at
1:33 PM
Home → Tanpa Kategori → MAENEO 12 YENYE MSISIMKO KWA MWANAMKE
MADA INAWAHUSU SANA MWANAUME KAMA MPENZIO HAYAJUI HAYA MUELEZE AKUFANYIE USISIKIE TU)Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu .wakati tendo hilo wa wanyama lipo kwaajili ya kuzaa, kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa. Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hilo.yafuatayo ni ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume atayashughulikia ipasavyo bila shala mtafurahia uumbaji wake MUNGU.1. MIDOMO YAKETumia midomo yako, ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni (usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu kwa kweli)2. UKE NA KINEMBETumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye ****** ) ukipandisha juu,fanya hivyo mara kadhaa kutegemea umbo lako na urefu,unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapoutaona upumuaji wake ukibadilika na maji maji yakiongezeka kwenye uke . kwa kawaida kinembe cha mwanamke kimejificha lakini ukifanya vizuri zoezi la hapo juu na chenyewe kama uume kitajaa damu na kuinuka. Kinembe kipo juu kabisa ya mfereji wa uke na kina ukubwa wa harage au kwa wanawake wengine huwa kidogo zaidi . tumia kidole chako cha kwanza na taratibe zungusha kidole juu ya kinembe , pandisha na kushusha kidole chako hapo unaweza kumfikisha kwenye kilele cha utamu wa mapenzi hata kabla hujaingiza uume .Wanawake wengi watafurahia ukitukia uume wako uliosimama vzr kupigapiga eneo la kinembe nah ii huufanya uume kuwa wa moto na unapomuingilia joto la uume wako litafanya raha ya tendo hili kuwa kubwa zaidi.Kinembe ndio sehemu ambayo kwa asilimia 80 huhusika na kazi ya kumfikisha mwanamke kileleni na kwa kuwa kinembe kiko mbali kidogo toka kwenye tundu la uke sio rahisi kwa uume kufikia kinembe hivyo mwanaume anatakiwa ajisukume kwa makusudi kabisakwenda mbele ili shina la uume liguse kinembe wakati wa kuingia na kutoka kwa uume.3. MATITI YAKEMatiti yake ni sehemu muhimu sana kwa mwanamke kama ilivyo kwa uke wake.Utamatia raha kamili mwanamke kama utayapapasa papasa matiti yake,utayaminyaminya kwa upole wa kimahaba utayalambalamba na kuyanyonya.4. MASIKIO YAKEWanawake wengi hupata burudani masikioni yao yanapolambwa au kunyonywa au kupigwa busu.5. SEHEMU YA SHINGO YA NYUMATumia ulimi wako kulamba sehemu ya shingo yake kwamwendo wa kutekenya tumia ncha ya ulimi kutekenya tekenya kwa kufanya mduara na kuendelea kuchora mduara na kurudiarudia.6. SEHEMU YA NYUMA YA GOTISehemu ya nyuma ya goti ina miishio mingi ya mishipa ya fahamu na utashangaa jinsi ammbavyo mwanamke atapata raha kwa kuishughulikia sehemu hii.7. SEHEMU YA NDANI YA MAPAJATumia ubapa wa kiganja chake kupapasa kwa ulaini wa sehemu ya ndani ya mapaja yake fanya hivyo juu juu huku ukimbusu mapaja yake.8. MATAKO YAKEWanawake wengi wanapenda matako yao yachezewe kimahaba kwa kuyaapasa ,endelea kwa kuminya kwa kutumia vidole.9. MIISHO YAKEMiguu yake imejaaa miisho ya mishipa ya fahamu kiasi ambacho baadhi ya wanawake wanaweza kufika katikakilele cha burudani ya tendo la ndoa kwa miguu yao kusuguliwa na kupapaswa.10. USO WAKEMwanamke atafurahi sana atakashika uso wake katika hali ya mahaba na huku ukitabasamu .wakati ukifanya hivyo unaweza kumbusu midomo yake mashavu na kwenye paji la uso.11. HIPS ZAKESehemu hii ni moja ya sehemu ambazo zitamfanya mwanamke ajisikie amekubnalika kabisa iwapo utashika wakai wa tendo la ndoa.12. G SPORTSehemu hii iko ndani ya uke ambayo inapata hisia kubwa sana ikibonyezwa bonyezwa,sehemu hii ipo sentimita 5 kutoka mlango wa uke na iko katika ukuta wa juu wa uke.sehemu hii ikibonyezwa na kuchezewa ipasavyo mwanamke anaweza akapiz mara mbili au zaidi kwa wakati mmoja . hii ni njia rahisi ya kumfikisha mwanamke kileleni, mwanaume aingize kidole kwenye uke na kubonyeza na kusugua sehemu ya juu ya uke.sehemu hii imekaa kama sponji na huwa ngumu kwa kadiri inavyobonyezwa.mwanamke anaweza kujisikia kama anataka kukojoa kabisa na hawezi kukojoa ila raha atakayoipata ni kubwa sana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: