitaki kusubiria kesho, nataka leo leo iende kwa baba” “Hapana Salome, siwezi kukuruhusu leo. Subiri utaenda tu” “Huwezi kubadilisha mawazo yangu mama, nishajipanga kwenda. Nitakuja tena tu hapa nyumbani ila kwa leo niache niende” “Hapana Salome” Ila Salome akainuka na kwenda chumbani kwake kisha akatoka na begi dogo na kumwambia mama yake, “Baki salama mama” Halafu akatoa milioni moja na kumkabidhi mama yake, hakutaka hata kusikia mama yake atasema nini kwani muda huo huo akatoka na kuondoka, kwakweli Neema alikuwa kama amepigwa na bumbuwazi hizi kwani aliona ni mambo ya ajabu sana kutokusikilizwa na mwanae. Wale mapacha walipokuwa wanajiandaa ili wapande basi waende Morogoro maana walichelewa sana kutokana na mambo waliyokuwa wanayafanya ndiomana ikawachelewesha, wakasikia mtu akiwaita, “Kulwa na Doto” Walishtuka na kumuangalia aliyewaita, kwakweli sura ya Yule mtu ilikuwa ni ngeni machoni mwao ila walipomuangalia zaidi waligundua kuwa mtu Yule amefanana na baba yao wa kambo Mr.Patrick. Walimsogelea Yule binti na kumsikiliza vizuri, “Naitwa Salome” Wakatazamana na kumuuliza, “Unatujua sisi?” “Ndio nawajua” “Na je umetuitia nini?” “Nimetumwa na mama ambaye ni mama yenu” “Kwani na wewe ni mama yako?” “Ndio ni mama yangu, kaolewa na baba yangu” Wakashangaana kwa muda na kuuliza kwa makini kuhusu baba wa Salome, naye akawaelezea, “Mzee Patrick ni baba yangu mzazi, nz mimi ni mtoto wake wa pekee na analitambua hilo. Nimefika leo rasmi nyumbani nyie mmeondoka, ndio mama kasema niwafate hapa stendi turudi nyumbani akawatambulishe vizuri. Hata hivyo amesema huko Morogoro ameshamalizana na wakulima tayari kwahiyo hakuna cha kuendea.” Wale mapacha wakaangaliana na kujikuta wakikubaliana nae kile alichowaambia na kuamua kughaili kwenda Morogoro na kurudi nyumbani ila Salome aliwaaga kuwa yeye anapitia mahali kwahiyo ataonana nao nyumbani. Wakati wanarudi njiani walikutana na baba yao ambaye ni Mr.Patrick nae akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwahiyo walimsimamisha na kushuka kwenye gari ya kukodi waliyopanda kisha kuingia kwenye gari ya Patrick. “Baba mbona na wewe unarudi nyumbani muda huu?” “Nimejisikia tu kurudi” Wakaona si vyema waongee sana labda baba yao anaenda kufanyiwa kitu cha kushtukiza kwahiyo wakimwambia watakuwa wameharibu ila baba yao aliwaomba wapiti kumchukua Ana maana amepigiwa simu na walimu wa Ana kuwa arudi kwao. Basi wakapita shuleni kwakina Ana, halafu Patrick akakabidhiwa Ana arudi nae nyumbani. Walimu walimkabidhi na barua mr.Patrick aende nayo. Walirudi na kupanda kwenye gari, kaka zake wakamuuliza kwa mshangao, “Kwani Ana imekuwaje mdogo wetu mbona mapema sana, halafu umerudishwa nyumbani na barua juu” “Achaneni na mimi” “Mmmh haya bhana, tunaachana na wewe ila kumbuka elimu ndio kila kitu katika maisha” “Naweza kupata kila kitu bila ya elimu, achaneni na mimi kabisa” “Haya tumekuacha” Basi safari ilikuwa inafanyika ya kurudi nyumbani. Rose alikuwa anampango wa kumfanyia mambo ya ajabu sana Sara kwavile alimficha bado ila kila alichotaka kufanya aliona kuna kitu kinapingana nae na kushindwa kuelewa kuwa ni kitu gani ambacho kilikuwa kikimshinda kufanya vile alivyotaka kufanya, akamuita Sara kwa nguvu kiasi cha kufanya hadi nyumba yake itikisike ila Sara alishindwa kuinuka pale alipokuwa amekaaa ikabidi amfate kwa hasira na kutaka kumuinua kwa nguvu ila wakati anakazana kumuinua mara gafla nguo zake zote zikaanguka chini hata asielewe kwanini zimeanguka kwahiyo akawa kama alivyozaliwa, gafla mlango ulifunguliwa na waliingia ndani watoto wake na mume wake, kwakweli wote walimshangaa mama yao kuwa kama alivyozaliwa. Ikabidi Ana akimbilie nguo na kumfunika mama yake kisha wale mapacha nao wakatoka nje kwa aibu. Kwakweli siku ya leo ilikuwa ni siku ya aibu kubwa kwa Rose ambayo hajawahi kuitegemea kwa siku zote, hajawahi kutegemea kama kuna siku atadhalilika kiasi kile. Ana alimchukua mama yake na kwenda nae chumbani huku akisikitika sana kwa kilichotokea na kumpa mama yake pole, “Imekuwaje mama?” “Sijui ila nguvu zangu zimepotea mwanangu, yani sina nguvu kama mwanzo. Nimedhalilika sana” “Pole mama, ni kitu gani kimetokea?” “Sijui ila kila nilipokuwa nafanya dawa zilikuwa zinapingana na vitu vingine. Hapo ndipo nilipotaka kwenda kumchukua kwa nguvu Sara ila ndio nguo zikanidondoka halafu nyie mkaingia” Mara wakasikia sauti ya Sara ikiongea kwa nguvu tena kwa ujasiri, “Sasa huyu ndio kiboko ya Ana” Ikabidi watoke ili wakamuone huyo kiboko ya Ana, kwakweli Rose alishtushwa sana kumuona Salome. Itaendelea kesho usiku……!!!!!
Artikel Terkait
*Love bite* Sehemu Ya Kwanza (1) Ni siku ya jumapili iliyokuwa na kila aina ya mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbali mbali walionekana kwenye kumbi za starehe. Wengi ambao walikua wanapenda taarab basi walijazana travertine hotel kuwaangalia jahazi. Kwa wengine wanaopenda bongo flavour basi walikutana bills,maisha,masai..Dar live na kumbi zingine zilikuwa na wasanii pendwa waliokuwa wanaburudisha week end hiyo. JOTHAN alikua anapendelea sana mixing za ma dj mbali mbali. Hivyo jumapili hiyo aliamua kwenda coco beach usiku huo. Upepo mwanana uliokuwa ukipuliza huko coco beach na ukichanganya na big screen iliyokuwa inaenda sambamba na mixing za maana alizokuwa anazipiga dj huyo aliyezikonga roho za watu wengi waliokuwa pale, iilikuwa burudani tosha kwa waliohudhuria usiku ule. Jotham alipaki gari yake pembeni, alichagua kiti kilichukokuwa karibu na meza ya mwisho na kuagiza kinywaji alichokipendelea na kuendelea kufurahia mziki uliokuwa unaonyeshwa kwenye screen hiyo. Mara kwa mara madada poa walikuwa wanajipitisha pale alipo, lakini aliwachora tu na hakuwa na mpango nao. Baada ya dakika kadhaa, walitokea madada watatu waliokuwa wameingia pale coco beach na kuanza kutafuta mahali pa kukaa. Waliangaza meza nyingi zilikua na nafasi ya mtu mmoja au wawili tu na wao walikuwa na lengo la kukaa wote watatu kwenye meza moja. Baada ya kuangaza kwa muda, waliiona meza aliyokaa Jothan ikiwa na nafasi tatu za kukaa. Waliisogelea ile meza na walipokaribia tu kuifikia ile meza. Walishuhudia jamaa mmoja akiwa ameenda kukaa pale. “wewe kaka sogea sehemu yetu.” Aliongea mmoja kati ya wale wadada watatu baada tu ya kuifikia ile meza. “mbona hakuna alama yoyote kuwa mlikaa hapa. Hakuna vinywaji wala kitu chochote.” Aliongea yule jamaa huku akionyesha wazi kuvutiwa na ile sehemu iliyokuwa chemba lakini ikiwa inaonyesha vizuri ile tv. “ni vyema uwapishe kwa sababu waongeacho sio uongo.” Aliongea Jotham kumwambia yule jamaa. Hakuwa anapenda makelele ambayo alijua yatatokea baada ya mvutano huo wa kugombania ile sehemu. Yule jamaa akaamua kunyanyuka na kuwapisha wale warembo na yeye kwenda kukaa meza nyingine. “ahsante sana kaka, maana yule jamaa alitaka atubanie wakati sisi tumehangaika kutafuta meza tutakayokaa wote watatu”. Aliongea yule dada aliyeonekana kama kiongozi wao. Mavazi waliyovaa yalitosha kumshawishi mvulana yeyote rijali na kufanya iwe lazima macho ya matamanio kumtoka. Uzuri wa mabinti hao likuwa unashinda lakini huyo aliyekuwa kiongozi wao aliwazidi wenzake kwa kila kitu. Macho ya Jotham yaliona kila kitu kutoka kwa binti huyo mbichi. Chuchu zilitokeza kwa kujichora kwenye gauni ile nyepesi ambayo haikuwa na nguo nyingine ndani. “sikiliza oda zao, ziingize kwenye bili yangu” aliongea Jotham baada ya kumuita muhudumu aliyekuwa anamuhudumia toka afike pale. “ahsante.” Waliitikia wale madada baada ya kupewa ofa hiyo. Waliagiza vyakula na vinyaji walivyopendelea. Walipiga story za kawaida huku wakigongeana glass za vinywaji na kucheka. Jotham alikuwa kimya wakati wote huku akiwa bize kuangalia na kusikiliza mixing ambazo ndizo zilizomleta pale. Baada ya masaa kadhaa, alimuita muhudumu na kulipia bili yake. “ahsante kwa ofa yako.” Aliongea yule kiongozi wao baada ya Jotham kuwaaga. Jotham aliingia kwenye gari yake aina ya opah na kuondoka eneo hilo. Njiani alimkumbuka yule dada lakini aliishia kucheka tu kwakua hakuwa na hisia zozote za mapenzi juu yake. Zaidi alimtamani kuwa nae japo kwa usiku mmoja kwa jinsi alivyotoka. Hakika alikuwa na kila aina ya uchochezi wa kufanya ngono. Alifika kwake usiku mnene na kwenda kulala fofofo kutokana na usingizi uliojaa wakati huo. Asubuhi aliamka na uchovu tele na kwenda kuoga ili kujaribu kuupunguza uchovu aliokuwa nao. Alipomaliza kuoga. Alijiandaa tayari kwa kwenda kazini. Alisumbuka sana kuwasha gari lake lakini halikuwaka. Alipoangalia mafuta, aligundua kuwa wese lilikuwa limekata. Kwa kuhofia kuchelewa zaidi kazini, aliamua kwenda kituoni na kupanda daladala. Alifika kazini huku macho yake yakiwa mekundu yaliyoashiria kuwa bado alikuwa na usingizi. “mshikaji bora ukapate supu, maana hiyo harufu ya pombe uliyamka nayo ni noma. Utaongea vipi na bosi?” alishauri mmoja wa wafanyakazi wenzake aliyekuwa karibu naye. “poa, ngoja nielekee canteen basi.” Aliongea Jothan na kwenda canteen kupata supu ya mbuzi na chapati. Baada ya kunywa chai, alirudi na kuendelea na kazi. Saa nane ndio muda waliokuwa wanatoka kazini. Alienda kupata chakula cha mchana canteen na kuondoka zake kuelekea kituo cha daladala ambacho hakikuwa mbali na ofisini kwao. Alisubiri daladala kwa muda na kupanda gari iliyokuwa inaelekea mwenge kwa malengo ya kushuka kinondoni anapoishi. Usingizi ulichukua nafasi yake baada ya kupanda tu lile gari lililokuwa likisubiri abiria kwa dakika kadhaa pale kituoni Baada ya muda mrefu kidogo kupita, aliamka na kuangalia gari lilikuwa limefika wapi. Wakati akiwa anaanga angaza, macho yake yaligongana na yule mrembo aliyekuwa naye kwenye meza moja siku ya jana yake. Wote walikumbukana na kila mmoja akamuachia mwenzake tabasamu. Hapo alifanikiwa kumuona vizuri huyo msichana mwenye kila sifa ya uzuri. Usingizi uliendelea kumzonga Jotham na kujikuta anapitiwa na usingizi bila kuongea chochote na yule msichana. Gari lilifika mpaka mwenge na kupitiliza kituo alichokua anashuka Jothan. Aliamshwa na konda baada gari kushusha abiria wote. “tuko wapi hapa.” Aliuliza Jothan baada ya kuamka na kuangalia nje ambapo kulikua tofauti na mazingira anayoishi. “tumeshafika mwenge kaka.” Alijibu yule konda. Jothan aliangalia huku na kule na hakuona abiria yeyote aliyekuwa kwenye lile gari zaidi yake. Hakusikitika kupitishwa kituo, bali alisikitika sana kutochukua namba wala kujua jina la yule msichana aliyevutika naye zaidi baada ya kuonana nae kwa mara ya pili. Hakua na budi Jotham, zaidi ya kubaki ndani ya daladala na kugeuza nalo. Alipofika kinondoni kwa manyanya alishuka na kufuata njia ilyoelekea shule ya kambangwa secondary school na kupita chuo cha tumaini na kuingia nyumbani kwake ambapo hapakuwa mbali na pale. Hakuwa na hela nyingi sana, ila uwezo wa kula anachokitaka na kubadilisha nguo alikuwa nao. Alifika nyumbani na kujilaza kitandani kwake. Aliamka sa tatu usiku na kutoka kwenda sheli kununua mafuta kwenye kidumu kisha akaenda bar ya jirani na kupata chipsi kuku kisha akarudi nyumbani na kufungua tv na kuangalia yaliyomo. Saa tano usiku alianza kunyemelewa na usingizi,. Alizima tv yake na kwenda kulala. Alijikuta yupo na msichana yule mzuri kwenye fukwe za bahari wakipanga maswala yao ya kuoana. Alitoa pete na kumvisha mwanamke huyo mwenye kila aina ya sifa zilizompeleka Jotham kudata juu yake. Alikurupuka asubuhi na kugundua kuwa hali ile haikuwa halisi, bali alikua anaota.. aliangalia Alarm yake ambayo ilikuwa inalia wakati huo na kuizima. Alijiandaa na kupanda gari yake ambayo alishainunulia mafuta na kwenda nayo kazini kama kawaida. Baada ya mwezi mmoja kupita, Jothan alipata uamisho kikazi kwa miezi sita huko Morogoro. Alilaani ila hakua na jinsi kukubaliana na matakwa ya kazi. Ile ndoto ya kukutana tena na yule msichana iliyeyuka kwakua alijua kabisa kuwa kukaa kwake huko marogoro utakuwa mwisho wa kukutana tena na yule msichana kwa miezi mingi. Siku ya safari ilipofika. Alijiandaa na kupitiwa na gari la ofini kwao na kusafiri pamoja na wenzake waliopata uhamisho huo wa muda huko morogoro. Alifanya kazi huko kwa miezi mitatu na kupelekwa Arusha kwa ajili ya kumalizia miezi hiyo mitatu iliyobakia. Nia na madhumuni ni kuwafundisha kazi wafanyakazi wa mikoa hiyo kwakua ofisi yao ilikua imefungua matawi mapya katika mikoa hiyo. Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya kurudi Dar, Jothan alipita barabara moja na kumkuta msichana mzuri akiwa ameshika tenga anauza maua. Moyo ulimlipuka ghafla na kujikuta anamsogelea yule dada bila kujitambua. “unauzaje maua” aliuliza Jothan huku akimuangalia binti yule mzuri ambaye alikua anatabasamu baada ya kumuona yeye pale. “shilingi elfu moja kwa kila moja.” Aliongea yule dada bila kumuangalia Jothan usoni. “nikitaka yote utaniuzia shilingi ngapi?” aliuliza Jothan huku akizidi kumtathmini binti yule huku akionyesha kufurahi na muonekano mzuri aliokuwa nao msichana huyo. “nisaidie kuhesabu, kisha nitajie idadi ili nikuuzie kwa bei ya jumla.” Aliongea yule dada na kumfanya Jothan kushangaa. Alijiuliza maswli ya haraka . labda hyule msichana hajui kusoma au alikua anamtega. “kwanini usiniambi tu, maana siyo mengi yaliyobaki.” Aliongea Jothan kwa sauti ya upole. “mi sioni kaka yangu.” Aliongea yule dada na kumfanya Jothan kupigwa na butwaa. “kweli???” aliuliza Jothan huku akiwa haamini alichoambiwa na yule dada. Kwa kumuonyeshea kuwa haoni, yule dada alivua miwani na kumuonyesha macho yake ambayo yalikuwa na watoto ndani. Aliingiwa na roho ya imani Jothan na kukiri moyoni kuwa yule dada alikua nahitaji msaada kwakua tatizo lake linatibika ila matibabu yake yalikuwa ghali sana. “unaishi mbali na hapa?” aliuliza Jothan baada ya kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuyachukua maua sita yaliyobakia. “si mbali na hapa, ni mtaa watatu hapo mbele.” Aliongea yule dada mwenye asili ya kichaga lakini asiyekuwa na lafudhi hiyo wala meno yake kuharibika. Ngozi yake ilikubali baridi na kuwa nyeupe yenye mvuto. “unaonaje kama nikikusindikiza?” aliuliza Jothan. “sawa” Alijibu yule dada na safari ya kuelekea kwao ilianza. Mwendo wa kuupapasa kwa fimbo ndio uliomfanya Jothan kuamini kuwa ni kweli huyo dada alikua kipofu. Alikaribishwa mpaka ndani na kukutana na mama yake huyo binti. “karibu baba,”alikaribisha mama yake yule dada na kuwapisha. “huyo ndio mama yangu wa peke, sina msaada mwengine zaidi yake.” Aliongea yule dada huku anatabasamu. Hakua anamuona Jothan ambaye wakati huo alikua anaumia juu ya msichana huyu ambaye alionyesha hali aliyokuwa nayo ameizoea. Aliaga baada ya kuongea na kupiga stori mbili tati ikiwemo maisha yao kwa ujumla. Alirudi kwenye nyumba waliyopangiwa na kumpa story rafiki yake anayekaa naye kwenye nyumba hiyo. “kwa hiyo unataka ufanyaje ndugu yangu,” aliuliza rafiki yake huyo baada ya kumpa mkanda mzima. “nitajitahidi kwa uwezo wangu wote ili BAHATI apone kabisa.” Aliongea Jothan na kumuonyesha rafiki yake ni jinsi gani ameguswa na mdada huyo. “kwa hiyo unampango wa kumchukua na kwenda naye Dar?” aliuliza rafiki yake huyo huku wakiendelea kula bisi zilizokuwa kwenye meza yao. “exactly” alijibu Jothan kiingereza kuonyesha msisitizo. Asubuhi ya siku ya pili, Jothan aliamka na kwenda tena kwa kina Bahati. Kabla hajafika, tayari alishamuana dada huyo mwenye juhudi na kazi yake akiwa barabarani kama kawaida yake akiuza maua. “mambo Bahati.” Alisalimia Jothan Kwakua sauti ya Jotham alikua ameshaijua, alimng`amua na kuachia tabasamu mwanana lililomuacha hoi Jotham. “safi” alijibu Bahati. Waliongea mengi na kubwa zaidi ni juu ya Jothan kumsaidia Bahati swala lake la macho. Bahati alifuraha sana na wote wakaenda kwa mama yake na kumpa taarifa zile njema. “nitashukuru sana mwanangu..mungu akuzidishie.” Aliongea mama yake Bahati na zoezi la kujiandaa kwa ajili ya safari ya Dar-es-salaam lilianza mara moja kwa kufua nguo zake chafu na kupanga zingine kwenye mabegi. “tutakupitia kesho saa kumi na mbili asubuhi.” Aliongea Jothan na kuaga. Bahati alipanga kila kitu chake akisaidiwa na mama yake tayari kwa safari ya kesho yake ambayo ilikuwa na matumaini makubwa kwake. Alisali na kumuomba mungu afike Dar salama na lengo la kufanyiwa upasuaji lifanikiwe kwa nguvu zake mungu wa viumbe vyote. Asubuhi na mapema gari ya kina Jothan ilimpitia Bahati na safari ya kuitafuta Dar-es-salaam ilianza. Njiani walipiga story na kucheka kama vile walikuwa wamezoeana muda mrefu au walikuwa wameshakutana kabla. Uchangamfu wa Bahati uliwapendeza watu wote waliokuwemo kwenye lile basi. Bahati alipendelea kukaa dirishani kwa ajili ya upepo. Lakini Jothan aliamini kuwa Bahati alikua anatamani pia kuona vilivyokuwa nje. Saa nane mchana walifika mombo na kupaki gari lao kwa ajili ya kupata chakula cha mchana. Waliokwenda haja walienda ilimradi safari ikiendelea pasiwe na usumbufu kati yao. “unapendelea chakula gani?” aliongea Jothan baada ya kuingia naye Bahati kwenye mgahawa huo. “kama kuna wali huwa napenda hata ikiwa na mboga yoyote.” Aliongea Bahati. Jothan alimuagizia wali na nyama ya kuku. “ahsante kwa chakula.” Aliongea Bahati baada ya kumaliza kula kile chakula. Baada ya hapo safari iliendelea na kufika ubungo saa kumi na mbili jioni. Safari ya kuwapeleka makwao ilianza na Jothan na Bahati walishuka kinodoni na kuingia ndani. Kutokana na uchovu wa safari, Jothan alimpeleka Bahati chumba atakachokuwa analala na kutoka nje kununua chakula watakachokula usiku huo. Baada ya kiza kutawla, Jothan alimpelekea chakula Bahati na kumuonyesha choo na bafu ambavyo vyote vilikua mule ndani kwenye kile chumba. Baada ya mapumziko ya siku mbili, Jothan alimpeleka Bahati kwenye hospitali kubwa ya macho CCBRT kwa ajili ya upasuaji. Vipimo vilileta majibu mazuri kuwa kulikowa na uwezekano mkubwa wa kutolewa hivyo vitoto vya jicho na Bahati kona tena. Tarehe ya upasuaji ilipangwa kwa ajili ya upasuaji huo na Jothan alimpeleka Bahati ili apate huduma hiyo ambayo kama itafanikiwa itakuwa imempa maisha mengine kabisa mrembo huyo ambaye alikuwa haoni toka alipozaliwa.. Muenendo mbaya wa utendaji kazi huko marogoro ndio uliomfanya Jothan kurudishwa tena mkoani humo. Alisikitika kumuacha mgeni wake katika hospitali kabla hajashuhudia matokeo ya upasuaji huo, lakini hakuwa na jinsi kwakua aliuachia uongozi jukumu la kumuangalia mgonjwa wake huyo. Miezi sita ilikatika akiwa huko Morogoro huku mawasiliano yakikosekana kati yake na Bahati. Hata alipouuliza uongozi wa kampuni yao walimwambia kuwa walikuwa wamempa kiasi cha hela baada ya kupona na tokea wamkabidhi hawakupata mawasiliano naye. Mawazo yalimsonga Jothan na hakujua kwanini Bahati aliamua kufanya vile. Baada ya uchumi wa kampuni hiyo kutengamaa na kupata uongozi uliokuwa ukipiga kazi kama ipasavyo, Jothan alirudi Dar kuendelea na majukumu yake ya kila siku. Alipofika nyumbani kwake palikuwa pamefungwa kama alivyo paacha. Aliingia ndani na kuikagua nyumba yake kwa macho kisha akaenda kulala kutokana na uchovu aliokuwa nao. Usiku wa jumamosi, aliamua kwenda club kwakua ni muda mwingi alikosa kwenda. Hivyo aliamua kwenda kupata mixing za ma dj wakubwa ambao wanajua kubadilisha nyimbo na kumfanya mtu aburudike na mpangilio wa nyimbo wanazoziweka kulingana na wakati. Wakati akiwa anaburudika na kinywaji chake huku akipata burudani nyingine akiwa kwenye kiti, mzuka alkampanda na kujikuta anaingia kati na kuucheza wimbo ulimvutia zaidi. Style alizocheza ziliwavutia wengi hadi baadhi ya wasichana walimfuata na kucheza nae. Aliifurahia sana hiyo siku na kurudi nyumbani akiwa na hamu ya kwenda tena siku ya jumapili. Kwakua alikua na likizo ya mwezi mzima kazini, hakuona tabu kulala mchana ili usiku akeshe tena kutokana na kuwa mziki ni starehe kubwa anayoipenda japokuwa siyo muimbaji. Siku hiyo alifika mapema na kutulia kwenye meza kwanza za nyuma na kuendelea kupata kinywaji na nyama choma kwa wingi. Wasichana wengi walimshobokea na kuomba ofa za bia. Kwakua Jothan alikuwa akiingia sehemu yoyote ya starehe huwa anakua amependeza mfukoni, basi hakuona shida kumwaga ofa mbali mbali kwa wanaomuomba bila kujali jinsia. Wakati disco likizidi kuchanganya. Kwa mbali kwenye mwanga hafifu Jothan alimuona msichana aliyemfananisha. Hakujiuliza mara mbili, alinyanyuka na kumfuata pale pale kwenye meza yao. Kadri alivyozidi kumsogelea, ndipo sura ya yule binti iliyozidi kumjia kichwani. Alimsogelea na kumuangalia kwa ukaribu zaidi. “kaka,tukusaidie nini?” aliuliza yule dada baada ya kumuona Jothan akiwa mbele ya meza yao amesimama na kumuangalia kupita kiasi. “sijui ndio wewe au nakufananisha?” aliongea Jothan huku akiwa haamini baada ya kumuona yule binti aliyekuwa kapendeza kupita kiasi. “kaka hizo swaga za kizamani kweli, za kuaza kufananishana mara sijui nilikuona wapi, achana na sisi bro” aliongea yule dada na kuwafanya wenzake kucheka. Kutokana na hadhi aliyokuwa nayo Jothan, alifedheheka kiasi na kumfanya akubali matokeo. Aliwaacha wale mabinti huku wakiwa wanamjadili na yeye kurudi kwenye siti yake. Ladha ya club ilipotea na kuamua kurudi nyumbani kwake. Alijitupa kitandani na kuwaza sana. Kwa jinsi alivyotekoa kufurahi kumuona tena yule msichana na majibu aliyopewa hata kabla hajajitambulisha yalimtia simanzi. “naweza kusema kuwa hawezi kunifahahamu, lakini hata sauti kashindwa kuitambua?… au kwa sababu sauti yangu ilikuwa ya kilevi?” Alijiuliza Jothan maswali mengi bila ya kuwa na majibu. Asubuhi ya siku ya pili alienda kupata supu maeneo ya karibu na kwao. Aliporudi alijitupa kitandani na usingizi ukamchukua mpaka saa kumi jioni. Njaa ilikuwa ina muuma sana. Aliamua kutoka na gari lake na kwenda kwenye Bar kubwa iliyokuwa msasani kwa ajili ya kupata chakula ambacho siku hiyo kilikuwa kinapikwa kwa ustadi mkubwa. Aliagiza oda yake na kuletewa baada ya muda kama wa dakika tano. Kabla hajaanza kula, kwa mbali aliisikia sauti ya yule mmsichana aliyekutana naye Club usiku wa jana yake. Alinyanyuka na kwenda kwenye ile meza ambayo alimkuta akiwa na rifiki yake mmoja wa kike. “samahani, wewe sio BAHATI!!!?” Aliuliza Jothan huku akiwa na uhakika asilimia zote kwakua alikua anafahamu fika kuwa yule ndiye mwenyewe kutokana na sauti yake na muanekano wake ingawaje kwa sasa alikuwa anavutia zaidi. “ndio mimi, umenijuaje?” aliuliza yule dada na Jothan aliachia tabasamu huku akitikisa kichwa chake. “ina maana Bahati hata sauti yangu huikumbuki?” aliuliza Jothan huku akiwa haamini kumuona Bahati akiwa na macho mazuri tena yaliyoongezewa uzuri na kope za bandia alizo bandika. “ningekuwa nakujua nisingekuuliza umenijuaje?” alijibu yule dada na kuendelea kuifyonza juice yake iliyosindikizwa na chpsi pamoja na nyama choma waliyokuwa wanakula yeye na rafiki yake. “nitakushangaa sana ukisema kuwa sauti ya Jothan hauikumbuki.” Aliongea Jothan na kubaki kumuangalia Bahati aliyepigilia mapigo ya ki sister duu. “WHO A JOTHAN BY THE WAY????” Aliuliza yule dada na kumfanya Jothan aondoke bila kuaga. Alienda counter na kulipia oda yake bila kuigusa na kuondoka zake. Hakuamini kuwa Bahati angewaza kuongea yale maneno mbele yake tena kwa nyodo wakati ni yeye ndie aliyemleta mjini na kumpa msaada wa kuyatibu macho yake baada ya yeye kuikubali hali ya ukipofu kutokana na kuwa kulikuwa na uhaba wa pesa nyumbani kwao. Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza. ”who a Jonathan by the way??” Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale. ITAENDELEA ... Read More
Story......... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Nne (4) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp... 0769673145 ilipoishia....... Kwa upande wa kina zaza usiku ule ule walianza kupanga mikakati ya kumteka Frank na kwenda kumtupa mbali kabisa na jiji la dar es salam. Lakini hii ilikuwa kazi ngumu Sana ambayo walihitaji pesa za kutosha na pia wachore ramani ya sehemu watakayoenda kumtupa Frank. .......... Endelea........... Zaza pamoja na wenzake waliumiza kichwa, na hatimaye mmoja wao akapata wazo ambalo moja kwa moja aliliweka hadharani kwa wenzake ili waweze kulifikiria kama ni wazo zuri. " mimi nina watu wangu nawafahamu, ni watu wazuri sana Katika kazi hizi hata kuua kwao ni kitu kidogo tu, hivyo naona tuwape hili dili warusaidie. " aliongea kijana huyo akiwasilisha Wazo Lake. " Wazo zuri Sana mi naungana na wewe moja kwa moja Sasa inabidi utueleze tunawapataje hao watu. " akaongea zaza kumuuga mkono kijana yule. " ninafahamu makao yao kama vip tuongozane mpaka kwao." akaongea kijana yule, na moja kwa moja zaza pamoja na wenzake wakanyanyuka na kuingia kwenye gari Lao na kuanza safari ya kuelekea kwa watu hao. Hapakuwa mbali Sana na sehemu waliyokuwepo, hivyo baada ya dakika chache waliwasili sehemu hiyo. Wakashuka kwenye gari na kubisha hodi kwenye nyumba kubwa iliyokuwa mbele yao. Hakuna mtu aliyewaitikia ndani ya dakika tano wakiwa bado wapo pale mlangoni, lakini ghafla walishtukia wamezungukwa kila sehemu na watu wasiopungua kumi huku wakiwa na bunduki kila mmoja. "mko chini ya ulinzi mikono juu na mjitambulishe nyie ni nani." ikasikika sauti ikiwaamuru wakina zaza. "zaza pamoja na wenzake walitiii na kuweka mikono juu, Kisha zaza akajitambulisha kwa niaba ya wenzake. Zaza pamoja na wenzake walieleweka vizuri Kisha wale watu wakashusha silaha zao chini na kuwakaribisha wakina zaza Katika jumba Lao. " Elezeni shida yenu hatuna muda wa kuangaliana hapa." ikasikika sauti ikiwaambia wakina zaza. Zaza bila kusita alianza kuelezea mipango ya kumteka Frank na kuwataka wao wakawasaidie tu kumtupa mbali na jiji la dar es salam. "hiyo ni kazi ndogo Sana lakini inahitaji pesa kiasi cha shilingi million kumi." ikasikika tena Ile sauti ikiwaambia wakina zaza. "pesa si tatizo pesa Zipo za kutosha." akajibu zaza. "bas vizuri Sana tutawaelekeza namna ya kutupatia hizo pesa alafu mtatuletea huyo kijana mtuachie tumfanyie kazi." ikasema sauti ile. "hamna shida." akajibu zaza. Na muda huo wakapewa maelekezo namna ya kuwaingizia pesa zao, na bila kupoteza muda. Zaza pamoja na wenzake waliondoka usiku ule ule na kuwasiliana mzee Joel na kuwajulisha kias cha pesa wanachohitaji kulitimiza zoezi la kumteka Frank. Mzee Joel wala hakujali kama pesa ile ni nyingi kias gani, yeye alichotaka ni kuwatenganisha Frank na mtoto wake Penina . Usiku ule ule mzee Joel aliweza kuwakabidhi wakina zaza pesa zile na kuwataka wakina zaza wampoteze kabisa Frank lakini wasijaribu kumuua. Zaza pamoja na wenzake nao walizifikisha pesa zile kwa kikosi kile ambacho waliwapa kazi ile ya kumpoteza Frank. Baada ya kuwakabidhi pesa zile, walikubaliana kuwa siku inayofuata wataifanya kazi hiyo kama ipasavyo.* Asubuhi na mapema siku iliyofuata Frank akiwa bado yupo kitandani alishtushwa na mlio wa simu yake ikiita. Frank aliichukua simu yake na alipoangalia mpigaji akakuta ni kipenzi chake Penina. Bila kusita Frank akaipokea simu ile. "my love umeamkaje?" ilisikika sauti nyororo ya Penina ikimuuliza Frank. "nimeamka salama mpenzi wangu sijui wewe?" akajibu Frank na kumuuliza Penina pia. "mimi pia nimeamka salama kabisa mpenzi, na nimekupigia simu asubuhi na mapema kwasababu nataka leo tukanywe Chai wawili." akajibu Penina na kumuambia Frank. "ooh usijali my dear nipo kwa ajili yako kwa lolote lile." akajibu Frank. "ok nakupitia sasa hivi." Penina akamwambia Frank na kukataa simu. Frank muda huo huo alitoka kitandani na kuanza kujiandaa haraka haraka. * Lakini wakati huo huo zaza akiwa na kikos chake walikuwa tayari wameshawasili nyumbani kwa kina Frank kwa ajili ya kutekeleza kazi waliyoagizwa. Frank akiwa tayari ameshajiandaa aliwaaga wazazi wake na kutoka nje ya kwa ajili ya kumsubiri mpenzi wake Penina. Baada ya Frank kutoka nje Bila kutarajia alijikuta anapigwa chuma ya kichwa na kudondoka chini na kuzimia. Na waliofanya kitendo kile hawakuwa wengine bali ni zaza pamoja na wenzake. Haraka haraka Frank alibebwa na kuwekwa kwenye gari yao Kisha gari likaondolewa sehemu ile kwa kasi ya ajabu. Na wakati huo huo Penina ndio alikuwa anawasili na akapishana na gari la kina zaza likiwa Katika mwendo mkali, lakini yeye Penina hakufahamu chochote kinachoendelea. Penina alipaki gari mbele ya nyumba ya kina Frank Kisha akashuka kwa mwendo wa madaha huku tabasumu tamu likiupamba uso wake na kuanza kuelekea ndani kwa kina Frank. "hodi hodi jamani mpaka ndani." ilisikika sauti ya Penina ikibisha hodi lakini muda huo akiwa tayari ameshaingia ndani. "baba na mama shikamooni." akasalimia Penina. "marahaba karibu uketi ." wakaitikia kwa pamoja wazazi wake Frank. "hata sikai jamani nimekuja kumchukua mtoto wenu." akajibu Penina. "yupo nje mbona anakusubiri hujamuona?" akauliza mama yake Frank kwa mshangao huku akitoka nje. "yupo nje mbona sijamuona?" Penina naye akauliza huku akiongozana na mama yake Frank mpaka nje. "mhhh yuko wapi Sasa hebu ngoja nimpigie simu." akasema Penina huku akitoa simu yake na kumpigia Frank. Simu ya Frank iliita bila kupokelewa na alipopiga Mara ya pili akakutana na sauti hii, "simu unayopiga haipatikana kwa sasa tafadhali jaribu tena baadae." Taratibu Penina alianza kunyongonyea na kupoteza tabasumu Lake zuri usoni mwake. "simu haipatikani mama hebu sikiliza." Penina akamwambia mama yake Frank huku akimuwekea simu sikion. "hee mbona makubwa jamani kaenda wapi Sasa huyu Mara hii tu katoka ndani? ." akauliza mama yake Frank huku akiwa ameshika kiuno. Penina naye alizidi kupiga simu bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Ilibidi mama yake Frank amwite baba yake Frank pamoja na Angel mdogo wake Frank ili wamtafute Frank kwa pamoja. * Gari ya kina zaza ikiwaa Katika mwendo mkali, zaza pamoja na wenzake walimfunga Frank miguu pamoja na mikono Kisha wakachukua kitambaa cheusi na kumfunga Frank usoni ili hata atakapozinduka asiweze kufanya chochote na pia asiweze kugundua sehemu anayopelekwa. Na Kisha simu yake ilipasuliwa kule ndani ya gari pale tu waliposikia ikipigwa na Penina. Moja kwa moja gari ile iliyombeba Frank iliwasili Katika jumba la kikosi kile ambacho wakina zaza walikubaliana nao kwenda kumtupa Frank mbali kabisa na jiji la dar es salam na kamwe asiweze kurudi tena. Baada ya kufikishwa hapo Frank alitolewa kwenye gari la kina zaza na kuwekwa kwenye gari lingine la kikosi kile kingine huku ndani ya gari lile kukiwa na vijana wengine wanne. Na wakati huo huo taratibu Frank alianza kurudiwa na fahamu Zake. Milango ya gari Ile aliyowekwa Frank ilifungwa, na Kisha gari likaanza kuondoka kwenda kumtupa Frank sehemu ambayo kamwe hatoweza kuonana tena na Penina. ........ Itaendelea ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TISA (19) & 20 ilipoishia sehemu iliyo pita mda huo mjomba amelala kitandani, errycah alishika mashine ya babayake akajihukumu nayo yeye mwenyewe ila kadiri walivyo kuwa wana binjuana ikaanza kitumbua cha errycah kilianza kulainika na kutanuka kitendo kilicho sababisha dudu lote kuzama ndani.japo ni kitendo cha kibaya walichokua wanafanya lakini waliweka tofauti zao pembeni na kupeana raha......mmmmmmmhhh...... ashhhiiii. tamuuuuu........ ilikua ni miguno ya errrycah*..... endelea sasa............... tukiludi upande wangu chumbani nilihisi kuna mtu ameingia chumbani niliamka na kuwasha taa nilishangaa kumuona manka akiwa na chupi tu nikasema yes leo natoa bikra kwa mara ya kwanza nikamsogelea na tukaanza kuchèzeana kwa muda mrefu ukafika ule wakati nikashka rungu na kuanza kulipeleka kwenye kitumbua cha manka. Nilishangaa kumuona manka akinigeuzia myuma yaani tigo wengine wanaita nyama ya bata na akakalia yote mpaka ikazama bila kikwazo kisha mtoto wa kirwanda alianza kukata mauno kama feni na huku nikishangaa kuona kwa mara ya kwanza nakula tigo. Niligugumia utamu ule nilioupata kutoka kwa manka huku nikiendlea kushikiria kiuno wakati manka anajikunja kunja kama kambare aliyenasa kwenye mtego.kwa akili zangu za kawaida ningekujua kama kuna kufanya ule usodoma nisingeweza kukubali ila kwakuwa nimechomekewa ngoja nitafute Baada ya round ya kwanza tulipumzika pembeni huku nikijawa na maswali mengi juu ya kale kamchezo haramu ka kupeana tigo.tena ukiangalia sina uzoefu.nikaamua kumlopokea. manka kwa nini unanipa tigo badala ya voda we unataka nikupe voda alafu mjomba wako akijua si ataniua mana nime mwambia Nina bikra ? sasa sikia una nipenda au ? nakupenda tena sana tu alinijibu manka basi nipe mbele na sio nyuma jamani siwezi........!!! naogopa kuuliwa mana mjomba wako kanionyesha bastola kama sina bikra.... nikasema huyu nisipo jiongeza sipati kitu nikamvuta mpaka kifuani tukawa tunatazama ila cha ajabu alijipindua na kunilalia kwa mgongo, niliendlea kumchezea chuchu zake naye akakamata mtambo akaupaka mate na kuanza kuhusugua kwa kiganja chake ndo akaamsha madudu yangu nilimgeuza akakaa dog style manka ananenepa makalio kumbe linaliwa tigo ili kulinda hapo baadae aonekane alijitunza sasa mimi kwa hili nataka nimtibulie malengo yake maana najua kama kuolewa ataolewa tu na mjomba. nikabinua zaidi kiuno nikaiona imekaa poa nikapitisha moja kwa moja kwenye kitumbua chake mpaka ikazama yote mtoto alilia sana mpaka nikamuonea huruma alivyolia ila nikasugua kwa nguvu mpaka damu zilianza. Nilijifanya kama sisikii kile kilio alichokuwa anakitoa manka na zile damu zilizokuwa zinamtoka japo hazikuwa nying ila kwangu havikunipa uoga wowote maana nasikiaga ni kawaida sana japo sio wote wanao tokwa na damu. Nilikuwa na alama za kucha niliyo pigwa hadi tendo halikuwa na raha tena maana nilitumia nguvu zaidi na huku manka hakiwa hataki ila maji ndo nimeshavulia nguo niliendlea kusugua mpaka mwenyewe akaishiwa nguvu akawa analia tu maana kama bikra ndo imeshatoka tena. Niliendelea mpaka nikasikia wazungu wanakuja nilishndwa kujizuia nikamwaga humo humo ooooooooppps aaaaaaaahh.......shitiiiiiiiiiiii mchezo ukaishia hapo nikajilaza pembeni manka alionyesha alikuwa na hasira na mimi hakutaka kunitazama zaidi ya kulia na kunilaumu na kuniambia "sasa nilikua Nina siri nzito ya kukupa sasa sikuambii" nilimbembeleza sana mpaka akalopoka yule dereva unaye mtegemea akupe siri ya mambo yalivyo ........tume mkuta mwanza akiokota makopo... "yani dereva kawa chizi" ndio mana yake...... TUNAUNGANISHA offer lipia sh 1000 uisome yote mwanzo mpaka mwisho SEHEMU YA 20 endelea sasa TUKILUDI UPANDE WA MJOMBA NA ERRYCAH.... mjomba akawa anampapasa kifuani huku vidole vyake vikilowa majimaji yanotoka ukeni kwa errycah. alimchezea hadi akalegea kama maiti inayosubiri kuzikwa akaushika mdudu wake na kuanza kuusugua juu ya kinena errycah alijihisi yupo mbinguni kwa raha alizo kuwa ana zipataa. "ba....ba......ba.shiiiii ...utamuuuuuu nakupendaaaa ....iiiiishiiiii"alilia kwa utamu "aishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii baba unanimaliza kabisaaaa yanii raha kama hizi sijawai zipata alisema kwa taratibu masikioni mwa mjomba " "Aaaaaa....aiii iii a ...aaaah..aaiii .uuuuu..uuuu"jamani raha alizokua anazipata hata azielezeki aliemdelea kulia kwa sauti ya utamu mjomba akaanza kuingiza muhogo wake taratiiibu kwenye kitumbua na errycah akatanua mapaja yake ili muhogo uingie vizuri "aaaaaaaaaah..mhmm..aassss aaaasssshhhiii "jamani kale kamchezo ni katamu sana mjomba akambinua tena na kumweka pembe la ng`ombe na akaanza kupiga nje ndani " mhff..uuu...mhmhff uu uussshhhhhii " mjomba alishusha pumzi taratiiibu kwa utamu alio upata kutoka kwa mwanae errycah. akambinua na kumkunja miguu yake na kuiweka kichwani huku aki piga nje ndani naye errycah hakubaki nyuma alimzungushia kiuno kimadoido huku akilalama chinichini kwa utamu wa raha alizokuwa anazipata. ..... aka mkatikia mauno na kuanza kumgongeshea mjomba nnje ndani hadi akamsikia mjomba akilia kwa utamuu " aaaaaaaaaaiiiiiiiiiii. Liiiii ...errycahaaaaaaaaaaaa iiiiiiiiiiiiaaaiiii"akamwaga mchuzi mzito wa motoooo kwenye kitumbua cha bintiyake "aaaaaaaaah " akashusha pumzi na kutoka mwilini mwa errycah. errycah akavuta nguo yake na kujifunika kwa aibu ya kitendo kile walichofanya na baba yake mzazi.nae mjomba akachukua bukta yake haraka lakini errycah aliwai kwenda kuishika ile bukta na kuchomoa ule ufunguo wa siri.akamfata mjomba na kumwambia daddy asante sana kwa raha ulizo nipa sijawai zipata japo tumefanya dhambi lakini asante mana nilikua sijapata mtu wa kunikuna kiasi cha kukujoa mara 4 mfululizo " aliongea hayo huku akiwa ana mvisha mjomba bukta walienda bafuni wakaoga utafikiri mtu na mkewake kumbe mtu na bintie walipomaliza waliingia kitandani na kuuchapa usingizi hadi asubuhiii.. tukija upande wangu manka alinipa plan akaniambia mjomba wako sio mtu mzuri kabisa mana tulivyo kutana tu na yule dereva pale pale dereva akageuka na kua kichaa kitendo kile kilinipa maswali mengi kingine alikuja Rwanda kutafuta binti ambaye hajawai Ku sex kabisa alitangaza na kuweka day kubwa sana la pesa ndipo nilipo amua kukubali ili akinipa izo pesa nikawasaidie wazazi ambao wapo hospitalini. tuliongea mengi na nikampa ushauli jinsi ya kufanya siku watakayo lala na mjomba nika mwambia akianza kuingiza dude lake inabidi u act kama kwel wewe bikra usijisahau mana akijua wwe sio bikra lazima akuondoe duniani hapa. alinisikia na kunipongeza kwa ushauli nilio mpa tukaingia bafuni tukaoga tulipo maliza ilibidi yeye aludi chumbani kwa mjomba ili tusije tukashtukuwa alikua ana jikaza sana mana dozi niliuo MPA ilimfanya achechemee kama kilema vile. nilifika kitandani na kuwaza sana juu ya matendo Yale huku nikiwaza jinsi ya kurudi shirikani ili niendelee na wito wangu wa kuja kua padri kusema ukweli nilitamani sana kua padri lakini vishawishi ndo vinanisonga nilipitiwa na usingizi na nikaja kushtuka ni asubuhi. nika sikia hodii ikibishwa chumbani kwangu Kenny,,,,,,,, Kenny fungua mlango ilikua ni sauti ya mjomba.nilipata wasiwasi labda pengine amejua ujinga nilio fanya na manka nikaamka na kufungua mjomba aliingia akiwa ameshika bastola yake na hapo hapo nikaanza kutetemeka alisogea mpaka karibu yangu na kuniambia..... usikose sehemu ya 21 like page yetu sasa offer malizia simulizi hiii kwa vipande 12 vilivyo baki kwa shilling 1000 tu pia utaungwa kwenye group letu...... ********** CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA (21 ) UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyopita nika sikia hodii ikibishwa chumbani kwangu Kenny,,,,,,,, Kenny fungua mlango ilikua ni sauti ya mjomba.nilipata wasiwasi labda pengine amejua ujinga nilio fanya na manka nikaamka na kufungua mjomba aliingia akiwa ameshika bastola yake na hapo hapo nikaanza kutetemeka alisogea mpaka karibu yangu na kuniambia..... Endelea sasa "kijana una lala mpaka saizi unaonekana umechoka sana eeeeh...... sasa sikia chukua gari nililo pata nalo ajari na ulipeleke gereji si unajua Ku drive ?" nika mjibu "ndio" huku kidogo pressure ikishuka na nikajikuta sawa.lipeleke pale kwenye gereji ya horena hotel ukifika pale utamkuta fundi anakusubiri ukisha maliza shughuli zako utarudi nalo atakua kashamaliza kulitengeneza. alinipatia hela ya mafuta na ya kutembelea kidogo kama laki mbili hivi.nikavunja ukimya vipi mjomba mbona unatembea na bastola. "aaaaah leo Siku ya kuisafisha mana si unajua tena watu wakubwa sisi."aliongea ivyo huku akitoka nje..,.... nikaingia bafuni nikajimwagia maji nikavaa track zangu za puma kama alizovaa Rayvanny kwenye hii nyimbo yake mpya #siri nilijiangalia kwenye kiioo kusema ukweli Rayvanny nilipemdeza kuliko hata yeye.nikatoka sebreni nikakutana na errycah akitoka chumbani kwake alionekana amechoka sana kwa shughuli ya Jana usiku walio kua wanaifanya na mjomba. nilimsalia hakua na maneno mengi sana ya kuzungumza zaidi ya kunipa ufunguo wa chumba cha siri. na kuniambia "leo ukirudi huko tutaingia kwenye chumba cha siri ili tujue kuna nini"nika mwitikia kwa kicha alinikumbatia na kunipa kiss huku akiniambia nakupenda sana Kenny wangu...... **************** kitendo kile cha kunikumbatia........ manka alikishuhudia na kutoa sauti ya ukali "we errycah mnafanya nini apo" kila mtu alisambaratika na kuendelea na shughuli zake nilipata kifungua kinywa huku manka akinitolea sana macho kwa kitendo kile nilicho kifanya cha kukumbatiana na errycah.sikumsemesha mana mjomba alikua naisafisha bastola yake alinipatia ufunguo wa gari huku akiniambia niwe makini barabarani. nikamtoa wasiwasi mana shirikani nilikua dereva mzuri sema sina leseni Nina uwezo wa kuendesha hadi trekta nishindwe Ku drive prado. nikatoka nje na kulitoa gari kwa mwendo wa taratibu lakini nilipo fika nje gari lilinikoma nilitembea na gari speed ya ndogo ilikua ni 210 haikuchukua mda mrefu nilikua nimesha fika gereji nikakutana na fundi nikamwelekeza akasema mpaka SAA 12 gari itakua teali basi kidume nikasema acha nitembee kidogo ni kamkumbuka sethi yule msichana niliye toka naye Rwanda. "alisema amekuja kwenye kongamano LA vijana na atakaa Tanzania kwa siku tatu na hadi leo ni zaidi ya wiki sijui atakwepo acha nikamwangalie" wakati naingia pale horena hotel nilikutana na yule muhudumu aliye tuhudumia siku ile na sethi uzuri alinikumbuka na kunichangamkia kwa furaha "ooooooh jamani handsome boy huyo eeeeh za kupotea mana toka sikuile umempa dozi yule mdada ujaonekana tena alafu nimepemda mashine yako mana si kwa kilio kile alichokua analia yule mdada" nilibaki namshangaa kwa maneno aliyo kua anazungumza yule mhudumu nikampachika swali "we ulituona" "ndio mana vyumba vya hotel yetu vina CCTV camera ambayo ikifika SAA 8:30 tunawasha ili kuangalia usalama mechi nzima niliiona" niliishiwa pozi nikaamua kuuliza kile nilicho kifuata pale ok yule mdada yupo ........? "apana mbona aliondoka siku tatu baada ya Ku fanya yenu siku ile ila ameniachia bahasha nifate uje uichukue" nikaona isiwe tabu acha nikaaiangalie hiyo bahasha. tulianza kupanda ngazi kuelekea juu na mda huo ilikua SAA 6 mchana nilishangaa ananielekeza chumba anacholala yeye kama unavyo jua kuna baadhi ya hotel wahudumu wanalala hotelini humu humo.aliniambia ingia usiogope handsome boy kidume nikazama bila shida mana mhudumu sio haba mtoto mashalaah kaumbika hata ukimwangalia nyumba ilo wowowo alilo libeba utasema kontena alafu kiunoni kama nyigu uongo dhambi mhudumu alinivutia sana.............. usikose sehemu ya 22 like page yetu sasa Offer Malizia Simulizi Hiii Kwa Vipande 11 Vilivyo Baki Kwa Shilling 1000 Tu Pia Utaungwa Kwenye Group Letu...... ********** ... Read More
*LOVE BITE EP 05* 🌹🌹🌹🌹🌹💞💞💞🌹🌹🌹 MWISHOOOOOOO “OOOOH MY GOD……..WHY ME?????” Alijikuta nguvu zinamuishia Jothan na kukaa chini. Aliiangalia nyumba yake aliyoijenga kwa gharama kubwa na machozi yalianza kummiminika kama maji. ITAENDELEA………… Alsimama na kuamua kwenda kwa rafiki yake John ambaye alikua anakaa magomeni. Alikaribishwa ndani na mke wa rafiki yake huyo na kukutana na rafiki yake sebuleni kwake. Walikumbatiana kwa kuwa siku nyingi walikuwa hawajaonana. Kwakua muda wa msosi ulikua unakaribia, mke wa John alipakua chakula na baada ya dakika kumi waliitwa kwenye meza ya chakula. Walikula huku kila mmoja akijaribu kumuhadithia mwenzake yaliyotokea nyuma kwa kipindi chote hicho cha takribani miezi nane. Jothan ndiye alikuwa wakwanza kumuhadithia mwenzake yaliyomkuta kuanzia safari yake ya Arusha hadi kufikia pale alipoenda kwenye nyumba yake na kukuta imeuzwa na mwanamke aliyekuwa anampenda na kumuamini kupita maelezo. John alisikitika sana kuisikia story ile iliyomuumiza hata yeye. “usijali rafiki yangu,. Kuhusu pa kukaa tu. Hapa umefika maana kuna vyumba vingi vya kutosha. Sasa vipi kuhusu docomments zako muhimu kama vyeti na vitambulisho vyako?” aliuliza John kwa kugundua umuhimu wa hivyo vitu. “ndio maana nikakwambia kuwa nimechanganyikiwa sana. Yaani sijui nianzie wapi?” aliongea Jothan huku akionyesha wazi kuwa akili yake imeeshia pale kimawazo. “usijali, vitapatikana tu.” Aliongea John na kuonyesha wazi nia yake thabiti ya kumsaidia rafiki yake huyo. “vipi kazini, wameshamuajiri mtu mwengine wa kukaa katika nafasi yangu?” aliuliza Jothan huku akionyesha wazi kuwa na wasi wasi na nafasi yake ya kazi. “mbona company imeuzwa kwa mzungu ambaye kaamua kuibomoa na kujenga hotel. We ukienda utaona tu mabati yamezunguka katika jengo la ofisi yetu. Sasa angalau ungekuwa na docoments zako zingekusaidia kupata malipo na mafao yako kutoka NSSF.” Aliongea John na kumfanya Jothan ashike kichwa kwakua alikua anaamini kuwa maisha yake yanaweza kunyanyuka tena kama akivipata vitu vyake muhimu. Kadi za benk, nyaraka mbali mbali na vyeti vyake alivyovihangaikia kuvipata ndivyo vilimnyima raha Jothan. “mimi hivi sasa nimeajiriwa na kampuni ya Fast jet. Hata wewe ungekuwa na vyeti vyako tungekuwa tunafanya kazi wote . Maana watu wenye sifa kama zako wanahitajika sana pale.” Aliongea John na kumfanya Jothan ajiinamie. Walikaa pamoja na baadae Jothan alielekezwa chumba atakachukuwa analala. Usiku baada ya kula chakula, alienda chumbani kwake Jothan na kulala. Asubuhi ilipofika, John alimgongea Jothan na kumuaga. Alitoka na kwenda zake kazini. Aliandaliwa chai Jothan na shemeji yake baada ya kuamka asubuhi na kutoka sebuleni. Alikunywa chai na kwenda chumbani kwake. Alioga na kubadilisha nguo. “shemeji.. natoka kidogo.” Aliaga Jothan na kuondoka. Alienda kinondoni ili kuangalia kuwa kama watu walionunua ile nyumba yake wameshahamia. Alikuta hali ile ile ya kama alivyoiacha. Alijitahidi kumuulizia Shani kwa majirani wa pale, lakini hakuna hata mmoja aliyempa majibu chanya juu ya kumpata Shani. Roho ilimuuma kila akiitazama nyumba yake. Alilia sana na kuamua kukubali yote kuwa hata kama atalia na kumaliza machozi yake, basi hawezi kuirudisha nyumba yake. Alirudi nyumbani kwa rafiki yake aliye muhifadhi na kwenda chumbani kwake. Alikaa huko na baaae aliitwa na shemeji yake wakati wa chakula cha mchana. Walikula pamoja na rafiki yake aliwasili pale baada ya nusu saa. “leo nimechelewa kurudi kwa sababu nilikuwa nashughulikia swala lako kwa kuvitangaza vyeti vyako kwenye magazeti mbali mbali yatokayo kesho.” Aliongea John na kumfanya Jothan afurahi kusikia hivyo. Alikaa pale kwa wiki mbili zilizokwenda kwa amani. bada ya hapo, alianza kupata mitihani midogo midogo kutoka kwa Shemeji yake huyo aliyekuwa anapenda kumuonyesha tabasamu kila wakati. Kadri siku zilivyozidi kusonga mbele, ndivyo majaribu kutoka kwa shemeji yake yalivyopamba moto hadi kufikia kuingia chumbani kwake akiwa na upande mmoja wa khanga nyepesi iliyoonyesha kila kitu alichokivaa ndani. Alimuonya mara kadhaa lakini bado msichana huyo aliyekumbwa na pepo wa ngono juu yake alizidi kumuandama. Kamwe hakupenda kuwa sehemu ya tatizo . Alipenda kuwa mtatuzi wa tatizo. Baada ya kuona visa vinazidi kutoka kwa mke wa rafiki yake. Aliamua kuihama nyumba bila kumuambia rafiki yake sababu iliyomuhamisha pale nyumbani kwake kwa kuhufia kuharibu ndoa ya watu waliodumu kwa takribani miaka kumi. Japokuwa hakua na pa kwenda, ila aliamini kuwa kufanya vile basi Mungu atamnyooshea njia yake.. Fedha kidogo alizokuwa nazo zilimuwezesha kujihudumia mwenyewe na kulala gesti kwa wiki moja tu. Baada ya hapo alikuwa choka mbaya. Hakuwa na hata senti tano. Siku hiyo aliamua kuuwa winga kwa kushinda na njaa hadi kiza kilipoingia. Hakuwa na mahali pa kulala, aliamua kwenda kukaa stendi ya daladala maeneo ya kinondoni huku akimuomba mungu usiku ule ukuche akiwa salama maeneo yale. Masaa yalisogea na usiku mnene ulianza kutokea baada ya idadi ya magari kupungua huku watu waishio maeneo hayo kutoonekana nje. Hata yeye mwenyewe hakujua alipataje usingizi. Ila alishtuka baada ya kuona mwanga mkali wa taa za gari ukimulika maeneo aliyokuwa yeye. Alishtuka na kuyazuia macho yake kwa mikono kutokana na ukali wa mwanga wa taa zile. Sekunde kadhaa baadae, zile taa zilizimwa , mara akaona mlango unafunguliwa wa ile gari aina ya Range na kiatu aina ya high hills kikionekana kikikanyaga ardhi. Hali hiyo ilimonyesha kuwa mtu ashukaye kwenye ile gari ni msichana. Uteke wa mguu ule pia ulimuwezesha Jothan kupima age ya mtu anayeshuka. Wakati anausumbua ubongo wake kufikiria na kuwaza lengo la yule mtu kupaki gari lenye thamani pale, yule mtu alishuka na kufunga mlango. Kutokana na mawenge ya taa, hakuweza kumuona mtu aliyekuwa akizihisabu hatua kuelekea pale alipo. Yule dada alimsogelea mpaka pale. Hakuamini alichokiona mbele yake, alikuwa msichana wa ndoto zake toka alipokuwa anasoma. Hakujua ni kitu gani kilichomsukuma mpaka kufika maeneo yale. Ila aliamini kuwa ni Mungu pekee ndio amekisikia kilo chake na kuamua kuwakutanisha tena pale. “PRISCA???”” Alinyaanyuka Jothan na kuita kwa mshangao mkuu huku akiwa haamini macho yake kuwa yule ndiye Prisca wake wa zamani. Bila kujibu chochote, yule dada alianguka kifuani mwa Jothan huku machozi yanamtoka. Hakuamini Jothan macho yake. Alimuangalia Prisca ambaye alikua anafuta machozi yake. “tuondoke eneo hili, sio salama Jothan.” Aliongea Prisca na kumchukua Jothan na kwenda naye kwenye gari. Safari ilianza huku kila mtu akiwa amenyamaza bila kuongea chochote. Jothan alishangaa kuona gari linaelekea mtaa aliokuwa anakaa yeye zamani kabla ya nyumba yake kuuzwa. Gari lilipiga honi kwenye geti la nyumba yake Jothan. Mlinzi alifungua mlango na Jothan hakuamini kuwa mmiliki wanyumba yake ni Prisca. “siamini Prisca kama ni wewe ndio umeinunua nyumba hii?” aliongea Jothan baada ya kuingia kwenye nyumba ile ambayo haikubadilishwa kitu chochote zaidi ya rangi tu. “siku zote huwa napenda kukuona ukiwa mwenye furaha. Ndio maana niliposikia nyumba hii inauzwa ndipo niliamua kuinunua kwa sababu sikupenda ipotee kwenye upeo wa macho yako. Sio nyumba tu, na kila kilichukuwa ndani pia nimevinunua. Hata gari lako pia ukilihitaji nitakupatia kwa sababu kwa sasa halipo hapa. Nimevinunua vitu vyote hivi kwa ajili yako Jothan.” Aliongea Prisca huku machozi yanamtoka. Jothan naye hakuweza kuyazuia machozi yake na kumfuata Prisca na kumkumbatia. “moyo wa mtu ni kichaka Prisca, sikuweza kufikiria kama ipo siku Shani angeweza kuyabadili maisha yangu na kunifanya niwe hivi… nashukuru sana kwa yote uliyoyafanya kwa ajili yangu Prisca.” Aliongea Jothan maneno yale na kumfanya Prisca azidi kulia. “kesho nitachukua begi langu na kuondoka. Maana kazi yangu ya kukutafuta wewe nimeshaimaliza Jothan.” Aliongea Prisca na kumuangalia Jothan ambaye wote walikuwa wanalia wakati huo. “hapana, hutakiwi kuondoka Prisca. Na kama utaondoka basi hii numba na kila kitu kilichomo humu ndani bado vitakuwa havitoshi kutimiza furaha yangu bila ya wewe kuwa karibu yangu.” Aliongea Jothan huku analia. “mimi sio chaguo lako Jothan, siwezi kukaa karibu na wewe. Nitakuwa naumia roho tu na sitaweza kuvumilia kukuona ukiwa na msichana mwengine mbele yangu.” Aliongea Prisca huku analia kwa uchungu. “nilikosea kuchagua kwakua sikujua upi ni mchele ni zipi ni pumba. Niliacha mchele kwakua pumba zilinivutia angi yake. Leo najuta kwakua pumba zimenilaza njaa. Wewe ndio mchele wa kunifanya nishibe na kunitoa njaa hii ya kufa inayonikabili. Nakupenda sana Prisca.” Aliongea Jothan na kujikuta ameeanguka kwa magoti mbele ya Prisca ambaye wakati huo na yeye alikuwa haoni vizuri kutokana na ukungu wa machozi ulikuwa kwenye macho yake. “toka siku uliyonikana Jothan kule Peacock hotel kuwa mimi sio chaguo lako. Moyo wangu uliingia ganzi na kuamua kuishi single Jothan. Sihitaji tena kupenda kwakua nina bahati mbaya ya kupenda nisipopendwa. Sipendi kuumizwa tena kwakua maumivu yake siwezi kuyastahimili. Nikuache tu na maisha yako na mimi naiche na maisha yangu” aliongea Prisca kwa uchungu maneno yalimchoma sana Jothan ambaye bado alikuwa analowanisha viatu vya Prisca kwa machozi yake pale chini. “nisamehe mimi, nimeshajifunza Prisca,” aliendelea kuomba Jothan huku sauti iliyojaa uchungu ikiendelea kumtoka mtoto wa kiume. Nguvu ya mapenzi inaweza kuhamisha milima, wahenga walisema hayo na mimi nawaunga mkono kwa kusadiki maneno hayo. Prisca alijikuta anamnyanyua Jothan na kumkumbatia. Wote walilia sana na kila mmoja kwa muda wake alimbembeleza mwenzake kwa mumfariji. Ukurasa mpya wa mapenzi kwa wapendanao hao walioanza mapenzi toka walipokuwa shuleni yalianza kwa kasi kubwa. Hakukua na sababu ya kuchunguzana wala kupeana muda. Walikubaliana kupima ukimwi kabla ya kufanya mapenzi. Zoezi hilo lilifanikiwa kwa asilimia mia moja. Wote walikuwa wazima na mipango ya ndoa ilifanyika haraka. Vitu vyote vilivyokuwa kabatini alivikuta vile vile. Kasoro hati ya nyumba tu ambayo alirudishiwa na mpenzi wake Prisca. Alifurahi sana na kwenda kupeleka cv zake kwenye kampuni ya Fast jet. Alipata kazi haraka na kuungana na rafiki yake kipenzi John. Ndoa ya aina yake ilifungwa kati ya Jothan na Prisca. Wageni wengi kutoka sehemu mbalimbali walihudhuria harusi ile. Kwenye Hight table walikwepo John na mkewe, Bahati na mumewe Saimon pamoja na mama yake. Hakika furaha ambayo ilipotea kwa muda mrefu kwa Jothan ilirudi alifurahia uwepo wa watu hao muhimu katika maisha yake kwa vipindi tofauti.. Miezi saba baadae, Jothan na mkewe Prisca walikuwa wanatoka kwenye matembezi yao usiku wa saa sita. Wailpofika msasani. Walilakuta wasichana wengi walikuwa wamejiremba na kuvaa nusu uchi wakiashiria kuwa walikuwa wanauza miili yao. Jothan hakuamini kumuona Shani akiwa amejiingiza kwenye kundi hilo. Alisikitika sana kumuona Shani akikimbilia magari na kuanza kujinadi kama wafanyavyo mada wengine wanaojiuza hapo. Alisimamisha gari lake na kumuangalia mkewe ambaye alimpa ishara ya kuondoka na kumuacha mwanamke huyo na maisha yake. Walirudi nyumbani na kumshukuru Mungu kwa kuwaunganisha tena na kuyahesabu yote yaliyotokea nyuma ni mitihani tu, na wao ndio couple iliyokubaliwa na Mungu. ***********MWISHO************** Maisha ni sahani iliyojaa mazuri na mabaya. Kuna wakati unaweza kukubali kuwa maisha ni jinsi unavyoishi. Ila wapo wanaoishi nje ya malengo waliojiwekea. Hakuna anayependa kupata hasara, ila kama una muamini Mungu basi utaamini kuwa kupata hasara katika jambo Fulani ni moja ya mitihani na huenda mungu amekuEpushia kitu Fulani katika jambo hilo. Kila hatua unayopitia ni moja ya changamoto katika mafanikio yako. Ukianguka jikaze na jaribu kuruka tena hata kama utasikia maumivu. Tochi ya mungu hummulkika kila mtu isipokuwa kwa atakayekataa mwenyewe. Ridhiki ya mtu ipo kwenye mikono yake mwenyewe ndio maana huwezi kuizuia. Mungu ametoa vitu vitatu vikubwa kuliko Mali. Kwanza Mungu katoa akili za kipekee. Nikisema akili za kipekee namaanisha kuwa kila mtu Mungu kampa akili lakini hawa wenye akili za kipekee huweza kufanya mambo makubwa na ya kushangaza hali ambayo mtu uliyepewa akili ya kawaida huwezi kufanya hata kama una pesa. Pili Mungu katoa vipaji. Mtu mwenye kipaji Fulani basi huweza kufanya mambo makubwa ikiwemo kufikisha ujumbe haraka kwa watu kutokana na kukubalika na watu wengi zaidi ya mtu wa kawaida. Kimfano matangazo, tangazo hilo akipewa mtu Fulani atangaze basi muitikio utakuwa mdogo kuliko akipewa tangazo hilo Diamond, Mrisho Mpoto na wengne wengi. Kipaji ni kitu cha pekee alichotoa mungu kama zawadi kwa mtu Fulani na kama kitathaminika na yeye kukiwekea mkazo basi hiyo ndio inaweza kuwa njia ya mafanikio yake kupitia kipaji hicho. Tatu mungu katoa Moyo wa pekee. Moyo huu amewapa watu wachache. Na cha ajabu kuwa mtu mwenye moyo wa kutoa basi hutoa kitu kikubwa bila kujali kubakiwa na kidogo. Humshinda mwenye mali ambaye akitoa hata kitu kidogo huhisi anapungukiwa. Mtu mwenye moyo wa pekee hupenda kutenda mambo yanayompendeza mwenzake hata kama yanaweza kuharibu furaha yake. Hapendi kumuona mtu akilia au akihuzunika wakati yeye anaweza kumfanya mtu huyo kuwa na furaha hata kwa kumuongopea. Hawezi kula yeye kabla ya kuangalia wenzake wenye njaa. Hayo na mengine mengi kajaaliwa mtu mwenye moyo wa pekee. Na huwashinda wenye vipaji na akili za pekee. Watu hawa mungu huwajaalia kwa kuendelea kuwapa na kutia Baraka mali zao hata kama ni kidogo. Nia na madhumuni ni kujifunza kupitia burudani hii iliyowaacha watu kwenye majonzi au kufurahia mwisha mzuri wa Jothan kuwa na mtu ampendaye. *****************************************MWISHO****************************************** ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA (26) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia ndo icho tu au kuna kingine nikamjibu hamna nilishangaa kuona kanikubalia kwa haraka sana huku akiniambia tuwahi bank tukachukue hela kisha kesho tupige mechi moja matata kama ya leo ile nataka kumjibu nilipo tazama kwenye kioo nilimwona mdada akiwa anatu record na simu ila uzuri wake sauti haiwezi kuwepo ila vitendo vitaonekana niliwai kufungua mlango na kumkuta yule mdada bila ya wasiwasi akaniambia tuingie kwenye gari ana maongezi na sisi.............. endelea sasa alinaza kwa kughuna kwanza huku akituangalia alikua amekaa siti ya nyuma ya gari na sisi tupo mbele. "we errycah wewe ni wakufanya mapenzi kwenye gari la baba yako tena barabarani sasa nampelekea ushahidi wote baba yako na utaona atakacho kufanya mana Alisha wai kuniambia Siku akisikia kuna mtu anamchezea binti yake atawamwaga ubongo hapo hapo" "kwani we nani"errycah alimuuliza swali bila ya wasiwasi wowote "unijui eeeh baba yako akiondokaga unajua anaendaga wapi.sasa kwa taarifa yako anakuja kwangu Mimi ni mama yako mdogo.na wewe kijana naona unayachezea maisha yako"alipo maliza kusema Yale akachukua simu na kumpigia mjomba "hallo" "yes Darling niambie"ilikua ni sauti ya mjomba hapo hapo tukampa ishara asizungumze chochote alimkatia simu na kutuuliza "si mnajifanya amniamini sasa mkitaka niifute hii video na nisimweleze wewe kijana leo usiku njoo ulale kwangu mana nime penda dozi yako.na wewe errycah kwanzia leo sitaki nikuone ukiwa karibu na huyu kijana." sikua na lakupinga ila nilijisemea moyoni mwangu ivi kwa nini kila mwanamke anaye niona anataka nifanye nae mapenzi lilikua swali ambalo halina majibu kimya changu kilionyesha kukubaliana na lile na akaniambia "jioni SAA 1:30 toka nje ya geti nitakufata na gari twende kwangu na usipo tokea mtaniona mbaya." alishuka yule mdada na kuondoka zake ukimwangalia analipa mana tako analo sema yeye mrefu kuliko Mimi.errycah hakua na la kusema zaidi ya kuniambia ukienda naomba utumie mpira alafu mkomoe mpe dozi mpaka atoke kizazi mana anaonekana Malaya sana yule mchiiiiuuuuuuu......" alimaliza kwa kumsonya yule mdad tukaweka siti vizuri na kuliondoa gari kuelekea bank uzuri wa pale tuliingia ndani kabisa na kukutana na kiongozi tuka mwelekeza akatupa na fomu tukajaza akatuambia tusuburi nje kwa mda atatuita tuje kuchukua mzigo. tulisubiri nje kwa dakika kama 20 hivi tukaitwa ndani kisha tuka hakikisha imetimia na kumuambia atu tenganishie.hela ikapakiwa kwenye briefcase mbili maana moja yangu moja ya mjomba ilibidi tupate lunch mana ilikua mida kama ya SAA 9 ivi.nilishindwa kumficha errycah kwamba yule mgeni wa jana ni mdogo wangu merry.errycah hakushtuka sana zaidi ya kusema "nilihisi ni yeye ila sikua na uhakika"mana alikua mchafu sana.nikamwambia na hizi hela naenda kumnunulia nyumba na Mimi nitaondoka pale kwenu..... "nini uwezi kuondoka pale kama bado hatuja jua ukweli wowote na utaondokaje ? uniache Mimi ? nani atanikuna ? au unaona raha Mimi kufanya mapenzi na baba ? tutaondoka wote baada ya kukamilisha mambo yote na kama tutamkuta na hatia basi tumdoshe chini na aishi kama shetani.mana si kwa madhambi ya baba.ila naomba uniahidi utanioa mana nakupenda sana hata kama sisi ni ndugu naomba tuweke undugu pembeni I love you Kenny..... sawa nilimwitikia kwa kichwa kuonyesha nimekubaliana naye kwa 100% kwamba Nita mwoa ila dhumuni langu ni kuhalikisha maisha yangu yana kaa vizuri.niliemdesha gari mpaka horena hotel na kumkuta merry akiwa amekaa alionekana ana mawazo sana tulipata lunch wote kwa pamoja kidogo alionekana mchangamfu tukiwa pale errycah alipigiwa simu ma mjomba na kutuambiwa tuwahi kutudi anatusubiri sisi ilibidi tufanye upesi nilimwachia hela kidogo merry na kumuahidi kesho nitakufanyia surprise kubwa mdogo wangu. nili mkumbatia na tukaagana ile naelekea kwenye gari nilishangaa kusikia sauti ikiniita alikua ni yule muhudumu niliye sex nae nilimpa ishara Nina haraka Sana na kumwambia atanipigia tuongee vizuri nilitoa gari kwa speed ya ajabu mpaka errycah akaniuliza nani aliye kufundisha Ku drive gari kwa kasi namna hiii.nikamwambia ni utundu tu na kujiongeza tulipiga kona ya kwanza ya pili tulifika nyumbani na kumkuta mjomba akiwa na wasiwasi mwingi tulimpa document zote na hela zake alifurahi sana na kuniambia atanipa zawadi.tuliendelea kupiga story huku tukiangalia mpira ilikua mechi kati ya liverpool na manchester city ambapo liva alishinda 4 kwa 3 nilisikitika sana mana nilikua nashabikia man city kibaya zaidi niliweka mkeka wangu wa 50000 nikaliwa. (ipate simulizi hii mwanzo mpaka mwisho kwa sh 500 tu) 0744204283 mjomba aliagiza nikamwite mlinzi kuna maagizo anataka ampe nikatokanje kwenda kumuita nilishangaa kumkuta mlinzi akiwa nje.nilipotoka nje kabisa ya geti nilimkuta yule mdada aliye tufumania kaja kunifata nika mpe dozi naka mwita mlinzi nika mwelekeza anaitwa ndani nikampa ishara yule mdada anisubiri dakika 5.niliingia ndani na kumuomba mjomba ruhusa rafiki zangu wamekuja kunipitia tunaenda kwenye mkesha wa kuliombea taifa litakalo fanyika st peter.kwa sababu mjomba na mambo ya kanisani sukari na chumvi aliniruhisu haraka haraka nika waaga nikaondoka zangu huku nikimwacha mlinzi ndani akiwa anaongea na mjomba.nilifika moja kwa moja nikaingia kwenye gari na safari ya kuelekea kwake ikaanza alikua anaishi masaki ile ile na hapakua mbali na nyumbani kitendo cha dakika 10 tu tukafika kwake.geti lilifunguliwa tukaingia lakini kabla ya kushuka aliniambia utalala mpaka asubuhi kisha Nita kurudisha ilikua nyumba kubwa kama ile ya mjomba kidume nika zama ndani na yule mdada ukimwangalia anacheza kwenye miaka 25-26 ni saiz yangu kabisa. sema kanizidi kidogo tu nilipofika sebreni nilikutana na ma binti wawili akanitambulisha huyu anaitwa rose ni mdogo wangu na huyu ni Dada yetu wa kazi anaitwa tekla.walinipa salamu nikawaitikia kisha aka muagiza yule Dada wa kazi atuandalie chakura kisha akamwambia rose kama umesha kula nenda kalale usiku huu kesho shule. "jamani Dada bado sijamalizia kuandika essay tuliyo pewa leo tuition na kesho wanakusanya"nilipo sikia vile nikajua huyu yupo secondary tena kama sio form 3 basi 2 alafu kulika ana lika kabisa mana ana shepu flani kama la Dada yake nilijikuta namtamani na kujiapiza lazima nimpitie nilisahau kile kiapo nilicho jiapiza.tuliletewa kuku aliye kaaangwa na ka ugali kadogo sikufichi mtu wangu nilishindilia nyama mana kibarua kilichopo mbele yangu kizito huku tukisindikiza na wine. tulivyo maliza kupata dinner wote wawili tulikua kama tume lewa vile tulikokotana mpaka chumbani huku tukiwaacha rose na tekla pale sebreni.yule Dada aliwaambia mkimaliza naomba mkalale na msije mkamwambia shemeji yenu.wote waliitikia kwa pamoja "sawa" tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA (27) UMRI ±18 🔥🔥🔥🔥🔥⛔ ilipo ishia tuliingia ndani na kuanza kuchojoana nguo huku kila mmoja akiwa na hamu na mwenzie.nilishangaa alitoa kidonge na kunipa nimeze nika mkatalia kwa sababu nilikua nimetanguliza pombe na kuniambia hakina madhara yoyote we kunywa.mana kina kazi yake nika kimeza kile kidonge na baada ya dakika 5 nilisha ngaa kuona dude lilisimama na kunyooka huku likijitokeza misuri kuashiria lipo teali kwa mchezo......... endelea sasa nilimsogelea yule dada ambae hakunitajia jina lake mpaka mda huu.nika mweka sawa lakini nilishangaa aliziba papa yake kwa mkono kuashiria hayupo teali kwa mechi.nilianza kusikia maumivu kwa mbali akaniambia nimuandae na yeye ili tuienjoy wote nika kubari nikaanza kumnyonya chuchu zake nika mwona anaanza kujikunja kunja kama nyoka anaye vua gamba lake huku akitoa miguno nilishindwa kuendelea kutokana na maumivu niliyonyasikia nilisha ngaa kuona dude likikaka maa nilimtanua mapaja yake na kuanza kupitisha mashine yangu kwenye kitumbua cha bibie “aaaaaaaaaaaah,,,,ssssssssssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiii,,ooooooooh,.,aaashiiiii,,,ashiiiiiiii,,"alitoa miguno kwa sauti hata walio kua nje wanaisiki niliendelea kupampu mpaka bibie akaanza kutoa kilio cha kuonyesha yupo karibu kukujoa “aaaaaahhh,,,,uuuuuuuh,,,oooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,,,nakojoaaaaaaaaaaaaaaa,,"Alitangaza kukojoa ambapo alijinyonganyonga huku akifanya kama anataka kujichomoa mana alihisi moto kwenye kitimbua chake kidume sikujali niliendelea kutembeza dozi tena nika mbananisha kwenye kona ya kitanda mtoto aliendelea kutoa miguno oooooooooohh.......mamaweeeeee........ tupumzikeeee kidogooooooohh aiiiiiishhhhiiii taaaamuuuuuu,......... nilipo taka kuchomoa alinivuta na kuniambia usichomoeeeee endeleaaa nakaribia cha piliiiiii nitiiiiiieeeeee yani kile kidonge safi sana kidume nilikua bado sna hata dalilii nilimpampu mpaka k yake ilikauka majii akaanza kusikia maumivu bahati nzuri niliwaona wazungu wakija nilimwagia humo humo aaaaaaaishhhhiiiiii asante baby......... endeleeaaaaaa........ mzigo hauku lala nilendelea kumpeleka puta tulishtushwa na sauti ya mdogo wake rose ilija kutugongea aliamka yule Dada na kwenda kumsikiliza mlangoni...... "we vipi" ,"dada shemeji kaja yupo getini mlinzi anamzubaisha zubaisha mtoe haraka Huyo mtu," "mungu wangu Fanya haraka mjomba wako kaja nitafanyeje mimi " mda huo pombe zote ziliisha nika okota nguo zangu na boxa nikiwa uchi nilipo toka kwenye korido waliniambia niingie chumba cha rose huku dude likiwa lime kakamaa vile vile lenyewe halijui hatari linataka kitumbua tu. niliingia ndani na kujibanza nyuma ya mlango huku nikiwa natetemeka mana mjomba akinikuta hapa lazima anilambe shamba kwa nje nilimsikia mjomba akionge ongea akielekea chumbani kwa yule mdada kidogo nikawa na amani nikaanza kuvaa boxa yangu lakini sikuweza kutokana na maumivu niliyo yasikia dawa yake nipate show niifanyie kazi kwa bahati nzuri aliingia rose akiwa na daftari zake huku akiwa amevalia kanga moja sikutaka kumlemba nika msogelea na kumwomba tafadhari naomba unisaidie mwenzako nakufa Dada yako kanipa vidonge vya kuongeza nguvu bado ninahamu naomba unisaidie. sikufichi mtu wangu ukitumia vibaya hivi vidonge tuna kuzika.sasa sikia Mimi hiyo shughuli siiwezi mana hapo mpaka ipungue nguvu inabidi uwe umepiga kama bao 5 hivi uko ulipotoka umepiga ngapi nikamjibu moja heheeee leo lazima ufe kwaiyo mda wrote huo umepiga moja izo NNE unimalizie Mimi hata nyege zangu lazima ziishie mwenye bao LA pili njoo unipige izo mbili zitakazo baki utakua pa kuzipeleka usije ukanitoa kizazi Bure...mtoto wa watu. kitendo cha kunipa ruhusa tu lilikua ni kosa kubwa sana ni sawa na nyoka kaku ng'ata alafu unamkanyaga tena mkia nilimsogelea rose kuanza kumpa romance mtoto alikua anamate matamu yule nilizidi kuchanganyikiwa pale nilipo mtoa kanga yake aliyo jifunga mtoto alikua mweupe peeee na chuchu ndogo zilizo simama Dede swali nililo muuliza ushawai Ku sex mtoto alinijibu kwa ishara ndio kutoka na kuzidiwa na utamu wa denda alilegea kama teja aliye piga vitu vyake.nika Pima oil kwenye kitumbua chake na kukuta mtoto kajichafua zamani sana.nikaona ndo mda muafaka wa kutuliza hasira za nyoka wangu aliye pandishwa mizuka na dada yake.nika mnyakua na kumbwaga kitandani huku mtoto akiwa ajielewi kumbe nyege zake ukimpa ulimi tu umesha mmaliza.kika mkunja saba mtoto kisha kitumbua chake kikaja kwa nyumba nakwambia hawa watoto wadogo watamu bwana.ila sikushauli mana mtaanza kuwaalibu bure na kusema tumesoma story ya chas360 imetuambia wadogo watamu LA hasha hii ni stori ya kutunga tu. ok twendelee mzigo ulizama wote tena ndani kulikua na joto balaa lililo nifanya nisikie utamu ambao sikuwai kuupata hapo mwanzo kwa dada mtu nilimsugua taratibu taratibu ili niendelee kuusikia ule utamu na rose akaanza kutoa miguno “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," huku akiibana midomo yake kwa kuusilizia utamu ulivyo kua unapenya kwenye kitumbua chake, macho nayo yalikuwa kama teja mana aliyalegeza huku akiyafumba na kufumbua kwa utamu uliopo kwa mwendo ule ule nilijikuta mashindwa kujizuia na kuanza kucheua kabla yake mmmmmmmmmmmhhhh..............aaaaaaaaaaahhhh........... niliwaachia askari wangu waende kwenye kitumbua cha rose.huku rose akionyesha kufurahishwa kwa kitendo kile na kuanza kuzungusha kiuno chake kidogo kama nyigu nilipiga nje ndani kwa mwendo wa madaha na mtoto na yeye akatoa askari wake ili wakutane wafanye mazungumzo nakojooooooooooooooo........!!!! alishindwa kumalizia sentesi akabaki kimya huku speed ya kuzungusha kiuno ikiongezeka zaidi ya Mara ya kwanza kidume niliendelea na safari ya kulitafuta bao la pili kwa rose.mtoto alionekana kuchoka kutokana na mashine yangu kuonekana ipo imara rose alifulia kimya kama hayupo kwenye mechi nikaaanza kupampu haraka haraka ili kuuwai ute ute ulio kwepo mle ndani usikauke.alizidisha miguno baada ya mashine kwenda kwa speed aaaaaaah....... ooooooohhhh.... aiiiiiiiiiii...... yessssssa......aaaaaaahhhhh woooooww.......lugha zote zilikua zake nilijikakamua mpaka tukafika wote mlima Everest aaaaaaahhhhh......!!!!! “aaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooouushiiiiiiiiiiiiiii,," mtoto alijinasua baada ya kuniona naendelea kumpampu wewe unataka uniue Mimi kesho inabidi niende shule.dudu lilikua bado limesimama linataka kula kitumbua.tulisikia sauti ya miguno pale mlangoni kuashiria kuna mtu alikua anatupia chabo.............. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: