Home → simulizi
→ [10/3, 04:22] +255 714 435 449: No 07
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA.. wakati suzana anamalizia kujibu sms yamwisho na mlango ukafunguliwa, akaingia Sophia akiwa ameongozana na wanaume wawili, "hooo! karibu mwaya, naona umewai" aliwakaribisha Suzana "weee! mbele ya mawe, ebu! tufanye yetu kabla muda haujaenda, siunajuwa leo weekend inaendelea" baada yakusalimiana, bila kusaahau kuwakagua sehemu zao za mbele za suluali Suzana akatafuta account moja kwenye kwenye computer, niile aliyo kuwa ameiandaa na kuanza taratibu za kuamishia fedha, ENDELEA......
Huku nako, Edgar baada ya kulala sana, akaamka saa nne, nakujiandaa kisha akaelekea chuoni, ambako alikaa kwamuda, huku akijaribu kuwaza namna yakupata fedha, zitakazo mfanya aweze kutumia kwa kula, pamoja na kupata japo mwanamke mmoja, wakumpunguzia hamu, akiwa amekaa ndani ya darasa moja peke yake, akiwaza ili nalile ikiwa pamoja nakusubiri simu, toka kwa dada yake aliekuwa amemtumia ujumbe wa, tafadhari nipigie kwa dada yake mkubwa, akiamini kuwa kutokana na shemeji yake, kuwa nakazi nzuri, angeweza kumsaidia fedha kidogo za matumizi, zitakazo msaidia kwenye mipango yake, japo alihiifahamu vyema tabia ya dada zake, yakutokusaidia wazazi wala yeye mwenyewe, ila alijipa moyo, kuwa kwasababu kwa sasa anasoma mbali, nakilakitu kinitaji fedha, ange msaidia "mambo anko?, zatoka jana" alistushwa na sauti yakike, sauti iliyo mfanya ageuke nakumtazama muongeaji, naam alikuwa ni mschana mrembo kiasi, alievalia kinguo cha kubana kwelikweli wenyewe wanaita tait, iliyoishia kwenye magoti nakuonyesha jinsi alivyo jaliwa kuwa nakaumbo potabo, juu alivalia tishert lililo ishia kwenye mapaja, nakumfanya apendeze kidogo, bint huyu hakuwa mgeni machoni mwake, ni binti mmoja kati ya wale wawili, ambao walikuwa wakitazama video yangono jana usiku, akiwa amenyoosha mkono kwa Edgar, akiitaji wasalimiane kwa kushikana mikono, naye akampa wakwake "poa tu!" alijibu kwa kifupi Edgar "naitwa Nancy nipo mwaka wapili, mwenzangu unaitwa nani?" alijitambulisha yule mwanamke “naitwa Edgar nipo mwaka watatu" kiukweli Edgar aliweza kumtazama vizuri binti huyu, ni mrembo mwenye kuvutia nakutamanisha “Edgar unaonekana ni mgeni hapa chuo?” aliuliza yule binti Nancy, huku usowake umepambwa kwa tabasamu laini, “yah! Nina week moja tu hapa” hapo Edgar alishuudia tabasamu likizidi kuchanua usoni kwa Nancy "ok! me nipo singo, kama hutojari unaweza kunitowa dinner, kabla ya darasa la usiku, ilituongee zaidi" alisema Nancy na kuondoka zake akimwacha Edgar ana msindikiza kwa macho, “mh dinner? Mimi mwenyewe dinner” alijisemea Edgar, licha yakuwa kweli alikuwa anaitaji sana mwanamke, hapo Edgar hakuchukuwa muda mrefu akaamua akatafute sehemu ambayo anaweza kupata chai, maana njaa ilianza kushambulia, akiwa njiani aliwaza nivipi amnge weza kutoka na yule binti, maana ana wajuwa waschana wa chuo, kwa siku chache, alizokaa hapa chuo, aliona jinsi wanavyo penda kula vinono sasa bajeti yake yeye buku mbili jero itawezekana vipi, wakati akiwaza hayo akasikia simu yake ikiita alipo itazama alikuwa ni dada yeke,***** Wakati huo suzana naye alikuwa amesha maliza kufanya mchongo wake na wakina Sophia, wakagawana chao, kila mmoja yeye na Sophia, akiondoka na million kumi, kasha wakaagana na kilammoja akashika njia yake, Suzan aliaga, ofisini kuwa anaenda kumwona mgonjwa, hospital ya Tumbi kibaha, kisha akatoka nakuelekea kwenye maegesho ya magari, ya wafanyakzi wabenk, akiwa anatembea nje ya jingo la bank, pembezoni mwa mauwa yaliyo pandwa kwa lengo la kupendezesha eneo lile, mala akamwona mjusi, kiukweli Suzan ni mwoga sana wa wadudu kama hawa, alijikuta akijaribu kuruka kwa uoga, kiasi cha kuji stua mguu, kitendo kilicho sababisha, hashindwe kukanyaga vizuri, nakuyumbakidogo na kujigonga, kwenye nguzo moja ya maegesho yamagari, kitendo hicho kili mfanya ajisikie maumivu kwenye paja alilo jigonga kwenye nguzo, na sehemu ya kisigino, iliyo stuka mwanzo, basi akajikongoja mpaka kwenye gari lake, nakuingia ndani, safari ikaanza, huku maumivu akiendelea kuya sikia,****
Hukunako baada ya kuiona kuwa dada yake anapiga simu, Edgar akasogea pembeni ya barabara nakuipokea simu "shikamoo dada" alisalimia baada tu! yakupokea "ebu! ongea haraka unanimalizia vocha" alijibiwa kwasauti yaukari na dada yake "mh! dada lakini ata salamu hutaki" alisema Edgar lakini dada yake akaja juu “salamu kitugani, huna lolote zaidi yakutaka kuomba ela, ungekuwa na heshima husinge fukuzwa upadre" hapo simu ikakatwa, Edgar aliuzunika sana, moyo ulimuuma, nusu atowe machozi kwa uchungu lakini akajikaza kiume, ***** wakati huo huo Suzana naye ndiyo alikuwa anaingia kibamba, akitokea mbezi, lakini licha yakuwa na vimaumivu kwenye kisigino, na pajani, bado nia yakeilikuwa ni kumfanyia mzee Mashaka utundu , ambao utamfanya ape dudu kiuakika, pia njiani aliendelea nakamchezo kake, kakutazama nyeti za wanaume, kama zimetuna, kamaalivyoona kwa mpangaji wake, lakini hakufanikiwa, “au kunakitu anaficha yule” swali la kijinga, hapo Suzan alijicheka kidogo, wakati anakatisha njia ya kuelekea magengeni, akamwona kijana mpangaji wake Edgar akiwa mwenye mawazo mengi anakuja upande wake, moyo ulimlipuka, wakati huo nayeye alisha fikia karibu na bucha la nyama yang'ombe, kwa Ras, nisikuchoshe kwa hadithindefu, tuonane jioni, ilikujuwa kilicho endelea, maana Suzan amepania kuliamsha dude la mzee Mashaka, je ataweza na vipi kuhusu Edgar,
[10/3, 04:23] +255 714 435 449: ILIPOISHIA SEHEMU YA SABA akamwona kijana mpangaji wake Edgar, akiwa mwenye mawazo mengi, anakuja upande wake, moyo ulimlipuka, wakati huo nayeye alisha fikia karibu na bucha la nyama yang'ombe, kwenye bucha la Ras SASA ENDELEA…nakusimama pembeni yake, muuzabucha Ras alisha juwa tabia ya Suzana ya kununua maitaji akiwa ndani ya gari, alipo mwona akatoka buchani na kumfwata kwenye gari” ngapi leo dada yangu?” Ras aliuliza akionyesha kufahamiana na Suzan "naomba kilo mbili, steck" aliagiza nyama nyingi akiwa namaana kesho hasingeweza kutoka, akamkabidhi na fedha, baada ya hapo akamtazama tena Edgar sasa, aliwona akikoswakoswa na pikipiki (bodaboda) huku mnwndesha pikipiki akiachia tusi la nguoni, lililo muusisha mama yake Edgar moja kwamoja, japo pikipiki ile iliyo kuwa mwedo wakasi ilimfwata pembeni kabisa ya barabara, huku yule mwendesha pikipiki akimwachia Edgar tusi zito la nguoni, bado pikipiki ilikuwa ikija kwa kasi usawa wa gari lake, huku yule mwendesha pikipiki, akijaribu kushika brek, kujiokoa hasiligonge gari la Suzan, ambalolilikuwa limepaki pembeni kabisa ya barabara, nakufanya pikipiki isote nakwenda kusimama atua chache mbele ya gari lake, alafu yule mwendesha pikipiki akashuka akiwa amekunja sura kwahasira na kumfwata Suzana, "hivi we malaya unalingia hili gari lakuongwa, unapaki hovyo hovyo njiani " kauli hiyo ili muumiza sana Suzana, lakini hakuwa na lakufanya akabaki kimya, huku watu wengine, wakisogea nakuanza kumlaumu yule kijana kwa lugha chafu, aliyomtolea Suzan, naukizingatia yeye ndie alievunja sheria ya kuendesha mwendo wakasi, "hapana bwana, hawa wenyemagari wanatunyanyasa sana, alafu magari yenyewe, wanayapata baada yakugawa kum...." kauli hiyo hakuweza kuimalizia, kwani watu wote akiwepo Suzana, walishangaa kumwona yule kijana akiwa juu analea kama gunia lililo shushwa toka kwenye loli, nakjibwaga chini bwaa, Suzan alimwona yule mwendesha pikipiki, akijiinua araka nakumfwata mtu alie mpiga mtama, lakini kilamtu alishuhudia yule kijana mwendesha pikipiki akipokea ngumi nzito ikituwa kwenye shavu, kasha ziki fwatia nyingine sita mfululizo zilizo tuwa usoni,nakumfanya ayumbe na kujibwaga chini kama anaugua kifafa, hapo ndipo walipo weza kushuhudia, akikandamizwa na teke tumbo kama mtu anae kanyanga nnge au mende, kisha akafwatiwa na ngumi mfurulizo za usoni zisizo na idadi, zilizo zidi kuuchafua uso wa kijana yule mkosa heshima, zilizo sababisha damu isambae usoni kwa yule mwendesha pikipiki, hakuna alie amulia zaidi watu walishangilia, mpigaji alipo lizika akamuacha nakuondoka zake, wakati anaondoka ndipo Suzana alipo gutuka na kutaka kumwita, maana alisha mjuwa kuwa ni mpangaji wake mpya, na kitu kilicho mchanganya Zaidi, niuwezo wakijana yule, hakuamini kijana yule mpole anaweza kumfumua yule mwendesha pikipiki namna hile, hakuwa na lakufanya, akamsindikiza kwa macho mpaka alipo potea machoni kwake, akirudi alikotokea upande wa chuoni kwao, hapo Suzana akanunua maitaji yake, huku akisikia jinsi watu pale wakimsifia yule kijana kwakumshikisha adabu, mwendesha pikipiki mjinga, nakabla hajaondoka alishuhudia polisi wakifika pale na kumchukuwa yule kijana, ni baada yakuhoji kilicho tokea, muda mfupi baadae Suzana alikuwa amesha fika nyumbani kwake, akabadirisha nguo zake, nakuvaa nguo nyepesi ambazo upenda kuvaa akiwa mwenyewe nyumbani, au anapokuwa na mpenzi wake mzee Mashaka, ni kigauni chepesi kifupi kinachoishia juu ya magoti, katikati ya mapaja, nakusababisha mapaja yake ma nene na makalio yake makubwa kuonekana vizuri, tena leo hakuvaa nguo za ndani, kuanzia sidilia mpaka chupi, kitu licho sababisha kila kitendo alicho fanya kiliutikisa mwili wote, kuanzia hips makalio na matiti yake makubwa, hapo akaingia jikoni , akanza kupika, ******saa sita kasolo mzee Mashaka alikuwa amesha malizana na mzee Haule, baada ya hapo akaelekea mbezi pale pale full dose, nia ikiwa moja tu! kwenda kumtafuta yule binti alie mnyonya dudu jana usiku, alifika full dose nakukaa kwenye meza moja iliyo jificha, akaagiza bia, baada yakunywa bia mbili, akampigia simu yule binti ambae alimsevu kwajina la WAJANA, alipata hewani na wakakubaliana aje mala moja pale full dose, haikuchukuwa mda mrefu bint wa jana alikuwa amesha wasili, kwanza aliingia kwambwembwe, alimpiga busu lamdomo, mzee Mshaka baadaya hapo, akakaa nakuagiza bia huku akiagiza aitiwe mtu wa jikoni, baada ya muda mfupi bia ilikuwa imesha letwa na muuza chips alisha agizwa, walitumia saa limoja, kabla mzee Mashaka ajarudisha mawazo kwa Suzana, akijiuliza kwamba atakuwa na shidagani, hakuwaza juu ya ngono, maana haikuwai kutokea Suzana akadai dudu ata sikumoja, mawazo hayo alikuwa akiyawaza toka anatoka nyumbani, hivyo alishajiandaa kwalolote, ikiwa ni kubeba kiasi cha shilingi milioni saba, akijuwa pengine Suzana alikuwa nashida ya fedha, waliendelea kupiga pombe, muda wote binti huyu Wajana, aliakikisha anaegesha mkono wake juu ya mapaja ya mzee Mashaka, nakuchezea dudu ikiwa ndani ya suluali, ilikuakikisha ina simama, nakweli akaishuhudia ikisimama, hapo kazi ikamwa moja tu! kuzidi kumkoleza na kuakikisha mambo hayaharibiki kama jana, walikaa hapo kwamuda mrefu wakinywa pombe, ndipo mzee Mashaka alipo pokea sms toka kwa Suzana akimkumbusha kuwa anamwitaji mchana ule, hapo mzee Mashaka akamwambia binti Wajana, amsindikize mala moja kibamba kunamtu anataka akamwone, safari ikaanza, nusu saa baadae nissan safari lilikuwa limesha simama nje ya nyumba ya Suzana mahips namzee Mashaka yupo ndani ya nyumba hiyo, ni baada ya kumwacha binti wajana kwenye bar moja ya jilani, akimwambia amsubiri kidogo, huku ndani ya nyumba ya Suzana, suzana alikuwa amejilaza kwenye kochi huku kiguochake kifupi kikihacha wazi sehemu kubwa ya mapaja ya Suzana, ni baada yakumaliza kupika, na kuandaa chakula mezani, tayari kula na mzee mashaka, lakini mambo hayakuwa mazuri, licha ya Suzana kuonyesha dalilizote zakuitaji dudu, lakini mzee Mashaka hakuwaonyesha kuitaji kitumbua kwa muda huo, huku akijifanya ana araka sana, alimsogelea Suzana ambae alikuwa amelala juu ya kochi huku kile kinguo chake cha mtego, kikihacha mautamu njenje, “niambie mama, una shida gani?” aliuliza mzee Mashaka, akiwa bado amesimama, karibu na kochi alilo lala Suzana, “baba si ukae kwanza baba” aliongea Suzana, akimshika suluali mzee Mashaka na kumvutia kwake, “hapana mama, hujuwe nime mwacha mzee Haule ananisubiri, wacha nikamalizane nae,” aliongea mzee Mashaka, huku akijitoa kwa Suzana, kasha akafungua mkoba wake wa mkononi, (begi) akatowa maburungutu saba ya noti za elfu kumi kumi, nakuweka kwenye meza, kisha akamwambia Suzana "najuwa hauna tabia yakuniomba fedha, atakama unashida, ebu chukuwa hii itakusaidia, mimi nawai maana mzee Haule ananingoja" aliongea mzee Mashaka huku akijiandaa kuondoka "asante baby" aliitikia Suzana akijifanya kutabasamu, wakati moyoni alichukia sana, hapo Suzana aliinuka na kusindikiza mzee wake ambapo aliishia mlangoni akimsindikiza kwa macho, mpaka mzee Mashaka alipoondoka na gari lake, suzana akarudi kwenye kochi na kujilaza, huku roho ikimuuma sana, lakini dakika chache baadae akasikia hodi, mlango uligongwa na sauti ya kiume ikiita, “hoodiii” akaisikiliza kwa makini ikaita tena akaigunduwa kuwa ni ya Edgar, mpangaji wake mpya, akainuka araka nakuufwata mlango nakuufungua, nikweli alikuwa Edgar, licha ya kuonyesha kuwa kijana huyu alikuwa amechoka na uo husio na Amani, lakini alipo shusha machoyake chini kwenye suluali yajinsi usawa wa zip, suzan alishuhudia, alama ya mtuno ikionyesha sehemu ambayo dudu imelala, hapo Suzana alijikuta akiuma midomo ya chini, “karibu ndani, nani vileeee”..
HAYA SASA NINI KITATOKE
[10/3, 04:22] +255 714 435 449: No 07 ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA.. wakati suzana anamalizia kujibu sms yamwisho na mlango ukafunguliwa, akaingia Sophia akiwa ameongozana na wanaume wawili, "hooo! karibu mwaya, naona umewai" aliwakaribisha Suzana "weee! mbele ya mawe, ebu! tufanye yetu kabla muda haujaenda, siunajuwa leo weekend inaendelea" baada yakusalimiana, bila kusaahau kuwakagua sehemu zao za mbele za suluali Suzana akatafuta account moja kwenye kwenye computer, niile aliyo kuwa ameiandaa na kuanza taratibu za kuamishia fedha, ENDELEA...... Huku nako, Edgar baada ya kulala sana, akaamka saa nne, nakujiandaa kisha akaelekea chuoni, ambako alikaa kwamuda, huku akijaribu kuwaza namna yakupata fedha, zitakazo mfanya aweze kutumia kwa kula, pamoja na kupata japo mwanamke mmoja, wakumpunguzia hamu, akiwa amekaa ndani ya darasa moja peke yake, akiwaza ili nalile ikiwa pamoja nakusubiri simu, toka kwa dada yake aliekuwa amemtumia ujumbe wa, tafadhari nipigie kwa dada yake mkubwa, akiamini kuwa kutokana na shemeji yake, kuwa nakazi nzuri, angeweza kumsaidia fedha kidogo za matumizi, zitakazo msaidia kwenye mipango yake, japo alihiifahamu vyema tabia ya dada zake, yakutokusaidia wazazi wala yeye mwenyewe, ila alijipa moyo, kuwa kwasababu kwa sasa anasoma mbali, nakilakitu kinitaji fedha, ange msaidia "mambo anko?, zatoka jana" alistushwa na sauti yakike, sauti iliyo mfanya ageuke nakumtazama muongeaji, naam alikuwa ni mschana mrembo kiasi, alievalia kinguo cha kubana kwelikweli wenyewe wanaita tait, iliyoishia kwenye magoti nakuonyesha jinsi alivyo jaliwa kuwa nakaumbo potabo, juu alivalia tishert lililo ishia kwenye mapaja, nakumfanya apendeze kidogo, bint huyu hakuwa mgeni machoni mwake, ni binti mmoja kati ya wale wawili, ambao walikuwa wakitazama video yangono jana usiku, akiwa amenyoosha mkono kwa Edgar, akiitaji wasalimiane kwa kushikana mikono, naye akampa wakwake "poa tu!" alijibu kwa kifupi Edgar "naitwa Nancy nipo mwaka wapili, mwenzangu unaitwa nani?" alijitambulisha yule mwanamke “naitwa Edgar nipo mwaka watatu" kiukweli Edgar aliweza kumtazama vizuri binti huyu, ni mrembo mwenye kuvutia nakutamanisha “Edgar unaonekana ni mgeni hapa chuo?” aliuliza yule binti Nancy, huku usowake umepambwa kwa tabasamu laini, “yah! Nina week moja tu hapa” hapo Edgar alishuudia tabasamu likizidi kuchanua usoni kwa Nancy "ok! me nipo singo, kama hutojari unaweza kunitowa dinner, kabla ya darasa la usiku, ilituongee zaidi" alisema Nancy na kuondoka zake akimwacha Edgar ana msindikiza kwa macho, “mh dinner? Mimi mwenyewe dinner” alijisemea Edgar, licha yakuwa kweli alikuwa anaitaji sana mwanamke, hapo Edgar hakuchukuwa muda mrefu akaamua akatafute sehemu ambayo anaweza kupata chai, maana njaa ilianza kushambulia, akiwa njiani aliwaza nivipi amnge weza kutoka na yule binti, maana ana wajuwa waschana wa chuo, kwa siku chache, alizokaa hapa chuo, aliona jinsi wanavyo penda kula vinono sasa bajeti yake yeye buku mbili jero itawezekana vipi, wakati akiwaza hayo akasikia simu yake ikiita alipo itazama alikuwa ni dada yeke,***** Wakati huo suzana naye alikuwa amesha maliza kufanya mchongo wake na wakina Sophia, wakagawana chao, kila mmoja yeye na Sophia, akiondoka na million kumi, kasha wakaagana na kilammoja akashika njia yake, Suzan aliaga, ofisini kuwa anaenda kumwona mgonjwa, hospital ya Tumbi kibaha, kisha akatoka nakuelekea kwenye maegesho ya magari, ya wafanyakzi wabenk, akiwa anatembea nje ya jingo la bank, pembezoni mwa mauwa yaliyo pandwa kwa lengo la kupendezesha eneo lile, mala akamwona mjusi, kiukweli Suzan ni mwoga sana wa wadudu kama hawa, alijikuta akijaribu kuruka kwa uoga, kiasi cha kuji stua mguu, kitendo kilicho sababisha, hashindwe kukanyaga vizuri, nakuyumbakidogo na kujigonga, kwenye nguzo moja ya maegesho yamagari, kitendo hicho kili mfanya ajisikie maumivu kwenye paja alilo jigonga kwenye nguzo, na sehemu ya kisigino, iliyo stuka mwanzo, basi akajikongoja mpaka kwenye gari lake, nakuingia ndani, safari ikaanza, huku maumivu akiendelea kuya sikia,**** Hukunako baada ya kuiona kuwa dada yake anapiga simu, Edgar akasogea pembeni ya barabara nakuipokea simu "shikamoo dada" alisalimia baada tu! yakupokea "ebu! ongea haraka unanimalizia vocha" alijibiwa kwasauti yaukari na dada yake "mh! dada lakini ata salamu hutaki" alisema Edgar lakini dada yake akaja juu “salamu kitugani, huna lolote zaidi yakutaka kuomba ela, ungekuwa na heshima husinge fukuzwa upadre" hapo simu ikakatwa, Edgar aliuzunika sana, moyo ulimuuma, nusu atowe machozi kwa uchungu lakini akajikaza kiume, ***** wakati huo huo Suzana naye ndiyo alikuwa anaingia kibamba, akitokea mbezi, lakini licha yakuwa na vimaumivu kwenye kisigino, na pajani, bado nia yakeilikuwa ni kumfanyia mzee Mashaka utundu , ambao utamfanya ape dudu kiuakika, pia njiani aliendelea nakamchezo kake, kakutazama nyeti za wanaume, kama zimetuna, kamaalivyoona kwa mpangaji wake, lakini hakufanikiwa, “au kunakitu anaficha yule” swali la kijinga, hapo Suzan alijicheka kidogo, wakati anakatisha njia ya kuelekea magengeni, akamwona kijana mpangaji wake Edgar akiwa mwenye mawazo mengi anakuja upande wake, moyo ulimlipuka, wakati huo nayeye alisha fikia karibu na bucha la nyama yang'ombe, kwa Ras, nisikuchoshe kwa hadithindefu, tuonane jioni, ilikujuwa kilicho endelea, maana Suzan amepania kuliamsha dude la mzee Mashaka, je ataweza na vipi kuhusu Edgar, [10/3, 04:23] +255 714 435 449: ILIPOISHIA SEHEMU YA SABA akamwona kijana mpangaji wake Edgar, akiwa mwenye mawazo mengi, anakuja upande wake, moyo ulimlipuka, wakati huo nayeye alisha fikia karibu na bucha la nyama yang'ombe, kwenye bucha la Ras SASA ENDELEA…nakusimama pembeni yake, muuzabucha Ras alisha juwa tabia ya Suzana ya kununua maitaji akiwa ndani ya gari, alipo mwona akatoka buchani na kumfwata kwenye gari” ngapi leo dada yangu?” Ras aliuliza akionyesha kufahamiana na Suzan "naomba kilo mbili, steck" aliagiza nyama nyingi akiwa namaana kesho hasingeweza kutoka, akamkabidhi na fedha, baada ya hapo akamtazama tena Edgar sasa, aliwona akikoswakoswa na pikipiki (bodaboda) huku mnwndesha pikipiki akiachia tusi la nguoni, lililo muusisha mama yake Edgar moja kwamoja, japo pikipiki ile iliyo kuwa mwedo wakasi ilimfwata pembeni kabisa ya barabara, huku yule mwendesha pikipiki akimwachia Edgar tusi zito la nguoni, bado pikipiki ilikuwa ikija kwa kasi usawa wa gari lake, huku yule mwendesha pikipiki, akijaribu kushika brek, kujiokoa hasiligonge gari la Suzan, ambalolilikuwa limepaki pembeni kabisa ya barabara, nakufanya pikipiki isote nakwenda kusimama atua chache mbele ya gari lake, alafu yule mwendesha pikipiki akashuka akiwa amekunja sura kwahasira na kumfwata Suzana, "hivi we malaya unalingia hili gari lakuongwa, unapaki hovyo hovyo njiani " kauli hiyo ili muumiza sana Suzana, lakini hakuwa na lakufanya akabaki kimya, huku watu wengine, wakisogea nakuanza kumlaumu yule kijana kwa lugha chafu, aliyomtolea Suzan, naukizingatia yeye ndie alievunja sheria ya kuendesha mwendo wakasi, "hapana bwana, hawa wenyemagari wanatunyanyasa sana, alafu magari yenyewe, wanayapata baada yakugawa kum...." kauli hiyo hakuweza kuimalizia, kwani watu wote akiwepo Suzana, walishangaa kumwona yule kijana akiwa juu analea kama gunia lililo shushwa toka kwenye loli, nakjibwaga chini bwaa, Suzan alimwona yule mwendesha pikipiki, akijiinua araka nakumfwata mtu alie mpiga mtama, lakini kilamtu alishuhudia yule kijana mwendesha pikipiki akipokea ngumi nzito ikituwa kwenye shavu, kasha ziki fwatia nyingine sita mfululizo zilizo tuwa usoni,nakumfanya ayumbe na kujibwaga chini kama anaugua kifafa, hapo ndipo walipo weza kushuhudia, akikandamizwa na teke tumbo kama mtu anae kanyanga nnge au mende, kisha akafwatiwa na ngumi mfurulizo za usoni zisizo na idadi, zilizo zidi kuuchafua uso wa kijana yule mkosa heshima, zilizo sababisha damu isambae usoni kwa yule mwendesha pikipiki, hakuna alie amulia zaidi watu walishangilia, mpigaji alipo lizika akamuacha nakuondoka zake, wakati anaondoka ndipo Suzana alipo gutuka na kutaka kumwita, maana alisha mjuwa kuwa ni mpangaji wake mpya, na kitu kilicho mchanganya Zaidi, niuwezo wakijana yule, hakuamini kijana yule mpole anaweza kumfumua yule mwendesha pikipiki namna hile, hakuwa na lakufanya, akamsindikiza kwa macho mpaka alipo potea machoni kwake, akirudi alikotokea upande wa chuoni kwao, hapo Suzana akanunua maitaji yake, huku akisikia jinsi watu pale wakimsifia yule kijana kwakumshikisha adabu, mwendesha pikipiki mjinga, nakabla hajaondoka alishuhudia polisi wakifika pale na kumchukuwa yule kijana, ni baada yakuhoji kilicho tokea, muda mfupi baadae Suzana alikuwa amesha fika nyumbani kwake, akabadirisha nguo zake, nakuvaa nguo nyepesi ambazo upenda kuvaa akiwa mwenyewe nyumbani, au anapokuwa na mpenzi wake mzee Mashaka, ni kigauni chepesi kifupi kinachoishia juu ya magoti, katikati ya mapaja, nakusababisha mapaja yake ma nene na makalio yake makubwa kuonekana vizuri, tena leo hakuvaa nguo za ndani, kuanzia sidilia mpaka chupi, kitu licho sababisha kila kitendo alicho fanya kiliutikisa mwili wote, kuanzia hips makalio na matiti yake makubwa, hapo akaingia jikoni , akanza kupika, ******saa sita kasolo mzee Mashaka alikuwa amesha malizana na mzee Haule, baada ya hapo akaelekea mbezi pale pale full dose, nia ikiwa moja tu! kwenda kumtafuta yule binti alie mnyonya dudu jana usiku, alifika full dose nakukaa kwenye meza moja iliyo jificha, akaagiza bia, baada yakunywa bia mbili, akampigia simu yule binti ambae alimsevu kwajina la WAJANA, alipata hewani na wakakubaliana aje mala moja pale full dose, haikuchukuwa mda mrefu bint wa jana alikuwa amesha wasili, kwanza aliingia kwambwembwe, alimpiga busu lamdomo, mzee Mshaka baadaya hapo, akakaa nakuagiza bia huku akiagiza aitiwe mtu wa jikoni, baada ya muda mfupi bia ilikuwa imesha letwa na muuza chips alisha agizwa, walitumia saa limoja, kabla mzee Mashaka ajarudisha mawazo kwa Suzana, akijiuliza kwamba atakuwa na shidagani, hakuwaza juu ya ngono, maana haikuwai kutokea Suzana akadai dudu ata sikumoja, mawazo hayo alikuwa akiyawaza toka anatoka nyumbani, hivyo alishajiandaa kwalolote, ikiwa ni kubeba kiasi cha shilingi milioni saba, akijuwa pengine Suzana alikuwa nashida ya fedha, waliendelea kupiga pombe, muda wote binti huyu Wajana, aliakikisha anaegesha mkono wake juu ya mapaja ya mzee Mashaka, nakuchezea dudu ikiwa ndani ya suluali, ilikuakikisha ina simama, nakweli akaishuhudia ikisimama, hapo kazi ikamwa moja tu! kuzidi kumkoleza na kuakikisha mambo hayaharibiki kama jana, walikaa hapo kwamuda mrefu wakinywa pombe, ndipo mzee Mashaka alipo pokea sms toka kwa Suzana akimkumbusha kuwa anamwitaji mchana ule, hapo mzee Mashaka akamwambia binti Wajana, amsindikize mala moja kibamba kunamtu anataka akamwone, safari ikaanza, nusu saa baadae nissan safari lilikuwa limesha simama nje ya nyumba ya Suzana mahips namzee Mashaka yupo ndani ya nyumba hiyo, ni baada ya kumwacha binti wajana kwenye bar moja ya jilani, akimwambia amsubiri kidogo, huku ndani ya nyumba ya Suzana, suzana alikuwa amejilaza kwenye kochi huku kiguochake kifupi kikihacha wazi sehemu kubwa ya mapaja ya Suzana, ni baada yakumaliza kupika, na kuandaa chakula mezani, tayari kula na mzee mashaka, lakini mambo hayakuwa mazuri, licha ya Suzana kuonyesha dalilizote zakuitaji dudu, lakini mzee Mashaka hakuwaonyesha kuitaji kitumbua kwa muda huo, huku akijifanya ana araka sana, alimsogelea Suzana ambae alikuwa amelala juu ya kochi huku kile kinguo chake cha mtego, kikihacha mautamu njenje, “niambie mama, una shida gani?” aliuliza mzee Mashaka, akiwa bado amesimama, karibu na kochi alilo lala Suzana, “baba si ukae kwanza baba” aliongea Suzana, akimshika suluali mzee Mashaka na kumvutia kwake, “hapana mama, hujuwe nime mwacha mzee Haule ananisubiri, wacha nikamalizane nae,” aliongea mzee Mashaka, huku akijitoa kwa Suzana, kasha akafungua mkoba wake wa mkononi, (begi) akatowa maburungutu saba ya noti za elfu kumi kumi, nakuweka kwenye meza, kisha akamwambia Suzana "najuwa hauna tabia yakuniomba fedha, atakama unashida, ebu chukuwa hii itakusaidia, mimi nawai maana mzee Haule ananingoja" aliongea mzee Mashaka huku akijiandaa kuondoka "asante baby" aliitikia Suzana akijifanya kutabasamu, wakati moyoni alichukia sana, hapo Suzana aliinuka na kusindikiza mzee wake ambapo aliishia mlangoni akimsindikiza kwa macho, mpaka mzee Mashaka alipoondoka na gari lake, suzana akarudi kwenye kochi na kujilaza, huku roho ikimuuma sana, lakini dakika chache baadae akasikia hodi, mlango uligongwa na sauti ya kiume ikiita, “hoodiii” akaisikiliza kwa makini ikaita tena akaigunduwa kuwa ni ya Edgar, mpangaji wake mpya, akainuka araka nakuufwata mlango nakuufungua, nikweli alikuwa Edgar, licha ya kuonyesha kuwa kijana huyu alikuwa amechoka na uo husio na Amani, lakini alipo shusha machoyake chini kwenye suluali yajinsi usawa wa zip, suzan alishuhudia, alama ya mtuno ikionyesha sehemu ambayo dudu imelala, hapo Suzana alijikuta akiuma midomo ya chini, “karibu ndani, nani vileeee”.. HAYA SASA NINI KITATOKE
Artikel Terkait
Story...... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya kumi na tatu (13) Ilipoishia....... Mzee Joel ndio hakuamini baada ya kuingia ndani na kukuta vijana wote wamelazwa chini alafu kidogo hivi akatokeza Nolan akiwa amepigilia suti nyeusi Kisha akamwambia baba yake ambaye ni mzee Joel, "naenda kwenye kikao cha harusi ya Penina na Frank na kama utahitaji kadi unijulishe nikuletee ya kwako." ***********Endelea ********* Nolan baada ya kumuambia baba yake maneno hayo aliingia kwenye gari na kuondoka. Nolan alifikia sehemu ambayo ilikuwa maalumu kwa ajili ya kutengeneza kadi za harusi. Nolan alitengeneza kadi za harusi zisizopungua Mia moja hamsini kwa ajili ya harusi ya Penina na Frank. Kadi hizo hazikuwa za kuchangia harusi ya Frank na Penina bali kadi za mualiko. Nolan alijipanga kusimamia kila kitu Katika harusi ya Penina na Frank hivyo yeye alitengeneza kadi ambazo ni kama kiingilio cha kuhudhuria harusi hiyo bila kuchangia chochote. Nolan baada ya kukamilisha zoezi la kutengeneza kadi zile akaanza kutafuta ukumbi Mkubwa wenye hadhi ya kufanyia sherehe ya harusi ya Frank na Penina. Nolan alifanikiwa kuupata ukumbii ambao aliuhitaji na baada ya hapo Nolan akaanza kuzigawa kadi zile kwa watu mbali mbali ikiwemo na marafiki pia. Nolan moja kwa moja aliwasili nyumbani kwa kina Frank na kuwakuta Wazazi wake Frank ambao walimpokea kwa furaha Sana. "kikubwa kilichonileta hapa ni kuhusu harusi ya mtoto wenu Frank pamoja na mdogo wangu Penina, napenda kuwaafahamisha kuwa taratibu za harusi ya ndugu zetu hawa inaendelea vizuri na hapa nimewaletea kadi za mualiko." alianza kuongea Nolan baada ya kukaribishwa ndani na Wazazi wake Frank huku akiwakabidhi kadi zile Wazazi wake Frank. "Asante Sana kijana wetu na hongera Sana kwa hapa ulipofikia Mungu azidi kukusimamia zaidi na zaidi." wakaongea Wazazi wake Frank huku wakimshukuru Sana Nolan. "msijali Sana hii kazi ilikuwa lazima niifanye na lazima nitaitimiza, na kingine ninachotaka kukifanya kwa Sasa nataka niwahamishe hapa nyumbani kwenu niwapelekee sehemu mkakae hapo kwa siku kadhaa mpaka pale harusi ya mtoto wenu itakapokamilika, nafanya hivi kwa sababu ya usalama wenu kwasababu kuna vita kubwa inaendelea. " akaongea Nolan na kutoa maelezo hayo ambayo Wazazi wake Frank walikubaliana nayo bila wasi wasi wowote. Wazazi wake Frank pamoja na Mdogo wake Frank walijiandaa na kuondoka na Nolan ambaye aliwapeleka Katika hotel moja iliyopo nje kidogo ya jiji la dar es salam na kuwataka wakae hapo kwa wiki tatu kabla ya harusi ya Frank na Penina na gharama zote atazisimamia yeye Nolan. Nolan baada ya hapo alishika njia ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kwenda kupumzika kidogo. * Dickson aliwasili Tanzania kwa Mara nyingine tena Ila awamu hii alikuwa na vijana wake wanne alioongozana nao. Baada ya kuwasili uwanja wa ndege moja kwa moja Dickson pamoja na vijana wake walichukua gari ndogo na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwa mzee Joel.* Mzee Joel alizidi kuchanganyikiwa baada ya kumaliza siku ya pili Sasa bila kumuona Penina na wala hajui ni wapi Penina alipo. Jambo hilo lilimvuruga Sana mzee Joel na kumfanya ashindwe hata kula chakula anachopikiwa na mkewe. Mzee Joel pia aliweza kuwasiliana na mkuu wa kikosi cha the killer na kumueleza jinsi vijana wake walivyoshindwa kuifanya kazi waliyoagizwa na kujikuta wakipokea kichapo kikali kutoka kwa Nolan. Mkuu yule wa kikosi cha the killer aliyejulikana kwa Jina la buffalo alipigwa na butwaa baada ya kupewa taarifa zile na mzee Joel. buffalo hajawahi kuamini kama kuna mtu yoyote anayeweza kupambana na vijana wake na akawaweza, hivyo taarifa zile zilimshangaza Sana. Buffalo akaamua ni lazima amjue huyo kijana ni nani aliyeweza kuwatandika vijana wake. "mzee hiyo kazi niachie mimi nitapambana nae mwanzo mwisho." akaongea buffalo kumwambia mzee Joel. Mzee Joel aliweza kumuelewa buffalo na kukataa simu na kumsubiri buffalo aingie kazini mwenyewe kwasababu yeye ndio mtu pekee Sasa aliyebaki wa kumtegemea. Dakika chache baada ya mzee Joel kuongea na buffalo, mzee Joel alipata taarifa kuwa kuna wageni nje wanahitaji kuonana na yeye. Mzee Joel alitoa ruhusa wageni hao wakaribishwe ndani. Kitendo bila kuchelewa wageni wale walifunguliwa geti na kukaribishwa mpaka ndani. Mzee Joel alishtuka baada ya kuona ugeni wenyewe ni wa Dickson pamoja na vijana wake wanne. "karibuni karibuni Sana." akaongea mzee Joel huku akijaribu kujichekesha japo hakuwa na amani hata kidogo. "hatuna haja ya kukaa mzee Joel, tumekuja kumchukua Penina nataka kujua kama inawezekana au haiwezekani?" akauliza Dick huku akionesha dhahiri kupandwa na hasira. "inawezekana kijana wangu tafadhali kaeni kidogo bas." akaongea mzee Joel kwa upole. "nimeshakuambia hatuna haja ya kukaa sisi tumekuja kumchukia Penina tu." akaongea Dick kwa msisitizo. "kijana wangu Dick naomba nipe muda wa siku mbili tu nitakuwa tayari nimeshakamilisha hili swala." akaongea mzee Joel kuwaambia wakina Dick. "Mzee umenipotezea Muda na umekula pesa zangu nyingi Sana, Sasa naondoka na kesho nitarudi unikabidhi Penina la sivyo pesa zangu utarudisha na utalipa Muda wangu nilioupoteza kwa ajili yako." akaongea Dick kwa jazba na kuondoka pamoja na vijana wake na kumuacha mzee Joel akitokwa na jasho jembamba. Baada ya dakika chache wakina Dick kuondoka Nolan naye aliwasili nyumbani na kumkuta baba yake akiwa na mawazo tele huku pembeni akiwa chupa ya pombe kali. "Baba shikamoo" akasilimia Nolan lakini alijua baba yake hataitikia salamu yake. Mzee Joel kweli hakuitikia salamu ya Nolan alibaki akimtizama tu kwa hasira. Nolan naye hakujali alitoa kadi tano za harusi ya Penina na Frank na kumwekea baba yake kwenye Meza iliyokuwa mbele yake. "karibu Sana Katika harusi ya Penina na mpenzi wake wa Muda mrefu Frank, wewe pamoja na rafiki Zako mnakaribishwa. " Nolan ndio alimwambia baba yake mzee Joel baada ya kumuwekea kadi zile kwenye Meza iliyokuwa mbele yake, Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. ............ Itaendelea ... Read More
*LOVE BITE EP 02* ILIPOISHIA……….. Jothan ilibaki kidogo tu agonge wakate anaendesha kutokana na mawazo yaliyochanganyikana na hasira kwa kile alichofanyiwa na Bahati.. Alijilaumu sana kwenda kula chakula pale na kuambulia maumivu. Alijuta kukutana tena na Bahati ingawaje mwanzoni alikuwa na hamu ya kuonana nae. Alifika nyumbani na kujilaza. ”who a Jonathan by the way??” Aliirudia ile kauli ya Bahati na kujikuta anashindwa kuamini kuwa yule ndie bahati halisi aliyemtamkia maneno yale. SONGA NAYO….. Mawazo yalimuandama Jothan kwa kile alichotendewa na Bahati. Lakini alikubali moyoni kuwa msemo wa wahenga kuwa tenda wema nenda zako hawakukosea kusema hivyo. Aliamua kusahau yote ya nyuma ingawaje ubongoni alikosa tafsiri. Alijua kuwa msaada wowote utakaompa mtu basi hujawekeza chochote zaidi ya maumivu pindi utakapo fadhila kutoka kwake. Likizo yake ilipoisha alienda kazini kama kawaida. Alishangaa mabadiliko Fulani aliyoyaona pale ofisini. Meza yake alikuwa amekaa mtu mwingine kabisa. “salama kaka.” Alisalimia Jothan baada ya kumsogelea yule mtu aliyekaa nafasi yake. “safi tu.” Aliitikia yule mtu ambaye alionekana kuendelea na kazi yake kama kawaida. “samahani, nadhani wewe ni mgeni hapa. Hicho kiti ulichokalia ni changu.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule mtu ambaye alikua anamshangaa tu na kujifanya hajasikia na kuendelea na mahesabu yake. “sina taarifa zozote hapa juu yako wewe, kwa hiyo hiki kiti nimepangiwa na bosi mkuu na hakuniambia kama nitahitajika kutoka ukija wewe.” Aliongea yule mtu kwa kujiamini. Jothan aliona kuwa alikuwa anapoteza muda kuongea na yule mtu. Maamuzi ya kuingia ofisini kwa bosi wake yalimjia na kuamua kwenda huko. “Mr.Jothan, hukupata barua yako mapokezi pale nje?” aliongea basi wake hata kabla ya salamu. “barua?…barua gani?” aliuliza Jothan kwa mshangao mkuu. “we nenda ukaichukue… utakachokikuta ndio utajua hiyo barua inahusu nini.” Aliongea bosi wake na kumfanya Jothan kuzidi kushangaa mambo yanavyoenda. Muonekana wa bosi wake ulikuwa tofauti kabisa na muonekano wa kila siku aliokuwa nao. Alionekana kama mtu aliyemkasirikia Jothan wakati alitakiwa kuonyesha hali ya kumlaki ikiwezekana kumpandisha cheo Jothan kwa kufanya kazi kubwa ya kuirudisha kampuni katika hali yake ya kawaida. Jothan alitoka mpaka mapokezi na kumuangalia yule dada wa mapokezi. “doh.. nilishasahau. Kuna barua yako Mr. Jothan.” Aliongea yule dada wa mapokezi huku akishika kichwa chake baada ya kumuona Jothan kuonyesha ishara kuwa alipitiwa kumpa ile barua kabla hajaingia ndani. “ndio nimeifuata.” Aliongea Jothan na kumuangalia yule dada aliyeinama na kuanza kupekua barua kadhaa alizokuwa nazo na kutoa moja yenye jina la Jothan na kumkabidhi. Jothan aliichukua ile barua na kuifungua. Hakuamini kitu kilichandikwa kwenye ile barua. Hakuamini kuwa anaweza kufukuzwa kazi kwa kosa ambalo hajawahi kulifanya. Kampuni ilikuwa inamtuhumu kwa kuisababishia hasara kampuni yake huko Morogoro jambo ambalo halikuwa na ukweli ndani yake. Hasara ilitokea kabla hajaenda na yeye ndio aliyesababisha mpaka baadhi ya wahujumu wa kampuni yake kugunduliwa na kuiweka kampuni hiyo katika hali inayoridhisha kwa sasa. Taarifa hizo zilimchanganya na kumfanya arudi tena kwa bosi wake. “kilichoandikwa humo ndio uamuzi wangu,.. bila shuruti naomba utoke ofisini kwangu.” Aliongea bosi wake na kukataa katukatu kumsikiliza hoja zake. Jothan aliona kama mikosi mfululizo inazidi kumuandama. Hakubishana na mtu. Aliamua kusaini alipotakiwa kusaini na kwenda NSSF kwa ajili ya kufuatilia mafao yake. Kwakua vyeti vyake vilikua vimependeza, hakuchukua muda mrefu kupata kazi kwenye kampuni nyingine. Huko alipewa cheo kikubwa zaidi ya alichokuwa nacho kwenye kampuni yake ya zamani. Hapo aliamini kuwa mungu hakuumba ugonjwa bali ulikuwa na dawa yake. Alimshukuru mungu kwa kupata sehemu iliyokuwa inathamini uwezo wake wa utendaji wa kazi tena kwa muda mfupi. Saikolojia na mahusiano ndilo jambo pekee lililompa chati kwa haraka hapo ofisi kwao kutokana na wateja wengi waliokuwa wakiwasiliana na yeye alipokuwa ofisi yake aliyokwa anafanya kazi zamani wote walihamia kwenye ofisi hiyo mpya. Miezi nane baada kampuni ilimuandalia tafrija kutokana na kuipa jina na mafanikio makubwa kampuni hiyo ambayo ilikuwa haijulikani japo kuwa ilikuwa na miaka mitatu toka ianzishwe. Zawadi alizopewa hata yeye hakuzitegemea. Alipewa na gari aina ya prado mpya kabisa kutokana na mchango wake mkubwa ndani ya kampuni hiyo. Baada ya sherehe hiyo kuisha, watu walitawanyika kwenda makwao. Jothan akiwa kwenye gari yake akirudi nyumbani kwake, kwa mbali alimuona msichana mrembo akimpa ishara ya kuomba lifti kwake. Bila hiyana alipunguza mwendo na kupaki pembeni kidogo. Alipigwa na butwaa baada ya kumuona mtu mwenyewe anayeomba lifti. Hata baada ya yule msichana kumuona Jothan alishtuka kidogo na kuonyesha ishara ya kutoamini kwamba angekutana na Jothan maeneo yale. “wewe, za miaka?” aliongea Jothan na kufungua mlango wa prado yake ambayo ndio kwa mara ya kwanza inatembea kwenye lami ya Tanzania toka ilipoagiziwa huko nchi za ng`ambo. Yule dada alipanda na kukaa nae siti ya mbele. “sikutarajia kama ipo siku nitaonana na wewe” aliongea yule dada na kuvua miwani yake na kuiweka kwenye pochi yake. Jothan alimuangalia yule msichana aliyevaa gauni fupi lililomuonyesha mapaja. Juu alivalia kikoti cheusi na kofia aina ya Cow boy. Muonekana wa yule binti ulizidi kuvutia japo kuwa ni muda mrefu Jothan hakumuona yule msichana. Weupe asilia na wa kujiongezea pia ulizidi kumfanya yule dada asijulikane kama ni Mtanzania au kachanganya na watu kutoka nchi za ughaibuni. Nywele za bandia alizobandika zililingana na muonekano wa Marichui. Tabasamu lilipasua midomo minene iliyopendezeshwa na kimsitari chembamba kilichokuwa katikati ya meno yake ndio kilikuwa kivutio kingine kwenye sura ya yule dada. Hakua mwembamba, pia hakua na unene uliomfanya kuchukiza. Alijua kuutumia mwili wake kwa kukataa tumbo kubwa na kuyafanya maziwa yake kujitegemea yenyewe bila kutumia sidiria. Hayo yote yalibainika haraka kutokana na mtoko alionyuka siku hiyo. “hata mimi, yaani nikikumbuka siku ile sijui ilikuaje mpeka nikapitiwa na usingizi.” Aliongea Jothan na kuonyesha kuwa kichwa chake kilikua kimehifadhi kumbumbu kubwa toka mara ya mwisho kuonana na binti yule aliyeushitua moyo wake kabla ya kukutana na Bahati. “una kumbukumbu wewe.. kwani wewe unaishi wapi?” aliuliza yule dada. “naishi kinondoni kwa manyanya.” Aliongea Jonathan na kumfanya yule dada kupigwa na butwaa. “sasa mbona mimi nakaa kinondoni kanisani baada ya kituo cha Biafra?… na mpaka nashuka nilikuacha ndani gari!” aliongea yule dada na kumfanya Jonathan kutabasamu. “unafikiri niliamka tena?.. yaani nilipitiliza kituo na kwenda kuamshwa na konda gari ilipofika mwenge.” Aliongea Jonathan huku akiendesha gari yake hiyo mpya kwa umakini mkubwa. Waliongea mengi ikiwemo kujuana majina na kupeana namba za simu. Jothan alimfikisha yule dada mpaka kanisani kituo anachoshukia na yeye akageuza gari na kurudi kwake. Kwakua saa ilisoma ni saa mbili usiku, aliamua kwenda kuoga na kulala moja kwa moja kutokana na uchovu wa shughuli yao. Macho hayakufumba haraka japokuwa alikuwa kitandani kwa takribani masaa matatu. Alikizunguka kitanda chote na kukumbatia mito huku akijenga taswira ya kuwa na msichana yule waliokuwa wameonana kitambo lakini hawakupata nafasi ya kuongea kama siku hiyo. Alitabasamu peke yake kila wakati huku ubongo wake ukijaribu kumpa data muhimu za uzuri wa msichana huyo kila nukta aliyokuwa akifanya jambo lolote lililoukosha moyo wake. Hakujua alilala saa ngapi, ila alishtushwa na alarm yake iliyokua inamuamsha kila siku saa moja kamili asubuhi. Aliichukua simu yake na kukuta sms tatu zilizomtakia asubuhi njema kutoka kwenye namba aliyoi save kwenye simu yake jina la SHANI. Alitabasamu na kuzijibu zile sms na kuondoka kwenda kazini baada ya kumaliza kunywa chai aliyoiandaa mwenyewe. Walipiga story kwenye simu alipokuwa njiani na msichana huyo na kukubaliana kukutana kwenye chakula cha mchana Bondeni hotel iliyokuwa magomeni. Kwakua alikua hana kazi nyingi ofisini kulingana na siku yenyewe ilikua nusu siku kwao. Siku ya ijumaa waliitumia kumalizia viporo tu na kazi za siku hiyo walizihesabu kuanza nazo wiki ijayo. Japokuwa alikua si mfuatiliaji, Jonathan aliingia facebook na kutafuta jina analo litumia Shani kwenye mtandao huo wa jamii. Baada ya kulitafuta alilipata na kuanza kuperuzi picha za binti huyo. Hakika muonekano wake ulizidi kumfanya Jothan azidi kuwa na hamu ya kuwa naye. Alikua ni binti ambaye hayuko nyuma wala kupitwa na wakati. Alijua jinsi ya kupangilia nguo na pozi zilizowaacha hoi watu wengi waliomuona. Kila picha aliyopiga ilikuwa na comments zisizopungua mia mbili kutoka kwa marafiki zake waliokuwa wanazikubali pigo zake. Akiwa amezama mtandaoni huku akizifurahia picha za Shani, muda wa kwenda kupata chakula cha mchana uliwadia na Jothan akazima computer yake aina ya apple iliyokuwa mezani kwake na kwenda kwenye gari yake kuitafuta Bondeni hotel ilipo. Baada ya dakika chache alishawasili maeneo hayo na kuchukua simu yake ili ampigie Shani na kumpa taarifa kuwa ameshafika walipo ahidiana kukutana. Kabla hajabonyeza kitufe cha kupigia, moyo wake ulipatwa na mshituko wa ajabu baada ya kuangalia mbele ya meza kadhaa za kwenye hotel hiyo na kumuona Bahati akiwa na bosi wake wa zamani wakilishana huku wakiwa hawana habari. LAliamua kuheshimu hisia za ke na kupiga simu kwa Shani. “umefika wapi babie” aliongea Jothan baada ya salamu. “nimeshafika wangu, wewe upo upande gani?” aliuliza Shani kwenye simu. “nipo upande wa mlango wa kuingilia hotelini kabisa…. Upande wa chakula huku.” Aliongea Jothan na Shani akakata simu baada ya kumuona. Mavazi aliyovaa Shani yalizi kumpagawisha Jothan, kila mtu aliyemuona hakusita kuyagandisha macho yake kwa mdada huyo mwenye uzuri wa ajabu. Hatua za Shani zilimfikisha kwa Jothan na kusalimiana kisha wakaingia ndani pamoja. Macho ya Bahati yaligongana na Jothan ambaye alikuwa na msichana mzuri Shani pembeni yake. Bahati aliangalia pembeni na kujifanya hajamuona Jothan na kuendelea kulishana na mpenzi wake. Jothan naye hakujishughulisha nao, aliwaangalia tu na kuwapita. Akaenda kutafuta sehemu nzuri yenye upepo na kukaa. “uliniambia unaisha peke yako, kwa nini sasa?” aliuliza Shani baada ya kukaa na kuletewa vitu walivyoagizwa. “si unajua kuwa bado sijampata mwanamke wa kuishi nae, ndio maana nimekuwa mpweke pale nyumbani.” Aliongea Jothan na kutabasamu. “jamani, wanawake wote waliojaa hapa mjini, ukizingatia your so handsome. Unanitania wewe?” aliomgea Shani na kucheka. “sikutanii, huo ndio ukweli wenyewe. Nipo single mwenzio.” Aliongea Jothan na kucheka. “ila kaka una moyo wa ajabu sana.” Aliomgea Shani na kumuacha Jothan njia panda. “kwanini unasema hivyo?” aliuliza Jothan. “unajua toka siku ya kwanza tuliyoonana mimi na wewe kule coco beach, sijui kwanini ila niseme ukweli nilitokea kuvutiwa na tabia yako. Maana angekuwa mtu mwengine baada ya kutoa ofa tu basi angeanza kutusumbua mara unaitwa nani mara nipeni namba zenu za simu. Lakini wewe ulikuwa bize na mambo yako na ulipochoka ulituaga na kuondoka zako…. Kusema ukweli nilivutiwa sana na tabia yako.” Alionge Shani na kumfanya Jothan atabasamu. “mi naamini kama unampenda mtu si lazima mpaka umpe ofa ndio uanze kumuelezea… hata mimi nilivutiwa na wewe sema nilishindwa kukueleza kwakua ulikua na marafiki zako na nilihofia pia kuniona msumbufu kwakua niliwapa ofa.” Aliongea Jothan na kumfanya Shani atabasamu. Walimaliza kula na na kutoka mule hotelini, Jothan hakuwaona tena wakina Bahati na hapo ndipo aipogundua sababu ya kuachishwa kazi. Alitikisa kicwa kama ishara ya kusikitika na kuelekea kwenye gari yake na kumpakiza Shani ambaye kwa muonekana hawakuwa na tofauti na wapenzi wawapo out. Kama kawaida yake,. Alimfikisha Shani kituo cha kanisani na yeye akarudi kwake. Usiku wa siku ya jumamosi ilikuwa ni siku Spacial ya mtoko kati ya Shani na Jothan kwenda club. Walifika club na kucheza mziki vya kutosha na kila mmoja aliifurahia ile siku. Walirudi nyumbani pamoja, na Shani kwa mara ya kwanza akaingia nyumbani kwa Jothan. Kwakua walikuwa wamelewa, walilala wote mpaka asubuhi bila kufanya lolote na kuamka asumbuhi. Waliangaliana na kucheka huku kila mmoja akiwa hana kumbukumbu sawa sawa kuwa ilikuwaje mpaka wakalala wote chumba kimoja tena kila mtu akiwa amelala kivyake. Mazoea yalizidi mpaka ikafikia wakati Shani akawa anapewa ufunguo wa nyumba na Jothan ambaye akirudi kazini alikuta nyumba safi na amepikiwa chakula kizuri. Upishi wa Shani haukufanana na muonekano wa ke. Wasichana wengi wazuri jikoni huwa hamna kitu. Lakini yeye alikua anatoa vitu ambavyo akati mwengine Jothan alishindwa kuvumilia na kumwambia kuwa alikua anataka kumuoa kabisa ili awe anampkia daima. Uakaribu ukajenga penzi moto moto lililowashinda mpaka wenyewe na kujikuta Shani amehamia kabisa nyumbani kwa Jothan. Maisha ya furaha na yenye raha tele yalizidi kujijenga kwa Jothan. Hakuwa na mawazo tena zaidi ya kumshukuru mungu kwa kumpamsichana ambaye hata yeye alikuwa na mapenzi a kweli kwake. Kuna siku ambazo Shani alikua analala na Jothan na siku nyingine alikuwa analala kwao kutokana na kuwa bado hajawa mke wake halali. Jothan alivizia siku ambayo Shani hayupo mule ndani na kuamua kufungua kabati yake ambayo ilijaa siri zake nyingi za maisha yake na kumbukumbu mbali mbali zinazomuhusu yeye. Vitu vilivyofaa alivirudisha kwenye kabati na vingine ambavyo vilikuwa havifai kwa usalama wa penzi lake alivichukua kwa lengo la kuvitia moto. Baada ya kupekua muda mrefu, aliibamba alburm moja iliyokuwa na picha kadhaa za zamani toka yupo shule. Baada ya kufungua kurasa kadhaa, alishtuka baada ya kuona picha ya msichana mzuri aliyekuwa amemkumbatia huku wanatabasamu. Mawazo yalimpeleka mbali sana. *************************** Ilikua siku ya aina yake baada ya Jothan kupelekwa katika mashinadano na Shule aliyokuwa anasoma. Mashindano hayo yalikuwa yanatafuta mshindi wa mdahalo kwa lugha ya kiingereza. Kila shule ilitakiwa itoe wanafunzi wawili. Wakiume na wakike. Mwanafunzi wa kiume alichaguliwa yeye kutokana na kuwa na lafudhi nzuri na ya kuvutia kwenye lugha hiyo. Ingawaje alikua kidato cha pili, lakini shule ilimuamini na kuona kuwa ni yeye pekee ndio anafaa kutokana na uwezo wake kwenye somo hilo na vile anavyojiamini. Mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa shule ya sekondari Jitegemee. Kwanza ufunguzi ulifanyika na Bendi ya shule hiyo kwa kupiga ala za muziki zilizokuwa zikifuatishwa na watu wate waliohudhuria pale. Kulikua na shule zisizopungua Arobaini. Kila shule iliwakilishwa kwenye sekta mbali mbali, wapo walioigiza kiingereza na wengine waruka sarakasi. Shule za international zenyewe zilishindana kwenye mdahalo uliokuwa wakibishana kati ya watoto wa mitaani na walio shueni, wapi wanaoharibiwa zaidi na utandawazi?. Mada hiyo ilibeba ubishani mkubwa lakini Jothan aliweza kuifanya shule yake kuibuka kidedea kutokakana na hoja kali na zenye uzito alizokuwa akizitoa kwenye utetezi na kuwashindwa wapinzani wake. Walipowa wakipata chakula baada ya shindano, dada mmoja aliyekuwa shule pinzani alimfuata na kumuomba akae nae kwenye meza moja. “hamna shida, karibu” aliongea Jothan na yule dada akaweka chakula chake na kuanza kumuuliza Jothan maswali. “nifaye nini ili niweze kuongea kingereza kizuri kama wewe?” aliuliza yule dada na kumuangalia Jothan “ni kazi rahisi, kwanza kipende na kuwa na juhudi nacho, ni lazima utakuwa na uwezo wa kukitumia utakavyo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu. “hivi unaitwa nani?” aliuliza yule dada baada ya kimya kifupi kupita. “Jothan” alijibu Jothan kifupi. “wooh.. nice name,… mimi naitwa Prisca.” Alijitambulisha yule msichana, “Prisca, jina la mama yangu hilo.” Aliongea Jothan na kumfanya yule dada atabasamu. “una simu?” aliuliza Prissca. “ndio.” Alijibu Jothan huku akijua ni kitu gani kilifuata baada ya Prisca kumuuliza swali lile. “unaonaje tukipeana contact sababu nahitaji sana ushauri wako na ukaribu pia kati yangu mimi na wewe kama hautajali.” Aliongea yule dada na Jothan alianza kumtajia namba zake na yule dada alitoa simu yake na kuandika zile namba alizokuwa anatajiwa. Baada ya kuihifadhi kwenye kitabu cha simu yake, alimbipu Jothan nay eye akai hifadi pia. Waliagana na kila mmoja akarudi kwao baada ya kuruhusiwa. Kesho yake Jothan alienda shuleni kwao na kupongezwa na mwalimu mkuu baada ya kupigwa kengele ya dharula na wanafunzi wote kukusanyika msitarini. Alimpongeza. pia mwalimu wa Jothan kwa kumpa muongozo mzuri. Aliporudi nyumbani, aliiwasha simu yake na baada ya sekunde kadhaa message tatu ziliingia mfululizo. Alipofungua zote zilikua za Prisca. Na zote zilimtaka akutane naye kama atakuwa na muda. Kwakua kwenye simu yake kulikuwa na vocha za kutosha. Aliamua kumuendea hewani. “niambie” aliongea Jothan baada ya simu yake kupokelewa upande wa pili. “safi tu, nilikuwa nahitaji kuonana na wewe leo kama utakuwa na muda.” Aliongea Prisca na kumfanya Jothan kutabasamu. “tutaonana wapi sasa?” aliuliza jothan huku akionyesha wazi kuafiki swala la kuonana na binti huyo. “popote tu utakapoamua wewe.” Aliongea Prisca na kumpa mwanya Jothan wa kuchagua. “sio mbaya kama tukikutana namanga, au wewe una semaje?” aliongea Jothan. “poa, saa ngapi?.” Aliuliza Prisca.” “mida hii mi najiandaa, nafikiri tukutane baada ya saa limoja kutoka sasa.” Aliongea Jothan. “poa” alijibu yule msichana na Jothan akakata simu. Jothan alienda kuoga haraka na kuvaa nguo zake nzuri mpaka mama yake akamshangaa. “wapi tena hiyo mwanangu?” aliuliza mama yake Jothan baada ya kumuona mwanaye amependeza kupita kiasi. “naenda maktaba kujisomea.” Aliongopa Jothan ili kukwepa maswali mengi kutoka kwa mama yake ambaye alikuwa anampiga vita juu ya kujihusisha na mahusiano na watoto wa kike Jothan alishuka namanga walipopanga kukutana na yule msichana. Dakika tano baade, Prisca naye alishuka na kukutana na Jothan. Mavazi aliyovaa Prisca yalimpendeza sana na kumfnaya Jothan kidogo moyo umshtuke kumuona msichana huyo ambaye ndio mara ya kwanza kukatana nae akiwa nje ya sare za shule. Aliduwaa kwa muda akiutathmini uzuri wa msichana huyo mgeni kwake mwenye kasi ya ajabu. “wooo.. umependeza sana.” Alisifia Jothan baada ya kukutana na yule msichana. “sikushindi wewe.” Alijibu yule msichana na kutabasamu. “kwakua muda bado unaruhusu, unaonaje tukichukua bajaji twende coco beach tukapate kipupwe na kufurahisha nafsi zetu.” Alishauri jothan na kumuangalia msichana huyo aliyemvutia kila akimtazama. “ok, nadhani itakuwa poa zaidi.” Aliongea Prisca na safari ya kuelekea coco beach ilianza mara moja baada ya kupata bajaji ya kukodi iliyowafikisha salama maeneo hayo. Walitembea huku ha huko huko wakila cone na crips. Watu walikuwa wengi na kuchangamsha eneo hilo. Tamasha pia lilikuwepo na baadhi ya wasanii wa bongo flavour walifika na kutumbuiza kwenye ufukwe huo uliomiminika watu kila dakika. Kutokana na kutopenda makelele, Jothan na Prisca walienda kwenye mapango ambapo kulikuwa na watu wachache wakiwa wametulia na wapenzi wao. Na wao waliafuta sehemu tulivu na kukaa na kuongea yao. Wakiwa wamejisahau baada ya kuzama kwenye stori na vicheko vya hapa na pale, ghafla wakajikuta wamezungukwa na watu watatu na mmoja wao akiwa amevalia mavazi ya kiaskari. “aroo, mna fanya nini hapa?” aliuliza yule askari aliyevalia sare kwa ukali. “sisi…sisi tumekaa tu.” Alijibu Jothan huku akitetemeka. “mmekaa tu, mbona mmejitenga?” aliuliza askari huyo na kudakiwa na mwenzake aliyekuwa amevaa nguo za kiraia lakini akiwa na pingu kama nne kiunoni mwake. “walikuwa wanafanya ufuska hawa.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kukataa kwa kutikisa kichwa. Uoga uliwa jaa kupita kiasi. Huyo Prisca ndio kabisaa, hakuweza kufanya lolote zaidi ya kuanza kulia. “wewe si mwanafunzi?” aliuliza yule askari huku akiendelea kumkazia macha Jothan “hapana.” Alikanusha Jothan “na wewe msichana si bado mwanafunzi wewe?” Yule askari alimgeukia Prisca na kumuuliza kiukali na kumfanya azidi kuogopa na kijasho cha uoga kiliamza kumtiririka. “ndio..bado mwanafunzi afande.” Alijibu kiuoga Prisca. “sasa wewe unaenda kufungwa miaka thelethini jela, unamrubuni mwanafunzi?,,,mfunge pingu mara moja.” Aliongea yule askari na kumfanya Jothan kushangaa. Hakuamini kuwa wale maaskari walikuwa na nia ya kuwakamata. Alizunguka askari yule mwenye pingu na kumfunga Jothan mikononi. Walichukuliwa wote wawili na kwenda nao pembeni ambapo waliwakuta wavulana wengi rika mbali mbali waliokuwa wamekamatwa na wapenzi wao waliokuwa kule mapangoni. Wavulana waliitwa mmoja mmoja na kuhojiwa na baadae waliruhusiwa baada ya kutoa faini kutokana na kosa hilo la kukaa faragha mapangoni kitu ambacho maaskari wanaolinda eneo hilo wamekataza. Waliwaacha Jothan na Prisca wa mwisho kama walivyo wakamata. “unajua kuwa kutembea na mwanafunzi ni kosa kisheria na adhabu yake ni kubwa sana. Sasa usipoteze muda. Una shilingi ngapi tuwaachie?” aliongea askari aliyekuwa anawahoji wale watu waliowakamata. “hapa nimebakiwa na shilingi elfu nane tu.” Aliongea Jothan kiunyonge. “sasa hiyo elfu nane tutagawanaje?.. acha utani dogo utaenda kuozea segerea.” Aliongea yule askari na kuanza kumsachi Jothan. Aligundua kuwa ni kweli salio lake lilikuwa elfu nane. Alimuita Prisca na kumuuliza. “una shilingi ngapi ili tuwaachie?” aliuliza yule askari na kumuangalia Prisca ambaye bado alikuwa analia. “elfu ishirini.” Alijibu Prisca. “zilete hapa, haya na wewe zilete hizo elfu nane zako.” Aliongea yule afande na wote wakatii haraka na kutoa hela walizokuwa nazo. “mna nauli?” aliuliza yule afande na baada ya kupokea zile hela zote. “hatuna, hela zote ndio hizo.” Alijibu Jothan. Yule afande alichomoa elfu tatu na kuwapa kama nauli. “haya poteeni haraka, msirudie tena kujiingiza kwenye vitendo vinavyoshawishi ngono sawa..haya potea kabla sijabadili maamuzi.” Alipiga mkwara yule askari na wao wakaondoka haraka. Hawakuwa na hamu ya kuendelea kukaa pale coco beach, waliamua kuondoka. Walipofika kituoni waliagana na kila mmoja akapanda magari yaendayo kwao. Walipigiana simu na kila mmoja alimtaarifu mwenzake juu ya kufika salama nyumbani kwao. Kisanga kilichowakuta ilibaki kuwa siri yao. Hakuna aliyediriki kumuhadithia mtu yeyote. Mapenzi ya kishule shule yalianza taratibu na mwosho wakajikuta wanapendana kiukweli na hakuna aliyeridhika kupita siku bila tukio la kuonana. Walimaliza elimu yao ya kidato cha nne huku mapenzi yakiendelea kati yao. Waliridhika kuonana na kuchat kupitia simu na mitandao ya kijamii. Jothan alipomaliza kidato cha nne alichaguliwa kwenda kibaha kumalizia elimu yake ya kidato cha tano na sita. Alifaulu vizuri na kwenda chuo kikuu morogoro. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa kupotezana na Prisca. Kwani alipoteza simu na akaamua kubadisha line wakati namba ya Prisca haikuwa kichwani mwake kutokana na tabia ya Prisca kutodumu na namba mmoja muda mrefu. Alimuwaza sana mpenzi wake huyo waliyekutana enzi za shule na kukua pamoja. Hakua na jinsi zaidi ya kupiga kitabu baada ya kuona anapoteza muda kumuwaza mtu ambaye hata kwao walipo hivi sasa hapafahamu. Hii ni baada ya kupewa taarifa za kuhama Prisca pale walipokuwa wana kaa mwanzo baada ya kuuza nyumba yao. ***************** Mawazo yalirudi tena kwenye ile picha na kuamua kuificha bila kuichoma moto kama alivyotaka mwanzo kufanya. Badala yake alienda sehemu ambayo kulikuwa na hati ya nyumba yake na kuiweka ile picha katikati. Ni kweli Prisza alikuwa anampenda na hawakuwahi kuachana. Ni muingiliano tu wa maisha ndi uliowatenganisha. Moyo wake aliona kama si haki kuichoma ile picha kwakua bado alikua na nafasi ndani ya moyo wake japokuwa kuonana na msichana huyo ni ngumu sana. Hata alipomaliza chuo alijitahidi kumtafuta bila mafanikio. Mpaka muda huu anajitegemea ni kipindi kirefu cha miaka sita tuko walipokutana na Prisca kwa mara ya mwisho. Mawazo ya msichana huyo wa kwanza katika maisha yake yalimchanganya kichwa na hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali matokea na kuanzisha ukurasa mwengine wa maisha yake kwenye mapenzi na shani Baada ya usafi huo wa kabati lake, aliamua kujilaza kitandani na usingizi ukamchukua. ITAENDELEA ... Read More
CHOMBEZO: UTAMU WA KITUMBUA SEHEMU YA KUMI NA TANO (15) & (16) UMRI ±18 ilipo ishia sehemu iliyo pita "Potea" Vanessa alipoluhusiwa kutoka chumbani alikimbia huyo mpaka nikataka kucheka.nasma nae akaamka kitandani na kuelekea mlangoni kwa ajili ya kuondoka lakini alipofika mlangoni............ endelea sasa aligeuka na kuniludia kwa kasi ya ajabu. Nilimdaka na kumweka stairi ya mbuzi kagoma kwenda nilibinya binya mpododo wake taratibu Sophi alianza kutoa sauti fulani yaani zilizidi kuniongeza mzuka. Nikazidisha kumpampu mtoto nasma kwa udambwi dambwi wa hali ya juu. nasma aliaanza kutoa maneno ambayo hata mingine sikuyaelewa. Nilizidi kumpeleka moto moto, niliona ndio dawa ya wanawake wa aina hii wanao taka kunikomoa tena kibaya zaidi alinipa kidonge yeye mwenyewe. Niliendelea kujisemea kimoyo moyo wakati naendelea na zoezi langu nasna alizidi kulalamika. Ooh.. uhiiiiii… ahaaa! utamu utamu unakuja uwi… uwi.. ahaa! baby nasma aliita baby..baby! hata zisiokuwa na idadi nilimpelekea moto tu yaani bandika bandua Mtoto mwenyewe akaomba poo! Ooh… baby inatosha nilimsikia nasma akisema nikaona mmh! itakuwa imekolea hata rudi tena kunisumbua. “nasma nasma vipi mbona kimya? niliamua kumuuliza maana niliona yupo kimya kwa muda kidogo tangia twende mapumziko. “Hapana kenny yaani” “Yaani nini? nasma. “Raha zako tu zinanipagawisha” “Zinakupagawisha? “Ndio baby yaani umemzidi hata mjomba wako” “We.. Sophi acha zako” “kwa iyo umesha wai kulala ma mjomba ""kumbe hujui mjomba wako kalala na watu wote humu ndani"" unamaanisha kalala hadi na errycah......? "ndio tena ndo aliyetoa bikra lakini errycah hajui aliye mtoa bikra ni baba yake mzazi" mungu wangu ni laana ya aina gani mtu kulala na mtoto wake nilimuuliza nasna.kwaiyo na nyie amewalala niliiuliza jibu ambalo teali nilisha pewa. tuachane na hayo mambo yote yapo kwenye kile chumba cha siri ambacho funguo take hiii apa. alinikabidhi lakini hapo hapo nika muuliza. "umeipata vipi" akaniambia "mjomba wako wakati anaingia amesha zoea kunikumbatia. nikatumia mda huo huo kumchomolea ufunguo hakika sikuachi na kesho nakuja tena” “nasma usifanye hivyo mimi sihitaji kesi” “Kesi gani? tena” “Mimi nataka raha zako usinizingue” Alinitisha kidogo Nasma ila mtoto wa kiume kwa vile nishakutana na mabalaha yeye anaiga, nilichomjibu usijali nilimwambia tu awe makini asinifanye nikimbie mji.mana mjomba katika watu anao wakubali nasma namba moja Niliongea nae mengi nasma huku akiwa. kifuani anachezea chezea chezea garden love. Yaani sikuwa nyuma kwa namna vile alivyokuwa ananichezea. aliniamsha mpini wangu na ulishaanza kunyanyuka kutafuta shamba lililipo. Mmh… ahaaa! Nasma wewe ahaa.. niligumia kwa utamu nilio usikia kumwongeza nae hamu iliturudi tena uwanjani maana wangu mpini ulikuwa unatafuta pakulima tena. Mtoto alizidi kunichezea we nami sikubaki nyuma hata kidogo. nika chomeka dude langu kwenye kitumbua chake. "oooooh aaaah oooh tia yoteeee aaah shhhhhh oooh oopps."alizidi kutoa miguno ya raha. Nikaanza ingiza toa ingiza toa mchezo ulininoga hadi nasma akaanza kuropoka maneno ya ajabu kiswahili si kiswahili kingereza sio sijui lugha gani tu yote utamu wa dude, nilipenda uwajibikaji wa nasma alikiwa anakiuno kama cha verasidika anakizungusha kwa kunatana hali iliyo nipelekea kutoa wazungu wangu ooooooooooohh,,,,,,!!! mmmmmhhh oooooooosssshhhh ""****** niligugumia kwa utamu nilio upata. lakini nilishangaa kuona mjomba bado amesimama vile vile kumaanisha bado anahitaji mchezo...... isome simulizii hii mpaka mwisho kwa sh 2000 tu 0744204283 ni follow instagram @chas360tz tembelea mtandao wetu www.chas360tz.com SEHEMU YA 16 endelea sasa " kenny mi naenda kulala naona leo mjomba wako lazima aje chumbani kwetu.acha niwai mana hua ana tulala wote wawili" kitendo kile kiliniuma sana nika muuliza kwani kitu gani kinawafanya mpaka mdhalilike ivyo alinijibu mshahala wetu ni milioni 1 na laki tatu kwa mwezi sasa tutaachaje ukiangalia nyumbani kwetu hali ngumu tunasomesha wadogo zetu" nika mtwanga swali kwani wewe na husna ni ndugu "akasema ndio kwani hutuoni tulivyo fanana Mimi na yeye ni mapacha nadhani ndio sababu inayo tufanya mjomba wako atu ng'ang'anie hapa mana alianza kulala na sisi kipindi tuna miaka 13 alitutoa bikra zetu kwa siku moja hadi leo tuna miaka 18 na hulala na sisi kila ifikapo tarehe 6 mwezi wa 12 kila mwaka hata mkewake anatambua hilo" na kila tukilala nae tunapewa shi milioni 2 kila mtu tushazoea na saizi tunaona kawaida mana atafanya lakini haondoki nacho na hajawai kumwagia ndani na toka tulipo kuona tulivutika sana na wewe ndio mana tumekubali mimi na husna tu share penzi ila tunaomba usituache " alimaliza kutoa hayo maelezo huku machozi yakimlenga lenga naomba usije ukamwambia mtu juu ya hiki tulichokifanya nafikili umenielewa" " ndiyo nasma " nilimjibu huku nikiwa najifunika shuka vizuri " kuanzia leo sitaki uniite nasma tukiwa wa wili tu sawa" "Sawa nimekuelewa" tulipomaliza kuongea nasma alitokazake na kuondoka akiniacha Mimi kitandani na kwakuwa nilikuwa nimechoka sana sikuchukua muda mrefu nikapiwa na usingizi mpaka asubuhi nilipostuka baada ya kuamshwa na errycah " we we hamka mbona umelala sana " " daaaah mmmmh naaamka " nilijibu huku nikijifikicha macho" " unajua umelala sana Leo ila pole Jana ulifanya kazi kubwa sana!!! kuzunguka nusu nyumba mpaka mama " " aaaah!!! samahani sana nimeshindwa kutunzia penzi lako " kasema umechoka sana nyumba nzima wameondoka tumebaki sisi tu" " mmmh poa kwaiyo tumebaki wawili tu??" " ndiyo mana baba akisha maliza kulala na husna na nasma lazima watoke waende bank akawape hela zao na wanaenda kuwaona wazazi wao tanga" errycah alinijibu huku akitoka chumbani kwangu " poa nakuja tuongee vizuri ngoja nikaoge" niliaamka nikaelekea bafuni kuoga nilipomaliza nilivaa singlendi na kipensi cha jinzi nikatoka nikaelekea sebreni nilipomkuta errycah akiniandalia kifungua kinywa kilikuwa ni chapati na rosti ya maini bila kusahau na chai ya maziwa nikanywa chai pale mpaka nikashiba kabisa nikasema leo ndio leo lazima nijue siri ya kile chumba. lakini errycah alikuja na kunivamia pale pale kwenye sofa Alianza kunila denda na Mimi nikampa ushilikiano na kwajinsi alivyokuwa na mapaja mazuri na ngozi laini alizidi kunipa msisimko.nikawa namuangalia nione kama kaongeza ujuzi kama wengine akavua kitop chake akabaki na sidilia huku viziwa vyake vikiwa vimechongoka kama mshale nikaanza kuvinyonya hapohapo kwenye sofa " mmmmh aaashhiiiii oooooh taaamu" alikuwa akitoa kilio cha hisia.huku na Mimi nikiendelea kunyonya maziwa yake huku mkono wangu wa kulia ukiwa kwenye kitumbua chake ukisugua kiharage mpaka nikahisi majimaji yamoto yakitoka " iiiiiiiiiiishhhhh baby mmmmh kweeeeliii" " tulia baby " nimwambia huku nikiendelea kunyonya viziwa vyake nikienda mpaka shingoni nikamlaza kwenye sofa vizuri nilipomlaza akalishika dudu langu akaliingiza kwenye kitumbua chake huku akilikatikia miuno nikaanza kupampu mdogo mdogo sikutaka kuwa na papara nikiwa napampu kama sitaki. " baby ngoja nikae hivi"aliniambia huku akikaa mkao unaoitwa mbuzi kagoma kwenda na kiuo chake kakibinua kama nyigu nikashika dudu laku nikaliingiza kwenye kitumbia chake japo lilikuwa likiingia kwa ugumu kutokana lilikuwa kubwa lakini liliingia loooote. " mmmmh aaaaaah oooooshoiii" kilikuwa ni kilio cha mtoto wakike huku akikatika viuno vilivyokuwa vikinipa msisimko wa kuendelea kupampu huku wowowo lake likijipiga kwenye mapaja yangu nilimplekesha mpaka nikaona anatoa machozi " mmmmh baby ingiza yote kumbe tamuuuuuui oooooshhhhiiioo" " mmmh baby kumbe mtamu hivi" nilimwambia mtoto huyu huku nikichomoa na kuchomeka mtoto alikuwa mtamu kiasi kwamba sikuchukua hata muda nikapiga goli langu moja huku nayeye akitangaza ushindi tulimaliza wote kwa furaha. " asante baby kwa penzi lako" " asante pia " nilimwambia binamu huku nikimalizia kufunga zipu ya kipensi changu. " asante mana sasa nimekujua vizuri ulivyo" " kivipi "nilimuuliza " unajua Jana wakati mna sex na husna niliwasikia kila kitu na lijua vingi sana kumbe baba yangu ndie aliye nifanyia unyama wa kunitoa bikra yangu" " inamana jana ulisikia kila kitu" " ndiyo tena naomba kama ikiwezekana utuoe wote wa NNE mana sote tunakupenda." " mmmh jamani nitawezaje kuwaoa wote wanne?" " ndiyo hivyo mana leo asubuhi tume kutana wote tume kubaliana tupo teali tuolewe na wewe" "nilibaki kimya kwa mda nikamwambia twende basi kwenye chumba cha sili tujue mbivu na mbichi"............. je walifanikiwa kuingia chumba cha siri Mimi na wewe hatujui tukutane sehemu ya 17 like page yetu sasa share kama tupo pamoja....... ... Read More
HOUSE GIRL DIARY; NAITWA RAYA NI HOUSE GIRL MSTAAFU—SEHEMU YA TATU (ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI; Raya anarekodi Video ikimuonyesha yule Mama akimtesa mtoto wake wa kambo, akimpiga na kumfanyisha kazi. Anamkabidhi Baba Jack ili aone kinachoendelea. Je nini kitatokea ENDELEA.. Kama hujasoma sehemu ya pipi basi bonyeza hapa; Iddi Makengo Dada alimuona namna Baba anavyobadilika, namna ambavyo uso wake alikua anaukunja, ghafla nilimuona Baba machozi yanamtoka, nikitegemea kama atapandwa na hasira kama nillivyokua mimi na kuanza kumtandika Dada makofi niliona anamgeukia taratibu, alimuangalia kwa uchungu kama vile alikua anataka kusema kitu lakini maneno hayatoki. “Ni…ni nini hiki?” Alijitahidi kuuliza, wakati huo Dada alikua kimya akiangalia chini kwa aibu. “Nisamehe mume wangu ni hasira tu, huyu mtoto wakati mwingine ananiudhi nalazimika kumpiga…” Alijitetea. Mimi bado nilikua nashangaa ni kwanini Dada hakua amelala chini akitokwa damu kwa kipigo. “Hasira ndiyo unwe unampiga mtoto namna hii, hizi ni hasira gani?” Hapa Baba aliuliza kwa hasira kidogo, nilipata faraja labda atamtandika makofi lakini haikutokea. Dada alianza kulia, “Hata mimi sijui mume wangu, sijui hata nini kilinitokea siku hiyo nikampiga mtoto, mimi sina mkono wakupiga kabisa, wewe mwenyewe unanijua labda ni hii mimba…nikiwa katika hali hii nakua tofauti sana…” “Muongo, ni kila siku anampiga, hata haya anayoita mapele ni yeye. Hata chakula anamnyima, anamtukana, anamfanyisha makazi kama Mbwa, huyu si mwanamke ni shetani!” Niliongea huku nikinyanyuka kwa hasira, Baba alikua kama zezeta flani hivi, baada ya kutajiwa neno mimba ni kama alisahau kuwa yule mwanamke alikua ni shetani. Nilikua nasikia mambo ya limbwata lakini nilikua sijawahi kuona mtu kalogwa akalogeka. Kwa namna ile video ilivyokua mtu yeyote mwanye akili timamu hata kama asingekua mzazi wa Jack angekasirika na asingemsikiliza yule mwanamke. “Una mimba mke wangu, ina miezi mi ngapi? Mbona hukuniambia?” Alisahau kabisa kuhusu Jack na kuanza kuulizia upuuzi mwingine ambao nilijua kabisa ni uongo. “Hakluna cha mimba wala nini, hivi wewe huoni kama anataka kukuchota akili!” Niliongea kwa hasira, pale nilikua kama mfanyakazi ila kwa wakati ule nilijua kazi sina hivyo ilikua ni lazima kumtetea Jack na kuhakikisha haki inatendeka. Nilipiga kelele na harakaharaka nilitaja karibu kila kitu ambacho mimi nilikishuhudia Dada akimfanyia Jack. “Mume wangu unaona, huyu binti ndiyo sababu ya kila kitu. Hataki kufanya kazi, nyumba ikakua chafu na kamjaza mwanao kiburi, mbona kabla ya kuja tulikua tunaishi salama. Jack namfundisha kazi na ananisaidia kufanya kazi za ndani, kwa hali yangu hii siwezi kufanya chochote, wewe mwenyewe unakumbuka kilichotokea kipindi kile. Unajua namna tulivyohangaikia huyu mtoto, hivi kweli kumfundisha mtoto wa kike kazi za nyumbani ni kosa? Au kumchapa akikosea ni kosa? Au kwakua mimi sina kazi nipo hapa nyumbani, au kwakua mimi ni Mama wa kambo ndiyo mnaniona kama shetani. Huyu binti anajazwa maneno na Mama yake, kila siku wanaongea na ndiyo wanataka kutuvuruga. Mimi siwezi, mimi siwezi kama umenichoka niambie tu niondoke zangu!” Aliongea huku akilia, kila kitu kilikua ni uigizaji, wakati anaongea alianza kunyanyuka, alinyanyuka huku akishika tumbo kama vile ana maumivu tumboni. “Nini? Kuna nini kimetokea, tumbo linauma?” Baba alimuuliza lakini hakujibu zaidi ya kumuambia niache kama umeamua kumsikiliza huyo baki naye mimi naondoka. Alinyanyuka kwa kupepesuka kisha taratibu alidondoka chini. Niliona kabisa kafanya makusudi kwani hakudondokea sakafuni, alipiga jicho pembeni kisha akapepesa macho na kudondokea kwenye sofa, akawa kama kakaa kiupende kisha ndiyo akafika chini. Baba alipaniki, alianza kuhaha, simu alitupa pembeni na kuacha kuangalia, watoto wake nao walikuja kulia na kumlilia Mama yao. Ilikua ni kama maigizo flani, Baba alianza kuongea habari za Hospitali ndipo alijifanya kufungua macho na kulazimisha kupelekwa chumbani. Aliniambia nimsaidie kumnyanyua lakini sikua tayari, nilimshika Jack mkono na kuondoka naye mapaka chumbani, nilimuacha Baba akihangaika kumnyanyua ili kumpeleka chumbani, alisahau kabisa ishu ya mwanae. **** Usiku mzima sikulala, nilijua nafukuzwa lakini suala la kumuacha Jack pale halikuingia akilini. Nilimuambia Jack nimpeleke kwa Bibi yake lakini alikataa katakata. “Watakuja tu kunichukua, hata nikisema nini hakuna mtu wa kunisikiliza. Wewe dada ondoka tu uniache hapa, nimeshazoea kila dada anayekuja anachoka na kuondoka mimi naendelea tu kubaki. Baba hawezi kuruhusu niondoke, alishagombana na Bibi mara nyingi lakini anasema ananipenda na hawezi kukaa mbali na mimi. Kumbe sikua mimi peke yangu niliyeona yale mateso na kukerwa nayo, kulikua na wafanyakazi wengine wawili nyuma ambao walishafukuzwa kwaajili ya Jack ndiyo maana alikata tamaa. Mmoja alisema kwa Bibi yake Jack na mwingine alimpa chakula na alikua anawasiliana na Mama yake Jack. Asubuhi Baba aliamka kama kawaida, ni kama kulikua hakuna kitu kilichotokea, Dada alijifanya kuamka na kumuamsha Jack kwaajili ya shule, alijidai kumuandaa na kujifanya hana kinyongo. Waliwaaandaa na kuwapeleka shule, alipoondoka tu Dada aliniambia nikusanye kila kilicho changu na kuondoka. Alinitukana sana kwa kutaka kuingilia nyumba yake akiniambia kuwa pale hawezi kuondoka. Alitaka kunipiga lakini kwakua sikuwa nikihitaji kazi tena na nilishajua siwezi kubaki tena pale kumlinda Jack niliamua kumtolea hasira. Baba alishaondoka kwenda kazini hivyo tulibaki wawili tu, pamoja na mwili wangu mdogo lakini nilipitia mengi, maisha ya kupigana mtaani nilishayazoea. Nilimsubiri aliponipiga kofi la kwanza na la pili. Nilimuacha anogewe ndiyo nikaanza kumtandika, hakuamini. Nilimtandika kama vile mtoto mdogo, nilimpiga sana akapiga kelele lakini hakukua na mtu wa kumsikia. Baada ya hapo nilichukua kilicho changu na kuondoka. Nilimuambia naondoka lakini nitarudi, nitarudi kwaajili ya Jack. Alinyamaza kimya bila kusema chochote. Kumbe mtu mwenyewe alikua mayai mayai halafu anajifanya kuonea watu. Niliondoka na kwenda kwa kijana mmoja, huyo alikua ni X wangu, tulizinguana kitambo kabla sijaacha kazi nilipokua nikifanya mwanzoni, yeye alikua ni Kondakta wa daladala hivyo mchana alikua kazini. Mlango wake nilikua naujua vizuri hivyo niliufungua hata bila funguo. Sikua na pakwenda kwani sikua na ndugu Dar, ingawa sikuachana naye vizuri lakini nisingelala mtaani. Jioni alirudi na kunikuta, hata hakukasirika, alianza kucheka na kunitania kama siwezi kuishi bila yeye. Nilimuambia ishu yangu, nikamuonyesha ile video katika simu yangu, hata yeye pamoja na Bangi zake hakuamini kama kuna mtu anaweza kufanya vile tena kwa mtoto mdogo kama yule. “Huyo mwanaume kashatengenezwa, cha kufanya hapo ni kwenda Polisi, mbona siku mbili huyo akikaa ndani anakaa sawa…” Aliongea huku akinigusa, najua alitaka mapenzi lakini sikua katika mood kabisa, ila aliongea jambo amaalo sikuliwaza kabisa hapo awali. “Baba yake anaweza asijali lakini sidhani kama Polisi hawatajali.” Niliwaza kufanya hivyo lakini ulikua ni usiku, niliamua kusubiri mpaka asubuhi. Lakini niliwaza kama itakua vizuri nikienda na Jack kwani nilijua kuwa wakiangalia makovu yake basi utakua ni ushahidi tosha na watamuonea huruma. Lakini ningempataje wakati yuko shuleni, niliamua kwenda nyumbani kwao kumsubiri wakati anatoka shule. Wakati wanashushwa na gari kabla ya kuingia ndani nimchukue na kuondoka naye. Mchana muda wa wao kutoka shule nilichukua Bajaji, nilimuambia Dereva kupaki karibu na geti kabisa, Gari la shule lilipokuja na kuwashusha nilishuka na mimi. Wote waliniona, wale wengine walikimbilia ndani lakini Jack ambaye alikua anaogopa alisimama na kuniambia niondoke kwani atapigwa. Sikumsikiliza wala sikusubiri kumuelezea. Nilimshika na kumvuruta mpaka kwenye Bajaji, nikamuingiza kwa lazima kisha nikamuambia Dereva tuondoke. Kwakua nilishamuambia kila kitu aliwahsa Bajaji mpaka kituoni. Kule nilienda mpaka mapokezi, hakukua na watu wengi, nilianza kuelezea kila kitu, nikawaonyesha na Video. Kila askari aliyeiona alikasirika, tulipewa askari wa kike ambaye alienda kumkagua Jack. Alikua ni Mama mtu mzima, wakati anamkagua alianza kutokwa na machozi ingawa alijizuia sana. Mwanzoni Jack alikataa kusema lakini baada ya kuhakikishiwa usalama wake lielezea kila kitu. Niliandikisha maelezo kisha tukapewa PF3 ili akatibiwe, askari mmoja alitupeleka hospitalini na gari yake binafsi. Baada ya hapo ilitolewa RB, Dada na Baba wote walikamatwa na kufikishwa kituoni. Wote walikua na kesi, haikua ni ya mtu mmoja tena. Polisi waliwasiliana na ndugu wengine kwaajili ya kumchukua Jack na kukaa na wale watoto wengine kwani wote hawakupewa dhamana. Mimi niliondoka lakini nilikua naenda Hospitalini kumuangalia Jack mara kwa mara. Alilazwa kupatiwa matibabu kwa muda wa wiki moja hivi, Mama yake alikuja na baadaye kukabidhiwa mtoto wake. Baba na Dada walikaa mahabusu kwa wiki moja na kutoka kwa dhamana lakini cha kushangaza hawakupelekwa mahakamani. Sijui nini kilitokea lakini binafsi naamini walitoa pesa nyingi kwani Baba Jack alikua na pesa na kacheo flani. Kesi iliisha chinichini na mimi sikuweza kufuatilia, baada tu ya Jack kurudi na kukabidhiwa kwa Mama yake kwangu hilo lilitosha hayo mengine yalikua hayanihusu. Hela yenyewe ya kula ilikua ni shida nisingeweza kufuatilia maisha ya wengine. Sasa hivi imepita kama miaka miwili hivi tangu hili tukio litokee, nipo hapahapa Dar lakini nimehama mtaa. Sifanyi tena kazi za ndani, nimefungua Genge langu ambalo nauza mbogamboga na matunda. Bado nawasiliana na Jack kupitia Mama yake na anaendelea vizuri, wanaishi maisha ya kawaida sana lakini yenye furaha. Katika kazi yangu hii ya kuuza Genge wateja wangu wengi ni wadada wakazi ‘House Girl’ mengi wanayokutana nayo katika nyumba za watu ni kubwa. Kwa wa mama ambao ndiyo mabosi wetu kumbukeni hata sisi ni wanadamu kama nyinyi. ***MWISHO MAMA KWANI BABA YETU NDIYO HUYU HUYU AU SISI NI MAYATIMA? Baba yao ndiyo alikua na kila kitu, mali zote zilikua za kwao lakini kila akisafiri walikua wakiishi kama mashetani, Shangazi zao na Baba zao wadogo waliungana kuwachukia, Mama yao alikua akinyanyaswa na kutukanwa. Kila siku walimuambia yeye ni mzigo na hawezi kuchukua mali za Kaka yao. Bibi yao ambaye alitegemewa kuwa upande wao naye walimjaza maneno. Walimuambia huyu mwanamke kama Kaka akimuacha watagawana mali na Kaka akifa basi atachukua mali zote. Kilichopo hapa ni kuhakikisha Kaka hawi na kitu chochote cha yeye kuchukua…. JE UNATAKA KUJUA KISA HIKI KINAHUSU NINI…Kama kisa kilichopita kilikutoa machozi hiki kitakupigisha mayowe… Lakini nacho kimetokea niseme kinaendelea kutokea, unaweza kuwa na mali nyingi na wanao wakaishi kama mashetani hata kabla hujafa. Kama unataka kuwa wa kwanza kukisoma basi hakikisha umelike ukurasa ... Read More
Story....... NI WEWE TU PENINA Sehemu ya Tatu (3) BY GIVAN IVAN Ilipoishia........ Baada ya Penina kuondoka tu, Frank kabla hajapiga hata hatua moja kuondoka pale, ghafla alishtukia amezungukwa na vijana watatu wa kiume waliokuwa wamevalia miwani nyeusi kila mmoja. Na hata Frank alipowaangalia hakuweza kuwafahamu. .......... .. Endelea............ "tulia hivyo hivyo na sikiliza tunachokuambia." akaongea kijana mmoja huku akiwa ametoa kisu na kumuwekea Frank shingoni. Frank naye alikuwa kimya na kuwasikiliza walichokuwa wanataka kumuambia. "sikiliza wewe kijana wewe bado mdogo Sana, hivyo bas tunakusihi uachane na Penina haraka iwezekanvyo, hili ni onyo tu tunakupa na ukikaidi bas shingo yako tutaikata kama ya kuku." akaongea kijana ambaye alikuwa kiongozi wa wenzake, kijana huyo aliitwa Zaza. Baada ya Zaza kumwambia Frank maneno yale ya kumtisha aliondoka na wenzake na kuingia kwenye gari moja nyeusi iliyokuwa imepaki pembeni Yao, Kisha gari likaondolewa kwa kasi ya ajabu huku dereva wao akiwa ni mwanamke anayejulikana kwa Jina la Melissa, moja Kati ya vijana waliopewa kazi nzito ya kuliharibu penzi la Frank na Penina. Frank alianza kuingiwa na hofu na kujiuliza "ni nini tena kinaendelea juu yake? " Frank alijivuta na kuondoka sehemu Ile na kuingia nyumbani kwao akiwa mnyonge kuliko kawaida yake. " eeh kaka vip mbona mnyonge hivyo kulikoni tena? " akauliza Angel mdogo wake Frank. " aah kuna vijitu vinataka kuniharibia siku hapo nje." akajibu Frank na kuketi kwenye kigoda. "watu gani tena hao mwanangu?" akauliza pia mama yake Frank. "mama kuna watu hapo nje wamenisimamisha na kunitishia niachane na Penina la sivyo wataniua." akaongea Frank kuwaambia wazazi wake wakiwa wamepigwa na butwaa. "haa mwanangu katoe taarifa haraka polisi kwa usalama wa maisha yako." akaongea baba yake Frank kumpa ushauri mtoto wake. "Polisi siendi baba nachojua mimi Penina ni mpenzi wangu nampenda na yeye ananipenda, yoyote atakayeingilia penzi langu na Penina ama zake ama zangu na kukuonesha mfano naanza na hawa walionitisha leo." akaongea Frank kwa jazba Kisha akanyanyuka na kuondoka kuelekea chumbani kwake. "kuwa makini mwanangu tusije tukakupoteza mapema." akaongea baba yake Frank, lakini Muda huo Frank alikuwa ameshatoweka mbele ya macho yao. "Mimi ni mwanaume rijali nitakubalije kutenganishwa na Penina kirahisi hivi?" alikuwa Frank akijiuliza swali hilo huku akizunguka zunguka chumbani kwake. "naamini hakuna mwenye uwezo wa kunitenganisha mimi na Penina isipokuwa Mungu tu." akaongea Frank huku sasa akiwa amejilaza chali kitandani kwake.* Hatimaye Penina naye aliwasili nyumbani na Muda huo ikiwa ni majira ya saa tatu usiku. Geti lilifunguliwa na taratibu Penina akaingiza gari ndani na kulipaki sehemu yake, Kisha yeye akashuka na kuanza kuelekea ndani Katika jumba la kifahari kwa mwendo madaha kama kinyonga. Lakini kabla hajaingia ndani alikutana na baba yake mlangoni ambaye alionesha wazi kuwa alikuwa anamsubiri Penina. "shikamoo baba!" akasalimia Penina, lakini baba yake badalaa aitikie salamu ile akamuuliza Penina, "umetoka wapi usiku huu?" "nilikuwa na mpenzi wangu Frank kuna sehemu tulienda ndio narudi Sasa hivi." Penina akamjibu baba yake bila uoga. "wewe ni Mara ngapi nimekukataza kurudi nyumbani kwangu usiku? Na si nimeshakuambia uachane na huyo chokora wako?" akauliza baba yake Penina huku akiwa amezira. "Kwa kosa la kurudi nyumbani usiku naomba unisamehe baba yangu, Lakini muda si mrefu nitakuondolea hii kero ya kurudi nyumbani usiku kwasababu mimi na huyo mpenzi wangu unayemuita chokora tumeshaanza harakati za kufunga ndoa na tutahamia kwetu muda si mrefu." akaongea Penina kumuambia baba yake bila uoga wowote. "hivi wewe mpumbavu unajua unaongea na nani? Maana naona unaropoka ropoka tu kama umekunywa maji machafu." akaongea baba yake Penina. "ndio najua naongea na nani, najua naongea na wewe hapo baba yangu kipenzi tena nakupenda Sana lakini najua wewe hunipendi." akaongea Penina maneno hayo ambayo yalimfanya baba yake apoe kidogo. "hapana mwanangu sio kwamba sikupendi, nakupenda sana tena Sana Ila huyo unayemuita Frank mi ndio ananikera kupita maelezo yaani nikimuona nahisi hata kutapika." akaongea baba yake Penina kwa upole kidogo. "Baba unataka niachane na Frank?" akauliza Penina. "ndio mwanangu tena nitafurahi Sana na nitakupa zawadi kubwa Sana." akaongea baba yake Penina. "ok bas subiri kidogo." akasema Penina Kisha akaondoka kwa Kas mpaka jikon ambapo alichukua kisu na kurudi nacho mpaka kwa baba yake. Wakati hayo yote yanatendeka Noel ambaye ni kaka yake Penina alikuwa akiyashuhudia yote hayo. "kama unataka niachane na Frank niue kwasababu hiyo ndio njia pekee." akaongea Penina huku akimkabidhi baba yake kisu kile. "haa mwanangu Sasa huu utoto gani unaleta mbele yangu?" akauliza baba yake huku akikitupa kisu kile pembeni. "sio utoto baba bali namaanisha ninachokiongea, na kama umeshindwa kutekeleza nilichokuamuru bas tambua hakuna wa kunitenganisha na Frank na siku si nyingi tutafunga pingu za maisha, na sitojali kama wewe utaudhuria ama hutoudhuria." akaongea Penina kumuambia baba yake Kisha akaondoka na kuelekea chumbani kwake. Nolan naye alitoka sehemu aliyokuwepo akisikiliza malumbano ya Penina na baba yake na kumfuata Penina chumbani kwake. Huku nyuma baada ya Penina kuondoka, baba yake alitoa simu yake na Mara moja akampigia Zaza. "hallow mzee Joel.!" akaongea Zaza baada ya kupokea simu. "Zaza nisikilize kwa makini, Penina na yule chokora wapo Katika mipango ya kufunga ndoa, Sasa nachotaka mfanye ni kuwatenganisha kwa namna yoyote ile, mnachotakiwa kufanya ni kumteka nyara huyo chokora alafu mkamtupe mbali kabisa sehemu ambayo mnajua anaweza chukua hata mwaka mmoja Kuja kuonana na Penina tena. " akaongea mzee Joel kwa kusisitiza (mzee Joel ni baba yake Penina) " Sawa hamna shida mzee wetu tutafanya hivyo." akajibu Zaza. "ok bas fanyeni haraka iwezekanavyo kama mtahitaji pesa zaidi mtanijulisha." mzee Joel akamwambia Zaza na kukataa simu. * Penina baada ya kuingia chumbani kwake ghafla kaka yake naye akaingia pamoja naye. "hee kaka kumbe ulikuwa nyuma yangu?" akahoji Penina kwa mshangao. "ndio na pia nilikuwa nasikiliza malumbano yenu mzee." akaongea Nolan ambaye ni kaka yake Penina. "yaani kaka wewe acha tu, baba angejua navyompenda asingenifanyia hivi anavyonifanyia." akaongea Penina kwa huzuni kumuambia Nolan. "Ila mdogo wangu usijali wewe simamia kile unachokiamini na mimi nitakuwa nyuma yako kukusaidia." akaongea Nolan kumtia moyo Penina. "nashukuru kaka kusikia hivyo angalau wewe ndio uko upande wangu." akaongea Penina kumshukuru kaka yake. "usijali mdogo wangu wewe lala kwa amani tutaonana kesho." akaongea Nolan na kuondoka chumbani kwa Penina.* Kwa upande wa kina zaza usiku ule ule walianza kupanga mikakati ya kumteka Frank na kwenda kumtupa mbali kabisa na jiji la dar es salam. Lakini hii ilikuwa kazi ngumu Sana ambayo walihitaji pesa za kutosha na pia wachore ramani ya sehemu watakayoenda kumtupa Frank. ....... Itaendelea ... Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: