Home → simulizi
→ NIPE BHANA
Sehemu ya 03
Mwandishi:Mmaka
Watsapp:0714435449
.............ilipoishia..............
Pipiiiiiiiiiii!!!!!!!!!pipiiiiiiii!!!!!! inasikika sauti ya honi ya gari nje ya nyumba ya dada mwenye nyumba
"Sam tumekwisha !! Mume wangu huyo" anasema dada mwenye nyumba kwa hofu
Wote tuna kurupuka huku miili yetu ikitiririsha jasho la hofu pamoja na mechi fupi iliyokatishwa kabla ya filimbi ya mwisho nachukua nguo za navaa haraka haraka naye dada mwenye nyumba ana vaa chupi na dela lake ananifungulia natoka nduki nikielekea chumbani kwangu lakini sina bahati kwani napishana na mpangaji mmoja hivi mama wa makamo mama rehema aliye sifika kwa umbea mtaa mzima akielekea chooni ananiangalia ninavyotimua huku nimeshikilia suruali yangu na pia dada mwenye nyumba ambaye naye kwa hofu alikuwa ana lifungua geti
"Haloooo!!!! Mnalo mwenye nacho karudi sasa na kuambia mwaka huu mtanikoma"
Wakati huo nimeufikia mlango wangu naufungua kwa woga naingia ndani naelekea moja kwa moja mpaka kitandani najitupa
"Mungu wangu leo ningekufa mhhh na huyu mama kashajua basi mambo yashaharibika bora nihame huu mtaa kabisa maana kwa ninavyo mjua huyu mzee akigundua ataniuwa"
Najisemea kimoyo moyo huku tumbo likiunguruma kwa njaa natoka moja kwa moja mpaka kwenye kamgahawa kilicho jirani na eneo nililopanga naagiza ugali nyama na kula taratibu na baada ya kumaliza narudi geto kuutafuta usingizi japo inachukua mda lakini nakuja kustuka saa kumi na mbili na nusu
Natoka nje kujisaidia nakutana na dada mwenye nyumba akiwa na mume wake wanapiga mswaki nawasalimia wote wanaitikia lakini dada mwenye nyumba ananikonyeza akiachia tabasamu kwa mbali bila mumewe kugundua mimi namtazama tu na kuingia zangu chooni
Baada ya kumaliza shughuli za nyumbani najiandaa kwenda katika kibiashara changu kidogo kinachoniweka mjini lakini kichwani nikiwa na wazo la kuhama nilipokuwa nimepanga tena ikiwezekana jioni ya siku ile ile
Kabla ya kuingia kazini naenda moja kwa moja kwa mshikaji wangu Abdalla ambaye tulizoea kumuita kwa kifupi '
Dulla'
"oy mambo vp mwana"
"Fresh mishe nini"
"powa tu ndugu yangu"
"vp mbona leo mapema sana kwangu"
"Dah!!! Nahitaji chumba cha kupanga mwanangu kule nilipo nisha yaharibu"
"Duh umetembea na mama mwenye nyumba nini maana kuhama ghafla hivyo si kawaida"
Namweleza Dulla masaibu yote niliyo kutana nayo na kumuomba ahakikishe jioni nahamamia katika chumba hicho ambacho nahitaji kiwe na hadhi kama kilivyo chumba chake, naye ana nihakikishia chumba ntapata na kunitania kwamba na yeye ni mfanyie plan ambapo tayari najua huyu anahitaji pesa na mwambia pesa si tatizo cha muhimi chumba kwanza naondoka mpka kazini kwangu na fungua kibanda changu na weka mambo sawa natoka na kukaa nje kusubiri wateja
Mara anatokea Jeni "waohh mpenzi umeamkaje" anasema huku akinikumbatia.
"salama tu wewe umeshindaje "
"mi niko pw japo nili lala mchovu ila hakuna siku niliyo lala vizuri kama leo kweli wewe kiboko"
"Amna mbona kawaida hata wewe ulinikimbiza sana" tunaongea ilimradi kufurahishana Jane ana nichukua tunaenda kunywa chai lakini wakati wa kurudi tunafika dukani analisimamisha gari tuna shuka Jane ananisogelea na kunibusu shavuni
"baby bye tutaonana baadaye ila naomba tuendelee kuchati " ananiambia Jane lakini tunastushwa na sauti ya mzee wa makamo kama miaka sitini
"Ahhha!!! kumbe wewe Jane ndiyo mambo yako kutembea na vijana wachafu na wasio jielewa kama hawa ndo maana tunakutafutia mchumba unakataa kumbe ni huyu kikaragosi ndo anakuchanganya akili
Sasa wewe kijana nakuuwa na hamna mahali popote nitakapo pelekwa unaniaribia binti yangu niliyemsomesha nje ya nchi kwa gharama mpaka amefika alipo na anakataa kuolewa na vijana matajiri na wenye elimu kwa sababu yako wewe usiye na uwezo wa kumpa chochote maskini mlaaniwa mkubwa"
anaongea mzee yule akitoka dukani huku mkononi ameshikilia bastola na kuninyooshea hakika alionesha kudhamiria kufanya alicho kisema mimi kwa woga nikaanza kumuomba msamaha huku yeye akizidi kusogea karibu na mahali nilipo huku akiikoki kabisa bastola yake na kuninyooshea
"Mzee wangu naomba unisamehe sinta jaribu tena hata kumsogelea binti yako nilisema na wala yeye hakunieleza ukweli wa maisha yake" nilimwambia yule mzee kwa woga huku nikiamini siku yangu ya kufa ndo imefika
Mzee alizidi kunifuata ambapo tayari katika eneo lile tayari watu walisha kusanyika kushuhudia filamu iliyochezwa laivu huku kila mmoja akizungumza la kwake na kama unavyo jua tena Dar mtu unaweza kuibiwa watu wakabaki wakikushangaa na kumwangalia mwizi bila kuchukua hatua yeyote
Kuona vile Jane alikuja na kusimama mbele yangu "baba bora uniuwe mimi huyu kaka hana kosa lolote mimi ndiyo nilimlaghai kwa pesa ili anipende chonde baba naomba umuache kaka wa watu aende "
"Hivi wewe binti umelogwa nini yani umeniudhi na hujui pesa nilizo poteza ili usome leo hii unataka kunitia aibu na hasara uje kuzaa na hii takataka nakuambia sogea hapo nimmalize huyu ms***"
Anaongea mzee yule na kumvuta Jane atoke mbele yangu ili apate upunyo wa kunipiga risasi lakini anakuwa amefanya kosa kubwa kwani tayari niliona hapa ni kifo tu nikizembea cha muhimu nami nijitahidi kuuokoa uhai wangu
basi kwa haraka naushika mkono wa yule mzee aliokuwa kamshika nao mwanaye na mvuta kwanguvu nilipo na kumpiga kichwa cha nguvu kinachotua kwenye pua yake na kusababisha atoe ukelele wa maumivu huku akiiachia bastola inayoa nguka chini na kunipa chansi ya kuikokota ambapo yule mzee anaanguka chini kama gunia naichukua ile bastola na kumnyooshea japo siwahi kushika kifaa kile lakini ilinibidi niwe kama aliyezoea kukitumia
"Sasa nakuuwa kama ulivyotaka kunifanyia " niliongea nikionekana kumaanisha nilichosema
Kuona vile Jane alikuja mbio na kunisukuma ambapo niliangukia uso na kujiburuza kwenye vumbi nikijizuia nisiiachie bastola iliyo kuwa mkononi hakika nilichubuka uso mzima huku sura ikajaa mavumbi hapo ndo nikaamini kuwa mwanamke si mwenzako muda wowote anaweza akakubadilikia nilnyanyuka kwa hasira na kumfuata Jane aliyekuwa akimnyanyua mzee wake akimsaidia kusimama
"kweli nimeamini mwanamke si mwenzako yani wewe ndo umeniingiza kwenye matatizo yote haya alafu unanisaliti na kutaka kuniuwa sasa nimejua wewe na baba yako amna tofauti
Sasa nawauwa wote kwa kuwa mlitaka kuniuwa naongea maneno yale kwa ujasiri bila kujua nilipo utoa
Naachia risasi mbili mfululizo zinazotua katika kifua cha baba yake Jane anayeanguka chini akivuja damu na kufarika papo hapo
Kisha namgeukia aliyekuwa akiniangalia akitetemeka asiamini kilichotokea Jane wewe mwanamke nilikuona mwema na kukubali hisia zako kumbe lako lilikuwa lingine nashukuru kulitambua hilo mapema na kwaheri nafyatua risasi inayo kwenda moja kwa moja hadi kwenye paji la uso la Jane anayeanguka na kupoteza maisha pale pale
"Ameuwa" zinasikika sauti za waliokuwa wakishuhudia tukio lile huku wengine wakipiga picha na kurecord video tukio lile ambapo kama unavyojua wa bongo na mitandao ya kijamii lazima ile video inge sambaa
Kuona vile na weka bastola kiunoni na kulipangua kundi lile la watu na kukimbia katikati ya vichochoro nafika barabarani ambapo na chkua bodaboda anayeonesha kushangazwa na hali yangu
"vipi kaka mbna umeumia sana na unaonekana kuwa na haraka zote hizi"
"nipeleke tabata bonyokwa "
"Endesha haraka kuhusu malipo ntakupa elfu ishirini namwambia bodaboda yule ambaye naye japo kwa kusita anaondoa piki piki kwa kasi mpaka sehemu niliyo panga ambapo namwambia anisubiri naingia ndani ya geti na kuta kina mama wamekaa kibarazani akiwemo yule mama aliyeniona nikitoka kwa dada mwenye nyumba usiku ambapo baada ya kuniona wanacheka
"halooo!!!!! Mwaka huu utauama mji" wanaongea huku wakicheka lakini wanashangaa kuniona nilivyo chafuka mna mchubuko iliyojaa usoni japo wana jaribu kuniita lakini sikuwa na mda nao nafungua mlango wangu nachukua pesa yangu yote ya akiba niliyo hifadhi ikiwemo ile laki tano aliyonipa Jane ambaye kwa sasa ni marehemu nabadili nguo haraka na kunawa uso na kuvaa kofia yangu kubwa iliyoshonwa kwa nyuzi za sueta natoka bila kusahau bastola ambayo tayari nili jimilikisha na kufunga mlango wa chumba changu nikiondoka ila kuwasemesha wanawake wale ambao baada ya kuniona walibaki wananishangaa namkabithi bodaboda elfu hamsini na kumuambia anipeleke kituo cha mabasi ubungo ambaye anashangazwa na kiasi cha fedha nilichompa ila hasemi lolote anaondoa pikipiki namwambia aendeshebkwa mwendo ule ule tunaanza safari ya kuelekea ubungo stendi baada ya masaa kama mawili tunafika naagana na bodaboda ambaye anaondoka kurudi kwenye shughuli zake nami natafuta basi liendalo mkoani Arusha na kuanza safari ya kurudi kijijini kwetu ndani ya wilaya ya Arumeru
Taarifa za mauaji yale zinawafikia polisi wanaokuja na kuichukua miili pamoja na baadhi ya mashuhuda huku waki tumiwa video na picha tukio lote kuanzia mwanzo mpaka mwisho kwa njia ya mtandao wa Watsapp
Wanaondoka na msako unaanza wa kunitafuta wakati uwo nami gari linazidi kuliacha jiji la Dar es salaam...
Nimesha haribu mambo
Je nini kinafuata usiache kufuatilia sehemu ya (04)
Itaendelaa......
NIPE BHANA Sehemu ya 03 Mwandishi:Mmaka Watsapp:0714435449 .............ilipoishia.............. Pipiiiiiiiiiii!!!!!!!!!pipiiiiiiii!!!!!! inasikika sauti ya honi ya gari nje ya nyumba ya dada mwenye nyumba "Sam tumekwisha !! Mume wangu huyo" anasema dada mwenye nyumba kwa hofu Wote tuna kurupuka huku miili yetu ikitiririsha jasho la hofu pamoja na mechi fupi iliyokatishwa kabla ya filimbi ya mwisho nachukua nguo za navaa haraka haraka naye dada mwenye nyumba ana vaa chupi na dela lake ananifungulia natoka nduki nikielekea chumbani kwangu lakini sina bahati kwani napishana na mpangaji mmoja hivi mama wa makamo mama rehema aliye sifika kwa umbea mtaa mzima akielekea chooni ananiangalia ninavyotimua huku nimeshikilia suruali yangu na pia dada mwenye nyumba ambaye naye kwa hofu alikuwa ana lifungua geti "Haloooo!!!! Mnalo mwenye nacho karudi sasa na kuambia mwaka huu mtanikoma" Wakati huo nimeufikia mlango wangu naufungua kwa woga naingia ndani naelekea moja kwa moja mpaka kitandani najitupa "Mungu wangu leo ningekufa mhhh na huyu mama kashajua basi mambo yashaharibika bora nihame huu mtaa kabisa maana kwa ninavyo mjua huyu mzee akigundua ataniuwa" Najisemea kimoyo moyo huku tumbo likiunguruma kwa njaa natoka moja kwa moja mpaka kwenye kamgahawa kilicho jirani na eneo nililopanga naagiza ugali nyama na kula taratibu na baada ya kumaliza narudi geto kuutafuta usingizi japo inachukua mda lakini nakuja kustuka saa kumi na mbili na nusu Natoka nje kujisaidia nakutana na dada mwenye nyumba akiwa na mume wake wanapiga mswaki nawasalimia wote wanaitikia lakini dada mwenye nyumba ananikonyeza akiachia tabasamu kwa mbali bila mumewe kugundua mimi namtazama tu na kuingia zangu chooni Baada ya kumaliza shughuli za nyumbani najiandaa kwenda katika kibiashara changu kidogo kinachoniweka mjini lakini kichwani nikiwa na wazo la kuhama nilipokuwa nimepanga tena ikiwezekana jioni ya siku ile ile Kabla ya kuingia kazini naenda moja kwa moja kwa mshikaji wangu Abdalla ambaye tulizoea kumuita kwa kifupi ' Dulla' "oy mambo vp mwana" "Fresh mishe nini" "powa tu ndugu yangu" "vp mbona leo mapema sana kwangu" "Dah!!! Nahitaji chumba cha kupanga mwanangu kule nilipo nisha yaharibu" "Duh umetembea na mama mwenye nyumba nini maana kuhama ghafla hivyo si kawaida" Namweleza Dulla masaibu yote niliyo kutana nayo na kumuomba ahakikishe jioni nahamamia katika chumba hicho ambacho nahitaji kiwe na hadhi kama kilivyo chumba chake, naye ana nihakikishia chumba ntapata na kunitania kwamba na yeye ni mfanyie plan ambapo tayari najua huyu anahitaji pesa na mwambia pesa si tatizo cha muhimi chumba kwanza naondoka mpka kazini kwangu na fungua kibanda changu na weka mambo sawa natoka na kukaa nje kusubiri wateja Mara anatokea Jeni "waohh mpenzi umeamkaje" anasema huku akinikumbatia. "salama tu wewe umeshindaje " "mi niko pw japo nili lala mchovu ila hakuna siku niliyo lala vizuri kama leo kweli wewe kiboko" "Amna mbona kawaida hata wewe ulinikimbiza sana" tunaongea ilimradi kufurahishana Jane ana nichukua tunaenda kunywa chai lakini wakati wa kurudi tunafika dukani analisimamisha gari tuna shuka Jane ananisogelea na kunibusu shavuni "baby bye tutaonana baadaye ila naomba tuendelee kuchati " ananiambia Jane lakini tunastushwa na sauti ya mzee wa makamo kama miaka sitini "Ahhha!!! kumbe wewe Jane ndiyo mambo yako kutembea na vijana wachafu na wasio jielewa kama hawa ndo maana tunakutafutia mchumba unakataa kumbe ni huyu kikaragosi ndo anakuchanganya akili Sasa wewe kijana nakuuwa na hamna mahali popote nitakapo pelekwa unaniaribia binti yangu niliyemsomesha nje ya nchi kwa gharama mpaka amefika alipo na anakataa kuolewa na vijana matajiri na wenye elimu kwa sababu yako wewe usiye na uwezo wa kumpa chochote maskini mlaaniwa mkubwa" anaongea mzee yule akitoka dukani huku mkononi ameshikilia bastola na kuninyooshea hakika alionesha kudhamiria kufanya alicho kisema mimi kwa woga nikaanza kumuomba msamaha huku yeye akizidi kusogea karibu na mahali nilipo huku akiikoki kabisa bastola yake na kuninyooshea "Mzee wangu naomba unisamehe sinta jaribu tena hata kumsogelea binti yako nilisema na wala yeye hakunieleza ukweli wa maisha yake" nilimwambia yule mzee kwa woga huku nikiamini siku yangu ya kufa ndo imefika Mzee alizidi kunifuata ambapo tayari katika eneo lile tayari watu walisha kusanyika kushuhudia filamu iliyochezwa laivu huku kila mmoja akizungumza la kwake na kama unavyo jua tena Dar mtu unaweza kuibiwa watu wakabaki wakikushangaa na kumwangalia mwizi bila kuchukua hatua yeyote Kuona vile Jane alikuja na kusimama mbele yangu "baba bora uniuwe mimi huyu kaka hana kosa lolote mimi ndiyo nilimlaghai kwa pesa ili anipende chonde baba naomba umuache kaka wa watu aende " "Hivi wewe binti umelogwa nini yani umeniudhi na hujui pesa nilizo poteza ili usome leo hii unataka kunitia aibu na hasara uje kuzaa na hii takataka nakuambia sogea hapo nimmalize huyu ms***" Anaongea mzee yule na kumvuta Jane atoke mbele yangu ili apate upunyo wa kunipiga risasi lakini anakuwa amefanya kosa kubwa kwani tayari niliona hapa ni kifo tu nikizembea cha muhimu nami nijitahidi kuuokoa uhai wangu basi kwa haraka naushika mkono wa yule mzee aliokuwa kamshika nao mwanaye na mvuta kwanguvu nilipo na kumpiga kichwa cha nguvu kinachotua kwenye pua yake na kusababisha atoe ukelele wa maumivu huku akiiachia bastola inayoa nguka chini na kunipa chansi ya kuikokota ambapo yule mzee anaanguka chini kama gunia naichukua ile bastola na kumnyooshea japo siwahi kushika kifaa kile lakini ilinibidi niwe kama aliyezoea kukitumia "Sasa nakuuwa kama ulivyotaka kunifanyia " niliongea nikionekana kumaanisha nilichosema Kuona vile Jane alikuja mbio na kunisukuma ambapo niliangukia uso na kujiburuza kwenye vumbi nikijizuia nisiiachie bastola iliyo kuwa mkononi hakika nilichubuka uso mzima huku sura ikajaa mavumbi hapo ndo nikaamini kuwa mwanamke si mwenzako muda wowote anaweza akakubadilikia nilnyanyuka kwa hasira na kumfuata Jane aliyekuwa akimnyanyua mzee wake akimsaidia kusimama "kweli nimeamini mwanamke si mwenzako yani wewe ndo umeniingiza kwenye matatizo yote haya alafu unanisaliti na kutaka kuniuwa sasa nimejua wewe na baba yako amna tofauti Sasa nawauwa wote kwa kuwa mlitaka kuniuwa naongea maneno yale kwa ujasiri bila kujua nilipo utoa Naachia risasi mbili mfululizo zinazotua katika kifua cha baba yake Jane anayeanguka chini akivuja damu na kufarika papo hapo Kisha namgeukia aliyekuwa akiniangalia akitetemeka asiamini kilichotokea Jane wewe mwanamke nilikuona mwema na kukubali hisia zako kumbe lako lilikuwa lingine nashukuru kulitambua hilo mapema na kwaheri nafyatua risasi inayo kwenda moja kwa moja hadi kwenye paji la uso la Jane anayeanguka na kupoteza maisha pale pale "Ameuwa" zinasikika sauti za waliokuwa wakishuhudia tukio lile huku wengine wakipiga picha na kurecord video tukio lile ambapo kama unavyojua wa bongo na mitandao ya kijamii lazima ile video inge sambaa Kuona vile na weka bastola kiunoni na kulipangua kundi lile la watu na kukimbia katikati ya vichochoro nafika barabarani ambapo na chkua bodaboda anayeonesha kushangazwa na hali yangu "vipi kaka mbna umeumia sana na unaonekana kuwa na haraka zote hizi" "nipeleke tabata bonyokwa " "Endesha haraka kuhusu malipo ntakupa elfu ishirini namwambia bodaboda yule ambaye naye japo kwa kusita anaondoa piki piki kwa kasi mpaka sehemu niliyo panga ambapo namwambia anisubiri naingia ndani ya geti na kuta kina mama wamekaa kibarazani akiwemo yule mama aliyeniona nikitoka kwa dada mwenye nyumba usiku ambapo baada ya kuniona wanacheka "halooo!!!!! Mwaka huu utauama mji" wanaongea huku wakicheka lakini wanashangaa kuniona nilivyo chafuka mna mchubuko iliyojaa usoni japo wana jaribu kuniita lakini sikuwa na mda nao nafungua mlango wangu nachukua pesa yangu yote ya akiba niliyo hifadhi ikiwemo ile laki tano aliyonipa Jane ambaye kwa sasa ni marehemu nabadili nguo haraka na kunawa uso na kuvaa kofia yangu kubwa iliyoshonwa kwa nyuzi za sueta natoka bila kusahau bastola ambayo tayari nili jimilikisha na kufunga mlango wa chumba changu nikiondoka ila kuwasemesha wanawake wale ambao baada ya kuniona walibaki wananishangaa namkabithi bodaboda elfu hamsini na kumuambia anipeleke kituo cha mabasi ubungo ambaye anashangazwa na kiasi cha fedha nilichompa ila hasemi lolote anaondoa pikipiki namwambia aendeshebkwa mwendo ule ule tunaanza safari ya kuelekea ubungo stendi baada ya masaa kama mawili tunafika naagana na bodaboda ambaye anaondoka kurudi kwenye shughuli zake nami natafuta basi liendalo mkoani Arusha na kuanza safari ya kurudi kijijini kwetu ndani ya wilaya ya Arumeru Taarifa za mauaji yale zinawafikia polisi wanaokuja na kuichukua miili pamoja na baadhi ya mashuhuda huku waki tumiwa video na picha tukio lote kuanzia mwanzo mpaka mwisho kwa njia ya mtandao wa Watsapp Wanaondoka na msako unaanza wa kunitafuta wakati uwo nami gari linazidi kuliacha jiji la Dar es salaam... Nimesha haribu mambo Je nini kinafuata usiache kufuatilia sehemu ya (04) Itaendelaa......
Artikel Terkait
Story........ NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na nne (14) By GIVAN IVAN Ilipoishia....... Nolan naye hakujali alitoa kadi tano za harusi ya Penina na Frank na kumwekea baba yake kwenye Meza iliyokuwa mbele yake. "karibu Sana Katika harusi ya Penina na mpenzi wake wa Muda mrefu Frank, wewe pamoja na rafiki Zako mnakaribishwa. " Nolan ndio alimwambia baba yake mzee Joel baada ya kumuwekea kadi zile kwenye Meza iliyokuwa mbele yake, Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. ************Endelea"******** Mzee Joel alibaki akiziangalia zile kadi kwa hasira akazichukua na kuzichana. "huyu mtoto huyu lazima auwawe tu hawezi kuniharibia mipango yangu kiasi hiki." akaongea mzee Joel kwa hasira huku akibugia pombe yake kwa fujo. ******South Africa ******** Hakika Penina na Frank walifurahia Sana kuwa pamoja angalau kwa siku chache ambazo wamekaa pale hotelini South Africa Katika jiji la Johannesburg. Hakika walifurahi Sana, kila kitu walichohitaji walikipata bila usumbufu wowote. "yaani mpenzi wangu natamani Mungu angetutengenezea Dunia yetu tukakae sisi wawili tu ili tuzidi kuwa pamoja milele na milele." maneno hayo yalitoka mdomoni mwa Penina akimwambia Frank walipokuwa wameketi pamoja wakipata chakula cha usiku. "lakini mimi naamini hata Mungu asipotutengenezea Dunia yetu wawili bado atazidi kutusimamia na kutupa nguvu na tutadumu milele." akaongea Frank kumwambia mpenzi wake Penina. "ni kweli mpenzi wangu nafurahi Sana kusikia hivyo." akaongea Penina huku akimtizama Frank.* Siku iliyofuata asubuhi na mapema Nolan alijiandaa na kuondoka nyumbani kuendelea na mipango yake ya kukamilisha taratibu zote za harusi ya Frank na Penina. Kadi za harusi ya Frank na Penina zilisambaa kila sehemu na karibu kila mahali watu walikuwa wakiizungumzia harusi hiyo na wengine wakiisubiri kwa hamu. Nolan aliweza kuwasiliana na Frank na Penina na kuwataka wajiandae baada ya wiki mbili watarejea nyumbani kwa ajili ya harusi yao. Zilikuwa taarifa njema na zenye kufurahisha kwa Frank pamoja na Penina. Hakika walifurahi Sana na kuzidi kumuomba Mungu siku hiyo ifike bila kuwa na tatizo lolote. * Nyumbani kwa mzee Joel aliwasili buffalo mkuu wa kikosi cha the killer na kupokewa kwa furaha Sana na mzee Joel. "karibu Sana kiongozi nimefurahi Sana kukuona." akaongea mzee Joel huku akimuonesha buffalo sehemu ya kuketi. "usijali mzee Joel nimeshawasili kutatua matatizo yako yote nasubiri maelezo kutoka kwako." akaongea buffalo kwa kujiamini. "bila Shaka naamini utanisaidia sana, ngoja nimpigie simu huyu mpumbavu ili akija tu ummalize maana ameniharibia mipango yangu Sana." akaongea mzee Joel huku akitoa simu yake na kumpigia Nolan. Nolan akiwa anaendelea na shughuli Zake ghafla alisikia simu yake ikiita na bila kupoteza Muda Nolan aliitoa na kuangalia nani mpigaji wa simu ile. Nolan alishangaa baada ya kukuta mpigaji wa simu ile ni baba yake. "hahahaaaa mzee wangu leo umenikumbuka mpaka umeamua kunipigia simu." akaongea Nolan kwa kucheka baada ya kupokea simu ile. "ndio mwanangu nimefikira nikaona nilichokuwa nakifanya sio kizuri hivyo nimeona ni bora niungane na wewe kuifanikisha ndoa ya Penina na Frank, itakuwa vizuri kama ukija nyumbani Sasa hivi ili tuweze kujadili vizuri zaidi." akaongea mzee Joel kumwambia Nolan. Lakini ukweli ni kwamba mzee Joel alikuwa anamdanganya Nolan ili arudi nyumbani na buffalo aweze kumuangamiza. Nolan bila kujua lolote akakubali na kumuambia baba yake kuwa "atarejea baada ya dakika kadhaa." Mzee Joel alifurahi Sana na kuona Sasa mwisho wa mtoto wake Nolan umefika. licha ya kwamba ni mtoto wake lakini mzee Joel hakutaka kujua hilo. Mzee Joel pamoja na buffalo wakiwa wanamsubiri Nolan afike, ghafla Dick pamoja na vijana wake wanne waliwasili nyumbani kwa mzee Joel huku wakionekana dhahiri kuwa na hasira kali kwenye nyuso zao. Mzee Joel alipowaona wala hakushtuka kwasababu alijiamini yupo na mtu mzito buffalo. "mzee Joel hatuna tena Muda wa kupoteza tunamtaka Penina la sivyo rudisha pesa zote ulizozipokea kutoka kwangu." akaongea Dick bila hata kutoa salamu kwa mzee Dick wala buffalo. "kijana mambo mazuri hayaitaji haraka nishakuambia kuwa mpole la sivyo Penina hutampata na pesa Zako pia hutapata." akaongea mzee Joel kwa Jeuri kwasababu aliamini yupo na mtaalamu wake buffalo. Dickson alipandwa na hasira na kuwaamrisha vijana wake wamkamate mzee Joel ili waondoke nae kwenda kumfundisha adhabu. Lakini ile wanataka kumkata buffalo aliwazuia na kuwataka waachane nae na watoweke pale haraka iwezekenavyo. "Wewe ni nani kwani mpaka uongee hivyo hebu sogea pembeni." akaongea Dick na kumsukuma buffalo, lakini buffalo wala hata hakutikisika. Dick akaamua kumsukuma buffalo kwa mikono miwili, lakini Dick alijikuta akipokea kibao kizito cha uso kutoka kwa buffalo na kujikuta akirudi nyuma hatua kadhaa huku damu zikiwa zimemjaa mdomoni. Vijana wake Dick kuona boss wao amepigwa wakaamua kulianzisha kule ndani kwa kumvamia buffalo. Lakini buffalo alikuwa mtu hatari Sana vijana wale walijikuta wakiwa na mlima mkubwa wa kupanda baada ya kupokea kichapo kizito kutoka kwa buffalo. Vijana wa Dick wakaamua Kumshambulia buffalo kwa pamoja yaani wote wanne wakajipanga sehemu moja Kisha wakaanza Kumshambulia buffalo. Huyu akirusha teke hapo hapo mwingine anarusha ngumi na hapo hapo tena mwingine naye anarusha teke. Lakini bado hawakufua dafu mbele ya buffalo walijikuta wakitandikwa kama watoto na kujikuta wakiwa hoi bin taabani. Kama kuna mtu alifurahi bas ni mzee Joel. Mzee Joel alifurahi Sana na kuamini hapa Sasa amepata mtu wa maana. Wakati huo huo Dick alikuwa amekaa chini huku akiwa ameshika shavu Lake alilotandikwa na buffalo. Sekunde chache baadae ulisikika mlio wa gari likiingia ndani ya nyumba ile na sekunde chache mbele akashuka Nolan kwenye gari Ile huku akiwa na furaha akiwa hajui chochote kinachoendelea Mule ndani. Nolan alisogea mpaka sebuleni lakini alipigwa na butwaa baada ya kukuta watu wanne wakiwa chini wakiugulia maumivu na mbele yake akamuona Dick akiwa ameshikilia shavu Lake huku mdomoni akitokwa na damu. Nolan akiwa haelewi ni nini kinaendelea mule ndani, mbele yake akatokea mzee Joel akiwa na jitu la kutisha buffalo. "hahahaaaa hahahaaaa leo ndio leo shenzi wewe." akacheka Sana mzee Joel na kumuambia Nolan maneno hayo, Kisha akamuamrisha buffalo afanye kazi yake ya kummaliza Nolan. Nolan akiwa bado haelewi kinachoendelea alishtukia ngumi inakuja kwa kasi usoni mwake na Kisha akaikwepa bila wasi wasi wowote. Kabla Nolan hajajiweka Sawa ikaja tena ngumi nyingine kutoka kwa yule yule buffalo, lakini hata hii Nolan aliiona na kuikwepa. Lakini sekunde hiyo hiyo likaja teke ambalo lilimlenga Nolan uso, Nolan aliliona lakini akakosea kulikwepa na kupatwa la uso na kudondokea kwenye Meza ya vioo na kuipasua pasua. Kabla Nolan hajanyanyuka buffalo akaruka juu na kukunja ngumi tayari kwa kumshushia Nolan pale chini. Nolan akaiona na kujiviringisha na kulikwepa ngumi ile ya buffalo ambayo ilitua kwa kasi na kugonga chini na kupasua sakafu. Nolan alishtuka vibaya mno na kuona hapa shughuli ni nzito tena nzito Sana. Lakini mzee Joel ndio alikuwa na furaha Sana kwa kushuhudia kazi nzuri iliyokuwa ikifanywa na buffalo. Nolan alinyanyuka na kujitikisa na kujiweka Sawa kwa ajili ya kuendelea na mpambano. .................. Itaendelea ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SITA (06) ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO: Siku ya pili, vicent alitoka mapema nyumbani, aliwahi shule kabla hata ya rafiki zake. Hii yote ni kutokana hata usingizi haukupatikana,kutokana na mawazo aliyo nayo. Alikuta baadhi ya wanafunzi wapo darasani, Alifika akakaa kwenye kiti na kufungua begi,kuchukua kitabu na kuanza kusoma. Ila hata sijui nini kilimtuma kutazama mbele maaana alijikuta anatoa macho. ENDELEA....... Alijikuta Anatoa macho, baada ya kuona,marafiki zake nao wamewahi shule. Aiseeee vicent alichekaaaa sana, mpka akajishika tumbo. "hadi nyinyi mmewahi leo aaah kweli mtihani siyo poa".aliongea vicent huku anawatazama kwa zamu. "mimi mwenyewe sijaamini nilivyo kuona ndo maana nikasimama mlangoni nihakikishe ni wewe au hahhhhhah".aliongea Richard huku anaelekea kule alipo vicent.ila cha kushangaza suma akuchangia neno zaidi ya kuachia tabasamu na kutembea kwenda walipokuwa wenzake. "aiseeee kama tuliambizana yani"aliongea tena vicent. Hapo suma ndo na yeye akanyanyua,mdomo wake na kuongea. " hivi unajua kwanini nimeshindwa kuongea chochote?,nikwasababu naona uchuro hapo nje nimekutana na rich, hapa nakuona wewe, nikawa najiuliza hivi hawa waliambizana nini mimi wamenichunia ila nimewabamba".aliongea suma,huvu anavuta kiti anakaa. "hii ili iweje sasa imetokea tu"alijibu richard. "sisi hatuwezi kukufanyia hivyo kwasababu sote ni wamoja". Alisema vicent, suma hakuwa na neno. " oyaa tusomeni basi kabla muda wa kwenda mstalini aujafika"aliongea tena vicent. "poa mwanangu umeongea point" alijibu suma.basi kikapita kimyaa,kila mtu alifanya yakeee kwa muda huo. ******* Mwezi ulipita,hatimae miezi, na si vicent, wala niram aliye kumbuka kama walishawahi kuonana. Basi ilikuwa weekend, moja walionekana marafiki, watatu wakiwa wamesimama stendi ya mabasi,si wengine bali ni vicent, richard na suma wakiwa wamevalia nguo za nyumbani.ilibaki kama wiki mbili wafanye mtihani. Ilionyesha kuwa walikuwa wamelewa kwenye maongezi sasa sijui vicent, walikuwa wanasubiri usafiri maana vicent hakuwa na gari siku hiyo. Mara gaflaa walishtushwa na sauti, nyororo iliotokea,barabarani. "vicentiiiiiiiiiiiii" ilikuwa sauti ya niramu, aliekuwa ndani ya range nyekundu, huku akiwa amependa,kupindukia wanasemaga kadamshi, ile mbayaaaa. Wote macho yalikuwa mbele,ila hakuna mtu alieshtuka kama vicent, maana akutegemea kuonana na binti yule ana muwaza siku zote. Na ilikuwa muda Awajaonana. Kiukweli vicent, moyo ulikuwa unampenda mbio vibaya.ila alijikaza, huku nyuma suma pamoja na richard, aisee!! Macho yaliwatoka maana walishindwa kuelewa, wanae muona machoni mwao, ni jini au malaika. Vicent alijikongoja mpaka kwenye dirisha la gari, na kumsababishia niram. " mambo niram siamini kama ni wewe, kumbe unani nakumbuka? ".alijikuta anaongea mfululizo vicent huku akiuliza, swali humohumo. "poa vicent, nakukumbuka sana vp leo huna usafiri? Maana naona kama mpo wenyewe mnasubiri usafiri? ".aliuliza niram,huku macho akiwaelekezea wakina rich. "aaah ndiyo tunamsubiri dereva tax mmoja hivi,katuambia hayupo mbali".alijibu vicent huko akiangalia huku na kule kama anaetafuta kitu. "haah kwani mnaelekea wapili niwape lifti?maana mimi naelekea mbezi"aliuliza niram. Vicent akapiga mahesabu ya haraka,alafu akaongea. "aaah! Wale wanarudi nyuma ila mimi naenda kunduchi" alijibu vicent. Ila wadau ngoja niwaambie kitu, vicent ameongopa, kwasababu wenzie wanaenda kawe sawa yeye anaenda kunduchi, ila njia ni ileile wameachwa wakina suma, yeye angeendelea mbele, ila aliamua kusema vile ili aweze, kutupa ndoano Kiulaini. Tuendelee, basi niram akamwambia "basi twende nikupe lifti waage wenzio".vicent akachomoka na kuwafata, wenzie alimkuta suma anashauku si mchezo. " vipi yule ndo yule demu uliesema? Na anaelekea wapi ili atupe lift basi kama vipi" alijikuta anaongea maneno,mfululizo na swali juu. "hamna aendi huko kaniambia nimsindikize kariakoo".aliongea vicent huku anageuka nyuma, akagongana macho na niram,wote wakatabasamu. "duuuh mwana kwahiyo umetuacha? ".aliongea richard huku anakazia macho kwenye gari. "aaah aina jinsi ila chukueni hii mpande tax".alisema vicent huku anazamisha mkono mfukoni na kutoa noti tatu za elfu kumi akamkabidhi suma. Suma alizichukua na kuzitia mfukoni. "oyaaa Usikose kutupigia ukifika home"alisema rich. Na suma akadakia. "ndiyo utupe data zote maana duuuh! Mpaka nakuonea wivu".vicent hakutia neno aliishia kutabasamu huku Anaendelea kutembea, basi aliingia ndani ya gari, huku ukimya mwingi ulitawala.vicent akaona avunje ukimya, "basi nilijua utanisahau kabisa".aliongea Vicent Huku ametoa tabasamu hafifu usoni mwake, Huku macho yanatazama mbele. "Ooooh!!Hapana siwezi kukusahau,mtu muhimu Kama wewe Kwa ule Msaada wako ".aliongea Niram,huku anamwangalia Vicent, macho yakakutana, wote wakatabasamu, Niram akageuka mbele na kuendelea, kuushika usukani akizidi kukanyaga mafuta. "hahhhhah!! Ni kweli niram lakini Siyo wote wanao kumbuka fadhila".aliongea Vicent ,Huku kimoyomoyo akiomba wasifike haraka. "haaahhh sawa bwana Wala ujaongopa, ".aliongea niram,huku akizidi kuuchapa mwendo, na bahati nzuri hakukuwa na foleni. "niram nikuombe kitu Kama hutojali? ".aliuliza Vicent Huku amemgeukia kabisa, aliongea Kwa sauti nzito, tens yakubembeleza. "usijali Kama kipo Ndani ya uwezo wangu ntakupa".alijibu niram. Vicent hakaona asizubae Sana, akasema alilokusudia."nilikuwa naomba unisaidie namba yako ya simu ili niwe nawasiliana nawe hata kukujulia Hali,maana tushakuwa marafiki".aliongea Vicent,kwa umakini wa hali ya juu ili asije kukosea step,akamkwaza Niram. " Ooooh!! Wala usijali Kwa hilo".alisema niram, huku anamtajia namba zake. Vicent aliziandika kwenye simu yake. " asante sana".alishukuru vicent. "asante nawe kwa kushukuru".alijibu niram, mara ikawa kama vituo viwili vicent ashuke. "sasa niram mie nashuka hapo kituo kinachofuata utaniacha hapo" aliongea vicent, lakini kama ungemuona moyoni mwake, alichukia kupita kiasi, alitamani wazunguke mpaka alfajiri. Duuuuh kweli mapenzi siyo poa wadau. "haaah ni hapo oky sawa"alijibu niram, na alipofika, akakanyaga break, na kusimamamisha gari. "oooh!!asante sana umenifaa mungu akufikishe salama".aliongea vicent huku anafungua mlango wa gari na kushuka. "haya asante ufike salama pia".alijibu niram, akawasha gari na kuishia, vicent alibaki anampungia mkono, mpaka alipo ishia. Kiukweli ile siku aliiona ya bahati sana kwake, hakika alikuwa na furaha mno. Alifika kwao. Akagonga geti likafunguliwa, alikuta mlinzi akamsalimu, na kuingia ndani hakumkuta yeyote ndani zaidi ya house girl. Alimsalimia akajitupa kitandaniii , pwaaaaaaah!! Aliangalia sana juu vicent, hakika kuwa na namba ya niram,kwake ilikuwa ni furaha tupu. ********* Vanessa alikuwa mezani wakipata chakula cha usiku, maana leo ilikuwa weekend kwahiyooo alikuwa mwenyewe jikoni, ila leo mawazo yalipungua kwani mawasiliano yalikuwa kama zamani na hadi asubuhi ya siku hiyo, vicent alimuaga kuwa atatoka na wakina richard. Mara ghafla alishtukia, akizibwa macho. "mmmh juliana nini bwana,ebu acha mzaha njoo ule"aliongea vanessa. " mmmh dada kwahiyo wewe mtu wako wa karibu ni Vanessa tu? ".aliuliza kwa manung'uniko Clara. Mdogo wake wa nne akitoka huyo ndo juliana, kumbuka wakiume ni wawili kwenye familia yao na ndio wakwanza na wapili. "hamna mamy wote nawapenda ila nilijua yeye, kaa chini ule mdogo wangu".aliongea Vanessa kwa sauti ya kubembeleza,huku akimvuta akae. Basi mambo yakaisha,walikula kwa furaha, wazazi na kaka zao hawakuwepo, walibaki wenyewe. ********* Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita...... Itaendelea CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA SABA (07) ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA: Niram alikuwa chumbani kwake akijisomea, wakati huo alikuwa ameshakula, alikuwa kitandani miguu kuegemeza ukutani, muda wote alikuwa mtu mwenye tabasamu usoni, kilicho mfurahisha akijulikani Mara ghafla simu ikaanza kuita. endelea........ Mara gafla akaona simu inaanza kuita. Niram akaangalia mpigaji, akaona namba ngeni. " mmh! Atakuwa Nani huyu?".alijiuliza niram, alitafakari Sana maana sikawaida kupigiwa na namba ngeni, baada ya kutafakari kwa muda.akaamua kupokea. "hellow".aliitika niram. "hallow Niram huko poa?, Vicent hapa". Ilisikika sauti upande wa pili."oooh! Vicent nashukuru mungu niko poa sijui wewe ulifika salama? ".alijibu niram nakupachika swali. "nilifika salama niram hofu ilikuwa kwako".alisema vicent. "namimi nashukuru mungu nimefika salama".alijibu niram kwa sauti nyororo kabisa. ****** Vanessa alikuwa ndani kwake akaona mbona muda unaenda sana,na ajaona msg wala simu kupigwa kutoka kwa vicent. Alikaa akasubiri na kusubiri weeeeh lakini ikawa kimya. "mmmh!! Ina maana itakuwa ajarudi bado huko alipoenda"alijisemea mwenyewe, akaona muda unaenda lakini simu aipigwi. "mmh ngoja nipige"aliamua apige yeye, akachukua simu yake na kuipiga. Jibu alilokutana nalo ni NAMBA UNAYOPIGA INATUMIKA KWA SASA.. "mmmh saa tano hii au ndo amerudi hivyo anaongea na wenzie kuwa julisha kuwa amerudi?".alijiuliza jibu akakubaliana kuwa anawasiliana na rafiki zake. ****** Huku vicent akiwa anaongea, akaona kama kuna mlio wa simu nyengine kuingia akaiangalia , alipoona mpigaji kuwa ni Vanessa akaendelea kuongea. Simu iliita mpka ikakata. Waliongea mengi na baadae niram akaaga kuwa anahitaji kupumzika. Basi waliagana na simu ikakatwa. Baada ya hapo alipiga simu kwa Vanessa,huku Akiwa ameshaupanga uongo wa kumwambia. "hellow baby mbona kimya, na napiga unatumika?".aliongea vanessa mara baada ya kupokea simu. "aaah amna nilikuwa naongea na mzee maana mchana,hakuwa na nafasi ndo kunitafuta sasahivi".alijibu vicent kwa ujasiri wa hali ya juu,bila kubabaisha maneno. "oooh kumbe haya niambie mizunguko ilikuwaje? ".Aliuliza Vanessa huku alibadili mikao ya kila aina Hapo kitandani. "ilikuwa poa sema nimechoka sana".alijibu vicent huku akijifanya anapiga mihayo. "oooh basi pumnzika baba angu tutaongea kesho".aliongea Vanessa kwasauti fulani hivi ya madeko. "sawa mama ntakuchek kesho ulale salama"alimaliza kuongea vicent akakata simu. Alienda moja kwa moja bafuni akaoga, maana choo kilikuwa ndani kwake humohumo. Alipomaliza alitoka sebleni muda ulikuwa umeenea sana ila alikuwa bado ajala, alikuta msichana ameshaenda kulala,aliwasha taa ya sebuleni akachukua sahani jikoni nakuenda kula chakula. Mara ghafla akasikia mlango unafunguliwa alikuwa mama yake, "yani wewe Bwana mi nilivyorudi nikaambiwa upo ndani nikajua ushakula".aliongea mama yake vicent,huku anavuta kiti pale sehemu ya kulia chakula akakaa. "hapana mama uwezi amini yani nilipitiwa na usingizi nikalala ndo nimeshtuka sasa hivi".aliongopa vicent, aisee huyu jamaa hatari."ooooh pole baba ni uchovu tu huo"aliongea kwa huruma mama yake. "asante mama".alijibu vicent huku anafakamia wali kwa maini. Basi waliongea mengi mama mtu alinyanyuka, na kuenda kulala. "ukimaliza usisahau kuzima taa baba".aliongea mama yake. "sawa mama ntaizima".vicent alikula akashushia juisi, akaelekea kwenye swichi akazima taa na kuenda kulala. ******* Pilikapilika zilikuwa zinaendelea, katika nyumba ya kina niram.ilikuwa Jumapili kulikuwa na ugeni mkubwa kwao, kuna ndugu zao walikuja.basi yalipikwa masontojoo siyo ya kawaida. Zilisagwa juisi za matunda basi ilikuwa tafrani. Niram akutulia alikuwa bize vibaya. "niram ebu kuongezeae chumvi kwenye biriani kule".ilikuwa sauti ya mama yake. "sawa mama".alijibu huku anaacha alichokuwa anafanya na kwenda kuweka chumvi kwenye chakula. Kila kitu kilikuwa sawa sasa niram alikuwa chumbani anajiandaa akaoge. ******** Suma alipoona ajapigiwa jana, akaona isiwe kesi ngoja amchek yeye maana umbea ulikuwa unamuwasha mtoto wa kiume huyu. Akukubali kitu kimpite hivihivi,yani alikuwa tofauti na richard mwenzie hakuwa mpenda kufuatilia yasiyo muhusu. Basi aliweka vocha akampigia "oyaaa mwanangu unayumba"haliongea suma ."hamna nilichoka sana yani uwezi amini ".alijibu vicent. "eeeh ilikuwaje jana na yule mtoto mzuri?".aliongea suma huku akitegesha masikio vizuri kupata udaku "hahhhhah suma eeh nna kazi kama unataka kuhusu hiyo stori ntakupigia baadae " "ok poa basi usisahau ".alijibu suma huku anakata simu. Ila suma akakumbuka kitu ayaaaaaah!! Daaah!!.Nimesahau kumuuliza Kitu, yeye na haraka zake mpaka nimesahau".aliongea suma huku anamlaumu vicent,kwa uamuzi wa kukata simu haraka. "anyway nitamchek baadae".aliongea suma, mara kisimu chake kikaanza kuita."duuuh huyu somoe ana mpya gani nae mi leo nnampango wa kuonana na hadijaa".alijiseme suma kimoyomoyo ,huku anaangalia ile simu bila kuipokea. Labda niwafafanulie vijitabia vya huyu ismail au kwa ufupi ndo unaweza kumuita suma. Yani suma yupo tofauti na wenzake, suma kwanza ni mwingi wa habari,anapenda kujua mambo ya watu ni mwongeaji mno kuliko wenzake.ajatulia hata kidogo isimpitie sketi mbele yake lazima amfate tu, ila richard na vicent wapo tofauti sana na yeye, richard ana mahusiano na binti mmoja anasoma, shule tofauti na yao. Na ni huyohuyo tu ndo yupo nae. Lakini suma weeeeeeh!! Mwiko mkubwa tena uchuro, kutulia na mwanamke mmoja. Basi baada ya simu kukata akaizima na kuendelea na mambo mengine. ******* Ilikuwa ni mida ya jioni. Wageni wameshaondoka, nyumbani kwa kina niram. Na mama yake kama unavyomjua mtu wa pilikapilika usiseme, alikuwa ameshaenda kuzurura muda mrefu. Aaaaah ahhh!!,sijui muhindi gani huyu mwenye tabia za Kiswahili.ok tuachane nae tuendelee. Basi niram alikuwa amekaa sebuleni peke yake, maana mdada wa kazi hupendelea kukaa ndani kwake kama kazi ameshazimaliza. Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. Itaendelea.... ... Read More
*MUUZA MAZIW EP 01* Sehemu Ya Kwanza (1) KWA UFUPI: Kitendo cha Jerry kuharakisha kazini na kupuuzia hisia za mke wake katika hali ya ubaridi ndio kosa lake pekee, ni kwa wakati huo ndipo Lisa mke wa Jerry alipojikuta akivuta hisia za kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA ili walau atoe mshawasha uliokuwa umempanda asubuhi hiyo iliyokuwa na mvua za rasharasha na kibaridi cha kupuliza., Kitendo chake cha kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA lilikuwa kosa lingne tena . Kwani Lisa anakutana na mimkuno ambayo hakuwahi kukutana nayo hata siku moja katika maisha yake, mavituzi hayo yanamdumbukiza Lisa mzima mzima katika dimbwi zito la mapenzi ya MUUZA MAZIWA na kujikuta anasahau yote kuhusu mumewe(Jerry). Ni nini hatma ya penzi hilo jipya na la wizi lililoibuka ghafla kwenye moyo wa Lisa, na vipi kuhusu ndoa yake na Jerry itaweza kudumu kama tayari iimeshaanza kutafunwa na MUUZA MAZIWA? Ungana na GIFT KIPAPA katika chombezo hii ambayo haita kusisimua tu bali pia kujifunza kitu kilichojificha katika mahusiano ya kmapenzi. SIMULIZI YENYEWE: Mvua kubwa ilinesha usiku uliopita, ahsubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la da es salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe siku kuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki. Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao. “Kidogo tu mume wangu jamani” No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!” Yalisikika mabishano hayo katika nyumba moja ya kifahari maeneo ya kimara Stop over. “jamani mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.” Aliongea kwa sauti nyororo iliyolegea, msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositili maungo yake. Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu. Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu. Mapaja yake laini yaliyo jaa jaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilicho jaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo. Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake, pozi alilokuwa amesimama liyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kweli kweli, makalio yake yallitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo , jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo. Mikono yake ilicheza cheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde. “jamani Honey njoo basi!” Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya , Jerry azidi kupagawa kimahaba, Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake. “Oh, Dear haraka basi!” Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga. “uh!” Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakii gusa gusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suluari lakini lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli. “Ah, honey!” lisa alilalama mara baada ya jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu, midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana, macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake. “ oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!” Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baaaa a kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table. “no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please” ( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezi kunifanyi hivyo mimi tafadhari ) Aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza, alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo. Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapa kazi haswana mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake. Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja. “jamani , honey kidogo tu” Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho. Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake. “mwaa” Alafu akampulizia mkewe. “Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi ) Kisha akatoka nje. “Honey!!” lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile. Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka. ITAITAENDELEA *MUUZA MAZIWA EP 02* Lisa alijitupa kitandani huku akilia. Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa mnyama. Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple. Kama ukishuudia mwenyewe jinsi kitumbua hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote huo bila hata ya kuonja na kukimbilia kuushurutisha mwili wake. Tako lote lile , chuchu zilizosimama na midomo laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa katika kuzungusha nyonga, lakini huyu mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha machozi yabubujike katika mashavu ya mwanamke huyo kwa kukataa kufanya nae mapenzi. “ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?” Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata pale kitandani. “Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba anaumwa?” Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani. Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini kama vilea anengua. “ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote hii” aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa, kubaki peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa huo. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote uliouwa umetanda katika mtaa huo. “fyonz” Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe yalimtosha. “MAZIWA! MAZIWA!” Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya akereke . “sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda wazimu” Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo muona mtu ametoka na kumpa chombo cha kukingia maziwa. “nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa nachukua mara moja moja.” Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii itadumu masikioni mwake. Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza maziwa nae akaanza kuita. “MAZI….” Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao. “Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa kimya kimya mpaka utupigie kelele!?” Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua kichwa chake aligongana na macho ya Lisa ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau huku akiibenua benua midomo yake. “sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa chuchu na mkamua maziwa ?“ Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho Lisa. Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake ilipotea. “samahani” Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda kwa kasi. Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu zilianza kumwishia miguuni, akaanza kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na haja ndogo. “vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?” Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika. Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kui busu midomo yake. Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa, kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba. “Twende ndani basi” Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu. “Ni huku” Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe. Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake. “Aaaa, assii, muuza maziwa!” Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba. “Aaaa, assii!” Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya aanze kuhema nusunusu. “Utani_uua wee muu…” Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa. “Anza basiiiii…” “Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake” Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network. Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa. “Oh, honey anza basi sweety” Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu. “Auuh, Asii, Muuza maz….” Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa. “Auuh, Taratibu basiiiiii!” Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. “Ngo, ngo, ngo” Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana. Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha . Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe? Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa. “Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?” Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa . “ngo, ngo , ngo” Ilisikika tena hodi ya mlango.. Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango. Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda wanacho lala pamoja. “fyouz” Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. ITAENDELEA MUUZA MAZIWA EP 03 ILIPOISHIA….. Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo. Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake. “Si bora ingekuwa kweli tu, ah” Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli. “Ngo!, ngo!, Ngo!” Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango. “watu wengine bwana sijui vipi?, kusumbuana tu hasubuhi yote hii” Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho . Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo. “Nani wewe?” Aliuliza kwa hasira. “Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?” Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa. Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena. MUENDELEZO WAKE : Mambo yote aliyokuwa akiyafikiria dakika chache zilizopita kuhusu muuza maziwa yalijirudia tena kichwani mwake, na kuushuudia mshawasha ukimpanda tena kwa kasi ya ajabu nukta chache toka hapo Lisa alikuwa hajiwezi kabisa. Alikuwa mahututi kiasi kwamba kama asingelimpata daktari bingwa basi tiba kwake ingelikuwa ni ndoto. “Eti dada hauchukui maziwa niondoke?” Muuza maziwa akamua kuuliza tena swali lake baada ya kuona muda unapita hajibiwi chochote. “Subiri nakuja!” Lisa aliitikia haraka haraka “haraka basi” Muuza maziwa aliongea Kwa kujivuta Lisa aliutupa mto aliokuwa ameukumbatia pembeni na kisha akachukua khanga na kujifunga. “nitamnasa tu!” Aliwaza Lisa huku akielekea nje ya chumba hicho , alipofika kwenye mlango wa kutokea nje aliufungua huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu. “karibu!” Lisa aliongea kwa sauti laini na nyororo yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni. “asante , mh , nimekusubiri sana ujue?“ Muuza maziwa aliongea “Oh pole sana lakini usijali” aliongeaLisa kwa sauti ileile ya kimitego huku macho yake akiyarembua. “ishapoa, nipatie chombo basi nikupimie maziwa basi” Aliongea muuza maziwa huku akimwangalia Lisa kwa jicho la wizi .macho yake yalishindwa kukwepa kuangalia uzuri alikuwa nao Lisa , hasa kwa pigo lake la khanga moja ndio lilizidi kumaliza muuza maziwa. “njoo ndani basi unipimie” Lisa aliongea na kisha kutangulia kuingia ndani, muuza maziwa nae alifuata nyuma na maziwa yake. “funga mlango!” Lisa aliongea na kisha muuza maziwa alifunga. Kwa jinsi Lisa alivyokuwa akitembea basi ndio alikuwa akipoteza kabisa network za muuza maziwa. Makalio ya Lisa yalikuwa yakitisika kila alipokuwa akipiga hatua, Muuuza maziwa alijikuta anatokwa na udenda , Lisa akageuka nyuma ghafla na kumfumania muuza maziwa akiwa ameduwaa kuyaangalia makalio yake, akatabasamu akijua tayari samaki ameingia kwenye wavu, hapo hapo akaitegua khanga aliyokuwa ameivaa na kubaki mtupu kabisa. Muuza maziwa alitoa macho na kujikuta anadondosha maziwa yake chini na kujishika kichwa kwa mikono yake yote miwili. Chupa ya maziwa ilipasuka na maziwa yakamwagika lakini muuza maziwa hakujali. “Ahayaaaaa!!!!!!” Muuza maziwa aliongea kwa kuropoka huku akiwa ameuacha mdomo wake wazi akistaajabu kwa kile alichokiona. Kilichomshangaza zaidi muuza maziwa ni badala ya Lisa kuokota khanga yake na kujistili, alianza kupiga hatua za taratibu akimsogelea huku macho yake yakiwa yamelegea kabisa. “Mwaaa!” Lisa akambusu muuza maziwa shavuni, busu lililomfanya muuza maziwa asisimke mwili mzima na dakika hiyo hiyo mashine yake ilisimama tayari kwa kutandika bakora. Kwa ujasili Muuza maziwa aliunyanyua mkono wake mpaka kwenye shingo ya lisa , ambapo aliuterezesha mkono huo moja kwa moja mpaka kwenye chuchu na kuanza kuzibofya taratibu. “Asssii!” Lisa alilalama pale Muuza maziwa alipozitomasa chuchu zake, huku mkono wake mwingine akiushusha mpaka kiunoni na kuanza kuchezea shanga moja baada ya nyingine. “Aauuuu!!!!” Lisa alilalamika pale muuza maziwa alipombusu kama mfaransa yaani ulimi wake kwenye sikio lake. Na huo ulikuwa mwanzo tu wa vimbweka vya muuza maziwa. Lisa alishakuwa hoi alishindwa hata kusimama vizuri , Muuza maziwa aliligundua hilo akambeba juu hadi sofani., na huku ndiko alikoanza upya manjonjo yake. Alianza kunyonya chuchu za Lisa kwa mdomo wake na taratibu alianza kushusha ulimi wake huku akiuchezesha chezesha kama wa nyoka na kuushusha mpaka sehemu za kitovu. “Assiii!!, we muu….” Lisa alizidi kulalama kwa hisia huku mwili wake wote ukisisimka . Muuza maziwa hakuishia hapo alizidi kuushusha ulimi wake mpaka kunako chumvini na bila kusita aliifakamia chumvi hiyo. “Assii, ahh sisss!” Lisa alizidi kulalama huku network yake ikiwa imekata kabisa msisimko wa kweli ulikuwa umemtanda pale muuza maziwa alipokuwa amemkazia kama vile amempania. “sibakishi kitu leo na hakikisha patupu” Aliwaza muuza maziwa akwa ameshikilia mapaja ya Lisa yaliyokuwa yame jaa jaa kiuakika Nusu saa ilikwisha katika Muuza maziwa bado alikua ajachoma sindano kwa mgonjwa wake “aanz-a , basiii, muuu_za ma….!!”. Lisa aliongea kwa kigugumizi huku akisisimka kwa manjonjo ya muuza maziwa , aliona muuza maziwa anachelewa kuanza dozi , Muuza maziwa hakutaka kuipoteza nukta nyingine tena akaanza kusalula viwalo vyake kwa haraka kama vile anakimbizwa. Kila kitu alitupia kwake , shati huku suruali kule, alibaki na kufuli alipotaka kulitoa tu Lisa alimzuia kwa ishara , Muuza maziwa hakupinga akamuacha afanye atakacho. Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. wa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni. Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba. “Aaahhh, ahh!” Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani. MUENDELEZO WAKE : “Ouh!, ouuh, ouuh!” Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni. Kwa ghafla Lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza Muuza maziwa kwenye sofa, Muuza maziwa hakuelewa kwanini Lisa amefanya hivyo, akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya , alimwangalia Lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia Muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo Fulani. Muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini Lisa alimsukumiza tena palepale , hakuelewa kwanini Lisa anafanya hivyo , alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata.. Lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu. “Asiiii” Lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa. “asiiii, auh, aauuh!!!” Lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu . Muuza maziwa alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza Lisa alivyokuwa akijipampu. Asiiii” Lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia, taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno. Dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile, Muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake. Akamnyanyua Lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka. “Auuh, taratibu, muu-za ma……..” ITAENDELEA. ... Read More
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya saba (7) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp.... 0769673145 Ilipoishia....... Baada ya masaa mawili mbele mzee Joel alirejea nyumbani akiwa pamoja na mgeni wake. Geti lilifunguliwa na mlinzi na gari likaingia mpaka ndani na kupaki sehemu yake. "karibu Sana kuwa huru." akaongea mzee Joel huku akimfungulia Dick mlango wa gari. ******Endelea ***** Mzee Joel aliongozana na mgeni wake mpaka sebuleni ambapo watoto wake wote walikuwepo hapo pamoja na mke wake. "Afadhali nimewakuta wote mkiwa hapa mpokeeni mgeni bas." akaongea mzee Joel. Lakini hakuna mtu alieyehangaika kumpokea mgeni yule isipokuwa Irene peke yake, ambaye ndiyo alimpokea na kumuonesha sehemu ya kuketi. "Penina mgeni wako huyu." akaongea mzee Joel huku akimuangalia Penina. Penina hakujibu kitu alibaki kimya kama hakusikia alichoambiwa na baba yake. "Nolan na Irene huyu ni shemegi yenu kwa maana nyingine huyu ndio mume mtarajiwa wa Penina naomba mlitambue hilo kuanzia Sasa." akaongea mzee Joel kwa kusisitiza. "Nimeelewa baba nadhani kila mtu ameelewa pia." akaongea Irene kuonesha yupo pamoja na baba yake. "Irene acha upumbavu mdogo wangu kama wewe umeelewa mi sijaelewa kitu, baba samahani sana huyo mtu wako hawezi kuwa shemegi yangu kamwe." akaongea Nolan kwa jazba. "Nolan wewe na mimi nani baba kwenye hii nyumba?" akahoji mzee Joel. "wewe ndio mkubwa." akajibu Nolan. "Sasa kama mimi ndio mkubwa lazima ufuate kile ninachokisema." akaongea mzee Joel huku akimuangalia Nolan kwa hasira. "siwezi kufuata upuuzi wako unaoutaka wewe never." akaongea Nolan Kisha akanyanyuka na kuondoka pale sebuleni. "Baba asante kwa chaguo lako lakini mimi sio chaguo langu." akaongea Penina kwa upole kumuambia baba yake Kisha na yeye akanyanyuka na kuondoka pale sebuleni na kumfuata Nolan. Mzee Joel alibaki ametumbua macho asijue afanye nini kwa wakati ule. "Usijali Dick huu ni ushambaa wa huku kwetu Africa Ila usijali nitaweka mambo Sawa, hebu njoo tuonge kidogo." akaongea mzee Joel kumwambia Dick, Kisha wakanyanyuka wote na kuongozana mpaka nje ya nyumba Ile kubwa ya kifahari. "Unajua Dick huyu kijana wangu anayeitwa Nolan ndio anamfundisha Dada yake ujinga ili asiolewe na wewe, ila nakuahidi lazima utamuoa Penina." akaongea mzee Joel kumwambia Dick. "hakuna tatizo mimi nakusikiliza wewe na kama nikimuoa huyo mtoto wako nitakupatia pesa nyingi Sana." akaongea Dick kumwambia mzee Joel. "usijali yule ni wako na lazima utamuoa." akaongea mzee Joel kumpa moyo mzee Joel. "bas Sawa mimi naondoka mambo yakiwa Sawa utanipa taarifa." Dick akamwambia mzee Joel na Kisha akaingia kwenye gari na kuondoka, na kumuacha mzee Joel akiwa anakuna kichwa baada ya kusikia atapewa pesa nyingi kama Dick akifanikiwa kumuoa Penina. "alafu huyu Nolan naona anampa kichwa Sana Penina Sasa ngoja nimfundishe adhabu pumbavu yeye." akajisemea mzee Joel kimoyo moyo Kisha akatoa simu yake na kumpigia Zaza. "yes mzee Joel." akaongea zaza baada ya kupokea simu. "Zaza kuna huyu kijana wangu anaitwa Nolan unamfahamu?" akaongea mzee Joel na kuuliza. "ndio tunamfahamu vizuri Sana." akajibu Zaza. "Vizuri Sana Sasa nataka nimfundishe adhabu huyu kijana maana naona anataka kunipanda kichwani." akaongea mzee Joel kumwambia Zaza. "kivip mzee wangu?" akahoji zaza. "sikiliza Zaza nataka mumkamate huyo kijana wangu mumpelekee sehemu mumtandike mpaka ashike adhabu tumeelewana?" akaongea mzee Joel na kuhoji. "nimekupata vizuri mzee wangu na tuko tayari kwa kazi." akajibu Zaza. "OK bas kuna sehemu nitamtuma alafu nitawaambia ni wapi ili mkamatie hapo." akaongea mzee Joel kumwambia Zaza. "OK hamna shinda mzee Joel." akajibu Zaza na simu ikakatwa. "nimefurahi Sana kaka kwa jinsi ulivyonitetea nakupenda Sana kaka yangu." alikuwa Penina akimuambia Nolan. "usijali mdogo wangu lazima nisimame Katika haki siko tayari kuona haki ikipindishwa kwasababu ya pesa." akaongea Nolan kumuambia Penina. Lakini wakiwa bado wanaendelea kuongea Nolan alisikia sauti ya baba yake ikimuita. "hebu ngoja nikamsikilize nasikia ananiita huko." Nolan akamwambia Penina na kuondoka kwenda kumsikiliza baba yake. "Chukua gari hiyo nenda kaniwekee mafuta sehemu tunayowkaga kila siku." mzee Joel akamwambia Nolan huku akimkabidhi pesa kias kadhaa. Nolan alishangaa kwa kuwa ilikuwa sio kawaida yeye kutumwa Muda kama ule, lakini hata hivyo hakuwa na namna aliaaliamua kwenda kuepusha malumbano na baba yake. Baada ya dakika mbili Nolan kuondoka mzee Joel alitoa simu yake Mara moja na kumpigia Zaza, Kisha akamwelekeza sehemu ambayo wataweza kumkamata Nolan na kwenda kumfundisha adhabu. Baada ya Zaza kupata habari Ile Mara moja aliingia kwenye gari pamoja na vijana wake wanne na kuelekea sehemu ambayo walielekezwa na mzee Joel kumkamata Nolan. * Huku msituni hatimaye Frank alimaliza siku mbili za mapumziko, Kisha akagaana na mzee yule aliyemsaidia na kuanza safari ya kuelekea tabora mjini kwa ajili ya kurudi dar es salam. Frank alitakiwa kutumia siku tatu ili aweze kufika tabora mjini, lakini kwa jinsi Frank alivyokuwa na hasira ya kurejea dar es salam ili aweze kuonana tena na mpenzi wake, alijikuta akitumia siku moja na nusu kufika tabora mjini. Baada ya kufika mjini Frank alianza kuhangaika kutafuta usafiri wa kurejea dar es salam bila kufanikiwa kutokana na kukosa pesa. Frank aliamua kujiunga na vijana wengine waliokuwa pale tabora mjini na kuanza kazi ya kuosha magari ili aweze kupata pesa ambayo itamsaidia kurejea dar es salam.* Nolan akiwa amebakiza mita chache kufika Katika sheli iliyokuwa mbele kidogo na sehemu alipokuwa. ghafla alishtukia gari nyeusi ikifunga break mbele yake na kumzuia njia asiweze kupita. Nolan akiwa bado anashangaa kinachoendelea, ghafla akaona wanaume watatu wakitoka kwenye lile gari huku kila mmoja akiwa na fimbo mkononi na kuanza kuanza kusogea Kuja kwenye gari la Nolan. Mara moja Nolan akatambua hawa watu si wema hata kidogo. Lakini Sasa watu wale ambao walikuwa ni wakina Zaza hawakujua wanamfuata nani. Wazimu wa wazimu Nolan naye alifungua mlango na kutoka kwenye gari Lake na kuanza kuwafuata wakina Zaza bila kuwa na uoga wowote.* ......... Itaendelea ... Read More
*LOVE BITE EP 05* 🌹🌹🌹🌹🌹💞💞💞🌹🌹🌹 MWISHOOOOOOO “OOOOH MY GOD……..WHY ME?????” Alijikuta nguvu zinamuishia Jothan na kukaa chini. Aliiangalia nyumba yake aliyoijenga kwa gharama kubwa na machozi yalianza kummiminika kama maji. ITAENDELEA………… Alsimama na kuamua kwenda kwa rafiki yake John ambaye alikua anakaa magomeni. Alikaribishwa ndani na mke wa rafiki yake huyo na kukutana na rafiki yake sebuleni kwake. Walikumbatiana kwa kuwa siku nyingi walikuwa hawajaonana. Kwakua muda wa msosi ulikua unakaribia, mke wa John alipakua chakula na baada ya dakika kumi waliitwa kwenye meza ya chakula. Walikula huku kila mmoja akijaribu kumuhadithia mwenzake yaliyotokea nyuma kwa kipindi chote hicho cha takribani miezi nane. Jothan ndiye alikuwa wakwanza kumuhadithia mwenzake yaliyomkuta kuanzia safari yake ya Arusha hadi kufikia pale alipoenda kwenye nyumba yake na kukuta imeuzwa na mwanamke aliyekuwa anampenda na kumuamini kupita maelezo. John alisikitika sana kuisikia story ile iliyomuumiza hata yeye. “usijali rafiki yangu,. Kuhusu pa kukaa tu. Hapa umefika maana kuna vyumba vingi vya kutosha. Sasa vipi kuhusu docomments zako muhimu kama vyeti na vitambulisho vyako?” aliuliza John kwa kugundua umuhimu wa hivyo vitu. “ndio maana nikakwambia kuwa nimechanganyikiwa sana. Yaani sijui nianzie wapi?” aliongea Jothan huku akionyesha wazi kuwa akili yake imeeshia pale kimawazo. “usijali, vitapatikana tu.” Aliongea John na kuonyesha wazi nia yake thabiti ya kumsaidia rafiki yake huyo. “vipi kazini, wameshamuajiri mtu mwengine wa kukaa katika nafasi yangu?” aliuliza Jothan huku akionyesha wazi kuwa na wasi wasi na nafasi yake ya kazi. “mbona company imeuzwa kwa mzungu ambaye kaamua kuibomoa na kujenga hotel. We ukienda utaona tu mabati yamezunguka katika jengo la ofisi yetu. Sasa angalau ungekuwa na docoments zako zingekusaidia kupata malipo na mafao yako kutoka NSSF.” Aliongea John na kumfanya Jothan ashike kichwa kwakua alikua anaamini kuwa maisha yake yanaweza kunyanyuka tena kama akivipata vitu vyake muhimu. Kadi za benk, nyaraka mbali mbali na vyeti vyake alivyovihangaikia kuvipata ndivyo vilimnyima raha Jothan. “mimi hivi sasa nimeajiriwa na kampuni ya Fast jet. Hata wewe ungekuwa na vyeti vyako tungekuwa tunafanya kazi wote . Maana watu wenye sifa kama zako wanahitajika sana pale.” Aliongea John na kumfanya Jothan ajiinamie. Walikaa pamoja na baadae Jothan alielekezwa chumba atakachukuwa analala. Usiku baada ya kula chakula, alienda chumbani kwake Jothan na kulala. Asubuhi ilipofika, John alimgongea Jothan na kumuaga. Alitoka na kwenda zake kazini. Aliandaliwa chai Jothan na shemeji yake baada ya kuamka asubuhi na kutoka sebuleni. Alikunywa chai na kwenda chumbani kwake. Alioga na kubadilisha nguo. “shemeji.. natoka kidogo.” Aliaga Jothan na kuondoka. Alienda kinondoni ili kuangalia kuwa kama watu walionunua ile nyumba yake wameshahamia. Alikuta hali ile ile ya kama alivyoiacha. Alijitahidi kumuulizia Shani kwa majirani wa pale, lakini hakuna hata mmoja aliyempa majibu chanya juu ya kumpata Shani. Roho ilimuuma kila akiitazama nyumba yake. Alilia sana na kuamua kukubali yote kuwa hata kama atalia na kumaliza machozi yake, basi hawezi kuirudisha nyumba yake. Alirudi nyumbani kwa rafiki yake aliye muhifadhi na kwenda chumbani kwake. Alikaa huko na baaae aliitwa na shemeji yake wakati wa chakula cha mchana. Walikula pamoja na rafiki yake aliwasili pale baada ya nusu saa. “leo nimechelewa kurudi kwa sababu nilikuwa nashughulikia swala lako kwa kuvitangaza vyeti vyako kwenye magazeti mbali mbali yatokayo kesho.” Aliongea John na kumfanya Jothan afurahi kusikia hivyo. Alikaa pale kwa wiki mbili zilizokwenda kwa amani. bada ya hapo, alianza kupata mitihani midogo midogo kutoka kwa Shemeji yake huyo aliyekuwa anapenda kumuonyesha tabasamu kila wakati. Kadri siku zilivyozidi kusonga mbele, ndivyo majaribu kutoka kwa shemeji yake yalivyopamba moto hadi kufikia kuingia chumbani kwake akiwa na upande mmoja wa khanga nyepesi iliyoonyesha kila kitu alichokivaa ndani. Alimuonya mara kadhaa lakini bado msichana huyo aliyekumbwa na pepo wa ngono juu yake alizidi kumuandama. Kamwe hakupenda kuwa sehemu ya tatizo . Alipenda kuwa mtatuzi wa tatizo. Baada ya kuona visa vinazidi kutoka kwa mke wa rafiki yake. Aliamua kuihama nyumba bila kumuambia rafiki yake sababu iliyomuhamisha pale nyumbani kwake kwa kuhufia kuharibu ndoa ya watu waliodumu kwa takribani miaka kumi. Japokuwa hakua na pa kwenda, ila aliamini kuwa kufanya vile basi Mungu atamnyooshea njia yake.. Fedha kidogo alizokuwa nazo zilimuwezesha kujihudumia mwenyewe na kulala gesti kwa wiki moja tu. Baada ya hapo alikuwa choka mbaya. Hakuwa na hata senti tano. Siku hiyo aliamua kuuwa winga kwa kushinda na njaa hadi kiza kilipoingia. Hakuwa na mahali pa kulala, aliamua kwenda kukaa stendi ya daladala maeneo ya kinondoni huku akimuomba mungu usiku ule ukuche akiwa salama maeneo yale. Masaa yalisogea na usiku mnene ulianza kutokea baada ya idadi ya magari kupungua huku watu waishio maeneo hayo kutoonekana nje. Hata yeye mwenyewe hakujua alipataje usingizi. Ila alishtuka baada ya kuona mwanga mkali wa taa za gari ukimulika maeneo aliyokuwa yeye. Alishtuka na kuyazuia macho yake kwa mikono kutokana na ukali wa mwanga wa taa zile. Sekunde kadhaa baadae, zile taa zilizimwa , mara akaona mlango unafunguliwa wa ile gari aina ya Range na kiatu aina ya high hills kikionekana kikikanyaga ardhi. Hali hiyo ilimonyesha kuwa mtu ashukaye kwenye ile gari ni msichana. Uteke wa mguu ule pia ulimuwezesha Jothan kupima age ya mtu anayeshuka. Wakati anausumbua ubongo wake kufikiria na kuwaza lengo la yule mtu kupaki gari lenye thamani pale, yule mtu alishuka na kufunga mlango. Kutokana na mawenge ya taa, hakuweza kumuona mtu aliyekuwa akizihisabu hatua kuelekea pale alipo. Yule dada alimsogelea mpaka pale. Hakuamini alichokiona mbele yake, alikuwa msichana wa ndoto zake toka alipokuwa anasoma. Hakujua ni kitu gani kilichomsukuma mpaka kufika maeneo yale. Ila aliamini kuwa ni Mungu pekee ndio amekisikia kilo chake na kuamua kuwakutanisha tena pale. “PRISCA???”” Alinyaanyuka Jothan na kuita kwa mshangao mkuu huku akiwa haamini macho yake kuwa yule ndiye Prisca wake wa zamani. Bila kujibu chochote, yule dada alianguka kifuani mwa Jothan huku machozi yanamtoka. Hakuamini Jothan macho yake. Alimuangalia Prisca ambaye alikua anafuta machozi yake. “tuondoke eneo hili, sio salama Jothan.” Aliongea Prisca na kumchukua Jothan na kwenda naye kwenye gari. Safari ilianza huku kila mtu akiwa amenyamaza bila kuongea chochote. Jothan alishangaa kuona gari linaelekea mtaa aliokuwa anakaa yeye zamani kabla ya nyumba yake kuuzwa. Gari lilipiga honi kwenye geti la nyumba yake Jothan. Mlinzi alifungua mlango na Jothan hakuamini kuwa mmiliki wanyumba yake ni Prisca. “siamini Prisca kama ni wewe ndio umeinunua nyumba hii?” aliongea Jothan baada ya kuingia kwenye nyumba ile ambayo haikubadilishwa kitu chochote zaidi ya rangi tu. “siku zote huwa napenda kukuona ukiwa mwenye furaha. Ndio maana niliposikia nyumba hii inauzwa ndipo niliamua kuinunua kwa sababu sikupenda ipotee kwenye upeo wa macho yako. Sio nyumba tu, na kila kilichukuwa ndani pia nimevinunua. Hata gari lako pia ukilihitaji nitakupatia kwa sababu kwa sasa halipo hapa. Nimevinunua vitu vyote hivi kwa ajili yako Jothan.” Aliongea Prisca huku machozi yanamtoka. Jothan naye hakuweza kuyazuia machozi yake na kumfuata Prisca na kumkumbatia. “moyo wa mtu ni kichaka Prisca, sikuweza kufikiria kama ipo siku Shani angeweza kuyabadili maisha yangu na kunifanya niwe hivi… nashukuru sana kwa yote uliyoyafanya kwa ajili yangu Prisca.” Aliongea Jothan maneno yale na kumfanya Prisca azidi kulia. “kesho nitachukua begi langu na kuondoka. Maana kazi yangu ya kukutafuta wewe nimeshaimaliza Jothan.” Aliongea Prisca na kumuangalia Jothan ambaye wote walikuwa wanalia wakati huo. “hapana, hutakiwi kuondoka Prisca. Na kama utaondoka basi hii numba na kila kitu kilichomo humu ndani bado vitakuwa havitoshi kutimiza furaha yangu bila ya wewe kuwa karibu yangu.” Aliongea Jothan huku analia. “mimi sio chaguo lako Jothan, siwezi kukaa karibu na wewe. Nitakuwa naumia roho tu na sitaweza kuvumilia kukuona ukiwa na msichana mwengine mbele yangu.” Aliongea Prisca huku analia kwa uchungu. “nilikosea kuchagua kwakua sikujua upi ni mchele ni zipi ni pumba. Niliacha mchele kwakua pumba zilinivutia angi yake. Leo najuta kwakua pumba zimenilaza njaa. Wewe ndio mchele wa kunifanya nishibe na kunitoa njaa hii ya kufa inayonikabili. Nakupenda sana Prisca.” Aliongea Jothan na kujikuta ameeanguka kwa magoti mbele ya Prisca ambaye wakati huo na yeye alikuwa haoni vizuri kutokana na ukungu wa machozi ulikuwa kwenye macho yake. “toka siku uliyonikana Jothan kule Peacock hotel kuwa mimi sio chaguo lako. Moyo wangu uliingia ganzi na kuamua kuishi single Jothan. Sihitaji tena kupenda kwakua nina bahati mbaya ya kupenda nisipopendwa. Sipendi kuumizwa tena kwakua maumivu yake siwezi kuyastahimili. Nikuache tu na maisha yako na mimi naiche na maisha yangu” aliongea Prisca kwa uchungu maneno yalimchoma sana Jothan ambaye bado alikuwa analowanisha viatu vya Prisca kwa machozi yake pale chini. “nisamehe mimi, nimeshajifunza Prisca,” aliendelea kuomba Jothan huku sauti iliyojaa uchungu ikiendelea kumtoka mtoto wa kiume. Nguvu ya mapenzi inaweza kuhamisha milima, wahenga walisema hayo na mimi nawaunga mkono kwa kusadiki maneno hayo. Prisca alijikuta anamnyanyua Jothan na kumkumbatia. Wote walilia sana na kila mmoja kwa muda wake alimbembeleza mwenzake kwa mumfariji. Ukurasa mpya wa mapenzi kwa wapendanao hao walioanza mapenzi toka walipokuwa shuleni yalianza kwa kasi kubwa. Hakukua na sababu ya kuchunguzana wala kupeana muda. Walikubaliana kupima ukimwi kabla ya kufanya mapenzi. Zoezi hilo lilifanikiwa kwa asilimia mia moja. Wote walikuwa wazima na mipango ya ndoa ilifanyika haraka. Vitu vyote vilivyokuwa kabatini alivikuta vile vile. Kasoro hati ya nyumba tu ambayo alirudishiwa na mpenzi wake Prisca. Alifurahi sana na kwenda kupeleka cv zake kwenye kampuni ya Fast jet. Alipata kazi haraka na kuungana na rafiki yake kipenzi John. Ndoa ya aina yake ilifungwa kati ya Jothan na Prisca. Wageni wengi kutoka sehemu mbalimbali walihudhuria harusi ile. Kwenye Hight table walikwepo John na mkewe, Bahati na mumewe Saimon pamoja na mama yake. Hakika furaha ambayo ilipotea kwa muda mrefu kwa Jothan ilirudi alifurahia uwepo wa watu hao muhimu katika maisha yake kwa vipindi tofauti.. Miezi saba baadae, Jothan na mkewe Prisca walikuwa wanatoka kwenye matembezi yao usiku wa saa sita. Wailpofika msasani. Walilakuta wasichana wengi walikuwa wamejiremba na kuvaa nusu uchi wakiashiria kuwa walikuwa wanauza miili yao. Jothan hakuamini kumuona Shani akiwa amejiingiza kwenye kundi hilo. Alisikitika sana kumuona Shani akikimbilia magari na kuanza kujinadi kama wafanyavyo mada wengine wanaojiuza hapo. Alisimamisha gari lake na kumuangalia mkewe ambaye alimpa ishara ya kuondoka na kumuacha mwanamke huyo na maisha yake. Walirudi nyumbani na kumshukuru Mungu kwa kuwaunganisha tena na kuyahesabu yote yaliyotokea nyuma ni mitihani tu, na wao ndio couple iliyokubaliwa na Mungu. ***********MWISHO************** Maisha ni sahani iliyojaa mazuri na mabaya. Kuna wakati unaweza kukubali kuwa maisha ni jinsi unavyoishi. Ila wapo wanaoishi nje ya malengo waliojiwekea. Hakuna anayependa kupata hasara, ila kama una muamini Mungu basi utaamini kuwa kupata hasara katika jambo Fulani ni moja ya mitihani na huenda mungu amekuEpushia kitu Fulani katika jambo hilo. Kila hatua unayopitia ni moja ya changamoto katika mafanikio yako. Ukianguka jikaze na jaribu kuruka tena hata kama utasikia maumivu. Tochi ya mungu hummulkika kila mtu isipokuwa kwa atakayekataa mwenyewe. Ridhiki ya mtu ipo kwenye mikono yake mwenyewe ndio maana huwezi kuizuia. Mungu ametoa vitu vitatu vikubwa kuliko Mali. Kwanza Mungu katoa akili za kipekee. Nikisema akili za kipekee namaanisha kuwa kila mtu Mungu kampa akili lakini hawa wenye akili za kipekee huweza kufanya mambo makubwa na ya kushangaza hali ambayo mtu uliyepewa akili ya kawaida huwezi kufanya hata kama una pesa. Pili Mungu katoa vipaji. Mtu mwenye kipaji Fulani basi huweza kufanya mambo makubwa ikiwemo kufikisha ujumbe haraka kwa watu kutokana na kukubalika na watu wengi zaidi ya mtu wa kawaida. Kimfano matangazo, tangazo hilo akipewa mtu Fulani atangaze basi muitikio utakuwa mdogo kuliko akipewa tangazo hilo Diamond, Mrisho Mpoto na wengne wengi. Kipaji ni kitu cha pekee alichotoa mungu kama zawadi kwa mtu Fulani na kama kitathaminika na yeye kukiwekea mkazo basi hiyo ndio inaweza kuwa njia ya mafanikio yake kupitia kipaji hicho. Tatu mungu katoa Moyo wa pekee. Moyo huu amewapa watu wachache. Na cha ajabu kuwa mtu mwenye moyo wa kutoa basi hutoa kitu kikubwa bila kujali kubakiwa na kidogo. Humshinda mwenye mali ambaye akitoa hata kitu kidogo huhisi anapungukiwa. Mtu mwenye moyo wa pekee hupenda kutenda mambo yanayompendeza mwenzake hata kama yanaweza kuharibu furaha yake. Hapendi kumuona mtu akilia au akihuzunika wakati yeye anaweza kumfanya mtu huyo kuwa na furaha hata kwa kumuongopea. Hawezi kula yeye kabla ya kuangalia wenzake wenye njaa. Hayo na mengine mengi kajaaliwa mtu mwenye moyo wa pekee. Na huwashinda wenye vipaji na akili za pekee. Watu hawa mungu huwajaalia kwa kuendelea kuwapa na kutia Baraka mali zao hata kama ni kidogo. Nia na madhumuni ni kujifunza kupitia burudani hii iliyowaacha watu kwenye majonzi au kufurahia mwisha mzuri wa Jothan kuwa na mtu ampendaye. *****************************************MWISHO****************************************** ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: