Home → simulizi
→ Bikira Yangu :11
Siku moja nipo kazini ktk majukumu yangu ya kila siku nilitumiwa email na mgeni mmoja akihitaji nimfanyie arrangement za spice tour, nilifanya hivyo na akaniambia angependa sana uwepo wangu kwenye hiyo tour weekend ijayo yani alihitaji sana kampani kutoka kwangu.
Ilikuwa ngumu sana kumkubalia kutokana na ratiba zangu zitakuwa zimenibana mbali na ratiba kuwa taiti lakini pia nikitaka siku hiyo niwepo nyumbani na ndugu zangu.
Aliniomba kadiri awezavyo, nikajikuta nikimkubalia kwa masharti mapesi ya muda. Tulipanga mikakati yote, ni wapi safari yetu itakapo anzia na kumalizikia, na tukakubaliana kwamba tunakutana maeneo ya kazini kuwasababu yeye hakuwa anajua sehemu nyingi sana za hapa mjini unguja kutokana na ugeni wake.
Jumamosi ikafiaka, nikajiandaa kama kawaida na kuelea ktk maeneo ya kazini kwetu hapo ndipo tulipopanga kukutana. Baada ya kufika eneo lile nilimpigia simu ili kujua ni sehemu gani alipo. Na akanijibu nimsubiri kwa dakika kama kadhas atakuwa tayari amefika.
Nilimsubiri ndani ya dakika chache akawa amefika eneo hilo na tayari kwa kuanza safari, wakati tukiwa tunatembea taratibu kuelekea kwenye usafiri yule mgeni aliejulikana kwa jina la mahmoud, alisema kuna rafiki yake yupo sehemu inabidi tukampitie. Nilihitaji kufahamu mahali alipo rafiki yake huyo, na akanambiwa kwamba yupo hotel ya jirani kutoka ktk hoteli niliyokuwa nikifanyia kazi.
Kabla hatujafika katika hoteli hiyo bahati nzuri huyo rafiki yake na mahmoud alikuwa anakuja mahali tulipo sisi, ila aliongozana na msichana mwenye asili ya kiarabu.
Tuliungana pamoja na safari ikaanza kuelekea ktk kisiwa kimoja kilichopo hapa unguja kilichojulikana kwa jina la prison iland. Kufika katika kisiwa hicho ni lazima tukodi boti ndogo zinazofanya kazi ya kuvusha watu wanao hitaji kwenda ktk kisiwa hicho.
Tulifika salama na tukaanza matembezi ya hapa na pale huku tukipata historia fupi ya kisiwa hicho kutoka kwa waenyeji mahali hapo, lakini baada ya muda kidogo wale wenzetu wawili ambao ni rafiki yake na mahmoud na yule msichana mwenye asili ya kiarabu walitoweka ghafla kusiko julikana. Nilimuuliza mahmoud...........
"Hawa wenzetu wako wapi"?
"Usihofu kuhusu hilo hao ni mtu na mpenzi wake, huyo msichana ametoka oman kaja kwa mpenzi wake ambaye ni huyo rafiki yangu anayejulikana kwa jina la omar, ni mwenyeji wa hapa hapa unguja". Mahmoud alieleza kwa kifupi baada ya kutaka kufahamu wawili wale walipo alekea. Lakini pia kama sikuamini hivi niliposikia mahmoud ameniambia kwamba yule binti yule ametoka oman kwaajili ya mwanaume, ikanilazimu nimuulize tena.......
"Inamaana huyo dada katoka oman hadi huku kumfata huyo rafiki yako tu!!!!?"
"Ndio, si unajua mapenzi tena yalivyo na nguvu alafu istoshe huyo msichana kwao anabanwa sana na wazee wake, sasa ameona akimwambia omar amfate oman anaweza akauliwa coz wazee wa binti huyo ni wakorofi sana na wanauwezo mkubwa kifedha kutokana na bihashara ya mafuta". Alisema mahmoud wakati huo tukiwa tunatembea sehemu mbali mbali ktk kisiwa kile.
Nilishangaa kidogo kusikia taarifa ya binti yule wa kioman na kujisemea kimoyo moyo kwamba kuna watu wanapenda.
Baada ya muda kidogo tukiwa kwenye matembezi yetu tulifika katika sehemu iliyoonekana kuwa nzuri zaidi, ilikuwa ni bustani nzuri iliyokolea ukijani na minazi iliyoruhu upepo mwanana kutoka baharini, mahmoud aliniomba tupumzike ktk eneo lile lililo onekana kuwa na watu wachache sana tena kila mtu na mpenzi wake.
Nasi tukakaa ktk eneo lile ila kwa mbaali tukawaona wale wenzetu wakiwa kwenye mahaba mazito ila wao hawakutuona sisi. Kitendo cha kukaa pale ndio ikawa nafasi pekee ya kupata fursa ya kujuana na mahmoud kwa uzuri zaidi, tuliongea mengi sana na kila mmoja alijitambulisha kwa mwenzie na mahmoud alikuwa mtu wakwanza kutaka kunifahamu mimi.............
Nilimueleza background yangu kwa kiasi chake, ila alionekana hasa ni mtu mwenye kuhitaji sana kufahamu maisha yangu ya kimahusiano. Sikutaka afahamu lolote kuhusu maisha yangu ya mahusiano coz nilikuwa nikikumbuka liletukio nililofanyiwa na vuai roho yangu iliniuma sana, japo nilimuongopea kwa kumwambia nilikuwa na mchumba lakini hakufanikiwa kunioa na wala hakuwahi kufanya jambo lolote ktk mwili wangu. Na kumsisitizia kwamba mimi bado nipo kama nilivyo zaliwa.
Baada ya kumueleza hayo mahmoud naye akanieleza historia yake fupi kuhusu maisha yake..............
"Zuleiha, mimi nimezaliwa hapa hapa unguja, baba na mama yangu ni watu wa hapa hapa, lakini kwa sasa wapo dubai, mzee aliamua tuhame kutokana na bihashara zake zipo dubai, aliona itakuwa ngumu kuacha familia yake hapa then yeye akaishi huko, ikamlazimu ahamishe familia nzima , wakati huo nilikuwa darasa la sita. Tangu tumehamishia maisha yetu dubai kutoka kipindi hicho ndio nimearudi tena zanzibar hivi sasa" Alisema mahmoud kisha akaendelea tena.
"Kilichonifanya nirudi hapa zanzibar ni kutokana na wazee kutaka kunitafutia mchumba huko huko dubai, nilikataa hayo mawazo yao na nikawaambia kwamba maisha yangu nataka yawe Zanzibar na huko ndipo nitakapo tafutia msichana wa kumuoa. Ilikuwa ni ngumu sana mzee kukubali lakini ilimlazimu afanye hivyo kutokana mimi mwenyewe ndio nimeshaamua." Alisema mahmoud kisha nikamuuliza tena.......
"Unamuda gani tangu umetoka huko dubai?
"Nina mwezi sasa nipo huku na tayari nimeshaanza bihashara zangu mwenyewe, ilimlazimu mzee anipatie na mtaji kabisa ili nikifika huku nianze kufanya bihashara.............................
ITAENDELEA
Bikira Yangu :11 Siku moja nipo kazini ktk majukumu yangu ya kila siku nilitumiwa email na mgeni mmoja akihitaji nimfanyie arrangement za spice tour, nilifanya hivyo na akaniambia angependa sana uwepo wangu kwenye hiyo tour weekend ijayo yani alihitaji sana kampani kutoka kwangu. Ilikuwa ngumu sana kumkubalia kutokana na ratiba zangu zitakuwa zimenibana mbali na ratiba kuwa taiti lakini pia nikitaka siku hiyo niwepo nyumbani na ndugu zangu. Aliniomba kadiri awezavyo, nikajikuta nikimkubalia kwa masharti mapesi ya muda. Tulipanga mikakati yote, ni wapi safari yetu itakapo anzia na kumalizikia, na tukakubaliana kwamba tunakutana maeneo ya kazini kuwasababu yeye hakuwa anajua sehemu nyingi sana za hapa mjini unguja kutokana na ugeni wake. Jumamosi ikafiaka, nikajiandaa kama kawaida na kuelea ktk maeneo ya kazini kwetu hapo ndipo tulipopanga kukutana. Baada ya kufika eneo lile nilimpigia simu ili kujua ni sehemu gani alipo. Na akanijibu nimsubiri kwa dakika kama kadhas atakuwa tayari amefika. Nilimsubiri ndani ya dakika chache akawa amefika eneo hilo na tayari kwa kuanza safari, wakati tukiwa tunatembea taratibu kuelekea kwenye usafiri yule mgeni aliejulikana kwa jina la mahmoud, alisema kuna rafiki yake yupo sehemu inabidi tukampitie. Nilihitaji kufahamu mahali alipo rafiki yake huyo, na akanambiwa kwamba yupo hotel ya jirani kutoka ktk hoteli niliyokuwa nikifanyia kazi. Kabla hatujafika katika hoteli hiyo bahati nzuri huyo rafiki yake na mahmoud alikuwa anakuja mahali tulipo sisi, ila aliongozana na msichana mwenye asili ya kiarabu. Tuliungana pamoja na safari ikaanza kuelekea ktk kisiwa kimoja kilichopo hapa unguja kilichojulikana kwa jina la prison iland. Kufika katika kisiwa hicho ni lazima tukodi boti ndogo zinazofanya kazi ya kuvusha watu wanao hitaji kwenda ktk kisiwa hicho. Tulifika salama na tukaanza matembezi ya hapa na pale huku tukipata historia fupi ya kisiwa hicho kutoka kwa waenyeji mahali hapo, lakini baada ya muda kidogo wale wenzetu wawili ambao ni rafiki yake na mahmoud na yule msichana mwenye asili ya kiarabu walitoweka ghafla kusiko julikana. Nilimuuliza mahmoud........... "Hawa wenzetu wako wapi"? "Usihofu kuhusu hilo hao ni mtu na mpenzi wake, huyo msichana ametoka oman kaja kwa mpenzi wake ambaye ni huyo rafiki yangu anayejulikana kwa jina la omar, ni mwenyeji wa hapa hapa unguja". Mahmoud alieleza kwa kifupi baada ya kutaka kufahamu wawili wale walipo alekea. Lakini pia kama sikuamini hivi niliposikia mahmoud ameniambia kwamba yule binti yule ametoka oman kwaajili ya mwanaume, ikanilazimu nimuulize tena....... "Inamaana huyo dada katoka oman hadi huku kumfata huyo rafiki yako tu!!!!?" "Ndio, si unajua mapenzi tena yalivyo na nguvu alafu istoshe huyo msichana kwao anabanwa sana na wazee wake, sasa ameona akimwambia omar amfate oman anaweza akauliwa coz wazee wa binti huyo ni wakorofi sana na wanauwezo mkubwa kifedha kutokana na bihashara ya mafuta". Alisema mahmoud wakati huo tukiwa tunatembea sehemu mbali mbali ktk kisiwa kile. Nilishangaa kidogo kusikia taarifa ya binti yule wa kioman na kujisemea kimoyo moyo kwamba kuna watu wanapenda. Baada ya muda kidogo tukiwa kwenye matembezi yetu tulifika katika sehemu iliyoonekana kuwa nzuri zaidi, ilikuwa ni bustani nzuri iliyokolea ukijani na minazi iliyoruhu upepo mwanana kutoka baharini, mahmoud aliniomba tupumzike ktk eneo lile lililo onekana kuwa na watu wachache sana tena kila mtu na mpenzi wake. Nasi tukakaa ktk eneo lile ila kwa mbaali tukawaona wale wenzetu wakiwa kwenye mahaba mazito ila wao hawakutuona sisi. Kitendo cha kukaa pale ndio ikawa nafasi pekee ya kupata fursa ya kujuana na mahmoud kwa uzuri zaidi, tuliongea mengi sana na kila mmoja alijitambulisha kwa mwenzie na mahmoud alikuwa mtu wakwanza kutaka kunifahamu mimi............. Nilimueleza background yangu kwa kiasi chake, ila alionekana hasa ni mtu mwenye kuhitaji sana kufahamu maisha yangu ya kimahusiano. Sikutaka afahamu lolote kuhusu maisha yangu ya mahusiano coz nilikuwa nikikumbuka liletukio nililofanyiwa na vuai roho yangu iliniuma sana, japo nilimuongopea kwa kumwambia nilikuwa na mchumba lakini hakufanikiwa kunioa na wala hakuwahi kufanya jambo lolote ktk mwili wangu. Na kumsisitizia kwamba mimi bado nipo kama nilivyo zaliwa. Baada ya kumueleza hayo mahmoud naye akanieleza historia yake fupi kuhusu maisha yake.............. "Zuleiha, mimi nimezaliwa hapa hapa unguja, baba na mama yangu ni watu wa hapa hapa, lakini kwa sasa wapo dubai, mzee aliamua tuhame kutokana na bihashara zake zipo dubai, aliona itakuwa ngumu kuacha familia yake hapa then yeye akaishi huko, ikamlazimu ahamishe familia nzima , wakati huo nilikuwa darasa la sita. Tangu tumehamishia maisha yetu dubai kutoka kipindi hicho ndio nimearudi tena zanzibar hivi sasa" Alisema mahmoud kisha akaendelea tena. "Kilichonifanya nirudi hapa zanzibar ni kutokana na wazee kutaka kunitafutia mchumba huko huko dubai, nilikataa hayo mawazo yao na nikawaambia kwamba maisha yangu nataka yawe Zanzibar na huko ndipo nitakapo tafutia msichana wa kumuoa. Ilikuwa ni ngumu sana mzee kukubali lakini ilimlazimu afanye hivyo kutokana mimi mwenyewe ndio nimeshaamua." Alisema mahmoud kisha nikamuuliza tena....... "Unamuda gani tangu umetoka huko dubai? "Nina mwezi sasa nipo huku na tayari nimeshaanza bihashara zangu mwenyewe, ilimlazimu mzee anipatie na mtaji kabisa ili nikifika huku nianze kufanya bihashara............................. ITAENDELEA
Artikel Terkait
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya nane (8) By GIVAN IVAN Phone & whatsapp....... 0769673145 Ilipoishia........ Lakini Sasa watu wale ambao walikuwa ni wakina Zaza hawakujua wanamfuata nani. Wazimu wa wazimu Nolan naye alifungua mlango na kutoka kwenye gari Lake na kuanza kuwafuata wakina Zaza bila kuwa na uoga wowote.* *************Endelea ********* Zaza pamoja na wenzake walishtuka kuona Nolan anashuka kwenye gari na kuona anawafuata bila wasi wasi wowote. Na baada ya sekunde chache Nolan alikuwa mbele yao. "mnataka nini mbona tunapotezeana Muda?" Nolan akawauliza wakina Zaza huku akiwa amesimama mbele yao. "hahahaaaa Nolan kwa siku ya leo huna bahati leo umeingia pabaya." akaongea zaza huku akimsogelea Nolan. "leo hakika tutakufunza adhabu." akaongea zaza na kumshushia Nolan fimbo ya mgongo, lakini kabla fimbo Ile haijamfikia Nolan aliidaka na kuivunja. Kitendo kile kilimshtua Zaza na kumfanya akasirike kwa fimbo yake kuvunjwa. Zaza alimrushia Nolan ngumi ya uso lakini nayo pia ilikingwa vizuri na Nolan. "acha kupoteza Muda wako kupigana na mimi hata mkiwa ishirini bado hamtaniweza." akaongea Nolan kumwambia Zaza. Lakini zaza hakusikia, akachomoa kisu na kutaka kumchoma Nolan cha tumbo, lakini Nolan alimkamata mkono ule wenye kisu Kisha akamtandika ngumi tatu tumboni za haraka haraka na Kisha akauosokota ule mkono wenye kisu na kuuvunja. Zaza alijikuta akipiga kelele kwa maumivu aliyoyapata. Wale vijana wengine kuona mkubwa amevunjwa mkono nao wakachomoa visu vyao na kuanza kumfuata Nolan kwa kasi. Nolan akawaangalia na kuwapigia hesabu za haraka haraka. "wewe nitakupiga teke la tumbo, wewe wa pili nitakupiga ngumi mbili za kichwa alafu wewe wa tatu na wa mwisho nitatukutoboa kwenye paja la mguu na kisu chako mwenyewe." hizo ni hesabu za haraka haraka ambazo Nolan aliwapigia vijana wale. Na wakati huo huo vijana wale walimkaribia Nolan, na kama Nolan alivyowapigia hesabu aliwafanya vile vile na kila mmoja akadondokea upande wake. "nyie ni kina nani na mnataka nini?" Nolan akamuuliza kijana mmoja kati ya wale wanne aliowapiga. "sijui hata sisi ni wakina nani" akajibu kijana yule. "nitakuvunja shingo jibu swali nililokuuliza." Nolan akamuamrisha kijana yule. "si nimesema sijui sisi ni wakina nani." akajibu kijana yule jibu hilo ambalo lilimpelekea apokee ngumi nzito ya uso kutoka kwa Nolan. Lakini kumbe wakati Nolan anamuhoji kijana yule, kulikuwa na mwanamke mmoja ambaye ni dereva wa kina Zaza yeye alibaki kwenye gari na Nolan hakumuona. Mwanamke yule alishuka kwenye gari taratibu akachomoa kisu chake na kuanza kumsogelea Nolan taratibu bila yeye kujua. Mwanamke yule alipofika sehemu ile aliyokuwa Nolan akimuhoji kijana yule alikinyanyua kisu chake juu kwa mikono miwili na kukusanya nguvu Zake zote na kuanza kuhesabu moja mpaka tatu kwa ajili ya kumshushia Nolan kisu kile cha kichwa. Nolan akiwa bado pale chini akimhoji kijana yule ghafla alishangaa kumuona kijana yule akianza kucheka, kumbe kijana yule alimuona yule Mwanamke ambaye ni mwenzao akijiandaa kummaliza Nolan. Lakini kucheka kwa yule kijana kulimfanya Nolan ahisi kitu. Lakini kidogo hivi Nolan aliona kivuli cha mtu pembeni yake, akageuka haraka kuangalia ni nini kipo nyuma, lakini Ile kugeuka Nolan alikutana na kisu kikija kwa kasi kichwani kwake. Nolan alipojaribu kukikwepa kisu alikuwa tayari ameshachelewa, lakini kwa bahati nzuri kisu kile hakikumpata Nolan kichwani, kwani Ile kugeuka nyuma kulimfanya alindishe kichwa kidogo hivyo kisu kile kikampata Nolan bega karibu na shingo. Nolan alisikia uchungu ambao hajawahi kusikia Katika maisha yake. Lakini mwanamke yule alidhamiria kummaliza Nolan, kwani alikichomoa kisu kile kwenye bega la Nolan na kukirudishia tena pale pale na kumfanya Nolan azidi kupiga kelele kwa maumivu aliyoyapata. Mwanamke yule alikichomoa tena kisu kile na kutaka kummaliza Sasa Nolan kwa kumkata shingo. Mwanamke yule alipotaka kumkata Nolan shingo, Nolan alijijaza licha maumivu aliyokuwa nayo alikikamata kisu. Lakini kwa kukimata kisu kile alijikuta akipokea teke Zito kutoka kwa yule yule Mwanamke na kutupwa mbali. Lakini kwa kupigwa teke lile ilikuwa kama vile Nolan ameamshwa kutoka usingizini. Nolan alinyanyuka na kusimama na kumtizama mwanamke yule huku akiapa lazima amuue. "umenipiga Sana hata wewe Sasa umeisha." akaongea Nolan na kuanza kutoka mbio kumfuata yule Mwanamke. Yule Mwanamke naye akatoka mbio na kuanza kumfuata Nolan huku akiwa na kisu chake mkononi. Walipokaribiana yule Mwanamke akaruka juu huku akiwa amekielekeza kisu kichwani kwa Nolan, Nolan kuona vile naye akaruka juu zaidi ya yule Mwanamke na kupita juu kidogo ya kichwa cha Mwanamke yule na kutua nyuma ya Mwanamke yule. Bila kupoteza hata sekunde moja Nolan aligeuka na kuruka juu na kurusha teke Zito ambalo lilimpata sawia kabisa Mwanamke yule la kichwa na kumuweka chini. Nolan hakusubiri yule Mwanamke anyanyuke, akaruka tena juu na kukunja miguu na kutua kwa magoti mgongoni mwa yule Mwanamke yule na kumvunja mgongoni huku wenzake wakishuhudia lakini wasiweze kufanya lolote kwa kuwa nao walikuwa hoi kwa kichapo walichokipata kutoka kwa Nolan. "wewe lazima nikuue umenijeruhi Sana ngombe wewe." Nolan ndio alimwambia Mwanamke yule Kisha akammaliza kwa kumtandika ngumi nzito ya shingo ambayo ilimpandisha ndege ya kuzimu. Baada ya Nolan kummaliza Mwanamke yule naye alijikuta akidondoka chini na kuzimia kutokana damu nyingi iliyomwangika kutoka kwenye mwili wake. Taarifa zilienea kila mahali kwa mauaji yale yaliyotokea sehemu ile huku wengine wakiwa hoi bin taabani. Polisi pamoja na kikosi cha kutoa huduma ya kwanza kilifika pale na bila kupoteza muda, Nolan pamoja na wakina Zaza wakabebwa na kupelekwa hospital.* Mzee Joel akiwa ametulia nyumbani kwake akipata moja baridi moja ya moto, aliweza kupata taarifa Ile ambayo ilimshangaza Sana. "inakuaje wakina Zaza wako hoi na pia Nolan yupo hoi, kuna nini kilitokea?" akajiuliza mzee Joel bila kupata jibu. Huzuni ilianza upya tena kwa Penina baada ya kupata taarifa ya Nolan mtu pekee ambaye alikuwa akimtegemea kwa chochote, kuwa na yeye yuko hoi bin taabani hospitalini. Bila kupoteza Muda Penina aliingia kwenye gari Lake na kuanza safari ya kuelekea Katika hospital aliyolazwa Nolan, Penina alihisi kuchanganyikiwa hasa akifikiria mambo anayotendewa na baba yake, na pia kupotea kwa mpenzi wake Frank. Hali hiyo ilimfanya Penina akose umakini barabarani na akiwa amebakiza mita chache kufika Katika hospital aliyopo Nolan, Penina alijikuta akikosa balance na kupoteza mwelekeo na kutoka nje ya barabara na kwenda kugonga mti uliokuwa pembeni ya barabara Ile. Pale pale Penina alipoteza fahamu baada ya kugonga mti ule, na alipokuja kushtuka alijikuta yupo hospitalini. Taarifa ilimfikia mzee Joel kwamba Penina amepata ajali Muda mchache uliopita. "shit ni bora afe mtu yoyote lakini sio Penina, utajiri wangu upo kwa Penina." akaongea mzee Joel huku akitoka ndani haraka haraka na kuingia kwenye gari na kuanza kuwahi hospitalini kwenda kumuangalia binti yake Penina.* Baada ya kubangaiza huku na kule kwa siku kadhaa hatimaye Frank alifanikiwa kupata pesa ambayo aliihitaji, na bila kupoteza sekunde, dakika wala masaa, moja kwa moja Frank aliianza safari ya kurudi dar es salam huku mawazo yake yote yakiwa kwa Penina tu Mwanamke aliyempenda kwa moyo wake wote. .......... Itaendelea ... Read More
CHOICE OF MY HEART (chaguo la moyo wangu) SEHEMU YA NANE (08) ILIPOISHIA SEHEMU YA SABA: Basi alijikuta mpweke sana na alijikuta anatamani, kuongea na vicent,ili apate kampani na kupoteza muda kidogo. Hata sijui ni kwanini alimuwaza vicent kuwa ndio mtu pekee wa kumtoa upweke. Hata mimi sijui,ila tutajua hivi karibuni. Basi aliingalia simu kwa muda nakujifikiria ampigie au atulie asimpigie. Basi nafsi ya niram ikawa inashindana,moja inamwambia piga nyengine, inamwambia usipige ila akiwa katika mgongano wa kutoa maamuzi nini afanye, gafla akaona kitu moyo ukapiga paaaaah!!! .alishindwa kuamini alichokiita. endelea........ Niram alishindwa kuamini alichokionaa, kwa muda ule kiukweli alitoa macho kama ndubwi, spidi ya moyo kwenda mbio vilizidi kuongezea. Hakuamini kuona mtu aliyekuwa anamuhitaji kwa muda huo ndo alikuwa anampigia.basi alichukua simu yake na kuipokea. "hellow vicent".ilikuwa ni sauti tamu yenye kusisimua mwili.hakika hata vicent alipata kigugumizi cha gafla na wakati yeye ndie aliepiga. "aaaghahg!! Niambie niram umeshindaje kipenzi? ".aliongea vicent kwa sauti ya upole na ya kiume,kiasi niram alijisikia raha sana kuisikiliza. "nipo poa kulikuwa na wageni leo basi kulikuwa na kazi kweli".aliongea niram kwa sauti yake ile nzuri na ya upole, kama ya Madeko hivi. "oooh pole mamy si ungeniita nije nikusaidie".aliongea vicent, kwa utani huku akisubiri jibu. "ahhhhah! Uongo tu ungekuwa kweli wewe".alijichekesha ki kikekike niram huku anabadili mikao ya kukaa pale alipokuwa. "yaap ningekuja kwanini nisije kwa rafiki yangu kumsaidia jamani?".alijiongelesha kama anauliza hivi huku ikiwa sauti fulani inayoonyesha hali ya kujali. Niram alifurahi sanaa kusikia vile. "mmh! Basi nashukuru kwakunijali kipenzi".aliongea niram kwa madeko. "usiliongelee hilo ni wajibu wangu kama rafiki".aliongea vicent. "basi wifi anapata raha sana".aliongea niram huku akitia kijineno cha mtego. "sina mama yangu, bado sijabahatika".aliongea vicent kwa utulivu wa hali ya juu, kwa hakika ungesema kweli mwanaume ndiyo huyu. Alijua sana kuongea na mwanamke na akaelewa. "ooh usijali Mungu atakupa my"aliongea niram. "sawa nashukuru sana na mimi ntajiona ni mwenye bahati".alijibu vicent,basi waliongea mengi sana mpaka walipoagana, kwa maana kesho ilikuwa ni siku ya shule. **** Ilikuwa ni siku ya pili, watu walikuwa na pilikapilika zao kama kawaida. Huku kila mmoja akiwa katika harakati za utafutaji. Magari yakikuwa yanapishana kila wakati. Basi muda huo shuleni niram, alikuwa ni mtu wa tabasamu muda wote,alikuwa kachangamka sana hata marafiki zake wakimshangaa, ila aliyejua tofauti ya niram ni hajra peke yake. Alimtazama kwa muda kisha akamuuliza "vipi dada mbona huko happy hivyo?".aliuliza kwa sauti ya chini hajra, huku wengine wakiwa bize kufanya yao. "mmh kwani nikoje jamani!?".akiuliza niram,huku akiachia tabasamu pana sana usoni mwake. "we mwenyewe ujioni kama upo tofauti leo?".aliongea hajra huku akapachika na swali. "hamna bwana mama jana alinifurahisha sana ".aliongea niram, huku akionyesha kuwa hakuwa akiongopa. "oooh!! Sawa".alijibu hajra, huku anageuka kujumuika na wengine. Niram yeye muda wote alikuwa ni kutabasamu alijishangaa hata kwanini, anajiona ni mwenye amani sana. Basi akachukua kitabu na kuanza kujisomea kwa umakini wa hali ya juu. **** Na huku shuleni kwa akina vicent mambo yalikuwa hatari. Maana suma alikuwa ana mchecheto wa hali ya juu halikuwa kwenye stori za kufa mtu. "basi jana niwaambie si somoe akanipigia bwana unajua nilichokifanya nikamchunia mi nilikuwa na miadi na hadija ye ananiletea kiwingu".akanyamaza kidogo kisha akaendelea. "basi jana nikakutana na hadija weeeeeh!!mtoto fundi mtoto anakata uno kama feniii we acha, yule mtoto balaaa".aliongea suma huku richard na vicent wakiwa wanamuangalia.ila rachard mbavu alikuwa hana kwa kicheko, huku vicent akiwa kutabasamu tu. "umemaliza? ".aliuliza vicent. "daah!huyu kashaanza ulokole wake".aliongea suma. "siyo ulokole uwo ni ushamba, we mwenyewe unaona sifa alafu ukigongewa dada yako unawaka kama pilipili ".aliongea vicent akionyeshwa kuchukizwa na rafiki yake huyo. "yani kwakuwa wewe upendo kwahiyo sisi tusiongee? "alihoji suma, huku kama alishaanza kupaniki hivi maana sura ilichenji. "yani hakuna kusema chochote hapo tabia zako azituvutiii unawazalilisha dada zetu tusikuambie".aliongeara Richard huku amemkazia macho bila chembe ya uoga. "mwambie huyoo huo ni ujinga broo".aliongea tena vicent huku anamtazama. "eeh basi yaishe ,tuongee mengine vipi yule mtoto wa Kihindi nipe stori basi".aliongea tena suma. "aisee suma ukoje mbona hupendeza kuwa mmbea".aliongea richard. "aaah! Kausha mi si nishabadili mada, nauliza mambo mengine".alijitetea suma huku akikaa vizuri kuambiwa yaliyojiri. "hivi unajua kwanini jana nilikukatia simu? Coz lisilokuhusu usilikingie kifua, kila mtu apambane na hali yake mambo ya mahusiano yangu hayakusu"aliongea vicent huku akinyanyuka,na kuanza kutoka nje, richard akamfuata, maana vicent alionyesha kuchukia. Suma akabaki katulia kanywea vibayaaaa, kama kamwagiwa maji.*** Mama vicent alikuwa sebuleni, alikuwa amekaa na mama wa makamo kama yeye kwakweli walionekana ,kama wapo kwenye maongezi mazito, maana vilisikika vicheko vya hali ya juu. Ila gafla wakaacha kucheka macho yote yakageuka kutazama........ Itaendelea. ... Read More
NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Sehemu ya kwanza(01) Naitwa Naomi Charles,katika maisha yangu sikuwahi kuamini haswa mambo yanayohusiana na nguvu za giza,kitu pekee nilichojua ni kwamba hivi vitu huwa vipo midomoni mwa watu tu,lakini kadri nilivyozidi kukua na kuingia katika maisha ya ndoa hapo ndipo nilipokuja kushuhudia kwa macho yangu kwamba haya mambo si ya kwenye midomo ya watu,bali yanafanyika na kuishi katika jamii mwa watu. Ndugu yangu amini nakuambia,kama kuna mwanga basi elewa hata giza lipo,na siku zote lengo la kuwepo mwanga ni kwasababu ya kukimbiza giza,kusingekuwa kuna ulinzi wa Mungu endapo kama mambo ya giza yasingekuwepo,nilichokuja kuamini ni kwamba siku zote uwepo wa mwanga wa Mungu wa wanadamu ni kwasababu ya kukimbiza giza linalowanyemelea wanadamu. Niliwahi kusoma vitabu na kama vile "Dollo,Mama yangu anakula nyama za watu" na kitabu cha "Jini lilivyonilelea mwanangu kimiujiza",waliandika na kusema hiyo ni mikasa ya ukweli lakini bado nilisema kwamba huu ni utashi tu wa utunzi wa watu. Ni miaka takribani 15 imepita tangu niamue kuachana na safari ya ndoa na John mume ambae nilipenda kumuita J...Alinioa ndoa ya halali kabisa,nakumbuka kipindi naonana nae alikuwa na miaka 40 wakati huo mimi nilikuwa na miaka 28,alikuwa ameniacha mbali ki umri lakini haikuwa sababu ya penzi letu kufa. Lakini kuna mambo mawili ambayo yalinishangaza kwake,alikuwa na umri mkubwa sana na majukumu ya kumuingizia pesa lakini cha ajabu bado alikuwa anaishi na Mama yake mzazi,cha pili ni kwamba aliniambia kwamba alipokuwa na umri wa miaka 30 alipataga mke ambae walipanga kuoana lakini aliamua tu kuishi nae nyumbani kwao kama mke wake,baada ya miaka mitano kupita John aliniambia mwanamke yule aliamua kukatish safari ya mahusiano na yeye,alibahatika kuzaa nae watoto wawili lakini wote walifariki. John hakuniambia ni sababu ipi iliyomfanya hasa aachane na yule mwanamke. Nakumbuka baada ya ndoa yangu mimi na John nilimshawishi na kumwambia kwamba mimi staki tuendelee kukaa pale na mama yake,tuondoke tukaanzishe maisha yetu na kama Mama tutaendelea kumjali maana si kwamba amezeeka kufikia kipimo cha kuweza kukaa nae na kumlea. John alinikubalia na kusema tutahama lakini tukae kae kwanza pale kwao wakati anajipanga. Miezi miwili ilipita tangu ndoa,hatimae nilishika ujauzito tukiwa bado tunakaa na palepale kwa Mama yake,ambae ni mama mkwe wangu,wote walifurahi baada ya kuona mimi nimekamata ujauzito. Wanasema kulea Mimba sio kazi bali kulea mtoto,miezi tisa si mingi kama ukiwa na subira,hatimae nilishusha mtoto wa kiume,furaha kubwa ilitawala baina ya familia zetu pamoja na mimi na mume wangu,ilikuwa ni furaha isiyo na kifani,wajirani na marafiki wa kutembelea hawakukosekana,taratibu kazi ya kulea mtoto ilianza. Hatimae miezi sita ilipita,mtoto alizidi kuchangamka,kilichobaki kinaniumiza ni kwamba kila nikimuambia mume wangu tuhame kwa mama yake tukaanzishe maisha yetu alikuwa ananijibu bado hajajipanga,likikuwa linaniumiza sana kichwa swala hili na nilijikuta nakata tamaa ya kuwa namuuliza mara kwa mara. Katika safari yangu ya ndoa sintakuja kuusahau usiku,usiku ambao vindumbwe ndumbwe na maajabu vilianza katika maisha yangu,nakumbuka nilikuwa nimelala mimi na mume wangu pamoja na mtoto wangu huyo wa miezi sita,ambae tulimpa jina la Grey,niliota tumezunguukwa na wanawake wanne mimi na mume wangu kwenye kitanda ambacho tulikuwa tumelala,wanawake hao walikuwa wamevalia shuka nyeupe ambazo wamejifunga rubega,nilitaka kupiga kelele lakini moja ya wanawake wale aliniziba mdomo kisha mmoja wao akanyoosha mikono yake na kumchukua mwanangu,nilikodoa macho na kutamani kupiga kelele lakini nilishindwa kwasababu nilishikwa,nilimkazia macho yule mwanamke aliemchukua mwanangu na ndipo niliposhikwa na bumbuwazi baada ya kugundua kwamba ni mama mkwe wangu.Alianza kuondoka na mwanangu huku akifuatiwa na wale wanawake watatu waliobaki,nilianza kupiga kelele za kumlilia mwanangu mpaka nalia huku nikiinuka kitandani kuwafuata,ghafla nilishtushwa na mume wangu huku akiniambia"we Naomi unaenda wapi huko na kupiga kelele na wakati mtoto huyu hapa,umepatwa na nini".Nilianza kuhema huku nikimwangalia mwanangu kama yuko salama,wakati huo nikawa namwaga jasho. Hazikupita sekunde nyingi,mwanangu alianza kulia huku akitoa povu jeupe mdomoni.Nilijikuta naanza kuchanganyikiwa akili.... JE NINI KITAENDELEA Je Grey atapona...? Je ndoto aliyoota Naomi inauhalisia wowote katika maisha yao..? tukutane sehemu ya pili kesho jioni panapo majaaliwa. Ruksa kushare,pia toa maoni yako ili watu wajifunze zaidi. NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE-(02) (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Ilipoishia. Hazikupita sekunde nyingi,mwanangu alianza kulia huku akitoa povu jeupe mdomoni.Nilijikuta naanza kuchanganyikiwa akili.... Sasa endelea... Nilijikuta nalia tu huku nikiita"Greeeey....Greeey",wakati huo sasa mume wangu nae ndipo alipomtazama mtoto wetu na kugundua kwamba mdomoni anatoka povu,nilimuona ameshtuka ghafla na kuinuka kutoka kitandani huku akiuliza"Naomi,mtoto amekuwa na nini,inamaana alikuwa anaumwa harafu hukuniambia mpaka amezidiwa hivi..?". Moja kwa moja Mume wangu alijua labda huenda nimemficha sikumwambia kama Grey alikuwa anaumwa kitu ambacho hapana. Grey alizidi kulia zaidi na wakati huo povu jeupe liliendelea kumtoka,wote tulikuwa tumechanganyikiwa hatujui tufanye nini,ndipo Mume wangu alienda sebureni na kuchukua maji haraka haraka kisha kumnywesha Grey,wakati anakunywa maji alitulia kwanza kulia lakini baada ya kumaliza tu kunywa maji kilio kiliendelea tena,nilimchukua na kuanza kumnyonyesha lakini alikataa ziwa,mara muda haukupita Bibi yake ambae ni mama yake na Mume wangu akawa ametugongea mlango"nyie kuna nini tena humu?,mbona mtoto analia hivi".Mume wangu alimfungulia mlango kisha akaingia ndani,alifika na kuanza kumtazama mtoto ambae alikuwa bado analia,mimi nilijikuta naacha kumtazama mwanangu badala yake nilianza kumtazama huyu mkwe wangu huku nikikumbuka nilichoota,nilitamani nijue zaidi hivi nilichoota kina uhalisia au ilikuwa ndoto tu. Ghafla nilimuona Mama mkwe wangu akimuweka mwanangu kitandani na kusema"huyu mtoto mbona ameumwa ghafla hivi kulikoni,au alianza toka mchana lakini hukutuambia,hebu mwangalieni na mwili wake ulivyobadilika na kuwa mwekundu"aliposema hivyo moyo ulinilipuka na kuacha kumtazama yeye kisha kumtazama mwanangu,sikuamini kuona mwili wa mwanangu aliekuwa mweupe umekuwa mwekundu rangi ya damu kabisa,kulia nako kukazidi,nilimchukua na kuanza kumbembeleza lakini haikusaidia kitu,matokeo yake na mimi nilijikuta naanza kulia huku nikisema"Baba Grey mwanangu anakufa,Mwanangu anakufaaa"Nililia sana wakati huo Baba Grey nae anawaza afanye nini. Mama mkwe alitoka ghafla kisha kuelekea sebureni,alikaa huko kwa dakika kadhaa kisha akarudi na maji kwenye kikombe akasema"Hebu mnyweshe haya maji nimeyachanganyia chumvi na sukari huenda yakamsaidia",kweli niliyachukua haraka haraka kisha nikamnywesha,kweli duniani kuna maajabu,kwani baada tu ya kumnywesha yale maji Grey aliacha kulia na kukubali kunyonya lakini mwili wake uliendelea kuwa mwekundu. Ilikuwa mida ya saa kumi usiku na ndipo Baba Grey alisema sasa tumpeleke Grey hospitali,kweli juhudi za kujiandaa kwenda hosipitali zilianza na hatimae safari ilitimia,tulifika kwenye Zahanati moja hivi iliyokuwa jirani na sisi na kumkuta daktari wa zamu,walitupokea kisha wakamuangalia mtoto kitendo kilichofanya daktari ashtuke baada ya kumuona ni jinsi gani Grey alivyokuwa mwekundu,harakati za vipimo na matibabu vilianza,juhudi zilifanyika na wapimaji wakati sisi tukiendelea kusubiri,majibu yalikuja ya kushangaza kwani tuliambiwa kwamba Grey hana ugonjwa wowote,hapo ndipo nilipoanza kuona kwamba huenda kweli kuna mauza uza. Tulipewa kitanda ili mwanangu alale kwa ajiri ya kukicha aendelee na matibabu zaidi,nilikaa na mwanangu pale kitandani wakati huo Baba Grey aliniacha huku akisema kwamba anaenda kutoa taarifa na kufanya mchakato wa chakula asubuhi ili aniletee.Nilibaki na mwanangu mle wodi ya watoto akiwa amelazwa,nilipomnyonyesha alikuwa akinyonya kama kawaida.lakini ghafla alianza kukataa ziwa,hali ya kulia ilizidi,alianza kulia toka saa kumi na moja na nusu ya alfajiri,wauguzi walikuja tena kwa ajiri ya vipimo lakini majibu ni yale yale kwamb hamna ugonjwa,walimpa dawa za kutuliza maumivu lakini hazikuzaa matunda.Hatimae ilipofika mida ya saa moja mwanangu Grey aliaga dunia...... JE NINI KITAENDELEA Je ni nini kipo nyuma ya pazia katika kifo hicho cha Grey. Usikose sehemu inayofuata kesho muda na wakati kama huu. NILIPOTEZA WATOTO WANGU WANNE-(03) (Mkasa wa maisha ya ndoa ya Naomi) Tulipoishia .... Hatimae ilipofika mida ya saa moja mwanangu Grey aliaga dunia...... Sasa endelea... Kilio changu kizito kilitawala ndani ya chumba kile katika wodi ya watoto,uchungu mzito wa uzazi na kuondokewa na mtoto ulitawala ndani ya moyo wangu,mawazo yangu yote nilijua na kufahamu kwamba mwanangu hajafa katika kifo salama,bali ameondolewa Duniani kwa kulazimishwa.Wauguzi na akina mama wengine ambao walikuwa wanauguza watoto zao walijitahidi sana kunituliza lakini ndio kama walikuwa wanazidisha maumivu moyoni mwangu. Mwisho mume wangu alikuja akiwa ameleta chai,alipofika kwenye chumba ambacho ndicho tulikuwa tumelazwa na mwanangu moja kwa moja alijua tayari mtoto wetu hayupo duniani,kwani alinikuta bado nalia lia japo sio kama mwanzo kwasababu Wamama wenzangu walikuwa wakijitahidi sana kunipoza na kunituliza,hapakuwa na kingine zaidi ya mchukua mtoto wetu Grey ambae alikuwa tayari ni marehemu kwa ajiri ya kuanza safari ya kurudi nyumbani kuweka msiba,tulichukua gari huku mimi njia nzima nikienda nalia. Grey alikuwa bado mdogo,alikuwa na miezi sita hivyo hata mazishi yake yalipangwa yafanyike siku hiyo hiyo,kila mara nilikuwa nauchungulia mwili wa mwanangu,sikuamini kama kweli amenitoka,nilikuwa nimemzoea,alikuwa na afya nzuri na mwenye kuchangamka,lakini kilichokuja kunitisha zaidi Grey baada ya kufariki mwili wake uliirudia hali yake kwa maana ya kwamba ile hali ya mwili kuwa mwekundu utafikiri kalowekwa kwenye damu ilitoweka.Nilibaki najiuliza huu ni ushirikina wa namna gani,sikutaka kumtuhumu mama mkwe moja kwa moja kwasababu sikuwa na ushahidi wowote,ndoto pekee huwezi ukaitumia kumuhukumu mtu,japo ilikuwa ni ndoto ya mashaka. Hatimae saa kumi ya jioni ilifika muda ambao ulipangwa kwa ajiri ya mwanangu Grey kuzikwa,watu mbalimbali,majirani ndugu na marafiki walikusanyika kwa ajiri ya kutoa heshima zao za mwisho kwa kichanga changu kile,pale nilijifunza kitu kimoja kwamba siku zote ukiishi na watu vizuri basi utakuwa mtu wa watu,mwanangu alikuwa ni mdogo na asiejulikana sana mbele za watu,lakini watu waliohudhuria walikuwa ni wengi kiasi kwamba ni msiba wa mtu mzima na umaarufu wake. Basi jioni iliisha kwa kumpumzisha mwanangu katika nyumba yake ya milele. Hatimae maisha ya upweke bila kulea bila kunyonyesha yalirudi,tulikaa wiki moja na baada ya hapo ndugu jamaa na marafiki waliokuwa wamekuja kututembelea nao waliondoka na hatimae tulibaki tukiishi watu wanne kama mwanzo yaani mimi,mume wangu,mama mkwe wangu pamoja na mdada wa kazi aliekuwa akiitwa Rhoda. Sikujiskia tena kuendelea kukaa na pale pamoja na mama mkwe wangu,hatimae niliamua kuanza kumsumbua mume wangu kwamba inatupasa tuhame pale tukaanzishe maisha yetu,lakini bado juhudi za mume wangu kujaribu kukataa ziliendelea,na mimi pia neno kuhama nililigeuza wimbo wa taifa mdomoni mwangu kila mara nilipokaa nae.Hatimae siku moja aliniambia kwamba amenielewa na atakaa kuongea na mama yake ili tuweze kuondoka na kwenda kuanzisha maisha yetu. Moja kati ya siku nyingine ambayo sintakuja kuisahau katika maisha yangu ni siku ambayo nilikuwa natokea chumbani naelekea sebureni,nilichungulia kidogo nikaona mtu na mama yake wamekaa wanaongea,yaani mume wangu na mama yake,kwakweli nilinyata taratibu taratibu mpaka karibu na ukuta wa kukatizia kuingia sebureni ili niweze kusikia wanazungumza nini,nilitamani sana kusikia wanazungumzia swala la mimi na mume wangu kuhama,nilikuwakuta wameshaanza mazungumzo ambayo sikujua wanaanzia wapi lakini tumbo lilikuja kushtuka baada ya kumsikia mama mkwe wangu akitoa kauli kwa mume wangu na kumwambia"Sawa kama mnataka kuhama hapa nyinyi hameni lakini ukumbuke kwamba bado una deni kubwa sana kwangu,bado hujakamilisha kile kinachohitajika kwahiyo wewe hama lakini ukae unajua kwamba deni langu ni lazma ulipe"Tumbo lilinikata na kuanza kujiuliza ni aina gani ya deni ambalo mime wangu anadaiwa na mama yake,nilitamani niendelee kusikia mazungumzo zaidi lakini nilimuona mama mkwe wangu akinyanyuka na kushika njia ya mlango kuelekea nje. JE NINI KITAENDELEA Je ni aina gani ya deni ambalo anadaiwa John na mama yake..? Usikose sehemu inayofuata hapa hapa kesho panapo majaaliwa. ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA SABA (17) UMRI ±18 ilipo ishia "nilibaki kimya kwa mda nikamwambia twende basi kwenye chumba cha sili tujue mbivu na mbichi"............. endelea sasa tulitoka na tukaelekea kwenye kile chumba lakini ile tunataka kufungua tu tulisikia mlio wa gari kwa nje tulighailisha na kila mmoja akafata mambo yake.alikuja mjomba peke yake na kuanza kuita Kenny........!!!! errycah ........!!!! we Kenny.......!!!!.njoeni hapa tulitoka kwa wasi wasi sana tukijua leo tume babwa tulipo fika sebureni tulikaa kwenye sofa moja huku mjomba akiwa anaenda huku analudi........ kuonyesha amechanyikiwa sana.tulimuuliza wote kwa pamoja "kuna nini kwani" mbona upo ivyo ? wakati anaendelea kujibu nikitupa macho chini na kuiona chupi ya errycah ikiwa pale chini niliogopa sana kama mjomba akioona najua nitalambwa shaba hapa hapa.nika sogeza mguu wangu na kuikanyaga ile chupi nikapeleka mkono na kuiweka mfukoni huku mjomba akiwa bado anazunguka zunguka tu. "baba kwani kuna nini"errycah alimuuliza "mwanangu hivi kwa nini ajali zinatuandama sana kwenye familia yetu wakati tunatoka hapa asubuhi tukiwa tunaelekea bank tulipata ajali mbaya sana namshukuru mungu wangu nimepona lakini lakini.... mjomba alishindwa kumalizia maneno mana aliangua kilio na kusema mama yako yani shangazi ambaye Jana nililala nae Vanessa husna na nasma walifariki pale pale " nikajikuta nalopoka kwa sauti what haiwezekani noooooo uncle ......!!!! niliamka na kumkazia macho mjomba itawezekanaje wote wafe na wewe upone nieleze imekuajeeee.... mjomba alijitetea kwa kusema nililuka na kuliacha gari kama hamuamuni twendeni mkalione gari lilivyo haribika tulitoka nje kwa speed ya ajabu na kukuta kweli gari lina hali mbaya.na pale pale mjomba alipokea simu kutoka monchwari ikimwambia njoo uchukue maiti zako. niliona kama sinema vile kuwapoteza mapacha wangu na kingine kilicho nishtua mjomba alituambia "nyie bakieni hapa nyumbani na Mimi nitashughuliki misiba yote.nitaondoka leo na Nita wataarifu Siku nayoludi" alipo maliza hapo aliingia ndani na bahasha na akaenda moja kwa moja kwenye kile chumba cha siri na kutoa ufunguo mwingine alikaa ndani kwa mda wa nusu SAA huku tukibaki na maswali mengi alipotoka tulishangaa kumuona akifunga mlango na kufuri jingine jipya. mission yetu ndo ika felia apo alipotoka hapo aliingia ndani na kuvaa suit nyekundu na kitu kama rozari yenye kichwa cha fuvu alituachia sh laki tano na kusema hiyo ya emergency nitawaingizia hela nyingine kesho acha nikamalize msiba mzito nilio nao. tuli mbembeleza sana twende wote lakini aligoma kata kata na kutuambia "msibani kuna mambo mengi bakini wanangu kenny utalichukua gari na kulipeleka gereji iliyo kwepo karibu na horena hotel ukifika pale liache ntakuja kulipa nikija"alitoka na kuchukua gari lake jigine nyekundu na kuondoka kwa speed kubwa tulibaki kama vifaranga vivilivyo nyeshewa na mvua.." ilikua hari ngumu sana kwa errycah ambae aliogopa sana na kuniambia "sikia Kenny tufanye mpango tuondoke mana haya unayo yaona ndio yaliyo wakuta wazazi wako mama yangu na watu wengine tulio kua tunaishi nao hapa.next tutakua ni sisi tuibe hela tuondoke zetu." tukiwa bado pale nje alikuja mlinzi na kutuambia nawaombeni mumuwahi kumuua baba yenu kabla haja wamaliza nyie ukweli wote upo chumba namba #966 kazi kwenu aliondoka yule mlizi huku akiwa anatuikisa kichwa kuashiria anatuonea huruma sana. kitendo kile kilimuuogopesha sana errycah nilimbembeleza kwa kumkumbatia na kuingia nae ndani nika mpeleka chumbani kwake lakini Ali endelea kuogopa kitendo kilicho nifanya nibaki nae chumbani.kama unavyo jua tena hasi na chanya zikikutana lazime itokee shoti errycah alianza kutoa miguno ambayo ilinipa hamasa ya kuvunja amri ya sita. nikaona isiwe tabu acha tupunguze stress kidogo nikaanza kutembeza ulimi wangu kwenye mwili wake na hapo ndipo akaongeza ile miguno "raha,,,,oooh,,unantekeeenyaaaaa,,,,aaaaah,,,ooooiiiiiiiiiiissssshhhhhhhhh,,,aaaah,," jinsi ulimi wangu ulivyokuwa unakuja karibu na kitumbua chake """mmmmmmmh,,,aaaaaaaaaaaah,,ooooooooooh,,,,aaaaaaaaaaiiiiiiiiiissssssssssss,,,,ulimi wa wangu bado haukufika kwenye kitumbua lakini ulikuwa katikati ya muunganiko wa mapaja na kitumbua,yaani pembeni kidogo ya mashavu ya kitumbua,errycah alikuwa akichezesha miguu yake huku akijiminyaminya matako yake pale kitandani Taratibu ulimi mpana wenye joto uliingia rasmi kwenye kitumbua laini cha binti huyo aliyekuwa ameshikilia mito kama ana ugomvi nayo kwa utamualiouhisi ,,,,,mamaaaaaaaaaaaaa,,,,,uuuuuuuuuuuuuuuuuhh,,,,,,binamuuuuu,,,nakupendaaa,,,aaaaah,,,,kennny,,,,,aaaah,,,ooooiiiiiiiiiiiiiiiiiissssssssssssssssssssssssaaaaaaaaaaaaah,,,mtoto wa watu alikuwa hajielewi kwani kiarage chake nilivyo kinyonya kiufundi hasa kiasi kwamba alihamisha mikono yake kichwani kwangu na kandamizia kwenye kitumbua chake,, niliingiza ulimi wake mpaka ndani kabisa ya kitumbua huku akimsugua vyema kiarage chake,,,,kuna muda nilikuwa nakikipigapiga kwa haraka kiarage hicho na kumuongezea msisimko wa ajabu mtoto wa watu aliyekuwa mara aume midomo yake,mara anishikeshike kichwa ,mara avute mashuka,mara arusherushe miguu yake kama nataka kufa,,,, lakini sikumwacha niliendelea kumnyonya kiarage chake huku mkono mmoja ukiwa kwenye kitovu mwingine kwenye Chuchu ya kulia ukiendelea kumshikashika taratibu,,,binti alianz akuzungusha kiuno akiweka vidole vyake mdomoni kwa utamu errycah baada ya kunyonywa kwa muda,alianza kuhisi mwili unamsisimka kwa raha,hapo kelele ziliongezeka za mautamu ambapo niligundua hilo,nilichokifanya,haraka nilishika dudu langu lililosimama kama kurubembe la ukwaju,kisha nikalichomeka kwenye kitumbua cha binti huyo kilichobana hasa,nikaanza kumsugua,,,jamani kuna raha mwanamke anapokojoa akiwa ahajaingizwa dudu lakini akikojoa kutokana na msuguano wa dudu ndio inakuwa raha zaidi,basi nilimsugua na dudu langu lililokuwa linatereza kwa kuzama lote na kutoka haraka ,,,,mmmmmmh,,,ooooooooooooooooohh,,,,,amamaaaaaaaaaa,,,,binamu,,,,yanguuu,,,aaaagh tia yoteee,,ooooh,,,,aaaasssssssssssssiiiiiiiiiiiiiiiii,,,errycah alilalamika kwa utamu huku akinikumbatia kisawasawa,,,,,,,,,,,,,, nilikua namsugua binti huyo kama sitaki ambapo binti wa watu alikuwa hoi huku naye akizungusha kiuno kama yondo sista,,,,aaah,,,aaaah,.,,,mmmh,,,oooouuuuhhhiiiiiiiiiissssssssssssssssssshhhhhhhh,, nilijitahidi kumkunjakunja binti huyo kwa kumgeuza kulia kushoto,mara miguu juu chini ili kumsugua ipasavyo,hatimaye na mimi nikafika mshindo nika kojoaaa lakini cha ajabu alinidaka kwa nguvu na kuniambia "usichomoe mwagia humu humu kama mimba tutalea mana ukoo wenyewe unapukutika kila siku. kauli ile ilinifanya kuzinduka kutoka katika mawazo ya kishetani ya uasherati na ngono na kukumbuka kua Mimi ni mseminari na nahitajika kua padre.nika mwambia errycah inabidi tutubu dhambi tulizo Fanya mana maisha yetu yatakuja kua mabaya zaidi huko mbele cha msingi hebu tukamilishe utaratibu twende kwenye kile chumba cha siri tukakifungue....... "tukafungue bila ufunguo hukuona baba alivyo badilisha kufuri" alinijibu errycah duuu .... kwaiyo tutafanyeje sasa ? inabidi tuendelee kumsubiri baba akiludi tumwibie ufunguo ambao anatembea nao kwenye chupi... "sasa kwenye chupi yake sisi tutaipataje" inabidi nilale nae tena ili tupate ufunguo alinijibu errycah hauoni aibu ya kulala na baba ako tena ni laana kubwa sana mbele ya mwenyezi mungu "kama kulaaniwa tumesha laaniwa dhambi tulizo zifanya hata shetani azifikii" tukaingia kuoga tulivyo maliza tuliingia jikoni kupika tulivyo kua tunafanya kama mume na mke vile jumba lote letu nikakumbuka huu ndo mda wa kumcheki yule dereva nikachukua simu yangu na kuanza kuitafuta namba yake lakini sikuiona nikawa sina cha kufanya ilibidi nimsubili mpaka yeye anipigie mana namba yangu anayo.errycah alianza kiuchokozi chake tena pale pale sebureni nikaona huyu anataka anizooee nikavikumbuka vile vidonge alivyo nipa nasma ambaye sasa naambiwa ni marehemu lakini bado sijathibitisha kama kweli.nikapiga vitatu ili nimle mpaka anikome. nikaanza kumchezea errycah mpaka akalegea kabisa ile nataka kuweka dude langu kwenye kitumbua chake ambacho kimesha kolea mafuta tulishtushwa na honi ya gari kutupa macho vizuri tuligundua ni mjomba basi nikapandisha suruali yangu juu na errycah akajifunga kanga yake huku nyege zikiwa bado zimempanda. tulitoka nje kwenda kumpokea mjomba nilipo tupa macho yangu mbele nikakumbuka ule usemi wa wahenga unao sema milima haikutani ila binadamu tunakutana huwezi kuamini nilimwona mjomba akiwa ameongozana na yule mschana ambaye nilimkosa kosa kule Rwanda.......... je unataka kujua alikua ni nani usikose muendelezo wa simulizi hii nzuri cha kufanya ni Ku like page tetu share na marafiki zako ... ************** CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA NANE (18) UMRI ±18 ilipoishia sehemu iliyo pita mjomba alimsindikiza manka mpaka chumbani kwao kisha nikamwona mjomba akiingia chumba cha mwanae errycah nikasema huko lazima mtu aliwe mana nilipo mwangalia mjomba kwenye bukta yake niliona mashine imesimama Dede..... endelea sasa niliingia zangu chumbani huku nikiwa na nyege nikajisema kwaiyo leo kidume sipati show ya kulala nayo nikaingia bafuni nikajimwagia maji na kujitupa kindani. ********** *upande wa mjomba alipo fika mlangoni aliingia moja kwa moja ndani na kumkuta errycah yupo bafuni anaoga na yeye akavua nguo zake na kumfata humo humo bafuni.errycah alikuja kushangaa lakini teali Alisha chelewa mjomba aliwahi kushika chuchu za errycah ambapo ndipo kwenye udhaifu wake. Amini usiamini kila mtu ana udhaifu wake na hamna kitu kizuri kama ukifahamu udhaifu wa mwenzako upo wapi mfano wengine ukiwashika tu mkono basi unapiga mzigo yani unakua umemmaliza kila kitu.basi errycah alilegea na kuanza kutoa miguno "mmmmmmh.....!!! babaaaa....... niacheeee......!!! jamaniiiii.......!!! dad....!!!!* *ilikua ni sentensi fupi sana kuitamka lakini alishindwa kuitamka errycah alilegea kiasi cha kumpa baba yake nafasi ya kutalii mwili wa mwanae.taratibu wakajikuta wote wapo kitandani,mjomba hakutaka kujionyesha kuwa yeye ni mdhaifu, alianza kumuandaa mwanae kwa busu, na lips zao zikakutana wakaanza kubadilishana mate.huku errycah akiwa amenogewa kabisa na utamu wa mjomba ambaye ni baba yake mzazi.* muda huo huo kila mtu alikua yupo kama alivyo zaliwa mzuka ukampanda mjomba sasa akaanza kunyonya chuchu za errycah.huku errycah akiwa ana papasa kitumbua chake huku akilalamika kwa kimahaba "yees.yeees daddy .........yees dadyy...ooooh..aaaashshs ........ooooooppss endeleaaaaaa utamuuuuu jamani daddy........kille....m...e,," mzee alizidi kushuka mapaka mapaja ya errycah na kuyalamba kwa kwa ufundi wa hali ya juu, Ulimi na lips za mjomba, uliendelea kutalii kwenye mapaja ya mwanae na pembeni ya kitumbua cha errycah huku errycah akiendelea kutoa miguno kwa raha ya ajabu aliyo isikia aaaaaahh,,,,,,,,,,,, babaaaa nakupend...a endeleeeeaaa............ ooooooohhh........dadie........ naomba...... unitieeeeee.........!!!! kwa ustad wa hali ya juu mjomba alizama chumvini kwa errycah errycah alionekana kuchanganyikiwa na zile raha za mjomba pale kitandani akawa anasema.. "dady hapo hapo usitoe......mmmmmhh. ooooooffff .........jamani......... dady......kwanini hukuja.....toka mapema .........love you daddy..... aliendelea Ku bwabwaja maneno ya ajabu ajabu huku utamu ukiendelea kumkolea.... mjomba alipo ona errycah ameshalainika akamsogelea usoni kisha akam'busu busu shingoni uku kidole chake cha kati kipo kwenye kitumbua kinapima oil kama ipo ya kutosha. mjomba alisimama kisha akakaa style alio ona inafaa vizuri akaingiza nanilii....... Kwenye kitumbua cha mwanae na hapo doz ikaanza, errycah alionekana kuogopa sana mashine ya baba yake, siku hiyo yani alikuwa anashtuka shtuka wakati wa gemu mpaka mjomba akamshangaa na kumuuliza vipi mbona hivyo errycah hakujibu kitu zaidi ya kusikilizi kitu kikiwa kina zama na kutoka. kitumbua cha errycah kilikuwa na joto sana pia alikuwa na maji mengi kilicho pelekea mashine kupita kwa urahisi na kusababisha mjomba kutoa mguno kwamba yupo ukingoni kumaliza safari yake kwa binti yake ooooooooohhhh......!!! mmmmmmmmhhh........ na hapo hapo akafunga gori lake LA kwanza na kumlalia binti yake wakati huo huo errycah na yeye alikua ndo anafika mlimani babaaaaaaaaaa mwaaaagiiiiiaaaaa pembeniiiiiii alikua teali amesha chelewa wazungu walikua wamesha kimbilia ndani.......... "ivi je nikipata mimba" "mimba haiwezi kutokea na kama ikitokea kwa utamu ulio nao siwezi kukuacha mwanangu" aliongea mjomba uku akimvuta errycah akaja juu yake...... ISOME YOTE KWA SH 2000 0658247651 ______________********________ mda huo mjomba amelala kitandani, errycah alishika mashine ya babayake akajihukumu nayo yeye mwenyewe ila kadiri walivyo kuwa wana binjuana ikaanza kitumbua cha errycah kilianza kulainika na kutanuka kitendo kilicho sababisha dudu lote kuzama ndani.japo ni kitendo cha kibaya walichokua wanafanya lakini waliweka tofauti zao pemeni na kupeana raha......mmmmmmmhhh...... ashhhiiii. tamuuuuu........ ilikua ni miguno ya errrycah..... ************* CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TISA (19) & 20 ilipoishia sehemu iliyo pita mda huo mjomba amelala kitandani, errycah alishika mashine ya babayake akajihukumu nayo yeye mwenyewe ila kadiri walivyo kuwa wana binjuana ikaanza kitumbua cha errycah kilianza kulainika na kutanuka kitendo kilicho sababisha dudu lote kuzama ndani.japo ni kitendo cha kibaya walichokua wanafanya lakini waliweka tofauti zao pembeni na kupeana raha......mmmmmmmhhh...... ashhhiiii. tamuuuuu........ ilikua ni miguno ya errrycah*..... endelea sasa............... tukiludi upande wangu chumbani nilihisi kuna mtu ameingia chumbani niliamka na kuwasha taa nilishangaa kumuona manka akiwa na chupi tu nikasema yes leo natoa bikra kwa mara ya kwanza nikamsogelea na tukaanza kuchèzeana kwa muda mrefu ukafika ule wakati nikashka rungu na kuanza kulipeleka kwenye kitumbua cha manka. Nilishangaa kumuona manka akinigeuzia myuma yaani tigo wengine wanaita nyama ya bata na akakalia yote mpaka ikazama bila kikwazo kisha mtoto wa kirwanda alianza kukata mauno kama feni na huku nikishangaa kuona kwa mara ya kwanza nakula tigo. Niligugumia utamu ule nilioupata kutoka kwa manka huku nikiendlea kushikiria kiuno wakati manka anajikunja kunja kama kambare aliyenasa kwenye mtego.kwa akili zangu za kawaida ningekujua kama kuna kufanya ule usodoma nisingeweza kukubali ila kwakuwa nimechomekewa ngoja nitafute Baada ya round ya kwanza tulipumzika pembeni huku nikijawa na maswali mengi juu ya kale kamchezo haramu ka kupeana tigo.tena ukiangalia sina uzoefu.nikaamua kumlopokea. manka kwa nini unanipa tigo badala ya voda we unataka nikupe voda alafu mjomba wako akijua si ataniua mana nime mwambia Nina bikra ? sasa sikia una nipenda au ? nakupenda tena sana tu alinijibu manka basi nipe mbele na sio nyuma jamani siwezi........!!! naogopa kuuliwa mana mjomba wako kanionyesha bastola kama sina bikra.... nikasema huyu nisipo jiongeza sipati kitu nikamvuta mpaka kifuani tukawa tunatazama ila cha ajabu alijipindua na kunilalia kwa mgongo, niliendlea kumchezea chuchu zake naye akakamata mtambo akaupaka mate na kuanza kuhusugua kwa kiganja chake ndo akaamsha madudu yangu nilimgeuza akakaa dog style manka ananenepa makalio kumbe linaliwa tigo ili kulinda hapo baadae aonekane alijitunza sasa mimi kwa hili nataka nimtibulie malengo yake maana najua kama kuolewa ataolewa tu na mjomba. nikabinua zaidi kiuno nikaiona imekaa poa nikapitisha moja kwa moja kwenye kitumbua chake mpaka ikazama yote mtoto alilia sana mpaka nikamuonea huruma alivyolia ila nikasugua kwa nguvu mpaka damu zilianza. Nilijifanya kama sisikii kile kilio alichokuwa anakitoa manka na zile damu zilizokuwa zinamtoka japo hazikuwa nying ila kwangu havikunipa uoga wowote maana nasikiaga ni kawaida sana japo sio wote wanao tokwa na damu. Nilikuwa na alama za kucha niliyo pigwa hadi tendo halikuwa na raha tena maana nilitumia nguvu zaidi na huku manka hakiwa hataki ila maji ndo nimeshavulia nguo niliendlea kusugua mpaka mwenyewe akaishiwa nguvu akawa analia tu maana kama bikra ndo imeshatoka tena. Niliendelea mpaka nikasikia wazungu wanakuja nilishndwa kujizuia nikamwaga humo humo ooooooooppps aaaaaaaahh.......shitiiiiiiiiiiii mchezo ukaishia hapo nikajilaza pembeni manka alionyesha alikuwa na hasira na mimi hakutaka kunitazama zaidi ya kulia na kunilaumu na kuniambia "sasa nilikua Nina siri nzito ya kukupa sasa sikuambii" nilimbembeleza sana mpaka akalopoka yule dereva unaye mtegemea akupe siri ya mambo yalivyo ........tume mkuta mwanza akiokota makopo... "yani dereva kawa chizi" ndio mana yake...... TUNAUNGANISHA offer lipia sh 1000 uisome yote mwanzo mpaka mwisho SEHEMU YA 20 endelea sasa TUKILUDI UPANDE WA MJOMBA NA ERRYCAH.... mjomba akawa anampapasa kifuani huku vidole vyake vikilowa majimaji yanotoka ukeni kwa errycah. alimchezea hadi akalegea kama maiti inayosubiri kuzikwa akaushika mdudu wake na kuanza kuusugua juu ya kinena errycah alijihisi yupo mbinguni kwa raha alizo kuwa ana zipataa. "ba....ba......ba.shiiiii ...utamuuuuuu nakupendaaaa ....iiiiishiiiii"alilia kwa utamu "aishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii baba unanimaliza kabisaaaa yanii raha kama hizi sijawai zipata alisema kwa taratibu masikioni mwa mjomba " "Aaaaaa....aiii iii a ...aaaah..aaiii .uuuuu..uuuu"jamani raha alizokua anazipata hata azielezeki aliemdelea kulia kwa sauti ya utamu mjomba akaanza kuingiza muhogo wake taratiiibu kwenye kitumbua na errycah akatanua mapaja yake ili muhogo uingie vizuri "aaaaaaaaaah..mhmm..aassss aaaasssshhhiii "jamani kale kamchezo ni katamu sana mjomba akambinua tena na kumweka pembe la ng`ombe na akaanza kupiga nje ndani " mhff..uuu...mhmhff uu uussshhhhhii " mjomba alishusha pumzi taratiiibu kwa utamu alio upata kutoka kwa mwanae errycah. akambinua na kumkunja miguu yake na kuiweka kichwani huku aki piga nje ndani naye errycah hakubaki nyuma alimzungushia kiuno kimadoido huku akilalama chinichini kwa utamu wa raha alizokuwa anazipata. ..... aka mkatikia mauno na kuanza kumgongeshea mjomba nnje ndani hadi akamsikia mjomba akilia kwa utamuu " aaaaaaaaaaiiiiiiiiiii. Liiiii ...errycahaaaaaaaaaaaa iiiiiiiiiiiiaaaiiii"akamwaga mchuzi mzito wa motoooo kwenye kitumbua cha bintiyake "aaaaaaaaah " akashusha pumzi na kutoka mwilini mwa errycah. errycah akavuta nguo yake na kujifunika kwa aibu ya kitendo kile walichofanya na baba yake mzazi.nae mjomba akachukua bukta yake haraka lakini errycah aliwai kwenda kuishika ile bukta na kuchomoa ule ufunguo wa siri.akamfata mjomba na kumwambia daddy asante sana kwa raha ulizo nipa sijawai zipata japo tumefanya dhambi lakini asante mana nilikua sijapata mtu wa kunikuna kiasi cha kukujoa mara 4 mfululizo " aliongea hayo huku akiwa ana mvisha mjomba bukta walienda bafuni wakaoga utafikiri mtu na mkewake kumbe mtu na bintie walipomaliza waliingia kitandani na kuuchapa usingizi hadi asubuhiii.. tukija upande wangu manka alinipa plan akaniambia mjomba wako sio mtu mzuri kabisa mana tulivyo kutana tu na yule dereva pale pale dereva akageuka na kua kichaa kitendo kile kilinipa maswali mengi kingine alikuja Rwanda kutafuta binti ambaye hajawai Ku sex kabisa alitangaza na kuweka day kubwa sana la pesa ndipo nilipo amua kukubali ili akinipa izo pesa nikawasaidie wazazi ambao wapo hospitalini. tuliongea mengi na nikampa ushauli jinsi ya kufanya siku watakayo lala na mjomba nika mwambia akianza kuingiza dude lake inabidi u act kama kwel wewe bikra usijisahau mana akijua wwe sio bikra lazima akuondoe duniani hapa. alinisikia na kunipongeza kwa ushauli nilio mpa tukaingia bafuni tukaoga tulipo maliza ilibidi yeye aludi chumbani kwa mjomba ili tusije tukashtukuwa alikua ana jikaza sana mana dozi niliuo MPA ilimfanya achechemee kama kilema vile. nilifika kitandani na kuwaza sana juu ya matendo Yale huku nikiwaza jinsi ya kurudi shirikani ili niendelee na wito wangu wa kuja kua padri kusema ukweli nilitamani sana kua padri lakini vishawishi ndo vinanisonga nilipitiwa na usingizi na nikaja kushtuka ni asubuhi. nika sikia hodii ikibishwa chumbani kwangu Kenny,,,,,,,, Kenny fungua mlango ilikua ni sauti ya mjomba.nilipata wasiwasi labda pengine amejua ujinga nilio fanya na manka nikaamka na kufungua mjomba aliingia akiwa ameshika bastola yake na hapo hapo nikaanza kutetemeka alisogea mpaka karibu yangu na kuniambia..... usikose sehemu ya 21 like page yetu sasa offer malizia simulizi hiii kwa vipande 12 vilivyo baki kwa shilling 1000 tu pia utaungwa kwenye group letu...... ********** ... Read More
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU! Nilikua mgeni katika ile nyumba, ingwa haikua mara yangu ya kwanza kufanya kazi za ndani lakini bado nilikua ninaogopa ogopa Dada (Mama mwenye nyumba) alionyesha mkali sana kwani ile kuingia tu alishanipa mashariti elfu kidogo. Nilishaambiwa sehemu ambazo siruhusiwi kukanyaga, vitu ambavyo siruhusiwi kugusa na majina ya kuwaita wote mule ndani. “Sitaki unite Mama unanizeesha unafikiri mimi naweza kuzaa kinyago kama wewe!” Hiyo ndiyo ilikua kauli yangu ya kwanza kukaribishwa nayo mara tu baada ya kumsalimia na kumuita Mama. Kweli hakua mtu mzima, lakini kwakua katika nyumba niliyoondoka nilikua nimezoea kumuita bosi wangu Mama nilijua ni heshima nayeye atapenda kuitwa hivyo. “Huko ulikotoka kwanini ulifukuzwa?” Aliniuliza kwa hasira, sijui hata nilimfanya nini lakini alionekana na kisirani chake tu. “Sikufukuzwa dada niliamua tu kuondoka, walikua …” “Eeeeh! Mimi si shoga yako kuanza kuniambia matatizo yako, nyamaza nishakuambia sitaki kukusikia, nenda jikoni huko! Unajua kupiga au niwakufundishwa kila kitu!” Alinikatisha kabla ya kujielezea kisha kuendelea kufoka. Nilimuambia najua akaniambia niingie jikoni kuanza kazi. Ulikua mchana kwani niliondokea kwa Shangazi yangu (si Shangazi kweli ni mtu ambaye alinilete tu mjini). Niliingia jikoni na kukuta lundo la vyombo, sikua na haja ya kuelekezwa, nilishakua House Girl mzoefu hivyo nilijua nini cha kufanya. Nilianza kuosha na ulipofika wakati wa kupika nilimuuliza tunapika nini. Nashukuru safari hii alinijibu vizuri hivyo nilichukua kile nilichelelekezwa na kumpikia. Kutokana na kelele za nyumba niliyotoka na uzungu wa Bosi wangu wa zamani nilikua najua kupiga si kitoto, ile milenda milenda yangu ya kijijini niliiacha huko huko hivyo nilipompikia tu na kuweka chakula mezani, alikifurahia ingawa hakusema chochote lakini hakulalamika, hiyo ilikua dalili njema kwangu. Katika nyumba niliyotoka baada ya kuwatengea chakula nilikua nasubiri mpaka wamalize kula, hii ni kwasababu kama kikitokea kitu cha kutumwa basi niwepo kuwasikiliza. Huwa nasimama pembeni kama wale madhouse girl wa kwenye TV kusubiria mpaka mabosi wangu wamalize kula ndiyo huingia jikoni na kujitengea chakula changu. Nilishazoea hivyo na kwakua ilikua ndiyo nyumba yangu ya kwanza nilijua labda mjini kote ndiyo hali ilivyo. “Unasubiri nini hapo si uende jikoni huko ukajipikie au wewe huli?” Aliniuliza kwa hasira, nilitaka kumjibu kumuelezea nilivyozoea lakini hakutaka kusikiliza, jicho alilonikata niliondoka kama chizi nikikimbia. Nilifika jikoni na kupakua chakula, nilikaa chini ili kula. Lakini kabla hata sijafikisha tonge mdomoni alikuja, alikua kasimama pembeni yangu. “Ndiyo unafanya nini?” Aliniuliza, macho yake yalikua katika chakula. “Nakula ma…dada…” Kidogo nisahau na kumuita Mama. “Pumbavu unakula nini? Yaani unakula chakula ambacho ninakula mimi! Hivi una akili kweli unataka kuwa sawa na mimi, nikulipe elfu thelathini na chakula ule kama mimi!” Aliongea kwa hasira, alikipiga teke chakula kisha kutoka, alirudi na ndoo ya dagaa na kunirushia. “Kuna ndoo ya dona iko hapo, pika ugali wako ule. “Aliongea kwa hasira huku anaondoka, alienda kwa sekunde kadhaa na kurejea. “Upike mwingi kuna mwenzako anatoka shule atakuja kula na wewe!” aliondoka na kuniacha pale. Nilianza kuchambua Dagaa ambao wengi walikua wameoza, unakutana na wadudu kabisa. “Haya mapya! Nimeruka mkojo nimekanyaga mavi!” Niliendelea kujiongelesha huku nikichambua dagaa ambao walishaanza kunitia kichefuchefu. Huko nilikotoka nilikua nanyanyaswa lakini angalau nilikua nakula chakula cha mabosi wangu hata kama nilikua nalia jikoni! *** Jioni jioni hivi kama saa kumi na nusu watoto wake walikuja, walikua watatu. Mmoja mkubwa kuliko wenzake Jackline na wengine wadogo Joan na John, hawa walilingana kwani walikua mapacha. Baada ya kubadilisha nguo niliambiwa niwatengee chakula, nilifanya hivyo kwa kuweka sahani tatu mezani. Lakini Jackline ambaye alikua na miaka kumi hakukaa mezani, alikuja jikoni ambapo nilikua naandaa chakula cha usiku. “Wewe ndiyo Dada mpya, shikamoo…” Alinisalimia tena kwani alishanisalimia wakati nawafungulia geti ili waingie. Niliitikia kwa wasiwasi kwani nilishaambiwa nisiongee na wanae hivyo niliogopa hata kumjibu salamu. “Chakula changu kiko wapi?” Aliuliza, huku akikaguakagua vyombo. “Chakula si nimeshawatengea sebuleni?” Niliuliza kwa mshangao, hasira zilinipanda kidogo kwani nilishajua kuwa kumbe mbali na kudili na Bosi kichomi basi ningedili na mtoto mdogo kama yule ambaye ana kisirani. “Baba amesafiri mimi siruhusiwi kula sebuleni nnatakiwa kula na wewe!” Sikumuelewa niliuliza mata mbilimbili ndipo kwa utulivu kabisa alinieleza kuwa yule hakuwa Mama yake mzazi bali ni Mama wa kambo hivyo kila Baba yake anaposafiri yeye haruhusiwi kula chakula sebuleni na wengine mpaka anaporejea. Chakula anachokula ni cha Dada wa kazi. Kusema kweli hilo lilikua jingine jipya, labda kwakua nilikua sijafanya kazi katika nyumba ambayo Bosi ana mtoto wa kambo. Niliwaza kile chakula ambacho nilipika kwaajili yangu, nikawaza wale dagaa kisha nikamuangalia yule mtoto na kumuambia. “Jack, si unaitwa Jack… “Nilimuuliza. “Ndiyo Dada!” Alijibu kwa upole. “Huwezi kula kile chakula, hata mimi kimenishinda, hembu ngoja nikutengee kingine, mbona kiko kingi tu watamwaga hawa!” Niliongea huku nikimtafutia sahani ili kumpakulia chakula lakini alikataa katakata, aliniambia nitapigwa sana kama nikila chakula kingine. Alinionea huruma mimi pia nakuniambia hata Dada mwingine alifukuzwa kazi kwakua alikua ananipakulia chakula cha wengine. Alionyesha kuogopa mpaka na mimi nikaogopa kwa namna alivyokua anaogopa. “Huyu ni mwanamke wa namna gani mbona yuko hivi!” Niliwaza nikimuangalia Jackline, alikua kachoka lakini alijitahidi kuonyesha yuko sawa, mara kwa mara alikua akitabasamu huku akijilazimisha kucheka. Aliniongelesha ongelesha kutaka urafiki, kweli nilimuonea huruma machozi yalinilengalenga. Kwangu ule ulikua ni mtihani mpya ambao sikujua nitaumalizaje. *** Siku mbili baadaye Baba mwenye nyumba alikuja, huyu yeye niliambiwa nimuite Baba na nilifanya hivyo bila kuuliza maswali. Alikua ni kijana tu wa makamo au sijui niseme mtu mzima mwenye muonekano wa kijana. Alikua mchangamfu na alipokuja kila mtu alikua na furaha, si Jackline au watoto wake wengine nyumba ilikua kama imemwagiwa gunia la furaha. Hakukua na kupika mara mbilimbili, hata mimi niliambiwa nikae kwenye meza kubwa, hakukua na kutumwa tumwa kwani Baba akiwepo wakati wa kula ni kula na wote alituchukulia kama wanae. Ilikua ni kama unaishi katika nyumba nyingine tofauti kabisa, Dada alikua mchangamfu akiongea kwa kucheka mara kadhaa akimkumbatia Jackline. Hata mimi alinitambulisha kwa bashasha akinisifia kwa ufanyaji kazi wangu. Kweli nilishangaa “Mbona sielewe, huyu Mama yako wa kambo mbona kama anabadilika sana kama si yeye?” Nilimuuliza Jackline, alijiibaiba kukaa jikoni wakati wenzake wakiangalia TV, Baba yake akiwepo alikua haruhusiwi kufanya kazi yoyote. “Nimeshamzoea, anaigiza tu Baba akiwepo?” “Kwahiyo Baba yako hajui chochote?” “Hapana, nilishamuambiaga zamani lakini hakuniamini, niliishia kupigwa tu. Nilimuambia Mama kwanza aliposema kwa Baba akaambiwa nina wivu hivyo kukatazwa hata kuja kuniona, ilileta ugomvi mkubwa siku hizi kila nikilalamika naambiwa nimetumwa na Mama kuja kumfitinisha Mama Mdogo…” “Mama yako wewe yuko wapi? Kwanini huendi kuishi na Mama yako?” Yuko kijijini, waligombanaga na Baba zamani, hawakuoana, Baba alinichukua nikiwa mdogo na kunileta hapa, mimi sijui mambo hayo ila Mama yangu naongea naye tu kwenye simu mara moja moja lakini simkumbuki hata sura, hata sijui mimi mambo yao.” Aliongea kana kwamba ni mtu mzima, alionyesha kupitia mambo mengi na hakukua na mtu wa kumsikiliza. Nilipokuja kufuatilia nilikuja kugundua kuwa Mama yake na Baba yake hawakua wapenzi, ni watu tu walikutana na mimba ilipotokea basi Mama yake alivyokua akidai matumizi kipindi hicho ashaoa aliamua kumnyang’anya mtoto kwa nguvu. Kwao ni Iringa hivyo alimnyang’anya na kumchukua kipindi akiwa na miaka minne na tangu wakati huo alikua akiwasiliana naye kwa simu tu. Ana Mama yeka mkubwa, Dada wa Mama yake ambaye yuko Dar lakini naye haruhusiwi kumuona kwani ndiyo alimuambia kuhusu manyanyaso na kumuambia Mama yake ambaye alipoongea na Baba yake ukawa ugomvi mkubwa. Sikua na la kuongea zaidi ya kunyamaza tu kwa namna alivyokua akiongea ni kama alishakata tamaa ya maisha muda mrefu, sikujua ni kwa namna gani naweza kumsaidia kwani hata mimi nilikua na matatizo yangu. Usiku wakati wa kulala sikuolazwa stoo kama kawaida, hapana, niliambiwa natakiwa kulala katika chumba kimoja na Jack. Ulikua ni utaratibu wao, Baba akiwapo na mimi nakua mtoto na lala chumba kimoja na Jack. Usiku baada tu ya kuingia Jack alizima taa, nilishangaa kwani hata kitandani nilikua sijafika, nilimuuliza kwanini anazima, nikihisi labda ni Mama yake hapendi. Nilisogea na kuwasha, alishtuka, ni kitu amcho hakukitegemea. Alikua anavua nguo ili kuvaa nguo za kulalia, nilipowasha taa tu alianza kujificha kama vile anaona aibu. Nilishangaa kwani mimi ni mwanamke mwenzake, “Dada zima taa, zima taaaa!” Alipiga kelele, alionyesha kushtuka akijificha, lakini badala ya kuficha hata sehemu za siri alikua anaficha mgongo wake. Nilitaka kuzima lakini kabla ya kufanya hivyo macho yangu yalitua katika mgongo wake, ulikua kama ramani ya Tanzania, ulijaa makovu mengi ya fimbo, mengine mabichi kabisa kama vidonda. Sikuzima, sasa nilijua sababu ya yeye kuzima taa hakutaka nione makovu. Nilisogeza macho mpaka kwenye mapaja na sehemu za siri huko ndipo kuliharibika zaidi. Hapo ndiyo nilijua ni kwanini mara kwa mara huwa anakunja uso hata akiegemea sehemu au kugusa mapaja yake. Nilimsogelea na kumkalisha chini, alianza kulia kabla ya kusema chochote. “Kwanini humuambii Baba yako, kwanini humuonyeshi haya makovu? Akiona atakuamini!” Niliongea kwa hasira, sikua na muda pale lakini kwa upendo aliokua nao yule Baba sidhani kama angeweza kumuona mwanae katika hali ile na kunyamaza kimya. “Namuambia Baba yako, hii kazi ishanishinda, ngoje nifukuzwe lakini niondoke na huyu Sherani!” Niliongea huku nikinyuka kwenda kumgongea Baba yake, tayari walishaingia chumbani kulala. Jack alinifuata akilia kunibemebeleza ili nisiende akiogopa kuwa atamuua lakini sikujali, nilijua ni uoga ambao mimi kama mtu mzima nisingeweza kuuruhusu. Ushahidi alikua nao na hakukua na haja ya kuendelea kuteseka hata siku moja katika nyumba ya Baba yake. Alinisihi sana lakini sikumsikiliza, nilitoka mpaka sebuleni, alinifuata akiwa vilevile uchi kasahau kuvaa nguo, analia, nilielekea mpaka mlangoni kwa wazazi wake. Bado alikua analia, huku akiongea kwa kunong’ona. “Dada Raya, Dada Raya usimuambie, usiongee chochote, mimi niko sawa niliumia Shuleni, sio Mama aliyenipiga, ni ukorofi wangu tu!” Alipiga kelele kuniomba nisiseme. ITAENDELEA… (Hiki ni kisa cha kweli ingawa majina yaliyotumika hapa hayahusiani na wahusika. Hii ni sehemu tu ya simulizi kutoka kwa wadada wakazi “House girls” ambazo nitakua nikiwaletea. Je unadhani kama Raya atagonga mlango na kumshitaki Mama wa kambo, je Baba Jack akiambiwa atachukua hatua gani, kesho si mbali sana tukutane kwa sehemu ya pili hapahapa kwenye ukurasa huu…” ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: