Love story:ANKO INATOSHA
Mwandishi:JAFARI MPOLE
Sehemu:07
Sipo czuri jaman naumwa
tangu jana cko vema jamani
hapa najitahidi walau nipost kdogo leo kuliko kuacha..ok
ILIPOISHIA:...
"Ahaa kumbe wewe ndio
kdume unaegawa dozi humu
ndani!"alijisemea mama
zuhura .ENDELEA SASA.... mama Rose akamkaribisha
mgeni wke mama zuhura na
kukaa kwenye viti wakipiga
stori huku muda wote mama
Zuhura akimtazama anko Tony
ambaye muda wote alikuwa ameketi pembeni akisoma
gazeti."ngoja nikakuangalizie
kinywaji shoga yangu maana
tumeongea mengi
sana"alisema mama Rose n
kuelekea kuchukua soda kwa ajiri ya ya shoga'ke mama
Zuhura ambaye muda ule
akanyanyuka bula aibu na
kumsogelea anko Tony,akatoa
simu yake na kumpa anko
Tony."nipe namba yako haraka"alisema mama Zuhura
kwa sauti ya chini huku anko
Tony akibaki ameduwaa
haelewi.
"namba yangu ya nini jamni?"
"acha kujitia mtoto wewe,fanya upesi bana"
"hapana siwezi kukupa."
"ahaaaa hutakieee,sasa
namwambia mama Rose na
tabia yako ya kulala na wanae
usiku mzima mkifanya machafu,ngoja aje
nimwambie"
"haah.....ah...eee lete nikupe
hzo namba lakini naomba
usimwambie tafadhari
tafadhari naomba" "haya fanya hivyo"alisema
mama Zuhura na kumpa ile
cmu anko Tony ambaye
haraka alichukua na kuandika
namba yake ya cmu
haraka,mama Zuhura akatabasamu na hurudi kukaa
kwenye kiti.Akarudi mama
Rose na vinywaji na
kujumuika na jirani yake.
Baada ya muda kupita mama
Zuhura akaaga na kuondoka zake huku akiwa na furaha ya
kufanikiwa mpango wake wa
kuipata namba ya anko
Tony.Masaa matatu tu kupita
anko Tony akapokea simu
akiwa chumbani mwake amepumzika."halloo nani
mwenzangu"
"mama Zuhura hapa,jirani
yenu mnaemsumbua usiku
kucha mkifanya
uchafu"alisema mama Zuhura na kumfanya anko Tony akose
la kusema."hahaaaa,mbona
kimya gafla huna la kusema?
ulikuwa unadhani ni siri yenu
tu na mwenzio,basi wa tatu
nimeongezeka kujua hio siri" "tafdhari mama Zuhura
usimwambue yeyote jambo
hili,nakuomba!"
"heeee bure bure tu
nisiseme.?"
"ntakupa hata hela mama Zuhura,nakuomba unyamaze
usiseme lolote,ni aibu hii
ikijulikana"
"ahaa kumbe unajua kuwa ni
aibu!mimi nakushangaa saizi
yako tumejaa tele unaenda kufanya mapenzi na mtoto
yule,eh"
"basi nimekoma mie"
"ahaa umrkomaee.sasa
nisikilize kwa makini.."alisem
a mama Zuhura na kumfanya anko awe makini
kusikiliza."leo nakuhitaji
kwangu saa 5 usiku haijalishi
utatokaje huko wewe
mwanaume"
"jamani jamani jamani mama Zuhura,adhabu gani hiyo
unanipa ya kutoroka usiku?"
"ndio hvyo hutaki kesho
mapema nakuja kutoboa wazi
siri yenu"alisema mama
Zuhura na kumfanya anko Tony awe mpole na kukubali
matokeo kwa kuhofia aibu
itakayomkuta kwa kuvuja siri
yake.
Na kweli mpaka kufika saa 2
usiku anko akawa tayari kashapata mawazo ya
kuutumia mlango wa uani
kutorokea,akawa anasubiri
muda tu ufike lakini gafla
akashangaa kuon mlango
wake unafunguliwa,akatokea Rose akiwa na tabasamu la
aina yake huku akimsogelea
anko wake akiwa kitandani.
"Rose nina usingizi nahitaji
kulala mie"alisema anko Tony
huku akishangaa kumwona Rose akipanda kitandani alipo.
"tulale basi kama unausingizi"
"hiki chumba changu nahitaji
kulala pekeangu"
"basi sasa na mimi sitoki
humu ndani" "haaaaa hutoki kwanini?"
"nataka penzi lako"
"leo nimechoka Rose labda
kesho"
"hilo unasema wewe lakini
mwili wangu unataka sasaivi"alisema Rose na
kuanza kuupapasa taratibu
mwili wa anko,akausogelea
mdomo wa anko Tony lakini
mwenzake hakutaka.
"hutaki sio?"alisema Rose. "nshakwambia nimechoka
huelewi!"
"sasa ntapiga kelele humu
niite watu niseme
umeniingiza humu
unibake"kauli ile ilimfanya anko Tony apagawe na
kushindwa la kusema,nafasi
ile akaitumia Rose kufanya
yake taratibu na haikuwa na
jinsi anko nae akajumuika
nae,nusu saa iklimtosha Rose kupata alichokihitaji,
akamshukuru anko wake na
kurudi chumbani kwake.Anko
akanyanyuka pale kitandan
baada ya mechi asiyoitarajia
nawala kuipanga,mawazo yake yote yalikuwa kwa
mama Zuhura,hakujua
ameitiwa nini na mama huyo
hvyo ikampasa aanze safari ya
kuelekea kwa mama Zuhura
huku saa ya ukutani ikionesha tayari imekaribia saa 5 na
dakika zake ya ile ahadi
alixmbiwa na mama
Zahara,akasogea mpaka
kwenye mlango wa uani kwa
umakini huku akiangalia usalama kama
anaonekana,taratibu
akafungua mlango na
kufanikiwa kutoka nje safari
moja kwa moja kwa mama
Zuhura,akasogea mpaka dirishan kwa mama Zuhura na
kumshitua."ahaa
umekuja,sasa zunguka nyuma
uani mlango upo wazi,huku
mbele sebuleni Zuhura bado
yupo macho anaangalia cd,fanya hivyo haraka"alisema
mama Zuhura na haraka
akafanya hvyo anko tony na
kuingia ndani kama
alivyoagizwa,akafanikiwa
kuingia kupitia mlango wa uani bila ya Zuhura mwenye
umri kama wa akina Rose
kujua,mama Zuhura akamvuta
anko Tony chumbani kwake
na kumsukuma kitandani
mwake. "haya nakusikiliza mama
Zuhura"alisema anko Tony
huku akimtazama mama
Zuhura ambaye alikuwa
akiufunga mlango na funguo
na taratibu akamsogelea anko Tony pale alipokaa kitandani.
"vp tena!"alisema anko Tony.
"nataka ufanye kile
ulichokuwa ukifanya na yule
mtoto"alisema mama Zuhura
huku akiitupa kule kanga yake aliyovaa na kuuacha mwili
wake wenye steki kila
sehemu huku kiuno chake
kikipambwa na shanga tofauti
tofauti,taratibu akamsogelea
anko Tony huku macho yakubwa akiyalegeza kama
mtu aliyekula makungu.... ITAENDELEAA.
No comments:
Post a Comment