Home → simulizi
→ Riwaya: SARAI
Mtunzi:YOZZ PIANO MAYA
CONTACT: 0656292416
SEHEMU YA SABA(07)
***Ilipoishia***
wakati huohuo alionekana sarai akiwa katika mlima mmoja.. ameketi juu ya jiwe huku akipuliza filimbi yake iliyokuwa imetengenezwa kwa mfupa wa binadamu....kisha akasimama... mara ghafla akatoweka kimiujiza...
***Endelea***
akatokomea kusikojulikana....
upamde mwingine walioneka wale wateja waliopeleka viatu vyao kwa ajili ya kusafishwa..walisubiri mpaka wakachoka walianza kuondika mmoja mmoja...
***********
ule upande mwingine alionekana baba sarai akiwa sero mara ghafla aliona mlango ukifunguliwa bila kumuona mtu anaye ufungua baba sarai hakujali alihisu huenda mlango haukufungwa kwa ufunguo......punde alimuona askari akimfuata na kuondoka nae mpaka nje kabisa ya kituo cha polisi..na kumwambia aondoke zake...baba sarai alihisi askari huyo anamtania....akaanza kuzipiga hatua alipo ona askari yule hamjali..alitimua mbio....baba sarai alipokimbia hatua mbili aligeuka nyuma hakumuona askari yule.....baba sadai hakujali aliendelea kutimua mbio...alikimbia mpaka nyumbani kwake......alipofika alistahajabu kukuta watu wawili wame kaa nje ya mlango wake..alistuka sana alipotazama kwa makini aligundua kuwa ni meneja na muhudumu wa baa nyingine miingoni mwa baa alizokopa pombe... baba sarai alikatisha kona haraka akaingia kwenye uchochoro......akazipiga hatua za haraka haraka huku sura na macho yake yake yakionekana kuwa na wasiwasi mkubwa.....akiwa njiani ghafla alimuona yule mtu aliyeleta viatu visafishwe baba sarai alichanganyikiwa akageuza shingo yake na kuangalia pembeni huku akionekana kama anashangaa kutazama kitu fulani....wakapishana...yule mtu alitaka kumuuliza lakini alisita..akadhani huenda kamfananisha na yule fundi viatu.....baba sarai aliendelea kuzipiga hatua alipokimaliza kichochoro mara ghafla alimuona yule mmiliki wa baa aliyempeleka kituo cha polisi. na kumfungulia mashtaka ya madai...
baba sarai alizidi kuchanganyikiwa....akajiuliza moyoni ""ninamkosi gani mimi...ee mungu nimekukosea nini mbona nakutana na mitihani na misukosuko kila siku!!!!!!ghafla yule mmiliki wa baa alikutana na mtu aliyefahamiananae
wakati huo sarai anamfatilia kwa nyuma lakini baba sarai hakuweza kumuona sarai kwa macho ya kawaida......baba sarai aliendelea kuzioiga hatua bila kujua ni wapi anaelekea......alijikuta katokezea ule mtaa aliokuwa anafanyia kazi ya kushona viatu alipotahamaki alistuka kuina yuoo eneo hilo akataka kukimbia lakini alipotazama ule upande ilipokuwa ofisi yake ya kushona viatu...hakuwaona wale watu waliokuwepo wakimsubiri...akaamua kuzipiga hatua za harakaharaka kuondoka eneo hilo na kutokomea kusikojulikana....
****************
ule upande mwinginealionekana magesa akiwa hospital ghafla simu ya mtalaka wake ikaita...akazipiga hatuakuelekea nje magesa alipojaribu kumuita alishindwa sauti ilikuwa chini sana kutokana na maumivu makaliupande wa ubavuni.....mtaraka wake alipotoka nje kuingea na simu hakurudi tena wodini.....hivyo aliondoka hata bila kuonana na mtalaka wake magesa....magesa alianza kulia kwa uchungu huku akimuomba mungu"""ee mungu nina mkosi gani mimi...
magesa alilia sana.....kwa sababu hakuwa na msaada roho ilimuuma sana alipokuwa akiona wagonjwa wenzake waliolazwa wodi moja....wakikitembelewa na ndugu na jamaa zao...isipokuwa yeye......
*******BAADA YA MWEZI MMOJA KUPITA******
Magesa alipata nafuu akaruhusiwa kutoka hospitali....yule mtu aliyemgonga na gari alikuwa akimuhudumia magesa kipindi hicho chote pamoja na gharama za matibabu...alikuja na
baiskeli ya walemavu na kumkabidhi magesa kisha akamuingiza ndani ya gari na kumpeleka nyumbani kwake...wakiwa njiani magesa alilia sana kila alipokuwa akiitazama miguu yake....alilia mpaka akamkufuru Mungu kwa kusema"" kwa nini umeniacha hai ni bora ungechukua roho yangu kuliko haya mateso ninayota......
**********
upande mwingine alionekana baba sarai akiwaza sana nini afanye ili heshma yake irudi kama zamani....aliamua kuuza nyumba yake..ili aondike na kuhama jiji la dar es salaam aende mikoani akanunue mashamba aanze kulima mazao ya chakula....
ITAENDELEA......
usikose kufatilia simulizi hii ya kusisimua.
_sehemu ya nane(08)
Jumatatu tutakutana hapa hapa endelea kuinjoy_
ASANTENI.
Riwaya: SARAI Mtunzi:YOZZ PIANO MAYA CONTACT: 0656292416 SEHEMU YA SABA(07) ***Ilipoishia*** wakati huohuo alionekana sarai akiwa katika mlima mmoja.. ameketi juu ya jiwe huku akipuliza filimbi yake iliyokuwa imetengenezwa kwa mfupa wa binadamu....kisha akasimama... mara ghafla akatoweka kimiujiza... ***Endelea*** akatokomea kusikojulikana.... upamde mwingine walioneka wale wateja waliopeleka viatu vyao kwa ajili ya kusafishwa..walisubiri mpaka wakachoka walianza kuondika mmoja mmoja... *********** ule upande mwingine alionekana baba sarai akiwa sero mara ghafla aliona mlango ukifunguliwa bila kumuona mtu anaye ufungua baba sarai hakujali alihisu huenda mlango haukufungwa kwa ufunguo......punde alimuona askari akimfuata na kuondoka nae mpaka nje kabisa ya kituo cha polisi..na kumwambia aondoke zake...baba sarai alihisi askari huyo anamtania....akaanza kuzipiga hatua alipo ona askari yule hamjali..alitimua mbio....baba sarai alipokimbia hatua mbili aligeuka nyuma hakumuona askari yule.....baba sadai hakujali aliendelea kutimua mbio...alikimbia mpaka nyumbani kwake......alipofika alistahajabu kukuta watu wawili wame kaa nje ya mlango wake..alistuka sana alipotazama kwa makini aligundua kuwa ni meneja na muhudumu wa baa nyingine miingoni mwa baa alizokopa pombe... baba sarai alikatisha kona haraka akaingia kwenye uchochoro......akazipiga hatua za haraka haraka huku sura na macho yake yake yakionekana kuwa na wasiwasi mkubwa.....akiwa njiani ghafla alimuona yule mtu aliyeleta viatu visafishwe baba sarai alichanganyikiwa akageuza shingo yake na kuangalia pembeni huku akionekana kama anashangaa kutazama kitu fulani....wakapishana...yule mtu alitaka kumuuliza lakini alisita..akadhani huenda kamfananisha na yule fundi viatu.....baba sarai aliendelea kuzipiga hatua alipokimaliza kichochoro mara ghafla alimuona yule mmiliki wa baa aliyempeleka kituo cha polisi. na kumfungulia mashtaka ya madai... baba sarai alizidi kuchanganyikiwa....akajiuliza moyoni ""ninamkosi gani mimi...ee mungu nimekukosea nini mbona nakutana na mitihani na misukosuko kila siku!!!!!!ghafla yule mmiliki wa baa alikutana na mtu aliyefahamiananae wakati huo sarai anamfatilia kwa nyuma lakini baba sarai hakuweza kumuona sarai kwa macho ya kawaida......baba sarai aliendelea kuzioiga hatua bila kujua ni wapi anaelekea......alijikuta katokezea ule mtaa aliokuwa anafanyia kazi ya kushona viatu alipotahamaki alistuka kuina yuoo eneo hilo akataka kukimbia lakini alipotazama ule upande ilipokuwa ofisi yake ya kushona viatu...hakuwaona wale watu waliokuwepo wakimsubiri...akaamua kuzipiga hatua za harakaharaka kuondoka eneo hilo na kutokomea kusikojulikana.... **************** ule upande mwinginealionekana magesa akiwa hospital ghafla simu ya mtalaka wake ikaita...akazipiga hatuakuelekea nje magesa alipojaribu kumuita alishindwa sauti ilikuwa chini sana kutokana na maumivu makaliupande wa ubavuni.....mtaraka wake alipotoka nje kuingea na simu hakurudi tena wodini.....hivyo aliondoka hata bila kuonana na mtalaka wake magesa....magesa alianza kulia kwa uchungu huku akimuomba mungu"""ee mungu nina mkosi gani mimi... magesa alilia sana.....kwa sababu hakuwa na msaada roho ilimuuma sana alipokuwa akiona wagonjwa wenzake waliolazwa wodi moja....wakikitembelewa na ndugu na jamaa zao...isipokuwa yeye...... *******BAADA YA MWEZI MMOJA KUPITA****** Magesa alipata nafuu akaruhusiwa kutoka hospitali....yule mtu aliyemgonga na gari alikuwa akimuhudumia magesa kipindi hicho chote pamoja na gharama za matibabu...alikuja na baiskeli ya walemavu na kumkabidhi magesa kisha akamuingiza ndani ya gari na kumpeleka nyumbani kwake...wakiwa njiani magesa alilia sana kila alipokuwa akiitazama miguu yake....alilia mpaka akamkufuru Mungu kwa kusema"" kwa nini umeniacha hai ni bora ungechukua roho yangu kuliko haya mateso ninayota...... ********** upande mwingine alionekana baba sarai akiwaza sana nini afanye ili heshma yake irudi kama zamani....aliamua kuuza nyumba yake..ili aondike na kuhama jiji la dar es salaam aende mikoani akanunue mashamba aanze kulima mazao ya chakula.... ITAENDELEA...... usikose kufatilia simulizi hii ya kusisimua. _sehemu ya nane(08) Jumatatu tutakutana hapa hapa endelea kuinjoy_ ASANTENI.
Artikel Terkait
*MWAGIA HUMO HUMO EP 02* Sehemu Ya Pili (2) Lakini pamoja na yote sikuwa na sifa ya kumteka mwanaume kimapenzi zaidi ya kunionja na kuniacha. Wasiwasi wangu huenda mwili wangu hauna asali itakayo mfanya mwanaume yoyote atakaye nionja anirudie mara mbili. Basi baada ya kupokea aligeuka na kuondoka kurudi ofisini kwangu. Nilipofika mlangoni nilikumbuka kitu nilitaka kumuuliza bosi, niligeuka ili nimuulize kitu. Niligeuka ghafla na kukutanisha macho na bosi ambaye kumbe nyuma yangu alikuwa akinifuatia. Maskini kaka wa watu alishtuka mpaka akadondoka chini, nilijikuta namuonea huruma. Nilirudi hadi chini alipokuwa amekaa bila kuonesha kujinyanyua, mwili wake haukuwa mkubwa sana nilimshika mkono ili kumnyanyua. “Hapana Manka nitanyanyuka mwenyewe.” “Hapana bosi naomba unipe mkono,” nilimwambia kwa sauti ya huruma yenye kubembeleza. Alinipa mkono na kumnyanyua, baada ya kunyanyuka nilitoa kitambaa changu na kumfuta sehemu yenye vumbi. “Tosha Manka sehemu zingine nitafuta mimi.” “Hapana bosi ni wajibu wangu kufanya hili.” Aliniacha nimfute kisha nilimtengenezea kiti na kumuomba akae. “Unaweza kukaa.” Bila kuongeza neno alikaa kwenye kiti chake huku uso wake ukionesha aibu imemtawala. “Pole bosi,” nilimwambia kwa sauti ya chini. “Asante.” “Hukuumia?” “Nipo sawa.” “Pole sana.” “Asante Manka, nipo sawa kaendelee na kazi.” Niligeuka na kuondoka hata nilichotaka kumuuliza nilikiacha na kupanga kumuuliza kupitia simu yangu ya mezani. Nilitoka hadi ofisini kwangu kuendelea na kazi, kabla ya kuanza kazi nilijikuta nikijiuliza kilichomdondosha bosi wangu ni nini. Wasiwasi ulikuwa uleule bosi kapagawa na mimi, kitu ambacho sikutaka kinitokee kwa muda ule kwani ilikuwa mapema sana. Niliamini kabisa bosi kwa mtazamo wa nje alikuwa amepata bonge la mwanamke, lakini ndani sikuwa na sifa zile za kukaa na mwanaume kwa muda mrefu. Niliyapuuza na kuendelea na kazi, nilikumbuka kuna kazi nilitaka kupata maelekezo kwa bosi. Nilimnyanyua simu kumpigia baada ya kuita kwa muda ilipokelewa. “Haloo bosi.” “Ooh..Aah…Nani Manka,” maskini bosi wangu alionesha kiwewe bado hakijamtoka. “Bosi mbona hivyo?” “Aah, kawaida tu, unasemaje?” “Ok, bosi nilikuwa nauliza hii kazi ya malipo kuna maandishi ya mkono nayo niyaandike?” “Hakuna tatizo, yaandike kama ilivyoandikwa.” Nilikata simu na kuendelea ka kazi yangu kama kawaida, baada ya muda nikiwa bize simu ya mezani iliita, nilinyanyua na kupokea. “Haloo bosi.” “Ndiyo Manka jiandae tukapate lunch.” “Nashukuru bosi.” Baada ya kukata simu, niliangalia saa kubwa ya ukutani iliyokuwa mbele yangu, ilionesha ni saa saba kasoro kumi mchana. Nilimalizia kazi yangu ili nipate muda wa kwenda kula, nikiwa bado nimeinama nikirekebisha tatizo la kisarufi nilishtuliwa na sauti ya bosi. “Manka tunaweza kwenda.” “Hakuna tatizo bosi, namalizia kurekebisha sarufi.” “Utamalizia tukirudi.” Nilisave kisha nilizima computer na kunyanyuka, nilijitengeneza vizuri nguo niliyovaa. Kwa chati nilimuona bosi wangu koo likimcheza kama mtu mwenye kiu kikali. Baada ya kuhakikisha nipo sawa tulitoka hadi kwenye gari lake kisha tulikwenda kwenye moja ya hoteli ya kifahari ambayo ilinikumbusha mbali enzi nipo kwenye ndoa yangu. Tulipofika Mateja alionesha kutojiamini sana kwangu kitu ambacho sikuamini mwanaume kama yeye kuwa katika hali ile. Sikuwa na sifa kubwa zaidi ya mwanamke aliyepoteza matumaini ya kupata hadhi mbele ya mwanaume. Niliamini kaniona kwa nje hanijui ndani nilivyo ndio maana ananipapatikia. Nilijua akikipata anachokitafuta kwangu pengine ndiyo siku ya kunifukuza kazi, lakini sikuwa na jinsi kila mwanaume mwenye pesa aliamini mwanamke sahihi wa kukaa naye ni mimi. Baada ya kuketi kwenye viti vyetu muhudumu alifika na kutaka oda zetu. “Manka agiza chochote ukitakacho kwa bei yoyote.” “Asante, nataka kula unachokipenda wewe,” utanishangaa kwa nini nimesema vile, nilifanya vile ili kumtoa wasiwasi na kumfanya awe huru kwangu japo si katika suala la mapenzi. “Hapana Manka nataka wewe leo ndio uchague chakula tutakacho kula.” “Sawa,” nilichagua chakula ambacho wote tulikuwa. Baada ya chakula wakati wa kunywa vinywaji Shaka aliniuliza. “Samahani.” “Bila samahani.” “Manka, umeolewa?” “Sijaolewa.” “Una mchumba sina?” “Sina.” “Rafiki wa kiume?” “Sina.” “Manka mbona unanidanganya.” “Kweli bosi.” “Hivi Manka kwa umbile alilokujali muumba usiwe na mwanaume?” “Si kwamba sijawahi mwanaume ila kwa sasa sina.” “Kweli?” “Kweli kwa nini nikufiche ili iwe nini?” “Mara nyingi watu wamekuwa si wakweli.” “Huo ndio ukweli wangu.” “Kwa nini mrembo kama wewe huna rafiki wa kiume?” “Sina bahati nimeamua kuishi peke yangu.” “Ina maana hata ombi langu litagonga ukuta?” “Ombi gani?” “Kwa vile huna mtu nilifikili unafaa kuwa mke wangu.” “Aaah, bosi,” kauli ile ilinishtua sikupenda kuisikia masikioni mwangu. Sikuwa na jibu la moja kwa moja, moyo mapigo ya moyo walinienda mbio na machozi yalinitoka. Mateja alishtuka kuniona nikitoka machozi badala kumpa jibu lake. “Manka vipi?” “Hataa,” nilitikisa kichwa. “Mbona machozi yanakutoka.” “Kauli yako imenishtua.” “Kivipi?” “Sikutegemea kuniambia neno hilo mapema kiasi hiki.” “Manka, penzi limuingiapo mtu huwa kama kichaa aliyekatikiwa na mishipa ya fahamu. Niyasemayo si mimi ni moyo wangu naomba unihurumie.” “Ni kweli, lakini sina bahati kila siku mapenzi limekuwa likinitesa.” “Kivipi?” “Mpaka leo sijajua sababu ya kuachwa na wanaume.” “Ni wazi wote waliopita walikuwa na tamaa ya kukujua ulivyo na si mapenzi ya dhati. Lakini nakuamini mimi ndiye mwanaume sahihi kwako.” “Hiyo kauli kwangu nimeizoea, lakini mwisho wa siku mambo huwa kinyume.” “Niamini Manka, nitakuwa mume mwema.” “Mmh nitashukuru, lakini usinitende utaniumiza.” “Siwezi.” Baada ya chakula tulirudi ofisini, hatukufanya sana kazi Mateja alikuwa na uchu wa fisi. Aliniomba tufunge ofisi twende tukastarehe, sikuwa na pingamizi nilifunga kazi na kuongozana naye kwenye gari lake. Mateja alinipeleka kwenye hoteli ya kifahari ya nyota tano. Kwa vile shida yake niliijua sikushtuka kumsikia akiuliza chumba cha VIP, baada ya kulipia tulikwenda kwenye chumba kilichokuwa ghorofa la pili. Chumba kilichokuwa cha kifahari, ambacho kilikuwa kipo katika hadhi ya juu. Katika maisha yangu sikuwahi kuingia kwenye chumba kizuri kama kile. Chumba nilikiona kilikuwa kinapendeza lakini wasiwasi wangu bosi wangu atakipata alichokifikilia kukipata mwilini mwangu. Sikutaka nami kijiweka nyuma kwani nilikumbuka kauli za Bi Shuu mama mlezi wangu shangingi mstaafu, kuwa niwapo mbele ya mwanaume nijionesha nipo tayari kumpa kile anachokitaka. Siku zote aliniambia nijiamini ili kumfanya mwanaume naye ajiliuze mara mbili mbili ataniingiaje. Sikupoteza wakati baada ya kuingia tu chumbani nilivua nguo zote na kubakia kama kuku aliyenyonyolewa. Sikuchelewa kumsaula na yeye tukawa sale sale maua. Nilitembea kama miss kuelekea kwenye kabati kuchukua taulo kwa makusudi nimuoneshe umbile langu ambalo mwanzo huwa utata kwa wanaume. Lakini wakiisha nipata nakuwa kama Big G iliyotafunwa na kuisha utamu mwisho wake hutemwa. Kwa kweli sikupenda kutongozwa siku moja na siku hiyo hiyo kumvulia mwanaume nguo ya ndani. Niliamini kabisa kujilahisi vile lazima thamani yangu ingepungua lakini kama ningemzungusha, kidogo thamani yangu kwake ingepanda. Nilijua lazima ataniona maharage ya Msanga maji nusu kijiko. Lakini sikuwa na jinsi kutokana na njia aliyotumia kwa kweli nilijikuta siwezi kuuruka mtego wake mwepesi. Sikuwa ndege mjanja lakini nilinaswa kijinga sana, japo sikujua tatizo langu lakini nilipokuwa natembea na kumuachia umbile la nyuma lililokuwa linawatesa wanaume wengi. Niliinama makusudi kama najikuna mguu ili tu nizidi kumpagawisha. Kitu kilichofanya Mateja azidi kuwa katika wakati mgumu, wakati nafungua kabati nitoe taulo Mateja alikuwa tayari yupo nyuma yangu na kunikumbatia kwa nyuma. Nilijua uzalendo ulikuwa umemshinda, mambo yalianzia pale. Tulianza kubadilishana mate palepale kwenye kabati, baada ya muda aliona anachelewa, mwanaume alinibeba juujuu mpaka kitandani. Kwa vile mchicha ulikuwa umeishakolea nazi tuliumwaga juu ya ubwabwa na kuanza kujimegea tataribu. Mateja alionekana ana pupa kama mamba mwenye njaa, hakuchelewa kukifikisha chombo ukingoni mwa bahari. Baada ya mapumziko mafupi tulirudi ndani ya ngarawa kuendelea na safari, katika vitu ambavyo katika maisha yangu nilikuwa sivipendi ni usumbufu ndani safari. Ooh geuka hivi, lala hivi, inama hivi, nyanyuka hivi, kwa upande wangu niliona usumbufu lakini nilivumilia kwa vile ndiyo ilikuwa siku yetu ya kwanza kukutana. Kama ningekuwa nimemzoea ningempasha, kwani hakuna starehe ya mapenzi mpaka kusumbuana kumgeuza mwenzako kituko,ile kwangu sikuona mapenzi zaidi ya adhabu. Siku zote niliamini baada ya safari ndefu mtu humwaga mzigo na kutelemka. Siku ile tulikaa kaa mpaka saa tatu usiku baada ya kuoga na kula alinirudisha nyumbani. Kabla ya kuondoka Mateja aliniahidi vitu vingi ikiwemo kunijengea nyumba kuninunulia gari na kuyabadili maisha yangu kwa ujumla. Siku ile moja tu alinipatia laki tano taslimu, sikuamini niliona miujiza kupata raha na kiasi kikubwa cha pesa kama kile. Nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu yupo chumbani kwake, Nilifungua mlango wa chumba changu na kuingia ndani. Nilipowasha taa nilishtuka kumuona Bi Shuu kanisimamia nyuma, akuzungumza chochote ila alinikata jicho kali. “Shikamoo Bi Shuu” “Hainisaidii kitu” “Mbona hivyo mama yangu” “Kazi gani ya kutoka saa moja asubuhi kurudi saa tano za usiku?” Mmh, makubwa nimekuwa mtoto mdogo wa kuwa chini yake kwa kila kitu. Nilijua uchawi wa Bi Shuu ni nini, niliinama na kuchukua mkoba wangu na kufungua. Nilihesa nyekundu tano na kumpa. “Za nini?” “Katumie tu” “Za kodi?” “Walaa, nimekutunuku tu mama yangu.” “Kweli!?” “Kweli unafili uliyonifikiza madogo” Bi Shuu alifurahi na kunikumbatia na kusahau aliyobwatuka muda mfupi, baada ya kunipandisha na kunishusha alisema. “Weee mwana kulikoni” “Kaa chini nikupashe kazi imekuwa kaziiiii” “Usiniambie” “Habari ndiyo hiyo shilingi moja kwa sekunde ndio mpango” “Wacha wee leo Mchaka kawa mzaramu” “Umenifundisha wewe, ngoja nikaoge nikupashe upashike” Nilimuacha Bi Shuu chumbani kwangu akizirudia kuzihesabu pesa nilizompa mimi nikaenda kujimwagia maji. Nilipotoka kuoga nilimkuta akinisubiri kwa hamu kubwa. “mmhu, hebu nipe raha” “Bi shuu nitakueleza yote kesho” “Mwana wee siwezi kulala mpaka unipe siri ya rangi nyekundi kupendeza na kusikitisha” Huku nikijifuta maji nilimueleza yote bila kumficha hata moja, mwisho wa yote nilielezea masikitiko yangu ya bahati ya kupendwa na mkosi wa kuachwa. “Bi Shuu, japo nimepata lakini wasiwasi wangu sichelewi kumwagwa” “Kwani una tatizo gani?” “hata silijui hakuna hata mwanaume mmoja aliyenieleza tatizo langu” “Mmh, kuna umuhimu wa kulifanyia kazi” “Siamini kama tatizo langu litaisha” “Hebu kila ukiwa na huyu bwana msikilie na muulize an apenda nini chochote usimnyime” “mmh, Bi Shuu wanaume wengine waharibifu ukimchekea anakuharibu” “Sio unavyo fikiria’ “Kuna nini wanaume wanacho taka zaidi ya kuwaharibu wanawake, sijazaa babu wee cha kuwekewa matambala” “Sina maana hiyo si wote wana penda mchezo huo.” “mmh, nitamsikiliza” “Sasa mwana wee lala nakuomba muheshimu mpenzio kama Mungu wako huoni muda si mrefu nasi tutatembelea gari” “Ndicho ninachokiomba, sijui yatakuwa yale yale.” “Basi mwali lala usingizi unono.” “Nawe pia Bi shuu” Bi Shuu aliniaga na kuondoka na kuniacha nikimalizia kujifuta maji ili nilale. ****** Siku ya pili wakati namalizia kujipodoa kabla ya kwenda kujifusha udi kwa Bi Shuu simu ya Mateja iliingia, niliipokea na kuzungumza naye. “Haloo ma’ Sweet.” “Ooh, ma honey girl.” “Ni mimi, mhu baba nipe habari naona simu za asubuhi asubuhi?” “Aah, kawaida ila kuna dereva nimemtuma atakupitia muda si mrefu.” “Hakuna tatizo Sweet.” Baada ya Mateja kukata simu, kwa vile nilikuwa tayari nimeisha jipodoa nilikwenda chumbani kwa Bi Shuu. Kabla ya kuingia nilikutana na moto uliokuwa ukinukia vizuri, harufu ya asubuhi ile ilikuwa zaidi na ya jana yake Niliingia na kumkuta akiweka udi kwenye kitezo, aliponiona alitabasamu na kusema. “Haya mwali jifushe uwahi kazini.” Niliinama na kufunikwa shuka ili moshi wote wa harufu nzuri uishie kwenye nguo na mwilini, baada ya muda alifunua shuka na kuninusa kama mbwa anayesaka chakula jaani. Asikuambie mtu Bi Shuu havumi lakini yumo, mtu mzima lakini ovyooo. “Umevaa kufuri gani?” Bi Shuu aliniuliza swali ambalo sikufikiria kuniuliza. “Nyeupe.” “Hebu nione.” Mmh, makubwa nilinyanyua gauni na kuiona nilikuwa nimevaa kufuli la mikanda ‘Bikini’. “Mwali ndio nini?” Bi Shuu alishtuka. “Mbona umeshangaa?” “Unakwenda kwenye starehe au kazini?” “Kazini.” “Sasa mbona umevaa kufuri kama unakwenda kwenye kilimo cha mihogo.” “Babu weee kwenda na wakati.” “Acha ushamba vaa kufuri la kawaida, hilo kufuri unalivaa siku unayokutana na mpenzi ukitoa nguo tu akiona anaingia kimuhemuhe.” Mmh, sikutaka kubishana naye nilirudi hadi chumbani kubadili kufuri, wakati namaliza kuvaa honi ya gari ilipigwa nje nilijua mtu aliyetumwa kunifuata amefika. Nilikimbilia chumbani kwa Bi Shuu kumuaga. “Bi Shuu naondoka.” “Umebadili kufuri?” “Ndiyo.” “Hebu nione.” Nilinyanyua tena gauni na kunitazama, nilikuwa nimevaa ya kawaida tena ya rangi nyekundu, alipoiona alisema. “Ewaaa, sasa hapo ndipo nilipopataka.” “Basi nawahi kuna mtu ananisubiri hapo nje katumwa na mzee,” nilisema huku nikiteremsha gauni ili niwahi nje. “Wee Manka ndio nini?” “Vipi tena Bi Shuu mwenzio nachelewa kazini.” “Hebu jifushe na hiyo kufuri linukie.” Nilirudi haraka na kuchutama kwenye kitezo kwa kulitanua gauni langu moshi wote uingie chini. Baada ya kufanya yote niliyoelekezwa na Bi Shuu nilimuaga kwa kumbusu kisha nilipitia mkoba wangu na kutoka nje. Nilimkuta gari likinisubiri, niliingia kwenye gari na gari liliondoka. “Mambo?” “Poa, sijui yako?” “Hata mimi ipo poa.” Safari iliendelea hadi ofisini, nilipofika nilipita moja kwa moja hadi ofisini kwa Mateja, alivyokuwa ameisha ingia ofisini. Baada ya kufungua mlango wa ofisi niliingia huku nikiachia tabasamu pana na kutanua mikono yangu, Mateja aliponiona alizunguka meza yake kunipokea. Tulikutana katikati na kukumbatiana. Tuliporomosheana mabusu moto moto huku tukigandisha midomo kwa muda na kubadilisha mate. “Mmh, tosha,” nilisema huku nikijitoa mikononi kwa Mateja. “Mhu, za nyumbani?” “Mmh, mzuri sijui kwako?” “Kwangu ilikuwa ngumu kidogo kutokana na kuwa na wakati mgumu baada ya kukuota tupo pamoja niliposhutuka nilijikuta nipo peke yangu.” “Pole sana, basi ndio ufanye haraka kunichukua.” “Kwa mateso ya jana kuna umuhimu wa kufanya hivyo.” “Basi mengine baada ya kazi.” “Haya mama, mimi niseme nini.” Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Pamoja na furaha ile bado wasiwasi wangu ulikuwa nini hatima yangu kwake, nitaendelea naye au ndiyo atanitosa kama waliotangulia. Wazo la awali lilikuwa kuomba msaada kwa Bi Shuu ili niweze kumdhiniti. Niliendelea na kazi zangu kama kawaida, muda wa mchana tulikwenda kula pamoja kama wapenzi wasiojificha. Siku ile baada ya kurudi nyumbani aliniomba tuwe wote usiku wa siku ile, sikumkatalia kwa vile ndiye aliyekuwa mmiliki wa mwili wangu. Usiku alinipitia na kuondoka kwenda kulala naye mpaka asubuhi, kaonja kaona tamu sasa anataka kula kabisa. … Ni kweli nilifurahi kulala na Mateja mpaka asubuhi kuonesha jinsi gani alivyopagawa kwangu, lakini usiku kwangu ulikuwa wa karaha sana yaani mambo nisiyoyapenda ya kusumbuana wakati wa mapenzi yalijirudia tena. Nilishindwa kumkatalia kwa vile alikuwa bosi wangu kwa kuogopa kufukuzwa kazi na maisha ya kutangatanga yalinichosha. Usiku mzima kugeuzwa kama chapati ooh geuka hivi, lala hivi fanya hivyo, basi kero mtindo mmoja. Nilijiuliza bila kunisumbua vile hawezi kukidhi haja zake, mpaka kunakucha nilikuwa nimekasirika mtoto wa kike kila kona ya mwili iliniuma hayakuwa mazoezi bali adhabu ya mapenzi. Asubuhi Mateja alifurahi sana na kuniahidi kabla ya yote kukibadili chumba changu kwa kuninunulia sofa za nguvu, alinipa pesa nyingi za kutumia na kunirudisha nyumbani. Huwezi amini nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu akinisubiri, kutokana na uchovu nilimsalimia na kuingia ndani nijilaze. Kabla sijabadili nguo na kuvaa kanga nyepesi Bi Shuu aliingia. “Mankaaaaa,” aliniita kimbea. “Unasemaje Bi Shuu,” nilimuuliza huku nikimuangalia jicho zito la usingizi. “Mmh, sikuwezi.” “Kwa nini Bi Shuu?” “Mambo yako mazito.” “Mmh kawaida tu, vipi ushakunywa chai?” “Nilikuwa nakusubiri wewe.” “Mimi kwa sasa hivi siwezi nimechoka sana.” “Eeeeh Manka weee, mlikuwa mnakomoana.” “Wee Acha tu,” niliona kama ananichelewesha kulala kutokana na umbea wake wa utu mzima. Nilivuta pochi na kutoa noti kadhaa za kumi kumi na kumpatia Bi Shuu bila kuzihesabu. “Za nini?” “Za kwako.” Bi Shuu alichanganyikiwa na kunivamia kwa furaha na kujitahidi kunibeba japo uzito wangu ulikuwa mkubwa. Kweli pesa sabuni ya roho Bi Shuu alipagawa na kuniona kama malaika niliyetumwa kuja kumpa furaha ya asubuhi ile. “Bi Shuu niache nipumzike.” “Mwali weee lala, tena utakutana nimekuandalia chakula kizuuuri.” Bi Shuu alitoka na kuniacha nikimalizia kuondoa nguo mwili kisha kuchukua kanga nyepesi kisha kujitupa kitandani. Nililala kwa muda wa saa zaidi ya nane kutokana na uchovu wa mbilinge za Mateja usiku kucha. Majira ya jioni Mateja alifanya kweli kwa kuleta sofa za nguvu kitu kilichofanya Bi Shuu kunipa chumba kikubwa cha nyumba kubwa. Niliamini ule ulikuwa mwaka wangu wa mimi kurudi katika maisha ya kutanua. Niliamini muda si mfupi lazima niwe na gari langu mwenyewe. Baada ya kukipamba chumba changu na kupendeza Bi Shuu aliniweka chini na kunipa somo. “Manka Mungu akupe nini, ukishikwa shikamana mwali wee.” “Hata mimi najua Bi Shuu.” “Unaonekana mwanzo ulikuwa ukifanya makusudi mbona sasa hivi mwanaume kapagawa muda si mrefu utakuwa dunia ya wenye nazo.” “Ndio maana yake.” “Basi Manka nitakuongezea vikorombwezo akigusa amenata.” “Usiniambie!” “Kwanini wazee wenzangu pamoja na umri wangu wakionja wanapagawa itakuwa wewe ukioga maji yanatelemka.” “Tena kweli ufanye haraka maana ameisha tangaza ndoa.” “Basi hiyo kazi niachie.” Mateja alinipigia simu kuwa siku ile angekuja kulala ili jumatatu twende kazini pamoja nami sikumkatalia. Kweli usiku alikuja kulala kwenye chumba changu kilichokuwa na hadhi kubwa kwa mtu yoyote. Kama kawaida ya usiku wa jana yake yalijirudi ya kusumbuliwa lala hivi geuka hivi fanya hivi, basi taabu mtindo mmoja. Na siku ile nilivumilia lakini moyoni nilijisemea siku nyingine nitampasha kweli wake hawezi kunigeuza kama mwanasesele na kunichezea apendavyo. Nikajikuta siyachukia mapenzi na kuyaona kwangu ni karaha na si starehe, mwanaume alikuwa akipanda juu ya mnazi hashuki mpaka nahisi kichefuchefu. Niliamini kabisa alitaka kunikomoa kwa vitu alivyonipa, kwangu sikuona mapenzi zaidi ya mateso. Uvumilivu uliponishinda nilianza kuwa mkali kwa kumgomea kwa usumbufu wake kwa kumueleza makavu kuwa sitaki kama hawezi kifo cha mende tuache. Mateja alinielewa na kustarehe bila usumbufu, nilishangaa kumbe anaweza kukwea mnazi bila kujifunga kamba za miguu. Kilichonishangaza ndani ya mapenzi yetu yaliyochukua miezi minne, Baadhi ya mambo yalianza kutoonesha dalili zozote za kutimiza ahadi yake. Siku zilivyozidi kwenda mbele ndivyo uhusiano na Mateja ulivyozidi kulega, hata kuwa pamoja baada ya kazi ikafutika kila muda alionekana yupo bize. Kitendo cha kutokuwa karibu na Mateja kilimshtua sana Bi Shuu kwani hata vizawadi navyo vilikatika. Siku moja aliniweka chini na kuniuliza. “Manka kulikoni?’ ”Hata mimi sijui.” “Manka kila siku hujui wakati unaharibu.” “Bi Shuu unanilaumu bure.” “Hivi kama na huyu atakuacha unafikiri utampata nani?” “Bi Shuu nimejitahidi kwa kila ulilonifundisha nililifanya lakini matokeo yake ndio hayo lazima kuna mkono wa mtu.” “Manka kuna kitu gani alichokipenda Mateja hukumpa?” “Mmh, kila kitu nimempa.” “Kweli?” “Kweli kabisa, nikudanganye ili iweje.” “Sasa itakuwa nini?” “Hata mimi sijui, huu utakuwa ni mkosi tu” “Basi naomba kesho ukienda kazini niitie Mateja.” “Mmh, sijui kama atakuja, lakini nitafikisha ujumbe.” Siku ya jumatatu nilikwenda kazini kama kawaida huku nikifikilia jinsi ya kufikisha wito kwa Mateja wa kuitwa Bi shuu. Hakuwa Mateja niliyekuwa namfahamu. Ilionesha mapenzi yalikwisha kabisa. Kila alipoingia ofisini alinisalimia lakini hakuna kilichoendelea. Nilipomuuliza alinijibu kwa kifupi “Nipo bize,” nilijikuta nikiiona kazi ngumu kama si Bi Shuu ningeacha kazi kutokana na kujiona sina thamani tena kwa Mateja. Siku moja roho iliniuma sana baada ya msichana mmoja kuingia ofisini kwa Mateja bila kumuulizia kwangu kama ilivyokuwa kwa wateja wengine. Niliacha kazi zangu na kumfuata ndani, nilipoingia ofisini mbona lilinishuka mtoto wa kike. Niliwakuta wamekumbatiana na Mateja huku midomo yao ikiwa imegandiana. Nilitamani ardhi ipasuke inimeze, nilisimama kama sanamu nisijue cha kufanya, machozi yalinitoka bila kizuizi, pamoja na kuniona hawakushtuka ndio kwanza walizidisha kutomasana kimahaba. Niliona wazi kabisa penzi langu na Mateja limefika ukingoni. Nilirudi ofisini kwangu na kukaa chini kazi ilikuwa chungu nilijikuta nikilia peke yangu, nilitamani kuondoka niiache kazi. Lakini niliyakumbuka maneno ya Bi Shuu kuwa siku zote penzi tamu ni lile lisilo sukumwa ninalosukumwa lina kasoro. Nikiwa nimeinama nafuta machozi nilishtushwa na sauti ya Mateja. “Manka.” Bila kuitika nilinyanyua uso kumuangalia huku kitambaa kikiwa karibu na macho kufuta machozi. Mateja alikuwa amesimama mbele ya meza yangu akiwa ameshikana kimahaba mmoja alimshika mwenzake mkono shingoni na mwanaume kiunoni. “Vipi mbona unalia?” Mateja aliniuliza kwa kunikujeli, sikumjibu niliendelea kufuta machozi. “Manka huyu ndiye mke wangu mtalajiwa.” Sikumjibu niliinama chini na kulia kilio cha kwikwi ambacho Mateja na mpenzi wake hawakukijali. Niliwasikia wakiondoka, niliwasindikiza kwa macho mpaka walipotoweka, baada ya kutoweka machoni mwangu nilijikuta nikijiuliza nalia nini kwani tukio lile halikuwa la kwanza upande wangu kutendewa. Ni kweli lazima moyo uniume kutokana na ahadi nzuri za Mateja ambazo nilijua zitanibadilisha katika maisha yangu. Ndoto yangu ya mchana ya kumiliki gari na nyumba iliyeyuka kama bonge la mafuta katika kikaango cha moto. Baada ya muda Mateja alirudi na kunipita kuingia ofisini kwake bila kunisemesha jambo lolote. Nilikumbuka wito niliopewa na Bi Shuu wa kwenda kuzungumza naye juu ya matatizo yangu, kila nilipotaka kumwambia moyo ulisita na kuamua kuipotezea tu. Muda wa kutoka nilijikuta nikijikaza kike na kumueleza. “Samahani bosi.” “Bila samahani,” Mateja alinijibu kistaarabu. “Bi Shuu alikuwa anakuita.” “Bi shuu naye ana shida gani tena?” “Hata sijui.” “Mmh, yule bibi na umri wake yuko vile wakati wa usichana wake alikuwaje?” “Mmh, sijui.” “Basi mwambie nitamtembelea wikiendi.” Jamani kauli ya Mateja ilinipa matumaini labda atarudisha moyo wake, siku zote nilimuamini Bi Shuu kwa maneno yake matamu yaliyojaa misemo nahau na methani ili kumlainisha mtu. “Jamani bosi kwa nini usiende leo?” “Manka nipo bize sana atanisamehe, lakini mwambie sijamdharau nitaitikia wito wake.” ITAENDELEA ... Read More
*MWAGIA HUMO HUM EP 04* Sehemu Ya Nne (4) Nilimsogelea na kuusugua mwili wangu kwake, joto langu lilimsisimua. Mmh, kuangalia kwenye kikosi wa miziga,mtutu wa mziga ulikuwa juu. Manshala mtoto wa kike niliupandia mtutu na kuufanyia ukaguzi kabla ya kuingia vitani. Mmh, weee acha tu hukuwepo bali shetani wako alikuwepo. Mateja alikuwa kama mtu aliyekula mishikaki yenye chachandu ya Kihindi jinsi alivyotoa miguno. Taratibu nilishughulika na mtutu wa mzinga ambao ulionekana ulikuwa tayari kutupa makombora mazito kwa adui. Kutokana na utaalamu niliopewa na Bi Shuu na kujua kuufanyia usafi mtutu wa mziga, mara nilimuona Mateja akitetemeka na kutoa machozi laini. “Vipi?” “Aa..aah.” “Pole.” “Asante.” Niliendelea kumpa mshike mshike kwa kugusa hapa na pale, najua unataka kujua niligusa wapi. Vuta subra tukikutana nitakueleza mwanaume anatakiwa aguswe wapi ili kumuongezea mahanjamu. Ila lazima mikono yako iwe laini sio migumu kama mpasua kokoto utamchubua mwenzio. Nilisahau kama tupo bafuni kwa kuendeleza mateso bila chuki. Nilimsikia Mateja akisema. “Manka si tunarudi ndani tumalize kwanza kuoga.” “Waaawooo,” nilifurahia kimoyo moyo kwa kuamini mbwa mwenyewe kakimbilia kichaka cha nyani asubiri vibao vya mashavu. Tulimalizia kuoga huku nikimsugua kila kona ya mwili kisha nilimfuta maji na kumfunga taulo nami nilipitia upande wa kanga na kutoka naye kurudi chumbani. Wakati nakaribia chumbani kwangu Bi Shuu alitokea nyuma ya bafu na kunifanyia ishara ya mdomo. Niligeuka na kusimama ili nimsikilize alikuwa na jambo gani. “Manka,” alisema huku akiachia tabadamu. “Abee.” “Hongera.” “Ya nini?” “Unajua kuifanya kazi umeiva kwelikweli mambo uliyofanya mimi mwenyewe hoi.” “Asante Bi Shuu.” “Basi usiniangushe yote tisa kumi huko mnakokwenda ukifanya makosa umetia nazi kwenye supu.” “Bi Shuu wee acha nina usongo naye ile mbaya” “Usikamie sana ukashindwa kuyanywa.” “Nimekuelewa.” Niliagana na Bi Shuu na kuelekea chumbani kwangu na maswali mengi juu ya tabia ya Bi Shuu kunipiga chapo kila nililokuwa nafanya. Mmh, niligeuka nielekee chumbani Bi Shuu tena aliniita. “Manka usizime taa pia dirisha lako la nyuma liache wazi” Niliingia ndani nikijiuliza mengi juu ya tabia za Bi Shuu Kunipiga chabo, nilijua mwanzo alitaka kujua uwezo wangu lakini baada ya kuona nimeweza hakukuwa na haja ya kunipiga tena chabo zaidi ya kusubiri matokeo. Lakini kwa upande mwingine niliamini ile ndiyo ilikuwa fainali yangu ya kujua nimefundika au nilibahatisha kwa wachovu. Pamoja na kutaka kujua nipo katika kiwango gani, wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa kutojiamini kwa asilimia zote kutokana na kujua kuna mtu ananiangalia. Bora angenivizia nisingejua kinachoendelea na mimi kufanya makamuzi ya nguvu. Ndani nilimkuta Mateja amekaa kitandani, mtoto wa kike kwa usongo niliokuwa nao niliivuta kanga aliyokuwa amejifunga na kubakia kama kuku anayesubiri kuingizwa kwenye mafuta. Nami yangu nikaitupa pembeni na kubakia sale sale maua si unajua asiyejua kuchagua kabila lake Mzigua. Jamani maneno mengine sijui ni kweli au wimbo ina maana Wazigua ndiyo wasiojua kuchagua? Tuachane na hayo wanajua waliosema si mimi, baada ya kuwa sale sale kama kuku wanaosubiri kuingizwa kwenye kalai la mafuta ya moto. Kupitia mafunzo ya Bi Shuu mwanamke kabla ya kusafiri katika bahari ya huba unatakiwa kukiandaa chombo. Sehemu hii naomba twende pamoja huonekana wanawake wengi tunakosea. Kosa kubwa kwa wanawake wengi wakiishafika kitandani husubiri kuandaliwa wao kisha wapande kwenye chombo kuanza safari ya huba wakati mwenzake naye alihitaji kusisimliwa kama yeye. Au wengine ambao huwa kama mimi Manka kabla ya kuingia unyagoni kwa Bi Shuu kujua kabla ya safari vitu gani vinatakiwa kufanywa. Wengi wetu hutangulia kitandani na kutega kama kicheche anavyotega kuku, akiingiza kichwa tu anatimua naye mbio kichakani. Lazima sehemu hii uitumie kuandaana kila mmoja tui likikolea nazi ruksa kutia mchele, tuko pamoja nataka nilichokipata kwa Bi Shuu nawe upande japo kiduchu. Basi mtoto wa kike nilikiwa nimepandwa na maruhani ya mapenzi nilikuwa kama chatu aliyeshiba na kujivuta kushida huku pumzi zikinitoka kwa shida. Nilitambaza mikono yangu laini toka kona moja kwenda nyingine hasa sehemu muhimu zenye kupandisha mahanjamu. Nilianza kumsikia Mateja akisisimka na kuninyonga taratibu kama nyoka anavyopata shida ya kutambaa kwenye sakafu. Nilizipapasa sehemu ambazo humfanya mwanaume asisimke na kumpandisha mzuka wa mapenzi. Kila nilipogusa sehemu nilimuona akitaka kunyanyuka kama samaki pomboo anavyojitupa kwenye maji kwa madoido. Baada ya safari ndefu nilifika mji mkuu na kufanya kituo cha muda mrefu kwa kutumia mikono mdomo na ulimi ambao ulimfanya Mateja agugumie kama dume la njiwa lenye wivu. Niliendelea kuwajibika mpaka alipolia bila msiba huku akiomba tuingie chomboni kuianza safari ya huba yenye utamu usiisha hamu hasa kwa wanaoufahamu shati uwe mtaalamu wa kuitumia yako kalamu ndipo utaipata tamu na kukufanya mahamumu kila uikumbukapo tamu lazima upitate hamu ya kuutafuta utamu. Sijui tupo pamoja au nimekuchanganya, mwa kwetu siku zote chakula maandalizi, na chakula kitamu kinahitaji maandalizi ya kina na katika mwili vile vile. Huwezi kudandiwa kama baskeri na kupigwa pedeli, wakati unachemka mwenzio kesha fika zamani kalala pembeni hoi kuendelea na safari hawezi wakati mwenzake waduduuu wadogowadoooo ndo wamecharuka Wananyemvuanyemvua. Hapa pia kuna somo nililopata kwa Bi Shuu usikubali kuianza safari hakikisha mwakwetu kwako nawe kumetiwa mchuzi wa kutosha sio kula mkavu utakukwama kooni. Nina imani tupo pamoja au nimekuacha njia panda, mwakwetu hakikisha mpenzi wako amekuandaa mpaka hatua ya mchuzi kukolea kwenye ubwabwa hapo ruksa chakula kiliwe. Lazima wote mtakifurahia sio kuwahi kitandani kusubiri hukumu bila kujitetea. Baada ya Mateja mchicha kukolea nazi shetani wa ngono kumpanda alitaka kuchupa mchupo wa mkizi, lakini mtoto wa kike nilimshika kifuani na kumueleza. “Mpenzi pangu pakavu tia mchuzi,” nilikuwa na maana bado hajaniandaa ili tufurahia safari kwa pamoja. Mateja alinielewa ndipo alipoanda kuniandaa kwa kufanya ziara ya mkono na ulimi mwilini kwangu, jamani chakula kitamu kikipata muandalizi asiye na papara. Nakiri sikuwahi kukutana na raha za mwili siku zote niliamini raha zipo chini tu kumbe mwenyezi Mungu aliumba kila kiungo mwilini na makusudio yake. Kila nilipoguswa nilihisi raha tofauti na aliponigusa kwanza, mtoto wa kike nilimaliza maneno yote mdomoni kuomba hukumu baada ya kulia zaidi ya mara mbili bila huruma ya Mateja kuendelea kunipa mateso bila chuki. Baada ya tui kukolea nazi, kile nilichotaka kukionesha kwa Mateja kilitimia. Mtoto wa kike tuliingia kilingeni kujua mbivu na mbichi, najua unahamu kujua kilichoendelea, samahani tukutane wiki ijayo. Mtoto wa kike nilipoguswa tu nililegea mwili ulikuwa kama umepigwa shoti ya umeme, mchezo upoanza tu nilijiachia huku nikizitoa pumzi kwa kufuata mdundo, japo nyonga haikuwa laini sana kama wamakonde nami taratibu nilinyambulika kuhakikisha sitoki nje ya biti. Hakukuwa na ushindani kila mtu alitaka kuonesha uwezo wake kwenye medani ya mapenzi. Kila dakika ilivyokwenda ndivyo kila mtu alipoteza ustaarabu na kutaka kuonekana anaweza kuliko mwenzake. Kila dakika iliyokwenda ilikuwa ni maajabu saba ya dunia kwa Mateja. Nina imani kabisa mwanzo aliona kama nabahatisha kutokana na kunizoe Manka wa kulala kama gogo Manka mbishi nisiyekubali usumbufu wa kugeuzwa kama chapati. Manka nilimpania Mateja bila kujua wito ule ulikuwa na sababu, kila alivyotaka nilifanya bila hiyana kila aliponituma nilikwenda bila kubisha kila alivyoniweka nilikaa bila tatizo. Muda wote niliwajibika bila kuchoka huku nikimmwagia sifa ambazo nina imani hakuwa kupewa toka azaliwe. Kuna kipindi mtoto wa kike nilalamika kama mtoto aliyeny’ang’anywa ziwa na mama yake, kutokana na kuufurahia mchezo nilijikuta nikilia kama naonewa kumbe raha zilikuwa zimekonga kila kona ya mwili. “Mateja kwa nini unanitesa…kosa langu nini?” Nililalama huku nikiwajibika. Siku zote raha ya kurap uendane na mdindo, nilibadilika mtoto wa kike na kuongeza nijuavyo nisivyofunzwa na Bi Shuu. Jamani makubwa ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni. Ghafla Mateja machozi yakaanza kumtoka baada ya kuvamia shamba la mihogo kwa mikono na mdomo jembe nililitoa kwenye mpini na kuchimba muhogo kwa mkono. Kila nilivyoutafuta muhongo nilimuona mtoto wa kiume akihama upande mmoja kwenda mwingine. Mmh, sikuamini nilimuonea huruma lakini siku zote ukitaka kumtiba mgonjwa wa jipu usimuonee huruma. Mateja uzalendo uliomshinda aliamua kusema. “Manka kwa nini ulinitenda?” “Kivipi mpenzi?” “Vitu hivi mbona hukunipa mwanzo?” “Mpenzi vilikuwa havijaungwa, hata vya chukuchuku havikuiva.” “Hapana…hapana…sikubali.” “Hukubali nini tena mpenzi?” “Siwezi kula nisishibe heri nisipewe.” “Mateja leo utakula mpaka utasaza nipo kwa ajili yako.” “Na baada ya leo?” “Mi nipo tu.” “Hapana..hapana …lazima nikuoe.” “Na mchumba wako?” “Wewe ndiye uliyekuwa mchumba wangu.” “Kama nilikuwa mchumba wako kwa nini uliniacha?” Huwezi kuamini wakati tukizungumza hivyo kilimo kiliendelea huku Mateja akishinda kukaa chini kama kakalia moto. “Vipi?” Nilimuuliza huku nikimtazama usoni kwa jicho lilililegea kama mtu mwenye usingizi mzito. “Mm..mm..mmh,” Mateja aligugumia kama dume la panya kwenye ghala la mahindi. Baada ya muda maskini mateja machozi yasiyo na kilio yalimtoka, niliyahifadhi hakugusa chini. “Asante Manka…asante mpenzi.” Mtoto wa kike sifa hazikunivimbisha kichwa niliuchukua mpini na kuurudisha kwenye jembe kilimo kiliendelea. Mmh, kweli kila kiumbe na sehemu zake, kurudisha mpini kwenye jembe kulikuwa kama kumtupia samaki majini. Mateja alikuja juu kama moto wa kifuu kila nilipotaka kumtuliza ndivyo raha zilivyogonga kila kona ya mwili na kujikuta nikiwacha autawale mchezo. Nilifika kipindi duniani nikawa sipo mbinguni sipo nikawa naelea kati, nakiri sikujua kilichokuwa kikiendelea zaidi ya kuhisi kama mtu kanivua nguvu zote mwilini kilichoendelea sikujua. Niliposhtuka nilijikuta nimelala pembeni ya Mateja ambaye alikuwa hajitambua kwa usingizi mzito. Kilinichonishangaza kujikuta sote tumo ndani ya shuka moja, nilijiuliza inawezekana Mateja ndiye aliyenifunika. Nilipotaka kunyanyuka nilihisi kama kizungungu nilijirudisha kulala. Wakati nataka kufumba macho nilisikia naitwa. “Manka…Manka,” niliposikiliza vizuri niligundua ni Bi Shuu. “Abee.” “Amka ujimwagie maji.” “Sina nguvu.” “Jitahidi hivyo hivyo.” Nilijinyanyua kwa kuzilazimisha miguu ikiwa haina nguvu, nilijizoazoa na kwenda kujimwagia maji, Bi Shuu maji alikwisha yapeleka bafuni. Nilioga maji yaliyokuwa ya baridi sijui aliyatoa kwenye friji. Baada ya kujimwagia maji mwili ulichangamka kidogo, hapo ndipo nilipoanza kuisikia njaa. “Manka kamuamshe na mwenzako naye akajimwagie maji ili mle pamoja” “Kwa saa ngapi sasa” “Saa sita kasoro.” “Mtume!” Nilikwenda kumuamsha Mateja aliyekuwa akikoroma ilionekana kalinyekarinde lilimpeleka puta na kujikuta akipoteza nguvu nyingi. Inawezekana kabisa alijua ni yule Manka wa mwaka 47 na kuingia kichwa kichwa matokeo kanyolewa bila maji. Kila nilipomtikisa alionekana yupo hoi kwa kugeuka kama umekufa, niliendelea kumtikisa. “Mateja..Mateja.” “Mmh.” “Amka.” “Niache nilale kidogo.” “Najua umechoka, amka ujimwagie maji upate nguvu.” “Manka naomba nipumzike nimechoka sana.” “Matejaaaa, hebu amka.” Nilimwambia huku nikimshika mkono na kunyanyua, alinyanyuka na kukaa kitako kitandani. Akiwa kama mtu aliyekunywa pombe ambayo ilikuwa bado kichwani, aliinama mkono mmoja alishika kitandani na mwingine kichwani. Sikutaka kumpa nafasi nilimsimamisha na kumfunga upande wa kanga. Huwezi kuamini nilivyokuwa nimechoka bila kuelekezwa na Bi Shuu nisingeweza kuyafanya yale. Maji ya baridi niliyojimwagia ndiyo yaliyonipa nguvu, nilimshika mkono mpaka bafuni ambako nilikuta tayari Bi Shuu ameisha tayarisha maji ya baridi. Kwa kuwa nilijua ubaridi wa maji Mateja atauogopa nilipomtoa kanga nimwagia kwa kumshtukiza kama makopo mawili. Japo alilalamika lakini alinieleza kweli maji yale yameupa tena nguvu mwili wake. Alimuongeza maji mengine na kuufanya mwilini wake uchangamke zaidi. Alipomaliza kujimwagia maji ya baridi tulirudi ndani, sikuamini macho yangu kukuta Bi Shuu amekwisha andaa chakula mezani kukiwa na kila kitu. Muda wa Mateja kujimwagia maji, yeye aliutumia kuandaa chakula. Yaani sijui niseme nini, nimekutana na watu wengi lakini Bi Shuu kiboko. Japo usiku ulikuwa mkubwa lakini mama wa watu hakulala alikwenda sambamba na mimi. Kilichonishangaza baada ya mtinange na kupitiwa usingizi nilijiuliza yeye alikuwa wapi? Kama sisi tulilala kwa zaidi ya masaa matatu yeye muda huo alikuwa anafanya nini? Mateja baada ya kuona nilimsikia akisema. “Manka umejuaje kama nina njaa, maana hapa nahisi tumbo jeupe.” Kwa vile na mimi nilikuwa na njaa tulivamia wote mezani kukishambulia chakula kilichokuwa kimepikwa kwa ustadi wa hali ya juu na Bi Shuu. Tukiwa mezani baada ya kufunua kawa lililikuwa na maneno RAHA YA MUWASHO UKUNWE . Ajabu ya Mungu kawa lile lilionekana jipya halijawahi kutumika, baada ya kulifunua harufu nzuri ya chakula ilijaa puani mwetu. Nilimnawisha mikono kisha nilimkaribisha kama nimepika mie. “Karibu mpenzi.” “Asante,’” Mateja alijibu huku akijipakulia kwenye sahani yake, wakati anaweka kijiko cha kwanza nilisikia kitu kikigongwa dirishani. Ilionesha kuna kosa nimefanya. Nilinyanyuka haraka huku nikisema. “Samahani dear nakuja,” nilitoka nje na kukutana na Bi Shuu. “Vipi Bi Shuu?” “Manka nilikueleza nini?” “Kuhusu nini?” “Mwanaume kama mtoto asiguse kitu kazi yote ifanye wewe.” “Ulikuwa una maana gani?” “Asijipakulie, mpakulie ikiwezekana hata vijiko vya awali mlishe kisha mwache ale mwenyewe.” “Nimekulewa,” nilimjibu bila kusubiri maelezo mengine kumuwahi Mateja asijipakulie zaidi. Nilipofika nilikuta ndio anataka kuongeza kijiko cha tatu. Nilikidaka kijiko na kusema. “Mpenzi kwa nini usumbuke wakati nipo.” “Aah, si kila kitu ukifanye.” “Hapana wewe ni mgeni wangu, kila kitu mimi ndiye dereva.” “Haya mama.” Nilimpakulia chakula cha kiasi kisha nilimuwekea mchuzi na kipande cha ndizi, tonge la kwanza nililikusanya kisha nilimlisha huku nikiweka mkono chini ya kidevu kuzuia punje ya wali isianguke. Baada ya kulisha nilimsubiri atafune ili nimuongeze tonge lingine nami nianze kula. Baada ya kutafuna kwa muda nilimsikia aliguna kitu kilichonitisha na kuwa na wasi wasi huenda chakula si kizuri. “Vipi mpenzi?” “Mmh, chakula kitamu kweli kweli, sijawahi kula chakula kitamu kama hiki, kama nikikuoa na kula hivi kila siku nitenenepa mlangoni nitakuwa sipiti.” “Asante mume wangu,” nilijibu makusudi, moyoni niliisifia kazi nzuri ya Bi Shuu. “Manka,” Mateja aliniita huku akivuta glasi ya maji iliyokuwa pembeni. “Abee.” “Manka mbona leo naona kama nipo ndotoni?” “Kivipi?” “Mbona siku za nyuma hukunifanyia mambo kama haya, mapenzi ya ukweli na chakula kitamu kweli kweli.” “Vimeungwa.” “Una maana gani?” “Mateja mimi ni Manka mpya.” “Una maana gani?” “Ulichokiona kazi kubwa ya Bi Shuu.” “Bado umeniacha njia panda Bi Shuu amefanya nini?” Nilimuelezea bila kumficha kazi kubwa ya Bi Shuu kuniunga na leo kuvionjwa akaviona vitamu. “Upo hapo baba?” “Mmh, nimekubali kweli aliomba likizo yenye mafanikio.” “Basi habari ndio hiyo.” Baada ya chakula tulirudi kuoga tena kisha tulipanda kitandani kulala hakuna aliyekuwa na hamu na mwenzake tulipeana migongo mpaka asubuhi. Mlio wa dirisha uliniamsha toka kwenye usingizi mzito, jicho langu lilitua kwenye saa ya ukutani kunionesha ni saa kumi na moja alfajiri. Nilijinyanyua kivivu na kwenda hadi mlangoni kumsikiliza Bi Shuu alitaka kunielaza nini, nilifungua mlango huku nikifikicha macho kutokana na kuzingirwa na usingizi ulioambatana na uchovu wa mwili. Nilikumbuka usiku wa jana nilitumia nguvu nyingi ili kumuonesha Mateja mimi ni nani. Nakumbuka kuna kipindi niliona kama chini nachochewa kuni jinsi moto ulivyokuwa ukiwaka. Lakini nilikumbuka maneno ya Bi Shuu sifa kubwa ya mwanamke kwa mwanaume ni uvumilivu na kutokukubali kushindwa mapema hata siku ya kwanza unapotaka kuandika CV. Baada ya kufungua mlango nilikutana na Bi Shuu akiwa na upande wa shuka. “Shikamoo Bi Shuu.” “Marahaba mama Shughuli.” “Mmh! Bi Shuu jina gani tena hilo.” “Kwani uongo shughuli unaiweza, mwana wewe temea chini.” “Aii jamani,” nilijikuta nikiona aibu kwa kujua kila nilichokifanya Bi Shuu alikiona ‘live’ bila chenga. “Sasa Manka sicho nilichokuamshia, vipi ushampa cha alfajiri?” “Kipi hicho?” “Ooh, kweli hili sikukuelekeza, raha ya mapenzi ukilala na mwanaume mpe cha asubuhi ili kiwachangamshe, kijasho kikiwatoka mkaoge mjiandae kwenda kazini.” “Si tutachoka sana.” “Uchoke nini, hiyo sawa na kuzimua baada ya kulala na hang over asubuhi ukizimua unajiona sawa hata uzito wa kichwa unapotea sawa na kupata cha asubuhi.” “Mmh! Sawa wacha basi nifanye hivyo.” Niliagana na Bi Shuu na kurudi ndani, Mateja alikuwa bado amelala nilimshtua kwa kumpa mshikemshike wa kuvamia shamba lake kwa kuufukua muhogo taratibu kitu kilichomshtua kunikuta nipo shambani na tayari muhogo nilikuwa nimeisha ufukua upo mkononi. “Vipi mpenzi?” aliniuliza kwa sauti ya usingizi. “Kawaida tu.” “Niache nilale nimechoka.” “Kumekucha mpenzi tunazimua kisha tunakwenda kuoga.” ITAENDELEA ... Read More
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU! Nilikua mgeni katika ile nyumba, ingwa haikua mara yangu ya kwanza kufanya kazi za ndani lakini bado nilikua ninaogopa ogopa Dada (Mama mwenye nyumba) alionyesha mkali sana kwani ile kuingia tu alishanipa mashariti elfu kidogo. Nilishaambiwa sehemu ambazo siruhusiwi kukanyaga, vitu ambavyo siruhusiwi kugusa na majina ya kuwaita wote mule ndani. “Sitaki unite Mama unanizeesha unafikiri mimi naweza kuzaa kinyago kama wewe!” Hiyo ndiyo ilikua kauli yangu ya kwanza kukaribishwa nayo mara tu baada ya kumsalimia na kumuita Mama. Kweli hakua mtu mzima, lakini kwakua katika nyumba niliyoondoka nilikua nimezoea kumuita bosi wangu Mama nilijua ni heshima nayeye atapenda kuitwa hivyo. “Huko ulikotoka kwanini ulifukuzwa?” Aliniuliza kwa hasira, sijui hata nilimfanya nini lakini alionekana na kisirani chake tu. “Sikufukuzwa dada niliamua tu kuondoka, walikua …” “Eeeeh! Mimi si shoga yako kuanza kuniambia matatizo yako, nyamaza nishakuambia sitaki kukusikia, nenda jikoni huko! Unajua kupiga au niwakufundishwa kila kitu!” Alinikatisha kabla ya kujielezea kisha kuendelea kufoka. Nilimuambia najua akaniambia niingie jikoni kuanza kazi. Ulikua mchana kwani niliondokea kwa Shangazi yangu (si Shangazi kweli ni mtu ambaye alinilete tu mjini). Niliingia jikoni na kukuta lundo la vyombo, sikua na haja ya kuelekezwa, nilishakua House Girl mzoefu hivyo nilijua nini cha kufanya. Nilianza kuosha na ulipofika wakati wa kupika nilimuuliza tunapika nini. Nashukuru safari hii alinijibu vizuri hivyo nilichukua kile nilichelelekezwa na kumpikia. Kutokana na kelele za nyumba niliyotoka na uzungu wa Bosi wangu wa zamani nilikua najua kupiga si kitoto, ile milenda milenda yangu ya kijijini niliiacha huko huko hivyo nilipompikia tu na kuweka chakula mezani, alikifurahia ingawa hakusema chochote lakini hakulalamika, hiyo ilikua dalili njema kwangu. Katika nyumba niliyotoka baada ya kuwatengea chakula nilikua nasubiri mpaka wamalize kula, hii ni kwasababu kama kikitokea kitu cha kutumwa basi niwepo kuwasikiliza. Huwa nasimama pembeni kama wale madhouse girl wa kwenye TV kusubiria mpaka mabosi wangu wamalize kula ndiyo huingia jikoni na kujitengea chakula changu. Nilishazoea hivyo na kwakua ilikua ndiyo nyumba yangu ya kwanza nilijua labda mjini kote ndiyo hali ilivyo. “Unasubiri nini hapo si uende jikoni huko ukajipikie au wewe huli?” Aliniuliza kwa hasira, nilitaka kumjibu kumuelezea nilivyozoea lakini hakutaka kusikiliza, jicho alilonikata niliondoka kama chizi nikikimbia. Nilifika jikoni na kupakua chakula, nilikaa chini ili kula. Lakini kabla hata sijafikisha tonge mdomoni alikuja, alikua kasimama pembeni yangu. “Ndiyo unafanya nini?” Aliniuliza, macho yake yalikua katika chakula. “Nakula ma…dada…” Kidogo nisahau na kumuita Mama. “Pumbavu unakula nini? Yaani unakula chakula ambacho ninakula mimi! Hivi una akili kweli unataka kuwa sawa na mimi, nikulipe elfu thelathini na chakula ule kama mimi!” Aliongea kwa hasira, alikipiga teke chakula kisha kutoka, alirudi na ndoo ya dagaa na kunirushia. “Kuna ndoo ya dona iko hapo, pika ugali wako ule. “Aliongea kwa hasira huku anaondoka, alienda kwa sekunde kadhaa na kurejea. “Upike mwingi kuna mwenzako anatoka shule atakuja kula na wewe!” aliondoka na kuniacha pale. Nilianza kuchambua Dagaa ambao wengi walikua wameoza, unakutana na wadudu kabisa. “Haya mapya! Nimeruka mkojo nimekanyaga mavi!” Niliendelea kujiongelesha huku nikichambua dagaa ambao walishaanza kunitia kichefuchefu. Huko nilikotoka nilikua nanyanyaswa lakini angalau nilikua nakula chakula cha mabosi wangu hata kama nilikua nalia jikoni! *** Jioni jioni hivi kama saa kumi na nusu watoto wake walikuja, walikua watatu. Mmoja mkubwa kuliko wenzake Jackline na wengine wadogo Joan na John, hawa walilingana kwani walikua mapacha. Baada ya kubadilisha nguo niliambiwa niwatengee chakula, nilifanya hivyo kwa kuweka sahani tatu mezani. Lakini Jackline ambaye alikua na miaka kumi hakukaa mezani, alikuja jikoni ambapo nilikua naandaa chakula cha usiku. “Wewe ndiyo Dada mpya, shikamoo…” Alinisalimia tena kwani alishanisalimia wakati nawafungulia geti ili waingie. Niliitikia kwa wasiwasi kwani nilishaambiwa nisiongee na wanae hivyo niliogopa hata kumjibu salamu. “Chakula changu kiko wapi?” Aliuliza, huku akikaguakagua vyombo. “Chakula si nimeshawatengea sebuleni?” Niliuliza kwa mshangao, hasira zilinipanda kidogo kwani nilishajua kuwa kumbe mbali na kudili na Bosi kichomi basi ningedili na mtoto mdogo kama yule ambaye ana kisirani. “Baba amesafiri mimi siruhusiwi kula sebuleni nnatakiwa kula na wewe!” Sikumuelewa niliuliza mata mbilimbili ndipo kwa utulivu kabisa alinieleza kuwa yule hakuwa Mama yake mzazi bali ni Mama wa kambo hivyo kila Baba yake anaposafiri yeye haruhusiwi kula chakula sebuleni na wengine mpaka anaporejea. Chakula anachokula ni cha Dada wa kazi. Kusema kweli hilo lilikua jingine jipya, labda kwakua nilikua sijafanya kazi katika nyumba ambayo Bosi ana mtoto wa kambo. Niliwaza kile chakula ambacho nilipika kwaajili yangu, nikawaza wale dagaa kisha nikamuangalia yule mtoto na kumuambia. “Jack, si unaitwa Jack… “Nilimuuliza. “Ndiyo Dada!” Alijibu kwa upole. “Huwezi kula kile chakula, hata mimi kimenishinda, hembu ngoja nikutengee kingine, mbona kiko kingi tu watamwaga hawa!” Niliongea huku nikimtafutia sahani ili kumpakulia chakula lakini alikataa katakata, aliniambia nitapigwa sana kama nikila chakula kingine. Alinionea huruma mimi pia nakuniambia hata Dada mwingine alifukuzwa kazi kwakua alikua ananipakulia chakula cha wengine. Alionyesha kuogopa mpaka na mimi nikaogopa kwa namna alivyokua anaogopa. “Huyu ni mwanamke wa namna gani mbona yuko hivi!” Niliwaza nikimuangalia Jackline, alikua kachoka lakini alijitahidi kuonyesha yuko sawa, mara kwa mara alikua akitabasamu huku akijilazimisha kucheka. Aliniongelesha ongelesha kutaka urafiki, kweli nilimuonea huruma machozi yalinilengalenga. Kwangu ule ulikua ni mtihani mpya ambao sikujua nitaumalizaje. *** Siku mbili baadaye Baba mwenye nyumba alikuja, huyu yeye niliambiwa nimuite Baba na nilifanya hivyo bila kuuliza maswali. Alikua ni kijana tu wa makamo au sijui niseme mtu mzima mwenye muonekano wa kijana. Alikua mchangamfu na alipokuja kila mtu alikua na furaha, si Jackline au watoto wake wengine nyumba ilikua kama imemwagiwa gunia la furaha. Hakukua na kupika mara mbilimbili, hata mimi niliambiwa nikae kwenye meza kubwa, hakukua na kutumwa tumwa kwani Baba akiwepo wakati wa kula ni kula na wote alituchukulia kama wanae. Ilikua ni kama unaishi katika nyumba nyingine tofauti kabisa, Dada alikua mchangamfu akiongea kwa kucheka mara kadhaa akimkumbatia Jackline. Hata mimi alinitambulisha kwa bashasha akinisifia kwa ufanyaji kazi wangu. Kweli nilishangaa “Mbona sielewe, huyu Mama yako wa kambo mbona kama anabadilika sana kama si yeye?” Nilimuuliza Jackline, alijiibaiba kukaa jikoni wakati wenzake wakiangalia TV, Baba yake akiwepo alikua haruhusiwi kufanya kazi yoyote. “Nimeshamzoea, anaigiza tu Baba akiwepo?” “Kwahiyo Baba yako hajui chochote?” “Hapana, nilishamuambiaga zamani lakini hakuniamini, niliishia kupigwa tu. Nilimuambia Mama kwanza aliposema kwa Baba akaambiwa nina wivu hivyo kukatazwa hata kuja kuniona, ilileta ugomvi mkubwa siku hizi kila nikilalamika naambiwa nimetumwa na Mama kuja kumfitinisha Mama Mdogo…” “Mama yako wewe yuko wapi? Kwanini huendi kuishi na Mama yako?” Yuko kijijini, waligombanaga na Baba zamani, hawakuoana, Baba alinichukua nikiwa mdogo na kunileta hapa, mimi sijui mambo hayo ila Mama yangu naongea naye tu kwenye simu mara moja moja lakini simkumbuki hata sura, hata sijui mimi mambo yao.” Aliongea kana kwamba ni mtu mzima, alionyesha kupitia mambo mengi na hakukua na mtu wa kumsikiliza. Nilipokuja kufuatilia nilikuja kugundua kuwa Mama yake na Baba yake hawakua wapenzi, ni watu tu walikutana na mimba ilipotokea basi Mama yake alivyokua akidai matumizi kipindi hicho ashaoa aliamua kumnyang’anya mtoto kwa nguvu. Kwao ni Iringa hivyo alimnyang’anya na kumchukua kipindi akiwa na miaka minne na tangu wakati huo alikua akiwasiliana naye kwa simu tu. Ana Mama yeka mkubwa, Dada wa Mama yake ambaye yuko Dar lakini naye haruhusiwi kumuona kwani ndiyo alimuambia kuhusu manyanyaso na kumuambia Mama yake ambaye alipoongea na Baba yake ukawa ugomvi mkubwa. Sikua na la kuongea zaidi ya kunyamaza tu kwa namna alivyokua akiongea ni kama alishakata tamaa ya maisha muda mrefu, sikujua ni kwa namna gani naweza kumsaidia kwani hata mimi nilikua na matatizo yangu. Usiku wakati wa kulala sikuolazwa stoo kama kawaida, hapana, niliambiwa natakiwa kulala katika chumba kimoja na Jack. Ulikua ni utaratibu wao, Baba akiwapo na mimi nakua mtoto na lala chumba kimoja na Jack. Usiku baada tu ya kuingia Jack alizima taa, nilishangaa kwani hata kitandani nilikua sijafika, nilimuuliza kwanini anazima, nikihisi labda ni Mama yake hapendi. Nilisogea na kuwasha, alishtuka, ni kitu amcho hakukitegemea. Alikua anavua nguo ili kuvaa nguo za kulalia, nilipowasha taa tu alianza kujificha kama vile anaona aibu. Nilishangaa kwani mimi ni mwanamke mwenzake, “Dada zima taa, zima taaaa!” Alipiga kelele, alionyesha kushtuka akijificha, lakini badala ya kuficha hata sehemu za siri alikua anaficha mgongo wake. Nilitaka kuzima lakini kabla ya kufanya hivyo macho yangu yalitua katika mgongo wake, ulikua kama ramani ya Tanzania, ulijaa makovu mengi ya fimbo, mengine mabichi kabisa kama vidonda. Sikuzima, sasa nilijua sababu ya yeye kuzima taa hakutaka nione makovu. Nilisogeza macho mpaka kwenye mapaja na sehemu za siri huko ndipo kuliharibika zaidi. Hapo ndiyo nilijua ni kwanini mara kwa mara huwa anakunja uso hata akiegemea sehemu au kugusa mapaja yake. Nilimsogelea na kumkalisha chini, alianza kulia kabla ya kusema chochote. “Kwanini humuambii Baba yako, kwanini humuonyeshi haya makovu? Akiona atakuamini!” Niliongea kwa hasira, sikua na muda pale lakini kwa upendo aliokua nao yule Baba sidhani kama angeweza kumuona mwanae katika hali ile na kunyamaza kimya. “Namuambia Baba yako, hii kazi ishanishinda, ngoje nifukuzwe lakini niondoke na huyu Sherani!” Niliongea huku nikinyuka kwenda kumgongea Baba yake, tayari walishaingia chumbani kulala. Jack alinifuata akilia kunibemebeleza ili nisiende akiogopa kuwa atamuua lakini sikujali, nilijua ni uoga ambao mimi kama mtu mzima nisingeweza kuuruhusu. Ushahidi alikua nao na hakukua na haja ya kuendelea kuteseka hata siku moja katika nyumba ya Baba yake. Alinisihi sana lakini sikumsikiliza, nilitoka mpaka sebuleni, alinifuata akiwa vilevile uchi kasahau kuvaa nguo, analia, nilielekea mpaka mlangoni kwa wazazi wake. Bado alikua analia, huku akiongea kwa kunong’ona. “Dada Raya, Dada Raya usimuambie, usiongee chochote, mimi niko sawa niliumia Shuleni, sio Mama aliyenipiga, ni ukorofi wangu tu!” Alipiga kelele kuniomba nisiseme. ITAENDELEA… (Hiki ni kisa cha kweli ingawa majina yaliyotumika hapa hayahusiani na wahusika. Hii ni sehemu tu ya simulizi kutoka kwa wadada wakazi “House girls” ambazo nitakua nikiwaletea. Je unadhani kama Raya atagonga mlango na kumshitaki Mama wa kambo, je Baba Jack akiambiwa atachukua hatua gani, kesho si mbali sana tukutane kwa sehemu ya pili hapahapa kwenye ukurasa huu…” ... Read More
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Tano (5) By GIVAN IVAN PHONE & WHATSAPP_____0769673145 Ilipoishia........... Na wakati huo huo taratibu Frank alianza kurudiwa na fahamu Zake. Milango ya gari Ile aliyowekwa Frank ilifungwa, na Kisha gari likaanza kuondoka kwenda kumtupa Frank sehemu ambayo kamwe hatoweza kuonana tena na Penina. ********Endelea ******* Zaza pamoja na wenzake walipongezana kwa kazi waliyoifanya na kuamini tayari wameshampoteza Frank. Zaza alitoa simu yake na kumpigia mzee Joel na kumpa taarifa Ile. Mzee Joel alifurahi Sana na akaamini sasa tayari anakaribia kutimiza lengo Lake kumtenganisha Penina na Frank. "hahahaaaa ninachokitaka mimi lazima nikitimize mtoto ni wangu lazima aolewe na mtu ninayemtaka mimi." alisikika mzee Joel akijitambaa mwenyewe. * Masaa manne yamepita Sasa bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Baba yake Frank, mama yake Frank pamoja na Angel wakiwa na Penina walishindwa kuelewa Frank amepatwa na nini ghafla hivyo. Penina ndio alihuzunika Sana hakujua afanye nini kwa wakati ule. "mama ngoja mimi nirudi nyumbani tu maana nahisi kuchanganyikiwa." aliongea Penina kumuambia mama yake Frank. Kisha akaingia kwenye gari yake na kuondoka huku akiwa hana furaha kabisa. Wazazi wake Frank walihisi kuchanganyikiwa kwa mtoto wao kupotea ghafla, lakini walijipa moyo na kuamua kusuburi labda pengine atarejea baada ya Muda. Penina alifika nyumbani na kuanza kupiga honi kwa fujo afunguliwe geti. Hii ilikuwa sio kawaida ya Penina kufanya hivyo, ikabidi Wazazi wake pamoja na Nolan pamoja na Irene watoke nje ili kujua kwa nini Penina amefanya vile. Geti lilifungjliwa Penina akaingiza gari ndani kwa kasi na kulipaki sehemu yake, Kisha akashuka huku akiwa amenuna na kuingia ndani bila kumsemesha mtu yoyote. "kulikoni tena huyu mbona haeleweki?" akauliza mama yake Penina kwa mshangao. "Nenda kamuulize unatuuliza sisi kwani tulikuwa naye." mzee Joel akamjibu mama Penina. Mama yake Penina aliondoka na kumfuata Penina chumbani kwake. Nolan naye akaungana na mama yake kwenda chumbani kwa Penina ili kujua tatizo ni nini. Mzee Joel alibaki akiwa anatabasamu tu kwasababu yeye alijua kila kitu kuhusu Penina. "Penina ni nini tena mwanangu?" akahoji mama yake Penina baada ya kufika chumbani kwa Penina na kumkuta akiwa analia. "Frank mama." akasema Penina huku akizidi kulia, na wakati huo huo Nolan naye aliwasili chumbani kwa Penina. "Frank kafanya nini tena mwanangu hebu nyamaza unieleze vizuri." akaongea mama yake huku akimbebeleza. Penina alimwelezea mama yake pamoja na Nolan mkasa mzima wa jinsi Frank alivyotoweka kimaajabu. Mama yake Penina pamoja na Nolan kaka yake Penina, walipigwa na butwaa kwa maelezo ya Penina. Lakini hata hivyo Nolan akamwambia Penina, "usijali mdogo wangu kwa Sasa wewe tulia mimi nitalifuatilia hili swala hapa nahisi kuna kitu." "kaka mimi naumia Sana sikutegemea kitu hichi tena ghafla hivi." akaongea Penina huku akizidi kulia. "najua unaumia ila nipe Muda nilifuatilie hili swala, naomba uwe mvumilivu." akaongea Nolan kumtuliza Penina. "nyamaza mwanangu usilie tena, mwachie kaka yako hii kazi atakusaidia." akaongea mama yake pia kumtuliza Penina. * Frank taratibu alianza kurudiwa na fahamu akiwa Katika gari Ile aliyowekwa, Frank alianza kujikagua na kugundua kuwa amefungwa miguu mikono pamoja na usoni, hivyo hakuweza kuona chochote zaidi alihisi yupo kwenye gari ambalo lipo kwenye mwendo wa kasi sana. Frank alipiga kelele lakini alitulizwa kwa kupigwa na kitu kizito cha uso na kuzimia tena. Baada ya safari ya masaa ishirini na nne, hatimaye Frank alifikishwa Katika misitu fulani inayopatikana huko tabora. Mida ya usiku usiku Frank alitolewa kwenye gari na kutupwa pembeni ya misitu Ile Kisha wao wakaingia kwenye gari na kuondoka kwa kasi sehemu ile na moja kwa moja wakaanza safari ya kurudi dar es salam na kumuacha Frank akiwa Katika hali mbaya Katika misitu Ile. Baada ya masaa kadhaa mbele Frank alizinduka na kujihisi yupo sehemu ambayo hakuweza kuilamba. Frank alipojaribu kunyanyuka aligundua kuwa amefungwa miguu, mikono pamoja na usoni hivyo hakuweza kufanya lolote. Frank aliamua kupiga kelele ili aweze kupata msaada lakini hakuweza kufanikiwa kupata msaada. Baada ya kupiga kelele kwa Muda mrefu bila kupata msaada, Frank aliamua kutulia na kusubiri chochote kitakachotokea huku akimuomba Mungu amsaidie.* Wazazi wake Frank walihangaika usiku na mchana bila mafanikio yoyote ya kumpata Frank. Ilifika sehemu Sasa wakaamua kumuachia Mungu kwasababu wao wameshachoka kumtafuta bila mafanikio yoyote. * Kaka yake Penina aitwaye Nolan yeye hakuamini kama Frank amepotea bali aliamini kuna mchezo unafanyika, Nolan alianza kuchunguza juu ya upoteaji wa Frank. Kwanza Nolan alianza kumchunguza baba yake ambaye Muda wote alikuwa pamoja na Irene mdogo wake Penina. "Baba wewe unalichukuliaje hili swala la kupotea kwa Frank mpenzi wake Penina?" akauliza Nolan. "hahahaaaa! wewe nani amekwambia Frank amepotea? Frank hajapotea kashapata mwanamke mwingine akatoroka naye wewe unasema amepotea, acha kujisumbua mwanangu." akaongea mzee Joel baba yake Penina kumuambia Nolan. "Kaka sikia nikuambie, mimi Nina uhakika Frank yupo na mwanamke mwingine nyie mnahangaika tu tena mwambie Penina aache kuhangaika na mwanaume ambaye hajatulia." akaongea Irene mdogo wake Penina kuunga mkono maneno ya baba yake. "Irene mdogo wangu huko unakoelekea unapotea, wewe una uhakika gani na maneno unayoongea?" akauliza Nolan kwa upole. "ana uhakika na anachokiongea wewe unafikiri yupo kwenye ndoto?" akadakia baba yake Penina kumtetea Irene. "Mbona mnateteana kama kuna kitu ndani yenu mbona siwaelewi?" akaongea Nolan kwa mshangao. "huwezi kutuelewa kwasababu upo nyuma Sana kama mkia wa ngombe." akaongea mzee Joel maneno hayo ambayo kidogo yalimfanya Nolan apandwe na hasira, lakini akajitahidi kuzishusha. "ok nashukuru kwa maneno yenu lakini nawaahidi lazima ukweli utajulikana." akaongea Nolan Kisha akanyanyuka na kuondoka. Penina Sasa alikuwa mtu wa kushinda ndani tu huku akiwa hana furaha kabisa kutokana na kutoweka kwa mpenzi wake Frank. Mzee Joel naye Sasa kumbe alikuwa tayari ameshamtafutia Penina mwanaume mwingine wa kutoka Norway na ndio alitaka amuoe mtoto wake Penina. * Hatimaye kulipambazuka Katika misitu ile aliyotupwa Frank. Frank alizidi kuhangaika bila kupata msaada wowote. Njaa pamoja na kiu vilimtesa Sana Frank pale msituni, alipiga kelele mpaka sauti ikaisha bila kupata msaada wowote. "Eeh Mungu Kwanini unaniacha niteseke hivi? Kama huu ndio mwisho wa maisha yangu bas naomba unichukue haraka usiniache nife Katika mateso makali kiasi hiki." akajisemea Frank kwa sauti ya chini akimuomba Mungu wake. Lakini hata hivyo baada ya masaa mawili mbele, aliweza kupita mzee mmoja aliyekuwa akichunga ngombe, karibu na sehemu Ile aliyotupwa Frank na pia akaweza kumuona Frank akiwa amelala pale chini akiwa hajiwezi kwa lolote. ....... Itaendelea Tukutane JUMATATU ... Read More
SHINDU LA KIHAYA-11 ,,,ngo ngo ngo,,,mlango ulibishwa hodi ambapo Hassan haraka alitoka chumbani huku dudu lake likiwa limesimama ndani ya pensi nyepesi aliyoivaa,aliapa kwamba mama huyo akiingia tu ndani amekwisha,ndani ya penzi hiyo nyepesi hakuvaa kitu chochote,basi alichukua kopo la vibanio na kuliweka mezani,kisha yeye akajilaza kwenye kochi akiwa kifua wazi,hakwenda kufungua mlango kwavile ulikuwa haujafungwa na alijilaza makusudi kwani kuna wanawake wakiona muundo mkubwa wa dudu huchanganyikiwa zaidi kama mabwana zao wanadudu ndogo ,,,karibu,,,aliitikia Hassan kwa sauti ya kuigiza ili aonekane alikuwa amelala. Kitasa cha mlango kilizungushwa ambapo mama wa watu kwa kuhakikisha alipiga tena ile hodi ya kizushi ,,,hodi mpaka ndani jirani,,,alisema hivyo ambapo Hassan hakuitikia alijifanya yuko katika usingizi mzito sana,wala hata macho hakufungua,la alimsoma mama huyo kila atakachokifanya,kwanza mama huyo alisita kuchukua kopo la vibanio,kilichomfanya asite ni mlalo aliolala Hassan. Yalikuwa ni makusudi kabisa,tumezoea kuona wanawake wanaowatega wanaume,lakini hiyo ilikuwa kinyume chake,mwanaume anayemtega mwanamke.Hassan alijilaza kihasara ambapo dudu lake lilichungulia kwenye paja,hata muundo wa urefu wake ulionekana dhahri,nywele za kifuani ambazo wengi huziita bustani ya mapenzi zilionekana vyema kabisa,basi mama wa watu alipoteza kama dakika kuangalia dudu la Hassan kisha akachukua vibanio na kuondoka taratibu. Hassan alihesabu kama ni hatua ya mafanikio,alichokifanya alielekea kwenye dirisha lake na kuendelea kumchungulia shughuli zake,alionekana ni mtu mwenye mawazo tofauti na mwanzoni,kwani kuna muda aliinamia kamba ya nguo huku akitabasamu mwenyewe,Hassan alijipa maksi pengine anawazwa yeye.Ila mahali alipokuja kuonyesha waziwazi kuwa ana uhitaji wa dudu,alijiingiza mkono na kujiweka vizuri kitumbua chake ambapo mdomo wake wa chini aliuuma kidogo na meno,hapo Hassan akawa anajua tu mama huyo atarudi Alchotegemea Hassan mama huyo atarudi hata baada ya nguo kukauka kwasababu alitumia vibanio vyote.Ila mambo hayakuwa hivyo,akiwa ametulia sebuleni analiangalia dudu lake lilivyosimama na kuliambia litulie kwanza.Sauti ya yule mama tena ilibisha hodi,ila hodi ya safari hii haikuwa kubwa sana,ilibishwa kwa sauti ndogo ambayo aliisikia Hassan mwenyewe Hassan alikwenda mlangoni na kufungua mlango,kisha uso kwa uso alikutana na huyo mama, ,,,nimerudisha kopo la vibanio jirani,,,alisema hivyo mama huyo ambaye jina lake halisi aliitwa Agnesi ,,,sasa baadaye utawekea kwenye nini lakini jirani,,,alongea kwa sauti ya kichokozi Hassan ambapo ilikuwa ni sababu tosha kumwaminisha Hassan kuwa mama huyo hakufuata kurudisha kweli kopo ,,,ooh nishasahau,ona sasa uzee huu,,,alipojibu hivyo akataka kuondoka kurudi Hassan alimshika mkono na kumvuta kidogo,mama watu alilegea ile yenyewe kabisa mpaka jicho,ila hapo hakuvutwa ndani ,,,tufahamiane jirani yangu,,,aliposema hivyo Hassan,mama huyo jiran akawa anataka kujitambulishia hapo hapo nje,ila Hassan alimkata kauli ,,,jamani jirani tunaongelea nje kama hatuna sebule?,,, ,,,aah si unajua bado nafua jirani,,,alijitetea mama huyo Hassan hakuelewa kauli hiyo akawa anamvuta kwa ndani huku mama huyo akigoma ile uwongo na kweli ,,,baadaye bwana jirani ntakuja tutapiga stori,,,ikawa vuta nikuvute hapo mlangoni ambapo ambapo dudu la Hassan lilizidi kunyanyua pensi na kutuna hasa,mpaka ikawa sio kificho tena. Mchezo wa vuta nikuvute Hassan alishinda,mama huyo jirani aliingia ndani ila alikataa kukaa alisimama kwnye ukuta akimwomba Hassan kuwa aje baadaye ila sio muda huo ,,,mume wangu hachelewi kurudi Hassan,nitakuja baadaye,,,aliongea hivyo mama huyo huku akiwa ameshaelewa somo Dudu la Hassan lilisimama vibaya mno,yaani ikawa hata ile pensi haizuii kitu,mama huyo alivalia khanga mbili,moja aliipitisha juu ya matiti,ya pili aliifungia kiunoni,basi Hassan alivua Pensi na kubakiza zinga la dudu likinesanesa,eti huyo mama aliziba macho huku akijifanya analia kama mtoto ,,,Hassan bwana mambo gani hayo,,,alisema hivyo kwa sauti ya chini ambapo Hassan alimsogelea mpaka kwa karibu dudu ndilo lilianza kumgusa kitovuni,alimkazia macho hasa ,,,niangalie,,,alisema Hassan,kwa uwoga jirani alimwangalia ,,,unataka kuondoka?,,, ,,,ndio,,,haraka mama huyo jiran aliitikia ,,,piga magoti halafu utaenda,,,mama huyo alishangaashangaa huku akipiga magoti taratibu,hakuziba tena uso,sasa kwa jinsi alivyopiga magoti,akawa usawa wa lile dudu kabisa,yaani mdomo wake ulielekea kabisa kwenye dudu ,,,nadhani unajua cha kufanya,,,aliongea Hassan ,,,mi nifanyaje sasa,,,alijbu kwa kudeka mama huyo ,,,panua mdomo,,,yaani mama huyo alipopanua tu mdomo,Hassan alikingiza kichwa cha dudu lake mdomoni mwa jirani huyo,cha kushangaza hakukutana na meno,akajua tu mama huyo alijiandaa kulinyonya.Kuanzia hapo ni kama uwanja ulifunguliwa ,,,nyonya basi jamani,,,aliongea kwa mapozi Hassan ambapo mama huyo alilifumba tu bila kufanya chochote,ni yeye tu Hassan alikuwa akifanya kama analipeleka mbele na kurudisha nyuma. Alipoona mama huyo hatoi ushirikiano na anataka kusuguliwa alimwinua kisha akaelekea mlangoni kwa hatua za taratibu na kufunga mlango,ile kugeuka kurudi,alishangaa mwenyewe,mama huyo alikuwa amejibakiza na chupi tu,khanga zote alizitoa,Hassan alimfuata na kumvutia karibu,kile kitendo cha kuvutwa mtoto alitoa kicheko fulani cha kutia nyege,basi taratibu mdomo ikaanza kugombaniana ndimi zao,mkono wa huyo mama ulishuka mpaka kwenye kitobo cha dudu,palikuwa na ute fulani ambao ulishaanza kutoka,basia liutumia ule kusugua kile kitobo pamoja na ile sehemu ya chini ya kitobo,e bwana Hassan hakutegemea huo utamu aliouhisi,,,, SHINDI LA KIHAYA-12 Uimara wa dudu kusimama uliongezeka ambapo Hassan alijisikia raha hasa,raha ya dudu ipo kichwani bwana,basi naye kwa uchokozi wa kimahaba Hassan alishusha mkono wake mpaka chini kabisa kisha akawa anapapasa kitumbua kwenye mashavu yake mpaka pale kati kwenye utamu japo hakupakazania,yaani mkono tu kwa nje mama wa watu alishalowa,alikuwa na hamu alipoliona tu dudu la Hassan maana akiangalia mumewe hana mzigo mzito kama huo. Huku nje sasa,wamama wenzake walvyo wambea walianza kujiuliza huku wakihisi kinachoendelea kwa Hassan,walisemezana ,,,angekuwa amesharudi,,, ,,,Hassan atakuwa anamsugua bila shaka,,, ,,,mmh sio rahisi,yule mama mpole vile,,! ,,,upole mdomoni kwani kitumbua kina upole?,,,walicheka wote kwa pamoja na kugonganisha viganja vya mikono yao ,,,ila jamaa naelekea yuko vizuri,,, ,,,ndio kwasababu yule hakuwahi kuongea na Hassan hata siku moja ila leo anasuguliwa,,, ,,,mapenzi bwana,sa yule mama anakosa nini kwa jamaa yake?,,, ,,,ndio hivyo,tuyaache kama yalivyo,,,waliishia hapo na kuendelea na shughuli zao maana waliona hata wakifuatilia sana hayo ni maisha ya mtu anayoamua kuishi Hassan alishamtoa mama huyo chupi na kumbakiza kama alivyozaliwa,yaani kitumbua chake kilituna hasa kwa nyege,matako yake yaliyolaini ndiyo yaliyomvutia zaidi Hassan,hapo walikuwa wameshapelekana kitandani,wote wawili walikuwa uchi kabisa,walianza na mtindo wa kiubavu. Mama huyo alionekana kulitolea macho dudu la Hassan kama mtu anayelitamani na kulihofia kwa wakati mmoja.Kweli mtoto alifundwa mapenzi,unajua kumjua mwanamke anayejua kufanya mapenzi ni rahisi sana,ukimweka mtindo wowote,we angalia ni jitihada gani amezifanya kuhakikisha utapata utamu,ila kama ukimweka ndio hivyo hivyo hata aichangamkii staili huyo namfananisha na mtoto wa miaka sita. Mama Jirani alivyolala kiubavu,yaani kile kiuno na mgongo sijui alijipindaje mpakayale matobo yake mawili yakawa yanaonekana wala sio ya kuyatafuta,na alivyo na matako makubwa huo mtindo ulimpendeza sana,miguu yake aliibana vyema kabisa,raha nyingine ya mtindo huu,hata kama mwanamke atakuwa na kitumbua kikubwa,kwa jinsi mama huyo alivyokaa sio rahisi mwanaume kujua kwani kitakuwa kimebana,vilevile ni njia nzuri ya mwanamke kuwahi kukojoa kwani mwanamke akiwa anaguswa na mboo kwenye kila kona ya kitumbua ndivyo anavyowahi kukojoa. Hassan hakupata kazi yeyote,alimsogelea mama huyo akitokea kwa nyuma yake,tayari kitumbua kilikuwa kimelowa hasa,alilipenyeza dudu lake taratibu ambapo kilizama kichwa chote,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssssssssss aaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaah,,,,miguno ya kimahaba aliitoa Mama huyo kwani mzigo wa Hassan haukuwa wa kitoto,,,taratibu alilisukuma mpaka likazama lote,kweli kitumbua kilikuwa kimebana Hassan aliona hatafaidi kama akilala kiubavu kama mama huyo,kabla hajaanza kupampu dudu likiwa ndani,aliinua na kupiga magoti ambapo aliishika miguu ya Mama huyo ile sehemu ya nyuma ya magoti kisha akaifanya kama anaikutanisha na uso wake,hapo mama jirani alihisi maumivu kidogo,Hassan ndio akaanza kupampu huku akiwa amembana hasa mama wa watu,alianza kwa kasi ndogo sana kama anasindikiza harusi,mama wa watu alichemka hasa kwa utamu ,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,,oooooooooooosssssssssssssss,,,,mmmmh,,,alilalamika kimahaba mama huyo akishindwa hata kuchezesha kiungo kimoja zaidi ya kichwa tu,mwanaume akaanza kuchanganya kidogo mwendo,hapo alimlalia na kumnyonya masikio,yaani kutekenywa masikioni na ncha ya ulimi,huku kitumbuani kusuguliwa vyema,mama wa watu alihisi utamu wa ajabu,,,aliguna kwa sauti mpaka Hassan aliogopa,ila wale wamama majirani walisikia kwa mbali ,,,mwanamke anapewa haki yake,,, ,,,mmh sio kwa kilio hicho,,, ,,,usikate jamaa ana mzigo wa hatari,,, ,,,hata kama,atakuwa alikuwa na nyege sana,,, ,,,mmh mambo ya kitanda hayo,,,walisemezana hivyo majirani hao kisha kila mmoja aliendelea na shughuli yake Huku kwa mama jirani anayesuguliwa,aisee alishakojoa bao mbili kwa msuguo wa maana aliopewa,yaani alikuwa akilia kabisa machozi,utadhani alichapwa bakora za nguvu kumbe utamu tu,Hassan alipomwaga aliunganisha na mzunguko wa pili,kibaya zaidi mtindo hakubadilisha,kwahiyo mama wa watu alichoka halafu Hassan ndio alikuwa anatafuta bao la pili. ,,,aaaaaaaaaashiiiiiiiii,,,tubadili bwanaaaaa,,,,aaaaaaaaaaah,,,tubadili stailiiiiiiii,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,unaiumiza jamaniiiiiiiiiiiiii mamaa yanguuuuuuuuuuuu kitumbua changuuuuuuuuu eeeuwiiiiiiiiiiiiiii uuushuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,,,,alilalamika kimahaba ambapo Hassan kama aliweka pamba masikioni hakusikia lolote kumbe ndio alikuwa anakaribia kumwaga,ujue mwanaume akiwa anakaribia kumwaga hata umfanye nini hawezi kubanduka kwenye kitumbua,Hassan alimwaga bao lake na kuganda hapo juu ya mama huyo aliyechoka hasa ,,,we kweli kidume,sijawahi kusikia raha hivi jamani,,,alisifia mama huyo ,,,mi pia sijawahi kupata mwanamke mtamu kama wewe,mtamu sana,,,Hassan alidanganya ,,,mi ntampigia simu mume wangu nimwambie nimepata dharula ya ghafla halafu tubaki wote bwana,,,tayari mama wa watu alishapagawa na mautamu ya Hassan,,,,INAENDELEA SEHEMU YA 13 SHINDU LA KIHAYA-13 ,,,mmmh hawezi kujua jamani,,?,Hassan alihoji kizushi ,,,hawezi,ananiamini sana,,, ,,,kweli eeh?,basi fanya hivyo,nipe dakika kadhaa,,,basi mama huyo alipoongea hivyo alivaa nguo zake kisha akarudi chumbani kwake kwa kujiiba,alioga vyema na kuyatengeneza mazingira aliyoyaahidi,mumewe alipokubaliana na hiyo safari itakayomfanya asiwepo usiku huo,mwanamke alifurahi sana na kutoa maneno matamu kwa mume wake. Sasa hapo ndio uone utofauti,niamini kitu kimoja,sio kwamba Hassan alimpagawisha Mama Jirani kutokana na ukubwa wa dudu lake la hasha!,ila ni kwa utundu wa kucheza na kitumbua,mumewe alikuwa na dudu la wastani ambalo laiti kama angelitumia vyema asingemjengea mkewe udhaifu wa kutamani madudu mengine.Pia mwanamke hutakiwi kutumia vibaya kiasi unachaminiwa na mpenzi wako. Tukirudi upande wa Lisa,siku hiyo akiwa ametoka na mama yake kwenda kupata chakula cha usiku.E bwana kwenye hiyo hotel waliyokwenda waafrika unawahesabu,wazungu walikuwa wengi zaidi,palipikwa vyakula vya kila aina kutokana na nchi.Vingine ni oda maalumu vingine vya kuuza. Waliagiza chakula na kuanza kula,vinywaji vilifuata ambapo walifurahi sana,mwanga haukuwa mkali sana,ulikuwa wa wastani uliowawezesha kuhisi kama wako sehemu ya tofauti sana.Akiwa katika meza hiyo na mama yake,alimwona mzee fulani ambaye alinukia pesa ya maana,alikuwa na uwalaza mkubwa kama mkapa. Sasa ndani ya hotel hiyo kuna wanamuziki rasmi huwa wanatumbuiza,wanaimba nyimbo kuwaburudisha wateja,na kuna muda hupigwa nyimbo za watu wengine kisha wateja hujumuika pamoja na kucheza kwenye sehemu ya wazi kwenye hoteli hiyo.Muziki ulianza muda tu ila watu walipoanza kunyanyuka kuelekea kati,Skola naye alinyanyuka,kwa bahati mbaya au nzuri akapata mzungu wa kucheza naye,wakagandana hasa,mzungu alichanganyikiwa na umbo la Skola,alimwona mpya kweli. Huku Lisa aliletewa ujumbe na mhudumu kuwa kuna mzee anamhitaji,alipoonyeshwa kwa kidole,mzee alinyoosha mkono kumpungia ili aonekane.Mhudumu alipoondoka,naye huyo mzee kwenye kiti chake alinyanyuka na kupanda ghorofa ya juu,alimpa ishara ya mkono Lisa kuwa waonane huko juu. Taratibu mzee alipanda ngazi kuelekea juu huku Lisa akimwangalia anavyopanda ngazi hizo,kwa macho ya wizi,Lisa alimwangalia mama yake na kumwona akiwa ameshikiliwa vibaya na mzungu,tena anabambiwa hasa,alitabasamu kwa hali hiyo kisha akajiweka sawa na kuanza kumfuata yule mzee. Alipanda ngazi taratibu kuelekea huko juu ambapo siku hiyo alivalia gauni fulani sare na mama yake lililokuwa na mpasuo mkubwa sana mbele,pia wepesi wake ulifanya Chuchu zake kuchoreka vyema.Alivyotembea tu Lisa ilikuwa n tabu na yale matako mazuri aliyobarikiwa mtoto wa kike,kweli uzuri unaweza kuwa kipaji na wenywe maana Lisa hata akikutukana vigumu kumrudishia aisee maana hiyo sura na umbo vilivutia sana.Ndo wasichana kama hawa wakiwa wapelelezi kazi yao inakuwaga rahisi sana maana hawatumii nguvu kukukamatisha kwa mapolisi. Huko juu ya ghorofa alipotokeza tu Lisa,mandhari ya huko alipenda,mwanga hafifu ila tofauti na chini,huku juu hakukuzibwa kwahiyo mtu uliweza kuona juu angani.Mzee yule alikuwa amebadili mpaka mavazi,kutoka kuvaa suti mpaka bukta na vesti,mkononi mwake alishika glasi mbili za vinywaji,Lisa bila ya uwoga alimsogelea mpaka karibu,hakukuwa na mtu hata mmoja,bado Lisa hakujua hata uko juu hutumika kufanyaje. ,,,karibu sana mtoto mzuri,,,aliongea mzee na kumpa glasi ya kinywaji ,,,ahsante,nimefuata nini huku,,?,alipokea glasi na kuhoji Kuhusu kinywaji hakikumpa shaka kwani kilifanana na kile alichokuwa akinywa kule chini ,,,aah nahitaji kuwa nawe kwa muda mfupi sana mtoto mzuri Unasemaje,,? ,,,jibu langu linategemea na mfuko wako,,, ,,,basi usijali,,,mzee aliandaa laki mbili,alizito ana kumkabidhi,Lisa aliziangalia kwa dharau kisha hakuongea naye,aligeuka na kuanza kurudi.Mzee kwa kupagawa alimfuata na kumshika mkono akimrudisha tena ,,,yaani umenidharau hivyo? Mi ni wa laki mbili? Kumbe hata hujui vitu vizuri,,,aliongea kwa kujifanya amekasirika Lisa ,,,sawa,hakuna shaka ni kuelewana tu,njoo mama eeh,,,alibembeleza mzee wa watu kisha Lisa alimsogelea mpaka kwa karibu,alibana midomo yake hukumtazama kwa jicho la huba lililommaliza mzee huyo ,,,sikiliza,nitakufanyia milioni moja,ni kawasababu nimekupenda na nahisi una aaaaaah nzuriiii,,,hakutaja hicho kizuri bali alionyesha kwa kushika na mkono kabisa,mzee aliposhtuliwa dudu lake alikubali fasta,kumbe pesa alkuwa nazo,aliingia kwenye chumba fulani kilichokuwa kizuri hasa,kisha akatoka na pesa nyingi akimkabidhi Lisa,Lisa alipopokea tu alianza kumpa utamu mzee Alilivua lile gauni lake na kubakiwa na chupi tu,daaah mtoto aliumbwa jamani,huku juu kifuani hakuvaa chochote kwani Chuchu zake zilijiweza.Alimsogelea mzee huyo aliyekaa kwenye kiti cha kulala,alianza kumnyonya denda,alimvua ile vesti kisha akaanza kumnyonya Chuchu,mzee dudu lilisimama,mtoto taratibu aliivua bukta hivyo na kukutana na dudu la maana,halkuwa limesimama vyema hivyo akaanza kazi,alishusha mdomo wake chini kabisa kwenye kende na kuzinyonya,,,,,aaaaaaaaaaah,,,shiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,alilalamika mzee ambapo ulimi wa Lisa ulihamia kwenye dudu,ulifyonza kile kichwa cha dudu hasa kile kitobo cha mkojo,,,mzee alitamani kupaa,.,,nyege zilipomkolea mzee huyo,Lisa alimjita kwa juu ili ampe mambo ya nayoendana na pesa yake,alimgeuzia mgongo kisha akaivua chupi huku akiinama kumringishia tamu,vilevile alijirudisha nyuma ili alikalia dudu la mzee huyo,,,ITAENDELEA KESHO ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: