Love story:ANKO INATOSHA Mwandishi:JAFARI MPOLE Sehemu:16 ILIPOISHIA:. ...hii ni kutokana na kujua siri ambaya tulikuwa tukijidanganya wenyewe rose"alisema eliza "siri?siri gani hyo?" TUMALIZIE LEO.. Eliza akatazama chini huku chozi likimdondoka,moyo ulisita kusema kitu akabaki akiangusha machozi na kuwafanya wenzake wazidi kuwa na simanzi,akajaribu kujikaza huku akimtazama ndugu yake rose."rose..tum efanya kosa ambalo hata mungu hapendi..amini usiamini rose kwa mdomo wangu nasema nimezini na anko wetu tony na siyo mara moja." "atiii..?!"alihamaki rose. "haaaaa"wote hawakuamini kwa kile kisemwacho na eliza ambaye machozi yalizidi kutiririka mashavuni kwa kilio. "amini hvyo rose,nimefanya mapenzi sana na mjomba,na ndio cku nkashangaa usiku mmoja nkitaka kwenda chumbni kwake nkakukuta nawewe kwa anko mkiwa mnazini,nliumia sana na ndipo ukawa mwisho wa mimi kujisogeza kwake,nlijuta sana,lakini haikusaidia kitu kwan asubuh moja nlipoenda chumbni kwake kumuamsha ndipo..."alishi kwa na kwikwi kwa jinsi alivyokuwa akilia."ndipo nkakuta mezana dawa za ARV zitumikazo kwa m2 aliyeathirika"alisema eliza na kumfanya rose azidi kuangua kilio na baadae akatubu kweli alitenda zambi hyo. "jamani siyo nyie tu,nahisi anko wenu atakuwa amedhamiria kuondoka na watu humu duniani...shetani alinijaa mwili mzma hiyo cku anko wenu akitoka chumbani kwa mama yangu kwani walikuwa wakifanya mapenzi mule ndani na kupelekea nishikwe na hamasa ya kufanya zambi ileile,na tangu hapo nikawa na sauti ya kumuita tufanye tena na tena,najuta mie zuhuraa," "jamani zuhuraa"alisema eliza akiwa haamini. "mpaka sasa namchukia anko na umalaya wake kama nini,kumbe hata zuhura!hata mama yako!loh najuta mie rose"wote wakawa hawana la kusema na kubaki kimya kila mtu akiwaza la kwake. Tangu waondoke hospitali asubuhi akina rose na eliza mpaka saa 8 mchana hawakuweza kutokea,ndani alibaki ruth na anko tony ambaye muda wote alikuwa akitegemea huenda ruth akaja chumbani kwake wakafanya mambo yao lakini haikuwa hvyo kwa ruth,yeye alikaa muda wote chumban kwake akitazama muvi.Dakika 10 baadae waliwasili akina eliza huku macho yao yakiwa mekundu kwa kulia muda mrefu,wote wakaenda mpaka chumbni kwa ruth na kuanza kumsimulia yote yaliyotokea.Ruth kwa hasira akatoka mbio mpaka chumbani kwa anko wake na kumkuta akiangalia tv,akasogea mpaka pale na kuizima."hivi wewe umekuja humu ndani kuiteketeza hii familia,huoni aibu wewe? malaya mkubwa wewe ambaye hujui kukataa,ona sasa familia nzima inakufa kwa gonjwa lako hata kwa majirani umeupeleka,ah una zambi wewe sijawahi kuona,sasa hii nimeambiwa tu,naenda mwenyew kupima na ole wako nikute na mimi ni muathirika,heee utanifanya niende jela wewe malaya mkubwa!"alisema ruth na kuondoka kwa hasira mule chumbani kwa anko huku machozi yakimtoka,anko tony akabaki ameduwaa tu bila kusema lolote. Zuhura na mama'ke wote wakiwa sebuleni huku wote wakiwa wamekaa chini ya kapeti na kuyaacha masofa,mama zuhura akionekana kububujikwa na machozi muda wote."maskini mwananguu,tumefanya nini sisi jamani,zuhura mwanangu...tushaathirika siye ni kusubiri muda tuzikwe 2 sasa."alisema mama zuhura,alikua tayari kashaambiwa kuhusu msururu ule wa ngono ulivyozunguka. Ruth baada ya kuchukuliwa vipimo vyake akakaa kusubiri. "Ruth " "ndio dokta" "vizuri, kwanza nakupa hongera vipimo vinaonesha unaujazito miezi miwili.,lakini pia vipimo vinaonesha wewe ni muathrika wa virusi vya UKIMWI na cyo mwisho wa maisha haya bado una nafasi hata ya kujifungua mwanao akiwa yuko salama bila ya kuambukizwa virusi hivi,nakuomba usichukue uamuzi wowote mbaya utakao sababisha kupoteza uhai wako na wa mtoto"alisema dokta huku ruth akibaki akilia tu.Baadae ruth akarudi kwao huku akiwa na uhakika wa afya yake,kutoka hospitali mpaka kwao ni kama robo saa tu lakini yeye alitumia lisaa lizima kutokana na mawazo kwa kile alichoambiwa na daktari,alianza kumfikiria anko tony,yeye ndio kasababisha mpaka yote haya yanatokea,hakuamini kama ataweza kushika mimba ya anko tony hata cku moja,akajuta kwanini ile siku ya kwanza alivua nguo zake na kumuachia mwili anko tony aufanye anavotaka,machozi yalimtoka kila akikumbuka ya nyuma aliyokuwa akifanya na anko tony kwa siri,sasa cyo siri tena,yote haya alikuwa akiyakumbuka huku akiukaribia mlango wao wa nyumba,akashika kitasa na kufungua mlango,alitaharuki baada ya kuingia tu sebuleni.Mama rose,anko tony,mama zuhura,rose,zuh ura na eliza wote walikuwa pamoja pale sebuleni huku wakimtazama yeye ambaye alikuwa ameduwaa."njoo tu mwanangu usishangae"alis ema mama zuhura huku akitokwa na machozi,rùth akasogea mpaka pale walipo huku akianza tena kulengwa na machozi.Kimya kikatawala kama dakika 5 ndipo mama rose akanyanyua kinywa chake na kuanza kuwaeleza ukweli huku machozi yakilowanisha dela lake ."kwanza kabisa niwaombe msamaha wanangu kwani mimi ndio chanzo cha yote haya,leo naomba muelewe huyu siyo anko wenu,huyu ni mtu ambaye nilikuwa nae baada ya baba yenu kufariki,nikawa nimejenga mahusiano nae ya gafla na kuanza kumhudumia kwa kila kitu,mahusiano yetu yalidumu tangu cku hyo mpaka leo mnapotuona,samahanini sana wanangu kwa kuwadanganya,najuta miyee!"alisema mama rose huku akiangua kilio huku wanawe wakishangaa wanachoambiwa na mama yao,wote wakabaki mdomo wazi na kikatawala kama dakika 5 hivi,anko tony akawatazama wote huku machozi yakimlenga. "hivi kuna anaejua ni kwanini mimefanya dhambi híi? alisema anko tony. "tena usithubutu kuongea upuuzi wako,hujui jinsi gani ninavyokuchukia!"alidakia mama zuhura kwa hasira,anko akatabasamu,tabasamu lenye kinyongo ndani yake. "najua hakuna asiyenichukia kati yenu,ila ni bora niweke wazi jambo hili,siku ya kwanza kukutana na mama rose nlikuwa kwetu Tanga,nilikuwa nina mke na hali ye2 ilikuwa duni sana, lakini cku hiyo nilipoonana na mama rose akanipenda ingawa ckuwa najua mapema,akanilaghai kwa kusema atanipa kazi nikirudi naye mjini,nikamshkuru kwa msaada wake na nkamwambia mkewangu kuwa naenda mjini kufanya kazi,hiyo siku 2lingia mjini usiku 2kafikia hotel moja hivi na kuanza kupata kula, akaagiza vnywaj vikali na kunilazimisha kunywa,na haikupita hata dakika 20 nkawa sijielewi..Nakuja kuzinduka najikuta nipo kitandani uchi wa mnyama na yeye yupo pembni yangu amelala,nkamuuliza imekuwaje? ndo akanambia ananipenda ndio maana kafanya vile.,nlikasirika sana nkavaa nguo na kuondoka kurudi kwetu tanga,nkamweleza ukweli mkeangu kwakuw nlimpenda akanielewa 2karudia mapenzi yetu,miezi ilienda na mke wangu akapata ujauzito.nkampeleka zahanati kupima 2kaambiwa anamimba ya watoto mapacha na cha ajabu eti amekutwa ameathirka,ikan ibidi na mie nipime na kweli wote tumeathrika,wiki 2 bdae mkewangu alijiua kwa kuhofia aibu,ndipo mama rose alikuja tena na kunambia ukweli kuwa yeye ndio alieniambukiza,niliumia sana na sikuwa jinsi tangu cku ile nkawa naye kimapenzi lakini moyoni nkaweka dhamira ya kulipa kisasi ambacho leo híi kimetimia,amesababisha kifo cha mke wangu na viumbe vilivyo tumboni mwake na mimi nateketeza familia nzima,mama zuhura alitaka kùvujisha siri kwa kuwa aliniona nikiwa na ruth chumbani usiku mmoja,kwa tamaa zake yeye mwanaye zuhura ndo zikanifanya nifanye nao mapenzi ili tu wasivujishe siri kama alivoahidi mama zuhura"alisema anko na kufanya kila mtu ajue ukweli,mama rose alilia sana na akiwaomba wote msamaha na haikuwa jinsi tena wakasameheana na maisha yakaendelea na wakawa wanamuangalia ruth kwa ujauzito wake. Miezi 6 mbele mama zuhura na mwanawe walifariki kwa kunywa sumu kwa fedheha waliyopata,akafuata rose kwa kuwa na msongo wa mawazo huku kifo cha eliza cha kugongwa na gari kilimfanya mama yake apate presha iliyomsababishia kifo baada ya mwezi1. Ruth na anko,wakawa pa1 na wakaishi kama mume na mke wakimlea mtoto wao Janeth ambaye hakuweza kuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.Hakika Ruth na mumewe Tony walipenda sana kwani ule usemi wa YALIYOPITA SI NDWELE TUDANGE YANAYOKUJA ulikuwa moyni mwao,walimaliza tofauti zao na kurudi kama mume na mke *** *****@ M W I S H O @*****

at 10:52 PM

Bagikan ke

Lintaskan

0 comments:

Copyright © 2025 Braytonofficiallove
Designed by Siyamdezign | Edited By braytonofficiallove
braytonofficiallove | braytonofficiallove | braytonofficiallove
Powered By Blogger
Back to Top