Home → simulizi
→ Riwaya: SARAI
SEHEMU YA TATU(03)
***Ilipoishia***
walijitahidi lakini walishindwa...waliamua kupiga simu kwenye shirika la msaada ZIMAMOTO....punde walifika bila kuchelewa wakaanza kuzima moto...baada ya nusu saa walifanikiwa kuuzima moto huo.....kisha wakaingia ndani ili utoa vitu ambavyo havikuungua sana....walipoingia ndani waliweza kumuona jeny kateketea kwa moto na kubaki mifupa......lakini maiti ya sarai haikuonekana kabisa....
wakati jeny anamtoa sarai nje hakuna aliyemuona hivyo haikujulikana ni wapi sarai alipo....
***Endelea***
majirani pamoja na watu waliomfahamu jeny walisikitika sana.....
wale watu waliochoma nyumba ya jeny walifurahi sana....kwa sababu mpinzani wao katika bihashara hayupo tena..waliendelea kudanya bihashara na miezi zilisonga...
***BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO KUPITA***
alionekana mtu wa ajabu alikuwa akijitokeza huku akiwa na filimbi iliyotengenezwa kwa kutumia mfupa wa binadamu......habari hizo zilienea ulimwenguni kwote.....kumbe ni SARAI...
sarai alitoweka ghafla sikuile alipotolewa nje ya nyumba yao baada ya kuzuka moto na kuangamiza nyumba pamoja na mama yake......
watu walistahajabu sana ilipofika majira ya usiku nyumba ya jeny ilikuwa inaonekana ikiwa kawaida yani kama haijaungua.....lakini ikifika asubuhi nyumba ile haionekani kabisa..... wale watu waliochoma moto nyumba ya jeni walistushwa na jambo hilo..wasiwasi ulianza kutanda juu yao...sikumoja ilividi wakahakikishe kama ni kweli nyumba waliyoichoma moto inaonekana usiku tu..tena ikiwa kama haijachomwa moto....walipofika maeneo yale ya mtaa aliokuwa anaishi jeny...walistahajabu kuiona nyumba ya jeny...walitimua mbio na kutokomea kusikojulikana..
*************
uoande mwingine alionekana mwanaume mmoja mtu mzima sana....mtu huyo alikuwa anafamilia mke pamoja na watoto wanne.....ilipofika majira ya usiku mtu huyo akiwa amelala na fanilia yake....ghafla alijitokeza sarai....kumbe mtu huyo ndiye baba yake Sarai alimtelekeza jeny siku ile aliyizaa mtoto wa ajabu....baba sarai alikwenda mbali na kuoa mke mwingine....sarai aliingia chumbani kwa baba yake kimiujiza kisha akambeba baba yake na kumtoa nje akamlaza kibarazani kisha sarai akatoweka....
*************
ule upande mwingine mauzauza yalianza kuwatokea wale wafanyabihashara waliochoma nyumba ya jeny....wakati meingine pesa zao za mauzo zilipotea katika mazingira ya kutatanisha....sarai aliyafunga maduka hayo kimazingala.....wafanya bihashara hao waliona kama maduka yao yapo wazi....lakini watu wa kawaida waliona milango ya maduka hayo imefungwa...hivyo hakuingia mtu hata mmoja kwenye maduka hayo....bihashara ikaanza kuwa ngumu sana..hawakupata mteja hata mmoja kwa kipindi cha miezi miwili mfululizo.....
sikumoja yule mmoja kati ya wale wafanyabihashara aliamua kufunga duka lake na kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia bihashara...
alifanikiwa kupata..kisha akafungua duka jipya....lakini bado hali ilikuwa vilevile. ..hakupata mteja hata mmoja...watu waliona duka hilo halijafunguliwa siku zote...wakati yeye anafungua kila siku....
************,***
upande mingine alionekana baba yake sarai akiwa barabarani anaendesha gari....ghafla sarai alijitokeza mbele ya gari na kusimama katikati ya barabara.....baba sarai alisimamisha gari ghafla....punde kuna roli lilikuwa nyuma yake liliparamia na kugonga gari lake upande wa nyuma...baba sarai alipoteza fahamu baada ya kujigonga kwenye uskani wa kuliongoza gari..
kisha sarai akatoweka kimiujiza..
************
siku zilisonga wale wafanyabihashara walianza kufirisika na hatimae wakawa maskini kabisa...maisha yao yalikuwa magumu kupita kiasi ilifika kipindi wakawa wanakosa hata pesa ya kula....na matumizi ya nyumbani.....watoto wao walisimamishwa masomo kutokana na kukosa Ada ya shule..
wake zao walianza kuisaliti ndoa kutokana na ugumu wa maisha yao....sarai hakuacha kuwapa shurba watu wale aliendelea kuwatesa kila siku zilivyozidi kusonga.....walianza kugombana wao kwa wao kwa ajili ya madeni waliyokuwa wakidaiana.....hatimae wakawa maadui kabisa...
na urafiki wao uliisha..
*******
sarai hakuacha kumsumbua baba yake...siku ya leo sarai alijitikeza kazini kwa baba yake na kuchukuwa nyaraka muhimu zilizokuwa zikionesha mikataba mipya ya kampuny hiyo....kisha akatoweka nayo kimiujiza
alionekana baba sarai akiliendesha gari kwa kasi ili awahi kazini achukue ile mikataba aipeleke kwa mkurugenzi wa kampuni.....alipofika alistahajabu sana alitafuta kila mahali lakini hakuweza kuipata..
alijiuliza bila kulata majibu....kila akijaribu kuvuta kumbukumbu......alikumbuka kuwa aliweka mikataba hiyo ndani ya droo ya kwenye meza iliyopo ofisini kwake......
baada ya sikumbili kupita baba sarai alidukuzwa kazi baada ya tale makampuni yaliyoingia mkataba na kampuni yao...kusitisha mikataba hiyo kwa sababu ilicheleweshwa hivyo kampuni yai ilipata hasara ya pesa taslimu bilioni kumi....mkurugenzi wa kampuni giyo alichukia sana na kuamua kumfukuza kazi baba sarai
maisha ya baba sarai yalianza kuwa magumu....hata pesa zake zilizokuwa benki zilianza kupungua kadri siku zilivyozidi kusonga hatimae akawa fukara kabisa.....
siku moja akiwa katika utafutaji mara ghafla kumbukumbu ilimjia akamkumbuka jeny......aliamua kumtafuta jeny....amuombe msamaha huenda jeny akamsaidia angalau kumkopesa pesa ili baba sarai aanzishe bihashara......aliondoka na kuelekea kwenye nyumba yake aliyoitelekeza pamoja na mkewe jeny.....alitembea kwa miguu kwa sababu aliuza gari lake la kifahari kutokana na ugumu wa maisha aliyonayo kwa sasa....ilimchukua masaa kadhaa mpaka kufika....alipofika alistahajavu kukuta nyumba ile imeteketea kwa moto....ilionekana kuchakaa kabisa.. ..wakati anatahamaki mara ghafla....
ITAENDELEA......
usikose kufatilia simulizi hii ya kusisimua.
katika sehemu ya nne(04)
ASANTENI.
Riwaya: SARAI SEHEMU YA TATU(03) ***Ilipoishia*** walijitahidi lakini walishindwa...waliamua kupiga simu kwenye shirika la msaada ZIMAMOTO....punde walifika bila kuchelewa wakaanza kuzima moto...baada ya nusu saa walifanikiwa kuuzima moto huo.....kisha wakaingia ndani ili utoa vitu ambavyo havikuungua sana....walipoingia ndani waliweza kumuona jeny kateketea kwa moto na kubaki mifupa......lakini maiti ya sarai haikuonekana kabisa.... wakati jeny anamtoa sarai nje hakuna aliyemuona hivyo haikujulikana ni wapi sarai alipo.... ***Endelea*** majirani pamoja na watu waliomfahamu jeny walisikitika sana..... wale watu waliochoma nyumba ya jeny walifurahi sana....kwa sababu mpinzani wao katika bihashara hayupo tena..waliendelea kudanya bihashara na miezi zilisonga... ***BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO KUPITA*** alionekana mtu wa ajabu alikuwa akijitokeza huku akiwa na filimbi iliyotengenezwa kwa kutumia mfupa wa binadamu......habari hizo zilienea ulimwenguni kwote.....kumbe ni SARAI... sarai alitoweka ghafla sikuile alipotolewa nje ya nyumba yao baada ya kuzuka moto na kuangamiza nyumba pamoja na mama yake...... watu walistahajabu sana ilipofika majira ya usiku nyumba ya jeny ilikuwa inaonekana ikiwa kawaida yani kama haijaungua.....lakini ikifika asubuhi nyumba ile haionekani kabisa..... wale watu waliochoma moto nyumba ya jeni walistushwa na jambo hilo..wasiwasi ulianza kutanda juu yao...sikumoja ilividi wakahakikishe kama ni kweli nyumba waliyoichoma moto inaonekana usiku tu..tena ikiwa kama haijachomwa moto....walipofika maeneo yale ya mtaa aliokuwa anaishi jeny...walistahajabu kuiona nyumba ya jeny...walitimua mbio na kutokomea kusikojulikana.. ************* uoande mwingine alionekana mwanaume mmoja mtu mzima sana....mtu huyo alikuwa anafamilia mke pamoja na watoto wanne.....ilipofika majira ya usiku mtu huyo akiwa amelala na fanilia yake....ghafla alijitokeza sarai....kumbe mtu huyo ndiye baba yake Sarai alimtelekeza jeny siku ile aliyizaa mtoto wa ajabu....baba sarai alikwenda mbali na kuoa mke mwingine....sarai aliingia chumbani kwa baba yake kimiujiza kisha akambeba baba yake na kumtoa nje akamlaza kibarazani kisha sarai akatoweka.... ************* ule upande mwingine mauzauza yalianza kuwatokea wale wafanyabihashara waliochoma nyumba ya jeny....wakati meingine pesa zao za mauzo zilipotea katika mazingira ya kutatanisha....sarai aliyafunga maduka hayo kimazingala.....wafanya bihashara hao waliona kama maduka yao yapo wazi....lakini watu wa kawaida waliona milango ya maduka hayo imefungwa...hivyo hakuingia mtu hata mmoja kwenye maduka hayo....bihashara ikaanza kuwa ngumu sana..hawakupata mteja hata mmoja kwa kipindi cha miezi miwili mfululizo..... sikumoja yule mmoja kati ya wale wafanyabihashara aliamua kufunga duka lake na kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia bihashara... alifanikiwa kupata..kisha akafungua duka jipya....lakini bado hali ilikuwa vilevile. ..hakupata mteja hata mmoja...watu waliona duka hilo halijafunguliwa siku zote...wakati yeye anafungua kila siku.... ************,*** upande mingine alionekana baba yake sarai akiwa barabarani anaendesha gari....ghafla sarai alijitokeza mbele ya gari na kusimama katikati ya barabara.....baba sarai alisimamisha gari ghafla....punde kuna roli lilikuwa nyuma yake liliparamia na kugonga gari lake upande wa nyuma...baba sarai alipoteza fahamu baada ya kujigonga kwenye uskani wa kuliongoza gari.. kisha sarai akatoweka kimiujiza.. ************ siku zilisonga wale wafanyabihashara walianza kufirisika na hatimae wakawa maskini kabisa...maisha yao yalikuwa magumu kupita kiasi ilifika kipindi wakawa wanakosa hata pesa ya kula....na matumizi ya nyumbani.....watoto wao walisimamishwa masomo kutokana na kukosa Ada ya shule.. wake zao walianza kuisaliti ndoa kutokana na ugumu wa maisha yao....sarai hakuacha kuwapa shurba watu wale aliendelea kuwatesa kila siku zilivyozidi kusonga.....walianza kugombana wao kwa wao kwa ajili ya madeni waliyokuwa wakidaiana.....hatimae wakawa maadui kabisa... na urafiki wao uliisha.. ******* sarai hakuacha kumsumbua baba yake...siku ya leo sarai alijitikeza kazini kwa baba yake na kuchukuwa nyaraka muhimu zilizokuwa zikionesha mikataba mipya ya kampuny hiyo....kisha akatoweka nayo kimiujiza alionekana baba sarai akiliendesha gari kwa kasi ili awahi kazini achukue ile mikataba aipeleke kwa mkurugenzi wa kampuni.....alipofika alistahajabu sana alitafuta kila mahali lakini hakuweza kuipata.. alijiuliza bila kulata majibu....kila akijaribu kuvuta kumbukumbu......alikumbuka kuwa aliweka mikataba hiyo ndani ya droo ya kwenye meza iliyopo ofisini kwake...... baada ya sikumbili kupita baba sarai alidukuzwa kazi baada ya tale makampuni yaliyoingia mkataba na kampuni yao...kusitisha mikataba hiyo kwa sababu ilicheleweshwa hivyo kampuni yai ilipata hasara ya pesa taslimu bilioni kumi....mkurugenzi wa kampuni giyo alichukia sana na kuamua kumfukuza kazi baba sarai maisha ya baba sarai yalianza kuwa magumu....hata pesa zake zilizokuwa benki zilianza kupungua kadri siku zilivyozidi kusonga hatimae akawa fukara kabisa..... siku moja akiwa katika utafutaji mara ghafla kumbukumbu ilimjia akamkumbuka jeny......aliamua kumtafuta jeny....amuombe msamaha huenda jeny akamsaidia angalau kumkopesa pesa ili baba sarai aanzishe bihashara......aliondoka na kuelekea kwenye nyumba yake aliyoitelekeza pamoja na mkewe jeny.....alitembea kwa miguu kwa sababu aliuza gari lake la kifahari kutokana na ugumu wa maisha aliyonayo kwa sasa....ilimchukua masaa kadhaa mpaka kufika....alipofika alistahajavu kukuta nyumba ile imeteketea kwa moto....ilionekana kuchakaa kabisa.. ..wakati anatahamaki mara ghafla.... ITAENDELEA...... usikose kufatilia simulizi hii ya kusisimua. katika sehemu ya nne(04) ASANTENI.
Artikel Terkait
*LOVE BITE EP 02* ILIPOISHIA……….. Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza. ”who a Jonathan by the way??” Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale. SONGA NAYO….. Mawazo yalimuandama Jothan kwa kile alichotendewa na Bahati. Lakini alikubali moyoni kuwa msemo wa wahenga kuwa tenda wema nenda zako hawakukosea kusema hivyo. Aliamua kusahau yote ya nyuma ingawaje ubongoni alikosa tafsiri. Alijua kuwa msaada wowote utakaompa mtu basi hujawekeza chochote zaidi ya maumivu pindi utakapo fadhila kutoka kwake. Likizo yake ilipoisha alienda kazini kama kawaida. Alishangaa mabadiliko Fulani aliyoyaona pale ofisini. Meza yake alikuwa amekaa mtu mwingine kabisa. “salama kaka.” Alisalimia Jothan baada ya kumsogelea yule mtu aliyekaa nafasi yake. “safi tu.” Aliitikia yule mtu ambaye alionekana kuendelea na kazi yake kama kawaida. “samahani, nadhani wewe ni mgeni hapa. Hicho kiti ulichokalia ni changu.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule mtu ambaye alikua anamshangaa tu na kujifanya hajasikia na kuendelea na mahesabu yake. “sina taarifa zozote hapa juu yako wewe, kwa hiyo hiki kiti nimepangiwa na bosi mkuu na hakuniambia kama nitahitajika kutoka ukija wewe.” Aliongea yule mtu kwa kujiamini. Jothan aliona kuwa alikuwa anapoteza muda kuongea na yule mtu. Maamuzi ya kuingia ofisini kwa bosi wake yalimjia na kuamua kwenda huko. “Mr.Jothan, hukupata barua yako mapokezi pale nje?” aliongea basi wake hata kabla ya salamu. “barua?…barua gani?” aliuliza Jothan kwa mshangao mkuu. “we nenda ukaichukue… utakachokikuta ndio utajua hiyo barua inahusu nini.” Aliongea bosi wake na kumfanya Jothan kuzidi kushangaa mambo yanavyoenda. Muonekana wa bosi wake ulikuwa tofauti kabisa na muonekano wa kila siku aliokuwa nao. Alionekana kama mtu aliyemkasirikia Jothan wakati alitakiwa kuonyesha hali ya kumlaki ikiwezekana kumpandisha cheo Jothan kwa kufanya kazi kubwa ya kuirudisha kampuni katika hali yake ya kawaida. Jothan alitoka mpaka mapokezi na kumuangalia yule dada wa mapokezi. “doh.. nilishasahau. Kuna barua yako Mr. Jothan.” Aliongea yule dada wa mapokezi huku akishika kichwa chake baada ya kumuona Jothan kuonyesha ishara kuwa alipitiwa kumpa ile barua kabla hajaingia ndani. “ndio nimeifuata.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule dada aliyeinama na kuanza kupekua barua kadhaa alizokuwa nazo na kutoa moja yenye jina la Jothan na kumkabidhi. Jothan aliichukua ile barua na kuifungua. Hakuamini kitu kilichandikwa kwenye ile barua. Hakuamini kuwa anaweza kufukuzwa kazi kwa kosa ambalo hajawahi kulifanya. Kampuni ilikuwa inamtuhumu kwa kuisababishia hasara kampuni yake huko Morogoro jambo ambalo halikuwa na ukweli ndani yake. Hasara ilitokea kabla hajaenda na yeye ndio aliyesababisha mpaka baadhi ya wahujumu wa kampuni yake kugunduliwa na kuiweka kampuni hiyo katika hali inayoridhisha kwa sasa. Taarifa hizo zilimchanganya na kumfanya arudi tena kwa bosi wake. “kilichoandikwa humo ndio uamuzi wangu,.. bila shuruti naomba utoke ofisini kwangu.” Aliongea bosi wake na kukataa katukatu kumsikiliza hoja zake. Jothan aliona kama mikosi mfululizo inazidi kumuandama. Hakubishana na mtu. Aliamua kusaini alipotakiwa kusaini na kwenda NSSF kwa ajili ya kufuatilia mafao yake. Kwakua vyeti vyake vilikua vimependeza, hakuchukua muda mrefu kupata kazi kwenye kampuni nyingine. Huko alipewa cheo kikubwa zaidi ya alichokuwa nacho kwenye kampuni yake ya zamani. Hapo aliamini kuwa mungu hakuumba ugonjwa bali ulikuwa na dawa yake. Alimshukuru mungu kwa kupata sehemu iliyokuwa inathamini uwezo wake wa utendaji wa kazi tena kwa muda mfupi. Saikolojia na mahusiano ndilo jambo pekee lililompa chati kwa haraka hapo ofisi kwao kutokana na wateja wengi waliokuwa wakiwasiliana na yeye alipokuwa ofisi yake aliyokwa anafanya kazi zamani wote walihamia kwenye ofisi hiyo mpya. Miezi nane baada kampuni ilimuandalia tafrija kutokana na kuipa jina na mafanikio makubwa kampuni hiyo ambayo ilikuwa haijulikani japo kuwa ilikuwa na miaka mitatu toka ianzishwe. Zawadi alizopewa hata yeye hakuzitegemea. Alipewa na gari aina ya prado mpya kabisa kutokana na mchango wake mkubwa ndani ya kampuni hiyo. Baada ya sherehe hiyo kuisha, watu walitawanyika kwenda makwao. Jothan akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwake, kwa mbali alimuona msichana mrembo akimpa ishara ya kuomba lifti kwake. Bila hiyana alipunguza mwendo na kupaki pembeni kidogo. Alipigwa na butwaa baada ya kumuona mtu mwenyewe anayeomba lifti. Hata baada ya yule msichana kumuona Jothan alishtuka kidogo na kuonyesha ishara ya kutoamini kwamba angekutana na Jothan maeneo yale. “wewe, za miaka?” aliongea Jothan na kufungua mlango wa prado yake ambayo ndio kwa mara ya kwanza inatembea kwenye lami ya Tanzania toka ilipoagiziwa huko nchi za ng`ambo. Yule dada alipanda na kukaa nae siti ya mbele. “sikutarajia kama ipo siku nitaonana na wewe” aliongea yule dada na kuvua miwani yake na kuiweka kwenye pochi yake. Jothan alimuangalia yule msichana aliyevaa gauni fupi lililomuonyesha mapaja. Juu alivalia kikoti cheusi na kofia aina ya Cow boy. Muonekana wa yule binti ulizidi kuvutia japo kuwa ni muda mrefu Jothan hakumuona yule msichana. Weupe asilia na wa kujiongezea pia ulizidi kumfanya yule dada asijulikane kama ni Mtanzania au kachanganya na watu kutoka nchi za ughaibuni. Nywele za bandia alizobandika zililingana na muonekano wa Marichui. Tabasamu lilipasua midomo minene iliyopendezeshwa na kimsitari chembamba kilichokuwa katikati ya meno yake ndio kilikuwa kivutio kingine kwenye sura ya yule dada. Hakua mwembamba, pia hakua na unene uliomfanya kuchukiza. Alijua kuutumia mwili wake kwa kukataa tumbo kubwa na kuyafanya maziwa yake kujitegemea yenyewe bila kutumia sidiria. Hayo yote yalibainika haraka kutokana na mtoko alionyuka siku hiyo. “hata mimi, yaani nikikumbuka siku ile sijui ilikuaje mpeka nikapitiwa na usingizi.” Aliongea Jothan na kuonyesha kuwa kichwa chake kilikua kimehifadhi kumbumbu kubwa toka mara ya mwisho kuonana na binti yule aliyeushitua moyo wake kabla ya kukutana na Bahati. “una kumbukumbu wewe.. kwani wewe unaishi wapi?” aliuliza yule dada. “naishi kinondoni kwa manyanya.” Aliongea Jonathan na kumfanya yule dada kupigwa na butwaa. “sasa mbona mimi nakaa kinondoni kanisani baada ya kituo cha Biafra?… na mpaka nashuka nilikuacha ndani gari!” aliongea yule dada na kumfanya Jonathan kutabasamu. “unafikiri niliamka tena?.. yaani nilipitiliza kituo na kwenda kuamshwa na konda gari ilipofika mwenge.” Aliongea Jonathan huku akiendesha gari yake hiyo mpya kwa umakini mkubwa. Waliongea mengi ikiwemo kujuana majina na kupeana namba za simu. Jothan alimfikisha yule dada mpaka kanisani kituo anachoshukia na yeye akageuza gari na kurudi kwake. Kwakua saa ilisoma ni saa mbili usiku, aliamua kwenda kuoga na kulala moja kwa moja kutokana na uchovu wa shughuli yao. Macho hayakufumba haraka japokuwa alikuwa kitandani kwa takribani masaa matatu. Alikizunguka kitanda chote na kukumbatia mito huku akijenga taswira ya kuwa na msichana yule waliokuwa wameonana kitambo lakini hawakupata nafasi ya kuongea kama siku hiyo. Alitabasamu peke yake kila wakati huku ubongo wake ukijaribu kumpa data muhimu za uzuri wa msichana huyo kila nukta aliyokuwa akifanya jambo lolote lililoukosha moyo wake. Hakujua alilala saa ngapi, ila alishtushwa na alarm yake iliyokua inamuamsha kila siku saa moja kamili asubuhi. Aliichukua simu yake na kukuta sms tatu zilizomtakia asubuhi njema kutoka kwenye namba aliyoi save kwenye simu yake jina la SHANI. Alitabasamu na kuzijibu zile sms na kuondoka kwenda kazini baada ya kumaliza kunywa chai aliyoiandaa mwenyewe. Walipiga story kwenye simu alipokuwa njiani na msichana huyo na kukubaliana kukutana kwenye chakula cha mchana Bondeni hotel iliyokuwa magomeni. Kwakua alikua hana kazi nyingi ofisini kulingana na siku yenyewe ilikua nusu siku kwao. Siku ya ijumaa waliitumia kumalizia viporo tu na kazi za siku hiyo walizihesabu kuanza nazo wiki ijayo. Japokuwa alikua si mfuatiliaji, Jonathan aliingia facebook na kutafuta jina analo litumia Shani kwenye mtandao huo wa jamii. Baada ya kulitafuta alilipata na kuanza kuperuzi picha za binti huyo. Hakika muonekano wake ulizidi kumfanya Jothan azidi kuwa na hamu ya kuwa naye. Alikua ni binti ambaye hayuko nyuma wala kupitwa na wakati. Alijua jinsi ya kupangilia nguo na pozi zilizowaacha hoi watu wengi waliomuona. Kila picha aliyopiga ilikuwa na comments zisizopungua mia mbili kutoka kwa marafiki zake waliokuwa wanazikubali pigo zake. Akiwa amezama mtandaoni huku akizifurahia picha za Shani, muda wa kwenda kupata chakula cha mchana uliwadia na Jothan akazima computer yake aina ya apple iliyokuwa mezani kwake na kwenda kwenye gari yake kuitafuta Bondeni hotel ilipo. Baada ya dakika chache alishawasili maeneo hayo na kuchukua simu yake ili ampigie Shani na kumpa taarifa kuwa ameshafika walipo ahidiana kukutana. Kabla hajabonyeza kitufe cha kupigia, moyo wake ulipatwa na mshituko wa ajabu baada ya kuangalia mbele ya meza kadhaa za kwenye hotel hiyo na kumuona Bahati akiwa na bosi wake wa zamani wakilishana huku wakiwa hawana habari. LAliamua kuheshimu hisia za ke na kupiga simu kwa Shani. “umefika wapi babie” aliongea Jothan baada ya salamu. “nimeshafika wangu, wewe upo upande gani?” aliuliza Shani kwenye simu. “nipo upande wa mlango wa kuingilia hotelini kabisa…. Upande wa chakula huku.” Aliongea Jothan na Shani akakata simu baada ya kumuona. Mavazi aliyovaa Shani yalizi kumpagawisha Jothan, kila mtu aliyemuona hakusita kuyagandisha macho yake kwa mdada huyo mwenye uzuri wa ajabu. Hatua za Shani zilimfikisha kwa Jothan na kusalimiana kisha wakaingia ndani pamoja. Macho ya Bahati yaligongana na Jothan ambaye alikuwa na msichana mzuri Shani pembeni yake. Bahati aliangalia pembeni na kujifanya hajamuona Jothan na kuendelea kulishana na mpenzi wake. Jothan naye hakujishughulisha nao, aliwaangalia tu na kuwapita. Akaenda kutafuta sehemu nzuri yenye upepo na kukaa. “uliniambia unaisha peke yako, kwa nini sasa?” aliuliza Shani baada ya kukaa na kuletewa vitu walivyoagizwa. “si unajua kuwa bado sijampata mwanamke wa kuishi nae, ndio maana nimekuwa mpweke pale nyumbani.” Aliongea Jothan na kutabasamu. “jamani, wanawake wote waliojaa hapa mjini, ukizingatia your so handsome. Unanitania wewe?” aliomgea Shani na kucheka. “sikutanii, huo ndio ukweli wenyewe. Nipo single mwenzio.” Aliongea Jothan na kucheka. “ila kaka una moyo wa ajabu sana.” Aliomgea Shani na kumuacha Jothan njia panda. “kwanini unasema hivyo?” aliuliza Jothan. “unajua toka siku ya kwanza tuliyoonana mimi na wewe kule coco beach, sijui kwanini ila niseme ukweli nilitokea kuvutiwa na tabia yako. Maana angekuwa mtu mwengine baada ya kutoa ofa tu basi angeanza kutusumbua mara unaitwa nani mara nipeni namba zenu za simu. Lakini wewe ulikuwa bize na mambo yako na ulipochoka ulituaga na kuondoka zako…. Kusema ukweli nilivutiwa sana na tabia yako.” Alionge Shani na kumfanya Jothan atabasamu. “mi naamini kama unampenda mtu si lazima mpaka umpe ofa ndio uanze kumuelezea… hata mimi nilivutiwa na wewe sema nilishindwa kukueleza kwakua ulikua na marafiki zako na nilihofia pia kuniona msumbufu kwakua niliwapa ofa.” Aliongea Jothan na kumfanya Shani atabasamu. Walimaliza kula na na kutoka mule hotelini, Jothan hakuwaona tena wakina Bahati na hapo ndipo aipogundua sababu ya kuachishwa kazi. Alitikisa kicwa kama ishara ya kusikitika na kuelekea kwenye gari yake na kumpakiza Shani ambaye kwa muonekana hawakuwa na tofauti na wapenzi wawapo out. Kama kawaida yake,. Alimfikisha Shani kituo cha kanisani na yeye akarudi kwake. Usiku wa siku ya jumamosi ilikuwa ni siku Spacial ya mtoko kati ya Shani na Jothan kwenda club. Walifika club na kucheza mziki vya kutosha na kila mmoja aliifurahia ile siku. Walirudi nyumbani pamoja, na Shani kwa mara ya kwanza akaingia nyumbani kwa Jothan. Kwakua walikuwa wamelewa, walilala wote mpaka asubuhi bila kufanya lolote na kuamka asumbuhi. Waliangaliana na kucheka huku kila mmoja akiwa hana kumbukumbu sawa sawa kuwa ilikuwaje mpaka wakalala wote chumba kimoja tena kila mtu akiwa amelala kivyake. Mazoea yalizidi mpaka ikafikia wakati Shani akawa anapewa ufunguo wa nyumba na Jothan ambaye akirudi kazini alikuta nyumba safi na amepikiwa chakula kizuri. Upishi wa Shani haukufanana na muonekano wa ke. Wasichana wengi wazuri jikoni huwa hamna kitu. Lakini yeye alikua anatoa vitu ambavyo akati mwengine Jothan alishindwa kuvumilia na kumwambia kuwa alikua anataka kumuoa kabisa ili awe anampkia daima. Uakaribu ukajenga penzi moto moto lililowashinda mpaka wenyewe na kujikuta Shani amehamia kabisa nyumbani kwa Jothan. Maisha ya furaha na yenye raha tele yalizidi kujijenga kwa Jothan. Hakuwa na mawazo tena zaidi ya kumshukuru mungu kwa kumpamsichana ambaye hata yeye alikuwa na mapenzi a kweli kwake. Kuna siku ambazo Shani alikua analala na Jothan na siku nyingine alikuwa analala kwao kutokana na kuwa bado hajawa mke wake halali. Jothan alivizia siku ambayo Shani hayupo mule ndani na kuamua kufungua kabati yake ambayo ilijaa siri zake nyingi za maisha yake na kumbukumbu mbali mbali zinazomuhusu yeye. Vitu vilivyofaa alivirudisha kwenye kabati na vingine ambavyo vilikuwa havifai kwa usalama wa penzi lake alivichukua kwa lengo la kuvitia moto. Baada ya kupekua muda mrefu, aliibamba alburm moja iliyokuwa na picha kadhaa za zamani toka yupo shule. Baada ya kufungua kurasa kadhaa, alishtuka baada ya kuona picha ya msichana mzuri aliyekuwa amemkumbatia huku wanatabasamu. Mawazo yalimpeleka mbali sana. *************************** Ilikua siku ya aina yake baada ya Jothan kupelekwa katika mashinadano na Shule aliyokuwa anasoma. Mashindano hayo yalikuwa yanatafuta mshindi wa mdahalo kwa lugha ya kiingereza. Kila shule ilitakiwa itoe wanafunzi wawili. Wakiume na wakike. Mwanafunzi wa kiume alichaguliwa yeye kutokana na kuwa na lafudhi nzuri na ya kuvutia kwenye lugha hiyo. Ingawaje alikua kidato cha pili, lakini shule ilimuamini na kuona kuwa ni yeye pekee ndio anafaa kutokana na uwezo wake kwenye somo hilo na vile anavyojiamini. Mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa shule ya sekondari Jitegemee. Kwanza ufunguzi ulifanyika na Bendi ya shule hiyo kwa kupiga ala za muziki zilizokuwa zikifuatishwa na watu wate waliohudhuria pale. Kulikua na shule zisizopungua Arobaini. Kila shule iliwakilishwa kwenye sekta mbali mbali, wapo walioigiza kiingereza na wengine waruka sarakasi. Shule za international zenyewe zilishindana kwenye mdahalo uliokuwa wakibishana kati ya watoto wa mitaani na walio shueni, wapi wanaoharibiwa zaidi na utandawazi?. Mada hiyo ilibeba ubishani mkubwa lakini Jothan aliweza kuifanya shule yake kuibuka kidedea kutokakana na hoja kali na zenye uzito alizokuwa akizitoa kwenye utetezi na kuwashindwa wapinzani wake. Walipowa wakipata chakula baada ya shindano, dada mmoja aliyekuwa shule pinzani alimfuata na kumuomba akae nae kwenye meza moja. “hamna shida, karibu” aliongea Jothan na yule dada akaweka chakula chake na kuanza kumuuliza Jothan maswali. “nifaye nini ili niweze kuongea kingereza kizuri kama wewe?” aliuliza yule dada na kumuangalia Jothan “ni kazi rahisi, kwanza kipende na kuwa na juhudi nacho, ni lazima utakuwa na uwezo wa kukitumia utakavyo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu. “hivi unaitwa nani?” aliuliza yule dada baada ya kimya kifupi kupita. “Jothan” alijibu Jothan kifupi. “wooh.. nice name,… mimi naitwa Prisca.” Alijitambulisha yule msichana, “Prisca, jina la mama yangu hilo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu. “una simu?” aliuliza Prissca. “ndio.” Alijibu Jothan huku akijua ni kitu gani kilifuata baada ya Prisca kumuuliza swali lile. “unaonaje tukipeana contact sababu nahitaji sana ushauri wako na ukaribu pia kati yangu mimi na wewe kama hautajali.” Aliongea yule dada na Jothan alianza kumtajia namba zake na yule dada alitoa simu yake na kuandika zile namba alizokuwa anatajiwa. Baada ya kuihifadhi kwenye kitabu cha simu yake, alimbipu Jothan nay eye akai hifadi pia. Waliagana na kila mmoja akarudi kwao baada ya kuruhusiwa. Kesho yake Jothan alienda shuleni kwao na kupongezwa na mwalimu mkuu baada ya kupigwa kengele ya dharula na wanafunzi wote kukusanyika msitarini. Alimpongeza. pia mwalimu wa Jothan kwa kumpa muongozo mzuri. Aliporudi nyumbani, aliiwasha simu yake na baada ya sekunde kadhaa message tatu ziliingia mfululizo. Alipofungua zote zilikua za Prisca. Na zote zilimtaka akutane naye kama atakuwa na muda. Kwakua kwenye simu yake kulikuwa na vocha za kutosha. Aliamua kumuendea hewani. “niambie” aliongea Jothan baada ya simu yake kupokelewa upande wa pili. “safi tu, nilikuwa nahitaji kuonana na wewe leo kama utakuwa na muda.” Aliongea Prisca na kumfanya Jothan kutabasamu. “tutaonana wapi sasa?” aliuliza jothan huku akionyesha wazi kuafiki swala la kuonana na binti huyo. “popote tu utakapoamua wewe.” Aliongea Prisca na kumpa mwanya Jothan wa kuchagua. “sio mbaya kama tukikutana namanga, au wewe una semaje?” aliongea Jothan. “poa, saa ngapi?.” Aliuliza Prisca.” “mida hii mi najiandaa, nafikiri tukutane baada ya saa limoja kutoka sasa.” Aliongea Jothan. “poa” alijibu yule msichana na Jothan akakata simu. Jothan alienda kuoga haraka na kuvaa nguo zake nzuri mpaka mama yake akamshangaa. “wapi tena hiyo mwanangu?” aliuliza mama yake Jothan baada ya kumuona mwanaye amependeza kupita kiasi. “naenda maktaba kujisomea.” Aliongopa Jothan ili kukwepa maswali mengi kutoka kwa mama yake ambaye alikuwa anampiga vita juu ya kujihusisha na mahusiano na watoto wa kike Jothan alishuka namanga walipopanga kukutana na yule msichana. Dakika tano baade, Prisca naye alishuka na kukutana na Jothan. Mavazi aliyovaa Prisca yalimpendeza sana na kumfnaya Jothan kidogo moyo umshtuke kumuona msichana huyo ambaye ndio mara ya kwanza kukatana nae akiwa nje ya sare za shule. Aliduwaa kwa muda akiutathmini uzuri wa msichana huyo mgeni kwake mwenye kasi ya ajabu. “wooo.. umependeza sana.” Alisifia Jothan baada ya kukutana na yule msichana. “sikushindi wewe.” Alijibu yule msichana na kutabasamu. “kwakua muda bado unaruhusu, unaonaje tukichukua bajaji twende coco beach tukapate kipupwe na kufurahisha nafsi zetu.” Alishauri jothan na kumuangalia msichana huyo aliyemvutia kila akimtazama. “ok, nadhani itakuwa poa zaidi.” Aliongea Prisca na safari ya kuelekea coco beach ilianza mara moja baada ya kupata bajaji ya kukodi iliyowafikisha salama maeneo hayo. Walitembea huku ha huko huko wakila cone na crips. Watu walikuwa wengi na kuchangamsha eneo hilo. Tamasha pia lilikuwepo na baadhi ya wasanii wa bongo flavour walifika na kutumbuiza kwenye ufukwe huo uliomiminika watu kila dakika. Kutokana na kutopenda makelele, Jothan na Prisca walienda kwenye mapango ambapo kulikuwa na watu wachache wakiwa wametulia na wapenzi wao. Na wao waliafuta sehemu tulivu na kukaa na kuongea yao. Wakiwa wamejisahau baada ya kuzama kwenye stori na vicheko vya hapa na pale, ghafla wakajikuta wamezungukwa na watu watatu na mmoja wao akiwa amevalia mavazi ya kiaskari. “aroo, mna fanya nini hapa?” aliuliza yule askari aliyevalia sare kwa ukali. “sisi…sisi tumekaa tu.” Alijibu Jothan huku akitetemeka. “mmekaa tu, mbona mmejitenga?” aliuliza askari huyo na kudakiwa na mwenzake aliyekuwa amevaa nguo za kiraia lakini akiwa na pingu kama nne kiunoni mwake. “walikuwa wanafanya ufuska hawa.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kukataa kwa kutikisa kichwa. Uoga uliwa jaa kupita kiasi. Huyo Prisca ndio kabisaa, hakuweza kufanya lolote zaidi ya kuanza kulia. “wewe si mwanafunzi?” aliuliza yule askari huku akiendelea kumkazia macha Jothan “hapana.” Alikanusha Jothan “na wewe msichana si bado mwanafunzi wewe?” Yule askari alimgeukia Prisca na kumuuliza kiukali na kumfanya azidi kuogopa na kijasho cha uoga kiliamza kumtiririka. “ndio..bado mwanafunzi afande.” Alijibu kiuoga Prisca. “sasa wewe unaenda kufungwa miaka thelethini jela, unamrubuni mwanafunzi?,,,mfunge pingu mara moja.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kushangaa. Hakuamini kuwa wale maaskari walikuwa na nia ya kuwakamata. Alizunguka askari yule mwenye pingu na kumfunga Jothan mikononi. Walichukuliwa wote wawili na kwenda nao pembeni ambapo waliwakuta wavulana wengi rika mbali mbali waliokuwa wamekamatwa na wapenzi wao waliokuwa kule mapangoni. Wavulana waliitwa mmoja mmoja na kuhojiwa na baadae waliruhusiwa baada ya kutoa faini kutokana na kosa hilo la kukaa faragha mapangoni kitu ambacho maaskari wanaolinda eneo hilo wamekataza. Waliwaacha Jothan na Prisca wa mwisho kama walivyo wakamata. “unajua kuwa kutembea na mwanafunzi ni kosa kisheria na adhabu yake ni kubwa sana. Sasa usipoteze muda. Una shilingi ngapi tuwaachie?” aliongea askari aliyekuwa anawahoji wale watu waliowakamata. “hapa nimebakiwa na shilingi elfu nane tu.” Aliongea Jothan kiunyonge. “sasa hiyo elfu nane tutagawanaje?.. acha utani dogo utaenda kuozea segerea.” Aliongea yule askari na kuanza kumsachi Jothan. Aligundua kuwa ni kweli salio lake lilikuwa elfu nane. Alimuita Prisca na kumuuliza. “una shilingi ngapi ili tuwaachie?” aliuliza yule askari na kumuangalia Prisca ambaye bado alikuwa analia. “elfu ishirini.” Alijibu Prisca. “zilete hapa, haya na wewe zilete hizo elfu nane zako.” Aliongea yule afande na wote wakatii haraka na kutoa hela walizokuwa nazo. “mna nauli?” aliuliza yule afande na baada ya kupokea zile hela zote. “hatuna, hela zote ndio hizo.” Alijibu Jothan. Yule afande alichomoa elfu tatu na kuwapa kama nauli. “haya poteeni haraka, msirudie tena kujiingiza kwenye vitendo vinavyoshawishi ngono sawa..haya potea kabla sijabadili maamuzi.” Alipiga mkwara yule askari na wao wakaondoka haraka. Hawakuwa na hamu ya kuendelea kukaa pale coco beach, waliamua kuondoka. Walipofika kituoni waliagana na kila mmoja akapanda magari yaendayo kwao. Walipigiana simu na kila mmoja alimtaarifu mwenzake juu ya kufika salama nyumbani kwao. Kisanga kilichowakuta ilibaki kuwa siri yao. Hakuna aliyediriki kumuhadithia mtu yeyote. Mapenzi ya kishule shule yalianza taratibu na mwosho wakajikuta wanapendana kiukweli na hakuna aliyeridhika kupita siku bila tukio la kuonana. Walimaliza elimu yao ya kidato cha nne huku mapenzi yakiendelea kati yao. Waliridhika kuonana na kuchat kupitia simu na mitandao ya kijamii. Jothan alipomaliza kidato cha nne alichaguliwa kwenda kibaha kumalizia elimu yake ya kidato cha tano na sita. Alifaulu vizuri na kwenda chuo kikuu morogoro. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa kupotezana na Prisca. Kwani alipoteza simu na akaamua kubadisha line wakati namba ya Prisca haikuwa kichwani mwake kutokana na tabia ya Prisca kutodumu na namba mmoja muda mrefu. Alimuwaza sana mpenzi wake huyo waliyekutana enzi za shule na kukua pamoja. Hakua na jinsi zaidi ya kupiga kitabu baada ya kuona anapoteza muda kumuwaza mtu ambaye hata kwao walipo hivi sasa hapafahamu. Hii ni baada ya kupewa taarifa za kuhama Prisca pale walipokuwa wana kaa mwanzo baada ya kuuza nyumba yao. ***************** Mawazo yalirudi tena kwenye ile picha na kuamua kuificha bila kuichoma moto kama alivyotaka mwanzo kufanya. Badala yake alienda sehemu ambayo kulikuwa na hati ya nyumba yake na kuiweka ile picha katikati. Ni kweli Prisza alikuwa anampenda na hawakuwahi kuachana. Ni muingiliano tu wa maisha ndi uliowatenganisha. Moyo wake aliona kama si haki kuichoma ile picha kwakua bado alikua na nafasi ndani ya moyo wake japokuwa kuonana na msichana huyo ni ngumu sana. Hata alipomaliza chuo alijitahidi kumtafuta bila mafanikio. Mpaka muda huu anajitegemea ni kipindi kirefu cha miaka sita tuko walipokutana na Prisca kwa mara ya mwisho. Mawazo ya msichana huyo wa kwanza katika maisha yake yalimchanganya kichwa na hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali matokea na kuanzisha ukurasa mwengine wa maisha yake kwenye mapenzi na shani Baada ya usafi huo wa kabati lake, aliamua kujilaza kitandani na usingizi ukamchukua. ITAENDELEA ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 08* “nzuri tu kaka, shikamoo!” Aliitikia Penina na kasha kumwamkia kaka yake “marhaba mdogo wangu>“ Aliitikia salamu. “Penine kanenepa kweli safari hii, shule imempenda kweli.” Aliongea Lisa. “hapana wifi!?” Penina aliongea na kasha kucheka, ukweli ni kwamba kweli alikuwa amenenepa na kujengeka shepu kwa mahipsi na makalio yaliyo fungashika kiinye plus gwedegwede. Waliongea mengi wakiwa na furaha ya kuwa pamoja tena. Upande wa Lisa moyoni hakuwa na furaha hata kidogo, muda wote alifikiria jinsi ya kumtoa muuza maziwa ndani ya nyumba hiyo. Alifahamu fika jinsi swala hilo lilivyokuwa gumu kwani chumba alichomficha ndicho chumba atakacholala penina , hakuelewa angeweza vipi kumtoa muuza maziwa katika chumba hicho bila ya Penina kugundua. “sijui nitafanya nini mungu wangu?” Aliwaza bila kupata jawabu, hakuona aibu kumshikilikisha Mungu katika uovu wake. “atalala tu lakini , na hivi alivyochoka, na huo ndio utakuwa muda muafaka” Alizidi kuwaza, Hiyo ndio ilikuwa njia pekee aliyoitegemea alitumaini Penina atakapolala ndio uwe muda muafaka. “wifi vipi mbona utafikiri uko mbali sana!?” Penina aliuliza baada ya kugundua kwamba Lisa hayupo pamoja nao katika maongezi. “hapana nipo , mbona tupo pamoja!.“ Aliitikia Lisa haraka haraka baada ya kuzinduka toka kwenye mawazo mazito aliyokuwa nayo. “kweli Lisa upo tofauti sana leo” Jerry nae alikazi “hapana jamani mbona nipo sawa!” Lisa alizidi kujitetea kwa nguvu zake zote kwani hakutaka mtu yoyote ahisi chochote kuhusiana na swala hilo la muuza maziwa, alichokifanya baada ya hapo ni kujaribu kujichekesha na kuonyesha kuwa ana furaha ili kupoteza kabisa hisia za mumewe pamoja na wifi yake. Waliongea kutwa nzima mpaka usiku ukaingia , baada ya chakula cha usiku kila mmoja alielekea chumbani kulala Jerry na mkewe chumbani kwao na Penina pia alielekea chumbani kwake. Wakiwa kitandani kwao si Jerry wala mkewe aliyeonekana kumjali mwenzake, kila mmoja aligeukia upande wake , kila mmoja alirizika na usaliti alioufanya mchana wa siku hiyo. Jerry alipotembea na Sekritari wake wakati Lisa alipotembea na muuza maziwa. Hakuna aliyejua maovu ya mwenzie kila mmoja alimuona mwenzake karanga bao na kumlalia mzungu wa nne. xxxxx- – – – xxxxxx—- – — xxxxxxxx Saa sita na nusu usiku Penina alishtuka toka usingizini , hii ni baada ya kusikia mlio wa kabati likifunguliwa , haraka alisogeza mkono wake kwenye swich ya taa na kuiwasha. Mwanga ulitanda chumba kizima . Penina hakuamini alipomuona mtu akiwa amesimama karibu kabisa na kabati huku kabati likiwa wazi. “kaka! , kaka!, mwizi! Mwizi!1” Penina alipiga yowe kwa hofu huku akimwangalia muuza maziwa vizuri. Muuza maziwa alikuwa akitetemeka mwili mzima, sauti ilikwisha fika chumbani mwa akina Jerry, Jerry alikurupuka na kumwamsha mkewe . Lisa alichanganyikiwa kusikia taarifa hizo alijua kwa vyovyote vile huyo atakuwa ni muuza maziwa. “mungu wangu, sijui nifanyeje mie!!” Aliongea Lisa kwa mshituko CHANZO: /“utafanyeje nini?, twende au umesahau kwamba tuna Bastora!?” Jerry aliongea akiwa ameishikilia bastora yake kwa kujiamini. Hakujua kwamba mkewe hakuwa anaogopa mwizi bali alimhurumia muuza maziwa. Muuza maziwa alizidi kutetemeka hakujua afanye nini miguu yote iliishiwa nguvu alishindwa kusimama wima akaegamia kabati. “da– da—mi-mi si-o mwi-zi!-zi-zi” Aliongea muuza maziwa huku akitetemeka kupita kiasi. ITAENDELEAMUUZA MAZIW EP 09 ILIPOISHIA….. “kaka! , kaka!, mwizi! Mwizi!1” Penina alipiga yowe kwa hofu huku akimwangalia muuza maziwa vizuri. Muuza maziwa alikuwa akitetemeka mwili mzima, sauti ilikwisha fika chumbani mwa akina Jerry, Jerry alikurupuka na kumwamsha mkewe . Lisa alichanganyikiwa kusikia taarifa hizo alijua kwa vyovyote vile huyo atakuwa ni muuza maziwa. “mungu wangu, sijui nifanyeje mie!!” Aliongea Lisa kwa mshituko “utafanyeje nini?, twende au umesahau kwamba tuna Bastora!?” Jerry aliongea akiwa ameishikilia bastora yake kwa kujiamini. Hakujua kwamba mkewe hakuwa anaogopa mwizi bali alimhurumia muuza maziwa. Muuza maziwa alizidi kutetemeka hakujua afanye nini miguu yote iliishiwa nguvu alishindwa kusimama wima akaegamia kabati. “da– da—mi-mi si-o mwi-zi!-zi-zi” Aliongea muuza maziwa huku akitetemeka kupita kiasi. MUENDELEZO WAKE : “kumbe wewe nan……….?” Penina alijikuta anakatisha kauli yake baada ya kumuangalia vizuri muuza maziwa, hakuamini alichokiona alihisi kama vile yuko ndotoni. “Karani!!!!” Aliita Penina kwa mshangao huku akiwa ameduwaaa. “Penina!!!” Muuza maziwa nae aliita mara baada ya kumuangalia vizuri penina. Wote walibaki wakishangaa huku wakiangaliana usoni, kumbukumbu zao zilirudi nyuma miaka miwili iliyopita. Suji sekondari katika bweni la wasichana chumba namba ishirini na moja. Penina akiwa amelala kwenye kitanda cha dabodeka, ikiwa ni mara yake ya kwanza kulala ndani ya chumba hicho. Sababu hiyo ilikuwa ni siku yake ya kwanza toka ahamie bwenini , mwanzo alikuwa akikaa kwenye nyumba ya mkuu wa shule. Akiwa kitandani hapo alisikia mlio wa mluzi ukisikika kwa mbali karibu kabisa na dirishani sehemu ambapo alikuwa amelala. “it ndizi time!” [ni muda wa ndizi] Mwanafunzi mmoja aliongea kwa sauti ya kunon’gona kasha wenzake walicheka kwa sauti za chinichini. Penina hakuelewa chochote kilichoendelea. Mwanafunzi mmoja aliamka na kwenda kufungua mlango. Watu wane wakiwa wamejitanda khanga waliingia ndani, Penina alizani watu hao ni wasichana. Aliduwaa pale walipotoa Khanga zao. Wote walikuwa ni wanaume. Kila mmoja alienda kwenye kitanda chake waliongea lakini sauti zao zilikuwa za kunon’gona. Penina alibaki ameduwaa tu asijue nini cha kufanya , katika chumba hicho ni yeye peke yake ndio alikuwa amelala peke yake. Alijaribu kuutafuta usingizi lakini alishindwa , vilio vya mahaba alivyokuwa akivisikia usiku huo vilimtesa kupita kiasi, alitamani na yeye lakini hakukuwa na mwanaume kwa ajili yake. Alibaki akijigaragazagaragaza tu kitandani kwake. Mpaka kufikia saa kumi na nusu alfajiri wanaume walipoondoka bado yeye alikuwa hoi. Mchna alimfuata maria na kumweleza shida yake. “na wewe unataka ndizi?” “mmh, mwenzangu manaake hali mbaya!” “usihofu , nitamwelza Bakari akufanyie mpango”. “nitafurahi kweli maanake we acha tu!” Ahadi ya maria ilikuwa kweli , Penina aliteseka kwa siku moja tu , siku iliyofuata nae aliletewa ndizi yake. Ni hapo ndipo alipokutana naKarani mchunga n’gombe wa akina Bakari, ambae sas ndio muuza maziwa. Karani alikuwa akimfikisha Penina mpaka basi jambo lililomfanya Penina ampende kupita kiasi, alimuahidi kwamba atakuwa nae milele lakini ajabu ghafla alitoweka. Alipomuuliza Bakari kuhusu swala hilo alimwambia hajui alikoelekea. “nyumbani katoroka alafu ameiba baadhi ya nguo zangu , hafai kabisa yule jamaa.” BakaRi aliongea kauli hiyo iliyomaliza kabisa nguvu za Penina. Alimpenda sana Karani na alitaka kuwa nae siku zote za maisha yake. Hakuelewa ataishi vipi bila kuwa nae. “lakini usihofu Penina nimekuletea mwingine” Bakari aliongea akiwa ametabasamu huku akishika bega la kijana mpya aliyekuja nae siku hiyo. Penina alimwangalia kijana huyo kuanzia chini mpaka juu lakini hakuona hakuona cha kumlinganisha na Karani. “Siitaji tena kama Karani hayupo basi “ Penina alijibu kwa dharau. “Penina hata huyu yuko bomba tena mkali kuliko hata Kara….” “Nimesema sitaki husikii” Penina alifoka tena kwa sauti kubwa jambo ambalo liliwaogopesha wote, sababu lilikuwa ni jambo la hatari, hawakutaka kuendelea kumsemesha waliogopa angewasababishia msala kwa mlinzi endapo ataisikia sauti yake. Siku iliyofuata Penina aliamua kuhama chumba hicho kwani hakuona raha tena ya kuwa ndani ya chumba hicho wakati Karani hayupo. Rafiki zake walimbembeleza asahau habari ya Karani na akubali kuwa na yule kijana mpya ili arudi kwenye kile chumba lakini yeye aliwakatalia katakata , hakuona mwanaume wa kumfananisha na Karani wake. Wiki moja baada ya Penina kuhama ndani ya chumba hicho mlinzi alishtukia mlinzi alishtukia kila kitu . Aliwakamata wanaume wote wakiwa ndani ya kile chumba cha kina Maria na kasha wanafunzi wote waliokutwa ndani ya chumba hicho walifukuzwa shule. Penina alikuwa ameponea chupuchupu, kama isingekuwa Karani kutoroka nyumbani kwa kina Bakari basi leo hata yeye angelikuwa miongoni mwao na Karani wake. Wiki moja baada ya Penina kuhama ndani ya chumba hicho mlinzi alishtukia mlinzi alishtukia kila kitu . Aliwakamata wanaume wote wakiwa ndani ya kile chumba cha kina Maria na kasha wanafunzi wote waliokutwa ndani ya chumba hicho walifukuzwa shule. Penina alikuwa ameponea chupuchupu, kama isingekuwa Karani kutoroka nyumbani kwa kina Bakari basi leo hata yeye angelikuw miongoni mwao na Karani wake. Jambo hilo lilimfanya azidi kumpenda Karani na kujipa ahadi kwamba lazima siku moja atamtafute mahali popote duniani.. Ajabu leo anamkuta ndani ya chumba chake cha kulala. Hakutaka kumuuliza amefikaje , iwe kweli amekuja kuiba au vyovyote alichofikiria sasa ni kumuokoa ili kaka yake asijue kwamba yumo humo. “Ngo, ngo ngo” Mlango uligongwa , Penina pamoja na Muuza maziwa walichanganyikiwa. “Penina!, Penina! Fungua mlango usihofu nina Bastora!” Kauli hiyo toka kwa Jerry ndio ilizidi kuwachanganya akili. “Tafadhari niokoe Penina sitaki kufa leo!” “Usihofu Karani nitafanya kila njia!” Penina aliongea. ITAENDELEA..*MUUZ MAZIW EP 10* MWISHOOOOOOOOO Wazo la kuingia kabatini lilikuja tena kichwani kwa muuza maziwa, na Penina bila kuchelewa akaufunga mlango wakabati hilo. “Penina fungua mlango” alijua labda mwizi huyo amemteka mdogo wake. Upande wa lisa alizidi kuchanganyikiwa. Sauti ya Jerry ilisikika tena huku akizidi kuugonga gonga mlango kwa nguvu, akilini mwake “Fungua Penin…..” Jerry alikatiza kauli hiyo baada ya Penina kufungua mlango. “yuko wapi, yuko wapi huyo mwizi?’” Jerry aliuliza huku akiwa ameishika Bastora yake sawia , tayari kwa kufyatua risasi. “hapana kaka!” “hapana nini kakimbia eeh au kaificha?” “sio mwizi kaka!’ “sio mwizi!? ,nani? Na yuko wapi?” Aliuliza kwa mshangao. “Ni ndoto nilikuwa naota “ “Ndoto!!?” “ndio kaka!” “ooh! Jamani penina umetushtua wenzako , uuh!” Aliongea Lisa na kuvuta pumzi , kwani wasi wasi ulimtoka baada ya kusikia kama ni ndoto. “Penina unauhakika kama ni ndoto!” Jerry aliuliza huku akiliangalia kabati, kasha akaanza kulisogelea taratibu. “ndio ! Ndio! Kaka” Penina aliitikia kwa hofu , alihisi kwamba pengine Jerry amegundua kitu, hali ilikuwa mbaya zaidi kwa Lisa ambae alichanganyikiwa kabisa. “hapana siwezi kurihusu jambo hili hata kidogo” Aliwaza Lisa pale Jerry aliponyoosha mkono ili kushika kitasa cha kabati hilo., alimkimbilia haraka. “Honey umekwisha elezwa kwamba ni ndoto kwanini unapoteza muda , twende tukalale mpenzi mwenzako nimechoka>“ Lisa aliongea kwa sauti laini. “Hapana nataka kufunga vizuri hili kabati”. Aliongea Jerry huku akilisukumiza kabati, hakujua kwamba halijajifunga vizuri kwa sababu kuna mtu ndani. Alilisukumiza huku muuza maziwa akisikilizia maumivu ya kuminywa na kabati hilo, alijuzuia kupiga kelele huku mwili mzima akitetemeka kwa woga. “Achana nalo hilo Dear kwanza kabati lenyewe hilo bovu.” “bovu!!!” “eeh bovu hata mimi wifi alinieleza’ Penina alidakia “sasa kwanini hamjamuita Fundi?” “usijali mpenzi nitamuita kesho, twende basi tukalale.” Lisa aliongea kwa sauti nyororor ambayo ilimshawishi Jerry moja kwa moja. “Lala salama Penina “ Aliaga “sawa kaka “ Walitoka na kwenda chumbani kwao wakiwa wamekumbatiana.. Penina aliufunga mlango kwa furaha na kisha kwenda kulifungua kabati. Alikuwa na hamu kweli ya kuwa na Karani wake. Karani ambae hadi wakati huo alikuwa akitetemeka kwa hofu, hakuamini kabisa kwamba ndani ya chumba hicho yumo yeye na Penina pekeyeo. “kabla ya yote nikumbatie mpenzi!.“ Penina aliongea akiwa na tabasamu zito usoni kwake . Muuza maziwa hakusita kumkumbatia. “siamini kabisa mpenzi!” “hata mimi penina!” “hivi umejuaje kwamba ninaishi hapa?” Aliuliza penina akiamini kwamba kilichomleta muuza maziwa humo ni yeye. “Nilikuona ulipokuwa unaingia” Muuza maziwa alijibu, hakutaka kumweleza kwamba aliyemleta humo ni wifi yake. “ndio maana nakupenda Karani!” “hata mimi nakupenda!” Karani nae akaitikia Alimsogelea zaidi na kumbusu ‘mwaaaa!!!’ ‘Mwaaa!!!’ Penina nae aliitikia busu hilo. Muuza maziwa kama kawaida yake akaanza manjonjo yake, Penina alikwisha jua nini kinachofuata akaanza kujichekesha kwa kicheko cha kugunaguna. “unajua nafanya kazi gani sasa?” Muuza maziwa aliuliza “sijui!” Penina aliitikia “Nauza maziwa!” “aah kwa hiyo nikuite Muuza maziwa sio.” “sawa sawa watu wote wananiita hivyohivyo.” “haya basi muuza maziwa nataka unipe mambo” “hapa ndio mahala pake, utapata ondoa hofu!” Muuza maziwa aliitikia na kuanza kumtekenya Penina kwa ulimi wake. Penina alicheka kwa kicheko cha chinichini, mambo ya muuza maziwa yalimfanya akumbuke kipindi walipokuwa wote kule shule kipindi Karani ni mchunga ng’ombe lakini sasa yuko mjini na ni MUUZA MAZIWA. END OF SEASON ONE. ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SITA (06) ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO: Siku ya pili, vicent alitoka mapema nyumbani, aliwahi shule kabla hata ya rafiki zake. Hii yote ni kutokana hata usingizi haukupatikana,kutokana na mawazo aliyo nayo. Alikuta baadhi ya wanafunzi wapo darasani, Alifika akakaa kwenye kiti na kufungua begi,kuchukua kitabu na kuanza kusoma. Ila hata sijui nini kilimtuma kutazama mbele maaana alijikuta anatoa macho. ENDELEA....... Alijikuta Anatoa macho, baada ya kuona,marafiki zake nao wamewahi shule. Aiseeee vicent alichekaaaa sana, mpka akajishika tumbo. "hadi nyinyi mmewahi leo aaah kweli mtihani siyo poa".aliongea vicent huku anawatazama kwa zamu. "mimi mwenyewe sijaamini nilivyo kuona ndo maana nikasimama mlangoni nihakikishe ni wewe au hahhhhhah".aliongea Richard huku anaelekea kule alipo vicent.ila cha kushangaza suma akuchangia neno zaidi ya kuachia tabasamu na kutembea kwenda walipokuwa wenzake. "aiseeee kama tuliambizana yani"aliongea tena vicent. Hapo suma ndo na yeye akanyanyua,mdomo wake na kuongea. " hivi unajua kwanini nimeshindwa kuongea chochote?,nikwasababu naona uchuro hapo nje nimekutana na rich, hapa nakuona wewe, nikawa najiuliza hivi hawa waliambizana nini mimi wamenichunia ila nimewabamba".aliongea suma,huvu anavuta kiti anakaa. "hii ili iweje sasa imetokea tu"alijibu richard. "sisi hatuwezi kukufanyia hivyo kwasababu sote ni wamoja". Alisema vicent, suma hakuwa na neno. " oyaa tusomeni basi kabla muda wa kwenda mstalini aujafika"aliongea tena vicent. "poa mwanangu umeongea point" alijibu suma.basi kikapita kimyaa,kila mtu alifanya yakeee kwa muda huo. ******* Mwezi ulipita,hatimae miezi, na si vicent, wala niram aliye kumbuka kama walishawahi kuonana. Basi ilikuwa weekend, moja walionekana marafiki, watatu wakiwa wamesimama stendi ya mabasi,si wengine bali ni vicent, richard na suma wakiwa wamevalia nguo za nyumbani.ilibaki kama wiki mbili wafanye mtihani. Ilionyesha kuwa walikuwa wamelewa kwenye maongezi sasa sijui vicent, walikuwa wanasubiri usafiri maana vicent hakuwa na gari siku hiyo. Mara gaflaa walishtushwa na sauti, nyororo iliotokea,barabarani. "vicentiiiiiiiiiiiii" ilikuwa sauti ya niramu, aliekuwa ndani ya range nyekundu, huku akiwa amependa,kupindukia wanasemaga kadamshi, ile mbayaaaa. Wote macho yalikuwa mbele,ila hakuna mtu alieshtuka kama vicent, maana akutegemea kuonana na binti yule ana muwaza siku zote. Na ilikuwa muda Awajaonana. Kiukweli vicent, moyo ulikuwa unampenda mbio vibaya.ila alijikaza, huku nyuma suma pamoja na richard, aisee!! Macho yaliwatoka maana walishindwa kuelewa, wanae muona machoni mwao, ni jini au malaika. Vicent alijikongoja mpaka kwenye dirisha la gari, na kumsababishia niram. " mambo niram siamini kama ni wewe, kumbe unani nakumbuka? ".alijikuta anaongea mfululizo vicent huku akiuliza, swali humohumo. "poa vicent, nakukumbuka sana vp leo huna usafiri? Maana naona kama mpo wenyewe mnasubiri usafiri? ".aliuliza niram,huku macho akiwaelekezea wakina rich. "aaah ndiyo tunamsubiri dereva tax mmoja hivi,katuambia hayupo mbali".alijibu vicent huko akiangalia huku na kule kama anaetafuta kitu. "haah kwani mnaelekea wapili niwape lifti?maana mimi naelekea mbezi"aliuliza niram. Vicent akapiga mahesabu ya haraka,alafu akaongea. "aaah! Wale wanarudi nyuma ila mimi naenda kunduchi" alijibu vicent. Ila wadau ngoja niwaambie kitu, vicent ameongopa, kwasababu wenzie wanaenda kawe sawa yeye anaenda kunduchi, ila njia ni ileile wameachwa wakina suma, yeye angeendelea mbele, ila aliamua kusema vile ili aweze, kutupa ndoano Kiulaini. Tuendelee, basi niram akamwambia "basi twende nikupe lifti waage wenzio".vicent akachomoka na kuwafata, wenzie alimkuta suma anashauku si mchezo. " vipi yule ndo yule demu uliesema? Na anaelekea wapi ili atupe lift basi kama vipi" alijikuta anaongea maneno,mfululizo na swali juu. "hamna aendi huko kaniambia nimsindikize kariakoo".aliongea vicent huku anageuka nyuma, akagongana macho na niram,wote wakatabasamu. "duuuh mwana kwahiyo umetuacha? ".aliongea richard huku anakazia macho kwenye gari. "aaah aina jinsi ila chukueni hii mpande tax".alisema vicent huku anazamisha mkono mfukoni na kutoa noti tatu za elfu kumi akamkabidhi suma. Suma alizichukua na kuzitia mfukoni. "oyaaa Usikose kutupigia ukifika home"alisema rich. Na suma akadakia. "ndiyo utupe data zote maana duuuh! Mpaka nakuonea wivu".vicent hakutia neno aliishia kutabasamu huku Anaendelea kutembea, basi aliingia ndani ya gari, huku ukimya mwingi ulitawala.vicent akaona avunje ukimya, "basi nilijua utanisahau kabisa".aliongea Vicent Huku ametoa tabasamu hafifu usoni mwake, Huku macho yanatazama mbele. "Ooooh!!Hapana siwezi kukusahau,mtu muhimu Kama wewe Kwa ule Msaada wako ".aliongea Niram,huku anamwangalia Vicent, macho yakakutana, wote wakatabasamu, Niram akageuka mbele na kuendelea, kuushika usukani akizidi kukanyaga mafuta. "hahhhhah!! Ni kweli niram lakini Siyo wote wanao kumbuka fadhila".aliongea Vicent ,Huku kimoyomoyo akiomba wasifike haraka. "haaahhh sawa bwana Wala ujaongopa, ".aliongea niram,huku akizidi kuuchapa mwendo, na bahati nzuri hakukuwa na foleni. "niram nikuombe kitu Kama hutojali? ".aliuliza Vicent Huku amemgeukia kabisa, aliongea Kwa sauti nzito, tens yakubembeleza. "usijali Kama kipo Ndani ya uwezo wangu ntakupa".alijibu niram. Vicent hakaona asizubae Sana, akasema alilokusudia."nilikuwa naomba unisaidie namba yako ya simu ili niwe nawasiliana nawe hata kukujulia Hali,maana tushakuwa marafiki".aliongea Vicent,kwa umakini wa hali ya juu ili asije kukosea step,akamkwaza Niram. " Ooooh!! Wala usijali Kwa hilo".alisema niram, huku anamtajia namba zake. Vicent aliziandika kwenye simu yake. " asante sana".alishukuru vicent. "asante nawe kwa kushukuru".alijibu niram, mara ikawa kama vituo viwili vicent ashuke. "sasa niram mie nashuka hapo kituo kinachofuata utaniacha hapo" aliongea vicent, lakini kama ungemuona moyoni mwake, alichukia kupita kiasi, alitamani wazunguke mpaka alfajiri. Duuuuh kweli mapenzi siyo poa wadau. "haaah ni hapo oky sawa"alijibu niram, na alipofika, akakanyaga break, na kusimamamisha gari. "oooh!!asante sana umenifaa mungu akufikishe salama".aliongea vicent huku anafungua mlango wa gari na kushuka. "haya asante ufike salama pia".alijibu niram, akawasha gari na kuishia, vicent alibaki anampungia mkono, mpaka alipo ishia. Kiukweli ile siku aliiona ya bahati sana kwake, hakika alikuwa na furaha mno. Alifika kwao. Akagonga geti likafunguliwa, alikuta mlinzi akamsalimu, na kuingia ndani hakumkuta yeyote ndani zaidi ya house girl. Alimsalimia akajitupa kitandaniii , pwaaaaaaah!! Aliangalia sana juu vicent, hakika kuwa na namba ya niram,kwake ilikuwa ni furaha tupu. ********* Vanessa alikuwa mezani wakipata chakula cha usiku, maana leo ilikuwa weekend kwahiyooo alikuwa mwenyewe jikoni, ila leo mawazo yalipungua kwani mawasiliano yalikuwa kama zamani na hadi asubuhi ya siku hiyo, vicent alimuaga kuwa atatoka na wakina richard. Mara ghafla alishtukia, akizibwa macho. "mmmh juliana nini bwana,ebu acha mzaha njoo ule"aliongea vanessa. " mmmh dada kwahiyo wewe mtu wako wa karibu ni Vanessa tu? ".aliuliza kwa manung'uniko Clara. Mdogo wake wa nne akitoka huyo ndo juliana, kumbuka wakiume ni wawili kwenye familia yao na ndio wakwanza na wapili. "hamna mamy wote nawapenda ila nilijua yeye, kaa chini ule mdogo wangu".aliongea Vanessa kwa sauti ya kubembeleza,huku akimvuta akae. Basi mambo yakaisha,walikula kwa furaha, wazazi na kaka zao hawakuwepo, walibaki wenyewe. ********* Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita...... Itaendelea CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SABA (07) ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA: Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita. endelea........ Mara gafla akaona simu inaanza kuita. Niram akaangalia mpigaji, akaona namba ngeni. " mmh! Atakuwa Nani huyu?".alijiuliza niram, alitafakari Sana maana sikawaida kupigiwa na namba ngeni, baada ya kutafakari kwa muda.akaamua kupokea. "hellow".aliitika niram. "hallow Niram huko poa?, Vicent hapa". Ilisikika sauti upande wa pili."oooh! Vicent nashukuru mungu niko poa sijui wewe ulifika salama? ".alijibu niram nakupachika swali. "nilifika salama niram hofu ilikuwa kwako".alisema vicent. "namimi nashukuru mungu nimefika salama".alijibu niram kwa sauti nyororo kabisa. ****** Vanessa alikuwa ndani kwake akaona mbona muda unaenda sana,na ajaona msg wala simu kupigwa kutoka kwa vicent. Alikaa akasubiri na kusubiri weeeeh lakini ikawa kimya. "mmmh!! Ina maana itakuwa ajarudi bado huko alipoenda"alijisemea mwenyewe, akaona muda unaenda lakini simu aipigwi. "mmh ngoja nipige"aliamua apige yeye, akachukua simu yake na kuipiga. Jibu alilokutana nalo ni NAMBA UNAYOPIGA INATUMIKA KWA SASA.. "mmmh saa tano hii au ndo amerudi hivyo anaongea na wenzie kuwa julisha kuwa amerudi?".alijiuliza jibu akakubaliana kuwa anawasiliana na rafiki zake. ****** Huku vicent akiwa anaongea, akaona kama kuna mlio wa simu nyengine kuingia akaiangalia , alipoona mpigaji kuwa ni Vanessa akaendelea kuongea. Simu iliita mpka ikakata. Waliongea mengi na baadae niram akaaga kuwa anahitaji kupumzika. Basi waliagana na simu ikakatwa. Baada ya hapo alipiga simu kwa Vanessa,huku Akiwa ameshaupanga uongo wa kumwambia. "hellow baby mbona kimya, na napiga unatumika?".aliongea vanessa mara baada ya kupokea simu. "aaah amna nilikuwa naongea na mzee maana mchana,hakuwa na nafasi ndo kunitafuta sasahivi".alijibu vicent kwa ujasiri wa hali ya juu,bila kubabaisha maneno. "oooh kumbe haya niambie mizunguko ilikuwaje? ".Aliuliza Vanessa huku alibadili mikao ya kila aina Hapo kitandani. "ilikuwa poa sema nimechoka sana".alijibu vicent huku akijifanya anapiga mihayo. "oooh basi pumnzika baba angu tutaongea kesho".aliongea Vanessa kwasauti fulani hivi ya madeko. "sawa mama ntakuchek kesho ulale salama"alimaliza kuongea vicent akakata simu. Alienda moja kwa moja bafuni akaoga, maana choo kilikuwa ndani kwake humohumo. Alipomaliza alitoka sebleni muda ulikuwa umeenea sana ila alikuwa bado ajala, alikuta msichana ameshaenda kulala,aliwasha taa ya sebuleni akachukua sahani jikoni nakuenda kula chakula. Mara ghafla akasikia mlango unafunguliwa alikuwa mama yake, "yani wewe Bwana mi nilivyorudi nikaambiwa upo ndani nikajua ushakula".aliongea mama yake vicent,huku anavuta kiti pale sehemu ya kulia chakula akakaa. "hapana mama uwezi amini yani nilipitiwa na usingizi nikalala ndo nimeshtuka sasa hivi".aliongopa vicent, aisee huyu jamaa hatari."ooooh pole baba ni uchovu tu huo"aliongea kwa huruma mama yake. "asante mama".alijibu vicent huku anafakamia wali kwa maini. Basi waliongea mengi mama mtu alinyanyuka, na kuenda kulala. "ukimaliza usisahau kuzima taa baba".aliongea mama yake. "sawa mama ntaizima".vicent alikula akashushia juisi, akaelekea kwenye swichi akazima taa na kuenda kulala. ******* Pilikapilika zilikuwa zinaendelea, katika nyumba ya kina niram.ilikuwa Jumapili kulikuwa na ugeni mkubwa kwao, kuna ndugu zao walikuja.basi yalipikwa masontojoo siyo ya kawaida. Zilisagwa juisi za matunda basi ilikuwa tafrani. Niram akutulia alikuwa bize vibaya. "niram ebu kuongezeae chumvi kwenye biriani kule".ilikuwa sauti ya mama yake. "sawa mama".alijibu huku anaacha alichokuwa anafanya na kwenda kuweka chumvi kwenye chakula. Kila kitu kilikuwa sawa sasa niram alikuwa chumbani anajiandaa akaoge. ******** Suma alipoona ajapigiwa jana, akaona isiwe kesi ngoja amchek yeye maana umbea ulikuwa unamuwasha mtoto wa kiume huyu. Akukubali kitu kimpite hivihivi,yani alikuwa tofauti na richard mwenzie hakuwa mpenda kufuatilia yasiyo muhusu. Basi aliweka vocha akampigia "oyaaa mwanangu unayumba"haliongea suma ."hamna nilichoka sana yani uwezi amini ".alijibu vicent. "eeeh ilikuwaje jana na yule mtoto mzuri?".aliongea suma huku akitegesha masikio vizuri kupata udaku "hahhhhah suma eeh nna kazi kama unataka kuhusu hiyo stori ntakupigia baadae " "ok poa basi usisahau ".alijibu suma huku anakata simu. Ila suma akakumbuka kitu ayaaaaaah!! Daaah!!.Nimesahau kumuuliza Kitu, yeye na haraka zake mpaka nimesahau".aliongea suma huku anamlaumu vicent,kwa uamuzi wa kukata simu haraka. "anyway nitamchek baadae".aliongea suma, mara kisimu chake kikaanza kuita."duuuh huyu somoe ana mpya gani nae mi leo nnampango wa kuonana na hadijaa".alijiseme suma kimoyomoyo ,huku anaangalia ile simu bila kuipokea. Labda niwafafanulie vijitabia vya huyu ismail au kwa ufupi ndo unaweza kumuita suma. Yani suma yupo tofauti na wenzake, suma kwanza ni mwingi wa habari,anapenda kujua mambo ya watu ni mwongeaji mno kuliko wenzake.ajatulia hata kidogo isimpitie sketi mbele yake lazima amfate tu, ila richard na vicent wapo tofauti sana na yeye, richard ana mahusiano na binti mmoja anasoma, shule tofauti na yao. Na ni huyohuyo tu ndo yupo nae. Lakini suma weeeeeeh!! Mwiko mkubwa tena uchuro, kutulia na mwanamke mmoja. Basi baada ya simu kukata akaizima na kuendelea na mambo mengine. ******* Ilikuwa ni mida ya jioni. Wageni wameshaondoka, nyumbani kwa kina niram. Na mama yake kama unavyomjua mtu wa pilikapilika usiseme, alikuwa ameshaenda kuzurura muda mrefu. Aaaaah ahhh!!,sijui muhindi gani huyu mwenye tabia za Kiswahili.ok tuachane nae tuendelee. Basi niram alikuwa amekaa sebuleni peke yake, maana mdada wa kazi hupendelea kukaa ndani kwake kama kazi ameshazimaliza. Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. Itaendelea.... ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na tano (15) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp..... 0769673145 Ilipoishia...... Nolan alishtuka vibaya mno na kuona hapa shughuli ni nzito tena nzito Sana. Lakini mzee Joel ndio alikuwa na furaha Sana kwa kushuhudia kazi nzuri iliyokuwa ikifanywa na buffalo. Nolan alinyanyuka na kujitikisa na kujiweka Sawa kwa ajili ya kuendelea na mpambano. ***********Endelea *********** Baada ya Nolan kusimama tu buffalo hakumpa hata nafasi ya kumeza mate alimfuata kwa kasi na kumrushia mateke manne mfululizo na yote yakampata Nolan na kumuweka chini kwa Mara ya pili. Shughuli ilikuwa nzito Sana kwa Nolan kwani hajawahi kukutana na mtu mwenye spidi ya kupigana kama buffalo. Kwa Mara nyingine Nolan alinyanyuka tena huku akiwa tayari ameshawekwa alama usoni. Buffalo kama kawaida yake hakutaka kumpa nafasi ya kupumua, akamfuata kwa kasi na kurusha ngumi nyingine nzito lakini hii Nolan akaiona na kuikwepa ikaenda kugonga dirisha na kuvunja lile lote. Nolan naye this time round akasema hata mimi sicheki na wewe, Nolan aliruka na kumtandika buffalo teke la mgongo na kumtupa nje kwa kupitia pale dirishani. Nolan hakutaka kupoteza Muda akaruka na kumfuata buffalo huko huko nje. Dick pamoja na vijana wake wakiwa pamoja na mzee Joel nao wakatoka nje kushuhudia vita ile kali. Nolan baada ya kufika nje akakuta tayari buffalo ameshanyanyuka. Nolan akarusha ngumi nzito lakini buffalo akaikwepa na kurusha teke ambalo Nolan pia alilikwepa. Ngumi nzito ikarushwa na Nolan kwa Mara nyingine na kumkuta buffalo ya kichwa, lakini pia Nolan naye akapatwa teke Zito la tumbo kutoka kwa buffalo. Vita ile ilikuwa kali Sana kati ya buffalo na Nolan. Lakini mwisho wa siku ilikuwa ni lazima mshindi apatikane. Nolan alijikuta akiishiwa nguvu baada ya kupigana muda mrefu na buffalo na kujikuta akishindiliwa ngumi nzito mfululizo kwenye tumbo zisizopungua kumi Kisha akatandikwa moja nzito ya uso na kutupwa mbali na kupoteza fahamu kwa dakika kadhaa. Lakini wakina Dick pamoja na vijana wake waliona huyu jamaa kwa Jina la buffalo hafanyi poa, wakaamua kumsaidia Nolan. Kwa pamoja walianza tena kumshambulia buffalo. Lakini kwa bahati mbaya hawakuwa na uwezo wa kumpiga buffalo wakajikuta wakitandikwa tena kama watoto na buffalo. Mzee Joel alifurahi Sana na kuona Sasa hakuna panya yoyote wa kunisumbua. Lakini kidogo hivi akanyanyuka Nolan akiwa ametokwa na wazimu. "suti ya harusi nimeshaandaa pamoja na taratibu zingine zote inawezekanaje wewe kimtu mmoja uje na kuharibu mipango yangu inawezekanaje??" akajisemea Nolan akiwa tayari amekwisha nyanyuka. Buffalo alimwaangalia Nolan na kucheka kwa dharau, lakini Nolan awamu hii hataki kucheka na mtu anachotaka Sasa ni kuua mtu bila huruma. Nolan akatoka mbio na kuanza kumfuata buffalo kwa kasi nyingine ambayo haielezeki Kisha akaruka na kukunja miguu na kumgonga buffalo kwa magoti na kumtupa chini. Nolan hakutaka kumpiga buffalo akiwa chini akamsubiri anyanyuka. Buffalo aliponyanyuka Nolan akaruka tiktak na kumpata buffalo mateke ya uso na kumuweka buffalo chini kwa Mara nyingine. Nolan akamsubiri tena buffalo anyanyuke kwa Mara nyingine, na buffalo aliponyanyuka Nolan akateleza kwa magoti mpaka kwenye miguu ya buffalo na kuanza kumshindilia buffalo ngumi nzito nzito za tumbo zisizopungua ishirini, Kisha akanyanyuka haraka na kabla buffalo hajaenda chini Nolan akaamua kummaliza kabisa. Nolan aliruka na kutua shingoni mwa buffalo na kumshindilia ngumi zingine za kichwa na kumpasua kichwa hadharani huku mzee Joel pamoja na wakina Dick wakiwa wanashuhudia. Habari ya buffalo ikaishia pale pale. Mzee Joel aliamua kutoroka baada ya kuona mtu aliyekuwa akimtegemea ameshauwawa hivyo akajua kwa vyo vyote vile yeye pia atakuwa Katika wakati mgumu hivyo akaona njia rahisi ni kutoroka tu. Lakini kwenda kutoroka mzee Joel alidakwa na wakina Dick na kuanza kupewa kichapo cha maana. Mzee Joel alitandikwa akatandikwa mpaka Sasa Nolan akamwonea tena huruma baba yake, akawaamuru wakina Dick wamuache. "tumemuacha muheshimiwa Ila tunachotaka atupe pesa zetu au atupe Penina tuondoke nae." akaongea Dick kumwambia Nolan. "mnachoweza kupata ni pesa zenu lakini sio Penina, kwasababu siku chache zijazo Penina anafunga Harusi na kijana mmoja wanaependana kwa dhati." akaongea Nolan maneno hayo ambayo yalikuwa machungu masikioni mwa Dick. "ok nipeni pesa zangu niondoke maana tumepoteza Muda wetu bila faida yoyote." akaongea Dick kinyonge. Lakini hata hivyo mzee akadai hana pesa yoyote, pesa zote amekwishazitumia na zingine akadai walimuibia na hajui nani alimwibia. Nolan alicheka Sana kimoyo moyo kwasababu alijua yeye ndio alikuwa akimwibia baba yake pesa zile. Nolan akaamua kumtetea baba yake, akawaambia wakina Dick hakuna pesa yoyote watapata kwasababu walifanya ujinga kutoa pesa hizo wakati wakijua hawana uhakika wa kumpata Penina. Nolan aliwataka wakina Dick watoweke sehemu ile haraka iwezekanavyo kabla hajawaangamiza na wao. Dick pamoja na vijana wake walijikuta wakiondoka kinyonge huku wakiamini kabisa walifanya makosa makubwa Sana na hivyo wakaamua kuondoka na kurudi nchini mwao bila kinyongo chochote. Huku mzee Joel alipiga magoti na kutubu makosa yake kwa mtoto wake Nolan na kumuomba amsamehe. Yenyewe hata hivyo damu ni nzito kuliko maji, Nolan aliamua kumsamehe baba yake lakini kwa jinsi baba yake alivyompa mateso Nolan akaamua lazima amtandike ngumi moja ya maana kama njia ya kumsamehe. Nolan alimsogelea baba yake na kumuwekelea ngumi moja nzito ya uso na kumuweka baba yake chini, Kisha akaenda akamnyanyua na kumkumbatia na kumsamehe. Baada ya siku kadhaa ya Nolan kuweka mambo Sawa hatimaye Penina na Frank walirejea Tanzania na Kisha harusi yao ikafanyika bila tatizo Lolote huku ikihudhuriwa na watu wengi kupita maelezo. Mzee Joel pia alikuwepo kwenye harusi ile pamoja na mkewe huku wakifurahia harusi ya mtoto wao licha ya kwamba moyo ulikuwa ukimsuta mzee Joel. Kadhalika pia baba yake Frank pamoja na mama yake Frank pia walikuwepo kwenye harusi ile huku wakiwa wameketi kwenye Meza ya heshima kabisa. Nolan pia alikuwepo kwenye harusi ile na yeye ndio alikuwa msimamizi wa kila kitu kilichokuwa kikiendelea Katika harusi ile. Harusi ilikuwa nzuri na yenye kuvutia na kila mtu alifurahishwa nayo. Hatimaye harusi ilimalizika salama na maisha yakaanza rasmi Sasa kati ya Frank na Penina wakawa Sasa ni baba na mama. Lakini pia Frank na Penina waligeuka kuwa matajiri wakubwa kutokana na zawadi mbali mbali walizokabidhiwa Katika harusi yao. Hivyo pia waliweza kuwafanya Wazazi wao waishi maisha mazuri na kusahau ya nyuma yaliyopita. Lakini heshima kubwa ilienda kwa Nolan kwasababu bila yeye wasingefika hapo walipo. Na hata walipofanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume wakaamua kumuita Nolan kumpa heshima kaka yake Penina na shemeji yake Frank. Frank na Penina walifanikiwa kupata mtoto wa pili naye pia alikuwa ni wa kiume wakaamua eti kumuita VAN B na maisha yakaendelea. **************MWISHO ************** mkumbuke nilisema hii story ni zawadi ya xmas na mwaka mpya haikuwa Katika mipango yangu. Hivyo nawashukuru wote mliokuwa pamoja Nami kwa kulike kucoment pamoja na kushare. Mwisho niwaambie tu kuna story nyingine iko jikoni Mungu akijaalia itaanza kuruka mwezi wa pili. Who killed my father "nani alimuua baba yangu" ndio Jina la story mpya inayokuja. Ukiniita VAN BOY utakuwa hujakosea hata kidogo. Nawapenda Sana. ... Read More
SHINDU LA KIHAYA-11 ,,,ngo ngo ngo,,,mlango ulibishwa hodi ambapo Hassan haraka alitoka chumbani huku dudu lake likiwa limesimama ndani ya pensi nyepesi aliyoivaa,aliapa kwamba mama huyo akiingia tu ndani amekwisha,ndani ya penzi hiyo nyepesi hakuvaa kitu chochote,basi alichukua kopo la vibanio na kuliweka mezani,kisha yeye akajilaza kwenye kochi akiwa kifua wazi,hakwenda kufungua mlango kwavile ulikuwa haujafungwa na alijilaza makusudi kwani kuna wanawake wakiona muundo mkubwa wa dudu huchanganyikiwa zaidi kama mabwana zao wanadudu ndogo ,,,karibu,,,aliitikia Hassan kwa sauti ya kuigiza ili aonekane alikuwa amelala. Kitasa cha mlango kilizungushwa ambapo mama wa watu kwa kuhakikisha alipiga tena ile hodi ya kizushi ,,,hodi mpaka ndani jirani,,,alisema hivyo ambapo Hassan hakuitikia alijifanya yuko katika usingizi mzito sana,wala hata macho hakufungua,la alimsoma mama huyo kila atakachokifanya,kwanza mama huyo alisita kuchukua kopo la vibanio,kilichomfanya asite ni mlalo aliolala Hassan. Yalikuwa ni makusudi kabisa,tumezoea kuona wanawake wanaowatega wanaume,lakini hiyo ilikuwa kinyume chake,mwanaume anayemtega mwanamke.Hassan alijilaza kihasara ambapo dudu lake lilichungulia kwenye paja,hata muundo wa urefu wake ulionekana dhahri,nywele za kifuani ambazo wengi huziita bustani ya mapenzi zilionekana vyema kabisa,basi mama wa watu alipoteza kama dakika kuangalia dudu la Hassan kisha akachukua vibanio na kuondoka taratibu. Hassan alihesabu kama ni hatua ya mafanikio,alichokifanya alielekea kwenye dirisha lake na kuendelea kumchungulia shughuli zake,alionekana ni mtu mwenye mawazo tofauti na mwanzoni,kwani kuna muda aliinamia kamba ya nguo huku akitabasamu mwenyewe,Hassan alijipa maksi pengine anawazwa yeye.Ila mahali alipokuja kuonyesha waziwazi kuwa ana uhitaji wa dudu,alijiingiza mkono na kujiweka vizuri kitumbua chake ambapo mdomo wake wa chini aliuuma kidogo na meno,hapo Hassan akawa anajua tu mama huyo atarudi Alchotegemea Hassan mama huyo atarudi hata baada ya nguo kukauka kwasababu alitumia vibanio vyote.Ila mambo hayakuwa hivyo,akiwa ametulia sebuleni analiangalia dudu lake lilivyosimama na kuliambia litulie kwanza.Sauti ya yule mama tena ilibisha hodi,ila hodi ya safari hii haikuwa kubwa sana,ilibishwa kwa sauti ndogo ambayo aliisikia Hassan mwenyewe Hassan alikwenda mlangoni na kufungua mlango,kisha uso kwa uso alikutana na huyo mama, ,,,nimerudisha kopo la vibanio jirani,,,alisema hivyo mama huyo ambaye jina lake halisi aliitwa Agnesi ,,,sasa baadaye utawekea kwenye nini lakini jirani,,,alongea kwa sauti ya kichokozi Hassan ambapo ilikuwa ni sababu tosha kumwaminisha Hassan kuwa mama huyo hakufuata kurudisha kweli kopo ,,,ooh nishasahau,ona sasa uzee huu,,,alipojibu hivyo akataka kuondoka kurudi Hassan alimshika mkono na kumvuta kidogo,mama watu alilegea ile yenyewe kabisa mpaka jicho,ila hapo hakuvutwa ndani ,,,tufahamiane jirani yangu,,,aliposema hivyo Hassan,mama huyo jiran akawa anataka kujitambulishia hapo hapo nje,ila Hassan alimkata kauli ,,,jamani jirani tunaongelea nje kama hatuna sebule?,,, ,,,aah si unajua bado nafua jirani,,,alijitetea mama huyo Hassan hakuelewa kauli hiyo akawa anamvuta kwa ndani huku mama huyo akigoma ile uwongo na kweli ,,,baadaye bwana jirani ntakuja tutapiga stori,,,ikawa vuta nikuvute hapo mlangoni ambapo ambapo dudu la Hassan lilizidi kunyanyua pensi na kutuna hasa,mpaka ikawa sio kificho tena. Mchezo wa vuta nikuvute Hassan alishinda,mama huyo jirani aliingia ndani ila alikataa kukaa alisimama kwnye ukuta akimwomba Hassan kuwa aje baadaye ila sio muda huo ,,,mume wangu hachelewi kurudi Hassan,nitakuja baadaye,,,aliongea hivyo mama huyo huku akiwa ameshaelewa somo Dudu la Hassan lilisimama vibaya mno,yaani ikawa hata ile pensi haizuii kitu,mama huyo alivalia khanga mbili,moja aliipitisha juu ya matiti,ya pili aliifungia kiunoni,basi Hassan alivua Pensi na kubakiza zinga la dudu likinesanesa,eti huyo mama aliziba macho huku akijifanya analia kama mtoto ,,,Hassan bwana mambo gani hayo,,,alisema hivyo kwa sauti ya chini ambapo Hassan alimsogelea mpaka kwa karibu dudu ndilo lilianza kumgusa kitovuni,alimkazia macho hasa ,,,niangalie,,,alisema Hassan,kwa uwoga jirani alimwangalia ,,,unataka kuondoka?,,, ,,,ndio,,,haraka mama huyo jiran aliitikia ,,,piga magoti halafu utaenda,,,mama huyo alishangaashangaa huku akipiga magoti taratibu,hakuziba tena uso,sasa kwa jinsi alivyopiga magoti,akawa usawa wa lile dudu kabisa,yaani mdomo wake ulielekea kabisa kwenye dudu ,,,nadhani unajua cha kufanya,,,aliongea Hassan ,,,mi nifanyaje sasa,,,alijbu kwa kudeka mama huyo ,,,panua mdomo,,,yaani mama huyo alipopanua tu mdomo,Hassan alikingiza kichwa cha dudu lake mdomoni mwa jirani huyo,cha kushangaza hakukutana na meno,akajua tu mama huyo alijiandaa kulinyonya.Kuanzia hapo ni kama uwanja ulifunguliwa ,,,nyonya basi jamani,,,aliongea kwa mapozi Hassan ambapo mama huyo alilifumba tu bila kufanya chochote,ni yeye tu Hassan alikuwa akifanya kama analipeleka mbele na kurudisha nyuma. Alipoona mama huyo hatoi ushirikiano na anataka kusuguliwa alimwinua kisha akaelekea mlangoni kwa hatua za taratibu na kufunga mlango,ile kugeuka kurudi,alishangaa mwenyewe,mama huyo alikuwa amejibakiza na chupi tu,khanga zote alizitoa,Hassan alimfuata na kumvutia karibu,kile kitendo cha kuvutwa mtoto alitoa kicheko fulani cha kutia nyege,basi taratibu mdomo ikaanza kugombaniana ndimi zao,mkono wa huyo mama ulishuka mpaka kwenye kitobo cha dudu,palikuwa na ute fulani ambao ulishaanza kutoka,basia liutumia ule kusugua kile kitobo pamoja na ile sehemu ya chini ya kitobo,e bwana Hassan hakutegemea huo utamu aliouhisi,,,, SHINDI LA KIHAYA-12 Uimara wa dudu kusimama uliongezeka ambapo Hassan alijisikia raha hasa,raha ya dudu ipo kichwani bwana,basi naye kwa uchokozi wa kimahaba Hassan alishusha mkono wake mpaka chini kabisa kisha akawa anapapasa kitumbua kwenye mashavu yake mpaka pale kati kwenye utamu japo hakupakazania,yaani mkono tu kwa nje mama wa watu alishalowa,alikuwa na hamu alipoliona tu dudu la Hassan maana akiangalia mumewe hana mzigo mzito kama huo. Huku nje sasa,wamama wenzake walvyo wambea walianza kujiuliza huku wakihisi kinachoendelea kwa Hassan,walisemezana ,,,angekuwa amesharudi,,, ,,,Hassan atakuwa anamsugua bila shaka,,, ,,,mmh sio rahisi,yule mama mpole vile,,! ,,,upole mdomoni kwani kitumbua kina upole?,,,walicheka wote kwa pamoja na kugonganisha viganja vya mikono yao ,,,ila jamaa naelekea yuko vizuri,,, ,,,ndio kwasababu yule hakuwahi kuongea na Hassan hata siku moja ila leo anasuguliwa,,, ,,,mapenzi bwana,sa yule mama anakosa nini kwa jamaa yake?,,, ,,,ndio hivyo,tuyaache kama yalivyo,,,waliishia hapo na kuendelea na shughuli zao maana waliona hata wakifuatilia sana hayo ni maisha ya mtu anayoamua kuishi Hassan alishamtoa mama huyo chupi na kumbakiza kama alivyozaliwa,yaani kitumbua chake kilituna hasa kwa nyege,matako yake yaliyolaini ndiyo yaliyomvutia zaidi Hassan,hapo walikuwa wameshapelekana kitandani,wote wawili walikuwa uchi kabisa,walianza na mtindo wa kiubavu. Mama huyo alionekana kulitolea macho dudu la Hassan kama mtu anayelitamani na kulihofia kwa wakati mmoja.Kweli mtoto alifundwa mapenzi,unajua kumjua mwanamke anayejua kufanya mapenzi ni rahisi sana,ukimweka mtindo wowote,we angalia ni jitihada gani amezifanya kuhakikisha utapata utamu,ila kama ukimweka ndio hivyo hivyo hata aichangamkii staili huyo namfananisha na mtoto wa miaka sita. Mama Jirani alivyolala kiubavu,yaani kile kiuno na mgongo sijui alijipindaje mpakayale matobo yake mawili yakawa yanaonekana wala sio ya kuyatafuta,na alivyo na matako makubwa huo mtindo ulimpendeza sana,miguu yake aliibana vyema kabisa,raha nyingine ya mtindo huu,hata kama mwanamke atakuwa na kitumbua kikubwa,kwa jinsi mama huyo alivyokaa sio rahisi mwanaume kujua kwani kitakuwa kimebana,vilevile ni njia nzuri ya mwanamke kuwahi kukojoa kwani mwanamke akiwa anaguswa na mboo kwenye kila kona ya kitumbua ndivyo anavyowahi kukojoa. Hassan hakupata kazi yeyote,alimsogelea mama huyo akitokea kwa nyuma yake,tayari kitumbua kilikuwa kimelowa hasa,alilipenyeza dudu lake taratibu ambapo kilizama kichwa chote,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssssssssss aaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaah,,,,miguno ya kimahaba aliitoa Mama huyo kwani mzigo wa Hassan haukuwa wa kitoto,,,taratibu alilisukuma mpaka likazama lote,kweli kitumbua kilikuwa kimebana Hassan aliona hatafaidi kama akilala kiubavu kama mama huyo,kabla hajaanza kupampu dudu likiwa ndani,aliinua na kupiga magoti ambapo aliishika miguu ya Mama huyo ile sehemu ya nyuma ya magoti kisha akaifanya kama anaikutanisha na uso wake,hapo mama jirani alihisi maumivu kidogo,Hassan ndio akaanza kupampu huku akiwa amembana hasa mama wa watu,alianza kwa kasi ndogo sana kama anasindikiza harusi,mama wa watu alichemka hasa kwa utamu ,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooosssssssssssssss,,,,mmmmh,,,alilalamika kimahaba mama huyo akishindwa hata kuchezesha kiungo kimoja zaidi ya kichwa tu,mwanaume akaanza kuchanganya kidogo mwendo,hapo alimlalia na kumnyonya masikio,yaani kutekenywa masikioni na ncha ya ulimi,huku kitumbuani kusuguliwa vyema,mama wa watu alihisi utamu wa ajabu,,,aliguna kwa sauti mpaka Hassan aliogopa,ila wale wamama majirani walisikia kwa mbali ,,,mwanamke anapewa haki yake,,, ,,,mmh sio kwa kilio hicho,,, ,,,usikate jamaa ana mzigo wa hatari,,, ,,,hata kama,atakuwa alikuwa na nyege sana,,, ,,,mmh mambo ya kitanda hayo,,,walisemezana hivyo majirani hao kisha kila mmoja aliendelea na shughuli yake Huku kwa mama jirani anayesuguliwa,aisee alishakojoa bao mbili kwa msuguo wa maana aliopewa,yaani alikuwa akilia kabisa machozi,utadhani alichapwa bakora za nguvu kumbe utamu tu,Hassan alipomwaga aliunganisha na mzunguko wa pili,kibaya zaidi mtindo hakubadilisha,kwahiyo mama wa watu alichoka halafu Hassan ndio alikuwa anatafuta bao la pili. ,,,aaaaaaaaaashiiiiiiiii,,,tubadili bwanaaaaa,,,,aaaaaaaaaaah,,,tubadili stailiiiiiiii,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,unaiumiza jamaniiiiiiiiiiiiii mamaa yanguuuuuuuuuuuu kitumbua changuuuuuuuuu eeeuwiiiiiiiiiiiiiii uuushuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,,,,alilalamika kimahaba ambapo Hassan kama aliweka pamba masikioni hakusikia lolote kumbe ndio alikuwa anakaribia kumwaga,ujue mwanaume akiwa anakaribia kumwaga hata umfanye nini hawezi kubanduka kwenye kitumbua,Hassan alimwaga bao lake na kuganda hapo juu ya mama huyo aliyechoka hasa ,,,we kweli kidume,sijawahi kusikia raha hivi jamani,,,alisifia mama huyo ,,,mi pia sijawahi kupata mwanamke mtamu kama wewe,mtamu sana,,,Hassan alidanganya ,,,mi ntampigia simu mume wangu nimwambie nimepata dharula ya ghafla halafu tubaki wote bwana,,,tayari mama wa watu alishapagawa na mautamu ya Hassan,,,,INAENDELEA SEHEMU YA 13 SHINDU LA KIHAYA-13 ,,,mmmh hawezi kujua jamani,,?,Hassan alihoji kizushi ,,,hawezi,ananiamini sana,,, ,,,kweli eeh?,basi fanya hivyo,nipe dakika kadhaa,,,basi mama huyo alipoongea hivyo alivaa nguo zake kisha akarudi chumbani kwake kwa kujiiba,alioga vyema na kuyatengeneza mazingira aliyoyaahidi,mumewe alipokubaliana na hiyo safari itakayomfanya asiwepo usiku huo,mwanamke alifurahi sana na kutoa maneno matamu kwa mume wake. Sasa hapo ndio uone utofauti,niamini kitu kimoja,sio kwamba Hassan alimpagawisha Mama Jirani kutokana na ukubwa wa dudu lake la hasha!,ila ni kwa utundu wa kucheza na kitumbua,mumewe alikuwa na dudu la wastani ambalo laiti kama angelitumia vyema asingemjengea mkewe udhaifu wa kutamani madudu mengine.Pia mwanamke hutakiwi kutumia vibaya kiasi unachaminiwa na mpenzi wako. Tukirudi upande wa Lisa,siku hiyo akiwa ametoka na mama yake kwenda kupata chakula cha usiku.E bwana kwenye hiyo hotel waliyokwenda waafrika unawahesabu,wazungu walikuwa wengi zaidi,palipikwa vyakula vya kila aina kutokana na nchi.Vingine ni oda maalumu vingine vya kuuza. Waliagiza chakula na kuanza kula,vinywaji vilifuata ambapo walifurahi sana,mwanga haukuwa mkali sana,ulikuwa wa wastani uliowawezesha kuhisi kama wako sehemu ya tofauti sana.Akiwa katika meza hiyo na mama yake,alimwona mzee fulani ambaye alinukia pesa ya maana,alikuwa na uwalaza mkubwa kama mkapa. Sasa ndani ya hotel hiyo kuna wanamuziki rasmi huwa wanatumbuiza,wanaimba nyimbo kuwaburudisha wateja,na kuna muda hupigwa nyimbo za watu wengine kisha wateja hujumuika pamoja na kucheza kwenye sehemu ya wazi kwenye hoteli hiyo.Muziki ulianza muda tu ila watu walipoanza kunyanyuka kuelekea kati,Skola naye alinyanyuka,kwa bahati mbaya au nzuri akapata mzungu wa kucheza naye,wakagandana hasa,mzungu alichanganyikiwa na umbo la Skola,alimwona mpya kweli. Huku Lisa aliletewa ujumbe na mhudumu kuwa kuna mzee anamhitaji,alipoonyeshwa kwa kidole,mzee alinyoosha mkono kumpungia ili aonekane.Mhudumu alipoondoka,naye huyo mzee kwenye kiti chake alinyanyuka na kupanda ghorofa ya juu,alimpa ishara ya mkono Lisa kuwa waonane huko juu. Taratibu mzee alipanda ngazi kuelekea juu huku Lisa akimwangalia anavyopanda ngazi hizo,kwa macho ya wizi,Lisa alimwangalia mama yake na kumwona akiwa ameshikiliwa vibaya na mzungu,tena anabambiwa hasa,alitabasamu kwa hali hiyo kisha akajiweka sawa na kuanza kumfuata yule mzee. Alipanda ngazi taratibu kuelekea huko juu ambapo siku hiyo alivalia gauni fulani sare na mama yake lililokuwa na mpasuo mkubwa sana mbele,pia wepesi wake ulifanya Chuchu zake kuchoreka vyema.Alivyotembea tu Lisa ilikuwa n tabu na yale matako mazuri aliyobarikiwa mtoto wa kike,kweli uzuri unaweza kuwa kipaji na wenywe maana Lisa hata akikutukana vigumu kumrudishia aisee maana hiyo sura na umbo vilivutia sana.Ndo wasichana kama hawa wakiwa wapelelezi kazi yao inakuwaga rahisi sana maana hawatumii nguvu kukukamatisha kwa mapolisi. Huko juu ya ghorofa alipotokeza tu Lisa,mandhari ya huko alipenda,mwanga hafifu ila tofauti na chini,huku juu hakukuzibwa kwahiyo mtu uliweza kuona juu angani.Mzee yule alikuwa amebadili mpaka mavazi,kutoka kuvaa suti mpaka bukta na vesti,mkononi mwake alishika glasi mbili za vinywaji,Lisa bila ya uwoga alimsogelea mpaka karibu,hakukuwa na mtu hata mmoja,bado Lisa hakujua hata uko juu hutumika kufanyaje. ,,,karibu sana mtoto mzuri,,,aliongea mzee na kumpa glasi ya kinywaji ,,,ahsante,nimefuata nini huku,,?,alipokea glasi na kuhoji Kuhusu kinywaji hakikumpa shaka kwani kilifanana na kile alichokuwa akinywa kule chini ,,,aah nahitaji kuwa nawe kwa muda mfupi sana mtoto mzuri Unasemaje,,? ,,,jibu langu linategemea na mfuko wako,,, ,,,basi usijali,,,mzee aliandaa laki mbili,alizito ana kumkabidhi,Lisa aliziangalia kwa dharau kisha hakuongea naye,aligeuka na kuanza kurudi.Mzee kwa kupagawa alimfuata na kumshika mkono akimrudisha tena ,,,yaani umenidharau hivyo? Mi ni wa laki mbili? Kumbe hata hujui vitu vizuri,,,aliongea kwa kujifanya amekasirika Lisa ,,,sawa,hakuna shaka ni kuelewana tu,njoo mama eeh,,,alibembeleza mzee wa watu kisha Lisa alimsogelea mpaka kwa karibu,alibana midomo yake hukumtazama kwa jicho la huba lililommaliza mzee huyo ,,,sikiliza,nitakufanyia milioni moja,ni kawasababu nimekupenda na nahisi una aaaaaah nzuriiii,,,hakutaja hicho kizuri bali alionyesha kwa kushika na mkono kabisa,mzee aliposhtuliwa dudu lake alikubali fasta,kumbe pesa alkuwa nazo,aliingia kwenye chumba fulani kilichokuwa kizuri hasa,kisha akatoka na pesa nyingi akimkabidhi Lisa,Lisa alipopokea tu alianza kumpa utamu mzee Alilivua lile gauni lake na kubakiwa na chupi tu,daaah mtoto aliumbwa jamani,huku juu kifuani hakuvaa chochote kwani Chuchu zake zilijiweza.Alimsogelea mzee huyo aliyekaa kwenye kiti cha kulala,alianza kumnyonya denda,alimvua ile vesti kisha akaanza kumnyonya Chuchu,mzee dudu lilisimama,mtoto taratibu aliivua bukta hivyo na kukutana na dudu la maana,halkuwa limesimama vyema hivyo akaanza kazi,alishusha mdomo wake chini kabisa kwenye kende na kuzinyonya,,,,,aaaaaaaaaaah,,,shiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika mzee ambapo ulimi wa Lisa ulihamia kwenye dudu,ulifyonza kile kichwa cha dudu hasa kile kitobo cha mkojo,,,mzee alitamani kupaa,.,,nyege zilipomkolea mzee huyo,Lisa alimjita kwa juu ili ampe mambo ya nayoendana na pesa yake,alimgeuzia mgongo kisha akaivua chupi huku akiinama kumringishia tamu,vilevile alijirudisha nyuma ili alikalia dudu la mzee huyo,,,ITAENDELEA KESHO ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: