Home → simulizi
→ Love story:ANKO INATOSHA
Mwandishi:JAFARI MPOLE
Sehemu:16
ILIPOISHIA:.
...hii ni kutokana na kujua siri
ambaya tulikuwa tukijidanganya wenyewe
rose"alisema eliza
"siri?siri gani hyo?"
TUMALIZIE LEO..
Eliza akatazama chini huku
chozi likimdondoka,moyo ulisita kusema kitu akabaki
akiangusha machozi na
kuwafanya wenzake wazidi
kuwa na simanzi,akajaribu
kujikaza huku akimtazama
ndugu yake rose."rose..tum efanya kosa ambalo hata
mungu hapendi..amini
usiamini rose kwa mdomo
wangu nasema nimezini na
anko wetu tony na siyo mara
moja." "atiii..?!"alihamaki rose.
"haaaaa"wote hawakuamini
kwa kile kisemwacho na eliza
ambaye machozi yalizidi
kutiririka mashavuni kwa
kilio. "amini hvyo rose,nimefanya
mapenzi sana na mjomba,na
ndio cku nkashangaa usiku
mmoja nkitaka kwenda
chumbni kwake nkakukuta
nawewe kwa anko mkiwa mnazini,nliumia sana na ndipo
ukawa mwisho wa mimi
kujisogeza kwake,nlijuta
sana,lakini haikusaidia kitu
kwan asubuh moja nlipoenda
chumbni kwake kumuamsha ndipo..."alishi
kwa na kwikwi
kwa jinsi alivyokuwa
akilia."ndipo nkakuta mezana
dawa za ARV zitumikazo kwa
m2 aliyeathirika"alisema eliza
na kumfanya rose azidi kuangua kilio na baadae
akatubu kweli alitenda zambi
hyo.
"jamani siyo nyie tu,nahisi
anko wenu atakuwa
amedhamiria kuondoka na watu humu duniani...shetani
alinijaa mwili mzma hiyo cku
anko wenu akitoka chumbani
kwa mama yangu kwani
walikuwa wakifanya mapenzi
mule ndani na kupelekea nishikwe na hamasa ya
kufanya zambi ileile,na tangu
hapo nikawa na sauti ya
kumuita tufanye tena na
tena,najuta mie zuhuraa,"
"jamani zuhuraa"alisema eliza akiwa haamini.
"mpaka sasa namchukia anko
na umalaya wake kama
nini,kumbe hata zuhura!hata
mama yako!loh najuta mie
rose"wote wakawa hawana la kusema na kubaki kimya kila
mtu akiwaza la kwake. Tangu waondoke hospitali
asubuhi akina rose na eliza
mpaka saa 8 mchana
hawakuweza kutokea,ndani
alibaki ruth na anko tony
ambaye muda wote alikuwa akitegemea huenda ruth akaja
chumbani kwake wakafanya
mambo yao lakini haikuwa
hvyo kwa ruth,yeye alikaa
muda wote chumban kwake
akitazama muvi.Dakika 10 baadae waliwasili akina eliza
huku macho yao yakiwa
mekundu kwa kulia muda
mrefu,wote wakaenda mpaka
chumbni kwa ruth na kuanza
kumsimulia yote yaliyotokea.Ruth kwa hasira
akatoka mbio mpaka
chumbani kwa anko wake na
kumkuta akiangalia
tv,akasogea mpaka pale na
kuizima."hivi wewe umekuja humu ndani kuiteketeza hii
familia,huoni aibu wewe?
malaya mkubwa wewe
ambaye hujui kukataa,ona
sasa familia nzima inakufa
kwa gonjwa lako hata kwa majirani umeupeleka,ah una
zambi wewe sijawahi
kuona,sasa hii nimeambiwa
tu,naenda mwenyew kupima
na ole wako nikute na mimi ni
muathirika,heee utanifanya niende jela wewe malaya
mkubwa!"alisema ruth na
kuondoka kwa hasira mule
chumbani kwa anko huku
machozi yakimtoka,anko tony
akabaki ameduwaa tu bila kusema lolote. Zuhura na mama'ke wote
wakiwa sebuleni huku wote
wakiwa wamekaa chini ya
kapeti na kuyaacha
masofa,mama zuhura
akionekana kububujikwa na machozi muda wote."maskini
mwananguu,tumefanya nini
sisi jamani,zuhura
mwanangu...tushaathirika siye
ni kusubiri muda tuzikwe 2
sasa."alisema mama zuhura,alikua tayari
kashaambiwa kuhusu
msururu ule wa ngono
ulivyozunguka.
Ruth baada ya kuchukuliwa
vipimo vyake akakaa kusubiri. "Ruth "
"ndio dokta"
"vizuri, kwanza nakupa
hongera vipimo vinaonesha
unaujazito miezi miwili.,lakini
pia vipimo vinaonesha wewe ni muathrika wa virusi vya
UKIMWI na cyo mwisho wa
maisha haya bado una nafasi
hata ya kujifungua mwanao
akiwa yuko salama bila ya
kuambukizwa virusi hivi,nakuomba usichukue
uamuzi wowote mbaya
utakao sababisha kupoteza
uhai wako na wa
mtoto"alisema dokta huku
ruth akibaki akilia tu.Baadae ruth akarudi kwao huku
akiwa na uhakika wa afya
yake,kutoka hospitali mpaka
kwao ni kama robo saa tu
lakini yeye alitumia lisaa
lizima kutokana na mawazo kwa kile alichoambiwa na
daktari,alianza kumfikiria
anko tony,yeye ndio
kasababisha mpaka yote haya
yanatokea,hakuamini kama
ataweza kushika mimba ya anko tony hata cku
moja,akajuta kwanini ile siku
ya kwanza alivua nguo zake
na kumuachia mwili anko
tony aufanye
anavotaka,machozi yalimtoka kila akikumbuka ya nyuma
aliyokuwa akifanya na anko
tony kwa siri,sasa cyo siri
tena,yote haya alikuwa
akiyakumbuka huku
akiukaribia mlango wao wa nyumba,akashika kitasa na
kufungua mlango,alitaharuki
baada ya kuingia tu
sebuleni.Mama rose,anko
tony,mama zuhura,rose,zuh
ura na eliza wote walikuwa pamoja pale sebuleni huku
wakimtazama yeye ambaye
alikuwa ameduwaa."njoo tu
mwanangu usishangae"alis
ema mama zuhura huku
akitokwa na machozi,rùth akasogea mpaka pale walipo
huku akianza tena kulengwa
na machozi.Kimya kikatawala
kama dakika 5 ndipo mama
rose akanyanyua kinywa
chake na kuanza kuwaeleza ukweli huku machozi
yakilowanisha dela lake
."kwanza kabisa niwaombe
msamaha wanangu kwani
mimi ndio chanzo cha yote
haya,leo naomba muelewe huyu siyo anko wenu,huyu ni
mtu ambaye nilikuwa nae
baada ya baba yenu
kufariki,nikawa nimejenga
mahusiano nae ya gafla na
kuanza kumhudumia kwa kila kitu,mahusiano yetu yalidumu
tangu cku hyo mpaka leo
mnapotuona,samahanini sana
wanangu kwa
kuwadanganya,najuta
miyee!"alisema mama rose huku akiangua kilio huku
wanawe wakishangaa
wanachoambiwa na mama
yao,wote wakabaki mdomo
wazi na kikatawala kama
dakika 5 hivi,anko tony akawatazama wote huku
machozi yakimlenga.
"hivi kuna anaejua ni kwanini
mimefanya dhambi híi?
alisema anko tony.
"tena usithubutu kuongea upuuzi wako,hujui jinsi gani
ninavyokuchukia!"alidakia
mama zuhura kwa hasira,anko
akatabasamu,tabasamu lenye
kinyongo ndani yake.
"najua hakuna asiyenichukia kati yenu,ila ni bora niweke
wazi jambo hili,siku ya
kwanza kukutana na mama
rose nlikuwa kwetu
Tanga,nilikuwa nina mke na
hali ye2 ilikuwa duni sana, lakini cku hiyo nilipoonana na
mama rose akanipenda
ingawa ckuwa najua
mapema,akanilaghai kwa
kusema atanipa kazi nikirudi
naye mjini,nikamshkuru kwa msaada wake na
nkamwambia mkewangu
kuwa naenda mjini kufanya
kazi,hiyo siku 2lingia mjini
usiku 2kafikia hotel moja hivi
na kuanza kupata kula, akaagiza vnywaj vikali na
kunilazimisha kunywa,na
haikupita hata dakika 20
nkawa sijielewi..Nakuja
kuzinduka najikuta nipo
kitandani uchi wa mnyama na yeye yupo pembni yangu
amelala,nkamuuliza
imekuwaje? ndo akanambia
ananipenda ndio maana
kafanya vile.,nlikasirika sana
nkavaa nguo na kuondoka kurudi kwetu
tanga,nkamweleza ukweli
mkeangu kwakuw nlimpenda
akanielewa 2karudia mapenzi
yetu,miezi ilienda na mke
wangu akapata ujauzito.nkampeleka zahanati
kupima 2kaambiwa
anamimba ya watoto
mapacha na cha ajabu eti
amekutwa ameathirka,ikan
ibidi na mie nipime na kweli wote tumeathrika,wiki 2 bdae
mkewangu alijiua kwa
kuhofia aibu,ndipo mama rose
alikuja tena na kunambia
ukweli kuwa yeye ndio
alieniambukiza,niliumia sana na sikuwa jinsi tangu cku ile
nkawa naye kimapenzi lakini
moyoni nkaweka dhamira ya
kulipa kisasi ambacho leo híi
kimetimia,amesababisha kifo
cha mke wangu na viumbe vilivyo tumboni mwake na
mimi nateketeza familia
nzima,mama zuhura alitaka
kùvujisha siri kwa kuwa
aliniona nikiwa na ruth
chumbani usiku mmoja,kwa tamaa zake yeye mwanaye
zuhura ndo zikanifanya
nifanye nao mapenzi ili tu
wasivujishe siri kama
alivoahidi mama
zuhura"alisema anko na kufanya kila mtu ajue
ukweli,mama rose alilia sana
na akiwaomba wote
msamaha na haikuwa jinsi
tena wakasameheana na
maisha yakaendelea na wakawa wanamuangalia ruth
kwa ujauzito wake.
Miezi 6 mbele mama zuhura na
mwanawe walifariki kwa
kunywa sumu kwa fedheha
waliyopata,akafuata rose kwa kuwa na msongo wa mawazo
huku kifo cha eliza cha
kugongwa na gari kilimfanya
mama yake apate presha
iliyomsababishia kifo baada ya
mwezi1. Ruth na anko,wakawa pa1 na
wakaishi kama mume na mke
wakimlea mtoto wao Janeth
ambaye hakuweza kuwa na
maambukizi ya virusi vya
UKIMWI.Hakika Ruth na mumewe Tony walipenda
sana kwani ule usemi wa
YALIYOPITA SI NDWELE
TUDANGE YANAYOKUJA
ulikuwa moyni
mwao,walimaliza tofauti zao na kurudi kama mume na mke
***
*****@ M W I S H O @*****
Love story:ANKO INATOSHA Mwandishi:JAFARI MPOLE Sehemu:16 ILIPOISHIA:. ...hii ni kutokana na kujua siri ambaya tulikuwa tukijidanganya wenyewe rose"alisema eliza "siri?siri gani hyo?" TUMALIZIE LEO.. Eliza akatazama chini huku chozi likimdondoka,moyo ulisita kusema kitu akabaki akiangusha machozi na kuwafanya wenzake wazidi kuwa na simanzi,akajaribu kujikaza huku akimtazama ndugu yake rose."rose..tum efanya kosa ambalo hata mungu hapendi..amini usiamini rose kwa mdomo wangu nasema nimezini na anko wetu tony na siyo mara moja." "atiii..?!"alihamaki rose. "haaaaa"wote hawakuamini kwa kile kisemwacho na eliza ambaye machozi yalizidi kutiririka mashavuni kwa kilio. "amini hvyo rose,nimefanya mapenzi sana na mjomba,na ndio cku nkashangaa usiku mmoja nkitaka kwenda chumbni kwake nkakukuta nawewe kwa anko mkiwa mnazini,nliumia sana na ndipo ukawa mwisho wa mimi kujisogeza kwake,nlijuta sana,lakini haikusaidia kitu kwan asubuh moja nlipoenda chumbni kwake kumuamsha ndipo..."alishi kwa na kwikwi kwa jinsi alivyokuwa akilia."ndipo nkakuta mezana dawa za ARV zitumikazo kwa m2 aliyeathirika"alisema eliza na kumfanya rose azidi kuangua kilio na baadae akatubu kweli alitenda zambi hyo. "jamani siyo nyie tu,nahisi anko wenu atakuwa amedhamiria kuondoka na watu humu duniani...shetani alinijaa mwili mzma hiyo cku anko wenu akitoka chumbani kwa mama yangu kwani walikuwa wakifanya mapenzi mule ndani na kupelekea nishikwe na hamasa ya kufanya zambi ileile,na tangu hapo nikawa na sauti ya kumuita tufanye tena na tena,najuta mie zuhuraa," "jamani zuhuraa"alisema eliza akiwa haamini. "mpaka sasa namchukia anko na umalaya wake kama nini,kumbe hata zuhura!hata mama yako!loh najuta mie rose"wote wakawa hawana la kusema na kubaki kimya kila mtu akiwaza la kwake. Tangu waondoke hospitali asubuhi akina rose na eliza mpaka saa 8 mchana hawakuweza kutokea,ndani alibaki ruth na anko tony ambaye muda wote alikuwa akitegemea huenda ruth akaja chumbani kwake wakafanya mambo yao lakini haikuwa hvyo kwa ruth,yeye alikaa muda wote chumban kwake akitazama muvi.Dakika 10 baadae waliwasili akina eliza huku macho yao yakiwa mekundu kwa kulia muda mrefu,wote wakaenda mpaka chumbni kwa ruth na kuanza kumsimulia yote yaliyotokea.Ruth kwa hasira akatoka mbio mpaka chumbani kwa anko wake na kumkuta akiangalia tv,akasogea mpaka pale na kuizima."hivi wewe umekuja humu ndani kuiteketeza hii familia,huoni aibu wewe? malaya mkubwa wewe ambaye hujui kukataa,ona sasa familia nzima inakufa kwa gonjwa lako hata kwa majirani umeupeleka,ah una zambi wewe sijawahi kuona,sasa hii nimeambiwa tu,naenda mwenyew kupima na ole wako nikute na mimi ni muathirika,heee utanifanya niende jela wewe malaya mkubwa!"alisema ruth na kuondoka kwa hasira mule chumbani kwa anko huku machozi yakimtoka,anko tony akabaki ameduwaa tu bila kusema lolote. Zuhura na mama'ke wote wakiwa sebuleni huku wote wakiwa wamekaa chini ya kapeti na kuyaacha masofa,mama zuhura akionekana kububujikwa na machozi muda wote."maskini mwananguu,tumefanya nini sisi jamani,zuhura mwanangu...tushaathirika siye ni kusubiri muda tuzikwe 2 sasa."alisema mama zuhura,alikua tayari kashaambiwa kuhusu msururu ule wa ngono ulivyozunguka. Ruth baada ya kuchukuliwa vipimo vyake akakaa kusubiri. "Ruth " "ndio dokta" "vizuri, kwanza nakupa hongera vipimo vinaonesha unaujazito miezi miwili.,lakini pia vipimo vinaonesha wewe ni muathrika wa virusi vya UKIMWI na cyo mwisho wa maisha haya bado una nafasi hata ya kujifungua mwanao akiwa yuko salama bila ya kuambukizwa virusi hivi,nakuomba usichukue uamuzi wowote mbaya utakao sababisha kupoteza uhai wako na wa mtoto"alisema dokta huku ruth akibaki akilia tu.Baadae ruth akarudi kwao huku akiwa na uhakika wa afya yake,kutoka hospitali mpaka kwao ni kama robo saa tu lakini yeye alitumia lisaa lizima kutokana na mawazo kwa kile alichoambiwa na daktari,alianza kumfikiria anko tony,yeye ndio kasababisha mpaka yote haya yanatokea,hakuamini kama ataweza kushika mimba ya anko tony hata cku moja,akajuta kwanini ile siku ya kwanza alivua nguo zake na kumuachia mwili anko tony aufanye anavotaka,machozi yalimtoka kila akikumbuka ya nyuma aliyokuwa akifanya na anko tony kwa siri,sasa cyo siri tena,yote haya alikuwa akiyakumbuka huku akiukaribia mlango wao wa nyumba,akashika kitasa na kufungua mlango,alitaharuki baada ya kuingia tu sebuleni.Mama rose,anko tony,mama zuhura,rose,zuh ura na eliza wote walikuwa pamoja pale sebuleni huku wakimtazama yeye ambaye alikuwa ameduwaa."njoo tu mwanangu usishangae"alis ema mama zuhura huku akitokwa na machozi,rùth akasogea mpaka pale walipo huku akianza tena kulengwa na machozi.Kimya kikatawala kama dakika 5 ndipo mama rose akanyanyua kinywa chake na kuanza kuwaeleza ukweli huku machozi yakilowanisha dela lake ."kwanza kabisa niwaombe msamaha wanangu kwani mimi ndio chanzo cha yote haya,leo naomba muelewe huyu siyo anko wenu,huyu ni mtu ambaye nilikuwa nae baada ya baba yenu kufariki,nikawa nimejenga mahusiano nae ya gafla na kuanza kumhudumia kwa kila kitu,mahusiano yetu yalidumu tangu cku hyo mpaka leo mnapotuona,samahanini sana wanangu kwa kuwadanganya,najuta miyee!"alisema mama rose huku akiangua kilio huku wanawe wakishangaa wanachoambiwa na mama yao,wote wakabaki mdomo wazi na kikatawala kama dakika 5 hivi,anko tony akawatazama wote huku machozi yakimlenga. "hivi kuna anaejua ni kwanini mimefanya dhambi híi? alisema anko tony. "tena usithubutu kuongea upuuzi wako,hujui jinsi gani ninavyokuchukia!"alidakia mama zuhura kwa hasira,anko akatabasamu,tabasamu lenye kinyongo ndani yake. "najua hakuna asiyenichukia kati yenu,ila ni bora niweke wazi jambo hili,siku ya kwanza kukutana na mama rose nlikuwa kwetu Tanga,nilikuwa nina mke na hali ye2 ilikuwa duni sana, lakini cku hiyo nilipoonana na mama rose akanipenda ingawa ckuwa najua mapema,akanilaghai kwa kusema atanipa kazi nikirudi naye mjini,nikamshkuru kwa msaada wake na nkamwambia mkewangu kuwa naenda mjini kufanya kazi,hiyo siku 2lingia mjini usiku 2kafikia hotel moja hivi na kuanza kupata kula, akaagiza vnywaj vikali na kunilazimisha kunywa,na haikupita hata dakika 20 nkawa sijielewi..Nakuja kuzinduka najikuta nipo kitandani uchi wa mnyama na yeye yupo pembni yangu amelala,nkamuuliza imekuwaje? ndo akanambia ananipenda ndio maana kafanya vile.,nlikasirika sana nkavaa nguo na kuondoka kurudi kwetu tanga,nkamweleza ukweli mkeangu kwakuw nlimpenda akanielewa 2karudia mapenzi yetu,miezi ilienda na mke wangu akapata ujauzito.nkampeleka zahanati kupima 2kaambiwa anamimba ya watoto mapacha na cha ajabu eti amekutwa ameathirka,ikan ibidi na mie nipime na kweli wote tumeathrika,wiki 2 bdae mkewangu alijiua kwa kuhofia aibu,ndipo mama rose alikuja tena na kunambia ukweli kuwa yeye ndio alieniambukiza,niliumia sana na sikuwa jinsi tangu cku ile nkawa naye kimapenzi lakini moyoni nkaweka dhamira ya kulipa kisasi ambacho leo híi kimetimia,amesababisha kifo cha mke wangu na viumbe vilivyo tumboni mwake na mimi nateketeza familia nzima,mama zuhura alitaka kùvujisha siri kwa kuwa aliniona nikiwa na ruth chumbani usiku mmoja,kwa tamaa zake yeye mwanaye zuhura ndo zikanifanya nifanye nao mapenzi ili tu wasivujishe siri kama alivoahidi mama zuhura"alisema anko na kufanya kila mtu ajue ukweli,mama rose alilia sana na akiwaomba wote msamaha na haikuwa jinsi tena wakasameheana na maisha yakaendelea na wakawa wanamuangalia ruth kwa ujauzito wake. Miezi 6 mbele mama zuhura na mwanawe walifariki kwa kunywa sumu kwa fedheha waliyopata,akafuata rose kwa kuwa na msongo wa mawazo huku kifo cha eliza cha kugongwa na gari kilimfanya mama yake apate presha iliyomsababishia kifo baada ya mwezi1. Ruth na anko,wakawa pa1 na wakaishi kama mume na mke wakimlea mtoto wao Janeth ambaye hakuweza kuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.Hakika Ruth na mumewe Tony walipenda sana kwani ule usemi wa YALIYOPITA SI NDWELE TUDANGE YANAYOKUJA ulikuwa moyni mwao,walimaliza tofauti zao na kurudi kama mume na mke *** *****@ M W I S H O @*****
Artikel Terkait
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA TISA (9) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita basi mtoto alikaa kimya sikumwelewa kama amekubali au laa nikaamua kumvutia chumba kimoja kilichokua karibu yetu nilipo tazama mlangoni nilishangaa kuona namba #966 juu ya mlango siku wekea maanani sana.nikataka kufungua ili nimuingize husna tufanye yetu... Endelea sasa alikuja errycah na kutoa sauti kwa ukali nyie mnafanya nini hapo ? "we husna mnataka kufanya nini kwenye hicho chumba umesahau baba alivyo sema haruhusiwi mtu yoyote kufungua icho chumba ?" ilibidi kidume nimtulize binamu kwa point zilizo shiba sikia errycah husna hana kosa mwenye kosa ni Mimi nilikua namuuliza hiki chumba kwa nini hakifunguliwi samahani kama tumekukosea.kama unavyo nijua sipendagi kuongea sana hua naongea sentensi fupi zenye maana. "husna shauli yako Mali ya mtu hii cheza Nayo mbali" aliongea binamu bila ya aibu husna akaendelea kupiga zake deki hakumjibu kitu nilipenda sana busara yake.kumbuka wakati huo sijajua nasma yupo wapi ilibidi nimuulize binamu "nasma mbona simuoni yupo wapi" "unamuulizia yule Malaya wa nini yupo jikoni huko nimempa kazi asafishe vyombo vyote vya nyumba nzima achana nae njoo unywe chai" baada ya kumaliza chai binamu akaniaga anaenda stendi kumpokea mgeni ila atawai kurudi niwe makini na nasma na husna nikitabasamu nikamsindikiza mpaka getini. "vipi mbona leo huendi na gari" swali lilitoka kwa mlinzi "aaah tutachukua tax mana kwenda na gari mpaka ubungo naona usumbufu" kama kawaida yake akanipa busu mbele ya mlinzi akaenda zake.nikaona huu ndo mda mwafaka wa kuongea na mlinzi.babu eee shikamoo "mda wote huo ukuniona ndo unaniona sasa ivi" aaah babu nilikua natafuta mda mzuri wa kuja kukusalimia "haya marhaba kijana unasemaje" kama kawaida yangu sio mzee wa maneno mengi nikaenda kwenye point moja kwa moja "babu kwa nini mda ule naingia ndani ulikua unatikisa kichwa ?" "kijana nakuonea huruma sana mana mwisho wa maisha yako umeshafika umejikoroga wewe mwenyewe sasa chagua moja umuwai mjomba wako au akuwai we we" nilishtuka sana kusikia vile nika mwambia mbona sijakuelewa "kuna chumba kimoja kipo ndani Hakuna mtu aliye wai kuingia zaidi ya mjomba wako. mlangoni kimeandikwa namba #966 ukifanikiwa kuingia humo ndani ndo utajua ukweli wote lakini kuwa makini wakati unaingia humo na funguo za chumba hicho anazo mjomba wako na anatembea Nazo mda wote kiufupi hicho chumba kina siri zote za mjomba wako" alimaliza kunipa maelezo kisha akaondoka zake "acha nikapumzike mana nimechoka sana kumbuka usije ukanitaja uki dakwa mana yule mwenzako wa kwanza alinitaja kilicho mkuta atakusimulia" mwenzangu wa kwanza nani huyoo........? "si yule dereva" haya babu nimekuelewa sikutaka ku hoji sana mana nilikua na shauku ya kwenda kufungua kile chumba.nikaingia zangu nikiwa na mawazo mengi.cha ajabu nilipo mwona tu husna akili yangu ililuka na kuanza kumtamani.nika mfata mpaka pale alipo nika mwambia anifate chumbani.husna akuvunga aliitikia kwa kichwa na tukaelekea chumbani.kumbe wakati tunaingia nasma alikua anatutazama tu nikampa ishala anyamaze lakini aliniita nikaenda kumsikiliza akaniambia leo nitalala chumba cha wageni hivyo usiku uje unipe mpe dozi. nilifurahi sana mana nina nyege hatari nimekaa miaka mitano sijamwona mwanamke acha saizi nitembeze dozi.nikaludi fasta chumbani na kumkuta husna kajilaza kitandani huku wowowo lake kaliachia. nilipo fika pale niligundua njia nzuri ya kufaidi vizuri mzigo wa husna ni kubana miguu yake yote miwili,na kuielekezea kwa pembeni kidogo,kisha akaikunja, ambapo iliikunjia kwenye magoti,nilimkandamiza kiasi kwamba sura zetu zilitaka kukutana, hapo kitumbua kilibana vyema na kuniruhusu kushughulika na upande mmoja ambao nilishajua ndipo kipele G cha husna kilipo,ilikuwa ni utamu hasa,hakuweza kuvumilia “aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,,mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,,oooooooooooooooooh,,,mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaa,,ooooooooooooooooooooooh,,,,mmmaaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaaaaa,," Alipayuka kwa nguvu husna kama anataka kufa,utamu ulizidi,muda huo alikuwa anataka kukojoa,muda huo kipele G chake kilikuwa kinasuguliwa ipasavyo. Mtoto wa watu alitamani aombe apumzike,aliona kama anataka kukojoa mkojo wa kawaida, hautoki, alihisi kama haja kubwa imembana, haitoki,husna alianza kutoa machozi kabisa. Sasa kikawa sio kilio cha utamu,kilipitiliza mpaka mtoto wa watu akawa anatoa machozi “aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,kwa sauti ya ndani kabisa,husna alimwaga bao lake na kutulia kimya. niliendelea kupampu huku nikiwa nimembana vile, nilishangaa kuona mtu hanipi ushirikiano kabisa, nilishtuka. nikachomoa dudu langu nilipomwangalia husna alikuwa amelegea sana hali hiyo iliniogopesha,nilipomgusa sehemu ya moyo............... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI (10 ) UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyopita niliendelea kupampu huku nikiwa nimembana vile, nilishangaa kuona mtu hanipi ushirikiano kabisa, nilishtuka. nikachomoa dudu langu nilipomwangalia husna alikuwa amelegea sana hali hiyo iliniogopesha,nilipomgusa sehemu ya moyo............... endelea sasa ilikuwa inafanya kazi “husna! husna!" niliita hivyo lakini hakuitika Uwoga ukaniingia nilizidi kuchanganyikiwa nisijuwe nini cha kufanya nikajiuliza sijui nimbebe na kwenda kumtupumba nnje ? lakini moyoni alikua teali kashaingia nilimpenda sana na nikajikuta naanza kutoka na machozi “wee nawe hutaniwi?" nikashtuliwa na sauti ya husna ikiniuliza hivyo nilipomuangalia usoni nikaona husna akitabasamu nikashusha pumzi na kusema “ujuwe baby umenishtua kupita kiasi!" “nimekushtua kitu gani my" “nilijuwa umekufa eti!" ”mmh kama kufa tutakufa wote, baby twende tukaoge asije mwenye Mali akanikuta " nika mjibu mwenye Mali nani siwezi kukuacha husna kwa raha ulizo nipa sijawai zipata n "niahidi hauto niacha Kenny" siwezi hata kidogo tuliingia bafuni tukaogeshana huku tukipiga stori. husna alikua anahofu sana aliwai kutoka na kuniacha bafuni sikuchukua mda mrefu ile natoka bafuni nilimwona nasma akitandua mashuka ya kitanda changu na kuniwekea mashuka masafi.kisha akaniambia "haya kidume naona unakamilisha ratiba sasa zamu yangu na Mimi nahitaji dozi uliyo watembezea wenzangu naomba leo usiku uje chumba cha wageni utanikuta nimelala ukifika sitaki stori anza kazi" nika kumbuka ule mstari wa young killer msodoki aliyo imba "mtoto akililia dudu unampata anapata m***" nikasema sio kinyonge nitakuja ila saizi naenda kunyoosha miguu kidogo Nita rudi kwenye SAA 2 hivi.akachukua mashuka na kwenda kuyafua kwenye mashine. nilivyokua navaa ndipo nikaliona lile box nilikua bado sijalifungua hadi leo.nikalishika lile box na kulifingua sikuamini macho yangu kulikua na simu aina ya iPhone X ambayo bei yake inacheza kwenye milioni 2 na laki 7 nililuka luka kwa furaha nikavaa zangu nguo acha niende zangu mitaani kikapige selfie kidogo na Mimi nitambe kama wenzangu. kwanza nikajiseme nikikutana na dem mkali simuongeleshi sana namuonyesha simu tu ana nifunulia mwenyewe nikatoka zangu nje huku nikiwa na furaha nilipo fika getini ile natoka tu nilipishana na gari linaingia ndani kuangalia vizuri alionekana binamu na mtu mmjo sukutilia mkazo yalikua majira ya SAA 12:30 jioni nikawa natembea zangu kidogo nione uzuri wa masaki mana watu wanapasifia sana nilitembea sana na kujionea wasichana wazuri mijengo ya maana kweli masaki pazuri nikaingia bar moja kuagiza soda nilisha ngaa kuona muhudumu aki angua kicheko cha dhalau huku akisema "heeee we mkaka na u handsome wote huo unakunywa soda kama mtoto ebu cheki wenzako wale wanakunywa pombe tena whisky sasa we mtu wa wapi" wahenga wana sema ukikutana na walevi basi na wewe jifanye mlevi nika mjibu kwa dhalau "sio kila MTU anaye agiza soda anataka kunywa sikia we binti wengine tuna wabebea wadogo zetu haya niletee whisky nipo pale kwa wale vijana" basi kidume nikajichanganya kwa watoto wa kishua nika wapa hi waliniitikia kiroho safi sio uswahilini ukionekana mgeni ukienda kujichanganya unatafuta maumivu unapukutishwa kila kitu uku unajiona. walijitambulisha na Mimi nikajitambulisha tukajenga urafiki pale pale tukabadilishana na namba za simu nilishangaa pale nilipo toa iPhone 10 yangu hamna mtu aliye shangaa walikua kawaida na kuona kama kitu cha kawaida tofauti na nilivyo chukulia nikaandika namba zao huku pombe ikianza kunipanda kichwani kusema ukweli sikuwai kunywa pombe ilikua ni first time yangu nijikuta mwepesi sana nikaona nisije nikazua mabalaa acha niludi zangu home mdogo mdogo ilikua ni kama saa 8:30 ivi. nilijikongoja mpaka nyumbani uzuri wa masaki hamna vibaka kama manzese au mbagala kwa wale wa morogoro kama chamwino na mafisa. nadhani wanaelewa shughuli ya mitaa hiyo yani ukijipendekeza tu kupita mitaa hiyo na wewe ni mgeni ndugu yangu umeisha nilifika ndani na kuwakuta wote wapo vyumbani mwao. nikasogea mezani nikajipakulia chakula sikula sana kwa sababu pombe ndo ilikua inanipanda kichwani nikaona bora nikajimwagie maji nipunguze mana nisije nika zua mabalaa nika kimbia bafuni haraka nika jimwagia maji kidogo kichwa kilianza kutulia nikachukua simu yangu na kuiweka chaji nika kumbuka kua Nina ahadi na nasma kwenye chumba cha wageni nikaona ndo mida hii . basi kidume nikatoka zangu kuelekea chumba cha wageni nikaona cha msingi nipitie kwenye main switch nizime umeme nisipate shida nijilie zangu tunda la nasma bila usumbufu mana nilijua tu binamu lazma aje chumbani kwangu akiona Giza lazima aogope mana hamna mwanamke mjanja kwenye Giza nilipo maliza kuizima nyumba nzima kulikua na Giza nikaenda mpaka chumba cha wageni na kumkuta............... CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA MOJA (11 ) UMRI ±18 ILIPOISHIA basi kidume nikatoka zangu kuelekea chumba cha wageni nikaona cha msingi acha nipitie kwenye main switch nizime umeme nisipate shida nijilie zangu tunda la nasma bila usumbufu mana nilijua tu binamu lazma aje chumbani kwangu akiona Giza lazima aogope mana hamna mwanamke mjanja kwenye Giza nilipo maliza kuizima nyumba nzima kulikua na Giza nikaenda mpaka chumba cha wageni na kumkuta............... ENDELEA SASA...... mtu akiwa amelala bila kuuliza bila nini ,,,,, nika mgusa nasma kwa kumpapasa nilishangaa kumuona akitaka kupiga kelele nikamuwahi na kumziba mdomo huku nikimtaka anyamaze,, Tena haitoshi nika mziba na mdomo akatulia mwenyewe nilicho kifanya ni kumnusanusa nasma mana nilisikia harufu nyingine tofauti na ya nasma nika jipa moyo labda amenunua perfume mpya kwakuwa alikuwa kalala na kanga moja tu! ilinila wepesi wa kuivuta na kuitupia pembeni nasma alikuwa anatetemeka nika mshika maziwa yake na kuanza kumnyonywa kila sehemu ili kumletea hisia Mtoto wakike alibana midomo yake kitendo kilicho niacha na maswali "nasma kawaje mbona ananibadilikia " niliwaza moyoni. sikukata tamaa nili anza kutalii kwenye mwili wake kumlaza chali kisha nika mlandia kwa juu taratiibu alikisikia kitu kizito kikipita kwenye kisimi chake. Hapo alitoa mguno wa hajaa “aaaaaaaaaaah,,,sssssssssssss,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,ooooooooooooooshiiiiiiiiiiiiii,,,,mmmmh,,,,aaaaaaaaaaaah,," nikaanza kumpampu ulikuwa nimwendo wa minyato Mpaka kitumbua kililainika. nasma alihisi utamu wa ajabu yeye mwenyewe akaanza kuzungusha kiuno chake kulikatikia Dudu. "sssssssssssssss,,,,,,ooooooooooooh,,,,ashiiiiiiiiiiiiiiiiii,,"utamu wa dudu ulinoga kwa nasma ambapo mtoto wa watu aliweuka kwa utamu mpaka machozi kwa mbali yakawa yanataka kumtoka ikawa sio kuvamia tena bali maridhiano. siku mwachia nili mpandia na kumpindua utasema sijui hajui kama mtoto wa watu nilizidi kumsugua kwa kasi ambapo Dudu langu lilikuwa linaingia na kutoka lote, makende yangu yalikuwa yanampigapiga kwenye ile sehemu karibu na mpododo na kumfanya ajisikie raha zaidi,pia ulaini wa matako ya nasna ulinisisimua sana kwani matako hayo yalikuwa yakinipiga piga na kukoleza utamu wa mapenzi. nikaushika mguu mmoja na kuunyanyua juu kidogo huku nikiendelea kupampu bila kupumzika nasma alilegea kabisa ambapo jasho jembamba lilishanaanza kumtoka kwani si mchezo wa "UTAMU WA KITUMBUA" mwili wake ukaanza kuchemka kwa msisimko alioupata ambapo utamu alianza kuusikilizia kutoka kwenye visigino alikazana kuzungusha kiuno kwa kasi na kwa nguvu huku mdomo wake akiuacha wazi kwa raha aliyoisikia usipime harakati za bao kutoka, nadhani kwa wanaume wanajua, tena lile bao linalotoka wakati mtu umechoka, lina raha yake ya kipekee kichwa cha dudu ndani ya kitumbua kilituna na kuongezeka ukubwa ambapo namsa naye alihisi kabisa kwani kitumbua chake kilibana sio kama hapo awali “aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh,,,,ooooooooooooooooooooooooh,," nililalamika na kumwaga bao langu ambapo nafsi ilinisuta na kuonekana kama nimefanya dhambi kubwa, nasma alilegea kama mtu aliyepigwa na bumbuwazi,dudu langu bado lilikuwa ndani ya kitumbua cha bibiye mtoto watu nilishangaa kusiki sauti laini ambayo ni sauti tofauti naya nasma ikiniambia kaka Kenny ahsante sana kwa dozi uliyo nipa naomba usichomoe tuendelee...... we ni nani na kwa nini hukujitambulisha pale mwanzo......? nilimuuliza swali la kipuuzi wakati mimi ndo mwenye makosa aka nijibu "Mimi ni mtoto wa mama yako mkubwa naitwa vannesa nasomea udaktari bugando nime kuja leo kutoka mwanza ila nashukuru mana nilikua na hamu sana na kuomba usije ukaniacha mana kwa utamu huu siwezi kukuacha kamwe hata kwa nini tena kingine jiandae kuitwa baba mana leo nipo kwenye Siku ya kushika mimba nakupenda sana Kenny" nilihisi kuishiwa nguvu baada ya kusikia maelezo Yale hata nyoka wangu alisinyaa na kua mdogo zaidi ya kibamia please nisamehe sana naomba utoe hiyo mimba kama itakwepo mana ita nichafulia CV kaka Kenny sikia siwezi kutoa mimba tena naomba mungu mimba iwepo mana hata ulivyo mwagia ndani nimeona kabisa kitu kime ingia.kinguni zaidi upo teali kunipoteza ....? nika mjibu "hapana" kama haupo teali kunipoteza utanilea mana nimetoa mimba kama 4 na niliponea chupu chupu kufa nikitoa na hii ma daktari wenyewe wameniambia siponi Kenny nakupenda na kama uki kataa nitaku report police umenibaka. **†********* (TANGAZO NAOMBA MNI FOLLOW INSTAGRAM @CHAS360TZ) **†************ endelea sasa ........ duuuu kidume nilichoka kama kawaida yangu nika kumbuka ule usemi wangu any way liwalo na liwe kwani Mimi ndo wakwanza kutembea na ndugu zangu nikiwa bado nawaza nilishangaa kuona hisia zikinipanda tena tukaanza kulana denda huku nikimpapasa vanessa maeneo ya kiunoni huku na yeye akishika mashine yangu akifanya kama anaichua wakati huo nikamuweka vizuri ili tupige game ya mwisho nilimpanua mapaja yake nikakaa katikati ya mapaja yake huku macho yangu yalikutana na kitumbua kikiwa kinamafuta yani daaah mpaka kilikuwa kinatamanisha nikapeleka mkono mpaka kwenye k**simi nikaanza kusugua"mmmmh shiiiiii oooooyiiiii aaahhha" alikuwa analalamika nikaingiza mashine yangu na kuanza kupampup nikiwa naendelea kusex gafla mlango ukafunguliwa............ usikose sehemu ya kumi na mbili like page yetu sasa ili uwe wakwanza kuipata simulizi hiii ***************** Share kama tupo pamoja ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya nane (8) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp....... 0769673145 Ilipoishia........ Lakini Sasa watu wale ambao walikuwa ni wakina Zaza hawakujua wanamfuata nani. Wazimu wa wazimu Nolan naye alifungua mlango na kutoka kwenye gari Lake na kuanza kuwafuata wakina Zaza bila kuwa na uoga wowote.* *************Endelea ********* Zaza pamoja na wenzake walishtuka kuona Nolan anashuka kwenye gari na kuona anawafuata bila wasi wasi wowote. Na baada ya sekunde chache Nolan alikuwa mbele yao. "mnataka nini mbona tunapotezeana Muda?" Nolan akawauliza wakina Zaza huku akiwa amesimama mbele yao. "hahahaaaa Nolan kwa siku ya leo huna bahati leo umeingia pabaya." akaongea zaza huku akimsogelea Nolan. "leo hakika tutakufunza adhabu." akaongea zaza na kumshushia Nolan fimbo ya mgongo, lakini kabla fimbo Ile haijamfikia Nolan aliidaka na kuivunja. Kitendo kile kilimshtua Zaza na kumfanya akasirike kwa fimbo yake kuvunjwa. Zaza alimrushia Nolan ngumi ya uso lakini nayo pia ilikingwa vizuri na Nolan. "acha kupoteza Muda wako kupigana na mimi hata mkiwa ishirini bado hamtaniweza." akaongea Nolan kumwambia Zaza. Lakini zaza hakusikia, akachomoa kisu na kutaka kumchoma Nolan cha tumbo, lakini Nolan alimkamata mkono ule wenye kisu Kisha akamtandika ngumi tatu tumboni za haraka haraka na Kisha akauosokota ule mkono wenye kisu na kuuvunja. Zaza alijikuta akipiga kelele kwa maumivu aliyoyapata. Wale vijana wengine kuona mkubwa amevunjwa mkono nao wakachomoa visu vyao na kuanza kumfuata Nolan kwa kasi. Nolan akawaangalia na kuwapigia hesabu za haraka haraka. "wewe nitakupiga teke la tumbo, wewe wa pili nitakupiga ngumi mbili za kichwa alafu wewe wa tatu na wa mwisho nitatukutoboa kwenye paja la mguu na kisu chako mwenyewe." hizo ni hesabu za haraka haraka ambazo Nolan aliwapigia vijana wale. Na wakati huo huo vijana wale walimkaribia Nolan, na kama Nolan alivyowapigia hesabu aliwafanya vile vile na kila mmoja akadondokea upande wake. "nyie ni kina nani na mnataka nini?" Nolan akamuuliza kijana mmoja kati ya wale wanne aliowapiga. "sijui hata sisi ni wakina nani" akajibu kijana yule. "nitakuvunja shingo jibu swali nililokuuliza." Nolan akamuamrisha kijana yule. "si nimesema sijui sisi ni wakina nani." akajibu kijana yule jibu hilo ambalo lilimpelekea apokee ngumi nzito ya uso kutoka kwa Nolan. Lakini kumbe wakati Nolan anamuhoji kijana yule, kulikuwa na mwanamke mmoja ambaye ni dereva wa kina Zaza yeye alibaki kwenye gari na Nolan hakumuona. Mwanamke yule alishuka kwenye gari taratibu akachomoa kisu chake na kuanza kumsogelea Nolan taratibu bila yeye kujua. Mwanamke yule alipofika sehemu ile aliyokuwa Nolan akimuhoji kijana yule alikinyanyua kisu chake juu kwa mikono miwili na kukusanya nguvu Zake zote na kuanza kuhesabu moja mpaka tatu kwa ajili ya kumshushia Nolan kisu kile cha kichwa. Nolan akiwa bado pale chini akimhoji kijana yule ghafla alishangaa kumuona kijana yule akianza kucheka, kumbe kijana yule alimuona yule Mwanamke ambaye ni mwenzao akijiandaa kummaliza Nolan. Lakini kucheka kwa yule kijana kulimfanya Nolan ahisi kitu. Lakini kidogo hivi Nolan aliona kivuli cha mtu pembeni yake, akageuka haraka kuangalia ni nini kipo nyuma, lakini Ile kugeuka Nolan alikutana na kisu kikija kwa kasi kichwani kwake. Nolan alipojaribu kukikwepa kisu alikuwa tayari ameshachelewa, lakini kwa bahati nzuri kisu kile hakikumpata Nolan kichwani, kwani Ile kugeuka nyuma kulimfanya alindishe kichwa kidogo hivyo kisu kile kikampata Nolan bega karibu na shingo. Nolan alisikia uchungu ambao hajawahi kusikia Katika maisha yake. Lakini mwanamke yule alidhamiria kummaliza Nolan, kwani alikichomoa kisu kile kwenye bega la Nolan na kukirudishia tena pale pale na kumfanya Nolan azidi kupiga kelele kwa maumivu aliyoyapata. Mwanamke yule alikichomoa tena kisu kile na kutaka kummaliza Sasa Nolan kwa kumkata shingo. Mwanamke yule alipotaka kumkata Nolan shingo, Nolan alijijaza licha maumivu aliyokuwa nayo alikikamata kisu. Lakini kwa kukimata kisu kile alijikuta akipokea teke Zito kutoka kwa yule yule Mwanamke na kutupwa mbali. Lakini kwa kupigwa teke lile ilikuwa kama vile Nolan ameamshwa kutoka usingizini. Nolan alinyanyuka na kusimama na kumtizama mwanamke yule huku akiapa lazima amuue. "umenipiga Sana hata wewe Sasa umeisha." akaongea Nolan na kuanza kutoka mbio kumfuata yule Mwanamke. Yule Mwanamke naye akatoka mbio na kuanza kumfuata Nolan huku akiwa na kisu chake mkononi. Walipokaribiana yule Mwanamke akaruka juu huku akiwa amekielekeza kisu kichwani kwa Nolan, Nolan kuona vile naye akaruka juu zaidi ya yule Mwanamke na kupita juu kidogo ya kichwa cha Mwanamke yule na kutua nyuma ya Mwanamke yule. Bila kupoteza hata sekunde moja Nolan aligeuka na kuruka juu na kurusha teke Zito ambalo lilimpata sawia kabisa Mwanamke yule la kichwa na kumuweka chini. Nolan hakusubiri yule Mwanamke anyanyuke, akaruka tena juu na kukunja miguu na kutua kwa magoti mgongoni mwa yule Mwanamke yule na kumvunja mgongoni huku wenzake wakishuhudia lakini wasiweze kufanya lolote kwa kuwa nao walikuwa hoi kwa kichapo walichokipata kutoka kwa Nolan. "wewe lazima nikuue umenijeruhi Sana ngombe wewe." Nolan ndio alimwambia Mwanamke yule Kisha akammaliza kwa kumtandika ngumi nzito ya shingo ambayo ilimpandisha ndege ya kuzimu. Baada ya Nolan kummaliza Mwanamke yule naye alijikuta akidondoka chini na kuzimia kutokana damu nyingi iliyomwangika kutoka kwenye mwili wake. Taarifa zilienea kila mahali kwa mauaji yale yaliyotokea sehemu ile huku wengine wakiwa hoi bin taabani. Polisi pamoja na kikosi cha kutoa huduma ya kwanza kilifika pale na bila kupoteza muda, Nolan pamoja na wakina Zaza wakabebwa na kupelekwa hospital.* Mzee Joel akiwa ametulia nyumbani kwake akipata moja baridi moja ya moto, aliweza kupata taarifa Ile ambayo ilimshangaza Sana. "inakuaje wakina Zaza wako hoi na pia Nolan yupo hoi, kuna nini kilitokea?" akajiuliza mzee Joel bila kupata jibu. Huzuni ilianza upya tena kwa Penina baada ya kupata taarifa ya Nolan mtu pekee ambaye alikuwa akimtegemea kwa chochote, kuwa na yeye yuko hoi bin taabani hospitalini. Bila kupoteza Muda Penina aliingia kwenye gari Lake na kuanza safari ya kuelekea Katika hospital aliyolazwa Nolan, Penina alihisi kuchanganyikiwa hasa akifikiria mambo anayotendewa na baba yake, na pia kupotea kwa mpenzi wake Frank. Hali hiyo ilimfanya Penina akose umakini barabarani na akiwa amebakiza mita chache kufika Katika hospital aliyopo Nolan, Penina alijikuta akikosa balance na kupoteza mwelekeo na kutoka nje ya barabara na kwenda kugonga mti uliokuwa pembeni ya barabara Ile. Pale pale Penina alipoteza fahamu baada ya kugonga mti ule, na alipokuja kushtuka alijikuta yupo hospitalini. Taarifa ilimfikia mzee Joel kwamba Penina amepata ajali Muda mchache uliopita. "shit ni bora afe mtu yoyote lakini sio Penina, utajiri wangu upo kwa Penina." akaongea mzee Joel huku akitoka ndani haraka haraka na kuingia kwenye gari na kuanza kuwahi hospitalini kwenda kumuangalia binti yake Penina.* Baada ya kubangaiza huku na kule kwa siku kadhaa hatimaye Frank alifanikiwa kupata pesa ambayo aliihitaji, na bila kupoteza sekunde, dakika wala masaa, moja kwa moja Frank aliianza safari ya kurudi dar es salam huku mawazo yake yote yakiwa kwa Penina tu Mwanamke aliyempenda kwa moyo wake wote. .......... Itaendelea ... Read More
*MWAGIA HUMO HUMO EP 02* Sehemu Ya Pili (2) Lakini pamoja na yote sikuwa na sifa ya kumteka mwanaume kimapenzi zaidi ya kunionja na kuniacha. Wasiwasi wangu huenda mwili wangu hauna asali itakayo mfanya mwanaume yoyote atakaye nionja anirudie mara mbili. Basi baada ya kupokea aligeuka na kuondoka kurudi ofisini kwangu. Nilipofika mlangoni nilikumbuka kitu nilitaka kumuuliza bosi, niligeuka ili nimuulize kitu. Niligeuka ghafla na kukutanisha macho na bosi ambaye kumbe nyuma yangu alikuwa akinifuatia. Maskini kaka wa watu alishtuka mpaka akadondoka chini, nilijikuta namuonea huruma. Nilirudi hadi chini alipokuwa amekaa bila kuonesha kujinyanyua, mwili wake haukuwa mkubwa sana nilimshika mkono ili kumnyanyua. “Hapana Manka nitanyanyuka mwenyewe.” “Hapana bosi naomba unipe mkono,” nilimwambia kwa sauti ya huruma yenye kubembeleza. Alinipa mkono na kumnyanyua, baada ya kunyanyuka nilitoa kitambaa changu na kumfuta sehemu yenye vumbi. “Tosha Manka sehemu zingine nitafuta mimi.” “Hapana bosi ni wajibu wangu kufanya hili.” Aliniacha nimfute kisha nilimtengenezea kiti na kumuomba akae. “Unaweza kukaa.” Bila kuongeza neno alikaa kwenye kiti chake huku uso wake ukionesha aibu imemtawala. “Pole bosi,” nilimwambia kwa sauti ya chini. “Asante.” “Hukuumia?” “Nipo sawa.” “Pole sana.” “Asante Manka, nipo sawa kaendelee na kazi.” Niligeuka na kuondoka hata nilichotaka kumuuliza nilikiacha na kupanga kumuuliza kupitia simu yangu ya mezani. Nilitoka hadi ofisini kwangu kuendelea na kazi, kabla ya kuanza kazi nilijikuta nikijiuliza kilichomdondosha bosi wangu ni nini. Wasiwasi ulikuwa uleule bosi kapagawa na mimi, kitu ambacho sikutaka kinitokee kwa muda ule kwani ilikuwa mapema sana. Niliamini kabisa bosi kwa mtazamo wa nje alikuwa amepata bonge la mwanamke, lakini ndani sikuwa na sifa zile za kukaa na mwanaume kwa muda mrefu. Niliyapuuza na kuendelea na kazi, nilikumbuka kuna kazi nilitaka kupata maelekezo kwa bosi. Nilimnyanyua simu kumpigia baada ya kuita kwa muda ilipokelewa. “Haloo bosi.” “Ooh..Aah…Nani Manka,” maskini bosi wangu alionesha kiwewe bado hakijamtoka. “Bosi mbona hivyo?” “Aah, kawaida tu, unasemaje?” “Ok, bosi nilikuwa nauliza hii kazi ya malipo kuna maandishi ya mkono nayo niyaandike?” “Hakuna tatizo, yaandike kama ilivyoandikwa.” Nilikata simu na kuendelea ka kazi yangu kama kawaida, baada ya muda nikiwa bize simu ya mezani iliita, nilinyanyua na kupokea. “Haloo bosi.” “Ndiyo Manka jiandae tukapate lunch.” “Nashukuru bosi.” Baada ya kukata simu, niliangalia saa kubwa ya ukutani iliyokuwa mbele yangu, ilionesha ni saa saba kasoro kumi mchana. Nilimalizia kazi yangu ili nipate muda wa kwenda kula, nikiwa bado nimeinama nikirekebisha tatizo la kisarufi nilishtuliwa na sauti ya bosi. “Manka tunaweza kwenda.” “Hakuna tatizo bosi, namalizia kurekebisha sarufi.” “Utamalizia tukirudi.” Nilisave kisha nilizima computer na kunyanyuka, nilijitengeneza vizuri nguo niliyovaa. Kwa chati nilimuona bosi wangu koo likimcheza kama mtu mwenye kiu kikali. Baada ya kuhakikisha nipo sawa tulitoka hadi kwenye gari lake kisha tulikwenda kwenye moja ya hoteli ya kifahari ambayo ilinikumbusha mbali enzi nipo kwenye ndoa yangu. Tulipofika Mateja alionesha kutojiamini sana kwangu kitu ambacho sikuamini mwanaume kama yeye kuwa katika hali ile. Sikuwa na sifa kubwa zaidi ya mwanamke aliyepoteza matumaini ya kupata hadhi mbele ya mwanaume. Niliamini kaniona kwa nje hanijui ndani nilivyo ndio maana ananipapatikia. Nilijua akikipata anachokitafuta kwangu pengine ndiyo siku ya kunifukuza kazi, lakini sikuwa na jinsi kila mwanaume mwenye pesa aliamini mwanamke sahihi wa kukaa naye ni mimi. Baada ya kuketi kwenye viti vyetu muhudumu alifika na kutaka oda zetu. “Manka agiza chochote ukitakacho kwa bei yoyote.” “Asante, nataka kula unachokipenda wewe,” utanishangaa kwa nini nimesema vile, nilifanya vile ili kumtoa wasiwasi na kumfanya awe huru kwangu japo si katika suala la mapenzi. “Hapana Manka nataka wewe leo ndio uchague chakula tutakacho kula.” “Sawa,” nilichagua chakula ambacho wote tulikuwa. Baada ya chakula wakati wa kunywa vinywaji Shaka aliniuliza. “Samahani.” “Bila samahani.” “Manka, umeolewa?” “Sijaolewa.” “Una mchumba sina?” “Sina.” “Rafiki wa kiume?” “Sina.” “Manka mbona unanidanganya.” “Kweli bosi.” “Hivi Manka kwa umbile alilokujali muumba usiwe na mwanaume?” “Si kwamba sijawahi mwanaume ila kwa sasa sina.” “Kweli?” “Kweli kwa nini nikufiche ili iwe nini?” “Mara nyingi watu wamekuwa si wakweli.” “Huo ndio ukweli wangu.” “Kwa nini mrembo kama wewe huna rafiki wa kiume?” “Sina bahati nimeamua kuishi peke yangu.” “Ina maana hata ombi langu litagonga ukuta?” “Ombi gani?” “Kwa vile huna mtu nilifikili unafaa kuwa mke wangu.” “Aaah, bosi,” kauli ile ilinishtua sikupenda kuisikia masikioni mwangu. Sikuwa na jibu la moja kwa moja, moyo mapigo ya moyo walinienda mbio na machozi yalinitoka. Mateja alishtuka kuniona nikitoka machozi badala kumpa jibu lake. “Manka vipi?” “Hataa,” nilitikisa kichwa. “Mbona machozi yanakutoka.” “Kauli yako imenishtua.” “Kivipi?” “Sikutegemea kuniambia neno hilo mapema kiasi hiki.” “Manka, penzi limuingiapo mtu huwa kama kichaa aliyekatikiwa na mishipa ya fahamu. Niyasemayo si mimi ni moyo wangu naomba unihurumie.” “Ni kweli, lakini sina bahati kila siku mapenzi limekuwa likinitesa.” “Kivipi?” “Mpaka leo sijajua sababu ya kuachwa na wanaume.” “Ni wazi wote waliopita walikuwa na tamaa ya kukujua ulivyo na si mapenzi ya dhati. Lakini nakuamini mimi ndiye mwanaume sahihi kwako.” “Hiyo kauli kwangu nimeizoea, lakini mwisho wa siku mambo huwa kinyume.” “Niamini Manka, nitakuwa mume mwema.” “Mmh nitashukuru, lakini usinitende utaniumiza.” “Siwezi.” Baada ya chakula tulirudi ofisini, hatukufanya sana kazi Mateja alikuwa na uchu wa fisi. Aliniomba tufunge ofisi twende tukastarehe, sikuwa na pingamizi nilifunga kazi na kuongozana naye kwenye gari lake. Mateja alinipeleka kwenye hoteli ya kifahari ya nyota tano. Kwa vile shida yake niliijua sikushtuka kumsikia akiuliza chumba cha VIP, baada ya kulipia tulikwenda kwenye chumba kilichokuwa ghorofa la pili. Chumba kilichokuwa cha kifahari, ambacho kilikuwa kipo katika hadhi ya juu. Katika maisha yangu sikuwahi kuingia kwenye chumba kizuri kama kile. Chumba nilikiona kilikuwa kinapendeza lakini wasiwasi wangu bosi wangu atakipata alichokifikilia kukipata mwilini mwangu. Sikutaka nami kijiweka nyuma kwani nilikumbuka kauli za Bi Shuu mama mlezi wangu shangingi mstaafu, kuwa niwapo mbele ya mwanaume nijionesha nipo tayari kumpa kile anachokitaka. Siku zote aliniambia nijiamini ili kumfanya mwanaume naye ajiliuze mara mbili mbili ataniingiaje. Sikupoteza wakati baada ya kuingia tu chumbani nilivua nguo zote na kubakia kama kuku aliyenyonyolewa. Sikuchelewa kumsaula na yeye tukawa sale sale maua. Nilitembea kama miss kuelekea kwenye kabati kuchukua taulo kwa makusudi nimuoneshe umbile langu ambalo mwanzo huwa utata kwa wanaume. Lakini wakiisha nipata nakuwa kama Big G iliyotafunwa na kuisha utamu mwisho wake hutemwa. Kwa kweli sikupenda kutongozwa siku moja na siku hiyo hiyo kumvulia mwanaume nguo ya ndani. Niliamini kabisa kujilahisi vile lazima thamani yangu ingepungua lakini kama ningemzungusha, kidogo thamani yangu kwake ingepanda. Nilijua lazima ataniona maharage ya Msanga maji nusu kijiko. Lakini sikuwa na jinsi kutokana na njia aliyotumia kwa kweli nilijikuta siwezi kuuruka mtego wake mwepesi. Sikuwa ndege mjanja lakini nilinaswa kijinga sana, japo sikujua tatizo langu lakini nilipokuwa natembea na kumuachia umbile la nyuma lililokuwa linawatesa wanaume wengi. Niliinama makusudi kama najikuna mguu ili tu nizidi kumpagawisha. Kitu kilichofanya Mateja azidi kuwa katika wakati mgumu, wakati nafungua kabati nitoe taulo Mateja alikuwa tayari yupo nyuma yangu na kunikumbatia kwa nyuma. Nilijua uzalendo ulikuwa umemshinda, mambo yalianzia pale. Tulianza kubadilishana mate palepale kwenye kabati, baada ya muda aliona anachelewa, mwanaume alinibeba juujuu mpaka kitandani. Kwa vile mchicha ulikuwa umeishakolea nazi tuliumwaga juu ya ubwabwa na kuanza kujimegea tataribu. Mateja alionekana ana pupa kama mamba mwenye njaa, hakuchelewa kukifikisha chombo ukingoni mwa bahari. Baada ya mapumziko mafupi tulirudi ndani ya ngarawa kuendelea na safari, katika vitu ambavyo katika maisha yangu nilikuwa sivipendi ni usumbufu ndani safari. Ooh geuka hivi, lala hivi, inama hivi, nyanyuka hivi, kwa upande wangu niliona usumbufu lakini nilivumilia kwa vile ndiyo ilikuwa siku yetu ya kwanza kukutana. Kama ningekuwa nimemzoea ningempasha, kwani hakuna starehe ya mapenzi mpaka kusumbuana kumgeuza mwenzako kituko,ile kwangu sikuona mapenzi zaidi ya adhabu. Siku zote niliamini baada ya safari ndefu mtu humwaga mzigo na kutelemka. Siku ile tulikaa kaa mpaka saa tatu usiku baada ya kuoga na kula alinirudisha nyumbani. Kabla ya kuondoka Mateja aliniahidi vitu vingi ikiwemo kunijengea nyumba kuninunulia gari na kuyabadili maisha yangu kwa ujumla. Siku ile moja tu alinipatia laki tano taslimu, sikuamini niliona miujiza kupata raha na kiasi kikubwa cha pesa kama kile. Nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu yupo chumbani kwake, Nilifungua mlango wa chumba changu na kuingia ndani. Nilipowasha taa nilishtuka kumuona Bi Shuu kanisimamia nyuma, akuzungumza chochote ila alinikata jicho kali. “Shikamoo Bi Shuu” “Hainisaidii kitu” “Mbona hivyo mama yangu” “Kazi gani ya kutoka saa moja asubuhi kurudi saa tano za usiku?” Mmh, makubwa nimekuwa mtoto mdogo wa kuwa chini yake kwa kila kitu. Nilijua uchawi wa Bi Shuu ni nini, niliinama na kuchukua mkoba wangu na kufungua. Nilihesa nyekundu tano na kumpa. “Za nini?” “Katumie tu” “Za kodi?” “Walaa, nimekutunuku tu mama yangu.” “Kweli!?” “Kweli unafili uliyonifikiza madogo” Bi Shuu alifurahi na kunikumbatia na kusahau aliyobwatuka muda mfupi, baada ya kunipandisha na kunishusha alisema. “Weee mwana kulikoni” “Kaa chini nikupashe kazi imekuwa kaziiiii” “Usiniambie” “Habari ndiyo hiyo shilingi moja kwa sekunde ndio mpango” “Wacha wee leo Mchaka kawa mzaramu” “Umenifundisha wewe, ngoja nikaoge nikupashe upashike” Nilimuacha Bi Shuu chumbani kwangu akizirudia kuzihesabu pesa nilizompa mimi nikaenda kujimwagia maji. Nilipotoka kuoga nilimkuta akinisubiri kwa hamu kubwa. “mmhu, hebu nipe raha” “Bi shuu nitakueleza yote kesho” “Mwana wee siwezi kulala mpaka unipe siri ya rangi nyekundi kupendeza na kusikitisha” Huku nikijifuta maji nilimueleza yote bila kumficha hata moja, mwisho wa yote nilielezea masikitiko yangu ya bahati ya kupendwa na mkosi wa kuachwa. “Bi Shuu, japo nimepata lakini wasiwasi wangu sichelewi kumwagwa” “Kwani una tatizo gani?” “hata silijui hakuna hata mwanaume mmoja aliyenieleza tatizo langu” “Mmh, kuna umuhimu wa kulifanyia kazi” “Siamini kama tatizo langu litaisha” “Hebu kila ukiwa na huyu bwana msikilie na muulize an apenda nini chochote usimnyime” “mmh, Bi Shuu wanaume wengine waharibifu ukimchekea anakuharibu” “Sio unavyo fikiria’ “Kuna nini wanaume wanacho taka zaidi ya kuwaharibu wanawake, sijazaa babu wee cha kuwekewa matambala” “Sina maana hiyo si wote wana penda mchezo huo.” “mmh, nitamsikiliza” “Sasa mwana wee lala nakuomba muheshimu mpenzio kama Mungu wako huoni muda si mrefu nasi tutatembelea gari” “Ndicho ninachokiomba, sijui yatakuwa yale yale.” “Basi mwali lala usingizi unono.” “Nawe pia Bi shuu” Bi Shuu aliniaga na kuondoka na kuniacha nikimalizia kujifuta maji ili nilale. ****** Siku ya pili wakati namalizia kujipodoa kabla ya kwenda kujifusha udi kwa Bi Shuu simu ya Mateja iliingia, niliipokea na kuzungumza naye. “Haloo ma’ Sweet.” “Ooh, ma honey girl.” “Ni mimi, mhu baba nipe habari naona simu za asubuhi asubuhi?” “Aah, kawaida ila kuna dereva nimemtuma atakupitia muda si mrefu.” “Hakuna tatizo Sweet.” Baada ya Mateja kukata simu, kwa vile nilikuwa tayari nimeisha jipodoa nilikwenda chumbani kwa Bi Shuu. Kabla ya kuingia nilikutana na moto uliokuwa ukinukia vizuri, harufu ya asubuhi ile ilikuwa zaidi na ya jana yake Niliingia na kumkuta akiweka udi kwenye kitezo, aliponiona alitabasamu na kusema. “Haya mwali jifushe uwahi kazini.” Niliinama na kufunikwa shuka ili moshi wote wa harufu nzuri uishie kwenye nguo na mwilini, baada ya muda alifunua shuka na kuninusa kama mbwa anayesaka chakula jaani. Asikuambie mtu Bi Shuu havumi lakini yumo, mtu mzima lakini ovyooo. “Umevaa kufuri gani?” Bi Shuu aliniuliza swali ambalo sikufikiria kuniuliza. “Nyeupe.” “Hebu nione.” Mmh, makubwa nilinyanyua gauni na kuiona nilikuwa nimevaa kufuli la mikanda ‘Bikini’. “Mwali ndio nini?” Bi Shuu alishtuka. “Mbona umeshangaa?” “Unakwenda kwenye starehe au kazini?” “Kazini.” “Sasa mbona umevaa kufuri kama unakwenda kwenye kilimo cha mihogo.” “Babu weee kwenda na wakati.” “Acha ushamba vaa kufuri la kawaida, hilo kufuri unalivaa siku unayokutana na mpenzi ukitoa nguo tu akiona anaingia kimuhemuhe.” Mmh, sikutaka kubishana naye nilirudi hadi chumbani kubadili kufuri, wakati namaliza kuvaa honi ya gari ilipigwa nje nilijua mtu aliyetumwa kunifuata amefika. Nilikimbilia chumbani kwa Bi Shuu kumuaga. “Bi Shuu naondoka.” “Umebadili kufuri?” “Ndiyo.” “Hebu nione.” Nilinyanyua tena gauni na kunitazama, nilikuwa nimevaa ya kawaida tena ya rangi nyekundu, alipoiona alisema. “Ewaaa, sasa hapo ndipo nilipopataka.” “Basi nawahi kuna mtu ananisubiri hapo nje katumwa na mzee,” nilisema huku nikiteremsha gauni ili niwahi nje. “Wee Manka ndio nini?” “Vipi tena Bi Shuu mwenzio nachelewa kazini.” “Hebu jifushe na hiyo kufuri linukie.” Nilirudi haraka na kuchutama kwenye kitezo kwa kulitanua gauni langu moshi wote uingie chini. Baada ya kufanya yote niliyoelekezwa na Bi Shuu nilimuaga kwa kumbusu kisha nilipitia mkoba wangu na kutoka nje. Nilimkuta gari likinisubiri, niliingia kwenye gari na gari liliondoka. “Mambo?” “Poa, sijui yako?” “Hata mimi ipo poa.” Safari iliendelea hadi ofisini, nilipofika nilipita moja kwa moja hadi ofisini kwa Mateja, alivyokuwa ameisha ingia ofisini. Baada ya kufungua mlango wa ofisi niliingia huku nikiachia tabasamu pana na kutanua mikono yangu, Mateja aliponiona alizunguka meza yake kunipokea. Tulikutana katikati na kukumbatiana. Tuliporomosheana mabusu moto moto huku tukigandisha midomo kwa muda na kubadilisha mate. “Mmh, tosha,” nilisema huku nikijitoa mikononi kwa Mateja. “Mhu, za nyumbani?” “Mmh, mzuri sijui kwako?” “Kwangu ilikuwa ngumu kidogo kutokana na kuwa na wakati mgumu baada ya kukuota tupo pamoja niliposhutuka nilijikuta nipo peke yangu.” “Pole sana, basi ndio ufanye haraka kunichukua.” “Kwa mateso ya jana kuna umuhimu wa kufanya hivyo.” “Basi mengine baada ya kazi.” “Haya mama, mimi niseme nini.” Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Nilimbusu tena na kurudi kuendelea na kazi yangu, baada ya kukaa kwenye kiti nilijikuta nikikumbuka jinsi bosi wangu Mateja alivyochanganyikiwa na mimi. Pamoja na furaha ile bado wasiwasi wangu ulikuwa nini hatima yangu kwake, nitaendelea naye au ndiyo atanitosa kama waliotangulia. Wazo la awali lilikuwa kuomba msaada kwa Bi Shuu ili niweze kumdhiniti. Niliendelea na kazi zangu kama kawaida, muda wa mchana tulikwenda kula pamoja kama wapenzi wasiojificha. Siku ile baada ya kurudi nyumbani aliniomba tuwe wote usiku wa siku ile, sikumkatalia kwa vile ndiye aliyekuwa mmiliki wa mwili wangu. Usiku alinipitia na kuondoka kwenda kulala naye mpaka asubuhi, kaonja kaona tamu sasa anataka kula kabisa. … Ni kweli nilifurahi kulala na Mateja mpaka asubuhi kuonesha jinsi gani alivyopagawa kwangu, lakini usiku kwangu ulikuwa wa karaha sana yaani mambo nisiyoyapenda ya kusumbuana wakati wa mapenzi yalijirudia tena. Nilishindwa kumkatalia kwa vile alikuwa bosi wangu kwa kuogopa kufukuzwa kazi na maisha ya kutangatanga yalinichosha. Usiku mzima kugeuzwa kama chapati ooh geuka hivi, lala hivi fanya hivyo, basi kero mtindo mmoja. Nilijiuliza bila kunisumbua vile hawezi kukidhi haja zake, mpaka kunakucha nilikuwa nimekasirika mtoto wa kike kila kona ya mwili iliniuma hayakuwa mazoezi bali adhabu ya mapenzi. Asubuhi Mateja alifurahi sana na kuniahidi kabla ya yote kukibadili chumba changu kwa kuninunulia sofa za nguvu, alinipa pesa nyingi za kutumia na kunirudisha nyumbani. Huwezi amini nilipofika nyumbani nilimkuta Bi Shuu akinisubiri, kutokana na uchovu nilimsalimia na kuingia ndani nijilaze. Kabla sijabadili nguo na kuvaa kanga nyepesi Bi Shuu aliingia. “Mankaaaaa,” aliniita kimbea. “Unasemaje Bi Shuu,” nilimuuliza huku nikimuangalia jicho zito la usingizi. “Mmh, sikuwezi.” “Kwa nini Bi Shuu?” “Mambo yako mazito.” “Mmh kawaida tu, vipi ushakunywa chai?” “Nilikuwa nakusubiri wewe.” “Mimi kwa sasa hivi siwezi nimechoka sana.” “Eeeeh Manka weee, mlikuwa mnakomoana.” “Wee Acha tu,” niliona kama ananichelewesha kulala kutokana na umbea wake wa utu mzima. Nilivuta pochi na kutoa noti kadhaa za kumi kumi na kumpatia Bi Shuu bila kuzihesabu. “Za nini?” “Za kwako.” Bi Shuu alichanganyikiwa na kunivamia kwa furaha na kujitahidi kunibeba japo uzito wangu ulikuwa mkubwa. Kweli pesa sabuni ya roho Bi Shuu alipagawa na kuniona kama malaika niliyetumwa kuja kumpa furaha ya asubuhi ile. “Bi Shuu niache nipumzike.” “Mwali weee lala, tena utakutana nimekuandalia chakula kizuuuri.” Bi Shuu alitoka na kuniacha nikimalizia kuondoa nguo mwili kisha kuchukua kanga nyepesi kisha kujitupa kitandani. Nililala kwa muda wa saa zaidi ya nane kutokana na uchovu wa mbilinge za Mateja usiku kucha. Majira ya jioni Mateja alifanya kweli kwa kuleta sofa za nguvu kitu kilichofanya Bi Shuu kunipa chumba kikubwa cha nyumba kubwa. Niliamini ule ulikuwa mwaka wangu wa mimi kurudi katika maisha ya kutanua. Niliamini muda si mfupi lazima niwe na gari langu mwenyewe. Baada ya kukipamba chumba changu na kupendeza Bi Shuu aliniweka chini na kunipa somo. “Manka Mungu akupe nini, ukishikwa shikamana mwali wee.” “Hata mimi najua Bi Shuu.” “Unaonekana mwanzo ulikuwa ukifanya makusudi mbona sasa hivi mwanaume kapagawa muda si mrefu utakuwa dunia ya wenye nazo.” “Ndio maana yake.” “Basi Manka nitakuongezea vikorombwezo akigusa amenata.” “Usiniambie!” “Kwanini wazee wenzangu pamoja na umri wangu wakionja wanapagawa itakuwa wewe ukioga maji yanatelemka.” “Tena kweli ufanye haraka maana ameisha tangaza ndoa.” “Basi hiyo kazi niachie.” Mateja alinipigia simu kuwa siku ile angekuja kulala ili jumatatu twende kazini pamoja nami sikumkatalia. Kweli usiku alikuja kulala kwenye chumba changu kilichokuwa na hadhi kubwa kwa mtu yoyote. Kama kawaida ya usiku wa jana yake yalijirudi ya kusumbuliwa lala hivi geuka hivi fanya hivi, basi taabu mtindo mmoja. Na siku ile nilivumilia lakini moyoni nilijisemea siku nyingine nitampasha kweli wake hawezi kunigeuza kama mwanasesele na kunichezea apendavyo. Nikajikuta siyachukia mapenzi na kuyaona kwangu ni karaha na si starehe, mwanaume alikuwa akipanda juu ya mnazi hashuki mpaka nahisi kichefuchefu. Niliamini kabisa alitaka kunikomoa kwa vitu alivyonipa, kwangu sikuona mapenzi zaidi ya mateso. Uvumilivu uliponishinda nilianza kuwa mkali kwa kumgomea kwa usumbufu wake kwa kumueleza makavu kuwa sitaki kama hawezi kifo cha mende tuache. Mateja alinielewa na kustarehe bila usumbufu, nilishangaa kumbe anaweza kukwea mnazi bila kujifunga kamba za miguu. Kilichonishangaza ndani ya mapenzi yetu yaliyochukua miezi minne, Baadhi ya mambo yalianza kutoonesha dalili zozote za kutimiza ahadi yake. Siku zilivyozidi kwenda mbele ndivyo uhusiano na Mateja ulivyozidi kulega, hata kuwa pamoja baada ya kazi ikafutika kila muda alionekana yupo bize. Kitendo cha kutokuwa karibu na Mateja kilimshtua sana Bi Shuu kwani hata vizawadi navyo vilikatika. Siku moja aliniweka chini na kuniuliza. “Manka kulikoni?’ ”Hata mimi sijui.” “Manka kila siku hujui wakati unaharibu.” “Bi Shuu unanilaumu bure.” “Hivi kama na huyu atakuacha unafikiri utampata nani?” “Bi Shuu nimejitahidi kwa kila ulilonifundisha nililifanya lakini matokeo yake ndio hayo lazima kuna mkono wa mtu.” “Manka kuna kitu gani alichokipenda Mateja hukumpa?” “Mmh, kila kitu nimempa.” “Kweli?” “Kweli kabisa, nikudanganye ili iweje.” “Sasa itakuwa nini?” “Hata mimi sijui, huu utakuwa ni mkosi tu” “Basi naomba kesho ukienda kazini niitie Mateja.” “Mmh, sijui kama atakuja, lakini nitafikisha ujumbe.” Siku ya jumatatu nilikwenda kazini kama kawaida huku nikifikilia jinsi ya kufikisha wito kwa Mateja wa kuitwa Bi shuu. Hakuwa Mateja niliyekuwa namfahamu. Ilionesha mapenzi yalikwisha kabisa. Kila alipoingia ofisini alinisalimia lakini hakuna kilichoendelea. Nilipomuuliza alinijibu kwa kifupi “Nipo bize,” nilijikuta nikiiona kazi ngumu kama si Bi Shuu ningeacha kazi kutokana na kujiona sina thamani tena kwa Mateja. Siku moja roho iliniuma sana baada ya msichana mmoja kuingia ofisini kwa Mateja bila kumuulizia kwangu kama ilivyokuwa kwa wateja wengine. Niliacha kazi zangu na kumfuata ndani, nilipoingia ofisini mbona lilinishuka mtoto wa kike. Niliwakuta wamekumbatiana na Mateja huku midomo yao ikiwa imegandiana. Nilitamani ardhi ipasuke inimeze, nilisimama kama sanamu nisijue cha kufanya, machozi yalinitoka bila kizuizi, pamoja na kuniona hawakushtuka ndio kwanza walizidisha kutomasana kimahaba. Niliona wazi kabisa penzi langu na Mateja limefika ukingoni. Nilirudi ofisini kwangu na kukaa chini kazi ilikuwa chungu nilijikuta nikilia peke yangu, nilitamani kuondoka niiache kazi. Lakini niliyakumbuka maneno ya Bi Shuu kuwa siku zote penzi tamu ni lile lisilo sukumwa ninalosukumwa lina kasoro. Nikiwa nimeinama nafuta machozi nilishtushwa na sauti ya Mateja. “Manka.” Bila kuitika nilinyanyua uso kumuangalia huku kitambaa kikiwa karibu na macho kufuta machozi. Mateja alikuwa amesimama mbele ya meza yangu akiwa ameshikana kimahaba mmoja alimshika mwenzake mkono shingoni na mwanaume kiunoni. “Vipi mbona unalia?” Mateja aliniuliza kwa kunikujeli, sikumjibu niliendelea kufuta machozi. “Manka huyu ndiye mke wangu mtalajiwa.” Sikumjibu niliinama chini na kulia kilio cha kwikwi ambacho Mateja na mpenzi wake hawakukijali. Niliwasikia wakiondoka, niliwasindikiza kwa macho mpaka walipotoweka, baada ya kutoweka machoni mwangu nilijikuta nikijiuliza nalia nini kwani tukio lile halikuwa la kwanza upande wangu kutendewa. Ni kweli lazima moyo uniume kutokana na ahadi nzuri za Mateja ambazo nilijua zitanibadilisha katika maisha yangu. Ndoto yangu ya mchana ya kumiliki gari na nyumba iliyeyuka kama bonge la mafuta katika kikaango cha moto. Baada ya muda Mateja alirudi na kunipita kuingia ofisini kwake bila kunisemesha jambo lolote. Nilikumbuka wito niliopewa na Bi Shuu wa kwenda kuzungumza naye juu ya matatizo yangu, kila nilipotaka kumwambia moyo ulisita na kuamua kuipotezea tu. Muda wa kutoka nilijikuta nikijikaza kike na kumueleza. “Samahani bosi.” “Bila samahani,” Mateja alinijibu kistaarabu. “Bi Shuu alikuwa anakuita.” “Bi shuu naye ana shida gani tena?” “Hata sijui.” “Mmh, yule bibi na umri wake yuko vile wakati wa usichana wake alikuwaje?” “Mmh, sijui.” “Basi mwambie nitamtembelea wikiendi.” Jamani kauli ya Mateja ilinipa matumaini labda atarudisha moyo wake, siku zote nilimuamini Bi Shuu kwa maneno yake matamu yaliyojaa misemo nahau na methani ili kumlainisha mtu. “Jamani bosi kwa nini usiende leo?” “Manka nipo bize sana atanisamehe, lakini mwambie sijamdharau nitaitikia wito wake.” ITAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TANO (15) & (16) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ endelea sasa aligeuka na kuniludia kwa kasi ya ajabu. Nilimdaka na kumweka stairi ya mbuzi kagoma kwenda nilibinya binya mpododo wake taratibu Sophi alianza kutoa sauti fulani yaani zilizidi kuniongeza mzuka. Nikazidisha kumpampu mtoto nasma kwa udambwi dambwi wa hali ya juu. nasma aliaanza kutoa maneno ambayo hata mingine sikuyaelewa. Nilizidi kumpeleka moto moto, niliona ndio dawa ya wanawake wa aina hii wanao taka kunikomoa tena kibaya zaidi alinipa kidonge yeye mwenyewe. Niliendelea kujisemea kimoyo moyo wakati naendelea na zoezi langu nasna alizidi kulalamika. Ooh.. uhiiiiii… ahaaa! utamu utamu unakuja uwi… uwi.. ahaa! baby nasma aliita baby..baby! hata zisiokuwa na idadi nilimpelekea moto tu yaani bandika bandua Mtoto mwenyewe akaomba poo! Ooh… baby inatosha nilimsikia nasma akisema nikaona mmh! itakuwa imekolea hata rudi tena kunisumbua. “nasma nasma vipi mbona kimya? niliamua kumuuliza maana niliona yupo kimya kwa muda kidogo tangia twende mapumziko. “Hapana kenny yaani” “Yaani nini? nasma. “Raha zako tu zinanipagawisha” “Zinakupagawisha? “Ndio baby yaani umemzidi hata mjomba wako” “We.. Sophi acha zako” “kwa iyo umesha wai kulala ma mjomba ""kumbe hujui mjomba wako kalala na watu wote humu ndani"" unamaanisha kalala hadi na errycah......? "ndio tena ndo aliyetoa bikra lakini errycah hajui aliye mtoa bikra ni baba yake mzazi" mungu wangu ni laana ya aina gani mtu kulala na mtoto wake nilimuuliza nasna.kwaiyo na nyie amewalala niliiuliza jibu ambalo teali nilisha pewa. tuachane na hayo mambo yote yapo kwenye kile chumba cha siri ambacho funguo take hiii apa. alinikabidhi lakini hapo hapo nika muuliza. "umeipata vipi" akaniambia "mjomba wako wakati anaingia amesha zoea kunikumbatia. nikatumia mda huo huo kumchomolea ufunguo hakika sikuachi na kesho nakuja tena” “nasma usifanye hivyo mimi sihitaji kesi” “Kesi gani? tena” “Mimi nataka raha zako usinizingue” Alinitisha kidogo Nasma ila mtoto wa kiume kwa vile nishakutana na mabalaha yeye anaiga, nilichomjibu usijali nilimwambia tu awe makini asinifanye nikimbie mji.mana mjomba katika watu anao wakubali nasma namba moja Niliongea nae mengi nasma huku akiwa. kifuani anachezea chezea chezea garden love. Yaani sikuwa nyuma kwa namna vile alivyokuwa ananichezea. aliniamsha mpini wangu na ulishaanza kunyanyuka kutafuta shamba lililipo. Mmh… ahaaa! Nasma wewe ahaa.. niligumia kwa utamu nilio usikia kumwongeza nae hamu iliturudi tena uwanjani maana wangu mpini ulikuwa unatafuta pakulima tena. Mtoto alizidi kunichezea we nami sikubaki nyuma hata kidogo. nika chomeka dude langu kwenye kitumbua chake. "oooooh aaaah oooh tia yoteeee aaah shhhhhh oooh oopps."alizidi kutoa miguno ya raha. Nikaanza ingiza toa ingiza toa mchezo ulininoga hadi nasma akaanza kuropoka maneno ya ajabu kiswahili si kiswahili kingereza sio sijui lugha gani tu yote utamu wa dude, nilipenda uwajibikaji wa nasma alikiwa anakiuno kama cha verasidika anakizungusha kwa kunatana hali iliyo nipelekea kutoa wazungu wangu ooooooooooohh,,,,,,!!! mmmmmhhh oooooooosssshhhh ""****** niligugumia kwa utamu nilio upata. lakini nilishangaa kuona mjomba bado amesimama vile vile kumaanisha bado anahitaji mchezo...... isome simulizii hii mpaka mwisho kwa sh 2000 tu 0744204283 ni follow instagram @chas360tz tembelea mtandao wetu www.chas360tz.com SEHEMU YA 16 endelea sasa " kenny mi naenda kulala naona leo mjomba wako lazima aje chumbani kwetu.acha niwai mana hua ana tulala wote wawili" kitendo kile kiliniuma sana nika muuliza kwani kitu gani kinawafanya mpaka mdhalilike ivyo alinijibu mshahala wetu ni milioni 1 na laki tatu kwa mwezi sasa tutaachaje ukiangalia nyumbani kwetu hali ngumu tunasomesha wadogo zetu" nika mtwanga swali kwani wewe na husna ni ndugu "akasema ndio kwani hutuoni tulivyo fanana Mimi na yeye ni mapacha nadhani ndio sababu inayo tufanya mjomba wako atu ng'ang'anie hapa mana alianza kulala na sisi kipindi tuna miaka 13 alitutoa bikra zetu kwa siku moja hadi leo tuna miaka 18 na hulala na sisi kila ifikapo tarehe 6 mwezi wa 12 kila mwaka hata mkewake anatambua hilo" na kila tukilala nae tunapewa shi milioni 2 kila mtu tushazoea na saizi tunaona kawaida mana atafanya lakini haondoki nacho na hajawai kumwagia ndani na toka tulipo kuona tulivutika sana na wewe ndio mana tumekubali mimi na husna tu share penzi ila tunaomba usituache " alimaliza kutoa hayo maelezo huku machozi yakimlenga lenga naomba usije ukamwambia mtu juu ya hiki tulichokifanya nafikili umenielewa" " ndiyo nasma " nilimjibu huku nikiwa najifunika shuka vizuri " kuanzia leo sitaki uniite nasma tukiwa wa wili tu sawa" "Sawa nimekuelewa" tulipomaliza kuongea nasma alitokazake na kuondoka akiniacha Mimi kitandani na kwakuwa nilikuwa nimechoka sana sikuchukua muda mrefu nikapiwa na usingizi mpaka asubuhi nilipostuka baada ya kuamshwa na errycah " we we hamka mbona umelala sana " " daaaah mmmmh naaamka " nilijibu huku nikijifikicha macho" " unajua umelala sana Leo ila pole Jana ulifanya kazi kubwa sana!!! kuzunguka nusu nyumba mpaka mama " " aaaah!!! samahani sana nimeshindwa kutunzia penzi lako " kasema umechoka sana nyumba nzima wameondoka tumebaki sisi tu" " mmmh poa kwaiyo tumebaki wawili tu??" " ndiyo mana baba akisha maliza kulala na husna na nasma lazima watoke waende bank akawape hela zao na wanaenda kuwaona wazazi wao tanga" errycah alinijibu huku akitoka chumbani kwangu " poa nakuja tuongee vizuri ngoja nikaoge" niliaamka nikaelekea bafuni kuoga nilipomaliza nilivaa singlendi na kipensi cha jinzi nikatoka nikaelekea sebreni nilipomkuta errycah akiniandalia kifungua kinywa kilikuwa ni chapati na rosti ya maini bila kusahau na chai ya maziwa nikanywa chai pale mpaka nikashiba kabisa nikasema leo ndio leo lazima nijue siri ya kile chumba. lakini errycah alikuja na kunivamia pale pale kwenye sofa Alianza kunila denda na Mimi nikampa ushilikiano na kwajinsi alivyokuwa na mapaja mazuri na ngozi laini alizidi kunipa msisimko.nikawa namuangalia nione kama kaongeza ujuzi kama wengine akavua kitop chake akabaki na sidilia huku viziwa vyake vikiwa vimechongoka kama mshale nikaanza kuvinyonya hapohapo kwenye sofa " mmmmh aaashhiiiii oooooh taaamu" alikuwa akitoa kilio cha hisia.huku na Mimi nikiendelea kunyonya maziwa yake huku mkono wangu wa kulia ukiwa kwenye kitumbua chake ukisugua kiharage mpaka nikahisi majimaji yamoto yakitoka " iiiiiiiiiiishhhhh baby mmmmh kweeeeliii" " tulia baby " nimwambia huku nikiendelea kunyonya viziwa vyake nikienda mpaka shingoni nikamlaza kwenye sofa vizuri nilipomlaza akalishika dudu langu akaliingiza kwenye kitumbua chake huku akilikatikia miuno nikaanza kupampu mdogo mdogo sikutaka kuwa na papara nikiwa napampu kama sitaki. " baby ngoja nikae hivi"aliniambia huku akikaa mkao unaoitwa mbuzi kagoma kwenda na kiuo chake kakibinua kama nyigu nikashika dudu laku nikaliingiza kwenye kitumbia chake japo lilikuwa likiingia kwa ugumu kutokana lilikuwa kubwa lakini liliingia loooote. " mmmmh aaaaaah oooooshoiii" kilikuwa ni kilio cha mtoto wakike huku akikatika viuno vilivyokuwa vikinipa msisimko wa kuendelea kupampu huku wowowo lake likijipiga kwenye mapaja yangu nilimplekesha mpaka nikaona anatoa machozi " mmmmh baby ingiza yote kumbe tamuuuuuui oooooshhhhiiioo" " mmmh baby kumbe mtamu hivi" nilimwambia mtoto huyu huku nikichomoa na kuchomeka mtoto alikuwa mtamu kiasi kwamba sikuchukua hata muda nikapiga goli langu moja huku nayeye akitangaza ushindi tulimaliza wote kwa furaha. " asante baby kwa penzi lako" " asante pia " nilimwambia binamu huku nikimalizia kufunga zipu ya kipensi changu. " asante mana sasa nimekujua vizuri ulivyo" " kivipi "nilimuuliza " unajua Jana wakati mna sex na husna niliwasikia kila kitu na lijua vingi sana kumbe baba yangu ndie aliye nifanyia unyama wa kunitoa bikra yangu" " inamana jana ulisikia kila kitu" " ndiyo tena naomba kama ikiwezekana utuoe wote wa NNE mana sote tunakupenda." " mmmh jamani nitawezaje kuwaoa wote wanne?" " ndiyo hivyo mana leo asubuhi tume kutana wote tume kubaliana tupo teali tuolewe na wewe" "nilibaki kimya kwa mda nikamwambia twende basi kwenye chumba cha sili tujue mbivu na mbichi"............. je walifanikiwa kuingia chumba cha siri Mimi na wewe hatujui tukutane sehemu ya 17 like page yetu sasa share kama tupo pamoja....... ... Read More
NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Sehemu ya kwanza(01) Naitwa Naomi Charles,katika maisha yangu sikuwahi kuamini haswa mambo yanayohusiana na nguvu za giza,kitu pekee nilichojua ni kwamba hivi vitu huwa vipo midomoni mwa watu tu,lakini kadri nilivyozidi kukua na kuingia katika maisha ya ndoa hapo ndipo nilipokuja kushuhudia kwa macho yangu kwamba haya mambo si ya kwenye midomo ya watu,bali yanafanyika na kuishi katika jamii mwa watu. Ndugu yangu amini nakuambia,kama kuna mwanga basi elewa hata giza lipo,na siku zote lengo la kuwepo mwanga ni kwasababu ya kukimbiza giza,kusingekuwa kuna ulinzi wa Mungu endapo kama mambo ya giza yasingekuwepo,nilichokuja kuamini ni kwamba siku zote uwepo wa mwanga wa Mungu wa wanadamu ni kwasababu ya kukimbiza giza linalowanyemelea wanadamu. Niliwahi kusoma vitabu na kama vile "Dollo,Mama yangu anakula nyama za watu" na kitabu cha "Jini lilivyonilelea mwanangu kimiujiza",waliandika na kusema hiyo ni mikasa ya ukweli lakini bado nilisema kwamba huu ni utashi tu wa utunzi wa watu. Ni miaka takribani 15 imepita tangu niamue kuachana na safari ya ndoa na John mume ambae nilipenda kumuita J...Alinioa ndoa ya halali kabisa,nakumbuka kipindi naonana nae alikuwa na miaka 40 wakati huo mimi nilikuwa na miaka 28,alikuwa ameniacha mbali ki umri lakini haikuwa sababu ya penzi letu kufa. Lakini kuna mambo mawili ambayo yalinishangaza kwake,alikuwa na umri mkubwa sana na majukumu ya kumuingizia pesa lakini cha ajabu bado alikuwa anaishi na Mama yake mzazi,cha pili ni kwamba aliniambia kwamba alipokuwa na umri wa miaka 30 alipataga mke ambae walipanga kuoana lakini aliamua tu kuishi nae nyumbani kwao kama mke wake,baada ya miaka mitano kupita John aliniambia mwanamke yule aliamua kukatish safari ya mahusiano na yeye,alibahatika kuzaa nae watoto wawili lakini wote walifariki. John hakuniambia ni sababu ipi iliyomfanya hasa aachane na yule mwanamke. Nakumbuka baada ya ndoa yangu mimi na John nilimshawishi na kumwambia kwamba mimi staki tuendelee kukaa pale na mama yake,tuondoke tukaanzishe maisha yetu na kama Mama tutaendelea kumjali maana si kwamba amezeeka kufikia kipimo cha kuweza kukaa nae na kumlea. John alinikubalia na kusema tutahama lakini tukae kae kwanza pale kwao wakati anajipanga. Miezi miwili ilipita tangu ndoa,hatimae nilishika ujauzito tukiwa bado tunakaa na palepale kwa Mama yake,ambae ni mama mkwe wangu,wote walifurahi baada ya kuona mimi nimekamata ujauzito. Wanasema kulea Mimba sio kazi bali kulea mtoto,miezi tisa si mingi kama ukiwa na subira,hatimae nilishusha mtoto wa kiume,furaha kubwa ilitawala baina ya familia zetu pamoja na mimi na mume wangu,ilikuwa ni furaha isiyo na kifani,wajirani na marafiki wa kutembelea hawakukosekana,taratibu kazi ya kulea mtoto ilianza. Hatimae miezi sita ilipita,mtoto alizidi kuchangamka,kilichobaki kinaniumiza ni kwamba kila nikimuambia mume wangu tuhame kwa mama yake tukaanzishe maisha yetu alikuwa ananijibu bado hajajipanga,likikuwa linaniumiza sana kichwa swala hili na nilijikuta nakata tamaa ya kuwa namuuliza mara kwa mara. Katika safari yangu ya ndoa sintakuja kuusahau usiku,usiku ambao vindumbwe ndumbwe na maajabu vilianza katika maisha yangu,nakumbuka nilikuwa nimelala mimi na mume wangu pamoja na mtoto wangu huyo wa miezi sita,ambae tulimpa jina la Grey,niliota tumezunguukwa na wanawake wanne mimi na mume wangu kwenye kitanda ambacho tulikuwa tumelala,wanawake hao walikuwa wamevalia shuka nyeupe ambazo wamejifunga rubega,nilitaka kupiga kelele lakini moja ya wanawake wale aliniziba mdomo kisha mmoja wao akanyoosha mikono yake na kumchukua mwanangu,nilikodoa macho na kutamani kupiga kelele lakini nilishindwa kwasababu nilishikwa,nilimkazia macho yule mwanamke aliemchukua mwanangu na ndipo niliposhikwa na bumbuwazi baada ya kugundua kwamba ni mama mkwe wangu.Alianza kuondoka na mwanangu huku akifuatiwa na wale wanawake watatu waliobaki,nilianza kupiga kelele za kumlilia mwanangu mpaka nalia huku nikiinuka kitandani kuwafuata,ghafla nilishtushwa na mume wangu huku akiniambia"we Naomi unaenda wapi huko na kupiga kelele na wakati mtoto huyu hapa,umepatwa na nini".Nilianza kuhema huku nikimwangalia mwanangu kama yuko salama,wakati huo nikawa namwaga jasho. Hazikupita sekunde nyingi,mwanangu alianza kulia huku akitoa povu jeupe mdomoni.Nilijikuta naanza kuchanganyikiwa akili.... JE NINI KITAENDELEA Je Grey atapona...? Je ndoto aliyoota Naomi inauhalisia wowote katika maisha yao..? tukutane sehemu ya pili kesho jioni panapo majaaliwa. Ruksa kushare,pia toa maoni yako ili watu wajifunze zaidi. NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE-(02) (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Ilipoishia. Hazikupita sekunde nyingi,mwanangu alianza kulia huku akitoa povu jeupe mdomoni.Nilijikuta naanza kuchanganyikiwa akili.... Sasa endelea... Nilijikuta nalia tu huku nikiita"Greeeey....Greeey",wakati huo sasa mume wangu nae ndipo alipomtazama mtoto wetu na kugundua kwamba mdomoni anatoka povu,nilimuona ameshtuka ghafla na kuinuka kutoka kitandani huku akiuliza"Naomi,mtoto amekuwa na nini,inamaana alikuwa anaumwa harafu hukuniambia mpaka amezidiwa hivi..?". Moja kwa moja Mume wangu alijua labda huenda nimemficha sikumwambia kama Grey alikuwa anaumwa kitu ambacho hapana. Grey alizidi kulia zaidi na wakati huo povu jeupe liliendelea kumtoka,wote tulikuwa tumechanganyikiwa hatujui tufanye nini,ndipo Mume wangu alienda sebureni na kuchukua maji haraka haraka kisha kumnywesha Grey,wakati anakunywa maji alitulia kwanza kulia lakini baada ya kumaliza tu kunywa maji kilio kiliendelea tena,nilimchukua na kuanza kumnyonyesha lakini alikataa ziwa,mara muda haukupita Bibi yake ambae ni mama yake na Mume wangu akawa ametugongea mlango"nyie kuna nini tena humu?,mbona mtoto analia hivi".Mume wangu alimfungulia mlango kisha akaingia ndani,alifika na kuanza kumtazama mtoto ambae alikuwa bado analia,mimi nilijikuta naacha kumtazama mwanangu badala yake nilianza kumtazama huyu mkwe wangu huku nikikumbuka nilichoota,nilitamani nijue zaidi hivi nilichoota kina uhalisia au ilikuwa ndoto tu. Ghafla nilimuona Mama mkwe wangu akimuweka mwanangu kitandani na kusema"huyu mtoto mbona ameumwa ghafla hivi kulikoni,au alianza toka mchana lakini hukutuambia,hebu mwangalieni na mwili wake ulivyobadilika na kuwa mwekundu"aliposema hivyo moyo ulinilipuka na kuacha kumtazama yeye kisha kumtazama mwanangu,sikuamini kuona mwili wa mwanangu aliekuwa mweupe umekuwa mwekundu rangi ya damu kabisa,kulia nako kukazidi,nilimchukua na kuanza kumbembeleza lakini haikusaidia kitu,matokeo yake na mimi nilijikuta naanza kulia huku nikisema"Baba Grey mwanangu anakufa,Mwanangu anakufaaa"Nililia sana wakati huo Baba Grey nae anawaza afanye nini. Mama mkwe alitoka ghafla kisha kuelekea sebureni,alikaa huko kwa dakika kadhaa kisha akarudi na maji kwenye kikombe akasema"Hebu mnyweshe haya maji nimeyachanganyia chumvi na sukari huenda yakamsaidia",kweli niliyachukua haraka haraka kisha nikamnywesha,kweli duniani kuna maajabu,kwani baada tu ya kumnywesha yale maji Grey aliacha kulia na kukubali kunyonya lakini mwili wake uliendelea kuwa mwekundu. Ilikuwa mida ya saa kumi usiku na ndipo Baba Grey alisema sasa tumpeleke Grey hospitali,kweli juhudi za kujiandaa kwenda hosipitali zilianza na hatimae safari ilitimia,tulifika kwenye Zahanati moja hivi iliyokuwa jirani na sisi na kumkuta daktari wa zamu,walitupokea kisha wakamuangalia mtoto kitendo kilichofanya daktari ashtuke baada ya kumuona ni jinsi gani Grey alivyokuwa mwekundu,harakati za vipimo na matibabu vilianza,juhudi zilifanyika na wapimaji wakati sisi tukiendelea kusubiri,majibu yalikuja ya kushangaza kwani tuliambiwa kwamba Grey hana ugonjwa wowote,hapo ndipo nilipoanza kuona kwamba huenda kweli kuna mauza uza. Tulipewa kitanda ili mwanangu alale kwa ajiri ya kukicha aendelee na matibabu zaidi,nilikaa na mwanangu pale kitandani wakati huo Baba Grey aliniacha huku akisema kwamba anaenda kutoa taarifa na kufanya mchakato wa chakula asubuhi ili aniletee.Nilibaki na mwanangu mle wodi ya watoto akiwa amelazwa,nilipomnyonyesha alikuwa akinyonya kama kawaida.lakini ghafla alianza kukataa ziwa,hali ya kulia ilizidi,alianza kulia toka saa kumi na moja na nusu ya alfajiri,wauguzi walikuja tena kwa ajiri ya vipimo lakini majibu ni yale yale kwamb hamna ugonjwa,walimpa dawa za kutuliza maumivu lakini hazikuzaa matunda.Hatimae ilipofika mida ya saa moja mwanangu Grey aliaga dunia...... JE NINI KITAENDELEA Je ni nini kipo nyuma ya pazia katika kifo hicho cha Grey. Usikose sehemu inayofuata kesho muda na wakati kama huu. NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE-(03) (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Tulipoishia .... Hatimae ilipofika mida ya saa moja mwanangu Grey aliaga dunia...... Sasa endelea... Kilio changu kizito kilitawala ndani ya chumba kile katika wodi ya watoto,uchungu mzito wa uzazi na kuondokewa na mtoto ulitawala ndani ya moyo wangu,mawazo yangu yote nilijua na kufahamu kwamba mwanangu hajafa katika kifo salama,bali ameondolewa Duniani kwa kulazimishwa.Wauguzi na akina mama wengine ambao walikuwa wanauguza watoto zao walijitahidi sana kunituliza lakini ndio kama walikuwa wanazidisha maumivu moyoni mwangu. Mwisho mume wangu alikuja akiwa ameleta chai,alipofika kwenye chumba ambacho ndicho tulikuwa tumelazwa na mwanangu moja kwa moja alijua tayari mtoto wetu hayupo duniani,kwani alinikuta bado nalia lia japo sio kama mwanzo kwasababu Wamama wenzangu walikuwa wakijitahidi sana kunipoza na kunituliza,hapakuwa na kingine zaidi ya mchukua mtoto wetu Grey ambae alikuwa tayari ni marehemu kwa ajiri ya kuanza safari ya kurudi nyumbani kuweka msiba,tulichukua gari huku mimi njia nzima nikienda nalia. Grey alikuwa bado mdogo,alikuwa na miezi sita hivyo hata mazishi yake yalipangwa yafanyike siku hiyo hiyo,kila mara nilikuwa nauchungulia mwili wa mwanangu,sikuamini kama kweli amenitoka,nilikuwa nimemzoea,alikuwa na afya nzuri na mwenye kuchangamka,lakini kilichokuja kunitisha zaidi Grey baada ya kufariki mwili wake uliirudia hali yake kwa maana ya kwamba ile hali ya mwili kuwa mwekundu utafikiri kalowekwa kwenye damu ilitoweka.Nilibaki najiuliza huu ni ushirikina wa namna gani,sikutaka kumtuhumu mama mkwe moja kwa moja kwasababu sikuwa na ushahidi wowote,ndoto pekee huwezi ukaitumia kumuhukumu mtu,japo ilikuwa ni ndoto ya mashaka. Hatimae saa kumi ya jioni ilifika muda ambao ulipangwa kwa ajiri ya mwanangu Grey kuzikwa,watu mbalimbali,majirani ndugu na marafiki walikusanyika kwa ajiri ya kutoa heshima zao za mwisho kwa kichanga changu kile,pale nilijifunza kitu kimoja kwamba siku zote ukiishi na watu vizuri basi utakuwa mtu wa watu,mwanangu alikuwa ni mdogo na asiejulikana sana mbele za watu,lakini watu waliohudhuria walikuwa ni wengi kiasi kwamba ni msiba wa mtu mzima na umaarufu wake. Basi jioni iliisha kwa kumpumzisha mwanangu katika nyumba yake ya milele. Hatimae maisha ya upweke bila kulea bila kunyonyesha yalirudi,tulikaa wiki moja na baada ya hapo ndugu jamaa na marafiki waliokuwa wamekuja kututembelea nao waliondoka na hatimae tulibaki tukiishi watu wanne kama mwanzo yaani mimi,mume wangu,mama mkwe wangu pamoja na mdada wa kazi aliekuwa akiitwa Rhoda. Sikujiskia tena kuendelea kukaa na pale pamoja na mama mkwe wangu,hatimae niliamua kuanza kumsumbua mume wangu kwamba inatupasa tuhame pale tukaanzishe maisha yetu,lakini bado juhudi za mume wangu kujaribu kukataa ziliendelea,na mimi pia neno kuhama nililigeuza wimbo wa taifa mdomoni mwangu kila mara nilipokaa nae.Hatimae siku moja aliniambia kwamba amenielewa na atakaa kuongea na mama yake ili tuweze kuondoka na kwenda kuanzisha maisha yetu. Moja kati ya siku nyingine ambayo sintakuja kuisahau katika maisha yangu ni siku ambayo nilikuwa natokea chumbani naelekea sebureni,nilichungulia kidogo nikaona mtu na mama yake wamekaa wanaongea,yaani mume wangu na mama yake,kwakweli nilinyata taratibu taratibu mpaka karibu na ukuta wa kukatizia kuingia sebureni ili niweze kusikia wanazungumza nini,nilitamani sana kusikia wanazungumzia swala la mimi na mume wangu kuhama,nilikuwakuta wameshaanza mazungumzo ambayo sikujua wanaanzia wapi lakini tumbo lilikuja kushtuka baada ya kumsikia mama mkwe wangu akitoa kauli kwa mume wangu na kumwambia"Sawa kama mnataka kuhama hapa nyinyi hameni lakini ukumbuke kwamba bado una deni kubwa sana kwangu,bado hujakamilisha kile kinachohitajika kwahiyo wewe hama lakini ukae unajua kwamba deni langu ni lazma ulipe"Tumbo lilinikata na kuanza kujiuliza ni aina gani ya deni ambalo mime wangu anadaiwa na mama yake,nilitamani niendelee kusikia mazungumzo zaidi lakini nilimuona mama mkwe wangu akinyanyuka na kushika njia ya mlango kuelekea nje. JE NINI KITAENDELEA Je ni aina gani ya deni ambalo anadaiwa John na mama yake..? Usikose sehemu inayofuata hapa hapa kesho panapo majaaliwa. ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: